Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • bi12 kur. 1840-1841
  • Orodha ya Vitabu vya Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Orodha ya Vitabu vya Biblia
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Vichwa vidogo
  • Vitabu vya Maandiko ya Kiebrania Kabla ya Wakati wa Kawaida (wa Ukristo)
  • Vitabu vya Maandiko ya Kigiriki Vilivyoandikwa Katika Wakati wa Kawaida (wa Ukristo)
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Orodha ya Vitabu vya Biblia

Orodha ya Vitabu vya Biblia

Vitabu vya Maandiko ya Kiebrania Kabla ya Wakati wa Kawaida (wa Ukristo)

Jina la Kitabu: Mwanzo

Mwandikaji: Musa

Mahali Kilipoandikiwa: Nyikani

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 1513

Muda Unaohusika (K.W.K.): “Hapo mwanzo” mpaka 1657

Jina la Kitabu: Kutoka

Mwandikaji: Musa

Mahali Kilipoandikiwa: Nyikani

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 1512

Muda Unaohusika (K.W.K.): 1657-1512

Jina la Kitabu: Mambo ya Walawi

Mwandikaji: Musa

Mahali Kilipoandikiwa: Nyikani

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 1512

Muda Unaohusika (K.W.K.): Mwezi 1 (1512)

Jina la Kitabu: Hesabu

Mwandikaji: Musa

Mahali Kilipoandikiwa: Nyikani na Nchi Tambarare za Moabu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 1473

Muda Unaohusika (K.W.K.): 1512-1473

Jina la Kitabu: Kumbukumbu la Torati

Mwandikaji: Musa

Mahali Kilipoandikiwa: Nchi Tambarare za Moabu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 1473

Muda Unaohusika (K.W.K.): Miezi 2 (1473)

Jina la Kitabu: Yoshua

Mwandikaji: Yoshua

Mahali Kilipoandikiwa: Kanaani

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 1450

Muda Unaohusika (K.W.K.): 1473–m. 1450

Jina la Kitabu: Waamuzi

Mwandikaji: Samweli

Mahali Kilipoandikiwa: Israeli

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 1100

Muda Unaohusika (K.W.K.): m. 1450–m. 1120

Jina la Kitabu: Ruthu

Mwandikaji: Samweli

Mahali Kilipoandikiwa: Israeli

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 1090

Muda Unaohusika (K.W.K.): Miaka 11 ya utawala wa Waamuzi

Jina la Kitabu: 1 Samweli

Mwandikaji: Samweli; Gadi; Nathani

Mahali Kilipoandikiwa: Israeli

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 1078

Muda Unaohusika (K.W.K.): m. 1180-1078

Jina la Kitabu: 2 Samweli

Mwandikaji: Gadi; Nathani

Mahali Kilipoandikiwa: Israeli

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 1040

Muda Unaohusika (K.W.K.): 1077–m. 1040

Jina la Kitabu: 1 Wafalme

Mwandikaji: Yeremia

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda na Misri

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): Kitabu 1 m. 580

Muda Unaohusika (K.W.K.): 1040-580

Jina la Kitabu: 2 Wafalme

Mwandikaji: Yeremia

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda na Misri

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): Kitabu 1 m. 580

Jina la Kitabu: 1 Mambo ya Nyakati

Mwandikaji: Ezra

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu (?)

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): Kitabu 1 m. 460

Muda Unaohusika (K.W.K.): Baada ya 1 Mambo ya Nyakati 9:44:

Jina la Kitabu: 2 Mambo ya Nyakati

Mwandikaji: Ezra

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu (?)

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): Kitabu 1 m. 460

Muda Unaohusika (K.W.K.): Baada ya 1 Mambo ya Nyakati 9:44:

Jina la Kitabu: Ezra

Mwandikaji: Ezra

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 460

Muda Unaohusika (K.W.K.): 537–m. 467

Jina la Kitabu: Nehemia

Mwandikaji: Nehemia

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): b. 443

Muda Unaohusika (K.W.K.): 456–b. 443

Jina la Kitabu: Esta

Mwandikaji: Mordekai

Mahali Kilipoandikiwa: Shushani, Elamu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 475

Muda Unaohusika (K.W.K.): 493–m. 475

Jina la Kitabu: Ayubu

Mwandikaji: Musa

Mahali Kilipoandikiwa: Nyikani

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 1473

Muda Unaohusika (K.W.K.): Zaidi ya miaka 140 kati ya 1657 na 1473

Jina la Kitabu: Zaburi

Mwandikaji: Daudi na wengine

Mahali Kilipoandikiwa:

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 460

Jina la Kitabu: Methali

Mwandikaji: Sulemani; Aguri; Lemueli

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 717

Jina la Kitabu: Mhubiri

Mwandikaji: Sulemani

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): k. 1000

Jina la Kitabu: Wimbo wa Sulemani

Mwandikaji: Sulemani

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 1020

Jina la Kitabu: Isaya

Mwandikaji: Isaya

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): b. 732

Muda Unaohusika (K.W.K.): m. 778–b. 732

Jina la Kitabu: Yeremia

Mwandikaji: Yeremia

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda; Misri

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 580

Muda Unaohusika (K.W.K.): 647-580

Jina la Kitabu: Maombolezo

Mwandikaji: Yeremia

Mahali Kilipoandikiwa: Karibu na Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 607

Jina la Kitabu: Ezekieli

Mwandikaji: Ezekieli

Mahali Kilipoandikiwa: Babiloni

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 591

Muda Unaohusika (K.W.K.): 613–m. 591

Jina la Kitabu: Danieli

Mwandikaji: Danieli

Mahali Kilipoandikiwa: Babiloni

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 536

Muda Unaohusika (K.W.K.): 618–m. 536

Jina la Kitabu: Hosea

Mwandikaji: Hosea

Mahali Kilipoandikiwa: Samaria (Wilaya)

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): b. 745

Muda Unaohusika (K.W.K.): k. 804–b. 745

Jina la Kitabu: Yoeli

Mwandikaji: Yoeli

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 820 (?)

