Fahirisi ya Baadhi ya Maneno ya Biblia
Angalia ukurasa wa 6 uone ufupisho wa majina ya vitabu vya Biblia
A
ABADONI, Ufu 9:11 mfalme, jina lake ni Abadoni
ABBA, Ro 8:15 tunapaaza sauti: Abba, Baba!
Ga 4:6 roho hupaaza kilio: Abba, Baba!
ABEDNEGO, Da 1:7 Azaria akamwita Abednego
ABELI, Mwa 4:4 Yehova akimtazama Abeli
Mt 23:35 damu ya Abeli mwadilifu
Ebr 11:4 Kwa imani Abeli alitoa dhabihu
Mwa 4:2, 8, 25; Lu 11:51; Ebr 12:24.
ABIHU, Kut 6:23 Nadabu na Abihu
ABIMELEKI, Mwa 20:2 Abimeleki mfalme
ABISHAI, 1Sa 26:6 Abishai mwana wa Seruya
ABISO, Ufu 20:3 akamtupa ndani ya abiso
Lu 8:31 asiwaagize waingie katika abiso
Ro 10:7 nani atakayeshuka katika abiso
ABIYA, 1Sa 8:2; 1Fa 14:1; Lu 1:5.
ABNERI, 1Sa 14:50; 20:25; 2Sa 3:20.
ABRAHAMU, Mwa 17:9 Abrahamu: shika agano
Mwa 18:18 Abrahamu atakuwa taifa kubwa
2Nya 20:7 Abrahamu, mpendwa wako
Mt 8:11 kuketi na Abrahamu katika ufalme
Ga 3:29 uzao wa Abrahamu, warithi
Ebr 11:8 Kwa imani Abrahamu, alitii
Yak 2:21 Abrahamu hakutangazwa mwadilifu
Mt 22:32; Yoh 8:39; Ro 4:3; Ebr 6:13.
ABSALOMU, 2Sa 14:25; 15:6; 17:25; 18:14.
ABUDU, Mwa 22:5 kwenda tukaabudu
Kut 10:26 mifugo ili kumwabudu Yehova
Kum 11:16 msije kuabudu miungu
Kum 17:3 aende kuabudu miungu
Da 3:6 asiyeanguka na kuabudu
Lu 4:8 mwabudu Yehova Mungu
Yoh 4:20 Yerusalemu, pa kuabudia
Yoh 4:24 wamwabudu kwa roho, kweli
Yoh 12:20 Wagiriki waliopanda kuabudu
Mdo 8:27 ameenda Yerusalemu kuabudu
Mdo 17:4 Wagiriki walioabudu Mungu
Mdo 17:17 waliomwabudu Mungu
Mdo 19:27 Artemi, wote huabudu
Ebr 11:21 Yakobo, akaabudu juu ya fimbo
Ufu 7:11 malaika, wakamwabudu Mungu
Ufu 9:20 wasiabudu roho waovu
Ufu 11:1 wanaoabudu ndani yake
Ufu 11:16 wazee 24 wakamwabudu Mungu
Ufu 13:4 wakamwabudu joka
Ufu 14:9 akimwabudu mnyama
Ufu 19:4 wazee 24 wakamwabudu Mungu
Ufu 20:4 hawakumwabudu mnyama
Da 3:12; Mt 4:10; Mdo 18:13; Ufu 13:15; 16:2.
ACHA, Kum 31:8 wala hatakuacha
Amu 6:13 Yehova ametuacha
1Sa 12:22 Yehova hataacha watu wake
2Fa 21:14 nitaacha mabaki
Zb 27:10 baba, mama wangeniacha
Zb 37:28 hataacha washikamanifu
Zb 94:14 Yehova hataacha watu wake
Met 6:20 usiiache sheria ya mama
Met 10:17 anayeacha karipio
Isa 1:4 Wamemwacha Yehova
Isa 1:28 wanaomwacha Yehova
Isa 54:7 nilikuacha kwa muda
Yer 7:29 Yehova atakiacha kizazi
Yer 15:6 Wewe umemwacha Yehova
Eze 9:9 Yehova ameiacha nchi
Eze 31:12 watu watauacha milimani
Da 11:30 wanaoliacha agano
Sef 2:4 litakuwa jiji lililoachwa
Mt 19:29 ameacha baba au mama
Mt 27:46 kwa nini umeniacha?
1Ko 5:9 mwache kuchangamana
2Th 3:14 acheni kushirikiana naye
Ebr 10:25 tusiache kukusanyika
1Pe 4:1 ameachana na dhambi
2Pe 2:14 macho, hayawezi kuacha dhambi
2Pe 2:15 Wameiacha njia
Zb 27:9; Met 1:8; 15:10; 28:13; Isa 2:6; 32:14; Yer 17:13; Amo 5:2.
ACHIA, Ro 9:29 hangalituachia uzao
ACHILIA, 2Nya 28:19 aliachilia mambo katika
Lu 6:37 Endeleeni kuachilia, nanyi
1Th 4:7 si kwa kuachilia uchafu
ACHILIA HURU KWA KUNUNUA, Ga 4:5.
ACHILIWA HURU KWA NJIA YA FIDIA, Ro 3:24; 8:23; 1Ko 1:30; Efe 1:7; Efe 4:30; Kol 1:14; Ebr 9:15; 11:35.
ACHWA, Zb 37:25 sijaona mwadilifu ameachwa
Isa 62:4 mwanamke aliyeachwa
ADA, Ezr 4:13 hawatatoa ada
ADABU, Law 26:18 nitawatia adabu mara saba
Met 19:18 Mtie mwana adabu
Met 29:17 Mtie mwana adabu, atakupumzisha
1Ko 13:5 haujiendeshi bila adabu
1Ko 14:40 mambo yatendeke kwa adabu
1Th 4:12 mkijiendesha kwa adabu
ADAMU, 1Ko 15:22 katika Adamu, wanakufa
1Ko 15:45 Adamu akawa nafsi hai
Mwa 3:21; 5:5; Lu 3:38; Ro 5:14; 1Ti 2:14.
ADHABU, Zek 14:19 adhabu kwa dhambi
2Ko 10:6 adhabu kwa kila kisichotii
1Th 4:6 Yehova, ndiye hulipiza adhabu
2Th 1:9 watahukumiwa adhabu
Ebr 10:29 anastahili adhabu kali
Yud 7 adhabu ya moto
Kut 32:34; Hes 16:29; Met 16:5; 19:5; Yer 30:14; Yud 7.
ADHAMA, Kum 33:26 Mungu katika adhama
Zb 93:1 Yehova amevaa adhama
ADHIBIWA, Kut 20:7 bila kuadhibiwa
Yer 25:29 mwachwe bila kuadhibiwa?
Mdo 22:5 Yerusalemu ili waadhibiwe
ADHIBU, Kut 34:7 hatakosa kuadhibu
Mdo 4:21 msingi wa kuwaadhibu
Mdo 26:11 kuwaadhibu nyakati nyingi
ADILI, Zb 73:27 njia isiyo ya adili anakuacha
ADILIFU, Ro 5:19.
ADUI, 1Fa 8:33 wakishindwa mbele ya adui
Zb 8:2 kumkomesha adui
Zb 110:2 Nenda ukitiisha adui zako
Isa 64:2 kuwajulisha adui zako jina lako
Yer 46:10 Yehova kujilipiza kisasi juu ya adui
Mik 7:6 adui za mtu, watu wa nyumbani
Mt 10:36 adui za mtu, watu wa nyumbani
Mt 13:39 adui aliyepanda ni Ibilisi
Ro 12:20 adui yako akiwa na njaa, mlishe
1Ko 15:25 adui zote chini ya miguu
1Ko 15:26 Adui wa mwisho, ni kifo
Yak 4:4 anajifanya kuwa adui ya Mungu
Yak 4:4 rafiki ya ulimwengu, adui ya
1Pe 5:8 adui yenu, Ibilisi, anatembea
Kum 32:43; Est 7:6; Zb 74:10; 107:2; Mik 4:10; Nah 1:2; Mt 22:44; Ro 11:28.
ADULAMU, Yos 12:15; 1Sa 22:1; 1Nya 11:15.
AFADHALI, Mt 19:10 afadhali kutooa
AFYA, Met 4:22 ni uzima na afya kwa
Yer 33:6 ninamletea afya
Mdo 15:29 Afya njema kwenu!
AGA, Lu 9:61; Mdo 18:18; 2Ko 2:13.
AGABO, Mdo 11:28; 21:10.
AGANO, Mwa 9:9 nafanya agano langu
Mwa 15:18 akafanya agano na Abramu
Kum 5:2 Yehova alifanya agano
Zb 50:5 wanaofanya agano juu ya dhabihu
Zb 89:3 Nimefanya agano kumwelekea Daudi
Isa 28:15 Tumefanya agano na Kifo
Yer 31:31 nitafanya agano jipya
Da 11:30 kumwaga shutuma juu ya agano
Ho 2:18 agano na mnyama wa mwituni
Mal 3:1 mjumbe wa agano
Mt 26:28 hii ni damu yangu ya agano
Lu 22:29 nafanya agano nanyi, vile Baba
1Ko 11:25 Kikombe kinamaanisha agano jipya
2Ko 3:6 wahudumu wa agano jipya
2Ko 3:14 usomaji wa agano la zamani
Ga 4:24 wanawake wanamaanisha maagano
Ebr 8:6 agano bora, limefanywa imara kisheria
Ebr 9:17 agano ni halali juu ya wafu
Ebr 12:24 Yesu mpatanishi wa agano jipya
Mwa 15:18; Kut 19:5; Yos 9:6; Zb 25:10; Isa 24:5; Amo 1:9; Mdo 7:8; Ro 9:4; Ga 3:15; Ebr 7:22; 9:16.
AGIZA, Met 8:15 kuagiza juu ya uadilifu
Lu 17:9 alifanya mambo aliyoagizwa
Mdo 10:42 aliyeagizwa na Mungu kuamua
1Ko 7:17 ninavyoagiza katika makutaniko
1Ko 9:14 Bwana aliagiza waishi kwa
AGIZA KIMBELE, 1Ko 2:7 aliagiza kimbele
Efe 1:5 alituagiza kimbele tuwe wana
AGIZA RASMI
1Nya 9:22 Daudi, Samweli waliwaagiza rasmi
AGIZO. Ona pia SHARTI.
Ezr 6:18 agizo la kitabu cha Musa
Zb 19:8 Maagizo ya Yehova ni manyoofu
1Th 4:2 maagizo tuliyowapa
Tit 1:5 kama nilivyokupa maagizo
Ebr 9:1 agano, lilikuwa na maagizo
Zb 119:93, 110; Da 3:29; Mdo 1:4; 16:4; Efe 2:15.
AGUA, Kum 18:14 wale wanaoagua
Eze 13:9 manabii, wanaoagua uwongo
AHABU, 1Fa 16:30; 18:17; 2Fa 10:18.
AHADI, Ro 4:13 ahadi ile awe mrithi
Ro 9:4 utumishi na ahadi
2Ko 7:1 tuna ahadi hizi
Ga 3:29 warithi kuhusu ahadi
Ebr 6:12 subira huzirithi ahadi
Ebr 8:6 ahadi zilizo bora
Ebr 11:39 hawakupata utimizo wa ahadi
2Pe 3:13 tunangojea kulingana na ahadi
Mdo 2:39; Ro 4:14; Ga 3:16; Ebr 11:13.
AHADI YENYE KIAPO, Mwa 26:3; Kum 7:8; Zb 105:9; 119:106.
AHASUERO, Est 1:1; 3:1; 8:1; 9:30; 10:3.
AHAZI, 2Fa 16:1, 19; 2Nya 27:9; Isa 1:1.
AHIDI, Kum 26:18 Yehova alivyokuahidi
Tit 1:2 Mungu, aliahidi zamani
Ebr 10:23 aliyeahidi ni mwaminifu
Yak 1:12 taji, Yehova aliwaahidi
Yak 2:5 aliowaahidi wanaompenda
1Fa 8:56; Mdo 7:5; Ro 1:2; 4:21.
AHIDIWA, Mdo 2:33 roho iliyoahidiwa
AHITHOFELI, 2Sa 15:31; 17:23.
AHITUBU, 1Sa 14:3; 2Sa 8:17; 1Nya 9:11.
AHIYA, 1Fa 12:15; 14:2; 1Nya 26:20.
AI, Yos 7:2, 3; 8:1, 26, 28, 29; Yer 49:3.
AIBISHA, 1Ko 1:27 ili awaaibishe wenye hekima
AIBISHWA, Isa 54:4 Usiogope, hutaaibishwa
AIBU, Zb 83:17 waone aibu na kusumbuka
Met 3:35 wajinga wanainua aibu
Met 14:34 dhambi ni aibu kwa mataifa
Met 18:13 upumbavu na aibu kwake
Isa 30:3 sababu ya kuona aibu
Sef 3:5 asiye mwadilifu hakujua aibu
Zek 13:4 manabii wataona aibu
Mk 8:38 yeyote anayenionea aibu
Ro 1:16 siionei aibu habari njema
1Ko 11:14 nywele ndefu, aibu
1Ko 15:43 Hupandwa katika aibu,
Efe 5:4 mwenendo wa aibu
Flp 3:19 utukufu wao uko katika aibu
Ebr 11:16 Mungu haoni aibu juu yao
Ebr 12:2 akaidharau aibu
1Pe 4:16 Mkristo, asione aibu
Ufu 16:15 watu waitazame aibu yake
Zb 25:3; Isa 65:13; Eze 7:18; Lu 9:26; 2Ko 6:8; 11:21; 2Th 3:14; 2Ti 1:8; 2:15; Ebr 6:6.
AINA, Mwa 1:11 kulingana na aina zake
Eze 47:10 Kulingana na aina zake
Mwa 1:25; 6:20; Law 11:14; Kum 14:13; Yak 3:7.
AIYALONI, Yos 10:12; Amu 12:12; 1Nya 6:69.
AJABU, Kut 3:3 nichunguze ajabu hii
Kut 15:11 Unayefanya ya ajabu
1Nya 16:9 matendo yake ya ajabu
Ayu 38:36 maajabu ya angani?
Ayu 42:3 ya ajabu mno kwangu
Zb 26:7 kutangaza kazi zako za ajabu
Zb 31:21 fadhili za ajabu
Zb 78:12 ametenda ajabu
Zb 88:10 waliokufa jambo la ajabu?
Zb 89:5 sifu tendo lako la ajabu
Zb 98:1 ametenda mambo ya ajabu
Zb 107:8 kazi zake za ajabu
Zb 136:4 Mtendaji wa mambo ya ajabu
Zb 139:14 nimeumbwa kwa ajabu
Zb 145:5 kazi za ajabu hangaiko langu
Isa 9:6 Mshauri wa Ajabu
Da 11:36 mambo ya ajabu juu ya Mungu
Ebr 2:4 ishara na mambo ya ajabu
1Pe 2:9 nuru yake ya ajabu
Kum 13:1, 2; Ayu 10:16; Zb 77:11; Isa 29:14; Mdo 2:22.
AJIRI, Mt 20:1 kuajiri wafanyakazi shambani
AKANI, Yos 7:1, 18, 24; 22:20.
AKELDAMA, Mdo 1:19 Akeldama, Shamba la
AKIBA, Met 13:22 akiba kwa ajili ya mwadilifu
Met 15:6 akiba nyingi
Isa 30:6 wanabeba akiba zao
Mt 25:27 wenye kutunza akiba
Kol 1:5 tumaini linawekwa akiba
Ebr 9:27 akiba kufa mara moja
1Pe 1:4 umewekwa akiba mbinguni
AKILA, Mdo 18:2 Akila, mzaliwa wa Ponto
AKILI, Mwa 31:26 ulinishinda akili na
Ayu 23:13 Naye ana akili moja
Zb 8:4 Mwanadamu umweke akilini
Zb 14:1 Asiye na akili amesema
Zb 74:18 watu wasio na akili
Met 11:22 anayegeuka na kuacha akili
Met 26:16 wanaojibu kwa kutumia akili
Da 2:14 akamzungumzia kwa akili
Da 6:14 akaelekeza akili kumwokoa Danieli
Mt 2:16 Herode, alishindwa akili
Mt 11:25 umewaficha wenye akili
Mt 22:37 umpende Yehova kwa akili
Lu 12:20 Wewe usiye na akili
Mdo 9:22 akithibitisha kwa akili
Mdo 17:11 hamu kubwa ya akili
Ro 8:5 akili zao juu ya ya mwili
Ro 8:6 kukaza akili juu ya mwili
Ro 11:34 kuijua akili ya Yehova
Ro 12:2 kufanya upya akili yenu
1Ko 1:19 wenye akili nitatupa
1Ko 2:16 ameijua akili ya Yehova
2Ko 4:4 amezipofusha akili za
2Ko 11:1 kukosa kidogo akili
Efe 3:18 kufahamu akilini
Flp 3:15 mwelekeo wa akili tofauti
Flp 3:19 akili juu ya vitu duniani
Flp 4:2 akili moja katika Bwana
Kol 3:2 kaza akili, mambo ya juu
Ebr 2:6 hata umweke akilini
Ebr 8:10 Nitatia sheria akilini mwao
1Pe 1:13 kazeni akili kwa utendaji
1Pe 5:8 Tunzeni akili zenu
1Yo 5:20 ametupa uwezo wa akili
Zb 49:10; 73:22; 92:6; 94:8; Met 12:1; 30:2; Yer 10:14; 17:11; Lu 11:40; 24:25; Mdo 20:19; Ro 7:25; 14:5; 1Ko 1:10, 19; 15:36; 2Ko 11:16; Efe 1:8; 1Th 4:11; Tit 3:3; 1Pe 2:15; Ufu 13:18; 17:9.
AKILI NZURI, Efe 1:8 Alituzidishia akili nzuri
ALAMA, Law 19:28 msijitie alama ya chanjo
Eze 9:4 alama, mapaji ya uso
Da 2:35 alama zake hazikuonekana
Yoh 20:25 alama ya misumari
Ga 6:17 mwilini mwangu alama
2Th 3:14 mtieni alama mtu huyo
Ufu 13:17 aliye na ile alama
Ufu 14:9, 11 alama juu ya kipaji
Ufu 20:4 hawakupokea alama
ALEKSANDA, Mdo 19:33; 1Ti 1:20; 2Ti 4:14.
ALFAYO, Mt 10:3; Mk 3:18; Mdo 1:13.
ALIKWA, Kut 34:15 mtu akikualika, nawe ule
Mt 22:14 wanaoalikwa ni wengi
ALIYEGEUKA HIVI KARIBUNI, 1Ti 3:6.
ALIYEINUKA, Isa 57:15 Aliyeinuka Sana
ALIYE JUU ZAIDI, Zb 91:1 pa Aliye Juu Zaidi
Isa 14:14 nitajifananisha na Aliye Juu Zaidi
Da 4:17 Aliye Juu Zaidi ni Mtawala
Mdo 7:48 Aliye Juu Zaidi hakai nyumbani
Zb 82:6; Lu 1:32, 76; 6:35; Mdo 16:17.
ALIYE MKUU ZAIDI, Da 7:18, 22, 25, 27.
ALMASI, Eze 3:9 uso kama almasi, gumu
AMALEKI, Kut 17:16; Kum 25:17; 1Sa 15:20.
AMANA, 2Ti 1:14 Amana hii nzuri ilinde
AMANI, 2Fa 9:22 kuna amani, Yehu?
Zb 29:11 atawabariki kwa amani
Zb 37:11 wingi wa amani
Zb 72:7 wingi wa amani mpaka
Met 12:20 wanaoshauri amani wanashangilia
Mhu 3:8 na wakati wa amani
Isa 9:6 Mkuu wa Amani
Isa 32:18 makao ya amani
Isa 33:7 wajumbe wa amani watalia
Isa 60:17 amani kuwa waangalizi
Yer 6:14 wakati hakuna amani
Mik 3:5 Amani! hutakasa vita
Mt 5:9 wale wanaofanya amani
Mt 5:24 fanya amani na ndugu
Mt 10:34 sikuja kuleta amani
Lu 2:14 amani kati ya watu
Yoh 14:27 nawapa amani yangu
Ro 12:18 amani na watu wote
Ro 14:19 mambo yanayofanya amani
Ro 16:20 Mungu anayetoa amani
2Ko 13:11 endeleeni kuishi kwa amani
Efe 6:15 habari njema ya amani
Flp 4:7 amani ya Mungu yenye
Kol 1:20 amani kupitia damu
1Th 5:3 Amani na usalama!
Ebr 12:11 tunda la kufanya amani
Yak 3:17 hekima, yenye amani
1Pe 3:11 atafute amani na kuifuatilia
Ufu 6:4 kuondoa amani duniani
Hes 25:12; Yos 9:15; Zb 28:3; 35:27; 119:165; 122:8; Isa 26:3; 52:7; 54:13; Eze 34:25; 37:26; Mik 5:5; Yoh 16:33; Yak 3:18.
AMASA, 2Sa 17:25; 20:10; 1Fa 2:5.
AMAZIA, 2Fa 12:21; 14:11, 18; 2Nya 25:27.
AMBIA, Isa 30:10 Tuambieni mambo laini
AMINA, Kum 27:15 wote wajibu, Amina
1Ko 14:16 Amina kwa shukrani
Ufu 3:14 Amina, shahidi mwaminifu
Kum 27:16-26; 1Nya 16:36; 2Ko 1:20.
AMINI Ona pia IMANI.
1Fa 10:7 sikuamini mpaka nijionee
Hab 1:5 utendaji ambao hamtaamini
Yoh 3:16 kila anayemwamini
Yoh 5:24 kumwamini yule aliyenituma
Yoh 9:35 unamwamini Mwana
Yoh 11:48 watamwamini, na Waroma
Yoh 12:42 watawala wengi walimwamini
Yoh 12:44 huniamini mimi huamini, si mimi
Mdo 10:43 kila anayemwamini husamehewa
Ro 10:14 kuitia ambaye hawajaamini?
Ebr 11:6 aamini kwamba yeye huwa
Yak 2:19 roho waovu wanaamini na
1Yo 5:1 anayeamini Yesu ndiye Kristo
Kut 4:5; Yon 3:5; Mt 21:32; Yoh 2:11; 4:39; 7:48; 9:36, 38; Mdo 4:32; 15:7; 16:31; 2Th 2:12; 1Ti 3:16; 1Yo 4:1.
AMINIKA, Da 2:45 tafsiri ni yenye kuaminika
Da 7:16 habari ya kuaminika
Mdo 26:8 jambo lisiloaminika
AMIRI MSAIDIZI, 2Fa 7:17.
AMKA, Zb 17:15 Nitatosheka ninapoamka
Isa 26:19 Amkeni, pigeni vigelegele
Isa 26:19 Wafu wataamka
Isa 52:1 Amka, Ee Sayuni!
Da 12:2 waliolala wataamka
Ro 13:11 saa ya kuamka kutoka usingizini
1Ko 15:34 Amkeni muwe na utimamu
AMONI, Sef 2:9 Amoni kama Gomora
Mwa 19:38; Amu 10:6; 2Nya 20:1; Da 11:41.
AMRAMU, Kut 6:18; Hes 26:58; 1Nya 6:3.
AMRI, Mwa 3:17 nilikupa amri usile
Zb 94:20 kinatunga matatizo kwa amri?
Met 6:23 amri ni taa
Isa 28:10 amri juu ya amri, amri juu ya amri
Mik 7:11 siku hiyo amri itakuwa mbali
Mt 15:3 ninyi huvunja amri ya Mungu
Mt 15:9 hufundisha amri za wanadamu
Mt 22:40 Sheria hutegemea amri hizo mbili
Mk 12:28 Ni amri gani iliyo ya kwanza?
Yoh 12:50 amri yake inamaanisha uzima
Yoh 14:21 aliye na amri zangu na kuzishika
Ro 1:32 wanajua vema amri ya uadilifu
Kol 2:14 hati iliyokuwa na amri
Kol 2:22 kulingana na amri ya wanadamu
1Th 4:16 akiwa na mwito wenye amri
1Ti 1:5 lengo la amri hii ni upendo
1Ti 1:18 Amri hii ninakupa, Timotheo
1Yo 2:7 ninawaandikia ninyi, si amri mpya
1Yo 5:3 na bado amri zake si mzigo mzito
Est 1:20; Zb 119:98; Met 6:20; Isa 29:13; Yer 35:18; Mk 12:31; Lu 2:1; Yoh 10:18; Kol 2:20; 1Yo 3:23; Ufu 12:17.
AMRIWA, Ayu 23:12 yale niliyoamriwa
Yer 5:24 majuma yaliyoamriwa ya
Ebr 9:10 yaliamriwa mpaka
AMSHA, Isa 41:25 Nimemwamsha kaskazini
Yoh 11:11 ninaenda huko kumwamsha
Flp 4:10 mmeamsha fikira zenu
Tit 2:4 kuamsha akili za wanawake
AMSHWA, Yer 25:32 tufani itaamshwa
AMUA, Isa 28:22 jambo lililoamuliwa
Da 9:26 kilichoamuliwa ni ukiwa
Da 11:36 jambo lililoamuliwa lifanywe
1Fa 20:40; Ayu 14:5; Isa 10:22; Mdo 16:4; 1Ko 2:2; Tit 3:12.
AMURU, Kum 4:2 neno ninalowaamuru ninyi
Kum 6:6 maneno haya ninayokuamuru leo
Yos 1:9 mimi sikukuamuru wewe?
Eze 9:11 Nimefanya kama ulivyoniamuru
Mdo 17:26 aliamuru nyakati
Kut 7:2; Hes 9:8; Kum 5:33; Zb 78:5; 105:8; Isa 45:12; Yer 1:7; Yoh 15:17.
ANAKI, Hes 13:22 waliozaliwa kwa Anaki
ANANIA, Mdo 5:1, 5; 9:10; 22:12; 23:2.
ANASA, Met 19:10 anasa haimfai mjinga
2Pe 2:13 maisha ya anasa
ANASI, Lu 3:2; Yoh 18:13, 24; Mdo 4:6.
ANDIKA, Kut 17:14 Andika liwe ukumbusho
Kut 34:28 akaandika juu ya mabamba
Kut 39:30 ishara ya wakfu, kuandika
Met 3:3 Ziandike, kibao cha moyo
Isa 10:1 wameandika taabu
Isa 30:8 uiandike katika kitabu
Yer 31:33 nitaiandika moyoni mwao
Yer 51:60 Yeremia akaandika kitabuni
Hab 2:2 Andika maono hayo
Yoh 5:46 aliandika juu yangu
Yoh 8:6 Yesu akaandika
Yoh 19:21 Usiandike Mfalme wa
2Ko 3:2 barua, iliyoandikwa mioyoni
Kut 24:4; 34:27; Yos 24:26; Est 1:22; Isa 30:8; Yoh 19:19; 21:24; Ufu 1:11; 3:12; 21:5.
ANDIKISHWA, 2Sa 20:24.
Ebr 12:23 wameandikishwa mbinguni.
ANDIKISHWE, Lu 2:1 amri wote waandikishwe
ANDIKO, Mt 21:42 hamkusoma katika Maandiko
Mt 22:29 hamjui Maandiko wala Mungu
Lu 4:21 Leo andiko limetimizwa
Lu 24:27 akawafasiria katika Maandiko
Lu 24:32 akitufungulia Maandiko
Lu 24:45 kuifahamu maana ya Maandiko
Yoh 5:39 mnayachunguza Maandiko
Yoh 10:35 Andiko haliwezi kutanguka
Yoh 13:18 ili Andiko lipate kutimizwa
Mdo 17:2 akajadiliana nao kwa Maandiko
Mdo 17:11 wakiyachunguza Maandiko
Mdo 18:24 mwenye ujuzi wa Maandiko
Ro 15:4 faraja kutokana na Maandiko
2Ti 3:16 Andiko limeongozwa na roho
2Pe 1:20 hakuna unabii wa Andiko
2Pe 3:16 wanayapotosha Maandiko
Yoh 20:9; Mdo 8:32; 1Ko 15:3, 4; Yak 4:5.
ANDIKWA, Zb 149:9 uamuzi ulioandikwa
Lu 21:22 yaliyoandikwa yatimizwe
Ro 15:4 yaliandikwa kutufundisha
1Ko 10:11 yaliandikwa kuwa onyo
Ufu 14:1 jina limeandikwa mapajini
Ufu 21:27 walioandikwa katika kitabu
Kut 31:18; Zb 102:18; Mal 3:16; Mt 4:4; Ufu 1:3; 17:5.
ANDREA, Mt 4:18; Yoh 12:22; Mdo 1:13.
ANGA, Zb 19:1 anga linatangaza kazi yake
Da 12:3 watang’aa kama anga
Mwa 1:6; Zb 150:1; Eze 1:22; 10:1.
ANGALAU, Mwa 24:55.
ANGALIA, Kum 8:11 Jiangalie usije ukamsahau
Zb 37:10 utapaangalia mahali pake
Isa 51:1 Uangalieni mwamba
Hab 2:1 nitaendelea kuangalia
Mt 6:26 Waangalieni ndege
Ga 6:1 kujiangalia, usijaribiwe
Flp 2:4 kuangalia, si faida zenu
ANGAMIA, Hes 16:33 Kaburi, wakaangamia
2Sa 1:27 silaha kuangamia!
Ayu 11:20 pa kukimbilia pataangamia
Zb 9:6 Kumbukumbu litaangamia
Zb 10:16 Mataifa yameangamia
Zb 68:2 Waovu na waangamie
Isa 29:14 hekima yao itaangamia
Isa 60:12 ufalme huo utaangamia
Mt 12:25 ufalme huangamia
Mt 18:14 wadogo hawa aangamie
1Ko 1:18 upumbavu kwa wanaoangamia
2Th 2:10 udanganyifu kwa wanaoangamia
Ebr 11:31 Rahabu hakuangamia
Kum 30:18; Ayu 31:29; Zb 37:20; Yer 7:28; 10:11; Mdo 8:20; Yud 11.
ANGAMIZA, Zb 2:12 msiangamizwe njiani
Zb 18:37 mpaka waangamizwe
Zb 92:7 kuangamizwa milele
Zb 145:20 atawaangamiza waovu wote
Isa 26:14 uwaangamize majina yao
Yer 1:10 kubomoa, kuangamiza, kuangusha
Yer 9:16 upanga, mpaka niwaangamize
Eze 20:13 nyikani, ili kuwaangamiza
Mt 10:28 kuangamiza nafsi, mwili
Yoh 3:16 asiangamizwe, awe na uzima
Mdo 9:21 aliyeangamiza walio Yerusalemu
Ga 1:13 niliendelea kuliangamiza
Yak 4:12 anayeweza kuokoa, kuangamiza
2Pe 2:12 wanyama wa kuangamizwa
2Pe 3:9 hataki yeyote aangamizwe
Yud 5 baadaye aliangamiza
Mwa 34:30; Kut 33:5; Hes 25:11; Kum 6:15; 28:21, 63; Yos 24:20; 2Sa 21:5; 22:38; Ne 9:31; Zb 37:38; 49:12; 106:23; Met 24:22; Da 11:44; Mik 4:9; Lu 17:27; 2Ko 4:9; Ga 1:23; 5:15; 2Pe 3:7.
ANGAVU, Ayu 37:21 nyangavu angani
Mdo 26:13 nuru inayopita wangavu
ANGAZA, Isa 60:1 utukufu umeangaza
Mt 5:16 acheni nuru yenu iangaze
Efe 5:14 Kristo atakuangaza
Mwa 32:31; Zb 112:4; 119:135; Ufu 21:23.
ANGUKA, Met 11:28 utajiri, ataanguka
Met 16:18 Kiburi hutangulia kuanguka
Met 18:12 Kabla ya kuanguka moyo huwa na
Met 24:16 mwadilifu akaanguka mara saba
Lu 11:17 nyumba iliyogawanyika huanguka
Ro 11:11 walijikwaa wakaanguka
Ro 14:4 au kuanguka kwa bwana wake
1Ko 10:12 ajihadhari asianguke
Ebr 10:31 kuanguka mikononi mwa Mungu
Kum 31:29; Zb 37:24; 58:7; Met 11:14; Omb 1:7; Lu 23:30; 1Ti 6:9.
ANGUKO, Isa 1:28; Yer 50:22; Omb 2:11; Mt 7:27.
ANTIPA, Ufu 2:13 Antipa, mwaminifu
ANZA, Mk 6:7 akaanza kuwatuma
Flp 1:6 aliyeanza kazi njema
ANZISHA, 2Ko 8:6 Tito ameanzisha hilo
2Ko 8:10 mlianzisha kule kufanya
APA, Mwa 22:16 Naapa kwa nafsi yangu
Zb 15:4 Ameapa juu ya jambo baya
Zb 24:4 Wala kuapa kwa udanganyifu
Isa 14:24 Yehova wa majeshi ameapa
Isa 45:23 Nimeapa kwa nafsi yangu
Mt 5:34 Msiape hata kidogo
Ebr 6:13 hangeweza kuapa
Kum 6:13; Zb 89:35; Isa 65:16; Yer 12:16.
APIA, Mdo 2:30 Mungu alikuwa amemwapia
APISHA, Yos 2:20 kiapo ulichotuapisha
APOLIONI, Ufu 9:11 Kigiriki ana jina Apolioni
ARABA, Kum 1:7 majirani katika Araba
Kum 4:49; Yer 52:7; Eze 47:8; Zek 14:10.
ARAMU, Mwa 10:22; Hes 23:7; 1Nya 1:17.
ARARATI, Mwa 8:4; 2Fa 19:37; Yer 51:27.
AREOPAGO, Mdo 17:19, 22, 34.
ARIMATHEA, Mt 27:57; Lu 23:51; Yoh 19:38.
ARNONI, Hes 21:13; Amu 11:26; Isa 16:2.
AROBAINI, Mwa 7:4 siku 40 mchana na usiku
Kum 29:5 niliwaongoza ninyi miaka 40
Mk 1:13 nyikani siku 40
Kut 16:35; Eze 4:6; Mt 4:2; Mdo 1:3.
ARTASHASTA, Ezr 4:7, 23; Ne 2:1; 13:6.
ARTEMI, Mdo 19:27, 34, 35.
ARUSI, Mt 22:10 sherehe za arusi
ASA, 1Fa 15:9, 24; 2Nya 14:2; Yer 41:9.
ASAFU, 1Nya 6:39; 16:5; 25:1; 2Nya 35:15.
ASALI, Kut 3:8 nchi ya maziwa na asali
Zb 19:10 tamu kuliko asali
Zb 119:103 kuliko asali kinywani
Met 25:27 Si vizuri kula asali nyingi
Eze 3:3 kama asali kinywani
Amu 14:9; Isa 7:15; Ufu 10:10.
ASHDODI, Yos 11:22; 1Sa 5:1, 6; Sef 2:4.
ASHERI, Mwa 30:13; Kum 33:24; Amu 1:31.
ASHTAROTHI, Kum 1:4; 1Nya 6:71.
ASHTORETHI, 1Fa 11:5, 33; 2Fa 23:13.
ASHURU, Mwa 10:11 Ashuru kujenga Ninawi
Isa 19:23 Ashuru kuingia Misri
2Fa 17:6; Yer 50:17; Mik 5:6; Zek 10:10.
ASI, Hes 14:9 msimwasi Yehova
Ezr 4:12 jiji baya lenye kuasi
Zb 107:11 waliasi maneno ya Mungu
Isa 31:6 Israeli wamemwasi
Yer 17:13 wanaoniasi wataandikwa
Kum 9:23; Yos 1:18; 1Sa 12:14; 2Nya 13:6; Ne 2:19; Ayu 24:13; Zb 78:8, 17, 40, 56; 105:28; Isa 63:10; Yer 3:12; Eze 2:3; 20:8, 13; Da 9:5; Sef 3:1.
ASIA, Mdo 19:10; 1Ko 16:19; Ufu 1:4.
ASILI, Law 18:23 kuvunja jambo la asili
Eze 29:14 nchi ya asili yao
Ro 1:27 waliacha matumizi ya asili
1Ko 6:9 makusudi yasiyo ya asili
2Ti 3:3 na upendo wa asili
Yak 3:6 mzunguko wa uhai wa asili
2Pe 1:4 washiriki wa asili ya kimungu
Yud 7 matumizi yasiyo ya asili
Ro 1:26, 31; 2:14, 27; 11:24, 24.
ASIYEAMINI, 1Ko 7:12 mke asiyeamini
1Ko 7:14 mume asiyeamini
ASIYEFAA KITU, Lu 17:10
Zb 18:4; Met 6:12; 16:27; 19:28; Mt 25:30.
ASIYEONEKANA, Kol 1:15 Mungu asiyeonekana
1Ti 1:17 Mfalme, asiyeonekana
Ebr 11:27 kumwona asiyeonekana
ASKARI, 1Ko 9:7 askari, gharama yake
ASKARI-JESHI, 2Ti 2:3 askari-jeshi mwema
ASKOFU. Ona MWANGALIZI.
ASUBUHI, Zb 30:5 asubuhi kuna shangwe
Zb 49:14 watawatawala asubuhi
Amu 6:28; 2Fa 19:35; Isa 28:19; Mk 1:35; Mdo 28:23.
ATHALIA, 2Fa 8:26; 11:1; 2Nya 24:7.
AUGUSTO, KIKOSI CHA, Mdo 27:1.
AYUBU, Ayu 2:3 Ayubu, asiye na lawama
Eze 14:14 Noa, Danieli na Ayubu
Yak 5:11 uvumilivu wa Ayubu
Ayu 1:1, 9, 22; 3:1; 38:1; 40:1; 42:10, 12.
AZIMA, 2Fa 6:5 shoka, la kuazimwa!
AZIMIA, 2Nya 25:16 ameazimia kukuangamiza
Mdo 27:42 askari-jeshi wakaazimia
2Ko 9:7 alivyoazimia moyoni
1Ti 6:9 wameazimia kuwa tajiri
B
BAADAYE, Kum 8:16 akutendee mema baadaye
BAALI, 1Fa 18:21 ikiwa ni Baali, mfuateni
2Fa 10:28 Yehu akaangamiza Baali
Ro 11:4 ambao hawakupigia Baali goti
Amu 2:13; 1Fa 16:31; 2Fa 10:18; Yer 7:9.
BAAL-PERASIMU, 2Sa 5:20; 1Nya 14:11.
BAALI WA PEORI, Hes 25:3; Kum 4:3; Zb 106:28; Ho 9:10.
BAAL-ZEBUBU, 2Fa 1:2, 3, 6, 16.
BABA, Mwa 2:24 mwanamume atamwacha baba
Zb 89:26 Wewe ni Baba, Mungu
Met 6:20 shika amri ya baba
Met 17:6 uzuri wa wana ni baba
Isa 64:8 Yehova, wewe ni Baba yetu
Mt 6:9 Baba yetu uliye mbinguni
Mt 23:9 msimwite yeyote baba duniani
Lu 2:49 Yesu, nyumbani mwa Baba?
Yoh 8:44 baba yenu Ibilisi
Yoh 14:28 Baba ni mkuu kuliko mimi
1Ko 4:15 nimekuwa baba yenu
Efe 6:4 baba, msikasirishe watoto
Yak 1:17 Baba wa mianga
Met 23:22; Isa 38:19; Mal 4:6; Mt 10:37; 26:29; Yoh 10:30; 14:6, 24; Ga 1:14; Efe 4:6; Ufu 14:1.
BABA-MKWE, Kut 4:18; 18:1; Amu 19:4.
BABELI, Mwa 10:10; 11:9.
BABILONI, Yer 51:6 Kimbieni kutoka Babiloni
Ufu 17:5 Babiloni, mama wa makahaba
Isa 21:9; Yer 25:12; Da 3:1; Ufu 18:2.
BABU, Zb 45:16 Mahali pa mababu, wana
1Pe 1:18 mapokeo kutoka mababu
Mwa 15:15; 2Fa 18:3; Mik 7:20; 2Ti 1:3.
BADALA, 2Ko 5:20 mabalozi walio badala
BADILI, Yer 13:23 anaweza kuibadili ngozi?
Yer 23:36 mmeyabadili maneno ya Mungu
Da 7:25 atakusudia kubadili nyakati na sheria
Mwa 35:2; Met 24:21; Mdo 6:14; Ebr 7:12.
BADILIKA, Zb 15:4 na bado habadiliki
Mal 3:6 mimi ni Yehova; sikubadilika
Ebr 6:17 kutobadilika kwa shauri lake
Ebr 6:18 mambo mawili yasiyobadilika
Yak 1:17 habadiliki kama kivuli
BADILISHA, Ayu 28:17 kubadilishwa nayo
BADILISHANO, Ru 4:7 kuhusu mabadilishano
BAHARI, Kut 14:21 kugeuza bahari iwe kavu
Zb 72:8 kutoka bahari mpaka bahari
Isa 11:9 kama maji yanavyoifunika bahari
Isa 57:20 waovu ni kama bahari
Isa 60:5 mali za bahari
Da 11:45 mahema kati ya bahari
Lu 21:25 kunguruma kwa bahari
1Ko 10:2 walibatizwa kupitia bahari
Yud 13 mawimbi yasiyotulia ya bahari
Ufu 20:13 bahari ikawatoa wafu
Ufu 21:1 na bahari haipo tena
Mwa 1:10; Isa 17:12; Eze 27:27; Yon 1:15; Ufu 7:3.
BAHARI NYEKUNDU, Kut 10:19; 15:4; Ne 9:9; Mdo 7:36; Ebr 11:29.
BAHARI YA CHUMVI, Yos 3:16.
BAHATI MBAYA, Hes 23:23 apizo la bahati mbaya
Hes 24:1 kutafuta ishara za bahati mbaya
BAKI, Kum 21:23 maiti yake isibaki
Yos 23:7 mataifa, yanayobaki nanyi
Zb 76:10 ghadhabu iliyobaki
Met 2:21 waadilifu watabaki ndani
Isa 28:5 urembo kwa wanaobaki
1Ko 3:14 Kazi yake ikibaki
1Th 4:17 sisi tuliobaki tutanyakuliwa
Ufu 12:17 vita na waliobaki wa
Yer 8:3; 38:4; Eze 39:14; Mik 2:12; Zek 14:2; Mal 2:15; Mt 14:20; Mdo 15:17; 1Ko 7:20; 13:13.
BAKULI, 2Fa 21:13; Ufu 16:1; 17:1.
BALAAMU, Yud 11 mwendo wa Balaamu
Hes 22:5, 28; 24:1; Kum 23:4; Mik 6:5; Ufu 2:14.
BALAKI, Hes 22:2; Mik 6:5; Ufu 2:14.
BALOZI, 2Ko 5:20 mabalozi walio badala
Efe 6:20 balozi katika minyororo
BAMBA, 1Sa 17:6 mabamba ya shaba juu
BAMBA LA KIFUANI, Efe 6:14; 1Th 5:8.
BANWA, Mik 6:10 kipimo cha efa kilichobanwa
BANDARI, Zb 107:30 bandari inayowapendeza
BANDIA, 2Pe 2:3 maneno bandia
BARABA, Yoh 18:40.
BARABARA, Zb 119:105 nuru, barabara
Met 1:20 Hekima kulia barabarani
Isa 42:2 hataacha isikike barabarani
Eze 7:19 watatupa fedha barabarani
Mt 3:3 Nyoosheni barabara
Mt 7:14 barabara nyembamba
Mt 7:14 barabara, ya uzima
Mt 22:9 barabara zinazotoka jijini
Met 1:15; Isa 59:8; Yer 5:1; 18:15; Eze 11:6; 28:23; Nah 2:4; Mt 10:5; 13:4; 20:17; Mk 11:8; Mdo 8:26.
BARAFU, Eze 1:22 barafu ya kutia woga
BARAGUMU, Law 25:9 baragumu ya sauti
Eze 33:6 naye asipige baragumu
BARAKA, Kum 30:19 baraka na laana
Met 10:22 Baraka ya Yehova hutajirisha
Mal 3:10 kuwamwagia baraka hata kusiwe
Mwa 12:2; Amu 4:6, 8, 14; 5:1, 12; Met 28:20; Mal 2:2; Ebr 11:32; 1Pe 3:9.
BARAZA, 1Ko 4:3 baraza la kibinadamu
BARIDI, Zb 147:17 Mbele ya baridi yake ni nani
Ufu 3:15 wewe si baridi wala si moto
Mwa 8:22; Ayu 37:9; Mt 10:42; Ufu 3:16.
BARIDI KALI, Mwa 8:22 baridi kali, havitakoma
Zb 74:17 kiangazi na baridi kali
Yer 36:30 baridi kali usiku
Zek 14:8 kiangazi na baridi kali
BARIKI, Mwa 1:28 Mungu akawabariki
Hes 6:24 Yehova na akubariki
Zb 29:11 atawabariki kwa amani watu wake
Zb 145:21 wenye mwili na walibariki jina lake
Ro 12:14 Endeleeni kuwabariki wala
1Ko 10:16 Kikombe ambacho tunabariki
Ebr 7:7 mdogo hubarikiwa na mkubwa
Mwa 12:2; 32:26; Kum 7:14; Ru 2:4; Ayu 1:21; Zb 62:4; 72:19; Lu 6:28; 1Pe 1:3.
BARNABA, Mdo 15:2; 1Ko 9:6; Ga 2:1.
BARTHOLOMAYO, Mt 10:3; Mdo 1:13.
BARUA, 2Fa 19:14 akaichukua ile barua
2Ko 3:1 barua za pendekezo
Ezr 4:7; 7:11; Yer 29:29; Mdo 23:25.
BARUKU, Ne 3:20; Yer 32:12; 43:6; 45:2.
BASHANI, Zb 22:12 wenye nguvu wa Bashani
Zek 11:2 Pigeni mayowe, enyi miti ya Bashani
Zb 68:15; Isa 2:13; Amo 4:1; Nah 1:4.
BASHIRI, Mdo 16:16 ufundi wa kubashiri
BATA-MAJI, Law 11:18; Kum 14:16.
BATH-SHEBA, 2Sa 11:3; 12:24; 1Fa 1:11.
BATILISHWA, Yoh 10:35 Andiko, kubatilishwa
BATIZA, Mt 3:11 atawabatiza kwa roho takatifu
Ro 6:3 tulibatizwa katika kifo chake?
1Ko 10:2 walibatizwa katika Musa kupitia
1Ko 12:13 tulibatizwa katika mwili mmoja
Mt 3:13; 28:19; Mk 1:8; Lu 3:16; Yoh 1:26, 33; Mdo 2:41; 10:47; 1Ko 1:17; 15:29.
BAWASIRI, Kum 28:27; 1Sa 5:6; 6:4.
BAYA, Mwa 3:5 mkijua mema na mabaya
Da 11:27 mwelekeo wa kufanya mabaya
Hab 1:13 umetakata usiweze kuona lililo baya
Lu 16:25 Lazaro alipokea mabaya
Ro 7:19 baya nisilotaka ndilo ninalofanya
1Ko 10:6 wanaotamani mabaya
1Ko 15:33 Mashirika mabaya huharibu tabia
1Ti 6:10 chanzo cha mabaya
Tit 2:8 baya la kusema juu yetu
Mwa 2:9; Law 27:10; Zb 38:12; Met 2:14; 27:12; Yer 2:13; Mdo 18:10; Ro 9:11; Yak 3:16.
BEBA, Zb 68:19 Yehova, hutubebea mzigo
Ga 6:5 kila mmoja atabeba mzigo wake
BEELZEBULI, Mt 10:25; 12:24; Mk 3:22.
BEER-SHEBA, Mwa 21:31; 2Sa 24:15; Amo 5:5.
BEGA, Ne 9:29 bega la ukaidi
Isa 9:6 utawala utakuwa juu ya bega
Zek 7:11 wakaendelea kugeuza bega
Yos 4:5; Isa 10:27; 22:22; Eze 29:18.
BEI, Isa 55:1 bila pesa na bei
1Ko 6:20 mlinunuliwa kwa bei
Da 11:39; Mt 27:9; Mdo 5:3; 1Ko 7:23.
BELI, Isa 46:1; Yer 50:2; 51:44.
BELIALI, 2Ko 6:15 kati ya Kristo na Beliali?
BELSHAZA, Da 5:1, 2, 9, 22, 29, 30.
BELTESHAZA, Da 1:7; 2:26; 4:19; 5:12.
BEMBELEZA, Met 28:23.
Met 29:21 akimbembeleza mtumishi
BENDERA, Zb 20:5 tutainua bendera katika jina
Wim 2:4 bendera yake ilikuwa upendo
BEN-HADADI, 1Fa 15:18; 20:1; 2Fa 8:7.
BENYAMINI, Mwa 35:18; Zb 68:27; Ufu 7:8.
BEROYA, Mdo 17:10 Paulo na Sila, Beroya
BETHANIA, Mt 21:17; 26:6; Yoh 1:28; 11:1.
BETHELI, Mwa 28:19; 31:13; Amu 4:5.
BETHFAGE, Mt 21:1 Bethfage, Yesu akawatuma
BETHLEHEMU, Mt 2:1 kuzaliwa Bethlehemu
Mwa 35:19; Ru 2:4; Mik 5:2; Mt 2:5; Lu 2:4.
BETH-PEORI, Kum 3:29; 34:6; Yos 13:20.
BETHSAIDA, Mt 11:21; Lu 9:10; Yoh 1:44.
BEZALELI, Kut 31:2; 35:30; 36:1; 38:22.
BIASHARA, Ayu 41:6 watafanya biashara juu
Zb 107:23 Wanaofanya biashara
Met 31:18 biashara yake ni nzuri
Eze 27:27 vitu vya biashara
Yoh 2:16 nyumba ya Baba, biashara!
2Ti 2:4 shughuli za kibiashara za maisha
Yak 4:13 tutafanya biashara na kupata faida
BIBI-ARUSI, Ufu 21:2 bibi-arusi aliyepambwa
Isa 61:10; 62:5; Yoh 3:29; Ufu 18:23.
BIDII, 1Sa 20:28 Daudi aliniomba kwa bidii
Ne 3:20 Baruku, kazi kwa bidii
Zb 69:9 bidii kwa ajili ya nyumba yako
Met 26:23 midomo ya bidii, moyo mbaya
Isa 9:7 Bidii ya Yehova itafanya hayo
Sef 3:8 dunia itateketezwa kwa moto wa bidii
Ro 10:2 bidii kwa ajili ya Mungu; lakini si
2Ko 8:8 kwa kufikiria bidii ya
Ga 1:14 mwenye bidii kwa ajili ya mapokeo
1Ti 4:13 kufanya bidii katika kusoma
2Ti 1:17 alinitafuta kwa bidii
2Ti 4:2 fanya hivyo kwa bidii
Tit 2:14 walio na bidii kwa ajili ya kazi nzuri
Ebr 6:11 aonyeshe bidii ileile
Met 10:4; 13:4; 21:5; Isa 37:32; Lu 6:15; Yoh 2:17; Mdo 1:13; 1Ko 12:31; 14:1; 2Ko 8:17, 22; Ga 4:17; Flp 3:6; 1Pe 3:13; 2Pe 1:5; Ufu 3:19.
BIKARI, Isa 44:13 huendelea kuinakili kwa bikari
BIKIRA, Zb 45:14 Mabikira katika msafara
Isa 47:1 Babiloni uliye bikira
Mt 25:1 ufalme, kama mabikira 10
1Ko 7:25 kuhusu mabikira sina amri
2Ko 11:2 bikira safi kwa Kristo
BILA KUKUSUDIA, Hes 15:29; 35:11; Yos 20:3.
BILDADI, Ayu 2:11; 8:1; 18:1; 25:1; 42:9.
BINADAMU, Hes 31:28 nafsi moja ya binadamu
Yos 11:14; Zb 115:16; Met 15:11; Mhu 3:10; Eze 36:10.
BINAFSI, Kum 9:26 mali yako binafsi
Yer 25:31 binafsi atajiweka hukumuni
BINAMU, Kol 4:10 Marko binamu ya Barnaba
BINGWA, 1Sa 17:4, 23 bingwa Goliathi, kutoka
BINTI, Mwa 5:4 Adamu akazaa mabinti
Isa 52:2 binti Sayuni uliye mateka
Yoe 2:28 binti zenu watatoa unabii
Lu 23:28 Binti za Yerusalemu, acheni kunililia
Da 11:6, 17; Mt 21:5; Mdo 2:17; 2Ko 6:18.
BINTI ZA KIFALME, 1Fa 11:3; Est 1:18; Isa 49:23.
BINTI-MKWE, Mwa 11:31; Law 18:15.
BIRIKA, Met 5:15 Unywe maji ya birika lako
BISHANA, Isa 66:16 Yehova atabishana
Mk 8:16 wakaanza kubishana
Lu 21:15 wapinzani hawataweza kubisha
1Ko 1:20 mwenye kubishania maneno
1Ko 11:16 mwelekeo wa kubishania desturi
Flp 2:14 kufanya mambo bila kubishana
Yud 9 kubishania mwili wa Musa
BISHANO, Met 17:14 kabla bishano kulipuka
Mdo 17:18 wanaongea kwa mabishano
1Ti 6:5 mabishano, mambo madogo
BLANGETI, Amu 4:18 akamfunika kwa blangeti
BOANERGE, Mk 3:17 jina Boanerge
BOAZI, Ru 2:1; 4:9, 13; 1Fa 7:21; Mt 1:5.
BOMA, Zb 48:13 mioyo juu ya boma lake
BOMBA, 2Fa 18:17; Isa 7:3; 36:2.
BOMOA, Yer 51:58 Ukuta utabomolewa
Ro 14:20 Acheni kuibomoa kazi
BOMOKA, Isa 6:11 mpaka majiji yabomoke
Yer 49:23 Hamathi, wamebomoka
BOMOKO, Amo 6:11 nyumba kuwa mabomoko
Amo 9:11 mabomoko nitayasimamisha
Mdo 15:16 nitajenga mabomoko
BONDE, Mwa 1:22 kujaza mabonde ya bahari
Zb 23:4 bonde lenye kivuli
Isa 40:4 Kila bonde na liinuliwe
Eze 37:1 nchi tambarare ya bondeni
Yoe 3:2 bonde la Yehoshafati
Yoe 3:14 umati, bonde la uamuzi
BONDE LA UMATI WA GOGU, Eze 39:11, 15.
BORA, Mhu 2:24 hakuna bora kuliko ale
Mhu 3:19 mwanadamu si bora kuliko
Wim 1:1 Wimbo ulio bora
Yer 2:21 nimekupanda kama mzabibu bora
Flp 2:3 mkiwaona wengine kuwa bora
Flp 3:8 thamani bora ya kujua Kristo
BORA SANA, 2Ko 11:5 mitume walio bora sana
BORA ZAIDI, 1Ko 12:31 njia iliyo bora zaidi
BORITI, Lu 6:42 toa boriti katika jicho
BUBU, Isa 35:6 ulimi wa bubu
Isa 56:10 mbwa walio bubu
Isa 53:7; Eze 3:26; 24:27; Mt 9:32; 12:22; 15:30; Lu 1:22.
BUMBUAZI, Mdo 2:6 ukashikwa na bumbuazi
BUNI, 1Fa 12:33 alijibunia mwezi wa nane
BURE, Ayu 40:8 haki yangu kuwa bure?
Isa 65:23 Hawatafanya kazi bure
Mt 10:8 Mlipokea bure, toeni bure
Mt 15:9 Wao huniabudu bure
1Ko 15:58 kazi yenu si ya bure
Ga 2:2 isije kuwa nimekimbia bure
Flp 2:16 sikukimbia bure
Ufu 21:6 nitampa maji bure
Ufu 22:17 achukue maji bure
BURUDISHA, Zb 23:3 Anaiburudisha nafsi yangu
Mt 11:28 nitawaburudisha ninyi
Mdo 3:19 majira ya kuburudisha
1Ko 16:18 wameburudisha roho yangu
BURUDISHO, Mt 11:29 burudisho kwa nafsi zenu
BURUDISHWA, Flm 7 upendo umeburudishwa
BUSARA, 1Sa 18:14 Daudi akitenda kwa busara
Zb 47:7 mkitenda kwa busara
Met 10:19 zuia midomo, tenda kwa busara
Isa 29:14 uelewaji wa wenye busara
Mt 7:24 busara, nyumba juu ya mwamba
Mt 24:45 mtumwa mwaminifu, busara
Mt 25:2 Watano walikuwa wenye busara
Ro 12:16 Msiwe wenye busara machoni penu
Mwa 41:39; 1Sa 18:5, 30; 1Fa 2:3; 2Fa 18:7; 2Nya 30:22; Zb 101:2; Met 12:8; Isa 5:21; Yer 23:5; Ro 11:25; 1Ko 4:10.
BUSTANI, Mwa 2:8 Mungu akapanda bustani
Yer 31:12 nafsi yao kama bustani
Amo 9:14 watafanyiza bustani na kula
Mwa 2:15; 3:24; Ne 2:8; Mhu 2:5; Isa 51:3; 58:11; Eze 36:35.
BUSU, 1Fa 19:18 7,000 hawakumbusu Baali
Zb 2:12 Mbusuni mwana, ili
Met 27:6 busu za mwenye chuki
Lu 22:48 unamsaliti Mwana kwa busu?
Ro 16:16 Salimianeni kwa busu
BWANA, Kum 10:17 ni Bwana wa mabwana
Zb 110:1 Neno la Yehova kwa Bwana
Mal 3:1 Bwana mnayemtafuta
Mt 6:24 kutumikia mabwana wawili
Mt 7:22 wataniambia, Bwana, Bwana
Mt 25:21 shangwe ya bwana wako
Yoh 20:18 Maria: Nimemwona Bwana!
Yoh 20:28 Bwana na Mungu wangu!
Ro 6:9 kifo si bwana juu yake
Ro 6:14 dhambi isiwe bwana wenu
Ro 14:4 kwa bwana wake husimama
1Ko 7:39 kuolewa, katika Bwana
1Ko 8:5 mingi na mabwana wengi
Efe 4:5 Bwana mmoja, imani
Kol 4:1 mna Bwana mbinguni
1Ti 6:15 Bwana wa wanaotawala
Yak 2:1 imani ya Bwana Yesu
1Pe 3:6 Sara, akimwita bwana
2Pe 2:1 watamkana bwana aliyewanunua
Zb 123:2; 136:3; Isa 26:13; Mt 9:38; 11:25; Lu 12:45; Mdo 17:24; Efe 6:9; Kol 3:22; 1Ti 6:1; 2Ti 2:24; Tit 2:9.
BWANA MWENYE ENZI KUU, Zb 73:28; 109:21; 140:7; Isa 22:14; 28:22; Yer 50:25; Lu 2:29; Mdo 4:24; Ufu 6:10.
BWANA-ARUSI, Mt 25:1 kumpokea bwana-arusi
Isa 62:5; Yer 33:11; Mt 9:15; 25:5, 6, 10; Yoh 3:29.
BWANA-MKUU, Mal 1:6 huheshimu bwana-mkuu
BWEKA, Zb 59:6 kubweka kama mbwa
C
CHACHA, Mt 13:33 tonge lote likachacha
CHACHE, Met 15:16 vichache na kuogopa
Met 24:10 Nguvu zako zitakuwa chache
CHACHU, Kut 13:6 keki zisizo na chachu
Amo 4:5 dhabihu, iliyotiwa chachu
Mt 16:6 chachu ya Mafarisayo
Lu 13:21 chachu, ambayo mwanamke
1Ko 5:7 Ondoeni chachu ya zamani
Ga 5:9 Chachu kidogo, donge zima
Kut 12:15, 17; 34:25; Law 2:4, 11; Kum 16:3; Amu 6:21; 1Sa 28:24; Ho 7:4; Mt 13:33; 16:12; 26:17; Mk 8:15; Lu 12:1; 1Ko 5:8.
CHAFU, Isa 28:8 meza, matapiko machafu
Zek 3:4 Mvueni mavazi hayo machafu
Ufu 16:13 mambo machafu matatu
2Nya 29:5; Ezr 9:11; Ro 1:27; Efe 5:4; Kol 3:8; Ufu 18:2.
CHAFUA, Hes 35:33 damu ndiyo huichafua nchi
1Ti 4:7 hadithi huchafua matakatifu
2Ti 2:16 maneno huchafua matakatifu
CHAFULIWA, Zb 106:38 nchi ikachafuliwa
Isa 24:5 nchi imechafuliwa chini ya
CHAFYA, 2Fa 4:35 mvulana akapiga chafya
Ayu 41:18 Chafya zake huangaza nuru
CHAGUA, Kum 7:6 Mungu amewachagua ninyi
Kum 30:19 lazima uchague uzima
Yos 24:15 jichagulieni mtakayemtumikia
Lu 10:1 Bwana akachagua 70
Mdo 26:16 nikuchague uwe mtumishi na
1Ko 1:27 Mungu alivichagua vitu vipumbavu
2Th 2:13 Mungu aliwachagua
Kum 12:11; Yos 20:9; Ne 1:9; Zb 79:11; Isa 7:15; Zek 1:17; Yoh 15:16; Ro 9:11; 11:28; 1Th 1:4.
CHAGULIWA, Da 11:15 watu waliochaguliwa
Ro 11:5 mabaki kulingana na kuchaguliwa
1Pe 2:4 lililochaguliwa, kwa Mungu
2Pe 1:10 fanyeni kuchaguliwa kwenu hakika
Ufu 17:14 walioitwa na waliochaguliwa
CHAKAA, Kum 29:5 mavazi hayakuchakaa
Isa 51:6 dunia itachakaa kama nguo
2Ko 4:16 mtu wa nje anachakaa
Ebr 8:13 la zamani kuchakaa
CHAKULA, 1Fa 19:8 nguvu za chakula kile
Mt 24:45 chakula wakati unaofaa?
Yoh 4:34 Chakula, mapenzi ya Baba
Yoh 6:27 kazi, si chakula kiharibikacho
Yoh 6:55 mwili wangu ni chakula
Ro 14:15 chakula, kuhuzunisha ndugu
1Ti 6:8 tukiwa na chakula
Ebr 5:14 chakula kigumu ni cha
Zb 136:25; Mt 6:25; Mdo 2:46; 14:17; 1Ko 8:13.
CHANGAMANA, 1Ko 5:11.
CHANGAMKA, Met 11:10 Mji huchangamka
Isa 61:6 kuchangamka katika utukufu
CHANGANYA, 2Ko 4:2 kulichanganya neno la
CHANGANYIKA, Ezr 9:2.
CHANGANYIKIWA, Kum 28:28.
CHANZO, 1Ti 6:10 kupenda pesa ni chanzo
CHECHEMEA, Mik 4:7 akichechemea, mabaki
CHEKA, Mwa 18:13 Kwa nini Sara amecheka
Zb 2:4 aketiye mbinguni atacheka
Zb 37:13 Yehova atamcheka
Met 1:26 nitacheka taabu yenu
Yer 20:7 nikachekwa mchana kutwa
Hab 1:10 linawacheka maofisa
Lu 6:25 Ole, mnaocheka sasa
Mwa 18:15; 21:6; Zb 59:8; Mhu 3:4.
CHEKUNDU, Mwa 25:30.
CHELEWA, Amu 5:28 gari la vita limechelewa
Isa 46:13 wokovu hautachelewa
CHELEWESHWA, Met 13:12; Eze 12:25, 28
CHEMA, Mwa 1:31 kila kitu, chema sana
CHEMCHEMI, Mwa 7:11 chemchemi za kilindi
Zb 36:9 chemchemi ya uzima
Met 10:11 mwadilifu ni chemchemi
Yer 2:13 chemchemi ya maji yaliyo hai
Yoh 4:14 chemchemi ya maji
Yak 3:11 Chemchemi haitokezi
2Pe 2:17 chemchemi zisizo na maji
Ufu 7:17 kuwaongoza kwenye chemchemi
Mwa 16:7; 49:22; Met 13:14; Isa 41:18; Yak 3:11; Ufu 16:4.
CHENGA-CHENGA, Law 2:14 chenga-chenga za
CHEO, 1Nya 9:22 waliwaagiza katika vyeo
Zb 146:3 Msiwategemee watu wenye vyeo
Isa 23:9 dharau wote wenye vyeo
Mdo 1:20 Cheo chake mwingine akichukue
Mdo 17:4 wanawake wenye vyeo
Ro 13:1 na Mungu katika vyeo vyao
1Ko 1:26 wa uzawa wa cheo
2Ko 11:12 sawa nasi katika cheo
1Ti 2:2 walio katika cheo cha juu
1Ti 3:1 cheo cha mwangalizi
Ayu 12:21; Zb 107:40; 118:9; Yer 27:20; 39:6; Lu 19:12.
CHETEZO, Ebr 9:4 chetezo cha dhahabu na
CHEUPE, Ufu 20:11 kiti kikubwa cheupe
CHEZA, Ayu 40:20; 41:5; Zb 104:26.
CHEZACHEZA, Mwa 26:8.
CHEZEA, Amu 16:10 Tazama! Umenichezea
CHIMBA, Met 26:27 Anayechimba shimo
CHINI, 1Ko 4:1 tuko chini ya Kristo
CHINJA, Mdo 10:13 Petro, chinja ule
CHINJWA, Zb 44:22 kondoo wa kuchinjwa
Yer 25:34 siku za kuchinjwa zimetimia
Ufu 5:12 Mwana-Kondoo aliyechinjwa
CHIPUKA, Zb 72:7 mwadilifu atachipuka
Zb 92:7 waovu wanapochipuka
Isa 66:14 mifupa yenu itachipuka
Ebr 9:4 fimbo ya Haruni iliyochipuka
CHIPUKIZI, Yer 23:5 nitamsimamishia chipukizi
Da 11:7 anayetoka katika chipukizi
Zek 3:8 namleta ndani Chipukizi
Isa 14:19; 61:11; Yer 33:15; Zek 6:12.
CHIPUSHA, Isa 4:2 ambacho Yah anachipusha
CHOCHEA, Amu 13:25 roho ikamchochea
1Fa 21:25 Yezebeli alimchochea
Yer 43:3 Baruku anakuchochea
Ro 7:8 kuchochewa na amri
Ro 10:19 Nitachochea wivu
1Ko 10:22 tunamchochea Yehova
Ga 5:13 uhuru kuuchochea mwili
2Ti 1:6 uichochee kama moto
Ebr 3:16 wakachochea hasira kali?
Ebr 10:24 kuchocheana katika upendo
Yos 15:18; Amu 1:14; 1Nya 21:1; Ayu 2:3.
CHOKA, Amu 8:4 wakiwa wamechoka
Met 25:25 nafsi iliyochoka
Isa 40:28 hachoki wala hazimii
Isa 40:29 anampa nguvu aliyechoka
Isa 40:31 watatembea wala hawatachoka
Yer 15:6 Nimechoka kujuta
Da 8:27 Danieli, akachoka
CHOKAA, Isa 44:13 kuinakili kwa chokaa
Eze 13:11, 14 lipu kwa chokaa
Eze 22:28 kutumia chokaa, wakiona
CHOKOZEKA, 1Ko 13:5 upendo hauchokozeki
Efe 4:26 jua lisitue, kuchokozeka
CHOMA, Isa 43:2 moto hautakuchoma
Yoh 19:34 akachoma ubavu mkuki
Yoh 19:37 Watamtazama waliyemchoma
1Ti 6:10 wamejichoma kwa maumivu
Ufu 1:7 na wale waliomchoma
CHOMBO, Zb 2:9 Utawavunja kama chombo
Zb 71:22 chombo cha kinanda
Yer 25:34 chombo kinachotamanika!
Mt 25:4 mafuta katika vyombo vyao
Mdo 9:15 chombo kilichochaguliwa
Ro 9:21 chombo, cha kuheshimika
Ro 9:22 vyombo vya ghadhabu
2Ko 4:7 hazina katika vyombo
Ufu 2:27 watavunjwa kama vyombo
Mwa 24:53; Kut 3:22; 1Sa 9:7; 1Fa 7:51.
CHOMBO CHA UDONGO, Mk 14:13; Lu 22:10.
CHOMOZA, Mhu 1:5 jua limechomoza
2Pe 1:19 nyota ya mchana ichomoze
CHOMWA, Isa 53:5 akichomwa kwa ajili yetu
CHONGA, Met 9:1 Hekima imechonga nguzo
2Ko 3:7 sheria ambazo zilichongwa
CHONGEA, Law 19:16 Usizunguke ili kuchongea
Zb 101:5 anayemchongea mwenzake
CHOSHA, Mhu 1:8 Mambo yote yanachosha
CHOSHWA, Zb 22:24 hakuchoshwa na mateso
CHUI, Yer 13:23 chui madoa yake?
Wim 4:8; Isa 11:6; Da 7:6; Ufu 13:2.
CHUJA, Isa 25:6 divai, iliyochujwa
CHUKI, Zb 139:22 Kwa chuki kamili
Met 27:6 busu za mwenye chuki
Ro 12:9 chukieni maovu
Ga 4:14 hamkutema mate kwa chuki
Mwa 27:46; Law 20:23; Hes 21:5; 1Fa 11:25; Zb 25:19; Met 3:11; 10:12; Eze 23:29; Da 12:2; Ro 2:22.
CHUKIA, Kut 18:21 wanaochukia faida
Kum 19:6 akimchukia hapo kwanza
Ayu 19:19 rafiki wananichukia
Zb 5:6 Yehova anachukia mmwagaji-damu
Zb 11:5 Yah amchukia mwenye jeuri
Zb 78:59 Mungu akachukia Israeli sana
Zb 89:38 unaendelea kuchukia
Zb 97:10 chukieni mabaya
Zb 106:24 wakaichukia nchi yenye
Zb 119:163 Nimeuchukia uwongo
Met 1:29 walichukia ujuzi
Met 6:16 Yah huchukia vitu sita
Met 8:13 Kuogopa Yehova, kuchukia baya
Met 15:10 anayechukia karipio
Met 28:16 anayechukia faida isiyo haki
Mhu 3:8 na wakati wa kuchukia
Mt 5:43 kumchukia adui
Mt 6:24 atamchukia mmoja
Mt 24:9 mtachukiwa na mataifa
Lu 6:22 Wenye furaha mnapochukiwa
Lu 6:27 kufanyia mema wanaowachukia
Lu 14:26 hamchukii baba na mama
Yoh 3:20 huchukia nuru na
Yoh 7:7 Ulimwengu unanichukia
Yoh 12:25 anayeichukia nafsi yake
Yoh 15:19 ulimwengu unawachukia
Yoh 17:14 ulimwengu umewachukia
Ro 7:15 ninalochukia ninalifanya
Ro 9:13 nilimchukia Esau
Ebr 1:9 ukauchukia uasi-sheria
1Yo 3:15 anayemchukia ndugu yake
1Yo 4:20 bado anamchukia ndugu
Law 11:11; 19:17; Kum 7:26; Zb 21:8; 44:7; 69:4; 106:40; 139:21; Met 5:12; 13:24; Mt 10:22; Yoh 15:18, 25; Tit 3:3; Yud 23; Ufu 17:16.
CHUKIZA, Kum 14:3 Usile chenye kuchukiza
Kum 27:15 sanamu, kitu kinachochukiza
Law 11:10, 43; 20:13, 25; Kum 29:17; Tit 1:16.
CHUKIZO, Met 3:32 mwenye hila ni chukizo
Met 12:22 Midomo ya uwongo ni chukizo
Met 14:20 Maskini ni chukizo
Met 16:5 kiburi moyoni ni chukizo
Met 28:9 sala yake ni chukizo
Isa 66:24 mizoga itakuwa chukizo
Eze 9:4 wanaougua, machukizo
Da 11:31 chukizo linalosababisha ukiwa
Nah 3:6 nitakutupia machukizo
Mt 24:15 mtakapoona lile chukizo, ukiwa
Lu 16:15 kilichoinuka, chukizo kwa Mungu
Ufu 17:4 kikombe, kilichojaa machukizo
Ufu 17:5 Babiloni, mama wa machukizo
Mwa 43:32; Law 11:13; Kum 18:9; 2Fa 23:24; 2Nya 28:3; 33:2; Isa 41:24; Yer 7:10, 30; Omb 1:17; Eze 7:19, 20; 23:36; Da 9:27; Zek 9:7; Mal 2:11.
CHUKIZWA, Ebr 3:10 nikachukizwa na kizazi
Ebr 3:17 Mungu alichukizwa, miaka 40?
CHUKUA, Met 8:10 Chukueni nidhamu
Isa 53:4 aliyachukua magonjwa yetu
Ro 11:18 unayeuchukua mzizi, bali mzizi
Ro 15:1 tunapaswa kuchukua udhaifu
CHUMA, Ayu 41:7 utajaza ngozi yake vyuma
Zb 2:9 kwa fimbo ya chuma
Zb 107:10 wafungwa katika vyuma
Isa 60:17 badala ya chuma, fedha
Da 2:33 miguu ya chuma
1Ti 4:2 dhamiri, alama ya chuma
1Fa 6:7; Yer 1:18; 28:14; Ufu 2:27; 12:5.
CHUMBA, Ebr 9:6 huingia katika chumba cha
CHUMBA CHA JUU, Mdo 1:13; 9:37; 20:8.
CHUMBA CHA NDANI KABISA, 1Fa 6:5; Zb 28:2.
CHUMBA CHA NDOA, Zb 19:5; Yoe 2:16.
CHUMBIA, Kum 28:30 chumbia mwanamke
Ho 2:19, 20 nitakuchumbia uwe wangu
2Ko 11:2 niliwachumbia mume
Kut 22:16; Kum 22:23, 25, 27, 28.
CHUMVI, Mwa 19:26 akawa nguzo ya chumvi
Hes 18:19 agano la chumvi
Mt 5:13 chumvi ya dunia
Kol 4:6 Maneno yakolezwe chumvi
Law 2:13; 2Fa 2:21; Ayu 6:6; Mk 9:50.
CHUNGA, Mdo 20:28 kulichunga kutaniko
1Pe 5:2 Lichungeni kundi la Mungu
Ufu 7:17 Mwana-Kondoo atawachunga
Ufu 12:5 atakayechunga mataifa yote
CHUNGU CHA KUPIKIA, Hes 11:8; Amu 6:19.
CHUNGULIA, 1Pe 1:12 Malaika, kuchungulia
CHUNGUZA, Law 13:36 kuhani asichunguze
1Nya 28:9 anaichunguza mioyo
Zb 11:5 Yehova huchunguza mwadilifu
Zb 26:2 Unichunguze, Ee Yehova
Zb 139:1 Yehova, umenichunguza kabisa
Zb 139:23 Unichunguze kabisa, Ee Mungu
Met 25:2 kuchunguza jambo kabisa
Mhu 1:13 moyo kuchunguza hekima
Mhu 2:3 Nikachunguza kwa moyo
Mhu 7:25 na kuchunguza hekima
Isa 40:28 haiwezekani kuchunguza
Yer 17:10 Mimi ninauchunguza moyo
Yoh 5:39 mnayachunguza Maandiko
Mdo 7:31 Musa akaribia kuchunguza
Mdo 17:11 wakachunguza Maandiko
Ro 8:27 ambaye huichunguza mioyo
1Ko 2:10 roho huchunguza mambo yote
1Ko 2:14 hayo huchunguzwa kiroho
1Ko 2:15 wa kiroho, huchunguza mambo
1Ko 2:15 hachunguzwi na mwanadamu
1Ko 4:3 jambo dogo ninyi mnichunguze
1Ko 4:3 sijichunguzi mwenyewe
1Ko 4:4 anayenichunguza ni Yehova
1Ko 11:28 acheni mtu ajichunguze
1Pe 1:11 Walichunguza majira
Ufu 2:23 ninayechunguza figo na mioyo
1Fa 3:21; Zb 11:4; 139:23; Met 18:17; 28:11; Yer 9:7; 11:20; 20:12; 1Ko 14:24.
CHUNGUZIKA, Ro 11:33.
Ayu 5:9; 9:10; Zb 145:3; Met 25:3.
CHURA, Kut 8:2 pigo la vyura
Ufu 16:13 maneno kama vyura
D
DADA, 1Ti 5:2 wanawake vijana kama dada
DAGONI, 1Sa 5:3 Dagoni alianguka kifudifudi
DAI, Mwa 42:22 damu yake inadaiwa
Zb 89:22 Hakuna adui atakayemdai
Eze 33:6 nitaidai kutoka mkononi mwa mlinzi
Eze 34:10 nitadai kondoo zangu
Lu 12:48 atadaiwa mengi
Flm 18 ikiwa ana deni lako, unidai
DAI DENI, 1Sa 22:2 mtu anayewadai deni
DAI HALALI, Zb 140:12 Dai halali la mtesekaji
DAI LA HAKI, 2Sa 19:28.
DAIMA, Da 6:16, 20 unayemtumikia daima
Efe 6:18 kukaa macho daima
1Th 1:3 daima sisi hukumbuka
Ebr 7:3 akiwa kuhani daima
Isa 57:16; Amo 1:11; Ebr 10:12, 14.
DAIWA, Lu 11:50 damu kudaiwa
DAKIKA, 2Ko 4:17 dhiki ni ya dakika
DAMASKO, 2Sa 8:6; Isa 7:8; Mdo 9:2.
DAMU, Mwa 9:4 damu yake—msile
Law 7:26 msile damu yoyote
Law 17:11 nafsi ya mwili iko katika damu
Law 17:13 ataimwaga damu na kuifunika
Law 17:14 Hamtakula damu ya mwili
Hes 35:12 kumkimbia mlipiza-kisasi cha damu
Hes 35:33 damu ndiyo inaichafua nchi
1Nya 11:19 jambo lisilowaziwa ninywe damu
Zb 5:6 anayemwaga damu Yehova
Yer 2:34 alama za damu za nafsi za maskini
Mik 3:10 umwagaji wa damu
Mt 26:28 hii ni damu yangu ya agano
Yoh 6:54 na kunywa damu yangu ana uzima
Mdo 15:20 wajiepushe na damu
Mdo 15:29 kuendelea kujiepusha na damu
1Ko 15:50 nyama na damu haviwezi kuurithi
Ebr 9:22 damu isipomwagwa hakuna msamaha
1Yo 1:7 damu ya Yesu hutusafisha kutoka
Ufu 18:24 ilipatikana damu ya watakatifu
Mwa 4:10; Met 6:17; Eze 3:18; Mt 23:35; 27:25; Mdo 20:28; Ebr 9:20; Ufu 7:14; 14:20.
DANGANYA, Law 6:3 adanganye kuhusu hicho
Law 19:11 wala msidanganye
Met 11:1 mizani ya kudanganya
Oba 3 Kimbelembele kimekudanganya
Zek 13:4 kwa kusudi la kudanganya
Kol 2:4 mtu asiwadanganye
Met 20:23; Yer 29:8; 37:9; Ro 3:13; 2Ko 6:8; Efe 5:6; Tit 1:10.
DANI, Amu 5:17 Dani, kwa nini alikaa melini?
Mwa 30:6; 46:23; 49:16; Kum 33:22.
DANIELI, Da 12:9 Danieli, maneno yamefungwa
Eze 14:20; Da 6:2; 12:4; Mt 24:15.
DANSI, Amu 11:34 akipiga na kucheza dansi!
Kut 15:20; 32:19; 1Sa 18:6; Zb 30:11; 149:3; Omb 5:15; Lu 15:25.
DARAJA, 1Ko 15:23 kila mmoja daraja lake
DARAKA, 1Fa 4:7 alikuwa na daraka la kuandaa
Ebr 5:9 daraka la wokovu
DARIKI, 1Nya 29:7 dariki elfu kumi na fedha
Ezr 8:27 yenye thamani ya dariki 1,000
DARIO, Ezr 6:12; Da 6:28; Hag 1:1.
DATHANI, Hes 26:9; Kum 11:6; Zb 106:17.
DAUDI, 1Sa 18:3 Yonathani na Daudi
Mt 21:9 Mwokoe Mwana wa Daudi
Lu 20:41 Kristo ni mwana wa Daudi?
Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni
1Sa 16:13; Zb 89:3; Isa 9:7; Mdo 2:29.
DAWA, Mwa 50:2 wakampaka Israeli dawa
Met 17:22 Moyo wenye shangwe ni dawa
DEBORA, Amu 4:9, 14; 5:1, 7, 12, 15.
DEKAPOLI, Mt 4:25; Mk 5:20; 7:31.
DELILA, Amu 16:4, 6, 10, 12, 13, 18.
DENI, Ro 4:4 malipo huhesabiwa ni deni
Ro 13:8 Msiwe na deni la mtu
2Fa 4:7; Ne 10:31; Mt 6:12; 18:27; Lu 7:41; 13:4; Ro 1:14; 15:27.
DESTURI, 1Nya 15:13 kulingana na desturi
Yer 10:3 desturi ni pumzi
Mdo 16:21 nao wanatangaza desturi
Flp 2:29 mkaribisheni kama ilivyo desturi
Ebr 10:25 desturi, bali tutiane moyo
Law 18:30; Mdo 6:14; 15:1; 26:3; 1Ko 11:16.
DHABIHU, 1Sa 15:22 kutii ni bora kuliko dhabihu
Zb 40:6 Hukupendezwa na dhabihu
Yer 46:10 Yehova ana dhabihu katika nchi
Da 9:27 atakomesha dhabihu
Ho 6:6 ninapendezwa na fadhili, si dhabihu
Sef 1:7 Yehova ametayarisha dhabihu
Mal 1:8 kipofu kuwa dhabihu
Mt 9:13 Ninataka rehema, wala si dhabihu
Ro 12:1 mtoe miili yenu iwe dhabihu
1Ko 10:20 huvitoa dhabihu kwa roho waovu
Ebr 10:12 dhabihu moja kwa ajili ya dhambi
Ebr 10:26 dhambi kimakusudi hakuna dhabihu
Ebr 13:15 dhabihu ya sifa
Zb 50:5; 51:17; Met 21:3; Eze 39:17; Efe 5:2; Ebr 10:1; 1Pe 2:5.
DHABIHU YA DAIMA, Da 8:11; 11:31; 12:11.
DHABIHU YA USHIRIKA, Kut 20:24; Law 3:1.
DHAHABU, Met 16:16 hekima kuliko dhahabu!
Eze 7:19 dhahabu yao itakuwa chukizo
Sef 1:18 dhahabu haitawakomboa
Hag 2:8 Fedha na dhahabu ni yangu
Mal 3:3 atawasafisha kama dhahabu
Yak 5:3 Dhahabu, fedha zimeliwa
Kut 12:35; Zb 19:10; Met 8:10; Ufu 21:18, 21.
DHAIFU, Yer 31:12 hawatakuwa dhaifu tena
Yer 31:25 nitaijaza nafsi iliyo dhaifu
Da 2:42 ufalme huo utakuwa dhaifu
Yoe 3:10 Aliye dhaifu aseme:
Mt 26:41 lakini mwili ni dhaifu
1Ko 1:25 kitu dhaifu cha Mungu
1Ko 1:27 Mungu alichagua vitu dhaifu
1Ko 12:22 viungo vinavyoonekana dhaifu
1Th 5:14 tegemezeni walio dhaifu
DHAMANA, Mwa 43:9; Met 11:15; 17:18; 27:13.
DHAMBI, Mwa 4:7 kuna dhambi inayovizia
Hes 32:23 dhambi yenu itawafikia
1Fa 8:46 hakuna asiyetenda dhambi
Zb 19:12 dhambi zilizofichwa
Zb 32:1 Mwenye furaha dhambi yake
Zb 51:5 alinichukua mimba katika dhambi
Zb 79:9 kufunika dhambi zetu
Isa 1:18 Hata dhambi zikiwa nyekundu
Isa 6:7 dhambi imefanyiwa upatanisho
Yer 31:34 dhambi yao sitaikumbuka
Mt 12:31 dhambi juu ya roho
Mk 3:29 hatia ya dhambi ya milele
Mdo 3:19 dhambi zenu zipate kufutwa
Ro 3:23 wote wamefanya dhambi
Ro 4:8 hatahesabu dhambi yake
Ro 5:12 dhambi iliingia ulimwenguni
Ro 5:21 dhambi ilivyotawala
Ro 6:6 mwili wetu wenye dhambi
Ro 6:23 mshahara ambao dhambi
Ro 7:7 singejua dhambi kama
Ro 7:13 dhambi iwe dhambi zaidi
Ro 8:2 sheria ya dhambi na kifo
1Ko 6:18 anautendea dhambi mwili
2Ko 5:21 alimfanya kuwa dhambi
Efe 4:26 lakini msitende dhambi
Ebr 10:17 sitazikumbuka dhambi zao
Ebr 10:26 kutenda dhambi kimakusudi
Ebr 12:1 dhambi ambayo hututatanisha
Yak 1:15 tamaa huzaa dhambi
Yak 4:17 hiyo ni dhambi
1Yo 3:8 akifanya dhambi tangu mwanzo
Ufu 18:4 ikiwa hamtaki kushiriki dhambi
Eze 33:14; Mt 26:28; Yoh 1:29; Mdo 10:43; Ro 14:23; 1Ti 5:24; Ebr 10:12; 11:25; Yak 5:15; 1Yo 1:8, 9; 2:1; 5:16.
DHAMIRI, Ro 9:1 dhamiri inatoa ushahidi
1Ko 10:29 unahukumiwa na dhamiri ya mtu
1Ti 1:19 ukishika imani na dhamiri njema
1Ti 4:2 waliotiwa alama katika dhamiri zao
Ebr 9:14 itazisafisha dhamiri na matendo
Mdo 23:1; 1Ko 8:12; 2Ko 1:12; 1Pe 3:16, 21.
DHANI, Yak 1:7 mtu huyo asidhani atapokea
DHARAU, Kum 32:19 Mungu akawadharau
2Nya 30:10 mzaha na kuwadharau
Zb 2:4 Yehova atawadharau
Zb 51:17 Moyo uliovunjika, hutaudharau
Zb 74:18 kimelidharau jina lako
Met 1:7 Wapumbavu wamedharau hekima
Met 15:5 mpumbavu hudharau nidhamu
Omb 1:8 wamemtendea kwa dharau
Eze 16:31 kudharau malipo
Sef 3:4 Manabii walikuwa na dharau
2Ko 10:10 maneno yenye kudharaulika
Ga 4:14 hamkulitendea kwa dharau au
1Th 2:2 tumetendewa kwa dharau
Tit 2:15 mtu asikudharau
Ebr 10:29 tendea kwa dharau fadhili
2Fa 19:3; Est 3:6; Ayu 31:34; Zb 44:13; 59:8; 74:10; 107:40; Met 6:30; 11:12; 18:3; 23:9, 22; 30:17; Mhu 9:16; Isa 23:9; 33:19; 37:3; Eze 2:4; 17:19; Oba 2; Mt 5:22; 22:6; Lu 18:32; Mdo 14:5; Ro 1:30.
DHARAU LA MOYO, Isa 9:9; Omb 3:65.
DHARAULIWA, Isa 53:3.
1Ko 1:28 vitu vinyonge na vinavyodharauliwa
DHIHAKA, 1Fa 18:27 Eliya akawafanyia dhihaka
Zb 1:1 kiti cha wenye dhihaka
Met 3:34 Atawadhihaki wenye dhihaka
Met 14:6 mwenye dhihaka
Met 19:25 umpige mwenye dhihaka
Ebr 11:36 walipata jaribu kwa dhihaka
Zb 44:13; 79:4; Met 1:22; 9:7; 13:1; 15:12; 19:29; Yer 20:8; Eze 23:32; Ho 7:16; Mt 27:29.
DHIHAKI, Mwa 21:9 wa Hagari, akidhihaki
2Fa 2:23 kumdhihaki Elisha
2Nya 36:16 kuwadhihaki wajumbe
Met 19:28 Shahidi hudhihaki haki
Met 27:11 nipate kumjibu anayenidhihaki
Lu 14:29 watazamaji wamdhihaki
Mdo 17:32 ufufuo, wakaanza kudhihaki
Mwa 21:9; Isa 28:22; Eze 22:5; Hab 1:10; Lu 18:32; 22:63.
DHIHAKIWA, Ayu 12:4 mtu wa kudhihakiwa
Ga 6:7 Mungu si wa kudhihakiwa
DHIKI, Mt 24:9 watakapowatia katika dhiki
Mt 24:21 kutakuwa na dhiki kuu
Yoh 16:33 Ulimwenguni mna dhiki
Ro 12:12 Vumilieni chini ya dhiki
1Ko 7:28 dhiki katika mwili
2Ko 1:4 hutufariji katika dhiki yetu
2Ko 4:17 ingawa dhiki ni ya dakika
1Th 1:6 mlilipokea neno chini ya dhiki
2Th 1:6 kuwalipa dhiki
Ebr 10:33 mkifunuliwa kwenye dhiki
Ebr 11:37 wakiwa katika dhiki
Yak 1:27 kuwatunza wajane katika dhiki
Ufu 2:10 muwe na dhiki siku kumi
Ufu 7:14 wanaotoka katika dhiki kuu
Mk 4:17; Mdo 7:10; 14:22; 20:23; Ro 2:9; 5:3; 8:35; 2Ko 6:4; Kol 1:24; 1Th 3:3.
DHIKI KALI, Kum 4:30; Omb 1:20; Ho 5:15.
DHOOFIKA, Zb 88:9 Jicho langu limedhoofika
Zb 119:81 Nafsi yangu imedhoofika
Isa 19:8 wavuvi watadhoofika
Ho 4:3 kila mkaaji atadhoofika
DHOOFISHA, Yer 38:4 anavyodhoofisha mikono
DHORUBA, 2Fa 2:1 Eliya katika dhoruba
DHURU, Met 12:21 chochote cha kudhuru
Isa 10:1 masharti yenye kudhuru
Isa 65:25 Hawatadhuru wala
Ebr 13:17 kufanya hivyo kungewadhuru
1Pe 3:13 nani atakayewadhuru
Mwa 43:6; 1Sa 25:26; 2Fa 4:41; Ufu 7:2; 9:4.
DIMBWI LA UPOTOVU, 1Pe 4:4.
DINA, Mwa 30:21; 34:1, 3, 5, 13, 26; 46:15.
DINARI, Mt 20:2 dinari moja kwa siku
Mt 20:9 wakapokea dinari
Mk 12:15 Nileteeni dinari
Mt 20:10, 13; 22:19; Lu 20:24.
DINI. Ona pia IBADA.
2Fa 17:26 Samaria hawajui dini
2Fa 17:34 kulingana na dini za kwanza
DIRISHA, Mdo 20:9 ameketi dirishani
Mwa 8:6; Amu 5:28; 2Fa 7:2; Met 7:6; 2Ko 11:33.
DIVAI, Amu 9:13 niiache divai yangu
Zb 104:15 divai, moyo ushangilie
Met 23:31 Usitazame divai nyekundu
Isa 25:6 karamu ya divai
Isa 29:9 Wamelewa, si kwa divai
Isa 55:1 mnunue divai bila pesa
Yer 25:15 kikombe cha divai ya
Yoe 3:18 milima itatiririka divai
Mt 26:29 sitakunywa divai
Yoh 2:9 maji kuwa divai
1Ti 3:8 si kunywa divai nyingi
1Ti 5:23 utumie divai kidogo
Ufu 18:3 divai ya uasherati wake
Amu 13:4; Yer 35:6; Mt 9:17; Efe 5:18.
DIVAI KUPITA KIASI, 1Pe 4:3.
DOA, Yak 1:27 kujitunza bila doa
Yud 23 vazi, mwili umetia doa
Efe 5:27; 1Ti 6:14; 1Pe 1:19; 2Pe 2:13; 3:14.
DOGO, Mt 2:6 Bethlehemu, si jiji dogo
Lu 12:32 kundi dogo
Lu 16:10 mwaminifu katika dogo
1Ko 4:3 ni jambo dogo sana
1Fa 16:31; 2Fa 3:18; Isa 49:6; Lu 12:26.
DOKEZA, Hab 2:6 maelezo ya kudokeza
DONGE, Ro 9:21 donge lilelile chombo
1Ko 5:7 ili muwe donge jipya
Ga 5:9 huchachusha donge zima
DOSARI, Efe 5:27 kutaniko liwe bila dosari
Flp 2:15 bila dosari katikati ya kizazi kilicho
Yud 24 bila dosari
Efe 1:4; Kol 1:22; 1Pe 1:19; Ufu 14:5.
DOTHANI, Mwa 37:17; 2Fa 6:13.
DRAKMA, Lu 15:8 mwanamke akipoteza drakma
DUA, 2Ko 1:11 mnaweza kusaidia kwa dua
Efe 6:18 kila namna ya sala na dua
Ebr 5:7 Kristo alitoa dua
Yak 5:16 Dua ya mtu mwadilifu
1Pe 3:12 masikio yake yanaelekea dua
DUBU, 1Sa 17:37; Isa 11:7.
DUME, Mwa 7:2 dume na jike
Eze 43:22; 45:23 dume la mbuzi
DUMISHA, Tit 3:8 kudumisha matendo mazuri
DUMU, Isa 26:3 katika amani ya kudumu
Yoh 6:27 chakula kinachodumu kufikia
Ro 12:12 Dumuni katika sala
Kol 4:2 kudumu katika sala
1Ti 5:5 anadumu katika sala
Ebr 10:34 miliki yenye kudumu
1Pe 1:23 Mungu anayedumu
1Pe 1:25 neno la Yehova ladumu milele
1Yo 2:17 anayefanya mapenzi anadumu
Yer 15:18; 30:12; 49:19; 50:44; Mik 6:2.
DUNIA, Mwa 1:28 mjaze dunia na kuitiisha
Zb 24:1 Dunia ni ya Yehova
Zb 37:29 Waadilifu wataimiliki dunia
Zb 100:1 mpigie Yehova kelele, dunia yote
Zb 115:16 dunia amewapa binadamu
Mhu 1:4 dunia inasimama milele
Isa 14:12 ulivyoanguka, kwenye dunia
Isa 45:18 aliumba dunia ikaliwe
Isa 60:2 giza litaifunika dunia
Isa 65:17 ninaumba dunia mpya
Isa 66:1 dunia, kiti cha miguu yangu
Hab 2:14 dunia, itajaa kuujua utukufu
Mt 5:5 tabia-pole, watairithi dunia
Lu 2:14 na amani juu ya dunia
2Pe 3:5 dunia ikisimama imara
Ufu 12:12 Ole wa dunia na bahari
Zb 45:16; Met 10:30; Yoh 3:12; 2Pe 3:13; Ufu 21:1.
DUNIA INAYOKALIWA, Mt 24:14.
Lu 4:5 falme za dunia inayokaliwa
Mdo 17:6 wamepindua dunia inayokaliwa
Ufu 16:14 wafalme wa dunia inayokaliwa
Mdo 17:31; Ro 10:18; Ebr 1:6; 2:5; Ufu 3:10; 12:9.
E
EBALI, Mwa 36:23; Kum 11:29; 27:4; Yos 8:30.
EBED-MELEKI, Yer 38:7, 8, 10, 11, 12; 39:16.
EBERI, Mwa 10:21, 24; 11:16; Lu 3:35.
EDENI, Mwa 2:15 akamweka Edeni, aitunze
Isa 51:3 atafanya nyika kama Edeni
Eze 28:13 Ulikuwa katika Edeni
Eze 36:35 nchi imekuwa kama Edeni
EDOMU, Mwa 25:30; 36:8; Yer 49:7; Oba 1.
EDREI, Hes 21:33; Yos 12:4; 13:31; 19:37.
EFA, Kum 25:15 efa sahihi na haki
Kut 16:36; Law 19:36; Eze 45:11.
EFESO, 1Ko 15:32; Ufu 2:1.
EFODI, Kut 28:6; 1Sa 23:9; 30:7; Ho 3:4.
EFRAIMU, Mwa 41:52; Yos 14:4; Zb 78:67.
EFRATHA, Ru 4:11; Zb 132:6; Mik 5:2.
EFRATI, Mwa 2:14; 15:18; Ufu 9:14.
EGLONI, Yos 10:3; Amu 3:12, 14, 15, 17.
ELEA, Mwa 7:17 safina ikaelea juu ya dunia
Ayu 37:16 kuelea kwa wingu
ELEALE, Hes 32:3, 37; Yer 48:34.
ELEAZARI, Kut 6:23; Hes 20:26; Kum 10:6.
ELEKEA, 1Fa 8:48 wasali kuelekea nyumba hii
ELEKEZA, 1Nya 21:10 ninayaelekeza kwako
Zb 21:11 wamekuelekezea mabaya
Zb 31:3 utaniongoza na kunielekeza
1Ko 9:26 ninavyoelekeza ngumi zangu
1Ko 12:28 uwezo wa kuelekeza
2Th 3:5 kuielekeza mioyo yenu kwa mafanikio
ELEWA, Zb 119:27 Unifanye nielewe njia
Zb 119:34 Unifanye nielewe
Met 28:5 wanaweza kuelewa kila jambo
Isa 6:9 Sikieni tena na tena, msielewe
Da 12:8 lakini sikuweza kuelewa
Da 12:10 hakuna waovu watakaoelewa
Mt 13:14 mtasikia lakini hamtaelewa
ELEWEKA, Zb 114:1 maneno yasiyoeleweka
Yer 33:3 mambo yasiyoeleweka
Ro 1:20 sifa zinaeleweka kwa vitu
1Ko 14:9 maneno yenye kueleweka
ELEWESHA, Ayu 6:24 mnieleweshe kosa
ELEZA, Mdo 15:14 Simioni ameeleza
ELEZEKA, 2Ko 9:15 zawadi isiyoelezeka
ELFU, Kum 7:9 mpaka vizazi elfu
1Fa 19:18 nimewaacha watu elfu saba
Ayu 33:23 Msemaji, mmoja kati ya elfu
Zb 50:10 walio juu ya milima elfu moja
Zb 84:10 kuliko siku elfu kwingineko
Zb 91:7 Elfu wataanguka upande wako
Isa 60:22 Mdogo atakuwa elfu
Ufu 14:1 pamoja naye 144,000
ELI, 1Sa 1:3; 2:11; 3:15; Mt 27:46.
ELIHU, Ayu 32:2; 34:1; 35:1; 36:1.
ELIMA, Mdo 13:8 Elima mlozi
ELIMISHWA, Mdo 13:1 Manaeni aliyeelimishwa
ELIMU, Mdo 4:13 watu wasio na elimu
ELISHA, 2Fa 4:32 Elisha, mvulana amekufa
2Fa 6:17 magari yamemzunguka Elisha
1Fa 19:16, 19; 2Fa 2:2, 9, 15; 5:8; 6:18.
ELIYA, 1Fa 18:21 Eliya: Mtayumba-yumba
2Fa 2:9 Eliya akamwambia Elisha: Omba lile
2Fa 2:11 Eliya akapanda katika upepo
1Fa 18:36, 40; Mal 4:5; Mt 17:11, 12.
EMAU, Lu 24:13 kijiji kinachoitwa Emau
ENDA, Mwa 1:2 nguvu zilikuwa zikienda
ENDESHA, Yer 51:36 ninaendesha kesi yako
Mdo 27:5 tukaendesha kupitia bahari
2Ko 1:12 tumejiendesha katika ulimwengu
Efe 4:23 nguvu zinazoendesha akili
Zb 43:1; 74:22; 119:154; Yer 50:34.
EN-DORI, Yos 17:11; 1Sa 28:7.
ENEA, 1Ko 7:2 kuenea kwa uasherati
ENEO, Zb 147:14 amani katika eneo lako
Yer 31:17 watarudi katika eneo lao
Mik 5:6 anapokanyaga juu ya eneo
Mal 1:4 eneo la uovu
Mt 13:57 ila katika eneo la nyumbani
Ro 15:23 sina tena eneo lisiloguswa
Efe 4:9 alishuka maeneo ya chini
Kum 3:4; Yos 19:29; Zb 78:54; Yoe 3:6; Amo 1:13; Sef 2:8; Mt 4:16; 2Ko 10:15.
ENEO LENYE MILIMA LA SEIRI, Mwa 36:8; 2Nya 20:10, 22, 23; Eze 35:3, 7, 15.
ENEZA, 1Sa 2:24 habari wanazoeneza
ENOKO, Mwa 5:22 Enoko akatembea na Mungu
Mwa 5:24; Lu 3:37; Ebr 11:5; Yud 14.
EPUKA, Isa 47:11 shida, hutaweza kuiepuka
Isa 53:3 kuepukwa na wanadamu
2Ko 11:27 kuepukana na chakula
1Th 4:3 mjiepushe na uasherati
1Ti 4:3 kujiepusha na vyakula
2Ti 2:16 epuka maneno matupu
Tit 3:9 epuka mapigano juu ya Sheria
1Pe 2:11 kujiepusha na tamaa za kimwili
ESAU, Mwa 25:34 Esau, haki ya kuzaliwa
Yer 49:10 nitamvua Esau awe uchi
Oba 18 nyumba ya Esau, majani makavu
Mwa 25:27, 30; 36:8; Oba 21; Ebr 12:16.
ETHIOPIA, 2Fa 19:9; Est 1:1; Isa 20:5.
EUNIKE, 2Ti 1:5 mama yako Eunike
EZRA, Ezr 7:6; 10:1; Ne 8:1, 6.
F
FAA, Est 7:4 taabu hii haifai ikiwa
Yer 23:13 nimeona jambo lisilofaa
Da 8:14 patakatifu, hali inayofaa
Mt 12:36 kila neno lisilofaa
Lu 3:8 matunda yanayofaa toba
Ga 6:10 tukiwa na wakati unaofaa
Kol 1:12 Baba aliyewafanya mfae
1Ti 3:10 wajaribiwe juu ya kufaa
Ebr 7:18 kutofaa kwa amri
Yak 3:10 Haifai, ndugu, njia hiyo
Kum 23:14; 24:1; Ayu 1:22; 24:12; Zb 116:7; 119:17; 142:7; Mt 3:15; 1Ko 11:13; Tit 2:1; Ebr 2:10; 7:26.
FADHAA, Ayu 41:25 hutatanishwa na fadhaa
FADHAIKA, Zb 4:4 fadhaikeni, msitende dhambi
Zb 99:1 Vikundi vya watu na vifadhaike
1Pe 3:14 msikiogope, msifadhaike
Mwa 40:6; Kut 15:14; Kum 2:25; Yoe 2:1, 10; Mk 14:33; 16:5; Lu 9:7; Mdo 10:17; 17:8.
FADHAISHA, Zb 94:19 Fikira zinazofadhaisha
Isa 13:13 nitaifadhaisha mbingu
FADHAISHWA, Mdo 5:24 wakafadhaishwa na
2Ko 4:8 tunafadhaishwa, lakini
FADHILI, 2Sa 11:8 zawadi ya fadhili ya mfalme
Mik 6:8 na kupenda fadhili
Ro 11:22 ukali na fadhili za Mungu
1Ko 13:4 Upendo ni wenye fadhili
2Ko 10:1 upole na fadhili za Kristo
Ga 5:22 tunda la roho, fadhili
Mdo 28:2; 2Ko 6:6; Kol 3:12; Tit 3:4.
FADHILI ZENYE UPENDO, Kut 20:6; 34:6; Zb 13:5; 40:10; 92:2; 107:8; 141:5; Met 3:3; 11:17; Isa 16:5; 54:10; Omb 3:22; Ho 6:6; 12:6; Mdo 13:34.
FADHILI ZISIZOSTAHILIWA, Yoh 1:17; Ro 5:15, 21; 11:6; 2Ko 6:1; 12:9; Efe 2:8; Ebr 2:9; 4:16; 10:29; 12:28; Yak 4:6.
FAFANUA, Ne 8:8 sheria ikafafanuliwa
FAGIA, Lu 15:8 kufagia nyumba yake
FAGILIA MBALI, Kum 9:14.
FAHAMIANA, Ayu 19:14.
FAHAMIKA, 2Ko 2:14 harufu ifahamike
FAHAMU, Kum 32:17 mababu hawakuifahamu
1Fa 8:47 warudiwe na fahamu
Ayu 22:21 fahamiana naye, na udumishe
Mhu 9:5 wafu, hawafahamu lolote
Yoh 20:9 hawakufahamu, lazima afufuliwe
Mdo 4:13 kufahamu hawakuwa na elimu
1Ko 4:4 sifahamu kitu chochote dhidi yangu
Efe 3:18 kufahamu kabisa akilini
Efe 5:17 kufahamu mapenzi ya Yehova
Ebr 5:13 anayetumia maziwa hafahamu
Lu 15:17; Mdo 18:25; 19:15; 26:5.
FAHARI, Zb 89:44 Umeikomesha fahari yake
Zb 136:18 aliua wafalme wenye fahari
Zb 145:12 fahari ya ufalme
Isa 23:18 malipo, kwa mavazi ya fahari
Isa 53:2 hana umbo la fahari
Mdo 2:20 siku kuu na yenye fahari
Efe 5:27 kutaniko likiwa na fahari
2Pe 1:16 kujionea fahari yake
FAIDA, Kum 10:13 shika amri, kwa faida yako?
Met 14:23 Kupitia kazi hutokea faida
Mhu 2:13 hekima ina faida kuliko upumbavu
Mhu 7:11 Hekima ni yenye faida
Isa 23:18 faida yake na malipo
Mt 25:27 nikipokea pamoja na faida
Mdo 20:20 mambo yenye faida
1Ko 6:12 si yote yenye faida
1Ko 13:5 upendo hautafuti faida
Flp 2:4 faida za kibinafsi za
Flp 2:21 wanatafuta faida zao
Flp 4:17 yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu
1Ti 4:8 ujitoaji-kimungu ni wenye faida
1Ti 6:6 ujitoaji-kimungu ni faida
2Ti 3:16 limeongozwa, na lenye faida
Tit 3:9 hayana faida
Ebr 12:10 nidhamu kwa faida yetu
Yak 2:16 mkose kumpa, ina faida gani?
Yak 4:13 biashara na kupata faida
Kut 22:25; Law 25:36; Amu 5:19; Ne 5:7; Met 28:8; Mhu 2:11; Isa 44:10; Mt 5:29; 16:26; Yoh 16:7; 1Ko 7:35; 10:33; 12:7; 1Th 2:15; Tit 3:8.
FAIDI, 2Ko 7:2 hatujamtumia kwa kujifaidi
FALSAFA, Kol 2:8 windo kupitia falsafa
FAMILIA, Mwa 12:3 familia zitajibariki
Zb 107:41 kuwa familia kama kundi
Zek 14:17 familia za dunia kuja Yerusalemu
Efe 3:15 familia hupata jina kwake
Mwa 28:14; Yer 1:15; 10:25; 25:9; Mdo 3:25.
FANANA, Da 10:16 anayefanana na binadamu
FANANISHA, Isa 40:18 fananisha Mungu na nani
Ro 8:29 wafananishwe na mfano
FANIKISHA, Yos 1:8 utakafanikisha njia
Zb 118:25 Yehova, ufanikishe
1Th 3:11 waifanikishe njia yetu
FANIKIWA, 2Nya 20:20 imani, mfanikiwe
Ne 9:25 kufanikiwa katika wema
Zb 1:3 kila analofanya litafanikiwa
Isa 53:10 yatafanikiwa mkononi mwake
Isa 54:17 Silaha yoyote haitafanikiwa
Isa 55:11 neno langu litafanikiwa
Mdo 15:29 Mkijiepusha, mtafanikiwa
FANYA, Mt 24:46 bwana atamkuta akifanya
Efe 2:3 tukifanya ya mwili
Efe 6:6 mkifanya mapenzi ya Mungu
FANYA KOSA, Zb 17:3 Kinywa hakitafanya kosa
FANYIZWA, Ro 12:2 msifanyizwe, na mfumo
1Pe 1:14 msifanyizwe, na tamaa
Isa 43:10 hakuna Mungu aliyefanyizwa
FANYWA, Ga 4:5 tufanywe kuwa wana
FARAGHA, Lu 5:16 faraghani majangwani
Ga 2:2 ninahubiri kwa faragha
FARAJA, Isa 49:13 Yehova amewafariji watu
Isa 61:2 kuwafariji wote wanaoomboleza
Yer 31:15 Amekataa kufarijiwa
Lu 2:25 akingojea faraja ya Israeli
Yoh 11:19 Wayahudi walikuja kumfariji
Ro 15:4 kupitia faraja ya Maandiko
1Ko 14:3 anayetoa unabii huwafariji
2Ko 1:4 tuweze kuwafariji walio katika dhiki
1Th 2:11 kuwafariji na kuwatolea ushahidi
Mwa 37:35; 1Sa 16:23; 2Sa 3:35; Ayu 2:11; Isa 40:1; 66:11; Yer 16:7; Mt 5:4; 2Ko 1:3, 4; Flp 2:1; Kol 2:2.
FARAO, Mwa 41:55 wakaanza kumlilia Farao
Kut 5:2 Farao akasema: Yehova ni nani
Kut 9:13 usimame mbele ya Farao
Ro 9:17 Farao: Kwa sababu hii
Kut 6:29; 14:18; Isa 19:11; Mdo 7:10.
FARASI, Zb 33:17 Farasi ni udanganyifu
Zb 147:10 Hapendezwi na farasi
Ufu 19:11 tazama! farasi mweupe
Kum 17:16; Est 6:8; Isa 31:1; Yer 51:21.
FARASI-DUME, Amu 5:22; Yer 8:16; 50:11.
FARISAYO, Mt 5:20 waandishi na Mafarisayo
Mt 23:26 Farisayo kipofu, safisha
Lu 18:11 Farisayo akaanza kusali
Yoh 12:42 Mafarisayo, hawakumkiri
Mdo 5:34 Farisayo anayeitwa Gamalieli
Mt 12:14; 23:15, 23, 27, 29; Lu 5:21.
FASAHA, Mdo 18:24 Apolo, alikuwa mfasaha
FASIRI, Mt 16:3 Mnajua kufasiri anga
1Ko 12:10 fasiri ya lugha.
1Ko 14:26 mwingine ana fasiri
2Pe 1:20 fasiri ya kibinafsi
FEDHA, Met 2:4 kuutafuta kama fedha
Eze 7:19 watatupa fedha
Sef 1:18 Fedha yao wala dhahabu
Mal 3:3 kama mtakasaji wa fedha
Mt 26:15 vipande 30 vya fedha
Kut 12:35; Met 25:11; Da 2:32; Hag 2:8; Mdo 3:6; Yak 5:3.
FEDHEHA, Met 13:5 waovu hujiletea fedheha
FEDHEHEKA, Zb 35:26 kufedheheka pamoja
Isa 54:4 wala usifedheheke
Zb 35:4; Isa 45:16; 50:7; Yer 22:22; Eze 36:32.
FEDHEHESHA, Da 4:37 kiburi, huwafedhehesha
Lu 23:11 askari, wakamfedhehesha
1Ko 14:35 inafedhehesha mwanamke kusema
FELIKSI, Mdo 23:24; 24:3, 25, 27.
FERUZI, Kut 28:18; Eze 27:16; 28:13.
FESTO, Mdo 24:27; 26:24.
FICHA, Yos 7:22 akaficha pesa hemani
Ayu 14:13 Laiti ungenificha katika Kaburi
Ayu 27:11 sitaficha mambo ya Mungu
Zb 27:5 Atanificha mahali pa siri
Zb 40:10 Sikuficha fadhili zako
Met 22:3 msiba na kujificha
Met 27:5 Karipio kuliko upendo uliofichwa
Isa 29:14 watu wao wenye busara utajificha
Yer 16:17 Hawakufichwa kutoka mbele zangu
Da 2:22 anafunua mambo yaliyofichwa
Sef 2:3 Huenda mkafichwa katika siku
Mt 5:14 Jiji haliwezi kufichwa
Mt 11:25 umewaficha wenye hekima
Lu 8:17 lililofichwa ambalo halitafunuliwa
Lu 9:45 yalifichwa ili wasipate kuyafahamu
1Ko 2:7 hekima iliyofichwa
Efe 3:9 siri takatifu imefichwa
Kol 1:26 siri iliyokuwa imefichwa
Kol 3:3 uhai umefichwa na Kristo
Ufu 2:17 mana iliyofichwa
Kum 29:29; Yos 6:25; Zb 9:15; 89:46; Isa 26:20; 28:15; 30:20; Yer 23:24; 1Ti 5:25; Ufu 6:16.
FIDIA, Ayu 33:24 Nimepata fidia!
Zb 49:7 Wala kumpa Mungu fidia
Met 21:18 Mwovu ni fidia ya mwadilifu
Mt 20:28 kutoa nafsi yake kuwa fidia
1Ti 2:6 aliyejitoa kuwa fidia
Kut 30:12; Ayu 36:18; Met 6:35; Isa 43:3.
FIDIA INAYOLINGANA, 1Ti 2:6.
FIFIA, Isa 60:20 mwezi wako hautafifia
1Pe 1:4 urithi usiofifia
FIGO, Kut 29:13; Zb 7:9; Yer 11:20.
FIKA, Lu 19:23 wakati ambapo ningefika
Ro 9:31 Israeli, hakuifikia sheria
1Ko 11:26 kifo cha Bwana, mpaka atakapofika
FIKIA, Ayu 42:2 ambalo huwezi kulifikia
Zb 40:12 Makosa mengi yalinifikia
Efe 4:13 tuufikie umoja katika imani
1Th 5:4 siku hiyo iwafikie
FIKIRA, Zb 94:11 anazijua fikira za wanadamu
Zb 139:2 Umeichunguza fikira yangu
Zb 139:23 uzijue fikira zangu
Met 12:5 Fikira za waadilifu ni adili
Isa 55:8 mawazo yenu si mawazo
2Ko 10:5 tunaiteka kila fikira
Flp 4:10 mmeamsha fikira zenu
Ebr 4:12 linaweza kutambua fikira
FIKIRI, Met 12:18 anayesema bila kufikiri
Mt 5:17 Msifikiri nilikuja kuharibu
Mt 16:23 unafikiri, si fikira za Mungu
Lu 12:51 mnafikiri nilileta amani
Yoh 11:13 walifikiri alikuwa akisema
Yoh 13:29 walikuwa wakifikiri
1Ko 8:2 akifikiri amejipatia ujuzi
1Ko 10:12 anayefikiri amesimama
Ga 6:3 akifikiri kuwa yeye ni kitu
2Pe 2:12 kama wanyama wasiofikiri
Mt 10:34; Yoh 5:39; Ro 1:21; 1Ko 3:18, 20; 14:37; Flp 3:4; Ebr 10:29.
FIKIRIA, 2Sa 14:14 amefikiria sababu
2Fa 16:15 madhabahu nitaifikiria
Zb 41:1 Mwenye furaha ni mtu anayemfikiria
Zb 48:9 Tumefikiria kwa uzito
Yer 29:11 najua mawazo ninayofikiria
Mal 3:16 wanaolifikiria jina lake
Mt 24:44 atakuja saa msiyofikiria
Ro 4:19 alifikiria juu ya mwili wake, umekufa
Ro 12:3 asijifikirie mwenyewe zaidi
Ro 12:16 Mwafikirie wengine
Flp 2:6 hakufikiria kunyakua, yaani
Flp 4:8 endeleeni kuyafikiria mambo hayo
1Th 5:13 kuwafikiria katika upendo
Ebr 3:1 mfikirieni mtume na
Kum 32:29; Yer 23:27; Mdo 19:19.
FIKIWA, 1Ti 6:16 nuru isiyoweza kufikiwa
FILETO, 2Ti 2:17 Himenayo na Fileto
FILIMBI, 1Ko 14:7 kinachopigwa kwa filimbi?
FILIPO 1., Mt 10:3 Filipo na Bartholomayo
Yoh 1:43 Yesu akamkuta Filipo
FILIPO 2, Mdo 6:5 Filipo na Prokoro
FIMBO, Mwa 49:10 fimbo ya kiongozi
Zb 110:2 fimbo ya nguvu zako
Met 13:24 Anayezuia fimbo anamchukia
Isa 11:4 ataipiga dunia kwa fimbo
Isa 14:5 ameivunja fimbo
Mik 7:14 Wachunge kwa fimbo yako
1Ko 4:21 nije kwenu na fimbo
Ebr 9:4 ile fimbo ya Haruni
Ufu 12:5 atachunga mataifa kwa fimbo
Kut 12:11; 1Fa 12:11; Zb 23:4; Met 26:3; 29:15; Isa 9:4; Yer 48:17; Mik 5:1; Zek 11:10; Ebr 12:6; Ufu 2:27.
FIMBO YA ENZI. Ona pia FIMBO YA KIONGOZI.
Hes 24:17 fimbo ya enzi itainuka Israeli
Zb 2:9 fimbo ya enzi ya chuma
Zb 125:3 fimbo ya enzi ya uovu
Zek 10:11 fimbo ya enzi ya Misri
Ebr 1:8 fimbo ya enzi ya ufalme
Mwa 49:10; Est 5:2; Zb 45:6; Eze 19:14.
FIMBO YA KIONGOZI, Mwa 49:10; Hes 21:18; Zb 60:7; 108:8.
FINEHASI, Hes 25:7 Finehasi alipoona hilo
Hes 31:6; Yos 22:30; Amu 20:28; Zb 106:30.
FINYA, Met 30:33 kufinya pua
FINYANGA, Ro 9:20 yeye aliyekifinyanga
FISADI, Zb 14:3 wote ni wafisadi
Da 6:4 ufisadi wowote katika Danieli
FISHA, Mwa 42:4 tukio la kufisha lisimpate
FIWA, Yos 6:26 kufiwa na mzaliwa wa kwanza
FUA, Ufu 7:14 wamefua kanzu zao
FUATA, 1Fa 18:21 Mungu, mfuateni yeye
Mt 10:38 mti wa mateso, anifuate
Mt 19:28 ninyi ambao mmenifuata
Yoh 8:12 anayenifuata atakuwa na uzima
1Pe 2:21 kielelezo, mfuate hatua
Ufu 19:14 majeshi mbinguni yalimfuata
Nah 1:8; Mt 4:20; 16:24; Yoh 10:5, 27; Mdo 3:24; 1Ko 10:4; 1Ti 4:6; 5:10; 2Pe 2:2.
FUATIA, 1Ko 14:1 Fuatieni upendo
FUATILIA, Amu 4:22 Baraka anamfuatilia Sisera
Amu 8:4 wanaendelea kufuatilia
Met 15:9 anayefuatilia uadilifu
Mhu 1:14 kufuatilia upepo
Isa 1:23 kupenda rushwa, kufuatilia
Ro 9:30 mataifa, wakifuatilia uadilifu
Ro 14:19 na tufuatilie mambo
Flp 3:12 nafuatilia kushika lile
1Pe 3:11 amani na kuifuatilia
FUFUA, 2Fa 8:1 Elisha amemfufua mwana
Mdo 2:24 alimfufua kwa kufungua
2Ko 4:14 aliyemfufua Yesu atatufufua
Yoh 6:39, 40, 44, 54; Efe 1:20.
FUFUKA, Efe 5:14 ufufuke kwa wafu
FUFULIWA, Mt 28:7 wanafunzi, amefufuliwa
Lu 20:37 wafu watafufuliwa
1Ko 15:44 hufufuliwa mwili wa roho
Kol 3:1 mlifufuliwa na Kristo
1Th 4:16 Kristo watafufuliwa kwanza
1Ko 15:17, 42; Kol 2:12; Ebr 6:2.
FUGA, Yak 3:8 hakuna anayeweza kuufuga
FUGWA, Yak 3:7 vya kufugwa, vimefugwa
FUJO, Zb 2:1 mataifa yamekuwa na fujo
Zb 83:2 adui zako wanafanya fujo
Mdo 21:34 kwa sababu ya fujo hizo
Tit 1:7 asiwe mlevi mwenye fujo
FUKIZA, Kut 30:7 Haruni atafukiza uvumba
FUKIZIA, 2Fa 22:17 kuifukizia moshi wa dhabihu
FUKUZA, Mwa 4:11 umelaaniwa kwa kufukuzwa
Ezr 7:26 ahukumiwe kifo au kufukuzwa
Mt 10:1 mamlaka kufukuza roho
Yoh 9:22 angefukuzwa katika sinagogi
Yoh 12:42 wasifukuzwe katika sinagogi
FUKUZA ROHO WAOVU, Mt 7:22.
FUMBO. Pia ona SIRI TAKATIFU.
Met 1:6 methali na mafumbo
2Th 2:7 fumbo la uasi-sheria
Ufu 17:5 fumbo: Babiloni Mkubwa
Ufu 17:7 fumbo la yule mwanamke
FUMO, 1Sa 17:6 na fumo la shaba
FUNDI, 2Nya 26:15 ubuni wa mafundi
Ho 8:6 Fundi tu ndiye aliyekifanya
Kut 35:35; 2Fa 24:14; Isa 40:19; Yer 10:3; Ho 13:2; Mdo 19:24, 38.
FUNDISHA, 2Nya 17:9 kufundisha kati ya watu
Ezr 7:10 Ezra kufundisha
Ezr 7:25 ninyi mtamfundisha
Ne 8:9 Walawi wakiwafundisha
Ayu 33:33 nitakufundisha hekima
Zb 25:4 Nifundishe mapito yako
Zb 25:8 Yehova huwafundisha
Zb 25:9 atawafundisha wapole njia
Zb 34:11 Nitawafundisha kumwogopa
Zb 143:10 Unifundishe kufanya
Zb 144:1 Anayeifundisha mikono yangu
Isa 2:3 atatufundisha njia zake
Isa 48:17 anayekufundisha ili ujifaidi
Mt 5:19 anayevunja amri na kufundisha
Mt 7:29 akiwafundisha kama mwenye
Mt 15:9 hufundisha amri za wanadamu
Mt 28:20 kuwafundisha kushika
Mk 6:6 akizunguka akifundisha
Yoh 7:16 ninayofundisha si yangu
Yoh 8:28 kama Baba alivyonifundisha
Yoh 14:26 roho takatifu itawafundisha
Mdo 5:42 wakaendelea kufundisha
Mdo 18:25 kuyafundisha kwa usahihi
Mdo 20:20 kuwafundisha hadharani
Ro 12:7 anayefundisha awe katika
Ro 15:4 ili kutufundisha sisi
1Ko 2:16 Yehova, ndipo amfundishe?
1Ko 4:17 ninavyofundisha kila mahali
1Ko 14:19 niwafundishe kwa mdomo
1Ti 4:16 kufundisha kwako
2Ti 2:2 sifa za kustahili kufundisha
2Ti 3:16 lenye faida kwa kufundisha
Tit 1:11 kufundisha mambo hawapaswi
Kut 4:12; Kum 4:5; 17:10; Amu 13:8; 1Sa 12:23; Ayu 35:11; Zb 25:12; 27:11; 32:8; 45:4; 71:17; 94:12; Mik 3:11; Mt 7:28; 11:1; Lu 4:32; 12:12; Mdo 4:2; 5:25; 11:26; Ro 2:21; 1Ti 2:12; 2Ti 2:24, 25; Tit 2:12.
FUNDISHANA, Yer 31:34.
FUNDISHO, Kum 32:2 Mafundisho kama mvua
Met 1:5 na kupata mafundisho
Mt 16:12 mafundisho ya Mafarisayo
Ga 6:6 fundisho la mdomo
Efe 4:14 upepo wa fundisho
Kol 2:22 mafundisho ya wanadamu
1Ti 1:3 wasifundishe fundisho tofauti
1Ti 4:1 mafundisho ya roho waovu
1Ti 6:3 akifundisha fundisho lingine
2Ti 4:3 hawatalivumilia fundisho
Ebr 6:1 fundisho la msingi
Ebr 13:9 Msichukuliwe na mafundisho
Met 4:2; Isa 9:15; 1Th 4:1; 1Ti 4:6; 6:1; Tit 1:9.
FUNDISHO LENYE AFYA, 2Ti 4:3; Tit 1:9;
2:1.
FUNDISHWA, Isa 54:13 wana waliofundishwa
2Pe 3:16 wasiofundishwa wapotosha
Isa 29:13; Yer 32:33; Mdo 7:22; Ro 2:18; Ga 6:6.
FUNGA 1., Mwa 7:16 Yehova akafunga mlango
Kum 6:8 uyafunge kama ishara
Kum 15:7 usiufunge mkono kwa ndugu yako
Yos 2:21 akafunga kamba nyekundu
Amu 3:23 Ehudi akaifunga milango
Zb 149:8 kuwafunga wafalme wao
Isa 8:16 Funga ule ushuhuda
Isa 26:20 ingia na ufunge milango
Isa 61:1 kufunga majeraha ya waliovunjika
Mt 13:30 kusanyeni magugu na kuyafunga
Mt 16:19 utakalofunga duniani litakuwa
Mt 23:4 hufunga mizigo mizito na kuiweka
Mt 25:10 arusi; mlango ukafungwa
Lu 13:25 kuufunga mlango
Ro 11:32 Mungu amewafunga wote
1Ko 7:39 Mke amefungwa wakati wote
Ufu 3:8 hakuna anayeweza kuufunga
Ufu 20:2 kumfunga kwa miaka elfu
Mwa 22:9; Hes 30:2; Yos 2:18; Zb 118:27; Met 3:3; 6:21; 7:3; Isa 22:22; Yer 51:63; Mal 1:10; Lu 13:16; Mdo 20:22; Ro 7:2; Ufu 11:6; 20:3.
FUNGA 2., Isa 58:5 kufunga na siku
Yoe 1:14 Takaseni kufunga
Mt 6:16 mnapofunga, msiwe
Mk 2:18 wanafunzi wako hawafungi?
Lu 5:33 Wanafunzi wa Yohana hufunga
Lu 5:34 rafiki za bwana-arusi hawafungi
FUNGA KINYWA, Kum 25:4; 1Ko 9:9; 1Ti 5:18.
FUNGIA, Ayu 38:9 utepe wa kufungia
Mt 23:13 mnawafungia watu ufalme
FUNGU, Kum 32:9 fungu la Yehova ni watu
Zb 16:5 fungu nililogawiwa
Zb 119:57 Yehova ni fungu langu
Isa 53:12 nitampa fungu kati ya wengi
Da 12:13 utasimama kwa fungu lako
1Ko 7:17 Yehova alivyompa fungu
2Ko 6:15 fungu gani na asiye mwamini
Zb 11:6; 17:14; 142:5; Mhu 9:6; Yer 10:16; 12:10; Zek 2:12.
FUNGU LA URITHI, 1Fa 8:36; 21:3.
FUNGU MARA MBILI, Isa 61:7; Zek 9:12.
FUNGUA, Isa 45:1 nivifungue viuno
Ufu 1:5 alitufungua katika dhambi
Kum 11:6; Zb 22:13; Omb 3:46; Mt 27:21; Mdo 3:13.
FUNGUA NJIA, Isa 40:3 Fungueni njia ya Yehova
FUNGULIA, Ro 3:5 anapofungulia ghadhabu
FUNGULIWA, Mwa 3:5 macho yatafunguliwa
Mt 18:18 yamefunguliwa mbinguni
Ro 7:2 amefunguliwa na sheria ya
1Ko 7:27 Uache kutafuta kufunguliwa
Flp 1:23 ninachotamani ni kufunguliwa
2Ti 4:6 wakati wa kufunguliwa kwangu
FUNGWA, 1Sa 25:29 imefungwa katika mfuko
Zb 146:7 anawafungua waliofungwa
Ho 10:10 watakapofungwa na makosa
Ho 13:12 Kosa la Efraimu limefungwa
Ga 5:1 kufungwa katika nira ya utumwa
Ufu 21:25 malango hayatafungwa mchana
Lu 11:7; Yoh 20:19, 26; Mdo 5:23.
FUNIKA Law 17:13 mwaga damu na kuifunika
2Nya 24:20 roho ikamfunika Zekaria
Ayu 38:2 nani anayefunika shauri
Zb 104:2 Unayejifunika nuru
Met 17:9 Anayefunika makosa
Ho 4:19 Upepo umemfunika
Ebr 9:5 makerubi waliofunika
FUNUA, 1Sa 3:21 Yehova alijifunua katika Shilo
Met 11:13 mchongezi anafunua
Isa 49:9 gizani, Jifunueni!
Mt 11:25 umeyafunua kwa watoto
Yoh 17:6 Nimelifunua jina lako
Yoh 21:1 Yesu alijifunua kwa wanafunzi
Ro 1:19 aliyafunua kwao
Ebr 6:6 kumfunua, aibu hadharani
Ebr 9:26 amejifunua mara moja
Ebr 10:33 mkifunuliwa, jumba la maonyesho
2Pe 3:10 kazi zitafunuliwa
1Sa 2:27; Da 2:47; 1Ko 2:10; 4:5.
FUNULIA, 2Sa 7:27 umemfunulia mtumishi
FUNULIWA, Isa 40:5 utukufu utafunuliwa
Lu 8:17 ambalo halitafunuliwa
Lu 17:30 siku Mwana atafunuliwa
Yoh 12:38 mkono wa Yehova, umefunuliwa
1Ko 3:13 kazi ya mtu itafunuliwa
Efe 3:5 siri imefunuliwa kwa mitume
Kol 1:26 siri imefunuliwa kwa watakatifu
Kol 3:4 Kristo atakapofunuliwa
2Th 2:8 mwasi-sheria atafunuliwa
1Yo 1:2 uzima ulifunuliwa
1Yo 3:2 haijafunuliwa tutakavyokuwa
Da 2:30; Yoh 3:21; Ro 1:18; 3:21; 1Ko 3:13; 1Ti 3:16; 2Ti 4:8; Tit 2:13; 1Pe 5:4; 1Yo 3:8; Ufu 15:4.
FUNZA, Ayu 7:5 Nyama imefunikwa na funza
Ayu 25:6 mwanadamu, ni funza
Mk 9:48 funza wake hafi
Kut 16:24; Amu 3:2; Ayu 17:14; 24:20; Isa 14:11.
FUPI, Hes 11:23 mkono wa Yehova ni mfupi?
Isa 59:1 Mkono wa Yehova haujawa mfupi
Ufu 12:12 akijua ana kipindi kifupi
FUPISHA, Ro 9:28 kuimaliza na kuifupisha
FUPISHWA, Mt 24:22 siku hizo zitafupishwa
Mt 24:22 kama siku hizo hazingefupishwa
FURAHA, Amu 16:25 moyo ulikuwa na furaha
Zb 144:15 furaha ambao Mungu wao
Isa 22:2 mji wenye furaha
Mt 5:3 furaha, wenye uhitaji wa kiroho
Mt 24:46 Mtumwa atakuwa na furaha
Yoh 13:17 mna furaha mkiyatenda
1Ti 1:11 Mungu mwenye furaha
1Ti 6:15 Mwenye Uwezo, mwenye furaha
1Pe 3:14 mkiteseka, mna furaha
1Pe 4:14 mna furaha, kwa sababu roho
Kum 33:29; 1Fa 10:8; Zb 119:111; Met 3:13; 14:35; 16:20; 29:18; Isa 23:7; Da 12:12; Ho 2:11; Sef 2:15; Mal 3:15; Lu 12:37; Mdo 20:35; Ro 4:6; Ga 4:15; Yak 1:12.
FURAHA TELE, Zb 37:11; Mhu 2:8; Isa 58:14.
FURAHI, Kum 32:43 Furahini, enyi mataifa
Isa 65:18 furahini, vitu ninavyoumba
Ro 5:3 tufurahi katika dhiki
Ro 15:17 kufurahi katika Kristo
Ga 4:27 Furahi, mwanamke tasa
Ga 6:4 na sababu ya kufurahi
Flp 2:16 kufurahi, siku ya Kristo
Ufu 12:12 furahini, mbingu nanyi mliomo
Ufu 18:20 Furahini juu yake, mbingu
1Sa 2:1; Met 8:30; Isa 35:1; 65:18; Yer 32:41; Ro 15:10.
FURAHIA, Zb 149:4 Yehova anafurahia watu
Ebr 11:25 kufurahia dhambi kwa muda
1Nya 29:17; Zb 147:11; Mal 1:8.
FURAHISHA, Met 5:19 upendo ukufurahishe
Met 13:19 tamaa inafurahisha nafsi
FURIKO, Da 9:26 mwisho utakuwa mafuriko
Nah 1:8 Ataangamiza kwa furiko
FURIKO LA GHAFULA, Isa 28:18.
FUTA, 2Fa 21:13 nitafuta Yerusalemu
Yer 18:23 usiifute dhambi yao
Yoh 12:3 kuifuta kwa nywele zake
Ga 3:17 ili kuifuta ahadi
Efe 2:15 aliufuta uadui
2Ti 1:10 Kristo, amefuta kifo
Ufu 3:5 sitalifuta jina lake
Ufu 21:4 atafuta kila chozi
Kut 23:23; Hes 30:8, 12; 2Nya 32:21; Zb 83:4; Isa 25:8; Da 6:8, 12; Lu 10:11; Mdo 3:19; Kol 2:14.
FUTILIA MBALI, Mwa 6:7; Kut 9:15; 32:33; Zb 51:1.
FUTWA, Zb 69:28 wafutwe kutoka kitabu
FUVU, Hes 24:17 vinja fuvu la kichwa cha wana
FYATULIA, Zb 11:2 wawafyatulie wanyoofu
G
GAAGAA, Yer 25:34 wachungaji, mgaegae
Mk 9:26 na kugaagaa sana akatoka
2Pe 2:22 kugaagaa matopeni
GABRIELI, Da 8:16; 9:21; Lu 1:19, 26.
GADI, Mwa 30:11; 49:19; Yos 18:7.
GALILAYA, Mt 4:23; Yoh 2:11; 7:41, 52.
GANDA, Sef 1:12 wanaoganda, machicha
GANDAMANA, Kut 15:8 Maji yaliyogandamana
Zek 14:6 vitu vitagandamana
GANDISHA, Ayu 10:10 kunigandisha kama
Ayu 38:30 kilindi cha maji hujigandisha
GANZI, 2Sa 1:9 ganzi imenishika
Zb 38:8 Nimekufa ganzi na kupondwa
Omb 2:18 Usife ganzi. Mboni
Hab 1:4 Basi sheria hufa ganzi
GARI, Amu 5:28 gari limechelewa kuja
2Fa 10:15 akampandisha garini pamoja naye
Isa 31:1 Misri, wanaotegemea magari ya vita
Nah 2:3 Gari lake ni moto wa vifaa vya chuma
Mwa 46:5; Hes 7:3; 2Fa 2:11; Isa 5:18; 43:17; Yer 46:9; Zek 9:10.
GATHI, Yos 11:22; 1Sa 17:4; 1Nya 18:1.
GAVANA, Mt 2:6 magavana wa Yuda
Yer 51:23; Mal 1:8; Mt 10:18; 1Pe 2:14.
GAWA, Isa 53:12 atagawa nyara
Mt 24:51 atamwadhibu na kumgawia sehemu
Ro 12:3 Mungu alivyomgawia imani
Ro 12:8 anayegawa, agawe kwa ukarimu
2Ko 10:13 Mungu alitugawia kwa kipimio
1Ti 1:4 badala ya kugawa kitu
1Ti 1:12 kunigawia huduma
Ebr 7:2 Abrahamu alimgawia sehemu ya kumi
Kum 4:19; Yos 18:5; Ne 9:22; Isa 34:17; Mdo 4:35; 1Ko 12:11.
GAWANYA, Amu 7:16 akagawanya mia tatu
GAWANYIKA, Mk 3:24 ufalme ukigawanyika
GAWIWA, Ro 12:6 imani tuliyogawiwa
2Ko 10:13 mipaka yetu tuliyogawiwa
GAZA, Amu 1:18; 16:1; Yer 47:5; Mdo 8:26.
GEDALIA, 2Fa 25:22; Yer 39:14; 40:5, 6.
GEHENA. Ona pia HINOMU.
Mt 10:28 kuangamiza nafsi Gehena
Mt 23:15 astahili Gehena mara mbili
Mt 23:33 hukumu ya Gehena?
Mk 9:43 Gehena na mikono miwili
Lu 12:5 mamlaka ya kutupa Gehena
Yak 3:6 ulimi, huwashwa Gehena
Mt 5:22, 29, 30; 18:9; Mk 9:45, 47.
GEREZA, Zb 142:7 nafsi yangu kutoka gerezani
1Pe 3:19 kuhubiria roho gerezani
Ufu 2:10 Ibilisi, kuwatupa gerezani
Ufu 20:7 Shetani kutoka gerezani
Mt 5:25; 25:36; Lu 22:33; Mdo 5:19.
GERIZIMU, Kum 11:29; Yos 8:33; Amu 9:7.
GETHSEMANE, Mt 26:36; Mk 14:32.
GEUKA, Met 22:6 atakapozeeka hatageuka
Mdo 15:3 kugeuka kwa watu wa mataifa
1Ti 3:6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni
1Ti 6:21 wamegeuka kutoka imani
2Ti 2:18 wamegeuka kutoka kwenye kweli
Ayu 23:11; 31:7; Zb 44:18; 1Ti 1:6.
GEUKA SURA, Mt 17:2.
GEUZA, Met 16:14 mwenye hekima huigeuza
Yer 21:4 nazigeuza nyuma silaha
GEUZIA, Isa 28:6 wanaogeuzia mbali pigano
GEUZWA, Ro 12:2 mgeuzwe kwa kufanya upya
2Ko 3:18 tunageuzwa na kuwa
GHADHABU, 2Nya 29:8 ghadhabu ya Yehova
Zb 76:10 ghadhabu ya mwanadamu
Met 11:4 havina faida siku ya ghadhabu
Met 14:16 mjinga ana ghadhabu
Met 15:1 Jibu, hugeuza ghadhabu
Met 15:18 mwenye ghadhabu huchochea
Yer 6:11 ghadhabu ya Yehova
Eze 5:15 makaripio ya ghadhabu
Mk 3:5 kuwatazama kwa ghadhabu
Yoh 3:36 ghadhabu humkalia
Efe 4:26 Iweni na ghadhabu
Yak 1:20 ghadhabu ya mwanadamu
Ufu 11:18 na ghadhabu yako ikaja
Ufu 12:17 joka akawa na ghadhabu
Ayu 19:29; Zb 78:59; 79:6; Met 6:34; 19:19; 22:24; 27:4; Isa 57:17; Yer 10:10; 50:13; Eze 25:17; Mik 7:9; Ro 9:22; 12:19; 13:4; 1Th 5:9; Ufu 19:15.
GHADHIBIKA, Mk 10:14 Yesu akaghadhibika
GHAFULA, Met 3:25 chenye kuogopesha ghafula
Mal 3:1 kwa ghafula Bwana wa kweli
1Th 5:3 uharibifu wa ghafula
GHALA, Mwa 41:56 maghala ya nafaka
Ayu 38:22 maghala ya theluji
Kum 28:12; 2Nya 8:4; 17:12; Mt 3:12; 6:26.
GHALI, 1Ti 2:9 si mavazi yaliyo ghali
GHARAMA, Lu 14:28 kwanza ahesabu gharama
1Ko 9:18 habari njema bila gharama
2Fa 15:20; Mdo 21:24; 1Ko 9:7.
GHARIKA, Mwa 6:17 ninaleta gharika
Mwa 7:17 gharika ikaendelea siku 40
Mwa 9:11 Mwili hautakatiliwa na gharika
Mt 24:38 siku, kabla ya gharika
2Pe 2:5 alileta gharika juu ya ulimwengu
2Pe 3:6 ulimwengu uliangamia gharika
GHASIA, Isa 13:4 Ghasia za falme
GIBEA, Amu 20:5, 13, 37; Isa 10:29.
GIBEONI, Yos 10:6 Gibeoni waenda kwa Yoshua
Yos 10:12 jua, simama juu ya Gibeoni
1Fa 3:5 Yah, Sulemani kule Gibeoni
Ne 3:7 watu wa Gibeoni wakarekebisha
Yos 9:3; 10:1, 10; 11:19; 2Nya 1:3.
GIDEONI, Ebr 11:32 nikisimulia juu ya Gideoni
Amu 6:24, 27, 34, 39; 7:2, 4, 7; 8:4, 23.
GILBOA, 2Sa 1:6 Nilijikuta katika Mlima Gilboa
1Sa 28:4; 2Sa 1:21; 1Nya 10:8.
GILEADI, Yos 21:38 jiji la makimbilio Gileadi
Mik 7:14 walishe katika Gileadi
Hes 26:29; 32:40; Yer 8:22; Zek 10:10.
GILGALI, Yos 4:20 mawe kumi na mawili Gilgali
Yos 9:6 wakamwendea Yoshua Gilgali
Amu 3:19 machimbo yaliyokuwa Gilgali
Yos 5:9; 10:6; 1Sa 10:8; 11:14, 15.
GIZA, Mwa 1:2 giza juu ya kilindi
Isa 42:7 wanaoketi gizani
Isa 45:7 Kufanyiza nuru na giza
Isa 60:2 giza litaifunika dunia
Yoe 2:10 Jua na mwezi zimekuwa na giza
Mt 25:30 mtupeni nje katika giza
Yoh 3:19 watu wamelipenda giza
Ro 1:21 moyo ukaingiwa na giza
Ro 11:10 macho yao yatiwe giza
1Th 5:4 hamko gizani
1Pe 2:9 aliyewaita kutoka katika giza
1Yo 1:5 hakuna giza katika muungano na yeye
Kut 10:21, 22; Kum 28:29; Met 4:19; Isa 58:10; Yoe 2:31; Amo 4:13; Mt 6:23; Lu 11:36; Yoh 6:17; 2Ko 6:14; Efe 4:18; 2Pe 1:19.
GIZA ZITO, Eze 34:12 mawingu na giza zito
GOGU, Eze 38:16 mataifa yanijue, Ee Gogu
Eze 39:11 nitampa Gogu kaburi Israeli
Eze 38:2, 3, 14, 18; Ufu 20:8.
GOIGOI, Mt 25:26 Mtumwa mwovu na goigoi
GOLGOTHA, Mt 27:33; Yoh 19:17.
GOLIATHI, 1Sa 17:23 Goliathi Mfilisti wa Gathi
GOMBANA, Mwa 45:24 Msigombane njiani
Zb 31:20 kugombana kwa ndimi
Zb 80:6 Ulituweka tugombane
Met 3:30 Usigombane na mtu
Isa 41:11 wanaogombana nawe
Isa 58:4 kugombana na kupambana
Mt 12:19 Hatagombana, wala
GOMORA, Mt 10:15 rahisi kwa Gomora
Mwa 18:20; 19:24; Isa 1:9; Ro 9:29; Yud 7.
GONGA, Met 3:23 mguu wako hautagonga
GONGO, Zb 23:4 Fimbo na gongo lako
GOSHENI, Mwa 45:10; 47:4; Kut 8:22; 9:26.
GOTI, Ro 11:4 hawakupigia Baali goti
Flp 2:10 jina la Yesu kila goti
Isa 45:23; Eze 7:17; Ro 14:11; Ebr 12:12.
GUDULIA, 1Sa 26:11, 16; 1Fa 19:6.
GUMU, Met 21:29 uso wake kuwa mgumu
Da 2:11 mfalme anauliza jambo gumu
GUNDI, Ayu 14:17 unatia gundi kosa langu
GUNDUA, 2Sa 4:6 wakakimbia bila kugunduliwa
GURUDUMU, Eze 1:16 gurudumu kati ya
Eze 10:6 moto kutoka magurudumu
Kut 14:25; Mhu 12:6; Eze 1:20; 10:6; Nah 3:2.
GURUDUMU LA KUSOKOTA NYUZI, Met 31:19.
GUSA, Mwa 3:3 Msiyale wala msiyaguse
Law 5:2 nafsi inapogusa kisicho safi
1Nya 16:22 Msiwaguse watiwa-mafuta
Ayu 2:5 uguse kufikia mfupa
Zb 104:32 Anaigusa milima
Zb 105:15 Msiwaguse watiwa-mafuta
Isa 6:7 Hili limeigusa midomo
Isa 52:11 msiguse kitu chochote
Yer 1:9 na kunigusa kinywa
Hag 2:13 Mtu aliye najisi akigusa
Zek 2:8 anayewagusa anaigusa mboni
Lu 11:46 hamwigusi mizigo hiyo
2Ko 6:17 mwache kugusa kilicho najisi
Kol 2:21 Usishike, usionje, usiguse
1Yo 1:1 mikono yetu ikakigusa
Kut 30:29; Law 11:36; 2Fa 13:21; Met 6:29; Yer 12:14; Mt 8:3; 14:36; 20:34; Mk 5:30.
GUSWA, Ro 15:23 sina eneo lisiloguswa
H
HABA, 1Sa 3:1 neno la Yehova lilikuwa haba
HABARI, Kut 23:1 Usieneze habari isiyo ya kweli
Law 5:1 shahidi, asipotoa habari
Zb 40:9 Nimetangaza habari njema
Met 25:25 habari njema kutoka mbali
Isa 40:9 mwanamke unayeleta habari
Isa 61:1 nitangazie wapole habari njema
Da 11:44 habari zitamsumbua
Mt 24:6 Mtasikia habari za vita
Mt 24:14 habari njema ya ufalme
2Ko 6:8 kupitia habari mbaya na
1Th 1:9 wanaendelea kutoa habari
1Yo 1:2 kuwapa habari ya uzima
Hes 14:36; Ayu 28:22; Met 15:30; Isa 52:7; Eze 7:26; Nah 1:15; Ro 10:16; 2Ko 11:4.
HABARI NJEMA, Zb 40:9.
Isa 52:7 miguu ya aletaye habari njema
Isa 61:1 nitangazie wapole habari njema
Mt 9:35 Yesu akahubiri habari njema
Mt 24:14 habari njema ya ufalme
Mk 13:10 lazima habari njema ihubiriwe
Lu 2:10 ninawatangazia habari njema
Ro 1:16 siaibikii habari njema
1Ko 9:16 ninatangaza habari njema
1Th 2:4 kukabidhiwa habari njema
2Ti 1:10 nuru kupitia habari njema
Isa 41:27; Lu 1:19; Mdo 20:24; Ro 10:15; 2Ko 4:3, 4; Ga 1:8; Flp 1:12, 16.
HADASA, Est 2:7 mlezi wa Hadasa
HADHARANI, Kol 2:15 alizionyesha hadharani
HADHARI, Mwa 3:1 nyoka mwenye kujihadhari
Mt 7:15 Jihadharini na manabii
Mt 10:16 wenye kujihadhari kama nyoka
HADITHI, 1Ti 1:4; hadithi za uwongo
2Ti 4:4 watageuzwa kufuata hadithi
Tit 1:14 hadithi za Kiyahudi
2Pe 1:16 hadithi za uwongo
HADITHI ZA UWONGO, 1Ti 1:4; 4:7; 2Pe 1:16.
HAI, Kum 5:26 sauti ya Mungu aliye hai
Ayu 33:30 nuru ya wale walio hai
Zb 22:29 atakayeihifadhi hai nafsi
Zb 69:28 kitabu cha walio hai
Zb 85:6 Je, hutatufanya hai tena
Zb 89:48 Ni mwanamume gani aliye hai
Mhu 9:5 walio hai wanafahamu
Yer 2:13 chemchemi ya maji hai
Mt 22:32 Mungu wa walio hai
Yoh 4:10 angalikupa maji yaliyo hai
Mdo 10:42 mwamuzi wa walio hai
Ro 4:17 Mungu, anayewafanya wafu kuwa hai
Ro 6:11 walio hai kuhusiana na Mungu
Ro 7:9 nilikuwa hai bila sheria; lakini
1Ko 15:22 katika Kristo watafanywa kuwa hai
1Th 4:15 tulio hai ambao tutabaki
1Ti 3:15 kutaniko la Mungu aliye hai
Ebr 4:12 neno la Mungu liko hai nalo hutia
Ebr 10:31 mikononi mwa Mungu aliye hai
1Pe 1:3 tumaini lililo hai
1Pe 2:5 mawe yaliyo hai
Ufu 1:18 ninaishi milele na milele
Law 11:2; Zb 145:16; Isa 38:19; Da 6:26; Zek 14:8; 2Ko 13:4; 1Th 4:17; Ebr 7:25; 1Pe 3:18; Ufu 19:20.
HAKI, Kut 18:21 faida isiyo ya haki
Kut 21:9 haki za mabinti
Kut 21:10 haki ya ndoa haitapunguzwa
Law 19:15 Msifanye ukosefu wa haki
Kum 18:3 haki ya makuhani
Kum 32:4 Mungu hana ukosefu wa haki
Ru 1:1 walitekeleza haki
Ayu 27:6 Nimeishikilia haki yangu
Ayu 40:8 utaifanya haki kuwa bure?
Met 15:27 anayepata faida isiyo ya haki
Met 16:8 wingi pasipo haki
Met 21:7 wamekataa kufanya haki
Met 29:4 nchi kusimama kwa haki
Isa 28:17 haki, kamba ya kupimia
Isa 32:1 wakuu kwa ajili ya haki
Isa 61:8 Yehova, napenda haki
Eze 21:27 aliye na haki ya kisheria
Mik 6:8 kutenda haki, fadhili
Mal 2:17 wapi Mungu wa haki?
Mt 12:20 atakapoileta haki
Lu 18:7 sababisha haki ifanywe
Lu 23:41 tuko hivyo kwa haki
Ro 5:18 kutetewa kuwa haki
Ro 9:14 Mungu ana ukosefu wa haki?
Ro 13:7 Wapeni wote haki zao
1Ko 7:3 Mume mpe mke haki yake
1Th 4:6 asiingilie haki za ndugu
Ebr 2:2 malipo kupatana na haki
1Pe 2:19 anateseka isivyo haki
Kum 21:17; 1Nya 24:19; Ayu 29:14; Zb 7:3; Met 29:27; Isa 1:17; 28:6; Yer 2:5; 22:3; Eze 3:20; Mik 3:1, 9; 7:9; Hab 1:4; Ro 3:5; Ufu 18:5.
HAKI YA KISHERIA, Eze 21:27.
HAKI YA KUZALIWA, Mwa 25:34; 27:36.
HAKI YA MZALIWA WA KWANZA, Mwa 43:33; 1Nya 5:2.
HAKI YA NDOA, Kut 21:10.
HAKI ZA RAIA, Mdo 22:28.
HAKIKA, Mdo 1:3 uthibitisho mwingi hakika
1Ti 6:17 utajiri usio hakika
HAKIKISHA, Ro 12:2 mjihakikishie wenyewe
Flp 1:10 mhakikishe ya maana zaidi
1Th 5:21 Hakikisheni mambo yote
Ebr 11:1 tarajio lililohakikishwa
1Yo 3:19 tutaihakikishia mioyo yetu
HAKIMU, Ezr 7:25; Mdo 16:20, 22, 38.
HALALI, Mk 12:14 halali kulipa kodi?
Lu 14:3 halali kuponya sabato?
Lu 20:22 halali kumlipa Kaisari
Ro 13:13 ngono isiyo halali
1Ko 6:12 yote ni halali, lakini
Ebr 9:17 agano ni halali
Mk 2:26; Mdo 22:25; 1Ko 10:23; 2Ko 12:4.
HALALISHWA, Ga 3:15 Agano lililohalalishwa
HALELUYA. Ona MSIFUNI YAH.
HALI, Yos 20:7 wakayapa hali ya utakatifu
1Ko 7:24 Katika hali yoyote ile kila mmoja
Kol 2:18 hali ya akili ya kimwili
1Nya 18:10; Yer 15:5; 1Ko 7:20.
HALI INAYOFAA, Da 8:14.
HALI NJEMA, Mwa 41:16.
HALI YA AKILI, Ro 1:28.
HALI YA CHINI, Zb 41:1
Flp 3:21 mwili wa hali ya chini
Eze 29:14; Sef 3:12; Mal 2:9; Ro 12:16; 2Ko 10:1.
HALI YENYE KUKUBALIWA, Ro 5:4.
HALI ZA UKIWA, Da 9:18.
HALISI, Yoh 7:28 aliyenituma ni halisi
Ebr 11:1 uthibitisho wa mambo halisi
HAMA, Law 11:22 nzige mwenye kuhama
HAMANI, Est 7:10 wakamtundika Hamani
Est 3:5; 5:11; 6:11; 7:6, 9; 8:2, 7; 9:10.
HAMATHI, Hes 13:21; Isa 10:9; Yer 49:23.
HAMISHA, 2Sa 3:10 kuuhamisha ufalme
1Ko 13:2 kuhamisha milima
Kol 1:13 akatuhamisha na kutuingiza
HAMISHWA, Ebr 11:5 Enoko alihamishwa
HAMU, Ro 1:15 hamu kutangaza habari
1Pe 5:2 chungeni kundi kwa hamu
Mwa 5:32; 10:6; 1Nya 4:40; Zb 78:51.
HAMU YA NGONO, 1Th 4:5 si hamu ya ngono
HANGAIKA, 1Sa 1:18 haukuonyesha kuhangaika
1Sa 9:5 kuanza kuhangaika
Zb 38:18 Nikaanza kuhangaikia dhambi
Zb 119:97 sheria yako! ndiyo ninayoihangaikia
Mt 6:25 Acheni kuhangaika juu ya nafsi
Mt 10:19 msihangaike, juu ya mtakalosema
Lu 10:41 Martha, unahangaika na kusumbuka
Lu 12:29 acheni kuhangaika kwa wasiwasi
1Ko 7:32 ambaye hajaoa huhangaikia
Ga 4:20 nahangaika juu yenu
Yer 17:8; Mik 7:4; Mt 6:34; Flp 4:6.
HANGAIKO, Met 12:25 Hangaiko katika moyo
Mk 4:19 lakini mahangaiko ya mfumo huu
1Ko 7:32 nataka msiwe na mahangaiko
Ayu 10:1; Zb 142:2; Mt 6:34; 13:22; Lu 8:14; 21:34; 1Pe 5:7.
HANGAIKO LA AKILINI, Lu 2:48.
HANGAISHA, Yoh 10:24.
HARAKA, 1Sa 21:8 jambo lilikuwa la haraka
Ayu 35:15 hatua kwa haraka
Zb 147:15 Neno hukimbia haraka
Met 19:2 haraka kwa miguu, dhambi
Met 28:20 haraka kupata utajiri
Mhu 5:2 Usiwe haraka mbele za Mungu
Isa 32:4 moyo wa walio na haraka
Hab 1:6 taifa chungu na la haraka
Mal 3:5 nitakuwa shahidi wa haraka
1Ti 5:22 Usiweke mikono haraka
2Pe 2:1 maangamizi ya haraka
Mwa 19:22; Amu 9:48; 1Sa 23:27; Met 21:5; 29:20; Nah 2:5.
HARAKISHA, Isa 60:22 nitaharakisha jambo hilo
Sef 1:14 Ile siku inaharakisha
Ro 3:15 Miguu yao inaharakisha
HARAMU, 1Pe 4:3 ibada haramu za sanamu
HARANI, Mwa 11:26-29, 31, 32; 27:43; Mdo 7:2.
HARIBIKA, Mwa 6:11 dunia ikaharibika
Isa 52:14 sura iliharibika sana
Ho 10:1 mzabibu unaoharibika
Ro 2:7 wanaotafuta kutoharibika
1Ko 9:25 taji lisiloharibika
1Ko 15:52 wasioweza kuharibika
1Ko 15:53 unaoweza kuharibika
Efe 6:24 Kristo katika kutokuharibika
1Ti 1:17 Mfalme, asiyeweza kuharibika
2Ti 1:10 ameangaza kutoweza kuharibika
2Ti 3:8 watu walioharibika kabisa akilini
Ebr 7:16 uzima usioweza kuharibika
1Pe 1:4 urithi usioharibika
1Pe 1:23 kupitia mbegu isiyoharibika
1Pe 3:4 vazi lisiloharibika la roho
1Ko 9:25; 15:42, 54; 2Ko 11:3; 1Ti 6:5; 1Pe 1:18, 23.
HARIBIWA, Da 2:44 ufalme hautaharibiwa
HARIBU, Eze 21:27 Nitaliharibu, nitaliharibu
1Ko 15:33 Mashirika mabaya huharibu
Tit 1:11 wanaendelea kuharibu nyumba
2Pe 2:1 madhehebu yenye kuharibu
Met 14:11; Isa 60:12; Eze 9:6; Ufu 19:2.
HAR-MAGEDONI, Ufu 16:16.
HARUFU, Mwa 8:21 Yehova akanusa harufu
2Ko 2:15 sisi ni harufu tamu
Efe 5:2 toleo la harufu tamu
HARUNI, Kut 28:1 Haruni awe kuhani
Kut 32:1 Haruni, tufanyie mungu
Ebr 5:4 Mungu anapomwita, Haruni
Kut 4:14; 24:1; Zb 99:6; 135:19; Mik 6:4.
HASARA, Kut 21:22 alipie hasara
Zb 35:12 Hasara kwa nafsi yangu
1Ko 3:15 atapata hasara
Flp 3:7 nimeviona kuwa hasara
HASI, Ga 5:12 wajihasi wenyewe
HASIRA, Zb 37:8 Acha hasira
Zb 103:8 Yehova si mwepesi wa hasira
Zb 110:5 atawavunja katika siku ya hasira
Met 14:29 mwepesi wa hasira, utambuzi
Met 24:19 Usiwakie hasira watenda-maovu
Isa 30:27 Jina la Yehova likiwaka kwa hasira
Isa 34:2 hasira juu ya mataifa
Sef 2:2 kabla haijawajilia hasira ya Yehova
Ayu 16:9; Zb 2:5; 37:1, 7, 8; 55:3; 79:5; Isa 41:11; 45:24; Ho 11:9; Sef 3:8; 2Ko 11:29; Kol 3:8; Ufu 14:10; 15:1.
HATARI, 1Ko 15:30 tumo hatarini kila saa?
2Ko 11:26 hatari kwa wanyang’anyi
Kum 28:35; Ayu 2:7; Eze 28:24; Lu 8:23; Mdo 19:27, 40; Ro 8:35.
HATARISHA, Ro 16:4 wamehatarisha shingo
HATI, Kol 2:14 kuifuta kabisa ile hati
HATI YA UNUNUZI, Yer 32:12, 16.
HATIA, Mwa 26:10 ungeleta hatia juu yetu!
Yos 2:17 Hatuna hatia na kiapo hiki
1Nya 21:3 sababu ya hatia kwa Israeli?”
2Nya 28:10 visa vya hatia juu ya Yehova
Zb 94:21 damu ya asiye na hatia
Yer 51:5 nchi imejawa na hatia
Ho 8:5 hali isiyo na hatia?
Ho 13:1 hatia kuhusu Baali
Mt 10:16 na hatia kama njiwa
Mt 27:24 sina hatia ya damu
Mdo 22:25 kuwa mwenye hatia
Ro 6:7 amekufa ameondolewa hatia
Ro 16:19 na hatia kuhusu maovu
1Ko 11:27 kikombe isivyofaa, hatia
Flp 2:15 wasio na hatia, watoto
Kut 23:7; Kum 19:10; Ezr 9:13; Zb 24:4; 68:21; Met 6:17; Isa 24:6; Eze 22:4; Zek 11:5.
HATIA YA DAMU, Zb 55:23 wenye hatia ya damu
Zb 59:2 Unikomboe na wenye hatia ya damu
HATUA, Zb 37:31 Hatua zake
Yer 10:23 kuongoza hatua yake
2Ko 10:2 kuchukua hatua za kijasiri
1Pe 2:21 mfuate hatua zake
HAWA, Mwa 3:20; 2Ko 11:3; 1Ti 2:13.
HAYA, 2Fa 2:17 mpaka akaona haya
2Fa 8:11 mpaka akaona haya
Ezr 9:6 naona haya kumwinulia Mungu uso
HAZINA, Ayu 23:12 Nimeyachukua kuwa hazina
Met 2:4 kuutafuta kama hazina
Isa 33:6 hazina yake
Mt 6:20 jiwekeeni hazina mbinguni
Mt 6:21 ilipo hazina yako
Mt 12:35 hutoa mema kutoka hazina
Mt 13:44 Ufalme kama hazina
2Ko 4:7 tuna hazina hii katika
Kol 2:3 Hazina zote za hekima
Met 10:2; Mt 19:21; Mk 12:41; Lu 21:1; Yoh 8:20; Ebr 11:26.
HEBERI, Mwa 46:17; Hes 26:45; Amu 4:11.
HEBRONI, 1Fa 2:11 katika Hebroni miaka saba
Mwa 23:2; Yos 10:36; Amu 1:20; 2Sa 2:1.
HEDHI, Law 12:2 uchafu wakati wa hedhi
Law 15:19 siku saba katika hedhi
Law 15:26 Kitanda cha uchafu wa hedhi
Law 18:19 usimkaribie wakati wa hedhi
Eze 36:17 kama uchafu wa hedhi
HEKALU, Zb 11:4 Yehova yumo katika hekalu
Yer 7:4 Hekalu la Yehova
Zek 6:12 atalijenga hekalu la Yehova
Mal 3:1 atakuja kwenye hekalu
Yoh 2:15 akawafukuza hekaluni
Yoh 2:19 Libomoeni hekalu hili
Mdo 17:24 hakai katika mahekalu
1Ko 3:16 ninyi ni hekalu la Mungu
2Ko 6:16 hekalu lina upatano gani na
Efe 2:21 jengo lote linakua liwe hekalu
2Th 2:4 huketi katika hekalu
Ufu 3:12 nguzo katika hekalu
Ufu 7:15 utumishi katika hekalu
Ufu 11:19 patakatifu pa hekalu
HEKIMA, Ne 9:20 roho yako kuwapa hekima
Zb 19:7 uzoefu awe na hekima
Zb 49:10 wenye hekima wanakufa
Zb 111:10 Kuogopa Yah ni hekima
Zb 119:98 hekima kuliko adui
Met 1:20 Hekima huendelea kulia
Met 2:7 hazina ya hekima
Met 3:7 hekima machoni pako
Met 4:7 Hekima ndilo jambo kuu
Met 8:11 hekima, bora kuliko marijani
Met 9:9 atazidi kuwa na hekima
Met 15:20 Mwana mwenye hekima
Met 27:11 Uwe na hekima, mwanangu
Met 30:24 vitu vinne vina hekima
Mhu 7:11 Hekima ni nzuri
Isa 29:14 hekima yao itaangamia
Yer 8:9 wana hekima gani?
Eze 28:17 Uliiharibu hekima yako
Da 1:17 maandishi na hekima yote
Da 2:21 akiwapa hekima wenye
Mt 11:19 hekima yenye uadilifu
Mt 11:25 umewaficha wenye hekima
Lu 16:8 ametenda kwa hekima
1Ko 1:25 hekima kuliko wanadamu
1Ko 2:5 si hekima ya wanadamu
1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu
2Ti 3:15 maandishi, kukupa hekima
Yak 1:5 ikiwa anakosa hekima
Yak 3:17 hekima kutoka juu
Kum 4:6; Ayu 35:11; Met 1:5; 3:13; 16:16; 24:3; 26:16; 29:15; Lu 16:8; Ro 1:22; 11:33; Efe 5:15.
HEKIMA INAYOTUMIKA, Met 2:7.
Met 3:21 Linda hekima inayotumika
Met 8:14 shauri na hekima inayotumika
Mik 6:9 hekima inayotumika ataogopa
Ayu 11:6; 12:16; Met 18:1; Lu 1:17.
HEKIMA YA MUNGU, Efe 3:10.
HELO. Ona GEHENA, KABURI.
HEMA, Zb 15:1 mgeni katika hema lako
Isa 54:2 Refusha kamba za hema
Isa 56:10 wanahema, wanalala
Yer 35:7 mkae katika mahema
Da 11:45 atasimamisha mahema
Ebr 9:11 hema kamilifu zaidi
Ufu 21:3 Hema la Mungu
Amu 5:24; Met 14:11; Isa 40:22; 2Ko 5:1; Ebr 8:2.
HERMONI, Zb 133:3 umande wa Hermoni
Kum 3:8; Yos 12:1; 13:5; Zb 89:12; Wim 4:8.
HERODE, Mt 2:1 siku za Herode mfalme
HESABIKA, Ebr 11:12 mchanga, usiohesabika
HESABIWA, Kut 30:12 kuhesabiwa kwao
Kut 38:21 vilivyohesabiwa vya maskani
Lu 22:37 alihesabiwa na waasi
Ro 4:5 inahesabiwa kuwa ni uadilifu
Ro 4:24 kwa ajili yetu ambao itahesabiwa
Ro 9:8 watoto wa ahadi huhesabiwa kuwa
1Ti 5:17 wazee wahesabiwe heshima
Yak 2:23 ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu
HESABU, 2Nya 2:17 hesabu ambayo Daudi
Zb 90:12 Utuonyeshe kuhesabu siku zetu
Zb 110:6 kichwa, nchi ya hesabu kubwa
Zb 147:4 Anahesabu nyota
Mt 5:21, 22 atatoa hesabu mahakamani
Ro 4:8 hatahesabu dhambi yake
Ro 6:11 jihesabuni kuwa wafu
Ro 9:28 Yehova atatoza hesabu
Ro 14:12 kila mmoja wetu atatoa hesabu
1Ko 13:5 Hauweki hesabu ya ubaya
2Ko 5:19 bila kuwahesabia makosa
1Th 5:9 Mungu alituhesabu, si kwenye
Ebr 4:13 tunatoa hesabu kwake
Ufu 7:4 hesabu, waliotiwa muhuri
Ufu 7:9 umati, hakuna aliyeweza kuuhesabu
Ufu 13:18 hesabu ya mnyama
Ayu 38:37; Ho 4:14; Zek 10:3; Lu 14:28; Ro 9:27; Ufu 5:11; 20:8.
HESABU KAMILI, Ro 11:12 hesabu kamili yao
HESHIMA, 1Sa 18:23 mwenye heshima ndogo?
2Sa 6:7 tendo lisilo la heshima
Isa 52:5 jina, lilivunjiwa heshima
Eze 35:12 mambo yako yasiyo ya heshima
Da 2:46 akampa Danieli heshima
Mdo 5:41 kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina
Ro 9:21 matumizi yasiyo na heshima?
Ro 12:10 kuonyesha heshima, kwanza
Ro 13:7 anayetaka heshima, heshima
2Ti 2:20 vyombo visivyo na heshima
Ebr 5:4 mtu huchukua heshima hii
Ebr 12:9 baba, tuliwapa heshima
Ebr 12:28 utumishi kwa woga na heshima
1Pe 3:2 pamoja na heshima kubwa
1Pe 3:15 tabia-pole na heshima
Ne 9:26; Ayu 4:6; 22:4; Yer 14:21; 22:18; Da 2:6, 37; Zek 6:13; Lu 18:2; 2Th 2:4; 1Ti 1:17; 6:16; Ebr 2:9; Ufu 4:11.
HESHIMIKA, Ro 9:21 matumizi ya kuheshimika
HESHIMIWA, 2Fa 5:1 Naamani, aliheshimiwa
Isa 9:15 kuzeeka, na kuheshimiwa
HESHIMU, Kut 20:12 Mheshimu baba na mama
Law 19:30 heshimu patakatifu pangu
1Sa 2:30 wanaoniheshimu nitawaheshimu
Met 3:9 Mheshimu Yehova kwa vitu
Isa 29:23 heshimu Mungu wa Israeli
Lu 2:25 kumheshimu Mungu
Lu 18:20 Mheshimu baba na mama
Mdo 8:2 kumheshimu Mungu
Mdo 22:12 kumheshimu Mungu
Ro 1:25 wakauheshimu mno uumbaji
Efe 5:33 mke kumheshimu mume
Efe 6:2 Mheshimu baba na mama
2Sa 12:14; Est 6:9; Mk 12:6; Mdo 2:5; Flp 2:29; 2Pe 2:11.
HEWA, Efe 2:2 mtawala wa mamlaka ya hewa
1Th 4:17 kukutana na Bwana hewani
Ayu 41:16; 1Ko 9:26; 14:9; Ufu 9:2.
HEZEKIA, 2Fa 19:1, 15; Isa 36:7; 38:2.
HIARI, 1Nya 29:17 nimetoa kwa hiari
Ezr 1:6 vilivyotolewa kwa hiari
Ezr 7:16 makuhani wanatoa kwa hiari
Zb 110:3 watajitoa kwa hiari
HIFADHI, Mwa 45:5 Mungu, alinituma kuhifadhi
Zb 79:11 uwahifadhi waliochaguliwa
Zb 80:18 Utuhifadhi hai, ili
Zb 119:50 maneno yamenihifadhi hai
Mhu 7:12 hekima huwahifadhi hai
Lu 17:33 ataihifadhi hai nafsi
Ayu 36:6; Zb 119:25, 107; Yer 49:11.
HILA, 1Sa 22:8 mmepanga hila, juu yangu
Est 8:3 hila ya Hamani
Zb 17:3 sijapanga hila
Zb 18:26 utakuwa mwenye hila
Zb 37:12 Mwovu anapangia hila mwadilifu
Zb 119:158 wanaotenda kwa hila
Met 2:22 wenye hila, watang’olewa
Met 3:32 mwenye hila ni chukizo
Met 4:24 jiepushe na hila ya midomo
Met 6:18 moyo unaotunga hila
Met 13:2 nafsi ya wanaotenda kwa hila
Met 16:28 Mtu mwenye hila
Met 21:18 anayetenda kwa hila huchukua
Isa 8:10 Pangeni hila, nayo itavunjwa
Isa 8:12 msiseme, Ni hila!
Isa 21:2 Mwenye kutenda kwa hila
Isa 33:1 Ole kwako unayetenda kwa hila
Yer 12:1 wanaofanya hila hawana
Hab 2:5 divai inatenda kwa hila
Sef 3:4 walikuwa watu wenye hila
Mal 2:16 msitende kwa hila
Mt 26:4 wamkamate Yesu kwa hila
Mk 14:1 kumkamata kwa hila, kumuua
Efe 6:11 kupinga hila za Ibilisi
1Fa 15:27; 2Fa 9:14; 10:9; 15:10; 21:23; Ne 4:8; Met 11:3; 15:26; Isa 24:16; Yer 5:11; 11:9; Eze 22:25; Da 11:24; Amo 7:10; Hab 1:13; Mal 2:14; Mt 26:4; Mdo 23:13; Ebr 7:26.
HILA YA SERIKALI, Mdo 7:19.
HIMENAYO, 1Ti 1:20 Himenayo, nimemtia
2Ti 2:17 Himenayo na Fileto
HIMILI, 1Ko 10:13 kupita mnavyoweza kuhimili
HIMIZA, Kut 12:33 Wamisri wakawahimiza
1Th 2:11 endelea kumhimiza kila mmoja
2Ti 4:2 himiza, kwa ustahimilivu
Tit 2:15 kuhimiza na kukaripia
Ebr 3:13 endeleeni kuhimizana
Yud 3 kuwahimiza mfanye pigano
Ro 12:8; 1Ko 16:15; 2Ko 2:8; Flp 4:2; 1Th 4:1; 5:14; Tit 1:9; Ebr 13:19.
HIMIZO, 1Ti 6:2 kutoa mahimizo haya
HINOMU, 2Nya 33:6 wanawe motoni, Hinomu
Yos 15:8; 2Fa 23:10; 2Nya 28:3; Ne 11:30; Yer 7:31; 19:2; 32:35.
HIRAMU, 1Fa 5:1, 10; 7:13, 45; 9:11; 10:11.
HISIA, Mk 16:8 walikuwa na hisia nyingi
Ro 11:7 hisia zao zilifanywa kuwa nzito
HISIA YA KUVUNJIKA MOYO, Kut 23:28; Kum 7:20; Yos 24:12.
HISOPO, Zb 51:7 Unitakase kwa hisopo
Law 14:6; Hes 19:6; Yoh 19:29; Ebr 9:19.
HISTORIA, Mwa 2:4; 5:1; 6:9; Mt 1:1.
HITAJI, Kum 15:8 mkopeshe kadiri anayohitaji
Mt 6:32 Baba anajua mnahitaji
1Ko 12:21 mkono: Sikuhitaji wewe
HOBABU, Hes 10:29; Amu 4:11.
HODARI, Kum 31:6 Iweni hodari na wenye
2Ko 5:6 sisi tuna uhodari mwingi
Flp 1:14 uhodari wa kulisema neno la Mungu
Hes 13:20; Yos 1:6, 7; 1Nya 19:13; 28:20; Ebr 13:6.
HODI, Mdo 12:13 Alipopiga hodi Roda
HOFU, Kut 15:16 hofu itaanguka juu yao
Yos 1:9 usiwe na hofu
1Sa 11:7 hofu ya Yehova ikawashika
1Sa 16:14 roho mbaya ikamtia hofu
2Nya 19:7 hofu ya Yehova iwe juu yenu
Zb 91:5 Hutaogopa kitu cha kutia hofu
Isa 2:21 hofu ya Yehova
Eze 3:9 usiingiwe na hofu
Da 2:31 sanamu, sura yake ilitia hofu
Mal 2:5 aliingiwa na hofu
Kum 28:66; Ayu 3:25; Isa 12:2; 24:17; 51:7; Yer 8:15; 10:2; 30:5; 49:5.
HOJA, Ayu 13:6 sikieni hoja zangu
Zb 38:14 kinywani mwangu hamkuwa na hoja
Isa 41:21 Toeni hoja zenu
Kol 2:4 mtu asiwadanganye kwa hoja
HOJI, Ayu 13:3 kuhojiana na Mungu.
Mik 6:2; Lu 23:14; Mdo 4:9; 22:29.
HOMA, Mt 8:15; Yoh 4:52; Mdo 28:8.
HOMA KALI, Kum 32:24; Hab 3:5.
HONGO, 1Sa 12:3 pesa za hongo
HOREBU, Kum 5:2 agano nasi katika Horebu
Kut 3:1; 17:6; Kum 9:8; 29:1; Zb 106:19.
HORI, Met 14:4 pasipo ng’ombe hori ni safi
HOTUBA, Mdo 15:32 hotuba nyingi
HUBIRI, Yer 50:2 Lihubirini kati ya mataifa
Mt 4:17 Yesu alianza kuhubiri
Mt 10:7 hubirini, mkisema
Mt 10:27 lihubirini juu ya paa
Lu 4:19 kuhubiri mwaka wa Yehova
Lu 8:1 mpaka kijiji, akihubiri
Mdo 10:42 alituagiza tuwahubirie watu
Ro 10:14 bila mtu wa kuhubiri?
Ro 10:15 watahubirije wasipotumwa?
1Ko 1:23 tunamhubiri Kristo aliye mtini
1Ko 2:4 niliyohubiri hayakuwa kushawishi
1Ko 15:14 Kristo hakufufuliwa, kuhubiri
2Ti 4:2 lihubiri neno, kwa bidii
Mt 3:1; 4:23; 9:35; Ro 15:19; Ga 2:2.
HUBIRIA, Mdo 28:31; 1Ko 9:27; 1Pe 3:19.
HUBIRIWA, Mt 24:14 ya ufalme itahubiriwa
1Ko 1:21 upumbavu wa linalohubiriwa
HUDHURIA, Mdo 2:46 wakihudhuria daima
HUDUMA, Mdo 20:24 kumaliza huduma
Ro 11:13 naitukuza huduma yangu
1Ko 12:5 huduma mbalimbali
2Ko 4:1 tuna huduma kulingana
2Ko 5:18 huduma ya upatanisho
2Ko 6:3 huduma isilaumiwe
Efe 4:12 kazi ya huduma
1Ti 1:12 kunigawia huduma
2Ti 4:5 timiza kikamili huduma
Mdo 21:19; Ro 12:7; 2Ko 8:4; 9:1; Kol 4:17.
HUDUMIA, Isa 56:6 wageni ili kumhudumia
1Ko 7:35 kumhudumia Bwana daima
Ebr 6:10 mmewahudumia watakatifu
1Pe 1:12 walikuwa wakiwahudumia
HUDUMU, 1Sa 2:18 Samweli akihudumu mbele
Mt 20:28 Mwana alikuja kuhudumu
1Ti 3:13 wanaume wanaohudumu
Ebr 1:14 malaika, walitumwa kuhudumu
Ebr 6:10 mnaendelea kuhudumu
HUKU NA HUKU, Yer 2:31.
Da 12:4 huku na huku, ujuzi
2Nya 16:9; Yer 5:1; Amo 8:12; Zek 4:10.
HUKUMIWA, Zb 9:19 Mataifa na yahukumiwe
Isa 26:12 utatuhukumia amani
Yoh 3:18 amehukumiwa tayari
Yoh 16:11 mtawala amehukumiwa
Ro 5:18 matokeo yalikuwa kuhukumiwa
Yak 5:6 Mmemhukumia hatia, mmemuua
Ufu 11:18 kuhukumiwa kwa wafu
HUKUMU, 1Nya 16:14 hukumu duniani pote
Zb 25:9 wapole watembee katika hukumu
Zb 119:108 unifundishe hukumu zako
Met 29:14 Mfalme anapohukumu
Mhu 8:11 hukumu juu ya kazi mbaya
Isa 2:4 hukumu kati ya mataifa
Isa 26:20 mpaka hukumu ipite
Isa 54:17 Silaha yoyote utaihukumu
Yoe 3:2 nitajiweka hukumumi na mataifa
Sef 2:3 mmetenda hukumu yake
Mt 12:41 Ninawi watasimama hukumuni
Mt 19:28 mkihukumu makabila 12
Mt 23:33 hukumu ya Gehena?
Lu 6:37 acheni kuhukumu
Lu 23:24 Pilato akatoa hukumu
Yoh 5:22 Baba hamhukumu mtu
Yoh 5:29 ufufuo wa hukumu
Yoh 12:48 Neno litamhukumu
Mdo 17:31 siku anayokusudia kuhukumu
Ro 2:1 unayehukumu una mazoea
Ro 8:3 aliihukumu dhambi katika mwili
Ro 11:33 hukumu hazichunguziki
Ro 14:4 umhukumu mtumishi
Ro 14:5 anahukumu siku kuwa juu
1Ko 5:13 Mungu ahukumu wa nje?
1Ko 6:2 watakatifu kuhukumu ulimwengu?
1Ko 11:29 anakunywa hukumu
2Ko 1:9 hukumu ya kifo
Kol 2:16 mtu asiwahukumu
2Th 1:5 hukumu ya uadilifu
1Ti 5:21 bila kuhukumu mapema
2Ti 4:1 Yesu, kuhukumu walio hai
Ebr 9:27 baada ya hilo ni hukumu
Ebr 10:27 tarajio la hukumu
Ebr 13:4 Mungu atahukumu wazinzi
Yak 2:13 ushindi juu ya hukumu
1Pe 1:17 Baba huhukumu bila ubaguzi
1Pe 4:17 hukumu kuanza na nyumba
2Pe 2:3 hukumu ya tangu zamani
2Pe 3:7 ile siku ya hukumu
1Yo 4:17 uhuru, siku ya hukumu
Ufu 19:2 hukumu zake ni kweli
Kut 7:4; 12:12; 18:26; Zb 9:8; 37:33; 58:11; 82:1; 89:14; 109:7, 31; Isa 1:17; 11:4; 26:9; 54:17; Yer 11:20; 25:31; Mik 3:11; Mt 12:37, 41, 42; 20:18; Yoh 3:17; 8:50; Mdo 24:25; 25:9; Ro 8:1, 34; 1Ko 11:32; 2Ko 3:9; Ebr 11:7; 1Yo 3:20; Yud 6.
HUKUMU YA KIFO, 2Ko 3:6.
HULDA, 2Fa 22:14 Hulda nabii, mke wa
HURU, Lu 4:18 kuachiliwa huru mateka
Yoh 8:32 kweli itawaweka huru
Ro 6:18 mliwekwa huru na dhambi
Ro 8:21 huru kutoka utumwa
Ro 8:21 uumbaji utawekwa huru
1Ko 7:22 aliye huru ni mtumwa wa Kristo
Ga 3:28 mtumwa wala mtu huru
Ga 4:26 Yerusalemu la juu ni huru
Ebr 2:15 awaweke huru waliotiishwa
Kut 21:2; Kum 15:1, 2; Zb 88:5; Isa 58:6; Ro 8:2; Efe 6:8; Kol 3:11.
HURUMA, Hes 22:29 umenitendea bila huruma
Isa 49:13 anaonyesha huruma watu
Yer 13:14 Sitaonyesha huruma
Yoe 2:18 Yehova atawaonea huruma watu
Ro 9:15 nitamwonyesha huruma ninayetaka
Ro 12:1 nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu
Flp 2:1 upendo mwororo na huruma
Kol 3:12 upendo mwororo wenye huruma
Mwa 43:14; 1Fa 8:50; Zb 40:11; Yer 15:5; Eze 7:9; Ho 13:14; Zek 11:5, 6.
HURUMIA, 2Ko 1:23 kuwahurumia ninyi, sijaja
HUSIANA, Ro 6:10 kuhusiana na Mungu
Ro 11:28 kuhusiana na kuchagua kwa
HUZUNI, 1Fa 20:43 mfalme akaenda, na huzuni
1Fa 21:27 Ahabu akatembea kwa huzuni
Zb 38:6 Nimetembea kwa huzuni
Met 17:25 mjinga ni huzuni kwa baba
Isa 35:10 huzuni itakimbia
Da 1:10 nyuso zenu zina huzuni
Yoh 16:20 huzuni yenu itawa shangwe
2Ko 2:1 nisije tena kwa huzuni
2Ko 7:10 huzuni kwa njia ya kimungu
1Th 4:13 ili msiwe na huzuni
Yak 4:9 shangwe yenu kuwa huzuni
Mwa 42:38; Zb 31:10; 109:16; Met 25:20; Isa 51:11; Yer 45:3; Flp 2:26; 1Th 5:14.
HUZUNIKA, Isa 19:8 wavuvi lazima wahuzunike
Eze 21:7 kila roho itahuzunika
HUZUNISHA, Eze 13:22 kuhuzunisha moyo wa
Efe 4:30 msiihuzunishe roho
Ebr 12:11 nidhamu, ni ya kuhuzunisha
1Pe 2:19 anavumilia yenye kuhuzunisha
HUZUNISHWA, Ro 14:15 ndugu anahuzunishwa
2Ko 7:9 mlihuzunishwa kimungu
I
IBA, Mwa 31:32 Raheli alikuwa ameiiba
Kut 20:15 Usiibe
Kut 22:1 mtu akiiba ng’ombe-dume
Law 19:11 Msiibe wala msidanganye
Met 9:17 Maji ya kuiba
Met 30:9 nisije nikaiba
Yer 23:30 wanaoyaiba maneno yangu
Mt 6:20 ambako hawavunji na kuiba
Kut 22:12; 2Sa 21:12; Mdo 19:37; Ro 2:22.
IBADA, Mdo 25:19 kuhusu ibada yao
Mdo 26:5 madhehebu ya ibada
Mdo 26:5 ibada, nikiwa Farisayo
Kol 2:18 ibada ya malaika
Yak 1:26 ibada yake ni ubatili
Yak 1:27 ibada iliyo safi
Kol 2:23 ibada ya kujitwika.
IBADA YA SANAMU, 1Ko 10:14.
Kol 3:5 kutamani, ibada ya sanamu
IBILISI, Yoh 8:44 baba yenu Ibilisi
Efe 4:27 msimpe Ibilisi nafasi
Efe 6:11 simama imara kumpinga Ibilisi
Ebr 2:14 amwangamize Ibilisi
Yak 4:7 mpingeni Ibilisi, atawakimbia
1Pe 5:8 Adui, Ibilisi, kama simba
1Yo 3:8 Ibilisi, dhambi tangu mwanzo
1Yo 3:8 azivunje kazi za Ibilisi
Ufu 12:12 Ole, Ibilisi ameshuka kwenu
Ufu 20:2 Ibilisi na Shetani, akamfunga
Mt 4:1, 8; 25:41; Yoh 13:2; Yud 9.
IGA, 2Th 3:7 mnapaswa kutuiga
2Th 3:9 kielelezo, mtuige sisi
Ebr 13:7 igeni imani yao
IMANI, Mwa 15:6 akawa na imani katika Yehova
Zb 78:22 hawakuwa na imani katika Mungu
Met 14:14 Asiye na imani moyoni
Mt 13:58 ukosefu wao wa imani
Mk 6:6 ukosefu wao wa imani
Lu 18:8 ataipata imani duniani?
Ro 3:3 ukosefu wao wa imani
Ro 4:13 kupitia uadilifu kwa imani
Ro 4:20 kusita kwa kukosa imani
Ro 10:9 ukionyesha imani moyoni
Ro 11:20 ukosefu wa imani, yalikatwa
Ro 14:23 kisichotokana na imani ni dhambi
Ga 3:8 waadilifu kwa imani
Ga 3:11 mwadilifu ataishi kwa imani
Ga 6:10 katika imani ni jamaa zetu
Efe 4:5 Bwana mmoja, imani moja
Flp 1:29 si imani tu, bali mteseke
2Th 3:2 imani si mali ya wote
1Ti 1:13 nilitenda kwa kukosa imani
1Ti 6:12 pigano zuri la imani
2Ti 4:7 Nimepigana, nimeshika imani
Ebr 3:19 hawakuingia kwa kukosa imani
Ebr 11:1 Imani ni tarajio
Ebr 11:6 bila imani haiwezekani
Ebr 12:2 Mkamilishaji wa imani yetu
Yak 2:26 imani bila matendo imekufa
1Pe 1:7 sifa iliyojaribiwa ya imani
1Pe 5:9 imara katika imani
1Yo 5:4 imani, imeshinda ulimwengu
Ro 4:3; 11:23; 2Ko 5:7; Efe 6:16; 1Ti 1:13; 4:1; Ebr 3:19.
IMANUELI, Isa 7:14; 8:8; Mt 1:23.
IMARA, 1Fa 8:49 makao yako imara
Zb 78:37 moyo wao haukuwa imara
Zb 93:2 Kiti cha ufalme, imara
Isa 2:2 nyumba, itawekwa imara
1Ko 15:58 iweni imara, thabiti
1Th 3:13 mioyo yenu kuwa imara
2Ti 2:19 msingi imara wa Mungu
Ebr 3:6 shika tumaini imara
Ebr 6:19 Tumaini, hakika na imara
Yak 1:8 mtu asiye imara
1Pe 5:9 mkiwa imara katika imani
2Pe 3:5 dunia ikisimama imara
Zb 89:14; 96:10; 119:90; Met 3:19; Isa 9:7; 28:16.
IMARISHA, Zb 7:9 umwimarishe mwadilifu
Ro 3:31 sisi tunaiimarisha sheria
IMARISHWA, Kol 2:7 kuimarishwa katika imani
IMBA, Zb 96:1 Mwimbieni Yehova
Zb 144:9 Ee Mungu, nitakuimbia
Isa 5:1 acha nimwimbie mpenzi
Isa 42:10 Mwimbieni Yehova wimbo
Mt 26:30 baada ya kuimba, wakatoka
1Ko 14:15 Nitaimba sifa
Efe 5:19 mkiimba na kupiga muziki
Kol 3:16 mkimwimbia Yehova
Kut 15:1; 1Nya 16:9; Zb 68:4; Yer 20:13; Eze 26:13; Sef 2:14; Ufu 14:3.
INAMA, Kum 30:17 kuinamia miungu mingine
2Nya 7:3 wakainama kifudifudi mara moja
Zb 62:3 kama ukuta unaoinama
Zb 138:2 Nitainama kuelekea hekalu takatifu
Isa 2:8 Wao huinamia kazi ya mikono ya mtu
Kut 20:5; Zb 66:4; Isa 27:13; 31:4; Zek 14:16.
INATOSHA, Met 30:15 havijasema: Inatosha!
INGIA, Isa 26:2 taifa la uadilifu liingie
Mt 25:21 Ingia shangwe ya bwana
Mdo 14:22 tuingie ufalme kupitia
Met 4:14; 18:6; 23:10; Mt 19:17; Ro 5:12; Ebr 4:6, 10; 9:12, 24.
INGILIA, 1Th 4:6 yeyote asiingilie haki
INGILIA KATI, Zb 106:30 Finehasi akaingilia kati
Isa 53:12 aliingilia kati kwa ajili
Isa 59:16 hapakuwa anayeingilia kati
INGIZWA, 2Nya 20:34 yaliyoingizwa Kitabuni
INI, Kut 29:13; Met 7:23; Eze 21:21.
INUA, 1Sa 2:7 Yehova ni Mwenye Kuinua
1Sa 2:10 ainue pembe ya mtiwa-mafuta
Met 14:29 anainua upumbavu
Met 14:34 Uadilifu huinua taifa
Isa 14:13 Nitakiinua kiti cha ufalme
Da 6:3 mfalme alikusudia kumwinua
Da 11:36 atajiinua juu ya kila mungu
Mt 23:12 anayejiinua atanyenyekezwa
Mdo 5:31 Mungu alimwinua awe Wakili
1Pe 5:6 ili awainue wakati unaofaa
Zb 37:34; 41:9; Mt 11:23; 23:12; Mdo 2:33; Efe 2:6.
INUKA, Lu 16:15 kilichoinuka kati ya wanadamu
INULIWA, Mwa 4:7 je, hutainuliwa?
Isa 2:2 utainuliwa juu ya vilima
Isa 26:5 mji ulioinuliwa
Yak 1:9 ndugu afurahie kuinuliwa
ISAKA, Mwa 17:19 utamwita jina Isaka
Ro 9:7 uzao kupitia Isaka
Mwa 22:9; Mt 8:11; Ebr 11:17, 20.
ISAKARI, Mwa 30:18; Amu 5:15; Ufu 7:7.
ISAYA, Isa 1:1; Mt 15:7; Ro 15:12.
ISHA, Omb 3:22 fadhili za Yehova, hatujaisha
ISHARA, Kut 8:23 Kesho ishara hii itatokea
Kum 6:8 uyafunge kama ishara
Kum 6:22 akaendelea kuweka ishara
Isa 7:14 atawapa ishara: Mwanamwali
Isa 8:18 Mimi na watoto ni kama ishara
Isa 11:10 ishara kwa vikundi vya watu
Isa 19:20 ni ishara na shahidi
Isa 62:10 Inueni ishara kwa ajili ya watu
Yer 4:6 ishara kuelekea Sayuni
Yer 50:2 mwinue ishara; mlitangaze
Da 4:3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake
Zek 3:8 wanaotumika kuwa ishara
Mt 16:3 ishara za nyakati hamwezi
Mt 24:3 ni nini ishara ya kuwapo?
Lu 11:29 hakuna ishara kitakayopewa
Lu 21:25 kutakuwa na ishara katika jua
Lu 23:8 alikuwa akitumaini kuona ishara
Yoh 7:31 hatafanya ishara zaidi ya
Mdo 2:19 nitatoa ishara duniani chini
1Ko 11:10 mwanamke kuwa na ishara
Flp 1:28 ishara inatoka kwa Mungu
Ufu 12:1 ishara kubwa mbinguni
Ufu 15:1 ishara nyingine mbinguni
Mwa 1:14; Hes 21:8; Isa 5:26; 13:2; 18:3; 31:9; 44:25; 49:22; Yer 4:21; 51:12, 27; Eze 12:11; 24:24, 27; Mt 12:39; Yoh 11:47; 20:30; Mdo 4:16; 8:13; 1Ko 1:22; 2Th 2:9; Ebr 12:27; Ufu 16:14.
ISHARA ZA BAHATI, Mwa 30:27; 44:5; Kum 18:10;
ISHI, Kum 19:4 muuaji ambaye ataishi
Ayu 14:14 akifa, anaweza kuishi tena?
Mt 4:4 Mwanadamu ataishi, si
Yoh 6:51 akila mkate ataishi milele
Ro 1:17 mwadilifu ataishi kwa imani
Ro 6:10 anaishi kuhusiana na Mungu
Ro 10:5 wa Sheria ataishi kwa huo
Ro 14:7 anayeishi kwa ajili yake
Ufu 15:7 Mungu, anayeishi milele
Mwa 3:22; Kut 33:20; 2Sa 21:5; Eze 18:32; Ro 8:13.
ISHIWA, Ayu 3:17 walioishiwa nguvu
ISHMAELI, Mwa 16:11; 25:9; 28:9; Yer 41:6.
ISIVYOFAA, 1Ko 11:27 kukinywa isivyofaa
ISKARIOTE, Mt 10:4; 26:14; Yoh 6:71.
ISRAELI, Mwa 35:10 bali utaitwa Israeli
Kut 4:22 Israeli ni mwanangu
1Nya 17:21 taifa, kama Israeli
Ho 1:10 Israeli kama mchanga
Ro 9:6 Israeli ni Israeli kikweli
Efe 2:12 mmetengwa na Israeli
Mwa 32:28; Zb 135:4; Isa 8:14; 10:20; Eze 36:22; Mdo 13:23; Ebr 8:10.
ITA, Isa 55:6 Mwiteni akiwa bado yupo
Isa 65:24 kabla hawajaita mimi nitajibu
Yer 16:16 nitawaita wawindaji wengi
Ro 8:30 aliowaagiza kimbele aliwaita
2Ti 1:9 alituita kwa mwito mtakatifu
1Pe 2:9 aliyewaita ninyi kutoka gizani kuingia
Mwa 2:19; 4:26; Isa 54:5; 58:1; 60:14, 18; 62:2; 65:15; 1Th 4:7; 1Pe 2:21.
ITALIA, Ebr 13:24 walio Italia
ITIA, Zb 145:18 karibu na wanaomwitia
Mdo 2:21 kila mtu atakayeliitia jina la Yehova
Ga 5:13 mliitiwa uhuru
Yoe 2:32; Mdo 22:16; Ro 10:13.
ITIKIA, Met 1:28 Wataniita, lakini sitaitikia
ITWA, Ro 7:3 ataitwa mzinzi
Ro 9:26 wataitwa wana wa Mungu aliye hai
1Ko 1:9 mliitwa katika ushirika na Kristo
1Ko 1:26 si wengi wenye hekima walioitwa
Efe 4:4 mlivyoitwa katika tumaini moja
1Yo 3:1 tuitwe watoto wa Mungu
Ufu 17:14 wale walioitwa na waliochaguliwa
J
JAA, Hab 2:14 dunia itajawa na kuujua
Mwa 1:20; 6:11; Ayu 10:15; 14:1.
JALI, 1Sa 12:25 kufanya mabaya bila kujali
Met 29:19 anaelewa lakini hajali
Isa 32:9 Enyi binti wasiojali
Mt 22:5 wakaenda zao bila kujali
JAMBO, Kum 19:15 jambo litathibitishwa
Met 18:13 anapojibu jambo bila kusikia
Mhu 3:1 wakati wa kila jambo
1Ko 16:14 Mambo yatendeke kwa upendo
Ga 1:11 si jambo la kibinadamu
Kum 17:8; Est 3:4; Met 11:13; Mhu 10:20; Mdo 15:6.
JAMII, 1Pe 2:9 jamii iliyochaguliwa, taifa
JAMII ILIYOCHANGAMANA, Kut 12:38; Ne 13:3.
JANGWA, Isa 35:1 jangwa litashangilia
Isa 51:3 jangwani kama bustani
Ebr 11:38 Walitembea katika majangwa
Isa 35:6; 41:19; 43:19; Yer 50:12; Lu 1:80.
JANI, Ufu 22:2 majani ya kuponya
JARIBIWA, Ayu 34:36 Ayubu na ajaribiwe
Isa 28:16 jiwe lililojaribiwa
Ga 6:1 ili usije ukajaribiwa
Ebr 4:15 amejaribiwa katika mambo
Ebr 11:37 Walipigwa, walijaribiwa
Ufu 2:10 ili mjaribiwe kwa ukamili
JARIBU, Kum 13:3 Yehova Mungu anawajaribu
2Nya 9:1 malkia akaja kumjaribu
Ayu 23:10 Baada ya yeye kunijaribu
Zb 26:2 Unichunguze na kunijaribu
Isa 7:12 sitamjaribu Yehova
Zek 13:9 na kuwajaribu kama dhahabu
Mal 3:10 mnijaribu kwa njia hii
Mal 3:15 wamemjaribu Mungu
Mt 4:7 Usimjaribu Yehova
Mt 6:13 usituingize katika jaribu
Mt 26:41 msiingie katika jaribu
Lu 4:13 akiisha kumaliza majaribu
Lu 8:13 wakati wa jaribu
1Ko 7:5 Shetani asiendelee kuwajaribu
1Ko 10:9 Wala tusimjaribu Yehova
1Ko 10:13 Hakuna jaribu ambalo
2Ko 13:5 Endeleeni kujijaribu
1Ti 6:9 huanguka katika majaribu
Ebr 11:36 walipata jaribu kwa dhihaka
Yak 1:12 anayeendelea kuvumilia jaribu
Yak 1:13 Mtu akiwa chini ya jaribu
Yak 1:13 asiseme: Mungu ananijaribu
1Pe 4:12 unaowapata ili kuwa jaribu
2Pe 2:9 kuwakomboa kutoka jaribu
Ufu 3:10 saa ya jaribu
Lu 22:28; Mdo 5:9; Ga 4:14; Yak 1:2; 1Yo 4:1.
JASHO, Mwa 3:19 Kwa jasho la uso wako
JAZA, Mwa 1:28 mjaze dunia na kuitiisha
Mwa 9:1 zaeni, mjaze dunia
Zb 24:1 Dunia na vinavyoijaza
Zb 65:10 Mitaro yake inajazwa maji
Zb 96:11 Bahari na vinavyoijaza
Da 2:35 jiwe likaijaza dunia
Hag 2:7 nitaijaza nyumba hii utukufu
Efe 5:18 kujazwa na roho
1Fa 8:11; Zb 81:10; Isa 27:6; 43:24; Yer 51:14; Omb 3:15; Mt 23:32; Mdo 4:31; Kol 1:9.
JAZA MKONO NGUVU, Kut 28:41; 29:33, 35; Amu 17:5.
JAZANA, Amu 7:12 wamejazana katika nchi
JEHANAMU. Ona GEHENA, KABURI.
JELA, Mt 11:2; Mdo 5:21; 16:26.
JEMA, Ro 7:19 jema ninalotaka silifanyi
JEMBAMBA, Isa 40:15 vumbi jembamba
Mt 7:14 lango ni jembamba
JEMBE, Isa 2:4 panga ziwe majembe
Yoe 3:10 majembe yenu yawe panga
Lu 9:62 mkono wake kwenye jembe
JENGA, Zb 102:16 Yehova atajenga Sayuni
Zb 127:1 Yehova asipoijenga nyumba
Isa 65:22 Hawatajenga na mtu mwingine akae
Yer 1:10 kuangusha, ili kujenga na kupanda
Mik 3:10 mnaojenga Sayuni kwa damu
Mt 7:24 aliyejenga nyumba juu ya mwamba
Mt 16:18 juu ya mwamba huu nitajenga
Lu 17:28 walikuwa wakijenga
1Ko 3:10 kuangalia jinsi anavyojenga juu yake
1Ko 8:1 upendo hujenga
1Ko 10:23 si mambo yote yanayojenga
1Ko 14:3 anayetoa unabii huwajenga
1Ko 14:4 anayesema kwa lugha hujijenga
1Ko 14:26 kwa ajili ya kujenga
Efe 4:29 neno jema kwa ajili ya kujenga
Kol 2:7 mmetia mizizi na kujengwa katika
Ebr 3:3 anayejenga ana heshima kuliko
Ebr 3:4 aliyevijenga vitu vyote
1Fa 6:2, 38; 1Nya 28:6; Ezr 4:4; Met 24:3; Mhu 3:3; Mdo 7:49; 20:32; 1Ko 3:14; 14:12; 2Ko 12:19; Efe 2:22; Yud 20.
JENGA UPYA, Ezr 6:8 kujengwa upya nyumba
JENGANA, Ro 14:19 ni ya kujengana
JENGO, Amo 9:6 anayejenga jengo lake
1Ko 3:9 Ninyi ni jengo la Mungu
Efe 2:21 jengo lote likiunganishwa
JENGWA, Yoh 2:20 Hekalu lilijengwa miaka 46
Ro 15:2 kwa ajili ya kujengwa kwake
Efe 2:20 mmejengwa juu ya msingi wa
JERAHA, Isa 30:26 kuliponya jeraha kali
Isa 53:5 majeraha yake tumeponywa
Met 23:29; Isa 1:6; Eze 26:15; 30:24.
JERUHI, Kum 32:39 Nimejeruhi vikali
JESHI, Mwa 2:1 na jeshi lake lote zikamalizika
Zb 110:3 kwa hiari, siku ya jeshi
Isa 34:2 Yehova ana ghadhabu juu ya jeshi lao
Yer 28:2 Yehova wa majeshi amesema hivi
Yer 33:22 jeshi la mbinguni lisivyoweza
Zek 4:6 Si kwa jeshi, bali kwa roho
Lu 21:20 Yerusalemu limezingirwa na majeshi
Ro 9:29 Yehova wa majeshi ametuachia uzao
Yak 5:4 masikioni mwa Yehova wa majeshi
Ufu 19:14 majeshi yaliyokuwa mbinguni
Kum 24:5; 1Sa 17:45; 2Fa 17:16; Eze 37:10; 38:4, 15; Da 4:35; 8:10; Yoe 2:11, 25; Mt 22:7; Ebr 11:34; Ufu 9:16.
JEUPE, Ufu 2:17 nitampa jiwe jeupe
JEURI, Zb 73:6 Jeuri huwafunika kama vazi
Isa 53:9 hakuwa amefanya jeuri
Isa 60:18 Jeuri haitasikiwa nchini
Eze 7:23 jiji limejaa jeuri
Eze 28:16 walikujaza jeuri
Mwa 6:11; Zb 11:5; Sef 1:9; Mal 2:16.
JIACHILIA, Kut 32:25; Met 29:18.
JIANGALIE, 1Ti 4:16 Jiangalie wewe na fundisho
JIANGALIENI, Mdo 20:28 Jiangalieni, na kundi
JIBU, Met 15:28 mwadilifu hutafakari ili kujibu
Met 18:13 anapojibu kabla ya kusikia
Mhu 10:19 pesa hutokeza jibu
Isa 65:24 kabla hawajaita mimi nitajibu
Ro 10:21 wanaojibu kwa ujeuri
Ayu 14:15; Isa 58:9; Yer 33:3; Kol 4:6.
JICHO, Ayu 42:5 jicho langu linakuona
1Ko 2:9 Jicho halijaona na sikio
1Ko 15:52 na kufumbua jicho
Ufu 1:7 kila jicho litamwona
JICHO KWA JICHO, Kum 19:21; Mt 5:38.
JIENDESHA, 1Ko 7:36 anajiendesha isivyofaa
JIEPUSHA, 2Ti 2:21 akijiepusha na wa mwisho
JIFICHA, Met 26:24 mwenye chuki hujificha
JIFUNZA, Kum 31:12 wasikie ili wajifunze
Met 9:9 atazidi kujifunza
Isa 2:4 hawatajifunza vita tena
Mik 4:3 hawatajifunza vita tena
Yoh 7:15 hajajifunza shuleni?
Ro 16:17 fundisho ambalo mmejifunza
1Ko 14:35 kujifunza, waulize waume
Flp 4:9 Mambo mliyojifunza
1Ti 5:13 hujifunza kukosa kazi
2Ti 3:7 wakijifunza sikuzote
Ebr 5:8 alijifunza kutii
Kum 4:10; Zb 119:73; Met 30:3; Yoh 6:45; 1Ko 14:31; Flp 4:11, 12; 1Ti 2:11; 2Ti 3:14.
JIFUNZA KIKAMILI, Ufu 14:3.
JIFURAHISHA, Met 21:17.
Lu 16:19 akijifurahisha kila siku
Kut 32:6; Lu 12:19; Mdo 7:41; Ufu 11:10.
JIGAMBA, Zb 10:4 Kwa sababu ya kujigamba
Met 21:24 mwenye kujigamba na
Isa 29:20 mwenye kujigamba atakwisha
Yer 9:24 yule anayejigamba na ajigambe
1Ko 13:4 Upendo haujigambi
Yak 3:5 ulimi hujigamba kwa njia kubwa
JIGEUZA, 2Ko 11:14 Shetani hujigeuza
JIHADHARI, Mt 10:17 Jihadharini na watu
JIHUSISHA, 2Ti 2:4 hajihusishi na biashara
JIINGIZA, Met 14:10 mgeni hatajiingiza
2Th 3:11 wanajiingiza katika mambo
1Ti 5:13 kujiingiza katika mambo ya
1Pe 4:15 kujiingiza katika mambo
2Pe 2:20 wanajiingiza tena
JIJI, Hes 35:6 majiji sita ya makimbilio
Isa 6:11 mpaka majiji yawe bila mkaaji
Isa 54:3 watakaa katika majiji yaliyoachwa
Mt 5:14 Jiji haliwezi kufichwa likiwa mlimani
Ebr 11:10 jiji lililo na misingi ya kweli
Ebr 11:16 ametayarisha jiji kwa ajili yao
Ufu 21:2 jiji takatifu, Yerusalemu Jipya
Mwa 11:4; Eze 9:4; Lu 4:43; 19:17; Ufu 16:19.
JIJI LA MAKIMBILIO, Hes 35:25; Yos 21:13, 21.
JIKAZA, Ro 15:30 mjikaze nami katika sala
JIKO LA MAKAA, Yer 36:22.
JIKUNJA, Omb 3:16 nijikunje katika majivu
JIKWAA, Isa 8:14 mwamba wa kujikwaa
Yer 20:11 wanaonitesa watajikwaa
Ro 14:13 sababu ya kujikwaa
Met 4:12; Isa 8:15; 59:10; Ro 11:11, 12; Ga 6:1; Yak 3:2.
JINA, Kut 3:15 Yehova, ndilo jina langu
Kut 6:3 kuhusu jina langu Yehova
Kut 9:16 jina langu litangazwe duniani
Kut 20:7 Usilitumie jina isivyofaa
Met 10:7 jina la waovu litaoza
Met 18:10 Jina la Yehova ni mnara
Met 22:1 jina kuliko dhahabu
Mhu 7:1 Jina ni bora kuliko mafuta
Isa 12:4 Liitieni jina lake
Isa 26:14 kuharibu majina yao
Isa 62:2 utaitwa kwa jina jipya
Eze 36:22 jina langu takatifu
Mt 6:9 jina lako litakaswe
Mt 12:21 mataifa yatalitumaini jina
Mt 24:9 mtachukiwa, sababu ya jina
Lu 21:12 kwa ajili ya jina langu
Yoh 14:14 Mkiomba katika jina langu
Yoh 17:26 nimewajulisha jina lako
Mdo 4:12 hakuna jina lingine
Mdo 15:14 watu kwa ajili ya jina lake
Ro 10:13 anayeliitia jina la Yehova
Efe 3:15 kila familia hupata jina
Flp 2:9 jina lililo juu ya kila jina
Ufu 2:3 umehimili kwa jina langu
JINA LA CHEO, Ayu 32:21.
JINYENYEKEZA, Flp 2:8 Kristo alijinyenyekeza
Yak 4:10 Jinyenyekezeni machoni pa
1Pe 5:6 jinyenyekezeni chini ya
1Fa 21:29; 2Fa 22:19; 2Nya 7:14; 12:6; Mt 18:4; Mt 23:12.
JINYONGA, Mt 27:5 [Yuda] akajinyonga
JIPANGA, 1Sa 4:2 Wafilisti wakajipanga
JIPANGA KIVITA, Amu 20:20.
JIPU, Kut 9:11 Wamisri, wamepata majipu
Ayu 2:7 Ayubu kwa majipu
JIPYA, Mhu 1:9 hakuna jipya chini ya jua
JIRANI, Met 27:10 Jirani wa karibu ni afadhali
Lu 10:27 mpende jirani kama wewe
JITAHIDI, Lu 13:24 Jitahidini sana
Efe 4:3 mkijitahidi sana kuushika
JITAYARISHA, Amo 4:12; 1Ko 14:8.
JITENGA, Met 18:1 anayejitenga na wengine
JITETEA, Ro 1:20 sababu ya kujitetea
Ro 2:1 sababu ya kujitetea, Ee
JITIA, 2Pe 2:7 kujitia mwenendo mpotovu
JITIHADA, Mhu 2:22 jitihada za moyo wake
JITIISHA, Kut 10:3 kukataa kujitiisha
Ro 10:3 hawakujitiisha kwa uadilifu
Ro 13:1 Kila nafsi ijitiishe kwa mamlaka
2Ko 9:13 mnajitiisha kwenye habari njema
Efe 5:22 Wake wajitiishe kwa waume
Efe 5:24 kutaniko linavyojitiisha
Kol 3:18 Enyi wake, jitiisheni
Tit 2:5 wakijitiisha kwa waume zao
1Pe 2:13 jitiisheni kwa kila kitu
1Pe 3:1 ninyi wake, jitiisheni
1Pe 5:5 jitiisheni kwa wanaume wazee
Lu 2:51; 1Ko 14:34; Kol 2:20; 1Ti 3:4; Tit 3:1; Ebr 12:9.
JITOLEA, Amu 5:9 Moyo uko na waliojitolea
2Nya 17:16 Amasia mwenye kujitolea
Ne 11:2 waliojitolea kukaa Yerusalemu
JITU. Ona WANEFILI.
JIVUNA, Zb 94:4 wanajivuna wenyewe
Da 8:4, 8; 1Ko 4:6; 5:2; 13:4.
JIVUNA SANA, Zb 55:12 aliyejivuna sana dhidi
Da 8:25 atajivuna sana na kuharibu
Zb 35:26; 38:16; Yer 48:26; Omb 1:9; Da 8:4.
JIVUNIA, 2Th 1:4 tunajivunia ninyi
Yak 4:16 mnajivunia kujigamba
JIWE, Zb 91:12 usiugonge mguu juu ya jiwe
Isa 60:17 badala ya mawe, chuma
Isa 62:10 Ondoeni mawe
Da 2:34 jiwe likakatwa
Mt 21:42 Jiwe ambalo wajenzi
Lu 19:40 mawe yangepaaza sauti
Ro 9:32 Walijikwaa juu ya jiwe
1Pe 2:6 Ninaweka katika Sayuni jiwe
JIWE GUMU, Zek 7:12 mioyo kama jiwe gumu
JIWE LA JUU, Zek 4:7.
JIWE LA KABURI, 2Fa 23:17.
JIWE LA KUSAGIA, Amu 9:53; Ayu 41:24; Lu 17:2;
JIWE LA MVIRINGO, Ufu 2:17.
JIWE LA PEMBENI, Ayu 38:6; Zb 118:22; Isa 28:16; Mt 21:42; Mk 12:10; Mdo 4:11; Efe 2:20; 1Pe 2:6, 7.
JIZOEZA, 1Ti 4:7 ukijizoeza ujitoaji-kimungu
JOGOO, Mt 26:34 kabla ya jogoo kuwika
JOKA, Ufu 12:4 joka mkubwa, ammeze mtoto
Ufu 12:17 joka akawa na ghadhabu
Ufu 12:3, 7, 9; 13:2; 16:13; 20:2.
JOTO, Zb 19:6; Isa 49:10; Mt 20:12; Ufu 7:16.
JUA 1., Yos 10:12 Ewe jua, simama tuli
Isa 49:10 jua halitawaunguza
Isa 60:19 kwako jua halitakuwa
Mal 4:2 jua la uadilifu litaangaza
Mt 13:43 waadilifu watang’aa kama jua
Mdo 2:20 jua litageuzwa kuwa giza
Zb 89:36; Mhu 1:9; Lu 21:25; Ufu 7:16.
JUA 2., 2Ko 2:11 kuzijua mbinu zake
1Th 4:13 hatutaki mkose kujua
2Pe 2:12 mambo ambayo hawajui
Ebr 5:2 kiasi wale wasiojua
JUHUDI, Mdo 18:28 kwa juhudi alithibitisha
JUKWAA, Ne 8:4 jukwaa la mbao
JULIKANA, Mt 10:26; 1Ko 13:12; 2Ko 6:9; Ga 1:22.
JULISHA, Ga 1:11 nawajulisha, ndugu
JUMA, Kut 34:22 sherehe yako ya majuma
Da 9:24 Kuna majuma 70 ambayo
Da 9:27 katika nusu ya juma hilo
Mwa 29:27, 28; Kum 16:9, 10, 16; Da 9:25, 26.
JUMBA, Mdo 19:9 jumba la shule ya Tirano
JUMBA LA GAVANA, Mt 27:27; Yoh 18:28.
JUMBA LA MAONYESHO, Mdo 19:29; Ebr 10:33.
JUMLA, Mhu 7:27 kujua jumla yake
JUTA, Mwa 6:6 Yehova akajuta
Kut 32:14 Yehova akajuta
Amu 21:6 Israeli wakajuta
Zb 110:4 Yehova hatajuta
Isa 66:2 anayeteseka na kujuta rohoni
Yer 26:13 Yehova ataujuta msiba
Zek 1:17 Yehova atajutia Sayuni
Mt 27:3 Yuda, akajuta
Hes 23:19; Amu 2:18; Zb 106:45; Yer 18:10; Yon 3:10; Zek 8:14; Ro 11:29; Ebr 7:21.
JUU, Isa 2:11 Yehova atainuliwa juu
Flp 2:9 cheo cha juu zaidi
Flp 3:14 mwito wa kwenda juu
1Ti 2:2 walio katika cheo cha juu
JUU YA WOTE, Ro 9:5 Mungu, aliye juu ya wote
JUUJUU, 2Ko 10:7 na thamani yake ya juujuu
K
KAA, Kut 12:48 mkaaji mgeni anakaa
Law 25:45 wahamiaji wanaokaa wakiwa
Hes 35:34 msinajisi nchi ambamo mnakaa
Amu 5:17 Dani, kwa nini kukaa melini?
Amu 17:8 akae kwa muda popote
Zb 27:4 nikae katika nyumba ya Yehova
Zb 133:1 Ndugu kukaa kwa umoja!
Isa 40:22 anayekaa, mviringo wa dunia
Isa 52:4 Watu walienda Misri kukaa
Isa 54:3 watakaa majiji yaliyo ukiwa
Isa 65:21 watajenga na kukaa ndani
Mk 5:3 akikaa kati ya makaburi
Yoh 3:36 ghadhabu ya Mungu hukaa
Yoh 8:31 Mkikaa katika neno
Ro 7:20 dhambi inayokaa ndani yangu
1Ko 3:16 roho, inakaa ndani yenu?
Efe 2:22 Mungu kukaa kwa roho
Efe 6:3 ukae muda mrefu duniani
Flp 1:25 nitakaa pamoja na ninyi
1Ti 4:16 Kaa katika mambo haya
Ebr 11:9 alikaa kama mgeni katika nchi
Mwa 12:10; 26:3; 47:4; Hes 9:14; Zb 61:7; 68:16; Met 21:9, 19; Isa 23:7; 32:18; Yer 42:17; Eze 47:22; Yoh 15:4; 2Yo 9.
KAA KWA MUDA, Mdo 17:21.
KAA MACHO, 1Th 5:6 tukae macho na kutunza
Ufu 16:15 Mwenye furaha, anayekaa macho
KAAKAA, Zb 137:6 Ulimi ushikamane na kaakaa
KABIDHI, Lu 16:11 nani atakayewakabidhi
2Ko 5:19 alitukabidhi lile neno
1Th 2:4 kukabidhiwa habari njema
2Ti 2:2 mambo hayo uwakabidhi watu
1Pe 4:19 kuzikabidhi nafsi zao
Met 16:3; Ro 3:2; 1Ko 9:17; Ga 2:7; Tit 1:3.
KABIDHIWA, Yud 3 imani waliyokabidhiwa
KABILA, Mwa 49:28 makabila kumi na mawili
Zb 122:4 Makabila ya Yah
Isa 49:6 kuyainua makabila ya Yakobo
Mt 19:28 mkiyahukumu yale makabila
Mt 24:30 makabila yatakapojipiga-piga
Yak 1:1 makabila yaliyotawanyika
Ufu 1:7 makabila yote ya dunia
Ufu 7:9 kutoka makabila yote
Kut 28:21; Zb 74:2; Ebr 7:13; Ufu 21:12.
KABILI, Zb 17:13 Ee Yehova; umkabili
KABISA, Mwa 41:40 wote watakutii kabisa
KABURI, Mwa 42:38 mvi katika Kaburi
1Sa 2:6 Mwenye Kushusha mpaka Kaburi
Ayu 7:9 anayeshuka Kaburi hatapanda
Ayu 26:6 Kaburi liko uchi mbele zake
Zb 5:9 Koo yao ni kaburi
Zb 6:5 Katika Kaburi ni nani
Zb 9:17 waovu watarudi katika Kaburi
Zb 16:10 hutaiacha nafsi katika Kaburi
Zb 55:15 washuke katika Kaburi
Zb 88:11 fadhili zitatangazwa katika kaburi
Zb 139:8 katika Kaburi, ungekuwa huko
Met 15:24 kuliepuka Kaburi lililo chini
Met 27:20 Kaburi na mahali pa uharibifu
Mhu 9:10 hakuna ujuzi katika Kaburi
Isa 14:15 utashushwa mpaka Kaburi
Isa 22:16 ukajichimbia kaburi?
Isa 28:15 tumetekeleza maono na Kaburi
Isa 38:10 nitaingia malango ya Kaburi
Isa 38:18 Kaburi haliwezi kukusifu
Isa 53:9 kaburi lake pamoja na waovu
Eze 32:27 katika Kaburi na silaha
Ho 13:14 Ee Kaburi, wapi maangamizi?
Yon 2:2 Katika tumbo la Kaburi nilililia
Mt 16:18 malango ya Kaburi
Mt 23:27 makaburi yaliyopakwa chokaa
Mt 23:29 mnajenga makaburi ya manabii
Mt 27:61 Maria ameketi kwenye kaburi
Lu 10:15 Utashuka mpaka Kaburini!
Mdo 2:31 hakuachwa katika Kaburi
Ufu 1:18 nina funguo za Kaburi
Ufu 20:14 kifo na Kaburi vikatupwa
Kum 32:22; 2Sa 22:6; 1Fa 2:6; Ayu 17:13; Zb 49:15; Wim 8:6; Isa 5:14; 14:9, 11; 57:9; 65:4; Yer 20:17; Eze 32:21, 22; 37:12; Mt 11:23; 27:52, 60; Mk 6:29; Lu 16:23; Yoh 11:17; Ufu 6:8; 20:13.
KADESH-BARNEA, Hes 32:8; 34:4; Kum 1:2; 9:23; Yos 10:41; 15:3.
KADESHI, Mwa 14:7 mishpati, yaani, Kadeshi
KADIRI, Ro 13:1; 2Ti 4:15; 1Pe 4:10.
KADIRIA, 2Ko 10:2 wengine wanatukadiria
KAGUA, Yer 17:10 ninazikagua figo
KAGULIWA, Lu 19:44 wakati wa kukaguliwa
KAHABA, Mwa 38:15 Yuda akafikiri ni kahaba
Kum 23:18 Usilete malipo ya kahaba
Yos 6:25 Rahabu kahaba
1Fa 22:38 makahaba waliogea hapo
Isa 1:21 mji umekuwa kahaba!
Ho 4:14 makahaba wa hekaluni
Yoe 3:3 wa kiume, kumpata kahaba
Amo 7:17 mke wako atakuwa kahaba
Mt 21:31 makahaba wanawatangulia
1Ko 6:15 viungo vya kahaba?
Yak 2:25 Rahabu yule kahaba
Ufu 17:5 Babiloni mama wa makahaba
Ufu 17:16 watamchukia kahaba
Met 7:10; Mik 1:7; Lu 15:30; Ebr 11:31; Ufu 17:1, 15; 19:2.
KAIDI, Zb 40:4 hakuwaelekea wakaidi
KAINI, Mwa 4:1; Ebr 11:4; 1Yo 3:12.
KAISARI, Mk 12:17 Mlipeni Kaisari vitu vya
Lu 23:2 akiwakataza wasimlipe Kaisari kodi
Yoh 19:15 Sisi hatuna mfalme ila Kaisari
Mt 22:17; Lu 2:1; 20:25; Yoh 19:12.
KAISARIA, Mt 16:13; Mdo 10:1; 23:23.
KALAMU, Zb 45:1 Ulimi wangu uwe kalamu
3Yo 13 kwa wino na kalamu
Ayu 19:24; Isa 8:1; Yer 8:8; 17:1.
KALE, Mal 3:4 kama katika miaka ya kale
2Pe 2:5 kuuadhibu ulimwengu wa kale
KALEBU, Hes 13:30; 14:24; 26:65; Amu 1:20.
KALI, Da 2:15 mfalme ametoa agizo kali
Kut 10:2; 1Sa 6:6; 2Sa 3:39; 19:43.
KALIWA, Isa 44:26 Atakaliwa, na majiji ya
Isa 45:18 aliiumba ikaliwe na watu
Eze 38:12 panapokaliwa tena
Isa 13:20; Yer 6:8; Eze 12:20.
KAMANDA, Isa 55:4 kuwa kiongozi na kamanda
KAMATA, 1Ko 3:19 huwakamata wenye hekima
Mt 4:12; Lu 22:54; Yoh 7:30; 8:20; Mdo 1:16.
KAMBA. Ona pia KAMBA YA KUPIMIA.
Zb 2:3 kuzitupa kamba zao mbali nasi!
Mhu 4:12 kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi
Isa 54:2 Refusha kamba za hema lako
Yoh 2:15 mjeledi wa kamba
Yos 2:15; Zb 18:4; 129:4; Yer 38:13.
KAMBA YA KUPIMIA, Isa 28:10; Isa 28:17;
KAMBI, Ebr 13:11 kuteketezwa nje ya kambi
Kut 14:19; Hes 1:52; Ufu 20:9.
KAMBI YA KIJESHI, 1Sa 10:5; 2Sa 8:6;
KAMILI, 1Nya 28:9 umtumikie kwa moyo kamili
Kol 1:28 kila mtu akiwa kamili katika
KAMILIFU, Kum 32:4 kazi zake ni kamilifu
Zb 19:7 Sheria ni kamilifu
Ro 12:2 mjihakikishie mapenzi makamilifu
2Sa 22:31; Zb 18:32; Ebr 9:11; Yak 1:17.
KAMILISHA, 2Ko 7:1 tukiukamilisha utakatifu
Flp 1:6 aikamilishe kufikia siku
KAMILISHWA, Yoh 17:23 wapate kukamilishwa
Ebr 7:28 Mwana, anakamilishwa milele.
KANA 1., Yos 24:27 msimkane Mungu
Yer 5:12 Wamemkana Yehova
Mk 8:34 ajikane mwenyewe, mti
Lu 12:9 anayenikana mbele ya wanadamu
Lu 12:9 atakanwa mbele ya malaika
Mdo 26:11 kulazimisha wakane imani
1Ti 5:8 ameikana imani
Mwa 18:15; Ayu 8:18; Met 30:9; Mt 10:33; 26:70; Mk 14:30; Lu 9:23; Yoh 2:1; 4:46; 13:38; 18:25; Mdo 3:14; 7:35; 2Ti 2:12; Tit 1:16.
KANA 2., Yoh 2:1 karamu ya ndoa Kana
KANAANI, Mwa 17:8; Hes 35:10; Amu 4:23.
KANDAMIZA, Kut 3:9.
Kut 23:9 usimkandamize mgeni
Amu 4:3 akawakandamiza Israeli
Yer 7:6 hamtamkandamiza mjane
KANDAMIZWA, Yer 50:33; Mdo 10:38.
KANISA. Ona KUTANIKO.
KANO, Eze 37:6 nitaweka juu yenu kano
Eze 37:8 kano na nyama zikaja
Kol 2:19 kuunganishwa kwa kano
KANUNI, 2Nya 8:14 na kanuni ya Daudi
1Ko 4:6 mjifunze kanuni
Ga 6:16 watakaotembea kwa kanuni
KANUSHA, Mdo 4:14 jambo la kukanusha
KANYAGA, Isa 28:28 mtu haendelei kuukanyaga
Isa 63:3 nimelikanyaga pipa la divai
Yer 25:30 wanaokanyaga shinikizo la divai
KANYAGA-KANYAGA, Eze 34:18, 19; Mik 7:10.
KANYAGIA, Isa 63:3 niliendelea kuwakanyagia
Mal 4:3 mtawakanyagia chini waovu
Ebr 10:29 amemkanyagia chini Mwana
Ufu 11:2 watalikanyagia chini jiji
Ayu 40:12; Zb 44:5; 60:12; Isa 26:6; Da 7:23.
KANYAGIWA, Isa 22:5 siku, kukanyagiwa chini
KANYAGWA, Isa 25:10.
KANYAGWA-KANYAGWA, Isa 28:18; Da 8:13; Lu 21:24.
KANZU, Lu 15:22 Upesi! leteni kanzu
Lu 20:46 kutembea na kanzu
Ufu 7:14 wamefua kanzu zao
Isa 3:22; Mk 16:5; Ufu 6:11; 7:9, 13.
KAPERNAUMU, Mt 4:13; 11:23; Lu 4:23; Yoh 2:12; 6:59.
KAPTENI, Lu 22:4; Mdo 4:1; 5:24, 26.
KAPU, 2Ko 11:33 nilishushwa katika kapu
KARAMU, Est 2:18 karamu yake Esta
Isa 25:6 karamu ya vyakula, karamu ya divai
Yer 16:8 nyumba ya karamu
Lu 5:29 Lawi akaandaa karamu
Yud 12 miamba katika karamu
KARAMU ZA KUPINDUKIA, Amo 6:7; Ro 13:13; Ga 5:21; 1Pe 4:3.
KARANI, Mdo 19:35 karani wa jiji
KARIBIA, 2Ti 4:6 kufunguliwa umekaribia
Ebr 7:25 wanaomkaribia Mungu
Yak 4:8 Mkaribieni, naye atawakaribia
Mik 6:6; Ro 5:2; Efe 2:18; 3:12.
KARIBISHA, Mt 25:35 nanyi mkanikaribisha
Lu 5:29 karamu ya kumkaribisha
Lu 15:2 hukaribisha watenda-dhambi
Lu 19:6 akamkaribisha kwa shangwe
Yoh 1:11 watu hawakumkaribisha
Ro 14:3 Mungu amemkaribisha
Ro 15:7 mkaribishane, kama Kristo
Yak 2:25 Rahabu alikaribisha wajumbe
1Pe 4:9 Mkaribishane
KARIBU, Yer 23:23 Mungu aliye karibu
KARIPIA, Ayu 40:2 Mwenye kumkaripia Mungu
Zb 105:14 aliwakaripia wafalme
Met 9:8 Usimkaripie mwenye dhihaka
Met 29:1 anayekaripiwa tena na tena
Lu 3:19 amemkaripia Herode
Yoh 3:20 matendo yake yasikaripiwe
Efe 5:13 mambo yanayokaripiwa
1Ti 5:20 ukaripie mbele ya watazamaji
2Ti 3:16 faida kwa kukaripia
2Ti 4:2 karipia, kwa ustahimilivu
Tit 1:13 kuwakaripia kwa ukali
Ufu 3:19 ninaowapenda, huwakaripia
2Sa 7:14; Ayu 13:10; Zb 50:21; Met 30:6.
KARIPIO, Met 1:23 Geukeni mpate karipio
Met 6:23 makaripio ni njia ya uzima
Met 10:17 anayeacha karipio anapotea
Met 13:18 ashikaye karipio hutukuzwa
Met 29:15 karipio hutia hekima
Met 1:25; 3:11; 15:5, 10, 31, 32.
KARMELI, 1Fa 18:19; Isa 35:2; Amo 1:2.
KASIRIKA, Mwa 41:10 Farao aliwakasirikia
Kut 16:20 Musa aliwakasirikia
1Fa 11:9 Yehova akamkasirikia
Met 22:24 mazoea ya kukasirika
Hes 16:22; Zb 2:12; 89:38; 112:10; Mhu 5:6; Mk 14:4.
KASIRISHA, Ezr 5:12 baba walikasirisha Mungu
Efe 6:4 baba, msikasirishe watoto
Kol 3:21 baba, mkiwakasirisha watoto
KASKAZINI, Zb 48:2 Sayuni kaskazini
Isa 14:13 nitaketi sehemu za kaskazini
Isa 41:25 mtu kutoka kaskazini
Yer 1:14 Msiba kutoka kaskazini
Da 11:44 habari kutoka kaskazini
Yer 50:9; Amo 8:12; Zek 2:6; Lu 13:29.
KASORO, Kut 12:5 kuwa asiye na kasoro
Tit 1:5 urekebishe yaliyo na kasoro
Kut 29:1; Law 22:21; Met 9:7; Da 1:4.
KATA, Kum 25:12 utaukata mkono wake
Flp 3:2 wale wanaokata mwili
Kum 7:5; 2Nya 34:7; Isa 14:12.
KATA KAULI, Lu 2:19 Maria akakata kauli.
KATA KICHWA, Mt 14:10; Mk 6:16; Lu 9:9.
KATA PUMZI, Mwa 7:21 mwili ukakata pumzi
Mwa 25:8 Abrahamu akakata pumzi
Ayu 11:20 kukata pumzi kwa nafsi
Ayu 14:10 mtu hukata pumzi
Zb 104:29 Ukiondoa roho, wanakata pumzi
Lu 23:46 Aliposema hilo, akakata pumzi
KATA RUFANI, Mdo 25:11; 28:19.
KATA TAMAA, Mik 3:7 waaguzi watakata tamaa
Ro 5:5 tumaini halikatishi tamaa
Ro 9:33 anayemwamini hatakata tamaa
Ro 10:11 anayemwamini hatakata tamaa
1Pe 2:6 anayeamini hatakata tamaa
KATAA, 1Sa 8:7 hawakukukataa wewe
1Sa 15:23 umelikataa neno la Yehova
Ayu 5:17 usiikatae nidhamu
Zb 141:5 kichwa hakingetaka kukataa
Isa 1:20 Lakini mkikataa na kuasi
Yer 8:9 Wamekataa neno la Yehova
Eze 3:27 anayekataa na akatae
Mt 21:42 Jiwe ambalo walikataa
2Ti 2:19 akatae ukosefu wa uadilifu
Tit 2:12 tukatae tamaa
KATAA KWA DHARAU, Zb 89:39.
KATALIWA, Ro 1:28 hali ya akili iliyokataliwa
1Ko 9:27 nisikataliwe kwa njia fulani
1Ti 4:4 hakuna cha kukataliwa
1Pe 2:4 jiwe hai, lililokataliwa
Mk 8:31; 2Ko 13:5, 6, 7; 2Ti 3:8; Ebr 12:17.
KATIKA, Mhu 4:12 haiwezi kukatika upesi
KATILI, Met 5:9; 11:17; 12:10; Isa 13:9.
KATILIWA MBALI, Zb 37:9, 38; Isa 56:5; Da 9:26; Mik 5:9; Mt 25:46; 2Pe 2:9.
KATWA, Ro 11:22 wewe pia utakatwa
KAUKA, Zb 69:3 Koo yangu imekauka
Isa 19:5; 34:10; 44:27; 1Pe 1:24.
KAULI MOJA, 1Fa 22:13.
KAUSHA, Yer 4:11 Kuna upepo unaokausha
KAWAIDA, Mwa 18:14 kawaida kwa Yehova?
Mk 7:35 kusema kama kawaida
Mdo 4:13 Petro na Yohana, wa kawaida
Mdo 19:11 Paulo, kazi kuzidi kawaida
1Ko 10:13 jaribu lililo kawaida
1Ko 14:24 mtu wa kawaida aingie
2Ko 4:7 nguvu kupita za kawaida
Flp 3:16 utaratibu, kawaida hiyo
Kum 17:8; Da 4:36; 6:3; 1Th 3:10; 5:13.
KAWIA, Mwa 34:19 huyo kijana hakukawia
Ebr 10:37 atafika naye hatakawia
2Pe 3:9 Yehova hakawii
KAYAFA, Yoh 11:49; 18:13, 28; Mdo 4:6.
KAZA, Kum 6:7 uyakazie kwa mwana
Amu 14:17 alikuwa amemkaza
Amu 16:16 mwanamke alimkaza
Met 16:30 Akikaza midomo yake
Isa 53:7 Alikazwa sana
Kol 3:2 kukaza akili zenu
KAZA FIKIRA, Ayu 37:14 ukazie fikira kazi
KAZI, Kum 32:4 kazi zake ni kamilifu
1Fa 18:27 mungu; lazima iwe ana kazi fulani
1Fa 19:13 Una kazi gani hapa, Eliya?
2Nya 7:6 makuhani, katika vituo vya kazi
2Nya 8:14 Walawi katika vituo vya kazi
Zb 8:6 atawale juu ya kazi zako
Zb 71:17 ninatangaza kazi zako
Zb 104:24 kazi zako zilivyo nyingi
Zb 127:1 kazi ngumu bure
Zb 150:2 Msifuni kwa kazi zake
Met 8:22 kazi zake za zamani
Met 22:29 stadi katika kazi yake?
Mhu 9:10 hakuna kazi, wala
Isa 28:21 kazi—kazi yake si ya kawaida
Isa 65:23 Hawatafanya kazi ya bure
Mt 20:3 wengine wasio na kazi
Yoh 5:17 Baba anaendelea na kazi
Yoh 6:27 kazi, si kwa chakula kinachoharibika
Yoh 9:4 tufanye kazi zake
Yoh 14:12 atafanya kazi kubwa kuliko
Yoh 17:4 nimemaliza kazi uliyonipa
Ro 4:4 anayefanya kazi, malipo
Ro 8:28 kazi zake zishirikiane
Ro 12:4 viungo vingi, kazi mbalimbali
Ro 12:11 Msiwe wavivu katika kazi zenu
1Ko 15:58 kazi yenu si ya bure
1Ko 16:16 kufanya kazi ya
2Ko 11:23 kazi kwa wingi zaidi
Flp 2:12 kuufanyia kazi wokovu
Flp 2:16 sikufanya kazi bure
1Th 5:12 wanaofanya kazi kwa bidii
1Th 5:13 kuwafikiria sababu ya kazi
2Th 3:10 hataki kazi, asile
1Ti 4:10 kazi kwa bidii na kujikaza
1Ti 5:13 hujifunza kutokuwa na kazi
1Ti 5:17 wanaofanya kazi kwa bidii
Tit 1:12 walafi wasiofanya kazi
Tit 2:14 bidii kwa ajili ya kazi njema
Yak 5:16 Dua, inapofanya kazi
Ufu 14:13 kazi zao, zaambatana nao
Mwa 46:33; 47:3; 2Fa 23:5; 1Nya 26:12; Ne 13:30; Mt 22:5; Yoh 4:38; Mdo 6:3; 18:3; 1Ko 3:8, 13; 15:10; 1Th 2:9; 3:5; 2Th 3:8; 2Ti 3:17; Ufu 18:22.
KAZI NGUMU, Met 14:23 kazi ngumu faida
Mhu 2:24 ona mema, kwa kazi ngumu
KAZI YA KULAZIMISHWA, Amu 1:28; 1Fa 9:21; Ayu 14:14; Met 12:24.
KAZI YA TAABU, Yon 4:10.
KAZI YENYE MATOKEO, Ayu 6:13; Isa 28:29.
KAZWA, 2Ko 4:8 Tunakazwa katika kila njia
1Sa 1:15 mwanamke aliyekazwa rohoni
Ayu 41:15 kwa muhuri uliokazwa
Isa 53:7 Alikazwa, naye akateswa
KEDESHI, Yos 20:7; Amu 4:9; 1Nya 6:72.
KELELE, Isa 12:6 upige kelele kwa shangwe
Isa 14:11 kelele za vinanda vyako
Isa 32:14 kelele za jiji zimeachwa
Yer 25:31 kelele zitafika duniani
Yoe 2:1 pigeni kelele za vita
Mik 2:12 kelele za wanadamu
Zek 9:9 Piga kelele za ushindi
Lu 23:21 kelele: Mtundike
2Pe 3:10 mbingu zitapita kwa kelele
KEMEA, Ayu 19:3 mara kumi mmenikemea
Zek 3:2 Yehova akukemee, Shetani
1Ti 5:1 Usimkemee mwanamume mzee
Zb 104:7; Isa 17:13; 54:9; Lu 18:15; 2Ti 4:2.
KEMEO, Met 13:1 hajasikia kemeo
2Ko 2:6 Kemeo la walio wengi
KEMOSHI, Amu 11:24; 1Fa 11:7; Yer 48:7.
KENGEUKA, Mdo 1:25 Yuda alikengeuka
KENGEUSHWA, Lu 10:40 Martha alikengeushwa
1Ko 7:35 kuhudumia, bila kukengeushwa
KERUBI, Zb 18:10 akiruka juu ya kerubi
Eze 28:14 Wewe ndiye kerubi
Ebr 9:5 makerubi waliokifunika kifuniko
Kut 25:22; 1Sa 4:4; Zb 99:1; Eze 10:2.
KESHA, Ayu 21:32 kukesha kwenye kaburi
Mt 26:41 Endeleeni kukesha
Lu 12:37 bwana anakuta wakikesha!
1Pe 4:7 kesheni kwa sala
KESI, 1Fa 3:11 uelewaji wa kusikia kesi
Ayu 23:4 kesi ya hukumu
Ayu 31:13 kesi yao juu yangu
Zb 74:22 uendeshe kesi yako
Met 25:8 Usiende haraka kufanya kesi
Isa 34:8 kesi juu ya Sayuni
Mik 6:2 Yehova ana kesi na watu
1Ko 6:1 ana kesi juu ya mwingine
2Sa 15:4; Zb 43:1; Met 18:17; Isa 50:8; Ho 4:1; 12:2.
KESILI, Ayu 38:31 kundi-nyota la Kesili?
KETI, Zb 2:4 anayeketi mbinguni atacheka
Zb 29:10 Yehova huketi akiwa mfalme
Zb 110:1 Keti kwenye mkono wa kuume
Isa 42:7 uwatoe wanaoketi gizani
Mik 4:4 wataketi chini ya mzabibu
Mt 8:11 kuketi mezani na Abrahamu
Mt 19:28 mtaketi juu ya viti vya ufalme
1Ko 8:10 umeketi, hekalu la sanamu
Ufu 3:21 nitampa ruhusa ya kuketi nami
Zb 1:1; Isa 28:6; Mt 26:20; Lu 22:27; Efe 2:6; Ufu 5:13; 7:10; 17:15.
KIANGAZI, Mwa 8:22 majira ya kiangazi
Yer 8:20 kiangazi kimeisha
Zb 74:17; Met 30:25; Zek 14:8; Mt 24:32.
KIAPO, Yos 2:17 hatia ya kiapo chako
Yos 9:20 kiapo tulichowaapia
Ebr 6:17 Mungu aliingilia kwa kiapo
Mwa 26:28; Hes 30:2; Mdo 2:30; Ebr 7:20, 28.
KIASI, Met 11:2 wenye kiasi wana hekima
Mik 6:8 kutembea na Mungu kwa kiasi
Mt 23:25 mambo ya kupita kiasi
2Ko 4:8 hatubanwi kupita kiasi
1Ti 2:9 wanawake wajipambe kiasi
Ebr 5:2 kuwatendea kwa kiasi
KIASI KATIKA MAZOEA, 1Ti 3:2, 11; Tit 2:2.
KIASILI, Efe 2:3 kiasili, watoto wa ghadhabu
KIATU, Kum 25:9 avue kiatu, amtemee mate
Yoh 1:27 kamba ya kiatu chake sistahili
Efe 6:15 miguuni viatu vya habari njema
Kut 3:5; Yos 5:15; Ru 4:7; Zb 60:8; Mk 6:9.
KIBALI, Mwa 4:4 akimtazama Abeli kwa kibali
Zek 12:10 nitamimina roho ya kibali
Lu 2:52 Yesu akapata kibali
Lu 11:48 na bado mnawapa kibali
1Ko 7:33 kupata kibali cha mke wake
Kum 33:16; Zb 37:21; Met 3:4; 12:2; 28:23; Mhu 9:11; Ro 14:18.
KIBERITI, Ufu 21:8 moto na kiberiti
Mwa 19:24; Zb 11:6; Eze 38:22; Ufu 19:20.
KIBINADAMU, Ro 6:19 Ninasema kibinadamu
1Ko 9:8 viwango vya kibinadamu?
Ga 1:11 habari si ya kibinadamu
KIBINAFSI, Flp 2:4 faida za kibinafsi za
KIBOKO, Mdo 5:40 wakapiga mitume viboko
KIBURI, Met 16:5 kiburi moyoni ni chukizo
Met 16:18 Kiburi hutangulia kuanguka
Met 18:12 kiburi, kabla ya anguko
Isa 2:11 kiburi kitainama
Zek 11:3 vichaka vyenye kiburi
1Ti 3:6 asijivune kwa kiburi
Zb 59:12; 101:5; Met 8:13; 28:25; Yer 13:9; 48:29.
KICHAA. Ona WAZIMU.
KICHEKO, Zb 126:2 kinywa kilijaa kicheko
Yak 4:9 Kicheko kiwe maombolezo
Met 14:13; Mhu 2:2; 7:3; 10:19.
KICHINICHINI, 2Ko 4:2 mambo ya kichinichini
KICHOCHEO, 2Ko 5:12 kichocheo cha kujisifu
KICHWA, Mwa 3:15 atakuponda kichwa
Ayu 30:9 nimekuwa kichwa cha wimbo
Mik 3:11 vichwa, kuhukumu kwa rushwa
Mt 8:20 hana pa kulaza kichwa
Lu 21:28 kuinua vichwa vyenu
Mdo 18:6 Damu, juu ya vichwa vyenu
Ro 12:20 makaa juu ya kichwa
1Ko 11:3 kichwa cha mwanamke ni
1Ko 11:10 ishara juu ya kichwa
Kol 1:18 ndiye kichwa cha mwili
Kol 2:19 hashiki imara kichwa
Zb 110:6; Isa 9:15; 35:10; Da 2:38; Oba 15; Efe 1:22; Ufu 12:1; 13:3.
KICHWA CHA SHOKA, 2Fa 6:5.
KICHWA KIGUMU, Eze 3:7; 2Ti 3:4.
KIDAU CHA WINO, Eze 9:2, 3, 11.
KIDOGO, Isa 28:10 hapa kidogo, pale kidogo
Da 11:34 kwa msaada kidogo
1Ti 4:8 mazoezi, faida kidogo
Zb 37:16; 1Ko 5:6; 1Ti 5:23; Yak 3:5.
KIDOLE, Kut 8:19 Ni kidole cha Mungu!
Kut 31:18 mabamba, kidole cha Mungu
Da 5:5 vidole vikiandika ukutani
Lu 11:20 kidole cha Mungu, kufukuza roho
Zb 8:3; Isa 58:9; Mt 23:4; Yoh 20:25.
KIDONDA, Met 27:6 Vidonda vya mpenzi
2Ti 2:17 kidonda chenye kuoza
Zb 38:5; Met 20:30; Ho 5:13; Lu 16:21; Ufu 16:2, 11.
KIDRONI, 2Sa 15:23; 2Nya 15:16; Yoh 18:1.
KIEBRANIA, Yoh 5:2 Kiebrania Bethzatha
Mdo 6:1 Wayahudi, kusema Kiebrania
KIELELEZO, 1Ko 10:11 vielelezo, vya onyo
Flp 3:17 kulingana na kielelezo tulichoweka
1Th 1:7 mkawa kielelezo kwa wote
1Ti 4:12 uwe kielelezo kwa waaminifu
2Ti 1:13 kushika kielelezo cha
Tit 2:7 uwe kielelezo cha mazuri
Yak 5:10 manabii kuwa kielelezo
1Pe 2:21 Kristo aliwaachia kielelezo
1Pe 5:3 wawe vielelezo kwa kundi
2Pe 2:6 kielelezo kwa wasiomwogopa
Yoh 13:15; 2Th 3:9; Ebr 4:11; Yud 7.
KIELEZI. Ona MFANO.
KIFAA, Mwa 45:20 lisihuzunikie vifaa vyenu
Mhu 10:10 kifaa cha chuma
2Ti 3:17 vifaa kwa ajili ya kazi njema
Ebr 13:21 awape vifaa, mapenzi yake
KIFALME, 2Nya 32:9 uwezo wake wa kifalme
KIFEDHA, Law 25:35 ndugu dhaifu kifedha
KIFO, Kut 21:22 watoto wake, kifo kisitokee
Kum 30:19 uzima na kifo mbele yako
Ayu 38:17 Je, umefunuliwa malango ya kifo
Zb 116:15 kifo cha washikamanifu
Met 16:25 njia za kifo ndizo mwisho wake
Mhu 7:1 bora siku ya kufa kuliko
Isa 25:8 atameza kifo milele
Ro 5:12 kifo kikaenea kwa wote
Ro 5:17 kifo kilitawala kama mfalme
Ro 6:10 kifo alichokufa, alikufa
Ro 6:23 mshahara wa dhambi ni kifo
1Ko 15:21 kifo ni kupitia mwanadamu
1Ko 15:26 Adui wa mwisho, ni kifo
2Ko 4:10 matendo yenye kuleta kifo
Ebr 2:9 Yesu, aonje kifo kwa ajili ya wote
Ebr 2:14 mwenye uwezo kusababisha kifo
Ufu 2:10 mwaminifu hata kifo
Ufu 20:14 kifo na Kaburi, katika moto
Ufu 21:4 kifo hakitakuwapo tena
Hes 5:2; Zb 89:48; Eze 33:11; Mt 22:25; Yoh 8:51; Mdo 2:29.
KIFO CHA PILI, Ufu 2:11; 20:6, 14; 21:8.
KIFUA, Lu 18:13 alikuwa akipiga-piga kifua
Lu 16:22; 23:48; Yoh 1:18; 13:23, 25.
KIFUA KIKUU, Law 26:16; Kum 28:22.
KIFUDIFUDI, Mt 26:39 akaanguka kifudifudi
KIFUKO CHA KIFUANI, Kut 25:7; 28:15, 29; Law 8:8.
KIFUNGO, Eze 20:37 kifungo cha agano
Mk 7:35 kifungo cha ulimi
Ga 3:22 kifungo cha dhambi
Efe 4:3 umoja katika kifungo cha amani
Flp 1:13 vifungo vyangu vimejulikana
Kol 3:14 upendo, kifungo kikamilifu
Yer 37:21; Mdo 20:23; 26:31; Kol 4:3; Ebr 11:36.
KIFUNIKO, 2Sa 17:19 kifuniko, akakitandaza
Isa 25:7 kifuniko kinachovifunika watu
1Pe 2:16 kifuniko cha ubaya
KIGAE, Ayu 2:8 akachukua kigae
Ayu 41:30 kama vigae vilivyochongoka
Isa 30:14 kigae kinachoweza kutumiwa
Eze 23:34 vigae vyake utavitafuna
KIGIRIKI, Yoh 19:20 Kilatini, kwa Kigiriki
KIGUMU, Ebr 5:12 chakula kigumu
KIINI-TETE, Zb 139:16 Macho yaliona kiini-tete
KIJAKAZI, Zb 116:16 mwana wa kijakazi
Ga 4:30 Mfukuze kijakazi
Ga 4:31 sisi ni watoto, si wa kijakazi
Zb 86:16; Lu 1:38; 22:56; Mdo 12:13.
KIJANA, Zb 37:25 Nilikuwa kijana, pia
Zb 110:3 vijana kama umande
Eze 9:6 kijana, bikira mtawaua
Yoe 2:28 vijana wataona maono
Met 20:29; Mt 19:22; Mdo 2:17; 1Ti 5:1, 2, 11, 14; 1Yo 2:14.
KIJASIRI, 2Ko 10:2 kuchukua hatua za kijasiri
KIJEURI, Mhu 5:8 hukumu ikitwaliwa kijeuri
KIJIJI, Mt 9:35; 10:11; Mk 6:6.
KIJINGA, 1Ti 6:9 tamaa za kijinga
KIJITI CHA KUSOKOTEA, Met 31:19.
KIJITO, Eze 47:7 kwenye ukingo wa kijito
KIJIVU, Ufu 6:8 farasi wa rangi ya kijivu
KIKAMILIFU, Eze 28:12 kikamilifu katika uzuri
Ebr 7:19 Sheria, haikufanya kikamilifu
KIKAPU, Yer 24:2; Amo 8:1; Mt 14:20; 15:37.
KIKOMBE, Zb 116:13 kikombe cha wokovu mkuu
Isa 51:17, 22 kikombe cha ghadhabu
Yer 25:15 kikombe cha divai ya ghadhabu
Mt 10:42 anayewapa wadogo kikombe cha maji
Lu 22:20 Kikombe kinamaanisha agano jipya
Lu 22:42 Baba, niondolee kikombe hiki
1Ko 10:21 kikombe cha Yehova
Mwa 44:12; Yer 51:7; Mt 20:22; 1Ko 10:16.
KIKOMO, Ayu 14:13 kikomo cha wakati
KIKOMO KAMILI, Efe 1:10 kikomo kamili cha
KIKONYO, Isa 18:5 kuviondoa vikonyo
KIKUMBUSHO, 2Fa 17:15 kukataa vikumbusho
Zb 19:7 Kikumbusho cha Yehova ni
Zb 119:46 nitasema juu ya vikumbusho
Zb 119:129 Vikumbusho vyako ni ajabu
2Pe 3:1 kwa njia ya kikumbusho
Zb 93:5; 119:14, 31, 99, 119; Yer 44:23.
KIKUNDI, Met 30:27 mbele wakiwa vikundi
KIKUNDI CHA RAFIKI, Ayu 19:19; Zb 89:7; 111:1; Yer 15:17; 23:18, 22; Eze 13:9.
KIKUNDI CHENYE GHASIA, Mdo 17:5; 24:12.
KIKUNDI CHENYE MACHAFUKO, Mdo 19:40.
KIKWAZO, Law 19:14 kipofu, usiweke kikwazo
KILELE SALAMA, Zb 59:17 kilele salama changu
KILEMA, Isa 35:6 kilema atapanda kama paa
KILEMAVU, Ebr 12:13 ambacho ni kilemavu
KILEMBA, Kut 28:4 kilemba na ukumbuu
Law 8:9 kilemba juu ya kichwa
Ayu 29:14 koti na kilemba
Isa 62:3 kilemba cha kifalme
Eze 21:26 Kiondoe kilemba
Zek 3:5 wamvike kilemba
Ufu 19:12 vilemba juu ya kichwa
KILEO, Met 31:6 Mpeni kileo anayeangamia
Yoh 2:10 wameingiwa na kileo
Law 10:9; Hes 6:3; Amu 13:4; Zb 69:12; Met 20:1; Isa 28:7.
KILIMA, Isa 2:2 utainuliwa juu ya vilima
Isa 55:12 vilima vitachangamka
Hab 3:6 vilima vikainama
Met 8:25; Eze 6:3; Ho 10:8; Lu 23:30.
KILIMO, 2Nya 26:10 alipenda kilimo
Ne 10:37 majiji yetu yote ya kilimo
KILINDI, Ayu 38:30 uso wa kilindi cha maji
KILINDI CHA MAJI, Mwa 1:2; 7:11; 8:2; Ayu 28:14; Zb 36:6; 42:7.
KILIO, Zb 30:5 kilio kikakaa jioni
Isa 49:13 kwa kilio cha furaha
Isa 65:19 sauti ya kilio haitasikika
KIMAKUSUDI, Ebr 10:26 dhambi kimakusudi
KIMBELE, Mdo 4:28 kimbele yatukie
Ro 1:2 aliyoahidi kimbele kupitia
Ro 15:4 yaliyoandikwa kimbele ili
Efe 2:10 Mungu alitutayarishia kimbele
1Pe 1:20 alijulikana kimbele
KIMBELEMBELE, Hes 14:44; Kum 17:12; Zb 19:13; 86:14; 119:21, 78; Met 11:2; 13:10; 21:24; Isa 13:11; Yer 49:16; 50:31; Eze 7:10; Mal 3:15; 4:1.
KIMBIA, Yer 37:14 sikimbii kwa Wakaldayo
Yer 51:6 Kimbieni kutoka Babiloni
Yoe 2:9 Hukimbia ukutani
Mt 23:33 mtaikimbiaje hukumu
Mt 24:20 kukimbia majira ya baridi
1Ko 9:24 wote hukimbia, lakini
Ebr 12:1 tukimbie kwa uvumilivu
Yak 4:7 mpingeni Ibilisi, atawakimbia
1Pe 4:4 hamwendelei kukimbia
Kum 32:30; Met 28:1; Isa 35:10; 40:31; 52:12; 55:5; 1Ko 10:14; Flp 2:16.
KIMBILIA, 1Sa 15:19 ukakimbilia nyara
Zb 18:2 Nitamkimbilia, Ngao
Met 1:16 miguu hukimbilia ubaya
Mt 24:16 Yudea waanze kukimbilia
KIMBILIO, Isa 28:17 itafagia kimbilio la uwongo
Yer 25:35 makimbilio yameangamia
Oba 3 makimbilio ya mwamba
Sef 3:12 kimbilio katika jina la Yehova
KIMBINGU, Efe 2:6 mahali pa kimbingu
KIMO, Ro 8:39 wala kimo wala kina
KIMUNGU, 2Ko 7:10 huzuni ya kimungu
2Pe 1:4 asili ya kimungu
KIMWILI, Lu 2:52 ukuzi wa kimwili
1Ko 2:14 mtu wa kimwili hapokei
1Ko 9:6 kazi ya kimwili
2Ko 1:12 si hekima ya kimwili
Ro 7:14; 1Ko 3:3; Kol 2:18; 1Ti 4:8.
KIMYA, Ayu 31:34 nilikuwa nikikaa kimya
Zb 32:3 Nilipokaa kimya mifupa yangu
Zb 37:7 Kaa kimya mbele za Yehova
Zb 115:17 wanaoingia penye kimya
Mhu 3:7 wakati wa kukaa kimya
Hab 2:20 Kaa kimya mbele zake
1Ti 2:11 Mwanamke ajifunze akiwa kimya
Zb 31:17; 39:2; Isa 47:5; Yer 47:7; Mt 22:34; 1Ko 14:34; Ufu 8:1.
KINA, Zb 92:5; Mt 13:5; Ro 8:39; Efe 3:18.
KINAFIKI, Yak 3:17 hekima si ya kinafiki
KINARA CHA TAA, Kut 25:31; 1Nya 28:15; Ebr 9:2; Ufu 1:12, 13, 20; 2:1.
KINARA CHA UVUMBA, Isa 17:8; Eze 6:4.
KINERETHI, Hes 34:11; Yos 11:2.
KING’ORA, 2Nya 13:12; Yer 49:2; Amo 1:14; 2:2; Sef 1:16.
KINONO, 2Sa 6:13; Eze 39:18; Amo 5:22.
KINU, Met 27:22 mtwangio katika kinu
KINUBI, Mwa 4:21 Yubali, mwanzilishi wa kinubi
Zb 33:2 Yehova shukrani kwa kinubi
Zb 49:4 kitendawili kwa kinubi
Isa 23:16 Chukua kinubi, zunguka jiji
Ufu 15:2 washindi wakiwa na vinubi
1Sa 16:23; Zb 137:2; Isa 5:12; Ufu 14:2.
KINYAMA, Yud 19 watu wa kinyama
KINYONGO, Law 19:18 usiwe na kinyongo
KINYUME, Ro 16:17 kinyume cha fundisho
KINYWA, Yos 1:8 kisiondoke kinywani mwako
Isa 6:7 akakigusa kinywa changu
Isa 29:13 wamekaribia na vinywa vyao
Isa 51:16 maneno katika kinywa chako
Isa 62:2 jina, kinywa cha Yehova
Yer 1:9 kunigusa kinywa changu
Eze 33:31 tamaa kwa kinywa chao
Lu 6:45 kutokana na moyo, kinywa
Lu 19:22 nakuhukumu kinywani mwako
Ro 3:19 kila kinywa kizibwe
Ro 10:10 kinywa, tangazo la
1Pe 2:22 udanganyifu haukuwa kinywani
Ufu 14:5 hakuna uwongo vinywani
Kut 4:12; Kum 8:3; Zb 37:30; 62:4; Met 2:6; Mhu 5:2; Wim 5:16; Isa 58:14; 59:21; Ufu 3:16.
KIONGOZI, 1Sa 9:16 kiongozi juu ya Israeli
1Sa 25:30 kiongozi juu ya Israeli
2Sa 7:8 kiongozi juu ya Israeli
Ne 11:17 kiongozi wa nyimbo
Isa 11:6 mvulana kuwa kiongozi wao
Isa 55:4 kiongozi na kamanda
Mt 15:14 ni viongozi vipofu
Mt 23:10 msiitwe viongozi
Mt 23:16 Ole wenu, viongozi vipofu
Kum 32:42; Yos 10:24; Amu 11:6; 1Nya 13:1; 2Nya 32:21; Met 6:7; 25:15; Ro 2:19.
KIONGOZI WA KIJESHI, Mdo 21:32.
KIOO, 1Ko 13:12; Yak 1:23.
KIPAJI CHA USO, Amu 4:21.
KIPANDE, Wim 4:3; 6:7 kipande cha komamanga
KIPASHO, Kut 29:13; Law 3:4.
KIPAWA, Mwa 30:20 amenipa kipawa chema
KIPIMO, Mt 7:2 kipimo mnachopimia
Lu 6:38 kipimo, kilichoshindiliwa
Lu 12:42 kipimo cha chakula wakati
1Th 2:16 hukijaza kipimo cha dhambi
Eze 4:16; 43:11; Ro 12:3; Efe 4:16.
KIPINDI, Mwa 27:41 kipindi cha kuomboleza
Mk 10:30 kipindi hiki cha wakati
Ro 13:13 na vipindi vya kulewa
1Pe 1:5 kipindi cha mwisho
KIPINGAMIZI, Isa 57:14 Ondoeni kipingamizi
KIPIRI, Isa 30:6 kipiri na nyoka
KIPOFU, Isa 35:5 macho ya vipofu yatafunguliwa
Isa 56:10 Walinzi wake ni vipofu, bubu
Mt 15:14 Wao ni viongozi vipofu
Kum 28:29; Zb 146:8; Mt 23:24.
KIPONYAJI, Mal 4:2 kiponyaji katika mabawa
KIPUUZI, Yer 3:9 maoni yake ya kipuuzi
1Ti 1:6 maneno ya kipuuzi
KIPYA, 2Ko 5:17 yeye ni kiumbe kipya
KIRAKA, Mt 9:16 kiraka cha nguo mpya
KIRI, Mdo 24:14 nakiri hili kwako
Ro 14:11 kila ulimi utakiri kwa Mungu
KIROBOTO, 1Sa 24:14 Unamfuatilia kiroboto?
KIROHO, Mt 5:3 uhitaji wa kiroho
1Ko 2:13 tunapounganisha ya kiroho
1Ko 2:14 hayo huchunguzwa kiroho
Kol 1:8 alitufunulia katika njia ya kiroho
1Pe 2:5 nyumba ya kiroho
Ufu 11:8 katika maana ya kiroho linaitwa
Ro 1:11; 7:14; 1Ko 10:3, 4; Ga 6:1.
KIROMA, Mdo 25:16 utaratibu wa Kiroma
KISASI, Mwa 4:15 kisasi mara saba
Kum 32:35 Kisasi ni changu
Isa 34:8 Yehova ana siku ya kisasi
Isa 61:2 kutangaza siku ya kisasi
Mdo 28:4 haki yenye kudai kisasi
2Th 1:8 Yesu analeta kisasi
Kum 32:41, 43; Yer 50:28; Nah 1:2; Ro 12:19.
KISHERIA, Ebr 8:6 agano, imara kisheria
KISHI, 1Sa 9:1; Est 2:5; Mdo 13:21.
KISHONI, Amu 4:7; 1Fa 18:40; Zb 83:9.
KISIGINO, Mwa 3:15 utamtia jeraha kisigino
Mwa 49:17; Zb 41:9; Ho 12:3; Yoh 13:18.
KISIKI, Isa 11:1 kisiki cha Yese
KISILIKA, Met 30:24 vinne vina hekima kisilika
KISIMA, Met 14:27 Kumwogopa Yah, kisima cha
KISINGIZIO, Da 6:4 kisingizio juu ya Danieli
Lu 20:47 sala ndefu kwa kisingizio
2Ko 11:12 kisingizio cha kuwa sawa
Yud 4 kisingizio cha mwenendo mpotovu
KISIRI, Ayu 13:10 ubaguzi kisiri
KISIRIA, Isa 36:11 lugha ya Kisiria
KISIRISIRI, Ru 3:7 akaja kisirisiri akamfunua
Ga 2:4 walioingia kisirisiri
Yud 4 wameingia kisirisiri
KISIWA, Zb 97:1 visiwa vishangilie
Isa 40:15; 41:1; 42:12; Ufu 6:14; 16:20.
KITABU, Mhu 12:12 kutungwa kwa vitabu vingi
Isa 29:11 maneno ya kitabu ambacho
Isa 34:16 Mjitafutie katika kitabu cha Yehova
Da 7:10 vitabu vikafunguliwa
Da 9:2 nilitambua kwa vitabu hesabu ya miaka
Da 12:4 kukifunga kitabu mpaka wakati wa
Ebr 9:19 kukinyunyizia kitabu na watu wote
Ebr 10:7 katika kitabu cha kukunjwa
Kut 17:14; Mk 12:26; Mdo 19:19; Ebr 10:7.
KITABU CHA KUKUNJWA, Ezr 6:2; Zb 40:7; Isa 34:4; Yer 36:2, 27, 32; Eze 2:9; 3:1; Zek 5:1; Lu 4:17; Ga 3:10; 2Ti 4:13; Ufu 5:5; 17:8; 20:12; 21:27.
KITAKATIFU, Law 10:10 kitakatifu na najisi
KITAMBAA, 1Nya 4:21; 2Nya 2:14; Est 1:6; Yoh 11:44; 20:7; Mdo 19:12.
KITAMBI, Zb 73:4 kitambi chao ni kinono
KITAMBO KIDOGO, Isa 26:20.
KITANDA, Zb 41:3 kitanda cha ugonjwa
Zb 139:8 ningetandika kitanda katika
Isa 28:20 kitanda kimekuwa kifupi mno
Mik 2:1 wanaopanga mambo vitandani
Ebr 13:4 kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi
Mwa 49:4; 1Nya 5:1; Ayu 17:13; Zb 36:4; Isa 57:2; Mk 2:4; 6:55; Lu 8:16; Yoh 5:8; Mdo 5:15.
KITANI, Eze 9:2 mwanamume aliyevaa kitani
Ufu 19:8 kitani, ni matendo ya uadilifu
Law 16:4; Kum 22:11; Da 12:6, 7; Ufu 19:14.
KITENDAWILI, Amu 14:12; Zb 78:2.
KITI, Zb 110:1 adui kuwa kiti cha miguu
KITI CHA HUKUMU, Yoh 19:13; Mdo 18:12; 25:10; Ro 14:10; 2Ko 5:10.
KITI CHA MBELE, Mt 23:6; Lu 11:43; 20:46.
KITI CHA MIGUU, Isa 66:1 dunia, kiti cha miguu
Zb 99:5; 132:7; Omb 2:1; Yak 2:3.
KITI CHA UFALME, 1Nya 29:23; Zb 45:6; 97:2; Isa 9:7; 14:13; 66:1; Yer 3:17; Da 7:9; Mt 25:31; Lu 22:30; Kol 1:16; Ebr 4:16; 12:2; Ufu 3:21; 7:9; 20:4.
KITIA-MOYO, Ro 1:12 badilishana kitia-moyo
2Ko 8:17 [Tito] ameitikia kitia-moyo
Flp 2:1 kitia-moyo chochote katika Kristo
Ebr 6:18 kitia-moyo kushikilia tumaini
KITOVU, Met 3:8 maponyo kwenye kitovu
KITU KINACHOTAMBAA, Zb 148:10; Mdo 10:12.
KITULIZO, Ayu 14:14 mpaka kitulizo changu kije
2Th 1:7 kitulizo wakati wa ufunuo
KIU, Isa 49:10 Hawatakuwa na kiu
Isa 55:1 Haya, nyote mlio na kiu
Isa 65:13 ninyi mtakuwa na kiu
Amo 8:11 nitaleta kiu, si kiu ya maji
Mt 5:6 kiu kwa ajili ya uadilifu
Yoh 7:37 Ikiwa yeyote ana kiu
Ufu 21:6 yeyote aliye na kiu
Ufu 22:17 anayeona kiu aje
KIU YA DAMU, Met 29:10 wenye kiu ya damu
KIUMBE, 2Ko 5:17 yeye ni kiumbe kipya
Ga 6:15 kiumbe kipya ndicho kitu
Yak 1:18 matunda ya kwanza ya viumbe
Law 11:10; Eze 1:5; Kol 1:15; 1Ti 4:4; Ebr 4:13; Ufu 4:6; 5:6; 8:9.
KIUMBE KINACHORUKA, Mwa 1:20; Law 11:13.
KIUNGO, Ro 6:13 toeni viungo kwa Mungu
Ro 7:23 sheria ya dhambi katika viungo
1Ko 6:15 miili ni viungo vya Kristo?
1Ko 12:18 Mungu ameweka viungo
1Ko 12:27 viungo mkiwa mmoja
Efe 3:6 viungo vyenzi vya mwili
1Sa 21:5; Kol 3:5; Ebr 4:12; Yak 3:6; 4:1.
KIUNGO CHA UUME, Isa 57:8.
KIUNGO CHA UZAZI, Law 15:2, 3; Eze 23:20.
KIUNO, Mwa 3:7 majani ya kujifunika kiuno
Yer 1:17 mshipi viunoni, na kusimama
Efe 6:14 viuno vimefungwa kweli
Mwa 35:11; Kut 12:11; Isa 11:5; 45:1; Yer 13:11; Lu 12:35.
KIVULI, 1Nya 29:15 Siku zetu ni kama kivuli
Zb 17:8 Katika kivuli cha mabawa yako
Zb 23:4 bonde lenye kivuli kizito
Zb 39:6 mtu hutembea kama kivuli
Kol 2:17 mambo hayo ni kivuli
Ebr 8:5 kivuli cha vitu vya mbinguni
Ebr 10:1 Sheria ina kivuli
Yak 1:17 kugeuka kwa kivuli
Zb 57:1; 91:1; 144:4; Isa 30:2.
KIVULI KIZITO, Ayu 3:5; Zb 23:4; Isa 9:2.
KIWANDA CHA MELI, Isa 23:10.
KIWANGO, Yer 30:11 kiwango kinachofaa
KIWANJA, Kum 13:16; Amu 19:15; Isa 59:14.
KIWAZIMU, Nah 2:4 kuendeshwa kiwazimu
KIYAHUDI, Ga 1:13 katika dini ya Kiyahudi
KIZAZI, Kum 32:5 Kizazi kilicho kombo
Mhu 1:4 Kizazi kinaenda, kizazi
Omb 5:19 Kiti, kizazi baada ya kizazi
Mt 24:34 kizazi hiki hakitapita
Lu 11:51 damu itadaiwa kizazi hiki
Efe 3:5 vizazi havikujua siri hii
Flp 2:15 kati ya kizazi kombo
Kol 1:26 imefichwa tangu vizazi vilivyopita
Mwa 9:12; Kut 3:15; Zb 48:13; 78:4; 79:13; 100:5; 119:90; Mt 12:39; 23:36; Lu 21:32.
KIZIWI, Isa 35:5 masikio ya viziwi yatazibuliwa
Isa 42:19 kiziwi kama mjumbe wangu
Isa 43:8 Leteni watu walio viziwi
Isa 42:18; Mik 7:16; Mt 11:5; Mk 7:37.
KIZUIZI, Zb 107:39 kwa sababu ya kizuizi
Isa 53:8 Kwa sababu ya kizuizi
Nah 2:5 kizuizi kitawekwa imara
2Th 2:7 yule ambaye ni kizuizi
1Yo 4:18 woga hutokeza kizuizi
KODI, Hes 31:28 kodi kwa ajili ya Yehova
Mt 17:24 mwalimu wenu halipi kodi?
Mt 17:25 Wafalme hupokea kodi
Lu 23:2 wasimlipe Kaisari kodi
Ro 13:7 anayetaka kodi, kodi
Mwa 30:16; Kum 23:4; Yer 46:21.
KODIWA, Kut 12:45 mfanyakazi wa kukodiwa
Isa 7:20 wembe uliokodiwa
Lu 15:19 watu wako waliokodiwa
KOFI, Yoh 18:22 akampiga Yesu kofi
KOFIA, Efe 6:17 kofia ya wokovu
1Sa 17:5; Isa 59:17; Yer 46:4; 1Th 5:8.
KOKOTA, Yak 2:6 Matajiri huwakokota
KOLONI, Mdo 16:12 Filipi, koloni
KOMA, Isa 38:11 wakaaji wa nchi ya kukoma
KOMAA, Efe 4:13 kufikia mtu aliyekomaa
KOMBOA, Kut 13:15 wa kwanza ninamkomboa
2Sa 7:23 Mungu alijikombolea watu
Zb 34:19 Yehova humkomboa
Zb 34:22 anakomboa watumishi wake
Zb 49:7 kumkomboa hata ndugu
Met 10:2 uadilifu utakomboa na kifo
Met 14:25 Shahidi anakomboa nafsi
Isa 47:4 Kuna Yeye anayetukomboa
Yer 1:19 niko nawe, nikukomboe
Ho 13:14 Nitawakomboa na Kaburi
Lu 24:21 huyu ndiye angekomboa Israeli
1Th 1:10 kutukomboa na ghadhabu ijayo
2Pe 2:9 Yehova anajua kuwakomboa watu
Kut 3:8; Law 27:29; Kum 9:26; Ayu 10:7; Zb 18:17; 31:5; 33:19; 34:4; 44:26; 49:15; 69:18; 71:23; 72:14; 78:42; 106:10; Isa 43:1; 44:23; 48:20; 50:2; 52:9; Yer 15:21; Da 8:4; Mt 11:27; Mdo 12:11.
KOMBOKOMBO, Zb 60:4 wakimbie kombokombo
KOMBOLEWA, Isa 1:27 Sayuni atakombolewa
Isa 35:10 waliokombolewa na Yehova
Isa 51:10 waliokombolewa wavuke?
Isa 63:4 mwaka wa waliokombolewa
KONDA, Zb 102:7 Nimekonda, kama ndege
Eze 34:20 kondoo aliyekonda
KONDESHA, Sef 2:11 ataikondesha miungu
KONDESHWA, Isa 17:4 unono utakondeshwa
KONDOO, Mwa 22:13 kondoo aliyenaswa
Zb 44:22 Tumehesabiwa kuwa kondoo
Isa 53:7 kama kondoo machinjioni
Yer 23:2 mmewatawanya kondoo zangu
Eze 34:12 nitakavyowatunza kondoo
Sef 2:6 mazizi ya mawe ya kondoo
Mt 9:36 kondoo wasio na mchungaji
Mt 10:6 kondoo waliopotea wa Israeli
Mt 10:16 ninawatuma kama kondoo
Mt 18:12 kondoo 100 na mmoja apotee
Mt 25:32 anavyotenganisha kondoo
Yoh 10:16 nina kondoo wengine
Yoh 21:16 Chunga kondoo wangu
Mt 26:31; Mdo 8:32; Ro 8:36; 1Pe 2:25.
KONDOO WENGINE, Yoh 10:16.
KONDOO-DUME, 1Sa 15:22 kuliko kondoo-dume
Eze 34:17 nahukumu kondoo-dume na
Mik 6:7 maelfu ya kondoo-dume
Law 5:15; 8:22; 9:18; Isa 1:11; Yer 51:40; Da 8:20.
KONGWA, Yer 29:26 utamtia katika kongwa
KONYEZA, Met 6:13 akikonyeza jicho
Met 16:30 anakonyeza-konyeza macho
KOO, Zb 149:6 Nyimbo ziwe kooni
KOPA, Kum 28:12 wewe hutakopa
Zb 37:21 Mwovu anakopa lakini halipi
KOPESHA, Zb 37:26 kukopesha mchana kutwa
Met 22:7 mtu anayemkopesha
Lu 6:35 kukopesha bila faida
Kut 22:25; Kum 28:44; Zb 112:5; Met 19:17.
KORA, Hes 16:1 Kora mwana wa Ishari
KORBANI, Mk 7:11 nilicho nacho ni korbani
KORESHI, Isa 44:28 Koreshi, mchungaji wangu
Isa 45:1 mtiwa-mafuta wake, Koreshi
2Nya 36:22; Ezr 1:2, 7; 5:13; 6:3, 14.
KORNELIO, Mdo 10:1, 3, 22, 24, 25, 30, 31.
KOSA, Mwa 6:9 Noa hakuwa na kosa
Mwa 15:16 kosa la Waamori
Yos 24:14 kumtumikia bila kosa
Ezr 9:6 makosa yetu yameongezeka
Ayu 4:18 huwashtakia kosa wajumbe wake
Ayu 6:24 kosa ambalo nimetenda
Ayu 19:4 kosa litakaa pamoja nami
Ayu 31:11 mpotovu, kosa la kufikiriwa
Ayu 31:33 ikiwa niliyafunika makosa
Ayu 40:2 anayetafuta kosa, kukaripia Mungu
Zb 15:2 anayetembea bila kosa
Zb 18:43 Utaniokoa na kutafuta makosa
Zb 19:13 nitakuwa sina hatia ya makosa
Zb 51:5 Nilizaliwa nikiwa na kosa
Zb 125:3 mkono juu ya kosa
Zb 130:3 ungekuwa unaangalia makosa
Met 17:9 Anayefunika makosa anatafuta
Met 30:20 Sijafanya kosa lolote
Isa 44:22 Nitayafutilia mbali makosa
Isa 53:5 akipondwa kwa makosa yetu
Isa 57:17 makosa ya pato lisilo haki
Yer 33:8 nitasamehe makosa yao
Eze 18:28 kuyaacha makosa yake
Eze 28:15 Hukuwa na kosa katika njia
Da 9:24 ili kukomesha makosa
Mik 7:18 anayesamehe kosa
Mt 6:14 ikiwa mnawasamehe makosa
Mt 18:15 funua kosa kati yako naye
Yoh 18:38 Pilato hakuona kosa kwake
Ro 4:15 hapana pia kosa lolote
Ro 4:25 kwa ajili ya makosa yetu
Ro 5:15 ikiwa kwa kosa la mmoja
Ga 3:19 ili kufanya makosa yawe wazi
Kol 2:13 alitusamehe makosa yote
2Th 2:11 utendaji wa kosa
Ebr 8:7 agano lingekuwa bila kosa
Yak 2:10 amekosa juu ya zote
Yak 5:20 kumrudisha kutoka kosa
2Pe 2:18 hujiendesha kwa makosa
Mwa 17:1; Kut 5:16; 20:5; Law 16:21; Kum 5:9; 18:13; Yos 22:17; Est 1:16; Zb 50:20; 119:1; Met 28:10; 29:16; Omb 3:42, 59; Mt 20:13; Mk 11:25; Mdo 25:10; 2Ko 5:19; Efe 2:1; 4:14; 1Th 2:3; Ebr 2:2; 9:15; Yak 2:11; 2Pe 3:17; 1Yo 4:6.
KOSA AKILI, Isa 9:17.
KOSEA, 1Fa 8:47 Tumetenda dhambi na kukosea
Isa 43:27 wasemaji wako wamenikosea
2Ko 7:2 Hatujamkosea yeyote
Yer 2:29; 33:8; Sef 3:11; Mdo 24:16.
KOSEANA, Law 25:14 mwenzenu, msikoseane
KOSEKANA, Mhu 1:15.
KOSEWA, Met 18:19 Ndugu aliyekosewa
1Ko 6:7 msiache mkosewe
KOTI, 1Sa 15:27; Ezr 9:3; Zb 109:29.
KOTI LISILO NA MIKONO, Kut 28:4; Ayu 1:20; Isa 59:17; 61:10.
KRISTO, Mt 16:16 Wewe ndiye Kristo
Ro 8:17 warithi pamoja na Kristo, mradi tu
1Ko 12:12 mwili mmoja, ndivyo alivyo Kristo
1Ko 15:23 Kristo, matunda ya kwanza
Flp 2:11 ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana
Kol 1:24 dhiki za Kristo katika mwili wangu
1Pe 4:13 washiriki katika mateso ya Kristo
Ufu 20:4 wakatawala pamoja na Kristo
Yoh 17:3; 1Ko 1:13; 3:23; 7:22; 2Ko 12:10; Ga 3:29; Efe 5:23; Kol 1:27; 1Pe 2:21.
KUA, Mdo 6:7 neno likaendelea kukua
Kol 2:19 mwili, huendelea kukua
KUANGUKA KUSIKO KWA KAWAIDA, Law 13:30, 34.
KUBALI, Kum 13:8 usikubali nia yake
Met 1:10 wakikushawishi, usikubali
Yer 14:20 Tunakubali, uovu wetu
Mt 3:17 Mwanangu, ambaye nimemkubali
Lu 12:32 amekubali kuwapa ufalme
Mdo 8:1 Sauli, akikubaliana na kuuawa kwake
Mdo 11:18 waliposikia, wakakubali
1Ko 7:6 nasema hilo kwa njia ya kukubaliana
1Ko 7:12, 13 mke anakubali kukaa
2Ko 6:2 wakati unaokubalika
Efe 5:10 linalokubalika kwa Bwana
2Th 2:10 hawakukubali kuipenda ile kweli
1Ti 3:16 kukubalika kwamba siri ni kubwa
2Ti 2:15 ujitoe ukiwa mtu aliyekubaliwa
Flm 21 nikitumaini kwamba utakubali
Ebr 10:6 hukukubali matoleo mazima
1Pe 2:5 dhabihu zenye kukubalika
Ayu 42:8; Ho 14:2; Mt 18:19; 20:13; Lu 4:19; Mdo 5:9; 15:15; Ro 12:1; 16:10; 2Ko 10:18; 13:7; 1Ti 2:3.
KUBWA, Ro 13:1 mamlaka zilizo kubwa
KUBWA ZAIDI, Efe 1:19 nguvu zake kubwa zaidi
KUCHANGAMKA, 1Sa 25:36 moyo ukichangamka
Mdo 27:36 wote wakachangamka, wakala
Flp 2:19 nafsi ichangamke
KUCHANGAMSHA, Mhu 2:3 changamsha mwili
Mdo 14:17 akijaza mioyo uchangamfu
2Ko 2:2 ni nani wa kunichangamsha
2Ko 9:7 mtoaji mchangamfu
KUCHEZA, Amu 16:25 Samsoni apate kucheza
KUCHUKUA MAMBO KWA UZITO, 1Ti 3:4, 8, 11; Tit 2:2.
KUFA, Mwa 2:17 ukila, utakufa hakika
Mwa 3:4 Hakika hamtakufa
Mhu 3:2 kuzaliwa na wakati wa kufa
Mhu 3:19 Anavyokufa huyu, ndivyo na yule
Isa 26:14 wamekufa; hawataishi
Eze 18:4 Nafsi yenye dhambi, itakufa
Yoh 11:26 anayeniamini hatakufa kamwe
Ro 4:19 mwili wake, ukiwa umekufa
Ro 5:8 Kristo alikufa kwa ajili yetu
Ro 6:9 Kristo hafi tena
Ebr 11:13 wote walikufa katika imani
Mhu 9:5; Yer 16:4; Lu 16:22; 20:36; Ro 7:9; 14:9; 2Ko 5:15; Ebr 9:27.
KUFA MOYO, Ga 6:9 tusife moyo kufanya mema
KUFANYWA KUWA WANA, Ro 8:15, 23; 9:4; Ga 4:5; Efe 1:5.
KUFUMBA NA KUFUMBUA, 1Ko 15:52.
KUFURU, Mt 12:31 kufuru juu ya roho
Mk 3:29 anayekufuru roho takatifu
Mdo 13:45 kuyapinga kwa kukufuru
Ufu 16:21 wakamkufuru Mungu
Mt 26:65; Mk 14:64; Yoh 10:33; Mdo 6:11; 1Ti 1:20; Yak 2:7; Ufu 2:9; 13:6; 17:3.
KUHANI, Mwa 14:18 Melkizedeki kuhani
Kut 40:13 Haruni, kuhani kwangu
Zb 110:4 kuhani kama Melkizedeki!
Isa 28:7 Kuhani, nabii, wamepotea
Mik 3:11 makuhani, wapate malipo
Zek 3:1 Yoshua kuhani mkuu
Ebr 3:1 mtume na kuhani, Yesu
Ufu 20:6 makuhani wa Mungu na
1Sa 2:35; Yoh 19:15; Ebr 5:5; 9:25.
KUHANI MKUU, Hes 35:25 kifo cha kuhani mkuu
Ebr 3:1 kuhani mkuu—Yesu
Ebr 6:20 Yesu, amekuwa kuhani mkuu
KUHARA, Mdo 28:8 Publio, baba yake kuhara
KUHUSIANA, 1Ko 15:58 si ya bure kuhusiana
KUJA. Ona pia KUWAPO.
Mal 3:2 atakayeistahimili siku ya kuja kwake
Mk 13:26 Mwana wa binadamu akija
Lu 12:45 Bwana wangu anakawia kuja
KUJIDAI, 2Ti 3:2 wenye kujidai
Met 21:24; Hab 2:5; Ro 1:30; Yak 4:16.
KUJIHESABIA MAKUU, Isa 10:12.
KUJIHUKUMIA, Tit 3:11 amejihukumia hatia
KUJIINUA, Met 8:13 Nimechukia kujiinua
Met 15:25 nyumba ya waliojiinua
Isa 2:12 Iko juu ya kila aliyejiinua
KUJIONYESHA, 1Yo 2:16 mtu kujionyesha mali
KUJIPAMBA, Ayu 40:10 jipambe kwa ukuu
Mk 15:17 wakampamba kwa zambarau
Lu 16:19 tajiri, akijipamba kwa zambarau
1Pe 3:3 kujipamba kusiwe kusuka
KUJISHUSHA, Zb 113:6 anajishusha kutazama
KUJISIFU, Ga 5:26 tusiwe wenye kujisifu
Flp 2:3 kutofanya jambo kwa kujisifu
KUJITEGEMEA, Amu 18:7.
KUJITENGA, Ezr 10:11 kujitenga na wake
2Ko 6:17 tokeni katikati yao, mjitenge
KUJITIKISA, Isa 52:2 Jitikise uwe huru
KUJITOA KIKAMILI, Kut 20:5.
Kum 4:24 Yehova anataka wajitoe kikamili
Eze 39:25 nitajitoa kikamili kwa ajili
Nah 1:2 Yehova anataka wajitoe kikamili
Hes 25:11; Yos 24:19; Wim 8:6; Eze 5:13.
KUJITOSHELEZA, Ayu 21:23; Flp 4:11.
KUJITUMAINI, Zb 85:8 wasirudi kujitumaini
Met 14:16 mwenye kujitumaini
Eze 30:9 Ethiopia yenye kujitumaini
KUJITWIKA, Kol 2:23 ibada ya kujitwika
KUJIVUNA, Ro 11:20 mawazo ya kujivuna
KUJIZUIA, Isa 42:14 Niliendelea kujizuia
Mdo 24:25 akiongea juu ya kujizuia
1Ko 9:25 anayeshiriki shindano hujizuia
Tit 1:8 mwenye kujizuia
1Ko 7:5, 9; Ga 5:23; 2Ti 3:3; 2Pe 1:6.
KUJUA, Ebr 13:2 bila kujua, waliwakaribisha
KUKANA, Ayu 31:28 nimemkana Mungu
KUKATWA KWA MSUMENO, Ebr 11:37.
KUKUSANYA MANENO, Mhu 12:11.
KULA, Mwa 2:17 usile matunda yake
Mwa 3:19 kwa jasho, utakula mkate
Law 17:14 msile damu
Kum 28:53 utakula uzao wa tumbo lako
Mhu 2:24 ale, anywe, aone mema
Isa 11:7 simba atakula majani
Isa 24:6 laana imeila nchi
Isa 65:13 Watumishi wangu watakula
Yer 15:16 Maneno yako nikayala
Yer 19:9 watakula nyama ya wana
Mt 6:19 ambako nondo na kutu hula
Mt 26:26 wakila, Yesu akachukua mkate
Ro 14:6 anayekula, anakula kwa Yehova
1Ko 10:17 tunakula mkate mmoja
2Th 3:10 asiyefanya kazi, asile
Ufu 2:7 kula matunda ya mti wa uzima
Zb 22:26; Isa 27:10; 65:21; Eze 3:1; Yoh 6:53.
KULA NA KUNYWA, Isa 21:5; Mt 11:19; 24:38; Lu 10:7; Ro 14:17; Kol 2:16.
KULABU, Eze 38:4 kulabu katika mataya yako
KULALA, 1Th 4:13 ambao wanalala katika kifo
KUMBATIA, 2Fa 4:16 utamkumbatia mwana
Zb 94:19 kuikumbatia nafsi yangu
Wim 2:6 Mkono wake unanikumbatia
Mwa 29:13; 48:10; Met 4:8; Mhu 3:5.
KUMBUKA, Mwa 9:15 nitakumbuka agano langu
Mwa 19:29 Mungu alimkumbuka Abrahamu
Kut 20:8 kuikumbuka Sabato
1Fa 17:18 kumbukumbu la kosa
Ne 4:14 Mkumbukeni Yehova
Ayu 14:13 wakati na kunikumbuka!
Zb 25:7 Usikumbuke dhambi
Mhu 12:1 Mkumbuke, Muumba wako
Yer 31:34 dhambi yao sitaikumbuka
Lu 17:32 Mkumbukeni mke wa Loti
Lu 22:19 kwa kunikumbuka mimi
2Ti 1:5 naikumbuka imani
Ebr 10:32 kukumbuka siku za zamani
Ebr 13:7 Wakumbukeni wanaoongoza
Zb 137:6; Isa 43:25; Lu 23:42; 1Ko 11:25; 2Pe 3:2.
KUMBUKUMBU, Ezr 4:15 kitabu, kumbukumbu
Ezr 6:2 kumbukumbu hii imeandikwa
Zb 109:15 akatilie mbali kumbukumbu
Met 10:7 Kumbukumbu la mwadilifu
Mhu 9:5 kumbukumbu lao limesahauliwa
Eze 23:19 kumbukumbu ya ujana
Mal 3:16 kitabu cha kumbukumbu
KUMBUKWA, Zb 83:4 Israeli lisikumbukwe tena
Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa
Mdo 10:31 zawadi zako zimekumbukwa
KUMBUSHA, Isa 43:26 Nikumbushe; hukumuni
2Pe 1:12 kuwakumbusha mambo
2Pe 1:13 kuwaamsha kwa kuwakumbusha
KUMI, Kut 34:28 Maneno Kumi
Zek 8:23 watu kumi wataushika
Ufu 2:10 muwe na dhiki siku kumi
Mwa 18:32; 2Fa 20:11; Mt 25:1; Ufu 13:1.
KUMI NA MBILI, Mwa 49:28 makabila 12
Mt 10:2 mitume kumi na wawili
Yak 1:1 kwa makabila kumi na mawili
KUNDI, Zb 65:13 Malisho yamevikwa makundi
Zb 79:13 kundi la malisho yako
Met 27:23 kujua hali ya kundi lako
Isa 40:11 Atalichunga kundi lake
Mt 8:30 kundi la nguruwe
Lu 12:32 Msiogope, kundi dogo
1Pe 5:3 vielelezo kwa kundi
Kut 8:24; Amu 5:16; Zb 78:52; Isa 13:20; 60:7; 61:5; Yer 25:34; Mik 2:12; Mt 26:31; Mk 5:11; Lu 8:32; 1Pe 5:2.
KUNDI LA WAIMBAJI, Ne 12:31, 38, 40.
KUNDI-NYOTA, Ayu 9:9; Amo 5:8.
KUNDI-NYOTA LA ASHI, Ayu 9:9.
KUNG’UTA, Ne 5:13 nikakung’uta vazi
Mt 10:14 yakung’uteni mavumbi
Mdo 13:51 wakawakung’utia mavumbi
KUNI, Eze 15:4 utiwe motoni uwe kuni
KUNJA, Ebr 1:12 utazikunja kama kanzu
KUNJAMANA, Mhu 7:3 kukunjamana uso
KUNJWA, Isa 34:4 mbingu zitakunjwa
KUNYOOSHA MAMBO, Mik 4:3; 2Ti 3:16; Ebr 9:10.
KUNYWA, Mhu 2:24 mwanadamu, ale, na anywe
Yer 25:28 Bila shaka mtakinywa kikombe
Mt 26:29 divai, kuinywa katika ufalme
KUONEKANA, Mt 28:3.
KUPIGA WATU, 1Ti 3:3; Tit 1:7.
KUPIMIA, Met 16:11 Kitu cha kupimia cha haki
KURA, Est 3:7 alipiga Puri, yaani, Kura
Lu 23:51 kura katika kuunga
Yoh 19:24 vazi walilipigia kura
Mdo 13:19 aligawanya nchi kwa kura
Mdo 26:10 kura yangu dhidi yao
KURUDI NYUMA, Ebr 10:38.
KUSANYA, Est 9:18 Wayahudi, wakajikusanya
Zb 50:5 Wakusanye washikamanifu
Isa 40:11 Atawakusanya wana-kondoo
Isa 56:8 Nitawakusanya wengine mbali na
Isa 60:4 Wote wamekusanywa pamoja
Yer 23:3 nitakusanya mabaki ya kondoo
Yer 25:33 hawatakusanywa wala kuzikwa
Sef 2:1 Jikusanyeni, Ee taifa
Sef 3:8 uamuzi, kukusanya mataifa
Mt 12:30 asiyekusanya nami atawanya
Mt 13:41 malaika watakusanya kutoka ufalme
Mt 23:37 kuwakusanya watoto wako
Mt 24:31 watawakusanya wachaguliwa
Lu 1:1 kukusanya habari za mambo ya hakika
Yoh 4:36 kukusanya matunda
Mdo 4:26 wakajikusanya dhidi ya Yehova
Ufu 16:16 kuwakusanya Har-Magedoni
2Fa 10:18; Zb 102:22; 106:47; Isa 11:12; 43:9; 54:7; Yer 29:14; 49:14; Da 11:10; Mik 2:12; 4:6; Mt 3:12; 22:10; Yoh 11:52; Mdo 28:3; 1Ko 5:4; Ufu 16:14.
KUSANYIKA, Mt 25:32 mataifa yatakusanyika
Ebr 10:25 tusiache kukusanyika
KUSANYIKO, Hes 27:16; Zb 1:5; 82:1; Isa 1:13; Amo 5:21; Mdo 19:39.
KUSEMA, 2Ko 3:12 uhuru mkubwa wa kusema
KUSHI, Mwa 10:6, 7, 8; Isa 11:11; Yer 46:9.
KUSINZIA, Met 6:10 bado kusinzia kidogo
KUSOMA, Mdo 26:24 Paulo! Kusoma kwingi
KUSONGWA PUMZI, Ayu 7:15.
KUSUDI, Ayu 11:12 atapata kusudi jema
Met 16:4 Yehova, kila kitu kwa kusudi
Ho 4:11 divai huondoa kusudi jema
Lu 1:51 kusudi la mioyo yao
Ro 8:28 wameitwa, na kusudi lake
Efe 3:11 na kusudi la milele
Flp 1:17 si kwa kusudi safi
Ufu 19:10 ndilo kusudi la unabii
KUSUDIA, Law 4:2 dhambi bila kukusudia
Hes 15:25 lilikuwa kosa wasilokusudia
Da 7:25 atakusudia kubadili nyakati
Mdo 17:31 anakusudia kuhukumu
2Ko 1:17 nikikusudia hivyo
Ga 3:23 imani iliyokusudiwa
Efe 1:9 siri takatifu aliyokusudia
1Th 3:4 tulikusudiwa dhiki
Mik 2:3; Mt 16:22; Yoh 11:51; Mdo 13:34; Kol 2:22.
KUSUDIO, Kut 23:2 makusudio maovu
Ebr 4:12 makusudio ya moyo
KUSUKA NYWELE, 1Ti 2:9; 1Pe 3:3.
KUSULUHISHA MAMBO, Mt 5:25.
KUTA, Lu 12:37 bwana anakuta wakikesha!
KUTAMANI, Mk 7:22 moyoni hutoka kutamani
Yak 4:2 Mnaendelea kuua na kutamani
KUTANA, Hes 20:20 kukutana naye akiwa
KUTANIKO, Mdo 16:5 makutaniko yakaongezeka
Mdo 20:28 lichungeni kutaniko la Mungu
1Ko 14:34 kimya katika makutaniko
Efe 5:24 kutaniko linavyojitiisha kwa Kristo
Kol 1:18 ndiye kichwa cha mwili, kutaniko
Ebr 12:23 kutaniko la walioandikishwa
Kut 12:6; Kum 9:10; 1Sa 17:47; Zb 149:1; Met 26:26; 1Ko 14:19; Ga 1:13; Efe 1:22.
KUTANISHA, Law 8:3 ukutanishe kusanyiko
Kum 31:12 Wakutanishe watu
KUTELEZA, Zb 35:6 penye kuteleza
KUTENGWA, Zek 14:11 kutengwa kwa ajili ya
KUTOJALI, Met 1:32 kutojali kwa wajinga
KUTOJUA, Mdo 17:30 Mungu ameachilia kutojua
Ebr 9:7 dhambi za hali ya kutojua
KUTOKA, Ebr 11:22 kule kutoka kwa Israeli
KUTOKWA SHAHAWA, Law 20:15; 22:4.
KUTOTAHIRIWA, Ro 2:25, 26; 1Ko 7:19; Ga 5:6; Kol 3:11.
KUTOTII, Ro 5:19 kutotii kwa mtu mmoja
Ro 10:21 watu wasiotii
Efe 2:2 roho, wana wa kutotii
Ebr 2:2 kila tendo la kutotii lilipokea malipo
Ebr 3:18 nani waliotenda kwa kutotii?
KUTOWEZA KUFA, 1Ko 15:53.
1Ti 6:16 peke yake asiyeweza kufa
KUTU, Eze 24:6, 11, 12; Yak 5:3.
KUU, Met 4:7 Hekima ni jambo kuu
KUUME, Mt 20:23 upande wangu wa kuume
KUVUMILIA, Lu 21:19 kwa kuvumilia mtajipatia
KUWA MACHO, Efe 6:18.
KUWA WENGI, Yer 23:3 watazaa, kuwa wengi.
KUWAPA, Ga 3:5 anayewapa roho
KUWAPO, Ne 13:6 nikaomba kutokuwapo
Mt 24:3 ishara ya kuwapo kwako
Mt 24:37 kuwapo kwa Mwana
1Ko 15:23 Kristo wakati wa kuwapo
2Ko 10:10 kuwapo kwake ni dhaifu
Flp 2:12 bali kutokuwapo kwangu
Flp 2:12 mkitii, si wakati wa kuwapo
Kol 2:5 sipo katika mwili
2Pe 1:16 nguvu, kuwapo kwa Bwana
2Pe 3:4 kuwapo kwake kuko wapi?
1Yo 2:28 aibu, kuwapo kwake
Mt 24:27; 1Ko 5:3; 2Ko 5:9; 10:1, 11; Flp 1:27; 1Th 4:15; Yak 5:7, 8; 2Pe 3:12.
KUWASILIANA NA PEPO, Law 19:31; Kum 18:11; 1Sa 28:3, 7; 2Fa 21:6; 23:24; Isa 8:19; 19:3; 29:4; Ga 5:20; Ufu 22:15.
KUZA, 1Ko 3:7 Mungu anayeikuza
KUZAA WATOTO, 1Ti 2:15.
KUZIMU. Ona GEHENA, KABURI.
KUZUIWA, 1Sa 2:3 Msiache litoke bila kuzuiwa
KWANZA, Isa 42:9 Mambo ya kwanza yamekuja
Isa 44:6 Mimi ni wa kwanza
Mt 6:33 kutafuta kwanza ufalme
Mt 19:30 wa kwanza, mwisho
Mdo 26:23 wa kwanza kufufuliwa
Kol 1:18 wa kwanza katika vyote
1Ti 1:15 dhambi, mimi wa kwanza
Isa 48:12; Mk 9:35; Efe 4:22; Ebr 10:9; 3Yo 9.
KWARE, Hes 11:31 upepo ukasukuma kware
KWAZA, Zb 119:165 cha kuwakwaza
Mt 18:6 yeyote anayemkwaza
Ro 9:33 Ninaweka jiwe la kukwaza
Flp 1:10 msiwe mkiwakwaza wengine
KWAZIKA, Mt 5:29 jicho linakufanya ukwazike
Mt 13:57 wakaanza kukwazika
Mt 26:31 nyote mtakwazika
Ro 16:17 wanaosababisha kukwazika
KWAZWA, Da 11:33 watakwazwa kwa upanga
Da 11:35 wenye ufahamu watakwazwa
KWELI, Zb 12:2 kusemezana yasiyo ya kweli
Zb 19:9 Maamuzi ni ya kweli
Zb 43:3 Tuma nuru na kweli yako
Zb 119:160 Kiini cha neno lako ni kweli
Met 14:25 Shahidi wa kweli
Met 23:23 Nunua kweli
Met 30:8 Maneno yasiyo ya kweli
Isa 43:9 wasikie na kusema, Ni kweli!
Yer 10:10 kwa kweli Yehova ni Mungu
Eze 13:6 jambo lisilo la kweli
Yoh 3:33 Mungu ni wa kweli
Yoh 4:23 waabudu wa kweli
Yoh 4:24 kwa roho na kweli
Yoh 8:32 kweli itawaweka huru
Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli
Yoh 17:17 neno lako ni kweli
Yoh 18:37 ushahidi juu ya ile kweli
Ro 3:4 aonekane kuwa wa kweli
1Ko 5:8 keki za unyoofu na kweli
2Ko 6:8 bado ni wenye kusema kweli
2Ko 13:8 kufanya kinyume cha kweli
Efe 6:14 vimefungwa kwa ile kweli
2Th 2:10 hawakukubali kuipenda kweli
1Ti 2:7 jambo linalohusu kweli
1Ti 3:15 tegemezo la ile kweli
1Ti 6:19 waushike uzima wa kweli
2Ti 2:15 sawasawa neno la kweli
Ebr 10:26 ujuzi sahihi juu ya kweli
2Pe 1:12 imara katika kweli
Ufu 3:14 mwaminifu na wa kweli
Zb 41:6; Yoh 1:9; 8:44; 15:1; 17:3; Ro 1:25; 2Ti 3:7; 1Yo 5:20; Ufu 19:11.
KWELIKWELI, 1Ti 1:2 mtoto kwelikweli
KWEZA, Zb 34:3 tulikweze jina lake pamoja
KWEZWA, Met 30:13.
L
LAANA, Yos 7:25 umeleta laana juu ya Israeli
Ga 3:13 alituachilia huru kutoka katika laana
Mwa 12:3; Kut 21:17; Kum 11:26; Ayu 2:9; Met 26:2; Isa 24:6; Ufu 22:3.
LAANI, Ayu 2:5 uone kama hatakulaani
Met 24:24 watu watamlaani
Ro 12:14 muwe mkibariki, si kulaani
Hes 23:8; Ayu 3:8; Met 11:26; 1Ko 16:22; Ga 1:8.
LAANIWA, Mwa 3:17 udongo umelaaniwa
Kum 21:23 kitu kilicholaaniwa
Yoh 7:49 watu waliolaaniwa
Ga 3:13 Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa
LABANI, Mwa 24:29; 29:5; 31:24, 48; 32:4.
LAINI, Zb 12:3 Yehova ataikata midomo laini
Da 11:32 kwa kutumia maneno laini
1Th 2:5 hatujatokea na maneno laini
LAINISHWA, Isa 34:6 utalainishwa kwa mafuta
LAKISHI, Yos 10:3; 2Fa 14:19; Yer 34:7.
LALA, Mwa 4:1 Adamu akalala na Hawa
Kum 27:21 “Alaaniwe anayelala na mnyama
2Sa 4:5 alipokuwa analala mchana
Ayu 3:13 ningalikuwa nimelala
Eze 34:25 kulala katika misitu
Da 12:2 wengi kati ya wale waliolala
Mt 13:25 Watu wakiwa wamelala
Mt 25:5 walisinzia na kuanza kulala
2Pe 2:3 maangamizi yao hayalali
Mwa 38:26; Kut 22:16; Kum 22:28; Amu 21:12; Isa 56:10; Mdo 13:36; 2Pe 3:4.
LALA KINGUVU, Amu 19:24
Amu 20:5 wakamlala kinguvu suria
Est 7:8 malkia alalwe kinguvu
Zek 14:2 wanawake watalalwa kinguvu
LALA USINGIZI, 1Fa 18:27 pengine amelala
1Ko 15:20 wamelala usingizi katika kifo
1Ko 15:51 Hatutalala usingizi katika kifo
1Th 5:6 na tusiendelee kulala usingizi
Zb 13:3; Mt 27:52; Mdo 7:60; 1Ko 15:6, 18; 1Th 4:14.
LALAMIKA, Met 21:13 kilio cha kulalamika cha
Kol 3:13 sababu ya kulalamika juu ya
LAMEKI, Mwa 4:18; 5:25; 1Nya 1:3; Lu 3:36.
LANGO, Mwa 22:17 lango la adui zake
Ayu 38:17 umefunuliwa malango ya kifo
Isa 28:6 wanaogeuza pigano langoni
Isa 38:10 nitaingia malango ya Kaburi
Isa 60:11 malango yataachwa wazi
Isa 62:10 tokeni kupitia malango
Mt 7:14 lango ni jembamba
Mt 16:18 malango ya Kaburi
Mdo 12:14 Petro amesimama langoni
Mwa 7:11; Kum 31:12; Amu 16:3; Zb 127:5; Met 1:21; Isa 26:2; 60:18; Mal 3:10; Lu 16:20; Ebr 13:12.
LAODIKIA, Kol 2:1; 4:16; Ufu 1:11; 3:14.
LAUMIKA, 1Th 2:10 tulivyokuwa wasiolaumika
1Th 3:13 mioyo imara, isiyolaumika
1Ti 3:2 mwangalizi, asiyelaumika
1Ti 5:7 wasiwe wenye kulaumika
1Ti 6:14 doa na isiyolaumika
LAUMU, Mwa 21:25 Abrahamu alipomlaumu
Lu 6:37 nanyi hamtalaumiwa
2Ko 6:3 huduma yetu isilaumiwe
Mt 12:7; Ro 9:19; Tit 2:8; Ebr 8:8.
LAWAMA, Ayu 2:3 mtu asiye na lawama na
Ayu 12:4 mwadilifu, asiye na lawama
Flp 2:15 bila lawama na wasio na hatia, watoto
1Th 5:23 namna isiyo na lawama
LAWI, Mwa 29:34 akaitwa Lawi
Kut 32:26 wana wote wa Lawi
Kum 10:9 Lawi hana fungu na urithi
Mal 3:3 atatakasa wana wa Lawi
Mwa 35:23; Hes 18:21; Zb 135:20; Ufu 7:7.
LAZARO, Lu 16:20 mwombaji, Lazaro
Yoh 11:1 Lazaro wa Bethania
LAZIMA, Ro 12:3 asijifikirie kuliko lazima
Flp 1:24 katika mwili ni lazima
Ebr 2:1 lazima tukaze uangalifu
LAZIMISHA, Ga 2:14 unawalazimisha watu wa
1Pe 5:2 si kwa kulazimishwa
Mdo 28:19; 2Ko 9:7; Ga 2:3; Flm 14.
LEA 1., Mwa 29:23 akamchukua Lea
Ru 4:11 kama Raheli na Lea
LEA 2., Met 22:6 Mlee mvulana
LEBANONI, Kum 3:25; Isa 35:2; Eze 17:3.
LEGEA, Kut 5:8 kwa sababu wanalegea
Kut 5:17 akasema: Mnalegea, mnalegea!
2Nya 15:7 msiache mikono yenu ilegee
Sef 3:16 Mikono yako isilegee
LEGEA-LEGEA, Isa 35:3.
LEGEZA, Yos 10:6 Usilegeze mkono wako
LEMAA, Mdo 14:8 amelemaa miguu
LEMEA, Zek 12:3 jiwe lenye kulemea
LEMEWA, Lu 21:34 mioyo isilemewe
2Ko 5:4 tunaugua, tukilemewa
2Ti 3:6 wanawake waliolemewa
LENGO, Kut 10:10 lengo la kufanya baya
1Ti 1:5 lengo la amri hii
LETA, Da 12:3 wanaoleta wengi kwenye uadilifu
LEWA, Mwa 9:21 Noa akalewa
Hag 1:6 Mnakunywa, hamlewi
Efe 5:18 msiwe mkilewa
1Th 5:7 wanaolewa, hulewa usiku
Ufu 17:6 mwanamke amelewa damu
Isa 19:14; Yer 51:7; Mdo 2:15.
LEWESHA, Met 5:19 maziwa yake yakuleweshe
LEWIATHANI, Isa 27:1 Lewiathani, mpotovu
LIA, Mhu 3:4 wakati wa kulia na
Isa 30:19 wewe hutalia
Isa 33:7 wajumbe watalia kwa uchungu
Eze 24:16 wala usilie, wala machozi
Yoe 1:5 ninyi walevi, lieni
Ro 12:15 lieni na watu wanaolia
1Ko 15:52 tarumbeta italia
Yak 5:1 lieni, mkipiga mayowe
Ufu 18:9 wafalme wa dunia watalia
Isa 38:14; 59:11; Yer 3:21; 31:7, 16; 50:4; Mik 1:10; Mt 8:12; 13:50; Lu 6:21; 23:28; Ufu 18:15.
LIBYA, Mdo 2:10 Misri, na Libya
LIJAMU, Zb 39:1 lijamu, mlinzi wa kinywa
Isa 30:28 lijamu katika taya
Yak 3:3 lijamu katika vinywa vya farasi
LIMA, Mwa 2:5 hapakuwa na mtu wa kuilima
Mwa 3:23 akamwondoa Edeni, aulime udongo
Met 20:4 mvivu hatalima
Amo 9:13 anayelima atampita anayevuna
Zek 13:5 mtu anayelima udongo
1Ko 3:9 shamba la Mungu linalolimwa
1Ko 9:10 kulima akiwa na tumaini
Ebr 6:7 hulimwa kwa ajili yao
LIMWA, Met 13:23 Udongo uliolimwa
LINDA, Mwa 31:49 Yehova alinde mimi nawe
1Sa 30:23 Yehova alitulinda
2Fa 20:6 nitalilinda jiji hili
Ne 13:14 kuilinda nyumba ya Mungu
Zb 25:21 Utimilifu na unyoofu zinilinde
Zb 31:23 Yehova anawalinda waaminifu
Zb 34:13 Linda ulimi na yaliyo mabaya
Zb 39:1 Nitalinda njia zangu
Zb 40:11 Fadhili zako zenye upendo zinilinde
Zb 121:5 Yehova anakulinda
Zb 145:20 Yehova analinda wanaompenda
Zb 146:9 Yehova analinda wageni
Met 2:8 atalinda njia ya washikamanifu
Met 4:23 Linda moyo wako
Met 8:34 kulinda kwenye vizingiti
Met 13:3 Anayelinda kinywa chake
Ga 3:23 tukilindwa chini ya sheria
Flp 4:7 amani italinda mioyo yenu
1Ti 6:20 linda lililowekwa amana
1Pe 5:8 iweni wenye kulinda
1Yo 5:21 Watoto, jilindeni na sanamu
Mwa 30:31; 2Fa 19:34; Zb 20:1; 34:20; 59:1; 69:29; 97:10; 121:3; Met 14:3; 16:17; Isa 27:3; 31:5; 49:8; Zek 9:15; 2Ti 1:12; Yud 24.
LINGANA, Ga 4:25 Hagari analingana na
LINGANISHA, Zb 89:6 kulinganishwa na Yehova?
Isa 46:5 mtanilinganisha na nani
Ro 8:18 kwa kulinganisha na utukufu
2Ko 10:12 kujilinganisha na watu
Ga 6:4 si kwa kujilinganisha na mtu mwingine
Ebr 8:6 agano bora kwa kulinganishwa
LIPA, Law 26:34 nchi italipa sabato
Ne 13:2 walilipa Balaamu alaani
Zb 35:12 Hunilipa mema kwa mabaya
Zb 94:2 Uwalipe wenye majivuno
Zb 116:12 Nitamlipa Yehova nini
Met 17:13 anayelipa ubaya kwa wema
Isa 59:18 Atavilipa visiwa tendo
Isa 66:6 Yehova akiwalipa adui
Mt 16:27 atakapomlipa kila mmoja
Mt 22:21 mlipeni Kaisari vitu vya
Lu 14:12 matajiri, lingekuwa kukulipa
Ro 12:17 Msimlipe uovu kwa uovu
Ro 12:19 Kisasi ni changu; nitalipa
Ro 13:6 mnalipa kodi pia
2Th 1:6 kuwalipa dhiki wale
2Ti 4:14 Aleksanda, Yehova atamlipa
Ebr 10:30 Kisasi ni changu; nitalipa
Kut 21:34; Law 24:18; 2Sa 12:6; Ne 6:12; Isa 66:15; Yer 51:24; Ufu 18:6.
LIPA KISASI, Isa 1:24 nitajilipizia kisasi juu ya
Ro 12:19 Wapendwa, msijilipizie kisasi
Amu 16:28; Est 8:13; Zb 79:10; Yer 15:15; Ufu 6:10.
LIPIZA, Met 20:22 Usiseme: Nitalipiza uovu!
Ufu 19:2 amelipiza damu ya watumwa
2Sa 4:8; Zb 44:16; Yer 20:10; Mik 5:15.
LIPU, Eze 13:10 lipu kwa chokaa
Da 5:5 lipu ya ukuta
LIPWA, Isa 40:2 kosa lake limelipwa
LISHA, Eze 34:8 wachungaji walijilisha
Mt 25:37 ukiwa na njaa tukakulisha
Yoh 21:17 Yesu akasema: Lisha kondoo
1Ko 3:2 Niliwalisha maziwa
Ufu 12:6 wamlishe siku 1,260
Yer 3:15; Eze 34:14, 16, 23; Yud 12.
LISHWA, 1Ti 4:6 kulishwa maneno ya imani
Ufu 12:14 mwanamke, analishwa hapo
LIWALI, Ezr 8:36; Est 8:9; Da 2:48; 3:2, 3, 27; 6:7; Mdo 13:7; 18:12; 19:38.
LOISI, 2Ti 1:5 nyanya yako Loisi
LOTI, Lu 17:28 ilivyotukia siku za Loti
2Pe 2:7 alimkomboa Loti mwadilifu
LOWANA, Zb 6:6 kitanda kilowane
LOWESHA, Isa 16:9 Nitakulowesha kwa machozi
Isa 34:5 upanga wangu utaloweshwa
LUGHA, Mwa 11:1 dunia ilikuwa na lugha moja
Mwa 11:7 tushuke, tuvuruge lugha
Da 7:14 mataifa na lugha vimtumikie
Zek 8:23 watu kumi wa lugha zote
Mdo 2:6 wakisema lugha zao
1Ko 13:1 Nikisema kwa lugha
1Ko 13:8 kama kuna lugha, zitakoma
1Ko 14:5 kuliko anayesema kwa lugha
1Ko 14:22 lugha ni kwa ajili ya ishara
Zb 81:5; Isa 36:11; Yer 5:15; Eze 3:5, 6; 1Ko 12:10; 14:6, 9, 13, 19; Ufu 7:9.
LUGHA SAFI, Sef 3:9 kuwapa watu lugha safi
LULU, Mt 7:6 msitupie lulu nguruwe
Mt 13:45, 46; Ufu 17:4; 18:12; 21:21.
M
MAAFA, Kum 32:35 siku ya maafa yao
MAAJABU, Da 4:3 maajabu yenye nguvu!
MAALUMU, 1Ti 2:6 nyakati zake maalumu
MAANA, Ro 7:6 watumwa katika maana mpya
Ga 4:9 mambo yasiyo na maana
Flp 1:10 mambo ya maana zaidi
Kol 3:22 maana ya kimwili
Ayu 14:21; Zek 13:7; Mk 7:14; 8:21; Lu 8:10.
MAANDAMANO, Kol 2:15; Zb 68:24; 2Ko 2:14.
MAANDAMANO YA SHEREHE, Zb 118:27.
MAANDISHI, Kut 32:16 maandishi ya Mungu
Kut 39:30 maandishi kwa mchongo
2Ti 3:15 umeyajua maandishi
MAANGAMIZI, Isa 10:22.
Ho 13:14 Kaburi, yako wapi maangamizi
Sef 1:18 maangamizi, ya wote duniani
Yoh 17:12 mwana wa maangamizi
2Th 2:3 mwana wa maangamizi
1Ti 6:9 hutumbukiza katika maangamizi
2Pe 2:1 wakijiletea maangamizi
2Pe 2:3 maangamizi yao hayalali
Ayu 28:22; Isa 28:22; Da 9:27; Ebr 10:39; 2Pe 3:16.
MAANISHA, Mdo 2:12 linamaanisha nini?”
MAASI, Kum 19:16 shtaka la maasi
Isa 1:5 mnazidisha maasi?
Yer 28:16 maasi juu ya Yehova
Kum 13:5; Isa 59:13; Yer 29:32.
MABABU, Mdo 22:3 Sheria ya mababu
MABAHARIA, Mdo 27:27; Ufu 18:17.
MABAKA, Mwa 31:10 mbuzi wenye mabaka
MABAKI, 2Fa 19:31 mabaki watatoka
Yer 23:3 nitakusanya mabaki
Mik 4:7 akichechemea awe mabaki
Mik 5:7 mabaki kama umande
Sef 3:13 mabaki ya Israeli
Ro 9:27 mabaki watakaookolewa
Ro 11:5 kumetokea pia mabaki
Isa 10:21, 22; 11:11, 16; Yer 15:9; Eze 6:8; Sef 2:9; Zek 8:11, 12.
MABAMBA, Kut 34:28 juu ya mabamba
2Ko 3:3 mabamba ya mawe
MABAWA, Ru 2:12 chini ya mabawa yake
Zb 18:10 mabawa ya roho
Mal 4:2 kiponyaji katika mabawa
Ufu 12:14 mabawa mawili ya tai
MABUBUJIKO, Isa 12:3; 35:7; 49:10.
MACHAFUKO, 1Sa 4:14; 14:20; 2Nya 15:5; Amo 3:9; Lu 21:9; Mdo 19:40; 1Ko 14:33; 2Ko 6:5; 12:20; Yak 3:16.
MACHICHA, Isa 25:6 divai, kwenye machicha
MACHINJIONI, Isa 53:7.
MACHO, Zb 11:4 macho yake yanachunguza
Met 15:3 Macho ya Yehova, kila mahali
Met 16:2 Njia za mtu, safi machoni pake
Yer 16:17 macho yangu, juu ya njia zao
Zek 14:12 macho, kuoza katika matundu
Efe 1:18 macho ya moyo wenu
1Pe 3:12 macho ya Yehova, juu ya waadilifu
1Yo 2:16 na tamaa ya macho
Ufu 21:4 machozi yote kutoka macho
MACHOZI, Zb 126:5 wanaopanda kwa machozi
Ufu 21:4 atafuta machozi
Isa 25:8; Lu 7:38; Ebr 5:7; Ufu 7:17.
MACHUNGU, Zb 64:3 maneno machungu
Yak 3:11 matamu na machungu kutoka shimo
MADHABAHU, Law 17:11 damu, madhabahuni
Eze 6:4 madhabahu zitafanywa ukiwa
Mdo 17:23 madhabahu. Mungu Asiyejulikana
Ebr 13:10 tuna madhabahu ambayo
Ufu 6:9 nikaona chini ya madhabahu nafsi
Mwa 8:20; Kut 34:13; Isa 56:7; Mt 23:18; Ebr 7:13.
MADHARA, Met 17:4 mdomo wa madhara
Eze 38:10 hila yenye madhara
Kol 3:5 tamaa yenye madhara
Law 26:6; 1Sa 23:9; Ayu 9:4; 34:22, 36; Met 12:20; 14:22; Isa 59:4; Eze 5:16; 11:2.
MADHEHEBU. Ona pia MGAWANYIKO.
Mdo 24:5 kiongozi mkuu wa madhehebu
Mdo 24:14 ile njia wanayoiita madhehebu
1Ko 11:19 lazima yaweko madhehebu
Tit 3:10 mtu anayeendeleza madhehebu
2Pe 2:1 wataingiza ndani madhehebu
Mdo 5:17; 15:5; 26:5; 28:22; Ga 5:20.
MADOGO-MADOGO, 1Ti 6:5.
MAELFU, Ebr 12:22; Yud 14; Ufu 5:11.
MAELFU YA WATAKATIFU, Kum 33:2; Yud 14.
MAENDELEO, Flp 3:16 tumefanya maendeleo
Yoh 8:37; Ga 1:14; 1Ti 4:15; 2Ti 3:9.
MAFANIKIO, 1Fa 10:7 Umezidi katika mafanikio
Mt 12:20 haki kwa mafanikio
1Nya 17:19, 21; 22:13; Isa 41:24; Mdo 19:25.
MAFICHO, Zb 27:5; Zb 119:114; Isa 28:17; 45:19; Yer 49:10.
MAFUNDISHO YA UDANGANYIFU, 2Pe 2:13.
MAFUNJO, Kut 2:3; Ayu 8:11; Isa 18:2.
MAFUTA, Law 1:8, 12 kichwa na mafuta
1Sa 15:22 kusikiliza kuliko mafuta
Zb 23:5 Umepaka kichwa changu mafuta
Isa 25:6 vyakula vilivyotiwa mafuta
Isa 61:3 mafuta ya furaha
Mt 25:4 wenye busara, mafuta
Kut 29:7; 1Sa 16:13; Eze 34:3; Lu 7:46; Ebr 1:9.
MAGADI, Met 25:20; Yer 2:22.
MAGOFU, Amo 6:11 nyumba kuwa magofu
MAGOGU, Eze 38:2 uso juu ya Magogu
Eze 39:6 moto juu ya Magogu
Ufu 20:8 Gogu na Magogu
MAGOMBANO, 1Ko 1:11 kuna magombano
MAGONJWA, Zb 103:3 Anayeponya magonjwa
MAGUGU, Mt 13:25 adui alipanda magugu
MAGUMU, Ayu 10:17 magumu yako nami
2Pe 3:16 mambo magumu kuelewa
MAHAKAMA, Da 7:10 Mahakama ikaketi
Mt 5:22 atatoa hesabu mahakamani
1Ko 6:1 anathubutu kwenda mahakamani
1Ko 6:6 ndugu anaenda mahakamani
Yak 2:6 Matajiri hupeleka mahakamani
Da 7:26; Mt 5:40; 10:17; Mk 13:9; Lu 12:58; Mdo 17:34.
MAHALI, Zb 37:10 mahali pake, hatakuwapo
Met 15:3 Macho ya Yehova kila mahali
Mhu 3:20 wanaenda mahali pamoja
Mt 24:15 limesimama mahali patakatifu
Yoh 14:2 kuwatayarishia ninyi mahali
Kum 12:11; Zb 91:1; Eze 39:11; Yud 6; Ufu 12:6, 8.
MAHALI PA JUU, Law 26:30; Zb 78:58.
MAHALI PA KUJIKINGA, Ayu 24:8.
MAHALI PA KUPUMZIKA, 1Fa 8:56; Zb 23:2; 95:11; 132:14; Isa 11:10; 28:12; 66:1
MAHALI PA UHARIBIFU, Met 27:20.
MAHALI PALIPOFANYWA UKIWA, Ezr 9:9.
MAHER-SHALAL-HASH-BAZI, Isa 8:1, 3.
MAHITAJI, 1Ti 5:8 hawaandalii mahitaji
Yak 2:16 mkose kumpa mahitaji
MAHUBIRI, Lu 11:32 mahubiri ya Yona
MAISHA, Zb 30:5 muda wote wa maisha
Lu 16:25 vyema katika maisha yako
MAISHA YA KIROHO, Ebr 12:23.
MAITI, 1Sa 31:10; Zb 110:6; Mt 14:12.
MAJALIWA, Isa 65:11 mungu wa Majaliwa
MAJANI, Zb 37:2 watafifia kama majani
Zb 92:7 wanapochipuka kama majani
Ufu 9:4 wasidhuru majani ya dunia
2Fa 19:26; Zb 103:15; Isa 40:8; 51:12.
MAJANI MAKAVU, Isa 47:14.
Mal 4:1 watakuwa kama majani makavu
MAJESHI, 2Nya 25:10; Ayu 29:25.
MAJESHI YA ROHO WAOVU, Efe 6:12.
MAJI, Mwa 6:17 gharika ya maji duniani
Kut 14:21 maji yalitenganishwa
Yos 9:27 watekaji wa maji
Zb 23:2 palipo na maji ya kutosha
Met 25:25 maji baridi, nafsi iliyochoka
Isa 11:9 kumjua Yehova kama maji
Isa 12:3 maji, mabubujiko ya wokovu
Isa 30:20 maji ya ukandamizaji
Isa 55:1 Njooni kwenye maji
Yer 2:13 matangi yasiyotunza maji
Amo 8:11 wala si kiu ya maji
Mt 10:42 kikombe cha maji baridi
Yoh 4:14 maji ambayo nitampa
Yoh 7:38 Vijito vya maji hai
1Ko 3:7 anayetia maji, bali Mungu
Ufu 7:17 kuwaongoza kwenye maji ya
Ufu 22:17 achukue maji bure
Hes 20:10; Yoh 5:7; 1Ko 10:4; Ufu 17:1, 15; 22:1.
MAJIRA, Zb 1:3 hutoa matunda katika majira
Da 2:21 anabadili nyakati na majira
Mdo 1:7 Si juu yenu kujua majira
Mdo 3:19 majira ya kuburudisha
Ga 4:10 Mnashika kwa uangalifu majira
Ga 6:9 majira yanayofaa tutavuna
2Ti 4:2 hubiri majira yanayofaa
1Pe 1:11 kuchunguza ni majira gani
Mwa 1:14; Zb 145:15; Yer 5:24; 1Th 5:1.
MAJIRA YA SHEREHE, Sef 3:18; Zek 8:19.
MAJIVUNO, 1Sa 2:3 msiseme kwa majivuno
Zb 10:2 Katika majivuno, mwovu
Met 6:17 macho ya majivuno
Met 16:18 roho ya majivuno
Isa 2:11 Macho ya majivuno
Sef 3:11 nitaondoa wenye majivuno
Lu 1:51 ametawanya wenye majivuno
1Ko 8:1 Ujuzi huleta majivuno
Yak 4:6 hupinga wenye majivuno
2Sa 22:28; Zb 31:23; 73:8; 94:2; 101:5; Met 14:3; 29:23; Yer 48:26; Eze 35:13; Mk 7:22; 2Ti 3:2.
MAJUTO, 1Sa 15:29 hataona majuto
MAKAA, Isa 47:14 Hakuna mwako wa makaa
Ro 12:20 utakusanya makaa juu ya kichwa
MAKABURI, Yer 26:23 maiti katika makaburi
MAKABURI YA UKUMBUSHO, Yoh 5:28.
MAKALI, Mhu 10:10 kifaa kimepoteza makali
MAKALI KUWILI, Zb 149:6; Ebr 4:12.
MAKAO, 1Fa 8:49 makao yako yaliyo imara
Zb 74:20 makao ya jeuri
Isa 32:18 makao yenye amani
Yer 25:37 makao yenye amani kukosa uhai
Eze 34:14 watalala katika makao mazuri
Hab 3:11 makao yaliyo juu
Yoh 14:2 mna makao mengi
1Ko 4:11 na kuwa bila makao
Kum 26:15; Zb 91:9; Isa 58:7; Yer 31:23; Omb 1:7; 3:19; 4:15; Mdo 17:26; Yud 6; Ufu 18:2.
MAKAPI, Da 2:35 zilipondwa kama makapi
Zb 35:5; Isa 41:15; Sef 2:2; Mt 3:12.
MAKEDONIA, Mdo 16:9 Vuka Makedonia
Mdo 20:1; 1Ko 16:5; 2Ko 8:1; 1Th 1:7; 4:10.
MAKIMBILIO, Hes 35:6 majiji 6 ya makimbilio
MAKINI, Mt 6:26 angalieni kwa makini ndege
Ebr 12:2 tukimtazama Wakili kwa makini
MAKOMBO, Mt 15:27 mbwa hula makombo
MAKOSA YANAYOSABABISHA UKIWA, Da 8:13.
MAKRISTO WA UWONGO, Mt 24:24; Mk 13:22.
MAKUBALIANO, 1Ko 7:5 ila kwa makubaliano
MAKUHANI WENYE KUFANYA UCHAWI, Mwa 41:8; Kut 7:11; 9:11; Da 1:20; 2:2; 4:7.
MAKUNDI YALIYOKUTANIKA, Zb 26:12.
MAKUSUDI, Mwa 48:14 mikono makusudi
MAKUU, Zb 56:2 vita, kwa kujitakia makuu
Da 7:8, 11, 20 kinachosema mambo makuu
Oba 12 usiseme makuu siku ya
Mdo 2:11 mambo makuu ya Mungu
Ro 12:16 akili juu ya makuu
MALAIKA, Zb 34:7 malaika anapiga kambi
1Ko 4:9 tamasha kwa malaika
1Ko 6:3 tutawahukumu malaika?
2Ko 11:14 Shetani, malaika wa nuru
2Ko 12:7 malaika wa Shetani
1Pe 1:12 malaika wanatamani kuchunguza
Ufu 22:6 malaika kuwaonyesha watumwa
Mwa 19:15; Kut 3:2; 23:20; Mt 22:30; 28:2; Mdo 5:19; Ga 1:8; Ebr 13:2; 2Pe 2:4, 11.
MALAIKA MKUU, 1Th 4:16 sauti ya malaika mkuu
Yud 9 Mikaeli yule malaika mkuu
MALAYA. Ona KAHABA.
MALENGELENGE, Kut 9:9.
MALI, Kut 19:5 mtakuwa mali yangu
Kum 14:2 watu wake, mali pekee
Ne 10:31 wakileta mali sabato
Met 13:22 mali ya mtenda-dhambi
Mhu 5:10 apendaye mali hatatosheka
Isa 33:6 mali ya wokovu
Isa 60:5 mali za bahari
Isa 60:11 mali za mataifa
Isa 61:6 mtakula mali za mataifa
Mt 12:29 kukamata mali za
Mt 25:14 kuwapa mali zake
Lu 15:13 mdogo akatapanya mali
Lu 16:9 rafiki kupitia mali
Efe 1:14 mali ya Mungu mwenyewe
2Th 3:2 imani si mali ya wote
1Pe 2:9 watu, mali ya pekee
1Yo 2:16 kujionyesha mali yake
Mwa 12:5; Hes 16:32; Kum 4:20; 2Nya 31:3; Ezr 1:4; Zb 62:10; Mhu 5:19; 6:2; Yer 15:13; 17:3; Eze 26:12; Mt 19:21; Mk 5:26; Lu 14:33; 15:12; 16:11; Ufu 18:17.
MALI ZA MAUZO, Eze 26:12; 28:5, 16, 18.
MALIPO, Kum 23:18 malipo ya kahaba
Kum 32:41 kutoa malipo kwa
Mhu 9:5 hawana malipo tena
Isa 23:17 Tiro, atarudia malipo yake
Isa 34:8 mwaka wa malipo
Isa 35:4 Mungu akiwa na malipo
Isa 49:4 malipo yangu yana Mungu
Yer 51:56 Mungu wa malipo
Ho 9:7 siku za malipo yanayostahili
Mik 3:11 makuhani, wapate malipo
Ro 1:27 malipo kamili, kosa lao
Ro 11:9 mtego, kikwazo, malipo
2Ko 6:13 kama malipo—panukeni
2Th 2:10 malipo kwa sababu
1Ti 5:4 kuwalipa wazazi malipo
Ebr 2:2 malipo kupatana na haki
Ebr 11:26 malipo ya thawabu
MALISHO, Zb 23:2 malisho ya majani mengi
Zb 79:13 kundi la malisho yako
Yer 25:36 Yehova anapora malisho
Eze 34:14 malisho mazuri nitawalisha
Eze 34:31 kondoo wa malisho yangu
Yoh 10:9 kutoka na kupata malisho
Zb 65:13; 100:3; Isa 30:23; 49:9; Yer 9:10; 23:1; Omb 1:6; Eze 34:18; Yoe 1:19; 2:22; Amo 1:2; Sef 2:6.
MALIZA, Lu 13:32 siku ya tatu nitamaliza
Yoh 4:34 kuimaliza kazi yake
Yoh 17:4 nimemaliza kazi uliyonipa
Mdo 20:24 ningepata kumaliza mwendo
Ro 9:28 kuimaliza na kuifupisha
MALIZIKA, Lu 12:50 mpaka umalizike!
MALIZIWA, Ga 3:3 mnamaliziwa katika mwili?
MALIZWA, Zb 104:35 dhambi watamalizwa
MALKIA, 1Fa 11:19 Tapenesi malkia
Zb 45:9 Malkia amesimama
Mt 12:42 Malkia wa kusini atasimama
Ufu 18:7 Naketi nikiwa malkia
1Fa 10:1; 15:13; Ne 2:6; Est 2:17; Zb 45:9; Yer 7:18; 13:18; 29:2; Da 5:10.
MAMA, Mwa 3:20 Hawa, mama ya kila mtu
Kut 20:12 Mheshimu baba na mama
Zb 51:5 mama, mimba dhambini
Met 6:20 usiiache sheria ya mama
Met 23:22 usimdharau mama yako
Lu 8:21 Mama yangu na ndugu zangu
Ga 4:26 Yerusalemu, ni mama yetu
Mwa 2:24; Amu 5:7; Isa 49:1; Lu 12:53; 14:26.
MAMA-MKWE, Kum 27:23; Ru 1:14; 2:11; Mt 8:14; 10:35; Mk 1:30.
MAMBO, Mhu 12:13 mwisho wa mambo
Mt 23:23 mmepuuza mambo mazito
1Ko 6:2 kuamua mambo madogo
MAMBO YA KWANZA, Isa 43:9.
MAMBO YA MSINGI, Ga 4:3, 9; Kol 2:8; Ebr 5:12.
MAMLAKA, Mt 28:18 Nimepewa mamlaka yote
Yoh 5:27 mamlaka ya kuhukumu
Yoh 10:18 Nina mamlaka ya kuitoa
Yoh 19:11 hungekuwa na mamlaka isipokuwa
Mdo 1:7 Baba, mamlaka yake
Ro 13:1 ijitiishe kwa mamlaka
Ro 13:2 anayepinga mamlaka amechukua
1Ko 7:4 Mke hana mamlaka juu ya mwili
1Ko 9:5 tuna mamlaka ya kumchukua dada
1Ko 15:24 ameangamiza mamlaka yote
Efe 1:21 juu kuliko kila serikali na mamlaka
Efe 2:2 mtawala wa mamlaka ya hewa
Efe 6:12 mweleka, juu ya mamlaka
Kol 1:13 mamlaka ya giza
1Pe 3:22 mamlaka na nguvu vilitiishwa
2Pe 2:10 hudharau mamlaka
1Fa 9:19; Zb 145:13; Isa 22:21; Da 6:26; Mik 4:8; Mt 7:29; 20:25; Lu 4:6; 12:5; Kol 2:15; Tit 3:1; Yud 8; Ufu 17:12.
MAMLAKA YA KIFALME, 2Nya 36:20.
MAMRE, Mwa 13:18; 23:17; 35:27; 50:13.
MANA, Kut 16:31 Israeli wakiita mana
Kut 16:35 wakala mana miaka 40
Yoh 6:49 babu walikula mana, wakafa
Ebr 9:4 mtungi wenye mana
Ufu 2:17 mana iliyofichwa
MANABII WA UWONGO, Mt 7:15.
1Yo 4:1 manabii wa uwongo wameingia
MANASE, Mwa 41:51; 48:13; 2Fa 21:16-18.
MANENO, Zb 19:2 hufanya maneno yabubujike
Zb 119:103 maneno yako yamekuwa
Met 4:10 sikia maneno yangu
Ro 16:18 kwa maneno laini huishawishi
1Ko 14:9 maneno yenye kueleweka
Kol 4:6 Maneno yenye kukolezwa
Ayu 6:25; Zb 19:14; Met 4:20; Yoh 6:63; 12:47; 1Ti 1:6.
MANENO MAGUMU, Da 8:23.
MANENO MATAKATIFU, Mdo 7:38; Ro 3:2; Ebr 5:12; 1Pe 4:11.
MANENO YA KUJIGAMBA, 2Pe 2:18.
MANENO YENYE AFYA, 1Ti 6:3; 2Ti 1:13.
MANONG’ONEZO, 2Ko 12:20.
MANUKATO, Eze 8:11 manukato ya uvumba
Kut 25:6; 30:7; Lu 23:56; 24:1.
MANUNG’UNIKO, Hes 14:27; 17:5.
MANYOYA, Amu 6:37, 38, 39, 40.
MANYUNYU, Kum 32:2 manyunyu juu ya mimea
Zb 72:6 Atashuka kama manyunyu
Mik 5:7 watakuwa kama manyunyu
MAOMBEZI, 1Ti 2:1 sala, maombezi
MAOMBOLEZO, Yer 31:15 Rama, maombolezo
Ufu 21:4 wala maombolezo wala kilio
Zb 30:11; Yer 9:10, 20; Eze 27:32; Amo 5:16; Mik 2:4; Zek 12:11.
MAONI, 1Sa 18:8 baya kwa maoni yake
Zek 11:13; 1Ko 7:25, 40; 1Pe 4:6.
MAONO, Met 29:18 pasipo maono watu
Isa 30:10 maono ya udanganyifu
Eze 13:16 manabii wanaona maono
Yoe 2:28 vijana wataona maono
Hab 2:3 maono bado ni ya wakati
Zek 13:4 aibu, kwa sababu ya maono
Mt 17:9 Msimwambie mtu maono
Eze 1:1; Da 10:14; Mik 3:6; Mdo 16:9.
MAONYESHO, 2Ko 9:12 maonyesho ya shukrani
MAONYESHO YA MAPENZI, Wim 1:2, 4; 4:10; 5:1.
MAOVU, Yoh 5:29 waliotenda maovu, ufufuo
MAPACHA, Mwa 25:24; 38:27.
MAPAMBAZUKO, Ne 8:3 kuanzia mapambazuko
Ayu 38:12 uliyajulisha mapambazuko mahali
Isa 14:12 mwana wa mapambazuko!
2Sa 2:32; Zb 139:9; Isa 8:20; Ho 6:3.
MAPATANO, 1Sa 21:2 mapatano ya kukutana
Ne 9:38 tunaweka mapatano
Amo 3:3 isipokuwa kwa mapatano
MAPATO, Ayu 15:29 hatatandaza mapato
Isa 23:3 mavuno ya Nile, mapato
Mdo 2:45 kugawia wote mapato
MAPEMA, Flp 3:11 ufufuo wa mapema
MAPENDEZI, Zb 1:2 mapendezi katika sheria
MAPENZI, Zb 40:8 nimependezwa mapenzi yako
Zb 143:10 Unifundishe mapenzi yako
Mt 6:10 Mapenzi yako yatendeke
Lu 22:42 si mapenzi yangu, bali
Yoh 5:30 natafuta, si mapenzi yangu
Mdo 13:36 Daudi, alitumikia mapenzi
Ro 8:20 si kwa mapenzi yake
Ro 9:19 nani amepinga mapenzi
Ro 12:2 mapenzi makamilifu
Efe 5:17 kufahamu mapenzi ya Yah
Flp 2:13 mapenzi yake mema
Kol 1:9 ujuzi sahihi wa mapenzi
Ebr 10:10 hayo mapenzi yaliyosemwa
2Pe 1:21 unabii, si kwa mapenzi ya
1Yo 2:17 afanyaye mapenzi ya Mungu
Ufu 4:11 mapenzi yako vilikuwako
Ezr 7:18; Da 11:36; Mt 7:21; Yoh 6:39.
MAPIGO, Kut 9:14 mapigo yangu dhidi ya moyo
Law 26:21 mapigo mara saba zaidi
Kum 25:3 kumpiga kwa mapigo 40
2Nya 21:14 Yehova analeta pigo kwa wana
Eze 24:16 ninaondolea kutoka kwako kwa pigo
Lu 12:47 atapigwa mapigo mengi
Mdo 16:33 akaosha mapigo
1Pe 2:24 kwa mapigo yake mliponywa
Met 19:29; Lu 12:48; 2Ko 6:5; 11:24.
MAPINGO, Zb 147:13 mapingo ya lango lako
MAPOKEO, 1Nya 4:22 maneno ni ya mapokeo
Mk 7:13 mnalibatilisha kwa mapokeo
Ga 1:14 bidii kwa ajili ya mapokeo
Mt 15:3; Mk 7:3; 1Ko 11:2; 2Th 2:15.
MAPUMBU, Yer 5:8 mapumbu yenye nguvu
MAPYA, Isa 42:9 ninatangaza mambo mapya
2Ko 5:17 mapya yamekuja kuwako
MARA, Law 26:18 nitawatia adabu mara saba
Yos 6:15 wakalizunguka jiji mara saba
Met 24:16 mwadilifu akaanguka mara saba
Mhu 6:1 msiba, mara nyingi
Mt 18:22 Mpaka mara 77
MARA MBILI, Kut 22:7 atalipa mara mbili
Ufu 18:6 mtendeeni mara mbili
MARA MOJA, Lu 4:5 mara moja falme zote
1Th 5:3 uharibifu mara moja
MARA NYINGI, Lu 5:33; Mdo 24:26.
MARA SABA, Law 16:19 atatapanya mara saba
Law 26:28 nitawatia adabu mara saba
Yos 6:4 kuzunguka jiji mara saba
2Fa 5:10 uoge mara saba
Zb 12:6 iliyosafishwa mara saba
Zb 119:164 Mara saba nimekusifu
Met 24:16 mwadilifu akaanguka mara saba
Mt 18:22 si, Mpaka mara 7, Mpaka
Mwa 33:3; 1Fa 18:43; 2Fa 4:35; Da 3:19.
MARASHI, Mt 26:7; Lu 7:46; Yoh 11:2.
MAREKEBISHO, Mdo 24:2 marekebisho, taifa
MARIA 1., Mt 1:16 Maria, kwake Yesu azaliwa
Mt 13:55; Mk 6:3; Lu 1:27; 2:19, 34.
MARIA 2., Mt 27:56 Maria Magdalene
Mk 16:1; Lu 8:2; 24:10; Yoh 20:1.
MARIA 3., Mt 27:56 Maria mama ya Yakobo
Mk 15:47; 16:1; Lu 24:10; Yoh 19:25.
MARIA 4., Lu 10:42 Maria achagua jema
MARIA 5., Mdo 12:12 Maria mama ya Yohana
MARIA 6., Ro 16:6 Maria, aliyefanya kazi
MARIDADI, 1Nya 29:2 mawe maridadi
MARIJANI, Met 8:11 hekima, kuliko marijani
MARTHA, Lu 10:41; Yoh 11:39; 12:2.
MARUFUKU, Kum 13:17; Ezr 10:8; Da 6:7, 9, 12, 13, 15; Mik 4:13.
MASADUKAYO, Mt 3:7; 22:23; Mdo 23:6-8.
MASALIO, Ru 2:8 kuokota masalio
MASENGENYO, 2Ko 12:20.
MASERAFI, Isa 6:6 mmoja wa maserafi
MASHAHIDI, Isa 43:10 ninyi ni mashahidi
MASHAMBANI, Mk 6:36, 56; Lu 9:12.
MASHARIKI, Amu 6:33 watu wa Mashariki
Amu 7:12 watu wote wa Mashariki
Amu 8:10 watu wa Mashariki
Zb 75:6 wala kutoka mashariki
Eze 25:4 mkononi mwa Watu wa Mashariki
Da 11:44 habari kutoka mashariki
Mt 2:1 wanajimu kutoka mashariki
Ufu 16:12 wafalme kutoka mashariki
Mwa 3:24; 29:1; Amu 6:3; 1Fa 4:30; Ayu 1:3; Isa 2:6; Yer 49:28; Eze 8:16; 25:10; Mt 8:11; 24:27; Lu 13:29.
MASHARUBU, Mik 3:7 watafunika masharubu
Law 13:45; 2Sa 19:24; Eze 24:17.
MASHAURIANO, Ga 1:16 mashauriano na watu
MASHINDANO, Mhu 4:4 mashindano kati ya
Ga 5:26 kuchochea mashindano
MASHIRIKA, 1Ko 15:33 mashirika mabaya
MASHTAKA YA KISHERIA, 1Ko 6:7.
MASHUA, Yer 51:32; Mt 4:22; Yak 3:4; Ufu 18:19.
MASHUHURI, Yer 25:34-36 watu mashuhuri
Amu 5:13; 1Nya 11:25; Zb 16:3; Amo 6:1.
MASHUU, Yon 2:3 Mashuu na mawimbi yako
MASIHI, Da 9:26 majuma 62 Masihi
Yoh 1:41 Tumempata Masihi
Yoh 4:25 Najua Masihi anakuja
MASKANI, Kut 25:9 mfano wa maskani
Zb 43:3 vinilete kwenye maskani yako
Zb 84:1 Jinsi ilivyo nzuri maskani
Eze 37:27 maskani yangu itakuwa
Kut 40:17; Zb 78:60; 132:7; 2Pe 1:13.
MASKINI, Zb 69:33 Yehova anasikiliza maskini
Zb 79:8 tumekuwa maskini
Zb 116:6 Nilikuwa maskini, akaniokoa
Yer 2:34 damu za nafsi za maskini
Lu 4:18 kutangazia maskini habari
Yoh 12:8 mna maskini sikuzote
Ro 7:24 Maskini mimi!
2Ko 6:10 kama maskini lakini
2Ko 8:9 maskini kwa ajili yenu
1Ti 5:5 mjane maskini
Yak 2:5 Mungu alichagua maskini
Mwa 45:11; Kut 23:6; 1Sa 2:8; Ayu 24:4; Zb 9:18; 72:4; 107:41; 132:15; Met 30:9; Isa 14:30; 25:4; Yer 5:28; Amo 8:4; Mt 11:5; Mk 12:43.
MATABIRI, 1Ti 1:18 kupatana na matabiri
MATAKATIFU, 2Ti 3:15 maandishi matakatifu
MATAKWA YA KISHERIA, Lu 1:6; Ebr 9:10.
MATAMSHI, Mt 26:73 matamshi yakutambulisha
MATAPIKO, Isa 28:8 meza zimejaa matapiko
2Pe 2:22 Mbwa amerudia matapiko
Met 26:11; Isa 19:14; Yer 48:26.
MATARI, 2Sa 6:5 wakisherehekea kwa matari
MATASA, 2Sa 6:5 matasa na kwa matoazi
MATATIZO, Zb 94:20 kinatunga matatizo
MATAWI, Law 23:40 mtajichukulia matawi
Da 4:14 Ukateni mti, na matawi yake
MATAYARISHO, Yer 46:14 ujifanyie matayarisho
MATE, 1Sa 21:13 Aliacha mate yatiririke
MATEKA, Amu 5:12 wachukue mateka wako
2Fa 14:14 mateka, akarudi Samaria.
Isa 52:2 Ee binti Sayuni uliye mateka
Da 11:8 ataingia Misri pamoja na mateka
Lu 21:24 watapelekwa mateka katika mataifa
Ro 7:23 ikinichukua mateka kwa sheria
Zb 68:18; Lu 4:18; Efe 4:8; 2Ti 3:6.
MATENDO, 2Ko 4:10 matendo yenye kuleta kifo
Ga 5:19 matendo ya mwili
Ebr 10:24 upendo na matendo mazuri
Yak 2:26 imani bila matendo imekufa
MATENDO YENYE NGUVU, 1Ko 12:10, 29; Ga 3:5.
MATESO, Zb 107:17 makosa, walijiletea mateso
Isa 14:6 mateso yasiyo na kizuizi
Mt 13:21 mateso, sababu ya neno
Ro 8:18 mateso ya majira haya si kitu
Ro 8:35 au mateso au njaa
2Ko 1:7 washiriki wa hayo mateso
2Ko 8:2 jaribu kubwa chini ya mateso
2Ko 12:10 mateso na magumu
Kol 1:24 Ninashangilia katika mateso
Ebr 10:32 mlivumilia chini ya mateso
Kut 3:7, 17; 4:31; Zb 107:41; 119:92; Mk 10:30; Mdo 13:50; Flp 3:10; 2Th 1:4; 2Ti 3:11; Ebr 2:10; 1Pe 1:11; 4:13; 5:9; Ufu 2:10; 18:7.
MATHAYO, Mt 9:9; 10:3; Lu 6:15; Mdo 1:13.
MATIBABU, Yer 30:13; 46:11.
MATIKITI-MAJI, Hes 11:5 matango, matikiti-maji
MATOFALI, Mwa 11:3; Kut 1:14; 5:7.
MATOKEO, Met 5:4 matokeo yake ni machungu
Ro 5:18 matokeo kwa watu wote
MATOPE, Zb 69:2 Nimezama katika matope
Yer 38:6 Yeremia, kuzama matopeni
Yer 38:22 uzame katika matope
Mik 7:10 kukanyaga, kama matope
2Pe 2:22 nguruwe, kugaagaa matopeni
MATULIVU, 1Ti 2:2 maisha shwari na matulivu
MATUMAINI, Isa 57:10; Yer 2:25.
MATUMBO, Kut 29:13 mafuta ya matumbo
Sef 1:17 matumbo yao kama mavi
MATUNDA, Tit 3:14 wasiwe wasiozaa matunda
Mt 13:22; 1Ko 14:14; Efe 5:11; 2Pe 1:8.
MATUNDA YA KWANZA, Law 23:10; Ro 8:23; 11:16; 1Ko 15:20; 16:15; Yak 1:18; Ufu 14:4.
MATUNDA YA KWANZA YALIYOIVA, Kut 23:16; Ne 10:35.
MATUNDA YA MTOFAA, Met 25:11.
MATUTA, Isa 62:10 fanyeni matuta
MAUAJI, Yer 50:21 Mauaji ya kikatili
MAUMBILE, 1Ko 11:14 maumbile yenyewe
MAUMIVU, Zb 51:5 Nilizaliwa kwa maumivu
Met 10:22 haongezi maumivu
Isa 53:4 maumivu yetu, aliyabeba
Yer 6:24 maumivu ya kuzaa
Mdo 2:24 kufungua maumivu ya kifo
Ga 4:19 nina maumivu ya kuwazaa
1Th 5:3 maumivu ya taabu
1Ti 6:10 wamejichoma kwa maumivu
Ufu 12:2 analia katika maumivu
Ufu 21:4 maumivu hayatakuwapo
Mwa 3:17; Zb 32:10; 55:4; 69:29; Isa 54:1; Yer 6:24; Mt 24:8; Ga 4:27; Ufu 16:10.
MAUMIVU MAKALI, Lu 21:25; 2Ko 2:4.
MAUMIVU YA KIFO, Zb 73:4.
MAVAZI, Efe 6:13 mavazi kamili ya silaha
Met 27:26; Da 7:9; Mt 6:25, 28.
MAVAZI YA KIFUANI, Yer 2:32.
MAVI, Kum 23:13 na ufunike mavi yako
Met 30:12 hawajaoshwa mavi yao
1Fa 14:10; Eze 4:12; Sef 1:17.
MAVUMBI, Mwa 2:7 mtu kutoka mavumbi
Mwa 3:19 utarudi mavumbini
Zb 72:9 wataramba mavumbi
Mhu 12:7 mavumbi huirudia nchi
Da 12:2 waliolala mavumbini wataamka
Mt 10:14 kung’uteni mavumbi
1Ko 15:47 Mtu wa kwanza ni mavumbi
Kut 8:16; 2Nya 34:4; Zb 103:14; Mhu 3:20; Isa 40:15; Nah 1:3; Mal 4:3.
MAVUNO, Yoe 3:13 Tia mundu, mavuno yameiva
Mt 9:37 mavuno ni mengi, lakini
Mt 13:39 mavuno ni umalizio wa
Ufu 14:15 mavuno ya dunia yameiva
Kut 23:16; Met 10:5; Yer 8:20; 51:33.
MAWAZO, Zb 146:4 Siku hiyo mawazo hupotea
2Ko 10:5 tunapindua mawazo
Zb 40:5; Yer 29:11; Mt 15:19; Lu 2:35.
MAWEMAWE, Isa 40:4 nchi ya mawemawe
Isa 42:16 nchi ya mawemawe
MAWIMBI, Isa 51:15 mawimbi yake yachafuke
Zb 65:7; 89:9; Yon 2:3; Yud 13.
MAWINDO, Mwa 27:3 uniwindie mawindo
Zb 124:6 Tuwe mawindo kwa
Isa 31:4; Eze 22:27; Nah 2:13.
MAYOWE, Isa 13:6 Pigeni mayowe
Yer 25:36 mayowe ya watu mashuhuri
Zek 11:3 Mayowe ya wachungaji
Yak 5:1 matajiri, pigeni mayowe
Isa 23:1, 6; 65:14; Yer 25:34; Eze 21:12.
MAZAO, Kum 28:33 mazao yako yataliwa
Met 3:9 Mheshimu Yehova kwa mazao
Eze 34:27 nchi itatoa mazao
MAZITO, Ayu 12:22 anafunua mambo mazito
Mt 23:23 mmepuuza mambo mazito
1Ko 2:10 roho huchunguza mambo mazito
MAZIWA, Kut 3:8 nchi ya maziwa na asali
Met 5:19 maziwa yake yakuleweshe
1Ko 3:2 Niliwalisha maziwa
Ebr 5:12 wanaohitaji maziwa
Law 20:24; Amu 4:19; Isa 7:22; 55:1; 60:16.
MAZIWA YASIYOCHANGANYWA, 1Pe 2:2.
MAZOEA, Ro 2:1 mazoea ya mambo hayo
Ro 8:13 mkiyaua mazoea ya mwili
1Ti 3:2 kiasi katika mazoea
1Ti 3:11 kiasi katika mazoea
1Yo 3:6 hana mazoea ya dhambi
MAZOEZI, Lu 21:14 msifanye mazoezi mapema
1Ti 4:8 mazoezi ya kimwili
1Pe 5:10 atamaliza mazoezi yenu
MAZUNGUMZO, Ayu 6:3; Zb 64:2; Mk 1:27.
MAZUNGUMZO YA SIRI, Zb 64:2; 83:3; Met 11:13; 15:22; 20:19; 25:9.
MBA, Law 21:20 mwenye vigaga au mba
MBALIMBALI, 1Ko 12:4 zawadi mbalimbali
MBANO, Kum 28:53, 57.
MBATIZAJI, Mt 3:1; 11:11; 14:2; Lu 7:33.
MBAYA, Mdo 8:3 kutaniko kwa njia mbaya
Efe 5:16 siku hizi ni mbaya
MBEGU, Mt 13:38 mbegu nzuri
Lu 8:11 mbegu ni neno la Mungu
1Ko 15:37 unapanda mbegu tupu
MBELE, Yer 7:24 wakaelekea nyuma si mbele
MBINGU, Amu 5:20 Nyota zilipigana mbinguni
Zb 19:1 Mbingu zatangaza utukufu
Zb 50:6 mbingu zasema uadilifu
Isa 65:17 naumba mbingu mpya
Isa 66:1 Mbingu ni kiti cha ufalme
Yoh 3:13 hakuna aliyepanda mbinguni
Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni
1Ko 15:49 mfano wa yule wa mbinguni
Ebr 3:1 mwito wa mbinguni
Ebr 8:5 kivuli cha vitu vya mbinguni
Ebr 12:22 Yerusalemu la mbinguni
2Pe 3:5 mbingu tangu zamani
2Pe 3:10 mbingu zitapitilia mbali
2Pe 3:13 mbingu mpya, dunia mpya
Ufu 12:7 vita ghafula mbinguni
Ufu 19:11 nikaona mbingu imefunguliwa
Kum 10:14; Zb 2:4; Met 30:19; Hag 2:6; Mal 3:10; Mt 11:11; 24:35; Lu 17:24; Yoh 3:12; 2Ti 4:18; Ebr 9:23.
MBINU, Zb 64:6 mbinu ya werevu
Lu 23:51 hakuunga mkono mbinu
2Ko 2:11 hatukosi kujua mbinu zake
MBIO, Mhu 9:11 wanaoshinda mbio, wala
1Ko 9:24 wakimbiaji katika mbio
Ebr 12:1 shindano la mbio mbele
MBOGA, Ro 14:2 aliye dhaifu hula mboga
MBOLEA, Zb 83:10; Yer 25:33; Lu 13:8.
MBOMOAJI, Isa 22:5 mbomoaji wa ukuta
MBONI, Zek 2:8 anaigusa mboni
MBONI YA JICHO, Kum 32:10; Zb 17:8; Met 7:2; Omb 2:18.
MBU, Yer 46:20 mbu atakuja juu ya Misri
Mt 23:24 huchuja mbu, humeza ngamia
MBUZI, Law 9:3 mbuzi wa toleo la dhambi
Law 9:15 mbuzi wa toleo la dhambi
Zek 10:3 viongozi kama mbuzi
Mt 25:32 atenganisha kondoo, mbuzi
Ebr 9:12 si kwa damu ya mbuzi
Kut 12:5; Law 16:7, 22, 27; Ebr 10:4.
MBUZI (wa Azazeli), Law 16:10; Law 16:26.
MBUZI-DUME, Eze 34:17 kondoo na mbuzi-dume
MBWA, Isa 56:10 Walinzi wake ni mbwa
2Pe 2:22 Mbwa amerudia matapiko
Amu 7:5; 2Fa 9:36; Mt 15:26; Ufu 22:15.
MBWA-MWITU, Isa 11:6 mbwa-mwitu na kondoo
Eze 22:27 Wakuu ni mbwa-mwitu
Mt 10:16 kondoo kati ya mbwa-mwitu
Yoh 10:12 humwona mbwa-mwitu akija
Mdo 20:29 mbwa-mwitu wataingia
MCHAGULIWA, Isa 42:1 Mchaguliwa wangu
Isa 65:22 waliochaguliwa wataitumia kazi
Mt 24:24 kuwapotosha, waliochaguliwa
Mt 24:31 watawakusanya waliochaguliwa
Mk 13:20 kwa sababu ya waliochaguliwa
Mk 13:27 kuwakusanya waliochaguliwa
Lu 18:7 haki kwa ajili ya waliochaguliwa
Zb 89:3; Mt 24:22; Ro 8:33; Kol 3:12; 2Ti 2:10.
MCHANA, Mwa 1:5 akaiita nuru Mchana
Kum 28:29 anayepapasa mchana
1Fa 18:27 mchana Eliya akawadhihaki
Met 4:18 mpaka mchana mkamilifu
Isa 16:3 katikati ya mchana
Isa 59:10 Tumejikwaa mchana
Amo 8:9 jua lishuke mchana
Sef 2:4 Ashdodi, watalifukuza mchana
Ayu 24:14; Zb 37:6; 91:6; Isa 58:10; Yer 15:8; Ro 13:12.
MCHANGA, Mt 7:26 nyumba juu ya mchanga
Ro 9:27 Israeli kama mchanga wa bahari
Mwa 22:17; Zb 139:18; Isa 10:22; Yer 5:22; 33:22; Ufu 20:8.
MCHANGANYIKO, Ufu 18:6 mchanganyiko mara
MCHANGO, Kut 25:2 mtauchukua mchango
2Nya 31:10 leta mchango ndani ya nyumba
Eze 45:1 mtamtolea Yehova mchango
Eze 48:21 mchango mtakatifu na patakatifu
Ro 15:26; 1Ko 16:1, 2; 2Ko 9:13.
MCHAWI, Isa 3:3 mchawi stadi.
Isa 19:3 wataenda kwa wachawi
MCHEZO, Kut 8:29 Farao asifanye mchezo
Met 10:23 kwa mjinga ni kama mchezo
2Ti 2:5 mtu akishindana michezoni
MCHOCHEZI, Mk 15:7 Baraba, na wachochezi
MCHOKOO, Mdo 26:14 kuipiga teke michokoo
MCHOMO, Ho 13:14 Kifo, wapi michomo yako?
1Ko 15:55 Kifo, wapi mchomo wako?
MCHONGAJI, 2Fa 12:12 wachongaji wa mawe
MCHONGEZI, Met 11:13 mchongezi anafunua
Met 16:28 mchongezi anawatenganisha
Met 20:19 mchongezi anafunua ya siri
Met 26:20 pasipo na mchongezi ugomvi
MCHONGOMA, Eze 28:24 mchongoma hatari
MCHONYOTO, Kum 28:22 mchonyoto na joto la
MCHUKUA-SILAHA, 1Sa 14:6; 31:4.
MCHUNGAJI, Zb 23:1 Yehova ni Mchungaji
Isa 56:11 wachungaji hawakujua kuelewa
Yer 2:8 wachungaji walinikosea
Yer 3:15 wachungaji kupatana na moyo
Yer 23:1 wachungaji wanaowaangamiza
Yer 23:4 nitasimamisha wachungaji
Yer 25:34 Pigeni mayowe, wachungaji
Eze 34:2 toa unabii juu ya wachungaji
Eze 37:24 watakuwa na mchungaji mmoja
Mik 5:5 tutasimamisha wachungaji saba
Zek 11:17 Ole wake mchungaji wangu
Mt 26:31 Nitampiga mchungaji
Lu 2:8 wachungaji wakiishi nje
Yoh 10:11 mchungaji mwema
Yoh 10:16 mchungaji mmoja
Efe 4:11 wengine kuwa wachungaji
Ebr 13:20 mchungaji mkuu wa kondoo
1Pe 5:4 mchungaji mkuu akiisha
Mwa 49:24; Yer 10:21; Zek 11:3; Mt 8:33; 9:36; 25:32; Mk 5:14; Lu 8:34.
MCHUNGUZAJI, 1Nya 29:17 mchunguzaji moyo
MDHALIMU, Eze 31:11 mkononi mwa mdhalimu
MDHAMINI, Met 6:1 ikiwa umekuwa mdhamini
MDHIHAKI, Zb 35:16 wadhihaki, kwa keki
Met 20:1 Divai ni mdhihaki
2Pe 3:3 wadhihaki na dhihaka
MDOGO, Isa 60:22 Mdogo atakuwa elfu
Yer 31:34 mdogo mpaka mkubwa
Mt 11:11 mdogo katika ufalme
Mt 25:40 hawa ndugu zangu wadogo
Lu 9:48 anayejiendesha kama mdogo
Ebr 2:9 mdogo kuliko malaika
Ebr 7:7 mkubwa hubariki mdogo
Ebr 8:11 watanijua, kuanzia mdogo
MDOMO, Met 10:21 Midomo ya mwadilifu
Met 15:7 Midomo hutawanya ujuzi
Isa 6:5 asiye na midomo safi
Ho 14:2 ng’ombe wa midomo
Mal 2:7 midomo ya kuhani
Mt 15:8 huniheshimu kwa midomo
Ebr 13:15 tunda la midomo
1Pe 3:10 midomo isiseme udanganyifu
Ayu 2:10; Zb 31:18; 106:33; Isa 30:27; Lu 1:4; Mdo 18:25; Ga 6:6.
MDUDU, Kum 28:42 wadudu watamiliki udongo
Isa 14:11 wadudu ni kifuniko
Isa 41:14 Yakobo uliye mdudu
MEGA, 1Ko 10:16 mkate, tunamega
MEGIDO, Amu 5:19 maji ya Megido
Yos 12:21; 2Fa 9:27; 23:29; 2Nya 35:22.
MELI, Zb 48:7 unavunja meli za Tarshishi
Zb 107:23 wanaoshuka baharini kwa meli
Isa 23:1 meli za Tarshishi
Da 11:40 mashambulizi kwa meli nyingi
2Ko 11:25 nilivunjikiwa na meli
Amu 5:17; 1Fa 9:26; 10:11; Isa 43:14; Eze 30:9; Da 11:30.
MELKIZEDEKI, Ebr 5:6 mfano wa Melkizedeki
Mwa 14:18; Zb 110:4; Ebr 6:20; 7:1, 15.
MEMA, Mwa 3:5 kama Mungu, mkijua mema
Mhu 2:24 nafsi ione mema kwa kazi
Amo 5:15 Chukia baya, penda mema
Lu 6:45 mwema hutokeza mema
Ro 8:28 zishirikiane kwa mema
Ga 6:10 tuwatendee wote mema
1Pe 3:17 kuteseka kwa mema
Yoh 5:29; Mdo 10:38; Ro 13:3; 1Pe 2:15; 4:19.
MENDE, 1Fa 8:37 ukungu, nzige, mende
Yoe 1:4 nzige mchanga, mende amekula
MENGI, Ayu 11:6 ya hekima ni mengi
1Ko 15:58 mengi katika kazi ya Bwana
MENO, Eze 18:2 meno ya wana
Yoe 1:6 meno ya simba
Ayu 19:20; Met 10:26; Da 7:7, 19; Mt 8:12.
MERIBA, Kut 17:7; Hes 20:13; Kum 32:51.
MERIKEBU, Isa 33:21 kundi la merikebu
MESOPOTAMIA, Mwa 24:10; Kum 23:4; Mdo 2:9.
METAMETA, Eze 1:22 kumetameta kwa barafu
Eze 21:15 upanga umetemete
METHALI, Met 1:6 ili kuelewa methali
METHUSELA, Mwa 5:21, 25, 27; Lu 3:37.
MEZA 1., Zb 23:5 unatayarisha meza
Isa 21:5 Meza na ipangwe
Isa 28:8 meza zimejaa matapiko
Da 11:27 kusema uwongo kwenye meza
Mal 1:7 Meza ya Yehova kudharauliwa
Lu 22:30 mpate kunywa mezani pangu
1Ko 10:21 meza ya Yehova
MEZA 2., Yer 30:16 wanaokumeza, watamezwa
Oba 16 mataifa watakunywa, kumeza
2Ko 5:4 uhai ukimeze kinachokufa
1Pe 5:8 Ibilisi, atafuta kumeza mtu
MFALME, 1Sa 8:19 mfalme atakuwa juu yetu
Zb 2:2 Wafalme, kuchukua msimamo
Zb 110:5 atavunja wafalme vipande
Isa 32:1 Mfalme atatawala kwa
Yer 10:10 Yehova ni Mfalme milele
Zek 14:9 Yehova atakuwa mfalme
Mt 21:5 Mfalme wako anakuja
Mt 27:37 Yesu Mfalme wa Wayahudi
Lu 21:12 matapelekwa kwa wafalme
Yoh 1:49 Rabi, Mfalme wa Israeli
Yoh 18:37 unasema mimi ni mfalme
Yoh 19:15 hatuna mfalme ila Kaisari
1Ti 1:17 Mfalme wa umilele
Ufu 16:14 yanakwenda kwa wafalme
Ufu 19:16 Mfalme wa wafalme
Amu 5:19; 9:8; 2Nya 9:22; Zb 89:27; Isa 41:21; Da 4:37; Mdo 17:7; 1Ti 6:15.
MFALME WA KASKAZINI, Da 11:6, 7, 8, 15, 40.
MFALME WA KUSINI, Da 11:11, 25, 40.
MFANO, Mwa 1:26 mtu kwa mfano wetu
Zb 110:4 kuhani, mfano wa Melkizedeki!
Mt 13:10 kwa kutumia mifano?
Mt 13:34 hakusema nao bila mfano
Mt 13:35 Nitafungua kinywa kwa mifano
Mt 24:32 na mtini kama mfano
Lu 8:10 kwa wengine ni kwa mifano
Yoh 16:25 sitasema tena kwa mifano
Ro 5:14 Adamu, mfano wake
Ro 6:5 katika mfano wa kifo chake
1Ko 15:49 mfano wa yule wa mbinguni
Ga 3:15 nasema kwa mfano wa
Ga 4:24 tukio la mfano
1Ti 1:16 ustahimilivu wake kuwa mfano
Ebr 9:9 Hema hili ni mfano
Ebr 9:24 mfano wa uhalisi
Ebr 11:19 kwa njia ya mfano
Kut 25:9, 40; Mt 15:15; Mk 4:10, 11; 12:1, 12; 13:28; Ro 8:3, 29; Kol 1:15; Ebr 8:5.
MFANO WA UHALISI, Ebr 8:5.
MFANYA-BIASHARA, Eze 27:3.
Nah 3:16 Umezidisha wafanya-biashara
Ayu 41:6; Isa 23:8; Eze 27:13, 15, 17, 22-24.
MFANYAKAZI, Ne 4:22 wafanyakazi mchana
Mt 9:37 wafanyakazi ni wachache
Mt 20:1 wafanyakazi wa shamba
Lu 10:7 mfanyakazi astahili mshahara
2Ti 2:15 mfanyakazi asiyeaibika
Yak 5:4 Mishahara ya wafanyakazi
3Yo 8 wafanyakazi wenzi kwelini
MFANYAKAZI MWENZANGU, Kol 4:11.
MFANYAKAZI MWENZI, 1Ko 3:9
MFANYIZAJI, Isa 45:9; Yer 10:16.
MFARIJI, Ayu 16:2; Zb 69:20; Nah 3:7.
MFEREJI, 2Fa 19:24; Ayu 38:25; Isa 37:25; Eze 29:3; 31:4.
MFEREJI WA CHINI KWA CHINI, 2Sa 5:8.
MFILISTI, Amu 3:3 Wakuu wa Wafilisti
Amu 16:30 Nafsi yangu ife na Wafilisti
1Sa 4:10 Wafilisti wakashinda Israeli
1Sa 17:36 Mfilisti asiyetahiriwa
1Sa 31:8 Wafilisti wakamkuta Sauli
Isa 2:6 uchawi kama Wafilisti
Eze 25:15 Wafilisti wamelipiza kisasi
Amu 14:4; 1Sa 17:37, 43; Sef 2:5; Zek 9:6.
MFINYANZI, Zb 2:9 kama chombo cha mfinyanzi
Isa 29:16 mfinyanzi awe kama udongo?
Isa 64:8 nawe ni Mfinyanzi wetu
Yer 18:6 udongo mkononi mwa mfinyanzi
Mt 27:7 shamba la mfinyanzi
Ro 9:21 mfinyanzi hana mamlaka
Isa 30:14; 41:25; Yer 18:4; Omb 4:2.
MFU, Zb 115:17 Wafu hawamsifu Yah
Mhu 9:5 wafu hawafahamu lolote
Mt 8:22 waache wafu wazike wafu
Yoh 5:25 wafu watasikia sauti ya Mwana
Ro 6:11 wafu kuhusiana na dhambi
Efe 2:1 mlikuwa wafu
1Th 4:16 wafu katika Kristo watafufuliwa
Mhu 6:3; Mt 22:32; Ufu 14:13; 20:13.
MFUAJI, Mwa 4:22 mfuaji wa vifaa vya shaba
MFUAJI WA NGUO, Mal 3:2.
MFUGAJI, 2Ki 3:4 Mesha, mfugaji kondoo
MFUKO, 1Sa 25:29 mfuko wa uzima
Ayu 14:17 Maasi yamefungwa katika mfuko
Ayu 28:18 mfuko uliojaa hekima
MFUKO WA CHAKULA, Mt 10:10; Lu 22:35, 36.
MFUMO WA MAMBO, Ga 1:4.
Ebr 1:2 aliifanya mifumo ya mambo
Zb 17:14; 49:1; Mt 13:39; 24:3; 28:20; Mk 10:30; Lu 18:30; 2Ko 4:4; 1Ti 6:17.
MFUNDISHAJI, Isa 30:20 Mfundishaji Mkuu
Mt 13:52 mfundishaji wa wote
Mt 23:34 ninawatumia wafundishaji
2Nya 35:3; Ezr 8:16; Met 5:13; Hab 2:18.
MFUNDISHAJI WA WATU WOTE, Mt 13:52; 23:34.
MFUNGO, 2Nya 20:3 akatangaza mfungo
MFUNGWA, Isa 42:7 umtoe mfungwa
Isa 49:9 wafungwa, Tokeni nje!
Efe 3:1 Paulo, mfungwa wa Kristo
2Ti 1:8 aibu, mimi mfungwa wake
Ayu 3:18; Zb 69:33; 79:11; 102:20; Isa 14:17; Zek 9:12; Mt 27:15; Mdo 16:25.
MFUNUAJI, Da 2:28 Mungu ni Mfunuaji wa siri
Da 2:47 Mungu, Mfunuaji wa siri
MFUPA, Law 24:20 Mfupa uliovunjika
Zb 34:20 anailinda mifupa yote
Met 14:30 wivu hufanya mifupa iwe mibovu
Met 25:15 ulimi unaweza kuvunja mfupa
Yer 20:9 moto umefungiwa ndani ya mifupa
Eze 37:1 nchi tambarare, imejaa mifupa
Mt 23:27 ndani yamejaa mifupa ya wafu
Yoh 19:36 Hakuna mfupa utakaovunjwa
Mwa 2:23; Ayu 10:11; Zb 22:14; Hab 3:16.
MFUPI, Zb 39:4 nilivyo wa muda mfupi
MGALILAYA, Mk 14:70; Lu 13:1; Yoh 4:45.
MGAWANYIKO, Mt 10:35; Lu 12:51; Yoh 9:16; Ro 16:17; 1Ko 1:10; 11:18; Ga 5:20.
MGAWANYO (wa makuhani), 1Nya 27:1; 2Nya 5:11; 8:14; Ezr 6:18; Lu 1:5.
MGENI, 1Fa 8:41 pia kwa mgeni
Zb 15:1 mgeni katika hema lako?
Zb 18:44 Wageni, kuja wakitetemeka
Zb 69:8 nimekuwa mgeni kwa
Isa 56:6 wageni wamejiunga na Yehova
1Ko 14:11 nitakuwa mgeni kwa anayesema
Ebr 11:13 wageni na wakaaji wa muda
Ayu 19:15; Isa 2:6; 56:3; 60:10; 61:5; Eze 16:32; Mt 25:35; Lu 24:18; Yoh 10:5; Efe 2:12; Ebr 11:9.
MGIBEONI, 2Sa 21:1 Sauli aliwaua Wagibeoni
2Sa 21:3, 9; 1Nya 12:4; Ne 3:7.
MGIRIKI, 1Ko 1:22 Wagiriki wanatafuta hekima
Ga 3:28 Hakuna Myahudi, Mgiriki
MGOMVI, Met 21:9 mke mgomvi
Met 21:19 kuliko kukaa na mke mgomvi
Met 27:15 mvua na mke mgomvi ni sawa
MGONJWA, 2Sa 13:5 mkate kama mgonjwa
Met 13:12 Tarajio, moyo mgonjwa
Isa 33:24 Mimi ni mgonjwa
Eze 34:4 wagonjwa hamkuwatia nguvu
Yoh 5:5 alikuwa mgonjwa miaka 38
Yak 5:14 Je, kuna yeyote mgonjwa?
2Fa 20:1; Mal 1:8; Mt 25:39; Yoh 11:2.
MGONJWA KIAKILI, 1Ti 6:4.
MGONJWA-MGONJWA, 1Ko 11:30.
MGUMU, Kut 7:14 Moyo wa Farao ni mgumu
Kum 15:7 usifanye moyo kuwa mgumu
Yos 11:20 kuacha mioyo iwe migumu
Isa 6:10 Fanya moyo kuwa mgumu
Mk 3:5 mioyo yao migumu
Ebr 3:8, 15 msifanye mioyo kuwa migumu
Ebr 3:13 akafanywa mgumu kwa dhambi
Ebr 4:7 msifanye mioyo kuwa migumu
Kut 1:14; 1Sa 6:6; Met 28:14; Isa 6:10; Mdo 19:9.
MGUU, Zb 119:105 Neno ni taa ya mguu
Isa 52:7 miguu ya anayeleta habari
Mt 4:6 usiugonge mguu wako juu ya jiwe
Yoh 19:33 hawakuvunja miguu yake
Ro 10:15 miguu ya wanaotangaza
Ro 16:20 Shetani kupondwa miguuni
1Ko 15:25 adui zote chini ya miguu
Efe 6:15 miguuni, habari njema
Isa 59:7; Lu 1:79; Ro 10:15; Ebr 2:8.
MHAMISHWA, Ezr 6:16; Isa 20:4; Amo 1:5.
MHARIBIFU, Isa 54:16 mharibifu, kazi ya
MHESHIMIWA, Mdo 25:21, 23.
MHITI, Mwa 23:10; Amu 1:26; 2Sa 11:3.
MHOLI, Ayu 6:6 utelezi wa mholi
MHUBIRI, 1Ti 2:7 niliwekwa kuwa mhubiri
2Ti 1:11 mhubiri na mtume na
2Pe 2:5 Noa, mhubiri wa uadilifu
MHUDUMU, Mk 10:43 mkubwa, awe mhudumu
Ro 13:4 ni mhudumu wa Mungu
Ro 15:8 Kristo alikuwa mhudumu
Ro 16:1 Fibi, ambaye ni mhudumu
2Ko 3:6 wahudumu wa agano jipya
2Ko 11:15 wahudumu wake wanajigeuza
1Ti 3:10 watumike wakiwa wahudumu
1Ti 4:6 utakuwa mhudumu mzuri
Zb 103:21; Isa 61:6; 2Ko 3:3; 6:4; Ga 2:17; Kol 1:23.
MIA, Amu 7:7 Kwa watu hawa mia tatu
Isa 65:20 ingawa ana miaka mia
Mt 13:8 zikazaa mara mia
Mt 18:12 Mtu akiwa na kondoo mia
Mk 10:30 hatapata mara mia
MIA MOJA AROBAINI NA NNE ELFU, Ufu 7:4; 14:1, 3.
MIA SITA SITINI NA SITA, Ufu 13:18.
MIAKA ELFU, Zb 90:4 miaka elfu kama jana
2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka elfu
Ufu 20:2 kumfunga kwa miaka elfu
Ufu 20:4 kutawala kwa miaka elfu
MIANGA, Yak 1:17 Baba wa mianga ya mbinguni
MIDIANI, Amu 6:1 Israeli mkononi mwa Midiani
Kut 2:15; Amu 9:17; Hab 3:7; Mdo 7:29.
MIEREBI, Zb 137:2 Juu ya mierebi tulitundika
MIFUGO, Kut 9:3 mkono, juu ya mifugo
Kum 3:19 najua mna mifugo mingi
Isa 30:23 Mifugo yako italisha
MIIMO YA MLANGO, Kum 6:9.
MIKA, Amu 17:1; 2Nya 34:20; Mik 1:1.
MIKAELI, Da 12:1 Mikaeli atasimama
Ufu 12:7 Mikaeli na malaika zake
MIKATE YA TOLEO, Mt 12:4.
MIKAYA, 1Fa 22:8; 2Fa 22:12; 2Nya 13:2.
MILELE. Pia WAKATI USIO NA KIPIMO.
Law 25:23 nchi haitauzwa milele
Zb 104:5 dunia, haitatikiswa milele
Isa 9:6 Baba wa Milele
Isa 57:15 anayeishi milele
Yoh 17:3 Uzima wa milele, kupata ujuzi
Ro 1:20 nguvu za milele na Uungu
Ro 5:21 tazamio la uzima wa milele
Ro 6:23 zawadi za Mungu, uzima milele
2Ko 4:18 visivyoonekana ni vya milele
1Pe 5:10 aliwaitia utukufu wa milele
Yud 6 vifungo vya milele
Mwa 49:26; Zb 111:8; 148:6; Da 12:3; Hab 3:6; Mt 25:46; Mk 3:29; Lu 16:9; Efe 3:11; 1Yo 5:11.
MILIKI, Mwa 17:8 kuimiliki hata wakati
Mwa 22:17 uzao utamiliki lango
Zb 2:8 dunia iwe miliki yako
Zb 37:11 wapole wataimiliki dunia
Isa 49:8 ukiwa yamilikiwe tena
Isa 57:13 ataumiliki mlima wangu
Hes 13:30; Kum 1:21; 2Nya 20:11; Zb 44:3; 69:35; Eze 36:12.
MILIKIWA, Mdo 7:45 Yoshua, nchi iliyomilikiwa
MILIO, Yer 13:27 uzinzi na milio yako
MILIONI, 1Nya 21:5; 22:14; 2Nya 14:9.
MIMBA, Kut 23:26 mwanamke, mimba itatoka
Law 12:2 atachukua mimba na kuzaa
Ayu 3:16 kama mimba iliyoharibika
Ayu 21:10 Ng’ombe wake hutia mimba
Zb 51:5 alinichukua mimba katika dhambi
Isa 7:14 Mwanamwali atapata mimba
Ho 9:14 tumbo la kuharibu mimba
Lu 1:31 utachukua mimba katika tumbo lako
Ro 9:10 Rebeka alipochukua mimba
Ebr 11:11 Sara, kuchukua mimba ya uzao
Mwa 4:1; 31:38; Ru 4:13; 2Fa 2:19, 21; Ayu 21:10; Zb 58:8; Mhu 11:5; Ho 9:11; Lu 1:24.
MIMI NI YEHOVA, Kut 7:5; 14:4; Isa 49:23; Eze 6:7; 7:4; 11:12; 12:20; 13:23; 14:8; 15:7; 16:62; 20:44; 22:16; 25:5; 26:6; 28:22; 34:27; 35:9; 37:6; 38:23; 39:7, 28.
MIMINA, Mdo 2:17 Nitaimimina roho yangu
MIMINIKA, Isa 2:2; Yer 51:44; Mik 4:1.
MIMINWA, Zb 45:2 Uvutio umemiminwa
MINA, Lu 19:16 mina ilipata mina kumi
1Fa 10:17; Ezr 2:69; Lu 19:13, 24, 25.
MINYWA, Law 22:24 mapumbu yaliyominywa
MIPAKA, Isa 26:15 Umeieneza mipaka yote
MIRIAMU, Kut 15:20; Hes 12:1; 20:1; 26:59.
MISPA, Yos 11:3; Amu 10:17; Ho 5:1.
MISRI, Zb 68:31 vyombo vitatoka Misri
Isa 19:23 njia kuu, Misri kwenda Ashuru
Isa 31:1 Ole wao wanaoshuka Misri
Da 11:43 juu ya vitu vya Misri
Ufu 11:8 Misri, alipotundikwa Bwana wao
Mwa 37:36; 41:41; Kut 11:5; Mt 2:15.
MITI YA MIBAKA, 2Sa 5:23; 1Nya 14:14.
MITINDO YA NYWELE, 1Ti 2:9.
MITUNGI, Yoe 2:24; 3:13; Zek 14:10.
MIUNDU, Isa 2:4 mikuki iwe miundu
Yoe 3:10 miundu yenu iwe mikuki
Mik 4:3 mikuki yao iwe miundu
MIUNGU, Mdo 17:18 mtangazaji wa miungu
Mdo 17:22 kuogopa miungu kuliko
MIUNGU ISIYO NA THAMANI, Law 19:4; 26:1; Zb 96:5; Hab 2:18.
MIUNGU YA KIGENI, Yos 24:20; Zb 81:9.
MIVUKE, Zb 135:7 Anafanya mivuke ipande
Yer 10:13 husababisha mivuke ipande
MIZANI, Ayu 31:6 Atanipima katika mizani
Zb 62:9 Wanapowekwa juu ya mizani
Met 20:23 mizani ya kudanganya si nzuri
Isa 40:15 vumbi jembamba juu ya mizani
Da 5:27 umepimwa katika mizani
MIZANI SAHIHI, Law 19:36; Ayu 31:6.
MJAKAZI, Mwa 16:1 Hagari, mjakazi wa Sarai
Mwa 12:16; Ru 2:13; Zb 123:2; Met 30:23.
MJANE, Zek 7:10 msimpunje mjane
Lu 20:47 humeza nyumba za wajane
Lu 21:2 akaona mjane akitumbukiza
1Ti 5:3 Waheshimu wajane
Yak 1:27 kutunza yatima na wajane
Ufu 18:7 malkia, nami si mjane
Isa 47:8; Mk 12:43; Lu 18:3; 1Ko 7:8.
MJANJA, 1Sa 23:22 yeye ni mjanja
MJARIBU, Mt 4:3 Mjaribu akaja
1Th 3:5 Mjaribu, amewajaribu ninyi
MJELEDI, Mt 10:17 watawapiga mijeledi
Mt 23:34 mtawapiga mijeledi
Yoh 2:15 kufanya mjeledi wa kamba
MJENZI, Ebr 11:10 mjenzi ni Mungu
1Pe 2:7 jiwe ambalo wajenzi walilikataa
MJI, Zb 48:2 Mji wa Mfalme Mkuu
MJINGA, Met 13:20 anayeshirikiana na wajinga
Met 14:16 mjinga anakuwa na ghadhabu
Ho 7:11 kama njiwa mjinga
Ro 1:21 wakawa wajinga
MJITOLEAJI. Ona JITOLEA.
MJUMBE, Yos 6:17 Rahabu alificha wajumbe
Est 3:13 mkono wa wajumbe
Zb 78:49 Wajumbe wa malaika
Isa 30:4 wajumbe wake wamefika
Isa 33:7 wajumbe wa amani watalia
Eze 17:15 kutuma wajumbe Misri
Mal 3:1 ninamtuma mjumbe wangu
Mt 11:10 namtuma mjumbe mbele
Flp 2:25 Epafrodito, mjumbe wenu
Amu 9:28; 2Fa 9:18; 2Nya 31:13; Est 2:3; Met 13:17; 17:11; 25:13; Isa 14:32; 57:9; Oba 1.
MJUZI WA KUBASHIRI MATUKIO, Law 19:31; 20:6; 2Fa 21:6; 23:24; Isa 19:3.
MKAAJI, Amu 5:7 Wakaaji wa nchi iliyo wazi
Isa 6:11 majiji bila mkaaji
Isa 24:5 imechafuliwa chini ya wakaaji
Isa 33:24 mkaaji: Mimi ni mgonjwa
Yer 51:29 kushangaza, bila mkaaji
Yer 25:29; 26:15; Ho 4:1; Zek 12:8.
MKAAJI MGENI, Efe 2:19 si wakaaji wageni
Mwa 15:13; Kut 22:21; Law 24:22; Hes 35:15; Kum 10:18, 19; Zb 146:9; Isa 14:1; Yer 7:6, 6; 22:3; Zek 7:10; Mal 3:5; Efe 2:19.
MKAIDI, Kut 7:3 moyo wa Farao mkaidi
Kut 14:17 mioyo ya Wamisri iwe mikaidi
Isa 1:23 Wakuu wako ni wakaidi
Isa 30:1 Ole wao wana wakaidi
Isa 65:2 Nimewanyooshea watu wakaidi
Ro 9:18 humwacha awe mkaidi
Kum 21:18; Amu 2:19; Zb 66:7; Met 7:11.
MKAMILIFU, 2Nya 16:9 moyo wao ni mkamilifu
Mt 5:48 muwe wakamilifu, kama
Ebr 2:10 mkamilifu kupitia mateso
Ebr 10:14 wawe wakamilifu daima
Ebr 11:40 wakamilifu bila sisi
1Yo 4:18 upendo mkamilifu hutupa woga
MKAMILISHAJI, Ebr 12:2 Mkamilishaji wa imani
MKANDAMIZAJI, Amu 6:9; Mhu 4:1; Isa 16:4.
MKARIBISHAJI, Ro 16:23 Gayo, mkaribishaji
MKATE, Amo 8:11 si njaa ya mkate
Mt 4:4 Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu
Mt 16:12 si chachu ya mikate
Mt 26:26 alichukua mkate, akaumega
Lu 9:13 mikate mitano na
Yoh 6:35 Mimi ndio mkate wa uzima
1Ko 10:17 tunakula mkate mmoja
1Ko 11:26 mnapokula mkate huu
Mwa 3:19; Zb 37:25; Isa 55:2; Mt 6:11.
MKATE WA WONYESHO, Kut 25:30; 1Sa 21:6; 2Nya 4:19.
MKATO, Law 21:5 wasifanye mkato katika mwili
MKAZO, Zb 55:3 mkazo wa mwovu
2Ko 1:8 tulikuwa chini ya mkazo
Ayu 32:18; Zb 66:11; 2Ko 1:8; Flp 1:23.
MKE, Mwa 2:24 atashikamana na mke
Mwa 6:2 wakajichukulia wake
Zb 128:3 Mke atakuwa kama mzabibu
Met 5:18 ushangilie mke wa ujana
Isa 54:6 Yehova alikuita kama mke
Yer 16:2 Usijichukulie mke
Mal 2:14 mke wa ujana wako
1Ko 7:2 awe na mke wake
1Ko 7:39 Mke amefungwa wakati
Efe 5:22 Wake wajitiishe
Ufu 21:9 mke wa Mwana-Kondoo
Kum 29:11; 1Fa 11:3, 4; 2Nya 20:13; Met 18:22; 1Ko 9:5; Efe 5:23, 28; 1Ti 3:2.
MKENI, Mwa 15:19; Amu 1:16; 5:24.
MKIA, Kum 28:13, 44; Isa 9:15; Ufu 9:10; 12:4.
MKIMBIZI, Mwa 4:12; Eze 17:21.
MKOBA, 1Sa 17:40; Lu 10:4; 12:33; 22:35, 36.
MKOMAVU, 1Ko 2:6 wale ambao ni wakomavu
Flp 3:15 wengi walivyo wakomavu
Ebr 5:14 chakula cha wakomavu
MKOMBOZI, Ru 4:6 mkombozi akasema: siwezi
Isa 44:24 Yehova, Mkombozi wako
Isa 59:20 Mkombozi atakuja Sayuni
Isa 63:16 Mkombozi wa zamani
Yer 50:34 Mkombozi wao ana nguvu
Ro 11:26 Mkombozi atatoka Sayuni
2Sa 14:6; Ayu 19:25; Zb 7:2; 19:14; Met 23:11; Isa 5:29; 41:14; 44:6; 48:17; 49:26; 54:5; 60:16; Mdo 7:35.
MKONGWE, 2Nya 36:17 mzee wala mkongwe
MKONO, 2Fa 10:15 nipe mkono wako
Zb 8:6 kazi za mikono yako
Zb 110:1 Keti mkono wa kuume
Met 6:1 mikono katika mapatano
Isa 35:3 Tieni nguvu mikono dhaifu
Isa 40:10 mkono wake utatawala
Isa 52:10 Yehova ameweka wazi mkono wake
Isa 53:1 Na mkono wa Yehova, umefunuliwa
Isa 59:1 Mkono wa Yehova si mfupi
Da 2:34 jiwe kukatwa bila mikono
Zek 14:13 ataukamata mkono wa mwenzake
Mt 6:27 kipimo cha mkono kwenye uhai
Lu 9:62 mkono kwenye jembe
Yoh 12:38 mkono wa Yehova, umefunuliwa
Kol 2:14 hati iliyoandikwa kwa mkono
1Ti 4:14 walipoweka mikono juu yako
Ebr 10:31 kuanguka mikononi mwa Mungu
1Pe 5:6 nyenyekea mkono wa Mungu
Mwa 6:15; Kut 17:12; 27:1; 2Nya 32:8; Zb 10:15; 21:8; 24:4; 44:3; 45:4; 49:15; Isa 65:22; Yer 38:4; Eze 41:8; Da 5:5; Ho 13:14; Sef 3:16; 2Ko 5:1; Ebr 9:11; Ufu 21:17.
MKONO WA KUUME, Zb 110:1
Mt 25:33 kondoo, mkono wa kuume
Mdo 7:55 kwenye mkono wa kuume
Ebr 10:12 mkono wa kuume wa Mungu
Kut 15:6; Amu 5:26; Zb 21:8; 45:4; Isa 62:8; Ga 2:9; Ebr 1:3.
MKOPESHAJI, Isa 24:2 mkopeshaji, pia mkopaji
MKOPO, Met 22:26 dhamana kwa ajili ya mikopo
MKOSAJI, Zb 37:38 wakosaji wataangamizwa
Zb 51:13 Nitawafundisha wakosaji
Isa 53:12 alihesabiwa na wakosaji
MKRISTO, Mdo 11:26 kwanza waliitwa Wakristo
Mdo 26:28 ungenishawishi niwe Mkristo
1Pe 4:16 akiteseka kwa sababu ni Mkristo
MKUBWA, Ebr 7:7 hubarikiwa na mkubwa
MKUFU, Met 1:9 mkufu bora shingoni
MKUKI, Yos 8:18, 26; Zb 46:9; Isa 2:4; Mik 4:3.
MKULIMA, Mwa 9:20 Noa akawa mkulima
Yoh 15:1 Baba ndiye mkulima
Yak 5:7 Mkulima hungojea matunda
Mwa 4:2; Isa 61:5; Yer 14:4; 51:23; Mt 21:33; 2Ti 2:6.
MKUSANYAJI, Yos 9:21 wakusanyaji wa kuni
MKUSANYA-KODI, Mt 5:46; 11:19; 18:17; 21:31, 32; Mk 2:15, 16; Lu 3:12; 7:29; 15:1; 18:10, 11; 19:2.
MKUSANYIKO, Law 23:4 hii ndiyo mikusanyiko
Isa 4:5 ataumba wingu mahali pa mkusanyiko
Kut 12:16; Law 23:35; Hes 28:26; 29:7.
MKUTANISHAJI, Mhu 1:1, 12; 7:27; 12:9, 10.
MKUU, Zb 45:16 wakuu duniani
Isa 9:6 Mkuu wa Amani
Isa 32:1 wakuu watatawala
Eze 34:24 Daudi atakuwa mkuu
Eze 44:3 mkuu ataketi langoni
Da 5:1 karamu kwa wakuu
Da 10:13 mkuu wa Uajemi
Da 12:1 Mikaeli, yule mkuu
Yoh 14:28 Baba ni mkuu kuliko mimi
Mdo 19:31 wakuu wa michezo
1Pe 5:4 mchungaji mkuu akiisha kufunuliwa
Mwa 17:20; 21:22; Kum 20:9; Yos 5:14; 1Fa 8:1; Ne 2:9; Ayu 34:19; Isa 3:3; Yer 52:25; Eze 7:27; Da 8:11, 25; Sef 1:8; Mdo 13:50; 25:2.
MKUU WA MUUNGANO, Yos 13:3; Amu 3:3; 16:5.
MLAFI, Tit 1:12 walafi wasiofanya kazi
MLALAMIKAJI, Mt 5:25 mlalamikaji asikutie
Yud 16 wanung’unikaji, walalamikaji
MLANGO, Kut 12:22 damu juu ya mlango
Isa 26:20 ufunge milango nyuma yako
Mdo 14:27 amefungulia mataifa mlango
Ufu 3:20 Nimesimama mlangoni
Amu 3:23; Mt 24:33; 25:10; 1Ko 16:9.
MLETA-HABARI, 2Sa 15:13 mleta-habari akamjia
Yer 51:31 mleta-habari kukutana na
MLEVI, Met 23:21 mlevi atakuwa maskini
Isa 28:1 Ole walevi wa Efraimu
Mt 24:49 mtumwa, kunywa na walevi
1Ko 5:11 msichangamane na mlevi
1Ko 6:10 welevi, hawataurithi ufalme
MLIMA, Kut 3:12 eneo la milima
Amu 5:5 Milima ikayeyuka kutoka
Zb 2:6 mfalme juu ya mlima wangu
Zb 46:2 milima ikitikisika
Isa 2:2 juu ya kilele cha milima
Isa 2:3 twendeni mlimani kwa Yehova
Isa 11:9 madhara, mlima wangu mtakatifu
Isa 52:7 juu ya milima miguu ya
Yer 16:16 watawawinda kutoka mlima
Da 2:45 jiwe likakatwa mlimani
Da 11:45 mlima wa lile Pambo
Mik 1:4 milima itayeyuka chini yake
Mt 4:8 mlima, akamwonyesha falme
Mt 17:20 mtaambia mlima, Ondoka
Mk 13:14 wa Yudea wakimbilie milimani
Lu 3:5 kila mlima ufanywe tambarare
Ufu 6:16 milima: Tuangukieni
Isa 40:12; 41:15; 65:25; Yer 51:25; Eze 35:8; Amo 9:13; Hab 3:6.
MLIMA SAYUNI, Zb 48:2 Mlima Sayuni, mji wa
Zb 125:1 Mlima Sayuni, hautikiswi
Isa 29:8 vita juu ya Mlima Sayuni
Yoe 2:32 Mlima Sayuni, walioponyoka
Oba 21 waokozi watapanda Mlima Sayuni
Ebr 12:22 Mlima Sayuni, jiji la Mungu
Ufu 14:1 Mwana-Kondoo, Mlima Sayuni
2Fa 19:31; Zb 78:68; Isa 8:18; Mik 4:7.
MLIMA SEIRI, Kum 2:5 Esau, Mlima Seiri
MLIMA SINAI, Kut 19:20 akashuka Mlima Sinai
Kut 24:16 utukufu juu ya Mlima Sinai
Kut 31:18; Law 7:38; Ne 9:13; Mdo 7:30.
MLIMA WA MIZEITUNI, Lu 22:39; Mdo 1:12.
MLINZI, Mwa 4:9 mimi mlinzi wa ndugu yangu?
1Sa 22:14 mkuu juu ya walinzi wako
Est 2:3, 8, 15 Hegai, mlinzi wa wanawake
Isa 21:6 weka mlinzi, ili
Isa 21:11 Mlinzi, habari za usiku?
Isa 52:8 Walinzi wamepaaza sauti
Isa 56:10 Walinzi wake ni vipofu
Isa 62:6 Nimeweka walinzi
Eze 3:17 nimekufanya mlinzi
Eze 33:6 mlinzi, asipige baragumu
Yer 6:17; 51:12; Mik 7:4; Mt 27:66.
MLIPIZA-KISASI, Hes 35:12, 21; Kum 19:6; Yos 20:9; Zb 78:35; Ro 13:4.
MLIPUKO, 2Sa 22:16; Zb 18:15; Isa 25:4.
MLO, Mt 23:6 kuonekana kwenye milo
Ebr 12:16 Esau, kubadilishana na mlo
MLO WA JIONI, Mk 6:21 Herode, mlo wa jioni
Lu 14:12 mlo wa jioni, usiite rafiki
1Ko 11:20 haiwezekani kula mlo wa jioni
Ufu 19:9 furaha, mlo wa jioni
Ufu 19:17 ndege, kwenye mlo wa jioni
Lu 14:16; 22:20; Yoh 13:4; 1Ko 11:21, 25.
MLOZI, Kut 22:18 mwanamke mlozi
Yer 27:9 msiwasikilize walozi wenu
Mal 3:5 shahidi wa haraka juu ya walozi
MLUZI, Isa 5:26 taifa, amelipigia mluzi
Yer 50:13 mshangao na kupiga mluzi
2Nya 29:8; Yer 18:16; 19:8; 25:9; 29:18; 51:37; Omb 2:15; Mik 6:16.
MMEA, Mwa 1:11 mimea inayozaa mbegu
Zb 69:21 mmea wenye sumu
Mt 15:13 Kila mmea ambao Baba
Ebr 6:7 mimea inayofaa
MMIDIANI, Mwa 37:36; Hes 25:17; 31:2.
MMILIKI, Yud 4 kumkana Mmiliki na
MMINYAJI WA TINI, Amo 7:14.
MMISRI, Kut 14:18 Wamisri watajua mimi
Isa 31:3 Wamisri si Mungu
Mwa 16:1; Kut 2:11; 7:5; Isa 19:2.
MMOJA, 1Ko 8:4 hakuna Mungu ila mmoja
MMOJA-MMOJA, 1Ko 12:27.
MNADHIRI, Hes 6:2, 18-21; Amu 13:5; 16:17.
MNAFIKI, Mt 7:5 Mnafiki! Kwanza toa
Mt 15:7 wanafiki, Isaya
Mt 23:13 Mafarisayo, wanafiki!
Mt 24:51 atamgawia na wanafiki
MNARA, Mwa 11:4 tujijengee mnara
Met 18:10 Jina la Yehova ni mnara
2Fa 9:17; Zb 61:3; Mik 4:8; Mt 4:5; Lu 4:9; 13:4.
MNARA WA MAKAO, Zb 48:3; 122:7; Isa 13:22; Eze 19:7; Amo 3:9; Mik 5:5.
MNARA WA MLINZI, Mwa 31:49; 2Nya 20:24; Isa 21:8; Isa 32:14.
MNARA WA UKUMBUSHO, 1Sa 15:12; 2Sa 18:18.
MNASO, Yos 23:13 mataifa, kama mnaso
Ro 11:9 Meza yao na iwe kwao mnaso
MNAZARETI, Mdo 24:5 ya Wanazareti
MNENE, Amu 3:17 Egloni alikuwa mnene
MNG’AO, Ebr 1:3 ndiye mng’ao wa utukufu
MNGURUMO, Kut 9:23 akatoa mingurumo
Ayu 40:9 je, unaweza kutoa mngurumo?
MNONG’ONO, Zb 90:9 miaka, mnong’ono
MNUNUZI, Met 20:14 ni kibaya! asema mnunuzi
MNYAMA, Kut 22:19 anayelala na mnyama
Law 18:23 usimpe mnyama yeyote shahawa
Zb 50:10 Wanyama walio juu ya milima elfu
Mhu 3:19 mwanadamu si bora kuliko mnyama
2Pe 2:12 watu, kama wanyama ili kukamatwa
Ufu 19:20 alama ya mnyama-mwitu
Ayu 18:3; 35:11; Zb 49:12; 73:22; Mhu 3:21; Da 7:3; Yud 10; Ufu 13:17; 17:3.
MNYAMA ANAYETEMBEA, Mwa 1:24; 8:17.
MNYAMA WA KUFUGWA, Mwa 1:24; 2:20.
MNYAMA-MWITU, Mwa 1:24 mnyama-mwitu wa
MNYAMAVU, Zb 35:20 wanyamavu wa dunia
MNYANG’ANYI, Mt 21:13 pango la wanyang’anyi
Mk 15:27 wanyang’anyi wawili
1Ko 6:10 wanyang’anyi hawataurithi
MNYENYEKEVU, Zek 9:9 ni mnyenyekevu
Mt 11:29 mnyenyekevu moyoni
Yak 4:6 huwapa wanyenyekevu fadhili
MNYONGE, Ne 4:2 Wayahudi wanyonge
Zb 119:141 Mimi ni mnyonge
MNYOOFU, 2Fa 10:15 Je, moyo wako ni mnyoofu
Ayu 1:8 asiye na lawama na mnyoofu
Zb 11:7 Wanyoofu ndio watakaouona
Zb 49:14 wanyoofu watawatawala
Zb 97:11 walio wanyoofu moyoni
Met 2:21 wanyoofu ndio watakaokaa
Met 12:6 kinywa cha wanyoofu
Met 15:8 sala ya wanyoofu
Mhu 7:29 aliwafanya wakiwa wanyoofu
Mik 7:2 hakuna mnyoofu
MNYORORO, Mdo 12:7 minyororo ikaanguka
Efe 6:20 kama balozi katika minyororo
MOABU, Kum 29:1 agano nchini Moabu
Ru 1:1, 22; 2Fa 1:1; 2Nya 20:22; Da 11:41.
MOJA KWA MOJA, Met 15:21.
MOLEKI, 2Fa 23:10 motoni kwa Moleki
Law 18:21; 20:2; 1Fa 11:7; Yer 32:35.
MORDEKAI, Est 3:2 Mordekai hakuinama
Est 7:10 mti, kwa ajili ya Mordekai
Ezr 2:2; Ne 7:7; Est 2:5; 6:10; 9:3; 10:3.
MOSHI, Zb 37:20 Katika moshi waufikie mwisho
Zb 68:2 moshi unavyofukuziwa mbali
Isa 34:10 moshi wake utaendelea kupaa
Isa 51:6 zitatawanywa kama moshi
Yer 7:9 kumfukizia Baali moshi wa
Ufu 14:11 moshi wa kuteswa kwao
MOSHI WA DHABIHU, Yer 44:5; Mal 1:11.
MOTO, Isa 66:16 kama moto, Yehova
Sef 3:8 kwa moto wa bidii yangu
Zek 3:2 kipande kutoka motoni?
Mal 3:2 moto wa msafishaji
Ebr 12:29 Mungu ni moto unaoteketeza
2Pe 3:7 zimewekwa kwa ajili ya moto
2Pe 3:10 vitu vya msingi moto
Ufu 3:15 si baridi, si moto
Ufu 17:16 kumteketeza kwa moto
1Fa 18:38; Da 3:19; Mt 3:11, 12; 1Ko 3:13.
MOTO WA MATESO. Ona GEHENA
MOYO, 1Sa 16:7 Yehova huona moyo
1Nya 28:9 umtumikie kwa moyo kamili
Met 4:23 Linda moyo wako
Met 14:30 Moyo mtulivu ni uzima
Met 21:2 Yehova hupima mioyo
Yer 17:9 Moyo ni wenye hila
Yer 17:10 Yehova, ninachunguza moyo
Mt 5:8 walio safi moyoni
Mt 15:8 moyo wao uko mbali
Mt 22:37 mpende Mungu kwa moyo wote
Ro 10:10 kwa moyo mtu huamini
Efe 1:18 macho ya moyo wenu
Ebr 3:8 msiifanye mioyo migumu
2Fa 10:15; 2Nya 15:8; Ne 4:6; Zb 14:1; 24:4; Met 3:5; 15:28; 17:3; Isa 14:13; 35:4; Yer 31:33; Eze 28:17; Da 11:27; Mal 4:6; Mt 8:28; Lu 12:34; Mdo 28:15; 2Ko 3:3; Yak 4:8; 5:8; 1Pe 3:15; Ufu 17:17.
MOYO NUSU, Zb 119:113.
MPAJI-SHERIA, Isa 33:22 Yehova ni Mpaji-sheria
Yak 4:12 mmoja ndiye mpaji-sheria
MPAKA, Kut 8:23 mpaka kati ya watu wangu
Kut 16:35 mpakani mwa Kanaani
Isa 19:19 nguzo kando ya mpaka wake
2Yo 9 mtu anayevuka mipaka
Kum 11:24; Zb 74:17; Isa 60:18.
MPANDAJI, Mt 13:37 Mpandaji wa mbegu
Yoh 4:36 mpandaji na mvunaji
MPANGILIO, 1Ti 2:9 mavazi, mpangilio mzuri
MPANGO, Met 15:22 Mipango huvunjika
Met 16:1 mipango ya moyo
Ro 13:2 kupingana na mpango wa Mungu
1Ko 14:40 yatendeke kwa adabu na mpango
Met 19:21; Eze 43:11; Mdo 5:38.
MPATANISHI, 1Ti 2:5 mpatanishi kati ya Mungu
Ebr 12:24 Yesu mpatanishi
MPELELEZI, Ebr 11:31 aliwapokea wapelelezi
MPENDA-HAKI, Zb 37:28 Yehova ni mpenda-haki
MPENDWA, 2Nya 20:7 Abrahamu, mpendwa
Ro 11:28 ni wapendwa kwa ajili ya
Mt 3:17; 1Ko 10:14; 2Ko 7:1; 1Pe 4:12.
MPENZI, Ho 8:9 wamekodi wapenzi
MPINGA-KRISTO, 1Yo 2:18, 22; 4:3; 2Yo 7.
MPINZANI, 1Sa 29:4 mpinzani wetu vitani
1Fa 5:4 Hakuna mpinzani, wala
Isa 50:8 mpinzani wangu katika kesi?
Lu 21:15 wapinzani wenu wote
Flp 1:28 msiwaogope wapinzani
1Ti 5:14 mpinzani sababu ya kutukana
2Sa 19:22; 1Fa 11:23, 25; Ayu 9:15; Zb 109:6.
MPITAJI, Amu 5:6 njia hazikuwa na wapitaji
MPOLE, Hes 12:3 Musa alikuwa mpole zaidi
Zb 37:11 wapole wataimiliki dunia
Met 3:34 atawapa wapole kibali
Isa 61:1 habari njema kwa wapole
Sef 2:3 mtafuteni Yehova, wapole
1Th 2:7 tulikuwa wapole kama mama
2Ti 2:24 kuwa mpole kwa wote
Zb 10:17; 22:26; Isa 11:4; 29:19; Amo 2:7.
MPONYAJI, 2Nya 16:12; Yer 8:22.
MPORAJI, 1Sa 30:8; 1Fa 11:24; Zb 18:29.
MPOTOVU, Zb 18:26 kwa mpotovu utakuwa
MPUMBAVU, 2Sa 22:27 kama mpumbavu
Met 1:7 Wapumbavu, kudharau nidhamu
Met 12:15 Njia ya mpumbavu
Mt 5:22 mpumbavu wa kudharauliwa!
Mt 25:2 Watano walikuwa wapumbavu
1Ko 3:18 awe mpumbavu, apate hekima
1Ko 4:10 Sisi ni wapumbavu
MPUNJAJI, Zb 72:4 amponde mpunjaji
Yer 22:3 mkononi mwa mpunjaji
MPWA, 1Nya 27:32 mpwa wa Daudi, mshauri
MPYA, Zb 51:10 ndani yangu roho mpya
Isa 65:17 ninaumba mbingu mpya
Isa 66:22 mbingu mpya na dunia mpya
Mt 26:29 nitakapokunywa ikiwa mpya
Yoh 13:34 Ninawapa amri mpya
Ro 6:4 hali mpya ya uzima
Kol 3:10 mjivike utu mpya
2Pe 3:13 mbingu mpya, dunia mpya
Ufu 14:3 wimbo mpya
MRADI, Flp 3:14 nafuatilia mradi kupata tuzo
MREFU, 1Sa 10:23 [Sauli] alikuwa mrefu
MREKEBISHAJI, Ro 2:20 mrekebishaji wa wasio
MREMBO, Est 2:2, 7; Ayu 42:15.
MRITHI, Mt 21:38 ndiye mrithi; tumuue
Ro 8:17 warithi pamoja na Kristo
Ga 3:29 warithi kuhusiana na ahadi
Efe 1:11 tulihesabiwa kuwa warithi
Efe 3:6 mataifa wawe warithi
Ebr 1:2 Mwana, mrithi wa vitu vyote
Mwa 21:10; Ro 4:13; Ga 4:7; Ebr 6:17; 11:9.
MROMA, Mdo 16:37 sisi tulio Waroma
MRUDISHO, 2Ko 3:18 vioo mrudisho wa utukufu
MSAADA, Zb 46:1 Msaada unaopatikana
Da 11:34 kwa msaada kidogo
Ro 8:26 roho hujiunga kutoa msaada
2Ko 4:9 hatuachwi bila msaada
Est 4:14; Ayu 6:13; Isa 10:3; Ebr 4:16.
MSAFARA, 2Nya 9:1 msafara wenye kuvutia
MSAFIRI, Amu 19:17 akamwona yule msafiri
Yer 9:2 mahali pa kukaa wasafiri
Yer 14:8 msafiri ambaye amegeuka
MSAFISHAJI, Mal 3:3 msafishaji wa fedha
MSAFISHA-NGUO, Mk 9:3.
MSAIDIZI, 2Nya 8:10 wakuu wa wasaidizi
Zb 10:14 umekuwa msaidizi wake
Yoh 14:16 atawapa msaidizi mwingine
Yoh 14:26 msaidizi, roho takatifu
Yoh 15:26 msaidizi atatoa ushahidi
Yoh 16:7 nisipoenda, msaidizi
2Fa 14:26; Zb 30:10; 54:4; Ebr 13:6.
MSAIDIZI, MTAWALA, Ne 12:40; 13:11.
MSALABA. Ona MTI WA MATESO.
MSALITI, Zb 59:5 Usiwape kibali wasaliti
Yoh 18:2 Yuda, msaliti wake, alipajua
MSAMAHA, Est 2:18 msamaha kwa wilaya
Mt 26:28 damu, kwa msamaha wa dhambi
Mk 1:4 ubatizo, msamaha wa dhambi
Mdo 2:38 jina la Yesu, kwa msamaha
Ebr 9:22 bila damu, hakuna msamaha
Lu 1:77; 24:47; Mdo 10:43; Ebr 10:18.
MSAMARIA, Lu 10:33 Lakini Msamaria fulani
2Fa 17:29; Mt 10:5; Lu 17:16; Yoh 4:9; Mdo 8:25.
MSAMBA, Mwa 38:29 umejipasulia msamba?
MSEJA, 1Ko 7:8 nawaambia waseja
1Ko 7:11 akae mseja
1Ko 7:34 mwanamke mseja
MSEMAJI, Kut 4:10 mimi si msemaji mzuri
2Nya 32:31 wasemaji wa wakuu
MSHAHARA, Mwa 31:7 amebadili mshahara
Zek 11:12 mshahara, vipande 30
Lu 10:7 anastahili mshahara wake
Ro 6:23 mshahara wa dhambi kifo
Yak 5:4 Mishahara ya wafanyakazi
MSHALE, Kum 32:42 Nitailewesha mishale
2Fa 13:17 mshale wa wokovu wa Yehova
Zb 127:4 mshale mkononi mwa mwanamume
Isa 49:2 akanifanya kuwa mshale ulionolewa
Hab 3:11 Kama nuru mishale yako ikaenda
Efe 6:16 mishale inayowaka ya mwovu
1Sa 20:20; Ayu 20:25; Zb 18:14; Yer 50:14; 51:11.
MSHAMBULIAJI, Ayu 9:13; 26:12; 36:32.
MSHANGAO, Law 26:32 kwa mshangao
Yer 2:12 Tazameni kwa mshangao
Yer 50:13 Babiloni, atatazama kwa mshangao
Ufu 13:3 ikamfuata kwa mshangao
Ufu 17:6 mshangao mkubwa
Zb 40:15; Eze 26:16; 27:35; Zek 12:4.
MSHAURI, Met 24:6 kwa wingi wa washauri
Isa 9:6 Mshauri wa Ajabu, Mkuu wa Amani
Ro 11:34 nani amekuwa mshauri wake?
Ayu 12:17; Met 15:22; Isa 1:26; Mik 4:9.
MSHIKAMANIFU, Zb 37:28 washikamanifu
Zb 50:5 Wakusanye washikamanifu
Zb 97:10 nafsi za washikamanifu
Zb 116:15 kifo cha washikamanifu
Met 2:8 njia ya washikamanifu
Yer 3:12 mimi ni mshikamanifu, Yehova
Mik 7:2 Mshikamanifu ameangamia
Kum 33:8; 1Sa 2:9; Zb 16:10; 31:23; 145:10; 149:1, 9; Mdo 2:27; 13:35; 1Th 2:10; 2Ti 3:2; Ebr 7:26; Ufu 15:4.
MSHINDI, 1Sa 26:25 Daudi utakuwa mshindi
Ufu 15:2 washindi kutoka kwa mnyama
MSHIPI, Kut 29:5; 2Fa 1:8; Isa 5:27; 11:5; Yer 13:1; Mt 3:4; Mdo 21:11.
MSHIRIKA, Mwa 14:13 washirika wa Abramu
MSHIRIKI, 2Ko 1:7 washiriki wa hayo mateso
1Pe 4:13 washiriki katika mateso
1Pe 5:1 mshiriki wa utukufu
2Pe 1:4 washiriki katika asili ya kimungu
Mt 23:30; 1Ko 10:18; Flp 1:7; 1Ti 5:22; Ebr 10:33.
MSHTAKI, Mdo 25:16 uso kwa uso na washtaki
Ufu 12:10 mshtaki wa ndugu zetu
MSIBA, Kum 32:23 Nitaongeza misiba
Ayu 30:12 vizuizi vyenye kuleta msiba
Zb 27:5 atanificha katika siku ya msiba
Zb 34:19 Mwadilifu ana misiba mingi
Mhu 7:14 siku yenye msiba ona
Isa 45:7 kufanya amani na kuumba msiba
Yer 1:14 Msiba utafunguliwa kutoka kaskazini
Yer 25:29 ninaanza kuleta msiba
Yer 38:4 hatafuti amani bali msiba
Amo 6:3 mnaiondoa akilini siku yenye msiba
Nah 3:19 Hakuna kitulizo cha msiba wako
1Sa 6:9; 2Sa 22:19; Ayu 31:23; Zb 71:24; 107:26; Met 17:5; Isa 15:5; Yer 2:27; 18:17; 25:6; Amo 6:6.
MSICHANA, Lu 8:54 Msichana, inuka!
MSIFU YAH, Zb 115:17 Wafu hawamsifu Yah
Zb 150:6 Kila kitu kimsifu Yah
Ufu 19:1 Msifuni Yah! Wokovu na
Zb 102:18; 147:1; Ufu 19:3, 4, 6.
MSIKIVU, Mdo 17:11 walikuwa wasikivu kuliko
MSIMAMIZI, Yer 51:59 Seraya msimamizi wa
Da 3:2, 3 wasimamizi wa wilaya
1Ko 3:10 msimamizi wa ujenzi
MSIMAMIZI WA KAZI, 2Nya 8:10; Zek 9:8.
MSIMAMIZI-NYUMBA, Lu 12:42; 1Ko 4:1; Tit 1:7.
MSIMAMO, Zb 2:2 wanachukua msimamo
Isa 32:5 mtu asiye na msimamo
1Pe 5:9 chukueni msimamo mkampinge
MSIMAMO WA UADILIFU, Isa 53:11.
MSINGI, Ayu 38:4 nilipoweka msingi wa dunia?
Zb 78:69 dunia ameiwekea msingi milele
Zb 104:5 Ameiwekea dunia msingi
Mt 13:35 tangu kuwekwa msingi
Ro 8:20 juu ya msingi wa tumaini
1Ko 3:11 kuweka msingi mwingine
1Ko 11:25 agano jipya kwa msingi
Efe 2:20 msingi wa mitume
Flp 3:9 kwa msingi wa imani
Ebr 6:1 fundisho la msingi
Ebr 11:10 jiji la misingi ya kweli
1Pe 1:20 kabla msingi wa ulimwengu
2Pe 3:10 vya msingi vitayeyushwa
2Sa 22:8; Zb 102:25; Met 10:25; Isa 51:16; Mik 1:6; Hab 3:13; Mt 24:5; 25:34; Mk 9:39; Lu 6:48; Yoh 17:24; Mdo 4:17; 5:28; Ro 15:20; Efe 1:4; Ebr 4:3.
MSIRIA, Mwa 31:20; Kum 26:5.
MSITU, Eze 34:25 kulala katika misitu
MSOMAJI, Mt 24:15 msomaji atumie utambuzi
MSUKOSUKO, Zb 39:6; Met 9:13; Da 10:16; Mt 21:10.
MSUKUMO, Yoh 16:13 kwa msukumo wake
MSUMENO, Ebr 11:37 walikatwa kwa msumeno
MTAFSIRI, 1Ko 12:30 Je, wote ni watafsiri?
1Ko 14:28 ikiwa hakuna mtafsiri
MTAKATIFU, Da 4:17 neno la watakatifu
Da 7:18 watakatifu watapokea ufalme
Da 7:25 atawasumbua watakatifu
Da 7:27 watakatifu wa Mkuu Zaidi
Mdo 26:10 watakatifu niliwafunga
Ro 12:13 Shirikini na watakatifu
1Ko 6:2 watakatifu, kuhukumu ulimwengu?
Efe 1:4 tuwe watakatifu, bila
Efe 3:8 mdogo kati ya watakatifu
Efe 4:12 kuwarekebisha watakatifu
Ufu 4:8 Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu
Ufu 11:18 kuwapa thawabu watakatifu
Ufu 17:6 amelewa damu ya watakatifu
Kut 3:5; Zb 2:6; Isa 52:10; Da 7:21, 22; Mt 27:52; Ufu 13:7; 18:24.
MTAMBO, 2Nya 26:15; Eze 26:9.
MTANGAZAJI, Da 3:4 mtangazaji akapaaza sauti
MTARIZI, Kut 26:1 makerubi, kazi ya mtarizi
MTAWALA, Da 4:17 Aliye Juu Zaidi ni Mtawala
Mt 9:34 mtawala wa roho waovu
Mt 20:25 watawala hupiga ubwana
Yoh 7:48 mmoja wa watawala au wa
Yoh 12:42 watawala walimwamini
Efe 2:2 mtawala wa hewa
Isa 28:14; Mdo 3:17; 4:26; 17:6; 1Ko 2:8.
MTAWALA MDOGO, Yos 13:21; Zb 83:11; Mik 5:5.
MTAWALA WA ULIMWENGU HUU, Yoh 12:31; 14:30; 16:11.
MTAZAMO WA AKILI, Ro 15:5 mtazamo wa akili
Flp 2:5 Iweni na mtazamo huu wa akili
Flp 3:15 tuwe na mtazamo huu wa akili
MTEGO, Kum 7:16 litakuwa mtego kwako
Amu 2:3 miungu, mtego kwenu
Zb 11:6 atawanyeshea waovu mitego
Zb 38:12 wanatega mitego
Zb 64:5 kuficha mitego
Zb 106:36 sanamu zikawa mtego kwao
Met 14:27 kuepuka mitego ya kifo
Met 18:7 midomo ya mjinga ni mtego
Isa 29:21 wanaotega mtego
Lu 21:35 kama mtego itakuja
1Ko 7:35 si ili niwategee mtego
1Ti 6:9 matajiri huanguka katika mtego
Yos 23:13; Amu 2:3; 2Sa 22:6; Zb 91:3; Met 29:25; Yer 18:22; Ro 11:9.
MTENDA-DHAMBI, Isa 65:20.
Mt 11:19 rafiki ya watenda-dhambi
Lu 15:2 hukaribisha watenda-dhambi
Lu 15:7 mtenda-dhambi anayetubu
Lu 18:13 fadhili kwangu mtenda-dhambi
Yoh 9:31 hawasikilizi watenda-dhambi
Ro 5:8 tulipokuwa watenda-dhambi
Ro 5:19 wengi walifanywa watenda-dhambi
1Ti 1:9 sheria kwa ajili ya watenda-dhambi
1Ti 1:15 alikuja kuwaokoa watenda-dhambi
Yak 5:20 anayemrudisha mtenda-dhambi
MTENDAJI, 2Fa 17:32 wakawa watendaji wao
Yak 1:22 iweni watendaji wa neno
MTENDA-MAOVU, Zb 37:9.
Yer 23:14 mikono ya watenda-maovu
1Pe 2:12 wanasema ninyi ni watenda-maovu
1Pe 4:15 asiteseke, akiwa mtenda-maovu
Zb 22:16; 37:1; 119:115; Yer 20:13.
MTENDE, Hes 33:9 Elimu, mitende 70
Yoh 12:13 matawi ya mitende
Ufu 7:9 mitende mikononi mwao
Amu 1:16; 4:5; Zb 92:12; Yoe 1:12.
MTENGENEZAJI, Ayu 32:22.
Isa 45:16 Watengenezaji wa sanamu
Isa 51:13 umsahau Mtengenezaji
Zb 95:6; Met 14:31; 22:2; Isa 17:7.
MTESAJI, 1Ti 1:13 nilikuwa mtesaji
MTHAWABISHAJI, Ebr 11:6.
MTI, Mwa 2:9 kila mti wenye kutamanika
Mwa 2:17 mti wa ujuzi wa
Kum 21:22 umemtundika juu ya mti
Yos 8:29 akamtundika juu ya mti
Amu 9:8 miti ilienda kumtia mafuta
Ayu 14:7 kwa ajili ya mti kuna tumaini
Zb 1:3 mti uliopandwa kando ya
Zb 37:35 akijitandaza kama mti
Mhu 11:3 mti ukianguka kuelekea
Isa 61:3 miti ya uadilifu
Isa 65:22 zitakuwa kama siku za mti
Eze 17:24 nimeushusha mti mrefu
Eze 47:7 miti mingi sana, upande huu
Da 4:14 Ukateni mti uanguke
Mt 3:10 kila mti usiozaa matunda
Mt 7:18 mti mzuri hauwezi
Mdo 5:30 Yesu, kwa kumtundika mtini
Ga 3:13 aliyetundikwa juu ya mti
1Pe 2:24 alichukua dhambi juu ya mti
Met 3:18; Isa 55:12; Lu 6:43; Ufu 7:3; 22:2.
MTI MTAKATIFU, Kum 7:5; Amu 3:7; 6:25; 1Fa 15:13; 2Fa 13:6; 21:3; Isa 17:8.
MTI WA MATESO, Lu 9:23.
Lu 23:26 wakamtwika mti wa mateso
Flp 2:8 kifo juu ya mti wa mateso
Flp 3:18 adui za mti wa mateso
Ebr 12:2 alivumilia mti wa mateso
Mt 10:38; 27:40; Mk 15:32; Yoh 19:31; 1Ko 1:17; Ga 6:14; Efe 2:16; Kol 2:14.
MTI WA MIIBA, Mk 12:26; Mdo 7:30, 35.
MTI WA UZIMA, Mwa 2:9; 3:22; Met 3:18; 11:30; Ufu 2:7; 22:19.
MTIIFU, Flp 2:8 akawa mtiifu mpaka kifo
MTINDO, Zb 144:12.
MTINI, Mik 4:4 chini ya mtini wake
Mt 24:32 jifunzeni kutokana na mtini
1Fa 4:25; Mt 21:19-21; Lu 13:6, 7.
MTIWA-MAFUTA, 1Sa 2:10 mtiwa-mafuta wake
2Sa 19:21 alimlaani mtiwa-mafuta wa Yehova
1Nya 16:22 Msiwaguse watiwa-mafuta wangu
Zb 2:2 Wafalme dhidi ya mtiwa-mafuta wake
Zb 20:6 Yehova humwokoa mtiwa-mafuta
Zb 105:15 Msiwaguse watiwa-mafuta wangu
Isa 45:1 mtiwa-mafuta wake, Koreshi
Hab 3:13 kumwokoa mtiwa-mafuta wako
MTO, Amu 5:21 Mto wa Kishoni
Isa 66:12 amani kama mto
Yer 31:9 mabonde ya mito ya maji
Ufu 16:12 bakuli juu ya mto
Ufu 22:1 mto wa maji ya uzima
Mwa 2:10; Zb 46:4; 107:33; Eze 29:3.
MTOTO, Zb 8:2 Kutoka kinywa cha watoto
Isa 9:6 mtoto amezaliwa kwetu
Isa 13:16 watoto wao watavunjwa
Mt 11:25 umeyafunua kwa watoto
Mt 18:3 Msipogeuka na kuwa kama watoto
Mt 19:14 Waacheni watoto wachanga
Lu 9:47 akachukua mtoto mchanga
1Ko 7:14 watoto wenu hawangekuwa safi
1Ko 13:11 Nilipokuwa mtoto, nilikuwa
1Ko 14:20 iweni watoto kuhusiana na ubaya
Efe 6:1 watoto, watiini wazazi
Efe 6:4 baba, msiwe mkiwakasirisha watoto
1Yo 5:21 Watoto wadogo, jilindeni na sanamu
Ufu 12:5 Na mtoto wake akanyakuliwa
Kut 2:3, 10; 1Fa 3:26; Isa 66:7; Mt 21:16; Mdo 7:19; Ro 8:16; 1Ko 3:1; 2Ko 12:14; Efe 5:8; 1Th 2:7; 1Pe 2:2.
MTOTO MWANAMUME, Ufu 12:13.
MTOTO WA KIUME, Isa 66:7.
MTOZAJI, Da 11:20 anayepitisha mtozaji
MTU, Mwa 2:7 Mungu akamfanya mtu
Ayu 34:15 mtu atarudi mavumbini
Met 27:21 mtu hulingana na sifa
Yer 17:5 Amelaaniwa mtu anayetegemea
Eze 34:31 kondoo zangu, ninyi ni watu
Zek 8:23 watu kumi watashika upindo
Mt 4:19 wavuvi wa watu
Ro 5:12 kupitia mtu mmoja dhambi
Ro 7:22 mtu niliye kwa ndani
1Ko 15:47 Mtu wa kwanza
2Ko 4:16 mtu tuliye kwa ndani
2Ko 5:16 hatumjui mtu kulingana
Efe 3:16 uwezo, mtu mliye kwa ndani
Efe 4:13 mtu aliyekomaa
1Pe 3:4 mtu wa siri wa moyoni
Mwa 6:4, 9; Zb 118:6; 146:3; Isa 2:22; Yer 5:26; Sef 3:4; 2Ti 2:2; 3:2.
MTU HODARI, Yer 17:5.
MTU MWENYE NGUVU, Zb 33:16.
MTU MZIMA, 1Ko 14:20.
MTU WA MUNGU, 1Ti 6:11; 2Ti 3:17.
MTU WA SIRINI, Zb 51:6.
MTU WA UASI-SHERIA, 2Th 2:3.
MTU WA UDONGO, Ayu 34:11; Zb 39:5; 49:20; 108:12.
MTUKANAJI, 1Ko 5:11 mtukanaji, mlevi
1Ko 6:10 watukanaji, hawataurithi
MTUKUFU, 1Sa 4:8 Mungu mtukufu?
1Sa 15:29 Mtukufu wa Israeli
Zb 24:7 Mfalme mtukufu aingie
Mdo 24:3 Mtukufu Feliksi
MTUME, Mt 10:2 Majina ya mitume
1Ko 4:9 mitume, tumekuwa tamasha
2Ko 11:13 mitume wa uwongo
2Ko 12:12 ishara za mtume zilitokezwa
Ga 1:1 Paulo, mtume
Ebr 3:1 mtume na kuhani mkuu—Yesu
Mk 3:14; 1Ko 12:28; 15:9; Ufu 21:14.
MTUMISHI WA HUDUMA, Flp 1:1; 1Ti 3:8.
MTUMISHI WA WATU WOTE, Ro 13:6; 15:16; Ebr 8:2.
MTUMISHI. Ona pia MTUMWA.
Zb 116:16 mimi ni mtumishi wako
Isa 43:10 mashahidi, mtumishi wangu
Isa 49:3 mtumishi wangu, Israeli
Isa 65:13 Watumishi wangu watakula
Isa 65:15 watumishi atawaita jina lingine
Yer 25:9 Nebukadreza mtumishi wangu
Zek 3:8 Chipukizi mtumishi wangu
Mt 12:18 Mtumishi ambaye nilimchagua
Mdo 4:30 jina la mtumishi wako Yesu
Met 11:29; Isa 53:11; Yer 7:25; Da 3:26; Amo 3:7; Lu 16:13; Ro 14:4.
MTUMWA. Ona pia MTUMISHI.
Mt 24:45 mtumwa mwaminifu na
Mt 24:48 mtumwa huyo mwovu akisema
Mt 25:30 mtupeni nje mtumwa huyo
Lu 12:37 Wenye furaha ni watumwa
Lu 17:10 Sisi ni watumwa wasiofaa
Yoh 8:34 mtumwa wa dhambi
Yoh 13:16 Mtumwa si mkubwa kuliko
Mdo 2:18 juu ya watumwa wangu
Ro 6:6 ili tusiendelee kuwa watumwa
Ro 6:16 watumwa kwa sababu mnamtii
Ro 7:6 tuwe watumwa kwa roho
1Ko 7:23 acheni kuwa watumwa wa
Ga 1:10 singekuwa mtumwa wa Kristo
Ga 2:4 ili watufanye kuwa watumwa
Ga 3:28 hakuna mtumwa wala mtu huru
2Pe 2:19 anayeshindwa, hufanywa mtumwa
Ufu 19:2 amelipiza damu ya watumwa
Mt 20:27; Yoh 8:35; Ro 6:17-19, 20; Ga 4:7; 2Ti 2:24; 1Pe 2:16; 2Pe 2:19.
MTUNGI, Amu 7:16 mitungi, na mienge
Ebr 9:4 mtungi wa dhahabu
MTUNZAJI, 1Ko 4:15 watunzaji elfu kumi
Ga 3:24 Sheria imekuwa mtunzaji
MTWANGIO, Met 27:22 mtwangio katika kinu
MUDA, Ebr 11:13 wakaaji wa muda
MUDA KIDOGO, Zb 30:5 hasira, muda kidogo
Isa 54:7 nilikuacha muda kidogo
MUDA MFUPI, 1Ko 15:52 muda mfupi, kufumba
MUHIMU, Tit 3:14 kutimiza mahitaji muhimu
MUHURI, Isa 8:16 tia muhuri kwenye sheria
Isa 29:11 kimefungwa kwa muhuri
Da 9:24 kupiga muhuri juu ya maono
Da 12:4 kukifunga kitabu kwa muhuri
Yoh 6:27 ametia muhuri wake wa kibali
2Ko 1:22 ametia muhuri wake juu yetu
Efe 4:30 mmetiwa muhuri
Ufu 7:4 waliotiwa muhuri, 144,000
Ufu 22:10 Usiyatie muhuri maneno
Ayu 38:14; Wim 8:6; Da 12:9; Yoh 3:33; Ro 4:11; Efe 1:13; 2Ti 2:19; Ufu 5:1; 7:2, 3.
MULIKA, 2Ko 4:6 amemulika mioyo yetu
MUME, Est 1:17 watawadharau waume zao
Isa 54:5 Mtengenezaji Mkuu ni mume wako
Yer 31:32 nilikuwa mume kwao
Ro 7:2 sheria kwa mume
1Ko 7:2 awe na mume wake
1Ko 7:14 mume asiyeamini hutakaswa
2Ko 11:2 niliwachumbia mume
Efe 5:25 waume, wapendeni wake
Kol 3:19 waume, wapendeni wake
1Ti 3:2 mume wa mke mmoja
1Pe 3:1 wake, jitiisheni kwa waume
Ufu 21:2 aliyepambwa kwa mume
Ru 1:11; 2Sa 11:26; Yer 29:6; 31:32; 44:19; Eze 16:45; 1Ko 7:34; 14:35; Kol 3:18.
MUNGU, Mwa 1:1 Hapo mwanzo Mungu
Kut 12:12 hukumu miungu ya Misri
Kut 20:3 Usiwe na miungu mingine
Kum 7:16 usiitumikie miungu yao
Yos 22:22 Mwenye Uwezo, Mungu
Amu 2:17 uasherati na miungu
2Nya 20:15 vita ni vya Mungu
Zb 8:5 kidogo kuliko walio kama Mungu
Zb 47:7 Mungu ni Mfalme wa dunia
Zb 75:7 Mungu ndiye mwamuzi
Zb 82:6 Ninyi ni miungu
Zb 90:2 wewe ni Mungu milele
Isa 9:6 Mungu Mwenye Nguvu
Da 3:18 hatuitumikii miungu yako
Lu 20:25 mlipeni Mungu vya Mungu
Mdo 7:20 Musa, sura nzuri kwa Mungu
Mdo 17:29 Mungu si kama dhahabu
Ro 2:11 Mungu hana ubaguzi
Ro 13:6 watumishi wa Mungu
1Ko 8:5 wale wanaoitwa miungu
1Ko 14:33 Mungu si wa machafuko
2Ko 1:3 Mungu wa Yesu Kristo
2Ko 4:4 mungu wa mfumo huu
Kol 2:9 ujazo wa sifa ya Mungu
Ebr 12:29 Mungu ni moto
1Yo 4:8 Mungu ni upendo
Kut 20:5; 23:24; 2Fa 19:15; Ayu 35:2; Zb 50:1; 82:1; 83:1; 118:27; Isa 46:9; Yer 10:10; Mdo 10:22; Kol 3:12; Tit 1:7; Ebr 5:7.
MUNGU ASIYEJULIKANA, Mdo 17:23.
MUNGU MKUU, Da 2:45.
MUNGU MZALIWA-PEKEE, Yoh 1:18.
MUNGU WA BAHATI NJEMA, Isa 65:11.
MUNGU WA KIKE, 1Fa 11:5, 33; Mdo 19:27, 37.
MUNGU WA MAJALIWA, Isa 65:11.
MUSA, Kut 2:10 akamwita jina Musa
Hes 12:3 Musa alikuwa mpole zaidi
Mt 17:3 Musa na Eliya wakawatokea
1Ko 10:2 walibatizwa katika Musa
Ebr 11:24 Kwa imani Musa
Ufu 15:3 wimbo wa Musa
Kut 3:13; 4:20; 7:1; Mdo 3:22; 7:22; Ebr 3:2.
MUUAJI, Hes 35:11 ya makimbilio, na muuaji
Hes 35:31 hakuna fidia kwa muuaji
Kum 19:4 muuaji atakayekimbilia
Yoh 8:44 alikuwa muuaji alipoanza
1Yo 3:15 amchukiaye ndugu ni muuaji
Hes 35:6, 25; Yos 20:3, 5; Isa 1:21; Mdo 3:14; 1Pe 4:15.
MUUJIZA, Kut 4:21 umefanya miujiza mbele
Kut 11:9 miujiza yangu iongezeke
Zb 71:7 Nimekuwa kama muujiza
Isa 8:18 watoto, ni kama miujiza
Kum 29:3; Ne 9:10; Zb 105:5; Yer 32:20; 2Ko 12:1.
MUUMBA, Ayu 36:3 hesabia Muumba uadilifu
Mhu 12:1 Mkumbuke, Muumba
Isa 40:28 Yehova, Muumba wa dunia
MUUNDO WA MADHABAHU, 2Fa 16:10.
MUUNGANO, Zek 11:7 nikaiita Muungano
1Ko 1:30 katika muungano na Kristo
Kol 3:14 kifungo cha muungano
MUWE WENGI, Mwa 1:28 Zaeni muwe wengi
MUZIKI, 2Sa 22:50 nitalipigia jina lako muziki
Ayu 35:10 muziki wakati wa usiku?
Zb 9:11 Mpigieni Yehova muziki
Zb 47:7 Pigeni muziki, kwa busara
Zb 119:54 Masharti ni muziki kwangu
Lu 15:25 mwana akasikia muziki
Zb 18:49; 57:9; 66:2; 77:6; 135:3; 144:9; Omb 5:14.
MVI, Met 16:31 Kichwa cha mvi ni taji
MVINJE, Eze 17:5 mvinje kando ya maji
MVIRINGO, Ayu 26:10; Isa 40:22.
MVIVU, Met 6:6 chungu, ewe mvivu
Met 10:4 mkono mvivu
Met 15:19 Njia ya mvivu ni miiba
Met 20:4 mvivu hatalima
Met 26:15 Mvivu ametia mkono bakulini
Ro 12:11 Msiwe wavivu kazini
Met 10:26; 12:24; 13:4; 18:9; 19:24; 21:25; 26:13.
MVUA, Mwa 2:5 hakuwa amenyesha mvua
Mwa 7:4 siku 7 nitanyesha mvua
Yoe 2:23 mvua ya vuli, masika
Mt 5:45 mvua, waadilifu na waovu
Yak 5:7 apate mvua ya mapema
Mwa 7:12; Kum 11:14; 32:2; 1Fa 17:7; Ayu 38:28; Zb 72:6; Isa 55:10; Zek 14:17; Yak 5:17; Ufu 11:6.
MVUA YA MASIKA, Yoe 2:23.
MVUA YA MAWE, Kut 9:22; Ayu 38:22; Zb 148:8; Isa 28:17; Ufu 8:7.
MVUA YA VULI, Yoe 2:23.
MVUKE, Kut 16:14 umande ukawa mvuke
MVULANA, Met 22:6 Mlee mvulana kulingana
Isa 11:6 mvulana mdogo atakuwa kiongozi
Isa 65:20 atakufa akiwa mvulana, ingawa
1Sa 17:56; 20:22; Mt 2:16; 17:18; 21:15; Yoh 4:51.
MVULANA ASIYE NA BABA, Kut 22:22; Kum 10:18; Zb 10:14; 68:5; Yer 5:28.
MVUMO, Hes 10:5 mvumo, kupanda na kushuka
MVUMO WA TARUMBETA, Mt 24:31.
MVUNAJI, Zb 129:7 mvunaji hajajaza mkono
Mt 13:39 wavunaji ni malaika
Yoh 4:36 mvunaji anapokea mshahara
MVUNJAJI, Ro 2:25 mvunjaji wa sheria
MVURUGO, Zek 14:13 mvurugo, utaenea
Met 15:16; Eze 7:7; Mdo 19:29.
MVUVI, Yer 16:16 ninawaita wavuvi wengi
Eze 47:10 wavuvi watasimama kando
Mt 4:19 kuwa wavuvi wa watu
MWABUDU-SANAMU, 1Ko 5:10; 5:11; 6:9; 10:7; Efe 5:5.
MWADILIFU, Kum 32:4 Mwamba, mwadilifu
2Sa 23:3 anayetawala akiwa mwadilifu
Zb 34:19 Mwadilifu ana misiba
Zb 37:25 mwadilifu akiachwa
Met 15:28 Moyo wa mwadilifu hutafakari
Met 29:2 Waadilifu wakiwa wengi
Isa 26:7 Pito la mwadilifu ni unyoofu
Amo 5:12 mnamwonyesha mwadilifu uadui
Mal 3:18 mwadilifu na mwovu
Mt 13:43 waadilifu watang’aa
Mdo 24:15 ufufuo wa waadilifu
Mdo 24:15 wasio waadilifu
Ro 3:10 Hakuna mwanadamu mwadilifu
Ro 3:26 awe mwadilifu hata
1Ko 6:9 wasio waadilifu hawatarithi
Ebr 6:10 Mungu hakosi kuwa mwadilifu
Ebr 10:38 mwadilifu ataishi kwa imani
1Pe 3:12 macho juu ya waadilifu
1Pe 3:18 mwadilifu kwa wasio waadilifu
Mwa 7:1; Zb 1:5; Isa 29:21; 53:11; Mt 5:45; Ro 2:13; 2Ti 4:8; Ebr 12:23.
MWAGA, Mwa 9:6 anayemwaga damu
Law 17:13 atamwaga damu, kuifunika
Isa 53:12 aliimwaga nafsi yake
Sef 3:8 nizimwagie shutuma yangu
Mal 3:10 kuwamwagia baraka
Zb 77:17; Eze 21:31; Ufu 16:1.
MWAGILIA MAJI, Mhu 2:6; Yoe 3:18.
MWAGUZI, Yos 13:22 Balaamu, yule mwaguzi
1Sa 6:2; Isa 3:2; 44:25; Yer 27:9; Mik 3:7; Zek 10:2.
MWAGWA, Zb 22:14 Nimemwagwa kama maji
Sef 1:17 damu itamwagwa kama mavumbi
MWAKA, Mwa 1:14 ishara kwa siku na miaka
Law 25:10 mtautakasa mwaka wa 50
Hes 14:34 siku kwa mwaka mmoja
Kum 8:2 miaka 40 nyikani
Zb 90:4 miaka elfu ni kama jana
Isa 34:8 mwaka wa malipo
Isa 61:2 mwaka wa nia njema
Isa 63:4 mwaka wa waliokombolewa
Isa 65:20 mvulana, miaka mia
Yer 23:12 mwaka wa kukazia fikira
Yer 25:11 tumikia Babiloni miaka 70
Eze 4:6 siku moja, mwaka mmoja
Hab 3:2 katikati ya ile miaka!
Zek 14:16 mwaka baada ya mwaka
Ga 3:17 Sheria, miaka 430 baadaye
2Pe 3:8 miaka elfu ni kama siku
Ufu 20:4, 6 watatawala miaka elfu
MWAKILISHI, Kut 18:19 uwe mwakilishi
Lu 8:49 mwakilishi fulani wa ofisa
Yoh 7:29 mimi ni mwakilishi wake
MWAKILISHO, Ebr 1:3 mwakilisho sawasawa
MWALI, Wim 8:6 mwali wa moto wa Yah
MWALI WA MOTO, Eze 20:47.
Da 3:22 waliouawa na mwali wa moto
Da 11:33 watakwazwa kwa mwali wa moto
Yoe 2:3 mwali wa moto huteketeza
2Th 1:8 katika mwali wa moto
Zb 83:14; Isa 5:24; 10:17; 43:2; Ebr 1:7.
MWALIMU, Zb 119:99 kuliko walimu wangu
Mt 23:8 mwalimu wenu ni mmoja
Yoh 3:10 wewe ni mwalimu wa Israeli?
Yoh 13:13 Ninyi huniita, Mwalimu
1Ti 2:7 mwalimu wa mataifa
2Ti 4:3 watajikusanyia walimu
Ebr 5:12 mnapaswa kuwa walimu
Mt 10:24; Efe 4:11; Yak 3:1; 2Pe 2:1.
MWAMBA, Kut 17:6 utaupiga mwamba
Kum 32:4 Mwamba, kazi zake
2Sa 22:3 Mungu ni mwamba wangu
Isa 8:14 mwamba wa kujikwaa
Mt 16:18 juu ya mwamba, nitajenga
Lu 8:6 zikaanguka juu ya mwamba
Ro 9:33 mwamba wa kuangusha
1Ko 10:4 mwamba wa kiroho
1Pe 2:8 mwamba wa kuangusha
Hes 20:11; Kum 32:18; 1Sa 2:2; Zb 18:2; 62:2; Yer 49:16; Mt 13:5, 20; Mk 4:5, 16.
MWAMINI, Mdo 5:14 waamini wakaongezeka
1Ko 6:6 mahakamani, wasio waamini
1Ko 14:22 bali kwa wasio waamini
2Ko 4:4 amepofusha akili za wasioamini
2Ko 6:14 nira na wasio waamini
2Ko 6:15 fungu gani na asiye mwamini?
1Ti 6:2 wanaopokea faida ni waamini
1Pe 2:7 kwa kuwa ninyi ni waamini
MWAMINIFU, Zb 31:23 awalinda waaminifu
Met 13:17 mjumbe mwaminifu huponya
Met 14:5 Shahidi mwaminifu
Mt 24:45 mtumwa mwaminifu
Lu 16:10 mwaminifu katika dogo
2Ti 2:2 uwakabidhi waaminifu
2Ti 2:13 tukikosa kuwa waaminifu
1Pe 4:19 nafsi kwa Muumba mwaminifu
Ufu 2:10 mwaminifu hata kufikia kifo
Ufu 3:14 shahidi mwaminifu, wa kweli
Ufu 17:14 waliochaguliwa, waaminifu
Ufu 19:11 Mwaminifu na wa Kweli
Kum 7:9; Ne 9:8; 13:13; Lu 12:46; 1Ko 4:2.
MWAMORI, Mwa 10:16; 15:16; Yos 3:10.
MWAMUZI, Amu 2:16 alisimamisha waamuzi
1Sa 2:25 Mungu atakuwa mwamuzi
Mdo 10:42 mwamuzi, walio hai na wafu
Mdo 13:20 aliwapa waamuzi
Kum 16:18; Zb 2:10; Isa 1:26; Sef 3:3; Yak 2:4.
MWANA, Mwa 6:2 wana wa Mungu
Kum 6:7 uyakazie kwa mwana wako
Ayu 1:6 wana wa Mungu waliingia
Zb 2:12 Mbusuni mwana
Zb 45:16 patachukuliwa na wana wako
Met 4:3 nilikuwa mwana halisi
Isa 9:6 kuna mwana ambaye tumepewa
Isa 14:12 mwana wa mapambazuko
Isa 54:13 wana wako wote watakuwa
Isa 60:14 wana wa wanaokutesa watakuja
Yoe 2:28 wana wenu watatoa unabii
Mt 1:21 atazaa mwana
Lu 16:8 wana wa mfumo huu
Yoh 3:16 Mungu akamtoa Mwana wake
Yoh 17:1 mtukuze mwana wako
Ro 8:14 hao ndio wana wa Mungu
2Ko 6:18 mtakuwa wana na mabinti
1Th 5:5 ninyi ni wana wa nuru
Ebr 12:7 anawatendea ninyi kama wana
Da 3:25; Yoh 17:12; Ebr 11:24.
MWANA WA BINADAMU, Eze 2:1; Da 7:13; Mt 8:20; 10:23; 12:40; 17:22; 24:30; Lu 17:26; 18:8; Yoh 3:13; Ufu 14:14.
MWANABIASHARA, Isa 23:2; Eze 27:21; Mt 13:45; Ufu 18:3, 11.
MWANABIASHARA MSAFIRI, Mt 13:45.
MWANADAMU, Met 29:25.
Isa 40:6 Wanadamu ni majani
Yer 10:23 Mwanadamu haongozi hatua
Mt 4:4 Mwanadamu, ataishi, si mkate tu
Mt 15:9 amri za wanadamu
Lu 16:15 kilichoinuka kati ya wanadamu
Mdo 5:29 tumtii Mungu kuliko wanadamu
Ga 1:10 kuwapendeza wanadamu?
Kut 33:20; Hes 16:32; Zb 144:4; Isa 51:12; 1Ko 1:25; Efe 6:6; Flp 2:8; Kol 3:22.
MWANADAMU ANAYEWEZA KUFA, Ayu 15:14; 33:12; 36:25; Zb 8:4; 9:19; 55:13; 144:3; Isa 13:7; 33:8; Yer 20:10.
MWANAFUNZI, Isa 8:16 sheria kati ya wanafunzi
Mt 28:19 mkafanye wanafunzi, mataifa yote
Lu 6:40 Mwanafunzi hapiti mwalimu
Yoh 8:31 katika neno, ninyi ni wanafunzi
MWANA-HARAMU, Kum 23:2.
MWANA-KONDOO, Isa 40:11.
Lu 10:3 wana-kondoo kati ya mbwa
Yoh 1:29 Mwana-Kondoo wa Mungu
Yoh 21:15 Petro: Lisha wana-kondoo
Isa 1:11; Yer 11:19; Ufu 5:6; 7:10.
MWANAMAJI, Eze 27:9, 27, 29; Yon 1:5.
MWANA-MBUZI, Law 16:5 wana-mbuzi, toleo la
MWANAMKE, Mwa 1:27 mume na mwanamke
Mwa 2:22 ubavu kuwa mwanamke
Mwa 3:15 uadui kati yako na mwanamke
Law 18:23 mwanamke na mnyama
Amu 5:24 Yaeli abarikiwa kwa wanawake
1Sa 28:7 mwanamke stadi wa pepo
2Sa 1:26 kuliko upendo wa wanawake
Yer 51:30 wanaume wamekuwa wanawake
Yoh 2:4 nini nawe, mwanamke?
Yoh 19:26 Mwanamke, ona!
Ro 1:26 wanawake, matumizi ya asili
1Ko 11:3 kichwa cha mwanamke
1Ko 11:10 mwanamke kuwa na ishara
1Ko 11:12 mwanamke ametoka mwanamume
1Ko 14:34 wanawake wakae kimya
1Ti 2:11 Mwanamke ajifunze akiwa kimya
1Ti 2:12 Siruhusu mwanamke kufundisha
Tit 2:4 wanawake wapende waume
1Pe 3:7 chombo dhaifu, mwanamke
Ufu 12:1 mwanamke aliyepambwa jua
Ufu 12:17 joka, amghadhibikia mwanamke
Ufu 14:4 unajisi na wanawake
Ufu 17:3 mwanamke juu ya mnyama
Kum 31:12; Da 11:37; Mt 11:11; 24:41.
MWANAMKE MKAAJI, Isa 12:6.
MWANA-MKWE, Mwa 19:12; Kut 3:1; Amu 1:16.
MWANAMUME, Mwa 1:27.
Kut 18:21 kuchagua wanaume wenye
Eze 16:17 sanamu za mwanamume
Ro 1:27 wanaume kwa wanaume
1Ko 16:13 endeleeni kama wanaume
1Nya 23:3; Ayu 3:23; Zb 34:8; 37:23; 89:48; Met 6:34; 20:24; 29:5; Isa 22:17; Yoe 2:7, 8; Mdo 17:5.
MWANAMUME MWENYE NGUVU, Zb 19:5; Met 16:32; Isa 3:2; 42:13; Yer 9:23; 14:9; Sef 1:14.
MWANAMUME MZEE, Mdo 4:5.
1Ti 5:17 Wanaume wazee, heshima
1Pe 5:1 himizo, wanaume wazee
Ru 4:2; Met 31:23; Mt 16:21; 21:23.
MWANAMWALI, Isa 7:14.
MWANANGU, Zb 2:7 Wewe ni mwanangu
Mt 3:17 Huyu ni Mwanangu, mpendwa
MWANA-PUNDA, Mt 21:5; Lu 19:30.
MWANDIKAJI, Ezr 7:6; Zb 45:1; Yer 36:10.
MWANDIKO, Mt 22:20 mwandiko huu ni wa?
MWANDISHI, 2Fa 12:10 mwandishi wa mfalme
Est 3:12 waandishi wa mfalme wakaitwa
MWANGA, Zb 74:16 uliutayarisha mwanga, jua
Flp 2:15 mnaangaza kama mianga
Yak 1:17 Baba wa mianga
MWANGALIZI, Mwa 41:34 Farao, waangalizi
Zb 141:3 mwangalizi juu ya midomo
Mdo 20:28 roho imewaweka waangalizi
1Ti 3:1 cheo cha mwangalizi
1Ti 3:2 mwangalizi asilaumike
1Pe 2:25 mwangalizi wa nafsi zenu
Hes 3:32; Ne 11:9; Isa 60:17; Yer 29:26; Tit 1:7.
MWANGAMIZAJI, 1Ko 10:10; Ebr 11:28.
MWANGAZA, Isa 60:3 mwangaza wa mwanga
MWANYA, Zb 106:23 penye mwanya mbele
MWANZO, Mwa 1:1 Hapo mwanzo Mungu
Met 8:22 Yehova alinitokeza nikiwa mwanzo
Met 9:10 mwanzo wa hekima
Kol 1:18 ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza
1Yo 1:1 kilichokuwa tangu mwanzo
1Yo 2:7 amri ya tangu mwanzo
Isa 46:10; Mt 24:8; Mk 10:6; Ufu 3:14.
MWARABU, 2Nya 9:14; Ne 2:19; Yer 3:2; 25:24; Eze 27:21; Mdo 2:11.
MWASHERATI, 1Ko 5:9 ushirika, waasherati
Efe 5:5 mwasherati hatarithi ufalme
MWASHO, Mdo 28:6 atavimba kwa mwasho
MWASHURU, Isa 14:25 kumvunja Mwashuru
Mik 5:5 Mwashuru kukanyaga minara
2Fa 19:35; Isa 10:5, 24; 31:8; Eze 31:3.
MWASI, Hes 20:10; Isa 1:20; 57:17; Yer 3:14; Eze 2:7.
MWASI-IMANI, Ayu 13:16 hakuna mwasi-imani
Ayu 17:8 kwa sababu ya mwasi-imani
Ayu 27:8 ni nini tumaini la mwasi-imani
Ayu 34:30 mwasi-imani asitawale
Zb 35:16; Met 11:9; Isa 9:17; 33:14.
MWASI-SHERIA, Lu 22:37; Mdo 2:23; 2Th 2:8.
MWEBRANIA, Kut 3:18 Mungu wa Waebrania
Mwa 14:13; Yon 1:9; 2Ko 11:22; Flp 3:5.
MWEKUNDU, Mwa 25:25; Hes 19:2; Zek 1:8.
MWELEKA, Mwa 32:24 kupigana mweleka
MWELEKEO, Mwa 6:5 mwelekeo wa moyo
1Nya 28:9 anatambua kila mwelekeo
1Nya 29:18 mwelekeo wa fikira
Efe 6:7 na maelekeo mema
Flp 2:20 hakuna aliye na mwelekeo
Flp 3:15 mwelekeo wa akili ulio
Yak 4:5 mwelekeo wa kuona wivu
Mwa 8:21; Kum 31:21; 1Sa 8:3; Met 29:22; Isa 26:3; Eze 26:2; Yak 3:4.
MWELEKEO WA AKILI, 1Pe 4:1.
MWELEKEO WENYE UBAGUZI, 1Ti 5:21.
MWEMA, Zb 25:8 Yehova ni mwema, mnyoofu
Mk 10:18 Hakuna mwema, ila Mungu
Lu 18:19 Kwani kuniita mwema?
MWENDA-WAZIMU, 1Sa 21:13; 2Ko 11:23.
MWENDO, Yos 6:3 mwendo kuzunguka jiji
Zb 68:7 Ulipopiga mwendo jangwani
Met 4:12 mwendo hautasongwa
Met 30:29 watatu wa mwendo mzuri
Yer 8:6 Kila mmoja katika mwendo
Hab 3:12 ulipiga mwendo duniani
2Ti 4:7 nimekimbia mwendo mpaka mwisho
MWENENDO, Mt 16:27 kulingana na mwenendo
Ga 1:13 mwenendo wangu hapo zamani
Ga 6:16 kanuni ya mwenendo
1Ti 4:12 uwe kielelezo katika mwenendo
Yak 3:13 aonyeshe kutokana na mwenendo
1Pe 2:12 Dumisheni mwenendo mzuri
1Pe 3:16 kuushushia heshima mwenendo
Efe 4:22; Ebr 13:7; 1Pe 1:15, 18; 3:1, 2.
MWENENDO MPOTOVU, Met 10:23; Ga 5:19; 1Pe 4:3.
MWENEZA-INJILI, Mdo 21:8.
Efe 4:11 wengine kuwa waeneza-injili
2Ti 4:5 fanya kazi ya mweneza-injili
MWENGE, Amu 7:16 mienge ndani ya
Isa 62:1 kama mwenge unaowaka
Da 10:6 macho kama mienge
Mwa 15:17; Amu 15:4; Eze 1:13; Nah 2:4.
MWENYE UWEZO MKUBWA, 1Ti 6:15.
MWENZA, Law 6:2; 24:19; Zek 13:7.
MWENZAKE, Mhu 4:10 kumwinua mwenzake
MWENZAKO, Kut 20:16; 2Sa 12:11.
MWENZAO, Zb 119:63 mwenzao watu wote
MWEPESI, Yak 1:19 mwepesi kuhusu kusikia
MWEREVU, Ayu 5:12; 15:5; Met 12:23; 13:16; 14:8, 15; 15:5.
MWETHIOPIA, Da 11:43; Mdo 8:27.
MWEUPE, Mt 5:36 unywele kuwa mweupe
MWEUSI, Wim 1:6 mimi ni mweusi
MWEZA-YOTE, Mwa 17:1 Mungu Mweza-Yote
Ufu 16:14 vita ya Mungu Mweza-Yote
Kut 6:3; Ayu 8:3; Isa 13:6; Ufu 1:8; 11:17.
MWEZI 1., Kut 12:2 mwanzo wa miezi kwenu
Ga 4:10 Mnashika miezi na majira
Ufu 22:2 ikitoa matunda kila mwezi
1Fa 6:37; 8:2; 2Fa 15:13; 1Nya 27:1; Ezr 6:15; Est 3:7; Da 4:29.
MWEZI 2., Zb 104:19 mwezi kwa ajili ya nyakati
Yoe 2:10 Jua na mwezi zimekuwa giza
Hab 3:11 Jua, mwezi, vilisimama tuli
Lu 21:25 ishara katika jua na mwezi
Mdo 2:20 mwezi kuwa damu
Ufu 12:1 mwezi, chini ya miguu yake
Yos 10:12; Yoe 2:31; Kol 2:16; Ufu 21:23.
MWIBA, Isa 55:13 kichaka cha miiba
Mt 7:16 hawakusanyi kutoka miiba
Mt 13:22 aliyepandwa katikati ya miiba
2Ko 12:7 mwiba katika mwili
MWIGAJI, 1Ko 11:1 Iweni waigaji wangu
Efe 5:1 waigaji wa Mungu
Ebr 6:12 msiwe goigoi, muwe waigaji
1Ko 4:16; Flp 3:17; 1Th 1:6; 2:14.
MWILI, Mwa 2:24 watakuwa mwili mmoja
Met 5:11 mwili wako kufikia mwisho
Yoe 2:28 mimina roho juu ya mwili
Mt 10:28 wanaua mwili lakini hawawezi
Yoh 1:14 Neno akawa mwili
Ro 8:5 wanaopatana na mwili
Ro 8:7 kukaza akili juu ya mwili
Ro 12:1 mtoe miili yenu iwe dhabihu
1Ko 6:15 miili yenu ni viungo vya Kristo?
1Ko 6:20 mtukuzeni Mungu katika mwili wenu
1Ko 12:18 ameviweka viungo katika mwili
1Ko 15:44 Hupandwa mwili wa nyama
1Ko 15:44 Ikiwa kuna mwili wa nyama
2Ko 10:3 vita, si kulingana na mwili
Ga 5:19 matendo ya mwili
Efe 6:12 mweleka, si juu ya mwili
Kol 1:18 kichwa cha mwili, ndiye mwanzo
Ebr 10:5 ulinitayarishia mwili
Mwa 9:11; Zb 56:4; Met 14:30; Mt 26:12; 27:52; Lu 11:34; Yoh 2:21; Mdo 2:17; Ro 8:11; 1Ko 1:29; 15:40.
MWILI MMOJA, Mk 10:8; 1Ko 6:16; Efe 5:31.
MWILI WA KRISTO, Efe 4:12.
MWIMBAJI, 2Nya 20:21 kuweka waimbaji
1Nya 15:16; Ne 10:28; Zb 68:25; 87:7.
MWINDAJI, Mwa 10:9 Nimrodi, mwindaji
Yer 16:16 nitaita wawindaji wengi
MWINGILIO, Eze 33:30 miingilio ya nyumba
MWISHO, Ayu 38:13 miisho ya dunia
Ayu 42:12 akaubariki mwisho wa
Zb 2:8 miisho ya dunia, miliki yako
Zb 72:8 kutoka Mto mpaka miisho
Mhu 2:14 mwisho ambao huwapata
Isa 2:2 katika siku za mwisho
Isa 9:7 Hakutakuwa na mwisho kwa amani
Isa 44:6 Yehova, wa kwanza na mwisho
Isa 46:10 anatangaza mwanzo ule mwisho
Eze 38:8 Katika miaka ya mwisho
Eze 38:16 katika siku za mwisho
Da 10:14 katika siku za mwisho
Da 11:27 mwisho, bado wakati uliowekwa
Mt 10:22 kuvumilia mpaka mwisho
Mt 19:30 mwisho kuwa wa kwanza
Mt 24:14 ndipo mwisho utakapokuja
1Ko 10:11 miisho ya mifumo ya mambo
1Ko 15:26 Adui wa mwisho, kifo
1Ko 15:45 Adamu wa mwisho
2Ti 4:7 nimekimbia mpaka mwisho
1Pe 4:7 mwisho umekaribia
2Pe 2:20 hali ya mwisho, mbaya zaidi
Ufu 22:13 Mimi, wa kwanza na wa mwisho
Mhu 2:14; 3:19; 9:2; Yer 5:31; 17:11; 23:20; 25:33; Eze 7:2; Da 2:28; 8:19; 12:4; Mt 20:8, 16; Mk 9:35; 1Yo 2:18; Ufu 1:17; 2:26.
MWISRAELI, Yoh 1:47 Mwisraeli hakika
Ro 11:1 mimi pia ni Mwisraeli
MWITO, Ro 11:29 mwito wa Mungu
Efe 4:1 mtembee kwa kuustahili mwito
Flp 3:14 tuzo la mwito wa kwenda juu
2Ti 1:9 kutuita kwa mwito mtakatifu
Ebr 3:1 washiriki wa mwito wa mbinguni
2Pe 1:10 kufanya mwito wenu hakika
MWITU, Ro 11:24 mzeituni wa mwituni
MWIZI, Kut 22:2 Mwizi akipatikana
Ayu 24:14 usiku yeye huwa mwizi
Zb 50:18 ulipomwona mwizi
Met 6:30 hawamdharau mwizi
Met 29:24 Anayeshirikiana na mwizi
Yoe 2:9 Wanaingia kama mwizi
Efe 4:28 Mwizi asiibe tena
1Th 5:2 siku inakuja kama mwizi
1Pe 4:15 asiteseke kwa sababu ni mwizi
Ufu 16:15 Naja kama mwizi
MWOGA, Kum 20:8 nani mwoga na
Ufu 21:8 waoga katika ziwa la moto
MWOGELEAJI, Isa 25:11 kama mwogeleaji
MWOKOAJI, Zb 40:17 Yehova Mwokoaji wangu
MWOKOZI, Isa 43:11 hakuna mwokozi
Oba 21 waokozi watapanda Mlima Sayuni
Lu 2:11 leo Mwokozi amezaliwa
Mdo 5:31 alimwinua kuwa Mwokozi
1Ti 4:10 Mungu ambaye ni Mwokozi
1Yo 4:14 amemtuma Mwana kuwa Mwokozi
Amu 3:15; 2Sa 22:3; Ne 9:27; Isa 19:20; 49:26; Yer 14:8; Mdo 13:23; 2Ti 1:10.
MWOMBAJI, Lu 16:20 mwombaji, Lazaro
MWOMBOLEZAJI, Yer 16:5.
MWONAJI, 1Sa 9:9 nabii aliitwa mwonaji
2Sa 24:11 Gadi, mwonaji wa Daudi
2Nya 16:7 Hanani mwonaji
2Nya 33:19 maneno ya waonaji wake
Isa 29:10 amefunika vichwa, waonaji
Mik 3:7 Waonaji wataona aibu
2Fa 17:13; 1Nya 25:5; 2Nya 9:29; 35:15.
MWONEVU, Ayu 27:13 urithi wa waonevu
MWONGO, Met 17:4 Mwongo anatega sikio
Yoh 8:44 Ibilisi, mwongo na baba ya
Ro 3:4 kila mwanadamu, mwongo
1Yo 1:10 tunamfanya kuwa mwongo
1Yo 5:10 amemfanya kuwa mwongo
Met 30:6; 1Yo 2:4, 22; 4:20; Ufu 21:8.
MWONGOZO STADI, Met 1:5; 11:14; 20:18; 24:6.
MWORORO, Ro 12:10 upendo mwororo
MWOVU, Ayu 11:20 macho ya waovu yataisha
Zb 9:17 waovu watarudi Kaburini
Zb 37:10 mwovu hatakuwako tena
Met 15:8 Dhabihu ya waovu ni chukizo
Met 29:2 mwovu anapotawala
Isa 57:21 Hakuna amani kwa waovu
Eze 3:18 kumwonya mwovu
Eze 33:11 sipendezwi na kifo cha mwovu
Da 12:10 waovu watatenda uovu
Mt 6:13 utukomboe na yule mwovu
Mt 24:48 mtumwa mwovu akisema moyoni
Efe 6:16 kuzima mishale ya mwovu
1Yo 5:19 ulimwengu, nguvu za mwovu
Zb 145:20; Yer 12:1; Mt 12:35.
MYAHUDI, 2Fa 18:26 lugha ya Wayahudi
Est 8:17 walijitangaza kuwa Wayahudi
Zek 8:23 upindo wa Myahudi
Ro 2:29 Myahudi kwa ndani
Ro 3:29 Mungu wa Wayahudi
1Ko 1:23 Kristo, kwa Wayahudi ni
1Ko 9:20 nilikuwa kama Myahudi
Ga 3:28 Myahudi wala Mgiriki
Ufu 3:9 wanaosema ni Wayahudi
Ne 4:1; Est 3:4; Mt 2:2; 27:11; Kol 3:11.
MZABIBU, Yer 2:21 mzabibu bora mwekundu
Yoe 2:22 mtini na mzabibu itatokeza
Mik 4:4 kila mtu chini ya mzabibu
Yoh 15:1 ndiye mzabibu wa kweli
Ufu 14:18 mzabibu wa dunia
Amu 9:13; Eze 17:8; Zek 8:12; Mt 26:29.
MZAHA, Mwa 19:14 Loti, kama anafanya mzaha
2Nya 36:16 kuwafanyia mzaha manabii
Met 1:26 nitafanya mzaha
Met 26:19 sikuwa nikifanya mzaha?
Efe 5:4 mizaha michafu
MZALIWA, Yoh 1:18 mungu mzaliwa-pekee
Yoh 3:16 Mungu akamtoa mzaliwa-pekee
Ebr 11:17 Abrahamu, alimtoa mzaliwa-pekee
Ebr 12:23 kutaniko la wazaliwa wa kwanza
1Yo 4:9 alimtuma Mwana wake mzaliwa-pekee
Kut 4:22; 12:29; Kum 21:17; Yoh 1:14; 3:18; Ro 8:29; Kol 1:15, 18; Ebr 1:6; 11:17; 1Yo 4:9.
MZAZI, Mt 10:21 watoto, juu ya wazazi
Lu 18:29 ameacha wazazi au watoto
Lu 21:16 mtatolewa hata na wazazi
2Ko 12:14 watoto, si akiba kwa wazazi
Efe 6:1 watiini wazazi wenu
2Ti 3:2 wasiotii wazazi, wasio
Mk 13:12; Lu 2:27; Ro 1:30; Kol 3:20.
MZEE, Da 7:9 Mzee wa Siku
MZEITUNI, Amu 9:8 mzeituni, Uwe mfalme
Zb 128:3 Wana, kama mizeituni
Ro 11:17 mzeituni wa mwitu, ulipandikizwa
Ufu 11:4 mizeituni miwili na vinara
Kum 28:40; Ne 8:15; Zb 52:8; Zek 4:11; Ro 11:24.
MZEMBE, Yos 18:3 wazembe mpaka wakati gani
MZIGO, Kum 1:12 kubeba mzigo wenu
Zb 55:22 Mtupie Yehova mzigo
Mt 11:30 mzigo wangu mwepesi
Mt 23:4 hufunga mizigo mizito
Ga 6:5 atabeba mzigo wake
Kut 23:5; Hes 11:11; 1Sa 10:22; 25:13; 30:24; Zb 38:4; Isa 10:27; Eze 12:3, 7.
MZIGO MZITO, Ga 6:2 kubebeana mizigo mizito
1Yo 5:3 amri zake si mzigo mzito
MZIGO WENYE GHARAMA, 1Th 2:6, 9; 2Th 3:8.
MZINZI, Ro 7:3 mwanamke huyo si mzinzi
1Ko 6:9 wazinzi, hawataurithi
Yak 4:4 wazinzi, urafiki na ulimwengu
Law 20:10; Ayu 24:15; Zb 50:18; Yer 9:2; Eze 23:45; Ebr 13:4.
MZITO, Mk 6:52 mioyo mizito isielewe
1Th 5:27 wajibu mzito
Ebr 5:11 mmekuwa wazito kusikia
MZIZI, Ayu 14:8 Mzizi ukizeeka udongoni
Met 12:3 mizizi ya waadilifu
Isa 11:10 mzizi wa Yese
Ro 11:16 ikiwa mzizi ni mtakatifu
Efe 3:17 mtie mizizi na
Kol 2:7 mmetia mizizi na kujengwa
Ebr 12:15 mzizi wenye sumu
Met 12:12; Mt 3:10; 13:21; Ro 11:18.
MZOGA, Eze 43:9 ondoa mizoga ya wafalme
Mt 24:28 Popote mzoga ulipo, ndipo tai
Mwa 15:11; Law 26:30; Amu 14:8; Isa 14:19; Amo 8:3.
MZOZO, Kum 19:17 wawili wenye mzozo
1Ko 3:3 kuna mizozo kati yenu
MZUNGUKO, Mhu 1:6 mizunguko, upepo
Yak 3:6 moto mzunguko wa uhai
N
NABII, Mwa 20:7 yeye ni nabii
Kut 15:20 Miriamu nabii
Kum 18:18 Nitawainulia nabii
1Sa 9:9 nabii aliitwa mwonaji
1Fa 18:22 nimebaki, nabii wa Yehova
2Fa 10:19 waiteni manabii wa Baali
2Fa 22:14 Hulda nabii, mke wa
Isa 8:3 nabii wa kike
Isa 9:15 nabii anayefundisha uwongo
Yer 7:25 watumishi wangu manabii
Eze 33:33 kujua nabii alikuwa kati yao
Da 9:24 muhuri, maono na nabii
Amo 3:7 amewafunulia manabii
Zek 13:5 atasema, Mimi si nabii
Mt 5:12 waliwatesa manabii
Mt 7:15 manabii wa uwongo
Mt 13:57 Nabii haheshimiwi kwao
Mk 13:22 manabii wa uwongo
Lu 2:36, 37 Ana nabii, miaka 84
Mdo 3:21 kupitia manabii wake
Mdo 3:22 Mungu atawainulia nabii
Yak 5:10 manabii kuwa kielelezo
Ufu 2:20 Yezebeli, anajiita nabii
Ufu 11:18 kuwapa thawabu manabii
Ufu 16:13 kinywa cha nabii mwongo
Kut 7:1; Hes 11:29; 1Nya 16:22; Isa 29:10; Yer 6:13; 14:14; 23:28; Mik 3:11; Mal 4:5; Mt 11:9; Yoh 7:40; Ufu 18:24; 19:20.
NABII WA UWONGO, Ufu 16:13.
NADHIFU, Law 10:6 vikose kuwa nadhifu
NADHIRI, Hes 30:5 baba amekataza nadhiri
Amu 11:30 Yeftha akaweka nadhiri
Zb 50:14 umtimizie Mungu nadhiri
Zb 61:8 kutimiza nadhiri zangu
Mhu 5:4 unachoweka nadhiri, timiza
Yon 2:9 nadhiri, nitatimiza
Hes 30:2; Kum 23:21, 23; Zb 76:11; 132:2; Yon 1:16.
NAFAKA, Mwa 41:5 masuke saba ya nafaka
Yoe 2:19 nawapelekea nafaka, divai
Mwa 42:1; 44:2; Ru 2:2; Ne 10:31; Yoe 1:10; Mk 4:28; 1Ko 9:9.
NAFASI, Mwa 31:28 hukunipa nafasi ya kubusu
Mwa 32:16 nafasi kati ya kundi
Ayu 38:18 nafasi pana za dunia
Yer 22:14 vyumba vya juu vyenye nafasi
1Ko 7:21 huru, utwae nafasi hiyo
Flp 4:10 lakini mkakosa nafasi
Ebr 11:15 wangepata nafasi ya kurudi
NAFASI TELE, 2Sa 22:20.
NAFSI, Mwa 1:20 Maji na yajawe na nafsi hai
Mwa 2:7 mtu akawa nafsi hai
Mwa 9:4 nyama pamoja na nafsi yake
Law 17:14 nafsi ya kila namna ya mwili
Hes 31:28 nafsi moja kati ya mia tano
Kum 6:5 umpende Yehova kwa nafsi
Kum 19:21 nafsi itakuwa kwa nafsi
Yos 11:11 wakaipiga kila nafsi
Yos 20:9 anayepiga nafsi bila kukusudia
Ayu 11:20 kukata pumzi kwa nafsi
Ayu 31:39 nafsi ya wamiliki wake
Zb 49:15 Mungu ataikomboa nafsi yangu
Zb 89:48 anaweza kuiokoa nafsi yake?
Isa 53:12 aliimwaga nafsi mpaka kufa
Yer 2:34 alama za damu za nafsi
Yer 15:9 nafsi imepambana kupata pumzi
Eze 18:4, 20 Nafsi inayotenda dhambi
Mt 10:28 anayeweza kuangamiza nafsi
Mdo 2:27 hutaiacha nafsi yangu katika
Mdo 3:23 nafsi yoyote isiyomsikiliza
Flp 1:27 imara kwa nafsi moja
Ebr 4:12 kugawanya nafsi na roho
1Yo 3:16 aliitoa nafsi yake kwa ajili yetu
Ufu 20:4 nafsi za waliouawa kwa shoka
Kut 1:5; Met 14:25; Mt 16:26; Mk 14:34; Lu 9:25; Yoh 12:25; Mdo 2:41; 1Ko 15:45.
NAFSI YOTE, Mt 22:37 umpende kwa nafsi yote
Efe 6:6 mapenzi kwa nafsi yote
Kol 3:23 lifanyeni kwa nafsi yote
NAFTALI, Mwa 30:8; Kut 1:4; Mt 4:13.
NAJISI, Eze 28:16 najisi katika mlima
2Ko 6:17 mwache kugusa kilicho najisi
NAJISIWA, Law 21:7 mwanamke aliyenajisiwa
NAKILI, Isa 44:13 huinakili kwa chokaa
NAMBA, Ufu 13:18 namba ya mnyama-mwitu
NAMNA, 2Sa 18:27 namna ya kukimbia
2Ti 3:5 namna ya ujitoaji-kimungu
NAMNA YA FUNDISHO, Ro 6:17.
NAMNA YA IBADA, Yak 1:26, 27.
NANE, 1Pe 3:20 nafsi nane, walichukuliwa
Mwa 17:12; 1Sa 17:12; Mhu 11:2; Lu 2:21.
NANGA, Ebr 6:19 Tumaini, nanga ya nafsi
NAOMI, Ru 1:2, 19; 2:1, 2, 20; 4:9, 14, 17.
NASWA, Met 12:13 Mtu mbaya hunaswa
NATHANAELI, Yoh 1:45-48, 49; 21:2.
NATHANI, 2Sa 12:7 Nathani: Wewe ndiye
2Sa 7:3; 12:5, 13; 1Nya 17:1, 2.
NAZARETI, Yoh 1:46 chema kitoke Nazareti?
NCHI. Ona pia UDONGO.
Mwa 2:7 mavumbi ya nchi
Mwa 12:1 Nenda kutoka nchi yako
Mwa 13:15 nitakupa nchi yote
Kut 3:8 nchi nzuri na kubwa
Yos 3:17 Israeli wakivuka nchi kavu
Isa 66:8 nchi itazaliwa siku moja?
Da 11:41 nchi ya lile Pambo
Yon 1:8 unatoka wapi? Unatoka nchi gani?
Mwa 1:9; Law 26:34; Zb 88:12; 107:3; Eze 36:35; 39:27; Yoe 2:3; Mt 19:29.
NCHI ILIYO CHINI, Eze 31:14; 32:18.
NCHI TAMBARARE, Isa 40:4.
NCHI TAMBARARE YA CHINI, Yos 10:12; Amu 5:15; 2Nya 20:26; Ayu 39:21.
NCHI YA KUKOMA, Isa 38:11.
NCHI YA MASHAMBANI, Zek 2:4.
NCHI YA USAHAULIFU, Zb 88:12.
NCHI YA WALIO HAI, Zb 52:5; 142:5; Isa 38:11; 53:8.
NCHI YENYE KUPENDEZA, Mal 3:12.
NCHI YENYE KUZAA, Zb 89:11; 96:10; Isa 13:11; 24:4; 26:9.
NDAMA, Mal 4:2 ndama waliononeshwa
Kut 32:4; 1Fa 12:28; 2Fa 17:16; 2Nya 13:8; Zb 106:19; Isa 11:6.
NDANI, Zb 40:8 sheria imo ndani yangu
Lu 11:39 ndani mmejaa uporaji
Ro 14:1 maswali ya ndani
2Ko 4:16 mtu wa ndani anafanywa upya
Efe 3:16 uwezo, mtu wa ndani
NDEFU, Da 8:3 pembe zilikuwa ndefu
NDEGE, Isa 46:11 ndege mwenye kuwinda
Mt 8:20 ndege wana viota
Ufu 18:2 mahali pa kila ndege mchafu
Mwa 9:10; Law 14:4; 17:13; Kum 14:11; Zb 79:2; Isa 31:5; Mdo 10:12.
NDEVU, 1Sa 21:13; Yer 41:5; Eze 5:1.
NDIMI, Zb 31:20 kugombana kwa ndimi
Mdo 2:3 ndimi kama za moto
NDIMI MBILI, 1Ti 3:8 watumishi, si ndimi mbili
NDIYO, Mt 5:37 Ndiyo limaanishe Ndiyo
2Ko 1:20 ahadi zimekuwa Ndiyo
NDOA, Mt 22:2 mfalme, aliyefanya ndoa
Yoh 2:1 karamu ya ndoa Kana
1Ti 4:3 wakikataza kufunga ndoa
Ebr 13:4 Ndoa na iheshimiwe
Ufu 19:9 ndoa ya Mwana-Kondoo
Mwa 34:9; Kum 7:3; Yos 23:12; 1Sa 18:23; 1Ko 7:9, 28, 36, 38.
NDOA YA NDUGU-MKWE, Mwa 38:8; Kum 25:5, 7.
NDOTO, Mhu 5:3 ndoto huja kwa sababu ya
Yer 23:32 manabii wa ndoto za uwongo
Yer 29:8 msisikilize ndoto zao
Yoe 2:28 wazee wataota ndoto
Mwa 41:25; Yer 23:27; Da 2:28; Mdo 2:17.
NDUGU, Mwa 4:9 Yuko wapi Abeli ndugu yako?
Ne 4:14 mpigane kwa ajili ya ndugu zenu
Zb 49:7 anayeweza kumkomboa ndugu
Zb 133:1 Ndugu kukaa pamoja kwa umoja!
Met 18:24 rafiki anayeshikamana kuliko ndugu
Met 27:10 ni afadhali kuliko ndugu aliye mbali
Yer 31:34 hawatafundishana mtu na ndugu
Hag 2:22 kila mmoja kwa upanga wa ndugu
Mt 23:8 ninyi nyote ni ndugu
Mk 13:12 ndugu atamtoa ndugu auawe
1Pe 5:9 ushirika mzima wa ndugu
Ufu 12:10 mshtaki wa ndugu zetu
Mwa 43:3; Eze 38:21; Mt 5:22; 12:49, 50; 18:15; 25:40; Mdo 15:36; Ebr 2:11.
NDUGU YA BABA, Law 20:20; 25:49; 1Sa 10:15.
NEBO, Hes 32:3; Isa 15:2; 46:1; Yer 48:1.
NEBUKADNEZA, 2Nya 36:7.
Yer 27:6 nchi, chini ya Nebukadneza
Da 3:1 Nebukadneza atengeneza sanamu
Ezr 5:12; Da 2:1; 3:16, 24, 28; 4:18, 31.
NEBUKADREZA, Yer 25:9; 43:10; 50:17; Eze 26:7; 30:10.
NEEMA, Mwa 30:11 Lea akasema: Neema!
2Nya 30:9 Yehova ni mwenye neema
Zb 86:15 Yehova, Mungu wa neema
Zb 112:5 mwenye neema, anayekopesha
Yoe 2:13 mrudieni Yehova, ana neema
Kol 3:16 nyimbo kwa neema
Kut 34:6; Zb 103:8; 111:4; 116:5; Mdo 6:8; 7:10; Efe 2:7.
NEGEBU, Kum 1:7 Shefela na Negebu
NENEPA, Yer 5:28 Wamenenepa; wameng’aa
NENO, Kut 34:28 Maneno Kumi
Amu 3:20 Nina neno la Mungu kwako
Zb 119:105 Neno lako ni taa
Met 25:11 Neno wakati unaofaa
Isa 50:4 kumjibu neno aliyechoka
Isa 55:11 litakavyokuwa neno langu
Yer 8:9 Wamelikataa neno la Yehova
Mt 4:4 bali kwa kila neno
Mt 12:37 kwa maneno yako utahukumiwa
Mt 24:35 maneno yangu hayatapita
Yoh 1:1 hapo mwanzo Neno alikuwako
Yoh 1:14 Neno akawa mwili
Yoh 17:17 neno lako ni kweli
Ro 10:8 neno la imani
Flp 2:16 kulishika neno la uzima
1Ti 4:9 Neno hilo ni la uaminifu
2Ti 1:13 kushika maneno ya afya
2Ti 2:15 sawasawa neno la kweli
2Ti 4:2 lihubiri neno
Yak 1:22 iweni watendaji wa neno
2Pe 1:19 neno la kinabii
NENO LA KIMETHALI, Kum 28:37.
Zb 44:14 Umetufanya kuwa neno la kimethali
Zb 49:4 nisikie maneno ya kimethali
Zb 78:2; Isa 14:4; Eze 17:2; 18:2; Mik 2:4; Hab 2:6.
NENO LA MUNGU, Mk 7:13.
Efe 6:17 upanga, neno la Mungu
Ebr 4:12 neno la Mungu liko hai
Ufu 19:13 anaitwa Neno la Mungu
Lu 8:11; Mdo 6:7; 1Th 2:13; 2Ti 2:9; Ebr 11:3; 2Pe 3:5.
NEPA, Mwa 49:24 nguvu, zenye kunepa
NG’AA, Hes 6:25 aufanye uso ung’ae
1Sa 14:29 macho yalivyong’aa
Ezr 9:8 kufanya macho yetu yang’ae
Zb 13:3 Uyafanye macho yangu yang’ae
Zb 104:15 uso ung’ae kwa mafuta
Met 4:18 nuru inayong’aa, inayozidi
Met 6:25 macho yenye kung’aa
Met 15:30 Kung’aa kwa macho
Isa 14:12 ewe mwenye kung’aa
Yer 5:28 Wamenenepa; wameng’aa
Eze 28:17 fahari yako inayong’aa
Da 12:3 watang’aa kama mwangaza wa anga
Mt 13:43 waadilifu watang’aa
Mt 17:2 uso wake ukang’aa kama jua
Zb 34:5; Mhu 8:1; Isa 60:5; Yer 31:12.
NGAMIA, Mk 1:6 amevaa manyoya ya ngamia
Mwa 24:10, 11; Mt 19:24; 23:24.
NG’ANG’ANIA, Yoh 20:17.
NGANO, Zb 147:14 unono wa ngano
Mt 3:12; 13:25; Lu 22:31; Yoh 12:24.
NGAO, Mwa 15:1 Mimi ni ngao kwako
Amu 5:8 Ngao haikuonekana Israeli
2Sa 1:21 ngao ilichafuliwa
2Sa 22:3 Mungu ni Ngao yangu
Zb 18:35 utanipa ngao yako ya wokovu
Zb 47:9 ngao za dunia ni za Mungu
Zb 84:11 Yehova ni jua na ngao
Zb 91:4 Ukweli wake utakuwa ngao
Efe 6:16 ngao kubwa ya imani
Zb 18:30; 144:2; Met 30:5; Isa 21:5.
NGAZI, Mwa 28:12 ngazi imefika mbinguni
NGE, Kum 8:15; Lu 11:12; Ufu 9:10.
NG’OA, Amu 16:21 wakayang’oa macho
Ga 4:15 mngaling’oa macho yenu
NGOJEA, Isa 42:4 kuingojea sheria yake
1Ko 1:7 mkiungojea ufunuo
Ayu 13:15; Ro 8:25; Ga 5:5; Flp 3:20; 1Th 1:10.
NG’OKA, Lu 17:6 ng’oka ukapandwe
NG’OMBE, Kut 21:28 ng’ombe atapigwa
Isa 1:3 Ng’ombe anamjua
Isa 11:7 simba atakula majani kama ng’ombe.
1Ko 9:9 kumfunga kinywa ng’ombe-dume
Ebr 9:12 damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume
Law 16:6; Zb 106:20; 107:38; Met 7:22; Ebr 10:4.
NGOME, Zb 18:2 Yehova ni ngome yangu
Zb 31:4 wewe ni ngome yangu
Zb 37:39 Yeye ni ngome yao
Zb 91:2 Wewe ni ngome yangu
Da 11:31 wataitia unajisi ngome
Nah 1:7 ngome katika siku ya taabu
Zek 9:12 Rudini katika ngome
2Ko 10:4 kupindua ngome zenye
Amu 9:49; 1Sa 13:6; Ayu 22:14; Zb 28:8; 89:40; Met 10:29; Isa 17:3; 25:4, 12; 34:13; Lu 19:43.
NGOZI, Mwa 3:21 mavazi marefu ya ngozi
2Fa 1:8 mshipi wa ngozi kiunoni
Ayu 2:4 Ngozi kwa ngozi
Ayu 19:26 ngozi yangu, wameichuna
Yer 13:23 Mkushi kuibadili ngozi?
Eze 37:6 nitaitandaza ngozi juu yenu
2Ti 4:13 vitabu vya ngozi
NGUMI, Isa 58:4 ngumi ya uovu
1Ko 9:26 ninavyoelekeza ngumi zangu
NGUMU, Ne 9:16 mababu, na shingo ngumu
Met 13:15 njia yao ni ngumu
Met 29:1 anayefanya shingo ngumu
Da 5:20 roho yake ikawa ngumu
NGUO, Isa 61:3 nguo ya sifa badala ya
Isa 63:1 mwenye nguo zenye kuheshimika
NGUO ZA MAGUNIA, Est 4:1; Zb 69:11; Ufu 11:3.
NGURUMA, Ayu 36:33 Kunguruma kwake
Zb 29:3 Mungu mtukufu amenguruma
Zb 98:7 Bahari na ingurume
Yer 25:30 Yehova atanguruma juu
Yer 51:38 watanguruma kama simba
Lu 21:25 kunguruma kwa bahari
1Pe 5:8 Ibilisi, simba anayenguruma
1Sa 2:10; Ayu 37:5; Zb 22:13; Yer 51:38; Eze 22:25; Yoe 3:16; Amo 1:2; Sef 3:3.
NGURUMO, Mk 3:17 Wana wa Ngurumo
Ufu 6:1 sauti kama ya ngurumo
NGURUWE, Law 11:7 nguruwe si safi
Mt 7:6 lulu mbele ya nguruwe
Lu 15:15 akamtuma akachunge nguruwe
2Pe 2:22 nguruwe aliyeoshwa
NGUVU, Mwa 6:4 watu wenye nguvu, wenye sifa
Mwa 10:9 mwindaji mwenye nguvu
Kut 9:16 ili kukuonyesha nguvu
Kut 13:9 kwa mkono wenye nguvu
Kut 17:11 Waisraeli wakawa na nguvu
Yos 1:7 uwe mwenye nguvu
Amu 5:31 jua katika nguvu zake
Ezr 6:22 kuitia nguvu mikono
Ne 2:18 wakaitia mikono yao nguvu
Zb 59:17 Ee Nguvu zangu
Zb 60:12 Mungu atatupa nguvu
Zb 62:11 nguvu ni za Mungu
Zb 68:9 urithi wako, uliupatia nguvu
Zb 89:8 nguvu kama wewe, Yah?
Zb 106:8 nguvu zake zijulikane
Zb 110:2 fimbo ya nguvu zako
Zb 135:10 aliua wafalme wenye nguvu
Met 18:10 mnara wenye nguvu
Met 24:5 mtu anaimarisha nguvu
Met 31:3 Usiwape wanawake nguvu
Met 31:17 ameitia nguvu mikono
Isa 1:24 Mwenye Nguvu wa Israeli
Isa 9:6 Mungu Mwenye Nguvu
Isa 11:2 roho ya shauri, nguvu
Isa 12:2 Yah Yehova ni nguvu zangu
Isa 35:3 Tieni nguvu mikono dhaifu
Isa 40:29 huzijaza nguvu kamili
Isa 40:29 anampa nguvu aliyechoka
Isa 41:10 Nitakutia nguvu
Isa 58:11 ataitia nguvu mifupa
Yer 51:57 nitawalewesha wenye nguvu
Eze 34:4 wagonjwa hamkuwatia nguvu
Yoe 2:7 kama wanaume wenye nguvu
Yoe 2:22 Mtini utatokeza nguvu
Amo 2:14 hataimarisha nguvu zake
Nah 2:1 Itegemeze nguvu sana
Nah 2:3 wanaume wenye nguvu
Zek 4:6 wala kwa nguvu, bali kwa roho
Mt 16:18 Kaburi hayatalizidi nguvu
Mt 24:29 nguvu za mbingu zitatikiswa
Mk 12:30 umpende kwa nguvu zako
Yoh 12:35 giza lisiwazidi nguvu
Mdo 1:8 mtapokea nguvu
Ro 8:38 yatakayokuja wala nguvu
Ro 9:22 na kujulisha nguvu zake
Ro 15:1 sisi tulio na nguvu
1Ko 1:26 si wengi wenye nguvu
1Ko 1:27 aviaibishe vitu vyenye nguvu
1Ko 4:20 maneno, bali katika nguvu
1Ko 15:43 hufufuliwa katika nguvu
1Ko 16:13 iweni na nguvu
2Ko 4:7 nguvu kupita za kawaida
2Ko 10:4 silaha za nguvu kwa Mungu
2Ko 12:9 nguvu za Kristo zibaki
2Ko 12:10 dhaifu, ndipo mwenye nguvu
Flp 4:13 nina nguvu kupitia yeye
Kol 1:29 ndani yangu kwa nguvu
2Th 1:7 malaika zake wenye nguvu
2Ti 1:7 roho ya nguvu na ya
2Ti 3:5 wakizikana nguvu zake
Ebr 4:12 neno la Mungu, hutia nguvu
Ebr 5:14 nguvu za ufahamu zimezoezwa
Yak 5:16 Dua, ina nguvu
1Pe 3:22 mamlaka na nguvu
1Pe 5:10 atawafanya kuwa wenye nguvu
Ufu 1:6 utukufu na nguvu milele
Ufu 11:17 umechukua nguvu kuu
Kut 15:2; Kum 6:5; Yos 6:2; Amu 16:17; 1Sa 2:4, 9; 2Sa 22:40; 2Fa 19:3; 23:25; 1Nya 29:30; Ayu 37:23; Zb 8:2; 9:19; 18:32; 28:8; 84:7; 118:15; Wim 3:7; Isa 40:31; 52:1; 63:1; Yer 48:14; 51:30; Hag 2:22; Mk 9:39; Lu 1:35; Ro 1:16, 20; 4:20; 2Ti 2:1; Ebr 6:5; 11:34; 1Pe 1:5; Ufu 12:10.
NGUVU ZA AKILI, 2Ko 3:14; Flp 4:7.
NGUVU ZA PEKEE, Zb 90:10.
NGUVU ZA UTENDAJI, Mwa 1:2.
NGUVU ZENYE MSUKUMO, Isa 40:26, 29; Ho 12:3.
NGUVU ZINAZODUMU, Isa 18:2.
NGUZO. Ona pia NGUZO TAKATIFU.
Mwa 19:26 mke akawa nguzo ya chumvi
Mwa 28:18 akalisimamisha kama nguzo
Kut 13:22 Ile nguzo ya wingu
Amu 16:25 wakamsimamisha kati ya nguzo
1Sa 2:8 nguzo za dunia ni za Yehova
1Ti 3:15 nguzo na tegemezo la kweli
Ufu 3:12 nguzo katika hekalu
Mwa 28:22; Kut 33:9; Zb 99:7; Ga 2:9.
NGUZO, MSTARI WA, Yoh 10:23; Mdo 3:11; 5:12.
NGUZO TAKATIFU, Kut 34:13; 1Fa 14:23; 2Fa 3:2; 17:10.
NIA, Kut 32:12 Aliwatoa kwa nia mbaya
Kut 35:5 mwenye moyo wenye nia
NIA NJEMA, Zb 30:5 kuwa chini ya nia njema
Met 8:35 hupata nia njema kwa Yehova
Met 10:32 mwadilifu hujua nia njema
Isa 61:2 mwaka wa nia njema
Ro 10:1 nia njema ya moyo wangu
Flp 1:15 wanahubiri kwa nia njema
Zb 89:17; Met 11:27; 16:15; 19:12.
NIDHAMU, Met 6:23 nidhamu, njia ya uzima
Met 15:33 Kumwogopa Yehova ni nidhamu
Met 22:15 fimbo ya nidhamu, huondoa ujinga
Met 23:13 Usimnyime mvulana nidhamu
Isa 26:16 walipopata nidhamu yako
Yer 5:3 Walikataa kukubali nidhamu
Ho 7:15 mimi nilitia nidhamu
1Ko 11:32 Yehova anatutia nidhamu
2Ti 3:16 Andiko lote, hutia nidhamu
Ebr 12:5 usiipuuze nidhamu ya Yehova
Ebr 12:6 Yehova humtia nidhamu
Ebr 12:11 nidhamu, huonekana kuhuzunisha
Ayu 5:17; Zb 50:17; Met 1:2; 4:13; Ho 10:10; Efe 6:4.
NIKODEMO, Yoh 3:1, 4, 9; 7:50; 19:39.
NILE, Isa 19:7; Yer 46:8; Zek 10:11.
NIMRODI, Mwa 10:9 Kama Nimrodi, mwindaji
NINAWI, Yon 1:2 uende Ninawi lile jiji
Yon 3:5 Ninawi wakamwamini Mungu
Mt 12:41 Ninawi watakihukumu kizazi
Mwa 10:11; Yon 3:2, 3; 4:11; Sef 2:13.
NING’INIA, 2Sa 18:10 amening’inia mtini
NIRA, Isa 58:6 kufungua vifungo vya nira
Yer 27:2 Jitengenezee pingu na nira
Yer 28:13 utatengeneza nira za chuma
Eze 30:18 nitavunja nira za Misri
Eze 34:27 nitavunja nira zao, kuwakomboa
Nah 1:13 nitaivunja nira yake
Mt 11:30 nira yangu ni ya fadhili
2Ko 6:14 nira na wasio waamini
Flp 4:3 mwenzangu katika nira
Law 26:13; Kum 28:48; Yer 28:14; Mt 11:29; Ga 5:1.
NISHATI, Ayu 40:16 nishati katika kano
NITAKUWA KILE NITAKACHOKUWA, Kut 3:14.
NJAA. Ona pia UPUNGUFU WA CHAKULA. Mwa 41:55 Misri ikawa njaa
Mwa 41:57 njaa ilibana dunia
Zb 146:7 anayewapa wenye njaa
Isa 5:13 utukufu, watu wenye njaa
Isa 65:13 ninyi mtakuwa na njaa
Yer 14:15 watamalizwa kwa njaa
Amo 8:11 si njaa ya mkate, kiu
Mt 5:6 furaha, walio na njaa
Yoh 6:35 hataona njaa kamwe
Ro 8:35 au njaa au uchi au hatari
Ufu 7:16 Hawatakuwa na njaa
Kum 28:48; 32:24; Ru 1:1; Ne 9:15; Zb 50:12; 107:9; Isa 29:8; Yer 5:12; 11:22; 42:17; Eze 18:7; 2Ko 11:27; Ufu 18:8.
NJE, 2Ko 4:16 mtu wa nje anachakaa
2Ko 11:28 mambo ya aina ya nje
1Th 4:12 adabu kwa watu wa nje
1Ti 3:7 ushuhuda wa walio nje
Ebr 13:11 huteketezwa nje ya kambi
NJEMA, Ro 10:15 habari njema ya mambo
NJIA, Kum 32:4 njia zake zote ni haki
Amu 5:6 njia hazikuwa na wapitaji
Ayu 13:15 hoja kwa ajili ya njia zangu
Zb 2:12 msiangamizwe njiani
Zb 16:11 Utanijulisha njia ya uzima
Zb 25:4 Nijulishe njia zako
Zb 39:1 Nitalinda njia zangu
Met 4:18 njia ya waadilifu ni kama nuru
Met 6:23 makaripio ni njia ya uzima
Met 16:25 njia imenyooka kwa mwanadamu
Met 22:6 Mlee mvulana, njia inayomfaa
Isa 2:3 atatufundisha njia zake
Isa 30:21 Hii ndiyo njia. Tembeeni
Isa 55:8 njia zangu si njia zenu
Mal 3:1 atafungua njia mbele zangu
Yoh 14:6 Mimi ndiye njia
Mdo 9:2 walio wa Ile Njia
Mdo 19:9 wakisema vibaya kuhusu Njia
Mdo 22:4 niliitesa Njia hii
Mdo 24:14 njia wanayoiita madhehebu
Ro 11:33 njia zake hazitafutiki!
1Ko 4:17 atawakumbusha njia zangu
1Ko 10:13 atafanya njia ya kutokea
Ufu 15:3 Njia zako ni za kweli
Kum 30:16; Isa 62:10; Eze 28:15; 2Pe 2:2.
NJIA KUU, Isa 11:16 njia kuu kutoka Ashuru
Isa 35:8 njia kuu, Njia ya Utakatifu
Isa 62:10 matuta, njia kuu
Met 16:17; Isa 19:23; 40:3; Yer 31:21.
NJIA PANA, Mt 12:19; Mdo 5:15.
NJIA YA KUFIKIRI, 1Ko 1:10.
NJIWA, Mt 3:16 roho, kama njiwa
Mt 10:16 wasio na hatia kama njiwa
Mwa 8:11; Isa 59:11; Mt 21:12.
NJOO, Ufu 22:17 Njoo! anayeona kiu aje
NJOONI, Isa 55:1 mlio na kiu! Njooni majini
NJOZI, Mdo 10:10; 11:5; 22:17.
NOA 1., Mwa 6:9 Hii ni historia ya Noa
Mwa 7:23 vikafutiliwa mbali; Noa pekee
Mwa 9:1 Mungu akambariki Noa
Lu 17:26 ilivyotukia siku za Noa
Ebr 11:7 Kwa imani Noa
NOA 2., Met 27:17 mtu anavyounoa uso
NOLEWA, Met 27:17 Chuma hunolewa kwa
NONESHA, Yak 5:5 Mmeinonesha mioyo yenu
NTA, Zb 68:2 kama nta, waovu waangamie
Zb 97:5 Milima kuyeyuka kama nta
NUIA, Isa 14:24 nilivyonuia, ndivyo itakuwa
NUKA, Zb 38:5 Vidonda vyangu vinanuka
NUNG’UNIKA, Flp 2:14 bila kunung’unika
Yak 5:9 Msinung’unikiane
1Pe 4:9 bila kunung’unika
NUNG’UNIKIANA, Yak 5:9.
NUNI, Kut 33:11; Kum 32:44; 1Nya 7:27.
NUNUA, Mwa 47:19 Utununue sisi na mashamba
Met 23:23 Nunua kweli wala usiiuze
Isa 55:1 mlio na kiu! Njooni, nunueni
Mt 13:44 kuuza vitu na kulinunua shamba
Mt 13:46 lulu moja na kuinunua
Mdo 20:28 alilinunua kwa damu
1Ko 7:23 Mlinunuliwa kwa bei
1Ko 7:30 wanaonunua wawe kama wasio
Ga 3:13 Kristo kwa kutununua
Kol 4:5 mkijinunulia wakati unaofaa
2Pe 2:1 watamkana hata bwana aliyewanunua
Ufu 5:9 kwa damu yako ukamnunulia watu
Ufu 13:17 asiweze kununua au kuuza
Law 27:24; Ru 4:4, 8; 2Sa 12:3; Yer 32:44; Lu 14:18; Ufu 3:18; 18:11.
NUNULIWA, Mwa 49:32 shamba lililonunuliwa
NURU, Ayu 33:30 atiwe nuru kwa nuru
Zb 97:11 Nuru imeangazia mwadilifu
Zb 119:105 Neno lako, nuru ya barabara
Met 4:18 nuru inayozidi kuongezeka
Isa 42:6 nuru ya mataifa
Isa 60:1 Simama, toa nuru
Mt 5:16 nuru yenu, mbele ya watu
Yoh 3:19 wamependa giza kuliko nuru
Yoh 8:12 Mimi ni nuru ya ulimwengu
2Ko 11:14 malaika wa nuru
Efe 1:18 macho yakiwa yametiwa nuru
1Ti 6:16 nuru isiyoweza kufikiwa
Ebr 6:4 waliotiwa nuru, kisha wakaanguka
Ebr 10:32 baada ya kutiwa nuru, mlivumilia
1Pe 2:9 kuingia katika nuru yake
Ufu 18:1 dunia ikaangazwa nuru
Mwa 1:3; Zb 77:18; 97:4; Isa 13:10; Da 5:11, 14; Zek 14:6; 2Ko 4:4; 1Yo 1:5, 7; Ufu 21:23; 22:5.
NURU YA TAA, Ufu 22:5 hawahitaji nuru ya taa
NYAFUA, Isa 35:9 wanyama wenye kunyafua
NYAKATI SABA, Da 4:16 nyakati saba zipite
NYAKATI ZA HATARI, 2Ti 3:1.
NYAKATI ZILIZOWEKWA, Zb 104:19; Lu 21:24; 1Ti 6:15.
NYAKUA, Yer 9:4 kila ndugu atanyakua
Mt 13:19 mwovu huja na kunyakua
Yoh 10:12 mbwa-mwitu huwanyakua
Yoh 10:28 hakuna atakayewanyakua
Yud 23 kuwanyakua kutoka katika moto
NYAMA, Zek 14:12 Nyama ya mtu itaoza
1Ko 15:39 Nyama yote si moja
1Ko 15:50 nyama hairithi ufalme
NYAMAZA, Zb 30:12; Yer 8:14; Zek 2:13.
NYAMAZISHWA, 1Sa 2:9 waovu hunyamazishwa
Yer 49:26 waume watanyamazishwa
NYANG’ANYA, Mal 3:8 kumnyang’anya Mungu?
2Ko 9:5 si kitu cha kunyang’anywa
2Ko 11:8 Nilinyang’anya makutaniko
Kol 2:18 yeyote awanyang’anye
Law 6:2; 19:13; Amu 9:25; Met 22:23.
NYANG’ANYWA, Kum 28:29; Yer 21:12.
NYANYA, 2Ti 1:5 nyanya yako Loisi
NYARA, Isa 53:12 atagawa nyara
Yer 39:18 nafsi itakuwa kama nyara
Sef 3:8 nitakaposimama kuteka nyara
Yos 8:2; Amu 5:30; Isa 10:2; Eze 38:12.
NYASI, Ayu 21:18 Je, wanakuwa kama nyasi?
NYAUKA, Yak 1:11 tajiri atanyauka
NYAUSHA, Yak 1:11 jua hunyausha majani
NYAYO, Eze 43:7 mahali pa nyayo za miguu
NYEKUNDU, Yos 2:18 kamba ya uzi mwekundu
Met 23:31 divai inapotoa rangi nyekundu
Isa 1:18 dhambi zikiwa nyekundu
Isa 63:2 Kwa nini nguo ni nyekundu
Law 14:49; Yer 4:30; Nah 2:3; Mt 27:28; Ufu 17:3.
NYEKUNDU YA KIMANJANO, Amu 5:10.
NYENYEKEA, Ebr 13:17 Watiini na mnyenyekee
NYENYEKEZA, Kum 8:2; Lu 14:11.
NYESHA, Isa 5:6 yasinyeshe mvua
NYESHEA, Zb 11:6 atawanyeshea waovu
NYEUPE, Ufu 7:14 kanzu na kuzifanya nyeupe
NYIKA, Kum 8:16 aliyekulisha nyikani
Isa 35:6 maji yatabubujika nyikani
Eze 34:25 watakaa nyikani kwa usalama
Mt 3:3 Mtu anapaaza sauti nyikani
Ufu 12:6 mwanamke akakimbilia nyikani
NYIMA, 2Fa 4:13 kujinyima huku kote
Ezr 4:14 kuona mfalme akinyimwa
Isa 38:10 Nitanyimwa miaka yangu
1Ko 7:5 msinyimane haki hiyo
NYOA, 1Ko 11:5 kichwa kilichonyolewa
Kum 21:12; Amu 16:19; 2Sa 14:26.
NYOKA, Mwa 3:13 nyoka alinidanganya nikala
Kut 4:3 akaitupa chini, ikawa nyoka
Hes 21:8 Jifanyie nyoka
Hes 21:9 akafanya nyoka wa shaba
2Fa 18:4 kumponda nyoka wa shaba
Zb 91:13 Utamkanyagia chini nyoka
Isa 11:8 atacheza juu ya tundu la nyoka
Mik 7:17 Wataramba mavumbi kama nyoka
Mt 10:16 kujihadhari kama nyoka
Mt 23:33 Nyoka, uzao wa nyoka-vipiri
Yoh 3:14 kama Musa alivyoinua nyoka
Ufu 12:9 nyoka wa zamani
Mwa 3:1, 4; Zb 58:4; Met 23:32; Isa 59:5; 65:25; 2Ko 11:3; Ufu 20:2.
NYOKA-KIPIRI, Mt 23:33 uzao wa nyoka-vipiri
NYOLEWA, Amu 16:17 Nikinyolewa, nguvu
NYONGA, 2Sa 17:23 akajinyonga, akafa
NYONGO, Ayu 16:13 Anaimwaga nyongo yangu
NYONYA, Zb 131:2 aliyeachishwa kunyonya
Isa 65:20 mtoto anayenyonya
1Sa 1:23, 24; Isa 11:8; 28:9; Yer 44:7; Mt 21:16.
NYONYESHA, Kut 2:7; Lu 21:23; 1Th 2:7.
NYOOFU, Ebr 13:18 dhamiri nyoofu
NYOOKA, Met 14:12 njia ambayo imenyooka
Ebr 12:13 mapito yaliyonyooka
NYOOSHA, Isa 45:13 njia zake nitazinyoosha
Yoh 1:23 Nyoosheni njia ya Yehova
Flp 3:13 kujinyoosha kwenda mbele
NYOOSHA MAMBO, Isa 1:18.
NYOOSHWA, Isa 14:27 mkono umenyooshwa
NYORORO, 2Ko 1:3 Baba ya rehema nyororo
NYOTA, Hes 24:17 Nyota itatokea katika Yakobo
Amu 5:20 Nyota zilipigana
Ayu 38:7 Nyota za asubuhi
Isa 14:13 juu ya nyota za Mungu
Isa 47:13 watazamaji wa nyota
Da 12:3 watang’aa kama nyota
1Ko 15:41 nyota hutofautiana na nyota
Ufu 2:28 nyota ya asubuhi
Ufu 12:1 taji la nyota kumi na mbili
NYOTA YA ASUBUHI, Ayu 38:7.
Ufu 2:28 nitampa nyota ya asubuhi
Ufu 22:16 Daudi, nyota ya asubuhi
NYOTA YA MCHANA, 2Pe 1:19.
NYUKI, Kum 1:44; Amu 14:8; Zb 118:12.
NYUA Zb 84:10 siku moja katika nyua zako
NYUMA, Mwa 19:17 Usitazame nyuma
Zb 78:9 Efraimu walirudi nyuma
Yer 7:24 nyuma wala si mbele
Mt 16:23 Nenda nyuma yangu, Shetani!
Flp 3:13 Nayasahau mambo ya nyuma
Zb 50:17; Isa 38:17; Eze 23:35; Yoe 2:3.
NYUMBA, Hes 17:2 nyumba ya ukoo wa
Zb 27:4 nikae katika nyumba ya Yah
Zb 127:1 Yehova asipojenga nyumba
Isa 2:2 mlima wa nyumba ya Yehova
Isa 6:11 mpaka nyumba zisiwe na mtu
Isa 65:21 watajenga nyumba na kukaa
Hag 2:7 nitaijaza nyumba hii utukufu
Mt 10:25 mwenye nyumba, Beelzebuli
Mt 10:27 lihubiri juu ya nyumba
Mt 10:36 adui za mtu, nyumba yake
Mt 21:13 Nyumba yangu, nyumba ya sala
Mt 23:38 Nyumba yenu mmeachiwa
Mk 3:25 nyumba ikigawanyika
Mdo 7:48 Mungu hakai katika nyumba
Mdo 20:20 na nyumba kwa nyumba
Ro 16:5 kutaniko, katika nyumba yao
1Pe 2:5 nyumba ya kiroho
Mwa 7:1; 47:12; Yos 22:14; 2Sa 7:13; 1Nya 23:11; 24:4, 31; 26:13; Zb 84:10; Met 27:27; 31:15; Mt 13:27; 20:1; 21:33; 24:43; Mk 10:30; Efe 2:19; Ebr 3:3, 6.
NYUMBA YA KUKAA, 2Ko 5:2.
NYUNDO, Amu 5:26 Akampiga Sisera nyundo
Yer 23:29 neno ni kama nyundo
NYUNYIZIWA, 1Pe 1:2 kunyunyiziwa damu ya
NYUNYIZWA, Ebr 10:22 mioyo, kunyunyizwa
NYWELE, Amu 16:22 nywele zikaanza kukua
Lu 21:18 hata unywele hautaangamia
1Ko 11:14 mume, nywele ndefu aibu
Isa 3:24; Da 3:27; 7:9; 1Pe 3:3; Ufu 9:8.
NYWESHA, Zb 69:21; Met 11:25; Eze 17:7.
NZIGE, Kut 10:4 nitaleta nzige
Met 30:27 nzige hawana mfalme
Kum 28:38; Yoe 1:4; 2:25; Mt 3:4; Ufu 9:3.
NZIGE MCHANGA, Nah 3:15.
NZITO, Ro 11:7 hisia zilifanywa kuwa nzito
NZURI, Wim 7:1 hatua zako nzuri.
O
OA, Mt 22:30 ufufuo, hawaoi
Mt 24:38 wakioa na kuolewa
Lu 14:20 Nimeoa mke sasa hivi
Lu 20:35 hawaoi wala hawaolewi
Ro 7:2 mwanamke aliyeolewa
1Ko 7:32 Mwanamume ambaye hajaoa
1Ko 7:33 aliyeoa huhangaikia
1Ko 7:39 kuolewa, katika Bwana tu
OBED-EDOMU, 2Sa 6:10-12; 1Nya 13:13.
OBEDI, Ru 4:17, 21, 22; Lu 3:32.
OFIRI, Isa 13:12 dhahabu ya Ofiri
1Fa 9:28; 10:11; Ayu 28:16; Zb 45:9.
OFISA, Met 14:28 uharibifu wa ofisa mkuu
OFISA WA MAKAO YA MFALME, 2Fa 9:32; Isa 39:7.
OFISA-MSIMAMIZI, Mk 5:22; Lu 8:49; 13:14; Mdo 13:15; 18:8.
OGA, 2Fa 5:10 uoge mara saba
OGOPA, Mwa 3:10 niliogopa, nilikuwa uchi
Mwa 9:2 Kila kiumbe kuwaogopa
Mwa 35:5 watu wakamwogopa Mungu
Kum 9:19 niliogopa hasira kali ya Yehova
Amu 7:3 Ni nani anayeogopa na kutetemeka?
1Sa 15:24 niliwaogopa watu
1Nya 16:25 Yehova ni wa kuogopwa
Ayu 9:28 Nimeogopa maumivu yangu
Zb 25:14 Urafiki na Yehova, wanaomwogopa
Zb 33:8 dunia yote, waogope Yehova
Zb 34:7 Malaika, anazunguka wanaomwogopa
Zb 111:10 Kuogopa Yehova ni hekima
Zb 118:6 sitaogopa. Mwanadamu
Met 8:13 Kuogopa Yehova, chukia baya
Met 14:16 Mwenye hekima huogopa
Met 31:30 mwanamke anayeogopa Yehova
Isa 51:12 umwogope mwanadamu anayeweza
Yer 1:8 usiogope, niko pamoja nawe
Lu 12:4 Msiogope wanaoua mwili
Mdo 10:2 mwenye kumwogopa Mungu
Mdo 10:7 askari anayemwogopa Mungu
Mdo 10:35 katika kila taifa, anayemwogopa
Flp 1:28 msiwaogope wapinzani
Flp 2:12 fanyiza wokovu kwa kuogopa
1Pe 3:14 msiogope wanachoogopa
Kum 20:3; Zb 112:7; Met 3:25; Isa 7:4; Ebr 13:6; Ufu 2:10.
OGOPA MUNGU, Ro 11:26.
Tit 2:12 tukatae kutomwogopa Mungu
Ro 1:18; 5:6; 1Ti 1:9; 2Ti 2:16; 1Pe 4:18; 2Pe 2:6; 3:7; Yud 15.
OGOPESHA, Kut 34:10 jambo lenye kuogopesha
Kum 10:17 Mungu mwenye kuogopesha
Zb 111:9 Jina lake linaogopesha
Zb 139:14 nimeumbwa, njia ya kuogopesha
Isa 18:2 watu wenye kuogopesha
Da 7:7 mnyama, anayeogopesha
Yoe 2:11 siku ya Yehova, ya kuogopesha
Ebr 10:27 tarajio la kuogopesha
Ebr 10:31 inaogopesha kuanguka mikononi
Amu 13:6; 1Nya 17:21; Ne 1:5; Zb 45:4; Met 3:25; Yoe 2:31; Sef 2:11.
OKOA, 1Sa 17:47 Yehova haokoi kwa upanga
Zb 20:6 humwokoa mtiwa-mafuta wake
Zb 34:18 huwaokoa waliopondwa roho
Zb 68:20 Mungu wa matendo ya kuokoa
Zb 69:35 Mungu ataokoa Sayuni
Isa 63:1 mwingi wa nguvu za kuokoa
Eze 34:22 nitawaokoa kondoo zangu
Da 3:17 Mungu anaweza kutuokoa
Mt 16:25 yeyote anayetaka kuiokoa nafsi
Lu 19:10 Mwana alikuja kuokoa
Mdo 23:27 nikaja ghafula na kumwokoa
Ro 7:24 nani atakayeniokoa
2Ko 1:10 atatuokoa zaidi pia
1Ti 1:15 alikuja kuwaokoa watenda-dhambi
Ebr 7:25 anaweza kuwaokoa kwa ukamili
Yak 4:12 anaweza kuokoa na kuangamiza
Yak 5:20 ataiokoa nafsi yake kutoka kifo
Yos 10:6; 1Sa 14:6; 2Fa 19:34; Zb 106:8; 107:2; Mhu 8:8; Isa 37:20; 43:12; 59:1; Yer 2:27; Lu 2:30; 3:6; 1Ti 4:16; Tit 3:5; Yak 2:14; 1Pe 3:21; Yud 23.
OKOKA, Isa 1:9.
OKOLEWA, Mt 19:25 nani aweza kuokolewa?
Yoh 3:17 ili ulimwengu uokolewe
Ro 10:9 ukionyesha imani utaokolewa
1Ko 5:5 ili roho iokolewe siku ya Bwana
1Ko 10:33 ili wapate kuokolewa
Efe 2:8 mmeokolewa kupitia imani
1Ti 2:4 watu wa namna zote waokolewe
1Pe 4:18 mwadilifu anaokolewa kwa shida
Zb 18:3; Isa 45:17, 22; Yer 8:20; 30:7; Mt 10:22; 24:22; Lu 8:12; Mdo 4:12; Ro 10:13; 1Ko 1:18; 2Ko 2:15.
OLE, Isa 6:5 Ole! nimenyamazishwa
Isa 31:1 Ole wanaoshuka Misri
Amo 6:1 Ole wanaostarehe Sayuni
1Ko 9:16 ole wangu nisipotangaza
Ufu 12:12 Ole wa dunia na bahari
OMBA, Mwa 42:21 alipotuomba huruma
Mt 7:7 Endeleeni kuomba, nanyi mtapewa
Yoh 17:9 Ninaomba juu yao
Ro 8:27 roho inaomba kupatana na
Ro 11:2 Eliya, anapomwomba Mungu
Efe 3:20 zaidi kupita mambo yote tunayoomba
Ebr 12:19 waliomba wasiongezewe
Yak 1:6 kuomba kwa imani, bila kutia shaka
Yak 4:3 Mnaomba, na bado hampokei
1Yo 5:14 tukiomba kulingana na mapenzi yake
Kum 3:23; 2Fa 20:3; Est 4:8; Zb 2:8; Isa 38:3; Yer 7:16; Mt 6:8; Yoh 14:13; Mdo 21:39; Ro 1:10; 1Ko 1:22; 2Ko 5:20; 8:4; 10:2; Ga 4:12.
OMBA KIBALI, Ayu 9:15.
OMBEA, Yoh 17:20 nawaombea, si hawa tu
Ro 8:34 Kristo hutuombea
Ebr 7:25 hai sikuzote kuwaombea
OMBI, Zb 20:5 Yehova atimize maombi
Zek 12:10 roho ya maombi
Flp 4:6 maombi yenu yajulishwe
Ebr 5:7 maombi kwa Yule
1Sa 1:27; Est 5:6; 9:12; Da 6:7, 13; 9:18.
OMBOLEZA, Isa 60:20 siku za kuomboleza
Isa 61:2 kuwafariji wanaoomboleza
Yer 4:28 nchi hiyo itaomboleza
Eze 24:17 Usiwaombolezee waliokufa
Yoe 1:9 wahudumu, wameomboleza
Amo 1:2 malisho yataomboleza
Mik 1:8 Nitaomboleza kama mbwa
Zek 12:10 wataomboleza juu Yake
Mt 2:18 Rama, kuomboleza kwingi
Mt 5:4 wanaoomboleza, watafarijiwa
Yoh 16:20 mtalia na kuomboleza
Ufu 18:11 wanabiashara wanaomboleza
Mwa 37:35; Ne 8:9; Est 4:3; Yer 25:33; Eze 7:12; 32:18; Ho 4:3; Yoe 2:12; Mik 2:4; Lu 6:25; Yak 4:9.
OMERI, Kut 16:16, 18, 36.
OMRI, 1Fa 16:16, 21-23, 27-29; Mik 6:16.
ONA, Kut 2:25 Israeli na Mungu akaona
Kut 33:20 hakuna anayeweza kuniona
Isa 66:8 nani ameona mambo haya?
Yer 5:21 macho lakini hawawezi kuona
Eze 13:9 manabii wanaona yasiyo
Mt 5:8 walio safi moyoni watamwona
Mt 13:14 mtatazama lakini hamtaona
Yoh 1:18 Hakuna aliyemwona Mungu
Yoh 14:9 Yule ameniona amemwona
Yoh 20:29 umeniona je, umeamini?
Mdo 17:22 Wanaume wa Athene, naona
Ro 8:24 anapoona kitu je, hukitumainia?
2Ko 5:7 kwa imani, si kwa kuona
Flp 2:3 mkiwaona wengine kuwa ni bora
Flp 3:7 nimeviona kuwa hasara
Ebr 11:1 mambo halisi ingawa hayajaonwa
Ebr 11:13 ahadi, waliziona kwa mbali
1Yo 4:20 ndugu yake ambaye amemwona
Ufu 3:18 dawa ya macho upate kuona
Mwa 7:1; Mhu 2:17; Isa 6:5; Mt 20:34; Lu 7:22; Yoh 8:56; Mdo 9:12; 1Ti 6:16.
ONA KIMBELE, Ebr 11:40 Mungu aliona kimbele
ONDOA, Kum 4:2 msiondoe lolote
Eze 21:26 Kiondoe kilemba, na taji
1Ko 5:13 Ondoeni mwovu kati
ONDOKA, Zb 119:110 sijaondoka katika maagizo
Mt 17:20 Ondoka hapa uende pale
Lu 9:31 juu ya kuondoka kwake
1Ko 7:10 mke asiondoke kwa mume
Ebr 3:12 kosa imani, jiondoa kwa Mungu
2Pe 1:15 baada yangu kuondoka
Yos 1:8; Zb 119:118; Mt 2:12; 14:13; Mk 3:7; Mdo 18:2; 1Ko 7:15.
ONDOLEA, Isa 1:24 Nitajiondolea adui
Ro 11:26 kuondolea mbali mazoea
ONDOLEWA, Mhu 3:14 wala kuondolewa
Isa 54:10 milima ikaondolewa
Ebr 12:27 ishara ya kuondolewa
ONDOSHWA, Kol 1:23 bila kuondoshwa
ONEANA, Isa 3:5 watu wataoneana
ONEKANA, Kut 16:10 utukufu ukaonekana
Kum 31:15 Yehova akaonekana katika hema
Zb 102:16 Yehova ataonekana katika utukufu
Da 4:11, 20 Mti huo ulionekana
Da 8:5 pembe inayoonekana wazi
Da 8:8 pembe nne zenye kuonekana wazi
Ro 1:20 sifa zake zisizoonekana
Ro 1:20 sifa zake zinaonekana
Kol 1:16 vitu vinavyoonekana na
Isa 60:2; Nah 2:4; Mt 23:28; 24:30; 2Ko 13:7; Ebr 9:24; 1Pe 4:18; Ufu 11:19.
ONEKANA ZAIDI, Mt 23:6; Lu 14:7, 8; Ro 3:7.
ONGEA, Met 17:9 anayeendelea kuongea
Mdo 17:18 wakawa wanaongea naye
ONGEZA, Kum 4:2 msiongeze kwenye neno
Met 10:22 hutajirisha, haongezi maumivu
Met 16:23 huongeza ushawishi
Lu 12:25 kuongeza kwenye muda wa maisha
Ga 3:15 Agano, hakuna kuongeza
Ufu 22:18 akiongeza kwenye mambo haya
Mwa 30:24; Kut 11:9; Law 25:16; Kum 12:32; 2Nya 28:13; Ayu 34:37; Met 11:24; 19:4; 30:6; Isa 53:10; Mt 6:27; 2Ko 9:10.
ONGEZEKA, Zb 62:10 Mali ikiongezeka
Mt 24:12 kuongezeka kwa uasi
Mk 4:8 kuongezeka, zikazaa
Yoh 3:30 huyo aendelee kuongezeka
Mdo 6:7 wanafunzi wakazidi kuongezeka
Kol 1:6 inavyozaa na kuongezeka
Kol 1:10 kuongezeka katika ujuzi
ONGOZA, Kum 32:12 Yehova alimwongoza
Zb 23:3 Aniongoza katika mapito
Zb 43:3 kweli yako iniongoze
Zb 143:10 iniongoze katika nchi ya
Met 11:3 Utimilifu huwaongoza
Isa 3:12 wanaowaongoza wanawapoteza
Yer 10:23 hawezi kuongoza hatua
Yoh 16:13 atawaongoza, kweli yote
Mdo 8:31 mtu fulani asiponiongoza?
Ebr 13:7, 17 wale wanaoongoza kati
Yak 1:26 Ikiwa mtu hauongozi ulimi wake
Kut 13:21; Zb 31:3; 48:14; Met 23:19; Isa 49:10; Mt 4:1; Ufu 7:17.
ONGOZWA, Ro 8:14 wanaoongozwa na roho
ONJA, Ebr 6:4 ambao wameonja zawadi
1Pe 2:3 mradi tu mmeonja na kuona
ONWA, Mt 27:53 ikaonwa na watu wengi
ONYA, 1Th 5:12 kuwasimamia, kuwaonya
2Th 3:15 kumwonya kama ndugu
2Nya 19:10; Eze 33:8, 9; Mdo 20:31; Ro 15:14; 1Ko 4:14; Kol 1:28; 3:16; 1Th 5:14.
ONYA KIMBELE, Mt 24:25 nimewaonya kimbele
ONYESHA, Kut 9:16 ili kukuonyesha nguvu
2Nya 16:9 ili aonyeshe nguvu zake
Mdo 26:16 nimejionyesha kwako
1Ko 3:13 moto utaonyesha kazi
Kol 2:15 alizionyesha hadharani
1Pe 1:11 roho ilikuwa ikionyesha
Mwa 12:1; Mdo 18:28; Ro 9:22; Efe 2:7; 1Ti 1:16; Ufu 22:6.
ONYESHWA, Ga 3:1 Yesu alionyeshwa mtini
Tit 2:11 fadhili zimeonyeshwa
ONYO, Eze 3:17 utawapa maonyo yangu
Eze 33:4 asitii onyo
Eze 33:5 Aliisikia, hakutii onyo
Eze 33:7 mlinzi uwape onyo
1Ko 10:11 yaliandikwa kuwa onyo
Tit 3:10 onyo la kwanza na la pili
Ebr 12:25 akitoa onyo duniani
ORODHA, 1Ti 5:9 mjane, orodha, miaka 60
OSHA, Zb 51:2 Unioshe kosa langu
Isa 4:4 Yehova ameosha kinyesi
Yer 2:22 ukijiosha kwa magadi
2Pe 2:22 nguruwe aliyeoshwa
OSHWA, Met 30:12; 1Ko 6:11.
OTHNIELI, Yos 15:17; Amu 3:9.
OZA, Met 10:7 jina la waovu litaoza
Isa 40:20 anachagua mti usiooza
Yer 49:7 hekima yao imeoza?
Zek 14:12 Nyama ya mtu itaoza
Mt 7:18 mti uliooza hauwezi
Mt 12:33 mti uoze na matunda
Efe 4:29 Neno lililooza lisitoke
Yak 5:2 Utajiri wenu umeoza
P
PAA, Met 5:19 paa mwenye kupendeka
Mwa 49:21; Kum 12:15; Amu 13:20; Zb 18:33; Met 27:15; Isa 35:6; Omb 1:6; Hab 3:19; Mk 2:4; Lu 7:6.
PAA YA NYUMBA, Mt 24:17; Lu 12:3; 17:31; Mdo 10:9.
PAAZA SAUTI, Lu 19:40 mawe yangepaaza sauti
Law 9:24; Yos 6:20; Ezr 3:13; Ayu 38:7; Isa 12:6; Lu 18:7; Mdo 21:34.
PACHA, Yoh 11:16; 20:24.
PAJI LA USO, 1Sa 17:49 akampiga paji la uso
Eze 9:4 alama, mapaji ya uso
Ufu 14:1 jina, juu ya mapaji ya nyuso
Ufu 14:9 alama, paji la uso
Eze 3:9; Ufu 7:3; 9:4; 17:5; 20:4; 22:4.
PAKANGA, Yer 23:15 ninawalisha pakanga
Ufu 8:11 nyota hiyo ni Pakanga
Kum 29:18; Met 5:4; Omb 3:15; Amo 5:7; 6:12.
PAKATA, Isa 66:12 mtapakatwa magotini
PAMBA, 1Ti 2:9 wanawake wajipambe kwa kiasi
Tit 2:10 walipambe fundisho la Mungu
1Pe 3:5 watakatifu walivyojipamba
PAMBANA, 1Th 2:2 kwa kupambana sana
1Pe 2:11 huendelea kupambana na
PAMBANO, Flp 1:30 mna pambano lilelile
PAMBO, Isa 28:5 taji la pambo
Da 11:45 mlima mtakatifu wa Pambo
Mik 2:8 Vueni pambo la utukufu
1Nya 16:29; Zb 29:2; Met 14:28; Isa 4:2; 13:19; Eze 20:6; Da 8:9; 11:16.
PAMBWA, Amu 5:30 vazi lililopambwa
Lu 21:5 hekalu, lilivyopambwa
Ufu 21:2 bibi-arusi aliyepambwa
PAMOJA, Isa 52:8 kupiga pamoja vigelegele
PANDA 1., Mwa 2:8 Mungu akapanda bustani
Zb 1:3 mti uliopandwa kando ya maji
Zb 94:9 anayelipanda sikio
Zb 126:5 wanaopanda kwa machozi
Met 11:18 anayepanda uadilifu
Isa 51:16 kupanda mbingu, dunia
Isa 65:22 hawatapanda na mwingine
Yer 1:10 kujenga na kupanda
Yer 2:21 nimekupanda kama mzabibu
Ho 8:7 huendelea kupanda upepo
Mik 6:15 utapanda mbegu, bali hutavuna
Lu 8:5 Mpandaji alienda kupanda
1Ko 3:6 nilipanda, Apolo akatia maji
2Ko 9:6 anayepanda kwa uhaba
Ga 6:7 lolote lile analopanda mtu
Mhu 11:4, 6; Isa 40:24; Yer 18:9; 31:28; Ho 10:12; Amo 9:14; Hag 1:6; Mt 6:26; 21:33; Lu 19:22.
PANDA 2., Mwa 28:12 malaika wakipanda
Zb 135:7 Anafanya mivuke ipande
Met 21:22 mwenye hekima amepanda jiji
Sef 1:9 anayepanda jukwaani
Yoh 3:13 hakuna mtu amepanda mbinguni
Yoh 6:62 Mwana wa binadamu akipanda
Yoh 20:17 ninapanda kwenda kwa Baba
Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni
Ufu 13:11 mnyama-mwitu akipanda
Zb 24:3; 68:18; 139:8; Met 30:4; Ro 10:6; Efe 4:8-10.
PANDA CHEO, 1Nya 17:17 anayepanda cheo
PANDIKIZWA, Ro 11:17, 19, 23, 24.
PANDISHA, Flp 2:9 Mungu alimpandisha cheo
PANDWA, Yer 2:24 punda-milia, kupandwa
Mt 13:20 aliyepandwa penye miamba
1Ko 15:44 Hupandwa ukiwa mwili
Yer 17:8; Eze 36:9; Lu 17:6; Yak 3:18.
PANGA, Met 9:2 Imepanga kuchinja nyama
Isa 21:5 Meza na ipangwe
Ro 13:14 msiwe mkipanga kimbele
PANGO, Yer 7:11 pango tu la wanyang’anyi
Mt 21:13 mnaifanya kuwa pango
PANUA, Kum 19:8 Mungu atalipanua eneo
Isa 5:14 Kaburi limeipanua sana
Mt 23:5 wanapanua vibweta
PANZI, Hes 13:33; Isa 40:22.
PAPASA, Kum 28:29 anayepapasa mchana
Ayu 12:25 Wao hupapasa gizani
Isa 59:10 kupapasa kama vipofu
Mdo 17:27 kupapasa wakimtafuta
PARADISO, Lu 23:43 Utakuwa nami Paradiso
2Ko 12:4 alinyakuliwa kuingia paradiso
PARUZA, Law 6:28 kitaparuzwa na kuoshwa
PASAKA, Kut 12:11 Ni pasaka ya Yehova
Law 23:5 mwezi wa kwanza, ni pasaka
Yoh 2:13 pasaka ya Wayahudi
Yoh 6:4 pasaka ilikuwa karibu
Yoh 13:1 sherehe ya pasaka imefika
1Ko 5:7 Kristo pasaka yetu
Kut 12:27, 48; Mk 14:1; Lu 2:41; Ebr 11:28.
PASHANA HABARI, 2Sa 3:17.
PASTA. Ona MCHUNGAJI.
PASUA, Isa 64:1 ungezipasua mbingu
PASUKA, Isa 24:19 Nchi imepasuka kabisa
PASULIA, Mwa 38:29 umejipasulia msamba?
PATA, Mwa 42:4 tukio la kufisha lisimpate
Zb 21:8 Mkono utapata adui zako
Met 1:28 watanitafuta, hawatanipata
Met 2:5 utapata kumjua Mungu
Met 8:35 anayenipata atapata uzima
Met 15:32 anayesikiliza karipio anajipatia
Met 18:22 mtu amepata mke mwema?
Mhu 9:10 mkono unapata kufanya
Isa 40:31 watapata nguvu mpya
Yer 29:13 mtanitafuta na kunipata
Mt 7:7 tafuteni nanyi mtapata
Mt 7:8 anayetafuta hupata
Mt 7:14 ni wachache wanaoipata
Mt 10:39 anayepata nafsi ataipoteza
Mt 16:26 akiupata ulimwengu, apoteze
Lu 20:35 kuupata mfumo
Lu 21:19 kwa kuvumilia mtajipatia nafsi
Mdo 17:27 watafute Mungu, wampate
1Ko 9:20 ili niwapate Wayahudi
1Ko 9:24 Kimbieni mweze kupata tuzo
Ufu 9:6 watatafuta kifo, hawatakipata
Law 10:19; Zb 69:24; 1Ko 9:19-22; 1Th 5:9; 2Th 2:14; 1Ti 3:13.
PATAKATIFU, Kut 25:8 watanifanyia patakatifu
Kut 26:33 Patakatifu, Patakatifu Zaidi
Law 19:30 mtapaheshimu patakatifu pangu
Law 26:31 kufanya ukiwa patakatifu penu
1Nya 28:10 amekuchagua ujenge patakatifu
Zb 150:1 Msifuni Mungu katika patakatifu
Eze 28:18 umepatia unajisi patakatifu pako
Da 11:31 itapatia unajisi patakatifu
Mt 27:51 pazia la patakatifu likapasuka
Zb 78:69; Eze 37:26; Mt 24:15; Ufu 15:8; 16:17.
PATANA, kupatana na neno la Yosefu
Mk 14:56 ushuhuda haukupatana
Ro 8:9 mnapatana na roho
PATANISHA, Ro 3:25 toleo la kupatanisha
Ro 5:10 tulipatanishwa na Mungu
Efe 2:16 apatanishe vikundi vya watu
Kol 1:20 apatanishe vitu vyote
PATO, Met 11:18 uadilifu, mapato ya kweli
Yer 6:13 anajipatia pato lisilo haki
PATO LISILO LA HAKI, 1Ti 3:8; Tit 1:7, 11; 1Pe 5:2.
PATWA, Yak 5:10 kielelezo cha kupatwa na uovu
Mt 16:21; Lu 24:26; Ebr 2:9; Yak 5:13.
PAULO, Mdo 26:24 una wazimu, Paulo!
Ga 1:1 Paulo, mtume, si
Flm 1 Paulo, mfungwa
Flm 9 Paulo, pia mfungwa
Mdo 13:9; 1Ko 1:12; Tit 1:1; 2Pe 3:15.
PAYUKA-PAYUKA, Mdo 23:22.
PAZIA, Mt 27:51 pazia likapasuka vipande viwili
Ebr 10:20 njia mpya kupitia pazia, mwili wake
PEKA, 2Fa 15:25; 2Nya 28:6; Isa 7:1.
PEKE, Isa 2:11 Yehova peke yake atainuliwa
PEKEE, Eze 7:5 msiba wa pekee
PELEGI, Mwa 10:25; 11:16-19.
PELEKA, Isa 29:13 wameupeleka moyo mbali
PELELEZA, Hes 13:2 wapate kuipeleleza nchi
Kum 13:14 mtatafuta na kupeleleza
Ga 2:4 walioingia ili kupeleleza
PEMBE, Yos 6:5 watakapopiga pembe
Da 7:8 pembe nyingine, ndogo
Ufu 17:12 pembe kumi, ni wafalme
PENDA, Mwa 24:67 Isaka akampenda Rebeka
Law 19:18 mpende mwenzako
Kum 7:8 Yehova aliwapenda ninyi
Kum 23:5 Mungu wako alikupenda
2Nya 29:31 na moyo wa kupenda
Zb 33:5 Anapenda uadilifu na haki
Zb 51:12 unitegemeze, roho ya kupenda
Zb 78:68 Sayuni, ambao aliupenda
Zb 105:22 inavyopenda nafsi
Zb 119:165 wanaoipenda sheria yako
Zb 145:20 anawalinda wanaompenda
Met 8:30 stadi, alimpenda sana
Met 12:1 Anayependa nidhamu
Met 21:1 Yehova huugeuza anapopenda
Yer 5:31 watu wamependa hivyo
Yon 1:14 Yehova, umefanya ulivyopenda!
Mt 10:37 anayempenda baba au mama
Mt 22:37 Lazima umpende Yehova
Yoh 3:16 Mungu alipenda ulimwengu
Yoh 5:20 Baba anampenda Mwana
Yoh 12:25 anayeipenda nafsi aiangamiza
Yoh 15:19 ulimwengu ungependa chake
Yoh 21:17 Petro unanipenda?
Ro 8:37 kupitia aliyetupenda
Ro 9:13 Nilimpenda Yakobo
1Ko 4:19 Yehova akipenda
1Ko 9:17 kwa kupenda, nina thawabu
1Ko 12:18 kila kimoja, alivyopenda
2Ko 9:7 Mungu humpenda mtoaji
Kol 3:19 waume, wapende wake
2Th 1:11 anayopenda yaliyo ya wema
2Ti 3:4 wanaopenda raha badala ya
Ebr 1:9 Uliupenda uadilifu
Yak 1:18 yeye alipenda hilo, alituzaa
Yak 4:15 Yehova akipenda, tutaishi
1Pe 5:2 Lichungeni kwa kupenda
1Yo 2:15 mkiupenda ulimwengu
1Yo 5:3 kumpenda Mungu humaanisha
Ufu 3:19 ninaowapenda mimi huwakaripia
Ufu 12:11 hawakupenda nafsi zao
Mhu 3:8; 5:10; Ho 2:7; 14:4; Mik 3:2; 6:8; Yoh 11:3, 5; 12:43; 13:23, 34; Ro 7:22; 2Th 2:12; 2Ti 4:8; Tit 3:15; 1Yo 4:10.
PENDEKA, Met 5:19 paa mwenye kupendeka
Flp 4:8 mambo ya kupendeka
PENDEKEZA, Ro 5:8 hupendekeza upendo
PENDELEA, Kum 1:17 Msipendelee hukumuni
Yak 2:1 matendo ya kupendelea?
PENDELEO, Flp 1:29 mlipewa pendeleo
2Pe 1:1 imani, pendeleo sawa
PENDEZA, Mwa 49:21 maneno ya kupendeza
2Sa 23:1 kupendeza wa muziki
Zb 16:6 mahali panapopendeza
Zb 19:14 Maneno yakupendeze
Zb 133:1 inavyopendeza ndugu
Met 2:10 ujuzi kupendeza nafsi
Met 21:3 hukumu kunampendeza Yehova
Mhu 3:11 kiwe chenye kupendeza
Mhu 12:10 maneno yanayopendeza
Isa 55:11 litatenda yanayonipendeza
Isa 56:4 matowashi, lile linalonipendeza
Mal 3:4 zawadi itampendeza Yehova
Yoh 8:29 mambo yanayompendeza
Ro 8:8 hawawezi kupendeza Mungu
Ro 15:1 tusiwe tukijipendeza
Ro 15:3 Kristo hakujipendeza
1Ko 12:23 za mwili, zinapendeza zaidi
Ga 1:10 kuwapendeza wanadamu?
Kol 3:20 linapendeza vema Bwana
1Th 2:4 kupendeza, si wanadamu
1Th 4:1 kutembea, kupendeza Mungu
Ebr 11:6 kumpendeza vema
Ebr 11:23 mtoto mwenye kupendeza
Ebr 13:21 linapendeza machoni pake
Mwa 21:11; 28:8; 48:17; 2Sa 1:26; Zb 48:2; 69:31; 147:1; Met 15:26; 22:18; Nah 3:4; 1Ko 10:33; 15:38; 1Th 2:15; 1Yo 3:22.
PENDEZWA, Zb 22:8 Yehova amependezwa
Zb 40:8 nimependezwa kufanya mapenzi yako
Isa 1:11 Dhabihu zenu? sikupendezwa
Yer 9:24 napendezwa na mambo hayo
Eze 33:11 sipendezwi na kifo cha mwovu
Mik 6:7 Je, Yehova atapendezwa
2Ko 12:10 napendezwa na udhaifu
Ebr 10:38 nafsi haipendezwi naye
Hes 14:8; 1Sa 15:22; 1Nya 29:3; Met 8:11; Isa 53:10; Kol 1:27; Ebr 13:16.
PENDWA, Ufu 20:9 kambi na jiji linalopendwa
PENGO, Amu 21:15 Yehova amefanya pengo
PENTEKOSTE, Mdo 2:1 sherehe ya Pentekoste
PENYEKA, Zek 11:2 msitu usiopenyeka
PEORI, Hes 23:28; 25:18; 31:16; Yos 22:17.
PEPERUSHWA, Ebr 2:1 tusipeperushwe kamwe
Yak 1:6 upepo na kupeperushwa
PEPESUKA, Met 24:11; 25:26.
PEPETA, Amo 9:9 nitaipepeta nyumba ya Israeli
PEPO, 1Nya 10:13 kuwasiliana na pepo
PESA, Law 25:37 Hutampa pesa kwa faida
Mhu 7:12 pesa ni ulinzi; lakini hekima
Isa 55:1 mnunue maziwa bila pesa
Mk 6:8 akawaagiza wasichukue pesa
Yoh 2:15 akawafukuza wabadili pesa
1Ti 6:10 kupenda pesa ni chanzo
Ebr 13:5 bila upendo wa pesa
Mwa 44:2; Mt 25:18; Mk 14:11; 1Ti 3:3.
PETRO, Mt 16:16 Petro: Wewe ndiye Kristo
Yoh 21:15 Simoni Petro: je, unanipenda
Mdo 10:26 Petro akamwinua, akisema
Mt 26:75; Yoh 18:10; Mdo 8:20; 10:13.
PESA ZA MAHARI, 1Sa 18:25.
PESA ZA NDOA, Mwa 34:12.
PICHA, Ro 2:20 picha ya ujuzi
PICHA ZA MAWAZO, Da 4:5.
PIGA, 1Sa 16:17 anayejua kukipiga vema
1Fa 22:34 akampiga mfalme wa Israeli
2Fa 13:17 Elisha akasema: Piga!
Zb 141:5 Mwadilifu akinipiga
Yer 50:14 Mpigeni mishale
Eze 9:5 Piteni na kupiga
Da 9:24 kupiga muhuri juu ya maono
Mik 5:1 Watalipiga shavu la mwamuzi
Mal 4:6 nisije kuipiga dunia
Mk 13:9 mtapigwa katika masinagogi
Lu 12:47 atapigwa mapigo mengi
Mdo 21:32 wakaacha kumpiga Paulo
1Ko 9:26 nisiwe nikipiga hewa
Efe 3:14 nampigia Baba magoti
Flp 2:10 jina la Yesu kila goti lipigwe
2Ti 2:14 wasipigane juu ya maneno
Kut 5:14; 17:6; Hes 22:25; Kum 25:2, 3; 1Sa 20:20; 2Fa 9:7; 2Nya 20:29; Zb 64:4, 7; Mt 21:35; 26:31; Mdo 23:3; 2Ko 11:25.
PIGANA, Yos 10:14 Yehova alipigania Israeli
2Nya 20:22 wakaanza kupigana
Zb 109:3 kupigana nami bila sababu
Yoh 18:36 watumishi wangu wangepigana
Mdo 5:39 mnapigana na Mungu
1Ti 6:12 Pigana pigano zuri
2Ti 2:24 mtumwa wa Bwana, asipigane
Yak 4:2 Mnapigana na kufanya vita
Amu 5:20; 2Nya 20:17; 2Ti 2:14; 4:7.
PIGANO, 2Ti 4:7 Nimepigana pigano zuri
Yak 4:1 mapigano yanatoka wapi
Yud 3 mfanye pigano la imani
Kum 20:1; Mhu 9:11; Isa 28:6; 2Ti 2:23; Tit 3:9.
PIGA-PIGA, Zb 38:10 Moyo wangu umepiga-piga
Met 30:33 kupiga-piga maziwa
PIGO, Kut 11:1 pigo moja zaidi juu ya Farao
Yer 50:13 mluzi kwa mapigo yake
Ufu 15:1 malaika na mapigo saba
Ufu 18:4 kupokea mapigo yake
Ufu 22:18 Mungu atamwongeza mapigo
Kut 12:13; Yer 19:8; Ufu 9:20; 11:6; 21:9.
PILATO, Mt 27:2 mkononi mwa Pilato
Mt 27:22 Pilato akawaambia: Basi
Mk 15:15 Pilato, akafungua Baraba
Lu 23:12 Herode na Pilato
Yoh 19:6 Pilato: sioni kosa kwake
Lu 13:1; Yoh 18:37; 19:12, 22; 1Ti 6:13.
PIMA, 1Sa 2:3 hupima matendo kwa haki
2Sa 8:2 apime kamba mbili awaue
2Fa 21:13 kamba ya kupimia Samaria
Ayu 31:6 Atanipima katika mizani
Zb 7:9 Mungu anapima moyo
Zb 19:4 Kamba ya kupimia duniani
Met 21:2 Yehova huipima mioyo
Met 24:12 anayeipima mioyo
Isa 40:12 nani amepima milima
PIMIKA, Efe 3:8 utajiri usiopimika
PIMWA, Ayu 6:2 usumbufu ungepimwa
Da 5:27 umepimwa, umepungukiwa
PINDIKA, Lu 3:5 palipopindika pawe njia nyoofu
PINDO ZA NGUO, Isa 6:1; Yer 2:34; Zek 8:23.
PINDUA, 2Fa 21:13 akilifuta na kulipindua
Zb 49:5 kosa la wanaonipindua
Lu 23:2 Tulimkuta akipindua taifa letu
2Ko 10:4 kupindua ngome
2Ti 2:18 wanaipindua imani ya wengine
PINDULIWA, Met 12:7 Waovu wamepinduliwa
PINGA, Yer 49:19 ni nani atakayenipinga
Mdo 7:51 mnaipinga roho takatifu
Mdo 17:7 wanapingana na maagizo
Efe 6:13 mavazi, mweze kupinga
2Ti 3:8 Yane, Yambre walipinga Musa
Tit 1:9 kuwakaripia wale wanaolipinga
Tit 2:8 mtu anayepinga aone
Ebr 10:27 wivu, kuwateketeza wanaopinga
Ebr 12:3 amevumilia maneno yenye kupinga
Yak 4:6 huwapinga wenye majivuno
Yak 4:7 mpingeni Ibilisi
Yak 5:6 Je, hawapingi ninyi?
1Fa 11:14; Zb 109:4, 20, 29; Yer 50:44; Zek 3:1; Mt 5:39; Ga 2:11; Kol 2:14; 2Th 2:4; 1Ti 1:10; 2Ti 4:15; Ebr 12:4.
PINGANA, 1Ti 6:20 yanayopingana ya uwongo
PINGU, Zb 2:3 Na tuzikate pingu zao
Isa 58:6 Kufungua pingu za uovu
Da 4:15 pingu ya chuma na ya shaba
Zb 116:16; Isa 58:6; Yer 30:8; 40:1, 4; Nah 1:13.
PIPA, Isa 63:3 pipa la divai
PITA, Yer 8:20 Mavuno yamepita
2Ko 4:7 nguvu zinazopita za kawaida
Ga 1:9 jambo fulani kupita mlilopokea
1Pe 4:3 wakati uliopita uliwatosha
PITISHWA, Mdo 7:53 ilivyopitishwa na malaika
Ga 3:19 ilipitishwa kupitia malaika
PITO, Zb 23:3 mapito ya uadilifu
Isa 2:3 tutatembea katika mapito
Yoe 2:7 hawabadili mapito yao
Ebr 12:13 miguu mapito yaliyonyooka
Zb 25:10; Met 3:6; Isa 3:12; 26:7; Mik 4:2.
POA, Mt 24:12 upendo wa walio wengi utapoa
PODA YA MARASHI, Wim 3:6.
POFUSHA, Kum 16:19 rushwa hupofusha macho
2Ko 4:4 mungu wa mfumo huu amezipofusha
POKEA, Mt 10:8 Mlipokea bure, toeni
Mk 9:37 anayempokea mmoja wa
Ro 8:15 hamkupokea roho ya utumwa
2Ko 6:1 msipokee fadhili zisizostahiliwa
Flp 4:9 mliyojifunza na mkayapokea
1Ti 5:10 ikiwa alipokea wageni
Yak 4:3 Mnaomba, hampokei
Mk 10:15; Efe 6:17; 1Th 2:13; Ebr 10:26; Yak 1:12, 21; 1Yo 2:27.
POKEO, Kol 2:8 kulingana na pokeo
POLISI, Mdo 16:35 wakawatuma polisi
POMBE, Ho 4:18 Pombe yao ya ngano
PONA, 2Fa 1:2 ikiwa nitapona ugonjwa
Isa 58:8 kupona kungetokea
Mik 1:9 jeraha haliwezi kupona
Mt 8:13 akapona saa ileile
Ufu 13:3 pigo lake likapona
Yos 8:22; Ayu 34:6; Yer 8:22; 15:18; 30:15; Ebr 2:3; Ufu 13:12.
PONDA, Mwa 3:15 atakuponda kichwa
Kut 30:36 utaponda iwe unga laini
2Sa 22:43 Nitawaponda kama matope
2Nya 15:16 sanamu, akaiponda na
Isa 53:5 alipondwa kwa ajili ya makosa yetu
Isa 53:10 Yehova alipendezwa kumponda
Isa 57:15 aliyepondwa na mwenye roho ya
Isa 58:6 kuwaachilia huru waliopondwa
Eze 9:2 akiwa na silaha ya kuponda
Mik 4:13 utaponda watu wengi
Ro 16:20 Mungu atamponda Shetani chini ya
Kum 9:21; Zb 72:4; 89:23; Isa 42:3; Lu 4:18.
PONGEZA, Amu 11:40 kumpongeza binti
1Nya 18:10 kwa Daudi ili kumpongeza
Mhu 4:2 nikawapongeza wafu
Mhu 8:15 nikapongeza kushangilia
PONYA, Kut 15:26 Yehova anayekuponya
Kum 32:39 Nimejeruhi, nitaponya
Met 12:18 ulimi wa hekima huponya
Met 13:17 mjumbe mwaminifu huponya
Isa 17:11 maumivu yasiyoponywa
Isa 30:26 kuliponya jeraha kali
Isa 53:5 majeraha yake, tumeponywa
Yer 6:14 kuponya kuvunjika kwa
Yer 33:6 nitawaponya, kuwafunulia kweli
Yer 51:9 Tungemponya Babiloni
Mt 9:35 kuponya magonjwa
Mt 13:15 kugeuka, niwaponye
Lu 4:23 Tabibu, jiponye mwenyewe
Lu 13:14 kuponya si siku ya sabato
Mdo 5:16 wote wakaponywa
Ebr 12:13 kilemavu kiponywe
1Pe 2:24 kwa mapigo yake mliponywa
Ufu 22:2 majani yalikuwa ya kuponya mataifa
2Nya 7:14; Zb 6:2; 107:20; 147:3; Mhu 3:3; Isa 6:10; 19:22; Yer 3:22; 17:14; 30:13, 17; 33:6; Eze 34:4; 47:9; Mt 8:7; 12:15; 19:2; 21:14; Mk 3:2; Lu 6:7; 9:11; 10:9; 13:14; Mdo 10:38.
PONYEKA, Nah 3:19 Pigo lako haliponyeki
PONYOKA, Isa 45:20 kuponyoka mataifani
Yer 25:35 njia ya kuponyoka
Yoe 2:32 wale walioponyoka, waokokaji
Lu 21:36 mfanikiwe kuponyoka
1Th 5:3 hawataponyoka hata kidogo
2Pe 1:4 mmeponyoka uharibifu
2Pe 2:20 kuponyoka mambo ya unajisi
Met 11:21; 19:5; Isa 10:20; Yer 42:17; 44:14; Eze 24:27; Ro 2:3; Ebr 11:34.
POOZA, Mt 4:24; 9:2; Mk 3:3; Lu 5:24.
PORA, Zb 17:9 waovu wamenipora
Mwa 34:27; Kum 20:14; 2Nya 20:25; Zb 76:5; Isa 22:4; 51:19; 59:7, 15; 60:18; Yer 6:7; 20:8; 25:36; 48:3; 51:55; Eze 45:9; Ho 7:13; Amo 3:10; Hab 1:3; 2:8; 1Ti 6:5.
PORINI, Law 14:53 ndege, aende porini
Wim 2:7 paa wa porini
Isa 55:12 miti porini itapiga makofi
Yer 18:14 theluji, katika mwamba porini
POROJO, 1Ti 5:13 wenye kupiga porojo
3Yo 10 porojo kwa maneno maovu
POROMOKO, Isa 7:19 maporomoko na juu
PORWA, Eze 34:28 kitu cha kuporwa
Da 11:33 kutekwa na kuporwa
POSHO, 2Fa 25:30; Yer 40:5; Da 1:5.
POTEA, Zb 119:176 kama kondoo aliyepotea
Zb 146:4 mawazo yake hupotea
Isa 28:7 kwa sababu ya divai wamepotea
Mt 18:12 kondoo mmoja apotee
Lu 15:24 mwana alipotea, amepatikana
Lu 19:10 alikuja kuokoa kilichopotea
Ebr 3:10 hupotea sikuzote katika mioyo yao
1Pe 2:25 mlikuwa kama kondoo, wanaopotea
POTEZA, Met 28:10 Anayewapoteza wanyoofu
Isa 47:9 kupoteza watoto na ujane
Lu 9:24 anayeipoteza nafsi
POTOA, Isa 24:1 Yehova amepotoa uso
Mdo 13:10 acha kupotoa njia sawa
POTOKA, Kum 32:5 Kizazi kilichopotoka
Zb 95:10 watu waliopotoka moyoni
Met 4:24 maneno yaliyopotoka
Met 10:9 anayepotoa njia zake
Met 11:20 Waliopotoka moyoni ni chukizo
Met 12:8 aliyepotoka moyoni
Met 19:1 mwenye midomo iliyopotoka
Mik 3:9 mnaopotoa kila kitu ambacho
Mt 17:17 kizazi kilichopotoka
Mdo 20:30 kusema yaliyopotoka
Ro 3:12 Watu wote wamepotoka
Flp 2:15 kizazi kilicho kombo na kilichopotoka
POTOSHA, Kum 16:19 Usipotoshe hukumu
Ayu 33:27 nimepotosha lililo nyoofu
Met 17:23 rushwa, kupotosha hukumu
Mt 24:4 Jihadharini mtu asiwapotoshe
Mt 24:24 manabii watatokea ili kupotosha
Ga 1:7 kupotosha habari njema
2Pe 3:16 wanayapotosha Maandiko
1Yo 1:8 tunajipotosha wenyewe
1Yo 3:7 Watoto, yeyote asiwapotoshe
Ufu 12:9 Shetani, anaipotosha dunia
Ufu 20:3 asipotoshe mataifa tena
Kut 23:2, 6; 1Sa 8:3; Ayu 34:12; Met 31:5; Ufu 19:20.
POTOSHWA, Lu 21:8 Jihadharini msipotoshwe
1Ko 15:33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya
Ga 6:7 Msipotoshwe: Mungu si
Ufu 18:23 mataifa yote yalipotoshwa
POTOVU, Met 2:12; 23:33 mambo mapotovu
Met 8:13 kinywa kipotovu nakichukia
PUA, Mwa 2:7 pua yake pumzi ya uhai
Met 11:22 dhahabu katika pua ya nguruwe
Eze 8:17 chipukizi, pua yangu?
PULIZA, Yoh 20:22 akapuliza juu yao na
PUMBAZA, Yer 20:7 Umenipumbaza, Ee Yehova
PUMUA, Zb 150:6 kinachopumua kimsifu Yah
PUMZI, Mwa 2:7 katika pua yake pumzi ya uhai
Zb 78:33 siku zao kama pumzi tu
Zb 94:11 fikira za wanadamu, ni pumzi
Mwa 7:22; Zb 39:5; 144:4; Isa 42:5; 57:13; Mdo 17:25; Ufu 18:2.
PUMZIKA, Kut 23:11 mwaka wa saba lipumzike
Kut 23:12 ng’ombe kupumzika sabato
Ayu 3:17 walioishiwa nguvu wanapumzika
Isa 14:7 Dunia nzima imepumzika
PUMZIKO, Ebr 4:3 tunaingia katika pumziko
Kut 31:15; Ebr 3:11; Ufu 14:11.
PUNDA, Hes 22:28 punda akamwambia Balaamu
Hes 31:28 nafsi moja kati ya punda
Zek 9:9 mfalme wako amepanda punda
Hes 22:23; Amu 15:15; Mt 21:5.
PUNDA-MILIA, Mwa 16:12; Ayu 6:5; 24:5; 39:5; Zb 104:11; Isa 32:14; Yer 2:24; 14:6; Ho 8:9.
PUNDA-MWITU, Ayu 11:12.
PUNGA, Mdo 12:17; 19:33; 21:40.
PUNGUA, Mwa 8:8 maji yalikuwa yamepungua
Mwa 8:13 maji, yamepungua duniani
Zb 71:9 nguvu zangu zinapungua
Mk 4:39 upepo ukapunguka
Lu 12:33 hazina isiyopungua
Ro 11:12 kupungua kwao ni utajiri
1Ko 7:29 wakati uliobaki umepungua
PUNGUKIWA, Da 5:27 kuwa umepungukiwa
Ro 3:23 kupungukiwa na utukufu
PUNGUZA, Kut 5:8 Msiwapunguzie hata
Ezr 9:13 umepunguza makosa
PUNGUZWA, Law 27:18 kiasi kitapunguzwa
PUNJA, Kum 24:14 usimpunje mfanyakazi
Zb 119:121 wale wanaonipunja!
Zb 119:134 Unikomboe na anayepunja
Zb 146:7 hukumu kwa ajili ya waliopunjwa
Met 22:16 Anayempunja maskini
Amo 4:1 mnaopunja watu wa hali ya chini
Mal 3:5 wanaoupunja mshahara
Mk 10:19 Usipunje, Mheshimu baba na
1Ko 6:7 Kwa nini msiache mpunjwe
Law 19:13; Zb 62:10; 103:6; 119:122; Met 14:31; Yer 22:17; Eze 22:29; Mik 2:2; Zek 7:10.
PUPA, 1Ko 5:11 mwenye pupa
Efe 5:3 pupa isitajwe
1Ti 3:8 si wenye pupa ya pato
PURA, Mik 4:13 Simama upure
Hab 3:12 ukayapura mataifa
PURIA, Isa 41:15 chombo cha kupuria
PUUZA, Met 1:30 walipuuza makaripio yangu
Yer 23:39 nitawapuuza ninyi
Mt 23:23 mmepuuza mambo mazito
Lu 10:16 anayepuuza ninyi, ananipuuza
1Th 4:8 anayepuuza, anampuuza Mungu
1Ti 4:14 usiipuuze zawadi iliyo
Ebr 2:3 tumepuuza wokovu mkuu
Ebr 10:28 anayepuuza sheria ya Musa hufa
Isa 59:8; Yer 5:4; 9:3; 10:25; Mk 6:26; Lu 7:30; Yoh 12:48; 1Ti 5:12.
PWANI, Wim 2:1 zafarani ya pwani
Mt 13:2 umati ulikuwa umesimama pwani
R
RABA, Kum 3:11 Raba, wana wa Amoni?
RABI, Mt 23:8 msiitwe Rabi
RABSHAKE, 2Fa 18:17; Isa 36:2, 12; 37:4.
RADHI, Kut 4:10; Lu 14:18, 19.
RAFIKI, Zb 38:11 rafiki wamesimama mbali
Met 14:20 tajiri ana rafiki wengi
Met 17:17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati
Met 18:24 rafiki, aliye karibu kuliko ndugu
Mik 7:5 Msimtegemee rafiki
Lu 16:9 Jifanyieni rafiki kupitia mali
Yoh 15:13 nafsi kwa ajili ya rafiki zake
Yak 2:23 Abrahamu, rafiki ya Yehova
Yak 4:4 rafiki ya ulimwengu, adui
2Fa 10:11; Zb 31:11; 55:13; 88:8, 18; Met 2:17; 28:24; Yer 3:4; Mt 11:19; Yoh 15:14; 19:12.
RAFIKI MSIRI, Mik 7:5 Msimtegemee rafiki msiri
RAHA, Ayu 3:22 wanaoshangilia kwa raha
Hab 3:14 Upeo wao wa raha
Lu 8:14 utajiri na raha za maisha
2Ti 3:4 wanaopenda raha
RAHABU, Ebr 11:31 imani, Rahabu hakuangamia
Yak 2:25 Rahabu, mwadilifu
RAHELI, Mwa 29:28 akampa Raheli kuwa mke
Mt 2:18 Raheli akililia watoto
Mwa 29:18; 30:22; Ru 4:11; Yer 31:15.
RAIA, Zb 72:8 atakuwa na raia kutoka bahari
Mdo 22:28 haki za kuwa raia
Efe 2:19 raia wenzi wa watakatifu
RAMA, Yer 31:15 Rama sauti inasikiwa
Yos 18:25; Amu 4:5; 1Sa 16:13; Mt 2:18.
RAMANI, Yos 18:4 vipimo vya ramani
RAMANI YA UJENZI, 1Nya 28:11, 19.
RAMBA, Amu 7:5 mtu atakayelamba maji
RAMOTHI-GILEADI, 1Fa 4:13; 22:3; 2Fa 8:28.
RANGI, Isa 29:22 uso hautabadilika rangi
Zek 6:3 rangi mchanganyiko
RANGI YA USO, Da 5:9, 10; 7:28.
RARUA, Da 7:7 mnyama wa nne, akirarua
Yoe 2:13 Irarueni mioyo yenu
2Sa 3:31; 1Fa 11:11-13; Eze 34:28.
RARUKA, Lu 5:36 kiraka kipya huraruka
RASHARASHA, Kum 32:2.
RATIBA, Law 23:37 ratiba ya kila siku
REBEKA, Mwa 24:51; 27:15; 49:31.
REFUSHA, Isa 54:2 Refusha kamba za hema
REHANI, 2Ko 1:22 ametupa rehani
2Ko 5:5 aliyetupa rehani
Efe 1:14 rehani ya kimbele ya urithi
REHEMA, Kum 4:31 Yehova ni mwenye rehema
1Nya 21:13 rehema zake ni nyingi
Ne 9:17 Mungu, neema na rehema
Met 28:13 anayeungama ataonyeshwa rehema
Isa 60:10 nimekuonyesha rehema
Mt 5:7 furaha ni wenye rehema
Mt 9:13 nataka rehema, si dhabihu
Lu 6:36 iweni wenye rehema
Lu 18:13 unirehemu, mimi mtenda-dhambi
Ro 9:15 Nitamwonyesha rehema yeyote
2Ko 1:3 Baba ya rehema nyororo
1Ti 1:13 nilionyeshwa rehema
Ebr 2:17 kuhani mkuu mwenye rehema
Yak 2:13 Rehema hufurahi
Yak 3:17 rehema na matunda mema
Yak 5:11 Yehova ni mwenye rehema
1Pe 2:10 wameonyeshwa rehema
Kut 33:19; 2Sa 24:14; 2Nya 30:9; Ne 9:19, 27; Zb 78:38; 86:15; Isa 54:7; Hab 3:2; Zek 1:16; Ebr 8:12.
REHOBOAMU, 1Fa 12:1; 14:21, 29.
REKABU, 2Fa 10:15; 1Nya 2:55; Yer 35:6.
REKEBISHA, Kum 8:5 Yehova, akikurekebisha
2Nya 24:4 kurekebisha nyumba ya Yehova
Zb 2:10 Kubalini kurekebishwa
Zb 94:10 anayeyarekebisha mataifa
Zb 118:18 Yah alinirekebisha vikali
Met 9:7 Anayemrekebisha mwenye dhihaka
Met 29:19 kurekebishwa kwa maneno tu
1Ko 11:34 yaliyobaki nitayarekebisha
Ebr 12:5 wala usizimie anapokurekebisha
REKEBISHO. Ona NIDHAMU.
REMBESHA, Ezr 7:27 kuirembesha nyumba
Zb 149:4 Anawarembesha wapole kwa
Isa 55:5 Mtakatifu, amekurembesha.
Isa 60:13 kuparembesha patakatifu pangu
Isa 61:3 upandaji wa Yehova, ili arembeshwe
REUELI, Hes 10:29 Hobabu mwana wa Reueli
RIDHIKA, Mik 2:7 Roho imekosa kuridhika
1Ti 6:8 tutaridhika na vitu hivyo
RITHI, Mt 19:29 atarithi uzima wa milele
Mt 25:34 urithini ufalme uliotayarishwa
1Ko 15:50 damu haiwezi kurithi ufalme
Ebr 6:12 subira huzirithi ahadi
RIZIKI, Lu 21:4 alitumbukiza riziki yote
1Yo 3:17 aliye na riziki ya ulimwengu huu
Ufu 18:17 ambao hupata riziki baharini
ROHO, 2Sa 23:2 Roho ya Yehova
2Fa 2:9 sehemu mbili za roho yako
1Nya 28:12 ramani, kuongozwa na roho
Ayu 12:10 mkononi mwake mna roho?
Ayu 27:3 roho ya Mungu imo ndani ya
Ayu 33:4 Roho ya Mungu ilinifanya
Zb 51:17 roho iliyovunjika
Zb 104:29 Ukiiondoa roho yao
Zb 146:4 Roho yake hutoka
Met 16:10 Uamuzi ulioongozwa na roho
Mhu 3:19 wote wana roho moja
Mhu 3:21 roho ya binadamu
Mhu 12:7 roho humrudia Mungu
Isa 8:19 wenye roho ya kubashiri
Isa 19:14 roho ya mvurugo
Isa 42:1 Nimetia roho yangu
Isa 61:1 Roho ya Yehova iko juu yangu
Ho 9:7 mtu wa neno la roho
Zek 4:6 Si kwa jeshi, bali kwa roho
Mt 3:16 roho ya Mungu ikishuka
Mt 22:43 Daudi akiongozwa na roho
Mt 26:41 roho inataka, lakini mwili
Lu 24:39 roho haina nyama na mifupa
Yoh 4:24 Mungu ni Roho
Mdo 2:17 Nitaimimina roho yangu
Mdo 7:51 mnaipinga roho takatifu
Ro 8:6 kukaza akili juu ya roho
Ro 8:9 ikiwa roho ya Mungu inakaa
Ro 8:11 roho ya aliyemfufua Yesu
Ro 8:16 Roho hutoa ushahidi
Ro 11:8 amewapa roho ya usingizi
1Ko 2:10 roho huchunguza ndani ya
1Ko 2:11 isipokuwa roho ya Mungu
1Ko 3:16 roho ya Mungu ndani yenu
1Ko 15:44 hufufuliwa ukiwa mwili wa roho
2Ko 3:6 roho hufanya kuwa hai
2Ko 3:17 palipo na roho ya Yehova
Efe 2:22 kukaa kwa njia ya roho
Efe 4:30 msiwe mkiihuzunisha roho
Efe 6:12 majeshi ya roho waovu
Efe 6:17 upanga wa roho
1Ti 4:1 roho inasema nyakati
2Ti 1:7 hakutupa roho ya woga
2Ti 3:16 Andiko limeongozwa na roho
Yak 4:5 Roho hutamani kuwa na
1Pe 3:19 kuwahubiria roho gerezani
1Yo 4:1 msiamini kila roho
Ufu 1:10 siku ya Bwana, kwa roho
Ufu 16:13 mambo machafu ya roho
Ufu 22:17 roho na bibi-arusi
Ayu 32:8; Met 16:18; Yoe 2:28; Yoh 16:13; 1Ko 12:10; 15:45; Ga 5:22; 1Pe 3:18.
ROHO MWOVU, 1Ko 10:21 meza ya roho waovu
1Ti 4:1 mafundisho ya roho waovu
Yak 2:19 roho waovu wanatetemeka
Yak 3:15 hekima, ya roho waovu
Ufu 16:14 yanayoongozwa na roho waovu
Ufu 18:2 makao ya roho waovu
Kum 32:17; Zb 106:37; Mt 12:24; 15:22; Mk 1:32; Lu 8:36; Yoh 10:21; 1Ko 10:20.
ROHO TAKATIFU, Zb 51:11 wala roho takatifu
Mt 1:18 mimba kwa roho takatifu
Mt 12:32 kusema vibaya, roho takatifu
Lu 3:22 roho takatifu, kama njiwa
Yoh 14:26 msaidizi, roho takatifu
Mdo 2:4 wakajazwa roho takatifu
Mdo 11:16 mtabatizwa kwa roho takatifu
1Ko 6:19 mwili, hekalu la roho takatifu
Efe 4:30 msiihuzunishe roho takatifu
Ebr 6:4 washiriki wa roho takatifu
2Pe 1:21 waliongozwa na roho takatifu
Isa 63:10; Mt 3:11; Mk 13:11; Mdo 20:28.
ROHO YA KUWASILIANA NA PEPO, Law 20:27.
ROHO YA NGUVU, Yos 5:1.
RUBENI, Mwa 29:32; 49:3; Amu 5:15; Ufu 7:5.
RUDI, Mwa 3:19 utakaporudi udongoni
1Fa 8:48 warudi kwa moyo wote
Ayu 33:25 arudi siku za ujana
Mhu 3:20 wanarudi mavumbini
Isa 55:11 neno halitarudi bila tokeo
Mal 3:7 Rudini kwangu, nitarudi
Mk 13:16 aliye shambani asirudi
Ga 4:9 mnarudi kwenye mambo
Hes 10:36; Isa 10:21; Eze 35:7; Mik 2:8; Lu 19:12; Mdo 15:16.
RUDIA, Met 26:11 mbwa anarudia matapiko
Mhu 12:7 roho humrudia Mungu
RUDISHA, Isa 14:27 mkono, kuurudisha nyuma?
Da 9:25 kurudisha, kujenga Yerusalemu
Mt 17:11 Eliya, atarudisha mambo
Mdo 1:6 je, unarudishia ufalme
Ro 11:35 nani amempa arudishiwe?
Ebr 6:6 kuwarudisha kwenye toba
Yak 5:20 anayemrudisha mtenda-dhambi
Ayu 33:26; Zb 51:12; Yer 27:22.
RUDISHWA, Da 4:36 nikarudishwa juu ya
Mdo 3:21 nyakati za kurudishwa
RUHUSA, Mt 19:8 Musa, aliwapa ruhusa ya
RUHUSU, Ebr 6:3 ikiwa Mungu ataruhusu
RUKA, Lu 6:23 Shangilieni na kuruka
Ufu 12:14 aruke kwenda nyikani
RUNGU, Yer 51:20 rungu, kama silaha za vita
RUSHA, Hab 3:6 akayarusha mataifa
RUSHWA, Kum 10:17 wala kukubali rushwa
Zb 26:10 mkono wao umejaa rushwa
Mik 3:11 hutoa hukumu ili wale rushwa
Kut 23:8; Met 17:23; Isa 1:23; 5:23; 33:15.
RUTHU, Ru 1:4; 2:8; 3:9; 4:13; Mt 1:5.
S
SAA, Mt 24:36 siku na saa hakuna anayejua
Lu 22:53 hii ni saa yenu na mamlaka
Yoh 17:1 saa imefika; mtukuze
1Yo 2:18 Watoto, ni saa ya mwisho
Ufu 3:10 ile saa ya jaribu
Ufu 17:12 wakiwa wafalme saa moja
Mt 24:44, 50; 26:45; Ufu 14:7, 15; 18:10.
SABA, Mwa 7:4 baada ya siku 7
Mwa 41:27 ng’ombe saba waliokonda
1Fa 6:38 alitumia miaka saba kuijenga
Met 26:16 mwenye hekima kuliko saba
Eze 39:9 kuwasha mioto kwa miaka saba
Mik 5:5 tutasimamisha wachungaji saba
Zek 3:9 Juu ya jiwe kuna macho saba
Ufu 1:4 roho saba
Ufu 1:20 nyota saba na vinara saba
Ufu 13:1 mwenye vichwa saba
Ufu 15:6 malaika saba wenye mapigo
Ufu 17:10 wafalme saba: watano
Isa 11:15; Zek 4:10; Mdo 6:3; Ufu 17:1.
SABABU, Kut 9:16 kwa sababu hii nimekuacha
Zb 69:4 wanaonichukia bila sababu wamekuwa
Isa 45:18 hakuumba dunia bila sababu
Mt 24:9 mtachukiwa kwa sababu ya jina langu
Mt 24:22 kwa sababu ya waliochaguliwa
1Ti 5:14 mpinzani sababu ya kutukana
2Ti 1:12 Kwa sababu hii ninavumilia
1Pe 3:15 sababu ya tumaini
Ayu 2:3; Zb 109:3; 119:161; Mhu 7:25; Mdo 18:14.
SABABU YA LAZIMA, Ro 13:5.
SABATO, Kut 20:8 kuikumbuka siku ya sabato
Kut 31:13 Hasa sabato zangu, mtazishika
Law 25:8 utajihesabia sabato saba
Law 26:34 nchi italipa sabato zake
Isa 56:4 matowashi wanaozishika sabato
Eze 20:12 sabato, ziwe ishara
Mt 12:8 Bwana wa sabato
Mt 24:20 kukimbia kusiwe siku ya sabato
Mk 2:27 Sabato ilikuja kwa ajili ya
Kol 2:16 asiwahukumu kuhusu sabato
Ebr 4:9 limebaki pumziko la sabato
Law 25:2, 4; Eze 22:8; Ho 2:11; Lu 14:5.
SABINI, Kut 24:1 wanaume wazee 70 wa Israeli
Hes 11:25 roho juu ya wazee 70
Isa 23:15 Tiro lisahauliwe miaka 70
Eze 8:11 wanaume 70 wazee wa Israeli
Da 9:2 ukiwa wa Yerusalemu miaka 70
Da 9:24 majuma 70 yameamuliwa
Lu 10:1 akachagua 70 wengine
Kut 1:5; Amu 9:56; 2Fa 10:1; Yer 25:11, 12; 29:10; Zek 7:5.
SABUNI, Ayu 9:30 mikono yangu katika sabuni
SADIKI, Lu 1:1 mambo tunayosadiki
Mdo 26:26 nasadiki mfalme anajua
Ro 8:38 nimesadiki kwamba kifo
Ebr 6:9 tunasadiki mambo bora
SADIKISHO, Mdo 18:13 sadikisho lingine
SADIKISHWA, Lu 16:31 wala hawatasadikishwa
Ro 14:14 nasadikishwa katika Bwana
SADOKI, 2Sa 15:24; 1Nya 29:22; Eze 48:11.
SAFARI, Mwa 33:14 safari kwa wakati wangu
SAFARI YA KIJESHI, Hes 31:14.
SAFARI YA SIKU, Hes 11:31; Mdo 1:12.
SAFARI YA SIKU YA SABATO, Mdo 1:12.
SAFI, Ayu 14:4 kutoka katika mtu asiye safi?
Zb 12:6 Maneno ya Yehova ni safi
Zb 24:4 mikono isiyo na hatia, safi moyoni
Met 16:2 Njia ni safi machoni pake
Isa 6:5 mtu asiye na midomo safi
Isa 35:8 Asiye safi hatapita juu
Isa 52:1 asiyetahiriwa, asiye safi
Isa 64:6 kama mtu asiye safi
Sef 3:9 kuwapa lugha safi
Mt 5:8 walio safi moyoni
Yoh 15:3 ninyi ni safi kwa sababu ya neno
Mdo 20:26 mimi ni safi kutokana na damu
1Ko 7:14 watoto hawangekuwa safi
Tit 1:15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi
Mwa 7:2; Law 10:10; 11:8; Ayu 17:9; Zb 19:9; Met 30:5; Eze 22:26; Mdo 10:14; Ro 14:20; 1Ti 1:5; 2Ti 2:22; Yak 1:27.
SAFI KIADILI, Mik 6:11 safi kiadili, mizani ya
2Ko 11:2 mkiwa bikira safi kiadili
2Ko 11:3 usafi wa kiadili unaomfaa Kristo
1Ti 4:12 kielelezo katika usafi wa kiadili
Yak 3:17 hekima inayotoka juu ni safi kiadili
SAFINA, Mwa 6:14 Jifanyie safina
SAFIRA, Mdo 5:1 Safira mke wake
SAFIRI, Mt 23:15 Mafarisayo mnasafiri
Ufu 18:17 ambaye husafiri baharini
SAFIRISHA, 1Fa 10:28 walisafirisha farasi
2Nya 1:17 kusafirisha gari kutoka Misri
SAFISHA, Eze 36:33 Siku nitakayowasafisha
Eze 39:12 kuisafisha nchi, kwa miezi saba
Da 11:35 kufanya kazi ya kusafisha
Zek 13:9 nitawasafisha kama fedha
2Ko 7:1 tujisafishe wenyewe kila unajisi
Efe 5:26 akilisafisha na kuliosha kwa maji
1Yo 1:7 damu ya Yesu hutusafisha
1Yo 1:9 kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu
Zb 17:3; 66:10; Isa 48:10; Mt 23:25; Ebr 9:14; 10:2; Yak 4:8.
SAFISHIA, Met 17:3 Chungu cha kusafishia
Eze 20:38 nitasafishia mbali wanaoasi
Tit 2:14 kujisafishia mwenyewe watu wake
SAFISHWA, Zb 12:6 iliyosafishwa mara saba
Da 12:10 weupe na kusafishwa
Ebr 9:22 vitu vyote husafishwa kwa damu
SAGA, Zb 37:12 anamsagia meno yake
Mhu 12:3 wanawake wanaosaga
Mt 8:12 watalia na kusaga meno
Lu 13:28 mtalia na kusaga meno
Mt 13:42; 22:13; 24:51; 25:30.
SAHAU, Kum 4:23 Jiangalieni msije mkasahau
Ayu 19:14 ninaowajua wamenisahau
Zb 9:17 mataifa yanayosahau Mungu
Isa 49:15 mimi sitakusahau wewe
Isa 65:16 taabu za zamani zitasahauliwa
Yer 23:27 walisahau jina langu
Ho 4:6 unaisahau sheria ya Mungu
Ho 8:14 Israeli akamsahau Mungu
Flp 3:13 Nasahau ya nyuma
Ebr 6:10 Mungu hawezi sahau kazi yenu
2Pe 1:9 amesahau kutakaswa kwake
Kum 6:12; Zb 9:18; 10:11; 45:10; 78:7; Yer 30:14; 50:5; Ebr 13:16.
SAHIHI 1., Ayu 31:35 na sahihi yangu
Da 6:8 kutia sahihi maandishi hayo
SAHIHI 2., Law 19:36 kipimo sahihi cha efa
Mhu 12:10 maneno sahihi ya kweli
Ro 1:28 Mungu katika ujuzi sahihi
Ro 10:2 bidii, lakini si na ujuzi sahihi
SAIDIA, Da 11:45 hatakuwa na wa kumsaidia
Flp 4:3 endelea kuwasaidia wanawake
Ebr 2:16 hawasaidii malaika, bali uzao
Ebr 2:18 anaweza kuwasaidia wanaojaribiwa
Yos 10:6; Amu 5:23; Zb 22:19; Mdo 16:9.
SAKAFU YA JIWE, Yoh 19:13.
SAKAFU YA MAWE, 2Nya 7:3; Est 1:6.
SAKITU, Kut 16:14 mana, kama sakitu
Ayu 38:29 sakitu ya mbinguni
Zb 147:16 Anatawanya sakitu
SALA, 1Fa 8:28 kuielekea sala ya mtumishi
1Fa 8:49 usikie sala yao
Met 15:8 sala ya wanyoofu ni furaha
Met 15:29 huisikia sala ya waadilifu
Mt 21:13 itaitwa nyumba ya sala
Mk 12:40 sala ndefu kwa kisingizio
Mdo 10:4 Sala zako zimepanda
Ro 12:12 Dumuni katika sala
Flp 4:6 kwa sala na shukrani
Kol 4:2 kudumu katika sala
1Pe 4:7 kesheni kuhusiana na sala
Zb 102:17; Met 28:9; Isa 1:15; 56:7; Efe 6:18; 1Ti 2:1; 1Pe 3:7; Ufu 8:4.
SALAMA. Ona USALAMA.
SALAMU, 1Ko 16:21 Hii ni salamu yangu
2Yo 10 msimpokee wala kumsalimu
SALEMU, Ebr 7:2 Salemu, Mfalme wa Amani
SALI, 1Fa 8:48 wasali kuelekea nyumba
2Nya 6:32 mgeni asali kuelekea nyumba
2Nya 7:14 wajinyenyekeze na kusali
Yer 7:16 usisali kwa ajili ya watu
Mt 5:44 kusali, wanaowatesa
Mt 6:9 msali hivi: Baba yetu
Mt 24:20 kusali, kukimbia kwenu
Mt 26:41 kusali, msiingie jaribuni
Mk 11:24 yote mnayosali mmepokea
1Th 5:17 Salini bila kuacha
Yak 5:16 sali, mtu na mwenzake
Mt 6:5; Mdo 10:9; Ro 8:26; 1Ko 14:15.
SALITI, Mt 26:21 Mmoja wenu atanisaliti
Mt 27:3 Yuda, aliyemsaliti, alipoona
Lu 22:22 Mwana wa binadamu atasalitiwa!
Isa 16:3; Mt 26:48; Yoh 6:64; 13:2.
SAMAKI, Eze 47:9 kutakuwa samaki wengi
Yon 1:17 akaweka samaki mkubwa
Mt 12:40 katika tumbo la samaki
Mt 14:19 mikate, samaki wawili
Lu 5:6 wakakusanya samaki wengi
Zb 105:29; Mhu 9:12; Eze 29:4, 5; Yon 2:10.
SAMARIA, 1Fa 16:24 mlima wa Samaria
Ho 8:6 ndama wa Samaria atavunjika
Amo 8:14 wanaoapa kwa hatia ya Samaria
2Fa 6:20; Isa 10:11; Yer 23:13; Ho 13:16.
SAMEHE, Kut 32:32 utasamehe dhambi yao
1Fa 8:50 uwasamehe watu wako
Ne 9:17 Mungu wa kusamehe
Zb 99:8 Mungu mwenye kusamehe
Yer 31:34 nitalisamehe kosa lao
Mik 7:18 anayesamehe kosa
Mt 6:12 utusamehe madeni yetu
Mt 12:31 hawatasamehewa dhambi juu ya
Yoh 20:23 Mkisamehe dhambi za watu
Kol 1:14 kusamehewa dhambi zetu
Yak 5:15 amefanya dhambi, atasamehewa
1Yo 1:9 hata atusamehe dhambi
Kut 23:21; 34:9; Hes 14:19; 1Sa 15:25; 1Fa 8:36; Zb 25:11, 18; 99:8; Isa 55:7; Mt 9:6; Mk 2:7; 11:25; 2Ko 2:10.
SAMSONI, Amu 15:16 Samsoni: Kwa mfupa
Amu 13:24; 14:1, 5; 16:30; Ebr 11:32.
SAMWELI, 1Sa 1:20 akamwita jina lake Samweli
1Sa 2:18 Samweli alikuwa akihudumu
1Sa 3:1 mvulana Samweli
1Sa 15:28 Samweli: Yehova amerarua utawala
Yer 15:1 Samweli angekuwa amesimama
1Sa 8:7; 15:22; Zb 99:6; Ebr 11:32.
SANAMU, Kut 20:4 Usijifanyie sanamu
Kum 27:15 sanamu ya kuyeyushwa
Zb 78:58 wivu kwa sanamu zao
Zb 106:36 sanamu zikawa mtego
Isa 42:8 sitazipa sanamu sifa yangu
Da 2:31 sanamu kubwa sana
Da 3:18 hatutaiabudu sanamu yako
Yon 2:8 sanamu zisizo za kweli
Mt 22:20 Sanamu hii ni ya nani?
Mdo 15:20 wajiepushe na sanamu
1Ko 8:4 sanamu si kitu
2Ko 6:16 hekalu, upatano na sanamu?
1Yo 5:21 jilindeni na sanamu
Ufu 14:9 akimwabudu na sanamu yake
Ufu 20:4 hawakuiabudu sanamu yake
Kum 32:21; 1Fa 16:13; 2Fa 17:15; Zb 31:6; 115:4; Isa 48:5; Yer 2:5; Mik 1:7; 5:13; Hab 2:18; Mdo 7:41.
SANAMU YA KUFUKUZA NDEGE, Yer 10:5.
SANAMU ZA MAVI, Law 26:30; 1Fa 15:12.
SANDUKU, Mwa 50:26 Yosefu, ndani ya sanduku
Yos 3:13 makuhani wanaolichukua sanduku
SANHEDRINI, Mt 26:59; Lu 22:66; Mdo 5:21.
SANIFU, Kut 35:33 kufanya vifaa sanifu
SARA, Mwa 17:15 Sara ndilo jina lake
Mwa 17:19 Sara atakuzalia mwana
Mwa 21:2 Sara akapata mimba
Ebr 11:11 Kwa imani Sara alipokea nguvu
1Pe 3:6 Sara alivyokuwa akimwita bwana
SARAFU, Mt 10:29 shomoro huuzwa kwa sarafu
SARUJI, Mwa 11:3; Kut 1:14; Law 14:42.
SASA, Ga 1:4 mfumo mwovu wa sasa
SAULI, 1Sa 9:17 Sauli, Huyu ndiye
1Sa 10:11 Sauli yumo kati ya manabii?
1Sa 16:14 roho ikaondoka juu ya Sauli
1Sa 18:12 Sauli akaanza kumwogopa Daudi
1Sa 31:4 Sauli akamwambia mchukua-silaha
2Sa 1:17 Daudi akaimba kwa ajili ya Sauli
1Nya 10:13 Sauli akafa
1Sa 13:1; 15:26; 24:7; 26:2; 28:7; Mdo 13:21.
SAULI (wa Tarso), Mdo 7:58 miguuni pa Sauli
Mdo 8:1 Sauli akikubaliana na kuuawa
Mdo 9:4 Sauli kwa nini unanitesa?
Mdo 9:1; 11:25; 12:25; 13:1, 9; 22:7; 26:14.
SAUTI, Kum 4:33 wamesikia sauti ya Mungu
Isa 52:8 Walinzi wamepaaza sauti
Isa 58:1 Paaza sauti kama baragumu
Isa 65:19 haitasikika tena sauti ya kulia
Isa 66:6 sauti kutoka hekaluni
Yoe 2:5 sauti ya magari
Yoe 3:16 Yehova atatoa sauti
Nah 2:13 haitasikika sauti ya wajumbe
Yoh 5:28 makaburini, wataisikia sauti
Yoh 10:27 Kondoo husikiliza sauti yangu
1Ko 14:7 tofauti kati ya sauti
Mhu 12:4; Sef 1:14; Ro 10:18; 1Ko 12:2; 2Pe 2:16.
SAUTI YA CHINI, Yos 1:8; Zb 1:2; 71:24.
SAUTI YA KUFURAHI, Yer 7:34.
SAUTI ZA MANENO, 1Ko 14:10.
SAWA, Mwa 18:25 hatafanya lililo sawa?
Amu 17:6 yaliyo sawa machoni
Yer 26:14 yaliyo sawa machoni
Yoh 5:18 akijifanya kuwa sawa na Mungu
Flp 2:6 hakufikiria kuwa sawa na Mungu
Yak 4:17 yaliyo sawa na hayafanyi
Met 12:15; Mt 20:12; Ufu 21:16.
SAWASAWA, 2Ti 2:15 tumia sawasawa neno
Ebr 1:3 mwakilisho sawasawa
SAYANSI. Ona UJUZI.
SAYUNI, Zb 2:6 mfalme Juu ya Sayuni
Zb 110:2 fimbo ya nguvu zako kutoka Sayuni
Zb 132:13 Yehova amechagua Sayuni
Isa 2:3 sheria itatoka Sayuni
Isa 28:16 ninaweka Sayuni jiwe kuwa msingi
Isa 31:4 Yehova atapiga vita juu ya Sayuni
Isa 62:1 Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni
Amo 6:1 Ole wao wanaostarehe katika Sayuni
Sef 3:14 Paaza kilio kwa shangwe, Ee Sayuni!
Mt 21:5 Sayuni, Mfalme wako anakuja
Ro 11:26 Mkombozi atatoka Sayuni
Ebr 12:22 mmeukaribia Mlima Sayuni
2Sa 5:7; Isa 66:8; Ro 9:33; 1Pe 2:6.
SEBULE, Mk 14:68 Petro akaenda sebuleni
SEDEKIA, 2Fa 24:17; Yer 39:2; 52:11.
SEHEMU, Mt 24:51 sehemu yake na wanafiki
Lu 15:12 nipe sehemu ya mali
1Ko 13:9 unabii kwa sehemu
1Ko 13:10 kwa sehemu kitaondolewa
Ufu 20:6 sehemu, katika ufufuo wa
Zb 5:9; 63:9; Ro 11:25; 1Ko 12:23.
SEHEMU KUU, Ebr 7:11 ukuhani, sehemu kuu
SEHEMU MBILI, 2Fa 2:9.
SEHEMU YA KUMI, Law 27:30.
Hes 18:26 Mtapokea sehemu ya kumi
Mal 3:10 Leteni sehemu za kumi zote
Mt 23:23 huitoa sehemu ya kumi
Lu 18:12 mimi hutoa sehemu ya kumi
Mwa 14:20; Law 27:32; Kum 14:22; 2Nya 31:12; Ne 10:38; 13:12; Ebr 7:5, 9.
SEHEMU YA NDANI, Zb 5:9; 51:6.
SEHEMU ZA SIRI, Kut 20:26; Kum 25:11; Eze 16:36.
SEIRI, Mwa 36:8 Esau akaanza kukaa Seiri
2Nya 20:23 wakaaji wa Seiri
Hes 24:18; Yos 24:4; Eze 25:8; 35:15.
SENAKERIBU, 2Fa 18:13; 19:16, 20; 2Nya 32:1, 10, 22; Isa 37:21.
SEPETU, Kut 27:3 mafuta, na sepetu zake
1Ki 7:45 makopo na sepetu na mabakuli
Mt 3:12 sepetu ya kupepetea
Lu 3:17 sepetu yake imo mkononi
SEREMALA, Mk 6:3 seremala mwana wa Maria
SERIKALI, Ro 8:38 malaika wala serikali
1Ko 15:24 ameangamiza serikali yote
Efe 1:21 kuliko kila serikali na
Efe 6:12 mweleka, juu ya serikali
Kol 2:15 kuzivua serikali
Tit 3:1 kutii serikali na mamlaka
Mdo 25:1; Efe 3:10; Kol 1:16; 2:10.
SETHI, Mwa 4:25; 5:6-8; 1Nya 1:1; Lu 3:38.
SHABA NYEUPE, 1Ko 13:1.
SHABAHA, 2Ko 5:9 shabaha yetu, kukubalika
1Ti 4:7 ujitoaji-kimungu ukiwa shabaha
SHADA, Isa 28:5 Yehova, shada la urembo
SHADA LENYE KUVUTIA, Met 1:9.
SHADRAKI, Da 1:7; 2:49; 3:12-14, 28-30.
SHAHAWA, Law 18:23 usimpe mnyama shahawa
Law 20:15 akimpa mnyama shahawa
Law 22:4 asiye safi kwa shahawa
SHAHIDI, Mwa 31:48 Rundo hili ni shahidi
Kut 20:16 uwongo ukiwa shahidi
Law 5:1 shahidi asipotoa habari
Kum 19:15 mashahidi wawili, watatu
Yos 24:22 Sisi ni mashahidi
Ayu 16:19 shahidi wangu yuko juu
Met 14:25 Shahidi wa kweli
Isa 43:10 Ninyi ni mashahidi wangu
Isa 44:8 Nanyi ni mashahidi wangu
Mik 1:2 Yehova, shahidi juu yenu
Mdo 1:8 mtakuwa mashahidi wangu
Mdo 10:39 Nasi ni mashahidi
Mdo 13:31 mashahidi wake kwa watu
Mdo 22:15 unapaswa kuwa shahidi
1Ko 15:15 mashahidi wa uwongo
1Ti 6:13 Yesu, akiwa shahidi
Ebr 12:1 wingu la mashahidi
Ufu 1:5 Kristo, Shahidi Mwaminifu
Ufu 11:3 mashahidi wawili
Ufu 17:6 mashahidi wa Yesu
SHAKA, Amu 18:27 wasio na shaka
1Sa 18:9 Sauli akawa akimtilia shaka
2Sa 12:14 bila shaka hukumheshimu
Ro 14:23 akiwa na shaka, amehukumiwa
Yak 1:6 kuomba, bila kutia shaka
SHALMANESA, 2Fa 18:9 Shalmanesa, wa
SHAMBA, Zb 49:11 mashamba yao kwa majina
Isa 5:7 Yuda ndilo shamba
Mt 13:38 shamba ni ulimwengu
Yoh 4:35 mashamba, ni meupe
1Ko 3:9 Ninyi ni shamba la Mungu
Yos 24:11; Amu 9:2; 20:5; Mt 6:30; 13:44; 24:18, 40.
SHAMBA LA MIZABIBU, Isa 5:7.
Isa 65:21 watapanda mashamba ya mizabibu
Yer 12:10; Eze 28:26; Amo 9:14; Sef 1:13; Mt 20:1; 21:28; Lu 20:9.
SHAMBULIA, Mwa 4:8 akamshambulia Abeli
Amu 18:25 watu wasije wakawashambulia
1Sa 22:17 kuwashambulia makuhani
Mdo 17:5 wakaishambulia nyumba ya Yasoni
SHANGAA, Ayu 26:11 hushangaa kwa sababu
Zb 48:5 waliona; nao wakashangaa
Isa 59:16 kushangaa hapakuwa anayeingilia
Yer 5:30 Hali yenye kushangaza
Yer 18:16 kitu cha kushangaza
Mdo 2:7 walishangaa na kuanza kustaajabu
Mdo 9:21 waliomsikia wakashangaa
Yer 49:17; Mik 6:16; Mt 15:31; Mk 9:15.
SHANGAZI, Law 18:14 Usimkaribie shangazi
SHANGAZWA, Mt 7:28 wakashangazwa njia
Lu 2:47 wakishangazwa daima na uelewaji
1Pe 4:12 msishangazwe na moto
SHANGILIA, 1Fa 8:66 wakishangilia na kufurahi
1Nya 29:9 Daudi akashangilia
Ayu 38:7 sauti kwa kushangilia?
Zb 25:2 Adui wasishangilie juu yangu
Zb 45:7 mafuta ya kushangilia
Zb 68:4 Yah, shangilia mbele zake
Zb 94:3 Waovu, kushangilia hata lini?
Zb 97:1 Dunia na ishangilie
Zb 100:2 Yehova kwa kushangilia
Zb 104:15 divai, moyo ushangilie
Zb 149:2 wamshangilie Mfalme
Met 27:11 kufanya moyo ushangilie
Met 28:12 Waadilifu wanaposhangilia
Met 29:2 wengi, watu hushangilia
Isa 65:18 sababu ya kushangilia
Mt 5:12 Shangilieni na kuruka
Yoh 8:56 Abrahamu alishangilia
Mdo 5:41 Sanhedrini, wakishangilia
Ro 12:15 Shangilieni na wanaoshangilia
Flp 4:4 Shangilieni sikuzote
Kol 1:24 nashangilia mateso yangu
1Nya 16:31; Est 8:16; Zb 13:5; 35:9; 105:43; 118:24; Mhu 8:15; Isa 25:9; 65:13; Yoe 1:16; 2:23; Zek 9:9; Lu 13:17; Yoh 16:20; 2Ko 6:10; Flp 4:10; 1Pe 1:8.
SHANGWE, 1Nya 16:35 ili tukusifu kwa shangwe
Ne 8:10 shangwe ya Yehova ni ngome
Est 8:17 shangwe kwa Wayahudi
Ayu 38:7 shangwe, nyota za asubuhi
Zb 97:11 shangwe kwa wanyoofu
Zb 126:5 Watavuna kwa shangwe
Isa 35:1 jangwa litakuwa na shangwe
Isa 35:2 shangwe na kilio cha furaha
Isa 65:18 shangwe milele. Ninaumba
Lu 10:21 shangwe katika roho takatifu
Ebr 12:2 shangwe mbele yake
Ebr 12:11 nidhamu, si shangwe
1Nya 16:35; Ezr 3:12; Zb 45:15; 95:1; 106:47; 113:9; Isa 49:13; 61:10; 65:14; Mk 5:42; Lu 2:10; Yoh 16:22; Mdo 3:10; 2Ko 7:4; Ebr 10:34.
SHANGWE YA USHINDI, 2Ko 2:14; Kol 2:15.
SHARONI, 1Nya 5:16; 27:29; Isa 33:9; 35:2; 65:10.
SHARTI, Mwa 30:28 masharti ya mshahara
Kum 4:1 sikilizeni masharti
Kum 4:40 uyashike masharti yake
Amu 11:39 ikawa sharti katika Israeli
Zb 119:12 Unifundishe masharti yako
Isa 10:1 masharti yenye kudhuru
Isa 24:5 wamelibadili sharti
1Ko 9:16 nimewekewa sharti
Kut 18:20; Law 10:11; Ne 9:13; Zb 50:16; 119:5, 8, 48, 71, 80; Yer 31:36; Mal 3:7.
SHASHI, Isa 40:22 mbingu kama shashi
SHAURI, Law 19:31 shauri la wabashiri
Zb 33:11 Shauri la Yehova litasimama
Met 22:20 mashauri na ujuzi
Isa 14:24 nilivyotoa shauri, ndivyo
Isa 25:1 mambo ya ajabu, mashauri kutoka
Isa 46:10 Shauri langu litasimama
Isa 46:11 atakayetekeleza shauri langu
Mt 27:1 wakashauriana juu ya Yesu
Mdo 20:27 mashauri yote ya Mungu
1Ko 4:5 kuyafunua mashauri ya mioyo
2Sa 21:1; 2Nya 20:4; Zb 1:1; 5:10; 33:10; 73:24; 119:24; Met 19:21; Isa 14:26; 23:9; 40:13; Ebr 6:17.
SHAVU, Ayu 16:10 Wamenipiga mashavu yangu
Mt 5:39 kupigwa shavu, geuza lile lingine
SHAWISHI, Kut 22:16 akimshawishi bikira
Kum 11:16 mioyo yenu isishawishiwe
2Fa 18:32 Hezekia, anawashawishi
Ayu 31:27 moyo ukaanza kushawishiwa
Zb 62:4 kumshawishi mtu avunje heshima
Met 20:19 usishirikiane na anayeshawishiwa
Met 25:15 kiongozi hushawishiwa
Mdo 21:14 Alipokataa kushawishika
Ro 7:11 dhambi ilinishawishi
Ro 16:18 huishawishi mioyo
1Ko 2:4 maneno yenye kushawishi
1Ko 3:18 Yeyote asiwe akijishawishi
2Ko 5:11 kuwashawishi watu
2Ko 11:3 nyoka alivyomshawishi Hawa
Yak 1:14 mtu hushawishiwa na tamaa
2Pe 2:14 huzishawishi nafsi
Kum 13:6; Met 1:10; 16:29; Isa 36:18; 2Th 2:3.
SHEALTIELI, 1Nya 3:17; Ezr 3:2; Mt 1:12.
SHEAR-YASHUBU, Isa 7:3.
SHEBA, 1Fa 10:1; 2Nya 9:9; Eze 27:22.
SHEBNA, 2Fa 18:18 Shebna mwandishi
SHEFELA, Kum 1:7.
SHEKELI, Kut 30:13; Eze 45:12; Amo 8:5.
SHEMASI. Ona MTUMISHI WA HUDUMA.
SHEMEJI, Ru 1:15 Shemeji yako amerudi
SHEMU, Mwa 5:32; 9:26; 11:10; Lu 3:36.
SHEREHE, Kut 23:14 sherehe tatu kwa mwaka
Kut 23:15 sherehe ya keki zisizo na chachu
Kut 23:16 sherehe ya mavuno
Law 23:4 sherehe za majira za Yehova
Lu 22:1 sherehe ya keki zisizo na chachu
Ebr 11:28 alifanya sherehe ya pasaka
Kut 10:9; 12:14; 34:22; Law 23:6; Hes 28:17; 1Sa 18:7; Zb 42:4; Zek 14:16; Yoh 2:23; 5:1; 6:4; 7:8, 10, 37; 1Ko 5:8.
SHEREHE YA KUKUSANYA, Kut 34:22.
SHERIA, Kut 12:14 kama sheria mpaka
Kut 24:12 nataka kukupa sheria
Est 3:8 sheria zao ni tofauti
Est 9:1 wakati wa kutimiza sheria
Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu
Zb 40:8 sheria imo ndani yangu
Met 6:20 usiache sheria ya mama
Isa 2:3 sheria itatoka Sayuni
Isa 24:5 wakaaji wamezivunja sheria
Eze 37:24 sheria zangu watazishika
Da 6:15 sheria ya Wamedi na Waajemi
Sef 2:2 Kabla sheria haijazaa
Mt 13:41 malaika, kukusanya wanaoasi sheria
Lu 16:16 Sheria na Manabii
Lu 24:44 sheria ya Musa na Manabii
Yoh 10:34 katika Sheria yenu
Ro 2:14 asili mambo ya sheria
Ro 4:15 pasipo na sheria, hapana kosa
Ro 5:13 wakati hakuna sheria
Ro 7:2 afunguliwa, sheria ya mume
Ro 7:12 Sheria ni takatifu
Ro 7:22 naipenda sheria ya Mungu
Ro 7:23 sheria ya akili yangu
Ro 8:2 sheria ya dhambi na kifo
Ro 13:9 sheria zinazosema, Usiue
2Ko 3:6 sheria hukumu
2Ko 3:7 ikiwa sheria ambazo hutoa kifo
Ga 3:24 Sheria ni mtunzaji
Ga 6:2 kuitimiza sheria ya Kristo
Ebr 10:1 Sheria ina kivuli
Yak 2:8 sheria ya kifalme
2Pe 2:7; 3:17 wanaokaidi sheria
Law 18:5; Hes 10:8; Ne 9:13; Ayu 38:33; Isa 8:16; Yer 31:33, 35; Da 6:5; Mt 5:17; Ro 2:27, 29; 4:7; 6:14; 7:6; 10:4; 13:8; Ga 3:19; 1Ti 1:9; Ebr 10:17; 2Pe 2:8.
SHETANI, 1Nya 21:1 Shetani akamchochea
Ayu 1:6 Shetani akaingia katikati yao
Ayu 2:2 Shetani akamjibu Yehova
Zek 3:1 Shetani amesimama kumpinga
Mt 12:26 ikiwa Shetani anamfukuza Shetani
Mt 16:23 Nenda nyuma yangu Shetani
Mk 1:13 siku 40 akijaribiwa na Shetani
Lu 10:18 kumwona Shetani ameanguka
Lu 22:3 Shetani akamwingia Yuda
Ro 16:20 Mungu atamponda Shetani
1Ko 5:5 mkamkabidhi kwa Shetani
2Ko 2:11 ili Shetani asitushinde akili
2Ko 11:14 Shetani huendelea kujigeuza
1Th 2:18 Shetani aliizuia njia yetu
Ufu 2:9 wao ni sinagogi la Shetani
Ufu 12:9 nyoka anayeitwa Ibilisi na Shetani
Ufu 20:7 Shetani atafunguliwa
Mt 4:10; Mk 4:15; Mdo 26:18; 2Ko 12:7; 2Th 2:9; Ufu 20:2.
SHIBA, Zb 22:26 Wapole watakula na kushiba
Zb 37:19 katika siku za njaa watashiba
Met 13:25 anakula mpaka nafsi inaposhiba
Met 30:15 vitu vitatu visivyoshiba
Yer 31:14 watu wangu watashiba
Yoe 2:26 mtakula na kushiba
Mik 6:14 utakula wala hutashiba
SHIBISHA, Zb 91:16 Nitamshibisha kwa siku
Ayu 38:39; Isa 58:10; Eze 7:19; 32:4.
SHIBISHWA, Hab 2:16 Utashibishwa kwa aibu
SHIBOLETHI, Amu 12:6.
SHIDA, Met 19:13 Mwana mjinga, shida
Eze 7:26 shida itakuja juu ya shida
1Pe 4:18 anaokolewa kwa shida
Ayu 6:2; 30:13; Zb 5:9; 55:11; 91:3; 94:20; Met 17:4.
SHIKA, Mwa 17:9 kushika agano langu
Kum 7:9 anayeshika agano na fadhili
Met 6:20 shika amri ya baba
Isa 56:2 anayeshika sabato ili
Mt 23:3 yafanyeni na kuyashika
Mt 28:20 kuwafundisha kushika
Yoh 14:15 mtazishika amri zangu
Yoh 14:21 amri zangu na kuzishika
Ro 14:6 anayeishika siku huishika
Ga 4:10 Mnashika siku, miezi
Flp 3:12 nimeshikwa na Kristo
Kut 20:6; Met 28:7; Isa 56:1; Mdo 3:7; Ufu 22:7.
SHIKAMANA, Kum 30:20 kushikamana naye
Yos 23:8 kushikamana na Mungu
Met 18:24 rafiki anayeshikamana na mtu
Da 2:43 hawatashikamana pamoja
Kum 4:4; 10:20; 13:4; Yos 22:5.
SHIKANISHA, Isa 6:10 ushikanishe macho yao
SHILO, Mwa 49:10 mpaka Shilo aje
Yos 18:1; Amu 18:31; 1Sa 4:3; Zb 78:60; Yer 26:6, 9.
SHILOA, Isa 8:6 kimeyakataa maji ya Shiloa
SHIMEI, 2Sa 16:5; 19:16; 1Fa 2:8, 38, 44.
SHIMO, Ayu 33:24 asishuke shimoni!
Zb 7:15 ataanguka, shimo alilolifanya
Isa 14:15 sehemu za mbali za shimo
Isa 24:18 anayetoka shimoni atakamatwa
Da 6:7 atupwe ndani ya shimo la simba
Mt 15:14 wataanguka ndani ya shimo
Lu 16:26 kuna shimo kati yetu na ninyi
Zb 40:2; Isa 38:18; Eze 26:20.
SHINARI, Mwa 10:10 Babeli, nchi ya Shinari
Mwa 11:2; Isa 11:11; Da 1:2; Zek 5:11.
SHINDA, Mwa 4:7 dhambi, utaishinda?
Amu 16:5 kutumia ili kumshinda
Zb 129:2 Hata hivyo hawajanishinda
Yer 1:19 lakini hawatakushinda
Yer 20:11 wanaonitesa hawatashinda
Yoh 16:33 nimeushinda ulimwengu
Mdo 19:16 akawarukia na kuwashinda
Ro 8:37 tunatokea tukiwa tumeshinda
Ro 12:21 endelea kuushinda uovu
1Yo 5:4 umeushinda ulimwengu
Ufu 2:7 Yule atakayeshinda nitampa
Ufu 3:21 Yeye atakayeshinda nitampa
Ufu 11:7 mnyama-mwitu atawashinda
Ufu 12:8 lakini hakushinda, wala
Ufu 17:14 Mwana-Kondoo atawashinda
Ufu 21:7 anayeshinda atarithi vitu hivi
Kut 17:13; 1Sa 2:9; Mt 17:20; 1Yo 2:13; 4:4; 5:4, 5; Ufu 2:11, 17, 26; 3:5, 12; 5:5; 12:11.
SHINDANA, Kum 33:8 Ulianza kushindana naye
Ayu 40:2 kushindana na Mweza-Yote?
Flp 1:15 wivu na kushindana
2Ti 2:5 akishindana hata katika michezo
Ayu 13:8; Zb 38:20; 71:13; Isa 3:13; 49:25; 50:8; Ho 4:4.
SHINDANO, 1Ko 9:25 katika shindano hujizuia
Kol 2:1 shindano kubwa
SHINDWA, 1Ko 13:8 Upendo haushindwi
Kol 2:15 alizionyesha zikiwa zimeshindwa
2Pe 1:10 hamtashindwa hata kidogo
2Pe 2:20 wanajiingiza na kushindwa
SHINGO, Met 3:3 Zifunge shingoni pako
Met 3:22 kitu chenye kuvutia shingoni
SHINGO NGUMU, Kut 32:9; 34:9; Kum 9:6.
SHINIKIZO LA DIVAI, Amu 6:11.
Yoe 3:13 shinikizo la divai limejaa
Ufu 19:15 anakanyaga shinikizo la divai
SHIRIKI, Zb 94:20 kitashirikiana nawe
Met 22:24 Usishirikiane na mwenye
Da 11:23 kwa sababu ya kushirikiana naye
1Ko 7:24 akishirikiana na Mungu.
1Ko 9:23 ili niishiriki na wengine
1Ko 10:16 je, si kushiriki damu ya Kristo?
1Ko 10:21 mkishiriki meza ya Yehova
1Ko 16:16 kwa kila mtu anayeshirikiana
Ga 6:6 ashiriki mambo yote mema
Flp 3:10 kushiriki mateso yake
Kol 1:12 kushiriki urithi
2Th 3:14 acheni kushirikiana naye
Ufu 18:4 ikiwa hamtaki kushiriki dhambi
Mwa 14:3; Da 11:6; Ro 8:28; Efe 4:16; Tit 1:4; Ebr 12:8.
SHIRIKIANA, Met 24:21 Usishirikiane na watu
SHOKA, Kum 19:5 chuma cha shoka
SHTAKA, Mt 27:37 wakabandika shtaka
Ro 8:33 Ni nani atakayefanya shtaka
1Ti 3:10 wahudumu, hawana shtaka
1Ti 5:19 Usikubali shtaka juu ya mzee
Tit 1:7 mwangalizi awe bila shtaka
Ezr 4:6; Yoh 18:29; 1Ko 1:8; Kol 1:22.
SHTAKI, Mt 5:25 anayekushtaki mahakamani
SHTUA, Yoh 6:60 Maneno hayo yanashtua
Yud 15 mambo ya kushtua
SHUGHULI, Mhu 1:13 shughuli yenye msiba
Amo 4:13 shughuli za akilini
Mhu 2:23; 3:10; 4:8; 5:3; Amo 4:13; 2Ti 2:4.
SHUGHULIKA, Mhu 12:12 kushughulika na
Mdo 18:5 akaanza kushughulika sana na neno
SHUHUDA, 1Fa 2:3 hukumu na shuhuda zake
1Nya 29:19 shuhuda zako na masharti
SHUHUDIA, Isa 59:12 dhambi imeshuhudia
Ho 5:5 kiburi kimeshuhudia
SHUHUDIA KWA MACHO, 1Pe 2:12.
SHUHUDIWA, Ebr 7:8 imeshuhudiwa anaishi
SHUJAA, Amu 11:1 Yeftha akawa shujaa
2Nya 26:17 wanaume mashujaa 80
Isa 33:7 Mashujaa wamepaaza kilio
Eze 27:11 watu mashujaa
Ebr 11:34 mashujaa katika vita
Amu 6:12; 1Sa 16:18; 1Fa 11:28; 2Fa 5:1; 1Nya 7:5.
SHUKA, Zb 133:3 umande unaoshuka Sayuni
Eze 17:14 ufalme huo ushuke
Efe 4:9 alishuka maeneo ya chini
SHUKRANI, Zb 92:1 Ni vema kumtolea shukrani
Zb 95:2 Twendeni tukiwa na shukrani
Zb 97:12 Shangilieni na kutoa shukrani
Zb 107:8 wamtolee Yehova shukrani
Zb 116:17 dhabihu ya kutoa shukrani
1Ko 10:30 Ikiwa nakula nikiwa na shukrani
1Ko 14:17 unatoa shukrani kwa njia nzuri
2Ko 9:15 Mungu apewe shukrani
Efe 5:20 mkimtolea shukrani sikuzote
1Ti 4:4 kwa kutoa shukrani
Yer 17:26; 2Ko 4:15; Flp 4:6; Ufu 7:12.
SHUKU, 1Ti 6:4 shuku zenye uovu
SHUKURU, 2Sa 22:50 nitakushukuru Ee Yehova
1Nya 16:4 ili wamshukuru Yehova
1Nya 16:8 Mshukuruni Yehova
Mt 26:27 akiisha kushukuru, akawapa
Lu 17:9 atamshukuru mtumwa
Yoh 11:41 Baba nakushukuru
Mdo 28:15 Paulo akamshukuru Mungu
Ro 14:6 anayekula, humshukuru Mungu
1Ko 1:4 Sikuzote ninamshukuru Mungu
1Ti 1:12 namshukuru Kristo
2Ti 1:3 Ninamshukuru Mungu
Ufu 11:17 Tunakushukuru Yehova
SHULE, Mdo 19:9 jumba la shule
SHUNEMU, Yos 19:18; 1Sa 28:4; 2Fa 4:8.
SHURUTISHA, 2Fa 4:8 kumshurutisha ale mkate
SHUSHA, 1Sa 2:7 Yehova ni Mwenye Kushusha
Zb 147:6 Yehova anawashusha waovu
Eze 21:26 ukishushe kilicho juu
SHUSHANI, Est 1:2; 9:6; Da 8:2.
SHUSHWA, Yak 1:10 tajiri kushushwa kwake
SHUTUMA, Isa 25:8 shutuma ya watu ataiondoa
Isa 51:7 Msiogope shutuma ya
Da 11:30 shutuma juu ya agano
Sef 3:8 nizimwagie shutuma
Mt 5:11 watu wanapowashutumu
Ebr 10:33 shutuma na dhiki pia
Ebr 11:26 shutuma ya Kristo ni utajiri
1Sa 17:26; Zb 22:6; 69:7, 24; 79:12; Met 14:31; Isa 4:1; 10:5, 25; Yer 10:10; Da 8:19; Nah 1:6.
SHUTUMU, Hes 23:7 njoo, washutumu Israeli
Zb 55:12 sikushutumiwa na adui
Zb 74:10 mpinzani atashutumu mpaka
Zb 74:18 Adui ameshutumu
1Pe 4:14 mnashutumiwa kwa ajili ya
Zb 44:16; 89:51; 119:42; Sef 2:10; Lu 6:22; Ro 15:3.
SIDONI, Eze 28:22 niko juu yako Ee Sidoni
Mwa 10:19; Isa 23:4; Yer 47:4; Yoe 3:4; Zek 9:2; Mt 11:21; Mk 3:8; Mdo 12:20; 27:3.
SIFA, Yos 9:9 tumesikia sifa zake
Zb 99:8 kisasi juu ya sifa mbaya
Zb 141:4 matendo ya sifa mbaya
Isa 42:8 sitazipa sanamu sifa yangu
Isa 60:18 na malango yako Sifa
Da 6:3 Danieli akajipatia sifa
Amo 1:11 aliharibu sifa zake za
Mt 21:16 wanaonyonya umetoa sifa?
Lu 6:32, 34 linawapa sifa gani?
Ro 1:20 sifa zake zisizoonekana
Ro 2:4 sifa ya fadhili za Mungu
1Ko 4:5 sifa yake kutoka kwa Mungu
1Ko 4:10 mna sifa njema
1Ko 4:13 tunapoharibiwa sifa, tunasihi
1Ko 8:8 tukila, hatupati sifa kwetu wenyewe
2Ko 12:6 asinihesabie sifa
Flp 4:8 la kustahili sifa lililoko
Kol 2:9 ujazo wa sifa ya Mungu
Ebr 13:15 dhabihu ya sifa
Yak 1:3 sifa iliyojaribiwa ya imani
1Pe 1:7 sifa iliyojaribiwa ya imani
1Pe 2:20 kuna sifa gani katika
Hes 14:15; 1Nya 14:17; Est 9:4; Zb 65:1; 71:8; 79:13; 111:10; Isa 62:7; Hab 3:3; Sef 3:19; Ro 2:29.
SIFA BORA, 1Pe 2:9 mtangaze kote sifa bora
SIFA ILIYOJARIBIWA, Yak 1:3; 1Pe 1:7.
SIFA MBAYA, Eze 23:10 sifa mbaya kwa
SIFA ZA KUSTAHILI, 2Ko 2:16.
2Ko 3:5 sifa za kustahili vya kutosha
Ga 6:1 mlio na sifa za kustahili
SIFA ZA KUSTAHILI KUFUNDISHA, 1Ti 3:2; 2Ti 2:2, 24.
SIFIKA, Mk 15:43; Mdo 13:50; 17:12.
SIFONGO, Mt 27:48; Mk 15:36; Yoh 19:29.
SIFU, Zb 6:5 Kaburini nani atakusifu?
Zb 119:164 Mara 7 nimekusifu
Met 27:2 mgeni akusifu
Met 29:8 Watu wenye maneno ya kujisifu
Isa 38:18 kifo hakiwezi kukusifu
Da 2:23 namsifu na kumhimidi Mungu
1Ko 1:29 mwili usijisifu machoni pa Mungu
1Ko 1:31 anayejisifu, na ajisifu katika
1Ko 11:2 nawasifu mnayashika sana
Ebr 2:12 nitakusifu kwa wimbo
1Fa 8:33; Zb 9:1; 34:2; 44:8; 63:3; 97:7; 109:30; 117:1; 138:1; Met 27:1; Lu 2:13; Mdo 2:47; 3:8; Ro 3:27; 2Ko 9:3; Efe 2:9.
SIFU WATU MASHUHURI, Yud 16.
SIHI, Mwa 25:21 Isaka akamsihi Yehova
Kut 8:30 Musa, akamsihi Yehova
Amu 13:8 Manoa akamsihi Yehova
Zb 30:8 niliendelea kumsihi Yehova
Met 6:3 kumsihi sana mwenzako
Isa 19:22 atakubali kusihi kwao
Mk 7:32 wakamsihi aweke mkono
2Ko 5:20 Mungu, akisihi kupitia sisi
1Ti 5:1 mzee, msihi kama baba
2Nya 6:21; Zb 28:2; Ro 12:1; 2Ko 6:1.
SIKI, Met 10:26 Kama siki kwenye meno
SIKIA, Yos 9:9 tumesikia sifa Misri
Zb 19:3 Sauti yao haisikiki
Zb 34:2 Wapole watasikia, kushangilia
Met 15:29 huisikia sala ya waadilifu
Isa 65:24 bado wanasema, nitasikia
Isa 66:8 nani amesikia jambo hili?
Amo 8:11 njaa ya kusikia maneno
Mt 7:24 anayesikia maneno
Mt 10:27 mnalosikia likinong’onwa
Mt 13:13 wanasikia bure, hawaelewi
Yoh 5:28 makaburini wataisikia sauti
Ro 10:14 watasikiaje bila wa kuhubiri?
Ufu 22:17 anayesikia aseme: Njoo!
Yos 2:11; 2Fa 21:12; Ayu 42:5; Zb 85:8; Met 20:12; Isa 34:1; 40:28; 43:9; 64:4; Mt 13:23; Lu 8:10; Yoh 5:24; Mdo 9:7; 1Ko 2:9; 1Yo 5:14; Ufu 3:20.
SIKILIZA, Amu 2:20 Israeli hakuisikiliza sauti
1Sa 15:22 kusikiliza kuliko mafuta
Met 1:5 mwenye hekima atasikiliza
Isa 55:3 Sikilizeni, na nafsi yenu
Mt 17:5 Mwanangu, msikilizeni
Mk 12:37 umati ukimsikiliza
Lu 10:16 anayewasikiliza ninyi
Yoh 8:47 hamsikilizi, hamtoki kwa Mungu
Yoh 8:47 husikiliza maneno ya Mungu
Yoh 9:31 hasikilizi watenda-dhambi
Yoh 18:37 huisikiliza sauti yangu
Mdo 3:23 nafsi isiyomsikiliza Nabii
Mwa 3:17; Kum 4:30; 8:20; 1Fa 20:36; Ayu 34:34; Zb 34:11; 69:33; 81:11; Met 8:34; 29:12; Yer 11:8; Hag 1:12; Mal 3:16; Mt 11:15; Mdo 4:19; 1Ti 1:4; 4:1.
SIKIO, Met 20:12 Yehova ndiye alifanya sikio
Isa 35:5 masikio ya viziwi yatazibuliwa
Yoh 18:10 Petro, akalikata sikio
1Ko 12:16 sikio likisema: mimi si jicho
2Ti 4:4 masikio kutoka kwenye kweli
Yak 5:4 vilio, masikioni mwa Yehova
Kum 5:1; 2Fa 21:12; Mt 13:16; Ufu 2:7.
SIKITIKA, Eze 9:5 Jicho lenu lisisikitike
SIKITIKIA, Kum 7:16 Jicho lako lisiwasikitikie
Mt 15:32 Ninausikitikia umati
Mt 20:34 Yesu akawasikitikia
Ebr 4:15 kuusikitikia udhaifu wetu
1Sa 22:8; Isa 51:19; Nah 3:7; Mk 6:34.
SIKITIKIWA, 1Ko 15:19 sisi ndio wa kusikitikiwa
SIKITIKO, Mhu 7:3 sikitiko kuliko kicheko
SIKU, Hes 14:34 siku kwa mwaka
Zb 84:10 siku moja katika nyua zako
Isa 2:2 itatukia katika siku za mwisho
Da 2:44 katika siku za wafalme hao
Mal 3:2 atakayesimama siku ya kuja kwake
Mt 24:22 siku hizo hazingefupishwa
Mk 13:32 siku ile hakuna anayeijua
Mdo 17:31 ameweka siku kuhukumu
Ro 14:5 Mtu anahukumu siku kuwa juu
2Ko 6:2 Sasa ndiyo siku ya wokovu
2Pe 3:8 miaka elfu kama siku moja
Zb 61:8; 90:12; Met 3:16; Isa 58:2; Yer 25:33; Amo 8:11; Zek 8:23.
SIKU NJEMA, Mt 27:29; Lu 1:28; Yoh 19:3.
SIKU YA HUKUMU, Mt 10:15; 2Pe 2:9; 3:7; 1Yo 4:17.
SIKU YA MWISHO, Yoh 6:54; 11:24; 12:48; Ne 8:18.
SIKU ZA MWISHO, Yak 5:3.
2Ti 3:1 siku za mwisho, hatari
2Pe 3:3 wadhihaki, siku za mwisho
SIKU YA TATU, Lu 9:22 siku ya tatu afufuliwe
Mdo 10:40 Mungu alimfufua siku ya tatu
Kut 19:11; Lu 13:32; 24:21; 1Ko 15:4.
SIKU YA UPATANISHO, Mdo 27:9.
SIKU YA YEHOVA, Yoe 2:11; Sef 1:14; 2:3; 2Th 2:2.
SIKU, KILA, Lu 19:47 akifundisha kila siku
Mdo 17:11 kuchunguza Maandiko kila siku
Zb 68:19; Yer 7:25; 1Ko 15:31; Ebr 7:27.
SIKUKUU YA KUZALIWA, Mwa 40:20; Mt 14:6; Mk 6:21.
SILA, Mdo 15:22; 16:19; 17:4; 18:5.
SILAHA, Ne 4:17 mkono ukiwa umeshika silaha
Mhu 9:18 Hekima, bora kuliko silaha
Isa 54:17 Silaha haitafanikiwa
Yer 50:25 silaha za shutuma yake
Eze 9:2 silaha yake ya kuponda
Ro 6:13 viungo silaha za uadilifu
Ro 13:12 tuvae silaha za nuru
2Ko 6:7 silaha za uadilifu
2Ko 10:4 silaha zetu si za kimwili
Efe 6:11 Vaeni mavazi kamili ya silaha
SILOAMU, Lu 13:4; Yoh 9:7, 11.
SIMAMA, 2Nya 20:17 simameni tuli
Ayu 4:15 Nywele zikaanza kusimama
Zb 82:1 Mungu amesimama katika
Mhu 4:12 wawili wataweza kusimama
Isa 8:10 Semeni neno nalo halitasimama
Isa 66:22 na dunia mpya zinavyosimama
Da 2:44 ufalme utasimama mpaka
Da 12:1 Mikaeli atasimama
Da 12:13 utasimama kwa ajili ya fungu
Sef 3:8 mpaka nitakaposimama
Mal 3:2 atakayesimama atakapoonekana
1Ko 10:12 anayefikiri kuwa amesimama
Ebr 7:15 mfano wa Melkizedeki anasimama
Hes 11:16; Ayu 1:6; Zb 3:7; 9:19; 36:12; Met 22:29; Yer 25:27.
SIMAMA IMARA, 1Ko 16:13.
Ga 5:1 simameni imara, na msijiache
Flp 1:27 mnasimama imara, roho moja
2Th 2:15 simameni imara na mwendelee
SIMAMIA, Efe 3:9 siri takatifu inavyosimamiwa
1Th 5:12 maanani wanaosimamia
1Ti 3:5 kusimamia nyumba yake
SIMAMISHA, Mt 21:33 akasimamisha mnara
SIMANGO, Ayu 30:9 Nami ni simango kwao
SIMBA, Met 28:1 waadilifu ni kama simba
Isa 11:7 simba atakula majani
Isa 35:9 simba hatakuwa hapo
Ebr 11:33 wakaziba vinywa vya simba
1Pe 5:8 Ibilisi, atembea kama simba
Ufu 5:5 Simba wa Yuda
Amu 14:9; 1Sa 17:36; Zb 91:13; Da 6:27; Yoe 1:6; Mik 5:8; Sef 3:3.
SIMEONI, Mwa 29:33; 42:24; 49:5; Kut 6:15.
SIMONI, Mt 4:18; 10:2; Mk 3:16.
SIMULIA, Amu 5:11 kusimulia matendo
Zb 78:4 Tukivisimulia kizazi
Mwa 40:8; 41:12; Kut 24:3; 2Fa 8:4; Zb 40:5; 48:13; Yer 51:10.
SINAGOGI, Yoh 18:20 katika sinagogi
Ufu 2:9 wao ni sinagogi la Shetani
Ufu 3:9 sinagogi la Shetani
SINAI, Kut 19:20 Sinai, juu ya kilele
Kut 24:16; 31:18; Ne 9:13; Zb 68:8; Mdo 7:30, 38.
SINDIKIZA, 2Sa 19:31 kumsindikiza mpaka
Ro 15:24 mnisindikize kidogo
SINI 1., Kut 16:1 nyika ya Sini
SINI 2., Eze 30:15 Sini, ngome ya Misri
SINZIA, Zb 76:5 Wamesinzia na kulala
Zb 121:3 anayekulinda hawezi kusinzia
Zb 132:4 Sitaacha macho kusinzia
Isa 56:10 wanapenda kusinzia
Nah 3:18 Wachungaji wako wamesinzia
SIPORA, Kut 2:21 akampa Musa Sipora binti
SIRI. Ona pia SIRI TAKATIFU.
Amu 3:19 neno la siri kwako
Amu 9:31 akatuma wajumbe kwa siri
Zb 44:21 anajua siri za moyo
Zb 91:1 mahali pa siri pa Aliye Juu
Met 21:14 Zawadi katika siri
Da 2:28 Mfunuaji wa siri
Amo 3:7 kufunua jambo lake la siri
Mt 6:6 Baba aliye mahali pa siri
Yoh 18:20 sikusema lolote katika siri
1Ko 14:25 siri za moyo wake hufunuliwa
Kum 13:6; 1Sa 19:2; Met 9:17; Da 2:30; Mt 6:4; Ro 2:16; Efe 5:12.
SIRI TAKATIFU, 1Ko 13:2 nazijua siri takatifu
1Ko 14:2 husema kwa roho siri takatifu
1Ko 15:51 Nawaambia siri takatifu:
Efe 1:9 siri takatifu ya mapenzi yake
Kol 1:26 siri takatifu iliyokuwa imefichwa
1Ti 3:16 siri takatifu ya ujitoaji-kimungu
Mt 13:11; Mk 4:11; Ro 11:25; 16:25; 1Ko 4:1; Efe 3:3, 4; Kol 4:3; Ufu 1:20; 10:7.
SIRIA, 2Fa 13:3; 2Nya 16:7; Isa 17:3.
SISERA, Amu 5:20 nyota zilipigana na Sisera
Amu 4:7, 9, 13-18, 22; 1Sa 12:9.
SISIMUKA, Zb 45:1 Moyo wangu umesisimuka
SISITIZA. Pia KUJITOA KIKAMILI. Tit 3:8.
Zb 90:10 miaka, husisitiza taabu
Ru 1:18 anasisitiza kwenda naye
SITASITA, Kum 7:10 Hatasitasita kuelekea yule
1Sa 15:32 Agagi akaenda kwa kusitasita
Mhu 5:4 usisite kuitimiza nadhiri
SITAWI, Zb 92:14 wataendelea kusitawi
Mdo 19:20 neno likazidi kusitawi
SODOMA, Mwa 19:24 moto juu ya Sodoma
Mt 10:15 rahisi kwa nchi ya Sodoma
Mwa 18:26; Isa 1:10; 13:19; 2Pe 2:6; Yud 7; Ufu 11:8.
SOGEZA, Kum 19:14 Usisogeze nyuma mpaka
SOGEZWA, Zek 14:4 mlima utasogezwa
SOKO, Mdo 17:17 akajadiliana na watu sokoni
1Ko 10:25 kinachouzwa sokoni
SOKOTA, Mt 27:29; Mk 15:17; Yoh 19:2.
SOMA, Ne 8:8 Wakaendelea kusoma
Isa 29:11 Tafadhali, soma kwa sauti
Isa 34:16 kitabu, msome kwa sauti
Hab 2:2 anayeyasoma, kwa wepesi
1Ti 4:13 kusoma mbele ya watu
Ufu 1:3 anayesoma kwa sauti
Kut 24:7; Kum 17:19; Lu 4:16; Mdo 13:15.
SOMO, Amu 8:16 kuwafundisha somo watu
SOMWA, 2Ko 3:2 kusomwa na wanadamu
SONGA, Isa 51:13 ghadhabu ya anayekusonga
Isa 59:14 haki ilisonga nyuma
2Ko 4:8 hatubanwi tusiweze kusonga
2Th 3:1 neno, kusonga haraka
SONGAMANA, Lu 11:29 umati wakisongamana
SONGWA, 2Ko 6:12 mmesongwa mkakosa
STAAJABISHA, Mt 21:42.
Mk 12:11 kustaajabisha machoni petu
Yoh 9:30 ni jambo la kustaajabisha
STAAJABIWA, 2Th 1:10 kustaajabiwa siku hiyo
STAAJABU, Yer 4:9 manabii watastaajabishwa
Lu 4:22 wakistaajabia maneno
STADI WA KAZI, Met 8:30 nikiwa stadi wa kazi
STAHILI, Mwa 32:10 sistahili fadhili zote
Met 3:27 Usiwanyime wanayostahili
Mt 5:22 atastahili Gehena
Mt 10:10 mfanyakazi anastahili chakula
Mt 26:66 Anastahili kufa
Lu 20:35 wamehesabiwa kustahili
Mdo 5:41 hesabiwa kustahili kuvunjiwa
Mdo 13:46 hamstahili uzima wa milele
Mdo 26:31 lolote linalostahili kifo
Ro 3:19 ustahili adhabu kwa Mungu
Efe 4:1 mtembee kuustahili mwito
Flp 1:27 inayostahili habari njema
Kol 1:10 mtembee kwa kumstahili Yah
1Th 2:12 kumstahili Mungu anayewaita
2Th 1:5 mnastahili ufalme
1Ti 5:18 Mfanyakazi astahili mshahara
Ufu 4:11 Unastahili, Ee Yehova
Lu 23:15; Mdo 23:29; Ro 1:32; 1Ti 1:15.
STAHIMILI, Hes 31:23 ambacho hustahimili moto
Mal 3:2 atakayeistahimili siku
STAREHE, Amo 6:1 “Ole wanaostarehe Sayuni
Lu 12:19 starehe, ule, unywe
Mdo 24:23 awe na starehe fulani
Kum 28:65; Yer 31:2; 49:31; Zek 1:15.
STAREHESHA, Isa 51:4.
STEFANO, Mdo 6:5; 7:59; 8:2; 22:20.
SUBIRA, Ebr 6:12 subira huzirithi ahadi
Yak 5:7 onyesheni subira, ndugu
2Pe 3:15 subira, kuwa wokovu
Ayu 21:4; Met 14:29; 25:15; Mhu 7:8; Zek 11:8; Mt 18:26, 29; Ebr 6:15; Yak 5:10; 1Pe 3:20; 2Pe 3:9.
SUFURIA, 1Sa 2:14 kuutia ndani ya sufuria
SUJUDIA, Kut 34:14 usimsujudie mungu
Isa 44:15 hutengeza sanamu, huisujudia
Lu 24:52 wakamsujudia na kurudi
Ebr 1:6 Malaika wamsujudie
SUJUDU, Isa 46:6 Wanasujudu, wanainamia
SUKUMA, Kut 35:21; 36:2 moyo ulimsukuma
Kum 33:17; 1Fa 22:11; Zb 44:5.
SULEMANI, 1Fa 11:9 akamkasirikia Sulemani
1Nya 29:23 Sulemani akiwa mfalme
2Nya 3:1 Sulemani akaanza kujenga
Mt 6:29 hata Sulemani hakupambwa
Mt 12:42 mtu mkuu kuliko Sulemani
1Fa 4:29; 1Nya 22:9; Ne 13:26; Mdo 7:47.
SULUBISHA. Ona TUNDIKA MTINI.
SUMBUA, Ru 2:15 aokote, msimsumbue
SUMBUKA, Zb 6:2 mifupa yangu imesumbuka
SUMBULIWA, Hes 25:17.
Ru 2:22 usije ukasumbuliwa
Met 1:33 hatasumbuliwa na hofu
SUMU, Yak 3:8 ulimi, umejaa sumu
SURA, Mwa 1:26 tufanye mtu kwa sura yetu
1Fa 22:30 nitajibadili sura, vitani
Zek 5:6 sura yao katika dunia yote
Yoh 7:24 Acheni kuhukumu kwa sura
2Ko 5:12 hujisifu juu ya sura ya nje
Ga 2:6 Mungu hafuati sura ya nje
Kum 28:50; 1Sa 16:7; 1Fa 20:38; 2Nya 35:22; Yoe 2:4; Mt 22:16.
SURA NZURI, Zb 45:2 una sura nzuri kuliko
SURIA, Amu 19:25 wakamtendea vibaya suria
1Fa 11:3 masuria mia tatu
Mwa 22:24; Kut 21:8; 2Sa 3:7; Est 2:14.
SWALI, Ro 14:1 maswali ya ndani
1Ti 1:4 maswali ya utafiti
1Ti 6:4 maswali na mabishano
2Ti 2:23 maswali ya upumbavu
Tit 3:9 epuka maswali ya upumbavu
1Fa 10:1; Mt 22:46; Mdo 23:29.
T
TAA, 2Sa 22:29 Yehova ni taa yangu
1Fa 15:4 Mungu alimpa taa
Zb 119:105 Neno lako, taa ya mguu
Met 6:23 amri hiyo ni taa
Met 13:9 taa ya waovu itazimwa
Mt 5:15 taa, si chini ya kikapu
Mt 6:22 Taa ya mwili ni jicho
Mt 25:1 mabikira kumi na taa
Lu 12:35 taa zenu ziwake
Zb 18:28; Met 21:4; Yoh 5:35; Ufu 4:5.
TAABIKA, Mt 11:28 Njooni nyote mnaotaabika
TAABISHA, Ga 4:11 nimejitaabisha bila
Flp 3:1 Hainitaabishi kuwaandikia
TAABISHWA, 2Pe 2:7 Loti, alitaabishwa sana
TAABU, Zb 46:1 Msaada wakati wa taabu
Met 11:8 Mwadilifu huokolewa na taabu
Met 17:17 rafiki, ndugu wakati wa taabu
Met 24:10 kuvunjika moyo siku ya taabu?
Isa 53:11 taabu ya nafsi
Da 12:1 wakati wa taabu ambayo
Sef 1:15 siku ya taabu na maumivu
Ro 3:16 taabu imo katika njia zao
Yak 4:9 Iweni na taabu na kulia
Yak 5:1 matajiri, lieni juu ya taabu
1Sa 14:29; 2Sa 22:7; 1Fa 18:18; Met 11:17; 15:6, 27; Isa 8:22; Ro 2:9; 1Th 5:3.
TABAKA, Yer 5:4 wao ni tabaka ya chini
TABASAMU, Ayu 29:24 nikiwapa tabasamu
TABIA, Amu 2:19 tabia ya ukaidi
1Ko 15:33 huharibu tabia nzuri
TABIA-POLE, Mt 5:5 furaha walio na tabia-pole
Mt 11:29 mimi ni mwenye tabia-pole
Mt 21:5 Mfalme, mwenye tabia-pole
1Pe 3:15 kujitetea kwa tabia-pole
TABIBU, Mwa 50:2 matabibu wakampaka Israeli
Ayu 13:4 matabibu wasio na faida
Lu 4:23 Tabibu, jiponye
Lu 5:31 afya hawahitaji tabibu
Kol 4:14 Luka tabibu mpendwa
TABORI, Amu 4:14 Mlima Tabori
TAFAKARI. Pia ona SAUTI YA CHINI.
Mwa 24:63 Isaka, ili atafakari
Zb 19:14 kutafakari kwa moyo wangu
Zb 77:12 nitatafakari utendaji wako
Zb 104:34 Kutafakari kwangu kupendeze
Zb 143:5 Nimetafakari utendaji wako
Met 5:6 hatafakari njia za uzima
Met 15:28 hutafakari ili kujibu
Mdo 4:25 watu wakatafakari matupu?
Ebr 13:7 mnapotafakari mwenendo wao
TAFSIRI, Mwa 40:8 tafsiri si za Mungu?
Mhu 8:1 kujua tafsiri ya jambo?
Da 2:4 tutaonyesha tafsiri yake
Da 5:16 unaweza kutoa tafsiri
Da 5:26 ndiyo tafsiri ya neno:
1Ko 14:13 asali ili aitafsiri
1Ko 14:27 mtu fulani atafsiri
TAFSIRIWA, Ezr 4:7 kutafsiriwa katika lugha
TAFUTA, Zb 27:4 jambo moja nitalitafuta
Zb 37:25 uzao wake ukitafuta mkate
Met 2:4 kuutafuta kama hazina
Met 15:14 hutafuta upumbavu
Isa 55:6 Mtafuteni Yehova
Eze 34:11 nitawatafuta kondoo zangu
Eze 39:14 miezi saba wataendelea kutafuta
Amo 9:3 wakijificha nitawatafuta
Sef 2:3 mtafuteni Yehova
Mal 3:1 Bwana ambaye mnamtafuta
Mt 6:33 kuutafuta kwanza ufalme
Mt 7:7 endeleeni kutafuta, mtapata
Mt 10:11 tafuteni ni nani anayestahili
1Ko 10:33 bila kutafuta faida yangu
Kol 3:1 endeleeni kutafuta yaliyo juu
Ebr 11:14 wanatafuta kwa bidii mahali
Ebr 13:14 tunatafuta lile litakalokuja
1Pe 1:10 walitafuta kwa uangalifu
Ayu 28:3; Zb 9:12; 64:6; 119:2; Met 1:28; 11:27; Isa 16:5; 26:9; Yer 29:13; Omb 3:40; Eze 7:25; 34:8; Amo 8:12; Zek 8:22; Yoh 8:40, 50; Mdo 15:17; Ro 2:7; 1Ko 1:22; Ga 1:10; Ebr 11:6; 1Pe 5:8; Ufu 9:6.
TAFUTWA, Oba 6 walio wa Esau wametafutwa
TAHIRI. Ona pia TOHARA. Ro 2:29; 3:30; 4:11; 1Ko 7:19.
TAHIRIWA, Isa 52:1 asiyetahiriwa na asiye safi
Mdo 7:51 wasiotahiriwa katika mioyo
Law 26:41; Eze 32:24; Hab 2:16; 1Ko 7:18.
TAI, Isa 40:31 Wataruka juu kama tai
Eze 10:14; Oba 4; Mt 24:28; Ufu 12:14.
TAIFA, Kut 19:6 makuhani na taifa takatifu
2Sa 7:23 taifa gani kama Israeli
Zb 9:17 mataifa yanayosahau Mungu
Zb 33:12 taifa ambalo Yehova ni
Isa 2:2 mataifa yatamiminika huko
Isa 2:4 Taifa halitainua upanga
Isa 26:2 taifa la uadilifu linaloshika
Isa 66:8 taifa litazaliwa wakati uleule
Yer 25:32 Msiba, taifa mpaka taifa
Sef 2:1 Ee taifa lisiloona aibu
Sef 3:8 ni kukusanya mataifa
Hag 2:7 kutamanika vya mataifa
Mt 12:21 mataifa yatatumaini jina
Mt 21:43 ufalme, kupewa taifa linalozaa
Mt 24:7 taifa kupigana na taifa
Mt 24:14 ushahidi kwa mataifa
Mt 25:32 mataifa kukusanyika mbele yake
Lu 21:24 nyakati za mataifa zitimizwe
Lu 21:25 maumivu ya mataifa
Lu 23:2 akipindua taifa letu
Mdo 15:14 uangalifu kwa mataifa
Efe 4:17 kama mataifa wanavyotembea
1Pe 2:12 mwenendo mzuri kati ya mataifa
Ufu 11:18 mataifa wakawa na ghadhabu
Mwa 22:18; Mdo 10:35; Ro 3:29; Ufu 7:9.
TAIFA LA ISRAELI, Efe 2:12.
TAJA, Zb 6:5 katika kifo hutajwi
Zb 50:16 kuyataja masharti yangu
Flp 3:18 nilikuwa nikiwataja mara
Yud 4 walitajwa kimbele na Maandiko
TAJI, Eze 21:26 kulivua taji
1Th 2:19 taji la kufurahi kwetu
2Ti 4:8 nimewekewa akiba taji
Ufu 2:10 nitakupa taji la uzima
2Sa 1:10; Est 8:15; Zb 89:39; Met 27:24; Mt 27:29; Yak 1:12; 1Pe 5:4; Ufu 12:3.
TAJI LISILOWEZA KUFIFIA, 1Pe 5:4.
TAJIRI, Met 13:7 anayejifanya tajiri
Yer 9:23 tajiri asijigambe
Lu 18:25 kuliko tajiri kuingia ufalme
2Ko 8:9 ingawa alikuwa tajiri
1Ti 6:9 wameazimia kuwa matajiri
1Ti 6:18 matajiri katika matendo
Yak 2:5 matajiri katika imani
Yak 5:1 basi, enyi matajiri
Ufu 3:17 unasema: Mimi ni tajiri
TAJIRISHA, 1Sa 2:7 Mwenye Kutajirisha
Met 10:22 Baraka ya Yah hutajirisha
2Ko 6:10 kuwatajirisha wengi
TAJWA, Hes 1:17 wametajwa kwa majina
Efe 1:21 kila jina linalotajwa
Efe 5:3 Uasherati, au pupa visitajwe
TAKA, Mwa 9:5 nitaitaka nafsi ya mwanadamu
Kum 10:12 anataka nini kwako ila
Zb 40:6 Hukutaka toleo la kuteketezwa
Mik 6:8 Yehova anataka nini kutoka kwako
Flp 1:17 wanataka kuchochea dhiki
TAKASA, Yos 3:5 Jitakaseni, kwa maana
1Fa 9:3 Nimeitakasa nyumba hii
2Nya 7:16 naichagua na kuitakasa nyumba hii
Isa 5:16 Mungu, atajitakasa kupitia uadilifu
Isa 29:23 watalitakasa jina langu
Yer 1:5 nilikutakasa. Nilikufanya nabii
Yer 51:27 Takaseni mataifa juu yake
Eze 36:23 nitalitakasa jina langu kuu
Eze 37:28 ninawatakasa Israeli
Da 11:35 kutakasa na kufanya weupe
Da 12:10 Wengi watajitakasa
Yoe 3:9 Takaseni vita
Yoh 17:17 Watakase kwa njia ya ile kweli
Yoh 17:19 ninajitakasa kwa ajili yao
Mdo 10:15 vitu ambavyo Mungu ametakasa
2Th 2:13 aliwachagua kwa kuwatakasa
Ebr 13:12 kuwatakasa watu kwa damu yake
Yak 4:8 takaseni mioyo yenu
1Pe 1:22 mmezitakasa nafsi zenu
1Pe 3:15 mtakaseni Kristo katika mioyo
Kut 13:2; 29:36, 44; Hes 3:13; 19:12; Kum 32:51; 2Nya 29:18; Zb 51:2; Eze 38:16; 45:18; Sef 1:7; Lu 4:27; Mdo 11:9; Efe 5:26; Ebr 1:3; 1Yo 3:3.
TAKASWA, 2Sa 22:31 Neno limetakaswa
2Nya 30:19 ingawa hajatakaswa
Eze 20:41 nitatakaswa katika ninyi
Lu 11:2 jina lako na litakaswe
1Ko 6:11 lakini mmetakaswa
1Ko 7:14 hutakaswa kuhusiana na mke
1Th 4:3 mapenzi ya Mungu, mtakaswe
Ebr 2:11 wanaotakaswa hutokana na mmoja
Ebr 10:10 tumetakaswa kupitia toleo la Kristo
1Pe 1:2 kwa kutakaswa kwa roho
Law 22:32; Isa 13:3; 1Ko 1:2; 1Ti 4:5; 2Ti 2:21.
TAKATAKA, Isa 5:25 maiti, kama takataka
1Ko 4:13 tumekuwa takataka ya
Flp 3:8 naviona kuwa takataka
TAKATIFU, Ro 7:12 Sheria ni takatifu
1Ko 3:17 hekalu la Mungu ni takatifu
TAKWA, Ro 8:4 takwa la Sheria
TALAKA, Kum 24:1 cheti cha talaka
Isa 50:1 cheti cha talaka cha mama yenu
Yer 3:8 nikampa cheti cha talaka
Mal 2:16 Mungu amechukia talaka
TALANTA, Kut 38:25, 27; 1Fa 10:10, 14; Mt 18:24; 25:15; Ufu 16:21.
TALIKI, Mt 1:19 Yosefu alikusudia kumtaliki
Mt 5:31 anayemtaliki mke, ampe cheti
Mt 19:7 Musa aliagiza cheti cha kumtaliki?
Mt 19:9 anayetaliki, ila kwa uasherati
TALIKIWA, Law 21:7 wasioe aliyetalikiwa
Law 22:13 binti ya kuhani akitalikiwa
Hes 30:9 nadhiri, mwanamke aliyetalikiwa
TAMAA, Mwa 3:16 tamaa itakuwa kwa mume
Zb 145:16 kutosheleza tamaa
Hab 2:17 tamaa juu ya wanyama
Lu 12:15 mjilinde na tamaa
Yoh 8:44 mnataka, tamaa za baba yenu
Ro 7:5 tamaa zenye dhambi
Ro 7:7 singejua tamaa kama Sheria
1Ko 7:9 ndoa kuliko kuwaka tamaa
Ga 5:24 mwili na tamaa zake
1Th 2:5 unafiki kwa ajili ya tamaa
1Ti 5:11 tamaa zao za ngono
1Ti 6:9 tamaa nyingi za kijinga
Tit 2:12 tukatae tamaa za kilimwengu
Yak 1:14 kushawishiwa na tamaa
Yak 4:1 tamaa zenu za mwili
Yak 5:5 katika tamaa za mwili
2Pe 3:3 kulingana na tamaa zao
1Yo 2:16 tamaa ya mwili, tamaa ya
1Yo 2:17 ulimwengu unapita na tamaa
2Sa 23:15; Wim 7:10; Ro 1:29; Ga 5:24; 2Ti 2:22; 1Pe 2:2; 2Pe 2:3, 18.
TAMAA YA KIMWILI, Ga 5:16.
1Pe 2:11 epuka tamaa za kimwili
TAMAA YA MWILI, Eze 23:11; 1Ti 5:6; Yak 4:1; 5:5.
TAMAA YA NAFSI, Isa 56:11.
TAMAA YA NGONO, 1Ti 5:11.
TAMAA ZA MWILI, 1Ti 5:6.
TAMANI, Kut 20:17 Usimtamani mke
Kum 12:20 nafsi inatamani kula nyama
Zb 37:7 kumngojea Yah kwa kutamani
Zb 45:11 mfalme atatamani urembo
Zb 84:2 Nafsi imetamani Yehova
Met 21:10 nafsi ya mwovu imetamani mabaya
Mik 2:2 wametamani mashamba
Mt 5:28 na kumtamani tayari
Ro 7:7; 13:9 Usiibe, Usitamani
Flp 1:8 ninavyowatamani ninyi
Mwa 4:7; 31:30; Ayu 14:15; Met 23:6; 24:1; Amo 5:18; Ro 1:11; Flp 1:23; 2Ti 1:4.
TAMANIKA, Eze 24:16 kutamanika machoni
Da 11:38 na vitu vyenye kutamanika
Da 11:43 atatawala vitu vya kutamanika
Hag 2:7 vitu vyenye kutamanika vya mataifa
TAMARI, Mwa 38:6, 11; Ru 4:12; Mt 1:3.
TAMASHA, Nah 3:6 nitakuweka uwe tamasha
1Ko 4:9 tamasha kwa ulimwengu
1Ko 7:31 tamasha ya ulimwengu
TAMBARARE, Lu 3:5 kilima kifanywe tambarare
TAMBUA, Mwa 3:7 wakatambua walikuwa uchi
Met 1:2 kutambua maneno ya uelewaji
Met 3:6 Mtambue katika njia zako
Met 19:25 ili atambue ujuzi
Met 31:18 Ametambua biashara ni nzuri
Nah 1:7 Yehova hutambua wale
Mt 5:3 wanaotambua uhitaji wa kiroho
Mt 7:20 mtawatambua kwa matunda
Ro 11:2 watu, aliowatambua
1Ko 11:29 ikiwa hautambui mwili
1Ko 16:18 watambueni watu wa
2Ko 6:9 ni wenye kutambuliwa
Kum 33:9; 1Sa 2:12; 3:8; 1Fa 3:9; Met 20:24; Isa 61:9; 63:16; Da 10:14; Ho 2:8; 11:3; 2Ko 1:13.
TAMBULIKA, Met 28:12 hujifanya asitambulike
TAMBULIWA, Yer 19:4 mahali, pasitambuliwe
TAMKWA, 2Ko 12:4 yasiyoweza kutamkwa
TAMU, Yak 3:11 matamu na machungu
TAMUZI, Eze 8:14 wakimlilia mungu Tamuzi
TANGA-TANGA, Zb 36:11 mtu wa kutanga-tanga
TANGAZA, Kut 9:16 jina langu litangazwe
Law 25:10 kutangaza uhuru nchini
Kum 32:3 nitatangaza jina la Yehova
2Fa 10:20 Baali. Basi wakalitangaza
Ayu 27:5 niwatangaze kuwa waadilifu!
Ayu 32:3 walitangaza Mungu kuwa mwovu
Zb 19:1 Mbingu zinatangaza utukufu
Zb 40:9 Nimetangaza habari njema
Zb 68:11 Wanawake wanaotangaza
Zb 119:13 nimetangaza maamuzi
Isa 42:9 ninayatangaza mambo mapya
Isa 61:1 kutangaza uhuru kwa mateka
Yer 34:17 kumtangazia uhuru kila
Da 5:29 wakatangaza Danieli
Yoe 3:9 Tangazeni kati ya mataifa
Yon 3:2 Ninawi, ukalitangazie
Mk 5:20 kutangaza mambo ya Yesu
Lu 4:18 alinitia mafuta kutangaza habari
Lu 8:39 akatangaza jijini
Lu 16:15 mnaojitangaza waadilifu
Mdo 8:4 katika nchi wakitangaza habari
Ro 5:18 wao kutangazwa waadilifu
Ro 8:33 Mungu anayewatangaza waadilifu
1Ko 9:14 wanaotangaza waishi kwa
1Ko 9:16 ole wangu nisipotangaza habari
1Ko 11:26 kukitangaza kifo cha Bwana
1Pe 2:9 mtangaze kotekote sifa bora
Kut 23:7; 33:19; 1Nya 16:24; Est 8:13; Zb 22:30; 72:17; 79:13; 88:11; 94:21; 96:3; 102:21; 119:26; Met 20:6; Isa 52:7; 61:2; Yer 4:15; 5:20; 19:2; 31:7; 34:8; Da 2:5, 8; Amo 4:5; Yon 3:5; Mdo 15:36; Flp 1:16; Kol 1:28; Ebr 2:12.
TANGAZIWA, Est 3:14 ikitangaziwa watu
Ro 15:21 ambao hawajatangaziwa
TANGAZO, Yoh 19:19 Pilato akaandika tangazo
1Ti 6:13 tangazo zuri la hadharani
TANGAZO LA HADHARANI, Ro 10:10; Ebr 13:15.
TANGAZWA, Flp 1:18 Kristo anatangazwa
TANGAZWA KUWA MWADILIFU, Isa 43:9; Ro 2:13; 3:20, 24; 5:1, 9; 8:30; Ga 2:16; 1Ti 3:16; Yak 2:21, 24, 25.
TANGI, 2Fa 18:31; Isa 36:16; Yer 2:13.
TANGUA, Ayu 42:6 natangua niliyosema
Isa 44:25 Ninazitangua ishara za
Ga 3:17 Sheria hailitangui agano
TANGULIA, 1Th 4:15 hatutawatangulia waliolala
TANULIA KINYWA, Zb 57:3.
TANURU, Zb 12:6 iliyosafishwa katika tanuru
Isa 48:10 tanuru ya mateso
Da 3:17 atatuokoa kutoka tanuru
Kum 4:20; Da 3:19; Mal 4:1; Mt 13:42.
TAPANYA, Lu 15:13 akatapanya mali
TAPIKA, Yer 25:27 mtapike na kuanguka
Ufu 3:16 nitakutapika kutoka
TARAJIA, Zb 33:20 Nafsi imemtarajia Yehova
Isa 8:17 nitaendelea kumtarajia Yehova
Da 12:12 furaha, anayeendelea kutarajia
TARAJIO, Met 13:12 Tarajio lililocheleweshwa
Ebr 11:1 Imani ni tarajio
Met 10:28; Lu 21:26; Ebr 10:27.
TARSHISHI, Isa 23:1 meli za Tarshishi!
2Nya 9:21; Zb 48:7; Eze 27:12, 25; Yon 1:3.
TARTARO, 2Pe 2:4 kuwatupa Tartaro
TARUMBETA, Mt 6:2 usipige tarumbeta mbele
1Ko 14:8 tarumbeta ikipiga mwito
1Ko 15:52 tarumbeta ya mwisho
1Th 4:16 atashuka kwa tarumbeta
TASA, Ayu 3:7 Usiku huo uwe tasa
Isa 54:1 Piga vigelegele, mwanamke tasa
Lu 23:29 Wenye furaha ni wanawake tasa
Mwa 11:30; Kut 23:26; 1Sa 2:5; Ayu 15:34; 30:3; Isa 49:21; Ga 4:27.
TATANISHA, 1Fa 10:1 maswali ya kutatanisha
Isa 19:3 roho lazima itatanishwe
Ebr 12:1 dhambi inayotutatanisha
TATU, 2Ko 12:2 mbingu ya tatu
TAUNI, Zb 106:29 Tauni ikazuka katikati yao
Eze 38:22 hukumu, kwa tauni
Zek 14:12 tauni ambayo Yehova atatumia
Lu 21:11 tauni, upungufu wa chakula
Kum 28:21; Zb 78:50; Yer 14:12; Amo 4:10.
TAWALA. Ona pia KUJIZUIA.
Mwa 1:18 kutawala mchana na usiku
Mwa 1:26 watawale samaki
Mwa 1:28 mtawale kila kiumbe hai
Mwa 3:16 mume wako, atakutawala
Mwa 37:8 Je, utatutawala?
Kut 15:18 Yehova atatawala
Kum 15:6 utatawala mataifa mengi
Amu 8:23 sitatawala juu yenu
1Sa 8:9 haki ya mfalme atakayetawala
2Sa 23:3 anayetawala ni mwadilifu
Zb 8:6 atawale kazi za mikono yako
Zb 59:13 Mungu anatawala miisho ya dunia
Zb 103:19 ufalme wake umetawala
Zb 119:133 jambo la kuumiza lisinitawale
Met 29:2 mwovu akitawala, watu huugua
Met 30:22 mtumwa anapotawala
Mhu 8:9 amemtawala mwanadamu
Isa 14:5 fimbo ya wanaotawala
Isa 32:1 Mfalme atatawala kwa uadilifu
Isa 32:1 watatawala kwa ajili ya haki
Eze 20:33 nitatawala juu yenu
Ro 5:14 kifo kilitawala
Ro 6:12 dhambi isitawale miili
1Ko 4:8 sisi tutawale nanyi
1Ko 15:25 atawale mpaka Mungu
Kol 3:15 amani ya Kristo itawale mioyoni
2Ti 2:12 tukivumilia, tutatawala
Ufu 11:15 atatawala milele na milele
Ufu 11:17 kutawala ukiwa mfalme
Ufu 20:4 na kutawala miaka elfu
1Sa 8:11; 24:20; 1Fa 1:5; Ayu 34:30; Zb 49:14; Met 8:16; Isa 3:4; Yer 23:5; Da 11:39; Mik 4:7; 1Ko 4:8; Ufu 19:6.
TAWANYA, Mwa 11:9 Yehova amewatawanya
Zb 147:16 Anatawanya sakitu
Met 15:7 wenye hekima hutawanya ujuzi
Yer 23:2 mmewatawanya kondoo zangu
Mt 12:30 asiyekusanya nami anatawanya
Zb 144:6; Met 11:24; Yer 30:11; Eze 5:10; 34:21; Hab 3:14; Yoh 10:12.
TAWANYIKA, Zb 68:1 adui zake watawanyike
Yak 1:1 makabila yaliyotawanyika
Mwa 11:4; Eze 34:5, 12; Zek 13:7; 1Pe 1:1.
TAWANYWA, Isa 51:6 mbingu zitatawanywa
Isa 56:8 Yehova, akusanya waliotawanyika
Zb 147:2; Isa 11:12; 16:3, 4; 27:13; Zek 1:19; Mdo 8:4.
TAWI, Law 25:3 utakata matawi ya shamba
Isa 11:1 tawi litatoka katika kisiki
Isa 53:2 atapanda kama tawi
Yoe 1:7 Matawi yamekuwa meupe
Mt 21:8 kukata matawi
Yoh 15:2 Kila tawi ndani yangu lisilozaa
Ro 11:21 Mungu hakuyaachilia matawi
Mt 24:32; Lu 13:19; Yoh 15:4, 6; Ro 11:16.
TAYA, Amu 15:15 taya ya punda-dume
TAYARI, 1Ti 6:18 wakarimu, tayari kushiriki
TAYARISHA, Zb 8:3 Mwezi, nyota umetayarisha
Mt 25:34 ufalme uliotayarishwa
Ro 9:23 alivyotayarisha kimbele
Ebr 11:16 ametayarisha jiji
Met 30:25; Eze 38:7; Mt 11:10; 20:23.
TAYARISHIA, Yoh 14:2 kuwatayarishia mahali
1Ko 2:9 Mungu ametayarishia wanaompenda
Ebr 10:5 ulinitayarishia mwili
TAYARISHIWA, Mt 25:41.
Mk 10:40 wataketi ambao wametayarishiwa
TAYARISHWA, Zb 37:23 Hatua zimetayarishwa
Lu 1:17 watu waliotayarishwa
2Ti 2:21 kilichotayarishwa kwa kazi
TAZAMA, Zb 94:9 jicho, hawezi kutazama?
Mt 14:19 akatazama mbinguni, akabariki
Lu 9:62 jembe, na kutazama nyuma
2Ko 3:7 Israeli hawakuweza kutazama Musa
Ebr 12:2 tukimtazama Wakili
Isa 17:7; Zek 12:10; Mdo 1:10; 3:12; 11:6; 2Ko 3:13; Yak 1:23; Ufu 18:9.
TAZAMIA, Mik 7:7 kumtazamia Yehova
Ro 8:19 uumbaji kutazamia kufunuliwa
TAZAMIO, Ro 5:21 tazamio la uzima wa
TAZAMIWA, Mwa 34:25 bila kutazamiwa
TEGA KITENDAWILI, Amu 14:12; Eze 17:2.
TEGEMEA, Zb 84:12 yule anayekutegemea
Met 3:5 usitegemee uelewaji wako
Met 3:5 Mtegemee Yehova
Met 11:28 Anayetegemea utajiri
Met 29:25 anayemtegemea atalindwa
Isa 26:3 huyo hufanywa akutegemee
Isa 31:1 wanaotegemea magari ya vita
Yer 7:4 Msiyategemee maneno
Yer 17:5 Amelaaniwa anayemtegemea
Mik 7:5 Msimtegemee rafiki msiri
Ro 9:11 kutegemea, si matendo
1Pe 4:11 hudumu akitegemea Mungu
Zb 9:10; 32:10; 49:6; Met 28:26; Yer 46:25.
TEGEMEKA, Zb 19:7 ni chenye kutegemeka
Zb 78:8 haikuwa yenye kutegemeka
Da 2:45 ndoto ni ya kutegemeka
TEGEMEO, Zb 56:11 Nimeweka tegemeo
Zb 146:3 Msiweke tegemeo katika watu
TEGEMEWA, 2Ko 1:18 anaweza kutegemewa
TEGEMEZA, Zb 55:22 Yehova atakutegemeza
Ebr 1:3 hutegemeza vitu vyote
TEKA, Met 20:5 shauri, mtambuzi ataliteka
Zek 14:2 Yerusalemu litatekwa
2Ko 10:5 nasi tunaiteka kila fikira
1Ti 1:10 watu wanaoteka watu
TEKA NYARA, Mwa 40:15 niliteka nyara
Kum 24:7 akiteka nyara nafsi
TEKELEZA, Ru 1:1 waamuzi walitekeleza haki
TEKETEA, Kut 3:2 mti haukuwa ukiteketea
1Ko 3:15 kazi ya yeyote ikiteketea
TEKETEZA, Isa 37:19 miungu iliteketezwa
Eze 5:4 kuziteketeza motoni
Eze 39:9 kuteketeza silaha na ngao
Mik 1:7 zawadi zitateketezwa katika moto
Sef 3:8 dunia yote itateketezwa
Mal 4:1 siku inayokuja itawateketeza
Ufu 17:16 watamchukia na kumteketeza
Ufu 18:8 atateketezwa kabisa kwa moto
Ufu 20:9 moto ukashuka, ukawateketeza
Kum 4:24; 9:3; Amo 5:6; Nah 2:13; Sef 1:18; Zek 9:4; Mt 13:30; Ebr 10:27; 12:29.
TEMA MATE, Ga 4:14 kulitemea mate kwa chuki
TEMBEA, Mwa 1:21 nafsi hai inayotembea
Mwa 6:9 Noa alitembea na Mungu
Kum 6:7 unapotembea na unapolala
2Sa 5:18 kutembea huku na huku
Zb 23:4 ninatembea, bonde la kivuli
Zb 26:11 nitatembea katika utimilifu
Met 10:9 Anayetembea kwa utimilifu
Isa 30:21 njia. Tembeeni ndani yake
Isa 35:8 wapumbavu hawatatembea juu
Isa 35:9 waliokombolewa watatembea
Yer 10:23 Mwanadamu anayetembea
Mik 6:8 kiasi katika kutembea
Yoh 6:19 Yesu akitembea baharini
Mdo 9:31 kutaniko likitembea katika
Efe 2:2 mlitembea, ulimwengu
Efe 4:1 mtembee, kustahili mwito
Efe 5:15 jinsi mnavyotembea si
1Yo 2:6 kutembea kama alivyotembea
Mwa 3:8; 5:24; Ayu 1:7; Mdo 3:8; 2Th 3:11.
TEMBELEA, Mdo 15:36 turudi tutembelee ndugu
TENDA, Da 11:39 atatenda kwa matokeo
Ro 6:6 mwili ufanywe usiotenda
2Pe 1:8 yatawazuia kuwa wasiotenda
TENDA DHAMBI, 1Fa 8:47.
TENDA KWA MATOKEO, Da 11:17, 28, 32, 39.
TENDEA, Isa 29:14 atakayekitendea kwa ajabu
Lu 7:4 Anastahili umtendee hili
Kol 2:23 kuutendea mwili kwa ukali
TENDEA VIBAYA, Eze 18:7.
Eze 18:12 amemtendea vibaya maskini
Eze 22:7 Wametendea vibaya mvulana
Eze 22:29 wamemtendea vibaya maskini
Ebr 11:25 kutendewa vibaya
Ebr 11:37 wakitendewa vibaya
Ebr 13:3 kumbukeni wanaotendewa vibaya
Kut 22:21; 1Sa 31:4; Met 19:26; Isa 49:26; Yer 22:3; 38:19; Eze 45:8; Mdo 7:24.
TENDEKA, Yak 3:10 mambo kutendeka hivyo
TENDESHA, Da 9:27 kulitendesha agano
TENDO, Amu 5:11 matendo ya uadilifu
Mdo 26:20 kufanya matendo ya toba
Ufu 20:12 kulingana na matendo yao
Mwa 20:9; Hes 16:28; Ayu 33:17; Zb 103:6; 106:2; 145:4, 12; Isa 59:6.
TENGA, Hes 8:14 utawatenga Walawi
Amu 11:35 binti, nilikuwa nikitenga
1Fa 8:53 uliwatenga wawe urithi wako
Ro 8:35 nani atakayetutenga na upendo
Ro 8:39 havitaweza kututenga
Ga 1:15 Mungu, aliyenitenga
Kol 1:21 mlikuwa mmetengwa
TENGA NA USHIRIKA. Ona FUKUZA.
TENGANISHA, Mwa 1:4 akatenganisha nuru
Hes 14:34 maana ya kutenganishwa nanyi
Mt 25:32 atawatenganisha watu
Efe 2:14 ukuta uliowatenganisha
TENGANISHWA, Zb 88:5.
TENGENEZA, Isa 45:9.
TENGENEZWA, Kum 27:15
TENGWA, Hes 12:14, 15 atengwe nje ya kambi
Yos 7:1 Akani alichukua kilichotengwa
Kum 7:26; 2Nya 26:21; Zb 39:2.
TERA, Mwa 11:24; Lu 3:34.
TERAFIMU, 1Sa 15:23 uchawi na terafimu
Zek 10:2 terafimu zimesema
Mwa 31:19; 2Fa 23:24; Eze 21:21; Ho 3:4.
TESA, Mwa 15:13 watawatesa miaka 400
Kut 22:22 Msimtese mjane
Ayu 19:22 mnaendelea kunitesa
Ayu 36:15 Atamwokoa mwenye kuteseka
Yer 20:11 wanaonitesa watajikwaa
Mt 5:11 wanaposhutumu na kuwatesa
Mt 5:12 waliwatesa manabii
Mt 5:44 kuwaombea wanaowatesa
Mt 8:29 Je, umekuja kututesa?
Mt 10:23 wanapowatesa katika jiji
Mt 23:34 kuwatesa jiji baada ya jiji
Lu 21:12 watawakamata na kuwatesa
Yoh 15:20 Ikiwa wamenitesa mimi
Yoh 15:20 watawatesa ninyi pia
Mdo 7:52 mababu hawakumtesa?
Ro 12:14 kuwabariki wanaowatesa
Ga 1:13 niliendelea kulitesa kutaniko
Kum 30:7; 2Sa 7:10; Ayu 34:28; 36:15; Zb 94:5; 119:86, 157, 161; Isa 49:13; 53:4, 7; 58:10; 60:14; Yer 17:18; Nah 1:12; Sef 3:19; Mk 5:7; Lu 8:28; Ufu 11:10.
TESEKA, Zb 82:3 kuteseka, mtendeeni haki
Met 31:9 mwenye kuteseka na maskini
Isa 66:2 anayeteseka na kujuta rohoni
Ro 8:17 mradi tu tunateseka pamoja
Flp 1:29 mteseke kwa ajili yake
1Pe 2:21 Kristo aliteseka kwa ajili yenu
1Pe 3:17 ni afadhali kuteseka
1Pe 4:1 Kristo aliteseka katika mwili
Mdo 26:23; Ebr 2:18; 5:8; 1Pe 3:14; 5:10; Ufu 18:10.
TESWA, Lu 16:23 akiteswa sana
1Ko 4:12 tunapoteswa, tunavumilia
2Ko 4:9 tunateswa, lakini hatuachwi
2Ti 3:12 ujitoaji-kimungu, watateswa
Ebr 11:35 watu wengine waliteswa
Ufu 14:11 moshi wa kuteswa kwao
TETE, Mt 11:7 Tete likitikiswa
TETEA, Hes 21:7 Tutetee kwa Yehova
Met 22:23 Yehova atatetea kesi
Isa 1:17 teteeni masilahi ya mjane
Yer 30:13 anayetetea mambo yako
Lu 12:11 jambo mtakalojitetea nalo
Mdo 25:16 nafasi ya kujitetea
Flp 1:7 kutetea kisheria habari njema
Flp 1:16 kutetea habari njema
2Ti 4:16 kujitetea kwangu kwanza
1Pe 3:15 sikuzote mkiwa tayari kujitetea
Yoh 15:22; Mdo 19:33; Ro 2:15; 2Ko 12:19.
TETEMEKA, Kum 33:29 adui watatetemeka
Amu 7:3 anayeogopa na kutetemeka
2Sa 22:46 Wageni, kuja wakitetemeka
Zb 2:11 mshangilie kwa kutetemeka
Zb 29:8 nyika itetemeke
Zb 119:120 Mwili wangu umetetemeka
Isa 6:4 milango vikaanza kutetemeka
Isa 66:5 mnaotetemeka kwa ajili ya neno
Eze 27:35 wafalme, kutetemeka
Eze 38:20 wote watalazimika kutetemeka
Da 6:26 wakitetemeka mbele za Mungu
Flp 2:12 kuogopa na kutetemeka
Yak 2:19 wanaamini na kutetemeka
Kum 28:65; 2Sa 22:45; Ayu 4:14; Zb 18:44; 66:3; Yer 30:5; Eze 32:10; Ho 3:5; Mik 7:17; 2Pe 2:10.
TETEMEKO LA NCHI, Zek 14:5; Mt 24:7; Mt 27:54; Lu 21:11; Ufu 6:12.
TEUA. Ona CHAGUA
TEZI, Mk 4:38; Mdo 27:29, 41.
THABITI, Kol 1:23 mkiwa thabiti
Kol 2:5 uthabiti wa imani yenu
THAMANI, Zb 116:15 thamani machoni pa
Zb 139:17 mawazo yenye thamani
Met 3:15 thamani kuliko marijani
Met 12:11 vitu visivyo na thamani
Isa 1:13 matoleo yasiyo na thamani
Isa 43:4 mwenye thamani machoni
Mt 13:46 lulu ya thamani
Mdo 19:19 vitabu thamani 50,000
Flp 3:8 thamani bora zaidi
Ebr 10:29 thamani ya kawaida tu
1Pe 1:19 damu ya thamani, Kristo
1Pe 2:4 la thamani, kwa Mungu
1Sa 26:21; Met 8:18; 31:10; 1Pe 1:7; 2:6; 3:4; 2Pe 1:4; Ufu 17:4.
THAMANI TUKUFU, Zek 11:13.
THAMINI, Lu 7:2 mtumwa, aliyemthamini sana
Ebr 12:16 asiyethamini mambo matakatifu
THAWABU, Mwa 15:1 Thawabu itakuwa kubwa
Ru 2:12 Yehova akupe thawabu
Zb 13:6 njia ya kunipa thawabu
Zb 127:3 Uzao ni thawabu
Mt 5:12 thawabu yenu ni kubwa
Kol 3:24 kwa Yehova thawabu
Mt 6:1, 2; 10:41; 1Ko 3:8; Ebr 10:35.
THELUJI, Ayu 38:22 maghala ya theluji
Zb 51:7 kuwa mweupe kuliko theluji
Zb 147:16 Anatoa theluji kama sufu
Isa 1:18 zitafanywa nyeupe kama theluji
Da 7:9 Mavazi meupe kama theluji
Kut 4:6; Zb 148:8; Met 25:13; 26:1; Ufu 1:14.
THIATIRA, Mdo 16:14; Ufu 1:11; 2:18, 24.
THIBITISHA, Mdo 25:7 hawakuweza kuthibitisha
Ga 6:4 athibitishe kazi yake
1Th 2:4 Mungu, anayethibitisha mioyo
THIBITISHA KISHERIA, Flp 1:7.
THIBITISHIWA, Ebr 2:3 tukathibitishiwa wokovu
THIBITISHWA, Mdo 6:3 saba waliothibitishwa
THUBUTU, Kum 18:20 nabii atakayethubutu
Ro 5:7 mtu anaweza kuthubutu kufa
Ro 15:18 sitathubutu kusema
Ebr 11:29 Wamisri walipothubutu kupitia
TIA MAFUTA, Kut 28:41 utawatia mafuta na
Amu 9:8 miti ilienda kumtia mafuta mfalme
1Sa 16:13 Samweli akamtia mafuta
Zb 45:7 amekutia mafuta kwa
Isa 61:1 Yehova amenitia mafuta
2Ko 1:21 ambaye ametutia mafuta ni Mungu
Ebr 1:9 Mungu wako alikutia mafuta
Kut 30:25; 40:13, 15; Law 8:12; Hes 4:16; 1Sa 16:12; 1Fa 1:34; 19:16.
TIA MOYO, Kum 3:28 Yoshua, na kumtia moyo
2Nya 35:2 kuwatia moyo katika utumishi
Mdo 14:22 wakiwatia moyo kubaki
1Ko 14:3 hujenga na kutia moyo
1Ko 14:31 wote wajifunze na kutiwa moyo
Ebr 10:25 tutiane moyo, kadiri
Mdo 11:23; 2Ko 9:5; Ebr 13:22.
TII, Mwa 49:10 Shilo watu watamtii
Kut 19:5 mtaitii sauti yangu kabisa
1Sa 15:22 Kutii ni bora kuliko dhabihu
Yer 35:14 wameitii amri ya babu
Mdo 5:29 tumtii Mungu kuliko wanadamu
Ro 5:19 kutii kwa mtu mmoja
Ro 6:16 watumwa kwa sababu mnamtii
2Ko 10:5 fikira ili imtii Kristo
Efe 6:1 watoto, watiini wazazi
Efe 6:5 watumwa, watiini mabwana
2Th 1:8 kisasi juu ya wasiotii
Tit 3:1 kuzitii serikali
Ebr 5:8 alijifunza kutii kutokana
Ebr 5:9 wokovu kwa wale wanaomtii
Ebr 11:8 Abrahamu, alipoitwa, alitii
Ebr 13:17 Watiini wanaoongoza
1Pe 3:6 Sara, akimtii Abrahamu
Kut 24:7; 2Sa 22:45; Zb 18:44; Yer 35:8; Da 7:27; Mt 8:27; Mdo 5:32; 7:39; Ro 2:8; 6:17; 1Pe 1:22; 4:17.
TIISHA, Mwa 1:28 mjaze dunia na kuitiisha
1Nya 17:10 nitawatiisha adui zako
Zb 110:2 Nenda ukitiisha
Isa 45:1 Koreshi, kuyatiisha mataifa
1Ko 15:27 Mungu alivitiisha vitu vyote
Flp 3:21 kuvitiisha vitu vyote kwake
Ebr 2:8 alivitiisha vyote chini yake
TIISHWA, 1Sa 7:13 Wafilisti wakatiishwa
Ro 8:20 uumbaji ulitiishwa
Ebr 2:15 wametiishwa chini ya utumwa
1Pe 3:22 malaika na nguvu vilitiishwa
TIKISA, Isa 14:16 akizitikisa falme
Eze 21:21 Ametikisa mishale
Hag 2:7 nitatikisa mataifa yote
Ebr 12:26 sauti yake iliitikisa dunia
TIKISIKA, 2Sa 22:8 dunia ikaanza kutikisika
Zb 46:2 hata milima ikitikisika
Zb 55:22 Hatamwacha atikisike
TIKISWA, Mt 24:29 nguvu za mbingu zitatikiswa
Ebr 12:28 ambao hauwezi kutikiswa
Zb 15:5; 93:1; 125:1; 2Th 2:2.
TIKISWA-TIKISWA, Nah 3:12.
TIMAZI, Isa 28:17 uadilifu kuwa timazi
2Fa 21:13; Amo 7:7, 8; Zek 4:10.
TIMIA, Lu 18:31 mambo yote yatatimia
TIMIZA, Kum 23:21 usikawie kuitimiza
1Fa 8:15 Mungu ametimiza
2Nya 6:10 Yehova akatimiza neno lake
2Nya 36:21 kulitimiza neno la Yehova
Zb 20:5 Yehova atimize maombi
Zb 21:11 mawazo wasiyoweza kutimiza
Zb 61:8 kutimiza nadhiri zangu
Zb 148:8 moto unaotimiza neno lake
Mhu 5:4 nadhiri, usisite kuitimiza
Yer 33:14 nitalitimiza, ambalo nimesema
Yon 2:9 nadhiri, nitakitimiza
Mt 5:17 si kuharibu, bali kutimiza
2Ti 4:5 timiza kwa ukamili huduma
2Nya 6:4, 15; Ayu 39:2; Zb 20:4; 22:25; 50:14; 66:13; 76:11; 116:14; Yer 44:25; Mt 2:15; 12:17; Lu 8:14; 21:22; Ga 6:2.
TIMIZWA, Met 13:19 Tamaa inapotimizwa
Met 15:22 washauri, mambo hutimizwa
2Ti 4:17 kazi ya kuhubiri itimizwe
TIMOTHEO, Mdo 16:1; 1Ko 4:17; 1Ti 1:2.
TIRIRIKA, Eze 7:17 magoti, yanatiririka maji
TIRIRISHA, Isa 45:8 anga zitiririshe uadilifu
TIRO, Isa 23:1 Tangazo la Tiro
Isa 23:17 atakaza fikira juu ya Tiro
2Sa 5:11; 1Fa 7:13; Zb 45:12; Eze 27:2.
TISHA, Mdo 9:1 Sauli bado akiwatisha
Efe 6:9 mwache kutisha
TISHO, Zb 73:19; Eze 4:16; 12:19.
TITI, Isa 66:11 titi la utukufu wake
TITO, 2Ko 2:13; 12:18; Ga 2:1; Tit 1:4.
TIWA MAFUTA, Eze 28:14; 1Yo 2:20.
TOA, Mt 10:8 Mlipokea bure, toeni bure
Mdo 20:35 furaha zaidi katika kutoa
2Ko 3:9 kutolewa kwa uadilifu
Ebr 9:14 Kristo alijitoa kwa Mungu
Ebr 10:12 alitoa dhabihu moja
Ebr 11:17 kana kwamba alimtoa Isaka
1Yo 3:16 huyo aliitoa nafsi yake
Mwa 22:13; Ezr 1:6; Ayu 1:21; Isa 43:6; Mdo 8:18.
TOAZI, 2Sa 6:5 wakisherehekea kwa matoazi
1Ko 13:1 sina upendo, nimekuwa toazi linalolia
TOBA, Mt 3:8 matunda yanayofaa toba
Mdo 26:20 matendo yanayostahili toba
Ro 2:4 kukuongoza kwenye toba?
2Ko 7:10 huzuni hutokeza toba
2Ti 2:25 Mungu akawapa toba
Mt 3:11; Lu 24:47; Mdo 11:18; 2Pe 3:9.
TOBOA, Amu 5:26 akatoboa kichwa chake
Ayu 30:17 Mifupa yangu imetobolewa
TOFAUTI, Law 11:47 kufanya tofauti kati ya
Mal 3:18 tofauti, mwadilifu, mwovu
Ro 10:12 hakuna tofauti, Myahudi, Mgiriki
1Ko 14:7 kisipofanya tofauti ya sauti
Ga 4:20 kusema kwa njia tofauti
Yak 2:4 mna tofauti za kitabaka
Da 7:3, 7, 19, 23, 24; Mdo 15:9; Ro 3:22; Yak 3:17.
TOFAUTISHA, Ebr 5:14 kutofautisha sawa, kosa
Eze 22:26 tofautisha kitakatifu, cha kawaida
TOFETHI, 2Fa 23:10; Isa 30:33; Yer 7:31.
TOHARA Ona pia TAHIRI. Flp 3:3; Kol 2:11.
TOKANA, Ebr 2:11 wote hutokana na mmoja
TOKEA, Mwa 12:7 Yehova akamtokea Abramu
Kut 3:16 Yehova Mungu amenitokea
1Fa 11:9 yeye aliyemtokea mara mbili
2Nya 3:1 Yehova alikuwa amemtokea Daudi
Isa 42:9 Kabla hayajaanza kutokea
Amu 6:12; Lu 9:31; Mdo 9:17; 16:9.
TOKENI, 2Ko 6:17 tokeni, na mjitenge
Ufu 18:4 Tokeni kwake, watu wangu
TOKEO, Ayu 13:26 matokeo ya makosa
TOKEZA, 2Ko 5:5 aliyetutokeza ni Mungu
TOLEO, Mwa 4:4 Abeli na toleo lake
1Nya 29:9 Yehova, matoleo ya hiari
Isa 53:10 nafsi yake, toleo la hatia
Mal 3:3 toleo la zawadi kwa uadilifu
2Ti 4:6 namiminwa kama toleo
Ebr 10:14 toleo moja la dhabihu
Hes 15:14; Ezr 2:68; Mal 3:4; Mt 12:4; Lu 6:4; Efe 5:2.
TOLEO LA HATIA, Law 5:6; Hes 6:12.
TOLEO LA KINYWAJI, Hes 28:7; Isa 30:1; Flp 2:17; 2Ti 4:6.
TOLEO LA KUTEKETEZWA, Mwa 8:20; Law 16:24; 1Sa 15:22; Zb 40:6; 51:16; Yer 19:5.
TOLEWA, Ebr 9:28 Kristo alitolewa mara moja
TOMASI, Mt 10:3; Yoh 20:24; Mdo 1:13.
TONGE, Yoh 13:26, 27, 30.
TONGOZA, Met 7:21 Akamtongoza kwa midomo
TOROKA, Amo 9:1 hakuna atakayetoroka
TOSHA, Mt 6:34 Unatosha kila siku ubaya
2Ko 12:9 Fadhili zangu zinakutosha
1Pe 4:3 wakati uliopita uliwatosha
Mt 28:12; Mdo 17:9; 2Ko 2:6, 16; 3:5; 2Ti 2:2.
TOSHEKA, Zb 17:15 Nitatosheka kuona umbo
Met 27:20 Kaburi na macho hayatosheki
TOSHELEZA, Zb 145:16 kutosheleza tamaa
TOWASHI, Mt 19:12 matowashi waliozaliwa
Isa 56:3, 4; Yer 38:7; Mdo 8:27.
TOWEKA, Ebr 8:13 agano, karibu kutoweka
TOZA, Kum 22:19 watamtoza shekeli mia
Met 21:11 kumtoza mwenye dhihaka
TUBU, Mt 3:2 Tubuni, ufalme umekaribia
Mt 12:41 Ninawi, walitubu
Lu 15:7 mtenda-dhambi anayetubu
Mdo 3:19 tubuni na mgeuke
Ufu 16:9 hawakutubu ili wampe
Mt 11:21; Lu 13:3; 16:30; 17:4; 2Ko 12:21; Ufu 2:5, 21; 3:19.
TUFANI, Zb 83:15 Uwafuatilie kwa tufani yako
Yer 23:19 tufani inayozunguka
Yer 25:32 tufani kuu itaamshwa
Amo 1:14 tufani siku ya upepo
TUKANA, 1Pe 4:4 wanashangaa, kuwatukana
2Pe 2:10 mbele ya watukufu, hutukana
TUKANWA, Zb 4:2 utukufu utatukanwa
Tit 2:5 neno la Mungu lisitukanwe
TUKIA, 2Ti 2:22 tamaa zinazotukia ujanani
TUKIO LISILOTAZAMIWA, Mhu 9:11.
TUKUFU, Ne 9:5 walibariki jina lako tukufu
TUKUZA, Kut 15:1 kwa maana ametukuzwa
Zb 34:3 Mtukuzeni Yehova
Zb 40:16 Yehova na atukuzwe
Zb 46:10 Nitatukuzwa kati ya mataifa
Zb 50:15 nawe utanitukuza
Zb 66:17 ulimi wangu ukamtukuza
Zb 138:2 umeyatukuza maneno yako
Isa 60:13 nitatukuza mahali pa miguu
Eze 38:23 nitajitukuza na kujitakasa
Da 11:36 mfalme atajitukuza juu ya
Lu 1:46 Nafsi inamtukuza Yehova
Yoh 15:8 Baba yangu hutukuzwa
Yoh 17:1 mtukuze mwana wako
Yoh 17:5 Baba, nitukuze kando
Mdo 10:46 lugha na wakimtukuza Mungu
Ro 1:21 hawakumtukuza kuwa Mungu
Ro 8:17 tunateseka, tutukuzwe pamoja
1Ko 6:20 mtukuzeni Mungu mwilini
Flp 1:20 Kristo, atatukuzwa hivyo
Ebr 5:5 Kristo hakujitukuza
Ufu 18:7 kadiri alivyojitukuza
Ayu 36:24; Zb 35:27; 57:5; 66:2; 69:30; 70:4; 86:12; 118:28; Isa 10:15; 25:1, 3; 42:21; Da 5:23; Mal 1:5; Yoh 7:39; 12:28; 17:4, 10; Mdo 19:17; Ro 15:6; 1Pe 2:12.
TULI, Yos 10:12 Ewe jua, simama tuli
TULIA, Kut 15:16; Yer 47:6.
TULIZA, Mwa 32:20 nikamtuliza kwa zawadi
Ayu 11:19 watu watakutuliza
Met 15:18 hutuliza mabishano
TUMA, Zb 43:3 Tuma nuru yako na kweli
Zb 110:2 Yehova ataituma fimbo
Isa 6:8 Nitamtuma nani
Isa 61:1 Amenituma kufunga majeraha
Mal 3:1 ninamtuma mjumbe wangu
Mal 4:5 Nawatumia ninyi Eliya nabii
Mt 10:16 ninawatuma kama kondoo
Yoh 20:21 Baba amenituma
Ga 4:4 wakati ulipofika Mungu alimtuma
Mwa 24:7; Kut 3:14; Isa 55:11; Yer 25:15; Mt 10:5; 11:10; 13:41; 21:34; Lu 10:1; Yoh 14:26; Mdo 3:20; 8:14; Ro 10:15; 1Ko 1:17; 1Yo 4:9.
TUMAINI, Ayu 14:7 mti kuna tumaini
Isa 40:31 wanaomtumaini Yehova
Mt 12:21 mataifa yatalitumaini jina
Mdo 26:7 nashtakiwa kuhusu tumaini
Ro 5:5 tumaini halikatishi tamaa
Ro 8:20 msingi wa tumaini
Ro 8:24 tumaini linaloonekana si
Ro 15:4 faraja tuwe na tumaini
Efe 2:12 hamkuwa na tumaini
1Th 4:13 wengine wasio na tumaini
Ebr 6:19 Tumaini, kama nanga
Ebr 10:23 la hadharani la tumaini
Ebr 11:1 mambo yanayotumainiwa
1Pe 3:15 sababu ya tumaini lenu
Zb 25:3; 146:5; Met 20:22; Isa 12:2; 36:4; Yer 18:12; Mik 5:7; 1Ko 9:10; Efe 4:4; Kol 1:27.
TUMBO, Kum 18:3 atampa kuhani tumbo
Ayu 1:21 nilitoka tumboni nikiwa uchi
Zb 127:3 Matunda ya tumbo ni thawabu
Met 13:25 tumbo la waovu litakuwa tupu
Yer 1:5 kukuumba ndani ya tumbo nilikujua
Ro 16:18 watumwa wa matumbo yao
Flp 3:19 mungu wao ni tumbo lao
1Ti 5:23 divai kwa ajili ya tumbo
Mwa 3:14; 2Sa 20:10; Wim 5:14; Yer 51:34; Da 2:32; Mt 12:40; 1Ko 6:13.
TUMBO LA UZAZI, Zb 110:3; Yoh 3:4; Ga 1:15.
TUMBUIZA, Amu 16:25 Samsoni, kututumbuiza
TUMBUKIZA, 2Fa 5:14 kujitumbukiza Yordani
1Ti 6:9 hutumbukiza katika uharibifu
TUMIA, 1Ko 7:31 wanaoutumia ulimwengu
TUMIA VIBAYA, 1Ko 9:18.
TUMIKA, Lu 16:8 hekima kwa njia inayotumika
TUMIKIA, Kum 7:16 usiitumikie miungu yao
Yos 24:15 jichagulieni mtakayemtumikia
1Nya 28:9 umtumikie kwa moyo kamili
Zb 100:2 Mtumikieni kwa kushangilia
Zb 106:36 waliendelea kutumikia sanamu
Da 3:17 Mungu ambaye tunamtumikia
Da 7:10 maelfu waliomtumikia
Sef 3:9 wamtumikie bega kwa bega
Mt 6:24 kuwatumikia mabwana wawili
Mdo 17:25 hatumikiwi kwa mikono
Ro 13:6 wakitumikia kwa kusudi hili
2Ti 2:4 anayetumikia akiwa askari
Kut 20:5; Zb 72:11; Isa 60:12; Yer 27:6; Mdo 7:7; Ga 4:9.
TUMIKIA RASMI, Ebr 7:13.
TUMIKIANA, Ga 5:13 upendo, mtumikiane
TUMIKISHWA, Ga 4:3 kutumikishwa na mambo
TUMIWA, 2Ko 12:15 kutumiwa kwa ajili ya nafsi
TUNDA, Mwa 3:3 matunda, msiyale, msiyaguse
Zb 128:3 mzabibu unaozaa matunda
Met 13:2 matunda ya kinywa chake
Isa 27:6 watajaza matunda nchini
Isa 65:21 mizabibu na kula matunda
Eze 34:27 mti utatoa matunda
Eze 47:12 matunda yatakuwa chakula
Mt 7:19 mti usiozaa matunda
Mt 7:20 kwa matunda mtawatambua
Mt 21:43 taifa lenye kuzaa matunda
Yoh 15:2 tawi lisilozaa matunda
Ro 7:4 tumzalie Mungu matunda
Ga 5:22 matunda ya roho
Flp 1:11 mjazwe matunda ya uadilifu
Kol 1:10 kuzaa matunda, kila kazi njema
Ebr 13:15 tunda la midomo
TUNDIKA, Kum 21:23 aliyetundikwa
Yos 8:29 akamtundika mfalme wa Ai
Yos 10:26 akawatundika juu ya miti mitano
Est 7:10 wakamtundika Hamani
Mwa 40:22; Est 8:7; 9:14; Zb 137:2; Omb 5:12; Lu 23:39.
TUNDIKA MTINI, Mt 20:19.
Mk 15:25 saa tatu, wakamtundika mtini
Lu 23:21 wakisema: Mtundike mtini!
Lu 24:7 wenye dhambi, na kutundikwa mtini
Yoh 19:6 wenyewe mkamtundike mtini
Mdo 5:30 kwa kumtundika mtini
Mdo 10:39 walimtundika mtini
Ebr 6:6 wanatundika mtini upya Mwana
Ufu 11:8 Bwana wao alitundikwa mtini
Mt 23:34; 26:2; Mk 15:14; Yoh 19:10, 15; Ro 6:6; 1Ko 1:13; Ga 2:20; 6:14.
TUNDU, Isa 11:8 tundu la nyoka
Eze 19:9 wakamweka katika tundu
TUNDU LA SINDANO, Mt 19:24; Mk 10:25.
TUNGA, 1Sa 23:9 Sauli, akitunga madhara
Ne 6:8 unayatunga moyoni
Met 3:29 Usitungie mwenzako baya
Met 6:14 Anatunga mabaya wakati wote
Met 6:18 moyo unaotunga hila
Met 14:22 wanaotunga madhara
Amo 6:5 mnatunga kulingana
Mdo 1:1 simulizi, nilitunga
Nah 1:11; Yoh 7:17; 14:10; 18:34.
TUNGA KOSA, Efe 4:14 kutunga kosa
TUNGA KWA UFUNDI, 2Pe 1:16.
TUNGA MATATIZO, Zb 94:20.
TUNGA MIMBA, Yak 1:15.
TUNZA, Ufu 16:15 kutunza mavazi yake
Isa 49:23; Efe 5:29; 1Th 2:7; Yak 1:27; Yud 21.
TUNZA AKILI, 1Th 5:6 macho na kutunza akili
1Th 5:8 tutunze akili na kuvaa
2Ti 4:5 tunza akili, mambo yote
1Pe 1:13 tunzeni akili kwa ukamili
TUNZANA, 1Ko 12:25 viungo vyake vitunzane
TUPA, Kum 4:31 Yehova hatakutupa
Eze 10:2 kuyatupa juu ya jiji
Yoh 12:31 mtawala atatupwa nje
TUPU, Met 13:25 tumbo la waovu litakuwa tupu
Isa 24:3 nchi itafanywa kuwa tupu
TUSI, Ayu 20:3 Nasikia himizo la kunitusi
TUZO, 1Ko 9:24 mmoja hupokea tuzo?
Flp 3:14 mradi wa tuzo
Kol 2:18 awanyang’anye tuzo
TWAA, 1Ko 7:21 utwae nafasi hiyo
U
UA 1., Kut 20:13 Usiue
Law 24:21 anayeua mnyama atalipa
Hes 25:5 kila mmoja awaue watu wake
1Sa 2:6 Yehova, Mwenye Kuua
Eze 9:6 mtoto, wanawake mtawaua
Mt 10:28 wanaua mwili lakini
Mt 24:9 dhiki na kuwaua
Lu 12:5 baada ya kuua ana
Yoh 16:2 kila anayewaua ninyi
Ro 11:3 wamewaua manabii
Kol 3:5 viueni viungo vya mwili
Yak 3:8 ulimi, sumu yenye kuua
Yak 5:6 mmemuua mwadilifu
Mwa 37:20; Kum 4:42; Yos 10:10; Ne 4:11; Est 9:5; Ayu 13:15; 24:14; Zb 139:19; Yer 50:27; Amo 9:1; Zek 11:5; Mt 5:21; 15:19; Lu 21:16; Mdo 3:15; 7:52; 8:1; Yak 2:11.
UA 2., Isa 35:1 jangwa kuchanua maua
UA 3., Kut 27:9; 2Nya 4:9; Eze 8:16.
UADILIFU, Zb 45:7 Umependa uadilifu
Zb 92:15 hamna ukosefu wa uadilifu
Met 21:3 Kutenda uadilifu na hukumu
Met 31:9 hukumu kwa uadilifu
Isa 26:2 taifa la uadilifu
Isa 26:9 wakaaji watajifunza uadilifu
Isa 32:1 Mfalme, kutawala kwa uadilifu
Isa 45:8 anga zitiririshe uadilifu
Isa 60:17 uadilifu kuwa wagawa-kazi
Isa 61:3 miti ya uadilifu
Isa 61:10 koti la uadilifu
Yer 11:20 anahukumu kwa uadilifu
Eze 3:20 acha matendo ya uadilifu
Sef 2:3 Utafuteni uadilifu
Mt 5:10 wameteswa kwa ajili ya uadilifu
Yoh 16:8 uthibitisho kuhusu uadilifu
Mdo 10:35 kutenda uadilifu anakubalika
Mdo 17:31 kuihukumu kwa uadilifu dunia
Ro 1:17 uadilifu wa Mungu
Ro 10:3 uadilifu wa Mungu
1Ko 15:34 katika njia ya uadilifu
2Th 1:6 uadilifu kwa Mungu
2Ti 3:16 nidhamu katika uadilifu
1Pe 2:23 anahukumu kwa uadilifu
1Pe 3:14 mkiteseka kwa ajili ya uadilifu
2Pe 3:13 humo uadilifu utakaa
1Yo 5:17 kukosa uadilifu, dhambi
Ufu 19:11 kufanya vita kwa uadilifu
Ufu 22:11 uadilifu, azidi kutenda
Mwa 15:6; Isa 9:7; 11:4; Da 12:3; Sef 3:5; Mt 5:6.
UADUI, Mwa 3:15 uadui kati yako na mwanamke
Zb 23:5 wanaonionyesha uadui
Ro 8:7 mwili akili, ni uadui na Mungu
Yak 4:4 ulimwengu, uadui na Mungu
UAGUZI, Hes 22:7 malipo ya uaguzi
Kum 18:10 Asipatikane anayefanya uaguzi
1Sa 15:23 uasi ni sawa na uaguzi
Eze 13:6 uaguzi wa uwongo
Mik 3:11 manabii, uaguzi wapate pesa
UAJEMI, Ezr 1:8; 6:14; Est 1:14; Da 8:20.
UAMINIFU, Kum 32:4 Mungu wa uaminifu
Kum 32:20 Wana wasio na uaminifu
1Nya 10:13 Sauli alikosa uaminifu
Zb 40:10 Nimetangaza uaminifu wako
Met 27:6 Vidonda, ni vya uaminifu
Isa 26:2 taifa la uaminifu liingie
Eze 17:20 uaminifu alionitendea
Eze 18:24 ukosefu wake wa uaminifu
Hab 2:4 ataishi kwa uaminifu wake
1Th 3:7 dhiki kupitia uaminifu wenu
Tit 2:7 uaminifu katika fundisho
Tit 2:10 uaminifu mwema kikamili
Yos 7:1; 22:22; 2Fa 12:15; 2Nya 19:9; 31:12; Zb 33:4; 36:5; 119:90; Isa 25:1; Ro 3:3.
UAMUZI, Met 16:10 Uamuzi ulioongozwa na roho
Yoe 3:14 bonde la uamuzi
Ro 14:1 maamuzi juu ya maswali
Ro 14:13 fanyeni hili kuwa uamuzi wenu
1Ko 7:37 uamuzi wa kutunza ubikira
Yoh 5:19, 30; 7:28; 8:28, 42; Mdo 15:19; Yak 2:4; Ufu 16:7.
UAMUZI WA HUKUMU, Law 18:5; Kum 4:8; 1Fa 3:28; Zb 19:9; 36:6; 119:91; 149:9; Eze 11:20.
UANDIKISHO WA KIUKOO, 1Nya 4:33; 2Nya 31:16; Ezr 8:1.
UANGALIFU, Mal 3:16 akatoa uangalifu
Ga 4:10 Mnashika kwa uangalifu
Ebr 2:1 kazia uangalifu tuliyosikia
2Pe 1:19 mnafanya vema kulikazia uangalifu
1Yo 1:1 tumetazama kwa uangalifu
UANGALIZI, Mdo 1:20 Cheo chake cha uangalizi
UASHERATI, Hes 25:1 uasherati na Moabu
Amu 2:17 uasherati na miungu
2Fa 9:22 uasherati wa Yezebeli
Zb 106:39 uasherati kwa matendo
1Ko 5:1 uasherati wa namna ambayo
1Ko 6:13 mwili si kwa uasherati
1Ko 6:18 Ukimbieni uasherati
1Ko 10:8 Wala tusifanye uasherati
Efe 5:3 Uasherati usitajwe kati yenu
Kol 3:5 viueni viungo, uasherati
1Th 4:3 mjiepushe na uasherati
Ufu 17:2 wafalme walifanya uasherati naye
Ufu 18:3 walifanya uasherati naye
Kut 34:15; Law 17:7; 20:5; Hes 15:39; Eze 43:7, 9; Ho 2:2; 4:12; 5:4; 6:10; 9:1; Ga 5:19.
UASI, 1Sa 15:23 uasi ni kama uaguzi
Met 1:32 uasi wa wasio na uzoefu
Hes 17:10; Kum 31:27; Ezr 4:19; Ayu 23:2; Zb 106:7; Met 17:11; Isa 3:8; Eze 44:6.
UASI-IMANI, Isa 10:6 taifa lenye kuasi imani
Isa 32:6 moyo utatenda uasi-imani
Yer 23:15 uasi-imani umeenea
Da 11:32 atawaongoza kwenye uasi-imani
Mdo 21:21 uasi-imani wa kumwacha Musa
2Th 2:3 isipokuwa uasi-imani uje kwanza
UASI-SHERIA, Mt 24:12 kuongezeka uasi-sheria
2Ko 6:14 uadilifu na uasi-sheria?
2Th 2:7 fumbo la uasi-sheria
Ebr 1:9 ukachukia uasi-sheria
1Yo 3:4 dhambi ni uasi-sheria
Mt 7:23; 23:28; Ro 6:19; 2Th 2:3.
UAWA, Zb 44:22 tumeuawa mchana kutwa
Isa 34:2 Yehova atawatoa wauawe
Yer 25:33 waliouawa na Yehova siku hiyo
Eze 9:7 kuzijaza nyua kwa waliouawa
Mt 16:21 kuuawa, siku ya tatu afufuliwe
Ufu 6:9 waliouawa kwa sababu ya neno
Ufu 18:24 wote ambao wameuawa
Ufu 20:4 waliouawa kwa shoka
Isa 66:16; Yer 51:49; Eze 6:13; Ufu 2:13; 9:18; 13:15.
UBADILISHANAJI, Ro 1:12.
UBAGUZI, Law 19:15 Usitende kwa ubaguzi
Mdo 10:34 Mungu hana ubaguzi
Ro 2:11 hakuna ubaguzi kwa Mungu
Yak 3:17 haifanyi tofauti za ubaguzi
1Pe 1:17 huhukumu bila ubaguzi
UBANI, Kut 30:34; Yer 41:5.
UBATILI, Zb 24:4 nafsi Yangu kwa ubatili
Met 13:11 vinavyopatikana kwa ubatili
Mhu 3:19 kwa kuwa yote ni ubatili
Mhu 7:15 siku zangu za ubatili
Isa 40:17 Mbele zake mataifa ni ubatili
Zek 10:2 kufariji kwa ubatili
Ro 8:20 uumbaji, chini ya ubatili
Efe 4:17 ubatili wa akili zao
Mhu 1:2; 4:4; 9:9; 11:10; Isa 41:29; 44:9; 49:4; 59:4; Yer 10:15; 1Ko 3:20; Tit 3:9.
UBATIZO, Lu 12:50 nina ubatizo wa kubatizwa
Ro 6:4 tulizikwa kupitia ubatizo
Efe 4:5 imani moja, ubatizo mmoja
Mt 3:7; Mk 10:38; Lu 3:3; Mdo 19:4; Kol 2:12; 1Pe 3:21.
UBAYA, Met 6:18 myepesi kukimbilia ubaya
Mhu 7:15 mwovu anayeendelea katika ubaya
Mdo 8:22 tubu ubaya wako huu
1Ko 14:20 iweni watoto kuhusiana na ubaya
1Pe 3:9 msilipe ubaya kwa ubaya
UBIKIRA, Amu 11:37 niulilie ubikira wangu
1Ko 7:36 isivyofaa kuelekea ubikira
UBINAFSI, Zb 106:14 tamaa ya ubinafsi
UBISHI, Isa 41:21 Leteni kesi yenu ya ubishi
Yer 25:31 Yehova ana ubishi na mataifa
Lu 12:58 kujiondolea ubishi naye njiani
UBORA, Ro 3:1 Myahudi ana ubora gani?
2Ko 3:10 utukufu unachokizidi ubora
Flp 4:7 yenye ubora unaozidi fikira
UBOVU, Met 12:4 ubovu kwenye mifupa
Met 14:30 wivu, ubovu mifupani
UBUNI, 2Nya 26:15 ubuni wa mafundi
UBWANA, Mt 20:25 mataifa hupiga ubwana
UCHAFU, Omb 1:9 Uchafu wake umo ndani
Eze 18:6 mwanamke katika uchafu
Ro 1:24 aliwaacha katika uchafu
1Ko 4:13 tumekuwa uchafu wa vyote
1Th 4:7 bila nafasi ya uchafu
Yak 1:21 ondoeni uchafu wote
1Pe 3:21 si kuondoa uchafu wa mwili
Eze 39:24; Mik 4:11; Yak 2:2; Ufu 22:11.
UCHAWI, Isa 2:6 uchawi kama Wafilisti
1Sa 15:23; Isa 1:13; 2:6; Yer 27:9; Amo 5:5; Mik 5:12.
UCHI, Mwa 3:7 wakatambua walikuwa uchi
Ayu 1:21 nilitoka tumboni uchi
Mik 1:11 katika uchi wa aibu
2Ko 5:3 hatutapatikana uchi
Ebr 4:13 viko uchi navyo vimefunuliwa
Yak 2:15 ndugu au dada yuko uchi
Ufu 3:17 maskini, kipofu na uchi
Ufu 16:15 ili asitembee uchi na watu
Ufu 17:16 kuwa ukiwa na uchi
Mwa 2:25; Ayu 26:6; Ho 2:3; Mt 25:36.
UCHINJAJI, Eze 21:10 ili kupanga uchinjaji
UCHOCHEZI WA UASI, Lu 23:19; Mdo 21:38; 24:5.
UCHOKOZI, Zb 106:32 uchokozi, maji ya Meriba
UCHONGEZI, 1Ti 3:11 si wenye uchongezi
UCHOYO, Hes 11:4 tamaa ya uchoyo
UCHU. Pia TAMAA.
Ro 1:27 kuwakiana tamaa katika uchu
1Pe 4:3 uchu, divai kupita kiasi
2Pe 1:4 uharibifu kutokana na uchu
UCHUMBA. Ona CHUMBIA
UCHUNGU, Kut 15:14 Uchungu utawashika
Ayu 10:1 Nitasema kwa uchungu
Isa 33:7 wajumbe watalia kwa uchungu
Isa 66:7 uchungu wa kuzaa, alizaa
Isa 66:8 nchi itazaliwa kwa uchungu
Yer 22:23 uchungu kama wa mwanamke
Eze 27:30 watapaaza kilio kwa uchungu
Eze 32:9 nitaitia uchungu mioyo
Hab 1:6 taifa lenye uchungu
Mt 26:75 akaenda nje akalia kwa uchungu
Kol 3:19 msiwakasirikie kwa uchungu
Ufu 12:2 uchungu wa kuzaa
Mwa 3:16; Kum 4:25; 31:29; 2Sa 2:26; 1Fa 16:33; Zb 48:6; Met 14:10; Isa 5:20; 13:8; 23:4; 38:15; 51:2; Yer 22:23; Efe 4:31.
UCHUNGUZI, Amu 5:16 uchunguzi wa moyo
Ayu 34:24 bila uchunguzi wowote
UDANGANYIFU, Zb 24:4 kuapa kwa udanganyifu
Zb 34:13 midomo isiseme udanganyifu
Isa 53:9 hakuna udanganyifu kinywani
Yer 15:18 wewe umekuwa udanganyifu
Mik 1:14 za Akzibu, kitu cha udanganyifu
Mt 13:22 nguvu za udanganyifu wa utajiri
Yoh 1:47 hamna udanganyifu kwake
2Ko 11:13 wafanyakazi wadanganyifu
Efe 4:22 tamaa zake za udanganyifu
Kol 2:8 falsafa na udanganyifu
Ebr 3:13 nguvu za udanganyifu za dhambi
1Pe 2:1 ondoeni udanganyifu wote
1Pe 2:22 wala udanganyifu kinywani mwake
Ayu 15:35; Zb 10:7; 32:2; Met 12:17; Yer 8:5; 9:6; 14:14; 2Th 2:10.
UDHAIFU, Mdo 14:15 udhaifu kama ninyi
Ro 8:26 msaada kwa udhaifu wetu
Ro 15:1 kuchukua udhaifu wa
1Ko 2:3 nilikuja katika udhaifu
1Ko 15:43 Hupandwa katika udhaifu
2Ko 12:9 nguvu, kamili katika udhaifu
Ebr 4:15 kuusikitikia udhaifu wetu
UDHALIMU, Mwa 49:6 na katika udhalimu wao
Isa 3:4 nguvu za kidhalimu zitatawala juu yao
UDONGO, Mwa 3:17 udongo umelaaniwa
Kut 3:5 uliposimama ni udongo mtakatifu
1Sa 15:29 Yah si mtu wa udongo
Ayu 10:9 kutoka katika udongo
Isa 29:16 mfinyanzi ahesabiwe kama udongo?
Isa 64:8 Sisi ni udongo, nawe ni Mfinyanzi
Lu 8:15 udongo mzuri
2Ko 4:7 vyombo vya udongo
Met 3:4; Isa 45:9; Da 2:34; Yoh 9:6; Ro 9:21.
UELEWAJI, Ayu 32:8 ndiyo inayowapa uelewaji
Zb 119:104 Ninajiendesha kwa uelewaji
Zb 147:5 Uelewaji wake hauwezi
Met 3:5 usitegemee uelewaji wako
Isa 29:14 uelewaji wa wenye busara
Da 11:33 wengi kuwa na uelewaji
1Ko 14:20 nguvu za uelewaji
1Nya 22:12; Met 4:7; 9:10; Yak 3:13.
UFAFANUZI, 2Nya 13:22; 24:27.
UFAHAMU, Met 1:3 nidhamu, humpa ufahamu
Met 13:15 Ufahamu mzuri huleta
Met 14:35 mtumishi aliye na ufahamu
Met 16:22 Ufahamu ni uzima
Met 19:11 Ufahamu hupunguza hasira
Da 11:33 walio na ufahamu
Ro 1:21 moyo usio na ufahamu
Ro 3:11 hakuna aliye na ufahamu
Ebr 10:2 ufahamu wa dhambi
1Nya 28:19; Zb 111:10; 119:99; Met 3:4; Isa 44:18; Yer 3:15; 9:24; Da 12:3, 10; Efe 4:19.
UFALME, Kut 19:6 ufalme wa makuhani
2Fa 19:19 falme za dunia zijue
1Nya 29:11 Ufalme ni wako, Yehova
Da 2:44 Mungu atasimamisha ufalme
Da 7:27 Ufalme wao ni wa milele
Sef 3:8 nizikusanye falme
Mt 6:10 Ufalme wako na uje
Mt 6:33 kutafuta kwanza ufalme
Mt 24:14 habari njema ya ufalme
Mt 25:34 urithini ufalme uliotayarishwa
Lu 12:32 amekubali kuwapa ufalme
Lu 22:29 agano, kwa ajili ya ufalme
Yoh 18:36 Ufalme si wa ulimwengu
1Ko 15:24 atakapomkabidhi Mungu ufalme
Kol 1:13 ufalme wa Mwana wa upendo
Ebr 11:33 kwa imani walishinda falme
Ufu 1:6 alitufanya ufalme, makuhani
Ufu 11:15 Ufalme wa ulimwengu umekuwa
Yos 13:12, 21, 27, 30, 31; Ezr 1:2; Isa 9:7; 23:17; Yer 25:26; Da 10:13; Mt 4:8; 25:34; 2Ti 4:1; Yak 2:5; Ufu 5:10.
UFALME WA MBINGUNI, Mt 10:7.
Mt 23:13 mnafunga ufalme wa mbinguni
UFALME WA MUNGU, Mt 21:43.
Mk 4:11 siri ya ufalme wa Mungu
Lu 9:62 hafai ufalme wa Mungu
Lu 17:20 Ufalme wa Mungu, si wonyesho
Mdo 14:22 ufalme wa Mungu kupitia dhiki
UFANISI, Kum 28:11 ufurike kwa ufanisi
UFUFUO, Mt 22:30 ufufuo, hawaoi wala
Yoh 5:29 ufufuo wa hukumu
Yoh 11:25 Mimi ndiye ufufuo
Mdo 24:15 ufufuo wa waadilifu
Ro 6:5 mfano wa ufufuo wake
1Ko 15:42 Ndivyo pia ufufuo
Flp 3:11 ufufuo wa mapema
2Ti 2:18 ufufuo tayari umetukia
Ebr 11:35 wafu wao kwa ufufuo
Ufu 20:6 ufufuo wa kwanza
UFUFUO ULIO BORA, Ebr 11:35.
UFUNDI WA KUFUNDISHA, 2Ti 4:2; Tit 1:9.
UFUNGUO, Mt 16:19 funguo za ufalme
Lu 11:52 ufunguo wa ujuzi
Ufu 1:18 funguo za kifo
Ufu 20:1 ufunguo wa abiso
Amu 3:25; Isa 22:22; Ufu 3:7; 9:1.
UFUNUO, Ro 16:25 ufunuo wa siri takatifu
1Ko 1:7 ufunuo wa Bwana Yesu
2Th 2:8 ufunuo wa kuwapo kwake
1Ti 6:14 wakati wa ufunuo wa Bwana
2Ti 4:1 kuhukumu, kwa ufunuo wake
1Pe 4:13 ufunuo wa utukufu wake
1Ko 12:7; Efe 1:17; 2Th 1:7; 2Ti 1:10; 1Pe 1:7, 13; Ufu 1:1.
UGAWAJI, Mdo 6:1 ugawaji wa kila siku
UGIRIKI, Da 10:20; 11:2; Zek 9:13.
UGOMVI, Amu 12:2 Yeftha alikuwa na ugomvi
Met 6:19 anayetokeza magomvi
Met 26:21 mgomvi hufanya ugomvi
Met 28:25 kiburi huchochea ugomvi
Ro 2:8 wenye ugomvi na wasioitii
Ga 5:20 milipuko ya hasira, magomvi
Flp 1:17 kutokana na ugomvi
Flp 2:3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi
Yak 3:16 ambapo pana wivu na ugomvi
Mwa 13:7; Kum 1:12; Met 15:18; 16:28; 18:19; 22:10; 26:17.
UGONJWA, Zb 41:3 kitanda cha ugonjwa
Met 18:14 Roho kuvumilia ugonjwa
Mt 8:17 aliyachukua magonjwa yetu
Ga 4:13 kupitia ugonjwa wa mwili
1Ti 5:23 divai kwa ajili ya ugonjwa
Kut 23:25; Kum 28:61; 2Nya 21:15.
UGUA, Kut 2:24 Mungu akasikia uguo lao
Zb 12:5 kuugua kwao maskini
Zb 79:11 Kuugua kwa mfungwa
Met 29:2 mwovu anapotawala watu huugua
Isa 35:10 huzuni na kuugua zitakimbia
Eze 9:4 watu wanaougua na kulia
Ro 8:22 uumbaji wote unaugua
Ro 8:26 roho hutuombea na kuugua
Kut 2:23; Zb 102:20; Isa 24:7; Yer 51:52; Omb 1:22; Eze 21:6; 24:17; 26:15; Mal 2:13; 2Ko 5:2; Ebr 13:17.
UGUMU, Efe 4:18 ugumu wa mioyo yao
UGUMU WA MOYO, Mt 19:8; Mk 10:5.
UHAI, Mwa 2:7 pumzi ya uhai, naye
Kum 28:66 bila hakika ya uhai wako
Zb 32:4 Umajimaji wa uhai
Isa 57:15 kuipa uhai roho
Yon 2:6 uhai wangu toka shimoni
1Ko 15:45 roho inayotoa uhai
Zb 27:1; Yer 25:37; 51:6; Mt 6:27; Lu 12:25; 1Ko 14:7.
UHAKIKA, Met 3:26 Yehova kuwa uhakika wako
Met 28:1 waadilifu wana uhakika
Yer 12:5 una uhakika katika nchi ya amani?
1Ko 9:26 ninavyokimbia si bila uhakika
2Ko 1:8 hatukuwa na uhakika
2Ko 1:9 uhakika wetu uwe katika
2Ko 11:17 uhakika wa kupita kiasi
Efe 3:12 kukaribia tukiwa na uhakika
Flp 3:3 hatuna uhakika wetu katika mwili
2Th 3:4 tuna uhakika kuwahusu ninyi
Ebr 3:14 tukiushikilia sana uhakika
UHAKIKISHO, Mdo 17:31 uhakikisho kwa wote
Kol 2:2 uhakikisho wa uelewaji
Ebr 6:11 uhakikisho kamili wa tumaini
2Ko 1:21; 9:4; Ebr 6:16; 10:22.
UHALIFU, Lu 23:4 sioni uhalifu wa mtu huyu
UHALISI, Kol 2:17 uhalisi ni wa Kristo
Ebr 9:24 patakatifu, mfano wa uhalisi
UHAMISHO, 2Fa 18:11 uhamishoni Ashuru
Isa 5:13 uhamishoni kwa kukosa ujuzi
Yer 13:19 Yuda imepelekwa uhamishoni
Mt 1:11 uhamisho, kwenda Babiloni
UHARIBIFU, Kum 9:12 kwa uharibifu
Isa 38:17 shimo la uharibifu
Eze 20:44 matendo yenu yenye uharibifu
Mt 7:13 barabara ya uharibifu
Ro 1:23 Mungu asiye na uharibifu
Ro 8:21 utumwa wa uharibifu
Ro 9:22 vyombo vya uharibifu
1Ko 15:42 Hupandwa katika uharibifu
1Ko 15:50 uharibifu haurithi kutoharibika
Ga 6:8 mwili wake atavuna uharibifu
1Th 5:3 Amani na usalama! uharibifu
2Th 1:9 hukumu ya uharibifu wa milele
2Pe 2:19 ni watumwa wa uharibifu
Ufu 17:8 Mnyama, aenda katika uharibifu
2Nya 22:4; Mdo 2:27, 31; 13:36; Ro 1:23; 1Ko 15:50; 2Pe 1:4.
UHISPANIA, Ro 15:24 nimeenda Uhispania
UHITAJI, 1Ko 7:26 kwa sababu ya uhitaji
UHURU, Law 25:10 tangaza uhuru nchini
Isa 61:1 kutangazia uhuru mateka
Yer 34:17 kumtangazia uhuru upanga
Eze 46:17 mpaka mwaka wa uhuru
Ro 8:21 uhuru wa watoto wa Mungu
1Ko 10:29 uhuru wangu unahukumiwa
2Ko 3:17 roho ya Yehova, pana uhuru
Ga 2:4 kupeleleza uhuru wetu
Ga 5:1 tuwe na uhuru huo
Ga 5:13 mliitiwa uhuru, ndugu
Yak 1:25 sheria ya uhuru
1Pe 2:16 uhuru, si wa ubaya
2Pe 2:19 wanawaahidia uhuru
UHURU WA KUSEMA, Mdo 2:29; Flp 1:20; 1Ti 3:13; Ebr 3:6.
UIMARA, 2Pe 3:17 mwanguke kutoka uimara
UIMBAJI, 1Nya 6:31 kuongoza uimbaji katika
UJANA, Mwa 8:21 mbaya tangu ujana
Ayu 33:25 Nyama, laini kuliko ujanani
Zb 103:5 Ujana unajifanya upya
Met 5:18 ushangilie na mke wa ujana
Mhu 12:1 siku za ujana wako
Isa 54:4 utaisahau aibu ya ujana
1Ti 4:12 audharau ujana wako
2Ti 2:22 kimbia tamaa za ujanani
2Sa 19:7; Zb 71:17; Mhu 11:10; Mal 2:14; Mk 10:20; Mdo 26:4.
UJANE, Isa 54:4 shutuma ya ujane wako
UJANJA, 2Fa 10:19 Yehu alitenda kwa ujanja
Ayu 5:13 anayewakamata katika ujanja wao
Zb 83:3 Wanaendeleza kwa ujanja
Mt 27:64 na ujanja wa mwisho
1Ko 3:19 huwakamata katika ujanja wao
2Ko 12:16 mnasema niliwashika kwa ujanja
2Ti 3:6 wanaojiingiza kwa ujanja
Zb 101:7; Lu 20:23; 2Ko 4:2; 11:3.
UJASIRI, Mdo 9:27 amesema kwa ujasiri
Efe 6:20 kwa ujasiri ninavyopaswa kusema
1Th 2:2 tulijipa ujasiri kwa njia ya Mungu
Est 7:5; Mdo 4:29, 31; 5:3; 14:3; Ebr 10:19.
UJAZO, Kol 2:10 mna ujazo kwa njia yake
UJINGA, 1Pe 2:15 mzibe maneno ya ujinga
UJITOAJI-KIMUNGU, 1Ti 4:8.
1Ti 6:6 ujitoaji-kimungu, ujitoshelevu
2Ti 3:5 namna ya ujitoaji-kimungu
2Ti 3:12 wajitoaji-kimungu, watateswa
2Pe 2:9 kukomboa wenye ujitoaji-kimungu
Mdo 3:12; 17:23; 1Ti 2:2; 3:16; 4:7; 6:5; Tit 1:1; 2Pe 1:3; 3:11.
UJITOSHELEVU, 2Ko 9:8; 1Ti 6:6.
UJUMBE, Hag 1:13; 1Yo 1:5; 3:11.
UJUZI, Met 1:7 Yehova, mwanzo wa ujuzi
Met 9:9 Mpe ujuzi mtu mwadilifu
Met 15:7 hutawanya ujuzi
Mhu 9:10 hakuna kazi, ujuzi, hekima
Da 1:4 ujuzi, wenye utambuzi
Da 12:4 ujuzi utakuwa mwingi
Ho 4:6 sababu hawana ujuzi
Lu 11:52 mliondoa ufunguo wa ujuzi
Yoh 17:3 Uzima wa milele, kupata ujuzi
1Ti 1:13 nilikosa ujuzi
1Ti 6:20 unaoitwa ujuzi
Mwa 2:9; Zb 19:2; Met 1:29; 8:10; 9:9; 10:14; 14:18; Isa 44:25; 53:11; Yer 3:15; Mal 2:7; Ro 11:33; 1Ko 8:1; 2Pe 3:18.
UJUZI SAHIHI, Ro 10:2 bidii, ujuzi sahihi
Efe 4:13 imani, katika ujuzi sahihi
Flp 1:9 upendo uwe mwingi na ujuzi sahihi
Kol 1:9 mjazwe ujuzi sahihi
1Ti 2:4 waokolewe na kupata ujuzi sahihi
2Ti 3:7 kamwe kufikia ujuzi sahihi
Ebr 10:26 baada ya kupokea ujuzi sahihi
Ro 1:28; 3:20; Kol 3:10; 2Ti 2:25; 2Pe 2:20.
UJUZI WA KIMBELE, Mdo 2:23.
1Pe 1:2 ujuzi wa kimbele wa Mungu
UKAGUZI, 1Pe 2:12 siku ya ukaguzi wake
UKAHABA, Isa 23:17 kufanya ukahaba
Yer 3:1 ukahaba na rafiki wengi
Eze 23:3 ukahaba katika Misri
Yer 3:9; Eze 16:29; 23:8; Nah 3:4.
UKAIDI, Zb 78:8 Kizazi chenye ukaidi
Yer 3:17 ukaidi wa moyo wao
Yer 7:24; 9:14; 11:8; 13:10; 18:12.
UKALI, Mhu 8:1 ukali wa uso wake
Lu 23:10 kumshtaki kwa ukali
Ro 11:22 ukali kuwaelekea walioanguka
Kol 2:23 kuutendea mwili kwa ukali
Tit 1:13 endelea kuwakaripia kwa ukali
Kum 29:20, 28; Amu 8:1; Eze 23:25; 38:19.
UKAMILI, Hes 5:7 alipie hatia kwa ukamili
UKAMILIFU, Zb 50:2 Sayuni, ukamilifu wa uzuri
Zb 119:96; Omb 2:15; Ebr 7:11.
UKANDAMIZAJI, Zb 72:14; Isa 14:4; 54:14; 59:13; Yer 6:6.
UKARIBISHAJI-WAGENI, Ro 12:13.
UKARIMU, Kum 15:8 mkono kwa ukarimu
Met 11:25 Nafsi karimu itanoneshwa
Met 22:9 jicho la ukarimu atabarikiwa
Ro 12:8 agawe kwa ukarimu
2Ko 8:2 utajiri wa ukarimu wao
2Ko 8:20 mchango wa ukarimu
2Ko 9:11 mnatajirishwa kwa ukarimu
Yak 1:5 Mungu, huwapa kwa ukarimu
UKIMBIZI, Mwa 4:16 nchi ya Ukimbizi mashariki
UKINGO, 1Nya 12:15 umefurika kingo zake
UKINGO WA BAHARI, Mk 4:35; 5:21; 6:45; 8:13.
UKIWA, Zb 107:40 mahali pa ukiwa
Isa 24:1 anaifanya nchi kuwa ukiwa
Isa 34:11 mawe ya ukiwa
Isa 62:4 nchi yako, haitaachwa ukiwa
Eze 6:6 majiji yatafanywa ukiwa
Nah 2:10 jiji lililofanywa ukiwa!
Mt 24:15 chukizo, la ukiwa
Ga 4:27 watoto wa mwenye ukiwa
Yer 26:9; Da 9:2; Yoe 3:19; Sef 1:13; Ufu 17:16; 18:19.
UKOMA, Hes 12:10 Miriamu apigwa na ukoma
Law 13:2; Kum 24:8; 2Fa 5:3, 27; Mt 11:5; 26:6; Lu 4:27; 5:12.
UKOMAVU, Ebr 6:1 tusonge kuelekea ukomavu
UKOMBOZI, 1Sa 30:8 utaleta ukombozi
Est 4:14 ukombozi utasimama kwa Wayahudi
Lu 21:28 ukombozi wenu unakaribia
Ebr 9:12 ukombozi wa milele kwetu
Kut 21:30; Hes 3:49; Zb 49:8; 111:9; 130:7.
UKOMO, Ayu 34:36 Ayubu ajaribiwe ukomo
UKOO, Ru 3:2 Boazi, mtu wa ukoo
1Ti 1:4 kutafuta-tafuta ukoo
Ebr 7:3 bila baba, bila ukoo
UKOSAJI, Isa 53:5 kwa ajili ya ukosaji wetu
UKUHANI, Kut 40:15 kukiwa ukuhani mpaka
Ebr 7:24 ukuhani bila waandamizi
1Pe 2:5 ukuhani, kutoa dhabihu
1Pe 2:9 ukuhani wa kifalme
Hes 25:13; Yos 18:7; Ne 13:29; Ebr 7:11.
UKUMBUSHO, Kut 12:14 siku hii ukumbusho
Est 9:28 Purimu, ukumbusho
Zb 135:13 Ee Yehova, ukumbusho wako
Isa 26:8 jina lako na ukumbusho
Mdo 10:4 Sala, kama ukumbusho
Kut 3:15; 13:9; Ne 2:20; Zb 30:4; Ho 12:5.
UKUMBUU, Kut 28:4; 39:29; Law 8:7; Isa 22:21.
UKUNGU, Ayu 36:27 maji; yawe ukungu
Yak 4:14 ninyi ni ukungu
UKURUTU, Kum 28:27 atakupiga kwa ukurutu
UKUTA, Isa 26:1 wokovu kuwa kuta
Eze 38:11 wanaokaa bila ukuta
Da 5:5 kuandika juu ya ukuta
Yoe 2:7 Wanapanda ukuta kama
Ebr 11:30 kuta za Yeriko zilianguka
UKUU, 1Nya 29:11 Yehova, ukuu ni wako
Isa 2:19 ukuu wake wenye fahari
Isa 24:14 ukuu wa Yehova
Eze 7:11 hamna ukuu ndani yao
Da 4:22 na ukuu wako umekuwa
Mik 5:4 ukuu wa jina la Yehova
Ebr 1:3 mkono wa kuume wa Ukuu
Ebr 8:1 kiti cha ufalme cha Ukuu
Yud 25 kwa Mungu kuwe na ukuu
UKWATO, Law 11:3 mwanya kwenye ukwato
UKWELI, Zb 40:10 Sikuficha ukweli wako
Zb 51:6 Umependezwa na ukweli
Zb 91:4 Ukweli wake utakuwa ngao
Zb 117:2 ukweli wa Yehova
Zek 8:16 Semeni ukweli kila mtu
ULAFI, Met 23:20 wanaokula kwa ulafi
ULAGHAI, Mdo 13:10 kila namna ya ulaghai
ULAINI, Da 11:21, 34 kuushika ufalme kwa ulaini
ULIMBO, Hes 11:7 ulimbo wa bedola
ULIMI, 2Sa 23:2 neno lilikuwa kwenye ulimi
Zb 34:13 Linda ulimi wako
Zb 39:1 kutenda dhambi kwa ulimi
Met 6:17 ulimi wa uwongo
Met 16:1 jibu la ulimi
Met 18:21 viko katika nguvu za ulimi
Isa 32:4 ulimi wa wenye kigugumizi
Isa 35:6 ulimi wa bubu utapaaza
Isa 54:17 ulimi wowote utakaoinuka
Zek 14:12 ulimi wake utaoza
Flp 2:11 kila ulimi ukiri waziwazi
Yak 1:26 Ikiwa mtu hauongozi ulimi
Yak 3:6 ulimi ni moto
ULIMI WENYE UJANJA, Sef 3:13.
ULIMWENGU, Mt 24:21 mwanzo wa ulimwengu
Yoh 3:16 Mungu aliupenda ulimwengu
Yoh 14:19 ulimwengu hautaniona
Yoh 14:30 mtawala wa ulimwengu
Yoh 15:19 ulimwengu ungependa
Yoh 17:16 si sehemu ya ulimwengu
Yoh 18:36 Ufalme si wa ulimwengu
Ro 1:20 sifa zake tangu ulimwengu
Ro 4:13 Abrahamu mrithi wa ulimwengu
1Ko 4:9 tamasha kwa ulimwengu
Yak 4:4 urafiki na ulimwengu
2Pe 3:6 ulimwengu uliangamia
1Yo 2:2 dhambi za ulimwengu wote
1Yo 5:19 ulimwengu, nguvu za mwovu
Mt 25:34; Yoh 8:23; 17:5, 6; Efe 1:4; 2:2; Yak 1:27; 1Yo 2:15, 16; Ufu 17:8.
ULINZI, 2Sa 20:3 nyumba ya ulinzi
Met 18:10 Mwadilifu hupewa ulinzi
Met 18:11 ukuta wa ulinzi katika mawazo
Mhu 7:12 hekima ni ulinzi, pesa
ULIYE JUU ZAIDI, Zb 83:18.
ULIZA, Kum 4:29 utauliza kwa moyo wako
Mdo 23:34 kuuliza ametoka jimbo gani
ULOZI, 2Nya 33:6 akafanya ulozi
Mik 5:12 nitakatilia mbali ulozi
UMA, Mwa 34:25; Ayu 14:22; Amo 8:4.
UMAJIMAJI, Zb 32:4 Umajimaji wa uhai
UMALAYA. Ona UKAHABA.
UMALIZIO, Mt 24:3 umalizio wa mfumo
Mt 28:20 nipo nanyi mpaka umalizio wa
Ebr 9:26 umalizio wa mifumo ya mambo
UMANDE, Ayu 38:28 nani aliyezaa umande?
Zb 110:3 vijana kama umande
Mik 5:7 watu kama umande
Kum 32:2; Amu 6:37; Met 19:12; Da 5:21.
UMASKINI, 1Sa 2:7 Yehova huleta Umaskini
Met 13:18 hupatwa na umaskini
Met 30:8 umaskini wala utajiri
2Ko 8:9 kupitia umaskini wake
Ufu 2:9 Najua dhiki na umaskini
UMATI, 2Nya 20:15 usihofu umati mkubwa
Eze 32:20 Mkokoteeni mbali na umati wake
Mt 21:9 umati, wakipaaza sauti: Mwokoe
Mk 12:37 umati ulikuwa ukimsikiliza
Ufu 7:9 tazama! umati mkubwa
Ufu 7:9 umati usiohesabika
Ufu 19:6 kitu kama sauti ya umati
Eze 39:11; Mt 13:34; Mk 3:9; Lu 2:13; Yoh 6:5.
UMATI ULIOCHANGAMANA, Hes 11:4.
UMBA, Mwa 1:1 Hapo mwanzo Mungu aliumba
Mwa 1:27 alimuumba; mwanamume na
Zb 51:10 Uumbe moyo safi ndani yangu
Isa 4:5 Yehova ataumba wingu mchana
Isa 45:18 hakuiumba dunia bila sababu
Isa 45:18 aliumba dunia ikaliwe
Isa 65:17 ninaumba mbingu mpya
Ro 1:20 tangu kuumbwa kwa ulimwengu
Kol 1:16 kupitia yeye vitu vyote viliumbwa
Kol 3:10 mfano wa Yule aliyeuumba
Ufu 4:11 uliumba vitu vyote
Zb 104:30; Isa 43:7; 45:7, 12; 57:19; 65:18; Efe 2:10.
UMBO, Mwa 1:2 Dunia ilikuwa bila umbo
Kum 4:15 hamkuona umbo kule Horebu
Zb 17:15 Nitatosheka kuona umbo lako
Yoh 5:37 hamjaona umbo lake
Mdo 7:43 maumbo mliyofanya kuabudu
Flp 2:6 alikuwa katika umbo la Mungu
Flp 2:8 alijikuta umbo la mwanadamu
Ebr 10:1 Sheria si umbo halisi
UMBO LA MBUZI, Law 17:7; Isa 13:21.
UMEDI, Ezr 6:2; Est 1:3; Da 8:20.
UMEME, Ayu 38:35 unaweza kutuma umeme
Zb 97:4 Umeme wake ulitia nuru
Mt 24:27 umeme hutokea mashariki
Lu 10:18 Shetani aanguka kama umeme
Ufu 11:19 umeme, sauti, ngurumo
Kut 20:18; Ayu 37:3; Nah 2:4; Ufu 4:5; 8:5.
UMIA, 1Ko 12:26 kiungo kimoja kikiumia
UMILELE, 1Ti 1:17 Mfalme wa umilele
Yud 25 kwa umilele wote uliopita
Ufu 15:3 njia adilifu, Mfalme wa umilele
UMIZA, Met 6:18 hila zenye kuumiza
Met 15:1 neno linaloumiza hufanya
Lu 10:19 hakuna kitakachowaumiza
Ufu 9:10 kuumiza wanadamu miezi
Zb 14:4; 59:2; 64:2; 92:7; 94:4; 101:8; 125:5; 141:4; Met 10:29; 21:15.
UMOJA, Zb 133:1 kukaa kwa umoja
Efe 4:13 umoja katika imani
Isa 45:21; Ho 1:11; Mdo 2:46; 19:29; Ro 15:6.
UMRI MKUBWA, Lu 1:18; Tit 2:3.
UMWA, Eze 36:3 kuumwa pande zote
UNABII, Yer 5:31 unabii wa uwongo
Yer 14:14 unabii katika jina langu
Yer 26:12 aliyenituma kutoa unabii
Yer 28:9 anayetoa unabii wa amani
Yoe 2:28 wana, binti watatoa unabii
Mt 13:14 unabii wa Isaya
Mdo 2:17 wana, binti watatoa unabii
1Ko 13:9 tunatoa unabii kwa sehemu
1Ko 14:1 afadhali mtoe unabii
1Ko 14:3 anayetoa unabii hujenga
1Ko 14:39 bidii kutoa unabii
2Pe 1:20 unabii wa Andiko
2Pe 1:21 unabii, si kwa mapenzi ya
Ufu 19:10 Yesu, kusudi la unabii
1Fa 22:12; 2Nya 9:29; 15:8; Ne 6:12; Yer 23:16; 27:10; Eze 39:1; Zek 13:3; Ro 12:6; 1Ko 13:2; Ufu 1:3; 10:11; 11:3.
UNAFIKI, Mt 23:28 mmejaa unafiki na
Lu 12:1 chachu ya Mafarisayo, unafiki
Ro 12:9 Upendo bila unafiki
2Ko 6:6 upendo usio na unafiki
Ga 2:13 Wayahudi, kufanya unafiki
Flp 1:18 kama ni kwa unafiki
1Th 2:5 si na unafiki kwa tamaa
1Ti 4:2 unafiki wa watu
1Pe 1:22 upendo usio na unafiki
UNAJIMU, 2Fa 23:5 makundi-nyota ya unajimu
UNAJISI, Law 21:12 kutia unajisi patakatifu
Zb 79:1 Wamelitia unajisi hekalu lako
Zb 89:34 Sitalitia unajisi agano
Yer 3:9 kuitia nchi unajisi
Yer 23:11 nabii, kuhani wana unajisi
Yer 32:34 jina langu, kulitia unajisi
Eze 36:20 unajisi jina langu takatifu
Da 11:31 itapatia unajisi patakatifu
Mal 1:7 mkate uliotiwa unajisi
Mal 1:12 Meza ya Yehova ina unajisi
Mt 15:18 kinywani, humtia mtu unajisi
Ro 14:14 hakuna kitu najisi ndani yake
Tit 1:15 watu najisi hakuna kilicho safi
Ebr 7:26 kuhani mkuu asiye na unajisi
Ebr 13:4 kitanda kisiwe na unajisi
Yak 1:27 ibada isiyotiwa unajisi
1Pe 1:4 urithi usiotiwa unajisi
Law 19:12; Hes 35:34; Zb 55:20; Isa 30:22; 47:6; Yer 3:1; 34:16; Eze 7:21; 20:7; 39:7; 1Ti 1:9.
UNDA, Ayu 10:8 Mikono yako imeniunda
UNDUGU, Zek 11:14 kuuvunja undugu
UNGA, Da 11:34 watajiunga kwa ulaini
Mdo 17:4 wakawa waamini na kujiunga
UNGA MKONO, Zb 140:8 Usiunge mkono hila
UNGA ULIOKANDWA, Kut 12:15, 19; Law 2:11; Kum 16:4.
UNGAMA. Ona pia KIRI.
Law 5:5 ndipo atakapoungama jinsi
Law 16:21; 26:40; Yos 7:19; 2Nya 30:22; Ezr 10:11; Ne 1:6; 9:2; Zb 32:5; Met 28:13; Da 9:4; Yak 5:16; 1Yo 1:9.
UNGANA, Ro 6:5 ikiwa tumeungana naye
1Ko 6:16 ameungana na kahaba
1Ko 6:17 ameungana na Bwana ni
Mwa 49:6; 2Fa 12:20; 14:19; Isa 14:20.
UNGANISHA, Zb 86:11 Unganisha moyo wangu
Mik 2:12 Nitawaunganisha kama kundi
Mt 19:6 kile Mungu ameunganisha
Efe 4:3 kifungo chenye kuunganisha
UNGANISHWA, 1Ko 1:10 muunganishwe vema
Flp 2:2 mkiunganishwa katika nafsi
Kol 2:2 waunganishwe kwa upatano
UNYAKUZI, Flp 2:6 hakufikiria unyakuzi
UNYANG’ANYI, Isa 61:8 nachukia unyang’anyi
Zb 62:10; 69:4; Isa 3:14; Eze 18:7.
UNYASI, Mt 7:3-5; Lu 6:41, 42.
UNYENYEKEVU, Met 15:33.
Met 22:4 Matokeo ya unyenyekevu
Flp 2:3 kwa unyenyekevu wa akili
Kol 2:18, 23 unyenyekevu wa dhihaka
Met 16:19; 29:23; Mdo 20:19; Efe 4:2; Kol 3:12.
UNYENYEKEVU WA DHIHAKA, Kol 2:18.
UNYOOFU, Mwa 20:5 unyoofu wa moyo wangu
1Nya 29:17 Mungu, unafurahia unyoofu
Ayu 6:25 Maneno ya unyoofu
Ayu 33:3 hutamka ujuzi kwa unyoofu
Ayu 33:23 kumwambia unyoofu wake
Zb 25:21 Utimilifu na unyoofu
Met 24:26 Anayejibu kwa unyoofu
Mik 2:7 anayetembea kwa unyoofu
2Ko 1:12 unyoofu wa moyo wa kimungu
2Ko 2:17 tunasema kwa unyoofu
2Ko 8:21 tunafanya mpango wa unyoofu
Efe 6:5 watiini katika unyoofu wa mioyo
Flp 2:20 atajali mambo kwa unyoofu
1Nya 29:17; Ayu 33:3; Zb 143:10; Met 14:2; Isa 26:10; 1Ko 5:8; Ga 2:14; Kol 3:22.
UONEVU, Kum 24:7 amemtendea kwa uonevu
Kut 1:13; Law 25:43; Eze 34:4.
UONGOZI, Ayu 37:12; Met 12:5.
UOVU, Zb 45:7 unachukia uovu
Zb 84:10 kuzunguka hema za uovu
Ro 12:17 Msilipe uovu kwa uovu
Ro 13:10 Upendo haumfanyii uovu jirani
Ro 16:19 bila hatia kuhusu maovu
1Ko 5:8 chachu ya ubaya na uovu
Efe 4:31 Uchungu wenye uovu
1Th 5:22 Jiepusheni na kila uovu
2Ti 2:3 sehemu yako kuvumilia uovu
Yak 1:13 Mungu hajaribiwi na maovu
Mwa 50:15; Zb 5:4; 125:3; Eze 3:19; Mt 22:18; 2Ti 1:8; 2:9; 4:5.
UPANA, Efe 3:18; Ufu 20:9; 21:16.
UPANA WA KIDOLE, Yer 52:21.
UPANDE, Ro 8:31 Mungu yuko upande wetu
UPANDWAJI, Yak 1:21 upandwaji wa neno
UPANGA, Mwa 3:24 upanga unaowaka
Amu 3:16 Ehudi akajifanyia upanga
1Sa 17:47 Yehova haokoi kwa upanga
Isa 2:4 watafua panga zao ziwe majembe
Eze 33:6 mlinzi akiuona upanga ukija
Yoe 3:10 Fueni majembe yawe panga
Mik 4:3 watafua panga ziwe majembe
Mt 26:52 wanaouchukua upanga
Efe 6:17 upanga wa roho
Ebr 4:12 lenye makali kuliko upanga
Ufu 19:15 upanga mrefu mkali
Amu 7:22; Da 11:33; Mt 10:34; Lu 21:24; 22:38.
UPINZANI, Zb 13:2 Nitaweka upinzani
Mdo 26:9 matendo mengi ya upinzani
UPARA, Law 13:40; Kum 14:1; Mik 1:16.
UPATANISHO, Kut 30:10 atafanya upatanisho
Kut 32:30 upatanisho kwa ajili ya dhambi
Law 17:11 damu hufanya upatanisho
Kum 32:43 upatanisho kwa ajili ya nchi
1Nya 28:11 kifuniko cha upatanisho
Eze 16:63 upatanisho kwa ajili yako
Da 9:24 kufanya upatanisho kwa ajili ya kosa
Ro 5:11 kupitia yeye tumepokea upatanisho
Ebr 9:5 makerubi, kifuniko cha upatanisho
1Yo 2:2 dhabihu ya upatanisho
Law 16:6, 16, 30, 33, 34; 2Sa 21:3; Met 16:6; Isa 6:7; 22:14; 27:9; Ro 11:15; 2Ko 5:18, 19; Ebr 2:17; 1Yo 4:10.
UPATANO, 1Ko 1:10 nyote mseme kwa upatano
2Ko 6:15 upatano gani, Kristo na Beliali?
2Ko 6:16 hekalu lina upatano gani?
Efe 2:21 likiunganishwa kwa upatano
UPENDELEO, Kut 23:3 upendeleo katika ubishi
Kum 10:17 asiyetenda kwa upendeleo
Ayu 32:21 acha nisionyeshe upendeleo
Met 28:21 Si vema kuonyesha upendeleo
Yak 2:9 mkiendelea kuonyesha upendeleo
UPENDEZI, Efe 1:5 upendezi mwema wa
UPENDO, 2Sa 1:26 kuliko upendo wa wanawake
Mt 24:12 upendo wa wengi utapoa
Yoh 15:13 upendo mkuu kuliko huu
Ro 8:39 kututenga na upendo wa Mungu
Ro 13:10 upendo ni utimizo wa sheria
1Ko 13:4 Upendo hauna wivu
1Ko 13:13 kubwa zaidi ni upendo
1Ko 16:14 Mambo yatendeke kwa upendo
Kol 3:12 jivikeni upendo mwororo
Kol 3:14 upendo, kifungo kikamilifu
2Ti 3:3 wasio na upendo wa asili
Tit 2:4 wawapende waume zao
1Pe 4:8 upendo hufunika dhambi
1Yo 4:8 Mungu ni upendo
1Yo 4:18 Hakuna woga katika upendo
Wim 8:6; 1Ko 13:1-4, 8; 16:22; 2Ko 7:15; Kol 2:2; 1Ti 1:5; Ufu 2:4.
UPENDO WA KINDUGU, Ro 12:10; Ebr 13:1.
UPEO, 1Ko 7:36 umepita upeo wa ujana
UPEO WA MAISHA, Mhu 11:10.
UPEPO, Mwa 3:8 upepo mtulivu wa siku
Mhu 1:14 ubatili na kufuatilia upepo
Mhu 11:4 Anayeuangalia upepo
Isa 26:18 kana kwamba tumezaa upepo
Mt 24:31 zile pepo nne
Mdo 2:2 kelele kama upepo wenye nguvu
Efe 4:14 kuchukuliwa na kila upepo
Ufu 7:1 wakizishika zile pepo nne
Zb 104:3; Eze 37:9; Mt 7:25; Yoh 3:8.
UPEPO WA DHORUBA, Met 1:27; 10:25; Isa 66:15; Ho 8:7.
UPINDE, Mwa 21:16 umbali wa mtupo wa upinde
Ho 2:18 nitavunja upinde na upanga
UPINDE WA MVUA, Mwa 9:13; Ufu 4:3; 10:1.
UPINDO, Mt 9:20; 23:5; Mk 6:56.
UPOFU, Mwa 19:11 wakawapiga kwa upofu
UPOLE, Sef 2:3 utafuteni upole
1Ko 4:21 upendo na upole wa roho?
2Ko 10:1 upole na fadhili za Kristo
Ga 6:1 kumrekebisha kwa roho ya upole
2Ti 2:25 akiwafundisha kwa upole
1Pe 3:4 roho ya utulivu, upole
UPORAJI, Isa 10:6 kuchukua uporaji mwingi
UPOTOVU, Kum 32:20 kizazi chenye upotovu
Met 6:14 Upotovu moyoni mwake
Met 10:31 ulimi wa upotovu utakatwa
Isa 29:16 Upotovu wenu! Je, mfinyanzi
Met 11:3; 15:4; Efe 5:18; Tit 1:6; 1Pe 4:4.
UPUMBAVU, Zb 69:5 umeujua upumbavu wangu
Met 26:4 mjinga, upumbavu wake
1Ko 1:18 mti wa mateso, upumbavu
1Ko 1:20 hekima yao, upumbavu
1Ko 1:23 Kristo, upumbavu kwa mataifa
1Ko 1:25 kitu kipumbavu cha Mungu
1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu, upumbavu
2Ti 2:23 maswali ya upumbavu
2Sa 15:31; Met 19:3; Mhu 1:17; 2:3, 13; Isa 44:25; 1Ko 1:27; 2:14; Efe 5:4; Tit 3:9.
UPUNGUFU, 2Ko 8:14 kujazia upungufu wenu
UPUNGUFU WA CHAKULA, Ne 5:3; Mt 24:7; Mk 13:8; Lu 21:11; Ufu 6:8.
UPUNJAJI. Ona pia PUNJA.
Met 28:16 mazoea ya upunjaji
Mdo 13:10 mwenye upunjaji na ulaghai
UPUUZI, Zb 2:1 mataifa yanasema upuuzi
Lu 24:11 maneno yalionekana upuuzi kwao
UPWEKE, Omb 3:28 aketi katika upweke
UPYA, Zb 103:5 ujana unajifanya upya
Isa 49:8 kuitengeneza upya nchi
Isa 61:4 watajenga upya majiji
2Ko 4:16 anafanywa upya siku kwa siku
Flp 3:21 ataufanya upya mwili wetu
Ebr 6:6 wanamtundika upya Mwana
1Pe 1:23 maana mmezaliwa upya
URAFIKI, Ayu 29:4 urafiki na Mungu ulikuwa
Zb 25:14 Urafiki na Yehova ni wa
Zb 55:14 tukifurahia urafiki mtamu
Met 3:32 urafiki Wake na wanyoofu
Yak 4:4 urafiki na ulimwengu
URAIA, Flp 3:20 uraia wetu uko mbinguni
UREFU, Zb 89:47 nina urefu gani wa maisha
UREMBO, Met 6:25 Usiutamani urembo wake
URIMU NA THUMIMU, Kut 28:30; Ezr 2:63.
URITHI, Zb 2:8 mataifa yawe urithi wako
Mdo 7:5 hakumpa urithi wowote
Efe 1:14 rehani ya urithi
Kol 1:12 urithi wa watakatifu
1Pe 1:4 urithi usioharibika
1Pe 5:3 urithi wa Mungu
Hes 18:20; Eze 47:22; Efe 5:5; Ebr 9:15.
URIYA, Yer 26:21 Uriya akaogopa
UROJOROJO, Ebr 4:12 viungo na urojorojo
URU, Mwa 11:28; 15:7.
USADIKISHO, 1Th 1:5 usadikisho wenye nguvu
USAFI, Mt 23:27 makaburi, ukosefu wa usafi
Ro 6:19 watumwa, ukosefu wa usafi
Efe 5:3 ukosefu wa usafi wa
USAHA, Zb 38:5 Vidonda vyangu vina usaha
USAHAULIFU, Zb 88:12 nchi ya usahaulifu?
USAHIHI, Lu 1:3 tangu mwanzo kwa usahihi
Mdo 18:25 kuyafundisha kwa usahihi
1Ko 13:12 nitajua kwa usahihi
1Ti 4:3 wanaoijua kweli kwa usahihi
USAIDIZI, Isa 31:1 kwenda Misri, usaidizi
USALAMA, Zb 4:8 hunifanya nikae kwa usalama
Met 1:33 anayenisikiliza atakaa salama
Met 3:23 utakapotembea kwa usalama
Flp 3:1 bali ni usalama kwenu
1Th 5:3 Amani na usalama!
Law 25:18; Kum 33:28; Zb 12:5; Isa 14:30; Mdo 27:34; 28:1, 4.
USAWA, Da 11:6 mpango wa usawa
Da 11:17 masharti ya usawa naye
USAWAZIKO, Flp 4:5 Usawaziko na ujulikane
1Ti 3:3 mwangalizi, mwenye usawaziko
Tit 3:2 wenye usawaziko
Yak 3:17 hekima, usawaziko, tayari kutii
USAWAZISHO, 2Ko 8:14 ili usawazisho uwepo
USHAHIDI, Isa 19:20 ishara na ushahidi
Mt 10:18 kuwa ushahidi kwao na kwa mataifa.
Mt 24:14 itahubiriwa kuwa ushahidi
Yoh 4:44 Yesu alitoa ushahidi
Yoh 8:17 Ushahidi wa watu wawili
Yoh 18:37 nitoe ushahidi juu ya kweli
Mdo 20:26 ninawaita kuona ushahidi
Ro 8:16 Roho hutoa ushahidi
1Ti 2:6 litakalotolewa ushahidi
2Ti 1:8 usionee aibu ushahidi
1Pe 1:11 ikitoa ushahidi kimbele
1Yo 5:7 vitatu vinavyotoa ushahidi
Ufu 6:9 kazi ya ushahidi
Ufu 12:17 kazi ya kutoa ushahidi
Ufu 20:4 waliouawa sababu ya ushahidi
Yoh 8:18; Mdo 18:5; Ro 8:16; Ufu 19:10.
USHAWISHI, Met 7:21 ushawishi mwingi
Met 16:23 midomo huongeza ushawishi
Ga 5:8 Ushawishi huo hautoki
USHIKAMANIFU, 2Sa 22:26.
Lu 1:75 ushikamanifu na uadilifu
Efe 4:24 uadilifu na ushikamanifu
USHINDANI, Hes 25:13; 2Fa 10:16.
USHINDI, Zb 41:11 hapigi kelele za ushindi
Zb 47:1 Mpigieni kelele za ushindi
1Ko 15:55 Kifo, uko wapi ushindi
1Ko 15:57 hutupa ushindi kupitia Bwana
Yak 2:13 ushindi juu ya hukumu
1Yo 5:4 huu ndio ushindi, imani yetu
Ufu 6:2 akishinda na kumaliza ushindi wake
USHIRIKA, 2Nya 20:37 ushirika na Ahazia
Mdo 4:32 vitu vyote kwa ushirika
1Ko 1:9 ushirika pamoja na Kristo
1Ko 5:11 kuchangamana katika ushirika
2Ko 6:14 nuru ina ushirika gani na giza?
1Pe 2:17 upendeni ushirika mzima wa ndugu
1Pe 5:9 ushirika wa ndugu ulimwenguni
USHUHUDA, Kut 25:22 sanduku la ushuhuda
Kut 31:18 mabamba ya ule Ushuhuda
Hes 1:50 maskani ya Ushuhuda
Hes 35:30 mmoja hawezi kutoa ushuhuda
2Sa 1:16 kinywa kimetoa ushuhuda
Isa 8:20 sheria na ushuhuda
Mik 6:3 Toeni ushuhuda juu yangu
1Ti 3:7 ushuhuda mzuri, watu wa nje
Kum 6:17; Ru 4:7; 2Nya 23:11; Isa 8:16; Ebr 3:5.
USHUPAVU, Ayu 41:10 aliye na ushupavu
USHURU, Ezr 7:24 hairuhusiwi kutoza ushuru
Ro 13:7 anayetaka ushuru, ushuru
USIKU, Mwa 1:5 giza akaliita Usiku
Yos 1:8 ukisome mchana na usiku
2Fa 19:35 usiku huo malaika
Zb 19:2 usiku huonyesha ujuzi
Isa 21:11 Mlinzi, habari gani za usiku?
Yoh 9:4 usiku unakuja wakati
Ro 13:12 Usiku umesonga sana
1Th 5:2 inakuja kama mwizi usiku
Ufu 22:5 usiku hautakuwapo tena
Lu 18:7; 1Th 5:5; Ufu 7:15; 12:10.
USIMAMIZI, Efe 1:10 usimamizi kamili
1Nya 26:30; Da 2:49; Lu 16:2; Efe 3:2; Kol 1:25.
USIMAMIZI-NYUMBA, 1Ko 9:17.
USINGIZI, Zb 121:4 wala kulala usingizi
Isa 29:10 amemwaga roho ya usingizi
Yer 51:57 watalala usingizi unaodumu
Yoh 11:11 kumwamsha kutoka usingizini
Ro 13:11 kuamka kutoka katika usingizi
USO, Mwa 1:2 uso wa maji
Kut 10:29 Sitajaribu kuona uso wako
Kut 33:20 Huwezi kuona uso wangu
Isa 25:8 atafuta machozi katika nyuso
Mdo 3:19 kwa uso wa Yehova
Mdo 6:15 uso wake, kama malaika
2Ko 4:6 kuimulika kwa uso wa Kristo
Ebr 9:24 Kristo, uso wa Mungu
USO KWA USO, Ga 2:11 Kefa uso kwa uso
USTADI, 2Ko 11:6 sina ustadi wa kusema
USTAHIMILIVU, Ro 9:22 Mungu, ustahimilivu
1Ko 13:4 Upendo ni ustahimilivu
1Th 5:14 ustahimilivu kwa wote
2Ti 4:2 himiza, kwa ustahimilivu
Ro 2:4; Ga 5:22; Efe 4:2; Kol 3:12.
USUKANI, Yak 3:4 mtambo wa usukani
USUMBUFU, Ayu 6:2 usumbufu ungepimwa
Zb 6:7 masumbufu jicho langu
Isa 30:15 kukaa bila usumbufu
Isa 65:23 kuzaa kwa usumbufu
Zek 1:11 dunia haina usumbufu
UTABIRI, 1Ti 4:14 zawadi, kupitia utabiri
UTAFITI, 1Ti 1:4 maswali ya utafiti
UTAJI, Kut 34:35 Musa akaurudisha utaji
2Ko 3:18 nyuso zisizo na utaji
2Ko 4:3 imefunikwa utaji
UTAJIRI, Zb 52:7 anategemea utajiri wake
Met 11:28 Anayetegemea utajiri wake
Mt 6:24 Mungu na Utajiri
Ro 9:23 ajulishe utajiri wa utukufu
Ro 11:33 kina cha utajiri wa Mungu
Ebr 11:26 shutuma ya Kristo, utajiri
Yak 5:2 Utajiri wenu umeoza
1Fa 3:11; Mt 13:22; Mk 4:19; Efe 3:8.
UTAKASO, 1Ko 1:30 hekima na utakaso
1Th 4:4 kukiweza chombo katika utakaso
1Th 4:7 alituita kuhusiana na utakaso
1Ti 2:15 waendelee katika imani na utakaso
Ebr 12:14 Fuatilieni amani, na utakaso
UTAKATIFU, Kut 15:11 nguvu katika utakatifu?
Isa 35:8 itaitwa Njia ya Utakatifu
Isa 65:5 nitakupa utakatifu
Ro 6:19 uadilifu, mkitazamia utakatifu
2Ko 7:1 tukiukamilisha utakatifu
1Th 3:13 utakatifu mbele za Mungu
UTAKATIFU NI WA YEHOVA, Kut 28:36; 39:30; Zek 14:20.
UTAKATO, 2Ko 6:6 kwa utakato, kwa ujuzi
UTAMBUZI, Met 2:11 utambuzi utakulinda
Ro 8:29 aliwapa utambuzi wa kwanza
1Ko 10:15 wenye utambuzi; hukumuni
Efe 3:4 utambuzi nilio nao
2Ti 2:7 Bwana atakupa utambuzi
Met 2:2; 3:19; 10:23; 11:12; 17:27; 24:3.
UTANI, Yer 15:17 wanaofanya utani
UTARATIBU, Law 5:10 toleo, utaratibu
Hes 9:3 utaratibu wa kawaida
Lu 1:3 kukuandikia kwa utaratibu
Ga 5:25 tutembee kwa utaratibu
Flp 3:16 utaratibu, kawaida hiyohiyo
Kol 2:5 kuona utaratibu wenu
2Th 3:6 anayetembea bila utaratibu
1Ti 3:2 mwangalizi, mwenye utaratibu
UTAWALA, Da 7:27 tawala zitawatumikia
Da 4:3, 34; 7:6; Efe 1:21; Kol 1:16.
UTAWALA WA KIFALME, 1Sa 15:28; Yer 26:1; Ho 1:4.
UTAWALA WA UKUU, Isa 9:6.
UTAYARI, 2Ko 8:11, 12; 9:2.
UTEKWA, Yer 43:11 kwenda utekwani
Da 11:33 watakwazwa, kwa kutekwa
UTELEZI, Yer 23:12 mahali penye utelezi
UTENDAJI, Kum 3:24 utendaji kama wako?
1Nya 23:28 utendaji wao, utumishi
Met 10:16 utendaji wa mwadilifu
Met 21:8 aliye safi ni mnyoofu katika utendaji
Met 24:12 hatamlipa kulingana na utendaji?
1Ko 12:6 utendaji wa namna mbalimbali
Efe 4:16 utendaji wa kila kiungo
Ayu 36:24; Zb 9:16; Hab 3:2; 1Ko 12:11; Kol 2:12; 2Th 2:9.
UTETE, Eze 40:3, 5; 42:16; Mt 27:29.
UTEUZI. Ona KUCHAGUA.
UTHAMINI, Zb 27:4 kulitazama kwa uthamini
UTHIBITISHO, 2Ko 2:9 kuhakikisha uthibitisho
2Th 1:5 uthibitisho wa hukumu
Ebr 11:1 Imani, uthibitisho wazi
Ebr 11:14 hutoa uthibitisho, wanatafuta
UTII, Ro 6:16 utii kwa kutazamia uadilifu?
UTIMAMU WA AKILI, 1Sa 21:13; 1Ko 15:34; 1Pe 4:7.
UTIMILIFU, Ayu 31:6 Mungu atajua utimilifu
Zb 26:11 nitatembea katika utimilifu
Met 14:32 kimbilio katika utimilifu
Met 20:7 anatembea kwa utimilifu
1Fa 9:4; Ayu 27:5; Zb 7:8; 25:21; 41:12; 78:72; Met 2:7; 11:3.
UTOAJI SHUKRANI, Zb 26:7.
UTOTO, 2Ti 3:15 tangu utoto umeyajua
UTU, Ro 6:6 utu wetu ulitundikwa
Efe 4:22 kuondoa utu wa zamani
Efe 4:24 kuvaa utu mpya
Kol 3:9 Uvueni utu wa zamani
Ebr 1:3 mwakilisho wa utu wake
UTUKUFU, 1Nya 16:27 Utukufu na fahari
1Nya 29:11 Ee Yehova, utukufu ni wako
Ayu 37:22 Utukufu juu ya Mungu huogopesha
Zb 8:1 Yehova, jina lako ni lenye utukufu
Zb 19:1 Mbingu zatangaza utukufu
Zb 76:4 una utukufu kuliko milima
Zb 111:3 Utendaji wake ni utukufu
Met 18:12 kabla utukufu, unyenyekevu
Isa 28:1 Ole taji la utukufu
Isa 30:30 Yehova, utukufu wa sauti yake
Isa 33:21 Mwenye Utukufu, Yehova
Isa 42:8 sitampa mwingine utukufu wangu
Isa 42:21 sheria, iwe na utukufu
Isa 43:7 nimeumba kwa utukufu wangu
Omb 3:18 Utukufu wangu umeangamia
Da 5:18 alimpa Nebukadneza utukufu
Mik 2:8 Vueni pambo la utukufu
Mt 5:16 matendo yampe Baba utukufu
Mt 25:31 Mwana atafika kwa utukufu
Lu 2:14 Utukufu katika vilele
Mdo 19:27 utukufu wake utashushwa
Ro 9:23 utajiri wa utukufu wake
2Ko 4:4 habari njema ya utukufu
Ufu 21:23 utukufu wa Mungu ulilitia nuru
1Nya 16:24; Ayu 40:10; Zb 29:9; 79:9; 102:16; Yer 14:21; Da 4:36; Hab 2:14; Zek 11:3; Yoh 1:14; Ro 1:23; 3:23; 2Ko 3:8; 1Pe 5:4.
UTULIVU, Ayu 34:29 anaposababisha utulivu
Met 14:30 Moyo mtulivu ni uhai
Met 15:4 Utulivu wa ulimi
Isa 32:17 utulivu na usalama
1Th 4:11 kuishi kwa utulivu
1Pe 3:4 roho ya utulivu na upole
1Fa 19:12; 1Nya 22:9; Ayu 4:16; Zb 107:29; Met 17:1; Mhu 9:17; Yer 50:34; Mt 8:26; 2Th 3:12.
UTUME, Yer 48:10 anayetimiza utume kizembe
1Nya 6:32; Yer 1:10; Mdo 1:25; 26:12; 1Ko 9:2; Ga 2:8.
UTUMISHI, Ona pia UTUMISHI MTAKATIFU.
Kut 12:25 mtaendelea kuufanya utumishi
Hes 4:19 mgawo kwenye utumishi
2Nya 29:19 aliondoa katika utumishi
Ezr 8:20 Wanethini, utumishi wa Walawi
Yoh 16:2 atafikiri amemtolea utumishi
Ro 1:25 kuutolea uumbaji utumishi
1Ko 12:28 utumishi wenye msaada
Ufu 7:15 utumishi mtakatifu mchana na
2Nya 31:2; 35:10; Ezr 9:9; Eze 29:18; Mdo 27:23; Ro 9:4; Ebr 12:28.
UTUMISHI MTAKATIFU. Ona pia UTUMISHI.
Mt 4:10 kumtolea utumishi mtakatifu
Ufu 7:15 utumishi mtakatifu mchana na usiku
Ro 9:4 utumishi mtakatifu na ahadi
Ro 12:1 utumishi mtakatifu pamoja na nguvu
UTUMISHI WA KIJESHI, Isa 40:2; Lu 3:14.
UTUMISHI WA LAZIMA, 1Fa 11:28.
UTUMISHI WA MACHO, Efe 6:6; Kol 3:22.
UTUMISHI WA WATU WOTE, Ebr 8:6; 10:11.
UTUMWA, Ro 8:15 hamkupokea roho ya utumwa
Ro 8:21 wekwa huru kutoka utumwa
Ga 5:1 kufungwa nira ya utumwa
Ebr 2:15 wametiishwa chini ya utumwa
UTUNGU, Isa 13:8 Utungu na uchungu
Isa 21:3 Utungu umenishika, kama utungu
UUMBAJI, Ro 1:25 kuutolea utumishi uumbaji
Ro 8:20 uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili
Ro 8:22 uumbaji wote unaugua
Ufu 3:14 mwanzo wa uumbaji wa Mungu
UUMBAJI-MPYA, Mt 19:28 Katika uumbaji-mpya
UUNGU, Ro 1:20 nguvu zake na Uungu
UVIVU, Met 12:27 Uvivu hautatimua mawindo
Met 19:15 Uvivu huleta usingizi
Met 31:27 hali mkate wa uvivu
Mhu 10:18 uvivu, paa hubonyea
UVULANA, 1Sa 17:33 vita tangu uvulana
UVUMBA, Ufu 8:4 uvumba ukapanda sala
Law 16:13; Kum 33:10; Zb 141:2.
UVUMILIVU, Ro 2:7 uvumilivu katika kazi njema
Ro 5:3, 4 dhiki hutokeza uvumilivu
Ro 15:4 kupitia uvumilivu tuwe na tumaini
Ebr 12:1 tukimbie kwa uvumilivu
Yak 5:11 Mmesikia uvumilivu wa Ayubu
Lu 8:15; 1Th 1:3; 2Pe 1:6; Ufu 13:10.
UVUMILIVU WENYE SUBIRA, Ro 2:4.
UWANJA, Mwa 19:2 uwanja wa watu wote
UWANJA WA KUPURIA, Ru 3:2; 2Sa 24:21.
UWANJA WA MAKABURI, 2Nya 34:28; 35:24; Ayu 17:1; 21:32.
UWEZO, 2Fa 14:26 asiye na uwezo wala
1Nya 29:12 mkononi mwako mna uwezo
Met 31:29 umeonyesha uwezo
Ro 7:18 uwezo wa kufanya mazuri
Ro 8:3 Sheria haina uwezo
1Ko 1:5 uwezo kamili wa kusema
1Ko 12:28 uwezo wa kuelekeza
Efe 6:10 uwezo wa nguvu zake
Ebr 2:14 uwezo wa kuleta kifo
1Yo 5:20 uwezo wa akili
Kut 15:6; 18:21; 1Fa 15:23; Zb 24:8; Met 12:4; 31:10; Eze 46:7; Da 1:4; 4:18; 5:11, 15; Mt 25:15; 2Ti 3:17.
UWEZO WA KUFIKIRI, Met 5:2; 14:17; 2Pe 3:1.
UWONGO, Kut 20:16 Usishuhudie uwongo
Law 19:11 msitendeane kwa uwongo
Hes 23:19 Mungu hatasema uwongo
Ayu 13:4 watu wa kupaka uwongo
Met 6:19 shahidi wa uwongo
Met 14:5 Shahidi hatasema uwongo
Isa 28:15 uwongo kuwa kimbilio
Yer 5:31 wanatoa unabii kwa uwongo
Yer 7:4, 8 Msitegemee maneno ya uwongo
Da 11:27 uwongo kwenye meza
Zek 5:4 anayeapa kwa uwongo
Mt 24:24 Makristo, manabii wa uwongo
Lu 3:14 msimshtaki mtu kwa uwongo
Yoh 8:44 ndiye baba ya uwongo
Ro 1:25 walioibadili kweli kwa uwongo
2Ko 11:13 mitume wa uwongo
Efe 4:25 ondoa uwongo, semeni kweli
Kol 3:9 Msiambiane uwongo
2Th 2:9 ishara za uwongo na
2Th 2:11 huacha wauamini uwongo
1Ti 6:20 unaoitwa ujuzi kwa uwongo
Ebr 6:18 Mungu, hasemi uwongo
Kut 23:7; Law 6:3; Amu 16:10; Zb 7:14; 27:12; 44:17; 89:35; 119:104; Met 6:17, 19; 19:5, 22; Isa 9:15; 28:15; Yer 6:13; Eze 13:6; Hab 2:3; Sef 3:13; Zek 10:2; Mt 26:59; Ga 2:4; 1Ti 4:2; Ufu 14:5; 21:27; 22:15.
UZA 1., 2Sa 6:6 Uza akanyosha mkono
UZA 2., Mwa 25:31 Niuzie haki yako
Met 23:23 Nunua kweli wala usiiuze
Yoe 3:8 nitawauza wana wenu
Mt 19:21 nenda ukauze mali zako
Law 25:14, 25; Amu 4:9; Mt 25:9; Lu 12:33.
UZAO, Mwa 3:15 uadui kati ya uzao
Mwa 22:17 nitauzidisha uzao wako
Zb 37:25 Wala uzao ukitafuta mkate
Zb 127:3 Uzao wa tumbo ni thawabu
Ga 3:16 Na kwa uzao wako
Ga 3:29 ninyi ni uzao wa Abrahamu
Ufu 12:17 vita na waliobaki wa uzao
Mwa 9:9; 12:7; Kum 7:13; Ayu 18:19; Zb 25:13; Isa 14:20; 59:21; 65:23; Mdo 17:28; Ro 9:7, 29; Ga 3:19.
UZEMBE, Ezr 4:22 kusiwe na uzembe kutenda
Yer 48:10 utume kwa uzembe
Ho 7:14 kuwa na uzembe
UZIA, 2Nya 26:21 Uzia, akiwa mwenye ukoma
UZIMA, Mwa 3:22 matunda ya mti wa uzima
1Sa 25:29 mfuko wa uzima
Zb 36:9 chemchemi ya uzima
Da 12:2 kwa ajili ya uzima unaodumu
Yoh 3:16 awe na uzima wa milele
Yoh 5:26 Baba ana uzima
Yoh 11:25 mimi ni ufufuo na uzima
Yoh 11:25 akifa, atarudi kwenye uzima
Yoh 14:6 njia na kweli na uzima
Yoh 17:3 Uzima wa milele ndio huu
Ro 6:23 zawadi ya Mungu ni uzima
1Yo 1:2 ndiyo, uzima ulifunuliwa
Ufu 2:10 nitakupa taji la uzima
Ufu 20:15 kitabu cha uzima
Ufu 22:14 miti ya uzima
Ufu 22:17 maji ya uzima bure
Kum 30:15; Met 15:24; 22:4; Mal 2:5; Yoh 5:24; Yak 1:12; 1Pe 3:10; Ufu 7:17.
UZIMA UNAODUMU, Da 12:2.
UZINZI, Kut 20:14 Usifanye uzinzi
Eze 23:37 wamefanya uzinzi na sanamu
Ufu 2:22 wanaofanya uzinzi naye
Mt 5:28; 15:19; Mk 7:22; Yak 2:11.
UZITO, Ro 11:25 hizi kutiwa uzito
2Ko 3:14 akili zilitiwa uzito
Ebr 12:1 tuondoe kila uzito
UZOEFU, Zb 19:7 uzoefu awe na hekima
Met 22:3 wasio na uzoefu waumie
Zb 119:130; Met 1:22; 14:15; 21:11; Eze 45:20.
UZURI, Est 1:11 awaonyeshe wakuu uzuri
Zb 16:11 uzuri upande wa mkono
Zb 50:2 Sayuni, ukamilifu wa uzuri
Met 17:6 uzuri wa wana ni baba zao
Isa 33:17 mfalme katika uzuri wake
Eze 28:12 kikamilifu katika uzuri
V
VAMIA, 2Nya 24:23 Siria wakavamia Yuda
Mik 5:1 Ee binti uliyevamiwa
VAZI, 2Fa 10:22 Toa mavazi kwa ajili
Zb 22:18 wanapigia kura vazi langu
Met 7:10 vazi la kahaba
Isa 61:10 amenivika mavazi ya wokovu
Sef 1:8 wanaovaa mavazi ya kigeni
Mt 9:16 kiraka kwenye vazi la zamani
Mt 23:5 kuongeza upindo wa mavazi
Mt 27:35 wakagawa mavazi kwa kura
Mdo 20:33 Sikutamani vazi la mtu
1Ti 2:9 mavazi ya mpangilio mzuri
1Pe 3:4 vazi lisiloharibika la utulivu
Yud 23 vazi ambalo limetiwa doa
Mt 17:2; 21:8; Yoh 19:2; Ufu 3:18; 16:15.
VAZI LA CHUMA, 1Sa 17:5; Isa 59:17.
VAZI LA KICHWANI, 1Ko 11:15.
VAZI LA NJE, Mt 5:40 alichukue vazi la nje
Ufu 16:15 na kutunza mavazi ya nje
Mt 24:18; Ebr 1:12; Yak 5:2; 1Pe 3:3.
VAZI RASMI, 2Fa 2:13 vazi rasmi la Eliya
VIBANDA, Kum 16:13 Sherehe ya vibanda
Law 23:42; Kum 16:16; Ezr 3:4; Ne 8:14.
VIBAYA, 1Ti 6:1 jina lisisemwe vibaya
VIBWETA VYENYE MAANDIKO, Mt 23:5.
VIGELEGELE, Zb 89:15 vigelegele vya shangwe
Isa 51:11 Sayuni kwa vigelegele
Isa 54:1 Piga vigelegele, mwanamke tasa
VIGUMU, Mdo 26:14 michokoo, vigumu kwako
VIKA, Kol 3:12 jivikeni upendo mwororo
1Pe 4:1 jivikeni silaha ya mwelekeo uleule
VIKUNDI VYA MATAIFA, Zb 7:7; Isa 49:1; 55:4.
VIKWAZO, Mt 18:7 Ole kwa sababu ya vikwazo
VIPANDE, Zb 2:9 Utawavunja vipande
Yer 51:20 mataifa vipande-vipande
Mt 26:15 vipande 30 vya fedha
Zb 74:14; Isa 30:14; Da 12:7; Mik 3:3.
VIPINDI VYA KULEWA, Ga 5:21.
VIPYA, Ufu 21:5 vyote kuwa vipya
VIRIBA, Mt 9:17; Mk 2:22; Lu 5:37.
VIRINGISHA, Yos 10:18 viringisheni mawe
Lu 24:2 wakapata jiwe limeviringishwa
Mwa 29:10; 1Sa 14:33; Met 26:27; Mt 27:60; Mk 16:4.
VISIVYOONEKANA, 2Ko 4:18.
VITA, Kut 15:3 Yehova ni mtu wa vita
2Nya 20:15 vita si vyenu bali ni vya Mungu
Zb 24:8 Yehova mwenye uwezo katika vita
Zb 46:9 Anakomesha vita
Zb 144:1 Anayefundisha mikono vita
Isa 2:4 hawatajifunza vita tena
Yoe 3:9 Takaseni vita!
Zek 14:3 vita juu ya mataifa
Mt 24:6 vita na habari za vita
1Ko 14:8 ni nani atakayejitayarisha kwa vita
2Ko 10:3 hatupigi vita kimwili
2Ko 10:4 silaha za vita si kimwili
1Ti 1:18 pigana vita vizuri
Ufu 12:7 vita vikatokea mbinguni
Ufu 12:17 joka akaenda kupiga vita
Ufu 16:14 vita vya ile siku kuu
1Sa 17:47; Isa 13:4; Yer 50:22; Ho 1:7; 2:18; Mik 4:3; Zek 14:2; Lu 21:9; Yak 4:1; Ufu 19:11, 19.
VITAMBAA, Lu 24:12; Yoh 19:40; 20:5, 7.
VITISHO, Mdo 4:29 viangalie vitisho vyao
1Pe 2:23 akiteseka, hakutoa vitisho
VITU VIZURI, Mhu 5:11 Vitu vizuri vikiongezeka
VITU VYENYE THAMANI, Met 3:9; 11:4; 28:22.
VITUNGUU, Hes 11:5 vitunguu saumu!
VITUO, Hes 33:1 vituo vya wana wa Israeli
VIVYO HIVYO, Mdo 1:11 atakuja vivyo hivyo
VIWANGO, 1Ko 9:8 viwango vya kibinadamu
VIZIA, Mwa 4:7 dhambi inavizia katika
Kum 19:11 naye amemvizia
Yer 51:12 Watayarisheni wale wanaovizia
Yos 8:2; Amu 16:9; 1Sa 15:5; Zb 10:9.
VUA 1., Kol 2:15 kuzivua serikali
VUA 2., Yer 16:16 wao watawavua
Lu 5:4 mshushe nyavu, mvue
VUGUVUGU, Ufu 3:16 wewe ni vuguvugu
VUJA, Met 27:15 Paa inayovuja hufukuza
VUKA, Mdo 16:9 Vuka uingie Makedonia
2Yo 9 anayevuka mipaka hana Mungu
VULIWA, Zb 102:17 sala ya waliovuliwa
2Ko 3:10 kimevuliwa utukufu
VUMA, Yoe 2:9 huvuma kuingia jijini
1Ko 13:1 kinachovuma au toazi linalolia
VUMILIA, Mwa 30:20 mume wangu atanivumilia
1Sa 23:22 vumilieni kidogo tu
Ne 9:30 uliwavumilia miaka mingi
Zb 69:7 nimevumilia shutuma
Mt 24:13 atakayevumilia mpaka mwisho
Ro 9:22 Mungu alivumilia vyombo
Ro 12:12 Vumilieni chini ya dhiki
1Ko 4:12 tunapoteswa, tunavumilia
1Ko 10:13 kusudi mlivumilie jaribu
2Ti 4:5 vumilia uovu
Ebr 12:7 mnavumilia, nidhamu
1Pe 2:20 mnavumilia, hilo lakubalika
VUMILIA USHINDANI, Hes 25:13; 2Fa 10:16.
VUMILIANA, Efe 4:2 mkivumiliana kwa upendo
VUNA. Ona pia MAVUNO. Mwa 8:22.
Mhu 11:4 mawingu hatavuna
Ho 8:7 watavuna upepo
Mik 6:15 utapanda, bali hutavuna
Yoh 4:35 mashamba, meupe ya kuvunwa
2Ko 9:6 uhaba atavuna kwa uhaba
Ga 6:7 analopanda mtu, atavuna
Ga 6:9 tutavuna tusipochoka
Ufu 14:15 Tia mundu uvune
Mt 6:26; Lu 12:24; Yoh 4:38; 1Ko 9:11.
VUNJA, Law 18:23 Ni kuvunja jambo la asili
1Sa 15:24 nimevunja agizo la Yehova
Ezr 4:5 kulivunja shauri lao
Ezr 6:12 kuivunja nyumba hiyo
Zb 48:7 unavunja meli za Tarshishi
Zb 68:21 Mungu atavunja adui zake
Zb 94:5 Wanaendelea kuwavunja watu wako
Zb 119:126 Wameivunja sheria yako
Isa 8:15 wengi, kuanguka na kuvunjwa
Isa 24:5 wamezivunja sheria, wamelibadili
Yer 19:7 nitalivunja shauri la Yuda
Yer 34:18 watu wanaolivunja agano
Da 2:44 Utazivunja na kuzikomesha falme
Mt 5:19 anayevunja moja ya amri hizi ndogo
Mt 6:19 wezi huvunja na kuiba
Mt 15:3 huvunja amri ya Mungu
Yos 7:11; 23:16; Amu 2:1, 20; 2Nya 24:20; Zb 51:17; Isa 28:13; Yer 2:13; Ho 6:7; 8:1; Mik 1:7; Zek 11:6.
VUNJA MOYO, Hes 32:7 kuvunja moyo Israeli
VUNJA-VUNJA, Kut 15:6 kumvunja-vunja adui
VUNJIKA, Law 21:19 aliyevunjika mguu
Met 15:22 Mipango huvunjika mahali
Yer 6:14 kuponya kuvunjika kijuujuu
Isa 30:13; 65:14; Yer 30:12; Mt 21:44; 1Ti 1:19.
VUNJIKA MOYO, Yos 2:9 wamevunjika moyo
Met 24:10 umevunjika moyo siku ya
Kol 3:21 watoto, ili wasivunjike moyo
VUNJWA, Zb 34:20 hata mmoja uliovunjwa
Isa 8:9 mvunjwe vipande-vipande
Yer 46:5 wenye nguvu wamevunjwa vipande
Yoh 19:36 Hakuna mfupa wake utakaovunjwa
2Ko 5:1 nyumba yetu, hema, ikivunjwa
VURUGA, Mwa 11:7 tuvuruge lugha yao
Omb 3:11 Amevuruga njia zangu
VURUGIKA, Isa 22:5 ni siku ya kuvurugika
VUTA, Met 11:30 anayevuta nafsi
Yoh 6:44 isipokuwa Baba amvute
VUTIA, Mwa 24:16; 26:7; Zb 45:2; Met 3:22; 4:9; 5:19; 11:16; 31:30; Zek 4:7.
VUTWA, 1Pe 3:1 waume wavutwe bila neno
VYEMA, Zb 133:1 ni vyema ndugu kukaa
VYOMBO, Isa 52:11 ninyi mnaovichukua vyombo
W
WAABUDU, 2Fa 10:22 waabudu wa Baali
Yoh 4:23 waabudu wa kweli
WAANDAMIZI, Ebr 7:23, 24
WAANDISHI, Mt 5:20 uadilifu wa waandishi
Mt 7:29; 9:3; 17:10; Lu 5:21, 30.
WAANGALIFU, Ebr 12:15.
WABARIBARI, Ro 1:14.
WACHUUZI, 2Ko 2:17 si wachuuzi wa neno
WADUDU-RUBA, Met 30:15.
WAFADHILI, Lu 22:25 huitwa Wafadhili
WAFANYA-MAZINGAOMBWE, Da 1:20; 2:2; 4:7; 5:7.
WAGAWA-KAZI, Isa 60:17.
WAJIBU, 1Fa 8:31 wajibu wa laana
1Nya 9:33 wajibu wa kuwa kazini
Ro 8:12 tuna wajibu, si kwa mwili
2Th 1:3 wajibu wa kumshukuru Mungu
Kum 11:1; Mhu 12:13; Mik 3:1; Ga 5:3; 1Yo 2:6.
WAKA, Mwa 3:24 Edeni, upanga unaowaka
Kut 3:2 mti wa miiba ulikuwa ukiwaka
Zb 80:4 utaendelea kuwaka dhidi
Yer 20:9 moto unaowaka ndani ya mifupa
Da 3:17 kutoka katika tanuru inayowaka
Lu 17:24 umeme, unapowaka, hung’aa
Ro 1:27 kuwakiana tamaa kali
1Ko 7:9 ndoa kuliko kuwaka tamaa
Kut 22:24; Hes 11:33; Kum 31:17; Amu 2:14; 3:8; 6:39; 10:7; Isa 4:5; Omb 2:3; Lu 12:35; Mdo 9:3; 18:25; Ro 12:11; 1Pe 4:12.
WAKALDAYO, Yer 21:9; 25:12; 37:13; 40:9; Hab 1:6; Mdo 7:4.
WAKANAANI, Kut 3:8; 13:5; Yos 3:10.
WAKATI, Ne 12:46 Daudi, wakati uliopita
Ayu 14:13 kikomo cha wakati
Zb 31:15 Nyakati zangu ziko
Met 15:23 neno wakati unaofaa
Mhu 3:1 wakati wa kila jambo
Mhu 9:11 wakati na tukio lisilotazamiwa
Isa 33:2 wokovu wakati wa taabu
Isa 49:8 wakati wa nia njema
Da 4:16 nyakati saba zipite juu yake
Da 7:25 wakati mmoja na nyakati
Da 11:27 wakati uliowekwa
Da 12:4 mpaka wakati wa mwisho
Hab 2:3 maono ni ya wakati uliowekwa
Mt 16:3 ishara za nyakati
Mt 24:45 chakula kwa wakati unaofaa
Lu 21:24 nyakati zilizowekwa za mataifa
Mdo 1:7 Si juu yenu kujua nyakati
Mdo 3:21 nyakati za kurudishwa
Mdo 17:30 nyakati za kutojua
1Ko 7:29 wakati uliobaki umepungua
Efe 5:16 mkijinunulia wakati unaofaa
1Th 5:1 kwa habari ya nyakati na majira
2Th 2:6 afunuliwe wakati wake unaofaa
1Ti 2:6 nyakati zake maalumu
1Ti 4:1 vipindi vya nyakati
2Ti 3:1 nyakati za hatari
Ufu 12:12 ana kipindi kifupi cha wakati
Ufu 12:14 kwa wakati na nyakati
1Ko 4:5; Ga 4:4; 1Pe 1:20; 4:17; Ufu 11:18.
WAKATI KAMILI, Ga 4:4.
WAKATI UJAO, Zb 37:37 wakati ujao, amani
Zb 37:38 wakati ujao wa waovu
Met 24:20 mbaya hana wakati ujao
Lu 13:9 ukizaa wakati ujao
Zb 73:17; Met 5:11; 20:21; 23:18; Isa 41:22; Yer 29:11.
WAKATI ULIOWEKWA, Hes 9:2, 3; Kum 11:14; Mhu 3:1; Da 8:19; Hab 2:3; Ro 5:6; 1Pe 4:17.
WAKATI UNAOFAA, Efe 5:16; Kol 4:5.
WAKATI USIO NA KIPIMO, Mwa 3:22; 9:16; 48:4; Kut 3:15; 31:16; Zb 90:2; 136:1-26; 145:13; Met 8:23; Isa 26:4; 55:3; Yer 3:5; 50:5; 51:39, 57; Eze 35:5, 9; Da 9:24; 12:2, 3; Yon 2:6; Hab 3:6; Sef 2:9.
WAKERETHI, 1Sa 30:14; 2Sa 20:7.
WAKFU, Ho 9:10 wakfu kwa kitu kile cha aibu
Mk 7:11 zawadi, wakfu kwa Mungu
Lu 21:5 lilivyopambwa kwa vitu wakfu
Kut 39:30; Law 8:9; Yoh 10:22.
WAKILI MKUU, Mdo 3:15 mlimuua Wakili Mkuu
Mdo 5:31 Mungu alimwinua Wakili Mkuu
Ebr 2:10 amfanye Wakili Mkuu wa wokovu
Ebr 12:2 mkazie macho Wakili Mkuu
WAKILISHA, Ezr 10:14 wawakilishe kutaniko
WALAWI, Hes 3:12 Walawi ni wangu
Hes 8:19 Walawi waliokabidhiwa
Hes 35:6 Walawi: majiji 6
Hes 3:41; 1Nya 15:2, 16; 2Nya 23:7.
WALIBYA, Da 11:43 Walibya watafuata nyayo
WALINZI WA MFALME, Flp 1:13.
WANAFALSAFA, Mdo 17:18.
WANAJIMU, Mt 2:1 wanajimu kutoka mashariki
WANAMUZIKI, Ezr 7:24 kodi, wanamuziki
WANAUME WANAOLALA NA WANAUME, 1Ko 6:9.
WANETHINI, Ezr 7:24 wanamuziki, Wanethini
Ezr 8:20 Wanethini, ambao Daudi
1Nya 9:2; Ezr 2:43; Ne 10:28; 11:21.
WANGAVU, Eze 10:4 wangavu wa utukufu
WANINAWI, Lu 11:30 ishara kwa Waninawi
WANJA, Yer 4:30 kwa kujipaka wanja?
WANONG’ONEZAJI, Ro 1:29.
WANUNG’UNIKAJI, Yud 16.
WANYAMA WAKUBWA, Mwa 1:21.
WAOKOKAJI, Yoe 2:32.
WAONGO KWA MAPATANO, Ro 1:31
WAPENDA-PESA, Lu 16:14.
WAPORAJI, Yoh 10:8 ni wezi na waporaji
WAREKABU, Yer 35:2, 3, 5, 18.
WASENGENYAJI, Ro 1:30.
WASHA, Met 29:8 kujisifu huwasha mji
WASHIRIKI, Ebr 3:1 washiriki wa mwito
WASIOJIWEZA KATIKA KIFO, Met 9:18; Isa 26:14.
WASIWASI, Zb 55:2 ila kuonyesha wasiwasi
Met 11:15 kaa bila wasiwasi
Met 23:29 Ni nani aliye na wasiwasi?
Yer 12:1 wanaofanya hila hawana wasiwasi
Eze 27:35 Nyuso zitaingiwa wasiwasi
Mwa 45:3; Kum 20:3; 2Sa 4:4; Zb 38:6; 90:7; 104:7; 116:11; 122:7; Isa 21:3; 28:16; Yer 22:21; Yoe 2:6; Nah 2:10; Lu 12:29.
WATAWALA WA ULIMWENGU, Efe 6:12.
WATEKAJI 1., 1Fa 8:47 nchi ya watekaji wao
WATEKAJI 2., Yos 9:21 watekaji wa maji
WATEKELEZA-SHERIA, Da 3:2, 3.
WATU, Kut 19:5 mali kati ya vikundi vya watu
Kum 33:29 watu wanaofurahia wokovu
1Sa 12:22 ninyi kuwa watu wake
Met 14:28 Wingi wa watu ni pambo
Met 14:28 kukosa watu, uharibifu kwa mkuu
Met 29:2 mwovu akitawala, watu huugua
Met 29:18 maono watu hujiachilia
Isa 2:3 watu wataenda na kusema
Isa 62:10 Fungueni njia ya watu
Yer 5:31 watu wamependa hivyo
Yer 31:33 watakuwa watu wangu
Ho 2:23 ambao si watu wangu
Ho 4:9 kwa watu kama kwa kuhani
Mdo 4:25 watu kutafakari matupu?
Mdo 15:14 watu kwa ajili ya jina lake
Ro 9:25 nitawaita watu wangu
1Ko 9:19 huru kutoka kwa watu wote
Tit 2:14 watu wake wa pekee
Ebr 8:10 watakuwa watu wangu
Ebr 9:19 kukinyunyizia kitabu na watu
Ebr 11:25 vibaya na watu wa Mungu
1Pe 2:9 watu, mali ya pekee
2Pe 3:11 kuwa watu wa namna gani
Yud 16 kustaajabia watu mashuhuri
Ufu 7:9 vikundi vya watu na lugha
Ufu 17:15 maji yanamaanisha watu
Ufu 18:4 Tokeni kwake, watu wangu
Kut 24:7; 2Sa 7:23; Est 8:17; Isa 6:5; 32:18; 56:7; Sef 3:9; Zek 8:22; Mdo 3:23; Ro 15:11; 2Ko 6:16; Ebr 2:17; 10:30.
WATU WA ZAMANI, Mt 15:2; Ebr 11:2.
WATUMISHI, Yoh 18:36 watumishi wangepigana
WATUNZA-MIZABIBU, 2Fa 25:12; Isa 61:5.
WAVU, Zb 9:15 katika wavu walioficha
Met 12:12 windo limeshikwa wavuni
Yoh 21:11 wavu haukupasuka
Zb 10:9; Mhu 9:12; Isa 51:20; Yoh 21:6, 8.
WAVU WA KUKOKOTA, Mik 7:2.
Mt 13:47 ufalme, kama wavu wa kukokota
WAYO, Eze 1:7 kama wayo wa ndama
WAZA, Est 4:13 Usiwaze katika nafsi
WAZAO, Ayu 18:19; Da 11:4.
WAZAZI WA WAZAZI, 1Ti 5:4.
WAZEE. Ona pia MWANAMUME MZEE.
Zb 107:32 kikao cha wazee
WAZEE 70, Kut 24:1 Abihu na wazee 70
WAZI, 1Sa 20:18 kiti kitakuwa wazi
Ro 9:19 mapenzi yake yaliyo wazi?
1Ko 14:8 ikipiga mwito usio wazi
Ga 3:11 mwadilifu kwa Mungu ni wazi
1Ti 5:24 dhambi huwa wazi baadaye
WAZIMU, Mhu 2:2 kicheko: Ni wazimu!
Isa 44:25 waaguzi watende kiwazimu
Yer 51:7 mataifa yanatenda kiwazimu
Ho 9:7 atatiwa wazimu kwa
Yoh 10:20 ana wazimu. Kwa nini
Mdo 26:24 Unashikwa na wazimu
2Ti 3:9 wazimu wao utakuwa wazi
2Pe 2:16 wazimu wa nabii huyo
1Sa 21:15; Mhu 1:17; 2:12; 7:7, 25; 9:3; 10:13; Yer 46:9; 50:38; Lu 6:11.
WAZIWAZI, Hab 2:2 Andika maono, waziwazi
Mk 8:32 akisema hayo waziwazi
Mdo 4:13 walipoona maneno ya waziwazi
1Ko 13:12 tunaona isivyo waziwazi
WAZO, Ayu 42:2 hakuna wazo usilofikia
Zb 10:4 Mawazo yake: Hakuna Mungu
Zb 73:7 Wamezidi mawazo ya moyo
Met 18:11 ukuta katika mawazo yake
Lu 11:17 Akijua mawazo yao
Ufu 17:17 ili kutekeleza wazo lake
Zb 21:11; Met 12:2; 24:8; Yer 23:20.
WEKA, Ne 10:32 tukajiwekea amri za kutoa
Yoh 15:16 niliwaweka, kuzaa matunda
Mdo 17:31 ameweka siku, kuihukumu dunia
2Pe 1:12 mmewekwa imara katika kweli
Ezr 7:25; Da 11:27, 35; Yon 1:17; Mdo 17:26.
WEKA RASMI, Mdo 14:23.
Mdo 17:31 ambaye amemweka rasmi
1Ti 2:7 niliwekwa rasmi kuwa mhubiri
Tit 1:5 uweke rasmi wazee
Ebr 1:2 Mwana, aliyemweka rasmi kuwa
Kut 29:22; Law 7:37; 8:28; Hes 1:50; Mdo 6:3; 2Ti 1:11; Ebr 5:1; 8:3.
WEMA, Zb 27:13 wema wa Yehova
Zb 65:11 Umeuvika mwaka wema
Ro 12:21 kushinda uovu kwa wema
Ga 5:22 tunda la roho wema
2Ti 3:3 wasiopenda wema
Zb 23:6; Isa 63:7; Zek 9:17; 2Th 1:11.
WEMA WA ADILI, Flp 4:8; 2Pe 1:3, 5.
WEMBE, Amu 13:5; 16:17; 1Sa 1:11.
WEMBE WA KINYOZI, Eze 5:1.
WENDA-WAZIMU, Yer 25:16; 1Ko 14:23.
WENGI, Mt 22:14 wanaoalikwa ni wengi
2Ko 2:6 Kemeo la walio wengi
WENYE HEKIMA, Ayu 5:13.
WENYE KUONEA, Met 11:16
WENZAKO, Zb 45:7 kushangilia kuliko wenzako
WENZAO, Lu 5:7 wakawapungia wenzao
WEPESI, Hab 2:2 asome kwa wepesi
WEREVU, Yos 9:4; Met 1:4; 8:5, 12.
WEUPE, Da 11:35 na kufanya weupe
Mdo 2:46 shangwe na weupe wa moyo
WEUSI, Isa 8:22 weusi, nyakati ngumu
Isa 9:1 weusi si kama wa kwanza
2Pe 2:17 weusi wa giza
Yud 13 zimewekewa milele akiba ya weusi
Ayu 10:22; Isa 8:22; Yoe 2:2; Sef 1:15.
WEZA, 1Th 4:4 kukiweza chombo chake
2Ti 2:15 Fanya kabisa yote unayoweza
Ebr 4:11 acheni tufanye yote tunayoweza
2Pe 1:10 fanyeni yote mnayoweza
WEZEKANA, Mt 19:26 yote yawezekana
Mt 24:24 kuwapotosha, ikiwezekana
Mt 26:39 ikiwezekana, kikombe kipite
Ebr 10:4 haiwezekani damu ya ng’ombe
Mk 10:27; Mdo 2:24; Ro 12:18; 1Ko 11:20; Ebr 11:6.
WEZI, Isa 1:23 ni rafiki za wezi
Mt 6:20 ambako wezi hawavunji
1Ko 6:10 wezi hawataurithi ufalme
WILAYA, Mk 5:17 atoke katika wilaya zao
WILAYA YA UTAWALA, 1Fa 20:14; Est 1:1; Mhu 2:8; Eze 19:8.
WILAYA YA YORDANI, Mwa 13:10.
WIMBI LA JOTO, Lu 12:55.
WIMBO, Kum 31:19 jiandikieni wimbo huu
Amu 5:12 Debora; Amka, imba wimbo
Ne 12:46 waimbaji na wimbo wa sifa
Zb 98:1 Mwimbieni Yehova wimbo
Zb 149:6 Nyimbo zinazomsifu Mungu
Isa 23:15 katika wimbo wa kahaba
Isa 42:10 Mwimbieni wimbo mpya
Mdo 16:25 kumsifu Mungu kwa wimbo
Efe 5:19 nyimbo za kiroho
Kol 3:16 sifa kwa Mungu, nyimbo
Ufu 15:3 wanaimba wimbo wa Musa
WIMBO WA HUZUNI, 2Sa 1:17; 2Nya 35:25; Yer 7:29; 9:10; Eze 27:32; 32:16.
WINDA, Mwa 25:27; Esau akajua kuwinda
Met 6:26 huwinda hata nafsi
Mwa 27:5, 30, 33; Law 17:13; Omb 4:18; Eze 13:20.
WINDO, Mwa 27:5 Esau, kuwinda mawindo
Met 12:27 Uvivu hautatimua mawindo
Kol 2:8 atawachukua kama windo
WINGI, 2Ko 9:6 anayepanda kwa wingi
2Ko 9:10 humgawia mpandaji kwa wingi
Efe 3:20 anayeweza kufanya kwa wingi
WINGU, Mwa 9:13 upinde wa mvua katika wingu
Mhu 11:4 anayetazama mawingu hatavuna
Isa 14:14 Nitaenda mahali pa mawingu
Yoe 2:2 siku yenye mawingu na weusi mzito
Lu 21:27 akija katika wingu akiwa na nguvu
Mdo 1:9 wingu likamchukua juu kutoka
1Th 4:17 tutanyakuliwa, katika mawingu
Ebr 12:1 wingu kubwa la mashahidi
Ufu 1:7 Anakuja na mawingu, kila jicho
Kut 13:21; 1Fa 8:10; Mt 24:30; 1Ko 10:2.
WINGU LA MVUKE, Met 25:14.
WINO, 2Ko 3:3 si kwa wino bali kwa roho
WIVU, Kut 34:14 Yehova, jina lake Wivu
Hes 11:29 Je, unanionea wivu
Kum 32:16 kumchochea awe na wivu
Zb 78:58 kumchochea awe na wivu
Zb 106:16 kumwonea wivu Musa
Met 3:31 Usimwonee wivu mjeuri
Met 6:34 ghadhabu ni wivu
Met 14:30 wivu, ubovu wa mifupa
Met 23:17 usiwaonee wivu watenda-dhambi
Met 24:1 Usiwaonee wivu wabaya
Zek 1:14 wivu, kwa Yerusalemu
Ro 10:19 Nitawachochea kuwa na wivu
1Ko 10:22 tunamchochea wivu?
1Ko 13:4 Upendo hauna wivu
2Ko 11:2 wivu wa kimungu
Ga 5:26 bila kuoneana wivu
Flp 1:15 wanamhubiri Kristo kwa wivu
1Ti 6:4 Mambo hayo hutokeza wivu
Yak 4:5 roho ina mwelekeo wa wivu
1Pe 2:1 ondoeni wivu wote
Mwa 26:14; Hes 5:14; Zb 37:1; 73:3; Mhu 9:6; Eze 8:3; Ro 1:29; 1Ko 3:3; Tit 3:3.
WIZI, Yer 7:9 Je, inawezekana kuwe wizi?
Ho 4:2 uuaji na wizi na uzinzi
WOGA, Zb 55:4 woga wa kifo umeniangukia
Ro 13:7 anayetaka woga, woga huo
2Ti 1:7 hakutupa roho ya woga
1Yo 4:18 Hakuna woga katika upendo
WOKOVU, 2Fa 13:17 Mshale wa wokovu
2Nya 20:17 simameni tuli mkauone wokovu
Zb 3:8 Wokovu ni wa Yehova
Zb 13:5 Moyo wangu ushangilie wokovu
Zb 44:4 Amuru wokovu mkuu
Zb 116:13 kikombe cha wokovu
Zb 119:155 Wokovu uko mbali na waovu
Zb 149:4 Anawarembesha kwa wokovu
Isa 12:3 mabubujiko ya wokovu
Isa 26:1 anaweka wokovu kuwa kuta
Isa 49:8 siku ya wokovu nimekusaidia
Isa 52:7 anayetangaza wokovu
Isa 60:18 utaziita kuta zako Wokovu
Isa 61:10 amenivika mavazi ya wokovu
Hab 3:18 Mungu wa wokovu wangu
Lu 1:69 ametuinulia pembe ya wokovu
Yoh 4:22 wokovu hutokana na Wayahudi
Mdo 4:12 hakuna wokovu katika mwingine
Ro 13:11 wokovu wetu uko karibu
2Ko 6:2 siku ya wokovu nilikusaidia
Efe 6:17 kofia ya chuma ya wokovu
Ebr 2:10 Wakili Mkuu wa wokovu
Ebr 5:9 wokovu wa milele kwa wanaomtii
Yud 3 kuwaandikia juu ya wokovu
Ufu 7:10 Wokovu unatoka kwa Mungu
Ufu 12:10 Sasa kumekuwa na wokovu
Zb 33:17; 85:9; Met 11:14; 21:31; Isa 26:18; 45:17; Lu 1:77; Ro 1:16; 10:10; 2Ko 7:10; Flp 2:12; 2Ti 3:15; Ebr 2:3; 9:28.
WONYESHO, Lu 17:20 Ufalme, si kwa wonyesho
1Ko 2:4 wonyesho wa roho na
1Ko 4:9 mitume, wonyesho hadharani
1Ti 5:12 puuza wonyesho wa imani
Y
YABINI, Yos 11:1; Amu 4:2, 24; Zb 83:9.
YAELI, Amu 4:17, 18, 21, 22; 5:6, 24.
YAFETHI, Mwa 5:32; 9:27; 1Nya 1:5.
YAH, Kut 15:2 uwezo wangu ni Yah
Zb 146:1 Msifuni Yah!
Isa 12:2 Yah ni nguvu zangu
YAKINI, Mwa 46:10; 1Fa 7:21; 1Nya 9:10.
YAKOBO 1., Mwa 25:33 akamuuzia Yakobo haki
Hes 24:17 Nyota itatoka katika Yakobo
Yer 30:7 taabu kwa Yakobo
Eze 39:25 mateka wa Yakobo
Ro 9:13 Nilimpenda Yakobo
Ebr 11:9 Isaka na Yakobo, warithi
Mt 22:32 Mungu wa Yakobo
YAKOBO 2., Mt 4:21 Yakobo mwana wa
Mk 10:35 Yakobo na Yohana, wana wawili
Lu 6:14 Yakobo na Yohana, na Filipo
YAKOBO 3., Mt 10:3 Yakobo mwana wa Alfayo
Mk 15:40 Maria mama ya Yakobo Mdogo
Lu 24:10 Maria mama ya Yakobo. Pia, wengine
YAKOBO 4., Mt 13:55 ndugu zake Yakobo
1Ko 15:7 alimtokea Yakobo, kisha mitume
Yak 1:1 Yakobo, mtumwa wa Mungu
YASHEFI, Kut 28:20; Eze 28:13.
YATIMA, Yak 1:27 kutunza yatima na wajane
YAVANI, Mwa 10:2; Isa 66:19; Eze 27:13.
YEBUSI, Yos 18:28 Yebusi, Yerusalemu
YEFTHA, Amu 11:30; Ebr 11:32.
YEHOAHAZI, 2Fa 10:35; 23:30; 2Nya 21:17.
YEHOASHI, 2Fa 11:21; 13:10; 14:13, 15.
YEHONADABU, 2Fa 10:15, 23.
YEHORAMU, 1Fa 22:50; 2Fa 1:17; 2Nya 17:8.
YEHOSHAFATI, Yoe 3:2 bonde la Yehoshafati
2Nya 17:3, 10; 20:3, 15, 27; Yoe 3:12.
YEHOVA, Mwa 18:14 isivyo kwa Yehova?
Kut 5:2 Yehova ni nani?
Kut 6:3 jina langu Yehova
Kut 9:29 kujua dunia ni ya Yehova
Kut 15:3 Yehova ni mtu wa vita
Kut 20:7 jina Yehova isivyofaa
Kut 32:26 aliye upande wa Yehova?
Kut 34:6 Yehova, Mungu wa rehema
Law 19:2 Yehova ni mtakatifu
Kum 4:24 Yehova ni moto
Kum 6:5 umpende Yehova kwa
Kum 10:17 Yehova, Mungu wa miungu
Kum 32:9 fungu la Yehova ni watu
1Sa 2:6 Yehova ni Mwenye Kuua
1Sa 16:7 Yehova huona moyo
1Sa 17:47 vita ni vya Yehova
1Sa 17:47 Yehova haokoi kwa mkuki
2Sa 22:32 nani Mungu ila Yehova
2Fa 13:17 Mshale wa Yehova
Ne 4:14 Yehova, Mwenye kuogopesha
Ne 8:10 shangwe ya Yehova
Zb 3:8 Wokovu ni wa Yehova
Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamili
Zb 22:28 ufalme ni wa Yehova
Zb 33:12 taifa, Mungu ni Yehova
Zb 34:8 Onjeni, Yehova ni mwema
Zb 83:18 jina lako ni Yehova
Zb 94:1 Yehova, Mungu wa kisasi
Zb 113:5 nani kama Yehova
Zb 125:2 Yehova awazunguka watu
Met 18:10 Jina la Yehova ni mnara
Met 21:31 wokovu ni wa Yehova
Isa 26:4 Yehova kuna Mwamba
Isa 30:18 Yehova, Mungu wa hukumu
Isa 33:22 Yehova ni Mwamuzi
Isa 40:28 Yehova, hachoki
Isa 59:1 Mkono wa Yehova si mfupi
Isa 60:19 Yehova atakuwa nuru
Isa 61:1 Roho ya Yehova, juu yangu
Isa 61:2 nia njema, kwa Yehova
Isa 66:1 Yehova: Mbingu ni kiti
Yer 10:10 Yehova, Mungu aliye hai
Yer 51:6 kisasi cha Yehova
Ho 12:5 Yehova ni ukumbusho
Nah 1:3 Yehova si mwepesi wa hasira
Hab 2:20 Yehova yumo hekaluni
Sef 2:3 mtafuteni Yehova
Sef 2:3 siku ya hasira ya Yehova
Mal 3:6 ni Yehova; sikubadilika
Mt 1:20 Yehova alimtokea ndotoni
Mt 4:10 mwabudu Yehova Mungu
Mk 12:29 Mungu ni Yehova mmoja
Lu 1:38 Kijakazi wa Yehova!
Lu 1:46 Nafsi inamtukuza Yehova
Lu 2:9 utukufu wa Yehova
Lu 2:26 kumwona Kristo wa Yehova
Yoh 12:13 ajaye katika jina la Yehova
Mdo 2:34 Yehova: Keti mkono wa kuume
Mdo 9:31 kumwogopa Yehova
Mdo 21:14 Mapenzi ya Yehova yatendeke
Ro 14:8 tunaishi kwa ajili ya Yehova
Ro 15:11 Msifuni Yehova, mataifa
1Ko 10:21 meza ya Yehova na
1Ko 10:26 dunia ni ya Yehova
2Ko 3:17 Yehova ndiye Roho
Efe 2:21 hekalu takatifu kwa Yehova
Kol 3:23 nafsi yote, kwa Yehova
1Th 4:15 kwa neno la Yehova
1Th 5:2 siku ya Yehova inakuja
2Th 2:2 siku ya Yehova ipo
2Ti 2:19 Yehova anawajua wake
Ebr 12:6 Yehova hutia nidhamu
Ebr 13:6 Yehova ni msaidizi wangu
Yak 4:15 Yehova akipenda, tutaishi
Yak 5:15 Yehova atamwinua
1Pe 1:25 neno la Yehova ladumu
2Pe 3:9 Yehova hakawii, hadi yake
2Pe 3:10 siku ya Yehova itakuja
Yud 9 Yehova na akukemee
Ufu 4:8 mtakatifu ni Yehova
Ufu 19:6 Yehova, Mweza-Yote
Yos 24:15; 1Sa 14:6; 1Nya 29:11; Zb 31:23; 118:23; Met 3:5; 8:13; Isa 12:2; 43:10; 55:8; Yer 17:10; 23:24; Da 9:4; Nah 1:2; Yoh 1:23; 1Ko 1:31; Ga 3:6; Kol 3:13; Ebr 8:11; Yak 5:11; 1Pe 3:12.
YEHOVA (katika Union Version), Kut 6:2, 3, 6-8; Zb 68:20; 83:18; Isa 12:2; 26:4; 49:14; Yer 16:21; Hab 3:19.
YEHOVA WA MAJESHI, Isa 8:13; 9:7; 47:4.
YEHOVA-NISI, Kut 17:15.
YEHOVA-SHALOMU, Amu 6:24.
YEHOVA-YIRE, Mwa 22:14.
YEHOYADA, 2Sa 8:18; 2Fa 11:4; 2Nya 23:16.
YEHOYAKIMU, 2Fa 23:34; 24:6; Da 1:2.
YEHOYAKINI, 2Nya 36:9; Yer 52:31.
YEHU, 1Fa 19:16; 2Fa 9:13; 10:11, 21, 28.
YEKONIA, 1Nya 3:16; Est 2:6; Yer 24:1.
YEREMIA, 2Nya 36:21; Yer 1:1; Da 9:2.
YERIKO, Ebr 11:30 kuta za Yeriko zilianguka
YEROBOAMU, 1Fa 11:28; 2Fa 17:21; Amo 7:9.
YERUSALEMU, Yos 10:1 mfalme wa Yerusalemu
2Sa 5:5 miaka 33 Yerusalemu
Zb 137:6 Yerusalemu, sababu kuu
Isa 65:18 ninaumba Yerusalemu
Eze 9:4 Pita kati ya Yerusalemu
Mt 23:37 Yerusalemu, muuaji wa
Lu 21:24 Yerusalemu litakanyagwa
Ga 4:26 Yerusalemu la juu ni huru
Ebr 12:22 Yerusalemu la mbinguni
Ufu 21:2 Yerusalemu, likishuka
Yos 15:8; Zb 122:6; 125:2; Isa 52:1; 62:6; Yoe 2:32; Mik 4:2; Zek 8:3; Ufu 3:12.
YESE, 1Sa 16:1; Isa 11:1; Ro 15:12.
YESHURUNI, Kum 32:15; 33:5; Isa 44:2.
YESU, Mt 1:21 umwite jina Yesu
Mt 27:37 Yesu Mfalme wa Wayahudi
Mdo 4:13 Petro, walikuwa na Yesu
Mdo 9:5 Mimi ni Yesu, unayetesa
Flp 2:10 jina la Yesu kila goti
Ufu 20:4 ushahidi kumhusu Yesu
Mt 3:16; 27:17; Lu 2:43; Yoh 1:45; 17:3; Mdo 2:36; Ro 6:23; Ebr 2:9; 3:1; Ufu 1:5.
YEYUKA, Yos 2:11 mioyo yetu ikayeyuka
Ayu 8:19 kuyeyuka kwa njia yake
Zb 58:8 konokono anayeyeyuka
Zb 68:2 nta inavyoyeyuka
Zb 97:5 Milima ilianza kuyeyuka
Amo 9:5 nchi, ikayeyuka
2Pe 3:12 vitu vitayeyuka!
Yos 14:8; Ayu 7:5; Zb 46:6; 58:7; 107:26; Isa 13:7; 19:1; Nah 1:5.
YEYUSHA, Zb 147:18 neno lake na kuviyeyusha
Isa 1:25 nitayeyusha takataka yako
YEYUSHWA, Isa 28:18 agano litayeyushwa
2Pe 3:10 vitu vya msingi vitayeyushwa
Kut 32:4; Eze 22:21, 22; 24:11; Hab 2:18.
YEZEBELI, 1Fa 16:31; 21:15, 23; 2Fa 9:30.
YEZREELI, Amu 6:33; 1Fa 18:45; Ho 1:4.
YOHANA 1., Mt 3:1 Yohana Mbatizaji
Mt 11:11 hakuna mkuu kuliko Yohana
Mt 14:10; 21:25; Mk 1:9; Lu 1:13.
YOHANA 2., Ufu 22:8 Yohana nilikuwa nikisikia
Mt 4:21; Mdo 3:1; Ga 2:9; Ufu 1:4.
YONA, Mt 12:39 ishara ya Yona nabii
YONADABU, Yer 35:6, 8, 14, 19.
YONATHANI, 1Sa 18:1, 3; 19:2; 2Sa 1:17, 22.
YOPA, 2Nya 2:16; Ezr 3:7; Mdo 9:42.
YORDANI, Hes 35:14; Yos 3:13; Mk 1:9.
YOSEFU 1., Mwa 47:15 wakamjia Yosefu, mkate!
Zb 105:17; Mdo 7:9; Ebr 11:22.
YOSEFU 2., Mt 1:19; Lu 3:23; Yoh 6:42.
YOSHUA, Kum 31:23; Yos 3:7; Ebr 4:8.
YOSIA, 2Fa 21:24; 2Nya 35:26.
YUBILE, Law 25:10; 27:24; Hes 36:4.
YUDA 1., Mwa 49:10 Fimbo haitaondoka Yuda
Yer 31:31 agano jipya na Yuda
Mik 5:2 Yuda, mtawala atatoka kwako
Zb 60:7; Yer 50:4; Mt 2:6; Ebr 8:8.
YUDA 2., Mt 26:25; Lu 6:16; 22:48.
YUDA 3., Yud 1 Yuda, mtumwa wa Yesu
YUMBA-YUMBA, 1Fa 18:21 yumba-yumba maoni
Zb 60:3 divai, tuyumbe-yumbe
Zb 107:27 Wanayumba-yumba kama mlevi
Isa 28:7 wameyumba-yumba kuhusu uamuzi
2Ko 1:7 tumaini letu haliyumbi-yumbi
Ebr 10:23 tumaini bila kuyumba-yumba
Ayu 34:20; Zb 13:4; 38:16; Isa 24:20; 29:9; 40:20; 54:10; Amo 8:12.
YUMBISHWA, 1Th 3:3 asiyumbishwe na dhiki
Z
ZAA, Mwa 1:28 Zaeni, muwe wengi
Mwa 17:6 Abramu, uzae sana
Zb 9:8 ataihukumu nchi yenye kuzaa
Mhu 3:2 wakati wa kuzaliwa na wa kufa
Isa 66:7 alizaa mtoto wa kiume
Mt 13:23 huzaa matunda
Yoh 15:2 lipate kuzaa matunda zaidi
Kol 1:10 kuzaa matunda katika kazi njema
Yak 1:15 tamaa, huzaa dhambi; nayo dhambi
Yak 2:20 imani bila matendo haizai?
1Pe 1:3 alituzaa upya kwenye tumaini
Ufu 12:2 analia katika uchungu wa kuzaa
Mwa 9:1, 7; Kut 28:10; Law 26:9; Zb 24:1; 48:6; Isa 37:3; 66:9; Yer 23:3; Eze 16:3; 17:23; Yoh 15:2; 16:21; Kol 1:6; 1Pe 1:23; 1Yo 3:9.
ZABARIJADI, Kut 28:17; 39:10; Eze 28:13.
ZABIBU, Isa 5:2 kulitumaini lizae zabibu
Eze 18:2 baba wanakula zabibu mbichi
ZABULONI, Mwa 30:20; Hes 26:26; Amu 5:18; Zb 68:27; Ufu 7:8.
ZABURI, Lu 20:42; Efe 5:19; Yak 5:13.
ZAFARANI, Wim 2:1 zafarani ya nchi tambarare
Isa 35:1 Nyika kuchanua maua kama zafarani
ZAKA, Kum 26:12 Unapomaliza kutoa zaka
ZALIWA, Ayu 14:1 aliyezaliwa na mwanamke
Mhu 7:1 siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa
Isa 9:6 kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu
Mt 1:16 ambaye kwake Yesu alizaliwa
Lu 2:11 Mwokozi amezaliwa kwenu leo
Yoh 3:3 Mtu asipozaliwa tena, hawezi kuuona
Zb 87:5; Mt 2:1; Yoh 18:37; 1Ko 15:8.
ZAMA, 1Ti 4:15 zama katika hayo
ZAMANI, Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa
Eze 36:11 hali yenu ya zamani
Mdo 15:7 zamani Mungu alichagua
1Pe 1:14 tamaa zenu hapo zamani
ZAMANI ZA KALE, Met 22:28; Isa 44:7; Yer 28:8.
ZAMBARAU, Met 31:22; Da 5:16; Mdo 16:14.
ZAMISHA, Ufu 12:15 kumzamisha kwa mto
ZAWADI, Zb 68:29 wafalme watakuletea zawadi
Met 18:16 Zawadi itamfungulia nafasi
Mt 19:11 Si wote walio na zawadi
Mdo 8:20 kupata zawadi ya Mungu
Ro 6:23 zawadi ya Mungu, ni uzima
1Ko 7:7 kila mmoja zawadi yake
1Ko 12:4 zawadi mbalimbali
1Ko 14:12 mnatamani zawadi za roho
1Ti 4:14 Usiipuuze zawadi
Ebr 6:4 wameonja zawadi ya kimbingu
Yak 1:17 zawadi njema ni kutoka juu
Ufu 11:10 watapelekeana zawadi
Mhu 7:7; Isa 18:7; Eze 20:39; Mal 1:11; Mt 5:24; 7:11; Ro 5:16; 2Ko 9:15; Efe 2:8; Ebr 11:4.
ZAWADI YA BURE, Ro 5:17.
ZEBEDAYO, Mt 4:21; Lu 5:10; Yoh 21:2.
ZEITUNI, Kut 27:20.
ZEKARIA 2., 2Nya 24:20 Zekaria, wa Yehoyada
Lu 11:51 mpaka damu ya Zekaria, aliyeuawa
ZEKARIA 3., Ezr 5:1; Zek 1:1, 7.
ZEKARIA 4., Isa 8:2 Zekaria, wa Yeberekia
ZEKARIA 5., Lu 1:5, 12, 18, 40, 67.
ZERUBABELI, Ezr 3:8; Hag 2:4; Zek 4:6, 7.
ZIADA, Lu 21:4; 2Ko 8:14; 9:1.
ZIBA, 1Pe 2:15 mzibe maneno ya ujinga
ZIBULIWA, Isa 35:5 masikio yatazibuliwa
ZIDI, Yak 1:21 jambo lile lenye kuzidi
ZIDI NGUVU ZA ASILI, Lu 1:22; 24:23.
ZIDISHA, Mwa 26:4 nitauzidisha uzao wako
Hab 2:6 anayezidisha kisicho chake
Zek 1:15 mataifa walizidisha msiba
Mwa 17:2; 26:24; 2Nya 10:14; Yer 33:22.
ZIDISHWA, 2Ko 4:15 fadhili zilizozidishwa
ZIKA, 2Fa 9:10 hakuna atakayemzika
Eze 39:11 kumzika Gogu na umati wake
Lu 9:60 Waache wafu wawazike wafu wao
Mwa 23:4; Kum 21:23; Zb 79:3; Yer 14:16; 19:11; Eze 39:13, 14, 15.
ZIKWA, Mdo 2:29 Daudi, alikufa, akazikwa
Ro 6:4 tulizikwa pamoja naye kupitia ubatizo
Ru 1:17; Yer 16:4, 6; 1Ko 15:4.
ZIMA, Ayu 18:5 nuru ya waovu itazimwa
Zb 118:12 Walizimwa kama moto
Met 13:9 taa ya waovu itazimwa
Isa 1:31 bila yeyote wa kuzima
Isa 34:10 Haitazimwa, mchana na usiku
Isa 42:3 hatazima utambi
Isa 66:24 moto wao hautazimwa
Yer 21:12 bila wa kuuzima
Mt 12:20 hatauzima utambi
Mk 9:48 moto hauzimwi
Efe 6:16 kuizima mishale
1Th 5:19 Msizime moto wa roho
2Sa 21:17; 2Fa 22:17; Met 20:20; 24:20; Eze 20:48; Amo 5:6.
ZIMIA, Isa 40:31 Watakimbia hawatazimia
Amo 8:13 mabikira watazimia
Ebr 12:5 usizimie anapokurekebisha
ZINDUA, Kum 20:5 nyumba mpya hajaizindua?
1Fa 8:63 waizindue nyumba
2Nya 7:9 kuzinduliwa kwa madhabahu
Ebr 9:18 agano halikuzinduliwa bila damu
Ebr 10:20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya
Hes 7:10; Ezr 6:16; Ne 12:27; Da 3:2.
ZINGIRWA, Isa 1:8 kama jiji lililozingirwa
ZIWA, Ufu 19:20 ziwa la moto
Ufu 21:8 ziwa la moto na kiberiti
ZIWA LA MOTO, Ufu 20:14, 15.
ZIZI, Mik 2:12 kama kundi zizini
Sef 2:6 mazizi ya mawe
Yoh 10:16 kondoo, si wa zizi hili
ZOEA, Amu 21:25 alikuwa na mazoea
Isa 53:3 kuzoeana na ugonjwa
Ro 7:19 ndilo ninalozoea kulifanya
1Ko 8:7 wameizoea sanamu, hula
1Yo 1:6 hatuzoei kutenda kweli
ZOEZA, Ayu 15:5 kosa linakizoeza kinywa
ZOEZWA, Mwa 14:14 watu wake waliozoezwa
Ebr 5:14 nguvu zao zimezoezwa
Ebr 12:11 ambao wamezoezwa nayo
2Pe 2:14 moyo uliozoezwa kutamani
ZUIA, Hes 22:32 nimekuja kukuzuia
Ayu 33:18 Anazuia nafsi yake
Ayu 38:8 Na ni nani aliyeizuia bahari
Met 10:19 anayezuia midomo yake
Met 16:32 anayezuia roho yake
Met 27:16 anayemzuia, ameuzuia upepo
Mk 9:38 tukajaribu kumzuia
Mdo 11:17 hata nimzuie Mungu?
Ga 5:7 aliyewazuia msiitii kweli?
Kol 2:23 kuzuia mwili
1Th 2:16 kutuzuia tusiseme na mataifa
Ebr 11:34 wakazuia nguvu za moto
1Pe 3:7 sala zenu zisizuiwe
1Pe 3:10 auzuie ulimi wake
ZUILIA, Law 11:36 maji yaliyozuiliwa
ZUKA, Nah 1:9 Taabu haitazuka mara ya
ZUNGUKA, Mk 6:6 akaenda, akizunguka
Lu 19:43 adui watakuzunguka
Ebr 11:30 baada ya Yeriko kuzungukwa
ZUNGUKA-ZUNGUKA, 1Ti 5:13.
ZUNGUKWA, Yos 16:9 majiji yaliyozungukwa
ZUNGUMZA, Mk 9:10 wakazungumza kati yao
Ebr 8:1 yanayozungumzwa, jambo kuu ni hili:
ZUNGUMZWA, Ro 1:8 imani, inazungumzwa
ZURI, 1Th 5:21 shikeni mazuri
2Ti 1:14 Amana hii nzuri ilinde
ZURURA-ZURURA, Amu 11:3.