Jina la Kitabu: Amosi

Mwandikaji: Amosi

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 804

Jina la Kitabu: Obadia

Mwandikaji: Obadia

Mahali Kilipoandikiwa:

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 607

Jina la Kitabu: Yona

Mwandikaji: Yona

Mahali Kilipoandikiwa:

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 844

Jina la Kitabu: Mika

Mwandikaji: Mika

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): k. 717

Muda Unaohusika (K.W.K.): m. 777-717

Jina la Kitabu: Nahumu

Mwandikaji: Nahumu

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): k. 632

Jina la Kitabu: Habakuki

Mwandikaji: Habakuki

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 628 (?)

Jina la Kitabu: Sefania

Mwandikaji: Sefania

Mahali Kilipoandikiwa: Yuda

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): k. 648

Jina la Kitabu: Hagai

Mwandikaji: Hagai

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu lililojengwa upya

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 520

Muda Unaohusika (K.W.K.): Siku 112 (520)

Jina la Kitabu: Zekaria

Mwandikaji: Zekaria

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu lililojengwa upya

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): 518

Muda Unaohusika (K.W.K.): 520-518

Jina la Kitabu: Malaki

Mwandikaji: Malaki

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu lililojengwa upya

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): b. 443

Vitabu vya Maandiko ya Kigiriki Vilivyoandikwa Katika Wakati wa Kawaida (wa Ukristo)

Jina la Kitabu: Mathayo

Mwandikaji: Mathayo

Mahali Kilipoandikiwa: Palestina

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 41

Muda Unaohusika (K.W.K.): 2 K.W.K.–33 W.K.

Jina la Kitabu: Marko

Mwandikaji: Marko

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 60-65

Muda Unaohusika (K.W.K.): 29-33 W.K.

Jina la Kitabu: Luka

Mwandikaji: Luka

Mahali Kilipoandikiwa: Kaisaria

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 56-58

Muda Unaohusika (K.W.K.): 3 K.W.K.–33 W.K.

Jina la Kitabu: Yohana

Mwandikaji: Mtume Yohana

Mahali Kilipoandikiwa: Efeso, au karibu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 98

Muda Unaohusika (K.W.K.): Baada ya utangulizi, 29-33 W.K.

Jina la Kitabu: Matendo

Mwandikaji: Luka

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 61

Muda Unaohusika (K.W.K.): 33–m. 61 W.K.

Jina la Kitabu: Waroma

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Korintho

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 56

Jina la Kitabu: 1 Wakorintho

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Efeso

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 55

Jina la Kitabu: 2 Wakorintho

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Makedonia

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 55

Jina la Kitabu: Wagalatia

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Korintho au Antiokia ya Siria

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 50-52

Jina la Kitabu: Waefeso

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 60-61

Jina la Kitabu: Wafilipi

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 60-61

Jina la Kitabu: Wakolosai

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 60-61

Jina la Kitabu: 1 Wathesalonike

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Korintho

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 50

Jina la Kitabu: 2 Wathesalonike

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Korintho

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 51

Jina la Kitabu: 1 Timotheo

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Makedonia

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 61-64

Jina la Kitabu: 2 Timotheo

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 65

Muda Unaohusika (K.W.K.):

Jina la Kitabu: Tito

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Makedonia (?)

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 61-64

Jina la Kitabu: Filemoni

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 60-61

Jina la Kitabu: Waebrania

Mwandikaji: Paulo

Mahali Kilipoandikiwa: Roma

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 61

Jina la Kitabu: Yakobo

Mwandikaji: Yakobo (ndugu ya Yesu)

Mahali Kilipoandikiwa: Yerusalemu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): k. 62

Jina la Kitabu: 1 Petro

Mwandikaji: Petro

Mahali Kilipoandikiwa: Babiloni

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 62-64

Jina la Kitabu: 2 Petro

Mwandikaji: Petro

Mahali Kilipoandikiwa: Babiloni (?)

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 64

Jina la Kitabu: 1 Yohana

Mwandikaji: Mtume Yohana

Mahali Kilipoandikiwa: Efeso, au karibu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 98

Jina la Kitabu: 2 Yohana

Mwandikaji: Mtume Yohana

Mahali Kilipoandikiwa: Efeso, au karibu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 98

Muda Unaohusika (K.W.K.):

Jina la Kitabu: 3 Yohana

Mwandikaji: Mtume Yohana

Mahali Kilipoandikiwa: Efeso, au karibu

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 98

Jina la Kitabu: Yuda

Mwandikaji: Yuda (ndugu ya Yesu)

Mahali Kilipoandikiwa: Palestina (?)

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 65

Jina la Kitabu: Ufunuo

Mwandikaji: Mtume Yohana

Mahali Kilipoandikiwa: Patmosi

Uandikaji Ulikamilishwa (K.W.K.): m. 96

[Majina ya waandikaji wa vitabu fulani na ya mahali fulani vilipoandikiwa si hakika. Tarehe nyingi zimekadiriwa tu, alama b. inamaanisha “baada ya,” k. inamaanisha “kabla ya” na m. inamaanisha “mnamo” au “karibu.”]

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki