Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • bi12 kur. 1842-1955
  • Fahirisi ya Baadhi ya Maneno ya Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Fahirisi ya Baadhi ya Maneno ya Biblia
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Vichwa vidogo
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • Y
  • Z
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Fahirisi ya Baadhi ya Maneno ya Biblia

Fahirisi ya Baadhi ya Maneno ya Biblia

Angalia ukurasa wa 6 uone ufupisho wa majina ya vitabu vya Biblia

A

ABADONI, Ufu 9:11 mfalme, jina lake ni Abadoni

ABBA, Ro 8:15 tunapaaza sauti: Abba, Baba!

Ga 4:6 roho hupaaza kilio: Abba, Baba!

ABEDNEGO, Da 1:7 Azaria akamwita Abednego

Da 2:49; 3:12, 30.

ABELI, Mwa 4:4 Yehova akimtazama Abeli

Mt 23:35 damu ya Abeli mwadilifu

Ebr 11:4 Kwa imani Abeli alitoa dhabihu

Mwa 4:2, 8, 25; Lu 11:51; Ebr 12:24.

ABIHU, Kut 6:23 Nadabu na Abihu

Law 10:1; Hes 3:4.

ABIMELEKI, Mwa 20:2 Abimeleki mfalme

Amu 9:16; 2Sa 11:21.

ABISHAI, 1Sa 26:6 Abishai mwana wa Seruya

2Sa 21:17; 23:18.

ABISO, Ufu 20:3 akamtupa ndani ya abiso

Lu 8:31 asiwaagize waingie katika abiso

Ro 10:7 nani atakayeshuka katika abiso

Ufu 9:1, 11; 11:7; 17:8.

ABIYA, 1Sa 8:2; 1Fa 14:1; Lu 1:5.

ABNERI, 1Sa 14:50; 20:25; 2Sa 3:20.

ABRAHAMU, Mwa 17:9 Abrahamu: shika agano

Mwa 18:18 Abrahamu atakuwa taifa kubwa

2Nya 20:7 Abrahamu, mpendwa wako

Mt 8:11 kuketi na Abrahamu katika ufalme

Ga 3:29 uzao wa Abrahamu, warithi

Ebr 11:8 Kwa imani Abrahamu, alitii

Yak 2:21 Abrahamu hakutangazwa mwadilifu

Mt 22:32; Yoh 8:39; Ro 4:3; Ebr 6:13.

ABSALOMU, 2Sa 14:25; 15:6; 17:25; 18:14.

ABUDU, Mwa 22:5 kwenda tukaabudu

Kut 10:26 mifugo ili kumwabudu Yehova

Kum 11:16 msije kuabudu miungu

Kum 17:3 aende kuabudu miungu

Da 3:6 asiyeanguka na kuabudu

Lu 4:8 mwabudu Yehova Mungu

Yoh 4:20 Yerusalemu, pa kuabudia

Yoh 4:24 wamwabudu kwa roho, kweli

Yoh 12:20 Wagiriki waliopanda kuabudu

Mdo 8:27 ameenda Yerusalemu kuabudu

Mdo 17:4 Wagiriki walioabudu Mungu

Mdo 17:17 waliomwabudu Mungu

Mdo 19:27 Artemi, wote huabudu

Ebr 11:21 Yakobo, akaabudu juu ya fimbo

Ufu 7:11 malaika, wakamwabudu Mungu

Ufu 9:20 wasiabudu roho waovu

Ufu 11:1 wanaoabudu ndani yake

Ufu 11:16 wazee 24 wakamwabudu Mungu

Ufu 13:4 wakamwabudu joka

Ufu 14:9 akimwabudu mnyama

Ufu 19:4 wazee 24 wakamwabudu Mungu

Ufu 20:4 hawakumwabudu mnyama

Da 3:12; Mt 4:10; Mdo 18:13; Ufu 13:15; 16:2.

ACHA, Kum 31:8 wala hatakuacha

Amu 6:13 Yehova ametuacha

1Sa 12:22 Yehova hataacha watu wake

2Fa 21:14 nitaacha mabaki

Zb 27:10 baba, mama wangeniacha

Zb 37:28 hataacha washikamanifu

Zb 94:14 Yehova hataacha watu wake

Met 6:20 usiiache sheria ya mama

Met 10:17 anayeacha karipio

Isa 1:4 Wamemwacha Yehova

Isa 1:28 wanaomwacha Yehova

Isa 54:7 nilikuacha kwa muda

Yer 7:29 Yehova atakiacha kizazi

Yer 15:6 Wewe umemwacha Yehova

Eze 9:9 Yehova ameiacha nchi

Eze 31:12 watu watauacha milimani

Da 11:30 wanaoliacha agano

Sef 2:4 litakuwa jiji lililoachwa

Mt 19:29 ameacha baba au mama

Mt 27:46 kwa nini umeniacha?

1Ko 5:9 mwache kuchangamana

2Th 3:14 acheni kushirikiana naye

Ebr 10:25 tusiache kukusanyika

1Pe 4:1 ameachana na dhambi

2Pe 2:14 macho, hayawezi kuacha dhambi

2Pe 2:15 Wameiacha njia

Zb 27:9; Met 1:8; 15:10; 28:13; Isa 2:6; 32:14; Yer 17:13; Amo 5:2.

ACHIA, Ro 9:29 hangalituachia uzao

ACHILIA, 2Nya 28:19 aliachilia mambo katika

Lu 6:37 Endeleeni kuachilia, nanyi

1Th 4:7 si kwa kuachilia uchafu

Ro 11:21.

ACHILIA HURU KWA KUNUNUA, Ga 4:5.

ACHILIWA HURU KWA NJIA YA FIDIA, Ro 3:24; 8:23; 1Ko 1:30; Efe 1:7; Efe 4:30; Kol 1:14; Ebr 9:15; 11:35.

ACHWA, Zb 37:25 sijaona mwadilifu ameachwa

Isa 62:4 mwanamke aliyeachwa

Yer 39:9; Eze 9:8.

ADA, Ezr 4:13 hawatatoa ada

ADABU, Law 26:18 nitawatia adabu mara saba

Met 19:18 Mtie mwana adabu

Met 29:17 Mtie mwana adabu, atakupumzisha

1Ko 13:5 haujiendeshi bila adabu

1Ko 14:40 mambo yatendeke kwa adabu

1Th 4:12 mkijiendesha kwa adabu

ADAMU, 1Ko 15:22 katika Adamu, wanakufa

1Ko 15:45 Adamu akawa nafsi hai

Mwa 3:21; 5:5; Lu 3:38; Ro 5:14; 1Ti 2:14.

ADHABU, Zek 14:19 adhabu kwa dhambi

2Ko 10:6 adhabu kwa kila kisichotii

1Th 4:6 Yehova, ndiye hulipiza adhabu

2Th 1:9 watahukumiwa adhabu

Ebr 10:29 anastahili adhabu kali

Yud 7 adhabu ya moto

Kut 32:34; Hes 16:29; Met 16:5; 19:5; Yer 30:14; Yud 7.

ADHAMA, Kum 33:26 Mungu katika adhama

Zb 93:1 Yehova amevaa adhama

Zb 68:34.

ADHIBIWA, Kut 20:7 bila kuadhibiwa

Yer 25:29 mwachwe bila kuadhibiwa?

Mdo 22:5 Yerusalemu ili waadhibiwe

Yer 49:12.

ADHIBU, Kut 34:7 hatakosa kuadhibu

Mdo 4:21 msingi wa kuwaadhibu

Mdo 26:11 kuwaadhibu nyakati nyingi

Yer 30:11.

ADILI, Zb 73:27 njia isiyo ya adili anakuacha

ADILIFU, Ro 5:19.

ADUI, 1Fa 8:33 wakishindwa mbele ya adui

Zb 8:2 kumkomesha adui

Zb 110:2 Nenda ukitiisha adui zako

Isa 64:2 kuwajulisha adui zako jina lako

Yer 46:10 Yehova kujilipiza kisasi juu ya adui

Mik 7:6 adui za mtu, watu wa nyumbani

Mt 10:36 adui za mtu, watu wa nyumbani

Mt 13:39 adui aliyepanda ni Ibilisi

Ro 12:20 adui yako akiwa na njaa, mlishe

1Ko 15:25 adui zote chini ya miguu

1Ko 15:26 Adui wa mwisho, ni kifo

Yak 4:4 anajifanya kuwa adui ya Mungu

Yak 4:4 rafiki ya ulimwengu, adui ya

1Pe 5:8 adui yenu, Ibilisi, anatembea

Kum 32:43; Est 7:6; Zb 74:10; 107:2; Mik 4:10; Nah 1:2; Mt 22:44; Ro 11:28.

ADULAMU, Yos 12:15; 1Sa 22:1; 1Nya 11:15.

AFADHALI, Mt 19:10 afadhali kutooa

AFYA, Met 4:22 ni uzima na afya kwa

Yer 33:6 ninamletea afya

Mdo 15:29 Afya njema kwenu!

AGA, Lu 9:61; Mdo 18:18; 2Ko 2:13.

AGABO, Mdo 11:28; 21:10.

AGANO, Mwa 9:9 nafanya agano langu

Mwa 15:18 akafanya agano na Abramu

Kum 5:2 Yehova alifanya agano

Zb 50:5 wanaofanya agano juu ya dhabihu

Zb 89:3 Nimefanya agano kumwelekea Daudi

Isa 28:15 Tumefanya agano na Kifo

Yer 31:31 nitafanya agano jipya

Da 11:30 kumwaga shutuma juu ya agano

Ho 2:18 agano na mnyama wa mwituni

Mal 3:1 mjumbe wa agano

Mt 26:28 hii ni damu yangu ya agano

Lu 22:29 nafanya agano nanyi, vile Baba

1Ko 11:25 Kikombe kinamaanisha agano jipya

2Ko 3:6 wahudumu wa agano jipya

2Ko 3:14 usomaji wa agano la zamani

Ga 4:24 wanawake wanamaanisha maagano

Ebr 8:6 agano bora, limefanywa imara kisheria

Ebr 9:17 agano ni halali juu ya wafu

Ebr 12:24 Yesu mpatanishi wa agano jipya

Mwa 15:18; Kut 19:5; Yos 9:6; Zb 25:10; Isa 24:5; Amo 1:9; Mdo 7:8; Ro 9:4; Ga 3:15; Ebr 7:22; 9:16.

AGIZA, Met 8:15 kuagiza juu ya uadilifu

Lu 17:9 alifanya mambo aliyoagizwa

Mdo 10:42 aliyeagizwa na Mungu kuamua

1Ko 7:17 ninavyoagiza katika makutaniko

1Ko 9:14 Bwana aliagiza waishi kwa

Mt 14:22.

AGIZA KIMBELE, 1Ko 2:7 aliagiza kimbele

Efe 1:5 alituagiza kimbele tuwe wana

Ro 8:29, 30; Efe 1:11.

AGIZA RASMI

1Nya 9:22 Daudi, Samweli waliwaagiza rasmi

AGIZO. Ona pia SHARTI.

Ezr 6:18 agizo la kitabu cha Musa

Zb 19:8 Maagizo ya Yehova ni manyoofu

1Th 4:2 maagizo tuliyowapa

Tit 1:5 kama nilivyokupa maagizo

Ebr 9:1 agano, lilikuwa na maagizo

Zb 119:93, 110; Da 3:29; Mdo 1:4; 16:4; Efe 2:15.

AGUA, Kum 18:14 wale wanaoagua

Eze 13:9 manabii, wanaoagua uwongo

AHABU, 1Fa 16:30; 18:17; 2Fa 10:18.

AHADI, Ro 4:13 ahadi ile awe mrithi

Ro 9:4 utumishi na ahadi

2Ko 7:1 tuna ahadi hizi

Ga 3:29 warithi kuhusu ahadi

Ebr 6:12 subira huzirithi ahadi

Ebr 8:6 ahadi zilizo bora

Ebr 11:39 hawakupata utimizo wa ahadi

2Pe 3:13 tunangojea kulingana na ahadi

Mdo 2:39; Ro 4:14; Ga 3:16; Ebr 11:13.

AHADI YENYE KIAPO, Mwa 26:3; Kum 7:8; Zb 105:9; 119:106.

AHASUERO, Est 1:1; 3:1; 8:1; 9:30; 10:3.

AHAZI, 2Fa 16:1, 19; 2Nya 27:9; Isa 1:1.

AHIDI, Kum 26:18 Yehova alivyokuahidi

Tit 1:2 Mungu, aliahidi zamani

Ebr 10:23 aliyeahidi ni mwaminifu

Yak 1:12 taji, Yehova aliwaahidi

Yak 2:5 aliowaahidi wanaompenda

1Fa 8:56; Mdo 7:5; Ro 1:2; 4:21.

AHIDIWA, Mdo 2:33 roho iliyoahidiwa

AHITHOFELI, 2Sa 15:31; 17:23.

AHITUBU, 1Sa 14:3; 2Sa 8:17; 1Nya 9:11.

AHIYA, 1Fa 12:15; 14:2; 1Nya 26:20.

AI, Yos 7:2, 3; 8:1, 26, 28, 29; Yer 49:3.

AIBISHA, 1Ko 1:27 ili awaaibishe wenye hekima

1Ko 4:14.

AIBISHWA, Isa 54:4 Usiogope, hutaaibishwa

AIBU, Zb 83:17 waone aibu na kusumbuka

Met 3:35 wajinga wanainua aibu

Met 14:34 dhambi ni aibu kwa mataifa

Met 18:13 upumbavu na aibu kwake

Isa 30:3 sababu ya kuona aibu

Sef 3:5 asiye mwadilifu hakujua aibu

Zek 13:4 manabii wataona aibu

Mk 8:38 yeyote anayenionea aibu

Ro 1:16 siionei aibu habari njema

1Ko 11:14 nywele ndefu, aibu

1Ko 15:43 Hupandwa katika aibu,

Efe 5:4 mwenendo wa aibu

Flp 3:19 utukufu wao uko katika aibu

Ebr 11:16 Mungu haoni aibu juu yao

Ebr 12:2 akaidharau aibu

1Pe 4:16 Mkristo, asione aibu

Ufu 16:15 watu waitazame aibu yake

Zb 25:3; Isa 65:13; Eze 7:18; Lu 9:26; 2Ko 6:8; 11:21; 2Th 3:14; 2Ti 1:8; 2:15; Ebr 6:6.

AINA, Mwa 1:11 kulingana na aina zake

Eze 47:10 Kulingana na aina zake

Mwa 1:25; 6:20; Law 11:14; Kum 14:13; Yak 3:7.

AIYALONI, Yos 10:12; Amu 12:12; 1Nya 6:69.

AJABU, Kut 3:3 nichunguze ajabu hii

Kut 15:11 Unayefanya ya ajabu

1Nya 16:9 matendo yake ya ajabu

Ayu 38:36 maajabu ya angani?

Ayu 42:3 ya ajabu mno kwangu

Zb 26:7 kutangaza kazi zako za ajabu

Zb 31:21 fadhili za ajabu

Zb 78:12 ametenda ajabu

Zb 88:10 waliokufa jambo la ajabu?

Zb 89:5 sifu tendo lako la ajabu

Zb 98:1 ametenda mambo ya ajabu

Zb 107:8 kazi zake za ajabu

Zb 136:4 Mtendaji wa mambo ya ajabu

Zb 139:14 nimeumbwa kwa ajabu

Zb 145:5 kazi za ajabu hangaiko langu

Isa 9:6 Mshauri wa Ajabu

Da 11:36 mambo ya ajabu juu ya Mungu

Ebr 2:4 ishara na mambo ya ajabu

1Pe 2:9 nuru yake ya ajabu

Kum 13:1, 2; Ayu 10:16; Zb 77:11; Isa 29:14; Mdo 2:22.

AJIRI, Mt 20:1 kuajiri wafanyakazi shambani

AKANI, Yos 7:1, 18, 24; 22:20.

AKELDAMA, Mdo 1:19 Akeldama, Shamba la

AKIBA, Met 13:22 akiba kwa ajili ya mwadilifu

Met 15:6 akiba nyingi

Isa 30:6 wanabeba akiba zao

Mt 25:27 wenye kutunza akiba

Kol 1:5 tumaini linawekwa akiba

Ebr 9:27 akiba kufa mara moja

1Pe 1:4 umewekwa akiba mbinguni

2Nya 8:15.

AKILA, Mdo 18:2 Akila, mzaliwa wa Ponto

Mdo 18:26; Ro 16:3; 2Ti 4:19.

AKILI, Mwa 31:26 ulinishinda akili na

Ayu 23:13 Naye ana akili moja

Zb 8:4 Mwanadamu umweke akilini

Zb 14:1 Asiye na akili amesema

Zb 74:18 watu wasio na akili

Met 11:22 anayegeuka na kuacha akili

Met 26:16 wanaojibu kwa kutumia akili

Da 2:14 akamzungumzia kwa akili

Da 6:14 akaelekeza akili kumwokoa Danieli

Mt 2:16 Herode, alishindwa akili

Mt 11:25 umewaficha wenye akili

Mt 22:37 umpende Yehova kwa akili

Lu 12:20 Wewe usiye na akili

Mdo 9:22 akithibitisha kwa akili

Mdo 17:11 hamu kubwa ya akili

Ro 8:5 akili zao juu ya ya mwili

Ro 8:6 kukaza akili juu ya mwili

Ro 11:34 kuijua akili ya Yehova

Ro 12:2 kufanya upya akili yenu

1Ko 1:19 wenye akili nitatupa

1Ko 2:16 ameijua akili ya Yehova

2Ko 4:4 amezipofusha akili za

2Ko 11:1 kukosa kidogo akili

Efe 3:18 kufahamu akilini

Flp 3:15 mwelekeo wa akili tofauti

Flp 3:19 akili juu ya vitu duniani

Flp 4:2 akili moja katika Bwana

Kol 3:2 kaza akili, mambo ya juu

Ebr 2:6 hata umweke akilini

Ebr 8:10 Nitatia sheria akilini mwao

1Pe 1:13 kazeni akili kwa utendaji

1Pe 5:8 Tunzeni akili zenu

1Yo 5:20 ametupa uwezo wa akili

Zb 49:10; 73:22; 92:6; 94:8; Met 12:1; 30:2; Yer 10:14; 17:11; Lu 11:40; 24:25; Mdo 20:19; Ro 7:25; 14:5; 1Ko 1:10, 19; 15:36; 2Ko 11:16; Efe 1:8; 1Th 4:11; Tit 3:3; 1Pe 2:15; Ufu 13:18; 17:9.

AKILI NZURI, Efe 1:8 Alituzidishia akili nzuri

ALAMA, Law 19:28 msijitie alama ya chanjo

Eze 9:4 alama, mapaji ya uso

Da 2:35 alama zake hazikuonekana

Yoh 20:25 alama ya misumari

Ga 6:17 mwilini mwangu alama

2Th 3:14 mtieni alama mtu huyo

Ufu 13:17 aliye na ile alama

Ufu 14:9, 11 alama juu ya kipaji

Ufu 20:4 hawakupokea alama

ALEKSANDA, Mdo 19:33; 1Ti 1:20; 2Ti 4:14.

ALFA, Ufu 1:8; 21:6; 22:13.

ALFAYO, Mt 10:3; Mk 3:18; Mdo 1:13.

ALIKWA, Kut 34:15 mtu akikualika, nawe ule

Mt 22:14 wanaoalikwa ni wengi

Sef 1:7; Yoh 2:2; Ufu 19:9.

ALIYEGEUKA HIVI KARIBUNI, 1Ti 3:6.

ALIYEINUKA, Isa 57:15 Aliyeinuka Sana

ALIYE JUU ZAIDI, Zb 91:1 pa Aliye Juu Zaidi

Isa 14:14 nitajifananisha na Aliye Juu Zaidi

Da 4:17 Aliye Juu Zaidi ni Mtawala

Mdo 7:48 Aliye Juu Zaidi hakai nyumbani

Zb 82:6; Lu 1:32, 76; 6:35; Mdo 16:17.

ALIYE MKUU ZAIDI, Da 7:18, 22, 25, 27.

ALMASI, Eze 3:9 uso kama almasi, gumu

AMALEKI, Kut 17:16; Kum 25:17; 1Sa 15:20.

AMANA, 2Ti 1:14 Amana hii nzuri ilinde

AMANI, 2Fa 9:22 kuna amani, Yehu?

Zb 29:11 atawabariki kwa amani

Zb 37:11 wingi wa amani

Zb 72:7 wingi wa amani mpaka

Met 12:20 wanaoshauri amani wanashangilia

Mhu 3:8 na wakati wa amani

Isa 9:6 Mkuu wa Amani

Isa 32:18 makao ya amani

Isa 33:7 wajumbe wa amani watalia

Isa 60:17 amani kuwa waangalizi

Yer 6:14 wakati hakuna amani

Mik 3:5 Amani! hutakasa vita

Mt 5:9 wale wanaofanya amani

Mt 5:24 fanya amani na ndugu

Mt 10:34 sikuja kuleta amani

Lu 2:14 amani kati ya watu

Yoh 14:27 nawapa amani yangu

Ro 12:18 amani na watu wote

Ro 14:19 mambo yanayofanya amani

Ro 16:20 Mungu anayetoa amani

2Ko 13:11 endeleeni kuishi kwa amani

Efe 6:15 habari njema ya amani

Flp 4:7 amani ya Mungu yenye

Kol 1:20 amani kupitia damu

1Th 5:3 Amani na usalama!

Ebr 12:11 tunda la kufanya amani

Yak 3:17 hekima, yenye amani

1Pe 3:11 atafute amani na kuifuatilia

Ufu 6:4 kuondoa amani duniani

Hes 25:12; Yos 9:15; Zb 28:3; 35:27; 119:165; 122:8; Isa 26:3; 52:7; 54:13; Eze 34:25; 37:26; Mik 5:5; Yoh 16:33; Yak 3:18.

AMASA, 2Sa 17:25; 20:10; 1Fa 2:5.

AMAZIA, 2Fa 12:21; 14:11, 18; 2Nya 25:27.

AMBIA, Isa 30:10 Tuambieni mambo laini

AMINA, Kum 27:15 wote wajibu, Amina

1Ko 14:16 Amina kwa shukrani

Ufu 3:14 Amina, shahidi mwaminifu

Kum 27:16-26; 1Nya 16:36; 2Ko 1:20.

AMINI Ona pia IMANI.

1Fa 10:7 sikuamini mpaka nijionee

Hab 1:5 utendaji ambao hamtaamini

Yoh 3:16 kila anayemwamini

Yoh 5:24 kumwamini yule aliyenituma

Yoh 9:35 unamwamini Mwana

Yoh 11:48 watamwamini, na Waroma

Yoh 12:42 watawala wengi walimwamini

Yoh 12:44 huniamini mimi huamini, si mimi

Mdo 10:43 kila anayemwamini husamehewa

Ro 10:14 kuitia ambaye hawajaamini?

Ebr 11:6 aamini kwamba yeye huwa

Yak 2:19 roho waovu wanaamini na

1Yo 5:1 anayeamini Yesu ndiye Kristo

Kut 4:5; Yon 3:5; Mt 21:32; Yoh 2:11; 4:39; 7:48; 9:36, 38; Mdo 4:32; 15:7; 16:31; 2Th 2:12; 1Ti 3:16; 1Yo 4:1.

AMINIKA, Da 2:45 tafsiri ni yenye kuaminika

Da 7:16 habari ya kuaminika

Mdo 26:8 jambo lisiloaminika

AMIRI MSAIDIZI, 2Fa 7:17.

AMKA, Zb 17:15 Nitatosheka ninapoamka

Isa 26:19 Amkeni, pigeni vigelegele

Isa 26:19 Wafu wataamka

Isa 52:1 Amka, Ee Sayuni!

Da 12:2 waliolala wataamka

Ro 13:11 saa ya kuamka kutoka usingizini

1Ko 15:34 Amkeni muwe na utimamu

Yoe 1:5; Hab 2:19.

AMONI, Sef 2:9 Amoni kama Gomora

Mwa 19:38; Amu 10:6; 2Nya 20:1; Da 11:41.

AMRAMU, Kut 6:18; Hes 26:58; 1Nya 6:3.

AMRI, Mwa 3:17 nilikupa amri usile

Zb 94:20 kinatunga matatizo kwa amri?

Met 6:23 amri ni taa

Isa 28:10 amri juu ya amri, amri juu ya amri

Mik 7:11 siku hiyo amri itakuwa mbali

Mt 15:3 ninyi huvunja amri ya Mungu

Mt 15:9 hufundisha amri za wanadamu

Mt 22:40 Sheria hutegemea amri hizo mbili

Mk 12:28 Ni amri gani iliyo ya kwanza?

Yoh 12:50 amri yake inamaanisha uzima

Yoh 14:21 aliye na amri zangu na kuzishika

Ro 1:32 wanajua vema amri ya uadilifu

Kol 2:14 hati iliyokuwa na amri

Kol 2:22 kulingana na amri ya wanadamu

1Th 4:16 akiwa na mwito wenye amri

1Ti 1:5 lengo la amri hii ni upendo

1Ti 1:18 Amri hii ninakupa, Timotheo

1Yo 2:7 ninawaandikia ninyi, si amri mpya

1Yo 5:3 na bado amri zake si mzigo mzito

Est 1:20; Zb 119:98; Met 6:20; Isa 29:13; Yer 35:18; Mk 12:31; Lu 2:1; Yoh 10:18; Kol 2:20; 1Yo 3:23; Ufu 12:17.

AMRIWA, Ayu 23:12 yale niliyoamriwa

Yer 5:24 majuma yaliyoamriwa ya

Ebr 9:10 yaliamriwa mpaka

AMSHA, Isa 41:25 Nimemwamsha kaskazini

Yoh 11:11 ninaenda huko kumwamsha

Flp 4:10 mmeamsha fikira zenu

Tit 2:4 kuamsha akili za wanawake

Isa 41:2; 45:13.

AMSHWA, Yer 25:32 tufani itaamshwa

AMUA, Isa 28:22 jambo lililoamuliwa

Da 9:26 kilichoamuliwa ni ukiwa

Da 11:36 jambo lililoamuliwa lifanywe

1Fa 20:40; Ayu 14:5; Isa 10:22; Mdo 16:4; 1Ko 2:2; Tit 3:12.

AMURU, Kum 4:2 neno ninalowaamuru ninyi

Kum 6:6 maneno haya ninayokuamuru leo

Yos 1:9 mimi sikukuamuru wewe?

Eze 9:11 Nimefanya kama ulivyoniamuru

Mdo 17:26 aliamuru nyakati

Kut 7:2; Hes 9:8; Kum 5:33; Zb 78:5; 105:8; Isa 45:12; Yer 1:7; Yoh 15:17.

ANAKI, Hes 13:22 waliozaliwa kwa Anaki

ANANIA, Mdo 5:1, 5; 9:10; 22:12; 23:2.

ANASA, Met 19:10 anasa haimfai mjinga

2Pe 2:13 maisha ya anasa

Lu 7:25; Yak 5:5; Ufu 18:7.

ANASI, Lu 3:2; Yoh 18:13, 24; Mdo 4:6.

ANDIKA, Kut 17:14 Andika liwe ukumbusho

Kut 34:28 akaandika juu ya mabamba

Kut 39:30 ishara ya wakfu, kuandika

Met 3:3 Ziandike, kibao cha moyo

Isa 10:1 wameandika taabu

Isa 30:8 uiandike katika kitabu

Yer 31:33 nitaiandika moyoni mwao

Yer 51:60 Yeremia akaandika kitabuni

Hab 2:2 Andika maono hayo

Yoh 5:46 aliandika juu yangu

Yoh 8:6 Yesu akaandika

Yoh 19:21 Usiandike Mfalme wa

2Ko 3:2 barua, iliyoandikwa mioyoni

Kut 24:4; 34:27; Yos 24:26; Est 1:22; Isa 30:8; Yoh 19:19; 21:24; Ufu 1:11; 3:12; 21:5.

ANDIKISHWA, 2Sa 20:24.

Ebr 12:23 wameandikishwa mbinguni.

ANDIKISHWE, Lu 2:1 amri wote waandikishwe

Hes 1:44; 3:22; 26:7.

ANDIKO, Mt 21:42 hamkusoma katika Maandiko

Mt 22:29 hamjui Maandiko wala Mungu

Lu 4:21 Leo andiko limetimizwa

Lu 24:27 akawafasiria katika Maandiko

Lu 24:32 akitufungulia Maandiko

Lu 24:45 kuifahamu maana ya Maandiko

Yoh 5:39 mnayachunguza Maandiko

Yoh 10:35 Andiko haliwezi kutanguka

Yoh 13:18 ili Andiko lipate kutimizwa

Mdo 17:2 akajadiliana nao kwa Maandiko

Mdo 17:11 wakiyachunguza Maandiko

Mdo 18:24 mwenye ujuzi wa Maandiko

Ro 15:4 faraja kutokana na Maandiko

2Ti 3:16 Andiko limeongozwa na roho

2Pe 1:20 hakuna unabii wa Andiko

2Pe 3:16 wanayapotosha Maandiko

Yoh 20:9; Mdo 8:32; 1Ko 15:3, 4; Yak 4:5.

ANDIKWA, Zb 149:9 uamuzi ulioandikwa

Lu 21:22 yaliyoandikwa yatimizwe

Ro 15:4 yaliandikwa kutufundisha

1Ko 10:11 yaliandikwa kuwa onyo

Ufu 14:1 jina limeandikwa mapajini

Ufu 21:27 walioandikwa katika kitabu

Kut 31:18; Zb 102:18; Mal 3:16; Mt 4:4; Ufu 1:3; 17:5.

ANDREA, Mt 4:18; Yoh 12:22; Mdo 1:13.

ANGA, Zb 19:1 anga linatangaza kazi yake

Da 12:3 watang’aa kama anga

Mwa 1:6; Zb 150:1; Eze 1:22; 10:1.

ANGALAU, Mwa 24:55.

ANGALIA, Kum 8:11 Jiangalie usije ukamsahau

Zb 37:10 utapaangalia mahali pake

Isa 51:1 Uangalieni mwamba

Hab 2:1 nitaendelea kuangalia

Mt 6:26 Waangalieni ndege

Ga 6:1 kujiangalia, usijaribiwe

Flp 2:4 kuangalia, si faida zenu

Lu 21:34; Mdo 5:35.

ANGAMIA, Hes 16:33 Kaburi, wakaangamia

2Sa 1:27 silaha kuangamia!

Ayu 11:20 pa kukimbilia pataangamia

Zb 9:6 Kumbukumbu litaangamia

Zb 10:16 Mataifa yameangamia

Zb 68:2 Waovu na waangamie

Isa 29:14 hekima yao itaangamia

Isa 60:12 ufalme huo utaangamia

Mt 12:25 ufalme huangamia

Mt 18:14 wadogo hawa aangamie

1Ko 1:18 upumbavu kwa wanaoangamia

2Th 2:10 udanganyifu kwa wanaoangamia

Ebr 11:31 Rahabu hakuangamia

Kum 30:18; Ayu 31:29; Zb 37:20; Yer 7:28; 10:11; Mdo 8:20; Yud 11.

ANGAMIZA, Zb 2:12 msiangamizwe njiani

Zb 18:37 mpaka waangamizwe

Zb 92:7 kuangamizwa milele

Zb 145:20 atawaangamiza waovu wote

Isa 26:14 uwaangamize majina yao

Yer 1:10 kubomoa, kuangamiza, kuangusha

Yer 9:16 upanga, mpaka niwaangamize

Eze 20:13 nyikani, ili kuwaangamiza

Mt 10:28 kuangamiza nafsi, mwili

Yoh 3:16 asiangamizwe, awe na uzima

Mdo 9:21 aliyeangamiza walio Yerusalemu

Ga 1:13 niliendelea kuliangamiza

Yak 4:12 anayeweza kuokoa, kuangamiza

2Pe 2:12 wanyama wa kuangamizwa

2Pe 3:9 hataki yeyote aangamizwe

Yud 5 baadaye aliangamiza

Mwa 34:30; Kut 33:5; Hes 25:11; Kum 6:15; 28:21, 63; Yos 24:20; 2Sa 21:5; 22:38; Ne 9:31; Zb 37:38; 49:12; 106:23; Met 24:22; Da 11:44; Mik 4:9; Lu 17:27; 2Ko 4:9; Ga 1:23; 5:15; 2Pe 3:7.

ANGAVU, Ayu 37:21 nyangavu angani

Mdo 26:13 nuru inayopita wangavu

ANGAZA, Isa 60:1 utukufu umeangaza

Mt 5:16 acheni nuru yenu iangaze

Efe 5:14 Kristo atakuangaza

Mwa 32:31; Zb 112:4; 119:135; Ufu 21:23.

ANGUKA, Met 11:28 utajiri, ataanguka

Met 16:18 Kiburi hutangulia kuanguka

Met 18:12 Kabla ya kuanguka moyo huwa na

Met 24:16 mwadilifu akaanguka mara saba

Lu 11:17 nyumba iliyogawanyika huanguka

Ro 11:11 walijikwaa wakaanguka

Ro 14:4 au kuanguka kwa bwana wake

1Ko 10:12 ajihadhari asianguke

Ebr 10:31 kuanguka mikononi mwa Mungu

Kum 31:29; Zb 37:24; 58:7; Met 11:14; Omb 1:7; Lu 23:30; 1Ti 6:9.

ANGUKO, Isa 1:28; Yer 50:22; Omb 2:11; Mt 7:27.

ANTIPA, Ufu 2:13 Antipa, mwaminifu

ANZA, Mk 6:7 akaanza kuwatuma

Flp 1:6 aliyeanza kazi njema

ANZISHA, 2Ko 8:6 Tito ameanzisha hilo

2Ko 8:10 mlianzisha kule kufanya

APA, Mwa 22:16 Naapa kwa nafsi yangu

Zb 15:4 Ameapa juu ya jambo baya

Zb 24:4 Wala kuapa kwa udanganyifu

Isa 14:24 Yehova wa majeshi ameapa

Isa 45:23 Nimeapa kwa nafsi yangu

Mt 5:34 Msiape hata kidogo

Ebr 6:13 hangeweza kuapa

Kum 6:13; Zb 89:35; Isa 65:16; Yer 12:16.

APIA, Mdo 2:30 Mungu alikuwa amemwapia

Yos 9:18; Zb 89:3; 132:11.

APISHA, Yos 2:20 kiapo ulichotuapisha

APOLIONI, Ufu 9:11 Kigiriki ana jina Apolioni

ARABA, Kum 1:7 majirani katika Araba

Kum 4:49; Yer 52:7; Eze 47:8; Zek 14:10.

ARABIA, Ga 1:17; 4:25.

ARAMU, Mwa 10:22; Hes 23:7; 1Nya 1:17.

ARARATI, Mwa 8:4; 2Fa 19:37; Yer 51:27.

AREOPAGO, Mdo 17:19, 22, 34.

ARIMATHEA, Mt 27:57; Lu 23:51; Yoh 19:38.

ARNONI, Hes 21:13; Amu 11:26; Isa 16:2.

AROBAINI, Mwa 7:4 siku 40 mchana na usiku

Kum 29:5 niliwaongoza ninyi miaka 40

Mk 1:13 nyikani siku 40

Kut 16:35; Eze 4:6; Mt 4:2; Mdo 1:3.

ARTASHASTA, Ezr 4:7, 23; Ne 2:1; 13:6.

ARTEMI, Mdo 19:27, 34, 35.

ARUSI, Mt 22:10 sherehe za arusi

ASA, 1Fa 15:9, 24; 2Nya 14:2; Yer 41:9.

ASAFU, 1Nya 6:39; 16:5; 25:1; 2Nya 35:15.

ASALI, Kut 3:8 nchi ya maziwa na asali

Zb 19:10 tamu kuliko asali

Zb 119:103 kuliko asali kinywani

Met 25:27 Si vizuri kula asali nyingi

Eze 3:3 kama asali kinywani

Amu 14:9; Isa 7:15; Ufu 10:10.

ASHDODI, Yos 11:22; 1Sa 5:1, 6; Sef 2:4.

ASHERI, Mwa 30:13; Kum 33:24; Amu 1:31.

ASHTAROTHI, Kum 1:4; 1Nya 6:71.

ASHTORETHI, 1Fa 11:5, 33; 2Fa 23:13.

ASHURU, Mwa 10:11 Ashuru kujenga Ninawi

Isa 19:23 Ashuru kuingia Misri

2Fa 17:6; Yer 50:17; Mik 5:6; Zek 10:10.

ASI, Hes 14:9 msimwasi Yehova

Ezr 4:12 jiji baya lenye kuasi

Zb 107:11 waliasi maneno ya Mungu

Isa 31:6 Israeli wamemwasi

Yer 17:13 wanaoniasi wataandikwa

Kum 9:23; Yos 1:18; 1Sa 12:14; 2Nya 13:6; Ne 2:19; Ayu 24:13; Zb 78:8, 17, 40, 56; 105:28; Isa 63:10; Yer 3:12; Eze 2:3; 20:8, 13; Da 9:5; Sef 3:1.

ASIA, Mdo 19:10; 1Ko 16:19; Ufu 1:4.

ASILI, Law 18:23 kuvunja jambo la asili

Eze 29:14 nchi ya asili yao

Ro 1:27 waliacha matumizi ya asili

1Ko 6:9 makusudi yasiyo ya asili

2Ti 3:3 na upendo wa asili

Yak 3:6 mzunguko wa uhai wa asili

2Pe 1:4 washiriki wa asili ya kimungu

Yud 7 matumizi yasiyo ya asili

Ro 1:26, 31; 2:14, 27; 11:24, 24.

ASIYEAMINI, 1Ko 7:12 mke asiyeamini

1Ko 7:14 mume asiyeamini

ASIYEFAA KITU, Lu 17:10

Zb 18:4; Met 6:12; 16:27; 19:28; Mt 25:30.

ASIYEONEKANA, Kol 1:15 Mungu asiyeonekana

1Ti 1:17 Mfalme, asiyeonekana

Ebr 11:27 kumwona asiyeonekana

ASKARI, 1Ko 9:7 askari, gharama yake

ASKARI-JESHI, 2Ti 2:3 askari-jeshi mwema

Yoh 19:23; Mdo 10:7; 2Ti 2:4.

ASKOFU. Ona MWANGALIZI.

ASUBUHI, Zb 30:5 asubuhi kuna shangwe

Zb 49:14 watawatawala asubuhi

Amu 6:28; 2Fa 19:35; Isa 28:19; Mk 1:35; Mdo 28:23.

ATHALIA, 2Fa 8:26; 11:1; 2Nya 24:7.

AUGUSTO, KIKOSI CHA, Mdo 27:1.

AYUBU, Ayu 2:3 Ayubu, asiye na lawama

Eze 14:14 Noa, Danieli na Ayubu

Yak 5:11 uvumilivu wa Ayubu

Ayu 1:1, 9, 22; 3:1; 38:1; 40:1; 42:10, 12.

AZAZELI, Law 16:8, 10, 26.

AZIMA, 2Fa 6:5 shoka, la kuazimwa!

AZIMIA, 2Nya 25:16 ameazimia kukuangamiza

Mdo 27:42 askari-jeshi wakaazimia

2Ko 9:7 alivyoazimia moyoni

1Ti 6:9 wameazimia kuwa tajiri

B

BAADAYE, Kum 8:16 akutendee mema baadaye

BAALI, 1Fa 18:21 ikiwa ni Baali, mfuateni

2Fa 10:28 Yehu akaangamiza Baali

Ro 11:4 ambao hawakupigia Baali goti

Amu 2:13; 1Fa 16:31; 2Fa 10:18; Yer 7:9.

BAAL-PERASIMU, 2Sa 5:20; 1Nya 14:11.

BAALI WA PEORI, Hes 25:3; Kum 4:3; Zb 106:28; Ho 9:10.

BAAL-ZEBUBU, 2Fa 1:2, 3, 6, 16.

BABA, Mwa 2:24 mwanamume atamwacha baba

Zb 89:26 Wewe ni Baba, Mungu

Met 6:20 shika amri ya baba

Met 17:6 uzuri wa wana ni baba

Isa 64:8 Yehova, wewe ni Baba yetu

Mt 6:9 Baba yetu uliye mbinguni

Mt 23:9 msimwite yeyote baba duniani

Lu 2:49 Yesu, nyumbani mwa Baba?

Yoh 8:44 baba yenu Ibilisi

Yoh 14:28 Baba ni mkuu kuliko mimi

1Ko 4:15 nimekuwa baba yenu

Efe 6:4 baba, msikasirishe watoto

Yak 1:17 Baba wa mianga

Met 23:22; Isa 38:19; Mal 4:6; Mt 10:37; 26:29; Yoh 10:30; 14:6, 24; Ga 1:14; Efe 4:6; Ufu 14:1.

BABA-MKWE, Kut 4:18; 18:1; Amu 19:4.

BABELI, Mwa 10:10; 11:9.

BABILONI, Yer 51:6 Kimbieni kutoka Babiloni

Ufu 17:5 Babiloni, mama wa makahaba

Isa 21:9; Yer 25:12; Da 3:1; Ufu 18:2.

BABU, Zb 45:16 Mahali pa mababu, wana

1Pe 1:18 mapokeo kutoka mababu

Mwa 15:15; 2Fa 18:3; Mik 7:20; 2Ti 1:3.

BADALA, 2Ko 5:20 mabalozi walio badala

Ayu 15:31.

BADILI, Yer 13:23 anaweza kuibadili ngozi?

Yer 23:36 mmeyabadili maneno ya Mungu

Da 7:25 atakusudia kubadili nyakati na sheria

Mwa 35:2; Met 24:21; Mdo 6:14; Ebr 7:12.

BADILIKA, Zb 15:4 na bado habadiliki

Mal 3:6 mimi ni Yehova; sikubadilika

Ebr 6:17 kutobadilika kwa shauri lake

Ebr 6:18 mambo mawili yasiyobadilika

Yak 1:17 habadiliki kama kivuli

BADILISHA, Ayu 28:17 kubadilishwa nayo

BADILISHANO, Ru 4:7 kuhusu mabadilishano

BAHARI, Kut 14:21 kugeuza bahari iwe kavu

Zb 72:8 kutoka bahari mpaka bahari

Isa 11:9 kama maji yanavyoifunika bahari

Isa 57:20 waovu ni kama bahari

Isa 60:5 mali za bahari

Da 11:45 mahema kati ya bahari

Lu 21:25 kunguruma kwa bahari

1Ko 10:2 walibatizwa kupitia bahari

Yud 13 mawimbi yasiyotulia ya bahari

Ufu 20:13 bahari ikawatoa wafu

Ufu 21:1 na bahari haipo tena

Mwa 1:10; Isa 17:12; Eze 27:27; Yon 1:15; Ufu 7:3.

BAHARI NYEKUNDU, Kut 10:19; 15:4; Ne 9:9; Mdo 7:36; Ebr 11:29.

BAHARI YA CHUMVI, Yos 3:16.

BAHATI MBAYA, Hes 23:23 apizo la bahati mbaya

Hes 24:1 kutafuta ishara za bahati mbaya

BAKI, Kum 21:23 maiti yake isibaki

Yos 23:7 mataifa, yanayobaki nanyi

Zb 76:10 ghadhabu iliyobaki

Met 2:21 waadilifu watabaki ndani

Isa 28:5 urembo kwa wanaobaki

1Ko 3:14 Kazi yake ikibaki

1Th 4:17 sisi tuliobaki tutanyakuliwa

Ufu 12:17 vita na waliobaki wa

Yer 8:3; 38:4; Eze 39:14; Mik 2:12; Zek 14:2; Mal 2:15; Mt 14:20; Mdo 15:17; 1Ko 7:20; 13:13.

BAKULI, 2Fa 21:13; Ufu 16:1; 17:1.

BALAAMU, Yud 11 mwendo wa Balaamu

Hes 22:5, 28; 24:1; Kum 23:4; Mik 6:5; Ufu 2:14.

BALAKI, Hes 22:2; Mik 6:5; Ufu 2:14.

BALOZI, 2Ko 5:20 mabalozi walio badala

Efe 6:20 balozi katika minyororo

BAMBA, 1Sa 17:6 mabamba ya shaba juu

BAMBA LA KIFUANI, Efe 6:14; 1Th 5:8.

BANWA, Mik 6:10 kipimo cha efa kilichobanwa

BANDARI, Zb 107:30 bandari inayowapendeza

BANDIA, 2Pe 2:3 maneno bandia

BARABA, Yoh 18:40.

BARABARA, Zb 119:105 nuru, barabara

Met 1:20 Hekima kulia barabarani

Isa 42:2 hataacha isikike barabarani

Eze 7:19 watatupa fedha barabarani

Mt 3:3 Nyoosheni barabara

Mt 7:14 barabara nyembamba

Mt 7:14 barabara, ya uzima

Mt 22:9 barabara zinazotoka jijini

Met 1:15; Isa 59:8; Yer 5:1; 18:15; Eze 11:6; 28:23; Nah 2:4; Mt 10:5; 13:4; 20:17; Mk 11:8; Mdo 8:26.

BARAFU, Eze 1:22 barafu ya kutia woga

BARAGUMU, Law 25:9 baragumu ya sauti

Eze 33:6 naye asipige baragumu

BARAKA, Kum 30:19 baraka na laana

Met 10:22 Baraka ya Yehova hutajirisha

Mal 3:10 kuwamwagia baraka hata kusiwe

Mwa 12:2; Amu 4:6, 8, 14; 5:1, 12; Met 28:20; Mal 2:2; Ebr 11:32; 1Pe 3:9.

BARAZA, 1Ko 4:3 baraza la kibinadamu

BARIDI, Zb 147:17 Mbele ya baridi yake ni nani

Ufu 3:15 wewe si baridi wala si moto

Mwa 8:22; Ayu 37:9; Mt 10:42; Ufu 3:16.

BARIDI KALI, Mwa 8:22 baridi kali, havitakoma

Zb 74:17 kiangazi na baridi kali

Yer 36:30 baridi kali usiku

Zek 14:8 kiangazi na baridi kali

Mt 24:20.

BARIKI, Mwa 1:28 Mungu akawabariki

Hes 6:24 Yehova na akubariki

Zb 29:11 atawabariki kwa amani watu wake

Zb 145:21 wenye mwili na walibariki jina lake

Ro 12:14 Endeleeni kuwabariki wala

1Ko 10:16 Kikombe ambacho tunabariki

Ebr 7:7 mdogo hubarikiwa na mkubwa

Mwa 12:2; 32:26; Kum 7:14; Ru 2:4; Ayu 1:21; Zb 62:4; 72:19; Lu 6:28; 1Pe 1:3.

BARNABA, Mdo 15:2; 1Ko 9:6; Ga 2:1.

BARSABA, Mdo 1:23; 15:22.

BARTHOLOMAYO, Mt 10:3; Mdo 1:13.

BARUA, 2Fa 19:14 akaichukua ile barua

2Ko 3:1 barua za pendekezo

Ezr 4:7; 7:11; Yer 29:29; Mdo 23:25.

BARUKU, Ne 3:20; Yer 32:12; 43:6; 45:2.

BASHANI, Zb 22:12 wenye nguvu wa Bashani

Zek 11:2 Pigeni mayowe, enyi miti ya Bashani

Zb 68:15; Isa 2:13; Amo 4:1; Nah 1:4.

BASHIRI, Mdo 16:16 ufundi wa kubashiri

BATA-MAJI, Law 11:18; Kum 14:16.

BATH-SHEBA, 2Sa 11:3; 12:24; 1Fa 1:11.

BATILISHWA, Yoh 10:35 Andiko, kubatilishwa

BATIZA, Mt 3:11 atawabatiza kwa roho takatifu

Ro 6:3 tulibatizwa katika kifo chake?

1Ko 10:2 walibatizwa katika Musa kupitia

1Ko 12:13 tulibatizwa katika mwili mmoja

Mt 3:13; 28:19; Mk 1:8; Lu 3:16; Yoh 1:26, 33; Mdo 2:41; 10:47; 1Ko 1:17; 15:29.

BAWASIRI, Kum 28:27; 1Sa 5:6; 6:4.

BAYA, Mwa 3:5 mkijua mema na mabaya

Da 11:27 mwelekeo wa kufanya mabaya

Hab 1:13 umetakata usiweze kuona lililo baya

Lu 16:25 Lazaro alipokea mabaya

Ro 7:19 baya nisilotaka ndilo ninalofanya

1Ko 10:6 wanaotamani mabaya

1Ko 15:33 Mashirika mabaya huharibu tabia

1Ti 6:10 chanzo cha mabaya

Tit 2:8 baya la kusema juu yetu

Mwa 2:9; Law 27:10; Zb 38:12; Met 2:14; 27:12; Yer 2:13; Mdo 18:10; Ro 9:11; Yak 3:16.

BEBA, Zb 68:19 Yehova, hutubebea mzigo

Ga 6:5 kila mmoja atabeba mzigo wake

Ebr 9:28.

BEELZEBULI, Mt 10:25; 12:24; Mk 3:22.

BEER-SHEBA, Mwa 21:31; 2Sa 24:15; Amo 5:5.

BEGA, Ne 9:29 bega la ukaidi

Isa 9:6 utawala utakuwa juu ya bega

Zek 7:11 wakaendelea kugeuza bega

Yos 4:5; Isa 10:27; 22:22; Eze 29:18.

BEI, Isa 55:1 bila pesa na bei

1Ko 6:20 mlinunuliwa kwa bei

Da 11:39; Mt 27:9; Mdo 5:3; 1Ko 7:23.

BELI, Isa 46:1; Yer 50:2; 51:44.

BELIALI, 2Ko 6:15 kati ya Kristo na Beliali?

BELSHAZA, Da 5:1, 2, 9, 22, 29, 30.

BELTESHAZA, Da 1:7; 2:26; 4:19; 5:12.

BEMBELEZA, Met 28:23.

Met 29:21 akimbembeleza mtumishi

Met 26:28; 29:5.

BENDERA, Zb 20:5 tutainua bendera katika jina

Wim 2:4 bendera yake ilikuwa upendo

BEN-HADADI, 1Fa 15:18; 20:1; 2Fa 8:7.

BENYAMINI, Mwa 35:18; Zb 68:27; Ufu 7:8.

BEROYA, Mdo 17:10 Paulo na Sila, Beroya

Mdo 17:13; 20:4.

BETHANIA, Mt 21:17; 26:6; Yoh 1:28; 11:1.

BETHELI, Mwa 28:19; 31:13; Amu 4:5.

BETHFAGE, Mt 21:1 Bethfage, Yesu akawatuma

BETHLEHEMU, Mt 2:1 kuzaliwa Bethlehemu

Mwa 35:19; Ru 2:4; Mik 5:2; Mt 2:5; Lu 2:4.

BETH-PEORI, Kum 3:29; 34:6; Yos 13:20.

BETHSAIDA, Mt 11:21; Lu 9:10; Yoh 1:44.

BEZALELI, Kut 31:2; 35:30; 36:1; 38:22.

BIASHARA, Ayu 41:6 watafanya biashara juu

Zb 107:23 Wanaofanya biashara

Met 31:18 biashara yake ni nzuri

Eze 27:27 vitu vya biashara

Yoh 2:16 nyumba ya Baba, biashara!

2Ti 2:4 shughuli za kibiashara za maisha

Yak 4:13 tutafanya biashara na kupata faida

Mdo 19:25.

BIBI-ARUSI, Ufu 21:2 bibi-arusi aliyepambwa

Isa 61:10; 62:5; Yoh 3:29; Ufu 18:23.

BIDII, 1Sa 20:28 Daudi aliniomba kwa bidii

Ne 3:20 Baruku, kazi kwa bidii

Zb 69:9 bidii kwa ajili ya nyumba yako

Met 26:23 midomo ya bidii, moyo mbaya

Isa 9:7 Bidii ya Yehova itafanya hayo

Sef 3:8 dunia itateketezwa kwa moto wa bidii

Ro 10:2 bidii kwa ajili ya Mungu; lakini si

2Ko 8:8 kwa kufikiria bidii ya

Ga 1:14 mwenye bidii kwa ajili ya mapokeo

1Ti 4:13 kufanya bidii katika kusoma

2Ti 1:17 alinitafuta kwa bidii

2Ti 4:2 fanya hivyo kwa bidii

Tit 2:14 walio na bidii kwa ajili ya kazi nzuri

Ebr 6:11 aonyeshe bidii ileile

Met 10:4; 13:4; 21:5; Isa 37:32; Lu 6:15; Yoh 2:17; Mdo 1:13; 1Ko 12:31; 14:1; 2Ko 8:17, 22; Ga 4:17; Flp 3:6; 1Pe 3:13; 2Pe 1:5; Ufu 3:19.

BIKARI, Isa 44:13 huendelea kuinakili kwa bikari

BIKIRA, Zb 45:14 Mabikira katika msafara

Isa 47:1 Babiloni uliye bikira

Mt 25:1 ufalme, kama mabikira 10

1Ko 7:25 kuhusu mabikira sina amri

2Ko 11:2 bikira safi kwa Kristo

BILA KUKUSUDIA, Hes 15:29; 35:11; Yos 20:3.

BILDADI, Ayu 2:11; 8:1; 18:1; 25:1; 42:9.

BINADAMU, Hes 31:28 nafsi moja ya binadamu

Yos 11:14; Zb 115:16; Met 15:11; Mhu 3:10; Eze 36:10.

BINAFSI, Kum 9:26 mali yako binafsi

Yer 25:31 binafsi atajiweka hukumuni

BINAMU, Kol 4:10 Marko binamu ya Barnaba

BINGWA, 1Sa 17:4, 23 bingwa Goliathi, kutoka

BINTI, Mwa 5:4 Adamu akazaa mabinti

Isa 52:2 binti Sayuni uliye mateka

Yoe 2:28 binti zenu watatoa unabii

Lu 23:28 Binti za Yerusalemu, acheni kunililia

Da 11:6, 17; Mt 21:5; Mdo 2:17; 2Ko 6:18.

BINTI ZA KIFALME, 1Fa 11:3; Est 1:18; Isa 49:23.

BINTI-MKWE, Mwa 11:31; Law 18:15.

BIRIKA, Met 5:15 Unywe maji ya birika lako

BISHANA, Isa 66:16 Yehova atabishana

Mk 8:16 wakaanza kubishana

Lu 21:15 wapinzani hawataweza kubisha

1Ko 1:20 mwenye kubishania maneno

1Ko 11:16 mwelekeo wa kubishania desturi

Flp 2:14 kufanya mambo bila kubishana

Yud 9 kubishania mwili wa Musa

Mk 8:17.

BISHANO, Met 17:14 kabla bishano kulipuka

Mdo 17:18 wanaongea kwa mabishano

1Ti 6:5 mabishano, mambo madogo

Mdo 25:19; Ebr 6:16.

BLANGETI, Amu 4:18 akamfunika kwa blangeti

BOANERGE, Mk 3:17 jina Boanerge

BOAZI, Ru 2:1; 4:9, 13; 1Fa 7:21; Mt 1:5.

BOMA, Zb 48:13 mioyo juu ya boma lake

Zb 91:4.

BOMBA, 2Fa 18:17; Isa 7:3; 36:2.

BOMOA, Yer 51:58 Ukuta utabomolewa

Ro 14:20 Acheni kuibomoa kazi

Mhu 3:3.

BOMOKA, Isa 6:11 mpaka majiji yabomoke

Yer 49:23 Hamathi, wamebomoka

BOMOKO, Amo 6:11 nyumba kuwa mabomoko

Amo 9:11 mabomoko nitayasimamisha

Mdo 15:16 nitajenga mabomoko

BONDE, Mwa 1:22 kujaza mabonde ya bahari

Zb 23:4 bonde lenye kivuli

Isa 40:4 Kila bonde na liinuliwe

Eze 37:1 nchi tambarare ya bondeni

Yoe 3:2 bonde la Yehoshafati

Yoe 3:14 umati, bonde la uamuzi

BONDE LA UMATI WA GOGU, Eze 39:11, 15.

BORA, Mhu 2:24 hakuna bora kuliko ale

Mhu 3:19 mwanadamu si bora kuliko

Wim 1:1 Wimbo ulio bora

Yer 2:21 nimekupanda kama mzabibu bora

Flp 2:3 mkiwaona wengine kuwa bora

Flp 3:8 thamani bora ya kujua Kristo

Ro 2:18; Ebr 1:4; 8:6.

BORA SANA, 2Ko 11:5 mitume walio bora sana

BORA ZAIDI, 1Ko 12:31 njia iliyo bora zaidi

BORITI, Lu 6:42 toa boriti katika jicho

BUBU, Isa 35:6 ulimi wa bubu

Isa 56:10 mbwa walio bubu

Isa 53:7; Eze 3:26; 24:27; Mt 9:32; 12:22; 15:30; Lu 1:22.

BUMBUAZI, Mdo 2:6 ukashikwa na bumbuazi

Eze 3:15.

BUNI, 1Fa 12:33 alijibunia mwezi wa nane

BURE, Ayu 40:8 haki yangu kuwa bure?

Isa 65:23 Hawatafanya kazi bure

Mt 10:8 Mlipokea bure, toeni bure

Mt 15:9 Wao huniabudu bure

1Ko 15:58 kazi yenu si ya bure

Ga 2:2 isije kuwa nimekimbia bure

Flp 2:16 sikukimbia bure

Ufu 21:6 nitampa maji bure

Ufu 22:17 achukue maji bure

Ro 3:24.

BURUDISHA, Zb 23:3 Anaiburudisha nafsi yangu

Mt 11:28 nitawaburudisha ninyi

Mdo 3:19 majira ya kuburudisha

1Ko 16:18 wameburudisha roho yangu

BURUDISHO, Mt 11:29 burudisho kwa nafsi zenu

BURUDISHWA, Flm 7 upendo umeburudishwa

BUSARA, 1Sa 18:14 Daudi akitenda kwa busara

Zb 47:7 mkitenda kwa busara

Met 10:19 zuia midomo, tenda kwa busara

Isa 29:14 uelewaji wa wenye busara

Mt 7:24 busara, nyumba juu ya mwamba

Mt 24:45 mtumwa mwaminifu, busara

Mt 25:2 Watano walikuwa wenye busara

Ro 12:16 Msiwe wenye busara machoni penu

Mwa 41:39; 1Sa 18:5, 30; 1Fa 2:3; 2Fa 18:7; 2Nya 30:22; Zb 101:2; Met 12:8; Isa 5:21; Yer 23:5; Ro 11:25; 1Ko 4:10.

BUSTANI, Mwa 2:8 Mungu akapanda bustani

Yer 31:12 nafsi yao kama bustani

Amo 9:14 watafanyiza bustani na kula

Mwa 2:15; 3:24; Ne 2:8; Mhu 2:5; Isa 51:3; 58:11; Eze 36:35.

BUSU, 1Fa 19:18 7,000 hawakumbusu Baali

Zb 2:12 Mbusuni mwana, ili

Met 27:6 busu za mwenye chuki

Lu 22:48 unamsaliti Mwana kwa busu?

Ro 16:16 Salimianeni kwa busu

Lu 7:38; 15:20; Mdo 20:37.

BWANA, Kum 10:17 ni Bwana wa mabwana

Zb 110:1 Neno la Yehova kwa Bwana

Mal 3:1 Bwana mnayemtafuta

Mt 6:24 kutumikia mabwana wawili

Mt 7:22 wataniambia, Bwana, Bwana

Mt 25:21 shangwe ya bwana wako

Yoh 20:18 Maria: Nimemwona Bwana!

Yoh 20:28 Bwana na Mungu wangu!

Ro 6:9 kifo si bwana juu yake

Ro 6:14 dhambi isiwe bwana wenu

Ro 14:4 kwa bwana wake husimama

1Ko 7:39 kuolewa, katika Bwana

1Ko 8:5 mingi na mabwana wengi

Efe 4:5 Bwana mmoja, imani

Kol 4:1 mna Bwana mbinguni

1Ti 6:15 Bwana wa wanaotawala

Yak 2:1 imani ya Bwana Yesu

1Pe 3:6 Sara, akimwita bwana

2Pe 2:1 watamkana bwana aliyewanunua

Zb 123:2; 136:3; Isa 26:13; Mt 9:38; 11:25; Lu 12:45; Mdo 17:24; Efe 6:9; Kol 3:22; 1Ti 6:1; 2Ti 2:24; Tit 2:9.

BWANA MWENYE ENZI KUU, Zb 73:28; 109:21; 140:7; Isa 22:14; 28:22; Yer 50:25; Lu 2:29; Mdo 4:24; Ufu 6:10.

BWANA-ARUSI, Mt 25:1 kumpokea bwana-arusi

Isa 62:5; Yer 33:11; Mt 9:15; 25:5, 6, 10; Yoh 3:29.

BWANA-MKUU, Mal 1:6 huheshimu bwana-mkuu

BWEKA, Zb 59:6 kubweka kama mbwa

C

CHACHA, Mt 13:33 tonge lote likachacha

CHACHE, Met 15:16 vichache na kuogopa

Met 24:10 Nguvu zako zitakuwa chache

CHACHU, Kut 13:6 keki zisizo na chachu

Amo 4:5 dhabihu, iliyotiwa chachu

Mt 16:6 chachu ya Mafarisayo

Lu 13:21 chachu, ambayo mwanamke

1Ko 5:7 Ondoeni chachu ya zamani

Ga 5:9 Chachu kidogo, donge zima

Kut 12:15, 17; 34:25; Law 2:4, 11; Kum 16:3; Amu 6:21; 1Sa 28:24; Ho 7:4; Mt 13:33; 16:12; 26:17; Mk 8:15; Lu 12:1; 1Ko 5:8.

CHAFU, Isa 28:8 meza, matapiko machafu

Zek 3:4 Mvueni mavazi hayo machafu

Ufu 16:13 mambo machafu matatu

2Nya 29:5; Ezr 9:11; Ro 1:27; Efe 5:4; Kol 3:8; Ufu 18:2.

CHAFUA, Hes 35:33 damu ndiyo huichafua nchi

1Ti 4:7 hadithi huchafua matakatifu

2Ti 2:16 maneno huchafua matakatifu

1Ti 6:20.

CHAFULIWA, Zb 106:38 nchi ikachafuliwa

Isa 24:5 nchi imechafuliwa chini ya

CHAFYA, 2Fa 4:35 mvulana akapiga chafya

Ayu 41:18 Chafya zake huangaza nuru

CHAGUA, Kum 7:6 Mungu amewachagua ninyi

Kum 30:19 lazima uchague uzima

Yos 24:15 jichagulieni mtakayemtumikia

Lu 10:1 Bwana akachagua 70

Mdo 26:16 nikuchague uwe mtumishi na

1Ko 1:27 Mungu alivichagua vitu vipumbavu

2Th 2:13 Mungu aliwachagua

Kum 12:11; Yos 20:9; Ne 1:9; Zb 79:11; Isa 7:15; Zek 1:17; Yoh 15:16; Ro 9:11; 11:28; 1Th 1:4.

CHAGULIWA, Da 11:15 watu waliochaguliwa

Ro 11:5 mabaki kulingana na kuchaguliwa

1Pe 2:4 lililochaguliwa, kwa Mungu

2Pe 1:10 fanyeni kuchaguliwa kwenu hakika

Ufu 17:14 walioitwa na waliochaguliwa

1Nya 12:31.

CHAKAA, Kum 29:5 mavazi hayakuchakaa

Isa 51:6 dunia itachakaa kama nguo

2Ko 4:16 mtu wa nje anachakaa

Ebr 8:13 la zamani kuchakaa

CHAKULA, 1Fa 19:8 nguvu za chakula kile

Mt 24:45 chakula wakati unaofaa?

Yoh 4:34 Chakula, mapenzi ya Baba

Yoh 6:27 kazi, si chakula kiharibikacho

Yoh 6:55 mwili wangu ni chakula

Ro 14:15 chakula, kuhuzunisha ndugu

1Ti 6:8 tukiwa na chakula

Ebr 5:14 chakula kigumu ni cha

Zb 136:25; Mt 6:25; Mdo 2:46; 14:17; 1Ko 8:13.

CHANGAMANA, 1Ko 5:11.

CHANGAMKA, Met 11:10 Mji huchangamka

Isa 61:6 kuchangamka katika utukufu

CHANGANYA, 2Ko 4:2 kulichanganya neno la

CHANGANYIKA, Ezr 9:2.

CHANGANYIKIWA, Kum 28:28.

CHANZO, 1Ti 6:10 kupenda pesa ni chanzo

CHECHEMEA, Mik 4:7 akichechemea, mabaki

CHEKA, Mwa 18:13 Kwa nini Sara amecheka

Zb 2:4 aketiye mbinguni atacheka

Zb 37:13 Yehova atamcheka

Met 1:26 nitacheka taabu yenu

Yer 20:7 nikachekwa mchana kutwa

Hab 1:10 linawacheka maofisa

Lu 6:25 Ole, mnaocheka sasa

Mwa 18:15; 21:6; Zb 59:8; Mhu 3:4.

CHEKUNDU, Mwa 25:30.

CHELEWA, Amu 5:28 gari la vita limechelewa

Isa 46:13 wokovu hautachelewa

CHELEWESHWA, Met 13:12; Eze 12:25, 28

CHEMA, Mwa 1:31 kila kitu, chema sana

CHEMCHEMI, Mwa 7:11 chemchemi za kilindi

Zb 36:9 chemchemi ya uzima

Met 10:11 mwadilifu ni chemchemi

Yer 2:13 chemchemi ya maji yaliyo hai

Yoh 4:14 chemchemi ya maji

Yak 3:11 Chemchemi haitokezi

2Pe 2:17 chemchemi zisizo na maji

Ufu 7:17 kuwaongoza kwenye chemchemi

Mwa 16:7; 49:22; Met 13:14; Isa 41:18; Yak 3:11; Ufu 16:4.

CHENGA-CHENGA, Law 2:14 chenga-chenga za

CHEO, 1Nya 9:22 waliwaagiza katika vyeo

Zb 146:3 Msiwategemee watu wenye vyeo

Isa 23:9 dharau wote wenye vyeo

Mdo 1:20 Cheo chake mwingine akichukue

Mdo 17:4 wanawake wenye vyeo

Ro 13:1 na Mungu katika vyeo vyao

1Ko 1:26 wa uzawa wa cheo

2Ko 11:12 sawa nasi katika cheo

1Ti 2:2 walio katika cheo cha juu

1Ti 3:1 cheo cha mwangalizi

Ayu 12:21; Zb 107:40; 118:9; Yer 27:20; 39:6; Lu 19:12.

CHETEZO, Ebr 9:4 chetezo cha dhahabu na

CHETI, Kum 24:1; Mt 19:7.

CHEUA, Law 11:3; Kum 14:6.

CHEUPE, Ufu 20:11 kiti kikubwa cheupe

CHEZA, Ayu 40:20; 41:5; Zb 104:26.

CHEZACHEZA, Mwa 26:8.

CHEZEA, Amu 16:10 Tazama! Umenichezea

CHIMBA, Met 26:27 Anayechimba shimo

Mwa 50:5; Yer 18:20.

CHINI, 1Ko 4:1 tuko chini ya Kristo

CHINJA, Mdo 10:13 Petro, chinja ule

Eze 34:3.

CHINJWA, Zb 44:22 kondoo wa kuchinjwa

Yer 25:34 siku za kuchinjwa zimetimia

Ufu 5:12 Mwana-Kondoo aliyechinjwa

CHIPUKA, Zb 72:7 mwadilifu atachipuka

Zb 92:7 waovu wanapochipuka

Isa 66:14 mifupa yenu itachipuka

Ebr 9:4 fimbo ya Haruni iliyochipuka

CHIPUKIZI, Yer 23:5 nitamsimamishia chipukizi

Da 11:7 anayetoka katika chipukizi

Zek 3:8 namleta ndani Chipukizi

Isa 14:19; 61:11; Yer 33:15; Zek 6:12.

CHIPUSHA, Isa 4:2 ambacho Yah anachipusha

CHOCHEA, Amu 13:25 roho ikamchochea

1Fa 21:25 Yezebeli alimchochea

Yer 43:3 Baruku anakuchochea

Ro 7:8 kuchochewa na amri

Ro 10:19 Nitachochea wivu

1Ko 10:22 tunamchochea Yehova

Ga 5:13 uhuru kuuchochea mwili

2Ti 1:6 uichochee kama moto

Ebr 3:16 wakachochea hasira kali?

Ebr 10:24 kuchocheana katika upendo

Yos 15:18; Amu 1:14; 1Nya 21:1; Ayu 2:3.

CHOKA, Amu 8:4 wakiwa wamechoka

Met 25:25 nafsi iliyochoka

Isa 40:28 hachoki wala hazimii

Isa 40:29 anampa nguvu aliyechoka

Isa 40:31 watatembea wala hawatachoka

Yer 15:6 Nimechoka kujuta

Da 8:27 Danieli, akachoka

CHOKAA, Isa 44:13 kuinakili kwa chokaa

Eze 13:11, 14 lipu kwa chokaa

Eze 22:28 kutumia chokaa, wakiona

Mt 23:27; Mdo 23:3.

CHOKOZEKA, 1Ko 13:5 upendo hauchokozeki

Efe 4:26 jua lisitue, kuchokozeka

CHOMA, Isa 43:2 moto hautakuchoma

Yoh 19:34 akachoma ubavu mkuki

Yoh 19:37 Watamtazama waliyemchoma

1Ti 6:10 wamejichoma kwa maumivu

Ufu 1:7 na wale waliomchoma

Zb 69:26; Zek 12:10.

CHOMBO, Zb 2:9 Utawavunja kama chombo

Zb 71:22 chombo cha kinanda

Yer 25:34 chombo kinachotamanika!

Mt 25:4 mafuta katika vyombo vyao

Mdo 9:15 chombo kilichochaguliwa

Ro 9:21 chombo, cha kuheshimika

Ro 9:22 vyombo vya ghadhabu

2Ko 4:7 hazina katika vyombo

Ufu 2:27 watavunjwa kama vyombo

Mwa 24:53; Kut 3:22; 1Sa 9:7; 1Fa 7:51.

CHOMBO CHA UDONGO, Mk 14:13; Lu 22:10.

CHOMOZA, Mhu 1:5 jua limechomoza

2Pe 1:19 nyota ya mchana ichomoze

CHOMWA, Isa 53:5 akichomwa kwa ajili yetu

Yer 51:52; Omb 4:9.

CHONGA, Met 9:1 Hekima imechonga nguzo

2Ko 3:7 sheria ambazo zilichongwa

CHONGEA, Law 19:16 Usizunguke ili kuchongea

Zb 101:5 anayemchongea mwenzake

2Sa 19:27; Zb 15:3.

CHOSHA, Mhu 1:8 Mambo yote yanachosha

CHOSHWA, Zb 22:24 hakuchoshwa na mateso

CHUI, Yer 13:23 chui madoa yake?

Wim 4:8; Isa 11:6; Da 7:6; Ufu 13:2.

CHUJA, Isa 25:6 divai, iliyochujwa

CHUKI, Zb 139:22 Kwa chuki kamili

Met 27:6 busu za mwenye chuki

Ro 12:9 chukieni maovu

Ga 4:14 hamkutema mate kwa chuki

Mwa 27:46; Law 20:23; Hes 21:5; 1Fa 11:25; Zb 25:19; Met 3:11; 10:12; Eze 23:29; Da 12:2; Ro 2:22.

CHUKIA, Kut 18:21 wanaochukia faida

Kum 19:6 akimchukia hapo kwanza

Ayu 19:19 rafiki wananichukia

Zb 5:6 Yehova anachukia mmwagaji-damu

Zb 11:5 Yah amchukia mwenye jeuri

Zb 78:59 Mungu akachukia Israeli sana

Zb 89:38 unaendelea kuchukia

Zb 97:10 chukieni mabaya

Zb 106:24 wakaichukia nchi yenye

Zb 119:163 Nimeuchukia uwongo

Met 1:29 walichukia ujuzi

Met 6:16 Yah huchukia vitu sita

Met 8:13 Kuogopa Yehova, kuchukia baya

Met 15:10 anayechukia karipio

Met 28:16 anayechukia faida isiyo haki

Mhu 3:8 na wakati wa kuchukia

Mt 5:43 kumchukia adui

Mt 6:24 atamchukia mmoja

Mt 24:9 mtachukiwa na mataifa

Lu 6:22 Wenye furaha mnapochukiwa

Lu 6:27 kufanyia mema wanaowachukia

Lu 14:26 hamchukii baba na mama

Yoh 3:20 huchukia nuru na

Yoh 7:7 Ulimwengu unanichukia

Yoh 12:25 anayeichukia nafsi yake

Yoh 15:19 ulimwengu unawachukia

Yoh 17:14 ulimwengu umewachukia

Ro 7:15 ninalochukia ninalifanya

Ro 9:13 nilimchukia Esau

Ebr 1:9 ukauchukia uasi-sheria

1Yo 3:15 anayemchukia ndugu yake

1Yo 4:20 bado anamchukia ndugu

Law 11:11; 19:17; Kum 7:26; Zb 21:8; 44:7; 69:4; 106:40; 139:21; Met 5:12; 13:24; Mt 10:22; Yoh 15:18, 25; Tit 3:3; Yud 23; Ufu 17:16.

CHUKIZA, Kum 14:3 Usile chenye kuchukiza

Kum 27:15 sanamu, kitu kinachochukiza

Law 11:10, 43; 20:13, 25; Kum 29:17; Tit 1:16.

CHUKIZO, Met 3:32 mwenye hila ni chukizo

Met 12:22 Midomo ya uwongo ni chukizo

Met 14:20 Maskini ni chukizo

Met 16:5 kiburi moyoni ni chukizo

Met 28:9 sala yake ni chukizo

Isa 66:24 mizoga itakuwa chukizo

Eze 9:4 wanaougua, machukizo

Da 11:31 chukizo linalosababisha ukiwa

Nah 3:6 nitakutupia machukizo

Mt 24:15 mtakapoona lile chukizo, ukiwa

Lu 16:15 kilichoinuka, chukizo kwa Mungu

Ufu 17:4 kikombe, kilichojaa machukizo

Ufu 17:5 Babiloni, mama wa machukizo

Mwa 43:32; Law 11:13; Kum 18:9; 2Fa 23:24; 2Nya 28:3; 33:2; Isa 41:24; Yer 7:10, 30; Omb 1:17; Eze 7:19, 20; 23:36; Da 9:27; Zek 9:7; Mal 2:11.

CHUKIZWA, Ebr 3:10 nikachukizwa na kizazi

Ebr 3:17 Mungu alichukizwa, miaka 40?

CHUKUA, Met 8:10 Chukueni nidhamu

Isa 53:4 aliyachukua magonjwa yetu

Ro 11:18 unayeuchukua mzizi, bali mzizi

Ro 15:1 tunapaswa kuchukua udhaifu

Ro 13:4; 1Ko 9:5; Ebr 13:13.

CHUMA, Ayu 41:7 utajaza ngozi yake vyuma

Zb 2:9 kwa fimbo ya chuma

Zb 107:10 wafungwa katika vyuma

Isa 60:17 badala ya chuma, fedha

Da 2:33 miguu ya chuma

1Ti 4:2 dhamiri, alama ya chuma

1Fa 6:7; Yer 1:18; 28:14; Ufu 2:27; 12:5.

CHUMBA, Ebr 9:6 huingia katika chumba cha

CHUMBA CHA JUU, Mdo 1:13; 9:37; 20:8.

CHUMBA CHA NDANI KABISA, 1Fa 6:5; Zb 28:2.

CHUMBA CHA NDOA, Zb 19:5; Yoe 2:16.

CHUMBIA, Kum 28:30 chumbia mwanamke

Ho 2:19, 20 nitakuchumbia uwe wangu

2Ko 11:2 niliwachumbia mume

Kut 22:16; Kum 22:23, 25, 27, 28.

CHUMVI, Mwa 19:26 akawa nguzo ya chumvi

Hes 18:19 agano la chumvi

Mt 5:13 chumvi ya dunia

Kol 4:6 Maneno yakolezwe chumvi

Law 2:13; 2Fa 2:21; Ayu 6:6; Mk 9:50.

CHUNGA, Mdo 20:28 kulichunga kutaniko

1Pe 5:2 Lichungeni kundi la Mungu

Ufu 7:17 Mwana-Kondoo atawachunga

Ufu 12:5 atakayechunga mataifa yote

CHUNGU, Kut 12:8; Isa 24:9.

CHUNGU CHA KUPIKIA, Hes 11:8; Amu 6:19.

CHUNGULIA, 1Pe 1:12 Malaika, kuchungulia

CHUNGUZA, Law 13:36 kuhani asichunguze

1Nya 28:9 anaichunguza mioyo

Zb 11:5 Yehova huchunguza mwadilifu

Zb 26:2 Unichunguze, Ee Yehova

Zb 139:1 Yehova, umenichunguza kabisa

Zb 139:23 Unichunguze kabisa, Ee Mungu

Met 25:2 kuchunguza jambo kabisa

Mhu 1:13 moyo kuchunguza hekima

Mhu 2:3 Nikachunguza kwa moyo

Mhu 7:25 na kuchunguza hekima

Isa 40:28 haiwezekani kuchunguza

Yer 17:10 Mimi ninauchunguza moyo

Yoh 5:39 mnayachunguza Maandiko

Mdo 7:31 Musa akaribia kuchunguza

Mdo 17:11 wakachunguza Maandiko

Ro 8:27 ambaye huichunguza mioyo

1Ko 2:10 roho huchunguza mambo yote

1Ko 2:14 hayo huchunguzwa kiroho

1Ko 2:15 wa kiroho, huchunguza mambo

1Ko 2:15 hachunguzwi na mwanadamu

1Ko 4:3 jambo dogo ninyi mnichunguze

1Ko 4:3 sijichunguzi mwenyewe

1Ko 4:4 anayenichunguza ni Yehova

1Ko 11:28 acheni mtu ajichunguze

1Pe 1:11 Walichunguza majira

Ufu 2:23 ninayechunguza figo na mioyo

1Fa 3:21; Zb 11:4; 139:23; Met 18:17; 28:11; Yer 9:7; 11:20; 20:12; 1Ko 14:24.

CHUNGUZIKA, Ro 11:33.

Ayu 5:9; 9:10; Zb 145:3; Met 25:3.

CHURA, Kut 8:2 pigo la vyura

Ufu 16:13 maneno kama vyura

D

DADA, 1Ti 5:2 wanawake vijana kama dada

DAGONI, 1Sa 5:3 Dagoni alianguka kifudifudi

Amu 16:23; 1Sa 5:2, 4, 5, 7.

DAI, Mwa 42:22 damu yake inadaiwa

Zb 89:22 Hakuna adui atakayemdai

Eze 33:6 nitaidai kutoka mkononi mwa mlinzi

Eze 34:10 nitadai kondoo zangu

Lu 12:48 atadaiwa mengi

Flm 18 ikiwa ana deni lako, unidai

DAI DENI, 1Sa 22:2 mtu anayewadai deni

DAI HALALI, Zb 140:12 Dai halali la mtesekaji

DAI LA HAKI, 2Sa 19:28.

DAIMA, Da 6:16, 20 unayemtumikia daima

Efe 6:18 kukaa macho daima

1Th 1:3 daima sisi hukumbuka

Ebr 7:3 akiwa kuhani daima

Isa 57:16; Amo 1:11; Ebr 10:12, 14.

DAIWA, Lu 11:50 damu kudaiwa

DAKIKA, 2Ko 4:17 dhiki ni ya dakika

DAMASKO, 2Sa 8:6; Isa 7:8; Mdo 9:2.

DAMU, Mwa 9:4 damu yake—msile

Law 7:26 msile damu yoyote

Law 17:11 nafsi ya mwili iko katika damu

Law 17:13 ataimwaga damu na kuifunika

Law 17:14 Hamtakula damu ya mwili

Hes 35:12 kumkimbia mlipiza-kisasi cha damu

Hes 35:33 damu ndiyo inaichafua nchi

1Nya 11:19 jambo lisilowaziwa ninywe damu

Zb 5:6 anayemwaga damu Yehova

Yer 2:34 alama za damu za nafsi za maskini

Mik 3:10 umwagaji wa damu

Mt 26:28 hii ni damu yangu ya agano

Yoh 6:54 na kunywa damu yangu ana uzima

Mdo 15:20 wajiepushe na damu

Mdo 15:29 kuendelea kujiepusha na damu

1Ko 15:50 nyama na damu haviwezi kuurithi

Ebr 9:22 damu isipomwagwa hakuna msamaha

1Yo 1:7 damu ya Yesu hutusafisha kutoka

Ufu 18:24 ilipatikana damu ya watakatifu

Mwa 4:10; Met 6:17; Eze 3:18; Mt 23:35; 27:25; Mdo 20:28; Ebr 9:20; Ufu 7:14; 14:20.

DANGANYA, Law 6:3 adanganye kuhusu hicho

Law 19:11 wala msidanganye

Met 11:1 mizani ya kudanganya

Oba 3 Kimbelembele kimekudanganya

Zek 13:4 kwa kusudi la kudanganya

Kol 2:4 mtu asiwadanganye

Met 20:23; Yer 29:8; 37:9; Ro 3:13; 2Ko 6:8; Efe 5:6; Tit 1:10.

DANI, Amu 5:17 Dani, kwa nini alikaa melini?

Mwa 30:6; 46:23; 49:16; Kum 33:22.

DANIELI, Da 12:9 Danieli, maneno yamefungwa

Eze 14:20; Da 6:2; 12:4; Mt 24:15.

DANSI, Amu 11:34 akipiga na kucheza dansi!

Kut 15:20; 32:19; 1Sa 18:6; Zb 30:11; 149:3; Omb 5:15; Lu 15:25.

DARAJA, 1Ko 15:23 kila mmoja daraja lake

DARAKA, 1Fa 4:7 alikuwa na daraka la kuandaa

Ebr 5:9 daraka la wokovu

DARIKI, 1Nya 29:7 dariki elfu kumi na fedha

Ezr 8:27 yenye thamani ya dariki 1,000

DARIO, Ezr 6:12; Da 6:28; Hag 1:1.

DATHANI, Hes 26:9; Kum 11:6; Zb 106:17.

DAUDI, 1Sa 18:3 Yonathani na Daudi

Mt 21:9 Mwokoe Mwana wa Daudi

Lu 20:41 Kristo ni mwana wa Daudi?

Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni

1Sa 16:13; Zb 89:3; Isa 9:7; Mdo 2:29.

DAWA, Mwa 50:2 wakampaka Israeli dawa

Met 17:22 Moyo wenye shangwe ni dawa

DEBORA, Amu 4:9, 14; 5:1, 7, 12, 15.

DEKAPOLI, Mt 4:25; Mk 5:20; 7:31.

DELILA, Amu 16:4, 6, 10, 12, 13, 18.

DENI, Ro 4:4 malipo huhesabiwa ni deni

Ro 13:8 Msiwe na deni la mtu

2Fa 4:7; Ne 10:31; Mt 6:12; 18:27; Lu 7:41; 13:4; Ro 1:14; 15:27.

DESTURI, 1Nya 15:13 kulingana na desturi

Yer 10:3 desturi ni pumzi

Mdo 16:21 nao wanatangaza desturi

Flp 2:29 mkaribisheni kama ilivyo desturi

Ebr 10:25 desturi, bali tutiane moyo

Law 18:30; Mdo 6:14; 15:1; 26:3; 1Ko 11:16.

DHABIHU, 1Sa 15:22 kutii ni bora kuliko dhabihu

Zb 40:6 Hukupendezwa na dhabihu

Yer 46:10 Yehova ana dhabihu katika nchi

Da 9:27 atakomesha dhabihu

Ho 6:6 ninapendezwa na fadhili, si dhabihu

Sef 1:7 Yehova ametayarisha dhabihu

Mal 1:8 kipofu kuwa dhabihu

Mt 9:13 Ninataka rehema, wala si dhabihu

Ro 12:1 mtoe miili yenu iwe dhabihu

1Ko 10:20 huvitoa dhabihu kwa roho waovu

Ebr 10:12 dhabihu moja kwa ajili ya dhambi

Ebr 10:26 dhambi kimakusudi hakuna dhabihu

Ebr 13:15 dhabihu ya sifa

Zb 50:5; 51:17; Met 21:3; Eze 39:17; Efe 5:2; Ebr 10:1; 1Pe 2:5.

DHABIHU YA DAIMA, Da 8:11; 11:31; 12:11.

DHABIHU YA USHIRIKA, Kut 20:24; Law 3:1.

DHAHABU, Met 16:16 hekima kuliko dhahabu!

Eze 7:19 dhahabu yao itakuwa chukizo

Sef 1:18 dhahabu haitawakomboa

Hag 2:8 Fedha na dhahabu ni yangu

Mal 3:3 atawasafisha kama dhahabu

Yak 5:3 Dhahabu, fedha zimeliwa

Kut 12:35; Zb 19:10; Met 8:10; Ufu 21:18, 21.

DHAIFU, Yer 31:12 hawatakuwa dhaifu tena

Yer 31:25 nitaijaza nafsi iliyo dhaifu

Da 2:42 ufalme huo utakuwa dhaifu

Yoe 3:10 Aliye dhaifu aseme:

Mt 26:41 lakini mwili ni dhaifu

1Ko 1:25 kitu dhaifu cha Mungu

1Ko 1:27 Mungu alichagua vitu dhaifu

1Ko 12:22 viungo vinavyoonekana dhaifu

1Th 5:14 tegemezeni walio dhaifu

DHAMANA, Mwa 43:9; Met 11:15; 17:18; 27:13.

DHAMBI, Mwa 4:7 kuna dhambi inayovizia

Hes 32:23 dhambi yenu itawafikia

1Fa 8:46 hakuna asiyetenda dhambi

Zb 19:12 dhambi zilizofichwa

Zb 32:1 Mwenye furaha dhambi yake

Zb 51:5 alinichukua mimba katika dhambi

Zb 79:9 kufunika dhambi zetu

Isa 1:18 Hata dhambi zikiwa nyekundu

Isa 6:7 dhambi imefanyiwa upatanisho

Yer 31:34 dhambi yao sitaikumbuka

Mt 12:31 dhambi juu ya roho

Mk 3:29 hatia ya dhambi ya milele

Mdo 3:19 dhambi zenu zipate kufutwa

Ro 3:23 wote wamefanya dhambi

Ro 4:8 hatahesabu dhambi yake

Ro 5:12 dhambi iliingia ulimwenguni

Ro 5:21 dhambi ilivyotawala

Ro 6:6 mwili wetu wenye dhambi

Ro 6:23 mshahara ambao dhambi

Ro 7:7 singejua dhambi kama

Ro 7:13 dhambi iwe dhambi zaidi

Ro 8:2 sheria ya dhambi na kifo

1Ko 6:18 anautendea dhambi mwili

2Ko 5:21 alimfanya kuwa dhambi

Efe 4:26 lakini msitende dhambi

Ebr 10:17 sitazikumbuka dhambi zao

Ebr 10:26 kutenda dhambi kimakusudi

Ebr 12:1 dhambi ambayo hututatanisha

Yak 1:15 tamaa huzaa dhambi

Yak 4:17 hiyo ni dhambi

1Yo 3:8 akifanya dhambi tangu mwanzo

Ufu 18:4 ikiwa hamtaki kushiriki dhambi

Eze 33:14; Mt 26:28; Yoh 1:29; Mdo 10:43; Ro 14:23; 1Ti 5:24; Ebr 10:12; 11:25; Yak 5:15; 1Yo 1:8, 9; 2:1; 5:16.

DHAMIRI, Ro 9:1 dhamiri inatoa ushahidi

1Ko 10:29 unahukumiwa na dhamiri ya mtu

1Ti 1:19 ukishika imani na dhamiri njema

1Ti 4:2 waliotiwa alama katika dhamiri zao

Ebr 9:14 itazisafisha dhamiri na matendo

Mdo 23:1; 1Ko 8:12; 2Ko 1:12; 1Pe 3:16, 21.

DHANI, Yak 1:7 mtu huyo asidhani atapokea

DHARA, Isa 11:9; 2Th 3:2.

DHARAU, Kum 32:19 Mungu akawadharau

2Nya 30:10 mzaha na kuwadharau

Zb 2:4 Yehova atawadharau

Zb 51:17 Moyo uliovunjika, hutaudharau

Zb 74:18 kimelidharau jina lako

Met 1:7 Wapumbavu wamedharau hekima

Met 15:5 mpumbavu hudharau nidhamu

Omb 1:8 wamemtendea kwa dharau

Eze 16:31 kudharau malipo

Sef 3:4 Manabii walikuwa na dharau

2Ko 10:10 maneno yenye kudharaulika

Ga 4:14 hamkulitendea kwa dharau au

1Th 2:2 tumetendewa kwa dharau

Tit 2:15 mtu asikudharau

Ebr 10:29 tendea kwa dharau fadhili

2Fa 19:3; Est 3:6; Ayu 31:34; Zb 44:13; 59:8; 74:10; 107:40; Met 6:30; 11:12; 18:3; 23:9, 22; 30:17; Mhu 9:16; Isa 23:9; 33:19; 37:3; Eze 2:4; 17:19; Oba 2; Mt 5:22; 22:6; Lu 18:32; Mdo 14:5; Ro 1:30.

DHARAU LA MOYO, Isa 9:9; Omb 3:65.

DHARAULIWA, Isa 53:3.

1Ko 1:28 vitu vinyonge na vinavyodharauliwa

Met 12:8.

DHIHAKA, 1Fa 18:27 Eliya akawafanyia dhihaka

Zb 1:1 kiti cha wenye dhihaka

Met 3:34 Atawadhihaki wenye dhihaka

Met 14:6 mwenye dhihaka

Met 19:25 umpige mwenye dhihaka

Ebr 11:36 walipata jaribu kwa dhihaka

Zb 44:13; 79:4; Met 1:22; 9:7; 13:1; 15:12; 19:29; Yer 20:8; Eze 23:32; Ho 7:16; Mt 27:29.

DHIHAKI, Mwa 21:9 wa Hagari, akidhihaki

2Fa 2:23 kumdhihaki Elisha

2Nya 36:16 kuwadhihaki wajumbe

Met 19:28 Shahidi hudhihaki haki

Met 27:11 nipate kumjibu anayenidhihaki

Lu 14:29 watazamaji wamdhihaki

Mdo 17:32 ufufuo, wakaanza kudhihaki

Mwa 21:9; Isa 28:22; Eze 22:5; Hab 1:10; Lu 18:32; 22:63.

DHIHAKIWA, Ayu 12:4 mtu wa kudhihakiwa

Ga 6:7 Mungu si wa kudhihakiwa

DHIKI, Mt 24:9 watakapowatia katika dhiki

Mt 24:21 kutakuwa na dhiki kuu

Yoh 16:33 Ulimwenguni mna dhiki

Ro 12:12 Vumilieni chini ya dhiki

1Ko 7:28 dhiki katika mwili

2Ko 1:4 hutufariji katika dhiki yetu

2Ko 4:17 ingawa dhiki ni ya dakika

1Th 1:6 mlilipokea neno chini ya dhiki

2Th 1:6 kuwalipa dhiki

Ebr 10:33 mkifunuliwa kwenye dhiki

Ebr 11:37 wakiwa katika dhiki

Yak 1:27 kuwatunza wajane katika dhiki

Ufu 2:10 muwe na dhiki siku kumi

Ufu 7:14 wanaotoka katika dhiki kuu

Mk 4:17; Mdo 7:10; 14:22; 20:23; Ro 2:9; 5:3; 8:35; 2Ko 6:4; Kol 1:24; 1Th 3:3.

DHIKI KALI, Kum 4:30; Omb 1:20; Ho 5:15.

DHOOFIKA, Zb 88:9 Jicho langu limedhoofika

Zb 119:81 Nafsi yangu imedhoofika

Isa 19:8 wavuvi watadhoofika

Ho 4:3 kila mkaaji atadhoofika

1Sa 2:5; Zb 84:2; 119:123.

DHOOFISHA, Yer 38:4 anavyodhoofisha mikono

DHORUBA, 2Fa 2:1 Eliya katika dhoruba

Ayu 38:1; Mt 14:30.

DHURU, Met 12:21 chochote cha kudhuru

Isa 10:1 masharti yenye kudhuru

Isa 65:25 Hawatadhuru wala

Ebr 13:17 kufanya hivyo kungewadhuru

1Pe 3:13 nani atakayewadhuru

Mwa 43:6; 1Sa 25:26; 2Fa 4:41; Ufu 7:2; 9:4.

DIKTETA, Isa 1:10; 3:6.

DIMBWI LA UPOTOVU, 1Pe 4:4.

DINA, Mwa 30:21; 34:1, 3, 5, 13, 26; 46:15.

DINARI, Mt 20:2 dinari moja kwa siku

Mt 20:9 wakapokea dinari

Mk 12:15 Nileteeni dinari

Mt 20:10, 13; 22:19; Lu 20:24.

DINI. Ona pia IBADA.

2Fa 17:26 Samaria hawajui dini

2Fa 17:34 kulingana na dini za kwanza

DIRISHA, Mdo 20:9 ameketi dirishani

Mwa 8:6; Amu 5:28; 2Fa 7:2; Met 7:6; 2Ko 11:33.

DIVAI, Amu 9:13 niiache divai yangu

Zb 104:15 divai, moyo ushangilie

Met 23:31 Usitazame divai nyekundu

Isa 25:6 karamu ya divai

Isa 29:9 Wamelewa, si kwa divai

Isa 55:1 mnunue divai bila pesa

Yer 25:15 kikombe cha divai ya

Yoe 3:18 milima itatiririka divai

Mt 26:29 sitakunywa divai

Yoh 2:9 maji kuwa divai

1Ti 3:8 si kunywa divai nyingi

1Ti 5:23 utumie divai kidogo

Ufu 18:3 divai ya uasherati wake

Amu 13:4; Yer 35:6; Mt 9:17; Efe 5:18.

DIVAI KUPITA KIASI, 1Pe 4:3.

DOA, Yak 1:27 kujitunza bila doa

Yud 23 vazi, mwili umetia doa

Efe 5:27; 1Ti 6:14; 1Pe 1:19; 2Pe 2:13; 3:14.

DOEGI, 1Sa 21:7; 22:22.

DOGO, Mt 2:6 Bethlehemu, si jiji dogo

Lu 12:32 kundi dogo

Lu 16:10 mwaminifu katika dogo

1Ko 4:3 ni jambo dogo sana

1Fa 16:31; 2Fa 3:18; Isa 49:6; Lu 12:26.

DOKEZA, Hab 2:6 maelezo ya kudokeza

DONGE, Ro 9:21 donge lilelile chombo

1Ko 5:7 ili muwe donge jipya

Ga 5:9 huchachusha donge zima

DOSARI, Efe 5:27 kutaniko liwe bila dosari

Flp 2:15 bila dosari katikati ya kizazi kilicho

Yud 24 bila dosari

Efe 1:4; Kol 1:22; 1Pe 1:19; Ufu 14:5.

DOTHANI, Mwa 37:17; 2Fa 6:13.

DRAKMA, Lu 15:8 mwanamke akipoteza drakma

DUA, 2Ko 1:11 mnaweza kusaidia kwa dua

Efe 6:18 kila namna ya sala na dua

Ebr 5:7 Kristo alitoa dua

Yak 5:16 Dua ya mtu mwadilifu

1Pe 3:12 masikio yake yanaelekea dua

DUBU, 1Sa 17:37; Isa 11:7.

DUME, Mwa 7:2 dume na jike

Eze 43:22; 45:23 dume la mbuzi

DUMISHA, Tit 3:8 kudumisha matendo mazuri

DUMU, Isa 26:3 katika amani ya kudumu

Yoh 6:27 chakula kinachodumu kufikia

Ro 12:12 Dumuni katika sala

Kol 4:2 kudumu katika sala

1Ti 5:5 anadumu katika sala

Ebr 10:34 miliki yenye kudumu

1Pe 1:23 Mungu anayedumu

1Pe 1:25 neno la Yehova ladumu milele

1Yo 2:17 anayefanya mapenzi anadumu

Yer 15:18; 30:12; 49:19; 50:44; Mik 6:2.

DUNIA, Mwa 1:28 mjaze dunia na kuitiisha

Zb 24:1 Dunia ni ya Yehova

Zb 37:29 Waadilifu wataimiliki dunia

Zb 100:1 mpigie Yehova kelele, dunia yote

Zb 115:16 dunia amewapa binadamu

Mhu 1:4 dunia inasimama milele

Isa 14:12 ulivyoanguka, kwenye dunia

Isa 45:18 aliumba dunia ikaliwe

Isa 60:2 giza litaifunika dunia

Isa 65:17 ninaumba dunia mpya

Isa 66:1 dunia, kiti cha miguu yangu

Hab 2:14 dunia, itajaa kuujua utukufu

Mt 5:5 tabia-pole, watairithi dunia

Lu 2:14 na amani juu ya dunia

2Pe 3:5 dunia ikisimama imara

Ufu 12:12 Ole wa dunia na bahari

Zb 45:16; Met 10:30; Yoh 3:12; 2Pe 3:13; Ufu 21:1.

DUNIA INAYOKALIWA, Mt 24:14.

Lu 4:5 falme za dunia inayokaliwa

Mdo 17:6 wamepindua dunia inayokaliwa

Ufu 16:14 wafalme wa dunia inayokaliwa

Mdo 17:31; Ro 10:18; Ebr 1:6; 2:5; Ufu 3:10; 12:9.

E

EBALI, Mwa 36:23; Kum 11:29; 27:4; Yos 8:30.

EBED-MELEKI, Yer 38:7, 8, 10, 11, 12; 39:16.

EBERI, Mwa 10:21, 24; 11:16; Lu 3:35.

EDENI, Mwa 2:15 akamweka Edeni, aitunze

Isa 51:3 atafanya nyika kama Edeni

Eze 28:13 Ulikuwa katika Edeni

Eze 36:35 nchi imekuwa kama Edeni

Mwa 2:8; 3:23, 24; Yoe 2:3.

EDOMU, Mwa 25:30; 36:8; Yer 49:7; Oba 1.

EDREI, Hes 21:33; Yos 12:4; 13:31; 19:37.

EFA, Kum 25:15 efa sahihi na haki

Kut 16:36; Law 19:36; Eze 45:11.

EFESO, 1Ko 15:32; Ufu 2:1.

EFODI, Kut 28:6; 1Sa 23:9; 30:7; Ho 3:4.

EFRAIMU, Mwa 41:52; Yos 14:4; Zb 78:67.

EFRATHA, Ru 4:11; Zb 132:6; Mik 5:2.

EFRATI, Mwa 2:14; 15:18; Ufu 9:14.

EGLONI, Yos 10:3; Amu 3:12, 14, 15, 17.

EHUDI, Amu 3:15, 21; 4:1.

ELEA, Mwa 7:17 safina ikaelea juu ya dunia

Ayu 37:16 kuelea kwa wingu

ELEALE, Hes 32:3, 37; Yer 48:34.

ELEAZARI, Kut 6:23; Hes 20:26; Kum 10:6.

ELEKEA, 1Fa 8:48 wasali kuelekea nyumba hii

Amu 9:3; Met 4:27.

ELEKEZA, 1Nya 21:10 ninayaelekeza kwako

Zb 21:11 wamekuelekezea mabaya

Zb 31:3 utaniongoza na kunielekeza

1Ko 9:26 ninavyoelekeza ngumi zangu

1Ko 12:28 uwezo wa kuelekeza

2Th 3:5 kuielekeza mioyo yenu kwa mafanikio

Zb 17:11.

ELEWA, Zb 119:27 Unifanye nielewe njia

Zb 119:34 Unifanye nielewe

Met 28:5 wanaweza kuelewa kila jambo

Isa 6:9 Sikieni tena na tena, msielewe

Da 12:8 lakini sikuweza kuelewa

Da 12:10 hakuna waovu watakaoelewa

Mt 13:14 mtasikia lakini hamtaelewa

Zb 82:5; Isa 43:10; Da 9:22.

ELEWEKA, Zb 114:1 maneno yasiyoeleweka

Yer 33:3 mambo yasiyoeleweka

Ro 1:20 sifa zinaeleweka kwa vitu

1Ko 14:9 maneno yenye kueleweka

ELEWESHA, Ayu 6:24 mnieleweshe kosa

ELEZA, Mdo 15:14 Simioni ameeleza

ELEZEKA, 2Ko 9:15 zawadi isiyoelezeka

ELFU, Kum 7:9 mpaka vizazi elfu

1Fa 19:18 nimewaacha watu elfu saba

Ayu 33:23 Msemaji, mmoja kati ya elfu

Zb 50:10 walio juu ya milima elfu moja

Zb 84:10 kuliko siku elfu kwingineko

Zb 91:7 Elfu wataanguka upande wako

Isa 60:22 Mdogo atakuwa elfu

Ufu 14:1 pamoja naye 144,000

ELI, 1Sa 1:3; 2:11; 3:15; Mt 27:46.

ELIFAZI, Ayu 2:11; 42:7, 9.

ELIHU, Ayu 32:2; 34:1; 35:1; 36:1.

ELIMA, Mdo 13:8 Elima mlozi

ELIMISHWA, Mdo 13:1 Manaeni aliyeelimishwa

ELIMU, Mdo 4:13 watu wasio na elimu

ELISHA, 2Fa 4:32 Elisha, mvulana amekufa

2Fa 6:17 magari yamemzunguka Elisha

1Fa 19:16, 19; 2Fa 2:2, 9, 15; 5:8; 6:18.

ELIYA, 1Fa 18:21 Eliya: Mtayumba-yumba

2Fa 2:9 Eliya akamwambia Elisha: Omba lile

2Fa 2:11 Eliya akapanda katika upepo

1Fa 18:36, 40; Mal 4:5; Mt 17:11, 12.

EMAU, Lu 24:13 kijiji kinachoitwa Emau

ENDA, Mwa 1:2 nguvu zilikuwa zikienda

ENDELEA, Flp 1:12, 25.

ENDESHA, Yer 51:36 ninaendesha kesi yako

Mdo 27:5 tukaendesha kupitia bahari

2Ko 1:12 tumejiendesha katika ulimwengu

Efe 4:23 nguvu zinazoendesha akili

Zb 43:1; 74:22; 119:154; Yer 50:34.

EN-DORI, Yos 17:11; 1Sa 28:7.

ENEA, 1Ko 7:2 kuenea kwa uasherati

ENEO, Zb 147:14 amani katika eneo lako

Yer 31:17 watarudi katika eneo lao

Mik 5:6 anapokanyaga juu ya eneo

Mal 1:4 eneo la uovu

Mt 13:57 ila katika eneo la nyumbani

Ro 15:23 sina tena eneo lisiloguswa

Efe 4:9 alishuka maeneo ya chini

Kum 3:4; Yos 19:29; Zb 78:54; Yoe 3:6; Amo 1:13; Sef 2:8; Mt 4:16; 2Ko 10:15.

ENEO LENYE MILIMA LA SEIRI, Mwa 36:8; 2Nya 20:10, 22, 23; Eze 35:3, 7, 15.

ENEZA, 1Sa 2:24 habari wanazoeneza

ENOKO, Mwa 5:22 Enoko akatembea na Mungu

Mwa 5:24; Lu 3:37; Ebr 11:5; Yud 14.

EPUKA, Isa 47:11 shida, hutaweza kuiepuka

Isa 53:3 kuepukwa na wanadamu

2Ko 11:27 kuepukana na chakula

1Th 4:3 mjiepushe na uasherati

1Ti 4:3 kujiepusha na vyakula

2Ti 2:16 epuka maneno matupu

Tit 3:9 epuka mapigano juu ya Sheria

1Pe 2:11 kujiepusha na tamaa za kimwili

Hes 30:2; Zek 7:3; Mdo 27:21.

ESAU, Mwa 25:34 Esau, haki ya kuzaliwa

Yer 49:10 nitamvua Esau awe uchi

Oba 18 nyumba ya Esau, majani makavu

Mwa 25:27, 30; 36:8; Oba 21; Ebr 12:16.

ESTA, Est 2:7; 7:6; 8:2.

ETHIOPIA, 2Fa 19:9; Est 1:1; Isa 20:5.

EUNIKE, 2Ti 1:5 mama yako Eunike

EZEKIELI, Eze 1:3; 24:24.

EZRA, Ezr 7:6; 10:1; Ne 8:1, 6.

F

FAA, Est 7:4 taabu hii haifai ikiwa

Yer 23:13 nimeona jambo lisilofaa

Da 8:14 patakatifu, hali inayofaa

Mt 12:36 kila neno lisilofaa

Lu 3:8 matunda yanayofaa toba

Ga 6:10 tukiwa na wakati unaofaa

Kol 1:12 Baba aliyewafanya mfae

1Ti 3:10 wajaribiwe juu ya kufaa

Ebr 7:18 kutofaa kwa amri

Yak 3:10 Haifai, ndugu, njia hiyo

Kum 23:14; 24:1; Ayu 1:22; 24:12; Zb 116:7; 119:17; 142:7; Mt 3:15; 1Ko 11:13; Tit 2:1; Ebr 2:10; 7:26.

FADHAA, Ayu 41:25 hutatanishwa na fadhaa

FADHAIKA, Zb 4:4 fadhaikeni, msitende dhambi

Zb 99:1 Vikundi vya watu na vifadhaike

1Pe 3:14 msikiogope, msifadhaike

Mwa 40:6; Kut 15:14; Kum 2:25; Yoe 2:1, 10; Mk 14:33; 16:5; Lu 9:7; Mdo 10:17; 17:8.

FADHAISHA, Zb 94:19 Fikira zinazofadhaisha

Isa 13:13 nitaifadhaisha mbingu

Zb 2:5; Isa 22:5.

FADHAISHWA, Mdo 5:24 wakafadhaishwa na

2Ko 4:8 tunafadhaishwa, lakini

FADHILI, 2Sa 11:8 zawadi ya fadhili ya mfalme

Mik 6:8 na kupenda fadhili

Ro 11:22 ukali na fadhili za Mungu

1Ko 13:4 Upendo ni wenye fadhili

2Ko 10:1 upole na fadhili za Kristo

Ga 5:22 tunda la roho, fadhili

Mdo 28:2; 2Ko 6:6; Kol 3:12; Tit 3:4.

FADHILI ZENYE UPENDO, Kut 20:6; 34:6; Zb 13:5; 40:10; 92:2; 107:8; 141:5; Met 3:3; 11:17; Isa 16:5; 54:10; Omb 3:22; Ho 6:6; 12:6; Mdo 13:34.

FADHILI ZISIZOSTAHILIWA, Yoh 1:17; Ro 5:15, 21; 11:6; 2Ko 6:1; 12:9; Efe 2:8; Ebr 2:9; 4:16; 10:29; 12:28; Yak 4:6.

FAFANUA, Ne 8:8 sheria ikafafanuliwa

FAGIA, Lu 15:8 kufagia nyumba yake

FAGILIA MBALI, Kum 9:14.

FAHAMIANA, Ayu 19:14.

FAHAMIKA, 2Ko 2:14 harufu ifahamike

FAHAMU, Kum 32:17 mababu hawakuifahamu

1Fa 8:47 warudiwe na fahamu

Ayu 22:21 fahamiana naye, na udumishe

Mhu 9:5 wafu, hawafahamu lolote

Yoh 20:9 hawakufahamu, lazima afufuliwe

Mdo 4:13 kufahamu hawakuwa na elimu

1Ko 4:4 sifahamu kitu chochote dhidi yangu

Efe 3:18 kufahamu kabisa akilini

Efe 5:17 kufahamu mapenzi ya Yehova

Ebr 5:13 anayetumia maziwa hafahamu

Lu 15:17; Mdo 18:25; 19:15; 26:5.

FAHARI, Zb 89:44 Umeikomesha fahari yake

Zb 136:18 aliua wafalme wenye fahari

Zb 145:12 fahari ya ufalme

Isa 23:18 malipo, kwa mavazi ya fahari

Isa 53:2 hana umbo la fahari

Mdo 2:20 siku kuu na yenye fahari

Efe 5:27 kutaniko likiwa na fahari

2Pe 1:16 kujionea fahari yake

Zb 149:9; Zek 3:4.

FAIDA, Kum 10:13 shika amri, kwa faida yako?

Met 14:23 Kupitia kazi hutokea faida

Mhu 2:13 hekima ina faida kuliko upumbavu

Mhu 7:11 Hekima ni yenye faida

Isa 23:18 faida yake na malipo

Mt 25:27 nikipokea pamoja na faida

Mdo 20:20 mambo yenye faida

1Ko 6:12 si yote yenye faida

1Ko 13:5 upendo hautafuti faida

Flp 2:4 faida za kibinafsi za

Flp 2:21 wanatafuta faida zao

Flp 4:17 yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu

1Ti 4:8 ujitoaji-kimungu ni wenye faida

1Ti 6:6 ujitoaji-kimungu ni faida

2Ti 3:16 limeongozwa, na lenye faida

Tit 3:9 hayana faida

Ebr 12:10 nidhamu kwa faida yetu

Yak 2:16 mkose kumpa, ina faida gani?

Yak 4:13 biashara na kupata faida

Kut 22:25; Law 25:36; Amu 5:19; Ne 5:7; Met 28:8; Mhu 2:11; Isa 44:10; Mt 5:29; 16:26; Yoh 16:7; 1Ko 7:35; 10:33; 12:7; 1Th 2:15; Tit 3:8.

FAIDI, 2Ko 7:2 hatujamtumia kwa kujifaidi

2Ko 12:17, 18.

FALSAFA, Kol 2:8 windo kupitia falsafa

FAMILIA, Mwa 12:3 familia zitajibariki

Zb 107:41 kuwa familia kama kundi

Zek 14:17 familia za dunia kuja Yerusalemu

Efe 3:15 familia hupata jina kwake

Mwa 28:14; Yer 1:15; 10:25; 25:9; Mdo 3:25.

FANANA, Da 10:16 anayefanana na binadamu

FANANISHA, Isa 40:18 fananisha Mungu na nani

Ro 8:29 wafananishwe na mfano

Isa 14:14; 40:18; 46:5.

FANIKISHA, Yos 1:8 utakafanikisha njia

Zb 118:25 Yehova, ufanikishe

1Th 3:11 waifanikishe njia yetu

Zb 37:7; 68:6.

FANIKIWA, 2Nya 20:20 imani, mfanikiwe

Ne 9:25 kufanikiwa katika wema

Zb 1:3 kila analofanya litafanikiwa

Isa 53:10 yatafanikiwa mkononi mwake

Isa 54:17 Silaha yoyote haitafanikiwa

Isa 55:11 neno langu litafanikiwa

Mdo 15:29 Mkijiepusha, mtafanikiwa

Mwa 39:2; Amu 18:5.

FANYA, Mt 24:46 bwana atamkuta akifanya

Efe 2:3 tukifanya ya mwili

Efe 6:6 mkifanya mapenzi ya Mungu

Ro 12:20; Flp 2:3; 1Ti 5:21.

FANYA KOSA, Zb 17:3 Kinywa hakitafanya kosa

FANYIZWA, Ro 12:2 msifanyizwe, na mfumo

1Pe 1:14 msifanyizwe, na tamaa

Isa 43:10 hakuna Mungu aliyefanyizwa

FANYWA, Ga 4:5 tufanywe kuwa wana

FARAGHA, Lu 5:16 faraghani majangwani

Ga 2:2 ninahubiri kwa faragha

FARAJA, Isa 49:13 Yehova amewafariji watu

Isa 61:2 kuwafariji wote wanaoomboleza

Yer 31:15 Amekataa kufarijiwa

Lu 2:25 akingojea faraja ya Israeli

Yoh 11:19 Wayahudi walikuja kumfariji

Ro 15:4 kupitia faraja ya Maandiko

1Ko 14:3 anayetoa unabii huwafariji

2Ko 1:4 tuweze kuwafariji walio katika dhiki

1Th 2:11 kuwafariji na kuwatolea ushahidi

Mwa 37:35; 1Sa 16:23; 2Sa 3:35; Ayu 2:11; Isa 40:1; 66:11; Yer 16:7; Mt 5:4; 2Ko 1:3, 4; Flp 2:1; Kol 2:2.

FARAO, Mwa 41:55 wakaanza kumlilia Farao

Kut 5:2 Farao akasema: Yehova ni nani

Kut 9:13 usimame mbele ya Farao

Ro 9:17 Farao: Kwa sababu hii

Kut 6:29; 14:18; Isa 19:11; Mdo 7:10.

FARASI, Zb 33:17 Farasi ni udanganyifu

Zb 147:10 Hapendezwi na farasi

Ufu 19:11 tazama! farasi mweupe

Kum 17:16; Est 6:8; Isa 31:1; Yer 51:21.

FARASI-DUME, Amu 5:22; Yer 8:16; 50:11.

FARISAYO, Mt 5:20 waandishi na Mafarisayo

Mt 23:26 Farisayo kipofu, safisha

Lu 18:11 Farisayo akaanza kusali

Yoh 12:42 Mafarisayo, hawakumkiri

Mdo 5:34 Farisayo anayeitwa Gamalieli

Mt 12:14; 23:15, 23, 27, 29; Lu 5:21.

FASAHA, Mdo 18:24 Apolo, alikuwa mfasaha

FASIRI, Mt 16:3 Mnajua kufasiri anga

1Ko 12:10 fasiri ya lugha.

1Ko 14:26 mwingine ana fasiri

2Pe 1:20 fasiri ya kibinafsi

FEDHA, Met 2:4 kuutafuta kama fedha

Eze 7:19 watatupa fedha

Sef 1:18 Fedha yao wala dhahabu

Mal 3:3 kama mtakasaji wa fedha

Mt 26:15 vipande 30 vya fedha

Kut 12:35; Met 25:11; Da 2:32; Hag 2:8; Mdo 3:6; Yak 5:3.

FEDHEHA, Met 13:5 waovu hujiletea fedheha

Eze 16:54.

FEDHEHEKA, Zb 35:26 kufedheheka pamoja

Isa 54:4 wala usifedheheke

Zb 35:4; Isa 45:16; 50:7; Yer 22:22; Eze 36:32.

FEDHEHESHA, Da 4:37 kiburi, huwafedhehesha

Lu 23:11 askari, wakamfedhehesha

1Ko 14:35 inafedhehesha mwanamke kusema

Isa 41:11; Ro 1:26; 1Ko 11:6.

FELIKSI, Mdo 23:24; 24:3, 25, 27.

FERUZI, Kut 28:18; Eze 27:16; 28:13.

FESTO, Mdo 24:27; 26:24.

FICHA, Yos 7:22 akaficha pesa hemani

Ayu 14:13 Laiti ungenificha katika Kaburi

Ayu 27:11 sitaficha mambo ya Mungu

Zb 27:5 Atanificha mahali pa siri

Zb 40:10 Sikuficha fadhili zako

Met 22:3 msiba na kujificha

Met 27:5 Karipio kuliko upendo uliofichwa

Isa 29:14 watu wao wenye busara utajificha

Yer 16:17 Hawakufichwa kutoka mbele zangu

Da 2:22 anafunua mambo yaliyofichwa

Sef 2:3 Huenda mkafichwa katika siku

Mt 5:14 Jiji haliwezi kufichwa

Mt 11:25 umewaficha wenye hekima

Lu 8:17 lililofichwa ambalo halitafunuliwa

Lu 9:45 yalifichwa ili wasipate kuyafahamu

1Ko 2:7 hekima iliyofichwa

Efe 3:9 siri takatifu imefichwa

Kol 1:26 siri iliyokuwa imefichwa

Kol 3:3 uhai umefichwa na Kristo

Ufu 2:17 mana iliyofichwa

Kum 29:29; Yos 6:25; Zb 9:15; 89:46; Isa 26:20; 28:15; 30:20; Yer 23:24; 1Ti 5:25; Ufu 6:16.

FIDIA, Ayu 33:24 Nimepata fidia!

Zb 49:7 Wala kumpa Mungu fidia

Met 21:18 Mwovu ni fidia ya mwadilifu

Mt 20:28 kutoa nafsi yake kuwa fidia

1Ti 2:6 aliyejitoa kuwa fidia

Kut 30:12; Ayu 36:18; Met 6:35; Isa 43:3.

FIDIA INAYOLINGANA, 1Ti 2:6.

FIFIA, Isa 60:20 mwezi wako hautafifia

1Pe 1:4 urithi usiofifia

Yer 14:2.

FIGO, Kut 29:13; Zb 7:9; Yer 11:20.

FIKA, Lu 19:23 wakati ambapo ningefika

Ro 9:31 Israeli, hakuifikia sheria

1Ko 11:26 kifo cha Bwana, mpaka atakapofika

Zb 139:6; Mdo 26:7; Flp 3:11.

FIKIA, Ayu 42:2 ambalo huwezi kulifikia

Zb 40:12 Makosa mengi yalinifikia

Efe 4:13 tuufikie umoja katika imani

1Th 5:4 siku hiyo iwafikie

Mwa 11:6; Kum 19:6; Zb 18:37.

FIKIRA, Zb 94:11 anazijua fikira za wanadamu

Zb 139:2 Umeichunguza fikira yangu

Zb 139:23 uzijue fikira zangu

Met 12:5 Fikira za waadilifu ni adili

Isa 55:8 mawazo yenu si mawazo

2Ko 10:5 tunaiteka kila fikira

Flp 4:10 mmeamsha fikira zenu

Ebr 4:12 linaweza kutambua fikira

Mwa 6:5; Flp 4:7.

FIKIRI, Met 12:18 anayesema bila kufikiri

Mt 5:17 Msifikiri nilikuja kuharibu

Mt 16:23 unafikiri, si fikira za Mungu

Lu 12:51 mnafikiri nilileta amani

Yoh 11:13 walifikiri alikuwa akisema

Yoh 13:29 walikuwa wakifikiri

1Ko 8:2 akifikiri amejipatia ujuzi

1Ko 10:12 anayefikiri amesimama

Ga 6:3 akifikiri kuwa yeye ni kitu

2Pe 2:12 kama wanyama wasiofikiri

Mt 10:34; Yoh 5:39; Ro 1:21; 1Ko 3:18, 20; 14:37; Flp 3:4; Ebr 10:29.

FIKIRIA, 2Sa 14:14 amefikiria sababu

2Fa 16:15 madhabahu nitaifikiria

Zb 41:1 Mwenye furaha ni mtu anayemfikiria

Zb 48:9 Tumefikiria kwa uzito

Yer 29:11 najua mawazo ninayofikiria

Mal 3:16 wanaolifikiria jina lake

Mt 24:44 atakuja saa msiyofikiria

Ro 4:19 alifikiria juu ya mwili wake, umekufa

Ro 12:3 asijifikirie mwenyewe zaidi

Ro 12:16 Mwafikirie wengine

Flp 2:6 hakufikiria kunyakua, yaani

Flp 4:8 endeleeni kuyafikiria mambo hayo

1Th 5:13 kuwafikiria katika upendo

Ebr 3:1 mfikirieni mtume na

Kum 32:29; Yer 23:27; Mdo 19:19.

FIKIWA, 1Ti 6:16 nuru isiyoweza kufikiwa

FILADELFIA, Ufu 1:11; 3:7.

FILETO, 2Ti 2:17 Himenayo na Fileto

FILIMBI, 1Ko 14:7 kinachopigwa kwa filimbi?

Mt 11:17; Lu 7:32.

FILIPO 1., Mt 10:3 Filipo na Bartholomayo

Yoh 1:43 Yesu akamkuta Filipo

Yoh 6:5; 12:21.

FILIPO 2, Mdo 6:5 Filipo na Prokoro

Mdo 8:5, 26; 21:8.

FIMBO, Mwa 49:10 fimbo ya kiongozi

Zb 110:2 fimbo ya nguvu zako

Met 13:24 Anayezuia fimbo anamchukia

Isa 11:4 ataipiga dunia kwa fimbo

Isa 14:5 ameivunja fimbo

Mik 7:14 Wachunge kwa fimbo yako

1Ko 4:21 nije kwenu na fimbo

Ebr 9:4 ile fimbo ya Haruni

Ufu 12:5 atachunga mataifa kwa fimbo

Kut 12:11; 1Fa 12:11; Zb 23:4; Met 26:3; 29:15; Isa 9:4; Yer 48:17; Mik 5:1; Zek 11:10; Ebr 12:6; Ufu 2:27.

FIMBO YA ENZI. Ona pia FIMBO YA KIONGOZI.

Hes 24:17 fimbo ya enzi itainuka Israeli

Zb 2:9 fimbo ya enzi ya chuma

Zb 125:3 fimbo ya enzi ya uovu

Zek 10:11 fimbo ya enzi ya Misri

Ebr 1:8 fimbo ya enzi ya ufalme

Mwa 49:10; Est 5:2; Zb 45:6; Eze 19:14.

FIMBO YA KIONGOZI, Mwa 49:10; Hes 21:18; Zb 60:7; 108:8.

FINEHASI, Hes 25:7 Finehasi alipoona hilo

Hes 31:6; Yos 22:30; Amu 20:28; Zb 106:30.

FINYA, Met 30:33 kufinya pua

FINYANGA, Ro 9:20 yeye aliyekifinyanga

FISADI, Zb 14:3 wote ni wafisadi

Da 6:4 ufisadi wowote katika Danieli

FISHA, Mwa 42:4 tukio la kufisha lisimpate

FIWA, Yos 6:26 kufiwa na mzaliwa wa kwanza

Mwa 43:14; Isa 49:21.

FUA, Ufu 7:14 wamefua kanzu zao

Kut 39:3.

FUATA, 1Fa 18:21 Mungu, mfuateni yeye

Mt 10:38 mti wa mateso, anifuate

Mt 19:28 ninyi ambao mmenifuata

Yoh 8:12 anayenifuata atakuwa na uzima

1Pe 2:21 kielelezo, mfuate hatua

Ufu 19:14 majeshi mbinguni yalimfuata

Nah 1:8; Mt 4:20; 16:24; Yoh 10:5, 27; Mdo 3:24; 1Ko 10:4; 1Ti 4:6; 5:10; 2Pe 2:2.

FUATIA, 1Ko 14:1 Fuatieni upendo

FUATILIA, Amu 4:22 Baraka anamfuatilia Sisera

Amu 8:4 wanaendelea kufuatilia

Met 15:9 anayefuatilia uadilifu

Mhu 1:14 kufuatilia upepo

Isa 1:23 kupenda rushwa, kufuatilia

Ro 9:30 mataifa, wakifuatilia uadilifu

Ro 14:19 na tufuatilie mambo

Flp 3:12 nafuatilia kushika lile

1Pe 3:11 amani na kuifuatilia

Zb 71:11; 83:15; Yer 29:18.

FUFUA, 2Fa 8:1 Elisha amemfufua mwana

Mdo 2:24 alimfufua kwa kufungua

2Ko 4:14 aliyemfufua Yesu atatufufua

Yoh 6:39, 40, 44, 54; Efe 1:20.

FUFUKA, Efe 5:14 ufufuke kwa wafu

FUFULIWA, Mt 28:7 wanafunzi, amefufuliwa

Lu 20:37 wafu watafufuliwa

1Ko 15:44 hufufuliwa mwili wa roho

Kol 3:1 mlifufuliwa na Kristo

1Th 4:16 Kristo watafufuliwa kwanza

1Ko 15:17, 42; Kol 2:12; Ebr 6:2.

FUGA, Yak 3:8 hakuna anayeweza kuufuga

FUGWA, Yak 3:7 vya kufugwa, vimefugwa

FUJO, Zb 2:1 mataifa yamekuwa na fujo

Zb 83:2 adui zako wanafanya fujo

Mdo 21:34 kwa sababu ya fujo hizo

Tit 1:7 asiwe mlevi mwenye fujo

Isa 16:14; Mdo 4:25; 1Ti 3:3.

FUKIZA, Kut 30:7 Haruni atafukiza uvumba

FUKIZIA, 2Fa 22:17 kuifukizia moshi wa dhabihu

FUKUZA, Mwa 4:11 umelaaniwa kwa kufukuzwa

Ezr 7:26 ahukumiwe kifo au kufukuzwa

Mt 10:1 mamlaka kufukuza roho

Yoh 9:22 angefukuzwa katika sinagogi

Yoh 12:42 wasifukuzwe katika sinagogi

Yoh 16:2.

FUKUZA ROHO WAOVU, Mt 7:22.

FUMBO. Pia ona SIRI TAKATIFU.

Met 1:6 methali na mafumbo

2Th 2:7 fumbo la uasi-sheria

Ufu 17:5 fumbo: Babiloni Mkubwa

Ufu 17:7 fumbo la yule mwanamke

FUMO, 1Sa 17:6 na fumo la shaba

FUNDI, 2Nya 26:15 ubuni wa mafundi

Ho 8:6 Fundi tu ndiye aliyekifanya

Kut 35:35; 2Fa 24:14; Isa 40:19; Yer 10:3; Ho 13:2; Mdo 19:24, 38.

FUNDISHA, 2Nya 17:9 kufundisha kati ya watu

Ezr 7:10 Ezra kufundisha

Ezr 7:25 ninyi mtamfundisha

Ne 8:9 Walawi wakiwafundisha

Ayu 33:33 nitakufundisha hekima

Zb 25:4 Nifundishe mapito yako

Zb 25:8 Yehova huwafundisha

Zb 25:9 atawafundisha wapole njia

Zb 34:11 Nitawafundisha kumwogopa

Zb 143:10 Unifundishe kufanya

Zb 144:1 Anayeifundisha mikono yangu

Isa 2:3 atatufundisha njia zake

Isa 48:17 anayekufundisha ili ujifaidi

Mt 5:19 anayevunja amri na kufundisha

Mt 7:29 akiwafundisha kama mwenye

Mt 15:9 hufundisha amri za wanadamu

Mt 28:20 kuwafundisha kushika

Mk 6:6 akizunguka akifundisha

Yoh 7:16 ninayofundisha si yangu

Yoh 8:28 kama Baba alivyonifundisha

Yoh 14:26 roho takatifu itawafundisha

Mdo 5:42 wakaendelea kufundisha

Mdo 18:25 kuyafundisha kwa usahihi

Mdo 20:20 kuwafundisha hadharani

Ro 12:7 anayefundisha awe katika

Ro 15:4 ili kutufundisha sisi

1Ko 2:16 Yehova, ndipo amfundishe?

1Ko 4:17 ninavyofundisha kila mahali

1Ko 14:19 niwafundishe kwa mdomo

1Ti 4:16 kufundisha kwako

2Ti 2:2 sifa za kustahili kufundisha

2Ti 3:16 lenye faida kwa kufundisha

Tit 1:11 kufundisha mambo hawapaswi

Kut 4:12; Kum 4:5; 17:10; Amu 13:8; 1Sa 12:23; Ayu 35:11; Zb 25:12; 27:11; 32:8; 45:4; 71:17; 94:12; Mik 3:11; Mt 7:28; 11:1; Lu 4:32; 12:12; Mdo 4:2; 5:25; 11:26; Ro 2:21; 1Ti 2:12; 2Ti 2:24, 25; Tit 2:12.

FUNDISHANA, Yer 31:34.

FUNDISHO, Kum 32:2 Mafundisho kama mvua

Met 1:5 na kupata mafundisho

Mt 16:12 mafundisho ya Mafarisayo

Ga 6:6 fundisho la mdomo

Efe 4:14 upepo wa fundisho

Kol 2:22 mafundisho ya wanadamu

1Ti 1:3 wasifundishe fundisho tofauti

1Ti 4:1 mafundisho ya roho waovu

1Ti 6:3 akifundisha fundisho lingine

2Ti 4:3 hawatalivumilia fundisho

Ebr 6:1 fundisho la msingi

Ebr 13:9 Msichukuliwe na mafundisho

Met 4:2; Isa 9:15; 1Th 4:1; 1Ti 4:6; 6:1; Tit 1:9.

FUNDISHO LENYE AFYA, 2Ti 4:3; Tit 1:9;

2:1.

FUNDISHWA, Isa 54:13 wana waliofundishwa

2Pe 3:16 wasiofundishwa wapotosha

Isa 29:13; Yer 32:33; Mdo 7:22; Ro 2:18; Ga 6:6.

FUNGA 1., Mwa 7:16 Yehova akafunga mlango

Kum 6:8 uyafunge kama ishara

Kum 15:7 usiufunge mkono kwa ndugu yako

Yos 2:21 akafunga kamba nyekundu

Amu 3:23 Ehudi akaifunga milango

Zb 149:8 kuwafunga wafalme wao

Isa 8:16 Funga ule ushuhuda

Isa 26:20 ingia na ufunge milango

Isa 61:1 kufunga majeraha ya waliovunjika

Mt 13:30 kusanyeni magugu na kuyafunga

Mt 16:19 utakalofunga duniani litakuwa

Mt 23:4 hufunga mizigo mizito na kuiweka

Mt 25:10 arusi; mlango ukafungwa

Lu 13:25 kuufunga mlango

Ro 11:32 Mungu amewafunga wote

1Ko 7:39 Mke amefungwa wakati wote

Ufu 3:8 hakuna anayeweza kuufunga

Ufu 20:2 kumfunga kwa miaka elfu

Mwa 22:9; Hes 30:2; Yos 2:18; Zb 118:27; Met 3:3; 6:21; 7:3; Isa 22:22; Yer 51:63; Mal 1:10; Lu 13:16; Mdo 20:22; Ro 7:2; Ufu 11:6; 20:3.

FUNGA 2., Isa 58:5 kufunga na siku

Yoe 1:14 Takaseni kufunga

Mt 6:16 mnapofunga, msiwe

Mk 2:18 wanafunzi wako hawafungi?

Lu 5:33 Wanafunzi wa Yohana hufunga

Lu 5:34 rafiki za bwana-arusi hawafungi

Est 4:16; Yer 14:12; Yon 3:5.

FUNGA KINYWA, Kum 25:4; 1Ko 9:9; 1Ti 5:18.

FUNGIA, Ayu 38:9 utepe wa kufungia

Mt 23:13 mnawafungia watu ufalme

FUNGU, Kum 32:9 fungu la Yehova ni watu

Zb 16:5 fungu nililogawiwa

Zb 119:57 Yehova ni fungu langu

Isa 53:12 nitampa fungu kati ya wengi

Da 12:13 utasimama kwa fungu lako

1Ko 7:17 Yehova alivyompa fungu

2Ko 6:15 fungu gani na asiye mwamini

Zb 11:6; 17:14; 142:5; Mhu 9:6; Yer 10:16; 12:10; Zek 2:12.

FUNGU LA URITHI, 1Fa 8:36; 21:3.

FUNGU MARA MBILI, Isa 61:7; Zek 9:12.

FUNGUA, Isa 45:1 nivifungue viuno

Ufu 1:5 alitufungua katika dhambi

Kum 11:6; Zb 22:13; Omb 3:46; Mt 27:21; Mdo 3:13.

FUNGUA NJIA, Isa 40:3 Fungueni njia ya Yehova

Isa 57:14; 62:10; Mal 3:1.

FUNGULIA, Ro 3:5 anapofungulia ghadhabu

FUNGULIWA, Mwa 3:5 macho yatafunguliwa

Mt 18:18 yamefunguliwa mbinguni

Ro 7:2 amefunguliwa na sheria ya

1Ko 7:27 Uache kutafuta kufunguliwa

Flp 1:23 ninachotamani ni kufunguliwa

2Ti 4:6 wakati wa kufunguliwa kwangu

FUNGWA, 1Sa 25:29 imefungwa katika mfuko

Zb 146:7 anawafungua waliofungwa

Ho 10:10 watakapofungwa na makosa

Ho 13:12 Kosa la Efraimu limefungwa

Ga 5:1 kufungwa katika nira ya utumwa

Ufu 21:25 malango hayatafungwa mchana

Lu 11:7; Yoh 20:19, 26; Mdo 5:23.

FUNIKA Law 17:13 mwaga damu na kuifunika

2Nya 24:20 roho ikamfunika Zekaria

Ayu 38:2 nani anayefunika shauri

Zb 104:2 Unayejifunika nuru

Met 17:9 Anayefunika makosa

Ho 4:19 Upepo umemfunika

Ebr 9:5 makerubi waliofunika

Mt 10:26.

FUNUA, 1Sa 3:21 Yehova alijifunua katika Shilo

Met 11:13 mchongezi anafunua

Isa 49:9 gizani, Jifunueni!

Mt 11:25 umeyafunua kwa watoto

Yoh 17:6 Nimelifunua jina lako

Yoh 21:1 Yesu alijifunua kwa wanafunzi

Ro 1:19 aliyafunua kwao

Ebr 6:6 kumfunua, aibu hadharani

Ebr 9:26 amejifunua mara moja

Ebr 10:33 mkifunuliwa, jumba la maonyesho

2Pe 3:10 kazi zitafunuliwa

1Sa 2:27; Da 2:47; 1Ko 2:10; 4:5.

FUNULIA, 2Sa 7:27 umemfunulia mtumishi

Yer 33:6; Flp 3:15.

FUNULIWA, Isa 40:5 utukufu utafunuliwa

Lu 8:17 ambalo halitafunuliwa

Lu 17:30 siku Mwana atafunuliwa

Yoh 12:38 mkono wa Yehova, umefunuliwa

1Ko 3:13 kazi ya mtu itafunuliwa

Efe 3:5 siri imefunuliwa kwa mitume

Kol 1:26 siri imefunuliwa kwa watakatifu

Kol 3:4 Kristo atakapofunuliwa

2Th 2:8 mwasi-sheria atafunuliwa

1Yo 1:2 uzima ulifunuliwa

1Yo 3:2 haijafunuliwa tutakavyokuwa

Da 2:30; Yoh 3:21; Ro 1:18; 3:21; 1Ko 3:13; 1Ti 3:16; 2Ti 4:8; Tit 2:13; 1Pe 5:4; 1Yo 3:8; Ufu 15:4.

FUNUNU, Ayu 42:5; Zb 18:44.

FUNZA, Ayu 7:5 Nyama imefunikwa na funza

Ayu 25:6 mwanadamu, ni funza

Mk 9:48 funza wake hafi

Kut 16:24; Amu 3:2; Ayu 17:14; 24:20; Isa 14:11.

FUPI, Hes 11:23 mkono wa Yehova ni mfupi?

Isa 59:1 Mkono wa Yehova haujawa mfupi

Ufu 12:12 akijua ana kipindi kifupi

Isa 50:2.

FUPISHA, Ro 9:28 kuimaliza na kuifupisha

Met 10:27.

FUPISHWA, Mt 24:22 siku hizo zitafupishwa

Mt 24:22 kama siku hizo hazingefupishwa

Mk 13:20.

FURAHA, Amu 16:25 moyo ulikuwa na furaha

Zb 144:15 furaha ambao Mungu wao

Isa 22:2 mji wenye furaha

Mt 5:3 furaha, wenye uhitaji wa kiroho

Mt 24:46 Mtumwa atakuwa na furaha

Yoh 13:17 mna furaha mkiyatenda

1Ti 1:11 Mungu mwenye furaha

1Ti 6:15 Mwenye Uwezo, mwenye furaha

1Pe 3:14 mkiteseka, mna furaha

1Pe 4:14 mna furaha, kwa sababu roho

Kum 33:29; 1Fa 10:8; Zb 119:111; Met 3:13; 14:35; 16:20; 29:18; Isa 23:7; Da 12:12; Ho 2:11; Sef 2:15; Mal 3:15; Lu 12:37; Mdo 20:35; Ro 4:6; Ga 4:15; Yak 1:12.

FURAHA TELE, Zb 37:11; Mhu 2:8; Isa 58:14.

FURAHI, Kum 32:43 Furahini, enyi mataifa

Isa 65:18 furahini, vitu ninavyoumba

Ro 5:3 tufurahi katika dhiki

Ro 15:17 kufurahi katika Kristo

Ga 4:27 Furahi, mwanamke tasa

Ga 6:4 na sababu ya kufurahi

Flp 2:16 kufurahi, siku ya Kristo

Ufu 12:12 furahini, mbingu nanyi mliomo

Ufu 18:20 Furahini juu yake, mbingu

1Sa 2:1; Met 8:30; Isa 35:1; 65:18; Yer 32:41; Ro 15:10.

FURAHIA, Zb 149:4 Yehova anafurahia watu

Ebr 11:25 kufurahia dhambi kwa muda

1Nya 29:17; Zb 147:11; Mal 1:8.

FURAHISHA, Met 5:19 upendo ukufurahishe

Met 13:19 tamaa inafurahisha nafsi

FURIKO, Da 9:26 mwisho utakuwa mafuriko

Nah 1:8 Ataangamiza kwa furiko

FURIKO LA GHAFULA, Isa 28:18.

FUTA, 2Fa 21:13 nitafuta Yerusalemu

Yer 18:23 usiifute dhambi yao

Yoh 12:3 kuifuta kwa nywele zake

Ga 3:17 ili kuifuta ahadi

Efe 2:15 aliufuta uadui

2Ti 1:10 Kristo, amefuta kifo

Ufu 3:5 sitalifuta jina lake

Ufu 21:4 atafuta kila chozi

Kut 23:23; Hes 30:8, 12; 2Nya 32:21; Zb 83:4; Isa 25:8; Da 6:8, 12; Lu 10:11; Mdo 3:19; Kol 2:14.

FUTILIA MBALI, Mwa 6:7; Kut 9:15; 32:33; Zb 51:1.

FUTWA, Zb 69:28 wafutwe kutoka kitabu

FUVU, Hes 24:17 vinja fuvu la kichwa cha wana

Mt 27:33; Mk 15:22; Lu 23:33.

FYATULIA, Zb 11:2 wawafyatulie wanyoofu

G

GAAGAA, Yer 25:34 wachungaji, mgaegae

Mk 9:26 na kugaagaa sana akatoka

2Pe 2:22 kugaagaa matopeni

GABRIELI, Da 8:16; 9:21; Lu 1:19, 26.

GADI, Mwa 30:11; 49:19; Yos 18:7.

GALILAYA, Mt 4:23; Yoh 2:11; 7:41, 52.

GAMALIELI, Mdo 5:34; 22:3.

GANDA, Sef 1:12 wanaoganda, machicha

GANDAMANA, Kut 15:8 Maji yaliyogandamana

Zek 14:6 vitu vitagandamana

GANDISHA, Ayu 10:10 kunigandisha kama

Ayu 38:30 kilindi cha maji hujigandisha

GANZI, 2Sa 1:9 ganzi imenishika

Zb 38:8 Nimekufa ganzi na kupondwa

Omb 2:18 Usife ganzi. Mboni

Hab 1:4 Basi sheria hufa ganzi

Zb 143:4; Da 8:27.

GARI, Amu 5:28 gari limechelewa kuja

2Fa 10:15 akampandisha garini pamoja naye

Isa 31:1 Misri, wanaotegemea magari ya vita

Nah 2:3 Gari lake ni moto wa vifaa vya chuma

Mwa 46:5; Hes 7:3; 2Fa 2:11; Isa 5:18; 43:17; Yer 46:9; Zek 9:10.

GATHI, Yos 11:22; 1Sa 17:4; 1Nya 18:1.

GAVANA, Mt 2:6 magavana wa Yuda

Yer 51:23; Mal 1:8; Mt 10:18; 1Pe 2:14.

GAWA, Isa 53:12 atagawa nyara

Mt 24:51 atamwadhibu na kumgawia sehemu

Ro 12:3 Mungu alivyomgawia imani

Ro 12:8 anayegawa, agawe kwa ukarimu

2Ko 10:13 Mungu alitugawia kwa kipimio

1Ti 1:4 badala ya kugawa kitu

1Ti 1:12 kunigawia huduma

Ebr 7:2 Abrahamu alimgawia sehemu ya kumi

Kum 4:19; Yos 18:5; Ne 9:22; Isa 34:17; Mdo 4:35; 1Ko 12:11.

GAWANYA, Amu 7:16 akagawanya mia tatu

GAWANYIKA, Mk 3:24 ufalme ukigawanyika

Da 2:41; 1Ko 1:13.

GAWANYWA, Da 5:28; 11:4.

GAWIWA, Ro 12:6 imani tuliyogawiwa

2Ko 10:13 mipaka yetu tuliyogawiwa

GAZA, Amu 1:18; 16:1; Yer 47:5; Mdo 8:26.

GEDALIA, 2Fa 25:22; Yer 39:14; 40:5, 6.

GEHAZI, 2Fa 5:20; 8:4.

GEHENA. Ona pia HINOMU.

Mt 10:28 kuangamiza nafsi Gehena

Mt 23:15 astahili Gehena mara mbili

Mt 23:33 hukumu ya Gehena?

Mk 9:43 Gehena na mikono miwili

Lu 12:5 mamlaka ya kutupa Gehena

Yak 3:6 ulimi, huwashwa Gehena

Mt 5:22, 29, 30; 18:9; Mk 9:45, 47.

GENESARETI, Mt 14:34; Lu 5:1.

GEREZA, Zb 142:7 nafsi yangu kutoka gerezani

1Pe 3:19 kuhubiria roho gerezani

Ufu 2:10 Ibilisi, kuwatupa gerezani

Ufu 20:7 Shetani kutoka gerezani

Mt 5:25; 25:36; Lu 22:33; Mdo 5:19.

GERIZIMU, Kum 11:29; Yos 8:33; Amu 9:7.

GETHSEMANE, Mt 26:36; Mk 14:32.

GEUKA, Met 22:6 atakapozeeka hatageuka

Mdo 15:3 kugeuka kwa watu wa mataifa

1Ti 3:6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni

1Ti 6:21 wamegeuka kutoka imani

2Ti 2:18 wamegeuka kutoka kwenye kweli

Ayu 23:11; 31:7; Zb 44:18; 1Ti 1:6.

GEUKA SURA, Mt 17:2.

GEUZA, Met 16:14 mwenye hekima huigeuza

Yer 21:4 nazigeuza nyuma silaha

GEUZIA, Isa 28:6 wanaogeuzia mbali pigano

GEUZWA, Ro 12:2 mgeuzwe kwa kufanya upya

2Ko 3:18 tunageuzwa na kuwa

GHADHABU, 2Nya 29:8 ghadhabu ya Yehova

Zb 76:10 ghadhabu ya mwanadamu

Met 11:4 havina faida siku ya ghadhabu

Met 14:16 mjinga ana ghadhabu

Met 15:1 Jibu, hugeuza ghadhabu

Met 15:18 mwenye ghadhabu huchochea

Yer 6:11 ghadhabu ya Yehova

Eze 5:15 makaripio ya ghadhabu

Mk 3:5 kuwatazama kwa ghadhabu

Yoh 3:36 ghadhabu humkalia

Efe 4:26 Iweni na ghadhabu

Yak 1:20 ghadhabu ya mwanadamu

Ufu 11:18 na ghadhabu yako ikaja

Ufu 12:17 joka akawa na ghadhabu

Ayu 19:29; Zb 78:59; 79:6; Met 6:34; 19:19; 22:24; 27:4; Isa 57:17; Yer 10:10; 50:13; Eze 25:17; Mik 7:9; Ro 9:22; 12:19; 13:4; 1Th 5:9; Ufu 19:15.

GHADHIBIKA, Mk 10:14 Yesu akaghadhibika

Mt 21:15.

GHAFULA, Met 3:25 chenye kuogopesha ghafula

Mal 3:1 kwa ghafula Bwana wa kweli

1Th 5:3 uharibifu wa ghafula

GHALA, Mwa 41:56 maghala ya nafaka

Ayu 38:22 maghala ya theluji

Kum 28:12; 2Nya 8:4; 17:12; Mt 3:12; 6:26.

GHALI, 1Ti 2:9 si mavazi yaliyo ghali

1Fa 5:17; 7:9, 11.

GHARAMA, Lu 14:28 kwanza ahesabu gharama

1Ko 9:18 habari njema bila gharama

2Fa 15:20; Mdo 21:24; 1Ko 9:7.

GHARIKA, Mwa 6:17 ninaleta gharika

Mwa 7:17 gharika ikaendelea siku 40

Mwa 9:11 Mwili hautakatiliwa na gharika

Mt 24:38 siku, kabla ya gharika

2Pe 2:5 alileta gharika juu ya ulimwengu

2Pe 3:6 ulimwengu uliangamia gharika

Mwa 7:7; 10:1, 32; Zb 29:10.

GHASIA, Isa 13:4 Ghasia za falme

Zb 65:7.

GIBEA, Amu 20:5, 13, 37; Isa 10:29.

GIBEONI, Yos 10:6 Gibeoni waenda kwa Yoshua

Yos 10:12 jua, simama juu ya Gibeoni

1Fa 3:5 Yah, Sulemani kule Gibeoni

Ne 3:7 watu wa Gibeoni wakarekebisha

Yos 9:3; 10:1, 10; 11:19; 2Nya 1:3.

GIDEONI, Ebr 11:32 nikisimulia juu ya Gideoni

Amu 6:24, 27, 34, 39; 7:2, 4, 7; 8:4, 23.

GILBOA, 2Sa 1:6 Nilijikuta katika Mlima Gilboa

1Sa 28:4; 2Sa 1:21; 1Nya 10:8.

GILEADI, Yos 21:38 jiji la makimbilio Gileadi

Mik 7:14 walishe katika Gileadi

Hes 26:29; 32:40; Yer 8:22; Zek 10:10.

GILGALI, Yos 4:20 mawe kumi na mawili Gilgali

Yos 9:6 wakamwendea Yoshua Gilgali

Amu 3:19 machimbo yaliyokuwa Gilgali

Yos 5:9; 10:6; 1Sa 10:8; 11:14, 15.

GIZA, Mwa 1:2 giza juu ya kilindi

Isa 42:7 wanaoketi gizani

Isa 45:7 Kufanyiza nuru na giza

Isa 60:2 giza litaifunika dunia

Yoe 2:10 Jua na mwezi zimekuwa na giza

Mt 25:30 mtupeni nje katika giza

Yoh 3:19 watu wamelipenda giza

Ro 1:21 moyo ukaingiwa na giza

Ro 11:10 macho yao yatiwe giza

1Th 5:4 hamko gizani

1Pe 2:9 aliyewaita kutoka katika giza

1Yo 1:5 hakuna giza katika muungano na yeye

Kut 10:21, 22; Kum 28:29; Met 4:19; Isa 58:10; Yoe 2:31; Amo 4:13; Mt 6:23; Lu 11:36; Yoh 6:17; 2Ko 6:14; Efe 4:18; 2Pe 1:19.

GIZA ZITO, Eze 34:12 mawingu na giza zito

GOGU, Eze 38:16 mataifa yanijue, Ee Gogu

Eze 39:11 nitampa Gogu kaburi Israeli

Eze 38:2, 3, 14, 18; Ufu 20:8.

GOIGOI, Mt 25:26 Mtumwa mwovu na goigoi

Amu 18:9; Ebr 6:12.

GOLGOTHA, Mt 27:33; Yoh 19:17.

GOLIATHI, 1Sa 17:23 Goliathi Mfilisti wa Gathi

1Sa 17:4; 21:9; 22:10.

GOMBANA, Mwa 45:24 Msigombane njiani

Zb 31:20 kugombana kwa ndimi

Zb 80:6 Ulituweka tugombane

Met 3:30 Usigombane na mtu

Isa 41:11 wanaogombana nawe

Isa 58:4 kugombana na kupambana

Mt 12:19 Hatagombana, wala

Kut 17:7; Ayu 33:19.

GOMORA, Mt 10:15 rahisi kwa Gomora

Mwa 18:20; 19:24; Isa 1:9; Ro 9:29; Yud 7.

GONGA, Met 3:23 mguu wako hautagonga

GONGO, Zb 23:4 Fimbo na gongo lako

GOSHENI, Mwa 45:10; 47:4; Kut 8:22; 9:26.

GOTI, Ro 11:4 hawakupigia Baali goti

Flp 2:10 jina la Yesu kila goti

Isa 45:23; Eze 7:17; Ro 14:11; Ebr 12:12.

GUDULIA, 1Sa 26:11, 16; 1Fa 19:6.

GUMU, Met 21:29 uso wake kuwa mgumu

Da 2:11 mfalme anauliza jambo gumu

Eze 3:8.

GUNDI, Ayu 14:17 unatia gundi kosa langu

GUNDUA, 2Sa 4:6 wakakimbia bila kugunduliwa

GURUDUMU, Eze 1:16 gurudumu kati ya

Eze 10:6 moto kutoka magurudumu

Kut 14:25; Mhu 12:6; Eze 1:20; 10:6; Nah 3:2.

GURUDUMU LA KUSOKOTA NYUZI, Met 31:19.

GUSA, Mwa 3:3 Msiyale wala msiyaguse

Law 5:2 nafsi inapogusa kisicho safi

1Nya 16:22 Msiwaguse watiwa-mafuta

Ayu 2:5 uguse kufikia mfupa

Zb 104:32 Anaigusa milima

Zb 105:15 Msiwaguse watiwa-mafuta

Isa 6:7 Hili limeigusa midomo

Isa 52:11 msiguse kitu chochote

Yer 1:9 na kunigusa kinywa

Hag 2:13 Mtu aliye najisi akigusa

Zek 2:8 anayewagusa anaigusa mboni

Lu 11:46 hamwigusi mizigo hiyo

2Ko 6:17 mwache kugusa kilicho najisi

Kol 2:21 Usishike, usionje, usiguse

1Yo 1:1 mikono yetu ikakigusa

Kut 30:29; Law 11:36; 2Fa 13:21; Met 6:29; Yer 12:14; Mt 8:3; 14:36; 20:34; Mk 5:30.

GUSWA, Ro 15:23 sina eneo lisiloguswa

H

HABA, 1Sa 3:1 neno la Yehova lilikuwa haba

HABARI, Kut 23:1 Usieneze habari isiyo ya kweli

Law 5:1 shahidi, asipotoa habari

Zb 40:9 Nimetangaza habari njema

Met 25:25 habari njema kutoka mbali

Isa 40:9 mwanamke unayeleta habari

Isa 61:1 nitangazie wapole habari njema

Da 11:44 habari zitamsumbua

Mt 24:6 Mtasikia habari za vita

Mt 24:14 habari njema ya ufalme

2Ko 6:8 kupitia habari mbaya na

1Th 1:9 wanaendelea kutoa habari

1Yo 1:2 kuwapa habari ya uzima

Hes 14:36; Ayu 28:22; Met 15:30; Isa 52:7; Eze 7:26; Nah 1:15; Ro 10:16; 2Ko 11:4.

HABARI NJEMA, Zb 40:9.

Isa 52:7 miguu ya aletaye habari njema

Isa 61:1 nitangazie wapole habari njema

Mt 9:35 Yesu akahubiri habari njema

Mt 24:14 habari njema ya ufalme

Mk 13:10 lazima habari njema ihubiriwe

Lu 2:10 ninawatangazia habari njema

Ro 1:16 siaibikii habari njema

1Ko 9:16 ninatangaza habari njema

1Th 2:4 kukabidhiwa habari njema

2Ti 1:10 nuru kupitia habari njema

Isa 41:27; Lu 1:19; Mdo 20:24; Ro 10:15; 2Ko 4:3, 4; Ga 1:8; Flp 1:12, 16.

HADASA, Est 2:7 mlezi wa Hadasa

HADHARANI, Kol 2:15 alizionyesha hadharani

Yoh 7:13; 18:20; Mdo 20:20.

HADHARI, Mwa 3:1 nyoka mwenye kujihadhari

Mt 7:15 Jihadharini na manabii

Mt 10:16 wenye kujihadhari kama nyoka

HADITHI, 1Ti 1:4; hadithi za uwongo

2Ti 4:4 watageuzwa kufuata hadithi

Tit 1:14 hadithi za Kiyahudi

2Pe 1:16 hadithi za uwongo

HADITHI ZA UWONGO, 1Ti 1:4; 4:7; 2Pe 1:16.

HAGARI, Mwa 16:1; Ga 4:24.

HAI, Kum 5:26 sauti ya Mungu aliye hai

Ayu 33:30 nuru ya wale walio hai

Zb 22:29 atakayeihifadhi hai nafsi

Zb 69:28 kitabu cha walio hai

Zb 85:6 Je, hutatufanya hai tena

Zb 89:48 Ni mwanamume gani aliye hai

Mhu 9:5 walio hai wanafahamu

Yer 2:13 chemchemi ya maji hai

Mt 22:32 Mungu wa walio hai

Yoh 4:10 angalikupa maji yaliyo hai

Mdo 10:42 mwamuzi wa walio hai

Ro 4:17 Mungu, anayewafanya wafu kuwa hai

Ro 6:11 walio hai kuhusiana na Mungu

Ro 7:9 nilikuwa hai bila sheria; lakini

1Ko 15:22 katika Kristo watafanywa kuwa hai

1Th 4:15 tulio hai ambao tutabaki

1Ti 3:15 kutaniko la Mungu aliye hai

Ebr 4:12 neno la Mungu liko hai nalo hutia

Ebr 10:31 mikononi mwa Mungu aliye hai

1Pe 1:3 tumaini lililo hai

1Pe 2:5 mawe yaliyo hai

Ufu 1:18 ninaishi milele na milele

Law 11:2; Zb 145:16; Isa 38:19; Da 6:26; Zek 14:8; 2Ko 13:4; 1Th 4:17; Ebr 7:25; 1Pe 3:18; Ufu 19:20.

HAKI, Kut 18:21 faida isiyo ya haki

Kut 21:9 haki za mabinti

Kut 21:10 haki ya ndoa haitapunguzwa

Law 19:15 Msifanye ukosefu wa haki

Kum 18:3 haki ya makuhani

Kum 32:4 Mungu hana ukosefu wa haki

Ru 1:1 walitekeleza haki

Ayu 27:6 Nimeishikilia haki yangu

Ayu 40:8 utaifanya haki kuwa bure?

Met 15:27 anayepata faida isiyo ya haki

Met 16:8 wingi pasipo haki

Met 21:7 wamekataa kufanya haki

Met 29:4 nchi kusimama kwa haki

Isa 28:17 haki, kamba ya kupimia

Isa 32:1 wakuu kwa ajili ya haki

Isa 61:8 Yehova, napenda haki

Eze 21:27 aliye na haki ya kisheria

Mik 6:8 kutenda haki, fadhili

Mal 2:17 wapi Mungu wa haki?

Mt 12:20 atakapoileta haki

Lu 18:7 sababisha haki ifanywe

Lu 23:41 tuko hivyo kwa haki

Ro 5:18 kutetewa kuwa haki

Ro 9:14 Mungu ana ukosefu wa haki?

Ro 13:7 Wapeni wote haki zao

1Ko 7:3 Mume mpe mke haki yake

1Th 4:6 asiingilie haki za ndugu

Ebr 2:2 malipo kupatana na haki

1Pe 2:19 anateseka isivyo haki

Kum 21:17; 1Nya 24:19; Ayu 29:14; Zb 7:3; Met 29:27; Isa 1:17; 28:6; Yer 2:5; 22:3; Eze 3:20; Mik 3:1, 9; 7:9; Hab 1:4; Ro 3:5; Ufu 18:5.

HAKI YA KISHERIA, Eze 21:27.

HAKI YA KUZALIWA, Mwa 25:34; 27:36.

HAKI YA MZALIWA WA KWANZA, Mwa 43:33; 1Nya 5:2.

HAKI YA NDOA, Kut 21:10.

HAKI ZA RAIA, Mdo 22:28.

HAKIKA, Mdo 1:3 uthibitisho mwingi hakika

1Ti 6:17 utajiri usio hakika

Ebr 6:19; 2Pe 1:10, 19.

HAKIKISHA, Ro 12:2 mjihakikishie wenyewe

Flp 1:10 mhakikishe ya maana zaidi

1Th 5:21 Hakikisheni mambo yote

Ebr 11:1 tarajio lililohakikishwa

1Yo 3:19 tutaihakikishia mioyo yetu

1Th 5:21.

HAKIMU, Ezr 7:25; Mdo 16:20, 22, 38.

HALALI, Mk 12:14 halali kulipa kodi?

Lu 14:3 halali kuponya sabato?

Lu 20:22 halali kumlipa Kaisari

Ro 13:13 ngono isiyo halali

1Ko 6:12 yote ni halali, lakini

Ebr 9:17 agano ni halali

Mk 2:26; Mdo 22:25; 1Ko 10:23; 2Ko 12:4.

HALALISHWA, Ga 3:15 Agano lililohalalishwa

Ga 3:17.

HALELUYA. Ona MSIFUNI YAH.

HALI, Yos 20:7 wakayapa hali ya utakatifu

1Ko 7:24 Katika hali yoyote ile kila mmoja

Kol 2:18 hali ya akili ya kimwili

1Nya 18:10; Yer 15:5; 1Ko 7:20.

HALI INAYOFAA, Da 8:14.

HALI NJEMA, Mwa 41:16.

HALI YA AKILI, Ro 1:28.

HALI YA CHINI, Zb 41:1

Flp 3:21 mwili wa hali ya chini

Eze 29:14; Sef 3:12; Mal 2:9; Ro 12:16; 2Ko 10:1.

HALI YENYE KUKUBALIWA, Ro 5:4.

HALI ZA UKIWA, Da 9:18.

HALISI, Yoh 7:28 aliyenituma ni halisi

Ebr 11:1 uthibitisho wa mambo halisi

HAMA, Law 11:22 nzige mwenye kuhama

HAMANI, Est 7:10 wakamtundika Hamani

Est 3:5; 5:11; 6:11; 7:6, 9; 8:2, 7; 9:10.

HAMATHI, Hes 13:21; Isa 10:9; Yer 49:23.

HAMISHA, 2Sa 3:10 kuuhamisha ufalme

1Ko 13:2 kuhamisha milima

Kol 1:13 akatuhamisha na kutuingiza

HAMISHWA, Ebr 11:5 Enoko alihamishwa

HAMU, Ro 1:15 hamu kutangaza habari

1Pe 5:2 chungeni kundi kwa hamu

Mwa 5:32; 10:6; 1Nya 4:40; Zb 78:51.

HAMU YA NGONO, 1Th 4:5 si hamu ya ngono

Ro 1:26; Kol 3:5.

HANA, 1Sa 1:2, 20; 2:1, 21.

HANGAIKA, 1Sa 1:18 haukuonyesha kuhangaika

1Sa 9:5 kuanza kuhangaika

Zb 38:18 Nikaanza kuhangaikia dhambi

Zb 119:97 sheria yako! ndiyo ninayoihangaikia

Mt 6:25 Acheni kuhangaika juu ya nafsi

Mt 10:19 msihangaike, juu ya mtakalosema

Lu 10:41 Martha, unahangaika na kusumbuka

Lu 12:29 acheni kuhangaika kwa wasiwasi

1Ko 7:32 ambaye hajaoa huhangaikia

Ga 4:20 nahangaika juu yenu

Yer 17:8; Mik 7:4; Mt 6:34; Flp 4:6.

HANGAIKO, Met 12:25 Hangaiko katika moyo

Mk 4:19 lakini mahangaiko ya mfumo huu

1Ko 7:32 nataka msiwe na mahangaiko

Ayu 10:1; Zb 142:2; Mt 6:34; 13:22; Lu 8:14; 21:34; 1Pe 5:7.

HANGAIKO LA AKILINI, Lu 2:48.

HANGAISHA, Yoh 10:24.

HARADALI, Mt 17:20; Lu 13:19.

HARAKA, 1Sa 21:8 jambo lilikuwa la haraka

Ayu 35:15 hatua kwa haraka

Zb 147:15 Neno hukimbia haraka

Met 19:2 haraka kwa miguu, dhambi

Met 28:20 haraka kupata utajiri

Mhu 5:2 Usiwe haraka mbele za Mungu

Isa 32:4 moyo wa walio na haraka

Hab 1:6 taifa chungu na la haraka

Mal 3:5 nitakuwa shahidi wa haraka

1Ti 5:22 Usiweke mikono haraka

2Pe 2:1 maangamizi ya haraka

Mwa 19:22; Amu 9:48; 1Sa 23:27; Met 21:5; 29:20; Nah 2:5.

HARAKISHA, Isa 60:22 nitaharakisha jambo hilo

Sef 1:14 Ile siku inaharakisha

Ro 3:15 Miguu yao inaharakisha

HARAMU, 1Pe 4:3 ibada haramu za sanamu

Ebr 12:8.

HARANI, Mwa 11:26-29, 31, 32; 27:43; Mdo 7:2.

HARIBIKA, Mwa 6:11 dunia ikaharibika

Isa 52:14 sura iliharibika sana

Ho 10:1 mzabibu unaoharibika

Ro 2:7 wanaotafuta kutoharibika

1Ko 9:25 taji lisiloharibika

1Ko 15:52 wasioweza kuharibika

1Ko 15:53 unaoweza kuharibika

Efe 6:24 Kristo katika kutokuharibika

1Ti 1:17 Mfalme, asiyeweza kuharibika

2Ti 1:10 ameangaza kutoweza kuharibika

2Ti 3:8 watu walioharibika kabisa akilini

Ebr 7:16 uzima usioweza kuharibika

1Pe 1:4 urithi usioharibika

1Pe 1:23 kupitia mbegu isiyoharibika

1Pe 3:4 vazi lisiloharibika la roho

1Ko 9:25; 15:42, 54; 2Ko 11:3; 1Ti 6:5; 1Pe 1:18, 23.

HARIBIWA, Da 2:44 ufalme hautaharibiwa

HARIBU, Eze 21:27 Nitaliharibu, nitaliharibu

1Ko 15:33 Mashirika mabaya huharibu

Tit 1:11 wanaendelea kuharibu nyumba

2Pe 2:1 madhehebu yenye kuharibu

Met 14:11; Isa 60:12; Eze 9:6; Ufu 19:2.

HAR-MAGEDONI, Ufu 16:16.

HARUFU, Mwa 8:21 Yehova akanusa harufu

2Ko 2:15 sisi ni harufu tamu

Efe 5:2 toleo la harufu tamu

Isa 3:24; 5:24.

HARUNI, Kut 28:1 Haruni awe kuhani

Kut 32:1 Haruni, tufanyie mungu

Ebr 5:4 Mungu anapomwita, Haruni

Kut 4:14; 24:1; Zb 99:6; 135:19; Mik 6:4.

HASARA, Kut 21:22 alipie hasara

Zb 35:12 Hasara kwa nafsi yangu

1Ko 3:15 atapata hasara

Flp 3:7 nimeviona kuwa hasara

HASI, Ga 5:12 wajihasi wenyewe

HASIRA, Zb 37:8 Acha hasira

Zb 103:8 Yehova si mwepesi wa hasira

Zb 110:5 atawavunja katika siku ya hasira

Met 14:29 mwepesi wa hasira, utambuzi

Met 24:19 Usiwakie hasira watenda-maovu

Isa 30:27 Jina la Yehova likiwaka kwa hasira

Isa 34:2 hasira juu ya mataifa

Sef 2:2 kabla haijawajilia hasira ya Yehova

Ayu 16:9; Zb 2:5; 37:1, 7, 8; 55:3; 79:5; Isa 41:11; 45:24; Ho 11:9; Sef 3:8; 2Ko 11:29; Kol 3:8; Ufu 14:10; 15:1.

HATARI, 1Ko 15:30 tumo hatarini kila saa?

2Ko 11:26 hatari kwa wanyang’anyi

Kum 28:35; Ayu 2:7; Eze 28:24; Lu 8:23; Mdo 19:27, 40; Ro 8:35.

HATARISHA, Ro 16:4 wamehatarisha shingo

HATI, Kol 2:14 kuifuta kabisa ile hati

HATI YA UNUNUZI, Yer 32:12, 16.

HATIA, Mwa 26:10 ungeleta hatia juu yetu!

Yos 2:17 Hatuna hatia na kiapo hiki

1Nya 21:3 sababu ya hatia kwa Israeli?”

2Nya 28:10 visa vya hatia juu ya Yehova

Zb 94:21 damu ya asiye na hatia

Yer 51:5 nchi imejawa na hatia

Ho 8:5 hali isiyo na hatia?

Ho 13:1 hatia kuhusu Baali

Mt 10:16 na hatia kama njiwa

Mt 27:24 sina hatia ya damu

Mdo 22:25 kuwa mwenye hatia

Ro 6:7 amekufa ameondolewa hatia

Ro 16:19 na hatia kuhusu maovu

1Ko 11:27 kikombe isivyofaa, hatia

Flp 2:15 wasio na hatia, watoto

Kut 23:7; Kum 19:10; Ezr 9:13; Zb 24:4; 68:21; Met 6:17; Isa 24:6; Eze 22:4; Zek 11:5.

HATIA YA DAMU, Zb 55:23 wenye hatia ya damu

Zb 59:2 Unikomboe na wenye hatia ya damu

HATUA, Zb 37:31 Hatua zake

Yer 10:23 kuongoza hatua yake

2Ko 10:2 kuchukua hatua za kijasiri

1Pe 2:21 mfuate hatua zake

Zb 44:18; Ro 4:12; 2Ko 12:18.

HAWA, Mwa 3:20; 2Ko 11:3; 1Ti 2:13.

HAYA, 2Fa 2:17 mpaka akaona haya

2Fa 8:11 mpaka akaona haya

Ezr 9:6 naona haya kumwinulia Mungu uso

HAZINA, Ayu 23:12 Nimeyachukua kuwa hazina

Met 2:4 kuutafuta kama hazina

Isa 33:6 hazina yake

Mt 6:20 jiwekeeni hazina mbinguni

Mt 6:21 ilipo hazina yako

Mt 12:35 hutoa mema kutoka hazina

Mt 13:44 Ufalme kama hazina

2Ko 4:7 tuna hazina hii katika

Kol 2:3 Hazina zote za hekima

Met 10:2; Mt 19:21; Mk 12:41; Lu 21:1; Yoh 8:20; Ebr 11:26.

HEBERI, Mwa 46:17; Hes 26:45; Amu 4:11.

HEBRONI, 1Fa 2:11 katika Hebroni miaka saba

Mwa 23:2; Yos 10:36; Amu 1:20; 2Sa 2:1.

HEDHI, Law 12:2 uchafu wakati wa hedhi

Law 15:19 siku saba katika hedhi

Law 15:26 Kitanda cha uchafu wa hedhi

Law 18:19 usimkaribie wakati wa hedhi

Eze 36:17 kama uchafu wa hedhi

HEKALU, Zb 11:4 Yehova yumo katika hekalu

Yer 7:4 Hekalu la Yehova

Zek 6:12 atalijenga hekalu la Yehova

Mal 3:1 atakuja kwenye hekalu

Yoh 2:15 akawafukuza hekaluni

Yoh 2:19 Libomoeni hekalu hili

Mdo 17:24 hakai katika mahekalu

1Ko 3:16 ninyi ni hekalu la Mungu

2Ko 6:16 hekalu lina upatano gani na

Efe 2:21 jengo lote linakua liwe hekalu

2Th 2:4 huketi katika hekalu

Ufu 3:12 nguzo katika hekalu

Ufu 7:15 utumishi katika hekalu

Ufu 11:19 patakatifu pa hekalu

Zb 27:4; 29:9; Hab 2:20.

HEKIMA, Ne 9:20 roho yako kuwapa hekima

Zb 19:7 uzoefu awe na hekima

Zb 49:10 wenye hekima wanakufa

Zb 111:10 Kuogopa Yah ni hekima

Zb 119:98 hekima kuliko adui

Met 1:20 Hekima huendelea kulia

Met 2:7 hazina ya hekima

Met 3:7 hekima machoni pako

Met 4:7 Hekima ndilo jambo kuu

Met 8:11 hekima, bora kuliko marijani

Met 9:9 atazidi kuwa na hekima

Met 15:20 Mwana mwenye hekima

Met 27:11 Uwe na hekima, mwanangu

Met 30:24 vitu vinne vina hekima

Mhu 7:11 Hekima ni nzuri

Isa 29:14 hekima yao itaangamia

Yer 8:9 wana hekima gani?

Eze 28:17 Uliiharibu hekima yako

Da 1:17 maandishi na hekima yote

Da 2:21 akiwapa hekima wenye

Mt 11:19 hekima yenye uadilifu

Mt 11:25 umewaficha wenye hekima

Lu 16:8 ametenda kwa hekima

1Ko 1:25 hekima kuliko wanadamu

1Ko 2:5 si hekima ya wanadamu

1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu

2Ti 3:15 maandishi, kukupa hekima

Yak 1:5 ikiwa anakosa hekima

Yak 3:17 hekima kutoka juu

Kum 4:6; Ayu 35:11; Met 1:5; 3:13; 16:16; 24:3; 26:16; 29:15; Lu 16:8; Ro 1:22; 11:33; Efe 5:15.

HEKIMA INAYOTUMIKA, Met 2:7.

Met 3:21 Linda hekima inayotumika

Met 8:14 shauri na hekima inayotumika

Mik 6:9 hekima inayotumika ataogopa

Ayu 11:6; 12:16; Met 18:1; Lu 1:17.

HEKIMA YA MUNGU, Efe 3:10.

HELO. Ona GEHENA, KABURI.

HEMA, Zb 15:1 mgeni katika hema lako

Isa 54:2 Refusha kamba za hema

Isa 56:10 wanahema, wanalala

Yer 35:7 mkae katika mahema

Da 11:45 atasimamisha mahema

Ebr 9:11 hema kamilifu zaidi

Ufu 21:3 Hema la Mungu

Amu 5:24; Met 14:11; Isa 40:22; 2Ko 5:1; Ebr 8:2.

HERMONI, Zb 133:3 umande wa Hermoni

Kum 3:8; Yos 12:1; 13:5; Zb 89:12; Wim 4:8.

HERODE, Mt 2:1 siku za Herode mfalme

Lu 23:12; Mdo 4:27; 12:1.

HESABIKA, Ebr 11:12 mchanga, usiohesabika

HESABIWA, Kut 30:12 kuhesabiwa kwao

Kut 38:21 vilivyohesabiwa vya maskani

Lu 22:37 alihesabiwa na waasi

Ro 4:5 inahesabiwa kuwa ni uadilifu

Ro 4:24 kwa ajili yetu ambao itahesabiwa

Ro 9:8 watoto wa ahadi huhesabiwa kuwa

1Ti 5:17 wazee wahesabiwe heshima

Yak 2:23 ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu

HESABU, 2Nya 2:17 hesabu ambayo Daudi

Zb 90:12 Utuonyeshe kuhesabu siku zetu

Zb 110:6 kichwa, nchi ya hesabu kubwa

Zb 147:4 Anahesabu nyota

Mt 5:21, 22 atatoa hesabu mahakamani

Ro 4:8 hatahesabu dhambi yake

Ro 6:11 jihesabuni kuwa wafu

Ro 9:28 Yehova atatoza hesabu

Ro 14:12 kila mmoja wetu atatoa hesabu

1Ko 13:5 Hauweki hesabu ya ubaya

2Ko 5:19 bila kuwahesabia makosa

1Th 5:9 Mungu alituhesabu, si kwenye

Ebr 4:13 tunatoa hesabu kwake

Ufu 7:4 hesabu, waliotiwa muhuri

Ufu 7:9 umati, hakuna aliyeweza kuuhesabu

Ufu 13:18 hesabu ya mnyama

Ayu 38:37; Ho 4:14; Zek 10:3; Lu 14:28; Ro 9:27; Ufu 5:11; 20:8.

HESABU KAMILI, Ro 11:12 hesabu kamili yao

HESHIMA, 1Sa 18:23 mwenye heshima ndogo?

2Sa 6:7 tendo lisilo la heshima

Isa 52:5 jina, lilivunjiwa heshima

Eze 35:12 mambo yako yasiyo ya heshima

Da 2:46 akampa Danieli heshima

Mdo 5:41 kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina

Ro 9:21 matumizi yasiyo na heshima?

Ro 12:10 kuonyesha heshima, kwanza

Ro 13:7 anayetaka heshima, heshima

2Ti 2:20 vyombo visivyo na heshima

Ebr 5:4 mtu huchukua heshima hii

Ebr 12:9 baba, tuliwapa heshima

Ebr 12:28 utumishi kwa woga na heshima

1Pe 3:2 pamoja na heshima kubwa

1Pe 3:15 tabia-pole na heshima

Ne 9:26; Ayu 4:6; 22:4; Yer 14:21; 22:18; Da 2:6, 37; Zek 6:13; Lu 18:2; 2Th 2:4; 1Ti 1:17; 6:16; Ebr 2:9; Ufu 4:11.

HESHIMIKA, Ro 9:21 matumizi ya kuheshimika

HESHIMIWA, 2Fa 5:1 Naamani, aliheshimiwa

Isa 9:15 kuzeeka, na kuheshimiwa

HESHIMU, Kut 20:12 Mheshimu baba na mama

Law 19:30 heshimu patakatifu pangu

1Sa 2:30 wanaoniheshimu nitawaheshimu

Met 3:9 Mheshimu Yehova kwa vitu

Isa 29:23 heshimu Mungu wa Israeli

Lu 2:25 kumheshimu Mungu

Lu 18:20 Mheshimu baba na mama

Mdo 8:2 kumheshimu Mungu

Mdo 22:12 kumheshimu Mungu

Ro 1:25 wakauheshimu mno uumbaji

Efe 5:33 mke kumheshimu mume

Efe 6:2 Mheshimu baba na mama

2Sa 12:14; Est 6:9; Mk 12:6; Mdo 2:5; Flp 2:29; 2Pe 2:11.

HEWA, Efe 2:2 mtawala wa mamlaka ya hewa

1Th 4:17 kukutana na Bwana hewani

Ayu 41:16; 1Ko 9:26; 14:9; Ufu 9:2.

HEZEKIA, 2Fa 19:1, 15; Isa 36:7; 38:2.

HIARI, 1Nya 29:17 nimetoa kwa hiari

Ezr 1:6 vilivyotolewa kwa hiari

Ezr 7:16 makuhani wanatoa kwa hiari

Zb 110:3 watajitoa kwa hiari

HIFADHI, Mwa 45:5 Mungu, alinituma kuhifadhi

Zb 79:11 uwahifadhi waliochaguliwa

Zb 80:18 Utuhifadhi hai, ili

Zb 119:50 maneno yamenihifadhi hai

Mhu 7:12 hekima huwahifadhi hai

Lu 17:33 ataihifadhi hai nafsi

Ayu 36:6; Zb 119:25, 107; Yer 49:11.

HILA, 1Sa 22:8 mmepanga hila, juu yangu

Est 8:3 hila ya Hamani

Zb 17:3 sijapanga hila

Zb 18:26 utakuwa mwenye hila

Zb 37:12 Mwovu anapangia hila mwadilifu

Zb 119:158 wanaotenda kwa hila

Met 2:22 wenye hila, watang’olewa

Met 3:32 mwenye hila ni chukizo

Met 4:24 jiepushe na hila ya midomo

Met 6:18 moyo unaotunga hila

Met 13:2 nafsi ya wanaotenda kwa hila

Met 16:28 Mtu mwenye hila

Met 21:18 anayetenda kwa hila huchukua

Isa 8:10 Pangeni hila, nayo itavunjwa

Isa 8:12 msiseme, Ni hila!

Isa 21:2 Mwenye kutenda kwa hila

Isa 33:1 Ole kwako unayetenda kwa hila

Yer 12:1 wanaofanya hila hawana

Hab 2:5 divai inatenda kwa hila

Sef 3:4 walikuwa watu wenye hila

Mal 2:16 msitende kwa hila

Mt 26:4 wamkamate Yesu kwa hila

Mk 14:1 kumkamata kwa hila, kumuua

Efe 6:11 kupinga hila za Ibilisi

1Fa 15:27; 2Fa 9:14; 10:9; 15:10; 21:23; Ne 4:8; Met 11:3; 15:26; Isa 24:16; Yer 5:11; 11:9; Eze 22:25; Da 11:24; Amo 7:10; Hab 1:13; Mal 2:14; Mt 26:4; Mdo 23:13; Ebr 7:26.

HILA YA SERIKALI, Mdo 7:19.

HIMENAYO, 1Ti 1:20 Himenayo, nimemtia

2Ti 2:17 Himenayo na Fileto

HIMILI, 1Ko 10:13 kupita mnavyoweza kuhimili

HIMIZA, Kut 12:33 Wamisri wakawahimiza

1Th 2:11 endelea kumhimiza kila mmoja

2Ti 4:2 himiza, kwa ustahimilivu

Tit 2:15 kuhimiza na kukaripia

Ebr 3:13 endeleeni kuhimizana

Yud 3 kuwahimiza mfanye pigano

Ro 12:8; 1Ko 16:15; 2Ko 2:8; Flp 4:2; 1Th 4:1; 5:14; Tit 1:9; Ebr 13:19.

HIMIZO, 1Ti 6:2 kutoa mahimizo haya

Ayu 20:3; 36:10; Ho 5:2.

HINOMU, 2Nya 33:6 wanawe motoni, Hinomu

Yos 15:8; 2Fa 23:10; 2Nya 28:3; Ne 11:30; Yer 7:31; 19:2; 32:35.

HIRAMU, 1Fa 5:1, 10; 7:13, 45; 9:11; 10:11.

HISIA, Mk 16:8 walikuwa na hisia nyingi

Ro 11:7 hisia zao zilifanywa kuwa nzito

Mwa 43:30; 1Fa 3:26.

HISIA YA KUVUNJIKA MOYO, Kut 23:28; Kum 7:20; Yos 24:12.

HISOPO, Zb 51:7 Unitakase kwa hisopo

Law 14:6; Hes 19:6; Yoh 19:29; Ebr 9:19.

HISTORIA, Mwa 2:4; 5:1; 6:9; Mt 1:1.

HITAJI, Kum 15:8 mkopeshe kadiri anayohitaji

Mt 6:32 Baba anajua mnahitaji

1Ko 12:21 mkono: Sikuhitaji wewe

Ro 16:2; Ebr 5:12; 7:27.

HOBABU, Hes 10:29; Amu 4:11.

HODARI, Kum 31:6 Iweni hodari na wenye

2Ko 5:6 sisi tuna uhodari mwingi

Flp 1:14 uhodari wa kulisema neno la Mungu

Hes 13:20; Yos 1:6, 7; 1Nya 19:13; 28:20; Ebr 13:6.

HODI, Mdo 12:13 Alipopiga hodi Roda

Mt 7:7; Ufu 3:20.

HOFU, Kut 15:16 hofu itaanguka juu yao

Yos 1:9 usiwe na hofu

1Sa 11:7 hofu ya Yehova ikawashika

1Sa 16:14 roho mbaya ikamtia hofu

2Nya 19:7 hofu ya Yehova iwe juu yenu

Zb 91:5 Hutaogopa kitu cha kutia hofu

Isa 2:21 hofu ya Yehova

Eze 3:9 usiingiwe na hofu

Da 2:31 sanamu, sura yake ilitia hofu

Mal 2:5 aliingiwa na hofu

Kum 28:66; Ayu 3:25; Isa 12:2; 24:17; 51:7; Yer 8:15; 10:2; 30:5; 49:5.

HOJA, Ayu 13:6 sikieni hoja zangu

Zb 38:14 kinywani mwangu hamkuwa na hoja

Isa 41:21 Toeni hoja zenu

Kol 2:4 mtu asiwadanganye kwa hoja

Ayu 13:15.

HOJI, Ayu 13:3 kuhojiana na Mungu.

Mik 6:2; Lu 23:14; Mdo 4:9; 22:29.

HOMA, Mt 8:15; Yoh 4:52; Mdo 28:8.

HOMA KALI, Kum 32:24; Hab 3:5.

HONGO, 1Sa 12:3 pesa za hongo

Amo 5:12.

HOREBU, Kum 5:2 agano nasi katika Horebu

Kut 3:1; 17:6; Kum 9:8; 29:1; Zb 106:19.

HORI, Met 14:4 pasipo ng’ombe hori ni safi

Lu 2:7, 12, 16.

HOTUBA, Mdo 15:32 hotuba nyingi

HUBIRI, Yer 50:2 Lihubirini kati ya mataifa

Mt 4:17 Yesu alianza kuhubiri

Mt 10:7 hubirini, mkisema

Mt 10:27 lihubirini juu ya paa

Lu 4:19 kuhubiri mwaka wa Yehova

Lu 8:1 mpaka kijiji, akihubiri

Mdo 10:42 alituagiza tuwahubirie watu

Ro 10:14 bila mtu wa kuhubiri?

Ro 10:15 watahubirije wasipotumwa?

1Ko 1:23 tunamhubiri Kristo aliye mtini

1Ko 2:4 niliyohubiri hayakuwa kushawishi

1Ko 15:14 Kristo hakufufuliwa, kuhubiri

2Ti 4:2 lihubiri neno, kwa bidii

Mt 3:1; 4:23; 9:35; Ro 15:19; Ga 2:2.

HUBIRIA, Mdo 28:31; 1Ko 9:27; 1Pe 3:19.

HUBIRIWA, Mt 24:14 ya ufalme itahubiriwa

1Ko 1:21 upumbavu wa linalohubiriwa

HUDHURIA, Mdo 2:46 wakihudhuria daima

HUDUMA, Mdo 20:24 kumaliza huduma

Ro 11:13 naitukuza huduma yangu

1Ko 12:5 huduma mbalimbali

2Ko 4:1 tuna huduma kulingana

2Ko 5:18 huduma ya upatanisho

2Ko 6:3 huduma isilaumiwe

Efe 4:12 kazi ya huduma

1Ti 1:12 kunigawia huduma

2Ti 4:5 timiza kikamili huduma

Mdo 21:19; Ro 12:7; 2Ko 8:4; 9:1; Kol 4:17.

HUDUMIA, Isa 56:6 wageni ili kumhudumia

1Ko 7:35 kumhudumia Bwana daima

Ebr 6:10 mmewahudumia watakatifu

1Pe 1:12 walikuwa wakiwahudumia

Mk 1:13; Mdo 8:13; 1Pe 4:10.

HUDUMU, 1Sa 2:18 Samweli akihudumu mbele

Mt 20:28 Mwana alikuja kuhudumu

1Ti 3:13 wanaume wanaohudumu

Ebr 1:14 malaika, walitumwa kuhudumu

Ebr 6:10 mnaendelea kuhudumu

Mt 4:11; 25:44.

HUKU NA HUKU, Yer 2:31.

Da 12:4 huku na huku, ujuzi

2Nya 16:9; Yer 5:1; Amo 8:12; Zek 4:10.

HUKUMIWA, Zb 9:19 Mataifa na yahukumiwe

Isa 26:12 utatuhukumia amani

Yoh 3:18 amehukumiwa tayari

Yoh 16:11 mtawala amehukumiwa

Ro 5:18 matokeo yalikuwa kuhukumiwa

Yak 5:6 Mmemhukumia hatia, mmemuua

Ufu 11:18 kuhukumiwa kwa wafu

HUKUMU, 1Nya 16:14 hukumu duniani pote

Zb 25:9 wapole watembee katika hukumu

Zb 119:108 unifundishe hukumu zako

Met 29:14 Mfalme anapohukumu

Mhu 8:11 hukumu juu ya kazi mbaya

Isa 2:4 hukumu kati ya mataifa

Isa 26:20 mpaka hukumu ipite

Isa 54:17 Silaha yoyote utaihukumu

Yoe 3:2 nitajiweka hukumumi na mataifa

Sef 2:3 mmetenda hukumu yake

Mt 12:41 Ninawi watasimama hukumuni

Mt 19:28 mkihukumu makabila 12

Mt 23:33 hukumu ya Gehena?

Lu 6:37 acheni kuhukumu

Lu 23:24 Pilato akatoa hukumu

Yoh 5:22 Baba hamhukumu mtu

Yoh 5:29 ufufuo wa hukumu

Yoh 12:48 Neno litamhukumu

Mdo 17:31 siku anayokusudia kuhukumu

Ro 2:1 unayehukumu una mazoea

Ro 8:3 aliihukumu dhambi katika mwili

Ro 11:33 hukumu hazichunguziki

Ro 14:4 umhukumu mtumishi

Ro 14:5 anahukumu siku kuwa juu

1Ko 5:13 Mungu ahukumu wa nje?

1Ko 6:2 watakatifu kuhukumu ulimwengu?

1Ko 11:29 anakunywa hukumu

2Ko 1:9 hukumu ya kifo

Kol 2:16 mtu asiwahukumu

2Th 1:5 hukumu ya uadilifu

1Ti 5:21 bila kuhukumu mapema

2Ti 4:1 Yesu, kuhukumu walio hai

Ebr 9:27 baada ya hilo ni hukumu

Ebr 10:27 tarajio la hukumu

Ebr 13:4 Mungu atahukumu wazinzi

Yak 2:13 ushindi juu ya hukumu

1Pe 1:17 Baba huhukumu bila ubaguzi

1Pe 4:17 hukumu kuanza na nyumba

2Pe 2:3 hukumu ya tangu zamani

2Pe 3:7 ile siku ya hukumu

1Yo 4:17 uhuru, siku ya hukumu

Ufu 19:2 hukumu zake ni kweli

Kut 7:4; 12:12; 18:26; Zb 9:8; 37:33; 58:11; 82:1; 89:14; 109:7, 31; Isa 1:17; 11:4; 26:9; 54:17; Yer 11:20; 25:31; Mik 3:11; Mt 12:37, 41, 42; 20:18; Yoh 3:17; 8:50; Mdo 24:25; 25:9; Ro 8:1, 34; 1Ko 11:32; 2Ko 3:9; Ebr 11:7; 1Yo 3:20; Yud 6.

HUKUMU YA KIFO, 2Ko 3:6.

HULDA, 2Fa 22:14 Hulda nabii, mke wa

HURU, Lu 4:18 kuachiliwa huru mateka

Yoh 8:32 kweli itawaweka huru

Ro 6:18 mliwekwa huru na dhambi

Ro 8:21 huru kutoka utumwa

Ro 8:21 uumbaji utawekwa huru

1Ko 7:22 aliye huru ni mtumwa wa Kristo

Ga 3:28 mtumwa wala mtu huru

Ga 4:26 Yerusalemu la juu ni huru

Ebr 2:15 awaweke huru waliotiishwa

Kut 21:2; Kum 15:1, 2; Zb 88:5; Isa 58:6; Ro 8:2; Efe 6:8; Kol 3:11.

HURUMA, Hes 22:29 umenitendea bila huruma

Isa 49:13 anaonyesha huruma watu

Yer 13:14 Sitaonyesha huruma

Yoe 2:18 Yehova atawaonea huruma watu

Ro 9:15 nitamwonyesha huruma ninayetaka

Ro 12:1 nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu

Flp 2:1 upendo mwororo na huruma

Kol 3:12 upendo mwororo wenye huruma

Mwa 43:14; 1Fa 8:50; Zb 40:11; Yer 15:5; Eze 7:9; Ho 13:14; Zek 11:5, 6.

HURUMIA, 2Ko 1:23 kuwahurumia ninyi, sijaja

HUSIANA, Ro 6:10 kuhusiana na Mungu

Ro 11:28 kuhusiana na kuchagua kwa

HUZUNI, 1Fa 20:43 mfalme akaenda, na huzuni

1Fa 21:27 Ahabu akatembea kwa huzuni

Zb 38:6 Nimetembea kwa huzuni

Met 17:25 mjinga ni huzuni kwa baba

Isa 35:10 huzuni itakimbia

Da 1:10 nyuso zenu zina huzuni

Yoh 16:20 huzuni yenu itawa shangwe

2Ko 2:1 nisije tena kwa huzuni

2Ko 7:10 huzuni kwa njia ya kimungu

1Th 4:13 ili msiwe na huzuni

Yak 4:9 shangwe yenu kuwa huzuni

Mwa 42:38; Zb 31:10; 109:16; Met 25:20; Isa 51:11; Yer 45:3; Flp 2:26; 1Th 5:14.

HUZUNIKA, Isa 19:8 wavuvi lazima wahuzunike

Eze 21:7 kila roho itahuzunika

HUZUNISHA, Eze 13:22 kuhuzunisha moyo wa

Efe 4:30 msiihuzunishe roho

Ebr 12:11 nidhamu, ni ya kuhuzunisha

1Pe 2:19 anavumilia yenye kuhuzunisha

HUZUNISHWA, Ro 14:15 ndugu anahuzunishwa

2Ko 7:9 mlihuzunishwa kimungu

I

IBA, Mwa 31:32 Raheli alikuwa ameiiba

Kut 20:15 Usiibe

Kut 22:1 mtu akiiba ng’ombe-dume

Law 19:11 Msiibe wala msidanganye

Met 9:17 Maji ya kuiba

Met 30:9 nisije nikaiba

Yer 23:30 wanaoyaiba maneno yangu

Mt 6:20 ambako hawavunji na kuiba

Kut 22:12; 2Sa 21:12; Mdo 19:37; Ro 2:22.

IBADA, Mdo 25:19 kuhusu ibada yao

Mdo 26:5 madhehebu ya ibada

Mdo 26:5 ibada, nikiwa Farisayo

Kol 2:18 ibada ya malaika

Yak 1:26 ibada yake ni ubatili

Yak 1:27 ibada iliyo safi

Kol 2:23 ibada ya kujitwika.

IBADA YA SANAMU, 1Ko 10:14.

Kol 3:5 kutamani, ibada ya sanamu

IBILISI, Yoh 8:44 baba yenu Ibilisi

Efe 4:27 msimpe Ibilisi nafasi

Efe 6:11 simama imara kumpinga Ibilisi

Ebr 2:14 amwangamize Ibilisi

Yak 4:7 mpingeni Ibilisi, atawakimbia

1Pe 5:8 Adui, Ibilisi, kama simba

1Yo 3:8 Ibilisi, dhambi tangu mwanzo

1Yo 3:8 azivunje kazi za Ibilisi

Ufu 12:12 Ole, Ibilisi ameshuka kwenu

Ufu 20:2 Ibilisi na Shetani, akamfunga

Mt 4:1, 8; 25:41; Yoh 13:2; Yud 9.

IGA, 2Th 3:7 mnapaswa kutuiga

2Th 3:9 kielelezo, mtuige sisi

Ebr 13:7 igeni imani yao

IMANI, Mwa 15:6 akawa na imani katika Yehova

Zb 78:22 hawakuwa na imani katika Mungu

Met 14:14 Asiye na imani moyoni

Mt 13:58 ukosefu wao wa imani

Mk 6:6 ukosefu wao wa imani

Lu 18:8 ataipata imani duniani?

Ro 3:3 ukosefu wao wa imani

Ro 4:13 kupitia uadilifu kwa imani

Ro 4:20 kusita kwa kukosa imani

Ro 10:9 ukionyesha imani moyoni

Ro 11:20 ukosefu wa imani, yalikatwa

Ro 14:23 kisichotokana na imani ni dhambi

Ga 3:8 waadilifu kwa imani

Ga 3:11 mwadilifu ataishi kwa imani

Ga 6:10 katika imani ni jamaa zetu

Efe 4:5 Bwana mmoja, imani moja

Flp 1:29 si imani tu, bali mteseke

2Th 3:2 imani si mali ya wote

1Ti 1:13 nilitenda kwa kukosa imani

1Ti 6:12 pigano zuri la imani

2Ti 4:7 Nimepigana, nimeshika imani

Ebr 3:19 hawakuingia kwa kukosa imani

Ebr 11:1 Imani ni tarajio

Ebr 11:6 bila imani haiwezekani

Ebr 12:2 Mkamilishaji wa imani yetu

Yak 2:26 imani bila matendo imekufa

1Pe 1:7 sifa iliyojaribiwa ya imani

1Pe 5:9 imara katika imani

1Yo 5:4 imani, imeshinda ulimwengu

Ro 4:3; 11:23; 2Ko 5:7; Efe 6:16; 1Ti 1:13; 4:1; Ebr 3:19.

IMANUELI, Isa 7:14; 8:8; Mt 1:23.

IMARA, 1Fa 8:49 makao yako imara

Zb 78:37 moyo wao haukuwa imara

Zb 93:2 Kiti cha ufalme, imara

Isa 2:2 nyumba, itawekwa imara

1Ko 15:58 iweni imara, thabiti

1Th 3:13 mioyo yenu kuwa imara

2Ti 2:19 msingi imara wa Mungu

Ebr 3:6 shika tumaini imara

Ebr 6:19 Tumaini, hakika na imara

Yak 1:8 mtu asiye imara

1Pe 5:9 mkiwa imara katika imani

2Pe 3:5 dunia ikisimama imara

Zb 89:14; 96:10; 119:90; Met 3:19; Isa 9:7; 28:16.

IMARISHA, Zb 7:9 umwimarishe mwadilifu

Ro 3:31 sisi tunaiimarisha sheria

IMARISHWA, Kol 2:7 kuimarishwa katika imani

IMBA, Zb 96:1 Mwimbieni Yehova

Zb 144:9 Ee Mungu, nitakuimbia

Isa 5:1 acha nimwimbie mpenzi

Isa 42:10 Mwimbieni Yehova wimbo

Mt 26:30 baada ya kuimba, wakatoka

1Ko 14:15 Nitaimba sifa

Efe 5:19 mkiimba na kupiga muziki

Kol 3:16 mkimwimbia Yehova

Kut 15:1; 1Nya 16:9; Zb 68:4; Yer 20:13; Eze 26:13; Sef 2:14; Ufu 14:3.

INAMA, Kum 30:17 kuinamia miungu mingine

2Nya 7:3 wakainama kifudifudi mara moja

Zb 62:3 kama ukuta unaoinama

Zb 138:2 Nitainama kuelekea hekalu takatifu

Isa 2:8 Wao huinamia kazi ya mikono ya mtu

Kut 20:5; Zb 66:4; Isa 27:13; 31:4; Zek 14:16.

INATOSHA, Met 30:15 havijasema: Inatosha!

INDIA, Est 1:1; 8:9.

INGIA, Isa 26:2 taifa la uadilifu liingie

Mt 25:21 Ingia shangwe ya bwana

Mdo 14:22 tuingie ufalme kupitia

Met 4:14; 18:6; 23:10; Mt 19:17; Ro 5:12; Ebr 4:6, 10; 9:12, 24.

INGILIA, 1Th 4:6 yeyote asiingilie haki

INGILIA KATI, Zb 106:30 Finehasi akaingilia kati

Isa 53:12 aliingilia kati kwa ajili

Isa 59:16 hapakuwa anayeingilia kati

INGIZWA, 2Nya 20:34 yaliyoingizwa Kitabuni

INI, Kut 29:13; Met 7:23; Eze 21:21.

INUA, 1Sa 2:7 Yehova ni Mwenye Kuinua

1Sa 2:10 ainue pembe ya mtiwa-mafuta

Met 14:29 anainua upumbavu

Met 14:34 Uadilifu huinua taifa

Isa 14:13 Nitakiinua kiti cha ufalme

Da 6:3 mfalme alikusudia kumwinua

Da 11:36 atajiinua juu ya kila mungu

Mt 23:12 anayejiinua atanyenyekezwa

Mdo 5:31 Mungu alimwinua awe Wakili

1Pe 5:6 ili awainue wakati unaofaa

Zb 37:34; 41:9; Mt 11:23; 23:12; Mdo 2:33; Efe 2:6.

INUKA, Lu 16:15 kilichoinuka kati ya wanadamu

Zb 131:1.

INULIWA, Mwa 4:7 je, hutainuliwa?

Isa 2:2 utainuliwa juu ya vilima

Isa 26:5 mji ulioinuliwa

Yak 1:9 ndugu afurahie kuinuliwa

ISAKA, Mwa 17:19 utamwita jina Isaka

Ro 9:7 uzao kupitia Isaka

Mwa 22:9; Mt 8:11; Ebr 11:17, 20.

ISAKARI, Mwa 30:18; Amu 5:15; Ufu 7:7.

ISAYA, Isa 1:1; Mt 15:7; Ro 15:12.

ISHA, Omb 3:22 fadhili za Yehova, hatujaisha

ISHARA, Kut 8:23 Kesho ishara hii itatokea

Kum 6:8 uyafunge kama ishara

Kum 6:22 akaendelea kuweka ishara

Isa 7:14 atawapa ishara: Mwanamwali

Isa 8:18 Mimi na watoto ni kama ishara

Isa 11:10 ishara kwa vikundi vya watu

Isa 19:20 ni ishara na shahidi

Isa 62:10 Inueni ishara kwa ajili ya watu

Yer 4:6 ishara kuelekea Sayuni

Yer 50:2 mwinue ishara; mlitangaze

Da 4:3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake

Zek 3:8 wanaotumika kuwa ishara

Mt 16:3 ishara za nyakati hamwezi

Mt 24:3 ni nini ishara ya kuwapo?

Lu 11:29 hakuna ishara kitakayopewa

Lu 21:25 kutakuwa na ishara katika jua

Lu 23:8 alikuwa akitumaini kuona ishara

Yoh 7:31 hatafanya ishara zaidi ya

Mdo 2:19 nitatoa ishara duniani chini

1Ko 11:10 mwanamke kuwa na ishara

Flp 1:28 ishara inatoka kwa Mungu

Ufu 12:1 ishara kubwa mbinguni

Ufu 15:1 ishara nyingine mbinguni

Mwa 1:14; Hes 21:8; Isa 5:26; 13:2; 18:3; 31:9; 44:25; 49:22; Yer 4:21; 51:12, 27; Eze 12:11; 24:24, 27; Mt 12:39; Yoh 11:47; 20:30; Mdo 4:16; 8:13; 1Ko 1:22; 2Th 2:9; Ebr 12:27; Ufu 16:14.

ISHARA ZA BAHATI, Mwa 30:27; 44:5; Kum 18:10;

2Fa 21:6.

ISHI, Kum 19:4 muuaji ambaye ataishi

Ayu 14:14 akifa, anaweza kuishi tena?

Mt 4:4 Mwanadamu ataishi, si

Yoh 6:51 akila mkate ataishi milele

Ro 1:17 mwadilifu ataishi kwa imani

Ro 6:10 anaishi kuhusiana na Mungu

Ro 10:5 wa Sheria ataishi kwa huo

Ro 14:7 anayeishi kwa ajili yake

Ufu 15:7 Mungu, anayeishi milele

Mwa 3:22; Kut 33:20; 2Sa 21:5; Eze 18:32; Ro 8:13.

ISHIWA, Ayu 3:17 walioishiwa nguvu

ISHMAELI, Mwa 16:11; 25:9; 28:9; Yer 41:6.

ISIVYOFAA, 1Ko 11:27 kukinywa isivyofaa

ISKARIOTE, Mt 10:4; 26:14; Yoh 6:71.

ISRAELI, Mwa 35:10 bali utaitwa Israeli

Kut 4:22 Israeli ni mwanangu

1Nya 17:21 taifa, kama Israeli

Ho 1:10 Israeli kama mchanga

Ro 9:6 Israeli ni Israeli kikweli

Efe 2:12 mmetengwa na Israeli

Mwa 32:28; Zb 135:4; Isa 8:14; 10:20; Eze 36:22; Mdo 13:23; Ebr 8:10.

ITA, Isa 55:6 Mwiteni akiwa bado yupo

Isa 65:24 kabla hawajaita mimi nitajibu

Yer 16:16 nitawaita wawindaji wengi

Ro 8:30 aliowaagiza kimbele aliwaita

2Ti 1:9 alituita kwa mwito mtakatifu

1Pe 2:9 aliyewaita ninyi kutoka gizani kuingia

Mwa 2:19; 4:26; Isa 54:5; 58:1; 60:14, 18; 62:2; 65:15; 1Th 4:7; 1Pe 2:21.

ITALIA, Ebr 13:24 walio Italia

ITIA, Zb 145:18 karibu na wanaomwitia

Mdo 2:21 kila mtu atakayeliitia jina la Yehova

Ga 5:13 mliitiwa uhuru

Yoe 2:32; Mdo 22:16; Ro 10:13.

ITIKIA, Met 1:28 Wataniita, lakini sitaitikia

ITWA, Ro 7:3 ataitwa mzinzi

Ro 9:26 wataitwa wana wa Mungu aliye hai

1Ko 1:9 mliitwa katika ushirika na Kristo

1Ko 1:26 si wengi wenye hekima walioitwa

Efe 4:4 mlivyoitwa katika tumaini moja

1Yo 3:1 tuitwe watoto wa Mungu

Ufu 17:14 wale walioitwa na waliochaguliwa

Ayu 9:19.

J

JAA, Hab 2:14 dunia itajawa na kuujua

Mwa 1:20; 6:11; Ayu 10:15; 14:1.

JALI, 1Sa 12:25 kufanya mabaya bila kujali

Met 29:19 anaelewa lakini hajali

Isa 32:9 Enyi binti wasiojali

Mt 22:5 wakaenda zao bila kujali

JAMAA, Lu 14:12; Mdo 10:24.

JAMBO, Kum 19:15 jambo litathibitishwa

Met 18:13 anapojibu jambo bila kusikia

Mhu 3:1 wakati wa kila jambo

1Ko 16:14 Mambo yatendeke kwa upendo

Ga 1:11 si jambo la kibinadamu

Kum 17:8; Est 3:4; Met 11:13; Mhu 10:20; Mdo 15:6.

JAMII, 1Pe 2:9 jamii iliyochaguliwa, taifa

Zb 117:1.

JAMII ILIYOCHANGAMANA, Kut 12:38; Ne 13:3.

JANGWA, Isa 35:1 jangwa litashangilia

Isa 51:3 jangwani kama bustani

Ebr 11:38 Walitembea katika majangwa

Isa 35:6; 41:19; 43:19; Yer 50:12; Lu 1:80.

JANI, Ufu 22:2 majani ya kuponya

JARIBIWA, Ayu 34:36 Ayubu na ajaribiwe

Isa 28:16 jiwe lililojaribiwa

Ga 6:1 ili usije ukajaribiwa

Ebr 4:15 amejaribiwa katika mambo

Ebr 11:37 Walipigwa, walijaribiwa

Ufu 2:10 ili mjaribiwe kwa ukamili

Amu 2:22; Ebr 2:18.

JARIBU, Kum 13:3 Yehova Mungu anawajaribu

2Nya 9:1 malkia akaja kumjaribu

Ayu 23:10 Baada ya yeye kunijaribu

Zb 26:2 Unichunguze na kunijaribu

Isa 7:12 sitamjaribu Yehova

Zek 13:9 na kuwajaribu kama dhahabu

Mal 3:10 mnijaribu kwa njia hii

Mal 3:15 wamemjaribu Mungu

Mt 4:7 Usimjaribu Yehova

Mt 6:13 usituingize katika jaribu

Mt 26:41 msiingie katika jaribu

Lu 4:13 akiisha kumaliza majaribu

Lu 8:13 wakati wa jaribu

1Ko 7:5 Shetani asiendelee kuwajaribu

1Ko 10:9 Wala tusimjaribu Yehova

1Ko 10:13 Hakuna jaribu ambalo

2Ko 13:5 Endeleeni kujijaribu

1Ti 6:9 huanguka katika majaribu

Ebr 11:36 walipata jaribu kwa dhihaka

Yak 1:12 anayeendelea kuvumilia jaribu

Yak 1:13 Mtu akiwa chini ya jaribu

Yak 1:13 asiseme: Mungu ananijaribu

1Pe 4:12 unaowapata ili kuwa jaribu

2Pe 2:9 kuwakomboa kutoka jaribu

Ufu 3:10 saa ya jaribu

Lu 22:28; Mdo 5:9; Ga 4:14; Yak 1:2; 1Yo 4:1.

JASHO, Mwa 3:19 Kwa jasho la uso wako

JAZA, Mwa 1:28 mjaze dunia na kuitiisha

Mwa 9:1 zaeni, mjaze dunia

Zb 24:1 Dunia na vinavyoijaza

Zb 65:10 Mitaro yake inajazwa maji

Zb 96:11 Bahari na vinavyoijaza

Da 2:35 jiwe likaijaza dunia

Hag 2:7 nitaijaza nyumba hii utukufu

Efe 5:18 kujazwa na roho

1Fa 8:11; Zb 81:10; Isa 27:6; 43:24; Yer 51:14; Omb 3:15; Mt 23:32; Mdo 4:31; Kol 1:9.

JAZA MKONO NGUVU, Kut 28:41; 29:33, 35; Amu 17:5.

JAZANA, Amu 7:12 wamejazana katika nchi

JEHANAMU. Ona GEHENA, KABURI.

JELA, Mt 11:2; Mdo 5:21; 16:26.

JEMA, Ro 7:19 jema ninalotaka silifanyi

JEMBAMBA, Isa 40:15 vumbi jembamba

Mt 7:14 lango ni jembamba

JEMBE, Isa 2:4 panga ziwe majembe

Yoe 3:10 majembe yenu yawe panga

Lu 9:62 mkono wake kwenye jembe

JENGA, Zb 102:16 Yehova atajenga Sayuni

Zb 127:1 Yehova asipoijenga nyumba

Isa 65:22 Hawatajenga na mtu mwingine akae

Yer 1:10 kuangusha, ili kujenga na kupanda

Mik 3:10 mnaojenga Sayuni kwa damu

Mt 7:24 aliyejenga nyumba juu ya mwamba

Mt 16:18 juu ya mwamba huu nitajenga

Lu 17:28 walikuwa wakijenga

1Ko 3:10 kuangalia jinsi anavyojenga juu yake

1Ko 8:1 upendo hujenga

1Ko 10:23 si mambo yote yanayojenga

1Ko 14:3 anayetoa unabii huwajenga

1Ko 14:4 anayesema kwa lugha hujijenga

1Ko 14:26 kwa ajili ya kujenga

Efe 4:29 neno jema kwa ajili ya kujenga

Kol 2:7 mmetia mizizi na kujengwa katika

Ebr 3:3 anayejenga ana heshima kuliko

Ebr 3:4 aliyevijenga vitu vyote

1Fa 6:2, 38; 1Nya 28:6; Ezr 4:4; Met 24:3; Mhu 3:3; Mdo 7:49; 20:32; 1Ko 3:14; 14:12; 2Ko 12:19; Efe 2:22; Yud 20.

JENGA UPYA, Ezr 6:8 kujengwa upya nyumba

Isa 61:4

Ezr 5:17; Ne 2:17; Eze 36:10.

JENGANA, Ro 14:19 ni ya kujengana

JENGO, Amo 9:6 anayejenga jengo lake

1Ko 3:9 Ninyi ni jengo la Mungu

Efe 2:21 jengo lote likiunganishwa

2Ko 5:1.

JENGWA, Yoh 2:20 Hekalu lilijengwa miaka 46

Ro 15:2 kwa ajili ya kujengwa kwake

Efe 2:20 mmejengwa juu ya msingi wa

JERAHA, Isa 30:26 kuliponya jeraha kali

Isa 53:5 majeraha yake tumeponywa

Met 23:29; Isa 1:6; Eze 26:15; 30:24.

JERUHI, Kum 32:39 Nimejeruhi vikali

JESHI, Mwa 2:1 na jeshi lake lote zikamalizika

Zb 110:3 kwa hiari, siku ya jeshi

Isa 34:2 Yehova ana ghadhabu juu ya jeshi lao

Yer 28:2 Yehova wa majeshi amesema hivi

Yer 33:22 jeshi la mbinguni lisivyoweza

Zek 4:6 Si kwa jeshi, bali kwa roho

Lu 21:20 Yerusalemu limezingirwa na majeshi

Ro 9:29 Yehova wa majeshi ametuachia uzao

Yak 5:4 masikioni mwa Yehova wa majeshi

Ufu 19:14 majeshi yaliyokuwa mbinguni

Kum 24:5; 1Sa 17:45; 2Fa 17:16; Eze 37:10; 38:4, 15; Da 4:35; 8:10; Yoe 2:11, 25; Mt 22:7; Ebr 11:34; Ufu 9:16.

JEUPE, Ufu 2:17 nitampa jiwe jeupe

JEURI, Zb 73:6 Jeuri huwafunika kama vazi

Isa 53:9 hakuwa amefanya jeuri

Isa 60:18 Jeuri haitasikiwa nchini

Eze 7:23 jiji limejaa jeuri

Eze 28:16 walikujaza jeuri

Mwa 6:11; Zb 11:5; Sef 1:9; Mal 2:16.

JIACHILIA, Kut 32:25; Met 29:18.

JIANGALIE, 1Ti 4:16 Jiangalie wewe na fundisho

JIANGALIENI, Mdo 20:28 Jiangalieni, na kundi

JIBU, Met 15:28 mwadilifu hutafakari ili kujibu

Met 18:13 anapojibu kabla ya kusikia

Mhu 10:19 pesa hutokeza jibu

Isa 65:24 kabla hawajaita mimi nitajibu

Ro 10:21 wanaojibu kwa ujeuri

Ayu 14:15; Isa 58:9; Yer 33:3; Kol 4:6.

JICHO, Ayu 42:5 jicho langu linakuona

1Ko 2:9 Jicho halijaona na sikio

1Ko 15:52 na kufumbua jicho

Ufu 1:7 kila jicho litamwona

JICHO KWA JICHO, Kum 19:21; Mt 5:38.

JIENDESHA, 1Ko 7:36 anajiendesha isivyofaa

1Ko 13:5; 2Th 3:7.

JIEPUSHA, 2Ti 2:21 akijiepusha na wa mwisho

JIFICHA, Met 26:24 mwenye chuki hujificha

JIFUNZA, Kum 31:12 wasikie ili wajifunze

Met 9:9 atazidi kujifunza

Isa 2:4 hawatajifunza vita tena

Mik 4:3 hawatajifunza vita tena

Yoh 7:15 hajajifunza shuleni?

Ro 16:17 fundisho ambalo mmejifunza

1Ko 14:35 kujifunza, waulize waume

Flp 4:9 Mambo mliyojifunza

1Ti 5:13 hujifunza kukosa kazi

2Ti 3:7 wakijifunza sikuzote

Ebr 5:8 alijifunza kutii

Kum 4:10; Zb 119:73; Met 30:3; Yoh 6:45; 1Ko 14:31; Flp 4:11, 12; 1Ti 2:11; 2Ti 3:14.

JIFUNZA KIKAMILI, Ufu 14:3.

JIFURAHISHA, Met 21:17.

Lu 16:19 akijifurahisha kila siku

Kut 32:6; Lu 12:19; Mdo 7:41; Ufu 11:10.

JIGAMBA, Zb 10:4 Kwa sababu ya kujigamba

Met 21:24 mwenye kujigamba na

Isa 29:20 mwenye kujigamba atakwisha

Yer 9:24 yule anayejigamba na ajigambe

1Ko 13:4 Upendo haujigambi

Yak 3:5 ulimi hujigamba kwa njia kubwa

JIGEUZA, 2Ko 11:14 Shetani hujigeuza

JIHADHARI, Mt 10:17 Jihadharini na watu

JIHUSISHA, 2Ti 2:4 hajihusishi na biashara

JIINGIZA, Met 14:10 mgeni hatajiingiza

2Th 3:11 wanajiingiza katika mambo

1Ti 5:13 kujiingiza katika mambo ya

1Pe 4:15 kujiingiza katika mambo

2Pe 2:20 wanajiingiza tena

JIJI, Hes 35:6 majiji sita ya makimbilio

Isa 6:11 mpaka majiji yawe bila mkaaji

Isa 54:3 watakaa katika majiji yaliyoachwa

Mt 5:14 Jiji haliwezi kufichwa likiwa mlimani

Ebr 11:10 jiji lililo na misingi ya kweli

Ebr 11:16 ametayarisha jiji kwa ajili yao

Ufu 21:2 jiji takatifu, Yerusalemu Jipya

Mwa 11:4; Eze 9:4; Lu 4:43; 19:17; Ufu 16:19.

JIJI LA MAKIMBILIO, Hes 35:25; Yos 21:13, 21.

JIKAZA, Ro 15:30 mjikaze nami katika sala

Mwa 48:2; Kol 4:12; 1Ti 4:10.

JIKO LA MAKAA, Yer 36:22.

JIKUNJA, Omb 3:16 nijikunje katika majivu

Isa 46:2.

JIKWAA, Isa 8:14 mwamba wa kujikwaa

Yer 20:11 wanaonitesa watajikwaa

Ro 14:13 sababu ya kujikwaa

Met 4:12; Isa 8:15; 59:10; Ro 11:11, 12; Ga 6:1; Yak 3:2.

JINA, Kut 3:15 Yehova, ndilo jina langu

Kut 6:3 kuhusu jina langu Yehova

Kut 9:16 jina langu litangazwe duniani

Kut 20:7 Usilitumie jina isivyofaa

Met 10:7 jina la waovu litaoza

Met 18:10 Jina la Yehova ni mnara

Met 22:1 jina kuliko dhahabu

Mhu 7:1 Jina ni bora kuliko mafuta

Isa 12:4 Liitieni jina lake

Isa 26:14 kuharibu majina yao

Isa 62:2 utaitwa kwa jina jipya

Eze 36:22 jina langu takatifu

Mt 6:9 jina lako litakaswe

Mt 12:21 mataifa yatalitumaini jina

Mt 24:9 mtachukiwa, sababu ya jina

Lu 21:12 kwa ajili ya jina langu

Yoh 14:14 Mkiomba katika jina langu

Yoh 17:26 nimewajulisha jina lako

Mdo 4:12 hakuna jina lingine

Mdo 15:14 watu kwa ajili ya jina lake

Ro 10:13 anayeliitia jina la Yehova

Efe 3:15 kila familia hupata jina

Flp 2:9 jina lililo juu ya kila jina

Ufu 2:3 umehimili kwa jina langu

Mwa 2:19; Met 22:1; 1Yo 2:12.

JINA LA CHEO, Ayu 32:21.

JINYENYEKEZA, Flp 2:8 Kristo alijinyenyekeza

Yak 4:10 Jinyenyekezeni machoni pa

1Pe 5:6 jinyenyekezeni chini ya

1Fa 21:29; 2Fa 22:19; 2Nya 7:14; 12:6; Mt 18:4; Mt 23:12.

JINYONGA, Mt 27:5 [Yuda] akajinyonga

JIPANGA, 1Sa 4:2 Wafilisti wakajipanga

JIPANGA KIVITA, Amu 20:20.

JIPU, Kut 9:11 Wamisri, wamepata majipu

Ayu 2:7 Ayubu kwa majipu

JIPYA, Mhu 1:9 hakuna jipya chini ya jua

Lu 22:20; Ufu 3:12.

JIRANI, Met 27:10 Jirani wa karibu ni afadhali

Lu 10:27 mpende jirani kama wewe

Lu 10:36; Ro 13:10; Efe 4:25.

JITAHIDI, Lu 13:24 Jitahidini sana

Efe 4:3 mkijitahidi sana kuushika

Ga 2:10; 1Th 2:17.

JITAYARISHA, Amo 4:12; 1Ko 14:8.

JITENGA, Met 18:1 anayejitenga na wengine

Ru 1:13.

JITETEA, Ro 1:20 sababu ya kujitetea

Ro 2:1 sababu ya kujitetea, Ee

JITIA, 2Pe 2:7 kujitia mwenendo mpotovu

JITIHADA, Mhu 2:22 jitihada za moyo wake

JITIISHA, Kut 10:3 kukataa kujitiisha

Ro 10:3 hawakujitiisha kwa uadilifu

Ro 13:1 Kila nafsi ijitiishe kwa mamlaka

2Ko 9:13 mnajitiisha kwenye habari njema

Efe 5:22 Wake wajitiishe kwa waume

Efe 5:24 kutaniko linavyojitiisha

Kol 3:18 Enyi wake, jitiisheni

Tit 2:5 wakijitiisha kwa waume zao

1Pe 2:13 jitiisheni kwa kila kitu

1Pe 3:1 ninyi wake, jitiisheni

1Pe 5:5 jitiisheni kwa wanaume wazee

Lu 2:51; 1Ko 14:34; Kol 2:20; 1Ti 3:4; Tit 3:1; Ebr 12:9.

JITOLEA, Amu 5:9 Moyo uko na waliojitolea

2Nya 17:16 Amasia mwenye kujitolea

Ne 11:2 waliojitolea kukaa Yerusalemu

JITU. Ona WANEFILI.

JIVUNA, Zb 94:4 wanajivuna wenyewe

Da 8:4, 8; 1Ko 4:6; 5:2; 13:4.

JIVUNA SANA, Zb 55:12 aliyejivuna sana dhidi

Da 8:25 atajivuna sana na kuharibu

Zb 35:26; 38:16; Yer 48:26; Omb 1:9; Da 8:4.

JIVUNIA, 2Th 1:4 tunajivunia ninyi

Yak 4:16 mnajivunia kujigamba

JIWE, Zb 91:12 usiugonge mguu juu ya jiwe

Isa 60:17 badala ya mawe, chuma

Isa 62:10 Ondoeni mawe

Da 2:34 jiwe likakatwa

Mt 21:42 Jiwe ambalo wajenzi

Lu 19:40 mawe yangepaaza sauti

Ro 9:32 Walijikwaa juu ya jiwe

1Pe 2:6 Ninaweka katika Sayuni jiwe

JIWE GUMU, Zek 7:12 mioyo kama jiwe gumu

JIWE LA JUU, Zek 4:7.

JIWE LA KABURI, 2Fa 23:17.

JIWE LA KUSAGIA, Amu 9:53; Ayu 41:24; Lu 17:2;

Ufu 18:21.

JIWE LA MVIRINGO, Ufu 2:17.

JIWE LA PEMBENI, Ayu 38:6; Zb 118:22; Isa 28:16; Mt 21:42; Mk 12:10; Mdo 4:11; Efe 2:20; 1Pe 2:6, 7.

JIZOEZA, 1Ti 4:7 ukijizoeza ujitoaji-kimungu

JOGOO, Mt 26:34 kabla ya jogoo kuwika

Mt 26:74, 75; Mk 14:30.

JOKA, Ufu 12:4 joka mkubwa, ammeze mtoto

Ufu 12:17 joka akawa na ghadhabu

Ufu 12:3, 7, 9; 13:2; 16:13; 20:2.

JOTO, Zb 19:6; Isa 49:10; Mt 20:12; Ufu 7:16.

JUA 1., Yos 10:12 Ewe jua, simama tuli

Isa 49:10 jua halitawaunguza

Isa 60:19 kwako jua halitakuwa

Mal 4:2 jua la uadilifu litaangaza

Mt 13:43 waadilifu watang’aa kama jua

Mdo 2:20 jua litageuzwa kuwa giza

Zb 89:36; Mhu 1:9; Lu 21:25; Ufu 7:16.

JUA 2., 2Ko 2:11 kuzijua mbinu zake

1Th 4:13 hatutaki mkose kujua

2Pe 2:12 mambo ambayo hawajui

Ebr 5:2 kiasi wale wasiojua

JUHUDI, Mdo 18:28 kwa juhudi alithibitisha

JUKWAA, Ne 8:4 jukwaa la mbao

2Nya 6:13; Sef 1:9.

JULIKANA, Mt 10:26; 1Ko 13:12; 2Ko 6:9; Ga 1:22.

JULISHA, Ga 1:11 nawajulisha, ndugu

JUMA, Kut 34:22 sherehe yako ya majuma

Da 9:24 Kuna majuma 70 ambayo

Da 9:27 katika nusu ya juma hilo

Mwa 29:27, 28; Kum 16:9, 10, 16; Da 9:25, 26.

JUMBA, Mdo 19:9 jumba la shule ya Tirano

JUMBA LA GAVANA, Mt 27:27; Yoh 18:28.

JUMBA LA MAONYESHO, Mdo 19:29; Ebr 10:33.

JUMLA, Mhu 7:27 kujua jumla yake

JUTA, Mwa 6:6 Yehova akajuta

Kut 32:14 Yehova akajuta

Amu 21:6 Israeli wakajuta

Zb 110:4 Yehova hatajuta

Isa 66:2 anayeteseka na kujuta rohoni

Yer 26:13 Yehova ataujuta msiba

Zek 1:17 Yehova atajutia Sayuni

Mt 27:3 Yuda, akajuta

Hes 23:19; Amu 2:18; Zb 106:45; Yer 18:10; Yon 3:10; Zek 8:14; Ro 11:29; Ebr 7:21.

JUU, Isa 2:11 Yehova atainuliwa juu

Flp 2:9 cheo cha juu zaidi

Flp 3:14 mwito wa kwenda juu

1Ti 2:2 walio katika cheo cha juu

Kum 2:36; Zb 139:6.

JUU YA WOTE, Ro 9:5 Mungu, aliye juu ya wote

JUUJUU, 2Ko 10:7 na thamani yake ya juujuu

K

KAA, Kut 12:48 mkaaji mgeni anakaa

Law 25:45 wahamiaji wanaokaa wakiwa

Hes 35:34 msinajisi nchi ambamo mnakaa

Amu 5:17 Dani, kwa nini kukaa melini?

Amu 17:8 akae kwa muda popote

Zb 27:4 nikae katika nyumba ya Yehova

Zb 133:1 Ndugu kukaa kwa umoja!

Isa 40:22 anayekaa, mviringo wa dunia

Isa 52:4 Watu walienda Misri kukaa

Isa 54:3 watakaa majiji yaliyo ukiwa

Isa 65:21 watajenga na kukaa ndani

Mk 5:3 akikaa kati ya makaburi

Yoh 3:36 ghadhabu ya Mungu hukaa

Yoh 8:31 Mkikaa katika neno

Ro 7:20 dhambi inayokaa ndani yangu

1Ko 3:16 roho, inakaa ndani yenu?

Efe 2:22 Mungu kukaa kwa roho

Efe 6:3 ukae muda mrefu duniani

Flp 1:25 nitakaa pamoja na ninyi

1Ti 4:16 Kaa katika mambo haya

Ebr 11:9 alikaa kama mgeni katika nchi

Mwa 12:10; 26:3; 47:4; Hes 9:14; Zb 61:7; 68:16; Met 21:9, 19; Isa 23:7; 32:18; Yer 42:17; Eze 47:22; Yoh 15:4; 2Yo 9.

KAA KWA MUDA, Mdo 17:21.

KAA MACHO, 1Th 5:6 tukae macho na kutunza

Ufu 16:15 Mwenye furaha, anayekaa macho

1Ko 16:13; Kol 4:2.

KAAKAA, Zb 137:6 Ulimi ushikamane na kaakaa

Ayu 34:3; Met 24:13; Omb 4:4.

KABIDHI, Lu 16:11 nani atakayewakabidhi

2Ko 5:19 alitukabidhi lile neno

1Th 2:4 kukabidhiwa habari njema

2Ti 2:2 mambo hayo uwakabidhi watu

1Pe 4:19 kuzikabidhi nafsi zao

Met 16:3; Ro 3:2; 1Ko 9:17; Ga 2:7; Tit 1:3.

KABIDHIWA, Yud 3 imani waliyokabidhiwa

KABILA, Mwa 49:28 makabila kumi na mawili

Zb 122:4 Makabila ya Yah

Isa 49:6 kuyainua makabila ya Yakobo

Mt 19:28 mkiyahukumu yale makabila

Mt 24:30 makabila yatakapojipiga-piga

Yak 1:1 makabila yaliyotawanyika

Ufu 1:7 makabila yote ya dunia

Ufu 7:9 kutoka makabila yote

Kut 28:21; Zb 74:2; Ebr 7:13; Ufu 21:12.

KABILI, Zb 17:13 Ee Yehova; umkabili

Zb 59:10.

KABISA, Mwa 41:40 wote watakutii kabisa

KABURI, Mwa 42:38 mvi katika Kaburi

1Sa 2:6 Mwenye Kushusha mpaka Kaburi

Ayu 7:9 anayeshuka Kaburi hatapanda

Ayu 26:6 Kaburi liko uchi mbele zake

Zb 5:9 Koo yao ni kaburi

Zb 6:5 Katika Kaburi ni nani

Zb 9:17 waovu watarudi katika Kaburi

Zb 16:10 hutaiacha nafsi katika Kaburi

Zb 55:15 washuke katika Kaburi

Zb 88:11 fadhili zitatangazwa katika kaburi

Zb 139:8 katika Kaburi, ungekuwa huko

Met 15:24 kuliepuka Kaburi lililo chini

Met 27:20 Kaburi na mahali pa uharibifu

Mhu 9:10 hakuna ujuzi katika Kaburi

Isa 14:15 utashushwa mpaka Kaburi

Isa 22:16 ukajichimbia kaburi?

Isa 28:15 tumetekeleza maono na Kaburi

Isa 38:10 nitaingia malango ya Kaburi

Isa 38:18 Kaburi haliwezi kukusifu

Isa 53:9 kaburi lake pamoja na waovu

Eze 32:27 katika Kaburi na silaha

Ho 13:14 Ee Kaburi, wapi maangamizi?

Yon 2:2 Katika tumbo la Kaburi nilililia

Mt 16:18 malango ya Kaburi

Mt 23:27 makaburi yaliyopakwa chokaa

Mt 23:29 mnajenga makaburi ya manabii

Mt 27:61 Maria ameketi kwenye kaburi

Lu 10:15 Utashuka mpaka Kaburini!

Mdo 2:31 hakuachwa katika Kaburi

Ufu 1:18 nina funguo za Kaburi

Ufu 20:14 kifo na Kaburi vikatupwa

Kum 32:22; 2Sa 22:6; 1Fa 2:6; Ayu 17:13; Zb 49:15; Wim 8:6; Isa 5:14; 14:9, 11; 57:9; 65:4; Yer 20:17; Eze 32:21, 22; 37:12; Mt 11:23; 27:52, 60; Mk 6:29; Lu 16:23; Yoh 11:17; Ufu 6:8; 20:13.

KADESH-BARNEA, Hes 32:8; 34:4; Kum 1:2; 9:23; Yos 10:41; 15:3.

KADESHI, Mwa 14:7 mishpati, yaani, Kadeshi

Kum 1:46; Zb 29:8.

KADIRI, Ro 13:1; 2Ti 4:15; 1Pe 4:10.

KADIRIA, 2Ko 10:2 wengine wanatukadiria

KAGUA, Yer 17:10 ninazikagua figo

KAGULIWA, Lu 19:44 wakati wa kukaguliwa

KAHABA, Mwa 38:15 Yuda akafikiri ni kahaba

Kum 23:18 Usilete malipo ya kahaba

Yos 6:25 Rahabu kahaba

1Fa 22:38 makahaba waliogea hapo

Isa 1:21 mji umekuwa kahaba!

Ho 4:14 makahaba wa hekaluni

Yoe 3:3 wa kiume, kumpata kahaba

Amo 7:17 mke wako atakuwa kahaba

Mt 21:31 makahaba wanawatangulia

1Ko 6:15 viungo vya kahaba?

Yak 2:25 Rahabu yule kahaba

Ufu 17:5 Babiloni mama wa makahaba

Ufu 17:16 watamchukia kahaba

Met 7:10; Mik 1:7; Lu 15:30; Ebr 11:31; Ufu 17:1, 15; 19:2.

KAIDI, Zb 40:4 hakuwaelekea wakaidi

KAINI, Mwa 4:1; Ebr 11:4; 1Yo 3:12.

KAISARI, Mk 12:17 Mlipeni Kaisari vitu vya

Lu 23:2 akiwakataza wasimlipe Kaisari kodi

Yoh 19:15 Sisi hatuna mfalme ila Kaisari

Mt 22:17; Lu 2:1; 20:25; Yoh 19:12.

KAISARIA, Mt 16:13; Mdo 10:1; 23:23.

KALAMU, Zb 45:1 Ulimi wangu uwe kalamu

3Yo 13 kwa wino na kalamu

Ayu 19:24; Isa 8:1; Yer 8:8; 17:1.

KALE, Mal 3:4 kama katika miaka ya kale

2Pe 2:5 kuuadhibu ulimwengu wa kale

KALEBU, Hes 13:30; 14:24; 26:65; Amu 1:20.

KALI, Da 2:15 mfalme ametoa agizo kali

Kut 10:2; 1Sa 6:6; 2Sa 3:39; 19:43.

KALIWA, Isa 44:26 Atakaliwa, na majiji ya

Isa 45:18 aliiumba ikaliwe na watu

Eze 38:12 panapokaliwa tena

Isa 13:20; Yer 6:8; Eze 12:20.

KAMANDA, Isa 55:4 kuwa kiongozi na kamanda

KAMATA, 1Ko 3:19 huwakamata wenye hekima

Mt 4:12; Lu 22:54; Yoh 7:30; 8:20; Mdo 1:16.

KAMBA. Ona pia KAMBA YA KUPIMIA.

Zb 2:3 kuzitupa kamba zao mbali nasi!

Mhu 4:12 kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi

Isa 54:2 Refusha kamba za hema lako

Yoh 2:15 mjeledi wa kamba

Yos 2:15; Zb 18:4; 129:4; Yer 38:13.

KAMBA YA KUPIMIA, Isa 28:10; Isa 28:17;

Yer 31:39.

KAMBI, Ebr 13:11 kuteketezwa nje ya kambi

Kut 14:19; Hes 1:52; Ufu 20:9.

KAMBI YA KIJESHI, 1Sa 10:5; 2Sa 8:6;

1Nya 18:13.

KAMILI, 1Nya 28:9 umtumikie kwa moyo kamili

Kol 1:28 kila mtu akiwa kamili katika

1Ko 13:10; Yak 1:4.

KAMILIFU, Kum 32:4 kazi zake ni kamilifu

Zb 19:7 Sheria ni kamilifu

Ro 12:2 mjihakikishie mapenzi makamilifu

2Sa 22:31; Zb 18:32; Ebr 9:11; Yak 1:17.

KAMILISHA, 2Ko 7:1 tukiukamilisha utakatifu

Flp 1:6 aikamilishe kufikia siku

KAMILISHWA, Yoh 17:23 wapate kukamilishwa

Ebr 7:28 Mwana, anakamilishwa milele.

2Ko 12:9.

KANA 1., Yos 24:27 msimkane Mungu

Yer 5:12 Wamemkana Yehova

Mk 8:34 ajikane mwenyewe, mti

Lu 12:9 anayenikana mbele ya wanadamu

Lu 12:9 atakanwa mbele ya malaika

Mdo 26:11 kulazimisha wakane imani

1Ti 5:8 ameikana imani

Mwa 18:15; Ayu 8:18; Met 30:9; Mt 10:33; 26:70; Mk 14:30; Lu 9:23; Yoh 2:1; 4:46; 13:38; 18:25; Mdo 3:14; 7:35; 2Ti 2:12; Tit 1:16.

KANA 2., Yoh 2:1 karamu ya ndoa Kana

KANAANI, Mwa 17:8; Hes 35:10; Amu 4:23.

KANDA, Est 2:3, 9, 12.

KANDAMIZA, Kut 3:9.

Kut 23:9 usimkandamize mgeni

Amu 4:3 akawakandamiza Israeli

Yer 7:6 hamtamkandamiza mjane

Zb 9:9; Met 29:13; Isa 52:4.

KANDAMIZWA, Yer 50:33; Mdo 10:38.

KANISA. Ona KUTANIKO.

KANO, Eze 37:6 nitaweka juu yenu kano

Eze 37:8 kano na nyama zikaja

Kol 2:19 kuunganishwa kwa kano

KANUNI, 2Nya 8:14 na kanuni ya Daudi

1Ko 4:6 mjifunze kanuni

Ga 6:16 watakaotembea kwa kanuni

KANUSHA, Mdo 4:14 jambo la kukanusha

KANYAGA, Isa 28:28 mtu haendelei kuukanyaga

Isa 63:3 nimelikanyaga pipa la divai

Yer 25:30 wanaokanyaga shinikizo la divai

Yos 1:3.

KANYAGA-KANYAGA, Eze 34:18, 19; Mik 7:10.

KANYAGIA, Isa 63:3 niliendelea kuwakanyagia

Mal 4:3 mtawakanyagia chini waovu

Ebr 10:29 amemkanyagia chini Mwana

Ufu 11:2 watalikanyagia chini jiji

Ayu 40:12; Zb 44:5; 60:12; Isa 26:6; Da 7:23.

KANYAGIWA, Isa 22:5 siku, kukanyagiwa chini

Ufu 14:20.

KANYAGWA, Isa 25:10.

KANYAGWA-KANYAGWA, Isa 28:18; Da 8:13; Lu 21:24.

KANZU, Lu 15:22 Upesi! leteni kanzu

Lu 20:46 kutembea na kanzu

Ufu 7:14 wamefua kanzu zao

Isa 3:22; Mk 16:5; Ufu 6:11; 7:9, 13.

KAPERNAUMU, Mt 4:13; 11:23; Lu 4:23; Yoh 2:12; 6:59.

KAPTENI, Lu 22:4; Mdo 4:1; 5:24, 26.

KAPU, 2Ko 11:33 nilishushwa katika kapu

KARAMU, Est 2:18 karamu yake Esta

Isa 25:6 karamu ya vyakula, karamu ya divai

Yer 16:8 nyumba ya karamu

Lu 5:29 Lawi akaandaa karamu

Yud 12 miamba katika karamu

Est 5:4; Mhu 7:2.

KARAMU ZA KUPINDUKIA, Amo 6:7; Ro 13:13; Ga 5:21; 1Pe 4:3.

KARANI, Mdo 19:35 karani wa jiji

KARIBIA, 2Ti 4:6 kufunguliwa umekaribia

Ebr 7:25 wanaomkaribia Mungu

Yak 4:8 Mkaribieni, naye atawakaribia

Mik 6:6; Ro 5:2; Efe 2:18; 3:12.

KARIBISHA, Mt 25:35 nanyi mkanikaribisha

Lu 5:29 karamu ya kumkaribisha

Lu 15:2 hukaribisha watenda-dhambi

Lu 19:6 akamkaribisha kwa shangwe

Yoh 1:11 watu hawakumkaribisha

Ro 14:3 Mungu amemkaribisha

Ro 15:7 mkaribishane, kama Kristo

Yak 2:25 Rahabu alikaribisha wajumbe

1Pe 4:9 Mkaribishane

Ro 14:1; 16:2; Flp 2:29.

KARIBU, Yer 23:23 Mungu aliye karibu

KARIPIA, Ayu 40:2 Mwenye kumkaripia Mungu

Zb 105:14 aliwakaripia wafalme

Met 9:8 Usimkaripie mwenye dhihaka

Met 29:1 anayekaripiwa tena na tena

Lu 3:19 amemkaripia Herode

Yoh 3:20 matendo yake yasikaripiwe

Efe 5:13 mambo yanayokaripiwa

1Ti 5:20 ukaripie mbele ya watazamaji

2Ti 3:16 faida kwa kukaripia

2Ti 4:2 karipia, kwa ustahimilivu

Tit 1:13 kuwakaripia kwa ukali

Ufu 3:19 ninaowapenda, huwakaripia

2Sa 7:14; Ayu 13:10; Zb 50:21; Met 30:6.

KARIPIO, Met 1:23 Geukeni mpate karipio

Met 6:23 makaripio ni njia ya uzima

Met 10:17 anayeacha karipio anapotea

Met 13:18 ashikaye karipio hutukuzwa

Met 29:15 karipio hutia hekima

Met 1:25; 3:11; 15:5, 10, 31, 32.

KARMELI, 1Fa 18:19; Isa 35:2; Amo 1:2.

KASIRIKA, Mwa 41:10 Farao aliwakasirikia

Kut 16:20 Musa aliwakasirikia

1Fa 11:9 Yehova akamkasirikia

Met 22:24 mazoea ya kukasirika

Hes 16:22; Zb 2:12; 89:38; 112:10; Mhu 5:6; Mk 14:4.

KASIRISHA, Ezr 5:12 baba walikasirisha Mungu

Efe 6:4 baba, msikasirishe watoto

Kol 3:21 baba, mkiwakasirisha watoto

Ayu 19:2; Met 26:17.

KASKAZINI, Zb 48:2 Sayuni kaskazini

Isa 14:13 nitaketi sehemu za kaskazini

Isa 41:25 mtu kutoka kaskazini

Yer 1:14 Msiba kutoka kaskazini

Da 11:44 habari kutoka kaskazini

Yer 50:9; Amo 8:12; Zek 2:6; Lu 13:29.

KASORO, Kut 12:5 kuwa asiye na kasoro

Tit 1:5 urekebishe yaliyo na kasoro

Kut 29:1; Law 22:21; Met 9:7; Da 1:4.

KATA, Kum 25:12 utaukata mkono wake

Flp 3:2 wale wanaokata mwili

Kum 7:5; 2Nya 34:7; Isa 14:12.

KATA KAULI, Lu 2:19 Maria akakata kauli.

KATA KICHWA, Mt 14:10; Mk 6:16; Lu 9:9.

KATA PUMZI, Mwa 7:21 mwili ukakata pumzi

Mwa 25:8 Abrahamu akakata pumzi

Ayu 11:20 kukata pumzi kwa nafsi

Ayu 14:10 mtu hukata pumzi

Zb 104:29 Ukiondoa roho, wanakata pumzi

Lu 23:46 Aliposema hilo, akakata pumzi

Mwa 6:17; Ayu 34:15.

KATA RUFANI, Mdo 25:11; 28:19.

KATA TAMAA, Mik 3:7 waaguzi watakata tamaa

Ro 5:5 tumaini halikatishi tamaa

Ro 9:33 anayemwamini hatakata tamaa

Ro 10:11 anayemwamini hatakata tamaa

1Pe 2:6 anayeamini hatakata tamaa

1Sa 27:1; Ayu 6:26; Mhu 2:20.

KATAA, 1Sa 8:7 hawakukukataa wewe

1Sa 15:23 umelikataa neno la Yehova

Ayu 5:17 usiikatae nidhamu

Zb 141:5 kichwa hakingetaka kukataa

Isa 1:20 Lakini mkikataa na kuasi

Yer 8:9 Wamekataa neno la Yehova

Eze 3:27 anayekataa na akatae

Mt 21:42 Jiwe ambalo walikataa

2Ti 2:19 akatae ukosefu wa uadilifu

Tit 2:12 tukatae tamaa

1Sa 10:19; Yer 7:29.

KATAA KWA DHARAU, Zb 89:39.

KATALIWA, Ro 1:28 hali ya akili iliyokataliwa

1Ko 9:27 nisikataliwe kwa njia fulani

1Ti 4:4 hakuna cha kukataliwa

1Pe 2:4 jiwe hai, lililokataliwa

Mk 8:31; 2Ko 13:5, 6, 7; 2Ti 3:8; Ebr 12:17.

KATIKA, Mhu 4:12 haiwezi kukatika upesi

KATILI, Met 5:9; 11:17; 12:10; Isa 13:9.

KATILIWA MBALI, Zb 37:9, 38; Isa 56:5; Da 9:26; Mik 5:9; Mt 25:46; 2Pe 2:9.

KATWA, Ro 11:22 wewe pia utakatwa

KATWA VIPANDE, Da 2:5; 3:29.

KAUKA, Zb 69:3 Koo yangu imekauka

Isa 19:5; 34:10; 44:27; 1Pe 1:24.

KAULI MOJA, 1Fa 22:13.

KAUSHA, Yer 4:11 Kuna upepo unaokausha

KAWAIDA, Mwa 18:14 kawaida kwa Yehova?

Mk 7:35 kusema kama kawaida

Mdo 4:13 Petro na Yohana, wa kawaida

Mdo 19:11 Paulo, kazi kuzidi kawaida

1Ko 10:13 jaribu lililo kawaida

1Ko 14:24 mtu wa kawaida aingie

2Ko 4:7 nguvu kupita za kawaida

Flp 3:16 utaratibu, kawaida hiyo

Kum 17:8; Da 4:36; 6:3; 1Th 3:10; 5:13.

KAWIA, Mwa 34:19 huyo kijana hakukawia

Ebr 10:37 atafika naye hatakawia

2Pe 3:9 Yehova hakawii

Kum 23:21; Da 9:19; Hab 2:3.

KAYAFA, Yoh 11:49; 18:13, 28; Mdo 4:6.

KAZA, Kum 6:7 uyakazie kwa mwana

Amu 14:17 alikuwa amemkaza

Amu 16:16 mwanamke alimkaza

Met 16:30 Akikaza midomo yake

Isa 53:7 Alikazwa sana

Kol 3:2 kukaza akili zenu

KAZA FIKIRA, Ayu 37:14 ukazie fikira kazi

Yer 8:12; 51:18.

KAZI, Kum 32:4 kazi zake ni kamilifu

1Fa 18:27 mungu; lazima iwe ana kazi fulani

1Fa 19:13 Una kazi gani hapa, Eliya?

2Nya 7:6 makuhani, katika vituo vya kazi

2Nya 8:14 Walawi katika vituo vya kazi

Zb 8:6 atawale juu ya kazi zako

Zb 71:17 ninatangaza kazi zako

Zb 104:24 kazi zako zilivyo nyingi

Zb 127:1 kazi ngumu bure

Zb 150:2 Msifuni kwa kazi zake

Met 8:22 kazi zake za zamani

Met 22:29 stadi katika kazi yake?

Mhu 9:10 hakuna kazi, wala

Isa 28:21 kazi—kazi yake si ya kawaida

Isa 65:23 Hawatafanya kazi ya bure

Mt 20:3 wengine wasio na kazi

Yoh 5:17 Baba anaendelea na kazi

Yoh 6:27 kazi, si kwa chakula kinachoharibika

Yoh 9:4 tufanye kazi zake

Yoh 14:12 atafanya kazi kubwa kuliko

Yoh 17:4 nimemaliza kazi uliyonipa

Ro 4:4 anayefanya kazi, malipo

Ro 8:28 kazi zake zishirikiane

Ro 12:4 viungo vingi, kazi mbalimbali

Ro 12:11 Msiwe wavivu katika kazi zenu

1Ko 15:58 kazi yenu si ya bure

1Ko 16:16 kufanya kazi ya

2Ko 11:23 kazi kwa wingi zaidi

Flp 2:12 kuufanyia kazi wokovu

Flp 2:16 sikufanya kazi bure

1Th 5:12 wanaofanya kazi kwa bidii

1Th 5:13 kuwafikiria sababu ya kazi

2Th 3:10 hataki kazi, asile

1Ti 4:10 kazi kwa bidii na kujikaza

1Ti 5:13 hujifunza kutokuwa na kazi

1Ti 5:17 wanaofanya kazi kwa bidii

Tit 1:12 walafi wasiofanya kazi

Tit 2:14 bidii kwa ajili ya kazi njema

Yak 5:16 Dua, inapofanya kazi

Ufu 14:13 kazi zao, zaambatana nao

Mwa 46:33; 47:3; 2Fa 23:5; 1Nya 26:12; Ne 13:30; Mt 22:5; Yoh 4:38; Mdo 6:3; 18:3; 1Ko 3:8, 13; 15:10; 1Th 2:9; 3:5; 2Th 3:8; 2Ti 3:17; Ufu 18:22.

KAZI NGUMU, Met 14:23 kazi ngumu faida

Mhu 2:24 ona mema, kwa kazi ngumu

Zb 128:2.

KAZI YA KULAZIMISHWA, Amu 1:28; 1Fa 9:21; Ayu 14:14; Met 12:24.

KAZI YA TAABU, Yon 4:10.

KAZI YENYE MATOKEO, Ayu 6:13; Isa 28:29.

KAZWA, 2Ko 4:8 Tunakazwa katika kila njia

1Sa 1:15 mwanamke aliyekazwa rohoni

Ayu 41:15 kwa muhuri uliokazwa

Isa 53:7 Alikazwa, naye akateswa

KEDESHI, Yos 20:7; Amu 4:9; 1Nya 6:72.

KEFA, 1Ko 9:5; 15:5; Ga 2:14.

KELELE, Isa 12:6 upige kelele kwa shangwe

Isa 14:11 kelele za vinanda vyako

Isa 32:14 kelele za jiji zimeachwa

Yer 25:31 kelele zitafika duniani

Yoe 2:1 pigeni kelele za vita

Mik 2:12 kelele za wanadamu

Zek 9:9 Piga kelele za ushindi

Lu 23:21 kelele: Mtundike

2Pe 3:10 mbingu zitapita kwa kelele

Yos 6:5; Zb 47:1; Isa 44:23.

KEMEA, Ayu 19:3 mara kumi mmenikemea

Zek 3:2 Yehova akukemee, Shetani

1Ti 5:1 Usimkemee mwanamume mzee

Zb 104:7; Isa 17:13; 54:9; Lu 18:15; 2Ti 4:2.

KEMEO, Met 13:1 hajasikia kemeo

2Ko 2:6 Kemeo la walio wengi

Mhu 7:5; Isa 66:15.

KEMOSHI, Amu 11:24; 1Fa 11:7; Yer 48:7.

KENGEUKA, Mdo 1:25 Yuda alikengeuka

KENGEUSHWA, Lu 10:40 Martha alikengeushwa

1Ko 7:35 kuhudumia, bila kukengeushwa

KERUBI, Zb 18:10 akiruka juu ya kerubi

Eze 28:14 Wewe ndiye kerubi

Ebr 9:5 makerubi waliokifunika kifuniko

Kut 25:22; 1Sa 4:4; Zb 99:1; Eze 10:2.

KESHA, Ayu 21:32 kukesha kwenye kaburi

Mt 26:41 Endeleeni kukesha

Lu 12:37 bwana anakuta wakikesha!

1Pe 4:7 kesheni kwa sala

Lu 21:36.

KESI, 1Fa 3:11 uelewaji wa kusikia kesi

Ayu 23:4 kesi ya hukumu

Ayu 31:13 kesi yao juu yangu

Zb 74:22 uendeshe kesi yako

Met 25:8 Usiende haraka kufanya kesi

Isa 34:8 kesi juu ya Sayuni

Mik 6:2 Yehova ana kesi na watu

1Ko 6:1 ana kesi juu ya mwingine

2Sa 15:4; Zb 43:1; Met 18:17; Isa 50:8; Ho 4:1; 12:2.

KESILI, Ayu 38:31 kundi-nyota la Kesili?

KETI, Zb 2:4 anayeketi mbinguni atacheka

Zb 29:10 Yehova huketi akiwa mfalme

Zb 110:1 Keti kwenye mkono wa kuume

Isa 42:7 uwatoe wanaoketi gizani

Mik 4:4 wataketi chini ya mzabibu

Mt 8:11 kuketi mezani na Abrahamu

Mt 19:28 mtaketi juu ya viti vya ufalme

1Ko 8:10 umeketi, hekalu la sanamu

Ufu 3:21 nitampa ruhusa ya kuketi nami

Zb 1:1; Isa 28:6; Mt 26:20; Lu 22:27; Efe 2:6; Ufu 5:13; 7:10; 17:15.

KETURA, Mwa 25:1; 1Nya 1:32.

KIANGAZI, Mwa 8:22 majira ya kiangazi

Yer 8:20 kiangazi kimeisha

Zb 74:17; Met 30:25; Zek 14:8; Mt 24:32.

KIAPO, Yos 2:17 hatia ya kiapo chako

Yos 9:20 kiapo tulichowaapia

Ebr 6:17 Mungu aliingilia kwa kiapo

Mwa 26:28; Hes 30:2; Mdo 2:30; Ebr 7:20, 28.

KIARAMU, Ezr 4:7; Da 2:4.

KIASI, Met 11:2 wenye kiasi wana hekima

Mik 6:8 kutembea na Mungu kwa kiasi

Mt 23:25 mambo ya kupita kiasi

2Ko 4:8 hatubanwi kupita kiasi

1Ti 2:9 wanawake wajipambe kiasi

Ebr 5:2 kuwatendea kwa kiasi

KIASI KATIKA MAZOEA, 1Ti 3:2, 11; Tit 2:2.

KIASILI, Efe 2:3 kiasili, watoto wa ghadhabu

KIATU, Kum 25:9 avue kiatu, amtemee mate

Yoh 1:27 kamba ya kiatu chake sistahili

Efe 6:15 miguuni viatu vya habari njema

Kut 3:5; Yos 5:15; Ru 4:7; Zb 60:8; Mk 6:9.

KIBALI, Mwa 4:4 akimtazama Abeli kwa kibali

Zek 12:10 nitamimina roho ya kibali

Lu 2:52 Yesu akapata kibali

Lu 11:48 na bado mnawapa kibali

1Ko 7:33 kupata kibali cha mke wake

Kum 33:16; Zb 37:21; Met 3:4; 12:2; 28:23; Mhu 9:11; Ro 14:18.

KIBERITI, Ufu 21:8 moto na kiberiti

Mwa 19:24; Zb 11:6; Eze 38:22; Ufu 19:20.

KIBINADAMU, Ro 6:19 Ninasema kibinadamu

1Ko 9:8 viwango vya kibinadamu?

Ga 1:11 habari si ya kibinadamu

KIBINAFSI, Flp 2:4 faida za kibinafsi za

Flp 2:25, 30; 2Pe 1:20.

KIBOKO, Mdo 5:40 wakapiga mitume viboko

KIBURI, Met 16:5 kiburi moyoni ni chukizo

Met 16:18 Kiburi hutangulia kuanguka

Met 18:12 kiburi, kabla ya anguko

Isa 2:11 kiburi kitainama

Zek 11:3 vichaka vyenye kiburi

1Ti 3:6 asijivune kwa kiburi

Zb 59:12; 101:5; Met 8:13; 28:25; Yer 13:9; 48:29.

KICHAA. Ona WAZIMU.

KICHEKO, Zb 126:2 kinywa kilijaa kicheko

Yak 4:9 Kicheko kiwe maombolezo

Met 14:13; Mhu 2:2; 7:3; 10:19.

KICHINICHINI, 2Ko 4:2 mambo ya kichinichini

KICHOCHEO, 2Ko 5:12 kichocheo cha kujisifu

KICHWA, Mwa 3:15 atakuponda kichwa

Ayu 30:9 nimekuwa kichwa cha wimbo

Mik 3:11 vichwa, kuhukumu kwa rushwa

Mt 8:20 hana pa kulaza kichwa

Lu 21:28 kuinua vichwa vyenu

Mdo 18:6 Damu, juu ya vichwa vyenu

Ro 12:20 makaa juu ya kichwa

1Ko 11:3 kichwa cha mwanamke ni

1Ko 11:10 ishara juu ya kichwa

Kol 1:18 ndiye kichwa cha mwili

Kol 2:19 hashiki imara kichwa

Zb 110:6; Isa 9:15; 35:10; Da 2:38; Oba 15; Efe 1:22; Ufu 12:1; 13:3.

KICHWA CHA SHOKA, 2Fa 6:5.

KICHWA KIGUMU, Eze 3:7; 2Ti 3:4.

KIDAU CHA WINO, Eze 9:2, 3, 11.

KIDOGO, Isa 28:10 hapa kidogo, pale kidogo

Da 11:34 kwa msaada kidogo

1Ti 4:8 mazoezi, faida kidogo

Zb 37:16; 1Ko 5:6; 1Ti 5:23; Yak 3:5.

KIDOLE, Kut 8:19 Ni kidole cha Mungu!

Kut 31:18 mabamba, kidole cha Mungu

Da 5:5 vidole vikiandika ukutani

Lu 11:20 kidole cha Mungu, kufukuza roho

Zb 8:3; Isa 58:9; Mt 23:4; Yoh 20:25.

KIDONDA, Met 27:6 Vidonda vya mpenzi

2Ti 2:17 kidonda chenye kuoza

Zb 38:5; Met 20:30; Ho 5:13; Lu 16:21; Ufu 16:2, 11.

KIDRONI, 2Sa 15:23; 2Nya 15:16; Yoh 18:1.

KIDUNIA, 2Ko 5:1; Yak 3:15.

KIEBRANIA, Yoh 5:2 Kiebrania Bethzatha

Mdo 6:1 Wayahudi, kusema Kiebrania

Ufu 16:16.

KIELELEZO, 1Ko 10:11 vielelezo, vya onyo

Flp 3:17 kulingana na kielelezo tulichoweka

1Th 1:7 mkawa kielelezo kwa wote

1Ti 4:12 uwe kielelezo kwa waaminifu

2Ti 1:13 kushika kielelezo cha

Tit 2:7 uwe kielelezo cha mazuri

Yak 5:10 manabii kuwa kielelezo

1Pe 2:21 Kristo aliwaachia kielelezo

1Pe 5:3 wawe vielelezo kwa kundi

2Pe 2:6 kielelezo kwa wasiomwogopa

Yoh 13:15; 2Th 3:9; Ebr 4:11; Yud 7.

KIELEZI. Ona MFANO.

KIFAA, Mwa 45:20 lisihuzunikie vifaa vyenu

Mhu 10:10 kifaa cha chuma

2Ti 3:17 vifaa kwa ajili ya kazi njema

Ebr 13:21 awape vifaa, mapenzi yake

Mwa 27:3; 1Fa 19:21.

KIFAFA, Mt 4:24; 17:15.

KIFALME, 2Nya 32:9 uwezo wake wa kifalme

Lu 7:25; 1Pe 2:9.

KIFEDHA, Law 25:35 ndugu dhaifu kifedha

KIFO, Kut 21:22 watoto wake, kifo kisitokee

Kum 30:19 uzima na kifo mbele yako

Ayu 38:17 Je, umefunuliwa malango ya kifo

Zb 116:15 kifo cha washikamanifu

Met 16:25 njia za kifo ndizo mwisho wake

Mhu 7:1 bora siku ya kufa kuliko

Isa 25:8 atameza kifo milele

Ro 5:12 kifo kikaenea kwa wote

Ro 5:17 kifo kilitawala kama mfalme

Ro 6:10 kifo alichokufa, alikufa

Ro 6:23 mshahara wa dhambi ni kifo

1Ko 15:21 kifo ni kupitia mwanadamu

1Ko 15:26 Adui wa mwisho, ni kifo

2Ko 4:10 matendo yenye kuleta kifo

Ebr 2:9 Yesu, aonje kifo kwa ajili ya wote

Ebr 2:14 mwenye uwezo kusababisha kifo

Ufu 2:10 mwaminifu hata kifo

Ufu 20:14 kifo na Kaburi, katika moto

Ufu 21:4 kifo hakitakuwapo tena

Hes 5:2; Zb 89:48; Eze 33:11; Mt 22:25; Yoh 8:51; Mdo 2:29.

KIFO CHA PILI, Ufu 2:11; 20:6, 14; 21:8.

KIFUA, Lu 18:13 alikuwa akipiga-piga kifua

Lu 16:22; 23:48; Yoh 1:18; 13:23, 25.

KIFUA KIKUU, Law 26:16; Kum 28:22.

KIFUDIFUDI, Mt 26:39 akaanguka kifudifudi

KIFUKO CHA KIFUANI, Kut 25:7; 28:15, 29; Law 8:8.

KIFUNGO, Eze 20:37 kifungo cha agano

Mk 7:35 kifungo cha ulimi

Ga 3:22 kifungo cha dhambi

Efe 4:3 umoja katika kifungo cha amani

Flp 1:13 vifungo vyangu vimejulikana

Kol 3:14 upendo, kifungo kikamilifu

Yer 37:21; Mdo 20:23; 26:31; Kol 4:3; Ebr 11:36.

KIFUNIKO, 2Sa 17:19 kifuniko, akakitandaza

Isa 25:7 kifuniko kinachovifunika watu

1Pe 2:16 kifuniko cha ubaya

Kut 25:17.

KIGAE, Ayu 2:8 akachukua kigae

Ayu 41:30 kama vigae vilivyochongoka

Isa 30:14 kigae kinachoweza kutumiwa

Eze 23:34 vigae vyake utavitafuna

KIGIRIKI, Yoh 19:20 Kilatini, kwa Kigiriki

KIGUMU, Ebr 5:12 chakula kigumu

Ebr 5:14.

KIINI-TETE, Zb 139:16 Macho yaliona kiini-tete

KIJAKAZI, Zb 116:16 mwana wa kijakazi

Ga 4:30 Mfukuze kijakazi

Ga 4:31 sisi ni watoto, si wa kijakazi

Zb 86:16; Lu 1:38; 22:56; Mdo 12:13.

KIJANA, Zb 37:25 Nilikuwa kijana, pia

Zb 110:3 vijana kama umande

Eze 9:6 kijana, bikira mtawaua

Yoe 2:28 vijana wataona maono

Met 20:29; Mt 19:22; Mdo 2:17; 1Ti 5:1, 2, 11, 14; 1Yo 2:14.

KIJASIRI, 2Ko 10:2 kuchukua hatua za kijasiri

KIJEURI, Mhu 5:8 hukumu ikitwaliwa kijeuri

KIJIJI, Mt 9:35; 10:11; Mk 6:6.

KIJINGA, 1Ti 6:9 tamaa za kijinga

KIJITI CHA KUSOKOTEA, Met 31:19.

KIJITO, Eze 47:7 kwenye ukingo wa kijito

KIJIVU, Ufu 6:8 farasi wa rangi ya kijivu

KIKAMILIFU, Eze 28:12 kikamilifu katika uzuri

Ebr 7:19 Sheria, haikufanya kikamilifu

KIKAPU, Yer 24:2; Amo 8:1; Mt 14:20; 15:37.

KIKOMBE, Zb 116:13 kikombe cha wokovu mkuu

Isa 51:17, 22 kikombe cha ghadhabu

Yer 25:15 kikombe cha divai ya ghadhabu

Mt 10:42 anayewapa wadogo kikombe cha maji

Lu 22:20 Kikombe kinamaanisha agano jipya

Lu 22:42 Baba, niondolee kikombe hiki

1Ko 10:21 kikombe cha Yehova

Mwa 44:12; Yer 51:7; Mt 20:22; 1Ko 10:16.

KIKOMO, Ayu 14:13 kikomo cha wakati

KIKOMO KAMILI, Efe 1:10 kikomo kamili cha

KIKONYO, Isa 18:5 kuviondoa vikonyo

KIKUMBUSHO, 2Fa 17:15 kukataa vikumbusho

Zb 19:7 Kikumbusho cha Yehova ni

Zb 119:46 nitasema juu ya vikumbusho

Zb 119:129 Vikumbusho vyako ni ajabu

2Pe 3:1 kwa njia ya kikumbusho

Zb 93:5; 119:14, 31, 99, 119; Yer 44:23.

KIKUNDI, Met 30:27 mbele wakiwa vikundi

KIKUNDI CHA RAFIKI, Ayu 19:19; Zb 89:7; 111:1; Yer 15:17; 23:18, 22; Eze 13:9.

KIKUNDI CHENYE GHASIA, Mdo 17:5; 24:12.

KIKUNDI CHENYE MACHAFUKO, Mdo 19:40.

KIKWAZO, Law 19:14 kipofu, usiweke kikwazo

KILELE SALAMA, Zb 59:17 kilele salama changu

Zb 9:9; 18:2; 62:6; 144:2.

KILEMA, Isa 35:6 kilema atapanda kama paa

Mal 1:8, 13; Mt 15:30; 18:8.

KILEMAVU, Ebr 12:13 ambacho ni kilemavu

KILEMBA, Kut 28:4 kilemba na ukumbuu

Law 8:9 kilemba juu ya kichwa

Ayu 29:14 koti na kilemba

Isa 62:3 kilemba cha kifalme

Eze 21:26 Kiondoe kilemba

Zek 3:5 wamvike kilemba

Ufu 19:12 vilemba juu ya kichwa

KILEO, Met 31:6 Mpeni kileo anayeangamia

Yoh 2:10 wameingiwa na kileo

Law 10:9; Hes 6:3; Amu 13:4; Zb 69:12; Met 20:1; Isa 28:7.

KILIMA, Isa 2:2 utainuliwa juu ya vilima

Isa 55:12 vilima vitachangamka

Hab 3:6 vilima vikainama

Met 8:25; Eze 6:3; Ho 10:8; Lu 23:30.

KILIMO, 2Nya 26:10 alipenda kilimo

Ne 10:37 majiji yetu yote ya kilimo

Yer 4:3; Ho 10:12.

KILINDI, Ayu 38:30 uso wa kilindi cha maji

Lu 5:4.

KILINDI CHA MAJI, Mwa 1:2; 7:11; 8:2; Ayu 28:14; Zb 36:6; 42:7.

KILIO, Zb 30:5 kilio kikakaa jioni

Isa 49:13 kwa kilio cha furaha

Isa 65:19 sauti ya kilio haitasikika

Yer 25:34.

KIMAKUSUDI, Ebr 10:26 dhambi kimakusudi

KIMBELE, Mdo 4:28 kimbele yatukie

Ro 1:2 aliyoahidi kimbele kupitia

Ro 15:4 yaliyoandikwa kimbele ili

Efe 2:10 Mungu alitutayarishia kimbele

1Pe 1:20 alijulikana kimbele

Mk 13:23; Mdo 1:16; Ro 9:23.

KIMBELEMBELE, Hes 14:44; Kum 17:12; Zb 19:13; 86:14; 119:21, 78; Met 11:2; 13:10; 21:24; Isa 13:11; Yer 49:16; 50:31; Eze 7:10; Mal 3:15; 4:1.

KIMBIA, Yer 37:14 sikimbii kwa Wakaldayo

Yer 51:6 Kimbieni kutoka Babiloni

Yoe 2:9 Hukimbia ukutani

Mt 23:33 mtaikimbiaje hukumu

Mt 24:20 kukimbia majira ya baridi

1Ko 9:24 wote hukimbia, lakini

Ebr 12:1 tukimbie kwa uvumilivu

Yak 4:7 mpingeni Ibilisi, atawakimbia

1Pe 4:4 hamwendelei kukimbia

Kum 32:30; Met 28:1; Isa 35:10; 40:31; 52:12; 55:5; 1Ko 10:14; Flp 2:16.

KIMBILIA, 1Sa 15:19 ukakimbilia nyara

Zb 18:2 Nitamkimbilia, Ngao

Met 1:16 miguu hukimbilia ubaya

Mt 24:16 Yudea waanze kukimbilia

Zb 57:1; Met 28:22.

KIMBILIO, Isa 28:17 itafagia kimbilio la uwongo

Yer 25:35 makimbilio yameangamia

Oba 3 makimbilio ya mwamba

Sef 3:12 kimbilio katika jina la Yehova

Met 14:26; Yer 16:19.

KIMBINGU, Efe 2:6 mahali pa kimbingu

Efe 1:20.

KIMO, Ro 8:39 wala kimo wala kina

KIMUNGU, 2Ko 7:10 huzuni ya kimungu

2Pe 1:4 asili ya kimungu

Ebr 12:28; 2Pe 1:3.

KIMWILI, Lu 2:52 ukuzi wa kimwili

1Ko 2:14 mtu wa kimwili hapokei

1Ko 9:6 kazi ya kimwili

2Ko 1:12 si hekima ya kimwili

Ro 7:14; 1Ko 3:3; Kol 2:18; 1Ti 4:8.

KIMYA, Ayu 31:34 nilikuwa nikikaa kimya

Zb 32:3 Nilipokaa kimya mifupa yangu

Zb 37:7 Kaa kimya mbele za Yehova

Zb 115:17 wanaoingia penye kimya

Mhu 3:7 wakati wa kukaa kimya

Hab 2:20 Kaa kimya mbele zake

1Ti 2:11 Mwanamke ajifunze akiwa kimya

Zb 31:17; 39:2; Isa 47:5; Yer 47:7; Mt 22:34; 1Ko 14:34; Ufu 8:1.

KINA, Zb 92:5; Mt 13:5; Ro 8:39; Efe 3:18.

KINAFIKI, Yak 3:17 hekima si ya kinafiki

KINARA CHA TAA, Kut 25:31; 1Nya 28:15; Ebr 9:2; Ufu 1:12, 13, 20; 2:1.

KINARA CHA UVUMBA, Isa 17:8; Eze 6:4.

KINERETHI, Hes 34:11; Yos 11:2.

KING’ORA, 2Nya 13:12; Yer 49:2; Amo 1:14; 2:2; Sef 1:16.

KINONO, 2Sa 6:13; Eze 39:18; Amo 5:22.

KINU, Met 27:22 mtwangio katika kinu

KINUBI, Mwa 4:21 Yubali, mwanzilishi wa kinubi

Zb 33:2 Yehova shukrani kwa kinubi

Zb 49:4 kitendawili kwa kinubi

Isa 23:16 Chukua kinubi, zunguka jiji

Ufu 15:2 washindi wakiwa na vinubi

1Sa 16:23; Zb 137:2; Isa 5:12; Ufu 14:2.

KINYAMA, Yud 19 watu wa kinyama

Yak 3:15.

KINYONGO, Law 19:18 usiwe na kinyongo

Zb 103:9; Yer 3:12; Nah 1:2.

KINYUME, Ro 16:17 kinyume cha fundisho

Est 9:1; Mdo 18:13; Ro 11:24.

KINYWA, Yos 1:8 kisiondoke kinywani mwako

Isa 6:7 akakigusa kinywa changu

Isa 29:13 wamekaribia na vinywa vyao

Isa 51:16 maneno katika kinywa chako

Isa 62:2 jina, kinywa cha Yehova

Yer 1:9 kunigusa kinywa changu

Eze 33:31 tamaa kwa kinywa chao

Lu 6:45 kutokana na moyo, kinywa

Lu 19:22 nakuhukumu kinywani mwako

Ro 3:19 kila kinywa kizibwe

Ro 10:10 kinywa, tangazo la

1Pe 2:22 udanganyifu haukuwa kinywani

Ufu 14:5 hakuna uwongo vinywani

Kut 4:12; Kum 8:3; Zb 37:30; 62:4; Met 2:6; Mhu 5:2; Wim 5:16; Isa 58:14; 59:21; Ufu 3:16.

KIONGOZI, 1Sa 9:16 kiongozi juu ya Israeli

1Sa 25:30 kiongozi juu ya Israeli

2Sa 7:8 kiongozi juu ya Israeli

Ne 11:17 kiongozi wa nyimbo

Isa 11:6 mvulana kuwa kiongozi wao

Isa 55:4 kiongozi na kamanda

Mt 15:14 ni viongozi vipofu

Mt 23:10 msiitwe viongozi

Mt 23:16 Ole wenu, viongozi vipofu

Kum 32:42; Yos 10:24; Amu 11:6; 1Nya 13:1; 2Nya 32:21; Met 6:7; 25:15; Ro 2:19.

KIONGOZI WA KIJESHI, Mdo 21:32.

KIOO, 1Ko 13:12; Yak 1:23.

KIPAJI CHA USO, Amu 4:21.

KIPANDE, Wim 4:3; 6:7 kipande cha komamanga

Mt 14:20; 15:37.

KIPASHO, Kut 29:13; Law 3:4.

KIPAWA, Mwa 30:20 amenipa kipawa chema

KIPIMO, Mt 7:2 kipimo mnachopimia

Lu 6:38 kipimo, kilichoshindiliwa

Lu 12:42 kipimo cha chakula wakati

1Th 2:16 hukijaza kipimo cha dhambi

Eze 4:16; 43:11; Ro 12:3; Efe 4:16.

KIPINDI, Mwa 27:41 kipindi cha kuomboleza

Mk 10:30 kipindi hiki cha wakati

Ro 13:13 na vipindi vya kulewa

1Pe 1:5 kipindi cha mwisho

KIPINGAMIZI, Isa 57:14 Ondoeni kipingamizi

KIPIRI, Isa 30:6 kipiri na nyoka

KIPOFU, Isa 35:5 macho ya vipofu yatafunguliwa

Isa 56:10 Walinzi wake ni vipofu, bubu

Mt 15:14 Wao ni viongozi vipofu

Kum 28:29; Zb 146:8; Mt 23:24.

KIPONYAJI, Mal 4:2 kiponyaji katika mabawa

KIPUUZI, Yer 3:9 maoni yake ya kipuuzi

1Ti 1:6 maneno ya kipuuzi

KIPYA, 2Ko 5:17 yeye ni kiumbe kipya

Ga 6:15.

KIRAKA, Mt 9:16 kiraka cha nguo mpya

Mk 2:21; Lu 5:36.

KIRI, Mdo 24:14 nakiri hili kwako

Ro 14:11 kila ulimi utakiri kwa Mungu

KIROBOTO, 1Sa 24:14 Unamfuatilia kiroboto?

KIROHO, Mt 5:3 uhitaji wa kiroho

1Ko 2:13 tunapounganisha ya kiroho

1Ko 2:14 hayo huchunguzwa kiroho

Kol 1:8 alitufunulia katika njia ya kiroho

1Pe 2:5 nyumba ya kiroho

Ufu 11:8 katika maana ya kiroho linaitwa

Ro 1:11; 7:14; 1Ko 10:3, 4; Ga 6:1.

KIROMA, Mdo 25:16 utaratibu wa Kiroma

KISASI, Mwa 4:15 kisasi mara saba

Kum 32:35 Kisasi ni changu

Isa 34:8 Yehova ana siku ya kisasi

Isa 61:2 kutangaza siku ya kisasi

Mdo 28:4 haki yenye kudai kisasi

2Th 1:8 Yesu analeta kisasi

Kum 32:41, 43; Yer 50:28; Nah 1:2; Ro 12:19.

KISHERIA, Ebr 8:6 agano, imara kisheria

KISHI, 1Sa 9:1; Est 2:5; Mdo 13:21.

KISHONI, Amu 4:7; 1Fa 18:40; Zb 83:9.

KISIGINO, Mwa 3:15 utamtia jeraha kisigino

Mwa 49:17; Zb 41:9; Ho 12:3; Yoh 13:18.

KISIKI, Isa 11:1 kisiki cha Yese

KISILIKA, Met 30:24 vinne vina hekima kisilika

KISIMA, Met 14:27 Kumwogopa Yah, kisima cha

Mwa 26:18.

KISINGIZIO, Da 6:4 kisingizio juu ya Danieli

Lu 20:47 sala ndefu kwa kisingizio

2Ko 11:12 kisingizio cha kuwa sawa

Yud 4 kisingizio cha mwenendo mpotovu

Lu 14:18.

KISIRI, Ayu 13:10 ubaguzi kisiri

KISIRIA, Isa 36:11 lugha ya Kisiria

KISIRISIRI, Ru 3:7 akaja kisirisiri akamfunua

Ga 2:4 walioingia kisirisiri

Yud 4 wameingia kisirisiri

KISIWA, Zb 97:1 visiwa vishangilie

Isa 40:15; 41:1; 42:12; Ufu 6:14; 16:20.

KITABU, Mhu 12:12 kutungwa kwa vitabu vingi

Isa 29:11 maneno ya kitabu ambacho

Isa 34:16 Mjitafutie katika kitabu cha Yehova

Da 7:10 vitabu vikafunguliwa

Da 9:2 nilitambua kwa vitabu hesabu ya miaka

Da 12:4 kukifunga kitabu mpaka wakati wa

Ebr 9:19 kukinyunyizia kitabu na watu wote

Ebr 10:7 katika kitabu cha kukunjwa

Kut 17:14; Mk 12:26; Mdo 19:19; Ebr 10:7.

KITABU CHA KUKUNJWA, Ezr 6:2; Zb 40:7; Isa 34:4; Yer 36:2, 27, 32; Eze 2:9; 3:1; Zek 5:1; Lu 4:17; Ga 3:10; 2Ti 4:13; Ufu 5:5; 17:8; 20:12; 21:27.

KITAKATIFU, Law 10:10 kitakatifu na najisi

KITAMBAA, 1Nya 4:21; 2Nya 2:14; Est 1:6; Yoh 11:44; 20:7; Mdo 19:12.

KITAMBI, Zb 73:4 kitambi chao ni kinono

KITAMBO KIDOGO, Isa 26:20.

KITANDA, Zb 41:3 kitanda cha ugonjwa

Zb 139:8 ningetandika kitanda katika

Isa 28:20 kitanda kimekuwa kifupi mno

Mik 2:1 wanaopanga mambo vitandani

Ebr 13:4 kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi

Mwa 49:4; 1Nya 5:1; Ayu 17:13; Zb 36:4; Isa 57:2; Mk 2:4; 6:55; Lu 8:16; Yoh 5:8; Mdo 5:15.

KITANI, Eze 9:2 mwanamume aliyevaa kitani

Ufu 19:8 kitani, ni matendo ya uadilifu

Law 16:4; Kum 22:11; Da 12:6, 7; Ufu 19:14.

KITENDAWILI, Amu 14:12; Zb 78:2.

KITI, Zb 110:1 adui kuwa kiti cha miguu

Mdo 2:35; Ebr 10:13.

KITI CHA HUKUMU, Yoh 19:13; Mdo 18:12; 25:10; Ro 14:10; 2Ko 5:10.

KITI CHA MBELE, Mt 23:6; Lu 11:43; 20:46.

KITI CHA MIGUU, Isa 66:1 dunia, kiti cha miguu

Zb 99:5; 132:7; Omb 2:1; Yak 2:3.

KITI CHA UFALME, 1Nya 29:23; Zb 45:6; 97:2; Isa 9:7; 14:13; 66:1; Yer 3:17; Da 7:9; Mt 25:31; Lu 22:30; Kol 1:16; Ebr 4:16; 12:2; Ufu 3:21; 7:9; 20:4.

KITIA-MOYO, Ro 1:12 badilishana kitia-moyo

2Ko 8:17 [Tito] ameitikia kitia-moyo

Flp 2:1 kitia-moyo chochote katika Kristo

Ebr 6:18 kitia-moyo kushikilia tumaini

1Pe 5:12.

KITOVU, Met 3:8 maponyo kwenye kitovu

KITU KINACHOTAMBAA, Zb 148:10; Mdo 10:12.

KITULIZO, Ayu 14:14 mpaka kitulizo changu kije

2Th 1:7 kitulizo wakati wa ufunuo

Ayu 32:20.

KIU, Isa 49:10 Hawatakuwa na kiu

Isa 55:1 Haya, nyote mlio na kiu

Isa 65:13 ninyi mtakuwa na kiu

Amo 8:11 nitaleta kiu, si kiu ya maji

Mt 5:6 kiu kwa ajili ya uadilifu

Yoh 7:37 Ikiwa yeyote ana kiu

Ufu 21:6 yeyote aliye na kiu

Ufu 22:17 anayeona kiu aje

Mt 25:44.

KIU YA DAMU, Met 29:10 wenye kiu ya damu

KIUMBE, 2Ko 5:17 yeye ni kiumbe kipya

Ga 6:15 kiumbe kipya ndicho kitu

Yak 1:18 matunda ya kwanza ya viumbe

Law 11:10; Eze 1:5; Kol 1:15; 1Ti 4:4; Ebr 4:13; Ufu 4:6; 5:6; 8:9.

KIUMBE KINACHORUKA, Mwa 1:20; Law 11:13.

KIUNGO, Ro 6:13 toeni viungo kwa Mungu

Ro 7:23 sheria ya dhambi katika viungo

1Ko 6:15 miili ni viungo vya Kristo?

1Ko 12:18 Mungu ameweka viungo

1Ko 12:27 viungo mkiwa mmoja

Efe 3:6 viungo vyenzi vya mwili

1Sa 21:5; Kol 3:5; Ebr 4:12; Yak 3:6; 4:1.

KIUNGO CHA UUME, Isa 57:8.

KIUNGO CHA UZAZI, Law 15:2, 3; Eze 23:20.

KIUNO, Mwa 3:7 majani ya kujifunika kiuno

Yer 1:17 mshipi viunoni, na kusimama

Efe 6:14 viuno vimefungwa kweli

Mwa 35:11; Kut 12:11; Isa 11:5; 45:1; Yer 13:11; Lu 12:35.

KIVULI, 1Nya 29:15 Siku zetu ni kama kivuli

Zb 17:8 Katika kivuli cha mabawa yako

Zb 23:4 bonde lenye kivuli kizito

Zb 39:6 mtu hutembea kama kivuli

Kol 2:17 mambo hayo ni kivuli

Ebr 8:5 kivuli cha vitu vya mbinguni

Ebr 10:1 Sheria ina kivuli

Yak 1:17 kugeuka kwa kivuli

Zb 57:1; 91:1; 144:4; Isa 30:2.

KIVULI KIZITO, Ayu 3:5; Zb 23:4; Isa 9:2.

KIWANDA CHA MELI, Isa 23:10.

KIWANGO, Yer 30:11 kiwango kinachofaa

KIWANJA, Kum 13:16; Amu 19:15; Isa 59:14.

KIWAVI, Yoe 1:4; Amo 4:9.

KIWAZIMU, Nah 2:4 kuendeshwa kiwazimu

KIYAHUDI, Ga 1:13 katika dini ya Kiyahudi

KIZAZI, Kum 32:5 Kizazi kilicho kombo

Mhu 1:4 Kizazi kinaenda, kizazi

Omb 5:19 Kiti, kizazi baada ya kizazi

Mt 24:34 kizazi hiki hakitapita

Lu 11:51 damu itadaiwa kizazi hiki

Efe 3:5 vizazi havikujua siri hii

Flp 2:15 kati ya kizazi kombo

Kol 1:26 imefichwa tangu vizazi vilivyopita

Mwa 9:12; Kut 3:15; Zb 48:13; 78:4; 79:13; 100:5; 119:90; Mt 12:39; 23:36; Lu 21:32.

KIZIWI, Isa 35:5 masikio ya viziwi yatazibuliwa

Isa 42:19 kiziwi kama mjumbe wangu

Isa 43:8 Leteni watu walio viziwi

Isa 42:18; Mik 7:16; Mt 11:5; Mk 7:37.

KIZUIZI, Zb 107:39 kwa sababu ya kizuizi

Isa 53:8 Kwa sababu ya kizuizi

Nah 2:5 kizuizi kitawekwa imara

2Th 2:7 yule ambaye ni kizuizi

1Yo 4:18 woga hutokeza kizuizi

1Fa 22:27; Mdo 4:3; 5:18.

KODI, Hes 31:28 kodi kwa ajili ya Yehova

Mt 17:24 mwalimu wenu halipi kodi?

Mt 17:25 Wafalme hupokea kodi

Lu 23:2 wasimlipe Kaisari kodi

Ro 13:7 anayetaka kodi, kodi

Mwa 30:16; Kum 23:4; Yer 46:21.

KODIWA, Kut 12:45 mfanyakazi wa kukodiwa

Isa 7:20 wembe uliokodiwa

Lu 15:19 watu wako waliokodiwa

KOFI, Yoh 18:22 akampiga Yesu kofi

Mt 5:39; Yoh 19:3.

KOFIA, Efe 6:17 kofia ya wokovu

1Sa 17:5; Isa 59:17; Yer 46:4; 1Th 5:8.

KOKOTA, Yak 2:6 Matajiri huwakokota

KOLONI, Mdo 16:12 Filipi, koloni

KOMA, Isa 38:11 wakaaji wa nchi ya kukoma

KOMAA, Efe 4:13 kufikia mtu aliyekomaa

KOMBOA, Kut 13:15 wa kwanza ninamkomboa

2Sa 7:23 Mungu alijikombolea watu

Zb 34:19 Yehova humkomboa

Zb 34:22 anakomboa watumishi wake

Zb 49:7 kumkomboa hata ndugu

Met 10:2 uadilifu utakomboa na kifo

Met 14:25 Shahidi anakomboa nafsi

Isa 47:4 Kuna Yeye anayetukomboa

Yer 1:19 niko nawe, nikukomboe

Ho 13:14 Nitawakomboa na Kaburi

Lu 24:21 huyu ndiye angekomboa Israeli

1Th 1:10 kutukomboa na ghadhabu ijayo

2Pe 2:9 Yehova anajua kuwakomboa watu

Kut 3:8; Law 27:29; Kum 9:26; Ayu 10:7; Zb 18:17; 31:5; 33:19; 34:4; 44:26; 49:15; 69:18; 71:23; 72:14; 78:42; 106:10; Isa 43:1; 44:23; 48:20; 50:2; 52:9; Yer 15:21; Da 8:4; Mt 11:27; Mdo 12:11.

KOMBOKOMBO, Zb 60:4 wakimbie kombokombo

KOMBOLEWA, Isa 1:27 Sayuni atakombolewa

Isa 35:10 waliokombolewa na Yehova

Isa 51:10 waliokombolewa wavuke?

Isa 63:4 mwaka wa waliokombolewa

Isa 35:9; Isa 52:3; 62:12.

KONDA, Zb 102:7 Nimekonda, kama ndege

Eze 34:20 kondoo aliyekonda

KONDESHA, Sef 2:11 ataikondesha miungu

KONDESHWA, Isa 17:4 unono utakondeshwa

KONDOO, Mwa 22:13 kondoo aliyenaswa

Zb 44:22 Tumehesabiwa kuwa kondoo

Isa 53:7 kama kondoo machinjioni

Yer 23:2 mmewatawanya kondoo zangu

Eze 34:12 nitakavyowatunza kondoo

Sef 2:6 mazizi ya mawe ya kondoo

Mt 9:36 kondoo wasio na mchungaji

Mt 10:6 kondoo waliopotea wa Israeli

Mt 10:16 ninawatuma kama kondoo

Mt 18:12 kondoo 100 na mmoja apotee

Mt 25:32 anavyotenganisha kondoo

Yoh 10:16 nina kondoo wengine

Yoh 21:16 Chunga kondoo wangu

Mt 26:31; Mdo 8:32; Ro 8:36; 1Pe 2:25.

KONDOO WENGINE, Yoh 10:16.

KONDOO-DUME, 1Sa 15:22 kuliko kondoo-dume

Eze 34:17 nahukumu kondoo-dume na

Mik 6:7 maelfu ya kondoo-dume

Law 5:15; 8:22; 9:18; Isa 1:11; Yer 51:40; Da 8:20.

KONGWA, Yer 29:26 utamtia katika kongwa

KONYEZA, Met 6:13 akikonyeza jicho

Met 16:30 anakonyeza-konyeza macho

KOO, Zb 149:6 Nyimbo ziwe kooni

KOPA, Kum 28:12 wewe hutakopa

Zb 37:21 Mwovu anakopa lakini halipi

Kum 15:6; Ne 5:4; Mt 5:42.

KOPESHA, Zb 37:26 kukopesha mchana kutwa

Met 22:7 mtu anayemkopesha

Lu 6:35 kukopesha bila faida

Kut 22:25; Kum 28:44; Zb 112:5; Met 19:17.

KORA, Hes 16:1 Kora mwana wa Ishari

Hes 26:9, 10, 11; Yud 11.

KORBANI, Mk 7:11 nilicho nacho ni korbani

KORESHI, Isa 44:28 Koreshi, mchungaji wangu

Isa 45:1 mtiwa-mafuta wake, Koreshi

2Nya 36:22; Ezr 1:2, 7; 5:13; 6:3, 14.

KORNELIO, Mdo 10:1, 3, 22, 24, 25, 30, 31.

KOSA, Mwa 6:9 Noa hakuwa na kosa

Mwa 15:16 kosa la Waamori

Yos 24:14 kumtumikia bila kosa

Ezr 9:6 makosa yetu yameongezeka

Ayu 4:18 huwashtakia kosa wajumbe wake

Ayu 6:24 kosa ambalo nimetenda

Ayu 19:4 kosa litakaa pamoja nami

Ayu 31:11 mpotovu, kosa la kufikiriwa

Ayu 31:33 ikiwa niliyafunika makosa

Ayu 40:2 anayetafuta kosa, kukaripia Mungu

Zb 15:2 anayetembea bila kosa

Zb 18:43 Utaniokoa na kutafuta makosa

Zb 19:13 nitakuwa sina hatia ya makosa

Zb 51:5 Nilizaliwa nikiwa na kosa

Zb 125:3 mkono juu ya kosa

Zb 130:3 ungekuwa unaangalia makosa

Met 17:9 Anayefunika makosa anatafuta

Met 30:20 Sijafanya kosa lolote

Isa 44:22 Nitayafutilia mbali makosa

Isa 53:5 akipondwa kwa makosa yetu

Isa 57:17 makosa ya pato lisilo haki

Yer 33:8 nitasamehe makosa yao

Eze 18:28 kuyaacha makosa yake

Eze 28:15 Hukuwa na kosa katika njia

Da 9:24 ili kukomesha makosa

Mik 7:18 anayesamehe kosa

Mt 6:14 ikiwa mnawasamehe makosa

Mt 18:15 funua kosa kati yako naye

Yoh 18:38 Pilato hakuona kosa kwake

Ro 4:15 hapana pia kosa lolote

Ro 4:25 kwa ajili ya makosa yetu

Ro 5:15 ikiwa kwa kosa la mmoja

Ga 3:19 ili kufanya makosa yawe wazi

Kol 2:13 alitusamehe makosa yote

2Th 2:11 utendaji wa kosa

Ebr 8:7 agano lingekuwa bila kosa

Yak 2:10 amekosa juu ya zote

Yak 5:20 kumrudisha kutoka kosa

2Pe 2:18 hujiendesha kwa makosa

Mwa 17:1; Kut 5:16; 20:5; Law 16:21; Kum 5:9; 18:13; Yos 22:17; Est 1:16; Zb 50:20; 119:1; Met 28:10; 29:16; Omb 3:42, 59; Mt 20:13; Mk 11:25; Mdo 25:10; 2Ko 5:19; Efe 2:1; 4:14; 1Th 2:3; Ebr 2:2; 9:15; Yak 2:11; 2Pe 3:17; 1Yo 4:6.

KOSA AKILI, Isa 9:17.

KOSEA, 1Fa 8:47 Tumetenda dhambi na kukosea

Isa 43:27 wasemaji wako wamenikosea

2Ko 7:2 Hatujamkosea yeyote

Yer 2:29; 33:8; Sef 3:11; Mdo 24:16.

KOSEANA, Law 25:14 mwenzenu, msikoseane

KOSEKANA, Mhu 1:15.

KOSEWA, Met 18:19 Ndugu aliyekosewa

1Ko 6:7 msiache mkosewe

KOTI, 1Sa 15:27; Ezr 9:3; Zb 109:29.

KOTI LISILO NA MIKONO, Kut 28:4; Ayu 1:20; Isa 59:17; 61:10.

KRISTO, Mt 16:16 Wewe ndiye Kristo

Ro 8:17 warithi pamoja na Kristo, mradi tu

1Ko 12:12 mwili mmoja, ndivyo alivyo Kristo

1Ko 15:23 Kristo, matunda ya kwanza

Flp 2:11 ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana

Kol 1:24 dhiki za Kristo katika mwili wangu

1Pe 4:13 washiriki katika mateso ya Kristo

Ufu 20:4 wakatawala pamoja na Kristo

Yoh 17:3; 1Ko 1:13; 3:23; 7:22; 2Ko 12:10; Ga 3:29; Efe 5:23; Kol 1:27; 1Pe 2:21.

KUA, Mdo 6:7 neno likaendelea kukua

Kol 2:19 mwili, huendelea kukua

Lu 12:27; Efe 4:15; 1Pe 2:2.

KUANGUKA KUSIKO KWA KAWAIDA, Law 13:30, 34.

KUBALI, Kum 13:8 usikubali nia yake

Met 1:10 wakikushawishi, usikubali

Yer 14:20 Tunakubali, uovu wetu

Mt 3:17 Mwanangu, ambaye nimemkubali

Lu 12:32 amekubali kuwapa ufalme

Mdo 8:1 Sauli, akikubaliana na kuuawa kwake

Mdo 11:18 waliposikia, wakakubali

1Ko 7:6 nasema hilo kwa njia ya kukubaliana

1Ko 7:12, 13 mke anakubali kukaa

2Ko 6:2 wakati unaokubalika

Efe 5:10 linalokubalika kwa Bwana

2Th 2:10 hawakukubali kuipenda ile kweli

1Ti 3:16 kukubalika kwamba siri ni kubwa

2Ti 2:15 ujitoe ukiwa mtu aliyekubaliwa

Flm 21 nikitumaini kwamba utakubali

Ebr 10:6 hukukubali matoleo mazima

1Pe 2:5 dhabihu zenye kukubalika

Ayu 42:8; Ho 14:2; Mt 18:19; 20:13; Lu 4:19; Mdo 5:9; 15:15; Ro 12:1; 16:10; 2Ko 10:18; 13:7; 1Ti 2:3.

KUBWA, Ro 13:1 mamlaka zilizo kubwa

Mt 7:13.

KUBWA ZAIDI, Efe 1:19 nguvu zake kubwa zaidi

KUCHANGAMKA, 1Sa 25:36 moyo ukichangamka

Mdo 27:36 wote wakachangamka, wakala

Flp 2:19 nafsi ichangamke

KUCHANGAMSHA, Mhu 2:3 changamsha mwili

Mdo 14:17 akijaza mioyo uchangamfu

2Ko 2:2 ni nani wa kunichangamsha

2Ko 9:7 mtoaji mchangamfu

KUCHEZA, Amu 16:25 Samsoni apate kucheza

KUCHUKUA MAMBO KWA UZITO, 1Ti 3:4, 8, 11; Tit 2:2.

KUFA, Mwa 2:17 ukila, utakufa hakika

Mwa 3:4 Hakika hamtakufa

Mhu 3:2 kuzaliwa na wakati wa kufa

Mhu 3:19 Anavyokufa huyu, ndivyo na yule

Isa 26:14 wamekufa; hawataishi

Eze 18:4 Nafsi yenye dhambi, itakufa

Yoh 11:26 anayeniamini hatakufa kamwe

Ro 4:19 mwili wake, ukiwa umekufa

Ro 5:8 Kristo alikufa kwa ajili yetu

Ro 6:9 Kristo hafi tena

Ebr 11:13 wote walikufa katika imani

Mhu 9:5; Yer 16:4; Lu 16:22; 20:36; Ro 7:9; 14:9; 2Ko 5:15; Ebr 9:27.

KUFA MOYO, Ga 6:9 tusife moyo kufanya mema

KUFANYWA KUWA WANA, Ro 8:15, 23; 9:4; Ga 4:5; Efe 1:5.

KUFUMBA NA KUFUMBUA, 1Ko 15:52.

KUFURU, Mt 12:31 kufuru juu ya roho

Mk 3:29 anayekufuru roho takatifu

Mdo 13:45 kuyapinga kwa kukufuru

Ufu 16:21 wakamkufuru Mungu

Mt 26:65; Mk 14:64; Yoh 10:33; Mdo 6:11; 1Ti 1:20; Yak 2:7; Ufu 2:9; 13:6; 17:3.

KUHANI, Mwa 14:18 Melkizedeki kuhani

Kut 40:13 Haruni, kuhani kwangu

Zb 110:4 kuhani kama Melkizedeki!

Isa 28:7 Kuhani, nabii, wamepotea

Mik 3:11 makuhani, wapate malipo

Zek 3:1 Yoshua kuhani mkuu

Ebr 3:1 mtume na kuhani, Yesu

Ufu 20:6 makuhani wa Mungu na

1Sa 2:35; Yoh 19:15; Ebr 5:5; 9:25.

KUHANI MKUU, Hes 35:25 kifo cha kuhani mkuu

Ebr 3:1 kuhani mkuu—Yesu

Ebr 6:20 Yesu, amekuwa kuhani mkuu

KUHARA, Mdo 28:8 Publio, baba yake kuhara

KUHUSIANA, 1Ko 15:58 si ya bure kuhusiana

KUJA. Ona pia KUWAPO.

Mal 3:2 atakayeistahimili siku ya kuja kwake

Mk 13:26 Mwana wa binadamu akija

Lu 12:45 Bwana wangu anakawia kuja

Amu 5:28; Mt 16:28; Lu 21:26.

KUJIDAI, 2Ti 3:2 wenye kujidai

Met 21:24; Hab 2:5; Ro 1:30; Yak 4:16.

KUJIHESABIA MAKUU, Isa 10:12.

KUJIHUKUMIA, Tit 3:11 amejihukumia hatia

KUJIINUA, Met 8:13 Nimechukia kujiinua

Met 15:25 nyumba ya waliojiinua

Isa 2:12 Iko juu ya kila aliyejiinua

KUJIONYESHA, 1Yo 2:16 mtu kujionyesha mali

KUJIPAMBA, Ayu 40:10 jipambe kwa ukuu

Mk 15:17 wakampamba kwa zambarau

Lu 16:19 tajiri, akijipamba kwa zambarau

1Pe 3:3 kujipamba kusiwe kusuka

KUJISHUSHA, Zb 113:6 anajishusha kutazama

KUJISIFU, Ga 5:26 tusiwe wenye kujisifu

Flp 2:3 kutofanya jambo kwa kujisifu

KUJITEGEMEA, Amu 18:7.

KUJITENGA, Ezr 10:11 kujitenga na wake

2Ko 6:17 tokeni katikati yao, mjitenge

KUJITIKISA, Isa 52:2 Jitikise uwe huru

KUJITOA KIKAMILI, Kut 20:5.

Kum 4:24 Yehova anataka wajitoe kikamili

Eze 39:25 nitajitoa kikamili kwa ajili

Nah 1:2 Yehova anataka wajitoe kikamili

Hes 25:11; Yos 24:19; Wim 8:6; Eze 5:13.

KUJITOSHELEZA, Ayu 21:23; Flp 4:11.

KUJITUMAINI, Zb 85:8 wasirudi kujitumaini

Met 14:16 mwenye kujitumaini

Eze 30:9 Ethiopia yenye kujitumaini

KUJITWIKA, Kol 2:23 ibada ya kujitwika

KUJIVUNA, Ro 11:20 mawazo ya kujivuna

KUJIZUIA, Isa 42:14 Niliendelea kujizuia

Mdo 24:25 akiongea juu ya kujizuia

1Ko 9:25 anayeshiriki shindano hujizuia

Tit 1:8 mwenye kujizuia

1Ko 7:5, 9; Ga 5:23; 2Ti 3:3; 2Pe 1:6.

KUJUA, Ebr 13:2 bila kujua, waliwakaribisha

KUKANA, Ayu 31:28 nimemkana Mungu

KUKATWA KWA MSUMENO, Ebr 11:37.

KUKUSANYA MANENO, Mhu 12:11.

KULA, Mwa 2:17 usile matunda yake

Mwa 3:19 kwa jasho, utakula mkate

Law 17:14 msile damu

Kum 28:53 utakula uzao wa tumbo lako

Mhu 2:24 ale, anywe, aone mema

Isa 11:7 simba atakula majani

Isa 24:6 laana imeila nchi

Isa 65:13 Watumishi wangu watakula

Yer 15:16 Maneno yako nikayala

Yer 19:9 watakula nyama ya wana

Mt 6:19 ambako nondo na kutu hula

Mt 26:26 wakila, Yesu akachukua mkate

Ro 14:6 anayekula, anakula kwa Yehova

1Ko 10:17 tunakula mkate mmoja

2Th 3:10 asiyefanya kazi, asile

Ufu 2:7 kula matunda ya mti wa uzima

Zb 22:26; Isa 27:10; 65:21; Eze 3:1; Yoh 6:53.

KULA NA KUNYWA, Isa 21:5; Mt 11:19; 24:38; Lu 10:7; Ro 14:17; Kol 2:16.

KULABU, Eze 38:4 kulabu katika mataya yako

KULALA, 1Th 4:13 ambao wanalala katika kifo

KUMBATIA, 2Fa 4:16 utamkumbatia mwana

Zb 94:19 kuikumbatia nafsi yangu

Wim 2:6 Mkono wake unanikumbatia

Mwa 29:13; 48:10; Met 4:8; Mhu 3:5.

KUMBUKA, Mwa 9:15 nitakumbuka agano langu

Mwa 19:29 Mungu alimkumbuka Abrahamu

Kut 20:8 kuikumbuka Sabato

1Fa 17:18 kumbukumbu la kosa

Ne 4:14 Mkumbukeni Yehova

Ayu 14:13 wakati na kunikumbuka!

Zb 25:7 Usikumbuke dhambi

Mhu 12:1 Mkumbuke, Muumba wako

Yer 31:34 dhambi yao sitaikumbuka

Lu 17:32 Mkumbukeni mke wa Loti

Lu 22:19 kwa kunikumbuka mimi

2Ti 1:5 naikumbuka imani

Ebr 10:32 kukumbuka siku za zamani

Ebr 13:7 Wakumbukeni wanaoongoza

Zb 137:6; Isa 43:25; Lu 23:42; 1Ko 11:25; 2Pe 3:2.

KUMBUKUMBU, Ezr 4:15 kitabu, kumbukumbu

Ezr 6:2 kumbukumbu hii imeandikwa

Zb 109:15 akatilie mbali kumbukumbu

Met 10:7 Kumbukumbu la mwadilifu

Mhu 9:5 kumbukumbu lao limesahauliwa

Eze 23:19 kumbukumbu ya ujana

Mal 3:16 kitabu cha kumbukumbu

KUMBUKWA, Zb 83:4 Israeli lisikumbukwe tena

Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa

Mdo 10:31 zawadi zako zimekumbukwa

Mhu 1:11.

KUMBUSHA, Isa 43:26 Nikumbushe; hukumuni

2Pe 1:12 kuwakumbusha mambo

2Pe 1:13 kuwaamsha kwa kuwakumbusha

3Yo 10.

KUMI, Kut 34:28 Maneno Kumi

Zek 8:23 watu kumi wataushika

Ufu 2:10 muwe na dhiki siku kumi

Mwa 18:32; 2Fa 20:11; Mt 25:1; Ufu 13:1.

KUMI NA MBILI, Mwa 49:28 makabila 12

Mt 10:2 mitume kumi na wawili

Yak 1:1 kwa makabila kumi na mawili

KUNDI, Zb 65:13 Malisho yamevikwa makundi

Zb 79:13 kundi la malisho yako

Met 27:23 kujua hali ya kundi lako

Isa 40:11 Atalichunga kundi lake

Mt 8:30 kundi la nguruwe

Lu 12:32 Msiogope, kundi dogo

1Pe 5:3 vielelezo kwa kundi

Kut 8:24; Amu 5:16; Zb 78:52; Isa 13:20; 60:7; 61:5; Yer 25:34; Mik 2:12; Mt 26:31; Mk 5:11; Lu 8:32; 1Pe 5:2.

KUNDI LA WAIMBAJI, Ne 12:31, 38, 40.

KUNDI-NYOTA, Ayu 9:9; Amo 5:8.

KUNDI-NYOTA LA ASHI, Ayu 9:9.

KUNG’UTA, Ne 5:13 nikakung’uta vazi

Mt 10:14 yakung’uteni mavumbi

Mdo 13:51 wakawakung’utia mavumbi

Ne 5:13.

KUNI, Eze 15:4 utiwe motoni uwe kuni

KUNJA, Ebr 1:12 utazikunja kama kanzu

KUNJAMANA, Mhu 7:3 kukunjamana uso

KUNJWA, Isa 34:4 mbingu zitakunjwa

KUNYOOSHA MAMBO, Mik 4:3; 2Ti 3:16; Ebr 9:10.

KUNYWA, Mhu 2:24 mwanadamu, ale, na anywe

Yer 25:28 Bila shaka mtakinywa kikombe

Mt 26:29 divai, kuinywa katika ufalme

Mt 10:42; Ufu 14:8.

KUONEKANA, Mt 28:3.

KUPIGA WATU, 1Ti 3:3; Tit 1:7.

KUPIMIA, Met 16:11 Kitu cha kupimia cha haki

KURA, Est 3:7 alipiga Puri, yaani, Kura

Lu 23:51 kura katika kuunga

Yoh 19:24 vazi walilipigia kura

Mdo 13:19 aligawanya nchi kwa kura

Mdo 26:10 kura yangu dhidi yao

Met 18:18; Mdo 1:26.

KURUDI NYUMA, Ebr 10:38.

KUSANYA, Est 9:18 Wayahudi, wakajikusanya

Zb 50:5 Wakusanye washikamanifu

Isa 40:11 Atawakusanya wana-kondoo

Isa 56:8 Nitawakusanya wengine mbali na

Isa 60:4 Wote wamekusanywa pamoja

Yer 23:3 nitakusanya mabaki ya kondoo

Yer 25:33 hawatakusanywa wala kuzikwa

Sef 2:1 Jikusanyeni, Ee taifa

Sef 3:8 uamuzi, kukusanya mataifa

Mt 12:30 asiyekusanya nami atawanya

Mt 13:41 malaika watakusanya kutoka ufalme

Mt 23:37 kuwakusanya watoto wako

Mt 24:31 watawakusanya wachaguliwa

Lu 1:1 kukusanya habari za mambo ya hakika

Yoh 4:36 kukusanya matunda

Mdo 4:26 wakajikusanya dhidi ya Yehova

Ufu 16:16 kuwakusanya Har-Magedoni

2Fa 10:18; Zb 102:22; 106:47; Isa 11:12; 43:9; 54:7; Yer 29:14; 49:14; Da 11:10; Mik 2:12; 4:6; Mt 3:12; 22:10; Yoh 11:52; Mdo 28:3; 1Ko 5:4; Ufu 16:14.

KUSANYIKA, Mt 25:32 mataifa yatakusanyika

Ebr 10:25 tusiache kukusanyika

KUSANYIKO, Hes 27:16; Zb 1:5; 82:1; Isa 1:13; Amo 5:21; Mdo 19:39.

KUSEMA, 2Ko 3:12 uhuru mkubwa wa kusema

KUSHI, Mwa 10:6, 7, 8; Isa 11:11; Yer 46:9.

KUSINZIA, Met 6:10 bado kusinzia kidogo

KUSOMA, Mdo 26:24 Paulo! Kusoma kwingi

KUSONGWA PUMZI, Ayu 7:15.

KUSUDI, Ayu 11:12 atapata kusudi jema

Met 16:4 Yehova, kila kitu kwa kusudi

Ho 4:11 divai huondoa kusudi jema

Lu 1:51 kusudi la mioyo yao

Ro 8:28 wameitwa, na kusudi lake

Efe 3:11 na kusudi la milele

Flp 1:17 si kwa kusudi safi

Ufu 19:10 ndilo kusudi la unabii

Ro 9:11; Efe 1:11; 2Ti 1:9.

KUSUDIA, Law 4:2 dhambi bila kukusudia

Hes 15:25 lilikuwa kosa wasilokusudia

Da 7:25 atakusudia kubadili nyakati

Mdo 17:31 anakusudia kuhukumu

2Ko 1:17 nikikusudia hivyo

Ga 3:23 imani iliyokusudiwa

Efe 1:9 siri takatifu aliyokusudia

1Th 3:4 tulikusudiwa dhiki

Mik 2:3; Mt 16:22; Yoh 11:51; Mdo 13:34; Kol 2:22.

KUSUDIO, Kut 23:2 makusudio maovu

Ebr 4:12 makusudio ya moyo

KUSUKA NYWELE, 1Ti 2:9; 1Pe 3:3.

KUSULUHISHA MAMBO, Mt 5:25.

KUTA, Lu 12:37 bwana anakuta wakikesha!

KUTAMANI, Mk 7:22 moyoni hutoka kutamani

Yak 4:2 Mnaendelea kuua na kutamani

Kol 3:5; 2Pe 2:14.

KUTANA, Hes 20:20 kukutana naye akiwa

KUTANIKO, Mdo 16:5 makutaniko yakaongezeka

Mdo 20:28 lichungeni kutaniko la Mungu

1Ko 14:34 kimya katika makutaniko

Efe 5:24 kutaniko linavyojitiisha kwa Kristo

Kol 1:18 ndiye kichwa cha mwili, kutaniko

Ebr 12:23 kutaniko la walioandikishwa

Kut 12:6; Kum 9:10; 1Sa 17:47; Zb 149:1; Met 26:26; 1Ko 14:19; Ga 1:13; Efe 1:22.

KUTANISHA, Law 8:3 ukutanishe kusanyiko

Kum 31:12 Wakutanishe watu

KUTELEZA, Zb 35:6 penye kuteleza

KUTENGWA, Zek 14:11 kutengwa kwa ajili ya

KUTOJALI, Met 1:32 kutojali kwa wajinga

KUTOJUA, Mdo 17:30 Mungu ameachilia kutojua

Ebr 9:7 dhambi za hali ya kutojua

Mdo 3:17; Efe 4:18; 1Pe 1:14.

KUTOKA, Ebr 11:22 kule kutoka kwa Israeli

KUTOKWA SHAHAWA, Law 20:15; 22:4.

KUTOTAHIRIWA, Ro 2:25, 26; 1Ko 7:19; Ga 5:6; Kol 3:11.

KUTOTII, Ro 5:19 kutotii kwa mtu mmoja

Ro 10:21 watu wasiotii

Efe 2:2 roho, wana wa kutotii

Ebr 2:2 kila tendo la kutotii lilipokea malipo

Ebr 3:18 nani waliotenda kwa kutotii?

2Ko 10:6; Efe 5:6.

KUTOWEZA KUFA, 1Ko 15:53.

1Ti 6:16 peke yake asiyeweza kufa

KUTU, Eze 24:6, 11, 12; Yak 5:3.

KUU, Met 4:7 Hekima ni jambo kuu

KUUME, Mt 20:23 upande wangu wa kuume

KUVUMILIA, Lu 21:19 kwa kuvumilia mtajipatia

KUWA MACHO, Efe 6:18.

KUWA WENGI, Yer 23:3 watazaa, kuwa wengi.

KUWAPA, Ga 3:5 anayewapa roho

KUWAPO, Ne 13:6 nikaomba kutokuwapo

Mt 24:3 ishara ya kuwapo kwako

Mt 24:37 kuwapo kwa Mwana

1Ko 15:23 Kristo wakati wa kuwapo

2Ko 10:10 kuwapo kwake ni dhaifu

Flp 2:12 bali kutokuwapo kwangu

Flp 2:12 mkitii, si wakati wa kuwapo

Kol 2:5 sipo katika mwili

2Pe 1:16 nguvu, kuwapo kwa Bwana

2Pe 3:4 kuwapo kwake kuko wapi?

1Yo 2:28 aibu, kuwapo kwake

Mt 24:27; 1Ko 5:3; 2Ko 5:9; 10:1, 11; Flp 1:27; 1Th 4:15; Yak 5:7, 8; 2Pe 3:12.

KUWASILIANA NA PEPO, Law 19:31; Kum 18:11; 1Sa 28:3, 7; 2Fa 21:6; 23:24; Isa 8:19; 19:3; 29:4; Ga 5:20; Ufu 22:15.

KUZA, 1Ko 3:7 Mungu anayeikuza

KUZAA WATOTO, 1Ti 2:15.

KUZIMU. Ona GEHENA, KABURI.

KUZUIWA, 1Sa 2:3 Msiache litoke bila kuzuiwa

KWANZA, Isa 42:9 Mambo ya kwanza yamekuja

Isa 44:6 Mimi ni wa kwanza

Mt 6:33 kutafuta kwanza ufalme

Mt 19:30 wa kwanza, mwisho

Mdo 26:23 wa kwanza kufufuliwa

Kol 1:18 wa kwanza katika vyote

1Ti 1:15 dhambi, mimi wa kwanza

Isa 48:12; Mk 9:35; Efe 4:22; Ebr 10:9; 3Yo 9.

KWARE, Hes 11:31 upepo ukasukuma kware

KWAZA, Zb 119:165 cha kuwakwaza

Mt 18:6 yeyote anayemkwaza

Ro 9:33 Ninaweka jiwe la kukwaza

Flp 1:10 msiwe mkiwakwaza wengine

Ro 9:33; 1Ko 8:13.

KWAZIKA, Mt 5:29 jicho linakufanya ukwazike

Mt 13:57 wakaanza kukwazika

Mt 26:31 nyote mtakwazika

Ro 16:17 wanaosababisha kukwazika

Mt 13:41; 15:12; Yoh 16:1.

KWAZWA, Da 11:33 watakwazwa kwa upanga

Da 11:35 wenye ufahamu watakwazwa

KWELI, Zb 12:2 kusemezana yasiyo ya kweli

Zb 19:9 Maamuzi ni ya kweli

Zb 43:3 Tuma nuru na kweli yako

Zb 119:160 Kiini cha neno lako ni kweli

Met 14:25 Shahidi wa kweli

Met 23:23 Nunua kweli

Met 30:8 Maneno yasiyo ya kweli

Isa 43:9 wasikie na kusema, Ni kweli!

Yer 10:10 kwa kweli Yehova ni Mungu

Eze 13:6 jambo lisilo la kweli

Yoh 3:33 Mungu ni wa kweli

Yoh 4:23 waabudu wa kweli

Yoh 4:24 kwa roho na kweli

Yoh 8:32 kweli itawaweka huru

Yoh 14:6 Mimi ndiye njia na kweli

Yoh 17:17 neno lako ni kweli

Yoh 18:37 ushahidi juu ya ile kweli

Ro 3:4 aonekane kuwa wa kweli

1Ko 5:8 keki za unyoofu na kweli

2Ko 6:8 bado ni wenye kusema kweli

2Ko 13:8 kufanya kinyume cha kweli

Efe 6:14 vimefungwa kwa ile kweli

2Th 2:10 hawakukubali kuipenda kweli

1Ti 2:7 jambo linalohusu kweli

1Ti 3:15 tegemezo la ile kweli

1Ti 6:19 waushike uzima wa kweli

2Ti 2:15 sawasawa neno la kweli

Ebr 10:26 ujuzi sahihi juu ya kweli

2Pe 1:12 imara katika kweli

Ufu 3:14 mwaminifu na wa kweli

Zb 41:6; Yoh 1:9; 8:44; 15:1; 17:3; Ro 1:25; 2Ti 3:7; 1Yo 5:20; Ufu 19:11.

KWELIKWELI, 1Ti 1:2 mtoto kwelikweli

KWEZA, Zb 34:3 tulikweze jina lake pamoja

KWEZWA, Met 30:13.

L

LAANA, Yos 7:25 umeleta laana juu ya Israeli

Ga 3:13 alituachilia huru kutoka katika laana

Mwa 12:3; Kut 21:17; Kum 11:26; Ayu 2:9; Met 26:2; Isa 24:6; Ufu 22:3.

LAANI, Ayu 2:5 uone kama hatakulaani

Met 24:24 watu watamlaani

Ro 12:14 muwe mkibariki, si kulaani

Hes 23:8; Ayu 3:8; Met 11:26; 1Ko 16:22; Ga 1:8.

LAANIWA, Mwa 3:17 udongo umelaaniwa

Kum 21:23 kitu kilicholaaniwa

Yoh 7:49 watu waliolaaniwa

Ga 3:13 Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa

1Ko 12:3.

LABANI, Mwa 24:29; 29:5; 31:24, 48; 32:4.

LAINI, Zb 12:3 Yehova ataikata midomo laini

Da 11:32 kwa kutumia maneno laini

1Th 2:5 hatujatokea na maneno laini

LAINISHWA, Isa 34:6 utalainishwa kwa mafuta

LAKISHI, Yos 10:3; 2Fa 14:19; Yer 34:7.

LALA, Mwa 4:1 Adamu akalala na Hawa

Kum 27:21 “Alaaniwe anayelala na mnyama

2Sa 4:5 alipokuwa analala mchana

Ayu 3:13 ningalikuwa nimelala

Eze 34:25 kulala katika misitu

Da 12:2 wengi kati ya wale waliolala

Mt 13:25 Watu wakiwa wamelala

Mt 25:5 walisinzia na kuanza kulala

2Pe 2:3 maangamizi yao hayalali

Mwa 38:26; Kut 22:16; Kum 22:28; Amu 21:12; Isa 56:10; Mdo 13:36; 2Pe 3:4.

LALA KINGUVU, Amu 19:24

Amu 20:5 wakamlala kinguvu suria

Est 7:8 malkia alalwe kinguvu

Zek 14:2 wanawake watalalwa kinguvu

LALA USINGIZI, 1Fa 18:27 pengine amelala

1Ko 15:20 wamelala usingizi katika kifo

1Ko 15:51 Hatutalala usingizi katika kifo

1Th 5:6 na tusiendelee kulala usingizi

Zb 13:3; Mt 27:52; Mdo 7:60; 1Ko 15:6, 18; 1Th 4:14.

LALAMIKA, Met 21:13 kilio cha kulalamika cha

Kol 3:13 sababu ya kulalamika juu ya

LAMEKI, Mwa 4:18; 5:25; 1Nya 1:3; Lu 3:36.

LANGO, Mwa 22:17 lango la adui zake

Ayu 38:17 umefunuliwa malango ya kifo

Isa 28:6 wanaogeuza pigano langoni

Isa 38:10 nitaingia malango ya Kaburi

Isa 60:11 malango yataachwa wazi

Isa 62:10 tokeni kupitia malango

Mt 7:14 lango ni jembamba

Mt 16:18 malango ya Kaburi

Mdo 12:14 Petro amesimama langoni

Mwa 7:11; Kum 31:12; Amu 16:3; Zb 127:5; Met 1:21; Isa 26:2; 60:18; Mal 3:10; Lu 16:20; Ebr 13:12.

LAODIKIA, Kol 2:1; 4:16; Ufu 1:11; 3:14.

LAUMIKA, 1Th 2:10 tulivyokuwa wasiolaumika

1Th 3:13 mioyo imara, isiyolaumika

1Ti 3:2 mwangalizi, asiyelaumika

1Ti 5:7 wasiwe wenye kulaumika

1Ti 6:14 doa na isiyolaumika

LAUMU, Mwa 21:25 Abrahamu alipomlaumu

Lu 6:37 nanyi hamtalaumiwa

2Ko 6:3 huduma yetu isilaumiwe

Mt 12:7; Ro 9:19; Tit 2:8; Ebr 8:8.

LAWAMA, Ayu 2:3 mtu asiye na lawama na

Ayu 12:4 mwadilifu, asiye na lawama

Flp 2:15 bila lawama na wasio na hatia, watoto

1Th 5:23 namna isiyo na lawama

Ro 16:18.

LAWI, Mwa 29:34 akaitwa Lawi

Kut 32:26 wana wote wa Lawi

Kum 10:9 Lawi hana fungu na urithi

Mal 3:3 atatakasa wana wa Lawi

Mwa 35:23; Hes 18:21; Zb 135:20; Ufu 7:7.

LAZARO, Lu 16:20 mwombaji, Lazaro

Yoh 11:1 Lazaro wa Bethania

Yoh 11:2; 12:1.

LAZIMA, Ro 12:3 asijifikirie kuliko lazima

Flp 1:24 katika mwili ni lazima

Ebr 2:1 lazima tukaze uangalifu

Da 3:16.

LAZIMISHA, Ga 2:14 unawalazimisha watu wa

1Pe 5:2 si kwa kulazimishwa

Mdo 28:19; 2Ko 9:7; Ga 2:3; Flm 14.

LEA 1., Mwa 29:23 akamchukua Lea

Ru 4:11 kama Raheli na Lea

LEA 2., Met 22:6 Mlee mvulana

LEBANONI, Kum 3:25; Isa 35:2; Eze 17:3.

LEGEA, Kut 5:8 kwa sababu wanalegea

Kut 5:17 akasema: Mnalegea, mnalegea!

2Nya 15:7 msiache mikono yenu ilegee

Sef 3:16 Mikono yako isilegee

LEGEA-LEGEA, Isa 35:3.

LEGEZA, Yos 10:6 Usilegeze mkono wako

LEMAA, Mdo 14:8 amelemaa miguu

Kut 22:10.

LEMEA, Zek 12:3 jiwe lenye kulemea

LEMEWA, Lu 21:34 mioyo isilemewe

2Ko 5:4 tunaugua, tukilemewa

2Ti 3:6 wanawake waliolemewa

LENGO, Kut 10:10 lengo la kufanya baya

1Ti 1:5 lengo la amri hii

LEO, Mt 6:11; Lu 4:21; 23:43.

LETA, Da 12:3 wanaoleta wengi kwenye uadilifu

LEWA, Mwa 9:21 Noa akalewa

Hag 1:6 Mnakunywa, hamlewi

Efe 5:18 msiwe mkilewa

1Th 5:7 wanaolewa, hulewa usiku

Ufu 17:6 mwanamke amelewa damu

Isa 19:14; Yer 51:7; Mdo 2:15.

LEWESHA, Met 5:19 maziwa yake yakuleweshe

LEWIATHANI, Isa 27:1 Lewiathani, mpotovu

Ayu 41:1; Zb 74:14; 104:26.

LIA, Mhu 3:4 wakati wa kulia na

Isa 30:19 wewe hutalia

Isa 33:7 wajumbe watalia kwa uchungu

Eze 24:16 wala usilie, wala machozi

Yoe 1:5 ninyi walevi, lieni

Ro 12:15 lieni na watu wanaolia

1Ko 15:52 tarumbeta italia

Yak 5:1 lieni, mkipiga mayowe

Ufu 18:9 wafalme wa dunia watalia

Isa 38:14; 59:11; Yer 3:21; 31:7, 16; 50:4; Mik 1:10; Mt 8:12; 13:50; Lu 6:21; 23:28; Ufu 18:15.

LIBYA, Mdo 2:10 Misri, na Libya

LIJAMU, Zb 39:1 lijamu, mlinzi wa kinywa

Isa 30:28 lijamu katika taya

Yak 3:3 lijamu katika vinywa vya farasi

LIMA, Mwa 2:5 hapakuwa na mtu wa kuilima

Mwa 3:23 akamwondoa Edeni, aulime udongo

Met 20:4 mvivu hatalima

Amo 9:13 anayelima atampita anayevuna

Zek 13:5 mtu anayelima udongo

1Ko 3:9 shamba la Mungu linalolimwa

1Ko 9:10 kulima akiwa na tumaini

Ebr 6:7 hulimwa kwa ajili yao

LIMWA, Met 13:23 Udongo uliolimwa

LINDA, Mwa 31:49 Yehova alinde mimi nawe

1Sa 30:23 Yehova alitulinda

2Fa 20:6 nitalilinda jiji hili

Ne 13:14 kuilinda nyumba ya Mungu

Zb 25:21 Utimilifu na unyoofu zinilinde

Zb 31:23 Yehova anawalinda waaminifu

Zb 34:13 Linda ulimi na yaliyo mabaya

Zb 39:1 Nitalinda njia zangu

Zb 40:11 Fadhili zako zenye upendo zinilinde

Zb 121:5 Yehova anakulinda

Zb 145:20 Yehova analinda wanaompenda

Zb 146:9 Yehova analinda wageni

Met 2:8 atalinda njia ya washikamanifu

Met 4:23 Linda moyo wako

Met 8:34 kulinda kwenye vizingiti

Met 13:3 Anayelinda kinywa chake

Ga 3:23 tukilindwa chini ya sheria

Flp 4:7 amani italinda mioyo yenu

1Ti 6:20 linda lililowekwa amana

1Pe 5:8 iweni wenye kulinda

1Yo 5:21 Watoto, jilindeni na sanamu

Mwa 30:31; 2Fa 19:34; Zb 20:1; 34:20; 59:1; 69:29; 97:10; 121:3; Met 14:3; 16:17; Isa 27:3; 31:5; 49:8; Zek 9:15; 2Ti 1:12; Yud 24.

LINGANA, Ga 4:25 Hagari analingana na

Zb 49:12.

LINGANISHA, Zb 89:6 kulinganishwa na Yehova?

Isa 46:5 mtanilinganisha na nani

Ro 8:18 kwa kulinganisha na utukufu

2Ko 10:12 kujilinganisha na watu

Ga 6:4 si kwa kujilinganisha na mtu mwingine

Ebr 8:6 agano bora kwa kulinganishwa

Met 3:15; 8:11.

LIPA, Law 26:34 nchi italipa sabato

Ne 13:2 walilipa Balaamu alaani

Zb 35:12 Hunilipa mema kwa mabaya

Zb 94:2 Uwalipe wenye majivuno

Zb 116:12 Nitamlipa Yehova nini

Met 17:13 anayelipa ubaya kwa wema

Isa 59:18 Atavilipa visiwa tendo

Isa 66:6 Yehova akiwalipa adui

Mt 16:27 atakapomlipa kila mmoja

Mt 22:21 mlipeni Kaisari vitu vya

Lu 14:12 matajiri, lingekuwa kukulipa

Ro 12:17 Msimlipe uovu kwa uovu

Ro 12:19 Kisasi ni changu; nitalipa

Ro 13:6 mnalipa kodi pia

2Th 1:6 kuwalipa dhiki wale

2Ti 4:14 Aleksanda, Yehova atamlipa

Ebr 10:30 Kisasi ni changu; nitalipa

Kut 21:34; Law 24:18; 2Sa 12:6; Ne 6:12; Isa 66:15; Yer 51:24; Ufu 18:6.

LIPA KISASI, Isa 1:24 nitajilipizia kisasi juu ya

Ro 12:19 Wapendwa, msijilipizie kisasi

Amu 16:28; Est 8:13; Zb 79:10; Yer 15:15; Ufu 6:10.

LIPIZA, Met 20:22 Usiseme: Nitalipiza uovu!

Ufu 19:2 amelipiza damu ya watumwa

2Sa 4:8; Zb 44:16; Yer 20:10; Mik 5:15.

LIPU, Eze 13:10 lipu kwa chokaa

Da 5:5 lipu ya ukuta

Law 14:42, 48; Eze 13:14.

LIPWA, Isa 40:2 kosa lake limelipwa

LISHA, Eze 34:8 wachungaji walijilisha

Mt 25:37 ukiwa na njaa tukakulisha

Yoh 21:17 Yesu akasema: Lisha kondoo

1Ko 3:2 Niliwalisha maziwa

Ufu 12:6 wamlishe siku 1,260

Yer 3:15; Eze 34:14, 16, 23; Yud 12.

LISHWA, 1Ti 4:6 kulishwa maneno ya imani

Ufu 12:14 mwanamke, analishwa hapo

LIWALI, Ezr 8:36; Est 8:9; Da 2:48; 3:2, 3, 27; 6:7; Mdo 13:7; 18:12; 19:38.

LOISI, 2Ti 1:5 nyanya yako Loisi

LOTI, Lu 17:28 ilivyotukia siku za Loti

2Pe 2:7 alimkomboa Loti mwadilifu

Mwa 11:27; 19:29.

LOWANA, Zb 6:6 kitanda kilowane

LOWESHA, Isa 16:9 Nitakulowesha kwa machozi

Isa 34:5 upanga wangu utaloweshwa

LUGHA, Mwa 11:1 dunia ilikuwa na lugha moja

Mwa 11:7 tushuke, tuvuruge lugha

Da 7:14 mataifa na lugha vimtumikie

Zek 8:23 watu kumi wa lugha zote

Mdo 2:6 wakisema lugha zao

1Ko 13:1 Nikisema kwa lugha

1Ko 13:8 kama kuna lugha, zitakoma

1Ko 14:5 kuliko anayesema kwa lugha

1Ko 14:22 lugha ni kwa ajili ya ishara

Zb 81:5; Isa 36:11; Yer 5:15; Eze 3:5, 6; 1Ko 12:10; 14:6, 9, 13, 19; Ufu 7:9.

LUGHA SAFI, Sef 3:9 kuwapa watu lugha safi

LUKA, Kol 4:14; 2Ti 4:11.

LULU, Mt 7:6 msitupie lulu nguruwe

Mt 13:45, 46; Ufu 17:4; 18:12; 21:21.

M

MAAFA, Kum 32:35 siku ya maafa yao

Ayu 20:22; Oba 12.

MAAJABU, Da 4:3 maajabu yenye nguvu!

Yoe 2:30.

MAALUMU, 1Ti 2:6 nyakati zake maalumu

MAANA, Ro 7:6 watumwa katika maana mpya

Ga 4:9 mambo yasiyo na maana

Flp 1:10 mambo ya maana zaidi

Kol 3:22 maana ya kimwili

Ayu 14:21; Zek 13:7; Mk 7:14; 8:21; Lu 8:10.

MAANDAMANO, Kol 2:15; Zb 68:24; 2Ko 2:14.

MAANDAMANO YA SHEREHE, Zb 118:27.

MAANDISHI, Kut 32:16 maandishi ya Mungu

Kut 39:30 maandishi kwa mchongo

2Ti 3:15 umeyajua maandishi

Kum 10:4; Da 5:7; Yoh 5:47.

MAANGAMIZI, Isa 10:22.

Ho 13:14 Kaburi, yako wapi maangamizi

Sef 1:18 maangamizi, ya wote duniani

Yoh 17:12 mwana wa maangamizi

2Th 2:3 mwana wa maangamizi

1Ti 6:9 hutumbukiza katika maangamizi

2Pe 2:1 wakijiletea maangamizi

2Pe 2:3 maangamizi yao hayalali

Ayu 28:22; Isa 28:22; Da 9:27; Ebr 10:39; 2Pe 3:16.

MAANISHA, Mdo 2:12 linamaanisha nini?”

MAASI, Kum 19:16 shtaka la maasi

Isa 1:5 mnazidisha maasi?

Yer 28:16 maasi juu ya Yehova

Kum 13:5; Isa 59:13; Yer 29:32.

MABABU, Mdo 22:3 Sheria ya mababu

Kum 19:14; Ezr 4:15; Zb 79:8.

MABAHARIA, Mdo 27:27; Ufu 18:17.

MABAKA, Mwa 31:10 mbuzi wenye mabaka

MABAKI, 2Fa 19:31 mabaki watatoka

Yer 23:3 nitakusanya mabaki

Mik 4:7 akichechemea awe mabaki

Mik 5:7 mabaki kama umande

Sef 3:13 mabaki ya Israeli

Ro 9:27 mabaki watakaookolewa

Ro 11:5 kumetokea pia mabaki

Isa 10:21, 22; 11:11, 16; Yer 15:9; Eze 6:8; Sef 2:9; Zek 8:11, 12.

MABAMBA, Kut 34:28 juu ya mabamba

2Ko 3:3 mabamba ya mawe

Kut 32:16; 34:1; Ebr 9:4.

MABAWA, Ru 2:12 chini ya mabawa yake

Zb 18:10 mabawa ya roho

Mal 4:2 kiponyaji katika mabawa

Ufu 12:14 mabawa mawili ya tai

MABISHANO, 1Ti 2:8; 6:4.

MABUBUJIKO, Isa 12:3; 35:7; 49:10.

MACHAFUKO, 1Sa 4:14; 14:20; 2Nya 15:5; Amo 3:9; Lu 21:9; Mdo 19:40; 1Ko 14:33; 2Ko 6:5; 12:20; Yak 3:16.

MACHICHA, Isa 25:6 divai, kwenye machicha

MACHINJIONI, Isa 53:7.

MACHO, Zb 11:4 macho yake yanachunguza

Met 15:3 Macho ya Yehova, kila mahali

Met 16:2 Njia za mtu, safi machoni pake

Yer 16:17 macho yangu, juu ya njia zao

Zek 14:12 macho, kuoza katika matundu

Efe 1:18 macho ya moyo wenu

1Pe 3:12 macho ya Yehova, juu ya waadilifu

1Yo 2:16 na tamaa ya macho

Ufu 21:4 machozi yote kutoka macho

Mt 13:16; Mk 8:18; 2Ko 4:18.

MACHOZI, Zb 126:5 wanaopanda kwa machozi

Ufu 21:4 atafuta machozi

Isa 25:8; Lu 7:38; Ebr 5:7; Ufu 7:17.

MACHUNGU, Zb 64:3 maneno machungu

Yak 3:11 matamu na machungu kutoka shimo

Kut 1:14; Ayu 13:26.

MADHABAHU, Law 17:11 damu, madhabahuni

Eze 6:4 madhabahu zitafanywa ukiwa

Mdo 17:23 madhabahu. Mungu Asiyejulikana

Ebr 13:10 tuna madhabahu ambayo

Ufu 6:9 nikaona chini ya madhabahu nafsi

Mwa 8:20; Kut 34:13; Isa 56:7; Mt 23:18; Ebr 7:13.

MADHARA, Met 17:4 mdomo wa madhara

Eze 38:10 hila yenye madhara

Kol 3:5 tamaa yenye madhara

Law 26:6; 1Sa 23:9; Ayu 9:4; 34:22, 36; Met 12:20; 14:22; Isa 59:4; Eze 5:16; 11:2.

MADHEHEBU. Ona pia MGAWANYIKO.

Mdo 24:5 kiongozi mkuu wa madhehebu

Mdo 24:14 ile njia wanayoiita madhehebu

1Ko 11:19 lazima yaweko madhehebu

Tit 3:10 mtu anayeendeleza madhehebu

2Pe 2:1 wataingiza ndani madhehebu

Mdo 5:17; 15:5; 26:5; 28:22; Ga 5:20.

MADOGO-MADOGO, 1Ti 6:5.

MAELFU, Ebr 12:22; Yud 14; Ufu 5:11.

MAELFU YA WATAKATIFU, Kum 33:2; Yud 14.

MAENDELEO, Flp 3:16 tumefanya maendeleo

Yoh 8:37; Ga 1:14; 1Ti 4:15; 2Ti 3:9.

MAFANIKIO, 1Fa 10:7 Umezidi katika mafanikio

Mt 12:20 haki kwa mafanikio

1Nya 17:19, 21; 22:13; Isa 41:24; Mdo 19:25.

MAFICHO, Zb 27:5; Zb 119:114; Isa 28:17; 45:19; Yer 49:10.

MAFUNDISHO YA UDANGANYIFU, 2Pe 2:13.

MAFUNJO, Kut 2:3; Ayu 8:11; Isa 18:2.

MAFUTA, Law 1:8, 12 kichwa na mafuta

1Sa 15:22 kusikiliza kuliko mafuta

Zb 23:5 Umepaka kichwa changu mafuta

Isa 25:6 vyakula vilivyotiwa mafuta

Isa 61:3 mafuta ya furaha

Mt 25:4 wenye busara, mafuta

Kut 29:7; 1Sa 16:13; Eze 34:3; Lu 7:46; Ebr 1:9.

MAGADI, Met 25:20; Yer 2:22.

MAGOFU, Amo 6:11 nyumba kuwa magofu

MAGOGU, Eze 38:2 uso juu ya Magogu

Eze 39:6 moto juu ya Magogu

Ufu 20:8 Gogu na Magogu

MAGOMBANO, 1Ko 1:11 kuna magombano

MAGONJWA, Zb 103:3 Anayeponya magonjwa

MAGUGU, Mt 13:25 adui alipanda magugu

MAGUMU, Ayu 10:17 magumu yako nami

2Pe 3:16 mambo magumu kuelewa

MAHAKAMA, Da 7:10 Mahakama ikaketi

Mt 5:22 atatoa hesabu mahakamani

1Ko 6:1 anathubutu kwenda mahakamani

1Ko 6:6 ndugu anaenda mahakamani

Yak 2:6 Matajiri hupeleka mahakamani

Da 7:26; Mt 5:40; 10:17; Mk 13:9; Lu 12:58; Mdo 17:34.

MAHALI, Zb 37:10 mahali pake, hatakuwapo

Met 15:3 Macho ya Yehova kila mahali

Mhu 3:20 wanaenda mahali pamoja

Mt 24:15 limesimama mahali patakatifu

Yoh 14:2 kuwatayarishia ninyi mahali

Kum 12:11; Zb 91:1; Eze 39:11; Yud 6; Ufu 12:6, 8.

MAHALI PA JUU, Law 26:30; Zb 78:58.

MAHALI PA KUJIKINGA, Ayu 24:8.

MAHALI PA KUPUMZIKA, 1Fa 8:56; Zb 23:2; 95:11; 132:14; Isa 11:10; 28:12; 66:1

MAHALI PA UHARIBIFU, Met 27:20.

MAHALI PALIPOFANYWA UKIWA, Ezr 9:9.

MAHER-SHALAL-HASH-BAZI, Isa 8:1, 3.

MAHITAJI, 1Ti 5:8 hawaandalii mahitaji

Yak 2:16 mkose kumpa mahitaji

MAHUBIRI, Lu 11:32 mahubiri ya Yona

MAISHA, Zb 30:5 muda wote wa maisha

Lu 16:25 vyema katika maisha yako

Ayu 11:17; Zb 39:5.

MAISHA YA KIROHO, Ebr 12:23.

MAITI, 1Sa 31:10; Zb 110:6; Mt 14:12.

MAJALIWA, Isa 65:11 mungu wa Majaliwa

MAJANI, Zb 37:2 watafifia kama majani

Zb 92:7 wanapochipuka kama majani

Ufu 9:4 wasidhuru majani ya dunia

2Fa 19:26; Zb 103:15; Isa 40:8; 51:12.

MAJANI MAKAVU, Isa 47:14.

Mal 4:1 watakuwa kama majani makavu

1Ko 3:12.

MAJESHI, 2Nya 25:10; Ayu 29:25.

MAJESHI YA ROHO WAOVU, Efe 6:12.

MAJI, Mwa 6:17 gharika ya maji duniani

Kut 14:21 maji yalitenganishwa

Yos 9:27 watekaji wa maji

Zb 23:2 palipo na maji ya kutosha

Met 25:25 maji baridi, nafsi iliyochoka

Isa 11:9 kumjua Yehova kama maji

Isa 12:3 maji, mabubujiko ya wokovu

Isa 30:20 maji ya ukandamizaji

Isa 55:1 Njooni kwenye maji

Yer 2:13 matangi yasiyotunza maji

Amo 8:11 wala si kiu ya maji

Mt 10:42 kikombe cha maji baridi

Yoh 4:14 maji ambayo nitampa

Yoh 7:38 Vijito vya maji hai

1Ko 3:7 anayetia maji, bali Mungu

Ufu 7:17 kuwaongoza kwenye maji ya

Ufu 22:17 achukue maji bure

Hes 20:10; Yoh 5:7; 1Ko 10:4; Ufu 17:1, 15; 22:1.

MAJIRA, Zb 1:3 hutoa matunda katika majira

Da 2:21 anabadili nyakati na majira

Mdo 1:7 Si juu yenu kujua majira

Mdo 3:19 majira ya kuburudisha

Ga 4:10 Mnashika kwa uangalifu majira

Ga 6:9 majira yanayofaa tutavuna

2Ti 4:2 hubiri majira yanayofaa

1Pe 1:11 kuchunguza ni majira gani

Mwa 1:14; Zb 145:15; Yer 5:24; 1Th 5:1.

MAJIRA YA SHEREHE, Sef 3:18; Zek 8:19.

MAJIVUNO, 1Sa 2:3 msiseme kwa majivuno

Zb 10:2 Katika majivuno, mwovu

Met 6:17 macho ya majivuno

Met 16:18 roho ya majivuno

Isa 2:11 Macho ya majivuno

Sef 3:11 nitaondoa wenye majivuno

Lu 1:51 ametawanya wenye majivuno

1Ko 8:1 Ujuzi huleta majivuno

Yak 4:6 hupinga wenye majivuno

2Sa 22:28; Zb 31:23; 73:8; 94:2; 101:5; Met 14:3; 29:23; Yer 48:26; Eze 35:13; Mk 7:22; 2Ti 3:2.

MAJUTO, 1Sa 15:29 hataona majuto

MAKAA, Isa 47:14 Hakuna mwako wa makaa

Ro 12:20 utakusanya makaa juu ya kichwa

Zb 18:12; Isa 6:6; Eze 10:2.

MAKABURI, Yer 26:23 maiti katika makaburi

MAKABURI YA UKUMBUSHO, Yoh 5:28.

MAKALI, Mhu 10:10 kifaa kimepoteza makali

MAKALI KUWILI, Zb 149:6; Ebr 4:12.

MAKAO, 1Fa 8:49 makao yako yaliyo imara

Zb 74:20 makao ya jeuri

Isa 32:18 makao yenye amani

Yer 25:37 makao yenye amani kukosa uhai

Eze 34:14 watalala katika makao mazuri

Hab 3:11 makao yaliyo juu

Yoh 14:2 mna makao mengi

1Ko 4:11 na kuwa bila makao

Kum 26:15; Zb 91:9; Isa 58:7; Yer 31:23; Omb 1:7; 3:19; 4:15; Mdo 17:26; Yud 6; Ufu 18:2.

MAKAPI, Da 2:35 zilipondwa kama makapi

Zb 35:5; Isa 41:15; Sef 2:2; Mt 3:12.

MAKEDONIA, Mdo 16:9 Vuka Makedonia

Mdo 20:1; 1Ko 16:5; 2Ko 8:1; 1Th 1:7; 4:10.

MAKIMBILIO, Hes 35:6 majiji 6 ya makimbilio

Yos 20:2; 21:13.

MAKINI, Mt 6:26 angalieni kwa makini ndege

Ebr 12:2 tukimtazama Wakili kwa makini

MAKOMBO, Mt 15:27 mbwa hula makombo

MAKOSA YANAYOSABABISHA UKIWA, Da 8:13.

MAKRISTO WA UWONGO, Mt 24:24; Mk 13:22.

MAKUBALIANO, 1Ko 7:5 ila kwa makubaliano

MAKUHANI WENYE KUFANYA UCHAWI, Mwa 41:8; Kut 7:11; 9:11; Da 1:20; 2:2; 4:7.

MAKUNDI YALIYOKUTANIKA, Zb 26:12.

MAKUSUDI, Mwa 48:14 mikono makusudi

MAKUU, Zb 56:2 vita, kwa kujitakia makuu

Da 7:8, 11, 20 kinachosema mambo makuu

Oba 12 usiseme makuu siku ya

Mdo 2:11 mambo makuu ya Mungu

Ro 12:16 akili juu ya makuu

MALAIKA, Zb 34:7 malaika anapiga kambi

1Ko 4:9 tamasha kwa malaika

1Ko 6:3 tutawahukumu malaika?

2Ko 11:14 Shetani, malaika wa nuru

2Ko 12:7 malaika wa Shetani

1Pe 1:12 malaika wanatamani kuchunguza

Ufu 22:6 malaika kuwaonyesha watumwa

Mwa 19:15; Kut 3:2; 23:20; Mt 22:30; 28:2; Mdo 5:19; Ga 1:8; Ebr 13:2; 2Pe 2:4, 11.

MALAIKA MKUU, 1Th 4:16 sauti ya malaika mkuu

Yud 9 Mikaeli yule malaika mkuu

MALAYA. Ona KAHABA.

MALENGELENGE, Kut 9:9.

MALI, Kut 19:5 mtakuwa mali yangu

Kum 14:2 watu wake, mali pekee

Ne 10:31 wakileta mali sabato

Met 13:22 mali ya mtenda-dhambi

Mhu 5:10 apendaye mali hatatosheka

Isa 33:6 mali ya wokovu

Isa 60:5 mali za bahari

Isa 60:11 mali za mataifa

Isa 61:6 mtakula mali za mataifa

Mt 12:29 kukamata mali za

Mt 25:14 kuwapa mali zake

Lu 15:13 mdogo akatapanya mali

Lu 16:9 rafiki kupitia mali

Efe 1:14 mali ya Mungu mwenyewe

2Th 3:2 imani si mali ya wote

1Pe 2:9 watu, mali ya pekee

1Yo 2:16 kujionyesha mali yake

Mwa 12:5; Hes 16:32; Kum 4:20; 2Nya 31:3; Ezr 1:4; Zb 62:10; Mhu 5:19; 6:2; Yer 15:13; 17:3; Eze 26:12; Mt 19:21; Mk 5:26; Lu 14:33; 15:12; 16:11; Ufu 18:17.

MALI ZA MAUZO, Eze 26:12; 28:5, 16, 18.

MALIPO, Kum 23:18 malipo ya kahaba

Kum 32:41 kutoa malipo kwa

Mhu 9:5 hawana malipo tena

Isa 23:17 Tiro, atarudia malipo yake

Isa 34:8 mwaka wa malipo

Isa 35:4 Mungu akiwa na malipo

Isa 49:4 malipo yangu yana Mungu

Yer 51:56 Mungu wa malipo

Ho 9:7 siku za malipo yanayostahili

Mik 3:11 makuhani, wapate malipo

Ro 1:27 malipo kamili, kosa lao

Ro 11:9 mtego, kikwazo, malipo

2Ko 6:13 kama malipo—panukeni

2Th 2:10 malipo kwa sababu

1Ti 5:4 kuwalipa wazazi malipo

Ebr 2:2 malipo kupatana na haki

Ebr 11:26 malipo ya thawabu

Yer 22:13; Eze 29:20.

MALISHO, Zb 23:2 malisho ya majani mengi

Zb 79:13 kundi la malisho yako

Yer 25:36 Yehova anapora malisho

Eze 34:14 malisho mazuri nitawalisha

Eze 34:31 kondoo wa malisho yangu

Yoh 10:9 kutoka na kupata malisho

Zb 65:13; 100:3; Isa 30:23; 49:9; Yer 9:10; 23:1; Omb 1:6; Eze 34:18; Yoe 1:19; 2:22; Amo 1:2; Sef 2:6.

MALIZA, Lu 13:32 siku ya tatu nitamaliza

Yoh 4:34 kuimaliza kazi yake

Yoh 17:4 nimemaliza kazi uliyonipa

Mdo 20:24 ningepata kumaliza mwendo

Ro 9:28 kuimaliza na kuifupisha

Mwa 41:30.

MALIZIKA, Lu 12:50 mpaka umalizike!

Mwa 21:15; 1Fa 17:16.

MALIZIWA, Ga 3:3 mnamaliziwa katika mwili?

MALIZWA, Zb 104:35 dhambi watamalizwa

MALKIA, 1Fa 11:19 Tapenesi malkia

Zb 45:9 Malkia amesimama

Mt 12:42 Malkia wa kusini atasimama

Ufu 18:7 Naketi nikiwa malkia

1Fa 10:1; 15:13; Ne 2:6; Est 2:17; Zb 45:9; Yer 7:18; 13:18; 29:2; Da 5:10.

MAMA, Mwa 3:20 Hawa, mama ya kila mtu

Kut 20:12 Mheshimu baba na mama

Zb 51:5 mama, mimba dhambini

Met 6:20 usiiache sheria ya mama

Met 23:22 usimdharau mama yako

Lu 8:21 Mama yangu na ndugu zangu

Ga 4:26 Yerusalemu, ni mama yetu

Mwa 2:24; Amu 5:7; Isa 49:1; Lu 12:53; 14:26.

MAMA-MKWE, Kum 27:23; Ru 1:14; 2:11; Mt 8:14; 10:35; Mk 1:30.

MAMBO, Mhu 12:13 mwisho wa mambo

Mt 23:23 mmepuuza mambo mazito

1Ko 6:2 kuamua mambo madogo

Mdo 25:20.

MAMBO YA KWANZA, Isa 43:9.

MAMBO YA MSINGI, Ga 4:3, 9; Kol 2:8; Ebr 5:12.

MAMLAKA, Mt 28:18 Nimepewa mamlaka yote

Yoh 5:27 mamlaka ya kuhukumu

Yoh 10:18 Nina mamlaka ya kuitoa

Yoh 19:11 hungekuwa na mamlaka isipokuwa

Mdo 1:7 Baba, mamlaka yake

Ro 13:1 ijitiishe kwa mamlaka

Ro 13:2 anayepinga mamlaka amechukua

1Ko 7:4 Mke hana mamlaka juu ya mwili

1Ko 9:5 tuna mamlaka ya kumchukua dada

1Ko 15:24 ameangamiza mamlaka yote

Efe 1:21 juu kuliko kila serikali na mamlaka

Efe 2:2 mtawala wa mamlaka ya hewa

Efe 6:12 mweleka, juu ya mamlaka

Kol 1:13 mamlaka ya giza

1Pe 3:22 mamlaka na nguvu vilitiishwa

2Pe 2:10 hudharau mamlaka

1Fa 9:19; Zb 145:13; Isa 22:21; Da 6:26; Mik 4:8; Mt 7:29; 20:25; Lu 4:6; 12:5; Kol 2:15; Tit 3:1; Yud 8; Ufu 17:12.

MAMLAKA YA KIFALME, 2Nya 36:20.

MAMRE, Mwa 13:18; 23:17; 35:27; 50:13.

MANA, Kut 16:31 Israeli wakiita mana

Kut 16:35 wakala mana miaka 40

Yoh 6:49 babu walikula mana, wakafa

Ebr 9:4 mtungi wenye mana

Ufu 2:17 mana iliyofichwa

Yos 5:12; Ne 9:20; Zb 78:24.

MANABII WA UWONGO, Mt 7:15.

1Yo 4:1 manabii wa uwongo wameingia

Mt 24:11; 2Pe 2:1.

MANASE, Mwa 41:51; 48:13; 2Fa 21:16-18.

MANEMANE, Mt 2:11; Yoh 19:39.

MANENO, Zb 19:2 hufanya maneno yabubujike

Zb 119:103 maneno yako yamekuwa

Met 4:10 sikia maneno yangu

Ro 16:18 kwa maneno laini huishawishi

1Ko 14:9 maneno yenye kueleweka

Kol 4:6 Maneno yenye kukolezwa

Ayu 6:25; Zb 19:14; Met 4:20; Yoh 6:63; 12:47; 1Ti 1:6.

MANENO MAGUMU, Da 8:23.

MANENO MATAKATIFU, Mdo 7:38; Ro 3:2; Ebr 5:12; 1Pe 4:11.

MANENO YA KUJIGAMBA, 2Pe 2:18.

MANENO YENYE AFYA, 1Ti 6:3; 2Ti 1:13.

MANOA, Amu 13:2, 8, 21.

MANONG’ONEZO, 2Ko 12:20.

MANUKATO, Eze 8:11 manukato ya uvumba

Kut 25:6; 30:7; Lu 23:56; 24:1.

MANUNG’UNIKO, Hes 14:27; 17:5.

MANYOYA, Amu 6:37, 38, 39, 40.

MANYUNYU, Kum 32:2 manyunyu juu ya mimea

Zb 72:6 Atashuka kama manyunyu

Mik 5:7 watakuwa kama manyunyu

Zb 65:10.

MAOMBEZI, 1Ti 2:1 sala, maombezi

MAOMBOLEZO, Yer 31:15 Rama, maombolezo

Ufu 21:4 wala maombolezo wala kilio

Zb 30:11; Yer 9:10, 20; Eze 27:32; Amo 5:16; Mik 2:4; Zek 12:11.

MAONI, 1Sa 18:8 baya kwa maoni yake

Zek 11:13; 1Ko 7:25, 40; 1Pe 4:6.

MAONO, Met 29:18 pasipo maono watu

Isa 30:10 maono ya udanganyifu

Eze 13:16 manabii wanaona maono

Yoe 2:28 vijana wataona maono

Hab 2:3 maono bado ni ya wakati

Zek 13:4 aibu, kwa sababu ya maono

Mt 17:9 Msimwambie mtu maono

Eze 1:1; Da 10:14; Mik 3:6; Mdo 16:9.

MAONYESHO, 2Ko 9:12 maonyesho ya shukrani

MAONYESHO YA MAPENZI, Wim 1:2, 4; 4:10; 5:1.

MAOVU, Yoh 5:29 waliotenda maovu, ufufuo

Yoh 3:20; Ro 12:9; 2Ko 5:10.

MAPACHA, Mwa 25:24; 38:27.

MAPAMBAZUKO, Ne 8:3 kuanzia mapambazuko

Ayu 38:12 uliyajulisha mapambazuko mahali

Isa 14:12 mwana wa mapambazuko!

2Sa 2:32; Zb 139:9; Isa 8:20; Ho 6:3.

MAPATANO, 1Sa 21:2 mapatano ya kukutana

Ne 9:38 tunaweka mapatano

Amo 3:3 isipokuwa kwa mapatano

MAPATO, Ayu 15:29 hatatandaza mapato

Isa 23:3 mavuno ya Nile, mapato

Mdo 2:45 kugawia wote mapato

MAPEMA, Flp 3:11 ufufuo wa mapema

MAPENDEZI, Zb 1:2 mapendezi katika sheria

MAPENZI, Zb 40:8 nimependezwa mapenzi yako

Zb 143:10 Unifundishe mapenzi yako

Mt 6:10 Mapenzi yako yatendeke

Lu 22:42 si mapenzi yangu, bali

Yoh 5:30 natafuta, si mapenzi yangu

Mdo 13:36 Daudi, alitumikia mapenzi

Ro 8:20 si kwa mapenzi yake

Ro 9:19 nani amepinga mapenzi

Ro 12:2 mapenzi makamilifu

Efe 5:17 kufahamu mapenzi ya Yah

Flp 2:13 mapenzi yake mema

Kol 1:9 ujuzi sahihi wa mapenzi

Ebr 10:10 hayo mapenzi yaliyosemwa

2Pe 1:21 unabii, si kwa mapenzi ya

1Yo 2:17 afanyaye mapenzi ya Mungu

Ufu 4:11 mapenzi yako vilikuwako

Ezr 7:18; Da 11:36; Mt 7:21; Yoh 6:39.

MAPIGO, Kut 9:14 mapigo yangu dhidi ya moyo

Law 26:21 mapigo mara saba zaidi

Kum 25:3 kumpiga kwa mapigo 40

2Nya 21:14 Yehova analeta pigo kwa wana

Eze 24:16 ninaondolea kutoka kwako kwa pigo

Lu 12:47 atapigwa mapigo mengi

Mdo 16:33 akaosha mapigo

1Pe 2:24 kwa mapigo yake mliponywa

Met 19:29; Lu 12:48; 2Ko 6:5; 11:24.

MAPINGO, Zb 147:13 mapingo ya lango lako

Zb 107:16; Yon 2:6; Nah 3:13.

MAPOKEO, 1Nya 4:22 maneno ni ya mapokeo

Mk 7:13 mnalibatilisha kwa mapokeo

Ga 1:14 bidii kwa ajili ya mapokeo

Mt 15:3; Mk 7:3; 1Ko 11:2; 2Th 2:15.

MAPUMBU, Yer 5:8 mapumbu yenye nguvu

MAPYA, Isa 42:9 ninatangaza mambo mapya

2Ko 5:17 mapya yamekuja kuwako

MARA, Law 26:18 nitawatia adabu mara saba

Yos 6:15 wakalizunguka jiji mara saba

Met 24:16 mwadilifu akaanguka mara saba

Mhu 6:1 msiba, mara nyingi

Mt 18:22 Mpaka mara 77

MARA MBILI, Kut 22:7 atalipa mara mbili

Ufu 18:6 mtendeeni mara mbili

MARA MOJA, Lu 4:5 mara moja falme zote

1Th 5:3 uharibifu mara moja

MARA NYINGI, Lu 5:33; Mdo 24:26.

MARA SABA, Law 16:19 atatapanya mara saba

Law 26:28 nitawatia adabu mara saba

Yos 6:4 kuzunguka jiji mara saba

2Fa 5:10 uoge mara saba

Zb 12:6 iliyosafishwa mara saba

Zb 119:164 Mara saba nimekusifu

Met 24:16 mwadilifu akaanguka mara saba

Mt 18:22 si, Mpaka mara 7, Mpaka

Mwa 33:3; 1Fa 18:43; 2Fa 4:35; Da 3:19.

MARASHI, Mt 26:7; Lu 7:46; Yoh 11:2.

MAREKEBISHO, Mdo 24:2 marekebisho, taifa

MARIA 1., Mt 1:16 Maria, kwake Yesu azaliwa

Mt 13:55; Mk 6:3; Lu 1:27; 2:19, 34.

MARIA 2., Mt 27:56 Maria Magdalene

Mk 16:1; Lu 8:2; 24:10; Yoh 20:1.

MARIA 3., Mt 27:56 Maria mama ya Yakobo

Mk 15:47; 16:1; Lu 24:10; Yoh 19:25.

MARIA 4., Lu 10:42 Maria achagua jema

Lu 10:39; Yoh 11:1; 12:3.

MARIA 5., Mdo 12:12 Maria mama ya Yohana

MARIA 6., Ro 16:6 Maria, aliyefanya kazi

MARIDADI, 1Nya 29:2 mawe maridadi

MARIJANI, Met 8:11 hekima, kuliko marijani

MARTHA, Lu 10:41; Yoh 11:39; 12:2.

MARUFUKU, Kum 13:17; Ezr 10:8; Da 6:7, 9, 12, 13, 15; Mik 4:13.

MASADUKAYO, Mt 3:7; 22:23; Mdo 23:6-8.

MASALIO, Ru 2:8 kuokota masalio

Law 19:9; 23:22.

MASENGENYO, 2Ko 12:20.

MASERAFI, Isa 6:6 mmoja wa maserafi

MASHAHIDI, Isa 43:10 ninyi ni mashahidi

MASHAMBANI, Mk 6:36, 56; Lu 9:12.

MASHARIKI, Amu 6:33 watu wa Mashariki

Amu 7:12 watu wote wa Mashariki

Amu 8:10 watu wa Mashariki

Zb 75:6 wala kutoka mashariki

Eze 25:4 mkononi mwa Watu wa Mashariki

Da 11:44 habari kutoka mashariki

Mt 2:1 wanajimu kutoka mashariki

Ufu 16:12 wafalme kutoka mashariki

Mwa 3:24; 29:1; Amu 6:3; 1Fa 4:30; Ayu 1:3; Isa 2:6; Yer 49:28; Eze 8:16; 25:10; Mt 8:11; 24:27; Lu 13:29.

MASHARUBU, Mik 3:7 watafunika masharubu

Law 13:45; 2Sa 19:24; Eze 24:17.

MASHAURIANO, Ga 1:16 mashauriano na watu

MASHINDANO, Mhu 4:4 mashindano kati ya

Ga 5:26 kuchochea mashindano

MASHIRIKA, 1Ko 15:33 mashirika mabaya

MASHTAKA YA KISHERIA, 1Ko 6:7.

MASHUA, Yer 51:32; Mt 4:22; Yak 3:4; Ufu 18:19.

MASHUHURI, Yer 25:34-36 watu mashuhuri

Amu 5:13; 1Nya 11:25; Zb 16:3; Amo 6:1.

MASHUU, Yon 2:3 Mashuu na mawimbi yako

MASIHI, Da 9:26 majuma 62 Masihi

Yoh 1:41 Tumempata Masihi

Yoh 4:25 Najua Masihi anakuja

MASKANI, Kut 25:9 mfano wa maskani

Zb 43:3 vinilete kwenye maskani yako

Zb 84:1 Jinsi ilivyo nzuri maskani

Eze 37:27 maskani yangu itakuwa

Kut 40:17; Zb 78:60; 132:7; 2Pe 1:13.

MASKINI, Zb 69:33 Yehova anasikiliza maskini

Zb 79:8 tumekuwa maskini

Zb 116:6 Nilikuwa maskini, akaniokoa

Yer 2:34 damu za nafsi za maskini

Lu 4:18 kutangazia maskini habari

Yoh 12:8 mna maskini sikuzote

Ro 7:24 Maskini mimi!

2Ko 6:10 kama maskini lakini

2Ko 8:9 maskini kwa ajili yenu

1Ti 5:5 mjane maskini

Yak 2:5 Mungu alichagua maskini

Mwa 45:11; Kut 23:6; 1Sa 2:8; Ayu 24:4; Zb 9:18; 72:4; 107:41; 132:15; Met 30:9; Isa 14:30; 25:4; Yer 5:28; Amo 8:4; Mt 11:5; Mk 12:43.

MATABIRI, 1Ti 1:18 kupatana na matabiri

MATAKATIFU, 2Ti 3:15 maandishi matakatifu

MATAKWA YA KISHERIA, Lu 1:6; Ebr 9:10.

MATAMSHI, Mt 26:73 matamshi yakutambulisha

MATAPIKO, Isa 28:8 meza zimejaa matapiko

2Pe 2:22 Mbwa amerudia matapiko

Met 26:11; Isa 19:14; Yer 48:26.

MATARI, 2Sa 6:5 wakisherehekea kwa matari

MATASA, 2Sa 6:5 matasa na kwa matoazi

MATATIZO, Zb 94:20 kinatunga matatizo

MATAWI, Law 23:40 mtajichukulia matawi

Da 4:14 Ukateni mti, na matawi yake

MATAYARISHO, Yer 46:14 ujifanyie matayarisho

Mt 27:62; Yoh 19:14, 31, 42.

MATE, 1Sa 21:13 Aliacha mate yatiririke

MATEKA, Amu 5:12 wachukue mateka wako

2Fa 14:14 mateka, akarudi Samaria.

Isa 52:2 Ee binti Sayuni uliye mateka

Da 11:8 ataingia Misri pamoja na mateka

Lu 21:24 watapelekwa mateka katika mataifa

Ro 7:23 ikinichukua mateka kwa sheria

Zb 68:18; Lu 4:18; Efe 4:8; 2Ti 3:6.

MATENDO, 2Ko 4:10 matendo yenye kuleta kifo

Ga 5:19 matendo ya mwili

Ebr 10:24 upendo na matendo mazuri

Yak 2:26 imani bila matendo imekufa

Isa 3:11; Yoe 3:7; Oba 15.

MATENDO YENYE NGUVU, 1Ko 12:10, 29; Ga 3:5.

MATESO, Zb 107:17 makosa, walijiletea mateso

Isa 14:6 mateso yasiyo na kizuizi

Mt 13:21 mateso, sababu ya neno

Ro 8:18 mateso ya majira haya si kitu

Ro 8:35 au mateso au njaa

2Ko 1:7 washiriki wa hayo mateso

2Ko 8:2 jaribu kubwa chini ya mateso

2Ko 12:10 mateso na magumu

Kol 1:24 Ninashangilia katika mateso

Ebr 10:32 mlivumilia chini ya mateso

Kut 3:7, 17; 4:31; Zb 107:41; 119:92; Mk 10:30; Mdo 13:50; Flp 3:10; 2Th 1:4; 2Ti 3:11; Ebr 2:10; 1Pe 1:11; 4:13; 5:9; Ufu 2:10; 18:7.

MATHAYO, Mt 9:9; 10:3; Lu 6:15; Mdo 1:13.

MATIBABU, Yer 30:13; 46:11.

MATIKITI-MAJI, Hes 11:5 matango, matikiti-maji

MATOFALI, Mwa 11:3; Kut 1:14; 5:7.

MATOKEO, Met 5:4 matokeo yake ni machungu

Ro 5:18 matokeo kwa watu wote

MATOPE, Zb 69:2 Nimezama katika matope

Yer 38:6 Yeremia, kuzama matopeni

Yer 38:22 uzame katika matope

Mik 7:10 kukanyaga, kama matope

2Pe 2:22 nguruwe, kugaagaa matopeni

Isa 57:20; Zek 9:3; 10:5.

MATUKANO, Efe 4:31; 1Ti 6:4.

MATULIVU, 1Ti 2:2 maisha shwari na matulivu

MATUMAINI, Isa 57:10; Yer 2:25.

MATUMBO, Kut 29:13 mafuta ya matumbo

Sef 1:17 matumbo yao kama mavi

MATUNDA, Tit 3:14 wasiwe wasiozaa matunda

Mt 13:22; 1Ko 14:14; Efe 5:11; 2Pe 1:8.

MATUNDA YA KWANZA, Law 23:10; Ro 8:23; 11:16; 1Ko 15:20; 16:15; Yak 1:18; Ufu 14:4.

MATUNDA YA KWANZA YALIYOIVA, Kut 23:16; Ne 10:35.

MATUNDA YA MTOFAA, Met 25:11.

MATUNDU, Isa 22:9; Eze 30:16.

MATUTA, Isa 62:10 fanyeni matuta

MAUAJI, Yer 50:21 Mauaji ya kikatili

MAUMBILE, 1Ko 11:14 maumbile yenyewe

MAUMIVU, Zb 51:5 Nilizaliwa kwa maumivu

Met 10:22 haongezi maumivu

Isa 53:4 maumivu yetu, aliyabeba

Yer 6:24 maumivu ya kuzaa

Mdo 2:24 kufungua maumivu ya kifo

Ga 4:19 nina maumivu ya kuwazaa

1Th 5:3 maumivu ya taabu

1Ti 6:10 wamejichoma kwa maumivu

Ufu 12:2 analia katika maumivu

Ufu 21:4 maumivu hayatakuwapo

Mwa 3:17; Zb 32:10; 55:4; 69:29; Isa 54:1; Yer 6:24; Mt 24:8; Ga 4:27; Ufu 16:10.

MAUMIVU MAKALI, Lu 21:25; 2Ko 2:4.

MAUMIVU YA KIFO, Zb 73:4.

MAVAZI, Efe 6:13 mavazi kamili ya silaha

Met 27:26; Da 7:9; Mt 6:25, 28.

MAVAZI YA KIFUANI, Yer 2:32.

MAVI, Kum 23:13 na ufunike mavi yako

Met 30:12 hawajaoshwa mavi yao

1Fa 14:10; Eze 4:12; Sef 1:17.

MAVUMBI, Mwa 2:7 mtu kutoka mavumbi

Mwa 3:19 utarudi mavumbini

Zb 72:9 wataramba mavumbi

Mhu 12:7 mavumbi huirudia nchi

Da 12:2 waliolala mavumbini wataamka

Mt 10:14 kung’uteni mavumbi

1Ko 15:47 Mtu wa kwanza ni mavumbi

Kut 8:16; 2Nya 34:4; Zb 103:14; Mhu 3:20; Isa 40:15; Nah 1:3; Mal 4:3.

MAVUNO, Yoe 3:13 Tia mundu, mavuno yameiva

Mt 9:37 mavuno ni mengi, lakini

Mt 13:39 mavuno ni umalizio wa

Ufu 14:15 mavuno ya dunia yameiva

Kut 23:16; Met 10:5; Yer 8:20; 51:33.

MAWAZO, Zb 146:4 Siku hiyo mawazo hupotea

2Ko 10:5 tunapindua mawazo

Zb 40:5; Yer 29:11; Mt 15:19; Lu 2:35.

MAWEMAWE, Isa 40:4 nchi ya mawemawe

Isa 42:16 nchi ya mawemawe

MAWIMBI, Isa 51:15 mawimbi yake yachafuke

Zb 65:7; 89:9; Yon 2:3; Yud 13.

MAWINDO, Mwa 27:3 uniwindie mawindo

Zb 124:6 Tuwe mawindo kwa

Isa 31:4; Eze 22:27; Nah 2:13.

MAYOWE, Isa 13:6 Pigeni mayowe

Yer 25:36 mayowe ya watu mashuhuri

Zek 11:3 Mayowe ya wachungaji

Yak 5:1 matajiri, pigeni mayowe

Isa 23:1, 6; 65:14; Yer 25:34; Eze 21:12.

MAZAO, Kum 28:33 mazao yako yataliwa

Met 3:9 Mheshimu Yehova kwa mazao

Eze 34:27 nchi itatoa mazao

Zb 85:12; Zek 8:12.

MAZITO, Ayu 12:22 anafunua mambo mazito

Mt 23:23 mmepuuza mambo mazito

1Ko 2:10 roho huchunguza mambo mazito

Da 2:22.

MAZIWA, Kut 3:8 nchi ya maziwa na asali

Met 5:19 maziwa yake yakuleweshe

1Ko 3:2 Niliwalisha maziwa

Ebr 5:12 wanaohitaji maziwa

Law 20:24; Amu 4:19; Isa 7:22; 55:1; 60:16.

MAZIWA YASIYOCHANGANYWA, 1Pe 2:2.

MAZOEA, Ro 2:1 mazoea ya mambo hayo

Ro 8:13 mkiyaua mazoea ya mwili

1Ti 3:2 kiasi katika mazoea

1Ti 3:11 kiasi katika mazoea

1Yo 3:6 hana mazoea ya dhambi

Ro 2:2; 1Ti 5:20; Tit 2:2.

MAZOEZI, Lu 21:14 msifanye mazoezi mapema

1Ti 4:8 mazoezi ya kimwili

1Pe 5:10 atamaliza mazoezi yenu

MAZUNGUMZO, Ayu 6:3; Zb 64:2; Mk 1:27.

MAZUNGUMZO YA SIRI, Zb 64:2; 83:3; Met 11:13; 15:22; 20:19; 25:9.

MBA, Law 21:20 mwenye vigaga au mba

MBALIMBALI, 1Ko 12:4 zawadi mbalimbali

Est 1:7.

MBANO, Kum 28:53, 57.

MBATIZAJI, Mt 3:1; 11:11; 14:2; Lu 7:33.

MBAYA, Mdo 8:3 kutaniko kwa njia mbaya

Efe 5:16 siku hizi ni mbaya

MBEGU, Mt 13:38 mbegu nzuri

Lu 8:11 mbegu ni neno la Mungu

1Ko 15:37 unapanda mbegu tupu

Mwa 1:11; 1Ko 15:38.

MBELE, Yer 7:24 wakaelekea nyuma si mbele

MBINGU, Amu 5:20 Nyota zilipigana mbinguni

Zb 19:1 Mbingu zatangaza utukufu

Zb 50:6 mbingu zasema uadilifu

Isa 65:17 naumba mbingu mpya

Isa 66:1 Mbingu ni kiti cha ufalme

Yoh 3:13 hakuna aliyepanda mbinguni

Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni

1Ko 15:49 mfano wa yule wa mbinguni

Ebr 3:1 mwito wa mbinguni

Ebr 8:5 kivuli cha vitu vya mbinguni

Ebr 12:22 Yerusalemu la mbinguni

2Pe 3:5 mbingu tangu zamani

2Pe 3:10 mbingu zitapitilia mbali

2Pe 3:13 mbingu mpya, dunia mpya

Ufu 12:7 vita ghafula mbinguni

Ufu 19:11 nikaona mbingu imefunguliwa

Kum 10:14; Zb 2:4; Met 30:19; Hag 2:6; Mal 3:10; Mt 11:11; 24:35; Lu 17:24; Yoh 3:12; 2Ti 4:18; Ebr 9:23.

MBINU, Zb 64:6 mbinu ya werevu

Lu 23:51 hakuunga mkono mbinu

2Ko 2:11 hatukosi kujua mbinu zake

Eze 22:29.

MBIO, Mhu 9:11 wanaoshinda mbio, wala

1Ko 9:24 wakimbiaji katika mbio

Ebr 12:1 shindano la mbio mbele

Mhu 9:11.

MBOGA, Ro 14:2 aliye dhaifu hula mboga

MBOLEA, Zb 83:10; Yer 25:33; Lu 13:8.

MBOMOAJI, Isa 22:5 mbomoaji wa ukuta

MBONI, Zek 2:8 anaigusa mboni

MBONI YA JICHO, Kum 32:10; Zb 17:8; Met 7:2; Omb 2:18.

MBU, Yer 46:20 mbu atakuja juu ya Misri

Mt 23:24 huchuja mbu, humeza ngamia

MBUZI, Law 9:3 mbuzi wa toleo la dhambi

Law 9:15 mbuzi wa toleo la dhambi

Zek 10:3 viongozi kama mbuzi

Mt 25:32 atenganisha kondoo, mbuzi

Ebr 9:12 si kwa damu ya mbuzi

Kut 12:5; Law 16:7, 22, 27; Ebr 10:4.

MBUZI (wa Azazeli), Law 16:10; Law 16:26.

MBUZI-DUME, Eze 34:17 kondoo na mbuzi-dume

MBWA, Isa 56:10 Walinzi wake ni mbwa

2Pe 2:22 Mbwa amerudia matapiko

Amu 7:5; 2Fa 9:36; Mt 15:26; Ufu 22:15.

MBWA-MWITU, Isa 11:6 mbwa-mwitu na kondoo

Eze 22:27 Wakuu ni mbwa-mwitu

Mt 10:16 kondoo kati ya mbwa-mwitu

Yoh 10:12 humwona mbwa-mwitu akija

Mdo 20:29 mbwa-mwitu wataingia

MCHAGULIWA, Isa 42:1 Mchaguliwa wangu

Isa 65:22 waliochaguliwa wataitumia kazi

Mt 24:24 kuwapotosha, waliochaguliwa

Mt 24:31 watawakusanya waliochaguliwa

Mk 13:20 kwa sababu ya waliochaguliwa

Mk 13:27 kuwakusanya waliochaguliwa

Lu 18:7 haki kwa ajili ya waliochaguliwa

Zb 89:3; Mt 24:22; Ro 8:33; Kol 3:12; 2Ti 2:10.

MCHANA, Mwa 1:5 akaiita nuru Mchana

Kum 28:29 anayepapasa mchana

1Fa 18:27 mchana Eliya akawadhihaki

Met 4:18 mpaka mchana mkamilifu

Isa 16:3 katikati ya mchana

Isa 59:10 Tumejikwaa mchana

Amo 8:9 jua lishuke mchana

Sef 2:4 Ashdodi, watalifukuza mchana

Ayu 24:14; Zb 37:6; 91:6; Isa 58:10; Yer 15:8; Ro 13:12.

MCHANGA, Mt 7:26 nyumba juu ya mchanga

Ro 9:27 Israeli kama mchanga wa bahari

Mwa 22:17; Zb 139:18; Isa 10:22; Yer 5:22; 33:22; Ufu 20:8.

MCHANGANYIKO, Ufu 18:6 mchanganyiko mara

Kut 30:32.

MCHANGO, Kut 25:2 mtauchukua mchango

2Nya 31:10 leta mchango ndani ya nyumba

Eze 45:1 mtamtolea Yehova mchango

Eze 48:21 mchango mtakatifu na patakatifu

Ro 15:26; 1Ko 16:1, 2; 2Ko 9:13.

MCHAWI, Isa 3:3 mchawi stadi.

Isa 19:3 wataenda kwa wachawi

MCHEZO, Kut 8:29 Farao asifanye mchezo

Met 10:23 kwa mjinga ni kama mchezo

2Ti 2:5 mtu akishindana michezoni

MCHOCHEZI, Mk 15:7 Baraba, na wachochezi

MCHOKOO, Mdo 26:14 kuipiga teke michokoo

MCHOMO, Ho 13:14 Kifo, wapi michomo yako?

1Ko 15:55 Kifo, wapi mchomo wako?

MCHONGAJI, 2Fa 12:12 wachongaji wa mawe

MCHONGEZI, Met 11:13 mchongezi anafunua

Met 16:28 mchongezi anawatenganisha

Met 20:19 mchongezi anafunua ya siri

Met 26:20 pasipo na mchongezi ugomvi

MCHONGOMA, Eze 28:24 mchongoma hatari

MCHONYOTO, Kum 28:22 mchonyoto na joto la

MCHUKUA-SILAHA, 1Sa 14:6; 31:4.

MCHUNGAJI, Zb 23:1 Yehova ni Mchungaji

Isa 56:11 wachungaji hawakujua kuelewa

Yer 2:8 wachungaji walinikosea

Yer 3:15 wachungaji kupatana na moyo

Yer 23:1 wachungaji wanaowaangamiza

Yer 23:4 nitasimamisha wachungaji

Yer 25:34 Pigeni mayowe, wachungaji

Eze 34:2 toa unabii juu ya wachungaji

Eze 37:24 watakuwa na mchungaji mmoja

Mik 5:5 tutasimamisha wachungaji saba

Zek 11:17 Ole wake mchungaji wangu

Mt 26:31 Nitampiga mchungaji

Lu 2:8 wachungaji wakiishi nje

Yoh 10:11 mchungaji mwema

Yoh 10:16 mchungaji mmoja

Efe 4:11 wengine kuwa wachungaji

Ebr 13:20 mchungaji mkuu wa kondoo

1Pe 5:4 mchungaji mkuu akiisha

Mwa 49:24; Yer 10:21; Zek 11:3; Mt 8:33; 9:36; 25:32; Mk 5:14; Lu 8:34.

MCHUNGUZAJI, 1Nya 29:17 mchunguzaji moyo

MDANGANYIFU, Zb 5:6; 2Yo 7.

MDHALIMU, Eze 31:11 mkononi mwa mdhalimu

MDHAMINI, Met 6:1 ikiwa umekuwa mdhamini

MDHIHAKI, Zb 35:16 wadhihaki, kwa keki

Met 20:1 Divai ni mdhihaki

2Pe 3:3 wadhihaki na dhihaka

MDOGO, Isa 60:22 Mdogo atakuwa elfu

Yer 31:34 mdogo mpaka mkubwa

Mt 11:11 mdogo katika ufalme

Mt 25:40 hawa ndugu zangu wadogo

Lu 9:48 anayejiendesha kama mdogo

Ebr 2:9 mdogo kuliko malaika

Ebr 7:7 mkubwa hubariki mdogo

Ebr 8:11 watanijua, kuanzia mdogo

Zb 8:5; Mt 5:19; 1Ko 15:9.

MDOMO, Met 10:21 Midomo ya mwadilifu

Met 15:7 Midomo hutawanya ujuzi

Isa 6:5 asiye na midomo safi

Ho 14:2 ng’ombe wa midomo

Mal 2:7 midomo ya kuhani

Mt 15:8 huniheshimu kwa midomo

Ebr 13:15 tunda la midomo

1Pe 3:10 midomo isiseme udanganyifu

Ayu 2:10; Zb 31:18; 106:33; Isa 30:27; Lu 1:4; Mdo 18:25; Ga 6:6.

MDUDU, Kum 28:42 wadudu watamiliki udongo

Isa 14:11 wadudu ni kifuniko

Isa 41:14 Yakobo uliye mdudu

MEGA, 1Ko 10:16 mkate, tunamega

MEGIDO, Amu 5:19 maji ya Megido

Yos 12:21; 2Fa 9:27; 23:29; 2Nya 35:22.

MELI, Zb 48:7 unavunja meli za Tarshishi

Zb 107:23 wanaoshuka baharini kwa meli

Isa 23:1 meli za Tarshishi

Da 11:40 mashambulizi kwa meli nyingi

2Ko 11:25 nilivunjikiwa na meli

Amu 5:17; 1Fa 9:26; 10:11; Isa 43:14; Eze 30:9; Da 11:30.

MELKIZEDEKI, Ebr 5:6 mfano wa Melkizedeki

Mwa 14:18; Zb 110:4; Ebr 6:20; 7:1, 15.

MEMA, Mwa 3:5 kama Mungu, mkijua mema

Mhu 2:24 nafsi ione mema kwa kazi

Amo 5:15 Chukia baya, penda mema

Lu 6:45 mwema hutokeza mema

Ro 8:28 zishirikiane kwa mema

Ga 6:10 tuwatendee wote mema

1Pe 3:17 kuteseka kwa mema

Yoh 5:29; Mdo 10:38; Ro 13:3; 1Pe 2:15; 4:19.

MENDE, 1Fa 8:37 ukungu, nzige, mende

Yoe 1:4 nzige mchanga, mende amekula

MENGI, Ayu 11:6 ya hekima ni mengi

1Ko 15:58 mengi katika kazi ya Bwana

MENO, Eze 18:2 meno ya wana

Yoe 1:6 meno ya simba

Ayu 19:20; Met 10:26; Da 7:7, 19; Mt 8:12.

MERIBA, Kut 17:7; Hes 20:13; Kum 32:51.

MERIKEBU, Isa 33:21 kundi la merikebu

MESOPOTAMIA, Mwa 24:10; Kum 23:4; Mdo 2:9.

METAMETA, Eze 1:22 kumetameta kwa barafu

Eze 21:15 upanga umetemete

METHALI, Met 1:6 ili kuelewa methali

METHUSELA, Mwa 5:21, 25, 27; Lu 3:37.

MEZA 1., Zb 23:5 unatayarisha meza

Isa 21:5 Meza na ipangwe

Isa 28:8 meza zimejaa matapiko

Da 11:27 kusema uwongo kwenye meza

Mal 1:7 Meza ya Yehova kudharauliwa

Lu 22:30 mpate kunywa mezani pangu

1Ko 10:21 meza ya Yehova

MEZA 2., Yer 30:16 wanaokumeza, watamezwa

Oba 16 mataifa watakunywa, kumeza

2Ko 5:4 uhai ukimeze kinachokufa

1Pe 5:8 Ibilisi, atafuta kumeza mtu

MFALME, 1Sa 8:19 mfalme atakuwa juu yetu

Zb 2:2 Wafalme, kuchukua msimamo

Zb 110:5 atavunja wafalme vipande

Isa 32:1 Mfalme atatawala kwa

Yer 10:10 Yehova ni Mfalme milele

Zek 14:9 Yehova atakuwa mfalme

Mt 21:5 Mfalme wako anakuja

Mt 27:37 Yesu Mfalme wa Wayahudi

Lu 21:12 matapelekwa kwa wafalme

Yoh 1:49 Rabi, Mfalme wa Israeli

Yoh 18:37 unasema mimi ni mfalme

Yoh 19:15 hatuna mfalme ila Kaisari

1Ti 1:17 Mfalme wa umilele

Ufu 16:14 yanakwenda kwa wafalme

Ufu 19:16 Mfalme wa wafalme

Amu 5:19; 9:8; 2Nya 9:22; Zb 89:27; Isa 41:21; Da 4:37; Mdo 17:7; 1Ti 6:15.

MFALME WA KASKAZINI, Da 11:6, 7, 8, 15, 40.

MFALME WA KUSINI, Da 11:11, 25, 40.

MFANO, Mwa 1:26 mtu kwa mfano wetu

Zb 110:4 kuhani, mfano wa Melkizedeki!

Mt 13:10 kwa kutumia mifano?

Mt 13:34 hakusema nao bila mfano

Mt 13:35 Nitafungua kinywa kwa mifano

Mt 24:32 na mtini kama mfano

Lu 8:10 kwa wengine ni kwa mifano

Yoh 16:25 sitasema tena kwa mifano

Ro 5:14 Adamu, mfano wake

Ro 6:5 katika mfano wa kifo chake

1Ko 15:49 mfano wa yule wa mbinguni

Ga 3:15 nasema kwa mfano wa

Ga 4:24 tukio la mfano

1Ti 1:16 ustahimilivu wake kuwa mfano

Ebr 9:9 Hema hili ni mfano

Ebr 9:24 mfano wa uhalisi

Ebr 11:19 kwa njia ya mfano

Kut 25:9, 40; Mt 15:15; Mk 4:10, 11; 12:1, 12; 13:28; Ro 8:3, 29; Kol 1:15; Ebr 8:5.

MFANO WA UHALISI, Ebr 8:5.

MFANO WA WIVU, Eze 8:3, 5.

MFANYA-BIASHARA, Eze 27:3.

Nah 3:16 Umezidisha wafanya-biashara

Ayu 41:6; Isa 23:8; Eze 27:13, 15, 17, 22-24.

MFANYAKAZI, Ne 4:22 wafanyakazi mchana

Mt 9:37 wafanyakazi ni wachache

Mt 20:1 wafanyakazi wa shamba

Lu 10:7 mfanyakazi astahili mshahara

2Ti 2:15 mfanyakazi asiyeaibika

Yak 5:4 Mishahara ya wafanyakazi

3Yo 8 wafanyakazi wenzi kwelini

MFANYAKAZI MWENZANGU, Kol 4:11.

MFANYAKAZI MWENZI, 1Ko 3:9

MFANYIZAJI, Isa 45:9; Yer 10:16.

MFARIJI, Ayu 16:2; Zb 69:20; Nah 3:7.

MFEREJI, 2Fa 19:24; Ayu 38:25; Isa 37:25; Eze 29:3; 31:4.

MFEREJI WA CHINI KWA CHINI, 2Sa 5:8.

MFILISTI, Amu 3:3 Wakuu wa Wafilisti

Amu 16:30 Nafsi yangu ife na Wafilisti

1Sa 4:10 Wafilisti wakashinda Israeli

1Sa 17:36 Mfilisti asiyetahiriwa

1Sa 31:8 Wafilisti wakamkuta Sauli

Isa 2:6 uchawi kama Wafilisti

Eze 25:15 Wafilisti wamelipiza kisasi

Amu 14:4; 1Sa 17:37, 43; Sef 2:5; Zek 9:6.

MFINYANZI, Zb 2:9 kama chombo cha mfinyanzi

Isa 29:16 mfinyanzi awe kama udongo?

Isa 64:8 nawe ni Mfinyanzi wetu

Yer 18:6 udongo mkononi mwa mfinyanzi

Mt 27:7 shamba la mfinyanzi

Ro 9:21 mfinyanzi hana mamlaka

Isa 30:14; 41:25; Yer 18:4; Omb 4:2.

MFU, Zb 115:17 Wafu hawamsifu Yah

Mhu 9:5 wafu hawafahamu lolote

Mt 8:22 waache wafu wazike wafu

Yoh 5:25 wafu watasikia sauti ya Mwana

Ro 6:11 wafu kuhusiana na dhambi

Efe 2:1 mlikuwa wafu

1Th 4:16 wafu katika Kristo watafufuliwa

Mhu 6:3; Mt 22:32; Ufu 14:13; 20:13.

MFUAJI, Mwa 4:22 mfuaji wa vifaa vya shaba

MFUAJI WA NGUO, Mal 3:2.

MFUGAJI, 2Ki 3:4 Mesha, mfugaji kondoo

MFUKO, 1Sa 25:29 mfuko wa uzima

Ayu 14:17 Maasi yamefungwa katika mfuko

Ayu 28:18 mfuko uliojaa hekima

MFUKO WA CHAKULA, Mt 10:10; Lu 22:35, 36.

MFUMO WA MAMBO, Ga 1:4.

Ebr 1:2 aliifanya mifumo ya mambo

Zb 17:14; 49:1; Mt 13:39; 24:3; 28:20; Mk 10:30; Lu 18:30; 2Ko 4:4; 1Ti 6:17.

MFUNDISHAJI, Isa 30:20 Mfundishaji Mkuu

Mt 13:52 mfundishaji wa wote

Mt 23:34 ninawatumia wafundishaji

2Nya 35:3; Ezr 8:16; Met 5:13; Hab 2:18.

MFUNDISHAJI WA WATU WOTE, Mt 13:52; 23:34.

MFUNGO, 2Nya 20:3 akatangaza mfungo

MFUNGWA, Isa 42:7 umtoe mfungwa

Isa 49:9 wafungwa, Tokeni nje!

Efe 3:1 Paulo, mfungwa wa Kristo

2Ti 1:8 aibu, mimi mfungwa wake

Ayu 3:18; Zb 69:33; 79:11; 102:20; Isa 14:17; Zek 9:12; Mt 27:15; Mdo 16:25.

MFUNUAJI, Da 2:28 Mungu ni Mfunuaji wa siri

Da 2:47 Mungu, Mfunuaji wa siri

MFUPA, Law 24:20 Mfupa uliovunjika

Zb 34:20 anailinda mifupa yote

Met 14:30 wivu hufanya mifupa iwe mibovu

Met 25:15 ulimi unaweza kuvunja mfupa

Yer 20:9 moto umefungiwa ndani ya mifupa

Eze 37:1 nchi tambarare, imejaa mifupa

Mt 23:27 ndani yamejaa mifupa ya wafu

Yoh 19:36 Hakuna mfupa utakaovunjwa

Mwa 2:23; Ayu 10:11; Zb 22:14; Hab 3:16.

MFUPI, Zb 39:4 nilivyo wa muda mfupi

MGALILAYA, Mk 14:70; Lu 13:1; Yoh 4:45.

MGAWANYIKO, Mt 10:35; Lu 12:51; Yoh 9:16; Ro 16:17; 1Ko 1:10; 11:18; Ga 5:20.

MGAWANYO (wa makuhani), 1Nya 27:1; 2Nya 5:11; 8:14; Ezr 6:18; Lu 1:5.

MGENI, 1Fa 8:41 pia kwa mgeni

Zb 15:1 mgeni katika hema lako?

Zb 18:44 Wageni, kuja wakitetemeka

Zb 69:8 nimekuwa mgeni kwa

Isa 56:6 wageni wamejiunga na Yehova

1Ko 14:11 nitakuwa mgeni kwa anayesema

Ebr 11:13 wageni na wakaaji wa muda

Ayu 19:15; Isa 2:6; 56:3; 60:10; 61:5; Eze 16:32; Mt 25:35; Lu 24:18; Yoh 10:5; Efe 2:12; Ebr 11:9.

MGIBEONI, 2Sa 21:1 Sauli aliwaua Wagibeoni

2Sa 21:3, 9; 1Nya 12:4; Ne 3:7.

MGIRIKI, 1Ko 1:22 Wagiriki wanatafuta hekima

Ga 3:28 Hakuna Myahudi, Mgiriki

Ro 1:16; 1Ko 10:32; 12:13.

MGOMVI, Met 21:9 mke mgomvi

Met 21:19 kuliko kukaa na mke mgomvi

Met 27:15 mvua na mke mgomvi ni sawa

Met 26:21.

MGONJWA, 2Sa 13:5 mkate kama mgonjwa

Met 13:12 Tarajio, moyo mgonjwa

Isa 33:24 Mimi ni mgonjwa

Eze 34:4 wagonjwa hamkuwatia nguvu

Yoh 5:5 alikuwa mgonjwa miaka 38

Yak 5:14 Je, kuna yeyote mgonjwa?

2Fa 20:1; Mal 1:8; Mt 25:39; Yoh 11:2.

MGONJWA KIAKILI, 1Ti 6:4.

MGONJWA-MGONJWA, 1Ko 11:30.

MGUMU, Kut 7:14 Moyo wa Farao ni mgumu

Kum 15:7 usifanye moyo kuwa mgumu

Yos 11:20 kuacha mioyo iwe migumu

Isa 6:10 Fanya moyo kuwa mgumu

Mk 3:5 mioyo yao migumu

Ebr 3:8, 15 msifanye mioyo kuwa migumu

Ebr 3:13 akafanywa mgumu kwa dhambi

Ebr 4:7 msifanye mioyo kuwa migumu

Kut 1:14; 1Sa 6:6; Met 28:14; Isa 6:10; Mdo 19:9.

MGUU, Zb 119:105 Neno ni taa ya mguu

Isa 52:7 miguu ya anayeleta habari

Mt 4:6 usiugonge mguu wako juu ya jiwe

Yoh 19:33 hawakuvunja miguu yake

Ro 10:15 miguu ya wanaotangaza

Ro 16:20 Shetani kupondwa miguuni

1Ko 15:25 adui zote chini ya miguu

Efe 6:15 miguuni, habari njema

Isa 59:7; Lu 1:79; Ro 10:15; Ebr 2:8.

MHAMISHWA, Ezr 6:16; Isa 20:4; Amo 1:5.

MHARIBIFU, Isa 54:16 mharibifu, kazi ya

MHESHIMIWA, Mdo 25:21, 23.

MHITI, Mwa 23:10; Amu 1:26; 2Sa 11:3.

MHOLI, Ayu 6:6 utelezi wa mholi

MHUBIRI, 1Ti 2:7 niliwekwa kuwa mhubiri

2Ti 1:11 mhubiri na mtume na

2Pe 2:5 Noa, mhubiri wa uadilifu

MHUDUMU, Mk 10:43 mkubwa, awe mhudumu

Ro 13:4 ni mhudumu wa Mungu

Ro 15:8 Kristo alikuwa mhudumu

Ro 16:1 Fibi, ambaye ni mhudumu

2Ko 3:6 wahudumu wa agano jipya

2Ko 11:15 wahudumu wake wanajigeuza

1Ti 3:10 watumike wakiwa wahudumu

1Ti 4:6 utakuwa mhudumu mzuri

Zb 103:21; Isa 61:6; 2Ko 3:3; 6:4; Ga 2:17; Kol 1:23.

MIA, Amu 7:7 Kwa watu hawa mia tatu

Isa 65:20 ingawa ana miaka mia

Mt 13:8 zikazaa mara mia

Mt 18:12 Mtu akiwa na kondoo mia

Mk 10:30 hatapata mara mia

Amu 4:13; 1Fa 22:6; Mhu 6:3.

MIA MOJA AROBAINI NA NNE ELFU, Ufu 7:4; 14:1, 3.

MIA SITA SITINI NA SITA, Ufu 13:18.

MIAKA ELFU, Zb 90:4 miaka elfu kama jana

2Pe 3:8 siku moja ni kama miaka elfu

Ufu 20:2 kumfunga kwa miaka elfu

Ufu 20:4 kutawala kwa miaka elfu

MIANGA, Yak 1:17 Baba wa mianga ya mbinguni

MIDIANI, Amu 6:1 Israeli mkononi mwa Midiani

Kut 2:15; Amu 9:17; Hab 3:7; Mdo 7:29.

MIEREBI, Zb 137:2 Juu ya mierebi tulitundika

MIFUGO, Kut 9:3 mkono, juu ya mifugo

Kum 3:19 najua mna mifugo mingi

Isa 30:23 Mifugo yako italisha

1Ko 15:39.

MIIMO YA MLANGO, Kum 6:9.

MIKA, Amu 17:1; 2Nya 34:20; Mik 1:1.

MIKAELI, Da 12:1 Mikaeli atasimama

Ufu 12:7 Mikaeli na malaika zake

Da 10:13, 21; Yud 9.

MIKATE YA TOLEO, Mt 12:4.

MIKAYA, 1Fa 22:8; 2Fa 22:12; 2Nya 13:2.

MILELE. Pia WAKATI USIO NA KIPIMO.

Law 25:23 nchi haitauzwa milele

Zb 104:5 dunia, haitatikiswa milele

Isa 9:6 Baba wa Milele

Isa 57:15 anayeishi milele

Yoh 17:3 Uzima wa milele, kupata ujuzi

Ro 1:20 nguvu za milele na Uungu

Ro 5:21 tazamio la uzima wa milele

Ro 6:23 zawadi za Mungu, uzima milele

2Ko 4:18 visivyoonekana ni vya milele

1Pe 5:10 aliwaitia utukufu wa milele

Yud 6 vifungo vya milele

Mwa 49:26; Zb 111:8; 148:6; Da 12:3; Hab 3:6; Mt 25:46; Mk 3:29; Lu 16:9; Efe 3:11; 1Yo 5:11.

MILIKI, Mwa 17:8 kuimiliki hata wakati

Mwa 22:17 uzao utamiliki lango

Zb 2:8 dunia iwe miliki yako

Zb 37:11 wapole wataimiliki dunia

Isa 49:8 ukiwa yamilikiwe tena

Isa 57:13 ataumiliki mlima wangu

Hes 13:30; Kum 1:21; 2Nya 20:11; Zb 44:3; 69:35; Eze 36:12.

MILIKIWA, Mdo 7:45 Yoshua, nchi iliyomilikiwa

MILIO, Yer 13:27 uzinzi na milio yako

MILIONI, 1Nya 21:5; 22:14; 2Nya 14:9.

MIMBA, Kut 23:26 mwanamke, mimba itatoka

Law 12:2 atachukua mimba na kuzaa

Ayu 3:16 kama mimba iliyoharibika

Ayu 21:10 Ng’ombe wake hutia mimba

Zb 51:5 alinichukua mimba katika dhambi

Isa 7:14 Mwanamwali atapata mimba

Ho 9:14 tumbo la kuharibu mimba

Lu 1:31 utachukua mimba katika tumbo lako

Ro 9:10 Rebeka alipochukua mimba

Ebr 11:11 Sara, kuchukua mimba ya uzao

Mwa 4:1; 31:38; Ru 4:13; 2Fa 2:19, 21; Ayu 21:10; Zb 58:8; Mhu 11:5; Ho 9:11; Lu 1:24.

MIMI NI YEHOVA, Kut 7:5; 14:4; Isa 49:23; Eze 6:7; 7:4; 11:12; 12:20; 13:23; 14:8; 15:7; 16:62; 20:44; 22:16; 25:5; 26:6; 28:22; 34:27; 35:9; 37:6; 38:23; 39:7, 28.

MIMINA, Mdo 2:17 Nitaimimina roho yangu

Zb 62:8; Yoe 2:28; Mdo 2:33.

MIMINIKA, Isa 2:2; Yer 51:44; Mik 4:1.

MIMINWA, Zb 45:2 Uvutio umemiminwa

MINA, Lu 19:16 mina ilipata mina kumi

1Fa 10:17; Ezr 2:69; Lu 19:13, 24, 25.

MINYWA, Law 22:24 mapumbu yaliyominywa

MIPAKA, Isa 26:15 Umeieneza mipaka yote

MIRIAMU, Kut 15:20; Hes 12:1; 20:1; 26:59.

MISPA, Yos 11:3; Amu 10:17; Ho 5:1.

MISPE, Yos 11:8; Amu 11:29.

MISRI, Zb 68:31 vyombo vitatoka Misri

Isa 19:23 njia kuu, Misri kwenda Ashuru

Isa 31:1 Ole wao wanaoshuka Misri

Da 11:43 juu ya vitu vya Misri

Ufu 11:8 Misri, alipotundikwa Bwana wao

Mwa 37:36; 41:41; Kut 11:5; Mt 2:15.

MITI YA MIBAKA, 2Sa 5:23; 1Nya 14:14.

MITINDO YA NYWELE, 1Ti 2:9.

MITUNGI, Yoe 2:24; 3:13; Zek 14:10.

MIUNDU, Isa 2:4 mikuki iwe miundu

Yoe 3:10 miundu yenu iwe mikuki

Mik 4:3 mikuki yao iwe miundu

MIUNGU, Mdo 17:18 mtangazaji wa miungu

Mdo 17:22 kuogopa miungu kuliko

MIUNGU ISIYO NA THAMANI, Law 19:4; 26:1; Zb 96:5; Hab 2:18.

MIUNGU YA KIGENI, Yos 24:20; Zb 81:9.

MIVUKE, Zb 135:7 Anafanya mivuke ipande

Yer 10:13 husababisha mivuke ipande

MIZANI, Ayu 31:6 Atanipima katika mizani

Zb 62:9 Wanapowekwa juu ya mizani

Met 20:23 mizani ya kudanganya si nzuri

Isa 40:15 vumbi jembamba juu ya mizani

Da 5:27 umepimwa katika mizani

Met 11:1; Ufu 6:5.

MIZANI SAHIHI, Law 19:36; Ayu 31:6.

MJAKAZI, Mwa 16:1 Hagari, mjakazi wa Sarai

Mwa 12:16; Ru 2:13; Zb 123:2; Met 30:23.

MJANE, Zek 7:10 msimpunje mjane

Lu 20:47 humeza nyumba za wajane

Lu 21:2 akaona mjane akitumbukiza

1Ti 5:3 Waheshimu wajane

Yak 1:27 kutunza yatima na wajane

Ufu 18:7 malkia, nami si mjane

Isa 47:8; Mk 12:43; Lu 18:3; 1Ko 7:8.

MJANJA, 1Sa 23:22 yeye ni mjanja

Mt 27:63; 2Ti 3:13.

MJARIBU, Mt 4:3 Mjaribu akaja

1Th 3:5 Mjaribu, amewajaribu ninyi

MJELEDI, Mt 10:17 watawapiga mijeledi

Mt 23:34 mtawapiga mijeledi

Yoh 2:15 kufanya mjeledi wa kamba

Nah 3:2.

MJENZI, Ebr 11:10 mjenzi ni Mungu

1Pe 2:7 jiwe ambalo wajenzi walilikataa

Mt 21:42; Mdo 4:11.

MJI, Zb 48:2 Mji wa Mfalme Mkuu

MJINGA, Met 13:20 anayeshirikiana na wajinga

Met 14:16 mjinga anakuwa na ghadhabu

Ho 7:11 kama njiwa mjinga

Ro 1:21 wakawa wajinga

Met 9:13.

MJITOLEAJI. Ona JITOLEA.

MJUMBE, Yos 6:17 Rahabu alificha wajumbe

Est 3:13 mkono wa wajumbe

Zb 78:49 Wajumbe wa malaika

Isa 30:4 wajumbe wake wamefika

Isa 33:7 wajumbe wa amani watalia

Eze 17:15 kutuma wajumbe Misri

Mal 3:1 ninamtuma mjumbe wangu

Mt 11:10 namtuma mjumbe mbele

Flp 2:25 Epafrodito, mjumbe wenu

Amu 9:28; 2Fa 9:18; 2Nya 31:13; Est 2:3; Met 13:17; 17:11; 25:13; Isa 14:32; 57:9; Oba 1.

MJUZI WA KUBASHIRI MATUKIO, Law 19:31; 20:6; 2Fa 21:6; 23:24; Isa 19:3.

MKAAJI, Amu 5:7 Wakaaji wa nchi iliyo wazi

Isa 6:11 majiji bila mkaaji

Isa 24:5 imechafuliwa chini ya wakaaji

Isa 33:24 mkaaji: Mimi ni mgonjwa

Yer 51:29 kushangaza, bila mkaaji

Yer 25:29; 26:15; Ho 4:1; Zek 12:8.

MKAAJI MGENI, Efe 2:19 si wakaaji wageni

Mwa 15:13; Kut 22:21; Law 24:22; Hes 35:15; Kum 10:18, 19; Zb 146:9; Isa 14:1; Yer 7:6, 6; 22:3; Zek 7:10; Mal 3:5; Efe 2:19.

MKAIDI, Kut 7:3 moyo wa Farao mkaidi

Kut 14:17 mioyo ya Wamisri iwe mikaidi

Isa 1:23 Wakuu wako ni wakaidi

Isa 30:1 Ole wao wana wakaidi

Isa 65:2 Nimewanyooshea watu wakaidi

Ro 9:18 humwacha awe mkaidi

Kum 21:18; Amu 2:19; Zb 66:7; Met 7:11.

MKALI, Mt 8:28; 2Ti 3:3.

MKAMILIFU, 2Nya 16:9 moyo wao ni mkamilifu

Mt 5:48 muwe wakamilifu, kama

Ebr 2:10 mkamilifu kupitia mateso

Ebr 10:14 wawe wakamilifu daima

Ebr 11:40 wakamilifu bila sisi

1Yo 4:18 upendo mkamilifu hutupa woga

Flp 3:12; Ebr 5:9.

MKAMILISHAJI, Ebr 12:2 Mkamilishaji wa imani

MKANDAMIZAJI, Amu 6:9; Mhu 4:1; Isa 16:4.

MKARIBISHAJI, Ro 16:23 Gayo, mkaribishaji

MKATE, Amo 8:11 si njaa ya mkate

Mt 4:4 Mwanadamu ataishi, si kwa mkate tu

Mt 16:12 si chachu ya mikate

Mt 26:26 alichukua mkate, akaumega

Lu 9:13 mikate mitano na

Yoh 6:35 Mimi ndio mkate wa uzima

1Ko 10:17 tunakula mkate mmoja

1Ko 11:26 mnapokula mkate huu

Mwa 3:19; Zb 37:25; Isa 55:2; Mt 6:11.

MKATE WA WONYESHO, Kut 25:30; 1Sa 21:6; 2Nya 4:19.

MKATO, Law 21:5 wasifanye mkato katika mwili

MKAZO, Zb 55:3 mkazo wa mwovu

2Ko 1:8 tulikuwa chini ya mkazo

Ayu 32:18; Zb 66:11; 2Ko 1:8; Flp 1:23.

MKE, Mwa 2:24 atashikamana na mke

Mwa 6:2 wakajichukulia wake

Zb 128:3 Mke atakuwa kama mzabibu

Met 5:18 ushangilie mke wa ujana

Isa 54:6 Yehova alikuita kama mke

Yer 16:2 Usijichukulie mke

Mal 2:14 mke wa ujana wako

1Ko 7:2 awe na mke wake

1Ko 7:39 Mke amefungwa wakati

Efe 5:22 Wake wajitiishe

Ufu 21:9 mke wa Mwana-Kondoo

Kum 29:11; 1Fa 11:3, 4; 2Nya 20:13; Met 18:22; 1Ko 9:5; Efe 5:23, 28; 1Ti 3:2.

MKENI, Mwa 15:19; Amu 1:16; 5:24.

MKIA, Kum 28:13, 44; Isa 9:15; Ufu 9:10; 12:4.

MKIMBIZI, Mwa 4:12; Eze 17:21.

MKOBA, 1Sa 17:40; Lu 10:4; 12:33; 22:35, 36.

MKOMAVU, 1Ko 2:6 wale ambao ni wakomavu

Flp 3:15 wengi walivyo wakomavu

Ebr 5:14 chakula cha wakomavu

MKOMBOZI, Ru 4:6 mkombozi akasema: siwezi

Isa 44:24 Yehova, Mkombozi wako

Isa 59:20 Mkombozi atakuja Sayuni

Isa 63:16 Mkombozi wa zamani

Yer 50:34 Mkombozi wao ana nguvu

Ro 11:26 Mkombozi atatoka Sayuni

2Sa 14:6; Ayu 19:25; Zb 7:2; 19:14; Met 23:11; Isa 5:29; 41:14; 44:6; 48:17; 49:26; 54:5; 60:16; Mdo 7:35.

MKONGWE, 2Nya 36:17 mzee wala mkongwe

MKONO, 2Fa 10:15 nipe mkono wako

Zb 8:6 kazi za mikono yako

Zb 110:1 Keti mkono wa kuume

Met 6:1 mikono katika mapatano

Isa 35:3 Tieni nguvu mikono dhaifu

Isa 40:10 mkono wake utatawala

Isa 52:10 Yehova ameweka wazi mkono wake

Isa 53:1 Na mkono wa Yehova, umefunuliwa

Isa 59:1 Mkono wa Yehova si mfupi

Da 2:34 jiwe kukatwa bila mikono

Zek 14:13 ataukamata mkono wa mwenzake

Mt 6:27 kipimo cha mkono kwenye uhai

Lu 9:62 mkono kwenye jembe

Yoh 12:38 mkono wa Yehova, umefunuliwa

Kol 2:14 hati iliyoandikwa kwa mkono

1Ti 4:14 walipoweka mikono juu yako

Ebr 10:31 kuanguka mikononi mwa Mungu

1Pe 5:6 nyenyekea mkono wa Mungu

Mwa 6:15; Kut 17:12; 27:1; 2Nya 32:8; Zb 10:15; 21:8; 24:4; 44:3; 45:4; 49:15; Isa 65:22; Yer 38:4; Eze 41:8; Da 5:5; Ho 13:14; Sef 3:16; 2Ko 5:1; Ebr 9:11; Ufu 21:17.

MKONO WA KUUME, Zb 110:1

Mt 25:33 kondoo, mkono wa kuume

Mdo 7:55 kwenye mkono wa kuume

Ebr 10:12 mkono wa kuume wa Mungu

Kut 15:6; Amu 5:26; Zb 21:8; 45:4; Isa 62:8; Ga 2:9; Ebr 1:3.

MKOPAJI, Met 22:7; Isa 24:2.

MKOPESHAJI, Isa 24:2 mkopeshaji, pia mkopaji

Kum 15:2; 2Fa 4:1.

MKOPO, Met 22:26 dhamana kwa ajili ya mikopo

MKOSAJI, Zb 37:38 wakosaji wataangamizwa

Zb 51:13 Nitawafundisha wakosaji

Isa 53:12 alihesabiwa na wakosaji

Isa 48:8; Da 8:23.

MKRISTO, Mdo 11:26 kwanza waliitwa Wakristo

Mdo 26:28 ungenishawishi niwe Mkristo

1Pe 4:16 akiteseka kwa sababu ni Mkristo

MKUBWA, Ebr 7:7 hubarikiwa na mkubwa

1Pe 2:13.

MKUFU, Met 1:9 mkufu bora shingoni

MKUFURU, 1Ti 1:13; 2Ti 3:2.

MKUKI, Yos 8:18, 26; Zb 46:9; Isa 2:4; Mik 4:3.

MKULIMA, Mwa 9:20 Noa akawa mkulima

Yoh 15:1 Baba ndiye mkulima

Yak 5:7 Mkulima hungojea matunda

Mwa 4:2; Isa 61:5; Yer 14:4; 51:23; Mt 21:33; 2Ti 2:6.

MKUSANYAJI, Yos 9:21 wakusanyaji wa kuni

MKUSANYA-KODI, Mt 5:46; 11:19; 18:17; 21:31, 32; Mk 2:15, 16; Lu 3:12; 7:29; 15:1; 18:10, 11; 19:2.

MKUSANYIKO, Law 23:4 hii ndiyo mikusanyiko

Isa 4:5 ataumba wingu mahali pa mkusanyiko

Kut 12:16; Law 23:35; Hes 28:26; 29:7.

MKUTANISHAJI, Mhu 1:1, 12; 7:27; 12:9, 10.

MKUU, Zb 45:16 wakuu duniani

Isa 9:6 Mkuu wa Amani

Isa 32:1 wakuu watatawala

Eze 34:24 Daudi atakuwa mkuu

Eze 44:3 mkuu ataketi langoni

Da 5:1 karamu kwa wakuu

Da 10:13 mkuu wa Uajemi

Da 12:1 Mikaeli, yule mkuu

Yoh 14:28 Baba ni mkuu kuliko mimi

Mdo 19:31 wakuu wa michezo

1Pe 5:4 mchungaji mkuu akiisha kufunuliwa

Mwa 17:20; 21:22; Kum 20:9; Yos 5:14; 1Fa 8:1; Ne 2:9; Ayu 34:19; Isa 3:3; Yer 52:25; Eze 7:27; Da 8:11, 25; Sef 1:8; Mdo 13:50; 25:2.

MKUU WA MUUNGANO, Yos 13:3; Amu 3:3; 16:5.

MLAFI, Tit 1:12 walafi wasiofanya kazi

Mt 11:19.

MLALAMIKAJI, Mt 5:25 mlalamikaji asikutie

Yud 16 wanung’unikaji, walalamikaji

MLANGO, Kut 12:22 damu juu ya mlango

Isa 26:20 ufunge milango nyuma yako

Mdo 14:27 amefungulia mataifa mlango

Ufu 3:20 Nimesimama mlangoni

Amu 3:23; Mt 24:33; 25:10; 1Ko 16:9.

MLETA-HABARI, 2Sa 15:13 mleta-habari akamjia

Yer 51:31 mleta-habari kukutana na

1Sa 4:17; 2Sa 18:26.

MLEVI, Met 23:21 mlevi atakuwa maskini

Isa 28:1 Ole walevi wa Efraimu

Mt 24:49 mtumwa, kunywa na walevi

1Ko 5:11 msichangamane na mlevi

1Ko 6:10 welevi, hawataurithi ufalme

Ayu 12:25; Zb 107:27.

MLEZI, Ru 4:16; 2Sa 4:4.

MLIMA, Kut 3:12 eneo la milima

Amu 5:5 Milima ikayeyuka kutoka

Zb 2:6 mfalme juu ya mlima wangu

Zb 46:2 milima ikitikisika

Isa 2:2 juu ya kilele cha milima

Isa 2:3 twendeni mlimani kwa Yehova

Isa 11:9 madhara, mlima wangu mtakatifu

Isa 52:7 juu ya milima miguu ya

Yer 16:16 watawawinda kutoka mlima

Da 2:45 jiwe likakatwa mlimani

Da 11:45 mlima wa lile Pambo

Mik 1:4 milima itayeyuka chini yake

Mt 4:8 mlima, akamwonyesha falme

Mt 17:20 mtaambia mlima, Ondoka

Mk 13:14 wa Yudea wakimbilie milimani

Lu 3:5 kila mlima ufanywe tambarare

Ufu 6:16 milima: Tuangukieni

Isa 40:12; 41:15; 65:25; Yer 51:25; Eze 35:8; Amo 9:13; Hab 3:6.

MLIMA SAYUNI, Zb 48:2 Mlima Sayuni, mji wa

Zb 125:1 Mlima Sayuni, hautikiswi

Isa 29:8 vita juu ya Mlima Sayuni

Yoe 2:32 Mlima Sayuni, walioponyoka

Oba 21 waokozi watapanda Mlima Sayuni

Ebr 12:22 Mlima Sayuni, jiji la Mungu

Ufu 14:1 Mwana-Kondoo, Mlima Sayuni

2Fa 19:31; Zb 78:68; Isa 8:18; Mik 4:7.

MLIMA SEIRI, Kum 2:5 Esau, Mlima Seiri

MLIMA SINAI, Kut 19:20 akashuka Mlima Sinai

Kut 24:16 utukufu juu ya Mlima Sinai

Kut 31:18; Law 7:38; Ne 9:13; Mdo 7:30.

MLIMA WA MIZEITUNI, Lu 22:39; Mdo 1:12.

MLINZI, Mwa 4:9 mimi mlinzi wa ndugu yangu?

1Sa 22:14 mkuu juu ya walinzi wako

Est 2:3, 8, 15 Hegai, mlinzi wa wanawake

Isa 21:6 weka mlinzi, ili

Isa 21:11 Mlinzi, habari za usiku?

Isa 52:8 Walinzi wamepaaza sauti

Isa 56:10 Walinzi wake ni vipofu

Isa 62:6 Nimeweka walinzi

Eze 3:17 nimekufanya mlinzi

Eze 33:6 mlinzi, asipige baragumu

Yer 6:17; 51:12; Mik 7:4; Mt 27:66.

MLIPIZA-KISASI, Hes 35:12, 21; Kum 19:6; Yos 20:9; Zb 78:35; Ro 13:4.

MLIPUKO, 2Sa 22:16; Zb 18:15; Isa 25:4.

MLO, Mt 23:6 kuonekana kwenye milo

Ebr 12:16 Esau, kubadilishana na mlo

1Sa 20:24.

MLO WA JIONI, Mk 6:21 Herode, mlo wa jioni

Lu 14:12 mlo wa jioni, usiite rafiki

1Ko 11:20 haiwezekani kula mlo wa jioni

Ufu 19:9 furaha, mlo wa jioni

Ufu 19:17 ndege, kwenye mlo wa jioni

Lu 14:16; 22:20; Yoh 13:4; 1Ko 11:21, 25.

MLOZI, Kut 22:18 mwanamke mlozi

Yer 27:9 msiwasikilize walozi wenu

Mal 3:5 shahidi wa haraka juu ya walozi

Kut 7:11; Da 2:2; Mdo 13:6.

MLUZI, Isa 5:26 taifa, amelipigia mluzi

Yer 50:13 mshangao na kupiga mluzi

2Nya 29:8; Yer 18:16; 19:8; 25:9; 29:18; 51:37; Omb 2:15; Mik 6:16.

MMEA, Mwa 1:11 mimea inayozaa mbegu

Zb 69:21 mmea wenye sumu

Mt 15:13 Kila mmea ambao Baba

Ebr 6:7 mimea inayofaa

Ayu 14:9; Mik 5:7.

MMIDIANI, Mwa 37:36; Hes 25:17; 31:2.

MMILIKI, Yud 4 kumkana Mmiliki na

MMINYAJI WA TINI, Amo 7:14.

MMISRI, Kut 14:18 Wamisri watajua mimi

Isa 31:3 Wamisri si Mungu

Mwa 16:1; Kut 2:11; 7:5; Isa 19:2.

MMOJA, 1Ko 8:4 hakuna Mungu ila mmoja

MMOJA-MMOJA, 1Ko 12:27.

MNADHIRI, Hes 6:2, 18-21; Amu 13:5; 16:17.

MNAFIKI, Mt 7:5 Mnafiki! Kwanza toa

Mt 15:7 wanafiki, Isaya

Mt 23:13 Mafarisayo, wanafiki!

Mt 24:51 atamgawia na wanafiki

MNARA, Mwa 11:4 tujijengee mnara

Met 18:10 Jina la Yehova ni mnara

2Fa 9:17; Zb 61:3; Mik 4:8; Mt 4:5; Lu 4:9; 13:4.

MNARA WA MAKAO, Zb 48:3; 122:7; Isa 13:22; Eze 19:7; Amo 3:9; Mik 5:5.

MNARA WA MLINZI, Mwa 31:49; 2Nya 20:24; Isa 21:8; Isa 32:14.

MNARA WA UKUMBUSHO, 1Sa 15:12; 2Sa 18:18.

MNASO, Yos 23:13 mataifa, kama mnaso

Ro 11:9 Meza yao na iwe kwao mnaso

Isa 8:14; 2Ti 2:26.

MNAZARETI, Mdo 24:5 ya Wanazareti

Yoh 19:19; Mdo 2:22.

MNENE, Amu 3:17 Egloni alikuwa mnene

MNG’AO, Ebr 1:3 ndiye mng’ao wa utukufu

MNGURUMO, Kut 9:23 akatoa mingurumo

Ayu 40:9 je, unaweza kutoa mngurumo?

1Sa 7:10; Zb 77:18; 81:7.

MNONG’ONO, Zb 90:9 miaka, mnong’ono

MNUNUZI, Met 20:14 ni kibaya! asema mnunuzi

MNYAMA, Kut 22:19 anayelala na mnyama

Law 18:23 usimpe mnyama yeyote shahawa

Zb 50:10 Wanyama walio juu ya milima elfu

Mhu 3:19 mwanadamu si bora kuliko mnyama

2Pe 2:12 watu, kama wanyama ili kukamatwa

Ufu 19:20 alama ya mnyama-mwitu

Ayu 18:3; 35:11; Zb 49:12; 73:22; Mhu 3:21; Da 7:3; Yud 10; Ufu 13:17; 17:3.

MNYAMA ANAYETEMBEA, Mwa 1:24; 8:17.

MNYAMA WA KUFUGWA, Mwa 1:24; 2:20.

MNYAMA-MWITU, Mwa 1:24 mnyama-mwitu wa

MNYAMAVU, Zb 35:20 wanyamavu wa dunia

MNYANG’ANYI, Mt 21:13 pango la wanyang’anyi

Mk 15:27 wanyang’anyi wawili

1Ko 6:10 wanyang’anyi hawataurithi

Yer 7:11; Lu 10:30.

MNYENYEKEVU, Zek 9:9 ni mnyenyekevu

Mt 11:29 mnyenyekevu moyoni

Yak 4:6 huwapa wanyenyekevu fadhili

Zb 138:6.

MNYONGE, Ne 4:2 Wayahudi wanyonge

Zb 119:141 Mimi ni mnyonge

Yer 14:3; 30:19.

MNYOOFU, 2Fa 10:15 Je, moyo wako ni mnyoofu

Ayu 1:8 asiye na lawama na mnyoofu

Zb 11:7 Wanyoofu ndio watakaouona

Zb 49:14 wanyoofu watawatawala

Zb 97:11 walio wanyoofu moyoni

Met 2:21 wanyoofu ndio watakaokaa

Met 12:6 kinywa cha wanyoofu

Met 15:8 sala ya wanyoofu

Mhu 7:29 aliwafanya wakiwa wanyoofu

Mik 7:2 hakuna mnyoofu

MNYORORO, Mdo 12:7 minyororo ikaanguka

Efe 6:20 kama balozi katika minyororo

Zb 149:8.

MOABU, Kum 29:1 agano nchini Moabu

Ru 1:1, 22; 2Fa 1:1; 2Nya 20:22; Da 11:41.

MOJA KWA MOJA, Met 15:21.

MOLEKI, 2Fa 23:10 motoni kwa Moleki

Law 18:21; 20:2; 1Fa 11:7; Yer 32:35.

MORDEKAI, Est 3:2 Mordekai hakuinama

Est 7:10 mti, kwa ajili ya Mordekai

Ezr 2:2; Ne 7:7; Est 2:5; 6:10; 9:3; 10:3.

MORIA, Mwa 22:2; 2Nya 3:1.

MOSHI, Zb 37:20 Katika moshi waufikie mwisho

Zb 68:2 moshi unavyofukuziwa mbali

Isa 34:10 moshi wake utaendelea kupaa

Isa 51:6 zitatawanywa kama moshi

Yer 7:9 kumfukizia Baali moshi wa

Ufu 14:11 moshi wa kuteswa kwao

Yer 44:25.

MOSHI WA DHABIHU, Yer 44:5; Mal 1:11.

MOTO, Isa 66:16 kama moto, Yehova

Sef 3:8 kwa moto wa bidii yangu

Zek 3:2 kipande kutoka motoni?

Mal 3:2 moto wa msafishaji

Ebr 12:29 Mungu ni moto unaoteketeza

2Pe 3:7 zimewekwa kwa ajili ya moto

2Pe 3:10 vitu vya msingi moto

Ufu 3:15 si baridi, si moto

Ufu 17:16 kumteketeza kwa moto

1Fa 18:38; Da 3:19; Mt 3:11, 12; 1Ko 3:13.

MOTO WA MATESO. Ona GEHENA

MOYO, 1Sa 16:7 Yehova huona moyo

1Nya 28:9 umtumikie kwa moyo kamili

Met 4:23 Linda moyo wako

Met 14:30 Moyo mtulivu ni uzima

Met 21:2 Yehova hupima mioyo

Yer 17:9 Moyo ni wenye hila

Yer 17:10 Yehova, ninachunguza moyo

Mt 5:8 walio safi moyoni

Mt 15:8 moyo wao uko mbali

Mt 22:37 mpende Mungu kwa moyo wote

Ro 10:10 kwa moyo mtu huamini

Efe 1:18 macho ya moyo wenu

Ebr 3:8 msiifanye mioyo migumu

2Fa 10:15; 2Nya 15:8; Ne 4:6; Zb 14:1; 24:4; Met 3:5; 15:28; 17:3; Isa 14:13; 35:4; Yer 31:33; Eze 28:17; Da 11:27; Mal 4:6; Mt 8:28; Lu 12:34; Mdo 28:15; 2Ko 3:3; Yak 4:8; 5:8; 1Pe 3:15; Ufu 17:17.

MOYO NUSU, Zb 119:113.

MPAJI-SHERIA, Isa 33:22 Yehova ni Mpaji-sheria

Yak 4:12 mmoja ndiye mpaji-sheria

MPAKA, Kut 8:23 mpaka kati ya watu wangu

Kut 16:35 mpakani mwa Kanaani

Isa 19:19 nguzo kando ya mpaka wake

2Yo 9 mtu anayevuka mipaka

Kum 11:24; Zb 74:17; Isa 60:18.

MPANDAJI, Mt 13:37 Mpandaji wa mbegu

Yoh 4:36 mpandaji na mvunaji

MPANGILIO, 1Ti 2:9 mavazi, mpangilio mzuri

MPANGO, Met 15:22 Mipango huvunjika

Met 16:1 mipango ya moyo

Ro 13:2 kupingana na mpango wa Mungu

1Ko 14:40 yatendeke kwa adabu na mpango

Met 19:21; Eze 43:11; Mdo 5:38.

MPATANISHI, 1Ti 2:5 mpatanishi kati ya Mungu

Ebr 12:24 Yesu mpatanishi

Ga 3:19, 20; Ebr 8:6; 9:15.

MPELELEZI, Ebr 11:31 aliwapokea wapelelezi

Mwa 42:14, 31; Yos 2:1.

MPENDA-HAKI, Zb 37:28 Yehova ni mpenda-haki

MPENDWA, 2Nya 20:7 Abrahamu, mpendwa

Ro 11:28 ni wapendwa kwa ajili ya

Mt 3:17; 1Ko 10:14; 2Ko 7:1; 1Pe 4:12.

MPENZI, Ho 8:9 wamekodi wapenzi

Yer 20:4.

MPINGA-KRISTO, 1Yo 2:18, 22; 4:3; 2Yo 7.

MPINZANI, 1Sa 29:4 mpinzani wetu vitani

1Fa 5:4 Hakuna mpinzani, wala

Isa 50:8 mpinzani wangu katika kesi?

Lu 21:15 wapinzani wenu wote

Flp 1:28 msiwaogope wapinzani

1Ti 5:14 mpinzani sababu ya kutukana

2Sa 19:22; 1Fa 11:23, 25; Ayu 9:15; Zb 109:6.

MPISHI, 1Sa 8:13; 9:23, 24.

MPITAJI, Amu 5:6 njia hazikuwa na wapitaji

MPOLE, Hes 12:3 Musa alikuwa mpole zaidi

Zb 37:11 wapole wataimiliki dunia

Met 3:34 atawapa wapole kibali

Isa 61:1 habari njema kwa wapole

Sef 2:3 mtafuteni Yehova, wapole

1Th 2:7 tulikuwa wapole kama mama

2Ti 2:24 kuwa mpole kwa wote

Zb 10:17; 22:26; Isa 11:4; 29:19; Amo 2:7.

MPONYAJI, 2Nya 16:12; Yer 8:22.

MPORAJI, 1Sa 30:8; 1Fa 11:24; Zb 18:29.

MPOTOVU, Zb 18:26 kwa mpotovu utakuwa

MPUMBAVU, 2Sa 22:27 kama mpumbavu

Met 1:7 Wapumbavu, kudharau nidhamu

Met 12:15 Njia ya mpumbavu

Mt 5:22 mpumbavu wa kudharauliwa!

Mt 25:2 Watano walikuwa wapumbavu

1Ko 3:18 awe mpumbavu, apate hekima

1Ko 4:10 Sisi ni wapumbavu

MPUNJAJI, Zb 72:4 amponde mpunjaji

Yer 22:3 mkononi mwa mpunjaji

MPWA, 1Nya 27:32 mpwa wa Daudi, mshauri

MPWEKE, Zb 68:6; Omb 1:1.

MPYA, Zb 51:10 ndani yangu roho mpya

Isa 65:17 ninaumba mbingu mpya

Isa 66:22 mbingu mpya na dunia mpya

Mt 26:29 nitakapokunywa ikiwa mpya

Yoh 13:34 Ninawapa amri mpya

Ro 6:4 hali mpya ya uzima

Kol 3:10 mjivike utu mpya

2Pe 3:13 mbingu mpya, dunia mpya

Ufu 14:3 wimbo mpya

Ebr 10:20.

MRADI, Flp 3:14 nafuatilia mradi kupata tuzo

Hab 2:5; Mt 11:12.

MREFU, 1Sa 10:23 [Sauli] alikuwa mrefu

MREKEBISHAJI, Ro 2:20 mrekebishaji wa wasio

MREMBO, Est 2:2, 7; Ayu 42:15.

MRITHI, Mt 21:38 ndiye mrithi; tumuue

Ro 8:17 warithi pamoja na Kristo

Ga 3:29 warithi kuhusiana na ahadi

Efe 1:11 tulihesabiwa kuwa warithi

Efe 3:6 mataifa wawe warithi

Ebr 1:2 Mwana, mrithi wa vitu vyote

Mwa 21:10; Ro 4:13; Ga 4:7; Ebr 6:17; 11:9.

MROMA, Mdo 16:37 sisi tulio Waroma

Yoh 11:48; Mdo 23:27; 28:17.

MRUDISHO, 2Ko 3:18 vioo mrudisho wa utukufu

MSAADA, Zb 46:1 Msaada unaopatikana

Da 11:34 kwa msaada kidogo

Ro 8:26 roho hujiunga kutoa msaada

2Ko 4:9 hatuachwi bila msaada

Est 4:14; Ayu 6:13; Isa 10:3; Ebr 4:16.

MSAFARA, 2Nya 9:1 msafara wenye kuvutia

Mwa 37:25; Isa 21:13.

MSAFIRI, Amu 19:17 akamwona yule msafiri

Yer 9:2 mahali pa kukaa wasafiri

Yer 14:8 msafiri ambaye amegeuka

MSAFISHAJI, Mal 3:3 msafishaji wa fedha

MSAFISHA-NGUO, Mk 9:3.

MSAIDIZI, 2Nya 8:10 wakuu wa wasaidizi

Zb 10:14 umekuwa msaidizi wake

Yoh 14:16 atawapa msaidizi mwingine

Yoh 14:26 msaidizi, roho takatifu

Yoh 15:26 msaidizi atatoa ushahidi

Yoh 16:7 nisipoenda, msaidizi

2Fa 14:26; Zb 30:10; 54:4; Ebr 13:6.

MSAIDIZI, MTAWALA, Ne 12:40; 13:11.

MSALABA. Ona MTI WA MATESO.

MSALITI, Zb 59:5 Usiwape kibali wasaliti

Yoh 18:2 Yuda, msaliti wake, alipajua

Lu 6:16.

MSAMAHA, Est 2:18 msamaha kwa wilaya

Mt 26:28 damu, kwa msamaha wa dhambi

Mk 1:4 ubatizo, msamaha wa dhambi

Mdo 2:38 jina la Yesu, kwa msamaha

Ebr 9:22 bila damu, hakuna msamaha

Lu 1:77; 24:47; Mdo 10:43; Ebr 10:18.

MSAMARIA, Lu 10:33 Lakini Msamaria fulani

2Fa 17:29; Mt 10:5; Lu 17:16; Yoh 4:9; Mdo 8:25.

MSAMBA, Mwa 38:29 umejipasulia msamba?

MSEJA, 1Ko 7:8 nawaambia waseja

1Ko 7:11 akae mseja

1Ko 7:34 mwanamke mseja

MSEMAJI, Kut 4:10 mimi si msemaji mzuri

2Nya 32:31 wasemaji wa wakuu

MSHAHARA, Mwa 31:7 amebadili mshahara

Zek 11:12 mshahara, vipande 30

Lu 10:7 anastahili mshahara wake

Ro 6:23 mshahara wa dhambi kifo

Yak 5:4 Mishahara ya wafanyakazi

Law 19:13; Met 11:18.

MSHALE, Kum 32:42 Nitailewesha mishale

2Fa 13:17 mshale wa wokovu wa Yehova

Zb 127:4 mshale mkononi mwa mwanamume

Isa 49:2 akanifanya kuwa mshale ulionolewa

Hab 3:11 Kama nuru mishale yako ikaenda

Efe 6:16 mishale inayowaka ya mwovu

1Sa 20:20; Ayu 20:25; Zb 18:14; Yer 50:14; 51:11.

MSHAMBULIAJI, Ayu 9:13; 26:12; 36:32.

MSHANGAO, Law 26:32 kwa mshangao

Yer 2:12 Tazameni kwa mshangao

Yer 50:13 Babiloni, atatazama kwa mshangao

Ufu 13:3 ikamfuata kwa mshangao

Ufu 17:6 mshangao mkubwa

Zb 40:15; Eze 26:16; 27:35; Zek 12:4.

MSHAURI, Met 24:6 kwa wingi wa washauri

Isa 9:6 Mshauri wa Ajabu, Mkuu wa Amani

Ro 11:34 nani amekuwa mshauri wake?

Ayu 12:17; Met 15:22; Isa 1:26; Mik 4:9.

MSHIKAMANIFU, Zb 37:28 washikamanifu

Zb 50:5 Wakusanye washikamanifu

Zb 97:10 nafsi za washikamanifu

Zb 116:15 kifo cha washikamanifu

Met 2:8 njia ya washikamanifu

Yer 3:12 mimi ni mshikamanifu, Yehova

Mik 7:2 Mshikamanifu ameangamia

Kum 33:8; 1Sa 2:9; Zb 16:10; 31:23; 145:10; 149:1, 9; Mdo 2:27; 13:35; 1Th 2:10; 2Ti 3:2; Ebr 7:26; Ufu 15:4.

MSHINDI, 1Sa 26:25 Daudi utakuwa mshindi

Ufu 15:2 washindi kutoka kwa mnyama

MSHINDO, Yer 4:6; 51:54.

MSHIPA, Yos 11:6; 2Sa 8:4.

MSHIPI, Kut 29:5; 2Fa 1:8; Isa 5:27; 11:5; Yer 13:1; Mt 3:4; Mdo 21:11.

MSHIRIKA, Mwa 14:13 washirika wa Abramu

MSHIRIKI, 2Ko 1:7 washiriki wa hayo mateso

1Pe 4:13 washiriki katika mateso

1Pe 5:1 mshiriki wa utukufu

2Pe 1:4 washiriki katika asili ya kimungu

Mt 23:30; 1Ko 10:18; Flp 1:7; 1Ti 5:22; Ebr 10:33.

MSHTAKI, Mdo 25:16 uso kwa uso na washtaki

Ufu 12:10 mshtaki wa ndugu zetu

Mdo 23:30, 35; 25:18.

MSHUPAVU, Tit 1:7; 2Pe 2:10.

MSIBA, Kum 32:23 Nitaongeza misiba

Ayu 30:12 vizuizi vyenye kuleta msiba

Zb 27:5 atanificha katika siku ya msiba

Zb 34:19 Mwadilifu ana misiba mingi

Mhu 7:14 siku yenye msiba ona

Isa 45:7 kufanya amani na kuumba msiba

Yer 1:14 Msiba utafunguliwa kutoka kaskazini

Yer 25:29 ninaanza kuleta msiba

Yer 38:4 hatafuti amani bali msiba

Amo 6:3 mnaiondoa akilini siku yenye msiba

Nah 3:19 Hakuna kitulizo cha msiba wako

1Sa 6:9; 2Sa 22:19; Ayu 31:23; Zb 71:24; 107:26; Met 17:5; Isa 15:5; Yer 2:27; 18:17; 25:6; Amo 6:6.

MSICHANA, Lu 8:54 Msichana, inuka!

MSIFU YAH, Zb 115:17 Wafu hawamsifu Yah

Zb 150:6 Kila kitu kimsifu Yah

Ufu 19:1 Msifuni Yah! Wokovu na

Zb 102:18; 147:1; Ufu 19:3, 4, 6.

MSIKIAJI, Ro 2:13; Yak 1:22.

MSIKIVU, Mdo 17:11 walikuwa wasikivu kuliko

MSIMAMIZI, Yer 51:59 Seraya msimamizi wa

Da 3:2, 3 wasimamizi wa wilaya

1Ko 3:10 msimamizi wa ujenzi

1Nya 23:4; Ezr 3:8, 9.

MSIMAMIZI WA KAZI, 2Nya 8:10; Zek 9:8.

MSIMAMIZI-NYUMBA, Lu 12:42; 1Ko 4:1; Tit 1:7.

MSIMAMO, Zb 2:2 wanachukua msimamo

Isa 32:5 mtu asiye na msimamo

1Pe 5:9 chukueni msimamo mkampinge

Isa 32:7.

MSIMAMO WA UADILIFU, Isa 53:11.

MSINGI, Ayu 38:4 nilipoweka msingi wa dunia?

Zb 78:69 dunia ameiwekea msingi milele

Zb 104:5 Ameiwekea dunia msingi

Mt 13:35 tangu kuwekwa msingi

Ro 8:20 juu ya msingi wa tumaini

1Ko 3:11 kuweka msingi mwingine

1Ko 11:25 agano jipya kwa msingi

Efe 2:20 msingi wa mitume

Flp 3:9 kwa msingi wa imani

Ebr 6:1 fundisho la msingi

Ebr 11:10 jiji la misingi ya kweli

1Pe 1:20 kabla msingi wa ulimwengu

2Pe 3:10 vya msingi vitayeyushwa

2Sa 22:8; Zb 102:25; Met 10:25; Isa 51:16; Mik 1:6; Hab 3:13; Mt 24:5; 25:34; Mk 9:39; Lu 6:48; Yoh 17:24; Mdo 4:17; 5:28; Ro 15:20; Efe 1:4; Ebr 4:3.

MSIRIA, Mwa 31:20; Kum 26:5.

MSITU, Eze 34:25 kulala katika misitu

MSOMAJI, Mt 24:15 msomaji atumie utambuzi

MSUKOSUKO, Zb 39:6; Met 9:13; Da 10:16; Mt 21:10.

MSUKUMO, Yoh 16:13 kwa msukumo wake

MSUMENO, Ebr 11:37 walikatwa kwa msumeno

MTAFSIRI, 1Ko 12:30 Je, wote ni watafsiri?

1Ko 14:28 ikiwa hakuna mtafsiri

MTAKATIFU, Da 4:17 neno la watakatifu

Da 7:18 watakatifu watapokea ufalme

Da 7:25 atawasumbua watakatifu

Da 7:27 watakatifu wa Mkuu Zaidi

Mdo 26:10 watakatifu niliwafunga

Ro 12:13 Shirikini na watakatifu

1Ko 6:2 watakatifu, kuhukumu ulimwengu?

Efe 1:4 tuwe watakatifu, bila

Efe 3:8 mdogo kati ya watakatifu

Efe 4:12 kuwarekebisha watakatifu

Ufu 4:8 Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu

Ufu 11:18 kuwapa thawabu watakatifu

Ufu 17:6 amelewa damu ya watakatifu

Kut 3:5; Zb 2:6; Isa 52:10; Da 7:21, 22; Mt 27:52; Ufu 13:7; 18:24.

MTAKA-VITA, 1Ti 3:3; Tit 3:2.

MTAMBO, 2Nya 26:15; Eze 26:9.

MTANGAZAJI, Da 3:4 mtangazaji akapaaza sauti

MTARIZI, Kut 26:1 makerubi, kazi ya mtarizi

MTAWALA, Da 4:17 Aliye Juu Zaidi ni Mtawala

Mt 9:34 mtawala wa roho waovu

Mt 20:25 watawala hupiga ubwana

Yoh 7:48 mmoja wa watawala au wa

Yoh 12:42 watawala walimwamini

Efe 2:2 mtawala wa hewa

Isa 28:14; Mdo 3:17; 4:26; 17:6; 1Ko 2:8.

MTAWALA MDOGO, Yos 13:21; Zb 83:11; Mik 5:5.

MTAWALA WA ULIMWENGU HUU, Yoh 12:31; 14:30; 16:11.

MTAZAMO WA AKILI, Ro 15:5 mtazamo wa akili

Flp 2:5 Iweni na mtazamo huu wa akili

Flp 3:15 tuwe na mtazamo huu wa akili

MTEGO, Kum 7:16 litakuwa mtego kwako

Amu 2:3 miungu, mtego kwenu

Zb 11:6 atawanyeshea waovu mitego

Zb 38:12 wanatega mitego

Zb 64:5 kuficha mitego

Zb 106:36 sanamu zikawa mtego kwao

Met 14:27 kuepuka mitego ya kifo

Met 18:7 midomo ya mjinga ni mtego

Isa 29:21 wanaotega mtego

Lu 21:35 kama mtego itakuja

1Ko 7:35 si ili niwategee mtego

1Ti 6:9 matajiri huanguka katika mtego

Yos 23:13; Amu 2:3; 2Sa 22:6; Zb 91:3; Met 29:25; Yer 18:22; Ro 11:9.

MTENDA-DHAMBI, Isa 65:20.

Mt 11:19 rafiki ya watenda-dhambi

Lu 15:2 hukaribisha watenda-dhambi

Lu 15:7 mtenda-dhambi anayetubu

Lu 18:13 fadhili kwangu mtenda-dhambi

Yoh 9:31 hawasikilizi watenda-dhambi

Ro 5:8 tulipokuwa watenda-dhambi

Ro 5:19 wengi walifanywa watenda-dhambi

1Ti 1:9 sheria kwa ajili ya watenda-dhambi

1Ti 1:15 alikuja kuwaokoa watenda-dhambi

Yak 5:20 anayemrudisha mtenda-dhambi

Ebr 7:26; 1Pe 4:18.

MTENDAJI, 2Fa 17:32 wakawa watendaji wao

Yak 1:22 iweni watendaji wa neno

Ro 2:13; Yak 1:23, 25.

MTENDA-MAOVU, Zb 37:9.

Yer 23:14 mikono ya watenda-maovu

1Pe 2:12 wanasema ninyi ni watenda-maovu

1Pe 4:15 asiteseke, akiwa mtenda-maovu

Zb 22:16; 37:1; 119:115; Yer 20:13.

MTENDE, Hes 33:9 Elimu, mitende 70

Yoh 12:13 matawi ya mitende

Ufu 7:9 mitende mikononi mwao

Amu 1:16; 4:5; Zb 92:12; Yoe 1:12.

MTENGANO, Mdo 15:2; 23:7.

MTENGENEZAJI, Ayu 32:22.

Isa 45:16 Watengenezaji wa sanamu

Isa 51:13 umsahau Mtengenezaji

Zb 95:6; Met 14:31; 22:2; Isa 17:7.

MTESAJI, 1Ti 1:13 nilikuwa mtesaji

Zb 142:6; Yer 15:15.

MTETEMEKO, Isa 2:19; 33:14.

MTHAWABISHAJI, Ebr 11:6.

MTI, Mwa 2:9 kila mti wenye kutamanika

Mwa 2:17 mti wa ujuzi wa

Kum 21:22 umemtundika juu ya mti

Yos 8:29 akamtundika juu ya mti

Amu 9:8 miti ilienda kumtia mafuta

Ayu 14:7 kwa ajili ya mti kuna tumaini

Zb 1:3 mti uliopandwa kando ya

Zb 37:35 akijitandaza kama mti

Mhu 11:3 mti ukianguka kuelekea

Isa 61:3 miti ya uadilifu

Isa 65:22 zitakuwa kama siku za mti

Eze 17:24 nimeushusha mti mrefu

Eze 47:7 miti mingi sana, upande huu

Da 4:14 Ukateni mti uanguke

Mt 3:10 kila mti usiozaa matunda

Mt 7:18 mti mzuri hauwezi

Mdo 5:30 Yesu, kwa kumtundika mtini

Ga 3:13 aliyetundikwa juu ya mti

1Pe 2:24 alichukua dhambi juu ya mti

Met 3:18; Isa 55:12; Lu 6:43; Ufu 7:3; 22:2.

MTI MTAKATIFU, Kum 7:5; Amu 3:7; 6:25; 1Fa 15:13; 2Fa 13:6; 21:3; Isa 17:8.

MTI WA MATESO, Lu 9:23.

Lu 23:26 wakamtwika mti wa mateso

Flp 2:8 kifo juu ya mti wa mateso

Flp 3:18 adui za mti wa mateso

Ebr 12:2 alivumilia mti wa mateso

Mt 10:38; 27:40; Mk 15:32; Yoh 19:31; 1Ko 1:17; Ga 6:14; Efe 2:16; Kol 2:14.

MTI WA MIIBA, Mk 12:26; Mdo 7:30, 35.

MTI WA UZIMA, Mwa 2:9; 3:22; Met 3:18; 11:30; Ufu 2:7; 22:19.

MTIIFU, Flp 2:8 akawa mtiifu mpaka kifo

2Ko 2:9; 1Pe 1:2, 14; 3:1.

MTINDO, Zb 144:12.

MTINI, Mik 4:4 chini ya mtini wake

Mt 24:32 jifunzeni kutokana na mtini

1Fa 4:25; Mt 21:19-21; Lu 13:6, 7.

MTIWA-MAFUTA, 1Sa 2:10 mtiwa-mafuta wake

2Sa 19:21 alimlaani mtiwa-mafuta wa Yehova

1Nya 16:22 Msiwaguse watiwa-mafuta wangu

Zb 2:2 Wafalme dhidi ya mtiwa-mafuta wake

Zb 20:6 Yehova humwokoa mtiwa-mafuta

Zb 105:15 Msiwaguse watiwa-mafuta wangu

Isa 45:1 mtiwa-mafuta wake, Koreshi

Hab 3:13 kumwokoa mtiwa-mafuta wako

MTO, Amu 5:21 Mto wa Kishoni

Isa 66:12 amani kama mto

Yer 31:9 mabonde ya mito ya maji

Ufu 16:12 bakuli juu ya mto

Ufu 22:1 mto wa maji ya uzima

Mwa 2:10; Zb 46:4; 107:33; Eze 29:3.

MTOTO, Zb 8:2 Kutoka kinywa cha watoto

Isa 9:6 mtoto amezaliwa kwetu

Isa 13:16 watoto wao watavunjwa

Mt 11:25 umeyafunua kwa watoto

Mt 18:3 Msipogeuka na kuwa kama watoto

Mt 19:14 Waacheni watoto wachanga

Lu 9:47 akachukua mtoto mchanga

1Ko 7:14 watoto wenu hawangekuwa safi

1Ko 13:11 Nilipokuwa mtoto, nilikuwa

1Ko 14:20 iweni watoto kuhusiana na ubaya

Efe 6:1 watoto, watiini wazazi

Efe 6:4 baba, msiwe mkiwakasirisha watoto

1Yo 5:21 Watoto wadogo, jilindeni na sanamu

Ufu 12:5 Na mtoto wake akanyakuliwa

Kut 2:3, 10; 1Fa 3:26; Isa 66:7; Mt 21:16; Mdo 7:19; Ro 8:16; 1Ko 3:1; 2Ko 12:14; Efe 5:8; 1Th 2:7; 1Pe 2:2.

MTOTO MWANAMUME, Ufu 12:13.

MTOTO WA KIUME, Isa 66:7.

MTOZAJI, Da 11:20 anayepitisha mtozaji

MTU, Mwa 2:7 Mungu akamfanya mtu

Ayu 34:15 mtu atarudi mavumbini

Met 27:21 mtu hulingana na sifa

Yer 17:5 Amelaaniwa mtu anayetegemea

Eze 34:31 kondoo zangu, ninyi ni watu

Zek 8:23 watu kumi watashika upindo

Mt 4:19 wavuvi wa watu

Ro 5:12 kupitia mtu mmoja dhambi

Ro 7:22 mtu niliye kwa ndani

1Ko 15:47 Mtu wa kwanza

2Ko 4:16 mtu tuliye kwa ndani

2Ko 5:16 hatumjui mtu kulingana

Efe 3:16 uwezo, mtu mliye kwa ndani

Efe 4:13 mtu aliyekomaa

1Pe 3:4 mtu wa siri wa moyoni

Mwa 6:4, 9; Zb 118:6; 146:3; Isa 2:22; Yer 5:26; Sef 3:4; 2Ti 2:2; 3:2.

MTU HODARI, Yer 17:5.

MTU MWENYE NGUVU, Zb 33:16.

MTU MZIMA, 1Ko 14:20.

MTU WA MUNGU, 1Ti 6:11; 2Ti 3:17.

MTU WA SIRINI, Zb 51:6.

MTU WA UASI-SHERIA, 2Th 2:3.

MTU WA UDONGO, Ayu 34:11; Zb 39:5; 49:20; 108:12.

MTUKANAJI, 1Ko 5:11 mtukanaji, mlevi

1Ko 6:10 watukanaji, hawataurithi

MTUKUFU, 1Sa 4:8 Mungu mtukufu?

1Sa 15:29 Mtukufu wa Israeli

Zb 24:7 Mfalme mtukufu aingie

Mdo 24:3 Mtukufu Feliksi

Zb 29:3.

MTUME, Mt 10:2 Majina ya mitume

1Ko 4:9 mitume, tumekuwa tamasha

2Ko 11:13 mitume wa uwongo

2Ko 12:12 ishara za mtume zilitokezwa

Ga 1:1 Paulo, mtume

Ebr 3:1 mtume na kuhani mkuu—Yesu

Mk 3:14; 1Ko 12:28; 15:9; Ufu 21:14.

MTUMISHI WA HUDUMA, Flp 1:1; 1Ti 3:8.

MTUMISHI WA WATU WOTE, Ro 13:6; 15:16; Ebr 8:2.

MTUMISHI. Ona pia MTUMWA.

Zb 116:16 mimi ni mtumishi wako

Isa 43:10 mashahidi, mtumishi wangu

Isa 49:3 mtumishi wangu, Israeli

Isa 65:13 Watumishi wangu watakula

Isa 65:15 watumishi atawaita jina lingine

Yer 25:9 Nebukadreza mtumishi wangu

Zek 3:8 Chipukizi mtumishi wangu

Mt 12:18 Mtumishi ambaye nilimchagua

Mdo 4:30 jina la mtumishi wako Yesu

Met 11:29; Isa 53:11; Yer 7:25; Da 3:26; Amo 3:7; Lu 16:13; Ro 14:4.

MTUMWA. Ona pia MTUMISHI.

Mt 24:45 mtumwa mwaminifu na

Mt 24:48 mtumwa huyo mwovu akisema

Mt 25:30 mtupeni nje mtumwa huyo

Lu 12:37 Wenye furaha ni watumwa

Lu 17:10 Sisi ni watumwa wasiofaa

Yoh 8:34 mtumwa wa dhambi

Yoh 13:16 Mtumwa si mkubwa kuliko

Mdo 2:18 juu ya watumwa wangu

Ro 6:6 ili tusiendelee kuwa watumwa

Ro 6:16 watumwa kwa sababu mnamtii

Ro 7:6 tuwe watumwa kwa roho

1Ko 7:23 acheni kuwa watumwa wa

Ga 1:10 singekuwa mtumwa wa Kristo

Ga 2:4 ili watufanye kuwa watumwa

Ga 3:28 hakuna mtumwa wala mtu huru

2Pe 2:19 anayeshindwa, hufanywa mtumwa

Ufu 19:2 amelipiza damu ya watumwa

Mt 20:27; Yoh 8:35; Ro 6:17-19, 20; Ga 4:7; 2Ti 2:24; 1Pe 2:16; 2Pe 2:19.

MTUNDU, 1Ti 1:9; Tit 1:6, 10.

MTUNGI, Amu 7:16 mitungi, na mienge

Ebr 9:4 mtungi wa dhahabu

Amu 7:19, 20; Omb 4:2.

MTUNZAJI, 1Ko 4:15 watunzaji elfu kumi

Ga 3:24 Sheria imekuwa mtunzaji

MTWANGIO, Met 27:22 mtwangio katika kinu

MUDA, Ebr 11:13 wakaaji wa muda

2Ko 4:18; 1Pe 2:11.

MUDA KIDOGO, Zb 30:5 hasira, muda kidogo

Isa 54:7 nilikuacha muda kidogo

Ezr 9:8.

MUDA MFUPI, 1Ko 15:52 muda mfupi, kufumba

MUHIMU, Tit 3:14 kutimiza mahitaji muhimu

MUHURI, Isa 8:16 tia muhuri kwenye sheria

Isa 29:11 kimefungwa kwa muhuri

Da 9:24 kupiga muhuri juu ya maono

Da 12:4 kukifunga kitabu kwa muhuri

Yoh 6:27 ametia muhuri wake wa kibali

2Ko 1:22 ametia muhuri wake juu yetu

Efe 4:30 mmetiwa muhuri

Ufu 7:4 waliotiwa muhuri, 144,000

Ufu 22:10 Usiyatie muhuri maneno

Ayu 38:14; Wim 8:6; Da 12:9; Yoh 3:33; Ro 4:11; Efe 1:13; 2Ti 2:19; Ufu 5:1; 7:2, 3.

MULIKA, 2Ko 4:6 amemulika mioyo yetu

2Fa 3:22; Isa 58:10.

MUME, Est 1:17 watawadharau waume zao

Isa 54:5 Mtengenezaji Mkuu ni mume wako

Yer 31:32 nilikuwa mume kwao

Ro 7:2 sheria kwa mume

1Ko 7:2 awe na mume wake

1Ko 7:14 mume asiyeamini hutakaswa

2Ko 11:2 niliwachumbia mume

Efe 5:25 waume, wapendeni wake

Kol 3:19 waume, wapendeni wake

1Ti 3:2 mume wa mke mmoja

1Pe 3:1 wake, jitiisheni kwa waume

Ufu 21:2 aliyepambwa kwa mume

Ru 1:11; 2Sa 11:26; Yer 29:6; 31:32; 44:19; Eze 16:45; 1Ko 7:34; 14:35; Kol 3:18.

MUNGU, Mwa 1:1 Hapo mwanzo Mungu

Kut 12:12 hukumu miungu ya Misri

Kut 20:3 Usiwe na miungu mingine

Kum 7:16 usiitumikie miungu yao

Yos 22:22 Mwenye Uwezo, Mungu

Amu 2:17 uasherati na miungu

2Nya 20:15 vita ni vya Mungu

Zb 8:5 kidogo kuliko walio kama Mungu

Zb 47:7 Mungu ni Mfalme wa dunia

Zb 75:7 Mungu ndiye mwamuzi

Zb 82:6 Ninyi ni miungu

Zb 90:2 wewe ni Mungu milele

Isa 9:6 Mungu Mwenye Nguvu

Da 3:18 hatuitumikii miungu yako

Lu 20:25 mlipeni Mungu vya Mungu

Mdo 7:20 Musa, sura nzuri kwa Mungu

Mdo 17:29 Mungu si kama dhahabu

Ro 2:11 Mungu hana ubaguzi

Ro 13:6 watumishi wa Mungu

1Ko 8:5 wale wanaoitwa miungu

1Ko 14:33 Mungu si wa machafuko

2Ko 1:3 Mungu wa Yesu Kristo

2Ko 4:4 mungu wa mfumo huu

Kol 2:9 ujazo wa sifa ya Mungu

Ebr 12:29 Mungu ni moto

1Yo 4:8 Mungu ni upendo

Kut 20:5; 23:24; 2Fa 19:15; Ayu 35:2; Zb 50:1; 82:1; 83:1; 118:27; Isa 46:9; Yer 10:10; Mdo 10:22; Kol 3:12; Tit 1:7; Ebr 5:7.

MUNGU ASIYEJULIKANA, Mdo 17:23.

MUNGU MKUU, Da 2:45.

MUNGU MZALIWA-PEKEE, Yoh 1:18.

MUNGU WA BAHATI NJEMA, Isa 65:11.

MUNGU WA KIKE, 1Fa 11:5, 33; Mdo 19:27, 37.

MUNGU WA MAJALIWA, Isa 65:11.

MUSA, Kut 2:10 akamwita jina Musa

Hes 12:3 Musa alikuwa mpole zaidi

Mt 17:3 Musa na Eliya wakawatokea

1Ko 10:2 walibatizwa katika Musa

Ebr 11:24 Kwa imani Musa

Ufu 15:3 wimbo wa Musa

Kut 3:13; 4:20; 7:1; Mdo 3:22; 7:22; Ebr 3:2.

MUUAJI, Hes 35:11 ya makimbilio, na muuaji

Hes 35:31 hakuna fidia kwa muuaji

Kum 19:4 muuaji atakayekimbilia

Yoh 8:44 alikuwa muuaji alipoanza

1Yo 3:15 amchukiaye ndugu ni muuaji

Hes 35:6, 25; Yos 20:3, 5; Isa 1:21; Mdo 3:14; 1Pe 4:15.

MUUJIZA, Kut 4:21 umefanya miujiza mbele

Kut 11:9 miujiza yangu iongezeke

Zb 71:7 Nimekuwa kama muujiza

Isa 8:18 watoto, ni kama miujiza

Kum 29:3; Ne 9:10; Zb 105:5; Yer 32:20; 2Ko 12:1.

MUUMBA, Ayu 36:3 hesabia Muumba uadilifu

Mhu 12:1 Mkumbuke, Muumba

Isa 40:28 Yehova, Muumba wa dunia

Isa 43:15; 1Pe 4:19.

MUUNDO WA MADHABAHU, 2Fa 16:10.

MUUNGANO, Zek 11:7 nikaiita Muungano

1Ko 1:30 katika muungano na Kristo

Kol 3:14 kifungo cha muungano

2Ko 5:17.

MUWE WENGI, Mwa 1:28 Zaeni muwe wengi

Mwa 9:1, 7.

MUZIKI, 2Sa 22:50 nitalipigia jina lako muziki

Ayu 35:10 muziki wakati wa usiku?

Zb 9:11 Mpigieni Yehova muziki

Zb 47:7 Pigeni muziki, kwa busara

Zb 119:54 Masharti ni muziki kwangu

Lu 15:25 mwana akasikia muziki

Zb 18:49; 57:9; 66:2; 77:6; 135:3; 144:9; Omb 5:14.

MVI, Met 16:31 Kichwa cha mvi ni taji

MVINJE, Eze 17:5 mvinje kando ya maji

MVIRINGO, Ayu 26:10; Isa 40:22.

MVIVU, Met 6:6 chungu, ewe mvivu

Met 10:4 mkono mvivu

Met 15:19 Njia ya mvivu ni miiba

Met 20:4 mvivu hatalima

Met 26:15 Mvivu ametia mkono bakulini

Ro 12:11 Msiwe wavivu kazini

Met 10:26; 12:24; 13:4; 18:9; 19:24; 21:25; 26:13.

MVUA, Mwa 2:5 hakuwa amenyesha mvua

Mwa 7:4 siku 7 nitanyesha mvua

Yoe 2:23 mvua ya vuli, masika

Mt 5:45 mvua, waadilifu na waovu

Yak 5:7 apate mvua ya mapema

Mwa 7:12; Kum 11:14; 32:2; 1Fa 17:7; Ayu 38:28; Zb 72:6; Isa 55:10; Zek 14:17; Yak 5:17; Ufu 11:6.

MVUA YA MASIKA, Yoe 2:23.

MVUA YA MAWE, Kut 9:22; Ayu 38:22; Zb 148:8; Isa 28:17; Ufu 8:7.

MVUA YA VULI, Yoe 2:23.

MVUKE, Kut 16:14 umande ukawa mvuke

MVULANA, Met 22:6 Mlee mvulana kulingana

Isa 11:6 mvulana mdogo atakuwa kiongozi

Isa 65:20 atakufa akiwa mvulana, ingawa

1Sa 17:56; 20:22; Mt 2:16; 17:18; 21:15; Yoh 4:51.

MVULANA ASIYE NA BABA, Kut 22:22; Kum 10:18; Zb 10:14; 68:5; Yer 5:28.

MVUMO, Hes 10:5 mvumo, kupanda na kushuka

MVUMO WA TARUMBETA, Mt 24:31.

MVUNAJI, Zb 129:7 mvunaji hajajaza mkono

Mt 13:39 wavunaji ni malaika

Yoh 4:36 mvunaji anapokea mshahara

MVUNJAJI, Ro 2:25 mvunjaji wa sheria

MVURUGO, Zek 14:13 mvurugo, utaenea

Met 15:16; Eze 7:7; Mdo 19:29.

MVUVI, Yer 16:16 ninawaita wavuvi wengi

Eze 47:10 wavuvi watasimama kando

Mt 4:19 kuwa wavuvi wa watu

MWABUDU-SANAMU, 1Ko 5:10; 5:11; 6:9; 10:7; Efe 5:5.

MWADILIFU, Kum 32:4 Mwamba, mwadilifu

2Sa 23:3 anayetawala akiwa mwadilifu

Zb 34:19 Mwadilifu ana misiba

Zb 37:25 mwadilifu akiachwa

Met 15:28 Moyo wa mwadilifu hutafakari

Met 29:2 Waadilifu wakiwa wengi

Isa 26:7 Pito la mwadilifu ni unyoofu

Amo 5:12 mnamwonyesha mwadilifu uadui

Mal 3:18 mwadilifu na mwovu

Mt 13:43 waadilifu watang’aa

Mdo 24:15 ufufuo wa waadilifu

Mdo 24:15 wasio waadilifu

Ro 3:10 Hakuna mwanadamu mwadilifu

Ro 3:26 awe mwadilifu hata

1Ko 6:9 wasio waadilifu hawatarithi

Ebr 6:10 Mungu hakosi kuwa mwadilifu

Ebr 10:38 mwadilifu ataishi kwa imani

1Pe 3:12 macho juu ya waadilifu

1Pe 3:18 mwadilifu kwa wasio waadilifu

Mwa 7:1; Zb 1:5; Isa 29:21; 53:11; Mt 5:45; Ro 2:13; 2Ti 4:8; Ebr 12:23.

MWAGA, Mwa 9:6 anayemwaga damu

Law 17:13 atamwaga damu, kuifunika

Isa 53:12 aliimwaga nafsi yake

Sef 3:8 nizimwagie shutuma yangu

Mal 3:10 kuwamwagia baraka

Zb 77:17; Eze 21:31; Ufu 16:1.

MWAGILIA MAJI, Mhu 2:6; Yoe 3:18.

MWAGUZI, Yos 13:22 Balaamu, yule mwaguzi

1Sa 6:2; Isa 3:2; 44:25; Yer 27:9; Mik 3:7; Zek 10:2.

MWAGWA, Zb 22:14 Nimemwagwa kama maji

Sef 1:17 damu itamwagwa kama mavumbi

Mik 1:4; Nah 1:6.

MWAKA, Mwa 1:14 ishara kwa siku na miaka

Law 25:10 mtautakasa mwaka wa 50

Hes 14:34 siku kwa mwaka mmoja

Kum 8:2 miaka 40 nyikani

Zb 90:4 miaka elfu ni kama jana

Isa 34:8 mwaka wa malipo

Isa 61:2 mwaka wa nia njema

Isa 63:4 mwaka wa waliokombolewa

Isa 65:20 mvulana, miaka mia

Yer 23:12 mwaka wa kukazia fikira

Yer 25:11 tumikia Babiloni miaka 70

Eze 4:6 siku moja, mwaka mmoja

Hab 3:2 katikati ya ile miaka!

Zek 14:16 mwaka baada ya mwaka

Ga 3:17 Sheria, miaka 430 baadaye

2Pe 3:8 miaka elfu ni kama siku

Ufu 20:4, 6 watatawala miaka elfu

MWAKILISHI, Kut 18:19 uwe mwakilishi

Lu 8:49 mwakilishi fulani wa ofisa

Yoh 7:29 mimi ni mwakilishi wake

MWAKILISHO, Ebr 1:3 mwakilisho sawasawa

MWALI, Wim 8:6 mwali wa moto wa Yah

MWALI WA MOTO, Eze 20:47.

Da 3:22 waliouawa na mwali wa moto

Da 11:33 watakwazwa kwa mwali wa moto

Yoe 2:3 mwali wa moto huteketeza

2Th 1:8 katika mwali wa moto

Zb 83:14; Isa 5:24; 10:17; 43:2; Ebr 1:7.

MWALIMU, Zb 119:99 kuliko walimu wangu

Mt 23:8 mwalimu wenu ni mmoja

Yoh 3:10 wewe ni mwalimu wa Israeli?

Yoh 13:13 Ninyi huniita, Mwalimu

1Ti 2:7 mwalimu wa mataifa

2Ti 4:3 watajikusanyia walimu

Ebr 5:12 mnapaswa kuwa walimu

Mt 10:24; Efe 4:11; Yak 3:1; 2Pe 2:1.

MWAMBA, Kut 17:6 utaupiga mwamba

Kum 32:4 Mwamba, kazi zake

2Sa 22:3 Mungu ni mwamba wangu

Isa 8:14 mwamba wa kujikwaa

Mt 16:18 juu ya mwamba, nitajenga

Lu 8:6 zikaanguka juu ya mwamba

Ro 9:33 mwamba wa kuangusha

1Ko 10:4 mwamba wa kiroho

1Pe 2:8 mwamba wa kuangusha

Hes 20:11; Kum 32:18; 1Sa 2:2; Zb 18:2; 62:2; Yer 49:16; Mt 13:5, 20; Mk 4:5, 16.

MWAMINI, Mdo 5:14 waamini wakaongezeka

1Ko 6:6 mahakamani, wasio waamini

1Ko 14:22 bali kwa wasio waamini

2Ko 4:4 amepofusha akili za wasioamini

2Ko 6:14 nira na wasio waamini

2Ko 6:15 fungu gani na asiye mwamini?

1Ti 6:2 wanaopokea faida ni waamini

1Pe 2:7 kwa kuwa ninyi ni waamini

MWAMINIFU, Zb 31:23 awalinda waaminifu

Met 13:17 mjumbe mwaminifu huponya

Met 14:5 Shahidi mwaminifu

Mt 24:45 mtumwa mwaminifu

Lu 16:10 mwaminifu katika dogo

2Ti 2:2 uwakabidhi waaminifu

2Ti 2:13 tukikosa kuwa waaminifu

1Pe 4:19 nafsi kwa Muumba mwaminifu

Ufu 2:10 mwaminifu hata kufikia kifo

Ufu 3:14 shahidi mwaminifu, wa kweli

Ufu 17:14 waliochaguliwa, waaminifu

Ufu 19:11 Mwaminifu na wa Kweli

Kum 7:9; Ne 9:8; 13:13; Lu 12:46; 1Ko 4:2.

MWAMORI, Mwa 10:16; 15:16; Yos 3:10.

MWAMUZI, Amu 2:16 alisimamisha waamuzi

1Sa 2:25 Mungu atakuwa mwamuzi

Mdo 10:42 mwamuzi, walio hai na wafu

Mdo 13:20 aliwapa waamuzi

Kum 16:18; Zb 2:10; Isa 1:26; Sef 3:3; Yak 2:4.

MWANA, Mwa 6:2 wana wa Mungu

Kum 6:7 uyakazie kwa mwana wako

Ayu 1:6 wana wa Mungu waliingia

Zb 2:12 Mbusuni mwana

Zb 45:16 patachukuliwa na wana wako

Met 4:3 nilikuwa mwana halisi

Isa 9:6 kuna mwana ambaye tumepewa

Isa 14:12 mwana wa mapambazuko

Isa 54:13 wana wako wote watakuwa

Isa 60:14 wana wa wanaokutesa watakuja

Yoe 2:28 wana wenu watatoa unabii

Mt 1:21 atazaa mwana

Lu 16:8 wana wa mfumo huu

Yoh 3:16 Mungu akamtoa Mwana wake

Yoh 17:1 mtukuze mwana wako

Ro 8:14 hao ndio wana wa Mungu

2Ko 6:18 mtakuwa wana na mabinti

1Th 5:5 ninyi ni wana wa nuru

Ebr 12:7 anawatendea ninyi kama wana

Da 3:25; Yoh 17:12; Ebr 11:24.

MWANA WA BINADAMU, Eze 2:1; Da 7:13; Mt 8:20; 10:23; 12:40; 17:22; 24:30; Lu 17:26; 18:8; Yoh 3:13; Ufu 14:14.

MWANABIASHARA, Isa 23:2; Eze 27:21; Mt 13:45; Ufu 18:3, 11.

MWANABIASHARA MSAFIRI, Mt 13:45.

MWANADAMU, Met 29:25.

Isa 40:6 Wanadamu ni majani

Yer 10:23 Mwanadamu haongozi hatua

Mt 4:4 Mwanadamu, ataishi, si mkate tu

Mt 15:9 amri za wanadamu

Lu 16:15 kilichoinuka kati ya wanadamu

Mdo 5:29 tumtii Mungu kuliko wanadamu

Ga 1:10 kuwapendeza wanadamu?

Kut 33:20; Hes 16:32; Zb 144:4; Isa 51:12; 1Ko 1:25; Efe 6:6; Flp 2:8; Kol 3:22.

MWANADAMU ANAYEWEZA KUFA, Ayu 15:14; 33:12; 36:25; Zb 8:4; 9:19; 55:13; 144:3; Isa 13:7; 33:8; Yer 20:10.

MWANAFUNZI, Isa 8:16 sheria kati ya wanafunzi

Mt 28:19 mkafanye wanafunzi, mataifa yote

Lu 6:40 Mwanafunzi hapiti mwalimu

Yoh 8:31 katika neno, ninyi ni wanafunzi

Mt 10:24, 42; 26:26, 56.

MWANA-HARAMU, Kum 23:2.

MWANA-KONDOO, Isa 40:11.

Lu 10:3 wana-kondoo kati ya mbwa

Yoh 1:29 Mwana-Kondoo wa Mungu

Yoh 21:15 Petro: Lisha wana-kondoo

Isa 1:11; Yer 11:19; Ufu 5:6; 7:10.

MWANAMAJI, Eze 27:9, 27, 29; Yon 1:5.

MWANA-MBUZI, Law 16:5 wana-mbuzi, toleo la

MWANAMKE, Mwa 1:27 mume na mwanamke

Mwa 2:22 ubavu kuwa mwanamke

Mwa 3:15 uadui kati yako na mwanamke

Law 18:23 mwanamke na mnyama

Amu 5:24 Yaeli abarikiwa kwa wanawake

1Sa 28:7 mwanamke stadi wa pepo

2Sa 1:26 kuliko upendo wa wanawake

Yer 51:30 wanaume wamekuwa wanawake

Yoh 2:4 nini nawe, mwanamke?

Yoh 19:26 Mwanamke, ona!

Ro 1:26 wanawake, matumizi ya asili

1Ko 11:3 kichwa cha mwanamke

1Ko 11:10 mwanamke kuwa na ishara

1Ko 11:12 mwanamke ametoka mwanamume

1Ko 14:34 wanawake wakae kimya

1Ti 2:11 Mwanamke ajifunze akiwa kimya

1Ti 2:12 Siruhusu mwanamke kufundisha

Tit 2:4 wanawake wapende waume

1Pe 3:7 chombo dhaifu, mwanamke

Ufu 12:1 mwanamke aliyepambwa jua

Ufu 12:17 joka, amghadhibikia mwanamke

Ufu 14:4 unajisi na wanawake

Ufu 17:3 mwanamke juu ya mnyama

Kum 31:12; Da 11:37; Mt 11:11; 24:41.

MWANAMKE MKAAJI, Isa 12:6.

MWANA-MKWE, Mwa 19:12; Kut 3:1; Amu 1:16.

MWANAMUME, Mwa 1:27.

Kut 18:21 kuchagua wanaume wenye

Eze 16:17 sanamu za mwanamume

Ro 1:27 wanaume kwa wanaume

1Ko 16:13 endeleeni kama wanaume

1Nya 23:3; Ayu 3:23; Zb 34:8; 37:23; 89:48; Met 6:34; 20:24; 29:5; Isa 22:17; Yoe 2:7, 8; Mdo 17:5.

MWANAMUME MWENYE NGUVU, Zb 19:5; Met 16:32; Isa 3:2; 42:13; Yer 9:23; 14:9; Sef 1:14.

MWANAMUME MZEE, Mdo 4:5.

1Ti 5:17 Wanaume wazee, heshima

1Pe 5:1 himizo, wanaume wazee

Ru 4:2; Met 31:23; Mt 16:21; 21:23.

MWANAMWALI, Isa 7:14.

MWANANGU, Zb 2:7 Wewe ni mwanangu

Mt 3:17 Huyu ni Mwanangu, mpendwa

MWANA-PUNDA, Mt 21:5; Lu 19:30.

MWANDIKAJI, Ezr 7:6; Zb 45:1; Yer 36:10.

MWANDIKO, Mt 22:20 mwandiko huu ni wa?

MWANDISHI, 2Fa 12:10 mwandishi wa mfalme

Est 3:12 waandishi wa mfalme wakaitwa

Isa 33:18; Yer 52:25.

MWANGA, Zb 74:16 uliutayarisha mwanga, jua

Flp 2:15 mnaangaza kama mianga

Yak 1:17 Baba wa mianga

Mwa 1:14-16; Eze 32:8.

MWANGALIZI, Mwa 41:34 Farao, waangalizi

Zb 141:3 mwangalizi juu ya midomo

Mdo 20:28 roho imewaweka waangalizi

1Ti 3:1 cheo cha mwangalizi

1Ti 3:2 mwangalizi asilaumike

1Pe 2:25 mwangalizi wa nafsi zenu

Hes 3:32; Ne 11:9; Isa 60:17; Yer 29:26; Tit 1:7.

MWANGAMIZAJI, 1Ko 10:10; Ebr 11:28.

MWANGAZA, Isa 60:3 mwangaza wa mwanga

Isa 59:9; 62:1; Da 2:31.

MWANYA, Zb 106:23 penye mwanya mbele

MWANZO, Mwa 1:1 Hapo mwanzo Mungu

Met 8:22 Yehova alinitokeza nikiwa mwanzo

Met 9:10 mwanzo wa hekima

Kol 1:18 ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza

1Yo 1:1 kilichokuwa tangu mwanzo

1Yo 2:7 amri ya tangu mwanzo

Isa 46:10; Mt 24:8; Mk 10:6; Ufu 3:14.

MWARABU, 2Nya 9:14; Ne 2:19; Yer 3:2; 25:24; Eze 27:21; Mdo 2:11.

MWASHERATI, 1Ko 5:9 ushirika, waasherati

Efe 5:5 mwasherati hatarithi ufalme

1Ti 1:10; Ebr 12:16; 13:4.

MWASHO, Mdo 28:6 atavimba kwa mwasho

MWASHURU, Isa 14:25 kumvunja Mwashuru

Mik 5:5 Mwashuru kukanyaga minara

2Fa 19:35; Isa 10:5, 24; 31:8; Eze 31:3.

MWASI, Hes 20:10; Isa 1:20; 57:17; Yer 3:14; Eze 2:7.

MWASI-IMANI, Ayu 13:16 hakuna mwasi-imani

Ayu 17:8 kwa sababu ya mwasi-imani

Ayu 27:8 ni nini tumaini la mwasi-imani

Ayu 34:30 mwasi-imani asitawale

Zb 35:16; Met 11:9; Isa 9:17; 33:14.

MWASI-SHERIA, Lu 22:37; Mdo 2:23; 2Th 2:8.

MWEBRANIA, Kut 3:18 Mungu wa Waebrania

Mwa 14:13; Yon 1:9; 2Ko 11:22; Flp 3:5.

MWEKUNDU, Mwa 25:25; Hes 19:2; Zek 1:8.

MWELEKA, Mwa 32:24 kupigana mweleka

MWELEKEO, Mwa 6:5 mwelekeo wa moyo

1Nya 28:9 anatambua kila mwelekeo

1Nya 29:18 mwelekeo wa fikira

Efe 6:7 na maelekeo mema

Flp 2:20 hakuna aliye na mwelekeo

Flp 3:15 mwelekeo wa akili ulio

Yak 4:5 mwelekeo wa kuona wivu

Mwa 8:21; Kum 31:21; 1Sa 8:3; Met 29:22; Isa 26:3; Eze 26:2; Yak 3:4.

MWELEKEO WA AKILI, 1Pe 4:1.

MWELEKEO WENYE UBAGUZI, 1Ti 5:21.

MWEMA, Zb 25:8 Yehova ni mwema, mnyoofu

Mk 10:18 Hakuna mwema, ila Mungu

Lu 18:19 Kwani kuniita mwema?

1Nya 16:34.

MWENDA-WAZIMU, 1Sa 21:13; 2Ko 11:23.

MWENDO, Yos 6:3 mwendo kuzunguka jiji

Zb 68:7 Ulipopiga mwendo jangwani

Met 4:12 mwendo hautasongwa

Met 30:29 watatu wa mwendo mzuri

Yer 8:6 Kila mmoja katika mwendo

Hab 3:12 ulipiga mwendo duniani

2Ti 4:7 nimekimbia mwendo mpaka mwisho

Yoe 2:8; Mdo 13:25; 20:24.

MWENENDO, Mt 16:27 kulingana na mwenendo

Ga 1:13 mwenendo wangu hapo zamani

Ga 6:16 kanuni ya mwenendo

1Ti 4:12 uwe kielelezo katika mwenendo

Yak 3:13 aonyeshe kutokana na mwenendo

1Pe 2:12 Dumisheni mwenendo mzuri

1Pe 3:16 kuushushia heshima mwenendo

Efe 4:22; Ebr 13:7; 1Pe 1:15, 18; 3:1, 2.

MWENENDO MPOTOVU, Met 10:23; Ga 5:19; 1Pe 4:3.

MWENEZA-INJILI, Mdo 21:8.

Efe 4:11 wengine kuwa waeneza-injili

2Ti 4:5 fanya kazi ya mweneza-injili

MWENGE, Amu 7:16 mienge ndani ya

Isa 62:1 kama mwenge unaowaka

Da 10:6 macho kama mienge

Mwa 15:17; Amu 15:4; Eze 1:13; Nah 2:4.

MWENYE UWEZO MKUBWA, 1Ti 6:15.

MWENZA, Law 6:2; 24:19; Zek 13:7.

MWENZAKE, Mhu 4:10 kumwinua mwenzake

MWENZAKO, Kut 20:16; 2Sa 12:11.

MWENZANGU, Mt 20:13; 26:50.

MWENZAO, Zb 119:63 mwenzao watu wote

MWEPESI, Yak 1:19 mwepesi kuhusu kusikia

MWEREVU, Ayu 5:12; 15:5; Met 12:23; 13:16; 14:8, 15; 15:5.

MWEREZI, 1Fa 4:33; Eze 31:8.

MWETHIOPIA, Da 11:43; Mdo 8:27.

MWEUPE, Mt 5:36 unywele kuwa mweupe

MWEUSI, Wim 1:6 mimi ni mweusi

MWEZA-YOTE, Mwa 17:1 Mungu Mweza-Yote

Ufu 16:14 vita ya Mungu Mweza-Yote

Kut 6:3; Ayu 8:3; Isa 13:6; Ufu 1:8; 11:17.

MWEZI 1., Kut 12:2 mwanzo wa miezi kwenu

Ga 4:10 Mnashika miezi na majira

Ufu 22:2 ikitoa matunda kila mwezi

1Fa 6:37; 8:2; 2Fa 15:13; 1Nya 27:1; Ezr 6:15; Est 3:7; Da 4:29.

MWEZI 2., Zb 104:19 mwezi kwa ajili ya nyakati

Yoe 2:10 Jua na mwezi zimekuwa giza

Hab 3:11 Jua, mwezi, vilisimama tuli

Lu 21:25 ishara katika jua na mwezi

Mdo 2:20 mwezi kuwa damu

Ufu 12:1 mwezi, chini ya miguu yake

Yos 10:12; Yoe 2:31; Kol 2:16; Ufu 21:23.

MWIBA, Isa 55:13 kichaka cha miiba

Mt 7:16 hawakusanyi kutoka miiba

Mt 13:22 aliyepandwa katikati ya miiba

2Ko 12:7 mwiba katika mwili

Mk 4:7; Lu 8:7, 14.

MWIGAJI, 1Ko 11:1 Iweni waigaji wangu

Efe 5:1 waigaji wa Mungu

Ebr 6:12 msiwe goigoi, muwe waigaji

1Ko 4:16; Flp 3:17; 1Th 1:6; 2:14.

MWILI, Mwa 2:24 watakuwa mwili mmoja

Met 5:11 mwili wako kufikia mwisho

Yoe 2:28 mimina roho juu ya mwili

Mt 10:28 wanaua mwili lakini hawawezi

Yoh 1:14 Neno akawa mwili

Ro 8:5 wanaopatana na mwili

Ro 8:7 kukaza akili juu ya mwili

Ro 12:1 mtoe miili yenu iwe dhabihu

1Ko 6:15 miili yenu ni viungo vya Kristo?

1Ko 6:20 mtukuzeni Mungu katika mwili wenu

1Ko 12:18 ameviweka viungo katika mwili

1Ko 15:44 Hupandwa mwili wa nyama

1Ko 15:44 Ikiwa kuna mwili wa nyama

2Ko 10:3 vita, si kulingana na mwili

Ga 5:19 matendo ya mwili

Efe 6:12 mweleka, si juu ya mwili

Kol 1:18 kichwa cha mwili, ndiye mwanzo

Ebr 10:5 ulinitayarishia mwili

Mwa 9:11; Zb 56:4; Met 14:30; Mt 26:12; 27:52; Lu 11:34; Yoh 2:21; Mdo 2:17; Ro 8:11; 1Ko 1:29; 15:40.

MWILI MMOJA, Mk 10:8; 1Ko 6:16; Efe 5:31.

MWILI WA KRISTO, Efe 4:12.

MWIMBAJI, 2Nya 20:21 kuweka waimbaji

1Nya 15:16; Ne 10:28; Zb 68:25; 87:7.

MWINDAJI, Mwa 10:9 Nimrodi, mwindaji

Yer 16:16 nitaita wawindaji wengi

MWINGILIO, Eze 33:30 miingilio ya nyumba

Law 8:3, 33; 16:7; Yos 19:51.

MWISHO, Ayu 38:13 miisho ya dunia

Ayu 42:12 akaubariki mwisho wa

Zb 2:8 miisho ya dunia, miliki yako

Zb 72:8 kutoka Mto mpaka miisho

Mhu 2:14 mwisho ambao huwapata

Isa 2:2 katika siku za mwisho

Isa 9:7 Hakutakuwa na mwisho kwa amani

Isa 44:6 Yehova, wa kwanza na mwisho

Isa 46:10 anatangaza mwanzo ule mwisho

Eze 38:8 Katika miaka ya mwisho

Eze 38:16 katika siku za mwisho

Da 10:14 katika siku za mwisho

Da 11:27 mwisho, bado wakati uliowekwa

Mt 10:22 kuvumilia mpaka mwisho

Mt 19:30 mwisho kuwa wa kwanza

Mt 24:14 ndipo mwisho utakapokuja

1Ko 10:11 miisho ya mifumo ya mambo

1Ko 15:26 Adui wa mwisho, kifo

1Ko 15:45 Adamu wa mwisho

2Ti 4:7 nimekimbia mpaka mwisho

1Pe 4:7 mwisho umekaribia

2Pe 2:20 hali ya mwisho, mbaya zaidi

Ufu 22:13 Mimi, wa kwanza na wa mwisho

Mhu 2:14; 3:19; 9:2; Yer 5:31; 17:11; 23:20; 25:33; Eze 7:2; Da 2:28; 8:19; 12:4; Mt 20:8, 16; Mk 9:35; 1Yo 2:18; Ufu 1:17; 2:26.

MWISRAELI, Yoh 1:47 Mwisraeli hakika

Ro 11:1 mimi pia ni Mwisraeli

MWITO, Ro 11:29 mwito wa Mungu

Efe 4:1 mtembee kwa kuustahili mwito

Flp 3:14 tuzo la mwito wa kwenda juu

2Ti 1:9 kutuita kwa mwito mtakatifu

Ebr 3:1 washiriki wa mwito wa mbinguni

2Pe 1:10 kufanya mwito wenu hakika

1Ko 1:26; 2Th 1:11.

MWITU, Ro 11:24 mzeituni wa mwituni

MWIZI, Kut 22:2 Mwizi akipatikana

Ayu 24:14 usiku yeye huwa mwizi

Zb 50:18 ulipomwona mwizi

Met 6:30 hawamdharau mwizi

Met 29:24 Anayeshirikiana na mwizi

Yoe 2:9 Wanaingia kama mwizi

Efe 4:28 Mwizi asiibe tena

1Th 5:2 siku inakuja kama mwizi

1Pe 4:15 asiteseke kwa sababu ni mwizi

Ufu 16:15 Naja kama mwizi

MWOGA, Kum 20:8 nani mwoga na

Ufu 21:8 waoga katika ziwa la moto

MWOGELEAJI, Isa 25:11 kama mwogeleaji

MWOKOAJI, Zb 40:17 Yehova Mwokoaji wangu

2Sa 22:2; Zb 18:2; 144:2.

MWOKOZI, Isa 43:11 hakuna mwokozi

Oba 21 waokozi watapanda Mlima Sayuni

Lu 2:11 leo Mwokozi amezaliwa

Mdo 5:31 alimwinua kuwa Mwokozi

1Ti 4:10 Mungu ambaye ni Mwokozi

1Yo 4:14 amemtuma Mwana kuwa Mwokozi

Amu 3:15; 2Sa 22:3; Ne 9:27; Isa 19:20; 49:26; Yer 14:8; Mdo 13:23; 2Ti 1:10.

MWOMBAJI, Lu 16:20 mwombaji, Lazaro

MWOMBOLEZAJI, Yer 16:5.

MWONAJI, 1Sa 9:9 nabii aliitwa mwonaji

2Sa 24:11 Gadi, mwonaji wa Daudi

2Nya 16:7 Hanani mwonaji

2Nya 33:19 maneno ya waonaji wake

Isa 29:10 amefunika vichwa, waonaji

Mik 3:7 Waonaji wataona aibu

2Fa 17:13; 1Nya 25:5; 2Nya 9:29; 35:15.

MWONEVU, Ayu 27:13 urithi wa waonevu

MWONGO, Met 17:4 Mwongo anatega sikio

Yoh 8:44 Ibilisi, mwongo na baba ya

Ro 3:4 kila mwanadamu, mwongo

1Yo 1:10 tunamfanya kuwa mwongo

1Yo 5:10 amemfanya kuwa mwongo

Met 30:6; 1Yo 2:4, 22; 4:20; Ufu 21:8.

MWONGOZO STADI, Met 1:5; 11:14; 20:18; 24:6.

MWORORO, Ro 12:10 upendo mwororo

Kol 3:12; Yak 5:11.

MWOVU, Ayu 11:20 macho ya waovu yataisha

Zb 9:17 waovu watarudi Kaburini

Zb 37:10 mwovu hatakuwako tena

Met 15:8 Dhabihu ya waovu ni chukizo

Met 29:2 mwovu anapotawala

Isa 57:21 Hakuna amani kwa waovu

Eze 3:18 kumwonya mwovu

Eze 33:11 sipendezwi na kifo cha mwovu

Da 12:10 waovu watatenda uovu

Mt 6:13 utukomboe na yule mwovu

Mt 24:48 mtumwa mwovu akisema moyoni

Efe 6:16 kuzima mishale ya mwovu

1Yo 5:19 ulimwengu, nguvu za mwovu

Zb 145:20; Yer 12:1; Mt 12:35.

MYAHUDI, 2Fa 18:26 lugha ya Wayahudi

Est 8:17 walijitangaza kuwa Wayahudi

Zek 8:23 upindo wa Myahudi

Ro 2:29 Myahudi kwa ndani

Ro 3:29 Mungu wa Wayahudi

1Ko 1:23 Kristo, kwa Wayahudi ni

1Ko 9:20 nilikuwa kama Myahudi

Ga 3:28 Myahudi wala Mgiriki

Ufu 3:9 wanaosema ni Wayahudi

Ne 4:1; Est 3:4; Mt 2:2; 27:11; Kol 3:11.

MZABIBU, Yer 2:21 mzabibu bora mwekundu

Yoe 2:22 mtini na mzabibu itatokeza

Mik 4:4 kila mtu chini ya mzabibu

Yoh 15:1 ndiye mzabibu wa kweli

Ufu 14:18 mzabibu wa dunia

Amu 9:13; Eze 17:8; Zek 8:12; Mt 26:29.

MZAHA, Mwa 19:14 Loti, kama anafanya mzaha

2Nya 36:16 kuwafanyia mzaha manabii

Met 1:26 nitafanya mzaha

Met 26:19 sikuwa nikifanya mzaha?

Efe 5:4 mizaha michafu

MZALIWA, Yoh 1:18 mungu mzaliwa-pekee

Yoh 3:16 Mungu akamtoa mzaliwa-pekee

Ebr 11:17 Abrahamu, alimtoa mzaliwa-pekee

Ebr 12:23 kutaniko la wazaliwa wa kwanza

1Yo 4:9 alimtuma Mwana wake mzaliwa-pekee

Kut 4:22; 12:29; Kum 21:17; Yoh 1:14; 3:18; Ro 8:29; Kol 1:15, 18; Ebr 1:6; 11:17; 1Yo 4:9.

MZAZI, Mt 10:21 watoto, juu ya wazazi

Lu 18:29 ameacha wazazi au watoto

Lu 21:16 mtatolewa hata na wazazi

2Ko 12:14 watoto, si akiba kwa wazazi

Efe 6:1 watiini wazazi wenu

2Ti 3:2 wasiotii wazazi, wasio

Mk 13:12; Lu 2:27; Ro 1:30; Kol 3:20.

MZEE, Da 7:9 Mzee wa Siku

MZEITUNI, Amu 9:8 mzeituni, Uwe mfalme

Zb 128:3 Wana, kama mizeituni

Ro 11:17 mzeituni wa mwitu, ulipandikizwa

Ufu 11:4 mizeituni miwili na vinara

Kum 28:40; Ne 8:15; Zb 52:8; Zek 4:11; Ro 11:24.

MZEMBE, Yos 18:3 wazembe mpaka wakati gani

Amu 9:4; 2Nya 13:7.

MZIGO, Kum 1:12 kubeba mzigo wenu

Zb 55:22 Mtupie Yehova mzigo

Mt 11:30 mzigo wangu mwepesi

Mt 23:4 hufunga mizigo mizito

Ga 6:5 atabeba mzigo wake

Kut 23:5; Hes 11:11; 1Sa 10:22; 25:13; 30:24; Zb 38:4; Isa 10:27; Eze 12:3, 7.

MZIGO MZITO, Ga 6:2 kubebeana mizigo mizito

1Yo 5:3 amri zake si mzigo mzito

MZIGO WENYE GHARAMA, 1Th 2:6, 9; 2Th 3:8.

MZINZI, Ro 7:3 mwanamke huyo si mzinzi

1Ko 6:9 wazinzi, hawataurithi

Yak 4:4 wazinzi, urafiki na ulimwengu

Law 20:10; Ayu 24:15; Zb 50:18; Yer 9:2; Eze 23:45; Ebr 13:4.

MZITO, Mk 6:52 mioyo mizito isielewe

1Th 5:27 wajibu mzito

Ebr 5:11 mmekuwa wazito kusikia

Mk 8:17; Lu 24:25.

MZIZI, Ayu 14:8 Mzizi ukizeeka udongoni

Met 12:3 mizizi ya waadilifu

Isa 11:10 mzizi wa Yese

Ro 11:16 ikiwa mzizi ni mtakatifu

Efe 3:17 mtie mizizi na

Kol 2:7 mmetia mizizi na kujengwa

Ebr 12:15 mzizi wenye sumu

Met 12:12; Mt 3:10; 13:21; Ro 11:18.

MZOGA, Eze 43:9 ondoa mizoga ya wafalme

Mt 24:28 Popote mzoga ulipo, ndipo tai

Mwa 15:11; Law 26:30; Amu 14:8; Isa 14:19; Amo 8:3.

MZOZO, Kum 19:17 wawili wenye mzozo

1Ko 3:3 kuna mizozo kati yenu

Kum 17:8; 21:5; 25:1.

MZUKA, Mt 14:26; Mk 6:49.

MZUNGUKO, Mhu 1:6 mizunguko, upepo

Yak 3:6 moto mzunguko wa uhai

Ayu 1:5; Zb 19:6; 150:4.

N

NAAMANI, 2Fa 5:1; Lu 4:27.

NABII, Mwa 20:7 yeye ni nabii

Kut 15:20 Miriamu nabii

Kum 18:18 Nitawainulia nabii

1Sa 9:9 nabii aliitwa mwonaji

1Fa 18:22 nimebaki, nabii wa Yehova

2Fa 10:19 waiteni manabii wa Baali

2Fa 22:14 Hulda nabii, mke wa

Isa 8:3 nabii wa kike

Isa 9:15 nabii anayefundisha uwongo

Yer 7:25 watumishi wangu manabii

Eze 33:33 kujua nabii alikuwa kati yao

Da 9:24 muhuri, maono na nabii

Amo 3:7 amewafunulia manabii

Zek 13:5 atasema, Mimi si nabii

Mt 5:12 waliwatesa manabii

Mt 7:15 manabii wa uwongo

Mt 13:57 Nabii haheshimiwi kwao

Mk 13:22 manabii wa uwongo

Lu 2:36, 37 Ana nabii, miaka 84

Mdo 3:21 kupitia manabii wake

Mdo 3:22 Mungu atawainulia nabii

Yak 5:10 manabii kuwa kielelezo

Ufu 2:20 Yezebeli, anajiita nabii

Ufu 11:18 kuwapa thawabu manabii

Ufu 16:13 kinywa cha nabii mwongo

Kut 7:1; Hes 11:29; 1Nya 16:22; Isa 29:10; Yer 6:13; 14:14; 23:28; Mik 3:11; Mal 4:5; Mt 11:9; Yoh 7:40; Ufu 18:24; 19:20.

NABII WA UWONGO, Ufu 16:13.

NADHIFU, Law 10:6 vikose kuwa nadhifu

NADHIRI, Hes 30:5 baba amekataza nadhiri

Amu 11:30 Yeftha akaweka nadhiri

Zb 50:14 umtimizie Mungu nadhiri

Zb 61:8 kutimiza nadhiri zangu

Mhu 5:4 unachoweka nadhiri, timiza

Yon 2:9 nadhiri, nitatimiza

Hes 30:2; Kum 23:21, 23; Zb 76:11; 132:2; Yon 1:16.

NAFAKA, Mwa 41:5 masuke saba ya nafaka

Yoe 2:19 nawapelekea nafaka, divai

Mwa 42:1; 44:2; Ru 2:2; Ne 10:31; Yoe 1:10; Mk 4:28; 1Ko 9:9.

NAFASI, Mwa 31:28 hukunipa nafasi ya kubusu

Mwa 32:16 nafasi kati ya kundi

Ayu 38:18 nafasi pana za dunia

Yer 22:14 vyumba vya juu vyenye nafasi

1Ko 7:21 huru, utwae nafasi hiyo

Flp 4:10 lakini mkakosa nafasi

Ebr 11:15 wangepata nafasi ya kurudi

Isa 54:2.

NAFASI TELE, 2Sa 22:20.

NAFSI, Mwa 1:20 Maji na yajawe na nafsi hai

Mwa 2:7 mtu akawa nafsi hai

Mwa 9:4 nyama pamoja na nafsi yake

Law 17:14 nafsi ya kila namna ya mwili

Hes 31:28 nafsi moja kati ya mia tano

Kum 6:5 umpende Yehova kwa nafsi

Kum 19:21 nafsi itakuwa kwa nafsi

Yos 11:11 wakaipiga kila nafsi

Yos 20:9 anayepiga nafsi bila kukusudia

Ayu 11:20 kukata pumzi kwa nafsi

Ayu 31:39 nafsi ya wamiliki wake

Zb 49:15 Mungu ataikomboa nafsi yangu

Zb 89:48 anaweza kuiokoa nafsi yake?

Isa 53:12 aliimwaga nafsi mpaka kufa

Yer 2:34 alama za damu za nafsi

Yer 15:9 nafsi imepambana kupata pumzi

Eze 18:4, 20 Nafsi inayotenda dhambi

Mt 10:28 anayeweza kuangamiza nafsi

Mdo 2:27 hutaiacha nafsi yangu katika

Mdo 3:23 nafsi yoyote isiyomsikiliza

Flp 1:27 imara kwa nafsi moja

Ebr 4:12 kugawanya nafsi na roho

1Yo 3:16 aliitoa nafsi yake kwa ajili yetu

Ufu 20:4 nafsi za waliouawa kwa shoka

Kut 1:5; Met 14:25; Mt 16:26; Mk 14:34; Lu 9:25; Yoh 12:25; Mdo 2:41; 1Ko 15:45.

NAFSI YOTE, Mt 22:37 umpende kwa nafsi yote

Efe 6:6 mapenzi kwa nafsi yote

Kol 3:23 lifanyeni kwa nafsi yote

NAFTALI, Mwa 30:8; Kut 1:4; Mt 4:13.

NAJISI, Eze 28:16 najisi katika mlima

2Ko 6:17 mwache kugusa kilicho najisi

Hag 2:13.

NAJISIWA, Law 21:7 mwanamke aliyenajisiwa

NAKILI, Isa 44:13 huinakili kwa chokaa

NAMBA, Ufu 13:18 namba ya mnyama-mwitu

Ufu 13:17.

NAMNA, 2Sa 18:27 namna ya kukimbia

2Ti 3:5 namna ya ujitoaji-kimungu

1Th 5:22.

NAMNA YA FUNDISHO, Ro 6:17.

NAMNA YA IBADA, Yak 1:26, 27.

NANE, 1Pe 3:20 nafsi nane, walichukuliwa

Mwa 17:12; 1Sa 17:12; Mhu 11:2; Lu 2:21.

NANGA, Ebr 6:19 Tumaini, nanga ya nafsi

NAOMI, Ru 1:2, 19; 2:1, 2, 20; 4:9, 14, 17.

NASWA, Met 12:13 Mtu mbaya hunaswa

NATHANAELI, Yoh 1:45-48, 49; 21:2.

NATHANI, 2Sa 12:7 Nathani: Wewe ndiye

2Sa 7:3; 12:5, 13; 1Nya 17:1, 2.

NAWA, Mt 15:2; Yoh 9:11.

NAZARETI, Yoh 1:46 chema kitoke Nazareti?

Mt 2:23; 4:13; 21:11.

NCHI. Ona pia UDONGO.

Mwa 2:7 mavumbi ya nchi

Mwa 12:1 Nenda kutoka nchi yako

Mwa 13:15 nitakupa nchi yote

Kut 3:8 nchi nzuri na kubwa

Yos 3:17 Israeli wakivuka nchi kavu

Isa 66:8 nchi itazaliwa siku moja?

Da 11:41 nchi ya lile Pambo

Yon 1:8 unatoka wapi? Unatoka nchi gani?

Mwa 1:9; Law 26:34; Zb 88:12; 107:3; Eze 36:35; 39:27; Yoe 2:3; Mt 19:29.

NCHI ILIYO CHINI, Eze 31:14; 32:18.

NCHI TAMBARARE, Isa 40:4.

NCHI TAMBARARE YA CHINI, Yos 10:12; Amu 5:15; 2Nya 20:26; Ayu 39:21.

NCHI YA KUKOMA, Isa 38:11.

NCHI YA MASHAMBANI, Zek 2:4.

NCHI YA USAHAULIFU, Zb 88:12.

NCHI YA WALIO HAI, Zb 52:5; 142:5; Isa 38:11; 53:8.

NCHI YENYE KUPENDEZA, Mal 3:12.

NCHI YENYE KUZAA, Zb 89:11; 96:10; Isa 13:11; 24:4; 26:9.

NDAMA, Mal 4:2 ndama waliononeshwa

Kut 32:4; 1Fa 12:28; 2Fa 17:16; 2Nya 13:8; Zb 106:19; Isa 11:6.

NDANI, Zb 40:8 sheria imo ndani yangu

Lu 11:39 ndani mmejaa uporaji

Ro 14:1 maswali ya ndani

2Ko 4:16 mtu wa ndani anafanywa upya

Efe 3:16 uwezo, mtu wa ndani

NDEFU, Da 8:3 pembe zilikuwa ndefu

NDEGE, Isa 46:11 ndege mwenye kuwinda

Mt 8:20 ndege wana viota

Ufu 18:2 mahali pa kila ndege mchafu

Mwa 9:10; Law 14:4; 17:13; Kum 14:11; Zb 79:2; Isa 31:5; Mdo 10:12.

NDEVU, 1Sa 21:13; Yer 41:5; Eze 5:1.

NDIMI, Zb 31:20 kugombana kwa ndimi

Mdo 2:3 ndimi kama za moto

NDIMI MBILI, 1Ti 3:8 watumishi, si ndimi mbili

NDIYO, Mt 5:37 Ndiyo limaanishe Ndiyo

2Ko 1:20 ahadi zimekuwa Ndiyo

NDOA, Mt 22:2 mfalme, aliyefanya ndoa

Yoh 2:1 karamu ya ndoa Kana

1Ti 4:3 wakikataza kufunga ndoa

Ebr 13:4 Ndoa na iheshimiwe

Ufu 19:9 ndoa ya Mwana-Kondoo

Mwa 34:9; Kum 7:3; Yos 23:12; 1Sa 18:23; 1Ko 7:9, 28, 36, 38.

NDOA YA NDUGU-MKWE, Mwa 38:8; Kum 25:5, 7.

NDOTO, Mhu 5:3 ndoto huja kwa sababu ya

Yer 23:32 manabii wa ndoto za uwongo

Yer 29:8 msisikilize ndoto zao

Yoe 2:28 wazee wataota ndoto

Mwa 41:25; Yer 23:27; Da 2:28; Mdo 2:17.

NDUGU, Mwa 4:9 Yuko wapi Abeli ndugu yako?

Ne 4:14 mpigane kwa ajili ya ndugu zenu

Zb 49:7 anayeweza kumkomboa ndugu

Zb 133:1 Ndugu kukaa pamoja kwa umoja!

Met 18:24 rafiki anayeshikamana kuliko ndugu

Met 27:10 ni afadhali kuliko ndugu aliye mbali

Yer 31:34 hawatafundishana mtu na ndugu

Hag 2:22 kila mmoja kwa upanga wa ndugu

Mt 23:8 ninyi nyote ni ndugu

Mk 13:12 ndugu atamtoa ndugu auawe

1Pe 5:9 ushirika mzima wa ndugu

Ufu 12:10 mshtaki wa ndugu zetu

Mwa 43:3; Eze 38:21; Mt 5:22; 12:49, 50; 18:15; 25:40; Mdo 15:36; Ebr 2:11.

NDUGU YA BABA, Law 20:20; 25:49; 1Sa 10:15.

NEBO, Hes 32:3; Isa 15:2; 46:1; Yer 48:1.

NEBUKADNEZA, 2Nya 36:7.

Yer 27:6 nchi, chini ya Nebukadneza

Da 3:1 Nebukadneza atengeneza sanamu

Ezr 5:12; Da 2:1; 3:16, 24, 28; 4:18, 31.

NEBUKADREZA, Yer 25:9; 43:10; 50:17; Eze 26:7; 30:10.

NEEMA, Mwa 30:11 Lea akasema: Neema!

2Nya 30:9 Yehova ni mwenye neema

Zb 86:15 Yehova, Mungu wa neema

Zb 112:5 mwenye neema, anayekopesha

Yoe 2:13 mrudieni Yehova, ana neema

Kol 3:16 nyimbo kwa neema

Kut 34:6; Zb 103:8; 111:4; 116:5; Mdo 6:8; 7:10; Efe 2:7.

NEGEBU, Kum 1:7 Shefela na Negebu

NENEPA, Yer 5:28 Wamenenepa; wameng’aa

Met 28:25.

NENO, Kut 34:28 Maneno Kumi

Amu 3:20 Nina neno la Mungu kwako

Zb 119:105 Neno lako ni taa

Met 25:11 Neno wakati unaofaa

Isa 50:4 kumjibu neno aliyechoka

Isa 55:11 litakavyokuwa neno langu

Yer 8:9 Wamelikataa neno la Yehova

Mt 4:4 bali kwa kila neno

Mt 12:37 kwa maneno yako utahukumiwa

Mt 24:35 maneno yangu hayatapita

Yoh 1:1 hapo mwanzo Neno alikuwako

Yoh 1:14 Neno akawa mwili

Yoh 17:17 neno lako ni kweli

Ro 10:8 neno la imani

Flp 2:16 kulishika neno la uzima

1Ti 4:9 Neno hilo ni la uaminifu

2Ti 1:13 kushika maneno ya afya

2Ti 2:15 sawasawa neno la kweli

2Ti 4:2 lihubiri neno

Yak 1:22 iweni watendaji wa neno

2Pe 1:19 neno la kinabii

Mdo 7:38; Ro 3:2; 11:4.

NENO LA KIMETHALI, Kum 28:37.

Zb 44:14 Umetufanya kuwa neno la kimethali

Zb 49:4 nisikie maneno ya kimethali

Zb 78:2; Isa 14:4; Eze 17:2; 18:2; Mik 2:4; Hab 2:6.

NENO LA MUNGU, Mk 7:13.

Efe 6:17 upanga, neno la Mungu

Ebr 4:12 neno la Mungu liko hai

Ufu 19:13 anaitwa Neno la Mungu

Lu 8:11; Mdo 6:7; 1Th 2:13; 2Ti 2:9; Ebr 11:3; 2Pe 3:5.

NEPA, Mwa 49:24 nguvu, zenye kunepa

NG’AA, Hes 6:25 aufanye uso ung’ae

1Sa 14:29 macho yalivyong’aa

Ezr 9:8 kufanya macho yetu yang’ae

Zb 13:3 Uyafanye macho yangu yang’ae

Zb 104:15 uso ung’ae kwa mafuta

Met 4:18 nuru inayong’aa, inayozidi

Met 6:25 macho yenye kung’aa

Met 15:30 Kung’aa kwa macho

Isa 14:12 ewe mwenye kung’aa

Yer 5:28 Wamenenepa; wameng’aa

Eze 28:17 fahari yako inayong’aa

Da 12:3 watang’aa kama mwangaza wa anga

Mt 13:43 waadilifu watang’aa

Mt 17:2 uso wake ukang’aa kama jua

Zb 34:5; Mhu 8:1; Isa 60:5; Yer 31:12.

NGAMIA, Mk 1:6 amevaa manyoya ya ngamia

Mwa 24:10, 11; Mt 19:24; 23:24.

NG’ANG’ANIA, Yoh 20:17.

NGANO, Zb 147:14 unono wa ngano

Mt 3:12; 13:25; Lu 22:31; Yoh 12:24.

NGAO, Mwa 15:1 Mimi ni ngao kwako

Amu 5:8 Ngao haikuonekana Israeli

2Sa 1:21 ngao ilichafuliwa

2Sa 22:3 Mungu ni Ngao yangu

Zb 18:35 utanipa ngao yako ya wokovu

Zb 47:9 ngao za dunia ni za Mungu

Zb 84:11 Yehova ni jua na ngao

Zb 91:4 Ukweli wake utakuwa ngao

Efe 6:16 ngao kubwa ya imani

Zb 18:30; 144:2; Met 30:5; Isa 21:5.

NGAZI, Mwa 28:12 ngazi imefika mbinguni

NGE, Kum 8:15; Lu 11:12; Ufu 9:10.

NG’OA, Amu 16:21 wakayang’oa macho

Ga 4:15 mngaling’oa macho yenu

NGOJEA, Isa 42:4 kuingojea sheria yake

1Ko 1:7 mkiungojea ufunuo

Ayu 13:15; Ro 8:25; Ga 5:5; Flp 3:20; 1Th 1:10.

NG’OKA, Lu 17:6 ng’oka ukapandwe

NG’OLEWA, Mt 15:13; Yud 12.

NG’OMBE, Kut 21:28 ng’ombe atapigwa

Isa 1:3 Ng’ombe anamjua

Isa 11:7 simba atakula majani kama ng’ombe.

1Ko 9:9 kumfunga kinywa ng’ombe-dume

Ebr 9:12 damu ya mbuzi na ya ng’ombe-dume

Law 16:6; Zb 106:20; 107:38; Met 7:22; Ebr 10:4.

NGOME, Zb 18:2 Yehova ni ngome yangu

Zb 31:4 wewe ni ngome yangu

Zb 37:39 Yeye ni ngome yao

Zb 91:2 Wewe ni ngome yangu

Da 11:31 wataitia unajisi ngome

Nah 1:7 ngome katika siku ya taabu

Zek 9:12 Rudini katika ngome

2Ko 10:4 kupindua ngome zenye

Amu 9:49; 1Sa 13:6; Ayu 22:14; Zb 28:8; 89:40; Met 10:29; Isa 17:3; 25:4, 12; 34:13; Lu 19:43.

NGOZI, Mwa 3:21 mavazi marefu ya ngozi

2Fa 1:8 mshipi wa ngozi kiunoni

Ayu 2:4 Ngozi kwa ngozi

Ayu 19:26 ngozi yangu, wameichuna

Yer 13:23 Mkushi kuibadili ngozi?

Eze 37:6 nitaitandaza ngozi juu yenu

2Ti 4:13 vitabu vya ngozi

NGUMI, Isa 58:4 ngumi ya uovu

1Ko 9:26 ninavyoelekeza ngumi zangu

NGUMU, Ne 9:16 mababu, na shingo ngumu

Met 13:15 njia yao ni ngumu

Met 29:1 anayefanya shingo ngumu

Da 5:20 roho yake ikawa ngumu

Kum 1:17.

NGUO, Isa 61:3 nguo ya sifa badala ya

Isa 63:1 mwenye nguo zenye kuheshimika

NGUO ZA MAGUNIA, Est 4:1; Zb 69:11; Ufu 11:3.

NGURUMA, Ayu 36:33 Kunguruma kwake

Zb 29:3 Mungu mtukufu amenguruma

Zb 98:7 Bahari na ingurume

Yer 25:30 Yehova atanguruma juu

Yer 51:38 watanguruma kama simba

Lu 21:25 kunguruma kwa bahari

1Pe 5:8 Ibilisi, simba anayenguruma

1Sa 2:10; Ayu 37:5; Zb 22:13; Yer 51:38; Eze 22:25; Yoe 3:16; Amo 1:2; Sef 3:3.

NGURUMO, Mk 3:17 Wana wa Ngurumo

Ufu 6:1 sauti kama ya ngurumo

NGURUWE, Law 11:7 nguruwe si safi

Mt 7:6 lulu mbele ya nguruwe

Lu 15:15 akamtuma akachunge nguruwe

2Pe 2:22 nguruwe aliyeoshwa

Mt 8:30; Mk 5:11; Lu 8:33.

NGUVU, Mwa 6:4 watu wenye nguvu, wenye sifa

Mwa 10:9 mwindaji mwenye nguvu

Kut 9:16 ili kukuonyesha nguvu

Kut 13:9 kwa mkono wenye nguvu

Kut 17:11 Waisraeli wakawa na nguvu

Yos 1:7 uwe mwenye nguvu

Amu 5:31 jua katika nguvu zake

Ezr 6:22 kuitia nguvu mikono

Ne 2:18 wakaitia mikono yao nguvu

Zb 59:17 Ee Nguvu zangu

Zb 60:12 Mungu atatupa nguvu

Zb 62:11 nguvu ni za Mungu

Zb 68:9 urithi wako, uliupatia nguvu

Zb 89:8 nguvu kama wewe, Yah?

Zb 106:8 nguvu zake zijulikane

Zb 110:2 fimbo ya nguvu zako

Zb 135:10 aliua wafalme wenye nguvu

Met 18:10 mnara wenye nguvu

Met 24:5 mtu anaimarisha nguvu

Met 31:3 Usiwape wanawake nguvu

Met 31:17 ameitia nguvu mikono

Isa 1:24 Mwenye Nguvu wa Israeli

Isa 9:6 Mungu Mwenye Nguvu

Isa 11:2 roho ya shauri, nguvu

Isa 12:2 Yah Yehova ni nguvu zangu

Isa 35:3 Tieni nguvu mikono dhaifu

Isa 40:29 huzijaza nguvu kamili

Isa 40:29 anampa nguvu aliyechoka

Isa 41:10 Nitakutia nguvu

Isa 58:11 ataitia nguvu mifupa

Yer 51:57 nitawalewesha wenye nguvu

Eze 34:4 wagonjwa hamkuwatia nguvu

Yoe 2:7 kama wanaume wenye nguvu

Yoe 2:22 Mtini utatokeza nguvu

Amo 2:14 hataimarisha nguvu zake

Nah 2:1 Itegemeze nguvu sana

Nah 2:3 wanaume wenye nguvu

Zek 4:6 wala kwa nguvu, bali kwa roho

Mt 16:18 Kaburi hayatalizidi nguvu

Mt 24:29 nguvu za mbingu zitatikiswa

Mk 12:30 umpende kwa nguvu zako

Yoh 12:35 giza lisiwazidi nguvu

Mdo 1:8 mtapokea nguvu

Ro 8:38 yatakayokuja wala nguvu

Ro 9:22 na kujulisha nguvu zake

Ro 15:1 sisi tulio na nguvu

1Ko 1:26 si wengi wenye nguvu

1Ko 1:27 aviaibishe vitu vyenye nguvu

1Ko 4:20 maneno, bali katika nguvu

1Ko 15:43 hufufuliwa katika nguvu

1Ko 16:13 iweni na nguvu

2Ko 4:7 nguvu kupita za kawaida

2Ko 10:4 silaha za nguvu kwa Mungu

2Ko 12:9 nguvu za Kristo zibaki

2Ko 12:10 dhaifu, ndipo mwenye nguvu

Flp 4:13 nina nguvu kupitia yeye

Kol 1:29 ndani yangu kwa nguvu

2Th 1:7 malaika zake wenye nguvu

2Ti 1:7 roho ya nguvu na ya

2Ti 3:5 wakizikana nguvu zake

Ebr 4:12 neno la Mungu, hutia nguvu

Ebr 5:14 nguvu za ufahamu zimezoezwa

Yak 5:16 Dua, ina nguvu

1Pe 3:22 mamlaka na nguvu

1Pe 5:10 atawafanya kuwa wenye nguvu

Ufu 1:6 utukufu na nguvu milele

Ufu 11:17 umechukua nguvu kuu

Kut 15:2; Kum 6:5; Yos 6:2; Amu 16:17; 1Sa 2:4, 9; 2Sa 22:40; 2Fa 19:3; 23:25; 1Nya 29:30; Ayu 37:23; Zb 8:2; 9:19; 18:32; 28:8; 84:7; 118:15; Wim 3:7; Isa 40:31; 52:1; 63:1; Yer 48:14; 51:30; Hag 2:22; Mk 9:39; Lu 1:35; Ro 1:16, 20; 4:20; 2Ti 2:1; Ebr 6:5; 11:34; 1Pe 1:5; Ufu 12:10.

NGUVU ZA AKILI, 2Ko 3:14; Flp 4:7.

NGUVU ZA PEKEE, Zb 90:10.

NGUVU ZA UTENDAJI, Mwa 1:2.

NGUVU ZENYE MSUKUMO, Isa 40:26, 29; Ho 12:3.

NGUVU ZINAZODUMU, Isa 18:2.

NGUZO. Ona pia NGUZO TAKATIFU.

Mwa 19:26 mke akawa nguzo ya chumvi

Mwa 28:18 akalisimamisha kama nguzo

Kut 13:22 Ile nguzo ya wingu

Amu 16:25 wakamsimamisha kati ya nguzo

1Sa 2:8 nguzo za dunia ni za Yehova

1Ti 3:15 nguzo na tegemezo la kweli

Ufu 3:12 nguzo katika hekalu

Mwa 28:22; Kut 33:9; Zb 99:7; Ga 2:9.

NGUZO, MSTARI WA, Yoh 10:23; Mdo 3:11; 5:12.

NGUZO TAKATIFU, Kut 34:13; 1Fa 14:23; 2Fa 3:2; 17:10.

NIA, Kut 32:12 Aliwatoa kwa nia mbaya

Kut 35:5 mwenye moyo wenye nia

NIA NJEMA, Zb 30:5 kuwa chini ya nia njema

Met 8:35 hupata nia njema kwa Yehova

Met 10:32 mwadilifu hujua nia njema

Isa 61:2 mwaka wa nia njema

Ro 10:1 nia njema ya moyo wangu

Flp 1:15 wanahubiri kwa nia njema

Zb 89:17; Met 11:27; 16:15; 19:12.

NIDHAMU, Met 6:23 nidhamu, njia ya uzima

Met 15:33 Kumwogopa Yehova ni nidhamu

Met 22:15 fimbo ya nidhamu, huondoa ujinga

Met 23:13 Usimnyime mvulana nidhamu

Isa 26:16 walipopata nidhamu yako

Yer 5:3 Walikataa kukubali nidhamu

Ho 7:15 mimi nilitia nidhamu

1Ko 11:32 Yehova anatutia nidhamu

2Ti 3:16 Andiko lote, hutia nidhamu

Ebr 12:5 usiipuuze nidhamu ya Yehova

Ebr 12:6 Yehova humtia nidhamu

Ebr 12:11 nidhamu, huonekana kuhuzunisha

Ayu 5:17; Zb 50:17; Met 1:2; 4:13; Ho 10:10; Efe 6:4.

NIKODEMO, Yoh 3:1, 4, 9; 7:50; 19:39.

NILE, Isa 19:7; Yer 46:8; Zek 10:11.

NIMRODI, Mwa 10:9 Kama Nimrodi, mwindaji

NINAWI, Yon 1:2 uende Ninawi lile jiji

Yon 3:5 Ninawi wakamwamini Mungu

Mt 12:41 Ninawi watakihukumu kizazi

Mwa 10:11; Yon 3:2, 3; 4:11; Sef 2:13.

NING’INIA, 2Sa 18:10 amening’inia mtini

NIRA, Isa 58:6 kufungua vifungo vya nira

Yer 27:2 Jitengenezee pingu na nira

Yer 28:13 utatengeneza nira za chuma

Eze 30:18 nitavunja nira za Misri

Eze 34:27 nitavunja nira zao, kuwakomboa

Nah 1:13 nitaivunja nira yake

Mt 11:30 nira yangu ni ya fadhili

2Ko 6:14 nira na wasio waamini

Flp 4:3 mwenzangu katika nira

Law 26:13; Kum 28:48; Yer 28:14; Mt 11:29; Ga 5:1.

NISANI, Ne 2:1; Est 3:7.

NISHATI, Ayu 40:16 nishati katika kano

NITAKUWA KILE NITAKACHOKUWA, Kut 3:14.

NJAA. Ona pia UPUNGUFU WA CHAKULA. Mwa 41:55 Misri ikawa njaa

Mwa 41:57 njaa ilibana dunia

Zb 146:7 anayewapa wenye njaa

Isa 5:13 utukufu, watu wenye njaa

Isa 65:13 ninyi mtakuwa na njaa

Yer 14:15 watamalizwa kwa njaa

Amo 8:11 si njaa ya mkate, kiu

Mt 5:6 furaha, walio na njaa

Yoh 6:35 hataona njaa kamwe

Ro 8:35 au njaa au uchi au hatari

Ufu 7:16 Hawatakuwa na njaa

Kum 28:48; 32:24; Ru 1:1; Ne 9:15; Zb 50:12; 107:9; Isa 29:8; Yer 5:12; 11:22; 42:17; Eze 18:7; 2Ko 11:27; Ufu 18:8.

NJE, 2Ko 4:16 mtu wa nje anachakaa

2Ko 11:28 mambo ya aina ya nje

1Th 4:12 adabu kwa watu wa nje

1Ti 3:7 ushuhuda wa walio nje

Ebr 13:11 huteketezwa nje ya kambi

NJEMA, Ro 10:15 habari njema ya mambo

NJIA, Kum 32:4 njia zake zote ni haki

Amu 5:6 njia hazikuwa na wapitaji

Ayu 13:15 hoja kwa ajili ya njia zangu

Zb 2:12 msiangamizwe njiani

Zb 16:11 Utanijulisha njia ya uzima

Zb 25:4 Nijulishe njia zako

Zb 39:1 Nitalinda njia zangu

Met 4:18 njia ya waadilifu ni kama nuru

Met 6:23 makaripio ni njia ya uzima

Met 16:25 njia imenyooka kwa mwanadamu

Met 22:6 Mlee mvulana, njia inayomfaa

Isa 2:3 atatufundisha njia zake

Isa 30:21 Hii ndiyo njia. Tembeeni

Isa 55:8 njia zangu si njia zenu

Mal 3:1 atafungua njia mbele zangu

Yoh 14:6 Mimi ndiye njia

Mdo 9:2 walio wa Ile Njia

Mdo 19:9 wakisema vibaya kuhusu Njia

Mdo 22:4 niliitesa Njia hii

Mdo 24:14 njia wanayoiita madhehebu

Ro 11:33 njia zake hazitafutiki!

1Ko 4:17 atawakumbusha njia zangu

1Ko 10:13 atafanya njia ya kutokea

Ufu 15:3 Njia zako ni za kweli

Kum 30:16; Isa 62:10; Eze 28:15; 2Pe 2:2.

NJIA KUU, Isa 11:16 njia kuu kutoka Ashuru

Isa 35:8 njia kuu, Njia ya Utakatifu

Isa 62:10 matuta, njia kuu

Met 16:17; Isa 19:23; 40:3; Yer 31:21.

NJIA PANA, Mt 12:19; Mdo 5:15.

NJIA YA KUFIKIRI, 1Ko 1:10.

NJIWA, Mt 3:16 roho, kama njiwa

Mt 10:16 wasio na hatia kama njiwa

Mwa 8:11; Isa 59:11; Mt 21:12.

NJOO, Ufu 22:17 Njoo! anayeona kiu aje

NJOONI, Isa 55:1 mlio na kiu! Njooni majini

Isa 2:3.

NJOZI, Mdo 10:10; 11:5; 22:17.

NOA 1., Mwa 6:9 Hii ni historia ya Noa

Mwa 7:23 vikafutiliwa mbali; Noa pekee

Mwa 9:1 Mungu akambariki Noa

Lu 17:26 ilivyotukia siku za Noa

Ebr 11:7 Kwa imani Noa

Mwa 5:29; 9:17; Mt 24:37.

NOA 2., Met 27:17 mtu anavyounoa uso

NOLEWA, Met 27:17 Chuma hunolewa kwa

NONESHA, Yak 5:5 Mmeinonesha mioyo yenu

NTA, Zb 68:2 kama nta, waovu waangamie

Zb 97:5 Milima kuyeyuka kama nta

NUIA, Isa 14:24 nilivyonuia, ndivyo itakuwa

NUKA, Zb 38:5 Vidonda vyangu vinanuka

Kut 7:18; 16:20; Mhu 10:1.

NUNG’UNIKA, Flp 2:14 bila kunung’unika

Yak 5:9 Msinung’unikiane

1Pe 4:9 bila kunung’unika

Kut 16:7; 1Ko 10:10.

NUNG’UNIKIANA, Yak 5:9.

NUNI, Kut 33:11; Kum 32:44; 1Nya 7:27.

NUNUA, Mwa 47:19 Utununue sisi na mashamba

Met 23:23 Nunua kweli wala usiiuze

Isa 55:1 mlio na kiu! Njooni, nunueni

Mt 13:44 kuuza vitu na kulinunua shamba

Mt 13:46 lulu moja na kuinunua

Mdo 20:28 alilinunua kwa damu

1Ko 7:23 Mlinunuliwa kwa bei

1Ko 7:30 wanaonunua wawe kama wasio

Ga 3:13 Kristo kwa kutununua

Kol 4:5 mkijinunulia wakati unaofaa

2Pe 2:1 watamkana hata bwana aliyewanunua

Ufu 5:9 kwa damu yako ukamnunulia watu

Ufu 13:17 asiweze kununua au kuuza

Law 27:24; Ru 4:4, 8; 2Sa 12:3; Yer 32:44; Lu 14:18; Ufu 3:18; 18:11.

NUNULIWA, Mwa 49:32 shamba lililonunuliwa

NURU, Ayu 33:30 atiwe nuru kwa nuru

Zb 97:11 Nuru imeangazia mwadilifu

Zb 119:105 Neno lako, nuru ya barabara

Met 4:18 nuru inayozidi kuongezeka

Isa 42:6 nuru ya mataifa

Isa 60:1 Simama, toa nuru

Mt 5:16 nuru yenu, mbele ya watu

Yoh 3:19 wamependa giza kuliko nuru

Yoh 8:12 Mimi ni nuru ya ulimwengu

2Ko 11:14 malaika wa nuru

Efe 1:18 macho yakiwa yametiwa nuru

1Ti 6:16 nuru isiyoweza kufikiwa

Ebr 6:4 waliotiwa nuru, kisha wakaanguka

Ebr 10:32 baada ya kutiwa nuru, mlivumilia

1Pe 2:9 kuingia katika nuru yake

Ufu 18:1 dunia ikaangazwa nuru

Mwa 1:3; Zb 77:18; 97:4; Isa 13:10; Da 5:11, 14; Zek 14:6; 2Ko 4:4; 1Yo 1:5, 7; Ufu 21:23; 22:5.

NURU YA TAA, Ufu 22:5 hawahitaji nuru ya taa

NYAFUA, Isa 35:9 wanyama wenye kunyafua

NYAKATI SABA, Da 4:16 nyakati saba zipite

NYAKATI ZA HATARI, 2Ti 3:1.

NYAKATI ZILIZOWEKWA, Zb 104:19; Lu 21:24; 1Ti 6:15.

NYAKUA, Yer 9:4 kila ndugu atanyakua

Mt 13:19 mwovu huja na kunyakua

Yoh 10:12 mbwa-mwitu huwanyakua

Yoh 10:28 hakuna atakayewanyakua

Yud 23 kuwanyakua kutoka katika moto

NYAMA, Zek 14:12 Nyama ya mtu itaoza

1Ko 15:39 Nyama yote si moja

1Ko 15:50 nyama hairithi ufalme

Mwa 2:23; Isa 49:26.

NYAMAZA, Zb 30:12; Yer 8:14; Zek 2:13.

NYAMAZISHWA, 1Sa 2:9 waovu hunyamazishwa

Yer 49:26 waume watanyamazishwa

NYANG’ANYA, Mal 3:8 kumnyang’anya Mungu?

2Ko 9:5 si kitu cha kunyang’anywa

2Ko 11:8 Nilinyang’anya makutaniko

Kol 2:18 yeyote awanyang’anye

Law 6:2; 19:13; Amu 9:25; Met 22:23.

NYANG’ANYWA, Kum 28:29; Yer 21:12.

NYANYA, 2Ti 1:5 nyanya yako Loisi

NYARA, Isa 53:12 atagawa nyara

Yer 39:18 nafsi itakuwa kama nyara

Sef 3:8 nitakaposimama kuteka nyara

Yos 8:2; Amu 5:30; Isa 10:2; Eze 38:12.

NYASI, Ayu 21:18 Je, wanakuwa kama nyasi?

NYAUKA, Yak 1:11 tajiri atanyauka

Mt 13:6; 21:19.

NYAUSHA, Yak 1:11 jua hunyausha majani

NYAYO, Eze 43:7 mahali pa nyayo za miguu

Isa 37:25; Mal 4:3.

NYEKUNDU, Yos 2:18 kamba ya uzi mwekundu

Met 23:31 divai inapotoa rangi nyekundu

Isa 1:18 dhambi zikiwa nyekundu

Isa 63:2 Kwa nini nguo ni nyekundu

Law 14:49; Yer 4:30; Nah 2:3; Mt 27:28; Ufu 17:3.

NYEKUNDU YA KIMANJANO, Amu 5:10.

NYENYEKEA, Ebr 13:17 Watiini na mnyenyekee

NYENYEKEZA, Kum 8:2; Lu 14:11.

NYESHA, Isa 5:6 yasinyeshe mvua

NYESHEA, Zb 11:6 atawanyeshea waovu

NYEUPE, Ufu 7:14 kanzu na kuzifanya nyeupe

Isa 1:18; Ufu 7:9.

NYIKA, Kum 8:16 aliyekulisha nyikani

Isa 35:6 maji yatabubujika nyikani

Eze 34:25 watakaa nyikani kwa usalama

Mt 3:3 Mtu anapaaza sauti nyikani

Ufu 12:6 mwanamke akakimbilia nyikani

NYIMA, 2Fa 4:13 kujinyima huku kote

Ezr 4:14 kuona mfalme akinyimwa

Isa 38:10 Nitanyimwa miaka yangu

1Ko 7:5 msinyimane haki hiyo

NYOA, 1Ko 11:5 kichwa kilichonyolewa

Kum 21:12; Amu 16:19; 2Sa 14:26.

NYOKA, Mwa 3:13 nyoka alinidanganya nikala

Kut 4:3 akaitupa chini, ikawa nyoka

Hes 21:8 Jifanyie nyoka

Hes 21:9 akafanya nyoka wa shaba

2Fa 18:4 kumponda nyoka wa shaba

Zb 91:13 Utamkanyagia chini nyoka

Isa 11:8 atacheza juu ya tundu la nyoka

Mik 7:17 Wataramba mavumbi kama nyoka

Mt 10:16 kujihadhari kama nyoka

Mt 23:33 Nyoka, uzao wa nyoka-vipiri

Yoh 3:14 kama Musa alivyoinua nyoka

Ufu 12:9 nyoka wa zamani

Mwa 3:1, 4; Zb 58:4; Met 23:32; Isa 59:5; 65:25; 2Ko 11:3; Ufu 20:2.

NYOKA-KIPIRI, Mt 23:33 uzao wa nyoka-vipiri

Mt 3:7; 12:34.

NYOLEWA, Amu 16:17 Nikinyolewa, nguvu

NYONGA, 2Sa 17:23 akajinyonga, akafa

NYONGO, Ayu 16:13 Anaimwaga nyongo yangu

Mt 27:34; Mdo 8:23.

NYONYA, Zb 131:2 aliyeachishwa kunyonya

Isa 65:20 mtoto anayenyonya

1Sa 1:23, 24; Isa 11:8; 28:9; Yer 44:7; Mt 21:16.

NYONYESHA, Kut 2:7; Lu 21:23; 1Th 2:7.

NYOOFU, Ebr 13:18 dhamiri nyoofu

Zb 19:8; Amo 3:10; Lu 3:5.

NYOOKA, Met 14:12 njia ambayo imenyooka

Ebr 12:13 mapito yaliyonyooka

Met 16:25; Isa 59:14.

NYOOSHA, Isa 45:13 njia zake nitazinyoosha

Yoh 1:23 Nyoosheni njia ya Yehova

Flp 3:13 kujinyoosha kwenda mbele

NYOOSHA MAMBO, Isa 1:18.

NYOOSHWA, Isa 14:27 mkono umenyooshwa

NYORORO, 2Ko 1:3 Baba ya rehema nyororo

NYOTA, Hes 24:17 Nyota itatokea katika Yakobo

Amu 5:20 Nyota zilipigana

Ayu 38:7 Nyota za asubuhi

Isa 14:13 juu ya nyota za Mungu

Isa 47:13 watazamaji wa nyota

Da 12:3 watang’aa kama nyota

1Ko 15:41 nyota hutofautiana na nyota

Ufu 2:28 nyota ya asubuhi

Ufu 12:1 taji la nyota kumi na mbili

NYOTA YA ASUBUHI, Ayu 38:7.

Ufu 2:28 nitampa nyota ya asubuhi

Ufu 22:16 Daudi, nyota ya asubuhi

NYOTA YA MCHANA, 2Pe 1:19.

NYUKI, Kum 1:44; Amu 14:8; Zb 118:12.

NYUA Zb 84:10 siku moja katika nyua zako

NYUMA, Mwa 19:17 Usitazame nyuma

Zb 78:9 Efraimu walirudi nyuma

Yer 7:24 nyuma wala si mbele

Mt 16:23 Nenda nyuma yangu, Shetani!

Flp 3:13 Nayasahau mambo ya nyuma

Zb 50:17; Isa 38:17; Eze 23:35; Yoe 2:3.

NYUMBA, Hes 17:2 nyumba ya ukoo wa

Zb 27:4 nikae katika nyumba ya Yah

Zb 127:1 Yehova asipojenga nyumba

Isa 2:2 mlima wa nyumba ya Yehova

Isa 6:11 mpaka nyumba zisiwe na mtu

Isa 65:21 watajenga nyumba na kukaa

Hag 2:7 nitaijaza nyumba hii utukufu

Mt 10:25 mwenye nyumba, Beelzebuli

Mt 10:27 lihubiri juu ya nyumba

Mt 10:36 adui za mtu, nyumba yake

Mt 21:13 Nyumba yangu, nyumba ya sala

Mt 23:38 Nyumba yenu mmeachiwa

Mk 3:25 nyumba ikigawanyika

Mdo 7:48 Mungu hakai katika nyumba

Mdo 20:20 na nyumba kwa nyumba

Ro 16:5 kutaniko, katika nyumba yao

1Pe 2:5 nyumba ya kiroho

Mwa 7:1; 47:12; Yos 22:14; 2Sa 7:13; 1Nya 23:11; 24:4, 31; 26:13; Zb 84:10; Met 27:27; 31:15; Mt 13:27; 20:1; 21:33; 24:43; Mk 10:30; Efe 2:19; Ebr 3:3, 6.

NYUMBA YA KUKAA, 2Ko 5:2.

NYUNDO, Amu 5:26 Akampiga Sisera nyundo

Yer 23:29 neno ni kama nyundo

1Fa 6:7; Isa 41:7; Yer 50:23.

NYUNYIZA, Mk 7:4; Ebr 12:24.

NYUNYIZIA, Ebr 9:19, 21.

NYUNYIZIWA, 1Pe 1:2 kunyunyiziwa damu ya

Ebr 9:13.

NYUNYIZWA, Ebr 10:22 mioyo, kunyunyizwa

NYWELE, Amu 16:22 nywele zikaanza kukua

Lu 21:18 hata unywele hautaangamia

1Ko 11:14 mume, nywele ndefu aibu

Isa 3:24; Da 3:27; 7:9; 1Pe 3:3; Ufu 9:8.

NYWESHA, Zb 69:21; Met 11:25; Eze 17:7.

NZIGE, Kut 10:4 nitaleta nzige

Met 30:27 nzige hawana mfalme

Kum 28:38; Yoe 1:4; 2:25; Mt 3:4; Ufu 9:3.

NZIGE MCHANGA, Nah 3:15.

NZITO, Ro 11:7 hisia zilifanywa kuwa nzito

NZURI, Wim 7:1 hatua zako nzuri.

O

OA, Mt 22:30 ufufuo, hawaoi

Mt 24:38 wakioa na kuolewa

Lu 14:20 Nimeoa mke sasa hivi

Lu 20:35 hawaoi wala hawaolewi

Ro 7:2 mwanamke aliyeolewa

1Ko 7:32 Mwanamume ambaye hajaoa

1Ko 7:33 aliyeoa huhangaikia

1Ko 7:39 kuolewa, katika Bwana tu

Lu 17:27; 1Ti 5:14.

OBED-EDOMU, 2Sa 6:10-12; 1Nya 13:13.

OBEDI, Ru 4:17, 21, 22; Lu 3:32.

OFIRI, Isa 13:12 dhahabu ya Ofiri

1Fa 9:28; 10:11; Ayu 28:16; Zb 45:9.

OFISA, Met 14:28 uharibifu wa ofisa mkuu

OFISA WA MAKAO YA MFALME, 2Fa 9:32; Isa 39:7.

OFISA-MSIMAMIZI, Mk 5:22; Lu 8:49; 13:14; Mdo 13:15; 18:8.

OGA, 2Fa 5:10 uoge mara saba

OGOPA, Mwa 3:10 niliogopa, nilikuwa uchi

Mwa 9:2 Kila kiumbe kuwaogopa

Mwa 35:5 watu wakamwogopa Mungu

Kum 9:19 niliogopa hasira kali ya Yehova

Amu 7:3 Ni nani anayeogopa na kutetemeka?

1Sa 15:24 niliwaogopa watu

1Nya 16:25 Yehova ni wa kuogopwa

Ayu 9:28 Nimeogopa maumivu yangu

Zb 25:14 Urafiki na Yehova, wanaomwogopa

Zb 33:8 dunia yote, waogope Yehova

Zb 34:7 Malaika, anazunguka wanaomwogopa

Zb 111:10 Kuogopa Yehova ni hekima

Zb 118:6 sitaogopa. Mwanadamu

Met 8:13 Kuogopa Yehova, chukia baya

Met 14:16 Mwenye hekima huogopa

Met 31:30 mwanamke anayeogopa Yehova

Isa 51:12 umwogope mwanadamu anayeweza

Yer 1:8 usiogope, niko pamoja nawe

Lu 12:4 Msiogope wanaoua mwili

Mdo 10:2 mwenye kumwogopa Mungu

Mdo 10:7 askari anayemwogopa Mungu

Mdo 10:35 katika kila taifa, anayemwogopa

Flp 1:28 msiwaogope wapinzani

Flp 2:12 fanyiza wokovu kwa kuogopa

1Pe 3:14 msiogope wanachoogopa

Kum 20:3; Zb 112:7; Met 3:25; Isa 7:4; Ebr 13:6; Ufu 2:10.

OGOPA MUNGU, Ro 11:26.

Tit 2:12 tukatae kutomwogopa Mungu

Ro 1:18; 5:6; 1Ti 1:9; 2Ti 2:16; 1Pe 4:18; 2Pe 2:6; 3:7; Yud 15.

OGOPESHA, Kut 34:10 jambo lenye kuogopesha

Kum 10:17 Mungu mwenye kuogopesha

Zb 111:9 Jina lake linaogopesha

Zb 139:14 nimeumbwa, njia ya kuogopesha

Isa 18:2 watu wenye kuogopesha

Da 7:7 mnyama, anayeogopesha

Yoe 2:11 siku ya Yehova, ya kuogopesha

Ebr 10:27 tarajio la kuogopesha

Ebr 10:31 inaogopesha kuanguka mikononi

Amu 13:6; 1Nya 17:21; Ne 1:5; Zb 45:4; Met 3:25; Yoe 2:31; Sef 2:11.

OKOA, 1Sa 17:47 Yehova haokoi kwa upanga

Zb 20:6 humwokoa mtiwa-mafuta wake

Zb 34:18 huwaokoa waliopondwa roho

Zb 68:20 Mungu wa matendo ya kuokoa

Zb 69:35 Mungu ataokoa Sayuni

Isa 63:1 mwingi wa nguvu za kuokoa

Eze 34:22 nitawaokoa kondoo zangu

Da 3:17 Mungu anaweza kutuokoa

Mt 16:25 yeyote anayetaka kuiokoa nafsi

Lu 19:10 Mwana alikuja kuokoa

Mdo 23:27 nikaja ghafula na kumwokoa

Ro 7:24 nani atakayeniokoa

2Ko 1:10 atatuokoa zaidi pia

1Ti 1:15 alikuja kuwaokoa watenda-dhambi

Ebr 7:25 anaweza kuwaokoa kwa ukamili

Yak 4:12 anaweza kuokoa na kuangamiza

Yak 5:20 ataiokoa nafsi yake kutoka kifo

Yos 10:6; 1Sa 14:6; 2Fa 19:34; Zb 106:8; 107:2; Mhu 8:8; Isa 37:20; 43:12; 59:1; Yer 2:27; Lu 2:30; 3:6; 1Ti 4:16; Tit 3:5; Yak 2:14; 1Pe 3:21; Yud 23.

OKOKA, Isa 1:9.

OKOLEWA, Mt 19:25 nani aweza kuokolewa?

Yoh 3:17 ili ulimwengu uokolewe

Ro 10:9 ukionyesha imani utaokolewa

1Ko 5:5 ili roho iokolewe siku ya Bwana

1Ko 10:33 ili wapate kuokolewa

Efe 2:8 mmeokolewa kupitia imani

1Ti 2:4 watu wa namna zote waokolewe

1Pe 4:18 mwadilifu anaokolewa kwa shida

Zb 18:3; Isa 45:17, 22; Yer 8:20; 30:7; Mt 10:22; 24:22; Lu 8:12; Mdo 4:12; Ro 10:13; 1Ko 1:18; 2Ko 2:15.

OLE, Isa 6:5 Ole! nimenyamazishwa

Isa 31:1 Ole wanaoshuka Misri

Amo 6:1 Ole wanaostarehe Sayuni

1Ko 9:16 ole wangu nisipotangaza

Ufu 12:12 Ole wa dunia na bahari

OMBA, Mwa 42:21 alipotuomba huruma

Mt 7:7 Endeleeni kuomba, nanyi mtapewa

Yoh 17:9 Ninaomba juu yao

Ro 8:27 roho inaomba kupatana na

Ro 11:2 Eliya, anapomwomba Mungu

Efe 3:20 zaidi kupita mambo yote tunayoomba

Ebr 12:19 waliomba wasiongezewe

Yak 1:6 kuomba kwa imani, bila kutia shaka

Yak 4:3 Mnaomba, na bado hampokei

1Yo 5:14 tukiomba kulingana na mapenzi yake

Kum 3:23; 2Fa 20:3; Est 4:8; Zb 2:8; Isa 38:3; Yer 7:16; Mt 6:8; Yoh 14:13; Mdo 21:39; Ro 1:10; 1Ko 1:22; 2Ko 5:20; 8:4; 10:2; Ga 4:12.

OMBA KIBALI, Ayu 9:15.

OMBEA, Yoh 17:20 nawaombea, si hawa tu

Ro 8:34 Kristo hutuombea

Ebr 7:25 hai sikuzote kuwaombea

OMBI, Zb 20:5 Yehova atimize maombi

Zek 12:10 roho ya maombi

Flp 4:6 maombi yenu yajulishwe

Ebr 5:7 maombi kwa Yule

1Sa 1:27; Est 5:6; 9:12; Da 6:7, 13; 9:18.

OMBOLEZA, Isa 60:20 siku za kuomboleza

Isa 61:2 kuwafariji wanaoomboleza

Yer 4:28 nchi hiyo itaomboleza

Eze 24:17 Usiwaombolezee waliokufa

Yoe 1:9 wahudumu, wameomboleza

Amo 1:2 malisho yataomboleza

Mik 1:8 Nitaomboleza kama mbwa

Zek 12:10 wataomboleza juu Yake

Mt 2:18 Rama, kuomboleza kwingi

Mt 5:4 wanaoomboleza, watafarijiwa

Yoh 16:20 mtalia na kuomboleza

Ufu 18:11 wanabiashara wanaomboleza

Mwa 37:35; Ne 8:9; Est 4:3; Yer 25:33; Eze 7:12; 32:18; Ho 4:3; Yoe 2:12; Mik 2:4; Lu 6:25; Yak 4:9.

OMEGA, Ufu 1:8; 21:6; 22:13.

OMERI, Kut 16:16, 18, 36.

OMRI, 1Fa 16:16, 21-23, 27-29; Mik 6:16.

ONA, Kut 2:25 Israeli na Mungu akaona

Kut 33:20 hakuna anayeweza kuniona

Isa 66:8 nani ameona mambo haya?

Yer 5:21 macho lakini hawawezi kuona

Eze 13:9 manabii wanaona yasiyo

Mt 5:8 walio safi moyoni watamwona

Mt 13:14 mtatazama lakini hamtaona

Yoh 1:18 Hakuna aliyemwona Mungu

Yoh 14:9 Yule ameniona amemwona

Yoh 20:29 umeniona je, umeamini?

Mdo 17:22 Wanaume wa Athene, naona

Ro 8:24 anapoona kitu je, hukitumainia?

2Ko 5:7 kwa imani, si kwa kuona

Flp 2:3 mkiwaona wengine kuwa ni bora

Flp 3:7 nimeviona kuwa hasara

Ebr 11:1 mambo halisi ingawa hayajaonwa

Ebr 11:13 ahadi, waliziona kwa mbali

1Yo 4:20 ndugu yake ambaye amemwona

Ufu 3:18 dawa ya macho upate kuona

Mwa 7:1; Mhu 2:17; Isa 6:5; Mt 20:34; Lu 7:22; Yoh 8:56; Mdo 9:12; 1Ti 6:16.

ONA KIMBELE, Ebr 11:40 Mungu aliona kimbele

ONDOA, Kum 4:2 msiondoe lolote

Eze 21:26 Kiondoe kilemba, na taji

1Ko 5:13 Ondoeni mwovu kati

Met 30:8.

ONDOKA, Zb 119:110 sijaondoka katika maagizo

Mt 17:20 Ondoka hapa uende pale

Lu 9:31 juu ya kuondoka kwake

1Ko 7:10 mke asiondoke kwa mume

Ebr 3:12 kosa imani, jiondoa kwa Mungu

2Pe 1:15 baada yangu kuondoka

Yos 1:8; Zb 119:118; Mt 2:12; 14:13; Mk 3:7; Mdo 18:2; 1Ko 7:15.

ONDOLEA, Isa 1:24 Nitajiondolea adui

Ro 11:26 kuondolea mbali mazoea

ONDOLEWA, Mhu 3:14 wala kuondolewa

Isa 54:10 milima ikaondolewa

Ebr 12:27 ishara ya kuondolewa

Isa 53:8.

ONDOSHWA, Kol 1:23 bila kuondoshwa

ONEA, Zb 86:14; Yer 15:21.

ONEANA, Isa 3:5 watu wataoneana

ONEKANA, Kut 16:10 utukufu ukaonekana

Kum 31:15 Yehova akaonekana katika hema

Zb 102:16 Yehova ataonekana katika utukufu

Da 4:11, 20 Mti huo ulionekana

Da 8:5 pembe inayoonekana wazi

Da 8:8 pembe nne zenye kuonekana wazi

Ro 1:20 sifa zake zisizoonekana

Ro 1:20 sifa zake zinaonekana

Kol 1:16 vitu vinavyoonekana na

Isa 60:2; Nah 2:4; Mt 23:28; 24:30; 2Ko 13:7; Ebr 9:24; 1Pe 4:18; Ufu 11:19.

ONEKANA ZAIDI, Mt 23:6; Lu 14:7, 8; Ro 3:7.

ONGEA, Met 17:9 anayeendelea kuongea

Mdo 17:18 wakawa wanaongea naye

ONGEZA, Kum 4:2 msiongeze kwenye neno

Met 10:22 hutajirisha, haongezi maumivu

Met 16:23 huongeza ushawishi

Lu 12:25 kuongeza kwenye muda wa maisha

Ga 3:15 Agano, hakuna kuongeza

Ufu 22:18 akiongeza kwenye mambo haya

Mwa 30:24; Kut 11:9; Law 25:16; Kum 12:32; 2Nya 28:13; Ayu 34:37; Met 11:24; 19:4; 30:6; Isa 53:10; Mt 6:27; 2Ko 9:10.

ONGEZEKA, Zb 62:10 Mali ikiongezeka

Mt 24:12 kuongezeka kwa uasi

Mk 4:8 kuongezeka, zikazaa

Yoh 3:30 huyo aendelee kuongezeka

Mdo 6:7 wanafunzi wakazidi kuongezeka

Kol 1:6 inavyozaa na kuongezeka

Kol 1:10 kuongezeka katika ujuzi

Mwa 35:11; Kum 8:1.

ONGOZA, Kum 32:12 Yehova alimwongoza

Zb 23:3 Aniongoza katika mapito

Zb 43:3 kweli yako iniongoze

Zb 143:10 iniongoze katika nchi ya

Met 11:3 Utimilifu huwaongoza

Isa 3:12 wanaowaongoza wanawapoteza

Yer 10:23 hawezi kuongoza hatua

Yoh 16:13 atawaongoza, kweli yote

Mdo 8:31 mtu fulani asiponiongoza?

Ebr 13:7, 17 wale wanaoongoza kati

Yak 1:26 Ikiwa mtu hauongozi ulimi wake

Kut 13:21; Zb 31:3; 48:14; Met 23:19; Isa 49:10; Mt 4:1; Ufu 7:17.

ONGOZWA, Ro 8:14 wanaoongozwa na roho

Ga 5:18.

ONJA, Ebr 6:4 ambao wameonja zawadi

1Pe 2:3 mradi tu mmeonja na kuona

Mt 16:28; Kol 2:21; Ebr 2:9.

ONWA, Mt 27:53 ikaonwa na watu wengi

ONYA, 1Th 5:12 kuwasimamia, kuwaonya

2Th 3:15 kumwonya kama ndugu

2Nya 19:10; Eze 33:8, 9; Mdo 20:31; Ro 15:14; 1Ko 4:14; Kol 1:28; 3:16; 1Th 5:14.

ONYA KIMBELE, Mt 24:25 nimewaonya kimbele

Ga 5:21.

ONYESHA, Kut 9:16 ili kukuonyesha nguvu

2Nya 16:9 ili aonyeshe nguvu zake

Mdo 26:16 nimejionyesha kwako

1Ko 3:13 moto utaonyesha kazi

Kol 2:15 alizionyesha hadharani

1Pe 1:11 roho ilikuwa ikionyesha

Mwa 12:1; Mdo 18:28; Ro 9:22; Efe 2:7; 1Ti 1:16; Ufu 22:6.

ONYESHWA, Ga 3:1 Yesu alionyeshwa mtini

Tit 2:11 fadhili zimeonyeshwa

ONYO, Eze 3:17 utawapa maonyo yangu

Eze 33:4 asitii onyo

Eze 33:5 Aliisikia, hakutii onyo

Eze 33:7 mlinzi uwape onyo

1Ko 10:11 yaliandikwa kuwa onyo

Tit 3:10 onyo la kwanza na la pili

Ebr 12:25 akitoa onyo duniani

ORODHA, 1Ti 5:9 mjane, orodha, miaka 60

OSHA, Zb 51:2 Unioshe kosa langu

Isa 4:4 Yehova ameosha kinyesi

Yer 2:22 ukijiosha kwa magadi

2Pe 2:22 nguruwe aliyeoshwa

Yer 4:14; Yoh 13:5.

OSHWA, Met 30:12; 1Ko 6:11.

OTHNIELI, Yos 15:17; Amu 3:9.

OZA, Met 10:7 jina la waovu litaoza

Isa 40:20 anachagua mti usiooza

Yer 49:7 hekima yao imeoza?

Zek 14:12 Nyama ya mtu itaoza

Mt 7:18 mti uliooza hauwezi

Mt 12:33 mti uoze na matunda

Efe 4:29 Neno lililooza lisitoke

Yak 5:2 Utajiri wenu umeoza

Isa 34:4; Zek 14:12.

P

PAA, Met 5:19 paa mwenye kupendeka

Mwa 49:21; Kum 12:15; Amu 13:20; Zb 18:33; Met 27:15; Isa 35:6; Omb 1:6; Hab 3:19; Mk 2:4; Lu 7:6.

PAA YA NYUMBA, Mt 24:17; Lu 12:3; 17:31; Mdo 10:9.

PAAZA SAUTI, Lu 19:40 mawe yangepaaza sauti

Law 9:24; Yos 6:20; Ezr 3:13; Ayu 38:7; Isa 12:6; Lu 18:7; Mdo 21:34.

PACHA, Yoh 11:16; 20:24.

PAJI LA USO, 1Sa 17:49 akampiga paji la uso

Eze 9:4 alama, mapaji ya uso

Ufu 14:1 jina, juu ya mapaji ya nyuso

Ufu 14:9 alama, paji la uso

Eze 3:9; Ufu 7:3; 9:4; 17:5; 20:4; 22:4.

PAKANGA, Yer 23:15 ninawalisha pakanga

Ufu 8:11 nyota hiyo ni Pakanga

Kum 29:18; Met 5:4; Omb 3:15; Amo 5:7; 6:12.

PAKATA, Isa 66:12 mtapakatwa magotini

PAMBA, 1Ti 2:9 wanawake wajipambe kwa kiasi

Tit 2:10 walipambe fundisho la Mungu

1Pe 3:5 watakatifu walivyojipamba

Mt 6:29; Ufu 17:4; 19:8.

PAMBANA, 1Th 2:2 kwa kupambana sana

1Pe 2:11 huendelea kupambana na

2Nya 35:20.

PAMBANO, Flp 1:30 mna pambano lilelile

PAMBO, Isa 28:5 taji la pambo

Da 11:45 mlima mtakatifu wa Pambo

Mik 2:8 Vueni pambo la utukufu

1Nya 16:29; Zb 29:2; Met 14:28; Isa 4:2; 13:19; Eze 20:6; Da 8:9; 11:16.

PAMBWA, Amu 5:30 vazi lililopambwa

Lu 21:5 hekalu, lilivyopambwa

Ufu 21:2 bibi-arusi aliyepambwa

PAMOJA, Isa 52:8 kupiga pamoja vigelegele

Kut 19:8.

PANDA 1., Mwa 2:8 Mungu akapanda bustani

Zb 1:3 mti uliopandwa kando ya maji

Zb 94:9 anayelipanda sikio

Zb 126:5 wanaopanda kwa machozi

Met 11:18 anayepanda uadilifu

Isa 51:16 kupanda mbingu, dunia

Isa 65:22 hawatapanda na mwingine

Yer 1:10 kujenga na kupanda

Yer 2:21 nimekupanda kama mzabibu

Ho 8:7 huendelea kupanda upepo

Mik 6:15 utapanda mbegu, bali hutavuna

Lu 8:5 Mpandaji alienda kupanda

1Ko 3:6 nilipanda, Apolo akatia maji

2Ko 9:6 anayepanda kwa uhaba

Ga 6:7 lolote lile analopanda mtu

Mhu 11:4, 6; Isa 40:24; Yer 18:9; 31:28; Ho 10:12; Amo 9:14; Hag 1:6; Mt 6:26; 21:33; Lu 19:22.

PANDA 2., Mwa 28:12 malaika wakipanda

Zb 135:7 Anafanya mivuke ipande

Met 21:22 mwenye hekima amepanda jiji

Sef 1:9 anayepanda jukwaani

Yoh 3:13 hakuna mtu amepanda mbinguni

Yoh 6:62 Mwana wa binadamu akipanda

Yoh 20:17 ninapanda kwenda kwa Baba

Mdo 2:34 Daudi hakupanda mbinguni

Ufu 13:11 mnyama-mwitu akipanda

Zb 24:3; 68:18; 139:8; Met 30:4; Ro 10:6; Efe 4:8-10.

PANDA CHEO, 1Nya 17:17 anayepanda cheo

PANDIKIZWA, Ro 11:17, 19, 23, 24.

PANDISHA, Flp 2:9 Mungu alimpandisha cheo

PANDWA, Yer 2:24 punda-milia, kupandwa

Mt 13:20 aliyepandwa penye miamba

1Ko 15:44 Hupandwa ukiwa mwili

Yer 17:8; Eze 36:9; Lu 17:6; Yak 3:18.

PANGA, Met 9:2 Imepanga kuchinja nyama

Isa 21:5 Meza na ipangwe

Ro 13:14 msiwe mkipanga kimbele

Ne 6:2; Zb 36:4; Nah 2:9.

PANGO, Yer 7:11 pango tu la wanyang’anyi

Mt 21:13 mnaifanya kuwa pango

PANUA, Kum 19:8 Mungu atalipanua eneo

Isa 5:14 Kaburi limeipanua sana

Mt 23:5 wanapanua vibweta

PANZI, Hes 13:33; Isa 40:22.

PAPASA, Kum 28:29 anayepapasa mchana

Ayu 12:25 Wao hupapasa gizani

Isa 59:10 kupapasa kama vipofu

Mdo 17:27 kupapasa wakimtafuta

PARADISO, Lu 23:43 Utakuwa nami Paradiso

2Ko 12:4 alinyakuliwa kuingia paradiso

Wim 4:13; Ufu 2:7.

PARUZA, Law 6:28 kitaparuzwa na kuoshwa

PASAKA, Kut 12:11 Ni pasaka ya Yehova

Law 23:5 mwezi wa kwanza, ni pasaka

Yoh 2:13 pasaka ya Wayahudi

Yoh 6:4 pasaka ilikuwa karibu

Yoh 13:1 sherehe ya pasaka imefika

1Ko 5:7 Kristo pasaka yetu

Kut 12:27, 48; Mk 14:1; Lu 2:41; Ebr 11:28.

PASHANA HABARI, 2Sa 3:17.

PASTA. Ona MCHUNGAJI.

PASUA, Isa 64:1 ungezipasua mbingu

Mhu 3:7.

PASUKA, Isa 24:19 Nchi imepasuka kabisa

Mt 9:17; Lu 5:37.

PASULIA, Mwa 38:29 umejipasulia msamba?

PATA, Mwa 42:4 tukio la kufisha lisimpate

Zb 21:8 Mkono utapata adui zako

Met 1:28 watanitafuta, hawatanipata

Met 2:5 utapata kumjua Mungu

Met 8:35 anayenipata atapata uzima

Met 15:32 anayesikiliza karipio anajipatia

Met 18:22 mtu amepata mke mwema?

Mhu 9:10 mkono unapata kufanya

Isa 40:31 watapata nguvu mpya

Yer 29:13 mtanitafuta na kunipata

Mt 7:7 tafuteni nanyi mtapata

Mt 7:8 anayetafuta hupata

Mt 7:14 ni wachache wanaoipata

Mt 10:39 anayepata nafsi ataipoteza

Mt 16:26 akiupata ulimwengu, apoteze

Lu 20:35 kuupata mfumo

Lu 21:19 kwa kuvumilia mtajipatia nafsi

Mdo 17:27 watafute Mungu, wampate

1Ko 9:20 ili niwapate Wayahudi

1Ko 9:24 Kimbieni mweze kupata tuzo

Ufu 9:6 watatafuta kifo, hawatakipata

Law 10:19; Zb 69:24; 1Ko 9:19-22; 1Th 5:9; 2Th 2:14; 1Ti 3:13.

PATAKATIFU, Kut 25:8 watanifanyia patakatifu

Kut 26:33 Patakatifu, Patakatifu Zaidi

Law 19:30 mtapaheshimu patakatifu pangu

Law 26:31 kufanya ukiwa patakatifu penu

1Nya 28:10 amekuchagua ujenge patakatifu

Zb 150:1 Msifuni Mungu katika patakatifu

Eze 28:18 umepatia unajisi patakatifu pako

Da 11:31 itapatia unajisi patakatifu

Mt 27:51 pazia la patakatifu likapasuka

Zb 78:69; Eze 37:26; Mt 24:15; Ufu 15:8; 16:17.

PATANA, kupatana na neno la Yosefu

Mk 14:56 ushuhuda haukupatana

Ro 8:9 mnapatana na roho

PATANISHA, Ro 3:25 toleo la kupatanisha

Ro 5:10 tulipatanishwa na Mungu

Efe 2:16 apatanishe vikundi vya watu

Kol 1:20 apatanishe vitu vyote

PATO, Met 11:18 uadilifu, mapato ya kweli

Yer 6:13 anajipatia pato lisilo haki

Isa 56:11.

PATO LISILO LA HAKI, 1Ti 3:8; Tit 1:7, 11; 1Pe 5:2.

PATWA, Yak 5:10 kielelezo cha kupatwa na uovu

Mt 16:21; Lu 24:26; Ebr 2:9; Yak 5:13.

PAULO, Mdo 26:24 una wazimu, Paulo!

Ga 1:1 Paulo, mtume, si

Flm 1 Paulo, mfungwa

Flm 9 Paulo, pia mfungwa

Mdo 13:9; 1Ko 1:12; Tit 1:1; 2Pe 3:15.

PAYUKA-PAYUKA, Mdo 23:22.

PAZIA, Mt 27:51 pazia likapasuka vipande viwili

Ebr 10:20 njia mpya kupitia pazia, mwili wake

Kut 26:31; Ebr 6:19; 9:3.

PEKA, 2Fa 15:25; 2Nya 28:6; Isa 7:1.

PEKE, Isa 2:11 Yehova peke yake atainuliwa

Ne 9:6; Yoh 16:32.

PEKEE, Eze 7:5 msiba wa pekee

PELEGI, Mwa 10:25; 11:16-19.

PELEKA, Isa 29:13 wameupeleka moyo mbali

Lu 22:54.

PELELEZA, Hes 13:2 wapate kuipeleleza nchi

Kum 13:14 mtatafuta na kupeleleza

Ga 2:4 walioingia ili kupeleleza

Yos 2:3.

PEMBE, Yos 6:5 watakapopiga pembe

Da 7:8 pembe nyingine, ndogo

Ufu 17:12 pembe kumi, ni wafalme

PENDA, Mwa 24:67 Isaka akampenda Rebeka

Law 19:18 mpende mwenzako

Kum 7:8 Yehova aliwapenda ninyi

Kum 23:5 Mungu wako alikupenda

2Nya 29:31 na moyo wa kupenda

Zb 33:5 Anapenda uadilifu na haki

Zb 51:12 unitegemeze, roho ya kupenda

Zb 78:68 Sayuni, ambao aliupenda

Zb 105:22 inavyopenda nafsi

Zb 119:165 wanaoipenda sheria yako

Zb 145:20 anawalinda wanaompenda

Met 8:30 stadi, alimpenda sana

Met 12:1 Anayependa nidhamu

Met 21:1 Yehova huugeuza anapopenda

Yer 5:31 watu wamependa hivyo

Yon 1:14 Yehova, umefanya ulivyopenda!

Mt 10:37 anayempenda baba au mama

Mt 22:37 Lazima umpende Yehova

Yoh 3:16 Mungu alipenda ulimwengu

Yoh 5:20 Baba anampenda Mwana

Yoh 12:25 anayeipenda nafsi aiangamiza

Yoh 15:19 ulimwengu ungependa chake

Yoh 21:17 Petro unanipenda?

Ro 8:37 kupitia aliyetupenda

Ro 9:13 Nilimpenda Yakobo

1Ko 4:19 Yehova akipenda

1Ko 9:17 kwa kupenda, nina thawabu

1Ko 12:18 kila kimoja, alivyopenda

2Ko 9:7 Mungu humpenda mtoaji

Kol 3:19 waume, wapende wake

2Th 1:11 anayopenda yaliyo ya wema

2Ti 3:4 wanaopenda raha badala ya

Ebr 1:9 Uliupenda uadilifu

Yak 1:18 yeye alipenda hilo, alituzaa

Yak 4:15 Yehova akipenda, tutaishi

1Pe 5:2 Lichungeni kwa kupenda

1Yo 2:15 mkiupenda ulimwengu

1Yo 5:3 kumpenda Mungu humaanisha

Ufu 3:19 ninaowapenda mimi huwakaripia

Ufu 12:11 hawakupenda nafsi zao

Mhu 3:8; 5:10; Ho 2:7; 14:4; Mik 3:2; 6:8; Yoh 11:3, 5; 12:43; 13:23, 34; Ro 7:22; 2Th 2:12; 2Ti 4:8; Tit 3:15; 1Yo 4:10.

PENDEKA, Met 5:19 paa mwenye kupendeka

Flp 4:8 mambo ya kupendeka

PENDEKEZA, Ro 5:8 hupendekeza upendo

Ro 16:1; 2Ko 3:1.

PENDELEA, Kum 1:17 Msipendelee hukumuni

Yak 2:1 matendo ya kupendelea?

PENDELEO, Flp 1:29 mlipewa pendeleo

2Pe 1:1 imani, pendeleo sawa

PENDEZA, Mwa 49:21 maneno ya kupendeza

2Sa 23:1 kupendeza wa muziki

Zb 16:6 mahali panapopendeza

Zb 19:14 Maneno yakupendeze

Zb 133:1 inavyopendeza ndugu

Met 2:10 ujuzi kupendeza nafsi

Met 21:3 hukumu kunampendeza Yehova

Mhu 3:11 kiwe chenye kupendeza

Mhu 12:10 maneno yanayopendeza

Isa 55:11 litatenda yanayonipendeza

Isa 56:4 matowashi, lile linalonipendeza

Mal 3:4 zawadi itampendeza Yehova

Yoh 8:29 mambo yanayompendeza

Ro 8:8 hawawezi kupendeza Mungu

Ro 15:1 tusiwe tukijipendeza

Ro 15:3 Kristo hakujipendeza

1Ko 12:23 za mwili, zinapendeza zaidi

Ga 1:10 kuwapendeza wanadamu?

Kol 3:20 linapendeza vema Bwana

1Th 2:4 kupendeza, si wanadamu

1Th 4:1 kutembea, kupendeza Mungu

Ebr 11:6 kumpendeza vema

Ebr 11:23 mtoto mwenye kupendeza

Ebr 13:21 linapendeza machoni pake

Mwa 21:11; 28:8; 48:17; 2Sa 1:26; Zb 48:2; 69:31; 147:1; Met 15:26; 22:18; Nah 3:4; 1Ko 10:33; 15:38; 1Th 2:15; 1Yo 3:22.

PENDEZWA, Zb 22:8 Yehova amependezwa

Zb 40:8 nimependezwa kufanya mapenzi yako

Isa 1:11 Dhabihu zenu? sikupendezwa

Yer 9:24 napendezwa na mambo hayo

Eze 33:11 sipendezwi na kifo cha mwovu

Mik 6:7 Je, Yehova atapendezwa

2Ko 12:10 napendezwa na udhaifu

Ebr 10:38 nafsi haipendezwi naye

Hes 14:8; 1Sa 15:22; 1Nya 29:3; Met 8:11; Isa 53:10; Kol 1:27; Ebr 13:16.

PENDWA, Ufu 20:9 kambi na jiji linalopendwa

PENGO, Amu 21:15 Yehova amefanya pengo

Eze 13:5; 22:30.

PENTEKOSTE, Mdo 2:1 sherehe ya Pentekoste

Mdo 20:16; 1Ko 16:8.

PENYEKA, Zek 11:2 msitu usiopenyeka

PEORI, Hes 23:28; 25:18; 31:16; Yos 22:17.

PEPERUSHWA, Ebr 2:1 tusipeperushwe kamwe

Yak 1:6 upepo na kupeperushwa

PEPESUKA, Met 24:11; 25:26.

PEPETA, Amo 9:9 nitaipepeta nyumba ya Israeli

Ru 3:2; Yer 4:11; Mt 3:12.

PEPO, 1Nya 10:13 kuwasiliana na pepo

PESA, Law 25:37 Hutampa pesa kwa faida

Mhu 7:12 pesa ni ulinzi; lakini hekima

Isa 55:1 mnunue maziwa bila pesa

Mk 6:8 akawaagiza wasichukue pesa

Yoh 2:15 akawafukuza wabadili pesa

1Ti 6:10 kupenda pesa ni chanzo

Ebr 13:5 bila upendo wa pesa

Mwa 44:2; Mt 25:18; Mk 14:11; 1Ti 3:3.

PETRO, Mt 16:16 Petro: Wewe ndiye Kristo

Yoh 21:15 Simoni Petro: je, unanipenda

Mdo 10:26 Petro akamwinua, akisema

Mt 26:75; Yoh 18:10; Mdo 8:20; 10:13.

PESA ZA MAHARI, 1Sa 18:25.

PESA ZA NDOA, Mwa 34:12.

PICHA, Ro 2:20 picha ya ujuzi

PICHA ZA MAWAZO, Da 4:5.

PIGA, 1Sa 16:17 anayejua kukipiga vema

1Fa 22:34 akampiga mfalme wa Israeli

2Fa 13:17 Elisha akasema: Piga!

Zb 141:5 Mwadilifu akinipiga

Yer 50:14 Mpigeni mishale

Eze 9:5 Piteni na kupiga

Da 9:24 kupiga muhuri juu ya maono

Mik 5:1 Watalipiga shavu la mwamuzi

Mal 4:6 nisije kuipiga dunia

Mk 13:9 mtapigwa katika masinagogi

Lu 12:47 atapigwa mapigo mengi

Mdo 21:32 wakaacha kumpiga Paulo

1Ko 9:26 nisiwe nikipiga hewa

Efe 3:14 nampigia Baba magoti

Flp 2:10 jina la Yesu kila goti lipigwe

2Ti 2:14 wasipigane juu ya maneno

Kut 5:14; 17:6; Hes 22:25; Kum 25:2, 3; 1Sa 20:20; 2Fa 9:7; 2Nya 20:29; Zb 64:4, 7; Mt 21:35; 26:31; Mdo 23:3; 2Ko 11:25.

PIGANA, Yos 10:14 Yehova alipigania Israeli

2Nya 20:22 wakaanza kupigana

Zb 109:3 kupigana nami bila sababu

Yoh 18:36 watumishi wangu wangepigana

Mdo 5:39 mnapigana na Mungu

1Ti 6:12 Pigana pigano zuri

2Ti 2:24 mtumwa wa Bwana, asipigane

Yak 4:2 Mnapigana na kufanya vita

Amu 5:20; 2Nya 20:17; 2Ti 2:14; 4:7.

PIGANO, 2Ti 4:7 Nimepigana pigano zuri

Yak 4:1 mapigano yanatoka wapi

Yud 3 mfanye pigano la imani

Kum 20:1; Mhu 9:11; Isa 28:6; 2Ti 2:23; Tit 3:9.

PIGA-PIGA, Zb 38:10 Moyo wangu umepiga-piga

Met 30:33 kupiga-piga maziwa

PIGO, Kut 11:1 pigo moja zaidi juu ya Farao

Yer 50:13 mluzi kwa mapigo yake

Ufu 15:1 malaika na mapigo saba

Ufu 18:4 kupokea mapigo yake

Ufu 22:18 Mungu atamwongeza mapigo

Kut 12:13; Yer 19:8; Ufu 9:20; 11:6; 21:9.

PILATO, Mt 27:2 mkononi mwa Pilato

Mt 27:22 Pilato akawaambia: Basi

Mk 15:15 Pilato, akafungua Baraba

Lu 23:12 Herode na Pilato

Yoh 19:6 Pilato: sioni kosa kwake

Lu 13:1; Yoh 18:37; 19:12, 22; 1Ti 6:13.

PIMA, 1Sa 2:3 hupima matendo kwa haki

2Sa 8:2 apime kamba mbili awaue

2Fa 21:13 kamba ya kupimia Samaria

Ayu 31:6 Atanipima katika mizani

Zb 7:9 Mungu anapima moyo

Zb 19:4 Kamba ya kupimia duniani

Met 21:2 Yehova huipima mioyo

Met 24:12 anayeipima mioyo

Isa 40:12 nani amepima milima

Isa 65:7; Zek 2:2.

PIMIKA, Efe 3:8 utajiri usiopimika

PIMWA, Ayu 6:2 usumbufu ungepimwa

Da 5:27 umepimwa, umepungukiwa

PINDIKA, Lu 3:5 palipopindika pawe njia nyoofu

PINDO ZA NGUO, Isa 6:1; Yer 2:34; Zek 8:23.

PINDUA, 2Fa 21:13 akilifuta na kulipindua

Zb 49:5 kosa la wanaonipindua

Lu 23:2 Tulimkuta akipindua taifa letu

2Ko 10:4 kupindua ngome

2Ti 2:18 wanaipindua imani ya wengine

Ayu 12:19; Met 13:6.

PINDULIWA, Met 12:7 Waovu wamepinduliwa

PINGA, Yer 49:19 ni nani atakayenipinga

Mdo 7:51 mnaipinga roho takatifu

Mdo 17:7 wanapingana na maagizo

Efe 6:13 mavazi, mweze kupinga

2Ti 3:8 Yane, Yambre walipinga Musa

Tit 1:9 kuwakaripia wale wanaolipinga

Tit 2:8 mtu anayepinga aone

Ebr 10:27 wivu, kuwateketeza wanaopinga

Ebr 12:3 amevumilia maneno yenye kupinga

Yak 4:6 huwapinga wenye majivuno

Yak 4:7 mpingeni Ibilisi

Yak 5:6 Je, hawapingi ninyi?

1Fa 11:14; Zb 109:4, 20, 29; Yer 50:44; Zek 3:1; Mt 5:39; Ga 2:11; Kol 2:14; 2Th 2:4; 1Ti 1:10; 2Ti 4:15; Ebr 12:4.

PINGANA, 1Ti 6:20 yanayopingana ya uwongo

PINGU, Zb 2:3 Na tuzikate pingu zao

Isa 58:6 Kufungua pingu za uovu

Da 4:15 pingu ya chuma na ya shaba

Zb 116:16; Isa 58:6; Yer 30:8; 40:1, 4; Nah 1:13.

PIPA, Isa 63:3 pipa la divai

PITA, Yer 8:20 Mavuno yamepita

2Ko 4:7 nguvu zinazopita za kawaida

Ga 1:9 jambo fulani kupita mlilopokea

1Pe 4:3 wakati uliopita uliwatosha

Zb 90:4; Ebr 11:11.

PITISHWA, Mdo 7:53 ilivyopitishwa na malaika

Ga 3:19 ilipitishwa kupitia malaika

PITO, Zb 23:3 mapito ya uadilifu

Isa 2:3 tutatembea katika mapito

Yoe 2:7 hawabadili mapito yao

Ebr 12:13 miguu mapito yaliyonyooka

Zb 25:10; Met 3:6; Isa 3:12; 26:7; Mik 4:2.

POA, Mt 24:12 upendo wa walio wengi utapoa

PODA YA MARASHI, Wim 3:6.

POFUSHA, Kum 16:19 rushwa hupofusha macho

2Ko 4:4 mungu wa mfumo huu amezipofusha

Yoh 12:40; 1Yo 2:11.

POKEA, Mt 10:8 Mlipokea bure, toeni

Mk 9:37 anayempokea mmoja wa

Ro 8:15 hamkupokea roho ya utumwa

2Ko 6:1 msipokee fadhili zisizostahiliwa

Flp 4:9 mliyojifunza na mkayapokea

1Ti 5:10 ikiwa alipokea wageni

Yak 4:3 Mnaomba, hampokei

Mk 10:15; Efe 6:17; 1Th 2:13; Ebr 10:26; Yak 1:12, 21; 1Yo 2:27.

POKEO, Kol 2:8 kulingana na pokeo

2Th 3:6.

POLISI, Mdo 16:35 wakawatuma polisi

POMBE, Ho 4:18 Pombe yao ya ngano

Isa 1:22.

PONA, 2Fa 1:2 ikiwa nitapona ugonjwa

Isa 58:8 kupona kungetokea

Mik 1:9 jeraha haliwezi kupona

Mt 8:13 akapona saa ileile

Ufu 13:3 pigo lake likapona

Yos 8:22; Ayu 34:6; Yer 8:22; 15:18; 30:15; Ebr 2:3; Ufu 13:12.

PONDA, Mwa 3:15 atakuponda kichwa

Kut 30:36 utaponda iwe unga laini

2Sa 22:43 Nitawaponda kama matope

2Nya 15:16 sanamu, akaiponda na

Isa 53:5 alipondwa kwa ajili ya makosa yetu

Isa 53:10 Yehova alipendezwa kumponda

Isa 57:15 aliyepondwa na mwenye roho ya

Isa 58:6 kuwaachilia huru waliopondwa

Eze 9:2 akiwa na silaha ya kuponda

Mik 4:13 utaponda watu wengi

Ro 16:20 Mungu atamponda Shetani chini ya

Kum 9:21; Zb 72:4; 89:23; Isa 42:3; Lu 4:18.

PONGEZA, Amu 11:40 kumpongeza binti

1Nya 18:10 kwa Daudi ili kumpongeza

Mhu 4:2 nikawapongeza wafu

Mhu 8:15 nikapongeza kushangilia

Zb 145:4.

PONYA, Kut 15:26 Yehova anayekuponya

Kum 32:39 Nimejeruhi, nitaponya

Met 12:18 ulimi wa hekima huponya

Met 13:17 mjumbe mwaminifu huponya

Isa 17:11 maumivu yasiyoponywa

Isa 30:26 kuliponya jeraha kali

Isa 53:5 majeraha yake, tumeponywa

Yer 6:14 kuponya kuvunjika kwa

Yer 33:6 nitawaponya, kuwafunulia kweli

Yer 51:9 Tungemponya Babiloni

Mt 9:35 kuponya magonjwa

Mt 13:15 kugeuka, niwaponye

Lu 4:23 Tabibu, jiponye mwenyewe

Lu 13:14 kuponya si siku ya sabato

Mdo 5:16 wote wakaponywa

Ebr 12:13 kilemavu kiponywe

1Pe 2:24 kwa mapigo yake mliponywa

Ufu 22:2 majani yalikuwa ya kuponya mataifa

2Nya 7:14; Zb 6:2; 107:20; 147:3; Mhu 3:3; Isa 6:10; 19:22; Yer 3:22; 17:14; 30:13, 17; 33:6; Eze 34:4; 47:9; Mt 8:7; 12:15; 19:2; 21:14; Mk 3:2; Lu 6:7; 9:11; 10:9; 13:14; Mdo 10:38.

PONYEKA, Nah 3:19 Pigo lako haliponyeki

PONYOKA, Isa 45:20 kuponyoka mataifani

Yer 25:35 njia ya kuponyoka

Yoe 2:32 wale walioponyoka, waokokaji

Lu 21:36 mfanikiwe kuponyoka

1Th 5:3 hawataponyoka hata kidogo

2Pe 1:4 mmeponyoka uharibifu

2Pe 2:20 kuponyoka mambo ya unajisi

Met 11:21; 19:5; Isa 10:20; Yer 42:17; 44:14; Eze 24:27; Ro 2:3; Ebr 11:34.

POOZA, Mt 4:24; 9:2; Mk 3:3; Lu 5:24.

PORA, Zb 17:9 waovu wamenipora

Mwa 34:27; Kum 20:14; 2Nya 20:25; Zb 76:5; Isa 22:4; 51:19; 59:7, 15; 60:18; Yer 6:7; 20:8; 25:36; 48:3; 51:55; Eze 45:9; Ho 7:13; Amo 3:10; Hab 1:3; 2:8; 1Ti 6:5.

PORINI, Law 14:53 ndege, aende porini

Wim 2:7 paa wa porini

Isa 55:12 miti porini itapiga makofi

Yer 18:14 theluji, katika mwamba porini

POROJO, 1Ti 5:13 wenye kupiga porojo

3Yo 10 porojo kwa maneno maovu

POROMOKO, Isa 7:19 maporomoko na juu

Mt 8:32; Mk 5:13; Lu 8:33.

PORWA, Eze 34:28 kitu cha kuporwa

Da 11:33 kutekwa na kuporwa

Isa 42:22; Ebr 10:34.

POSHO, 2Fa 25:30; Yer 40:5; Da 1:5.

POTEA, Zb 119:176 kama kondoo aliyepotea

Zb 146:4 mawazo yake hupotea

Isa 28:7 kwa sababu ya divai wamepotea

Mt 18:12 kondoo mmoja apotee

Lu 15:24 mwana alipotea, amepatikana

Lu 19:10 alikuja kuokoa kilichopotea

Ebr 3:10 hupotea sikuzote katika mioyo yao

1Pe 2:25 mlikuwa kama kondoo, wanaopotea

Mhu 9:6; Eze 34:4; Mt 15:24.

POTEZA, Met 28:10 Anayewapoteza wanyoofu

Isa 47:9 kupoteza watoto na ujane

Lu 9:24 anayeipoteza nafsi

Mt 10:39; Yoh 18:9.

POTOA, Isa 24:1 Yehova amepotoa uso

Mdo 13:10 acha kupotoa njia sawa

POTOKA, Kum 32:5 Kizazi kilichopotoka

Zb 95:10 watu waliopotoka moyoni

Met 4:24 maneno yaliyopotoka

Met 10:9 anayepotoa njia zake

Met 11:20 Waliopotoka moyoni ni chukizo

Met 12:8 aliyepotoka moyoni

Met 19:1 mwenye midomo iliyopotoka

Mik 3:9 mnaopotoa kila kitu ambacho

Mt 17:17 kizazi kilichopotoka

Mdo 20:30 kusema yaliyopotoka

Ro 3:12 Watu wote wamepotoka

Flp 2:15 kizazi kilicho kombo na kilichopotoka

Flp 2:15.

POTOSHA, Kum 16:19 Usipotoshe hukumu

Ayu 33:27 nimepotosha lililo nyoofu

Met 17:23 rushwa, kupotosha hukumu

Mt 24:4 Jihadharini mtu asiwapotoshe

Mt 24:24 manabii watatokea ili kupotosha

Ga 1:7 kupotosha habari njema

2Pe 3:16 wanayapotosha Maandiko

1Yo 1:8 tunajipotosha wenyewe

1Yo 3:7 Watoto, yeyote asiwapotoshe

Ufu 12:9 Shetani, anaipotosha dunia

Ufu 20:3 asipotoshe mataifa tena

Kut 23:2, 6; 1Sa 8:3; Ayu 34:12; Met 31:5; Ufu 19:20.

POTOSHWA, Lu 21:8 Jihadharini msipotoshwe

1Ko 15:33 Msipotoshwe. Mashirika mabaya

Ga 6:7 Msipotoshwe: Mungu si

Ufu 18:23 mataifa yote yalipotoshwa

1Ko 6:9; 2Ti 3:13.

POTOVU, Met 2:12; 23:33 mambo mapotovu

Met 8:13 kinywa kipotovu nakichukia

PRISILA, Mdo 18:2, 18, 26.

PUA, Mwa 2:7 pua yake pumzi ya uhai

Met 11:22 dhahabu katika pua ya nguruwe

Eze 8:17 chipukizi, pua yangu?

PULIZA, Yoh 20:22 akapuliza juu yao na

PUMBAZA, Yer 20:7 Umenipumbaza, Ee Yehova

PUMUA, Zb 150:6 kinachopumua kimsifu Yah

PUMZI, Mwa 2:7 katika pua yake pumzi ya uhai

Zb 78:33 siku zao kama pumzi tu

Zb 94:11 fikira za wanadamu, ni pumzi

Mwa 7:22; Zb 39:5; 144:4; Isa 42:5; 57:13; Mdo 17:25; Ufu 18:2.

PUMZIKA, Kut 23:11 mwaka wa saba lipumzike

Kut 23:12 ng’ombe kupumzika sabato

Ayu 3:17 walioishiwa nguvu wanapumzika

Isa 14:7 Dunia nzima imepumzika

Da 12:13.

PUMZIKO, Ebr 4:3 tunaingia katika pumziko

Kut 31:15; Ebr 3:11; Ufu 14:11.

PUNDA, Hes 22:28 punda akamwambia Balaamu

Hes 31:28 nafsi moja kati ya punda

Zek 9:9 mfalme wako amepanda punda

Hes 22:23; Amu 15:15; Mt 21:5.

PUNDA-MILIA, Mwa 16:12; Ayu 6:5; 24:5; 39:5; Zb 104:11; Isa 32:14; Yer 2:24; 14:6; Ho 8:9.

PUNDA-MWITU, Ayu 11:12.

PUNGA, Mdo 12:17; 19:33; 21:40.

PUNGUA, Mwa 8:8 maji yalikuwa yamepungua

Mwa 8:13 maji, yamepungua duniani

Zb 71:9 nguvu zangu zinapungua

Mk 4:39 upepo ukapunguka

Lu 12:33 hazina isiyopungua

Ro 11:12 kupungua kwao ni utajiri

1Ko 7:29 wakati uliobaki umepungua

Mwa 8:1; Est 2:1.

PUNGUKIWA, Da 5:27 kuwa umepungukiwa

Ro 3:23 kupungukiwa na utukufu

Ebr 4:1.

PUNGUZA, Kut 5:8 Msiwapunguzie hata

Ezr 9:13 umepunguza makosa

Ayu 15:4; Eze 5:11.

PUNGUZWA, Law 27:18 kiasi kitapunguzwa

PUNJA, Kum 24:14 usimpunje mfanyakazi

Zb 119:121 wale wanaonipunja!

Zb 119:134 Unikomboe na anayepunja

Zb 146:7 hukumu kwa ajili ya waliopunjwa

Met 22:16 Anayempunja maskini

Amo 4:1 mnaopunja watu wa hali ya chini

Mal 3:5 wanaoupunja mshahara

Mk 10:19 Usipunje, Mheshimu baba na

1Ko 6:7 Kwa nini msiache mpunjwe

Law 19:13; Zb 62:10; 103:6; 119:122; Met 14:31; Yer 22:17; Eze 22:29; Mik 2:2; Zek 7:10.

PUPA, 1Ko 5:11 mwenye pupa

Efe 5:3 pupa isitajwe

1Ti 3:8 si wenye pupa ya pato

PURA, Mik 4:13 Simama upure

Hab 3:12 ukayapura mataifa

PURIA, Isa 41:15 chombo cha kupuria

PUUZA, Met 1:30 walipuuza makaripio yangu

Yer 23:39 nitawapuuza ninyi

Mt 23:23 mmepuuza mambo mazito

Lu 10:16 anayepuuza ninyi, ananipuuza

1Th 4:8 anayepuuza, anampuuza Mungu

1Ti 4:14 usiipuuze zawadi iliyo

Ebr 2:3 tumepuuza wokovu mkuu

Ebr 10:28 anayepuuza sheria ya Musa hufa

Isa 59:8; Yer 5:4; 9:3; 10:25; Mk 6:26; Lu 7:30; Yoh 12:48; 1Ti 5:12.

PWANI, Wim 2:1 zafarani ya pwani

Mt 13:2 umati ulikuwa umesimama pwani

Mdo 21:5; 27:39.

R

RABA, Kum 3:11 Raba, wana wa Amoni?

2Sa 11:1; Yer 49:2; Eze 25:5.

RABI, Mt 23:8 msiitwe Rabi

Yoh 1:38; 3:2.

RABSHAKE, 2Fa 18:17; Isa 36:2, 12; 37:4.

RADHI, Kut 4:10; Lu 14:18, 19.

RAFIKI, Zb 38:11 rafiki wamesimama mbali

Met 14:20 tajiri ana rafiki wengi

Met 17:17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati

Met 18:24 rafiki, aliye karibu kuliko ndugu

Mik 7:5 Msimtegemee rafiki

Lu 16:9 Jifanyieni rafiki kupitia mali

Yoh 15:13 nafsi kwa ajili ya rafiki zake

Yak 2:23 Abrahamu, rafiki ya Yehova

Yak 4:4 rafiki ya ulimwengu, adui

2Fa 10:11; Zb 31:11; 55:13; 88:8, 18; Met 2:17; 28:24; Yer 3:4; Mt 11:19; Yoh 15:14; 19:12.

RAFIKI MSIRI, Mik 7:5 Msimtegemee rafiki msiri

RAHA, Ayu 3:22 wanaoshangilia kwa raha

Hab 3:14 Upeo wao wa raha

Lu 8:14 utajiri na raha za maisha

2Ti 3:4 wanaopenda raha

Tit 3:3.

RAHABU, Ebr 11:31 imani, Rahabu hakuangamia

Yak 2:25 Rahabu, mwadilifu

Yos 2:3; 6:17, 23, 25.

RAHELI, Mwa 29:28 akampa Raheli kuwa mke

Mt 2:18 Raheli akililia watoto

Mwa 29:18; 30:22; Ru 4:11; Yer 31:15.

RAIA, Zb 72:8 atakuwa na raia kutoka bahari

Mdo 22:28 haki za kuwa raia

Efe 2:19 raia wenzi wa watakatifu

Lu 15:15; 19:14; Mdo 21:39.

RAMA, Yer 31:15 Rama sauti inasikiwa

Yos 18:25; Amu 4:5; 1Sa 16:13; Mt 2:18.

RAMANI, Yos 18:4 vipimo vya ramani

Kut 26:30; 1Fa 6:38.

RAMANI YA UJENZI, 1Nya 28:11, 19.

RAMBA, Amu 7:5 mtu atakayelamba maji

RAMOTHI-GILEADI, 1Fa 4:13; 22:3; 2Fa 8:28.

RANGI, Isa 29:22 uso hautabadilika rangi

Zek 6:3 rangi mchanganyiko

RANGI YA MOTO, Ufu 6:4; 12:3.

RANGI YA USO, Da 5:9, 10; 7:28.

RARUA, Da 7:7 mnyama wa nne, akirarua

Yoe 2:13 Irarueni mioyo yenu

2Sa 3:31; 1Fa 11:11-13; Eze 34:28.

RARUKA, Lu 5:36 kiraka kipya huraruka

RASHARASHA, Kum 32:2.

RATIBA, Law 23:37 ratiba ya kila siku

REBEKA, Mwa 24:51; 27:15; 49:31.

REFUSHA, Isa 54:2 Refusha kamba za hema

Zb 85:5; Met 28:16; Mhu 8:13.

REHANI, 2Ko 1:22 ametupa rehani

2Ko 5:5 aliyetupa rehani

Efe 1:14 rehani ya kimbele ya urithi

REHEMA, Kum 4:31 Yehova ni mwenye rehema

1Nya 21:13 rehema zake ni nyingi

Ne 9:17 Mungu, neema na rehema

Met 28:13 anayeungama ataonyeshwa rehema

Isa 60:10 nimekuonyesha rehema

Mt 5:7 furaha ni wenye rehema

Mt 9:13 nataka rehema, si dhabihu

Lu 6:36 iweni wenye rehema

Lu 18:13 unirehemu, mimi mtenda-dhambi

Ro 9:15 Nitamwonyesha rehema yeyote

2Ko 1:3 Baba ya rehema nyororo

1Ti 1:13 nilionyeshwa rehema

Ebr 2:17 kuhani mkuu mwenye rehema

Yak 2:13 Rehema hufurahi

Yak 3:17 rehema na matunda mema

Yak 5:11 Yehova ni mwenye rehema

1Pe 2:10 wameonyeshwa rehema

Kut 33:19; 2Sa 24:14; 2Nya 30:9; Ne 9:19, 27; Zb 78:38; 86:15; Isa 54:7; Hab 3:2; Zek 1:16; Ebr 8:12.

REHOBOAMU, 1Fa 12:1; 14:21, 29.

REKABU, 2Fa 10:15; 1Nya 2:55; Yer 35:6.

REKEBISHA, Kum 8:5 Yehova, akikurekebisha

2Nya 24:4 kurekebisha nyumba ya Yehova

Zb 2:10 Kubalini kurekebishwa

Zb 94:10 anayeyarekebisha mataifa

Zb 118:18 Yah alinirekebisha vikali

Met 9:7 Anayemrekebisha mwenye dhihaka

Met 29:19 kurekebishwa kwa maneno tu

1Ko 11:34 yaliyobaki nitayarekebisha

Ebr 12:5 wala usizimie anapokurekebisha

REKEBISHO. Ona NIDHAMU.

REMBESHA, Ezr 7:27 kuirembesha nyumba

Zb 149:4 Anawarembesha wapole kwa

Isa 55:5 Mtakatifu, amekurembesha.

Isa 60:13 kuparembesha patakatifu pangu

Isa 61:3 upandaji wa Yehova, ili arembeshwe

REUELI, Hes 10:29 Hobabu mwana wa Reueli

RIDHIKA, Mik 2:7 Roho imekosa kuridhika

1Ti 6:8 tutaridhika na vitu hivyo

Met 19:23.

RITHI, Mt 19:29 atarithi uzima wa milele

Mt 25:34 urithini ufalme uliotayarishwa

1Ko 15:50 damu haiwezi kurithi ufalme

Ebr 6:12 subira huzirithi ahadi

Mt 5:5; 1Pe 3:9; Ufu 21:7.

RIZIKI, Lu 21:4 alitumbukiza riziki yote

1Yo 3:17 aliye na riziki ya ulimwengu huu

Ufu 18:17 ambao hupata riziki baharini

Mwa 34:29; Hes 31:9; Zb 49:6.

ROHO, 2Sa 23:2 Roho ya Yehova

2Fa 2:9 sehemu mbili za roho yako

1Nya 28:12 ramani, kuongozwa na roho

Ayu 12:10 mkononi mwake mna roho?

Ayu 27:3 roho ya Mungu imo ndani ya

Ayu 33:4 Roho ya Mungu ilinifanya

Zb 51:17 roho iliyovunjika

Zb 104:29 Ukiiondoa roho yao

Zb 146:4 Roho yake hutoka

Met 16:10 Uamuzi ulioongozwa na roho

Mhu 3:19 wote wana roho moja

Mhu 3:21 roho ya binadamu

Mhu 12:7 roho humrudia Mungu

Isa 8:19 wenye roho ya kubashiri

Isa 19:14 roho ya mvurugo

Isa 42:1 Nimetia roho yangu

Isa 61:1 Roho ya Yehova iko juu yangu

Ho 9:7 mtu wa neno la roho

Zek 4:6 Si kwa jeshi, bali kwa roho

Mt 3:16 roho ya Mungu ikishuka

Mt 22:43 Daudi akiongozwa na roho

Mt 26:41 roho inataka, lakini mwili

Lu 24:39 roho haina nyama na mifupa

Yoh 4:24 Mungu ni Roho

Mdo 2:17 Nitaimimina roho yangu

Mdo 7:51 mnaipinga roho takatifu

Ro 8:6 kukaza akili juu ya roho

Ro 8:9 ikiwa roho ya Mungu inakaa

Ro 8:11 roho ya aliyemfufua Yesu

Ro 8:16 Roho hutoa ushahidi

Ro 11:8 amewapa roho ya usingizi

1Ko 2:10 roho huchunguza ndani ya

1Ko 2:11 isipokuwa roho ya Mungu

1Ko 3:16 roho ya Mungu ndani yenu

1Ko 15:44 hufufuliwa ukiwa mwili wa roho

2Ko 3:6 roho hufanya kuwa hai

2Ko 3:17 palipo na roho ya Yehova

Efe 2:22 kukaa kwa njia ya roho

Efe 4:30 msiwe mkiihuzunisha roho

Efe 6:12 majeshi ya roho waovu

Efe 6:17 upanga wa roho

1Ti 4:1 roho inasema nyakati

2Ti 1:7 hakutupa roho ya woga

2Ti 3:16 Andiko limeongozwa na roho

Yak 4:5 Roho hutamani kuwa na

1Pe 3:19 kuwahubiria roho gerezani

1Yo 4:1 msiamini kila roho

Ufu 1:10 siku ya Bwana, kwa roho

Ufu 16:13 mambo machafu ya roho

Ufu 22:17 roho na bibi-arusi

Ayu 32:8; Met 16:18; Yoe 2:28; Yoh 16:13; 1Ko 12:10; 15:45; Ga 5:22; 1Pe 3:18.

ROHO MWOVU, 1Ko 10:21 meza ya roho waovu

1Ti 4:1 mafundisho ya roho waovu

Yak 2:19 roho waovu wanatetemeka

Yak 3:15 hekima, ya roho waovu

Ufu 16:14 yanayoongozwa na roho waovu

Ufu 18:2 makao ya roho waovu

Kum 32:17; Zb 106:37; Mt 12:24; 15:22; Mk 1:32; Lu 8:36; Yoh 10:21; 1Ko 10:20.

ROHO TAKATIFU, Zb 51:11 wala roho takatifu

Mt 1:18 mimba kwa roho takatifu

Mt 12:32 kusema vibaya, roho takatifu

Lu 3:22 roho takatifu, kama njiwa

Yoh 14:26 msaidizi, roho takatifu

Mdo 2:4 wakajazwa roho takatifu

Mdo 11:16 mtabatizwa kwa roho takatifu

1Ko 6:19 mwili, hekalu la roho takatifu

Efe 4:30 msiihuzunishe roho takatifu

Ebr 6:4 washiriki wa roho takatifu

2Pe 1:21 waliongozwa na roho takatifu

Isa 63:10; Mt 3:11; Mk 13:11; Mdo 20:28.

ROHO YA KUWASILIANA NA PEPO, Law 20:27.

ROHO YA NGUVU, Yos 5:1.

RUBENI, Mwa 29:32; 49:3; Amu 5:15; Ufu 7:5.

RUDI, Mwa 3:19 utakaporudi udongoni

1Fa 8:48 warudi kwa moyo wote

Ayu 33:25 arudi siku za ujana

Mhu 3:20 wanarudi mavumbini

Isa 55:11 neno halitarudi bila tokeo

Mal 3:7 Rudini kwangu, nitarudi

Mk 13:16 aliye shambani asirudi

Ga 4:9 mnarudi kwenye mambo

Hes 10:36; Isa 10:21; Eze 35:7; Mik 2:8; Lu 19:12; Mdo 15:16.

RUDIA, Met 26:11 mbwa anarudia matapiko

Mhu 12:7 roho humrudia Mungu

Mhu 1:6.

RUDISHA, Isa 14:27 mkono, kuurudisha nyuma?

Da 9:25 kurudisha, kujenga Yerusalemu

Mt 17:11 Eliya, atarudisha mambo

Mdo 1:6 je, unarudishia ufalme

Ro 11:35 nani amempa arudishiwe?

Ebr 6:6 kuwarudisha kwenye toba

Yak 5:20 anayemrudisha mtenda-dhambi

Ayu 33:26; Zb 51:12; Yer 27:22.

RUDISHWA, Da 4:36 nikarudishwa juu ya

Mdo 3:21 nyakati za kurudishwa

RUHUSA, Mt 19:8 Musa, aliwapa ruhusa ya

RUHUSU, Ebr 6:3 ikiwa Mungu ataruhusu

Lu 4:41; Mdo 19:30; 28:4.

RUKA, Lu 6:23 Shangilieni na kuruka

Ufu 12:14 aruke kwenda nyikani

RUNGU, Yer 51:20 rungu, kama silaha za vita

Mt 26:47, 55; Lu 22:52.

RUSHA, Hab 3:6 akayarusha mataifa

RUSHWA, Kum 10:17 wala kukubali rushwa

Zb 26:10 mkono wao umejaa rushwa

Mik 3:11 hutoa hukumu ili wale rushwa

Kut 23:8; Met 17:23; Isa 1:23; 5:23; 33:15.

RUTHU, Ru 1:4; 2:8; 3:9; 4:13; Mt 1:5.

S

SAA, Mt 24:36 siku na saa hakuna anayejua

Lu 22:53 hii ni saa yenu na mamlaka

Yoh 17:1 saa imefika; mtukuze

1Yo 2:18 Watoto, ni saa ya mwisho

Ufu 3:10 ile saa ya jaribu

Ufu 17:12 wakiwa wafalme saa moja

Mt 24:44, 50; 26:45; Ufu 14:7, 15; 18:10.

SABA, Mwa 7:4 baada ya siku 7

Mwa 41:27 ng’ombe saba waliokonda

1Fa 6:38 alitumia miaka saba kuijenga

Met 26:16 mwenye hekima kuliko saba

Eze 39:9 kuwasha mioto kwa miaka saba

Mik 5:5 tutasimamisha wachungaji saba

Zek 3:9 Juu ya jiwe kuna macho saba

Ufu 1:4 roho saba

Ufu 1:20 nyota saba na vinara saba

Ufu 13:1 mwenye vichwa saba

Ufu 15:6 malaika saba wenye mapigo

Ufu 17:10 wafalme saba: watano

Isa 11:15; Zek 4:10; Mdo 6:3; Ufu 17:1.

SABABU, Kut 9:16 kwa sababu hii nimekuacha

Zb 69:4 wanaonichukia bila sababu wamekuwa

Isa 45:18 hakuumba dunia bila sababu

Mt 24:9 mtachukiwa kwa sababu ya jina langu

Mt 24:22 kwa sababu ya waliochaguliwa

1Ti 5:14 mpinzani sababu ya kutukana

2Ti 1:12 Kwa sababu hii ninavumilia

1Pe 3:15 sababu ya tumaini

Ayu 2:3; Zb 109:3; 119:161; Mhu 7:25; Mdo 18:14.

SABABU YA LAZIMA, Ro 13:5.

SABATO, Kut 20:8 kuikumbuka siku ya sabato

Kut 31:13 Hasa sabato zangu, mtazishika

Law 25:8 utajihesabia sabato saba

Law 26:34 nchi italipa sabato zake

Isa 56:4 matowashi wanaozishika sabato

Eze 20:12 sabato, ziwe ishara

Mt 12:8 Bwana wa sabato

Mt 24:20 kukimbia kusiwe siku ya sabato

Mk 2:27 Sabato ilikuja kwa ajili ya

Kol 2:16 asiwahukumu kuhusu sabato

Ebr 4:9 limebaki pumziko la sabato

Law 25:2, 4; Eze 22:8; Ho 2:11; Lu 14:5.

SABINI, Kut 24:1 wanaume wazee 70 wa Israeli

Hes 11:25 roho juu ya wazee 70

Isa 23:15 Tiro lisahauliwe miaka 70

Eze 8:11 wanaume 70 wazee wa Israeli

Da 9:2 ukiwa wa Yerusalemu miaka 70

Da 9:24 majuma 70 yameamuliwa

Lu 10:1 akachagua 70 wengine

Kut 1:5; Amu 9:56; 2Fa 10:1; Yer 25:11, 12; 29:10; Zek 7:5.

SABUNI, Ayu 9:30 mikono yangu katika sabuni

Yer 2:22; Mal 3:2.

SADIKI, Lu 1:1 mambo tunayosadiki

Mdo 26:26 nasadiki mfalme anajua

Ro 8:38 nimesadiki kwamba kifo

Ebr 6:9 tunasadiki mambo bora

SADIKISHO, Mdo 18:13 sadikisho lingine

SADIKISHWA, Lu 16:31 wala hawatasadikishwa

Ro 14:14 nasadikishwa katika Bwana

SADOKI, 2Sa 15:24; 1Nya 29:22; Eze 48:11.

SAFARI, Mwa 33:14 safari kwa wakati wangu

SAFARI YA KIJESHI, Hes 31:14.

SAFARI YA SIKU, Hes 11:31; Mdo 1:12.

SAFARI YA SIKU YA SABATO, Mdo 1:12.

SAFI, Ayu 14:4 kutoka katika mtu asiye safi?

Zb 12:6 Maneno ya Yehova ni safi

Zb 24:4 mikono isiyo na hatia, safi moyoni

Met 16:2 Njia ni safi machoni pake

Isa 6:5 mtu asiye na midomo safi

Isa 35:8 Asiye safi hatapita juu

Isa 52:1 asiyetahiriwa, asiye safi

Isa 64:6 kama mtu asiye safi

Sef 3:9 kuwapa lugha safi

Mt 5:8 walio safi moyoni

Yoh 15:3 ninyi ni safi kwa sababu ya neno

Mdo 20:26 mimi ni safi kutokana na damu

1Ko 7:14 watoto hawangekuwa safi

Tit 1:15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi

Mwa 7:2; Law 10:10; 11:8; Ayu 17:9; Zb 19:9; Met 30:5; Eze 22:26; Mdo 10:14; Ro 14:20; 1Ti 1:5; 2Ti 2:22; Yak 1:27.

SAFI KIADILI, Mik 6:11 safi kiadili, mizani ya

2Ko 11:2 mkiwa bikira safi kiadili

2Ko 11:3 usafi wa kiadili unaomfaa Kristo

1Ti 4:12 kielelezo katika usafi wa kiadili

Yak 3:17 hekima inayotoka juu ni safi kiadili

Flp 4:8; Tit 2:5; 1Pe 3:2.

SAFINA, Mwa 6:14 Jifanyie safina

Mwa 7:1; 1Pe 3:20.

SAFIRA, Mdo 5:1 Safira mke wake

SAFIRI, Mt 23:15 Mafarisayo mnasafiri

Ufu 18:17 ambaye husafiri baharini

Mt 21:33; Lu 15:13; 20:9.

SAFIRISHA, 1Fa 10:28 walisafirisha farasi

2Nya 1:17 kusafirisha gari kutoka Misri

2Nya 28:15.

SAFISHA, Eze 36:33 Siku nitakayowasafisha

Eze 39:12 kuisafisha nchi, kwa miezi saba

Da 11:35 kufanya kazi ya kusafisha

Zek 13:9 nitawasafisha kama fedha

2Ko 7:1 tujisafishe wenyewe kila unajisi

Efe 5:26 akilisafisha na kuliosha kwa maji

1Yo 1:7 damu ya Yesu hutusafisha

1Yo 1:9 kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu

Zb 17:3; 66:10; Isa 48:10; Mt 23:25; Ebr 9:14; 10:2; Yak 4:8.

SAFISHIA, Met 17:3 Chungu cha kusafishia

Eze 20:38 nitasafishia mbali wanaoasi

Tit 2:14 kujisafishia mwenyewe watu wake

SAFISHWA, Zb 12:6 iliyosafishwa mara saba

Da 12:10 weupe na kusafishwa

Ebr 9:22 vitu vyote husafishwa kwa damu

Zb 12:6.

SAGA, Zb 37:12 anamsagia meno yake

Mhu 12:3 wanawake wanaosaga

Mt 8:12 watalia na kusaga meno

Lu 13:28 mtalia na kusaga meno

Mt 13:42; 22:13; 24:51; 25:30.

SAHANI, Mt 14:8; Mk 6:25.

SAHAU, Kum 4:23 Jiangalieni msije mkasahau

Ayu 19:14 ninaowajua wamenisahau

Zb 9:17 mataifa yanayosahau Mungu

Isa 49:15 mimi sitakusahau wewe

Isa 65:16 taabu za zamani zitasahauliwa

Yer 23:27 walisahau jina langu

Ho 4:6 unaisahau sheria ya Mungu

Ho 8:14 Israeli akamsahau Mungu

Flp 3:13 Nasahau ya nyuma

Ebr 6:10 Mungu hawezi sahau kazi yenu

2Pe 1:9 amesahau kutakaswa kwake

Kum 6:12; Zb 9:18; 10:11; 45:10; 78:7; Yer 30:14; 50:5; Ebr 13:16.

SAHIHI 1., Ayu 31:35 na sahihi yangu

Da 6:8 kutia sahihi maandishi hayo

SAHIHI 2., Law 19:36 kipimo sahihi cha efa

Mhu 12:10 maneno sahihi ya kweli

Ro 1:28 Mungu katika ujuzi sahihi

Ro 10:2 bidii, lakini si na ujuzi sahihi

SAIDIA, Da 11:45 hatakuwa na wa kumsaidia

Flp 4:3 endelea kuwasaidia wanawake

Ebr 2:16 hawasaidii malaika, bali uzao

Ebr 2:18 anaweza kuwasaidia wanaojaribiwa

Yos 10:6; Amu 5:23; Zb 22:19; Mdo 16:9.

SAKAFU YA JIWE, Yoh 19:13.

SAKAFU YA MAWE, 2Nya 7:3; Est 1:6.

SAKITU, Kut 16:14 mana, kama sakitu

Ayu 38:29 sakitu ya mbinguni

Zb 147:16 Anatawanya sakitu

SALA, 1Fa 8:28 kuielekea sala ya mtumishi

1Fa 8:49 usikie sala yao

Met 15:8 sala ya wanyoofu ni furaha

Met 15:29 huisikia sala ya waadilifu

Mt 21:13 itaitwa nyumba ya sala

Mk 12:40 sala ndefu kwa kisingizio

Mdo 10:4 Sala zako zimepanda

Ro 12:12 Dumuni katika sala

Flp 4:6 kwa sala na shukrani

Kol 4:2 kudumu katika sala

1Pe 4:7 kesheni kuhusiana na sala

Zb 102:17; Met 28:9; Isa 1:15; 56:7; Efe 6:18; 1Ti 2:1; 1Pe 3:7; Ufu 8:4.

SALAMA. Ona USALAMA.

SALAMU, 1Ko 16:21 Hii ni salamu yangu

2Yo 10 msimpokee wala kumsalimu

SALEMU, Ebr 7:2 Salemu, Mfalme wa Amani

Mwa 14:18; Zb 76:2.

SALI, 1Fa 8:48 wasali kuelekea nyumba

2Nya 6:32 mgeni asali kuelekea nyumba

2Nya 7:14 wajinyenyekeze na kusali

Yer 7:16 usisali kwa ajili ya watu

Mt 5:44 kusali, wanaowatesa

Mt 6:9 msali hivi: Baba yetu

Mt 24:20 kusali, kukimbia kwenu

Mt 26:41 kusali, msiingie jaribuni

Mk 11:24 yote mnayosali mmepokea

1Th 5:17 Salini bila kuacha

Yak 5:16 sali, mtu na mwenzake

Mt 6:5; Mdo 10:9; Ro 8:26; 1Ko 14:15.

SALITI, Mt 26:21 Mmoja wenu atanisaliti

Mt 27:3 Yuda, aliyemsaliti, alipoona

Lu 22:22 Mwana wa binadamu atasalitiwa!

Isa 16:3; Mt 26:48; Yoh 6:64; 13:2.

SALOME, Mk 15:40; 16:1.

SAMAKI, Eze 47:9 kutakuwa samaki wengi

Yon 1:17 akaweka samaki mkubwa

Mt 12:40 katika tumbo la samaki

Mt 14:19 mikate, samaki wawili

Lu 5:6 wakakusanya samaki wengi

Zb 105:29; Mhu 9:12; Eze 29:4, 5; Yon 2:10.

SAMARIA, 1Fa 16:24 mlima wa Samaria

Ho 8:6 ndama wa Samaria atavunjika

Amo 8:14 wanaoapa kwa hatia ya Samaria

2Fa 6:20; Isa 10:11; Yer 23:13; Ho 13:16.

SAMEHE, Kut 32:32 utasamehe dhambi yao

1Fa 8:50 uwasamehe watu wako

Ne 9:17 Mungu wa kusamehe

Zb 99:8 Mungu mwenye kusamehe

Yer 31:34 nitalisamehe kosa lao

Mik 7:18 anayesamehe kosa

Mt 6:12 utusamehe madeni yetu

Mt 12:31 hawatasamehewa dhambi juu ya

Yoh 20:23 Mkisamehe dhambi za watu

Kol 1:14 kusamehewa dhambi zetu

Yak 5:15 amefanya dhambi, atasamehewa

1Yo 1:9 hata atusamehe dhambi

Kut 23:21; 34:9; Hes 14:19; 1Sa 15:25; 1Fa 8:36; Zb 25:11, 18; 99:8; Isa 55:7; Mt 9:6; Mk 2:7; 11:25; 2Ko 2:10.

SAMSONI, Amu 15:16 Samsoni: Kwa mfupa

Amu 13:24; 14:1, 5; 16:30; Ebr 11:32.

SAMWELI, 1Sa 1:20 akamwita jina lake Samweli

1Sa 2:18 Samweli alikuwa akihudumu

1Sa 3:1 mvulana Samweli

1Sa 15:28 Samweli: Yehova amerarua utawala

Yer 15:1 Samweli angekuwa amesimama

1Sa 8:7; 15:22; Zb 99:6; Ebr 11:32.

SANAMU, Kut 20:4 Usijifanyie sanamu

Kum 27:15 sanamu ya kuyeyushwa

Zb 78:58 wivu kwa sanamu zao

Zb 106:36 sanamu zikawa mtego

Isa 42:8 sitazipa sanamu sifa yangu

Da 2:31 sanamu kubwa sana

Da 3:18 hatutaiabudu sanamu yako

Yon 2:8 sanamu zisizo za kweli

Mt 22:20 Sanamu hii ni ya nani?

Mdo 15:20 wajiepushe na sanamu

1Ko 8:4 sanamu si kitu

2Ko 6:16 hekalu, upatano na sanamu?

1Yo 5:21 jilindeni na sanamu

Ufu 14:9 akimwabudu na sanamu yake

Ufu 20:4 hawakuiabudu sanamu yake

Kum 32:21; 1Fa 16:13; 2Fa 17:15; Zb 31:6; 115:4; Isa 48:5; Yer 2:5; Mik 1:7; 5:13; Hab 2:18; Mdo 7:41.

SANAMU YA KUFUKUZA NDEGE, Yer 10:5.

SANAMU ZA MAVI, Law 26:30; 1Fa 15:12.

SANDUKU, Mwa 50:26 Yosefu, ndani ya sanduku

Yos 3:13 makuhani wanaolichukua sanduku

Kut 25:10; Ufu 11:19.

SANHEDRINI, Mt 26:59; Lu 22:66; Mdo 5:21.

SANIFU, Kut 35:33 kufanya vifaa sanifu

SARA, Mwa 17:15 Sara ndilo jina lake

Mwa 17:19 Sara atakuzalia mwana

Mwa 21:2 Sara akapata mimba

Ebr 11:11 Kwa imani Sara alipokea nguvu

1Pe 3:6 Sara alivyokuwa akimwita bwana

Mwa 25:10; Isa 51:2; Ro 9:9.

SARAFU, Mt 10:29 shomoro huuzwa kwa sarafu

SARUJI, Mwa 11:3; Kut 1:14; Law 14:42.

SASA, Ga 1:4 mfumo mwovu wa sasa

SAULI, 1Sa 9:17 Sauli, Huyu ndiye

1Sa 10:11 Sauli yumo kati ya manabii?

1Sa 16:14 roho ikaondoka juu ya Sauli

1Sa 18:12 Sauli akaanza kumwogopa Daudi

1Sa 31:4 Sauli akamwambia mchukua-silaha

2Sa 1:17 Daudi akaimba kwa ajili ya Sauli

1Nya 10:13 Sauli akafa

1Sa 13:1; 15:26; 24:7; 26:2; 28:7; Mdo 13:21.

SAULI (wa Tarso), Mdo 7:58 miguuni pa Sauli

Mdo 8:1 Sauli akikubaliana na kuuawa

Mdo 9:4 Sauli kwa nini unanitesa?

Mdo 9:1; 11:25; 12:25; 13:1, 9; 22:7; 26:14.

SAUTI, Kum 4:33 wamesikia sauti ya Mungu

Isa 52:8 Walinzi wamepaaza sauti

Isa 58:1 Paaza sauti kama baragumu

Isa 65:19 haitasikika tena sauti ya kulia

Isa 66:6 sauti kutoka hekaluni

Yoe 2:5 sauti ya magari

Yoe 3:16 Yehova atatoa sauti

Nah 2:13 haitasikika sauti ya wajumbe

Yoh 5:28 makaburini, wataisikia sauti

Yoh 10:27 Kondoo husikiliza sauti yangu

1Ko 14:7 tofauti kati ya sauti

Mhu 12:4; Sef 1:14; Ro 10:18; 1Ko 12:2; 2Pe 2:16.

SAUTI YA CHINI, Yos 1:8; Zb 1:2; 71:24.

SAUTI YA KUFURAHI, Yer 7:34.

SAUTI ZA MANENO, 1Ko 14:10.

SAWA, Mwa 18:25 hatafanya lililo sawa?

Amu 17:6 yaliyo sawa machoni

Yer 26:14 yaliyo sawa machoni

Yoh 5:18 akijifanya kuwa sawa na Mungu

Flp 2:6 hakufikiria kuwa sawa na Mungu

Yak 4:17 yaliyo sawa na hayafanyi

Met 12:15; Mt 20:12; Ufu 21:16.

SAWASAWA, 2Ti 2:15 tumia sawasawa neno

Ebr 1:3 mwakilisho sawasawa

SAYANSI. Ona UJUZI.

SAYUNI, Zb 2:6 mfalme Juu ya Sayuni

Zb 110:2 fimbo ya nguvu zako kutoka Sayuni

Zb 132:13 Yehova amechagua Sayuni

Isa 2:3 sheria itatoka Sayuni

Isa 28:16 ninaweka Sayuni jiwe kuwa msingi

Isa 31:4 Yehova atapiga vita juu ya Sayuni

Isa 62:1 Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni

Amo 6:1 Ole wao wanaostarehe katika Sayuni

Sef 3:14 Paaza kilio kwa shangwe, Ee Sayuni!

Mt 21:5 Sayuni, Mfalme wako anakuja

Ro 11:26 Mkombozi atatoka Sayuni

Ebr 12:22 mmeukaribia Mlima Sayuni

2Sa 5:7; Isa 66:8; Ro 9:33; 1Pe 2:6.

SEBULE, Mk 14:68 Petro akaenda sebuleni

SEDEKIA, 2Fa 24:17; Yer 39:2; 52:11.

SEHEMU, Mt 24:51 sehemu yake na wanafiki

Lu 15:12 nipe sehemu ya mali

1Ko 13:9 unabii kwa sehemu

1Ko 13:10 kwa sehemu kitaondolewa

Ufu 20:6 sehemu, katika ufufuo wa

Zb 5:9; 63:9; Ro 11:25; 1Ko 12:23.

SEHEMU KUU, Ebr 7:11 ukuhani, sehemu kuu

SEHEMU MBILI, 2Fa 2:9.

SEHEMU YA KUMI, Law 27:30.

Hes 18:26 Mtapokea sehemu ya kumi

Mal 3:10 Leteni sehemu za kumi zote

Mt 23:23 huitoa sehemu ya kumi

Lu 18:12 mimi hutoa sehemu ya kumi

Mwa 14:20; Law 27:32; Kum 14:22; 2Nya 31:12; Ne 10:38; 13:12; Ebr 7:5, 9.

SEHEMU YA NDANI, Zb 5:9; 51:6.

SEHEMU ZA SIRI, Kut 20:26; Kum 25:11; Eze 16:36.

SEIRI, Mwa 36:8 Esau akaanza kukaa Seiri

2Nya 20:23 wakaaji wa Seiri

Hes 24:18; Yos 24:4; Eze 25:8; 35:15.

SENAKERIBU, 2Fa 18:13; 19:16, 20; 2Nya 32:1, 10, 22; Isa 37:21.

SEPETU, Kut 27:3 mafuta, na sepetu zake

1Ki 7:45 makopo na sepetu na mabakuli

Mt 3:12 sepetu ya kupepetea

Lu 3:17 sepetu yake imo mkononi

SEREMALA, Mk 6:3 seremala mwana wa Maria

SERIKALI, Ro 8:38 malaika wala serikali

1Ko 15:24 ameangamiza serikali yote

Efe 1:21 kuliko kila serikali na

Efe 6:12 mweleka, juu ya serikali

Kol 2:15 kuzivua serikali

Tit 3:1 kutii serikali na mamlaka

Mdo 25:1; Efe 3:10; Kol 1:16; 2:10.

SETHI, Mwa 4:25; 5:6-8; 1Nya 1:1; Lu 3:38.

SHABA NYEUPE, 1Ko 13:1.

SHABAHA, 2Ko 5:9 shabaha yetu, kukubalika

1Ti 4:7 ujitoaji-kimungu ukiwa shabaha

SHADA, Isa 28:5 Yehova, shada la urembo

SHADA LENYE KUVUTIA, Met 1:9.

SHADRAKI, Da 1:7; 2:49; 3:12-14, 28-30.

SHAHAWA, Law 18:23 usimpe mnyama shahawa

Law 20:15 akimpa mnyama shahawa

Law 22:4 asiye safi kwa shahawa

Law 15:16, 32; 18:20.

SHAHIDI, Mwa 31:48 Rundo hili ni shahidi

Kut 20:16 uwongo ukiwa shahidi

Law 5:1 shahidi asipotoa habari

Kum 19:15 mashahidi wawili, watatu

Yos 24:22 Sisi ni mashahidi

Ayu 16:19 shahidi wangu yuko juu

Met 14:25 Shahidi wa kweli

Isa 43:10 Ninyi ni mashahidi wangu

Isa 44:8 Nanyi ni mashahidi wangu

Mik 1:2 Yehova, shahidi juu yenu

Mdo 1:8 mtakuwa mashahidi wangu

Mdo 10:39 Nasi ni mashahidi

Mdo 13:31 mashahidi wake kwa watu

Mdo 22:15 unapaswa kuwa shahidi

1Ko 15:15 mashahidi wa uwongo

1Ti 6:13 Yesu, akiwa shahidi

Ebr 12:1 wingu la mashahidi

Ufu 1:5 Kristo, Shahidi Mwaminifu

Ufu 11:3 mashahidi wawili

Ufu 17:6 mashahidi wa Yesu

SHAKA, Amu 18:27 wasio na shaka

1Sa 18:9 Sauli akawa akimtilia shaka

2Sa 12:14 bila shaka hukumheshimu

Ro 14:23 akiwa na shaka, amehukumiwa

Yak 1:6 kuomba, bila kutia shaka

Mt 21:21; Mk 11:23; Yud 22.

SHALMANESA, 2Fa 18:9 Shalmanesa, wa

SHAMBA, Zb 49:11 mashamba yao kwa majina

Isa 5:7 Yuda ndilo shamba

Mt 13:38 shamba ni ulimwengu

Yoh 4:35 mashamba, ni meupe

1Ko 3:9 Ninyi ni shamba la Mungu

Yos 24:11; Amu 9:2; 20:5; Mt 6:30; 13:44; 24:18, 40.

SHAMBA LA MIZABIBU, Isa 5:7.

Isa 65:21 watapanda mashamba ya mizabibu

Yer 12:10; Eze 28:26; Amo 9:14; Sef 1:13; Mt 20:1; 21:28; Lu 20:9.

SHAMBULIA, Mwa 4:8 akamshambulia Abeli

Amu 18:25 watu wasije wakawashambulia

1Sa 22:17 kuwashambulia makuhani

Mdo 17:5 wakaishambulia nyumba ya Yasoni

1Sa 7:11; Zb 62:3.

SHANGAA, Ayu 26:11 hushangaa kwa sababu

Zb 48:5 waliona; nao wakashangaa

Isa 59:16 kushangaa hapakuwa anayeingilia

Yer 5:30 Hali yenye kushangaza

Yer 18:16 kitu cha kushangaza

Mdo 2:7 walishangaa na kuanza kustaajabu

Mdo 9:21 waliomsikia wakashangaa

Yer 49:17; Mik 6:16; Mt 15:31; Mk 9:15.

SHANGAZI, Law 18:14 Usimkaribie shangazi

SHANGAZWA, Mt 7:28 wakashangazwa njia

Lu 2:47 wakishangazwa daima na uelewaji

1Pe 4:12 msishangazwe na moto

Isa 44:8.

SHANGILIA, 1Fa 8:66 wakishangilia na kufurahi

1Nya 29:9 Daudi akashangilia

Ayu 38:7 sauti kwa kushangilia?

Zb 25:2 Adui wasishangilie juu yangu

Zb 45:7 mafuta ya kushangilia

Zb 68:4 Yah, shangilia mbele zake

Zb 94:3 Waovu, kushangilia hata lini?

Zb 97:1 Dunia na ishangilie

Zb 100:2 Yehova kwa kushangilia

Zb 104:15 divai, moyo ushangilie

Zb 149:2 wamshangilie Mfalme

Met 27:11 kufanya moyo ushangilie

Met 28:12 Waadilifu wanaposhangilia

Met 29:2 wengi, watu hushangilia

Isa 65:18 sababu ya kushangilia

Mt 5:12 Shangilieni na kuruka

Yoh 8:56 Abrahamu alishangilia

Mdo 5:41 Sanhedrini, wakishangilia

Ro 12:15 Shangilieni na wanaoshangilia

Flp 4:4 Shangilieni sikuzote

Kol 1:24 nashangilia mateso yangu

1Nya 16:31; Est 8:16; Zb 13:5; 35:9; 105:43; 118:24; Mhu 8:15; Isa 25:9; 65:13; Yoe 1:16; 2:23; Zek 9:9; Lu 13:17; Yoh 16:20; 2Ko 6:10; Flp 4:10; 1Pe 1:8.

SHANGWE, 1Nya 16:35 ili tukusifu kwa shangwe

Ne 8:10 shangwe ya Yehova ni ngome

Est 8:17 shangwe kwa Wayahudi

Ayu 38:7 shangwe, nyota za asubuhi

Zb 97:11 shangwe kwa wanyoofu

Zb 126:5 Watavuna kwa shangwe

Isa 35:1 jangwa litakuwa na shangwe

Isa 35:2 shangwe na kilio cha furaha

Isa 65:18 shangwe milele. Ninaumba

Lu 10:21 shangwe katika roho takatifu

Ebr 12:2 shangwe mbele yake

Ebr 12:11 nidhamu, si shangwe

1Nya 16:35; Ezr 3:12; Zb 45:15; 95:1; 106:47; 113:9; Isa 49:13; 61:10; 65:14; Mk 5:42; Lu 2:10; Yoh 16:22; Mdo 3:10; 2Ko 7:4; Ebr 10:34.

SHANGWE YA USHINDI, 2Ko 2:14; Kol 2:15.

SHARONI, 1Nya 5:16; 27:29; Isa 33:9; 35:2; 65:10.

SHARTI, Mwa 30:28 masharti ya mshahara

Kum 4:1 sikilizeni masharti

Kum 4:40 uyashike masharti yake

Amu 11:39 ikawa sharti katika Israeli

Zb 119:12 Unifundishe masharti yako

Isa 10:1 masharti yenye kudhuru

Isa 24:5 wamelibadili sharti

1Ko 9:16 nimewekewa sharti

Kut 18:20; Law 10:11; Ne 9:13; Zb 50:16; 119:5, 8, 48, 71, 80; Yer 31:36; Mal 3:7.

SHASHI, Isa 40:22 mbingu kama shashi

SHAURI, Law 19:31 shauri la wabashiri

Zb 33:11 Shauri la Yehova litasimama

Met 22:20 mashauri na ujuzi

Isa 14:24 nilivyotoa shauri, ndivyo

Isa 25:1 mambo ya ajabu, mashauri kutoka

Isa 46:10 Shauri langu litasimama

Isa 46:11 atakayetekeleza shauri langu

Mt 27:1 wakashauriana juu ya Yesu

Mdo 20:27 mashauri yote ya Mungu

1Ko 4:5 kuyafunua mashauri ya mioyo

2Sa 21:1; 2Nya 20:4; Zb 1:1; 5:10; 33:10; 73:24; 119:24; Met 19:21; Isa 14:26; 23:9; 40:13; Ebr 6:17.

SHAVU, Ayu 16:10 Wamenipiga mashavu yangu

Mt 5:39 kupigwa shavu, geuza lile lingine

Omb 3:30; Mik 5:1; Lu 6:29.

SHAWISHI, Kut 22:16 akimshawishi bikira

Kum 11:16 mioyo yenu isishawishiwe

2Fa 18:32 Hezekia, anawashawishi

Ayu 31:27 moyo ukaanza kushawishiwa

Zb 62:4 kumshawishi mtu avunje heshima

Met 20:19 usishirikiane na anayeshawishiwa

Met 25:15 kiongozi hushawishiwa

Mdo 21:14 Alipokataa kushawishika

Ro 7:11 dhambi ilinishawishi

Ro 16:18 huishawishi mioyo

1Ko 2:4 maneno yenye kushawishi

1Ko 3:18 Yeyote asiwe akijishawishi

2Ko 5:11 kuwashawishi watu

2Ko 11:3 nyoka alivyomshawishi Hawa

Yak 1:14 mtu hushawishiwa na tamaa

2Pe 2:14 huzishawishi nafsi

Kum 13:6; Met 1:10; 16:29; Isa 36:18; 2Th 2:3.

SHEALTIELI, 1Nya 3:17; Ezr 3:2; Mt 1:12.

SHEAR-YASHUBU, Isa 7:3.

SHEBA, 1Fa 10:1; 2Nya 9:9; Eze 27:22.

SHEBNA, 2Fa 18:18 Shebna mwandishi

Isa 22:15; 36:3, 22; 37:2.

SHEFELA, Kum 1:7.

SHEKELI, Kut 30:13; Eze 45:12; Amo 8:5.

SHEKEMU, Mwa 12:6; Amu 9:1.

SHEMASI. Ona MTUMISHI WA HUDUMA.

SHEMEJI, Ru 1:15 Shemeji yako amerudi

SHEMU, Mwa 5:32; 9:26; 11:10; Lu 3:36.

SHEREHE, Kut 23:14 sherehe tatu kwa mwaka

Kut 23:15 sherehe ya keki zisizo na chachu

Kut 23:16 sherehe ya mavuno

Law 23:4 sherehe za majira za Yehova

Lu 22:1 sherehe ya keki zisizo na chachu

Ebr 11:28 alifanya sherehe ya pasaka

Kut 10:9; 12:14; 34:22; Law 23:6; Hes 28:17; 1Sa 18:7; Zb 42:4; Zek 14:16; Yoh 2:23; 5:1; 6:4; 7:8, 10, 37; 1Ko 5:8.

SHEREHE YA KUKUSANYA, Kut 34:22.

SHERIA, Kut 12:14 kama sheria mpaka

Kut 24:12 nataka kukupa sheria

Est 3:8 sheria zao ni tofauti

Est 9:1 wakati wa kutimiza sheria

Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamilifu

Zb 40:8 sheria imo ndani yangu

Met 6:20 usiache sheria ya mama

Isa 2:3 sheria itatoka Sayuni

Isa 24:5 wakaaji wamezivunja sheria

Eze 37:24 sheria zangu watazishika

Da 6:15 sheria ya Wamedi na Waajemi

Sef 2:2 Kabla sheria haijazaa

Mt 13:41 malaika, kukusanya wanaoasi sheria

Lu 16:16 Sheria na Manabii

Lu 24:44 sheria ya Musa na Manabii

Yoh 10:34 katika Sheria yenu

Ro 2:14 asili mambo ya sheria

Ro 4:15 pasipo na sheria, hapana kosa

Ro 5:13 wakati hakuna sheria

Ro 7:2 afunguliwa, sheria ya mume

Ro 7:12 Sheria ni takatifu

Ro 7:22 naipenda sheria ya Mungu

Ro 7:23 sheria ya akili yangu

Ro 8:2 sheria ya dhambi na kifo

Ro 13:9 sheria zinazosema, Usiue

2Ko 3:6 sheria hukumu

2Ko 3:7 ikiwa sheria ambazo hutoa kifo

Ga 3:24 Sheria ni mtunzaji

Ga 6:2 kuitimiza sheria ya Kristo

Ebr 10:1 Sheria ina kivuli

Yak 2:8 sheria ya kifalme

2Pe 2:7; 3:17 wanaokaidi sheria

Law 18:5; Hes 10:8; Ne 9:13; Ayu 38:33; Isa 8:16; Yer 31:33, 35; Da 6:5; Mt 5:17; Ro 2:27, 29; 4:7; 6:14; 7:6; 10:4; 13:8; Ga 3:19; 1Ti 1:9; Ebr 10:17; 2Pe 2:8.

SHETANI, 1Nya 21:1 Shetani akamchochea

Ayu 1:6 Shetani akaingia katikati yao

Ayu 2:2 Shetani akamjibu Yehova

Zek 3:1 Shetani amesimama kumpinga

Mt 12:26 ikiwa Shetani anamfukuza Shetani

Mt 16:23 Nenda nyuma yangu Shetani

Mk 1:13 siku 40 akijaribiwa na Shetani

Lu 10:18 kumwona Shetani ameanguka

Lu 22:3 Shetani akamwingia Yuda

Ro 16:20 Mungu atamponda Shetani

1Ko 5:5 mkamkabidhi kwa Shetani

2Ko 2:11 ili Shetani asitushinde akili

2Ko 11:14 Shetani huendelea kujigeuza

1Th 2:18 Shetani aliizuia njia yetu

Ufu 2:9 wao ni sinagogi la Shetani

Ufu 12:9 nyoka anayeitwa Ibilisi na Shetani

Ufu 20:7 Shetani atafunguliwa

Mt 4:10; Mk 4:15; Mdo 26:18; 2Ko 12:7; 2Th 2:9; Ufu 20:2.

SHIBA, Zb 22:26 Wapole watakula na kushiba

Zb 37:19 katika siku za njaa watashiba

Met 13:25 anakula mpaka nafsi inaposhiba

Met 30:15 vitu vitatu visivyoshiba

Yer 31:14 watu wangu watashiba

Yoe 2:26 mtakula na kushiba

Mik 6:14 utakula wala hutashiba

Zb 107:9; Met 1:31; Yoe 2:19.

SHIBISHA, Zb 91:16 Nitamshibisha kwa siku

Ayu 38:39; Isa 58:10; Eze 7:19; 32:4.

SHIBISHWA, Hab 2:16 Utashibishwa kwa aibu

SHIBOLETHI, Amu 12:6.

SHIDA, Met 19:13 Mwana mjinga, shida

Eze 7:26 shida itakuja juu ya shida

1Pe 4:18 anaokolewa kwa shida

Ayu 6:2; 30:13; Zb 5:9; 55:11; 91:3; 94:20; Met 17:4.

SHIKA, Mwa 17:9 kushika agano langu

Kum 7:9 anayeshika agano na fadhili

Met 6:20 shika amri ya baba

Isa 56:2 anayeshika sabato ili

Mt 23:3 yafanyeni na kuyashika

Mt 28:20 kuwafundisha kushika

Yoh 14:15 mtazishika amri zangu

Yoh 14:21 amri zangu na kuzishika

Ro 14:6 anayeishika siku huishika

Ga 4:10 Mnashika siku, miezi

Flp 3:12 nimeshikwa na Kristo

Kut 20:6; Met 28:7; Isa 56:1; Mdo 3:7; Ufu 22:7.

SHIKAMANA, Kum 30:20 kushikamana naye

Yos 23:8 kushikamana na Mungu

Met 18:24 rafiki anayeshikamana na mtu

Da 2:43 hawatashikamana pamoja

Kum 4:4; 10:20; 13:4; Yos 22:5.

SHIKANISHA, Isa 6:10 ushikanishe macho yao

SHILO, Mwa 49:10 mpaka Shilo aje

Yos 18:1; Amu 18:31; 1Sa 4:3; Zb 78:60; Yer 26:6, 9.

SHILOA, Isa 8:6 kimeyakataa maji ya Shiloa

SHIMEI, 2Sa 16:5; 19:16; 1Fa 2:8, 38, 44.

SHIMO, Ayu 33:24 asishuke shimoni!

Zb 7:15 ataanguka, shimo alilolifanya

Isa 14:15 sehemu za mbali za shimo

Isa 24:18 anayetoka shimoni atakamatwa

Da 6:7 atupwe ndani ya shimo la simba

Mt 15:14 wataanguka ndani ya shimo

Lu 16:26 kuna shimo kati yetu na ninyi

Zb 40:2; Isa 38:18; Eze 26:20.

SHINARI, Mwa 10:10 Babeli, nchi ya Shinari

Mwa 11:2; Isa 11:11; Da 1:2; Zek 5:11.

SHINDA, Mwa 4:7 dhambi, utaishinda?

Amu 16:5 kutumia ili kumshinda

Zb 129:2 Hata hivyo hawajanishinda

Yer 1:19 lakini hawatakushinda

Yer 20:11 wanaonitesa hawatashinda

Yoh 16:33 nimeushinda ulimwengu

Mdo 19:16 akawarukia na kuwashinda

Ro 8:37 tunatokea tukiwa tumeshinda

Ro 12:21 endelea kuushinda uovu

1Yo 5:4 umeushinda ulimwengu

Ufu 2:7 Yule atakayeshinda nitampa

Ufu 3:21 Yeye atakayeshinda nitampa

Ufu 11:7 mnyama-mwitu atawashinda

Ufu 12:8 lakini hakushinda, wala

Ufu 17:14 Mwana-Kondoo atawashinda

Ufu 21:7 anayeshinda atarithi vitu hivi

Kut 17:13; 1Sa 2:9; Mt 17:20; 1Yo 2:13; 4:4; 5:4, 5; Ufu 2:11, 17, 26; 3:5, 12; 5:5; 12:11.

SHINDANA, Kum 33:8 Ulianza kushindana naye

Ayu 40:2 kushindana na Mweza-Yote?

Flp 1:15 wivu na kushindana

2Ti 2:5 akishindana hata katika michezo

Ayu 13:8; Zb 38:20; 71:13; Isa 3:13; 49:25; 50:8; Ho 4:4.

SHINDANO, 1Ko 9:25 katika shindano hujizuia

Kol 2:1 shindano kubwa

Omb 3:58; Ebr 12:4.

SHINDWA, 1Ko 13:8 Upendo haushindwi

Kol 2:15 alizionyesha zikiwa zimeshindwa

2Pe 1:10 hamtashindwa hata kidogo

2Pe 2:20 wanajiingiza na kushindwa

Ayu 14:10.

SHINGO, Met 3:3 Zifunge shingoni pako

Met 3:22 kitu chenye kuvutia shingoni

Lu 15:20; 17:2; Mdo 20:37.

SHINGO NGUMU, Kut 32:9; 34:9; Kum 9:6.

SHINIKIZO LA DIVAI, Amu 6:11.

Yoe 3:13 shinikizo la divai limejaa

Ufu 19:15 anakanyaga shinikizo la divai

SHIRIKI, Zb 94:20 kitashirikiana nawe

Met 22:24 Usishirikiane na mwenye

Da 11:23 kwa sababu ya kushirikiana naye

1Ko 7:24 akishirikiana na Mungu.

1Ko 9:23 ili niishiriki na wengine

1Ko 10:16 je, si kushiriki damu ya Kristo?

1Ko 10:21 mkishiriki meza ya Yehova

1Ko 16:16 kwa kila mtu anayeshirikiana

Ga 6:6 ashiriki mambo yote mema

Flp 3:10 kushiriki mateso yake

Kol 1:12 kushiriki urithi

2Th 3:14 acheni kushirikiana naye

Ufu 18:4 ikiwa hamtaki kushiriki dhambi

Mwa 14:3; Da 11:6; Ro 8:28; Efe 4:16; Tit 1:4; Ebr 12:8.

SHIRIKIANA, Met 24:21 Usishirikiane na watu

Met 20:19.

SHOKA, Kum 19:5 chuma cha shoka

1Fa 6:7; Lu 3:9.

SHTAKA, Mt 27:37 wakabandika shtaka

Ro 8:33 Ni nani atakayefanya shtaka

1Ti 3:10 wahudumu, hawana shtaka

1Ti 5:19 Usikubali shtaka juu ya mzee

Tit 1:7 mwangalizi awe bila shtaka

Ezr 4:6; Yoh 18:29; 1Ko 1:8; Kol 1:22.

SHTAKI, Mt 5:25 anayekushtaki mahakamani

SHTUA, Yoh 6:60 Maneno hayo yanashtua

Yud 15 mambo ya kushtua

SHUGHULI, Mhu 1:13 shughuli yenye msiba

Amo 4:13 shughuli za akilini

Mhu 2:23; 3:10; 4:8; 5:3; Amo 4:13; 2Ti 2:4.

SHUGHULIKA, Mhu 12:12 kushughulika na

Mdo 18:5 akaanza kushughulika sana na neno

SHUHUDA, 1Fa 2:3 hukumu na shuhuda zake

1Nya 29:19 shuhuda zako na masharti

SHUHUDIA, Isa 59:12 dhambi imeshuhudia

Ho 5:5 kiburi kimeshuhudia

SHUHUDIA KWA MACHO, 1Pe 2:12.

SHUHUDIWA, Ebr 7:8 imeshuhudiwa anaishi

SHUJAA, Amu 11:1 Yeftha akawa shujaa

2Nya 26:17 wanaume mashujaa 80

Isa 33:7 Mashujaa wamepaaza kilio

Eze 27:11 watu mashujaa

Ebr 11:34 mashujaa katika vita

Amu 6:12; 1Sa 16:18; 1Fa 11:28; 2Fa 5:1; 1Nya 7:5.

SHUKA, Zb 133:3 umande unaoshuka Sayuni

Eze 17:14 ufalme huo ushuke

Efe 4:9 alishuka maeneo ya chini

Met 30:4; Ro 10:7; 1Th 4:16.

SHUKRANI, Zb 92:1 Ni vema kumtolea shukrani

Zb 95:2 Twendeni tukiwa na shukrani

Zb 97:12 Shangilieni na kutoa shukrani

Zb 107:8 wamtolee Yehova shukrani

Zb 116:17 dhabihu ya kutoa shukrani

1Ko 10:30 Ikiwa nakula nikiwa na shukrani

1Ko 14:17 unatoa shukrani kwa njia nzuri

2Ko 9:15 Mungu apewe shukrani

Efe 5:20 mkimtolea shukrani sikuzote

1Ti 4:4 kwa kutoa shukrani

Yer 17:26; 2Ko 4:15; Flp 4:6; Ufu 7:12.

SHUKU, 1Ti 6:4 shuku zenye uovu

SHUKURU, 2Sa 22:50 nitakushukuru Ee Yehova

1Nya 16:4 ili wamshukuru Yehova

1Nya 16:8 Mshukuruni Yehova

Mt 26:27 akiisha kushukuru, akawapa

Lu 17:9 atamshukuru mtumwa

Yoh 11:41 Baba nakushukuru

Mdo 28:15 Paulo akamshukuru Mungu

Ro 14:6 anayekula, humshukuru Mungu

1Ko 1:4 Sikuzote ninamshukuru Mungu

1Ti 1:12 namshukuru Kristo

2Ti 1:3 Ninamshukuru Mungu

Ufu 11:17 Tunakushukuru Yehova

1Nya 29:13; 2Nya 5:13.

SHULE, Mdo 19:9 jumba la shule

Yoh 7:15.

SHUNEMU, Yos 19:18; 1Sa 28:4; 2Fa 4:8.

SHURUTISHA, 2Fa 4:8 kumshurutisha ale mkate

SHUSHA, 1Sa 2:7 Yehova ni Mwenye Kushusha

Zb 147:6 Yehova anawashusha waovu

Eze 21:26 ukishushe kilicho juu

SHUSHANI, Est 1:2; 9:6; Da 8:2.

SHUSHWA, Yak 1:10 tajiri kushushwa kwake

SHUTUMA, Isa 25:8 shutuma ya watu ataiondoa

Isa 51:7 Msiogope shutuma ya

Da 11:30 shutuma juu ya agano

Sef 3:8 nizimwagie shutuma

Mt 5:11 watu wanapowashutumu

Ebr 10:33 shutuma na dhiki pia

Ebr 11:26 shutuma ya Kristo ni utajiri

1Sa 17:26; Zb 22:6; 69:7, 24; 79:12; Met 14:31; Isa 4:1; 10:5, 25; Yer 10:10; Da 8:19; Nah 1:6.

SHUTUMU, Hes 23:7 njoo, washutumu Israeli

Zb 55:12 sikushutumiwa na adui

Zb 74:10 mpinzani atashutumu mpaka

Zb 74:18 Adui ameshutumu

1Pe 4:14 mnashutumiwa kwa ajili ya

Zb 44:16; 89:51; 119:42; Sef 2:10; Lu 6:22; Ro 15:3.

SIDONI, Eze 28:22 niko juu yako Ee Sidoni

Mwa 10:19; Isa 23:4; Yer 47:4; Yoe 3:4; Zek 9:2; Mt 11:21; Mk 3:8; Mdo 12:20; 27:3.

SIFA, Yos 9:9 tumesikia sifa zake

Zb 99:8 kisasi juu ya sifa mbaya

Zb 141:4 matendo ya sifa mbaya

Isa 42:8 sitazipa sanamu sifa yangu

Isa 60:18 na malango yako Sifa

Da 6:3 Danieli akajipatia sifa

Amo 1:11 aliharibu sifa zake za

Mt 21:16 wanaonyonya umetoa sifa?

Lu 6:32, 34 linawapa sifa gani?

Ro 1:20 sifa zake zisizoonekana

Ro 2:4 sifa ya fadhili za Mungu

1Ko 4:5 sifa yake kutoka kwa Mungu

1Ko 4:10 mna sifa njema

1Ko 4:13 tunapoharibiwa sifa, tunasihi

1Ko 8:8 tukila, hatupati sifa kwetu wenyewe

2Ko 12:6 asinihesabie sifa

Flp 4:8 la kustahili sifa lililoko

Kol 2:9 ujazo wa sifa ya Mungu

Ebr 13:15 dhabihu ya sifa

Yak 1:3 sifa iliyojaribiwa ya imani

1Pe 1:7 sifa iliyojaribiwa ya imani

1Pe 2:20 kuna sifa gani katika

Hes 14:15; 1Nya 14:17; Est 9:4; Zb 65:1; 71:8; 79:13; 111:10; Isa 62:7; Hab 3:3; Sef 3:19; Ro 2:29.

SIFA BORA, 1Pe 2:9 mtangaze kote sifa bora

SIFA ILIYOJARIBIWA, Yak 1:3; 1Pe 1:7.

SIFA MBAYA, Eze 23:10 sifa mbaya kwa

SIFA ZA KUSTAHILI, 2Ko 2:16.

2Ko 3:5 sifa za kustahili vya kutosha

Ga 6:1 mlio na sifa za kustahili

SIFA ZA KUSTAHILI KUFUNDISHA, 1Ti 3:2; 2Ti 2:2, 24.

SIFIKA, Mk 15:43; Mdo 13:50; 17:12.

SIFONGO, Mt 27:48; Mk 15:36; Yoh 19:29.

SIFU, Zb 6:5 Kaburini nani atakusifu?

Zb 119:164 Mara 7 nimekusifu

Met 27:2 mgeni akusifu

Met 29:8 Watu wenye maneno ya kujisifu

Isa 38:18 kifo hakiwezi kukusifu

Da 2:23 namsifu na kumhimidi Mungu

1Ko 1:29 mwili usijisifu machoni pa Mungu

1Ko 1:31 anayejisifu, na ajisifu katika

1Ko 11:2 nawasifu mnayashika sana

Ebr 2:12 nitakusifu kwa wimbo

1Fa 8:33; Zb 9:1; 34:2; 44:8; 63:3; 97:7; 109:30; 117:1; 138:1; Met 27:1; Lu 2:13; Mdo 2:47; 3:8; Ro 3:27; 2Ko 9:3; Efe 2:9.

SIFU WATU MASHUHURI, Yud 16.

SIHI, Mwa 25:21 Isaka akamsihi Yehova

Kut 8:30 Musa, akamsihi Yehova

Amu 13:8 Manoa akamsihi Yehova

Zb 30:8 niliendelea kumsihi Yehova

Met 6:3 kumsihi sana mwenzako

Isa 19:22 atakubali kusihi kwao

Mk 7:32 wakamsihi aweke mkono

2Ko 5:20 Mungu, akisihi kupitia sisi

1Ti 5:1 mzee, msihi kama baba

2Nya 6:21; Zb 28:2; Ro 12:1; 2Ko 6:1.

SIKI, Met 10:26 Kama siki kwenye meno

SIKIA, Yos 9:9 tumesikia sifa Misri

Zb 19:3 Sauti yao haisikiki

Zb 34:2 Wapole watasikia, kushangilia

Met 15:29 huisikia sala ya waadilifu

Isa 65:24 bado wanasema, nitasikia

Isa 66:8 nani amesikia jambo hili?

Amo 8:11 njaa ya kusikia maneno

Mt 7:24 anayesikia maneno

Mt 10:27 mnalosikia likinong’onwa

Mt 13:13 wanasikia bure, hawaelewi

Yoh 5:28 makaburini wataisikia sauti

Ro 10:14 watasikiaje bila wa kuhubiri?

Ufu 22:17 anayesikia aseme: Njoo!

Yos 2:11; 2Fa 21:12; Ayu 42:5; Zb 85:8; Met 20:12; Isa 34:1; 40:28; 43:9; 64:4; Mt 13:23; Lu 8:10; Yoh 5:24; Mdo 9:7; 1Ko 2:9; 1Yo 5:14; Ufu 3:20.

SIKILIZA, Amu 2:20 Israeli hakuisikiliza sauti

1Sa 15:22 kusikiliza kuliko mafuta

Met 1:5 mwenye hekima atasikiliza

Isa 55:3 Sikilizeni, na nafsi yenu

Mt 17:5 Mwanangu, msikilizeni

Mk 12:37 umati ukimsikiliza

Lu 10:16 anayewasikiliza ninyi

Yoh 8:47 hamsikilizi, hamtoki kwa Mungu

Yoh 8:47 husikiliza maneno ya Mungu

Yoh 9:31 hasikilizi watenda-dhambi

Yoh 18:37 huisikiliza sauti yangu

Mdo 3:23 nafsi isiyomsikiliza Nabii

Mwa 3:17; Kum 4:30; 8:20; 1Fa 20:36; Ayu 34:34; Zb 34:11; 69:33; 81:11; Met 8:34; 29:12; Yer 11:8; Hag 1:12; Mal 3:16; Mt 11:15; Mdo 4:19; 1Ti 1:4; 4:1.

SIKIO, Met 20:12 Yehova ndiye alifanya sikio

Isa 35:5 masikio ya viziwi yatazibuliwa

Yoh 18:10 Petro, akalikata sikio

1Ko 12:16 sikio likisema: mimi si jicho

2Ti 4:4 masikio kutoka kwenye kweli

Yak 5:4 vilio, masikioni mwa Yehova

Kum 5:1; 2Fa 21:12; Mt 13:16; Ufu 2:7.

SIKITIKA, Eze 9:5 Jicho lenu lisisikitike

Ayu 42:11; Zb 69:20.

SIKITIKIA, Kum 7:16 Jicho lako lisiwasikitikie

Mt 15:32 Ninausikitikia umati

Mt 20:34 Yesu akawasikitikia

Ebr 4:15 kuusikitikia udhaifu wetu

1Sa 22:8; Isa 51:19; Nah 3:7; Mk 6:34.

SIKITIKIWA, 1Ko 15:19 sisi ndio wa kusikitikiwa

SIKITIKO, Mhu 7:3 sikitiko kuliko kicheko

SIKU, Hes 14:34 siku kwa mwaka

Zb 84:10 siku moja katika nyua zako

Isa 2:2 itatukia katika siku za mwisho

Da 2:44 katika siku za wafalme hao

Mal 3:2 atakayesimama siku ya kuja kwake

Mt 24:22 siku hizo hazingefupishwa

Mk 13:32 siku ile hakuna anayeijua

Mdo 17:31 ameweka siku kuhukumu

Ro 14:5 Mtu anahukumu siku kuwa juu

2Ko 6:2 Sasa ndiyo siku ya wokovu

2Pe 3:8 miaka elfu kama siku moja

Zb 61:8; 90:12; Met 3:16; Isa 58:2; Yer 25:33; Amo 8:11; Zek 8:23.

SIKU NJEMA, Mt 27:29; Lu 1:28; Yoh 19:3.

SIKU YA HUKUMU, Mt 10:15; 2Pe 2:9; 3:7; 1Yo 4:17.

SIKU YA MWISHO, Yoh 6:54; 11:24; 12:48; Ne 8:18.

SIKU ZA MWISHO, Yak 5:3.

2Ti 3:1 siku za mwisho, hatari

2Pe 3:3 wadhihaki, siku za mwisho

SIKU YA TATU, Lu 9:22 siku ya tatu afufuliwe

Mdo 10:40 Mungu alimfufua siku ya tatu

Kut 19:11; Lu 13:32; 24:21; 1Ko 15:4.

SIKU YA UPATANISHO, Mdo 27:9.

SIKU YA YEHOVA, Yoe 2:11; Sef 1:14; 2:3; 2Th 2:2.

SIKU, KILA, Lu 19:47 akifundisha kila siku

Mdo 17:11 kuchunguza Maandiko kila siku

Zb 68:19; Yer 7:25; 1Ko 15:31; Ebr 7:27.

SIKUKUU YA KUZALIWA, Mwa 40:20; Mt 14:6; Mk 6:21.

SILA, Mdo 15:22; 16:19; 17:4; 18:5.

SILAHA, Ne 4:17 mkono ukiwa umeshika silaha

Mhu 9:18 Hekima, bora kuliko silaha

Isa 54:17 Silaha haitafanikiwa

Yer 50:25 silaha za shutuma yake

Eze 9:2 silaha yake ya kuponda

Ro 6:13 viungo silaha za uadilifu

Ro 13:12 tuvae silaha za nuru

2Ko 6:7 silaha za uadilifu

2Ko 10:4 silaha zetu si za kimwili

Efe 6:11 Vaeni mavazi kamili ya silaha

2Nya 23:10; 32:5; Ayu 33:18.

SILOAMU, Lu 13:4; Yoh 9:7, 11.

SIMAMA, 2Nya 20:17 simameni tuli

Ayu 4:15 Nywele zikaanza kusimama

Zb 82:1 Mungu amesimama katika

Mhu 4:12 wawili wataweza kusimama

Isa 8:10 Semeni neno nalo halitasimama

Isa 66:22 na dunia mpya zinavyosimama

Da 2:44 ufalme utasimama mpaka

Da 12:1 Mikaeli atasimama

Da 12:13 utasimama kwa ajili ya fungu

Sef 3:8 mpaka nitakaposimama

Mal 3:2 atakayesimama atakapoonekana

1Ko 10:12 anayefikiri kuwa amesimama

Ebr 7:15 mfano wa Melkizedeki anasimama

Hes 11:16; Ayu 1:6; Zb 3:7; 9:19; 36:12; Met 22:29; Yer 25:27.

SIMAMA IMARA, 1Ko 16:13.

Ga 5:1 simameni imara, na msijiache

Flp 1:27 mnasimama imara, roho moja

2Th 2:15 simameni imara na mwendelee

Efe 6:11, 13; Flp 4:1.

SIMAMIA, Efe 3:9 siri takatifu inavyosimamiwa

1Th 5:12 maanani wanaosimamia

1Ti 3:5 kusimamia nyumba yake

Ro 12:8; 1Ti 5:17.

SIMAMISHA, Mt 21:33 akasimamisha mnara

Ro 14:4.

SIMANGO, Ayu 30:9 Nami ni simango kwao

SIMBA, Met 28:1 waadilifu ni kama simba

Isa 11:7 simba atakula majani

Isa 35:9 simba hatakuwa hapo

Ebr 11:33 wakaziba vinywa vya simba

1Pe 5:8 Ibilisi, atembea kama simba

Ufu 5:5 Simba wa Yuda

Amu 14:9; 1Sa 17:36; Zb 91:13; Da 6:27; Yoe 1:6; Mik 5:8; Sef 3:3.

SIMEONI, Mwa 29:33; 42:24; 49:5; Kut 6:15.

SIMONI, Mt 4:18; 10:2; Mk 3:16.

SIMULIA, Amu 5:11 kusimulia matendo

Zb 78:4 Tukivisimulia kizazi

Mwa 40:8; 41:12; Kut 24:3; 2Fa 8:4; Zb 40:5; 48:13; Yer 51:10.

SINAGOGI, Yoh 18:20 katika sinagogi

Ufu 2:9 wao ni sinagogi la Shetani

Ufu 3:9 sinagogi la Shetani

Mt 23:6; Mdo 17:17; 18:26.

SINAI, Kut 19:20 Sinai, juu ya kilele

Kut 24:16; 31:18; Ne 9:13; Zb 68:8; Mdo 7:30, 38.

SINDANO, Kut 21:6; Kum 15:17.

SINDIKIZA, 2Sa 19:31 kumsindikiza mpaka

Ro 15:24 mnisindikize kidogo

SINI 1., Kut 16:1 nyika ya Sini

Kut 17:1; Hes 33:11.

SINI 2., Eze 30:15 Sini, ngome ya Misri

SINZIA, Zb 76:5 Wamesinzia na kulala

Zb 121:3 anayekulinda hawezi kusinzia

Zb 132:4 Sitaacha macho kusinzia

Isa 56:10 wanapenda kusinzia

Nah 3:18 Wachungaji wako wamesinzia

SIPORA, Kut 2:21 akampa Musa Sipora binti

SIRI. Ona pia SIRI TAKATIFU.

Amu 3:19 neno la siri kwako

Amu 9:31 akatuma wajumbe kwa siri

Zb 44:21 anajua siri za moyo

Zb 91:1 mahali pa siri pa Aliye Juu

Met 21:14 Zawadi katika siri

Da 2:28 Mfunuaji wa siri

Amo 3:7 kufunua jambo lake la siri

Mt 6:6 Baba aliye mahali pa siri

Yoh 18:20 sikusema lolote katika siri

1Ko 14:25 siri za moyo wake hufunuliwa

Kum 13:6; 1Sa 19:2; Met 9:17; Da 2:30; Mt 6:4; Ro 2:16; Efe 5:12.

SIRI TAKATIFU, 1Ko 13:2 nazijua siri takatifu

1Ko 14:2 husema kwa roho siri takatifu

1Ko 15:51 Nawaambia siri takatifu:

Efe 1:9 siri takatifu ya mapenzi yake

Kol 1:26 siri takatifu iliyokuwa imefichwa

1Ti 3:16 siri takatifu ya ujitoaji-kimungu

Mt 13:11; Mk 4:11; Ro 11:25; 16:25; 1Ko 4:1; Efe 3:3, 4; Kol 4:3; Ufu 1:20; 10:7.

SIRIA, 2Fa 13:3; 2Nya 16:7; Isa 17:3.

SISERA, Amu 5:20 nyota zilipigana na Sisera

Amu 4:7, 9, 13-18, 22; 1Sa 12:9.

SISIMUKA, Zb 45:1 Moyo wangu umesisimuka

Met 29:9; 2Th 2:2.

1Ti 1:7.

SISITIZA. Pia KUJITOA KIKAMILI. Tit 3:8.

Zb 90:10 miaka, husisitiza taabu

Ru 1:18 anasisitiza kwenda naye

SITASITA, Kum 7:10 Hatasitasita kuelekea yule

1Sa 15:32 Agagi akaenda kwa kusitasita

Mhu 5:4 usisite kuitimiza nadhiri

Yak 1:8; 4:8.

SITAWI, Zb 92:14 wataendelea kusitawi

Mdo 19:20 neno likazidi kusitawi

SODOMA, Mwa 19:24 moto juu ya Sodoma

Mt 10:15 rahisi kwa nchi ya Sodoma

Mwa 18:26; Isa 1:10; 13:19; 2Pe 2:6; Yud 7; Ufu 11:8.

SOFARI, Ayu 2:11; 11:1.

SOGEZA, Kum 19:14 Usisogeze nyuma mpaka

SOGEZWA, Zek 14:4 mlima utasogezwa

SOKO, Mdo 17:17 akajadiliana na watu sokoni

1Ko 10:25 kinachouzwa sokoni

Mt 11:16; Mdo 16:19.

SOKOTA, Mt 27:29; Mk 15:17; Yoh 19:2.

SOMA, Ne 8:8 Wakaendelea kusoma

Isa 29:11 Tafadhali, soma kwa sauti

Isa 34:16 kitabu, msome kwa sauti

Hab 2:2 anayeyasoma, kwa wepesi

1Ti 4:13 kusoma mbele ya watu

Ufu 1:3 anayesoma kwa sauti

Kut 24:7; Kum 17:19; Lu 4:16; Mdo 13:15.

SOMO, Amu 8:16 kuwafundisha somo watu

SOMWA, 2Ko 3:2 kusomwa na wanadamu

Mdo 13:27.

SONGA, Isa 51:13 ghadhabu ya anayekusonga

Isa 59:14 haki ilisonga nyuma

2Ko 4:8 hatubanwi tusiweze kusonga

2Th 3:1 neno, kusonga haraka

SONGAMANA, Lu 11:29 umati wakisongamana

SONGWA, 2Ko 6:12 mmesongwa mkakosa

Yer 19:9.

STAAJABISHA, Mt 21:42.

Mk 12:11 kustaajabisha machoni petu

Yoh 9:30 ni jambo la kustaajabisha

STAAJABIWA, 2Th 1:10 kustaajabiwa siku hiyo

STAAJABU, Yer 4:9 manabii watastaajabishwa

Lu 4:22 wakistaajabia maneno

Lu 2:18; Mdo 2:12; 7:31.

STADI WA KAZI, Met 8:30 nikiwa stadi wa kazi

STAHILI, Mwa 32:10 sistahili fadhili zote

Met 3:27 Usiwanyime wanayostahili

Mt 5:22 atastahili Gehena

Mt 10:10 mfanyakazi anastahili chakula

Mt 26:66 Anastahili kufa

Lu 20:35 wamehesabiwa kustahili

Mdo 5:41 hesabiwa kustahili kuvunjiwa

Mdo 13:46 hamstahili uzima wa milele

Mdo 26:31 lolote linalostahili kifo

Ro 3:19 ustahili adhabu kwa Mungu

Efe 4:1 mtembee kuustahili mwito

Flp 1:27 inayostahili habari njema

Kol 1:10 mtembee kwa kumstahili Yah

1Th 2:12 kumstahili Mungu anayewaita

2Th 1:5 mnastahili ufalme

1Ti 5:18 Mfanyakazi astahili mshahara

Ufu 4:11 Unastahili, Ee Yehova

Lu 23:15; Mdo 23:29; Ro 1:32; 1Ti 1:15.

STAHIMILI, Hes 31:23 ambacho hustahimili moto

Mal 3:2 atakayeistahimili siku

STAREHE, Amo 6:1 “Ole wanaostarehe Sayuni

Lu 12:19 starehe, ule, unywe

Mdo 24:23 awe na starehe fulani

Kum 28:65; Yer 31:2; 49:31; Zek 1:15.

STAREHESHA, Isa 51:4.

STEFANO, Mdo 6:5; 7:59; 8:2; 22:20.

SUBIRA, Ebr 6:12 subira huzirithi ahadi

Yak 5:7 onyesheni subira, ndugu

2Pe 3:15 subira, kuwa wokovu

Ayu 21:4; Met 14:29; 25:15; Mhu 7:8; Zek 11:8; Mt 18:26, 29; Ebr 6:15; Yak 5:10; 1Pe 3:20; 2Pe 3:9.

SUFURIA, 1Sa 2:14 kuutia ndani ya sufuria

SUJUDIA, Kut 34:14 usimsujudie mungu

Isa 44:15 hutengeza sanamu, huisujudia

Lu 24:52 wakamsujudia na kurudi

Ebr 1:6 Malaika wamsujudie

Mt 2:11; Yoh 9:38; Mdo 10:25.

SUJUDU, Isa 46:6 Wanasujudu, wanainamia

Ufu 3:9.

SUKUMA, Kut 35:21; 36:2 moyo ulimsukuma

Kum 33:17; 1Fa 22:11; Zb 44:5.

SULEMANI, 1Fa 11:9 akamkasirikia Sulemani

1Nya 29:23 Sulemani akiwa mfalme

2Nya 3:1 Sulemani akaanza kujenga

Mt 6:29 hata Sulemani hakupambwa

Mt 12:42 mtu mkuu kuliko Sulemani

1Fa 4:29; 1Nya 22:9; Ne 13:26; Mdo 7:47.

SULUBISHA. Ona TUNDIKA MTINI.

SUMBUA, Ru 2:15 aokote, msimsumbue

1Sa 1:6; 25:7, 15.

SUMBUKA, Zb 6:2 mifupa yangu imesumbuka

SUMBULIWA, Hes 25:17.

Ru 2:22 usije ukasumbuliwa

Met 1:33 hatasumbuliwa na hofu

SUMU, Yak 3:8 ulimi, umejaa sumu

Ayu 6:4; Zb 58:4; 140:3.

SURA, Mwa 1:26 tufanye mtu kwa sura yetu

1Fa 22:30 nitajibadili sura, vitani

Zek 5:6 sura yao katika dunia yote

Yoh 7:24 Acheni kuhukumu kwa sura

2Ko 5:12 hujisifu juu ya sura ya nje

Ga 2:6 Mungu hafuati sura ya nje

Kum 28:50; 1Sa 16:7; 1Fa 20:38; 2Nya 35:22; Yoe 2:4; Mt 22:16.

SURA NZURI, Zb 45:2 una sura nzuri kuliko

2Sa 14:25.

SURIA, Amu 19:25 wakamtendea vibaya suria

1Fa 11:3 masuria mia tatu

Mwa 22:24; Kut 21:8; 2Sa 3:7; Est 2:14.

SWALI, Ro 14:1 maswali ya ndani

1Ti 1:4 maswali ya utafiti

1Ti 6:4 maswali na mabishano

2Ti 2:23 maswali ya upumbavu

Tit 3:9 epuka maswali ya upumbavu

1Fa 10:1; Mt 22:46; Mdo 23:29.

T

TAA, 2Sa 22:29 Yehova ni taa yangu

1Fa 15:4 Mungu alimpa taa

Zb 119:105 Neno lako, taa ya mguu

Met 6:23 amri hiyo ni taa

Met 13:9 taa ya waovu itazimwa

Mt 5:15 taa, si chini ya kikapu

Mt 6:22 Taa ya mwili ni jicho

Mt 25:1 mabikira kumi na taa

Lu 12:35 taa zenu ziwake

Zb 18:28; Met 21:4; Yoh 5:35; Ufu 4:5.

TAABIKA, Mt 11:28 Njooni nyote mnaotaabika

TAABISHA, Ga 4:11 nimejitaabisha bila

Flp 3:1 Hainitaabishi kuwaandikia

TAABISHWA, 2Pe 2:7 Loti, alitaabishwa sana

TAABU, Zb 46:1 Msaada wakati wa taabu

Met 11:8 Mwadilifu huokolewa na taabu

Met 17:17 rafiki, ndugu wakati wa taabu

Met 24:10 kuvunjika moyo siku ya taabu?

Isa 53:11 taabu ya nafsi

Da 12:1 wakati wa taabu ambayo

Sef 1:15 siku ya taabu na maumivu

Ro 3:16 taabu imo katika njia zao

Yak 4:9 Iweni na taabu na kulia

Yak 5:1 matajiri, lieni juu ya taabu

1Sa 14:29; 2Sa 22:7; 1Fa 18:18; Met 11:17; 15:6, 27; Isa 8:22; Ro 2:9; 1Th 5:3.

TABAKA, Yer 5:4 wao ni tabaka ya chini

TABASAMU, Ayu 29:24 nikiwapa tabasamu

TABIA, Amu 2:19 tabia ya ukaidi

1Ko 15:33 huharibu tabia nzuri

TABIA-POLE, Mt 5:5 furaha walio na tabia-pole

Mt 11:29 mimi ni mwenye tabia-pole

Mt 21:5 Mfalme, mwenye tabia-pole

1Pe 3:15 kujitetea kwa tabia-pole

1Ti 6:11.

TABIBU, Mwa 50:2 matabibu wakampaka Israeli

Ayu 13:4 matabibu wasio na faida

Lu 4:23 Tabibu, jiponye

Lu 5:31 afya hawahitaji tabibu

Kol 4:14 Luka tabibu mpendwa

TABORI, Amu 4:14 Mlima Tabori

TAFAKARI. Pia ona SAUTI YA CHINI.

Mwa 24:63 Isaka, ili atafakari

Zb 19:14 kutafakari kwa moyo wangu

Zb 77:12 nitatafakari utendaji wako

Zb 104:34 Kutafakari kwangu kupendeze

Zb 143:5 Nimetafakari utendaji wako

Met 5:6 hatafakari njia za uzima

Met 15:28 hutafakari ili kujibu

Mdo 4:25 watu wakatafakari matupu?

Ebr 13:7 mnapotafakari mwenendo wao

Yer 18:11; 1Ti 4:15.

TAFSIRI, Mwa 40:8 tafsiri si za Mungu?

Mhu 8:1 kujua tafsiri ya jambo?

Da 2:4 tutaonyesha tafsiri yake

Da 5:16 unaweza kutoa tafsiri

Da 5:26 ndiyo tafsiri ya neno:

1Ko 14:13 asali ili aitafsiri

1Ko 14:27 mtu fulani atafsiri

TAFSIRIWA, Ezr 4:7 kutafsiriwa katika lugha

Yoh 1:42; 9:7.

TAFUTA, Zb 27:4 jambo moja nitalitafuta

Zb 37:25 uzao wake ukitafuta mkate

Met 2:4 kuutafuta kama hazina

Met 15:14 hutafuta upumbavu

Isa 55:6 Mtafuteni Yehova

Eze 34:11 nitawatafuta kondoo zangu

Eze 39:14 miezi saba wataendelea kutafuta

Amo 9:3 wakijificha nitawatafuta

Sef 2:3 mtafuteni Yehova

Mal 3:1 Bwana ambaye mnamtafuta

Mt 6:33 kuutafuta kwanza ufalme

Mt 7:7 endeleeni kutafuta, mtapata

Mt 10:11 tafuteni ni nani anayestahili

1Ko 10:33 bila kutafuta faida yangu

Kol 3:1 endeleeni kutafuta yaliyo juu

Ebr 11:14 wanatafuta kwa bidii mahali

Ebr 13:14 tunatafuta lile litakalokuja

1Pe 1:10 walitafuta kwa uangalifu

Ayu 28:3; Zb 9:12; 64:6; 119:2; Met 1:28; 11:27; Isa 16:5; 26:9; Yer 29:13; Omb 3:40; Eze 7:25; 34:8; Amo 8:12; Zek 8:22; Yoh 8:40, 50; Mdo 15:17; Ro 2:7; 1Ko 1:22; Ga 1:10; Ebr 11:6; 1Pe 5:8; Ufu 9:6.

TAFUTWA, Oba 6 walio wa Esau wametafutwa

TAHIRI. Ona pia TOHARA. Ro 2:29; 3:30; 4:11; 1Ko 7:19.

TAHIRIWA, Isa 52:1 asiyetahiriwa na asiye safi

Mdo 7:51 wasiotahiriwa katika mioyo

Law 26:41; Eze 32:24; Hab 2:16; 1Ko 7:18.

TAI, Isa 40:31 Wataruka juu kama tai

Eze 10:14; Oba 4; Mt 24:28; Ufu 12:14.

TAIFA, Kut 19:6 makuhani na taifa takatifu

2Sa 7:23 taifa gani kama Israeli

Zb 9:17 mataifa yanayosahau Mungu

Zb 33:12 taifa ambalo Yehova ni

Isa 2:2 mataifa yatamiminika huko

Isa 2:4 Taifa halitainua upanga

Isa 26:2 taifa la uadilifu linaloshika

Isa 66:8 taifa litazaliwa wakati uleule

Yer 25:32 Msiba, taifa mpaka taifa

Sef 2:1 Ee taifa lisiloona aibu

Sef 3:8 ni kukusanya mataifa

Hag 2:7 kutamanika vya mataifa

Mt 12:21 mataifa yatatumaini jina

Mt 21:43 ufalme, kupewa taifa linalozaa

Mt 24:7 taifa kupigana na taifa

Mt 24:14 ushahidi kwa mataifa

Mt 25:32 mataifa kukusanyika mbele yake

Lu 21:24 nyakati za mataifa zitimizwe

Lu 21:25 maumivu ya mataifa

Lu 23:2 akipindua taifa letu

Mdo 15:14 uangalifu kwa mataifa

Efe 4:17 kama mataifa wanavyotembea

1Pe 2:12 mwenendo mzuri kati ya mataifa

Ufu 11:18 mataifa wakawa na ghadhabu

Mwa 22:18; Mdo 10:35; Ro 3:29; Ufu 7:9.

TAIFA LA ISRAELI, Efe 2:12.

TAJA, Zb 6:5 katika kifo hutajwi

Zb 50:16 kuyataja masharti yangu

Flp 3:18 nilikuwa nikiwataja mara

Yud 4 walitajwa kimbele na Maandiko

TAJI, Eze 21:26 kulivua taji

1Th 2:19 taji la kufurahi kwetu

2Ti 4:8 nimewekewa akiba taji

Ufu 2:10 nitakupa taji la uzima

2Sa 1:10; Est 8:15; Zb 89:39; Met 27:24; Mt 27:29; Yak 1:12; 1Pe 5:4; Ufu 12:3.

TAJI LISILOWEZA KUFIFIA, 1Pe 5:4.

TAJIRI, Met 13:7 anayejifanya tajiri

Yer 9:23 tajiri asijigambe

Lu 18:25 kuliko tajiri kuingia ufalme

2Ko 8:9 ingawa alikuwa tajiri

1Ti 6:9 wameazimia kuwa matajiri

1Ti 6:18 matajiri katika matendo

Yak 2:5 matajiri katika imani

Yak 5:1 basi, enyi matajiri

Ufu 3:17 unasema: Mimi ni tajiri

Lu 16:19.

TAJIRISHA, 1Sa 2:7 Mwenye Kutajirisha

Met 10:22 Baraka ya Yah hutajirisha

2Ko 6:10 kuwatajirisha wengi

TAJWA, Hes 1:17 wametajwa kwa majina

Efe 1:21 kila jina linalotajwa

Efe 5:3 Uasherati, au pupa visitajwe

TAKA, Mwa 9:5 nitaitaka nafsi ya mwanadamu

Kum 10:12 anataka nini kwako ila

Zb 40:6 Hukutaka toleo la kuteketezwa

Mik 6:8 Yehova anataka nini kutoka kwako

Flp 1:17 wanataka kuchochea dhiki

Kum 18:19; 23:21; Eze 20:40.

TAKASA, Yos 3:5 Jitakaseni, kwa maana

1Fa 9:3 Nimeitakasa nyumba hii

2Nya 7:16 naichagua na kuitakasa nyumba hii

Isa 5:16 Mungu, atajitakasa kupitia uadilifu

Isa 29:23 watalitakasa jina langu

Yer 1:5 nilikutakasa. Nilikufanya nabii

Yer 51:27 Takaseni mataifa juu yake

Eze 36:23 nitalitakasa jina langu kuu

Eze 37:28 ninawatakasa Israeli

Da 11:35 kutakasa na kufanya weupe

Da 12:10 Wengi watajitakasa

Yoe 3:9 Takaseni vita

Yoh 17:17 Watakase kwa njia ya ile kweli

Yoh 17:19 ninajitakasa kwa ajili yao

Mdo 10:15 vitu ambavyo Mungu ametakasa

2Th 2:13 aliwachagua kwa kuwatakasa

Ebr 13:12 kuwatakasa watu kwa damu yake

Yak 4:8 takaseni mioyo yenu

1Pe 1:22 mmezitakasa nafsi zenu

1Pe 3:15 mtakaseni Kristo katika mioyo

Kut 13:2; 29:36, 44; Hes 3:13; 19:12; Kum 32:51; 2Nya 29:18; Zb 51:2; Eze 38:16; 45:18; Sef 1:7; Lu 4:27; Mdo 11:9; Efe 5:26; Ebr 1:3; 1Yo 3:3.

TAKASWA, 2Sa 22:31 Neno limetakaswa

2Nya 30:19 ingawa hajatakaswa

Eze 20:41 nitatakaswa katika ninyi

Lu 11:2 jina lako na litakaswe

1Ko 6:11 lakini mmetakaswa

1Ko 7:14 hutakaswa kuhusiana na mke

1Th 4:3 mapenzi ya Mungu, mtakaswe

Ebr 2:11 wanaotakaswa hutokana na mmoja

Ebr 10:10 tumetakaswa kupitia toleo la Kristo

1Pe 1:2 kwa kutakaswa kwa roho

Law 22:32; Isa 13:3; 1Ko 1:2; 1Ti 4:5; 2Ti 2:21.

TAKATAKA, Isa 5:25 maiti, kama takataka

1Ko 4:13 tumekuwa takataka ya

Flp 3:8 naviona kuwa takataka

TAKATIFU, Ro 7:12 Sheria ni takatifu

1Ko 3:17 hekalu la Mungu ni takatifu

TAKWA, Ro 8:4 takwa la Sheria

TALAKA, Kum 24:1 cheti cha talaka

Isa 50:1 cheti cha talaka cha mama yenu

Yer 3:8 nikampa cheti cha talaka

Mal 2:16 Mungu amechukia talaka

TALANTA, Kut 38:25, 27; 1Fa 10:10, 14; Mt 18:24; 25:15; Ufu 16:21.

TALIKI, Mt 1:19 Yosefu alikusudia kumtaliki

Mt 5:31 anayemtaliki mke, ampe cheti

Mt 19:7 Musa aliagiza cheti cha kumtaliki?

Mt 19:9 anayetaliki, ila kwa uasherati

Mk 10:11; Lu 16:18.

TALIKIWA, Law 21:7 wasioe aliyetalikiwa

Law 22:13 binti ya kuhani akitalikiwa

Hes 30:9 nadhiri, mwanamke aliyetalikiwa

TAMAA, Mwa 3:16 tamaa itakuwa kwa mume

Zb 145:16 kutosheleza tamaa

Hab 2:17 tamaa juu ya wanyama

Lu 12:15 mjilinde na tamaa

Yoh 8:44 mnataka, tamaa za baba yenu

Ro 7:5 tamaa zenye dhambi

Ro 7:7 singejua tamaa kama Sheria

1Ko 7:9 ndoa kuliko kuwaka tamaa

Ga 5:24 mwili na tamaa zake

1Th 2:5 unafiki kwa ajili ya tamaa

1Ti 5:11 tamaa zao za ngono

1Ti 6:9 tamaa nyingi za kijinga

Tit 2:12 tukatae tamaa za kilimwengu

Yak 1:14 kushawishiwa na tamaa

Yak 4:1 tamaa zenu za mwili

Yak 5:5 katika tamaa za mwili

2Pe 3:3 kulingana na tamaa zao

1Yo 2:16 tamaa ya mwili, tamaa ya

1Yo 2:17 ulimwengu unapita na tamaa

2Sa 23:15; Wim 7:10; Ro 1:29; Ga 5:24; 2Ti 2:22; 1Pe 2:2; 2Pe 2:3, 18.

TAMAA YA KIMWILI, Ga 5:16.

1Pe 2:11 epuka tamaa za kimwili

TAMAA YA MWILI, Eze 23:11; 1Ti 5:6; Yak 4:1; 5:5.

TAMAA YA NAFSI, Isa 56:11.

TAMAA YA NGONO, 1Ti 5:11.

TAMAA ZA MWILI, 1Ti 5:6.

TAMANI, Kut 20:17 Usimtamani mke

Kum 12:20 nafsi inatamani kula nyama

Zb 37:7 kumngojea Yah kwa kutamani

Zb 45:11 mfalme atatamani urembo

Zb 84:2 Nafsi imetamani Yehova

Met 21:10 nafsi ya mwovu imetamani mabaya

Mik 2:2 wametamani mashamba

Mt 5:28 na kumtamani tayari

Ro 7:7; 13:9 Usiibe, Usitamani

Flp 1:8 ninavyowatamani ninyi

Mwa 4:7; 31:30; Ayu 14:15; Met 23:6; 24:1; Amo 5:18; Ro 1:11; Flp 1:23; 2Ti 1:4.

TAMANIKA, Eze 24:16 kutamanika machoni

Da 11:38 na vitu vyenye kutamanika

Da 11:43 atatawala vitu vya kutamanika

Hag 2:7 vitu vyenye kutamanika vya mataifa

TAMARI, Mwa 38:6, 11; Ru 4:12; Mt 1:3.

TAMASHA, Nah 3:6 nitakuweka uwe tamasha

1Ko 4:9 tamasha kwa ulimwengu

1Ko 7:31 tamasha ya ulimwengu

TAMBARARE, Lu 3:5 kilima kifanywe tambarare

TAMBUA, Mwa 3:7 wakatambua walikuwa uchi

Met 1:2 kutambua maneno ya uelewaji

Met 3:6 Mtambue katika njia zako

Met 19:25 ili atambue ujuzi

Met 31:18 Ametambua biashara ni nzuri

Nah 1:7 Yehova hutambua wale

Mt 5:3 wanaotambua uhitaji wa kiroho

Mt 7:20 mtawatambua kwa matunda

Ro 11:2 watu, aliowatambua

1Ko 11:29 ikiwa hautambui mwili

1Ko 16:18 watambueni watu wa

2Ko 6:9 ni wenye kutambuliwa

Kum 33:9; 1Sa 2:12; 3:8; 1Fa 3:9; Met 20:24; Isa 61:9; 63:16; Da 10:14; Ho 2:8; 11:3; 2Ko 1:13.

TAMBULIKA, Met 28:12 hujifanya asitambulike

TAMBULIWA, Yer 19:4 mahali, pasitambuliwe

TAMKWA, 2Ko 12:4 yasiyoweza kutamkwa

TAMU, Yak 3:11 matamu na machungu

Zb 141:4.

TAMUZI, Eze 8:14 wakimlilia mungu Tamuzi

TANGA-TANGA, Zb 36:11 mtu wa kutanga-tanga

TANGAZA, Kut 9:16 jina langu litangazwe

Law 25:10 kutangaza uhuru nchini

Kum 32:3 nitatangaza jina la Yehova

2Fa 10:20 Baali. Basi wakalitangaza

Ayu 27:5 niwatangaze kuwa waadilifu!

Ayu 32:3 walitangaza Mungu kuwa mwovu

Zb 19:1 Mbingu zinatangaza utukufu

Zb 40:9 Nimetangaza habari njema

Zb 68:11 Wanawake wanaotangaza

Zb 119:13 nimetangaza maamuzi

Isa 42:9 ninayatangaza mambo mapya

Isa 61:1 kutangaza uhuru kwa mateka

Yer 34:17 kumtangazia uhuru kila

Da 5:29 wakatangaza Danieli

Yoe 3:9 Tangazeni kati ya mataifa

Yon 3:2 Ninawi, ukalitangazie

Mk 5:20 kutangaza mambo ya Yesu

Lu 4:18 alinitia mafuta kutangaza habari

Lu 8:39 akatangaza jijini

Lu 16:15 mnaojitangaza waadilifu

Mdo 8:4 katika nchi wakitangaza habari

Ro 5:18 wao kutangazwa waadilifu

Ro 8:33 Mungu anayewatangaza waadilifu

1Ko 9:14 wanaotangaza waishi kwa

1Ko 9:16 ole wangu nisipotangaza habari

1Ko 11:26 kukitangaza kifo cha Bwana

1Pe 2:9 mtangaze kotekote sifa bora

Kut 23:7; 33:19; 1Nya 16:24; Est 8:13; Zb 22:30; 72:17; 79:13; 88:11; 94:21; 96:3; 102:21; 119:26; Met 20:6; Isa 52:7; 61:2; Yer 4:15; 5:20; 19:2; 31:7; 34:8; Da 2:5, 8; Amo 4:5; Yon 3:5; Mdo 15:36; Flp 1:16; Kol 1:28; Ebr 2:12.

TANGAZIWA, Est 3:14 ikitangaziwa watu

Ro 15:21 ambao hawajatangaziwa

TANGAZO, Yoh 19:19 Pilato akaandika tangazo

1Ti 6:13 tangazo zuri la hadharani

TANGAZO LA HADHARANI, Ro 10:10; Ebr 13:15.

TANGAZWA, Flp 1:18 Kristo anatangazwa

TANGAZWA KUWA MWADILIFU, Isa 43:9; Ro 2:13; 3:20, 24; 5:1, 9; 8:30; Ga 2:16; 1Ti 3:16; Yak 2:21, 24, 25.

TANGI, 2Fa 18:31; Isa 36:16; Yer 2:13.

TANGUA, Ayu 42:6 natangua niliyosema

Isa 44:25 Ninazitangua ishara za

Ga 3:17 Sheria hailitangui agano

TANGULIA, 1Th 4:15 hatutawatangulia waliolala

TANULIA KINYWA, Zb 57:3.

TANURU, Zb 12:6 iliyosafishwa katika tanuru

Isa 48:10 tanuru ya mateso

Da 3:17 atatuokoa kutoka tanuru

Kum 4:20; Da 3:19; Mal 4:1; Mt 13:42.

TAPANYA, Lu 15:13 akatapanya mali

TAPIKA, Yer 25:27 mtapike na kuanguka

Ufu 3:16 nitakutapika kutoka

Law 20:22.

TARAJIA, Zb 33:20 Nafsi imemtarajia Yehova

Isa 8:17 nitaendelea kumtarajia Yehova

Da 12:12 furaha, anayeendelea kutarajia

Lu 3:15.

TARAJIO, Met 13:12 Tarajio lililocheleweshwa

Ebr 11:1 Imani ni tarajio

Met 10:28; Lu 21:26; Ebr 10:27.

TARSHISHI, Isa 23:1 meli za Tarshishi!

2Nya 9:21; Zb 48:7; Eze 27:12, 25; Yon 1:3.

TARTARO, 2Pe 2:4 kuwatupa Tartaro

TARUMBETA, Mt 6:2 usipige tarumbeta mbele

1Ko 14:8 tarumbeta ikipiga mwito

1Ko 15:52 tarumbeta ya mwisho

1Th 4:16 atashuka kwa tarumbeta

Ebr 12:19; Ufu 8:2.

TASA, Ayu 3:7 Usiku huo uwe tasa

Isa 54:1 Piga vigelegele, mwanamke tasa

Lu 23:29 Wenye furaha ni wanawake tasa

Mwa 11:30; Kut 23:26; 1Sa 2:5; Ayu 15:34; 30:3; Isa 49:21; Ga 4:27.

TATANISHA, 1Fa 10:1 maswali ya kutatanisha

Isa 19:3 roho lazima itatanishwe

Ebr 12:1 dhambi inayotutatanisha

TATU, 2Ko 12:2 mbingu ya tatu

TAUNI, Zb 106:29 Tauni ikazuka katikati yao

Eze 38:22 hukumu, kwa tauni

Zek 14:12 tauni ambayo Yehova atatumia

Lu 21:11 tauni, upungufu wa chakula

Kum 28:21; Zb 78:50; Yer 14:12; Amo 4:10.

TAWALA. Ona pia KUJIZUIA.

Mwa 1:18 kutawala mchana na usiku

Mwa 1:26 watawale samaki

Mwa 1:28 mtawale kila kiumbe hai

Mwa 3:16 mume wako, atakutawala

Mwa 37:8 Je, utatutawala?

Kut 15:18 Yehova atatawala

Kum 15:6 utatawala mataifa mengi

Amu 8:23 sitatawala juu yenu

1Sa 8:9 haki ya mfalme atakayetawala

2Sa 23:3 anayetawala ni mwadilifu

Zb 8:6 atawale kazi za mikono yako

Zb 59:13 Mungu anatawala miisho ya dunia

Zb 103:19 ufalme wake umetawala

Zb 119:133 jambo la kuumiza lisinitawale

Met 29:2 mwovu akitawala, watu huugua

Met 30:22 mtumwa anapotawala

Mhu 8:9 amemtawala mwanadamu

Isa 14:5 fimbo ya wanaotawala

Isa 32:1 Mfalme atatawala kwa uadilifu

Isa 32:1 watatawala kwa ajili ya haki

Eze 20:33 nitatawala juu yenu

Ro 5:14 kifo kilitawala

Ro 6:12 dhambi isitawale miili

1Ko 4:8 sisi tutawale nanyi

1Ko 15:25 atawale mpaka Mungu

Kol 3:15 amani ya Kristo itawale mioyoni

2Ti 2:12 tukivumilia, tutatawala

Ufu 11:15 atatawala milele na milele

Ufu 11:17 kutawala ukiwa mfalme

Ufu 20:4 na kutawala miaka elfu

1Sa 8:11; 24:20; 1Fa 1:5; Ayu 34:30; Zb 49:14; Met 8:16; Isa 3:4; Yer 23:5; Da 11:39; Mik 4:7; 1Ko 4:8; Ufu 19:6.

TAWANYA, Mwa 11:9 Yehova amewatawanya

Zb 147:16 Anatawanya sakitu

Met 15:7 wenye hekima hutawanya ujuzi

Yer 23:2 mmewatawanya kondoo zangu

Mt 12:30 asiyekusanya nami anatawanya

Zb 144:6; Met 11:24; Yer 30:11; Eze 5:10; 34:21; Hab 3:14; Yoh 10:12.

TAWANYIKA, Zb 68:1 adui zake watawanyike

Yak 1:1 makabila yaliyotawanyika

Mwa 11:4; Eze 34:5, 12; Zek 13:7; 1Pe 1:1.

TAWANYWA, Isa 51:6 mbingu zitatawanywa

Isa 56:8 Yehova, akusanya waliotawanyika

Zb 147:2; Isa 11:12; 16:3, 4; 27:13; Zek 1:19; Mdo 8:4.

TAWI, Law 25:3 utakata matawi ya shamba

Isa 11:1 tawi litatoka katika kisiki

Isa 53:2 atapanda kama tawi

Yoe 1:7 Matawi yamekuwa meupe

Mt 21:8 kukata matawi

Yoh 15:2 Kila tawi ndani yangu lisilozaa

Ro 11:21 Mungu hakuyaachilia matawi

Mt 24:32; Lu 13:19; Yoh 15:4, 6; Ro 11:16.

TAYA, Amu 15:15 taya ya punda-dume

TAYARI, 1Ti 6:18 wakarimu, tayari kushiriki

Est 7:10; Met 21:31.

TAYARISHA, Zb 8:3 Mwezi, nyota umetayarisha

Mt 25:34 ufalme uliotayarishwa

Ro 9:23 alivyotayarisha kimbele

Ebr 11:16 ametayarisha jiji

Met 30:25; Eze 38:7; Mt 11:10; 20:23.

TAYARISHIA, Yoh 14:2 kuwatayarishia mahali

1Ko 2:9 Mungu ametayarishia wanaompenda

Ebr 10:5 ulinitayarishia mwili

Zb 78:20.

TAYARISHIWA, Mt 25:41.

Mk 10:40 wataketi ambao wametayarishiwa

TAYARISHWA, Zb 37:23 Hatua zimetayarishwa

Lu 1:17 watu waliotayarishwa

2Ti 2:21 kilichotayarishwa kwa kazi

TAZAMA, Zb 94:9 jicho, hawezi kutazama?

Mt 14:19 akatazama mbinguni, akabariki

Lu 9:62 jembe, na kutazama nyuma

2Ko 3:7 Israeli hawakuweza kutazama Musa

Ebr 12:2 tukimtazama Wakili

Isa 17:7; Zek 12:10; Mdo 1:10; 3:12; 11:6; 2Ko 3:13; Yak 1:23; Ufu 18:9.

TAZAMIA, Mik 7:7 kumtazamia Yehova

Ro 8:19 uumbaji kutazamia kufunuliwa

TAZAMIO, Ro 5:21 tazamio la uzima wa

TAZAMIWA, Mwa 34:25 bila kutazamiwa

TEGA, Met 5:1, 13; Lu 11:54.

TEGA KITENDAWILI, Amu 14:12; Eze 17:2.

TEGEMEA, Zb 84:12 yule anayekutegemea

Met 3:5 usitegemee uelewaji wako

Met 3:5 Mtegemee Yehova

Met 11:28 Anayetegemea utajiri

Met 29:25 anayemtegemea atalindwa

Isa 26:3 huyo hufanywa akutegemee

Isa 31:1 wanaotegemea magari ya vita

Yer 7:4 Msiyategemee maneno

Yer 17:5 Amelaaniwa anayemtegemea

Mik 7:5 Msimtegemee rafiki msiri

Ro 9:11 kutegemea, si matendo

1Pe 4:11 hudumu akitegemea Mungu

Zb 9:10; 32:10; 49:6; Met 28:26; Yer 46:25.

TEGEMEKA, Zb 19:7 ni chenye kutegemeka

Zb 78:8 haikuwa yenye kutegemeka

Da 2:45 ndoto ni ya kutegemeka

TEGEMEO, Zb 56:11 Nimeweka tegemeo

Zb 146:3 Msiweke tegemeo katika watu

TEGEMEWA, 2Ko 1:18 anaweza kutegemewa

TEGEMEZA, Zb 55:22 Yehova atakutegemeza

Ebr 1:3 hutegemeza vitu vyote

TEKA, Met 20:5 shauri, mtambuzi ataliteka

Zek 14:2 Yerusalemu litatekwa

2Ko 10:5 nasi tunaiteka kila fikira

1Ti 1:10 watu wanaoteka watu

TEKA NYARA, Mwa 40:15 niliteka nyara

Kum 24:7 akiteka nyara nafsi

TEKELEZA, Ru 1:1 waamuzi walitekeleza haki

Kut 12:12.

TEKETEA, Kut 3:2 mti haukuwa ukiteketea

1Ko 3:15 kazi ya yeyote ikiteketea

Kum 4:11.

TEKETEZA, Isa 37:19 miungu iliteketezwa

Eze 5:4 kuziteketeza motoni

Eze 39:9 kuteketeza silaha na ngao

Mik 1:7 zawadi zitateketezwa katika moto

Sef 3:8 dunia yote itateketezwa

Mal 4:1 siku inayokuja itawateketeza

Ufu 17:16 watamchukia na kumteketeza

Ufu 18:8 atateketezwa kabisa kwa moto

Ufu 20:9 moto ukashuka, ukawateketeza

Kum 4:24; 9:3; Amo 5:6; Nah 2:13; Sef 1:18; Zek 9:4; Mt 13:30; Ebr 10:27; 12:29.

TEMA MATE, Ga 4:14 kulitemea mate kwa chuki

Mt 26:67; 27:30.

TEMBEA, Mwa 1:21 nafsi hai inayotembea

Mwa 6:9 Noa alitembea na Mungu

Kum 6:7 unapotembea na unapolala

2Sa 5:18 kutembea huku na huku

Zb 23:4 ninatembea, bonde la kivuli

Zb 26:11 nitatembea katika utimilifu

Met 10:9 Anayetembea kwa utimilifu

Isa 30:21 njia. Tembeeni ndani yake

Isa 35:8 wapumbavu hawatatembea juu

Isa 35:9 waliokombolewa watatembea

Yer 10:23 Mwanadamu anayetembea

Mik 6:8 kiasi katika kutembea

Yoh 6:19 Yesu akitembea baharini

Mdo 9:31 kutaniko likitembea katika

Efe 2:2 mlitembea, ulimwengu

Efe 4:1 mtembee, kustahili mwito

Efe 5:15 jinsi mnavyotembea si

1Yo 2:6 kutembea kama alivyotembea

Mwa 3:8; 5:24; Ayu 1:7; Mdo 3:8; 2Th 3:11.

TEMBELEA, Mdo 15:36 turudi tutembelee ndugu

TENDA, Da 11:39 atatenda kwa matokeo

Ro 6:6 mwili ufanywe usiotenda

2Pe 1:8 yatawazuia kuwa wasiotenda

Zb 101:2; Da 11:17, 28, 32.

TENDA DHAMBI, 1Fa 8:47.

TENDA KWA MATOKEO, Da 11:17, 28, 32, 39.

TENDEA, Isa 29:14 atakayekitendea kwa ajabu

Lu 7:4 Anastahili umtendee hili

Kol 2:23 kuutendea mwili kwa ukali

Yoe 3:4.

TENDEA VIBAYA, Eze 18:7.

Eze 18:12 amemtendea vibaya maskini

Eze 22:7 Wametendea vibaya mvulana

Eze 22:29 wamemtendea vibaya maskini

Ebr 11:25 kutendewa vibaya

Ebr 11:37 wakitendewa vibaya

Ebr 13:3 kumbukeni wanaotendewa vibaya

Kut 22:21; 1Sa 31:4; Met 19:26; Isa 49:26; Yer 22:3; 38:19; Eze 45:8; Mdo 7:24.

TENDEKA, Yak 3:10 mambo kutendeka hivyo

TENDESHA, Da 9:27 kulitendesha agano

TENDO, Amu 5:11 matendo ya uadilifu

Mdo 26:20 kufanya matendo ya toba

Ufu 20:12 kulingana na matendo yao

Mwa 20:9; Hes 16:28; Ayu 33:17; Zb 103:6; 106:2; 145:4, 12; Isa 59:6.

TENGA, Hes 8:14 utawatenga Walawi

Amu 11:35 binti, nilikuwa nikitenga

1Fa 8:53 uliwatenga wawe urithi wako

Ro 8:35 nani atakayetutenga na upendo

Ro 8:39 havitaweza kututenga

Ga 1:15 Mungu, aliyenitenga

Kol 1:21 mlikuwa mmetengwa

Mdo 19:9; Efe 2:12; 4:18.

TENGA NA USHIRIKA. Ona FUKUZA.

TENGANISHA, Mwa 1:4 akatenganisha nuru

Hes 14:34 maana ya kutenganishwa nanyi

Mt 25:32 atawatenganisha watu

Efe 2:14 ukuta uliowatenganisha

TENGANISHWA, Zb 88:5.

TENGENEZA, Isa 45:9.

TENGENEZWA, Kum 27:15

TENGWA, Hes 12:14, 15 atengwe nje ya kambi

Yos 7:1 Akani alichukua kilichotengwa

Kum 7:26; 2Nya 26:21; Zb 39:2.

TERA, Mwa 11:24; Lu 3:34.

TERAFIMU, 1Sa 15:23 uchawi na terafimu

Zek 10:2 terafimu zimesema

Mwa 31:19; 2Fa 23:24; Eze 21:21; Ho 3:4.

TESA, Mwa 15:13 watawatesa miaka 400

Kut 22:22 Msimtese mjane

Ayu 19:22 mnaendelea kunitesa

Ayu 36:15 Atamwokoa mwenye kuteseka

Yer 20:11 wanaonitesa watajikwaa

Mt 5:11 wanaposhutumu na kuwatesa

Mt 5:12 waliwatesa manabii

Mt 5:44 kuwaombea wanaowatesa

Mt 8:29 Je, umekuja kututesa?

Mt 10:23 wanapowatesa katika jiji

Mt 23:34 kuwatesa jiji baada ya jiji

Lu 21:12 watawakamata na kuwatesa

Yoh 15:20 Ikiwa wamenitesa mimi

Yoh 15:20 watawatesa ninyi pia

Mdo 7:52 mababu hawakumtesa?

Ro 12:14 kuwabariki wanaowatesa

Ga 1:13 niliendelea kulitesa kutaniko

Kum 30:7; 2Sa 7:10; Ayu 34:28; 36:15; Zb 94:5; 119:86, 157, 161; Isa 49:13; 53:4, 7; 58:10; 60:14; Yer 17:18; Nah 1:12; Sef 3:19; Mk 5:7; Lu 8:28; Ufu 11:10.

TESEKA, Zb 82:3 kuteseka, mtendeeni haki

Met 31:9 mwenye kuteseka na maskini

Isa 66:2 anayeteseka na kujuta rohoni

Ro 8:17 mradi tu tunateseka pamoja

Flp 1:29 mteseke kwa ajili yake

1Pe 2:21 Kristo aliteseka kwa ajili yenu

1Pe 3:17 ni afadhali kuteseka

1Pe 4:1 Kristo aliteseka katika mwili

Mdo 26:23; Ebr 2:18; 5:8; 1Pe 3:14; 5:10; Ufu 18:10.

TESWA, Lu 16:23 akiteswa sana

1Ko 4:12 tunapoteswa, tunavumilia

2Ko 4:9 tunateswa, lakini hatuachwi

2Ti 3:12 ujitoaji-kimungu, watateswa

Ebr 11:35 watu wengine waliteswa

Ufu 14:11 moshi wa kuteswa kwao

Mt 5:10; Ufu 9:5; 20:10.

TETE, Mt 11:7 Tete likitikiswa

TETEA, Hes 21:7 Tutetee kwa Yehova

Met 22:23 Yehova atatetea kesi

Isa 1:17 teteeni masilahi ya mjane

Yer 30:13 anayetetea mambo yako

Lu 12:11 jambo mtakalojitetea nalo

Mdo 25:16 nafasi ya kujitetea

Flp 1:7 kutetea kisheria habari njema

Flp 1:16 kutetea habari njema

2Ti 4:16 kujitetea kwangu kwanza

1Pe 3:15 sikuzote mkiwa tayari kujitetea

Yoh 15:22; Mdo 19:33; Ro 2:15; 2Ko 12:19.

TETEMEKA, Kum 33:29 adui watatetemeka

Amu 7:3 anayeogopa na kutetemeka

2Sa 22:46 Wageni, kuja wakitetemeka

Zb 2:11 mshangilie kwa kutetemeka

Zb 29:8 nyika itetemeke

Zb 119:120 Mwili wangu umetetemeka

Isa 6:4 milango vikaanza kutetemeka

Isa 66:5 mnaotetemeka kwa ajili ya neno

Eze 27:35 wafalme, kutetemeka

Eze 38:20 wote watalazimika kutetemeka

Da 6:26 wakitetemeka mbele za Mungu

Flp 2:12 kuogopa na kutetemeka

Yak 2:19 wanaamini na kutetemeka

Kum 28:65; 2Sa 22:45; Ayu 4:14; Zb 18:44; 66:3; Yer 30:5; Eze 32:10; Ho 3:5; Mik 7:17; 2Pe 2:10.

TETEMEKO LA NCHI, Zek 14:5; Mt 24:7; Mt 27:54; Lu 21:11; Ufu 6:12.

TETEMESHA, Mik 4:4; Sef 3:13.

TEUA. Ona CHAGUA

TEZI, Mk 4:38; Mdo 27:29, 41.

THABITI, Kol 1:23 mkiwa thabiti

Kol 2:5 uthabiti wa imani yenu

THADAYO, Mt 10:3; Mk 3:18.

THAMANI, Zb 116:15 thamani machoni pa

Zb 139:17 mawazo yenye thamani

Met 3:15 thamani kuliko marijani

Met 12:11 vitu visivyo na thamani

Isa 1:13 matoleo yasiyo na thamani

Isa 43:4 mwenye thamani machoni

Mt 13:46 lulu ya thamani

Mdo 19:19 vitabu thamani 50,000

Flp 3:8 thamani bora zaidi

Ebr 10:29 thamani ya kawaida tu

1Pe 1:19 damu ya thamani, Kristo

1Pe 2:4 la thamani, kwa Mungu

1Sa 26:21; Met 8:18; 31:10; 1Pe 1:7; 2:6; 3:4; 2Pe 1:4; Ufu 17:4.

THAMANI TUKUFU, Zek 11:13.

THAMINI, Lu 7:2 mtumwa, aliyemthamini sana

Ebr 12:16 asiyethamini mambo matakatifu

THAWABU, Mwa 15:1 Thawabu itakuwa kubwa

Ru 2:12 Yehova akupe thawabu

Zb 13:6 njia ya kunipa thawabu

Zb 127:3 Uzao ni thawabu

Mt 5:12 thawabu yenu ni kubwa

Kol 3:24 kwa Yehova thawabu

Mt 6:1, 2; 10:41; 1Ko 3:8; Ebr 10:35.

THELUJI, Ayu 38:22 maghala ya theluji

Zb 51:7 kuwa mweupe kuliko theluji

Zb 147:16 Anatoa theluji kama sufu

Isa 1:18 zitafanywa nyeupe kama theluji

Da 7:9 Mavazi meupe kama theluji

Kut 4:6; Zb 148:8; Met 25:13; 26:1; Ufu 1:14.

THIATIRA, Mdo 16:14; Ufu 1:11; 2:18, 24.

THIBITISHA, Mdo 25:7 hawakuweza kuthibitisha

Ga 6:4 athibitishe kazi yake

1Th 2:4 Mungu, anayethibitisha mioyo

Mt 18:16.

THIBITISHA KISHERIA, Flp 1:7.

THIBITISHIWA, Ebr 2:3 tukathibitishiwa wokovu

THIBITISHWA, Mdo 6:3 saba waliothibitishwa

THUBUTU, Kum 18:20 nabii atakayethubutu

Ro 5:7 mtu anaweza kuthubutu kufa

Ro 15:18 sitathubutu kusema

Ebr 11:29 Wamisri walipothubutu kupitia

TIA MAFUTA, Kut 28:41 utawatia mafuta na

Amu 9:8 miti ilienda kumtia mafuta mfalme

1Sa 16:13 Samweli akamtia mafuta

Zb 45:7 amekutia mafuta kwa

Isa 61:1 Yehova amenitia mafuta

2Ko 1:21 ambaye ametutia mafuta ni Mungu

Ebr 1:9 Mungu wako alikutia mafuta

Kut 30:25; 40:13, 15; Law 8:12; Hes 4:16; 1Sa 16:12; 1Fa 1:34; 19:16.

TIA MOYO, Kum 3:28 Yoshua, na kumtia moyo

2Nya 35:2 kuwatia moyo katika utumishi

Mdo 14:22 wakiwatia moyo kubaki

1Ko 14:3 hujenga na kutia moyo

1Ko 14:31 wote wajifunze na kutiwa moyo

Ebr 10:25 tutiane moyo, kadiri

Mdo 11:23; 2Ko 9:5; Ebr 13:22.

TII, Mwa 49:10 Shilo watu watamtii

Kut 19:5 mtaitii sauti yangu kabisa

1Sa 15:22 Kutii ni bora kuliko dhabihu

Yer 35:14 wameitii amri ya babu

Mdo 5:29 tumtii Mungu kuliko wanadamu

Ro 5:19 kutii kwa mtu mmoja

Ro 6:16 watumwa kwa sababu mnamtii

2Ko 10:5 fikira ili imtii Kristo

Efe 6:1 watoto, watiini wazazi

Efe 6:5 watumwa, watiini mabwana

2Th 1:8 kisasi juu ya wasiotii

Tit 3:1 kuzitii serikali

Ebr 5:8 alijifunza kutii kutokana

Ebr 5:9 wokovu kwa wale wanaomtii

Ebr 11:8 Abrahamu, alipoitwa, alitii

Ebr 13:17 Watiini wanaoongoza

1Pe 3:6 Sara, akimtii Abrahamu

Kut 24:7; 2Sa 22:45; Zb 18:44; Yer 35:8; Da 7:27; Mt 8:27; Mdo 5:32; 7:39; Ro 2:8; 6:17; 1Pe 1:22; 4:17.

TIISHA, Mwa 1:28 mjaze dunia na kuitiisha

1Nya 17:10 nitawatiisha adui zako

Zb 110:2 Nenda ukitiisha

Isa 45:1 Koreshi, kuyatiisha mataifa

1Ko 15:27 Mungu alivitiisha vitu vyote

Flp 3:21 kuvitiisha vitu vyote kwake

Ebr 2:8 alivitiisha vyote chini yake

TIISHWA, 1Sa 7:13 Wafilisti wakatiishwa

Ro 8:20 uumbaji ulitiishwa

Ebr 2:15 wametiishwa chini ya utumwa

1Pe 3:22 malaika na nguvu vilitiishwa

Lu 10:20.

TIKISA, Isa 14:16 akizitikisa falme

Eze 21:21 Ametikisa mishale

Hag 2:7 nitatikisa mataifa yote

Ebr 12:26 sauti yake iliitikisa dunia

Yoe 3:16; Lu 6:48.

TIKISIKA, 2Sa 22:8 dunia ikaanza kutikisika

Zb 46:2 hata milima ikitikisika

Zb 55:22 Hatamwacha atikisike

Zb 18:7; 46:5; 121:3.

TIKISWA, Mt 24:29 nguvu za mbingu zitatikiswa

Ebr 12:28 ambao hauwezi kutikiswa

Zb 15:5; 93:1; 125:1; 2Th 2:2.

TIKISWA-TIKISWA, Nah 3:12.

TIMAZI, Isa 28:17 uadilifu kuwa timazi

2Fa 21:13; Amo 7:7, 8; Zek 4:10.

TIMIA, Lu 18:31 mambo yote yatatimia

TIMIZA, Kum 23:21 usikawie kuitimiza

1Fa 8:15 Mungu ametimiza

2Nya 6:10 Yehova akatimiza neno lake

2Nya 36:21 kulitimiza neno la Yehova

Zb 20:5 Yehova atimize maombi

Zb 21:11 mawazo wasiyoweza kutimiza

Zb 61:8 kutimiza nadhiri zangu

Zb 148:8 moto unaotimiza neno lake

Mhu 5:4 nadhiri, usisite kuitimiza

Yer 33:14 nitalitimiza, ambalo nimesema

Yon 2:9 nadhiri, nitakitimiza

Mt 5:17 si kuharibu, bali kutimiza

2Ti 4:5 timiza kwa ukamili huduma

2Nya 6:4, 15; Ayu 39:2; Zb 20:4; 22:25; 50:14; 66:13; 76:11; 116:14; Yer 44:25; Mt 2:15; 12:17; Lu 8:14; 21:22; Ga 6:2.

TIMIZWA, Met 13:19 Tamaa inapotimizwa

Met 15:22 washauri, mambo hutimizwa

2Ti 4:17 kazi ya kuhubiri itimizwe

TIMOTHEO, Mdo 16:1; 1Ko 4:17; 1Ti 1:2.

TIRIRIKA, Eze 7:17 magoti, yanatiririka maji

TIRIRISHA, Isa 45:8 anga zitiririshe uadilifu

TIRO, Isa 23:1 Tangazo la Tiro

Isa 23:17 atakaza fikira juu ya Tiro

2Sa 5:11; 1Fa 7:13; Zb 45:12; Eze 27:2.

TISHA, Mdo 9:1 Sauli bado akiwatisha

Efe 6:9 mwache kutisha

TISHO, Zb 73:19; Eze 4:16; 12:19.

TITI, Isa 66:11 titi la utukufu wake

TITO, 2Ko 2:13; 12:18; Ga 2:1; Tit 1:4.

TIWA MAFUTA, Eze 28:14; 1Yo 2:20.

TOA, Mt 10:8 Mlipokea bure, toeni bure

Mdo 20:35 furaha zaidi katika kutoa

2Ko 3:9 kutolewa kwa uadilifu

Ebr 9:14 Kristo alijitoa kwa Mungu

Ebr 10:12 alitoa dhabihu moja

Ebr 11:17 kana kwamba alimtoa Isaka

1Yo 3:16 huyo aliitoa nafsi yake

Mwa 22:13; Ezr 1:6; Ayu 1:21; Isa 43:6; Mdo 8:18.

TOAZI, 2Sa 6:5 wakisherehekea kwa matoazi

1Ko 13:1 sina upendo, nimekuwa toazi linalolia

TOBA, Mt 3:8 matunda yanayofaa toba

Mdo 26:20 matendo yanayostahili toba

Ro 2:4 kukuongoza kwenye toba?

2Ko 7:10 huzuni hutokeza toba

2Ti 2:25 Mungu akawapa toba

Mt 3:11; Lu 24:47; Mdo 11:18; 2Pe 3:9.

TOBOA, Amu 5:26 akatoboa kichwa chake

Ayu 30:17 Mifupa yangu imetobolewa

Mwa 7:11.

TOFAUTI, Law 11:47 kufanya tofauti kati ya

Mal 3:18 tofauti, mwadilifu, mwovu

Ro 10:12 hakuna tofauti, Myahudi, Mgiriki

1Ko 14:7 kisipofanya tofauti ya sauti

Ga 4:20 kusema kwa njia tofauti

Yak 2:4 mna tofauti za kitabaka

Da 7:3, 7, 19, 23, 24; Mdo 15:9; Ro 3:22; Yak 3:17.

TOFAUTISHA, Ebr 5:14 kutofautisha sawa, kosa

Eze 22:26 tofautisha kitakatifu, cha kawaida

TOFETHI, 2Fa 23:10; Isa 30:33; Yer 7:31.

TOHARA Ona pia TAHIRI. Flp 3:3; Kol 2:11.

TOKANA, Ebr 2:11 wote hutokana na mmoja

TOKEA, Mwa 12:7 Yehova akamtokea Abramu

Kut 3:16 Yehova Mungu amenitokea

1Fa 11:9 yeye aliyemtokea mara mbili

2Nya 3:1 Yehova alikuwa amemtokea Daudi

Isa 42:9 Kabla hayajaanza kutokea

Amu 6:12; Lu 9:31; Mdo 9:17; 16:9.

TOKENI, 2Ko 6:17 tokeni, na mjitenge

Ufu 18:4 Tokeni kwake, watu wangu

Isa 52:11; Yer 51:45.

TOKEO, Ayu 13:26 matokeo ya makosa

TOKEZA, 2Ko 5:5 aliyetutokeza ni Mungu

TOLEO, Mwa 4:4 Abeli na toleo lake

1Nya 29:9 Yehova, matoleo ya hiari

Isa 53:10 nafsi yake, toleo la hatia

Mal 3:3 toleo la zawadi kwa uadilifu

2Ti 4:6 namiminwa kama toleo

Ebr 10:14 toleo moja la dhabihu

Hes 15:14; Ezr 2:68; Mal 3:4; Mt 12:4; Lu 6:4; Efe 5:2.

TOLEO LA HATIA, Law 5:6; Hes 6:12.

TOLEO LA KINYWAJI, Hes 28:7; Isa 30:1; Flp 2:17; 2Ti 4:6.

TOLEO LA KUTEKETEZWA, Mwa 8:20; Law 16:24; 1Sa 15:22; Zb 40:6; 51:16; Yer 19:5.

TOLEWA, Ebr 9:28 Kristo alitolewa mara moja

TOMASI, Mt 10:3; Yoh 20:24; Mdo 1:13.

TONGE, Yoh 13:26, 27, 30.

TONGOZA, Met 7:21 Akamtongoza kwa midomo

TOROKA, Amo 9:1 hakuna atakayetoroka

TOSHA, Mt 6:34 Unatosha kila siku ubaya

2Ko 12:9 Fadhili zangu zinakutosha

1Pe 4:3 wakati uliopita uliwatosha

Mt 28:12; Mdo 17:9; 2Ko 2:6, 16; 3:5; 2Ti 2:2.

TOSHEKA, Zb 17:15 Nitatosheka kuona umbo

Met 27:20 Kaburi na macho hayatosheki

TOSHELEZA, Zb 145:16 kutosheleza tamaa

TOWASHI, Mt 19:12 matowashi waliozaliwa

Isa 56:3, 4; Yer 38:7; Mdo 8:27.

TOWEKA, Ebr 8:13 agano, karibu kutoweka

TOZA, Kum 22:19 watamtoza shekeli mia

Met 21:11 kumtoza mwenye dhihaka

2Fa 23:33; Met 17:26.

TUBU, Mt 3:2 Tubuni, ufalme umekaribia

Mt 12:41 Ninawi, walitubu

Lu 15:7 mtenda-dhambi anayetubu

Mdo 3:19 tubuni na mgeuke

Ufu 16:9 hawakutubu ili wampe

Mt 11:21; Lu 13:3; 16:30; 17:4; 2Ko 12:21; Ufu 2:5, 21; 3:19.

TUFANI, Zb 83:15 Uwafuatilie kwa tufani yako

Yer 23:19 tufani inayozunguka

Yer 25:32 tufani kuu itaamshwa

Amo 1:14 tufani siku ya upepo

TUKANA, 1Pe 4:4 wanashangaa, kuwatukana

2Pe 2:10 mbele ya watukufu, hutukana

Mdo 18:6.

TUKANWA, Zb 4:2 utukufu utatukanwa

Tit 2:5 neno la Mungu lisitukanwe

1Ko 4:12; 1Pe 2:23.

TUKIA, 2Ti 2:22 tamaa zinazotukia ujanani

TUKIO, Mwa 42:4; Kut 21:22.

TUKIO LISILOTAZAMIWA, Mhu 9:11.

TUKUFU, Ne 9:5 walibariki jina lako tukufu

Zb 145:5; Isa 11:10.

TUKUZA, Kut 15:1 kwa maana ametukuzwa

Zb 34:3 Mtukuzeni Yehova

Zb 40:16 Yehova na atukuzwe

Zb 46:10 Nitatukuzwa kati ya mataifa

Zb 50:15 nawe utanitukuza

Zb 66:17 ulimi wangu ukamtukuza

Zb 138:2 umeyatukuza maneno yako

Isa 60:13 nitatukuza mahali pa miguu

Eze 38:23 nitajitukuza na kujitakasa

Da 11:36 mfalme atajitukuza juu ya

Lu 1:46 Nafsi inamtukuza Yehova

Yoh 15:8 Baba yangu hutukuzwa

Yoh 17:1 mtukuze mwana wako

Yoh 17:5 Baba, nitukuze kando

Mdo 10:46 lugha na wakimtukuza Mungu

Ro 1:21 hawakumtukuza kuwa Mungu

Ro 8:17 tunateseka, tutukuzwe pamoja

1Ko 6:20 mtukuzeni Mungu mwilini

Flp 1:20 Kristo, atatukuzwa hivyo

Ebr 5:5 Kristo hakujitukuza

Ufu 18:7 kadiri alivyojitukuza

Ayu 36:24; Zb 35:27; 57:5; 66:2; 69:30; 70:4; 86:12; 118:28; Isa 10:15; 25:1, 3; 42:21; Da 5:23; Mal 1:5; Yoh 7:39; 12:28; 17:4, 10; Mdo 19:17; Ro 15:6; 1Pe 2:12.

TULI, Yos 10:12 Ewe jua, simama tuli

Yos 10:13.

TULIA, Kut 15:16; Yer 47:6.

TULIZA, Mwa 32:20 nikamtuliza kwa zawadi

Ayu 11:19 watu watakutuliza

Met 15:18 hutuliza mabishano

Mwa 50:21; Ru 2:13.

TUMA, Zb 43:3 Tuma nuru yako na kweli

Zb 110:2 Yehova ataituma fimbo

Isa 6:8 Nitamtuma nani

Isa 61:1 Amenituma kufunga majeraha

Mal 3:1 ninamtuma mjumbe wangu

Mal 4:5 Nawatumia ninyi Eliya nabii

Mt 10:16 ninawatuma kama kondoo

Yoh 20:21 Baba amenituma

Ga 4:4 wakati ulipofika Mungu alimtuma

Mwa 24:7; Kut 3:14; Isa 55:11; Yer 25:15; Mt 10:5; 11:10; 13:41; 21:34; Lu 10:1; Yoh 14:26; Mdo 3:20; 8:14; Ro 10:15; 1Ko 1:17; 1Yo 4:9.

TUMAINI, Ayu 14:7 mti kuna tumaini

Isa 40:31 wanaomtumaini Yehova

Mt 12:21 mataifa yatalitumaini jina

Mdo 26:7 nashtakiwa kuhusu tumaini

Ro 5:5 tumaini halikatishi tamaa

Ro 8:20 msingi wa tumaini

Ro 8:24 tumaini linaloonekana si

Ro 15:4 faraja tuwe na tumaini

Efe 2:12 hamkuwa na tumaini

1Th 4:13 wengine wasio na tumaini

Ebr 6:19 Tumaini, kama nanga

Ebr 10:23 la hadharani la tumaini

Ebr 11:1 mambo yanayotumainiwa

1Pe 3:15 sababu ya tumaini lenu

Zb 25:3; 146:5; Met 20:22; Isa 12:2; 36:4; Yer 18:12; Mik 5:7; 1Ko 9:10; Efe 4:4; Kol 1:27.

TUMBO, Kum 18:3 atampa kuhani tumbo

Ayu 1:21 nilitoka tumboni nikiwa uchi

Zb 127:3 Matunda ya tumbo ni thawabu

Met 13:25 tumbo la waovu litakuwa tupu

Yer 1:5 kukuumba ndani ya tumbo nilikujua

Ro 16:18 watumwa wa matumbo yao

Flp 3:19 mungu wao ni tumbo lao

1Ti 5:23 divai kwa ajili ya tumbo

Mwa 3:14; 2Sa 20:10; Wim 5:14; Yer 51:34; Da 2:32; Mt 12:40; 1Ko 6:13.

TUMBO LA UZAZI, Zb 110:3; Yoh 3:4; Ga 1:15.

TUMBUIZA, Amu 16:25 Samsoni, kututumbuiza

TUMBUKIZA, 2Fa 5:14 kujitumbukiza Yordani

1Ti 6:9 hutumbukiza katika uharibifu

TUMIA, 1Ko 7:31 wanaoutumia ulimwengu

TUMIA VIBAYA, 1Ko 9:18.

TUMIKA, Lu 16:8 hekima kwa njia inayotumika

TUMIKIA, Kum 7:16 usiitumikie miungu yao

Yos 24:15 jichagulieni mtakayemtumikia

1Nya 28:9 umtumikie kwa moyo kamili

Zb 100:2 Mtumikieni kwa kushangilia

Zb 106:36 waliendelea kutumikia sanamu

Da 3:17 Mungu ambaye tunamtumikia

Da 7:10 maelfu waliomtumikia

Sef 3:9 wamtumikie bega kwa bega

Mt 6:24 kuwatumikia mabwana wawili

Mdo 17:25 hatumikiwi kwa mikono

Ro 13:6 wakitumikia kwa kusudi hili

2Ti 2:4 anayetumikia akiwa askari

Kut 20:5; Zb 72:11; Isa 60:12; Yer 27:6; Mdo 7:7; Ga 4:9.

TUMIKIA RASMI, Ebr 7:13.

TUMIKIANA, Ga 5:13 upendo, mtumikiane

TUMIKISHA, Kut 6:5; Yer 27:7.

TUMIKISHWA, Ga 4:3 kutumikishwa na mambo

TUMIWA, 2Ko 12:15 kutumiwa kwa ajili ya nafsi

TUNDA, Mwa 3:3 matunda, msiyale, msiyaguse

Zb 128:3 mzabibu unaozaa matunda

Met 13:2 matunda ya kinywa chake

Isa 27:6 watajaza matunda nchini

Isa 65:21 mizabibu na kula matunda

Eze 34:27 mti utatoa matunda

Eze 47:12 matunda yatakuwa chakula

Mt 7:19 mti usiozaa matunda

Mt 7:20 kwa matunda mtawatambua

Mt 21:43 taifa lenye kuzaa matunda

Yoh 15:2 tawi lisilozaa matunda

Ro 7:4 tumzalie Mungu matunda

Ga 5:22 matunda ya roho

Flp 1:11 mjazwe matunda ya uadilifu

Kol 1:10 kuzaa matunda, kila kazi njema

Ebr 13:15 tunda la midomo

Lu 3:8; Yoh 4:36; 15:8, 16.

TUNDIKA, Kum 21:23 aliyetundikwa

Yos 8:29 akamtundika mfalme wa Ai

Yos 10:26 akawatundika juu ya miti mitano

Est 7:10 wakamtundika Hamani

Mwa 40:22; Est 8:7; 9:14; Zb 137:2; Omb 5:12; Lu 23:39.

TUNDIKA MTINI, Mt 20:19.

Mk 15:25 saa tatu, wakamtundika mtini

Lu 23:21 wakisema: Mtundike mtini!

Lu 24:7 wenye dhambi, na kutundikwa mtini

Yoh 19:6 wenyewe mkamtundike mtini

Mdo 5:30 kwa kumtundika mtini

Mdo 10:39 walimtundika mtini

Ebr 6:6 wanatundika mtini upya Mwana

Ufu 11:8 Bwana wao alitundikwa mtini

Mt 23:34; 26:2; Mk 15:14; Yoh 19:10, 15; Ro 6:6; 1Ko 1:13; Ga 2:20; 6:14.

TUNDU, Isa 11:8 tundu la nyoka

Eze 19:9 wakamweka katika tundu

TUNDU LA SINDANO, Mt 19:24; Mk 10:25.

TUNGA, 1Sa 23:9 Sauli, akitunga madhara

Ne 6:8 unayatunga moyoni

Met 3:29 Usitungie mwenzako baya

Met 6:14 Anatunga mabaya wakati wote

Met 6:18 moyo unaotunga hila

Met 14:22 wanaotunga madhara

Eze 17:2; 24:3 utunge neno

Amo 6:5 mnatunga kulingana

Mdo 1:1 simulizi, nilitunga

Nah 1:11; Yoh 7:17; 14:10; 18:34.

TUNGA KOSA, Efe 4:14 kutunga kosa

TUNGA KWA UFUNDI, 2Pe 1:16.

TUNGA MATATIZO, Zb 94:20.

TUNGA MIMBA, Yak 1:15.

TUNZA, Ufu 16:15 kutunza mavazi yake

Isa 49:23; Efe 5:29; 1Th 2:7; Yak 1:27; Yud 21.

TUNZA AKILI, 1Th 5:6 macho na kutunza akili

1Th 5:8 tutunze akili na kuvaa

2Ti 4:5 tunza akili, mambo yote

1Pe 1:13 tunzeni akili kwa ukamili

TUNZANA, 1Ko 12:25 viungo vyake vitunzane

TUPA, Kum 4:31 Yehova hatakutupa

Eze 10:2 kuyatupa juu ya jiji

Yoh 12:31 mtawala atatupwa nje

TUPU, Met 13:25 tumbo la waovu litakuwa tupu

Isa 24:3 nchi itafanywa kuwa tupu

Efe 5:6; 1Ti 6:20; 2Ti 2:16.

TUPWA, Mt 3:10; 5:25; 7:19.

TUSI, Ayu 20:3 Nasikia himizo la kunitusi

TUZO, 1Ko 9:24 mmoja hupokea tuzo?

Flp 3:14 mradi wa tuzo

Kol 2:18 awanyang’anye tuzo

TWAA, 1Ko 7:21 utwae nafasi hiyo

U

UA 1., Kut 20:13 Usiue

Law 24:21 anayeua mnyama atalipa

Hes 25:5 kila mmoja awaue watu wake

1Sa 2:6 Yehova, Mwenye Kuua

Eze 9:6 mtoto, wanawake mtawaua

Mt 10:28 wanaua mwili lakini

Mt 24:9 dhiki na kuwaua

Lu 12:5 baada ya kuua ana

Yoh 16:2 kila anayewaua ninyi

Ro 11:3 wamewaua manabii

Kol 3:5 viueni viungo vya mwili

Yak 3:8 ulimi, sumu yenye kuua

Yak 5:6 mmemuua mwadilifu

Mwa 37:20; Kum 4:42; Yos 10:10; Ne 4:11; Est 9:5; Ayu 13:15; 24:14; Zb 139:19; Yer 50:27; Amo 9:1; Zek 11:5; Mt 5:21; 15:19; Lu 21:16; Mdo 3:15; 7:52; 8:1; Yak 2:11.

UA 2., Isa 35:1 jangwa kuchanua maua

Kut 37:17; Isa 5:24; 27:6.

UA 3., Kut 27:9; 2Nya 4:9; Eze 8:16.

UADILIFU, Zb 45:7 Umependa uadilifu

Zb 92:15 hamna ukosefu wa uadilifu

Met 21:3 Kutenda uadilifu na hukumu

Met 31:9 hukumu kwa uadilifu

Isa 26:2 taifa la uadilifu

Isa 26:9 wakaaji watajifunza uadilifu

Isa 32:1 Mfalme, kutawala kwa uadilifu

Isa 45:8 anga zitiririshe uadilifu

Isa 60:17 uadilifu kuwa wagawa-kazi

Isa 61:3 miti ya uadilifu

Isa 61:10 koti la uadilifu

Yer 11:20 anahukumu kwa uadilifu

Eze 3:20 acha matendo ya uadilifu

Sef 2:3 Utafuteni uadilifu

Mt 5:10 wameteswa kwa ajili ya uadilifu

Yoh 16:8 uthibitisho kuhusu uadilifu

Mdo 10:35 kutenda uadilifu anakubalika

Mdo 17:31 kuihukumu kwa uadilifu dunia

Ro 1:17 uadilifu wa Mungu

Ro 10:3 uadilifu wa Mungu

1Ko 15:34 katika njia ya uadilifu

2Th 1:6 uadilifu kwa Mungu

2Ti 3:16 nidhamu katika uadilifu

1Pe 2:23 anahukumu kwa uadilifu

1Pe 3:14 mkiteseka kwa ajili ya uadilifu

2Pe 3:13 humo uadilifu utakaa

1Yo 5:17 kukosa uadilifu, dhambi

Ufu 19:11 kufanya vita kwa uadilifu

Ufu 22:11 uadilifu, azidi kutenda

Mwa 15:6; Isa 9:7; 11:4; Da 12:3; Sef 3:5; Mt 5:6.

UADUI, Mwa 3:15 uadui kati yako na mwanamke

Zb 23:5 wanaonionyesha uadui

Ro 8:7 mwili akili, ni uadui na Mungu

Yak 4:4 ulimwengu, uadui na Mungu

Mwa 50:15; Ayu 16:9; Zb 55:3.

UAGUZI, Hes 22:7 malipo ya uaguzi

Kum 18:10 Asipatikane anayefanya uaguzi

1Sa 15:23 uasi ni sawa na uaguzi

Eze 13:6 uaguzi wa uwongo

Mik 3:11 manabii, uaguzi wapate pesa

2Nya 33:6; Eze 13:23.

UAJEMI, Ezr 1:8; 6:14; Est 1:14; Da 8:20.

UAMINIFU, Kum 32:4 Mungu wa uaminifu

Kum 32:20 Wana wasio na uaminifu

1Nya 10:13 Sauli alikosa uaminifu

Zb 40:10 Nimetangaza uaminifu wako

Met 27:6 Vidonda, ni vya uaminifu

Isa 26:2 taifa la uaminifu liingie

Eze 17:20 uaminifu alionitendea

Eze 18:24 ukosefu wake wa uaminifu

Hab 2:4 ataishi kwa uaminifu wake

1Th 3:7 dhiki kupitia uaminifu wenu

Tit 2:7 uaminifu katika fundisho

Tit 2:10 uaminifu mwema kikamili

Yos 7:1; 22:22; 2Fa 12:15; 2Nya 19:9; 31:12; Zb 33:4; 36:5; 119:90; Isa 25:1; Ro 3:3.

UAMUZI, Met 16:10 Uamuzi ulioongozwa na roho

Yoe 3:14 bonde la uamuzi

Ro 14:1 maamuzi juu ya maswali

Ro 14:13 fanyeni hili kuwa uamuzi wenu

1Ko 7:37 uamuzi wa kutunza ubikira

Yoh 5:19, 30; 7:28; 8:28, 42; Mdo 15:19; Yak 2:4; Ufu 16:7.

UAMUZI WA HUKUMU, Law 18:5; Kum 4:8; 1Fa 3:28; Zb 19:9; 36:6; 119:91; 149:9; Eze 11:20.

UANDIKISHO WA KIUKOO, 1Nya 4:33; 2Nya 31:16; Ezr 8:1.

UANGALIFU, Mal 3:16 akatoa uangalifu

Ga 4:10 Mnashika kwa uangalifu

Ebr 2:1 kazia uangalifu tuliyosikia

2Pe 1:19 mnafanya vema kulikazia uangalifu

1Yo 1:1 tumetazama kwa uangalifu

Isa 21:7; 34:1.

UANGALIZI, Mdo 1:20 Cheo chake cha uangalizi

Zb 109:8; Eze 44:11.

UASHERATI, Hes 25:1 uasherati na Moabu

Amu 2:17 uasherati na miungu

2Fa 9:22 uasherati wa Yezebeli

Zb 106:39 uasherati kwa matendo

1Ko 5:1 uasherati wa namna ambayo

1Ko 6:13 mwili si kwa uasherati

1Ko 6:18 Ukimbieni uasherati

1Ko 10:8 Wala tusifanye uasherati

Efe 5:3 Uasherati usitajwe kati yenu

Kol 3:5 viueni viungo, uasherati

1Th 4:3 mjiepushe na uasherati

Ufu 17:2 wafalme walifanya uasherati naye

Ufu 18:3 walifanya uasherati naye

Kut 34:15; Law 17:7; 20:5; Hes 15:39; Eze 43:7, 9; Ho 2:2; 4:12; 5:4; 6:10; 9:1; Ga 5:19.

UASI, 1Sa 15:23 uasi ni kama uaguzi

Met 1:32 uasi wa wasio na uzoefu

Hes 17:10; Kum 31:27; Ezr 4:19; Ayu 23:2; Zb 106:7; Met 17:11; Isa 3:8; Eze 44:6.

UASI-IMANI, Isa 10:6 taifa lenye kuasi imani

Isa 32:6 moyo utatenda uasi-imani

Yer 23:15 uasi-imani umeenea

Da 11:32 atawaongoza kwenye uasi-imani

Mdo 21:21 uasi-imani wa kumwacha Musa

2Th 2:3 isipokuwa uasi-imani uje kwanza

UASI-SHERIA, Mt 24:12 kuongezeka uasi-sheria

2Ko 6:14 uadilifu na uasi-sheria?

2Th 2:7 fumbo la uasi-sheria

Ebr 1:9 ukachukia uasi-sheria

1Yo 3:4 dhambi ni uasi-sheria

Mt 7:23; 23:28; Ro 6:19; 2Th 2:3.

UAWA, Zb 44:22 tumeuawa mchana kutwa

Isa 34:2 Yehova atawatoa wauawe

Yer 25:33 waliouawa na Yehova siku hiyo

Eze 9:7 kuzijaza nyua kwa waliouawa

Mt 16:21 kuuawa, siku ya tatu afufuliwe

Ufu 6:9 waliouawa kwa sababu ya neno

Ufu 18:24 wote ambao wameuawa

Ufu 20:4 waliouawa kwa shoka

Isa 66:16; Yer 51:49; Eze 6:13; Ufu 2:13; 9:18; 13:15.

UBADILISHANAJI, Ro 1:12.

UBAGUZI, Law 19:15 Usitende kwa ubaguzi

Mdo 10:34 Mungu hana ubaguzi

Ro 2:11 hakuna ubaguzi kwa Mungu

Yak 3:17 haifanyi tofauti za ubaguzi

1Pe 1:17 huhukumu bila ubaguzi

Zb 82:2; Efe 6:9; Kol 3:25.

UBANI, Kut 30:34; Yer 41:5.

UBATILI, Zb 24:4 nafsi Yangu kwa ubatili

Met 13:11 vinavyopatikana kwa ubatili

Mhu 3:19 kwa kuwa yote ni ubatili

Mhu 7:15 siku zangu za ubatili

Isa 40:17 Mbele zake mataifa ni ubatili

Zek 10:2 kufariji kwa ubatili

Ro 8:20 uumbaji, chini ya ubatili

Efe 4:17 ubatili wa akili zao

Mhu 1:2; 4:4; 9:9; 11:10; Isa 41:29; 44:9; 49:4; 59:4; Yer 10:15; 1Ko 3:20; Tit 3:9.

UBATIZO, Lu 12:50 nina ubatizo wa kubatizwa

Ro 6:4 tulizikwa kupitia ubatizo

Efe 4:5 imani moja, ubatizo mmoja

Mt 3:7; Mk 10:38; Lu 3:3; Mdo 19:4; Kol 2:12; 1Pe 3:21.

UBAYA, Met 6:18 myepesi kukimbilia ubaya

Mhu 7:15 mwovu anayeendelea katika ubaya

Mdo 8:22 tubu ubaya wako huu

1Ko 14:20 iweni watoto kuhusiana na ubaya

1Pe 3:9 msilipe ubaya kwa ubaya

UBIKIRA, Amu 11:37 niulilie ubikira wangu

1Ko 7:36 isivyofaa kuelekea ubikira

UBINAFSI, Zb 106:14 tamaa ya ubinafsi

UBISHI, Isa 41:21 Leteni kesi yenu ya ubishi

Yer 25:31 Yehova ana ubishi na mataifa

Lu 12:58 kujiondolea ubishi naye njiani

UBORA, Ro 3:1 Myahudi ana ubora gani?

2Ko 3:10 utukufu unachokizidi ubora

Flp 4:7 yenye ubora unaozidi fikira

UBOVU, Met 12:4 ubovu kwenye mifupa

Met 14:30 wivu, ubovu mifupani

UBUNI, 2Nya 26:15 ubuni wa mafundi

UBWANA, Mt 20:25 mataifa hupiga ubwana

UCHAFU, Omb 1:9 Uchafu wake umo ndani

Eze 18:6 mwanamke katika uchafu

Ro 1:24 aliwaacha katika uchafu

1Ko 4:13 tumekuwa uchafu wa vyote

1Th 4:7 bila nafasi ya uchafu

Yak 1:21 ondoeni uchafu wote

1Pe 3:21 si kuondoa uchafu wa mwili

Eze 39:24; Mik 4:11; Yak 2:2; Ufu 22:11.

UCHAWI, Isa 2:6 uchawi kama Wafilisti

1Sa 15:23; Isa 1:13; 2:6; Yer 27:9; Amo 5:5; Mik 5:12.

UCHI, Mwa 3:7 wakatambua walikuwa uchi

Ayu 1:21 nilitoka tumboni uchi

Mik 1:11 katika uchi wa aibu

2Ko 5:3 hatutapatikana uchi

Ebr 4:13 viko uchi navyo vimefunuliwa

Yak 2:15 ndugu au dada yuko uchi

Ufu 3:17 maskini, kipofu na uchi

Ufu 16:15 ili asitembee uchi na watu

Ufu 17:16 kuwa ukiwa na uchi

Mwa 2:25; Ayu 26:6; Ho 2:3; Mt 25:36.

UCHINJAJI, Eze 21:10 ili kupanga uchinjaji

UCHOCHEZI WA UASI, Lu 23:19; Mdo 21:38; 24:5.

UCHOKOZI, Zb 106:32 uchokozi, maji ya Meriba

UCHONGEZI, 1Ti 3:11 si wenye uchongezi

Tit 2:3.

UCHOYO, Hes 11:4 tamaa ya uchoyo

UCHU. Pia TAMAA.

Ro 1:27 kuwakiana tamaa katika uchu

1Pe 4:3 uchu, divai kupita kiasi

2Pe 1:4 uharibifu kutokana na uchu

UCHUMBA. Ona CHUMBIA

UCHUNGU, Kut 15:14 Uchungu utawashika

Ayu 10:1 Nitasema kwa uchungu

Isa 33:7 wajumbe watalia kwa uchungu

Isa 66:7 uchungu wa kuzaa, alizaa

Isa 66:8 nchi itazaliwa kwa uchungu

Yer 22:23 uchungu kama wa mwanamke

Eze 27:30 watapaaza kilio kwa uchungu

Eze 32:9 nitaitia uchungu mioyo

Hab 1:6 taifa lenye uchungu

Mt 26:75 akaenda nje akalia kwa uchungu

Kol 3:19 msiwakasirikie kwa uchungu

Ufu 12:2 uchungu wa kuzaa

Mwa 3:16; Kum 4:25; 31:29; 2Sa 2:26; 1Fa 16:33; Zb 48:6; Met 14:10; Isa 5:20; 13:8; 23:4; 38:15; 51:2; Yer 22:23; Efe 4:31.

UCHUNGUZI, Amu 5:16 uchunguzi wa moyo

Ayu 34:24 bila uchunguzi wowote

Ezr 4:15; 5:17; 6:1.

UDANGANYIFU, Zb 24:4 kuapa kwa udanganyifu

Zb 34:13 midomo isiseme udanganyifu

Isa 53:9 hakuna udanganyifu kinywani

Yer 15:18 wewe umekuwa udanganyifu

Mik 1:14 za Akzibu, kitu cha udanganyifu

Mt 13:22 nguvu za udanganyifu wa utajiri

Yoh 1:47 hamna udanganyifu kwake

2Ko 11:13 wafanyakazi wadanganyifu

Efe 4:22 tamaa zake za udanganyifu

Kol 2:8 falsafa na udanganyifu

Ebr 3:13 nguvu za udanganyifu za dhambi

1Pe 2:1 ondoeni udanganyifu wote

1Pe 2:22 wala udanganyifu kinywani mwake

Ayu 15:35; Zb 10:7; 32:2; Met 12:17; Yer 8:5; 9:6; 14:14; 2Th 2:10.

UDHAIFU, Mdo 14:15 udhaifu kama ninyi

Ro 8:26 msaada kwa udhaifu wetu

Ro 15:1 kuchukua udhaifu wa

1Ko 2:3 nilikuja katika udhaifu

1Ko 15:43 Hupandwa katika udhaifu

2Ko 12:9 nguvu, kamili katika udhaifu

Ebr 4:15 kuusikitikia udhaifu wetu

UDHALIMU, Mwa 49:6 na katika udhalimu wao

Isa 3:4 nguvu za kidhalimu zitatawala juu yao

UDHI, Mhu 1:18; Isa 51:23.

UDONGO, Mwa 3:17 udongo umelaaniwa

Kut 3:5 uliposimama ni udongo mtakatifu

1Sa 15:29 Yah si mtu wa udongo

Ayu 10:9 kutoka katika udongo

Isa 29:16 mfinyanzi ahesabiwe kama udongo?

Isa 64:8 Sisi ni udongo, nawe ni Mfinyanzi

Lu 8:15 udongo mzuri

2Ko 4:7 vyombo vya udongo

Met 3:4; Isa 45:9; Da 2:34; Yoh 9:6; Ro 9:21.

UELEWAJI, Ayu 32:8 ndiyo inayowapa uelewaji

Zb 119:104 Ninajiendesha kwa uelewaji

Zb 147:5 Uelewaji wake hauwezi

Met 3:5 usitegemee uelewaji wako

Isa 29:14 uelewaji wa wenye busara

Da 11:33 wengi kuwa na uelewaji

1Ko 14:20 nguvu za uelewaji

1Nya 22:12; Met 4:7; 9:10; Yak 3:13.

UFAFANUZI, 2Nya 13:22; 24:27.

UFAHAMU, Met 1:3 nidhamu, humpa ufahamu

Met 13:15 Ufahamu mzuri huleta

Met 14:35 mtumishi aliye na ufahamu

Met 16:22 Ufahamu ni uzima

Met 19:11 Ufahamu hupunguza hasira

Da 11:33 walio na ufahamu

Ro 1:21 moyo usio na ufahamu

Ro 3:11 hakuna aliye na ufahamu

Ebr 10:2 ufahamu wa dhambi

1Nya 28:19; Zb 111:10; 119:99; Met 3:4; Isa 44:18; Yer 3:15; 9:24; Da 12:3, 10; Efe 4:19.

UFALME, Kut 19:6 ufalme wa makuhani

2Fa 19:19 falme za dunia zijue

1Nya 29:11 Ufalme ni wako, Yehova

Da 2:44 Mungu atasimamisha ufalme

Da 7:27 Ufalme wao ni wa milele

Sef 3:8 nizikusanye falme

Mt 6:10 Ufalme wako na uje

Mt 6:33 kutafuta kwanza ufalme

Mt 24:14 habari njema ya ufalme

Mt 25:34 urithini ufalme uliotayarishwa

Lu 12:32 amekubali kuwapa ufalme

Lu 22:29 agano, kwa ajili ya ufalme

Yoh 18:36 Ufalme si wa ulimwengu

1Ko 15:24 atakapomkabidhi Mungu ufalme

Kol 1:13 ufalme wa Mwana wa upendo

Ebr 11:33 kwa imani walishinda falme

Ufu 1:6 alitufanya ufalme, makuhani

Ufu 11:15 Ufalme wa ulimwengu umekuwa

Yos 13:12, 21, 27, 30, 31; Ezr 1:2; Isa 9:7; 23:17; Yer 25:26; Da 10:13; Mt 4:8; 25:34; 2Ti 4:1; Yak 2:5; Ufu 5:10.

UFALME WA MBINGUNI, Mt 10:7.

Mt 23:13 mnafunga ufalme wa mbinguni

Mt 3:2.

UFALME WA MUNGU, Mt 21:43.

Mk 4:11 siri ya ufalme wa Mungu

Lu 9:62 hafai ufalme wa Mungu

Lu 17:20 Ufalme wa Mungu, si wonyesho

Mdo 14:22 ufalme wa Mungu kupitia dhiki

Lu 6:20; Ro 14:17; 1Ko 4:20.

UFANISI, Kum 28:11 ufurike kwa ufanisi

Kum 30:9.

UFUFUO, Mt 22:30 ufufuo, hawaoi wala

Yoh 5:29 ufufuo wa hukumu

Yoh 11:25 Mimi ndiye ufufuo

Mdo 24:15 ufufuo wa waadilifu

Ro 6:5 mfano wa ufufuo wake

1Ko 15:42 Ndivyo pia ufufuo

Flp 3:11 ufufuo wa mapema

2Ti 2:18 ufufuo tayari umetukia

Ebr 11:35 wafu wao kwa ufufuo

Ufu 20:6 ufufuo wa kwanza

1Ko 15:12, 13, 21; Flp 3:10.

UFUFUO ULIO BORA, Ebr 11:35.

UFUNDI WA KUFUNDISHA, 2Ti 4:2; Tit 1:9.

UFUNGUO, Mt 16:19 funguo za ufalme

Lu 11:52 ufunguo wa ujuzi

Ufu 1:18 funguo za kifo

Ufu 20:1 ufunguo wa abiso

Amu 3:25; Isa 22:22; Ufu 3:7; 9:1.

UFUNUO, Ro 16:25 ufunuo wa siri takatifu

1Ko 1:7 ufunuo wa Bwana Yesu

2Th 2:8 ufunuo wa kuwapo kwake

1Ti 6:14 wakati wa ufunuo wa Bwana

2Ti 4:1 kuhukumu, kwa ufunuo wake

1Pe 4:13 ufunuo wa utukufu wake

1Ko 12:7; Efe 1:17; 2Th 1:7; 2Ti 1:10; 1Pe 1:7, 13; Ufu 1:1.

UGAWAJI, Mdo 6:1 ugawaji wa kila siku

UGIRIKI, Da 10:20; 11:2; Zek 9:13.

UGOMVI, Amu 12:2 Yeftha alikuwa na ugomvi

Met 6:19 anayetokeza magomvi

Met 26:21 mgomvi hufanya ugomvi

Met 28:25 kiburi huchochea ugomvi

Ro 2:8 wenye ugomvi na wasioitii

Ga 5:20 milipuko ya hasira, magomvi

Flp 1:17 kutokana na ugomvi

Flp 2:3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi

Yak 3:16 ambapo pana wivu na ugomvi

Mwa 13:7; Kum 1:12; Met 15:18; 16:28; 18:19; 22:10; 26:17.

UGONJWA, Zb 41:3 kitanda cha ugonjwa

Met 18:14 Roho kuvumilia ugonjwa

Mt 8:17 aliyachukua magonjwa yetu

Ga 4:13 kupitia ugonjwa wa mwili

1Ti 5:23 divai kwa ajili ya ugonjwa

Kut 23:25; Kum 28:61; 2Nya 21:15.

UGUA, Kut 2:24 Mungu akasikia uguo lao

Zb 12:5 kuugua kwao maskini

Zb 79:11 Kuugua kwa mfungwa

Met 29:2 mwovu anapotawala watu huugua

Isa 35:10 huzuni na kuugua zitakimbia

Eze 9:4 watu wanaougua na kulia

Ro 8:22 uumbaji wote unaugua

Ro 8:26 roho hutuombea na kuugua

Kut 2:23; Zb 102:20; Isa 24:7; Yer 51:52; Omb 1:22; Eze 21:6; 24:17; 26:15; Mal 2:13; 2Ko 5:2; Ebr 13:17.

UGUMU, Efe 4:18 ugumu wa mioyo yao

UGUMU WA MOYO, Mt 19:8; Mk 10:5.

UHAI, Mwa 2:7 pumzi ya uhai, naye

Kum 28:66 bila hakika ya uhai wako

Zb 32:4 Umajimaji wa uhai

Isa 57:15 kuipa uhai roho

Yon 2:6 uhai wangu toka shimoni

1Ko 15:45 roho inayotoa uhai

Zb 27:1; Yer 25:37; 51:6; Mt 6:27; Lu 12:25; 1Ko 14:7.

UHAKIKA, Met 3:26 Yehova kuwa uhakika wako

Met 28:1 waadilifu wana uhakika

Yer 12:5 una uhakika katika nchi ya amani?

1Ko 9:26 ninavyokimbia si bila uhakika

2Ko 1:8 hatukuwa na uhakika

2Ko 1:9 uhakika wetu uwe katika

2Ko 11:17 uhakika wa kupita kiasi

Efe 3:12 kukaribia tukiwa na uhakika

Flp 3:3 hatuna uhakika wetu katika mwili

2Th 3:4 tuna uhakika kuwahusu ninyi

Ebr 3:14 tukiushikilia sana uhakika

Met 14:26; Mhu 9:4; 2Ko 1:15.

UHAKIKISHO, Mdo 17:31 uhakikisho kwa wote

Kol 2:2 uhakikisho wa uelewaji

Ebr 6:11 uhakikisho kamili wa tumaini

2Ko 1:21; 9:4; Ebr 6:16; 10:22.

UHALIFU, Lu 23:4 sioni uhalifu wa mtu huyu

UHALISI, Kol 2:17 uhalisi ni wa Kristo

Ebr 9:24 patakatifu, mfano wa uhalisi

UHAMISHO, 2Fa 18:11 uhamishoni Ashuru

Isa 5:13 uhamishoni kwa kukosa ujuzi

Yer 13:19 Yuda imepelekwa uhamishoni

Mt 1:11 uhamisho, kwenda Babiloni

Eze 25:3.

UHARIBIFU, Kum 9:12 kwa uharibifu

Isa 38:17 shimo la uharibifu

Eze 20:44 matendo yenu yenye uharibifu

Mt 7:13 barabara ya uharibifu

Ro 1:23 Mungu asiye na uharibifu

Ro 8:21 utumwa wa uharibifu

Ro 9:22 vyombo vya uharibifu

1Ko 15:42 Hupandwa katika uharibifu

1Ko 15:50 uharibifu haurithi kutoharibika

Ga 6:8 mwili wake atavuna uharibifu

1Th 5:3 Amani na usalama! uharibifu

2Th 1:9 hukumu ya uharibifu wa milele

2Pe 2:19 ni watumwa wa uharibifu

Ufu 17:8 Mnyama, aenda katika uharibifu

2Nya 22:4; Mdo 2:27, 31; 13:36; Ro 1:23; 1Ko 15:50; 2Pe 1:4.

UHISPANIA, Ro 15:24 nimeenda Uhispania

UHITAJI, 1Ko 7:26 kwa sababu ya uhitaji

1Ko 7:37; Efe 4:28; Ebr 7:12.

UHURU, Law 25:10 tangaza uhuru nchini

Isa 61:1 kutangazia uhuru mateka

Yer 34:17 kumtangazia uhuru upanga

Eze 46:17 mpaka mwaka wa uhuru

Ro 8:21 uhuru wa watoto wa Mungu

1Ko 10:29 uhuru wangu unahukumiwa

2Ko 3:17 roho ya Yehova, pana uhuru

Ga 2:4 kupeleleza uhuru wetu

Ga 5:1 tuwe na uhuru huo

Ga 5:13 mliitiwa uhuru, ndugu

Yak 1:25 sheria ya uhuru

1Pe 2:16 uhuru, si wa ubaya

2Pe 2:19 wanawaahidia uhuru

Law 19:20.

UHURU WA KUSEMA, Mdo 2:29; Flp 1:20; 1Ti 3:13; Ebr 3:6.

UHUSIANO, Kol 2:12; Flm 16.

UIMARA, 2Pe 3:17 mwanguke kutoka uimara

UIMBAJI, 1Nya 6:31 kuongoza uimbaji katika

UJANA, Mwa 8:21 mbaya tangu ujana

Ayu 33:25 Nyama, laini kuliko ujanani

Zb 103:5 Ujana unajifanya upya

Met 5:18 ushangilie na mke wa ujana

Mhu 12:1 siku za ujana wako

Isa 54:4 utaisahau aibu ya ujana

1Ti 4:12 audharau ujana wako

2Ti 2:22 kimbia tamaa za ujanani

2Sa 19:7; Zb 71:17; Mhu 11:10; Mal 2:14; Mk 10:20; Mdo 26:4.

UJANE, Isa 54:4 shutuma ya ujane wako

Mwa 38:14; Isa 47:9.

UJANJA, 2Fa 10:19 Yehu alitenda kwa ujanja

Ayu 5:13 anayewakamata katika ujanja wao

Zb 83:3 Wanaendeleza kwa ujanja

Mt 27:64 na ujanja wa mwisho

1Ko 3:19 huwakamata katika ujanja wao

2Ko 12:16 mnasema niliwashika kwa ujanja

2Ti 3:6 wanaojiingiza kwa ujanja

Zb 101:7; Lu 20:23; 2Ko 4:2; 11:3.

UJASIRI, Mdo 9:27 amesema kwa ujasiri

Efe 6:20 kwa ujasiri ninavyopaswa kusema

1Th 2:2 tulijipa ujasiri kwa njia ya Mungu

Est 7:5; Mdo 4:29, 31; 5:3; 14:3; Ebr 10:19.

UJAZO, Kol 2:10 mna ujazo kwa njia yake

Efe 1:23; 4:13.

UJINGA, 1Pe 2:15 mzibe maneno ya ujinga

Met 9:13; Mhu 7:25.

UJITOAJI-KIMUNGU, 1Ti 4:8.

1Ti 6:6 ujitoaji-kimungu, ujitoshelevu

2Ti 3:5 namna ya ujitoaji-kimungu

2Ti 3:12 wajitoaji-kimungu, watateswa

2Pe 2:9 kukomboa wenye ujitoaji-kimungu

Mdo 3:12; 17:23; 1Ti 2:2; 3:16; 4:7; 6:5; Tit 1:1; 2Pe 1:3; 3:11.

UJITOSHELEVU, 2Ko 9:8; 1Ti 6:6.

UJUMBE, Hag 1:13; 1Yo 1:5; 3:11.

UJUZI, Met 1:7 Yehova, mwanzo wa ujuzi

Met 9:9 Mpe ujuzi mtu mwadilifu

Met 15:7 hutawanya ujuzi

Mhu 9:10 hakuna kazi, ujuzi, hekima

Da 1:4 ujuzi, wenye utambuzi

Da 12:4 ujuzi utakuwa mwingi

Ho 4:6 sababu hawana ujuzi

Lu 11:52 mliondoa ufunguo wa ujuzi

Yoh 17:3 Uzima wa milele, kupata ujuzi

1Ti 1:13 nilikosa ujuzi

1Ti 6:20 unaoitwa ujuzi

Mwa 2:9; Zb 19:2; Met 1:29; 8:10; 9:9; 10:14; 14:18; Isa 44:25; 53:11; Yer 3:15; Mal 2:7; Ro 11:33; 1Ko 8:1; 2Pe 3:18.

UJUZI SAHIHI, Ro 10:2 bidii, ujuzi sahihi

Efe 4:13 imani, katika ujuzi sahihi

Flp 1:9 upendo uwe mwingi na ujuzi sahihi

Kol 1:9 mjazwe ujuzi sahihi

1Ti 2:4 waokolewe na kupata ujuzi sahihi

2Ti 3:7 kamwe kufikia ujuzi sahihi

Ebr 10:26 baada ya kupokea ujuzi sahihi

Ro 1:28; 3:20; Kol 3:10; 2Ti 2:25; 2Pe 2:20.

UJUZI WA KIMBELE, Mdo 2:23.

1Pe 1:2 ujuzi wa kimbele wa Mungu

UKAGUZI, 1Pe 2:12 siku ya ukaguzi wake

UKAHABA, Isa 23:17 kufanya ukahaba

Yer 3:1 ukahaba na rafiki wengi

Eze 23:3 ukahaba katika Misri

Yer 3:9; Eze 16:29; 23:8; Nah 3:4.

UKAIDI, Zb 78:8 Kizazi chenye ukaidi

Yer 3:17 ukaidi wa moyo wao

Yer 7:24; 9:14; 11:8; 13:10; 18:12.

UKALI, Mhu 8:1 ukali wa uso wake

Lu 23:10 kumshtaki kwa ukali

Ro 11:22 ukali kuwaelekea walioanguka

Kol 2:23 kuutendea mwili kwa ukali

Tit 1:13 endelea kuwakaripia kwa ukali

Kum 29:20, 28; Amu 8:1; Eze 23:25; 38:19.

UKAMILI, Hes 5:7 alipie hatia kwa ukamili

UKAMILIFU, Zb 50:2 Sayuni, ukamilifu wa uzuri

Zb 119:96; Omb 2:15; Ebr 7:11.

UKANDAMIZAJI, Zb 72:14; Isa 14:4; 54:14; 59:13; Yer 6:6.

UKARIBISHAJI-WAGENI, Ro 12:13.

UKARIMU, Kum 15:8 mkono kwa ukarimu

Met 11:25 Nafsi karimu itanoneshwa

Met 22:9 jicho la ukarimu atabarikiwa

Ro 12:8 agawe kwa ukarimu

2Ko 8:2 utajiri wa ukarimu wao

2Ko 8:20 mchango wa ukarimu

2Ko 9:11 mnatajirishwa kwa ukarimu

Yak 1:5 Mungu, huwapa kwa ukarimu

Kum 15:9; Met 23:6.

UKIMBIZI, Mwa 4:16 nchi ya Ukimbizi mashariki

UKINGO, 1Nya 12:15 umefurika kingo zake

UKINGO WA BAHARI, Mk 4:35; 5:21; 6:45; 8:13.

UKIWA, Zb 107:40 mahali pa ukiwa

Isa 24:1 anaifanya nchi kuwa ukiwa

Isa 34:11 mawe ya ukiwa

Isa 62:4 nchi yako, haitaachwa ukiwa

Eze 6:6 majiji yatafanywa ukiwa

Nah 2:10 jiji lililofanywa ukiwa!

Mt 24:15 chukizo, la ukiwa

Ga 4:27 watoto wa mwenye ukiwa

Yer 26:9; Da 9:2; Yoe 3:19; Sef 1:13; Ufu 17:16; 18:19.

UKOMA, Hes 12:10 Miriamu apigwa na ukoma

Law 13:2; Kum 24:8; 2Fa 5:3, 27; Mt 11:5; 26:6; Lu 4:27; 5:12.

UKOMAVU, Ebr 6:1 tusonge kuelekea ukomavu

UKOMBOZI, 1Sa 30:8 utaleta ukombozi

Est 4:14 ukombozi utasimama kwa Wayahudi

Lu 21:28 ukombozi wenu unakaribia

Ebr 9:12 ukombozi wa milele kwetu

Kut 21:30; Hes 3:49; Zb 49:8; 111:9; 130:7.

UKOMO, Ayu 34:36 Ayubu ajaribiwe ukomo

UKOO, Ru 3:2 Boazi, mtu wa ukoo

1Ti 1:4 kutafuta-tafuta ukoo

Ebr 7:3 bila baba, bila ukoo

Mwa 25:16; Hes 25:15.

UKOSAJI, Isa 53:5 kwa ajili ya ukosaji wetu

Isa 59:20.

UKUHANI, Kut 40:15 kukiwa ukuhani mpaka

Ebr 7:24 ukuhani bila waandamizi

1Pe 2:5 ukuhani, kutoa dhabihu

1Pe 2:9 ukuhani wa kifalme

Hes 25:13; Yos 18:7; Ne 13:29; Ebr 7:11.

UKUMBUSHO, Kut 12:14 siku hii ukumbusho

Est 9:28 Purimu, ukumbusho

Zb 135:13 Ee Yehova, ukumbusho wako

Isa 26:8 jina lako na ukumbusho

Mdo 10:4 Sala, kama ukumbusho

Kut 3:15; 13:9; Ne 2:20; Zb 30:4; Ho 12:5.

UKUMBUU, Kut 28:4; 39:29; Law 8:7; Isa 22:21.

UKUNGU, Ayu 36:27 maji; yawe ukungu

Yak 4:14 ninyi ni ukungu

UKURUTU, Kum 28:27 atakupiga kwa ukurutu

UKUTA, Isa 26:1 wokovu kuwa kuta

Eze 38:11 wanaokaa bila ukuta

Da 5:5 kuandika juu ya ukuta

Yoe 2:7 Wanapanda ukuta kama

Ebr 11:30 kuta za Yeriko zilianguka

UKUU, 1Nya 29:11 Yehova, ukuu ni wako

Isa 2:19 ukuu wake wenye fahari

Isa 24:14 ukuu wa Yehova

Eze 7:11 hamna ukuu ndani yao

Da 4:22 na ukuu wako umekuwa

Mik 5:4 ukuu wa jina la Yehova

Ebr 1:3 mkono wa kuume wa Ukuu

Ebr 8:1 kiti cha ufalme cha Ukuu

Yud 25 kwa Mungu kuwe na ukuu

Est 1:4; Zb 71:21; 145:3, 6.

UKWATO, Law 11:3 mwanya kwenye ukwato

UKWELI, Zb 40:10 Sikuficha ukweli wako

Zb 51:6 Umependezwa na ukweli

Zb 91:4 Ukweli wake utakuwa ngao

Zb 117:2 ukweli wa Yehova

Zek 8:16 Semeni ukweli kila mtu

Zb 85:10, 11; Zek 8:3.

ULAFI, Met 23:20 wanaokula kwa ulafi

ULAGHAI, Mdo 13:10 kila namna ya ulaghai

ULAINI, Da 11:21, 34 kuushika ufalme kwa ulaini

ULIMBO, Hes 11:7 ulimbo wa bedola

Mwa 2:12.

ULIMI, 2Sa 23:2 neno lilikuwa kwenye ulimi

Zb 34:13 Linda ulimi wako

Zb 39:1 kutenda dhambi kwa ulimi

Met 6:17 ulimi wa uwongo

Met 16:1 jibu la ulimi

Met 18:21 viko katika nguvu za ulimi

Isa 32:4 ulimi wa wenye kigugumizi

Isa 35:6 ulimi wa bubu utapaaza

Isa 54:17 ulimi wowote utakaoinuka

Zek 14:12 ulimi wake utaoza

Flp 2:11 kila ulimi ukiri waziwazi

Yak 1:26 Ikiwa mtu hauongozi ulimi

Yak 3:6 ulimi ni moto

Yak 3:8.

ULIMI WENYE UJANJA, Sef 3:13.

ULIMWENGU, Mt 24:21 mwanzo wa ulimwengu

Yoh 3:16 Mungu aliupenda ulimwengu

Yoh 14:19 ulimwengu hautaniona

Yoh 14:30 mtawala wa ulimwengu

Yoh 15:19 ulimwengu ungependa

Yoh 17:16 si sehemu ya ulimwengu

Yoh 18:36 Ufalme si wa ulimwengu

Ro 1:20 sifa zake tangu ulimwengu

Ro 4:13 Abrahamu mrithi wa ulimwengu

1Ko 4:9 tamasha kwa ulimwengu

Yak 4:4 urafiki na ulimwengu

2Pe 3:6 ulimwengu uliangamia

1Yo 2:2 dhambi za ulimwengu wote

1Yo 5:19 ulimwengu, nguvu za mwovu

Mt 25:34; Yoh 8:23; 17:5, 6; Efe 1:4; 2:2; Yak 1:27; 1Yo 2:15, 16; Ufu 17:8.

ULINZI, 2Sa 20:3 nyumba ya ulinzi

Met 18:10 Mwadilifu hupewa ulinzi

Met 18:11 ukuta wa ulinzi katika mawazo

Mhu 7:12 hekima ni ulinzi, pesa

Zek 12:8.

ULIYE JUU ZAIDI, Zb 83:18.

ULIZA, Kum 4:29 utauliza kwa moyo wako

Mdo 23:34 kuuliza ametoka jimbo gani

Mt 2:4; Mdo 21:33.

ULOZI, 2Nya 33:6 akafanya ulozi

Mik 5:12 nitakatilia mbali ulozi

2Fa 9:22; Isa 47:9; Nah 3:4.

UMA, Mwa 34:25; Ayu 14:22; Amo 8:4.

UMAJIMAJI, Zb 32:4 Umajimaji wa uhai

UMALAYA. Ona UKAHABA.

UMALIZIO, Mt 24:3 umalizio wa mfumo

Mt 28:20 nipo nanyi mpaka umalizio wa

Ebr 9:26 umalizio wa mifumo ya mambo

UMANDE, Ayu 38:28 nani aliyezaa umande?

Zb 110:3 vijana kama umande

Mik 5:7 watu kama umande

Kum 32:2; Amu 6:37; Met 19:12; Da 5:21.

UMASKINI, 1Sa 2:7 Yehova huleta Umaskini

Met 13:18 hupatwa na umaskini

Met 30:8 umaskini wala utajiri

2Ko 8:9 kupitia umaskini wake

Ufu 2:9 Najua dhiki na umaskini

Met 6:11; 20:13; 24:34.

UMATI, 2Nya 20:15 usihofu umati mkubwa

Eze 32:20 Mkokoteeni mbali na umati wake

Mt 21:9 umati, wakipaaza sauti: Mwokoe

Mk 12:37 umati ulikuwa ukimsikiliza

Ufu 7:9 tazama! umati mkubwa

Ufu 7:9 umati usiohesabika

Ufu 19:6 kitu kama sauti ya umati

Eze 39:11; Mt 13:34; Mk 3:9; Lu 2:13; Yoh 6:5.

UMATI ULIOCHANGAMANA, Hes 11:4.

UMBA, Mwa 1:1 Hapo mwanzo Mungu aliumba

Mwa 1:27 alimuumba; mwanamume na

Zb 51:10 Uumbe moyo safi ndani yangu

Isa 4:5 Yehova ataumba wingu mchana

Isa 45:18 hakuiumba dunia bila sababu

Isa 45:18 aliumba dunia ikaliwe

Isa 65:17 ninaumba mbingu mpya

Ro 1:20 tangu kuumbwa kwa ulimwengu

Kol 1:16 kupitia yeye vitu vyote viliumbwa

Kol 3:10 mfano wa Yule aliyeuumba

Ufu 4:11 uliumba vitu vyote

Zb 104:30; Isa 43:7; 45:7, 12; 57:19; 65:18; Efe 2:10.

UMBO, Mwa 1:2 Dunia ilikuwa bila umbo

Kum 4:15 hamkuona umbo kule Horebu

Zb 17:15 Nitatosheka kuona umbo lako

Yoh 5:37 hamjaona umbo lake

Mdo 7:43 maumbo mliyofanya kuabudu

Flp 2:6 alikuwa katika umbo la Mungu

Flp 2:8 alijikuta umbo la mwanadamu

Ebr 10:1 Sheria si umbo halisi

Isa 53:2; Lu 3:22.

UMBO LA MBUZI, Law 17:7; Isa 13:21.

UMEDI, Ezr 6:2; Est 1:3; Da 8:20.

UMEME, Ayu 38:35 unaweza kutuma umeme

Zb 97:4 Umeme wake ulitia nuru

Mt 24:27 umeme hutokea mashariki

Lu 10:18 Shetani aanguka kama umeme

Ufu 11:19 umeme, sauti, ngurumo

Kut 20:18; Ayu 37:3; Nah 2:4; Ufu 4:5; 8:5.

UMIA, 1Ko 12:26 kiungo kimoja kikiumia

Met 22:3.

UMILELE, 1Ti 1:17 Mfalme wa umilele

Yud 25 kwa umilele wote uliopita

Ufu 15:3 njia adilifu, Mfalme wa umilele

UMIZA, Met 6:18 hila zenye kuumiza

Met 15:1 neno linaloumiza hufanya

Lu 10:19 hakuna kitakachowaumiza

Ufu 9:10 kuumiza wanadamu miezi

Zb 14:4; 59:2; 64:2; 92:7; 94:4; 101:8; 125:5; 141:4; Met 10:29; 21:15.

UMOJA, Zb 133:1 kukaa kwa umoja

Efe 4:13 umoja katika imani

Isa 45:21; Ho 1:11; Mdo 2:46; 19:29; Ro 15:6.

UMRI MKUBWA, Lu 1:18; Tit 2:3.

UMWA, Eze 36:3 kuumwa pande zote

UNABII, Yer 5:31 unabii wa uwongo

Yer 14:14 unabii katika jina langu

Yer 26:12 aliyenituma kutoa unabii

Yer 28:9 anayetoa unabii wa amani

Yoe 2:28 wana, binti watatoa unabii

Mt 13:14 unabii wa Isaya

Mdo 2:17 wana, binti watatoa unabii

1Ko 13:9 tunatoa unabii kwa sehemu

1Ko 14:1 afadhali mtoe unabii

1Ko 14:3 anayetoa unabii hujenga

1Ko 14:39 bidii kutoa unabii

2Pe 1:20 unabii wa Andiko

2Pe 1:21 unabii, si kwa mapenzi ya

Ufu 19:10 Yesu, kusudi la unabii

1Fa 22:12; 2Nya 9:29; 15:8; Ne 6:12; Yer 23:16; 27:10; Eze 39:1; Zek 13:3; Ro 12:6; 1Ko 13:2; Ufu 1:3; 10:11; 11:3.

UNAFIKI, Mt 23:28 mmejaa unafiki na

Lu 12:1 chachu ya Mafarisayo, unafiki

Ro 12:9 Upendo bila unafiki

2Ko 6:6 upendo usio na unafiki

Ga 2:13 Wayahudi, kufanya unafiki

Flp 1:18 kama ni kwa unafiki

1Th 2:5 si na unafiki kwa tamaa

1Ti 4:2 unafiki wa watu

1Pe 1:22 upendo usio na unafiki

1Ti 1:5; 2Ti 1:5.

UNAJIMU, 2Fa 23:5 makundi-nyota ya unajimu

UNAJISI, Law 21:12 kutia unajisi patakatifu

Zb 79:1 Wamelitia unajisi hekalu lako

Zb 89:34 Sitalitia unajisi agano

Yer 3:9 kuitia nchi unajisi

Yer 23:11 nabii, kuhani wana unajisi

Yer 32:34 jina langu, kulitia unajisi

Eze 36:20 unajisi jina langu takatifu

Da 11:31 itapatia unajisi patakatifu

Mal 1:7 mkate uliotiwa unajisi

Mal 1:12 Meza ya Yehova ina unajisi

Mt 15:18 kinywani, humtia mtu unajisi

Ro 14:14 hakuna kitu najisi ndani yake

Tit 1:15 watu najisi hakuna kilicho safi

Ebr 7:26 kuhani mkuu asiye na unajisi

Ebr 13:4 kitanda kisiwe na unajisi

Yak 1:27 ibada isiyotiwa unajisi

1Pe 1:4 urithi usiotiwa unajisi

Law 19:12; Hes 35:34; Zb 55:20; Isa 30:22; 47:6; Yer 3:1; 34:16; Eze 7:21; 20:7; 39:7; 1Ti 1:9.

UNDA, Ayu 10:8 Mikono yako imeniunda

UNDUGU, Zek 11:14 kuuvunja undugu

UNGA, Da 11:34 watajiunga kwa ulaini

Mdo 17:4 wakawa waamini na kujiunga

Isa 14:1.

UNGA MKONO, Zb 140:8 Usiunge mkono hila

UNGA ULIOKANDWA, Kut 12:15, 19; Law 2:11; Kum 16:4.

UNGAMA. Ona pia KIRI.

Law 5:5 ndipo atakapoungama jinsi

Law 16:21; 26:40; Yos 7:19; 2Nya 30:22; Ezr 10:11; Ne 1:6; 9:2; Zb 32:5; Met 28:13; Da 9:4; Yak 5:16; 1Yo 1:9.

UNGANA, Ro 6:5 ikiwa tumeungana naye

1Ko 6:16 ameungana na kahaba

1Ko 6:17 ameungana na Bwana ni

Mwa 49:6; 2Fa 12:20; 14:19; Isa 14:20.

UNGANISHA, Zb 86:11 Unganisha moyo wangu

Mik 2:12 Nitawaunganisha kama kundi

Mt 19:6 kile Mungu ameunganisha

Efe 4:3 kifungo chenye kuunganisha

UNGANISHWA, 1Ko 1:10 muunganishwe vema

Flp 2:2 mkiunganishwa katika nafsi

Kol 2:2 waunganishwe kwa upatano

Efe 4:16; Kol 2:19.

UNGUA, Isa 43:2; Ufu 18:9.

UNYAKUZI, Flp 2:6 hakufikiria unyakuzi

UNYANG’ANYI, Isa 61:8 nachukia unyang’anyi

Zb 62:10; 69:4; Isa 3:14; Eze 18:7.

UNYASI, Mt 7:3-5; Lu 6:41, 42.

UNYENYEKEVU, Met 15:33.

Met 22:4 Matokeo ya unyenyekevu

Flp 2:3 kwa unyenyekevu wa akili

Kol 2:18, 23 unyenyekevu wa dhihaka

Met 16:19; 29:23; Mdo 20:19; Efe 4:2; Kol 3:12.

UNYENYEKEVU WA DHIHAKA, Kol 2:18.

UNYOOFU, Mwa 20:5 unyoofu wa moyo wangu

1Nya 29:17 Mungu, unafurahia unyoofu

Ayu 6:25 Maneno ya unyoofu

Ayu 33:3 hutamka ujuzi kwa unyoofu

Ayu 33:23 kumwambia unyoofu wake

Zb 25:21 Utimilifu na unyoofu

Met 24:26 Anayejibu kwa unyoofu

Mik 2:7 anayetembea kwa unyoofu

2Ko 1:12 unyoofu wa moyo wa kimungu

2Ko 2:17 tunasema kwa unyoofu

2Ko 8:21 tunafanya mpango wa unyoofu

Efe 6:5 watiini katika unyoofu wa mioyo

Flp 2:20 atajali mambo kwa unyoofu

1Nya 29:17; Ayu 33:3; Zb 143:10; Met 14:2; Isa 26:10; 1Ko 5:8; Ga 2:14; Kol 3:22.

UONEVU, Kum 24:7 amemtendea kwa uonevu

Kut 1:13; Law 25:43; Eze 34:4.

UONGOZI, Ayu 37:12; Met 12:5.

UOVU, Zb 45:7 unachukia uovu

Zb 84:10 kuzunguka hema za uovu

Ro 12:17 Msilipe uovu kwa uovu

Ro 13:10 Upendo haumfanyii uovu jirani

Ro 16:19 bila hatia kuhusu maovu

1Ko 5:8 chachu ya ubaya na uovu

Efe 4:31 Uchungu wenye uovu

1Th 5:22 Jiepusheni na kila uovu

2Ti 2:3 sehemu yako kuvumilia uovu

Yak 1:13 Mungu hajaribiwi na maovu

Mwa 50:15; Zb 5:4; 125:3; Eze 3:19; Mt 22:18; 2Ti 1:8; 2:9; 4:5.

UPANA, Efe 3:18; Ufu 20:9; 21:16.

UPANA WA KIDOLE, Yer 52:21.

UPANDE, Ro 8:31 Mungu yuko upande wetu

UPANDWAJI, Yak 1:21 upandwaji wa neno

UPANGA, Mwa 3:24 upanga unaowaka

Amu 3:16 Ehudi akajifanyia upanga

1Sa 17:47 Yehova haokoi kwa upanga

Isa 2:4 watafua panga zao ziwe majembe

Eze 33:6 mlinzi akiuona upanga ukija

Yoe 3:10 Fueni majembe yawe panga

Mik 4:3 watafua panga ziwe majembe

Mt 26:52 wanaouchukua upanga

Efe 6:17 upanga wa roho

Ebr 4:12 lenye makali kuliko upanga

Ufu 19:15 upanga mrefu mkali

Amu 7:22; Da 11:33; Mt 10:34; Lu 21:24; 22:38.

UPINZANI, Zb 13:2 Nitaweka upinzani

Mdo 26:9 matendo mengi ya upinzani

UPARA, Law 13:40; Kum 14:1; Mik 1:16.

UPATANISHO, Kut 30:10 atafanya upatanisho

Kut 32:30 upatanisho kwa ajili ya dhambi

Law 17:11 damu hufanya upatanisho

Kum 32:43 upatanisho kwa ajili ya nchi

1Nya 28:11 kifuniko cha upatanisho

Eze 16:63 upatanisho kwa ajili yako

Da 9:24 kufanya upatanisho kwa ajili ya kosa

Ro 5:11 kupitia yeye tumepokea upatanisho

Ebr 9:5 makerubi, kifuniko cha upatanisho

1Yo 2:2 dhabihu ya upatanisho

Law 16:6, 16, 30, 33, 34; 2Sa 21:3; Met 16:6; Isa 6:7; 22:14; 27:9; Ro 11:15; 2Ko 5:18, 19; Ebr 2:17; 1Yo 4:10.

UPATANO, 1Ko 1:10 nyote mseme kwa upatano

2Ko 6:15 upatano gani, Kristo na Beliali?

2Ko 6:16 hekalu lina upatano gani?

Efe 2:21 likiunganishwa kwa upatano

Efe 4:16; Kol 2:2, 19.

UPENDELEO, Kut 23:3 upendeleo katika ubishi

Kum 10:17 asiyetenda kwa upendeleo

Ayu 32:21 acha nisionyeshe upendeleo

Met 28:21 Si vema kuonyesha upendeleo

Yak 2:9 mkiendelea kuonyesha upendeleo

Met 18:5.

UPENDEZI, Efe 1:5 upendezi mwema wa

UPENDO, 2Sa 1:26 kuliko upendo wa wanawake

Mt 24:12 upendo wa wengi utapoa

Yoh 15:13 upendo mkuu kuliko huu

Ro 8:39 kututenga na upendo wa Mungu

Ro 13:10 upendo ni utimizo wa sheria

1Ko 13:4 Upendo hauna wivu

1Ko 13:13 kubwa zaidi ni upendo

1Ko 16:14 Mambo yatendeke kwa upendo

Kol 3:12 jivikeni upendo mwororo

Kol 3:14 upendo, kifungo kikamilifu

2Ti 3:3 wasio na upendo wa asili

Tit 2:4 wawapende waume zao

1Pe 4:8 upendo hufunika dhambi

1Yo 4:8 Mungu ni upendo

1Yo 4:18 Hakuna woga katika upendo

Wim 8:6; 1Ko 13:1-4, 8; 16:22; 2Ko 7:15; Kol 2:2; 1Ti 1:5; Ufu 2:4.

UPENDO WA KINDUGU, Ro 12:10; Ebr 13:1.

UPEO, 1Ko 7:36 umepita upeo wa ujana

UPEO WA MAISHA, Mhu 11:10.

UPEPO, Mwa 3:8 upepo mtulivu wa siku

Mhu 1:14 ubatili na kufuatilia upepo

Mhu 11:4 Anayeuangalia upepo

Isa 26:18 kana kwamba tumezaa upepo

Mt 24:31 zile pepo nne

Mdo 2:2 kelele kama upepo wenye nguvu

Efe 4:14 kuchukuliwa na kila upepo

Ufu 7:1 wakizishika zile pepo nne

Zb 104:3; Eze 37:9; Mt 7:25; Yoh 3:8.

UPEPO WA DHORUBA, Met 1:27; 10:25; Isa 66:15; Ho 8:7.

UPINDE, Mwa 21:16 umbali wa mtupo wa upinde

Ho 2:18 nitavunja upinde na upanga

Zb 46:9; Ufu 6:2.

UPINDE WA MVUA, Mwa 9:13; Ufu 4:3; 10:1.

UPINDO, Mt 9:20; 23:5; Mk 6:56.

UPOFU, Mwa 19:11 wakawapiga kwa upofu

2Fa 6:18; Isa 42:7.

UPOLE, Sef 2:3 utafuteni upole

1Ko 4:21 upendo na upole wa roho?

2Ko 10:1 upole na fadhili za Kristo

Ga 6:1 kumrekebisha kwa roho ya upole

2Ti 2:25 akiwafundisha kwa upole

1Pe 3:4 roho ya utulivu, upole

Ga 5:23; Tit 3:2.

UPORAJI, Isa 10:6 kuchukua uporaji mwingi

UPOTOVU, Kum 32:20 kizazi chenye upotovu

Met 6:14 Upotovu moyoni mwake

Met 10:31 ulimi wa upotovu utakatwa

Isa 29:16 Upotovu wenu! Je, mfinyanzi

Met 11:3; 15:4; Efe 5:18; Tit 1:6; 1Pe 4:4.

UPUMBAVU, Zb 69:5 umeujua upumbavu wangu

Met 26:4 mjinga, upumbavu wake

1Ko 1:18 mti wa mateso, upumbavu

1Ko 1:20 hekima yao, upumbavu

1Ko 1:23 Kristo, upumbavu kwa mataifa

1Ko 1:25 kitu kipumbavu cha Mungu

1Ko 3:19 hekima ya ulimwengu, upumbavu

2Ti 2:23 maswali ya upumbavu

2Sa 15:31; Met 19:3; Mhu 1:17; 2:3, 13; Isa 44:25; 1Ko 1:27; 2:14; Efe 5:4; Tit 3:9.

UPUNGUFU, 2Ko 8:14 kujazia upungufu wenu

UPUNGUFU WA CHAKULA, Ne 5:3; Mt 24:7; Mk 13:8; Lu 21:11; Ufu 6:8.

UPUNJAJI. Ona pia PUNJA.

Met 28:16 mazoea ya upunjaji

Mdo 13:10 mwenye upunjaji na ulaghai

UPUUZI, Zb 2:1 mataifa yanasema upuuzi

Lu 24:11 maneno yalionekana upuuzi kwao

UPWEKE, Omb 3:28 aketi katika upweke

UPYA, Zb 103:5 ujana unajifanya upya

Isa 49:8 kuitengeneza upya nchi

Isa 61:4 watajenga upya majiji

2Ko 4:16 anafanywa upya siku kwa siku

Flp 3:21 ataufanya upya mwili wetu

Ebr 6:6 wanamtundika upya Mwana

1Pe 1:23 maana mmezaliwa upya

URAFIKI, Ayu 29:4 urafiki na Mungu ulikuwa

Zb 25:14 Urafiki na Yehova ni wa

Zb 55:14 tukifurahia urafiki mtamu

Met 3:32 urafiki Wake na wanyoofu

Yak 4:4 urafiki na ulimwengu

URAIA, Flp 3:20 uraia wetu uko mbinguni

UREFU, Zb 89:47 nina urefu gani wa maisha

Ayu 11:17; Zb 39:5.

UREMBO, Met 6:25 Usiutamani urembo wake

Isa 28:5; Eze 28:17.

URIMU NA THUMIMU, Kut 28:30; Ezr 2:63.

URITHI, Zb 2:8 mataifa yawe urithi wako

Mdo 7:5 hakumpa urithi wowote

Efe 1:14 rehani ya urithi

Kol 1:12 urithi wa watakatifu

1Pe 1:4 urithi usioharibika

1Pe 5:3 urithi wa Mungu

Hes 18:20; Eze 47:22; Efe 5:5; Ebr 9:15.

URIYA, Yer 26:21 Uriya akaogopa

UROJOROJO, Ebr 4:12 viungo na urojorojo

URU, Mwa 11:28; 15:7.

USADIKISHO, 1Th 1:5 usadikisho wenye nguvu

USAFI, Mt 23:27 makaburi, ukosefu wa usafi

Ro 6:19 watumwa, ukosefu wa usafi

Efe 5:3 ukosefu wa usafi wa

USAHA, Zb 38:5 Vidonda vyangu vina usaha

USAHAULIFU, Zb 88:12 nchi ya usahaulifu?

USAHIHI, Lu 1:3 tangu mwanzo kwa usahihi

Mdo 18:25 kuyafundisha kwa usahihi

1Ko 13:12 nitajua kwa usahihi

1Ti 4:3 wanaoijua kweli kwa usahihi

USAIDIZI, Isa 31:1 kwenda Misri, usaidizi

USALAMA, Zb 4:8 hunifanya nikae kwa usalama

Met 1:33 anayenisikiliza atakaa salama

Met 3:23 utakapotembea kwa usalama

Flp 3:1 bali ni usalama kwenu

1Th 5:3 Amani na usalama!

Law 25:18; Kum 33:28; Zb 12:5; Isa 14:30; Mdo 27:34; 28:1, 4.

USAWA, Da 11:6 mpango wa usawa

Da 11:17 masharti ya usawa naye

USAWAZIKO, Flp 4:5 Usawaziko na ujulikane

1Ti 3:3 mwangalizi, mwenye usawaziko

Tit 3:2 wenye usawaziko

Yak 3:17 hekima, usawaziko, tayari kutii

USAWAZISHO, 2Ko 8:14 ili usawazisho uwepo

USHAHIDI, Isa 19:20 ishara na ushahidi

Mt 10:18 kuwa ushahidi kwao na kwa mataifa.

Mt 24:14 itahubiriwa kuwa ushahidi

Yoh 4:44 Yesu alitoa ushahidi

Yoh 8:17 Ushahidi wa watu wawili

Yoh 18:37 nitoe ushahidi juu ya kweli

Mdo 20:26 ninawaita kuona ushahidi

Ro 8:16 Roho hutoa ushahidi

1Ti 2:6 litakalotolewa ushahidi

2Ti 1:8 usionee aibu ushahidi

1Pe 1:11 ikitoa ushahidi kimbele

1Yo 5:7 vitatu vinavyotoa ushahidi

Ufu 6:9 kazi ya ushahidi

Ufu 12:17 kazi ya kutoa ushahidi

Ufu 20:4 waliouawa sababu ya ushahidi

Yoh 8:18; Mdo 18:5; Ro 8:16; Ufu 19:10.

USHAWISHI, Met 7:21 ushawishi mwingi

Met 16:23 midomo huongeza ushawishi

Ga 5:8 Ushawishi huo hautoki

USHIKAMANIFU, 2Sa 22:26.

Lu 1:75 ushikamanifu na uadilifu

Efe 4:24 uadilifu na ushikamanifu

USHINDANI, Hes 25:13; 2Fa 10:16.

USHINDI, Zb 41:11 hapigi kelele za ushindi

Zb 47:1 Mpigieni kelele za ushindi

1Ko 15:55 Kifo, uko wapi ushindi

1Ko 15:57 hutupa ushindi kupitia Bwana

Yak 2:13 ushindi juu ya hukumu

1Yo 5:4 huu ndio ushindi, imani yetu

Ufu 6:2 akishinda na kumaliza ushindi wake

Kum 7:23; Zb 81:1.

USHIRIKA, 2Nya 20:37 ushirika na Ahazia

Mdo 4:32 vitu vyote kwa ushirika

1Ko 1:9 ushirika pamoja na Kristo

1Ko 5:11 kuchangamana katika ushirika

2Ko 6:14 nuru ina ushirika gani na giza?

1Pe 2:17 upendeni ushirika mzima wa ndugu

1Pe 5:9 ushirika wa ndugu ulimwenguni

Mdo 2:44; 1Yo 1:3, 6, 7.

USHUHUDA, Kut 25:22 sanduku la ushuhuda

Kut 31:18 mabamba ya ule Ushuhuda

Hes 1:50 maskani ya Ushuhuda

Hes 35:30 mmoja hawezi kutoa ushuhuda

2Sa 1:16 kinywa kimetoa ushuhuda

Isa 8:20 sheria na ushuhuda

Mik 6:3 Toeni ushuhuda juu yangu

1Ti 3:7 ushuhuda mzuri, watu wa nje

Kum 6:17; Ru 4:7; 2Nya 23:11; Isa 8:16; Ebr 3:5.

USHUPAVU, Ayu 41:10 aliye na ushupavu

USHURU, Ezr 7:24 hairuhusiwi kutoza ushuru

Ro 13:7 anayetaka ushuru, ushuru

Ezr 4:13; Zb 72:10.

USIKU, Mwa 1:5 giza akaliita Usiku

Yos 1:8 ukisome mchana na usiku

2Fa 19:35 usiku huo malaika

Zb 19:2 usiku huonyesha ujuzi

Isa 21:11 Mlinzi, habari gani za usiku?

Yoh 9:4 usiku unakuja wakati

Ro 13:12 Usiku umesonga sana

1Th 5:2 inakuja kama mwizi usiku

Ufu 22:5 usiku hautakuwapo tena

Lu 18:7; 1Th 5:5; Ufu 7:15; 12:10.

USIMAMIZI, Efe 1:10 usimamizi kamili

1Nya 26:30; Da 2:49; Lu 16:2; Efe 3:2; Kol 1:25.

USIMAMIZI-NYUMBA, 1Ko 9:17.

USINGIZI, Zb 121:4 wala kulala usingizi

Isa 29:10 amemwaga roho ya usingizi

Yer 51:57 watalala usingizi unaodumu

Yoh 11:11 kumwamsha kutoka usingizini

Ro 13:11 kuamka kutoka katika usingizi

USO, Mwa 1:2 uso wa maji

Kut 10:29 Sitajaribu kuona uso wako

Kut 33:20 Huwezi kuona uso wangu

Isa 25:8 atafuta machozi katika nyuso

Mdo 3:19 kwa uso wa Yehova

Mdo 6:15 uso wake, kama malaika

2Ko 4:6 kuimulika kwa uso wa Kristo

Ebr 9:24 Kristo, uso wa Mungu

Mwa 4:5; Mdo 20:25; 2Ko 3:7.

USO KWA USO, Ga 2:11 Kefa uso kwa uso

Mdo 25:16; 1Ko 13:12.

USTADI, 2Ko 11:6 sina ustadi wa kusema

Mhu 2:21; 4:4.

USTAHIMILIVU, Ro 9:22 Mungu, ustahimilivu

1Ko 13:4 Upendo ni ustahimilivu

1Th 5:14 ustahimilivu kwa wote

2Ti 4:2 himiza, kwa ustahimilivu

Ro 2:4; Ga 5:22; Efe 4:2; Kol 3:12.

USUKANI, Yak 3:4 mtambo wa usukani

USUMBUFU, Ayu 6:2 usumbufu ungepimwa

Zb 6:7 masumbufu jicho langu

Isa 30:15 kukaa bila usumbufu

Isa 65:23 kuzaa kwa usumbufu

Zek 1:11 dunia haina usumbufu

UTABIRI, 1Ti 4:14 zawadi, kupitia utabiri

UTAFITI, 1Ti 1:4 maswali ya utafiti

UTAJI, Kut 34:35 Musa akaurudisha utaji

2Ko 3:18 nyuso zisizo na utaji

2Ko 4:3 imefunikwa utaji

2Ko 3:13-16.

UTAJIRI, Zb 52:7 anategemea utajiri wake

Met 11:28 Anayetegemea utajiri wake

Mt 6:24 Mungu na Utajiri

Ro 9:23 ajulishe utajiri wa utukufu

Ro 11:33 kina cha utajiri wa Mungu

Ebr 11:26 shutuma ya Kristo, utajiri

Yak 5:2 Utajiri wenu umeoza

1Fa 3:11; Mt 13:22; Mk 4:19; Efe 3:8.

UTAKASO, 1Ko 1:30 hekima na utakaso

1Th 4:4 kukiweza chombo katika utakaso

1Th 4:7 alituita kuhusiana na utakaso

1Ti 2:15 waendelee katika imani na utakaso

Ebr 12:14 Fuatilieni amani, na utakaso

Yoh 2:6; 3:25.

UTAKATIFU, Kut 15:11 nguvu katika utakatifu?

Isa 35:8 itaitwa Njia ya Utakatifu

Isa 65:5 nitakupa utakatifu

Ro 6:19 uadilifu, mkitazamia utakatifu

2Ko 7:1 tukiukamilisha utakatifu

1Th 3:13 utakatifu mbele za Mungu

Zb 89:35; 93:5; Ebr 12:10.

UTAKATIFU NI WA YEHOVA, Kut 28:36; 39:30; Zek 14:20.

UTAKATO, 2Ko 6:6 kwa utakato, kwa ujuzi

UTAMBUZI, Met 2:11 utambuzi utakulinda

Ro 8:29 aliwapa utambuzi wa kwanza

1Ko 10:15 wenye utambuzi; hukumuni

Efe 3:4 utambuzi nilio nao

2Ti 2:7 Bwana atakupa utambuzi

Met 2:2; 3:19; 10:23; 11:12; 17:27; 24:3.

UTANI, Yer 15:17 wanaofanya utani

UTARATIBU, Law 5:10 toleo, utaratibu

Hes 9:3 utaratibu wa kawaida

Lu 1:3 kukuandikia kwa utaratibu

Ga 5:25 tutembee kwa utaratibu

Flp 3:16 utaratibu, kawaida hiyohiyo

Kol 2:5 kuona utaratibu wenu

2Th 3:6 anayetembea bila utaratibu

1Ti 3:2 mwangalizi, mwenye utaratibu

1Th 5:14; 2Th 3:7, 11.

UTAWALA, Da 7:27 tawala zitawatumikia

Da 4:3, 34; 7:6; Efe 1:21; Kol 1:16.

UTAWALA WA KIFALME, 1Sa 15:28; Yer 26:1; Ho 1:4.

UTAWALA WA UKUU, Isa 9:6.

UTAYARI, 2Ko 8:11, 12; 9:2.

UTEKWA, Yer 43:11 kwenda utekwani

Da 11:33 watakwazwa, kwa kutekwa

Ne 1:3; Amo 9:4; Nah 3:10.

UTELEZI, Yer 23:12 mahali penye utelezi

UTENDAJI, Kum 3:24 utendaji kama wako?

1Nya 23:28 utendaji wao, utumishi

Met 10:16 utendaji wa mwadilifu

Met 21:8 aliye safi ni mnyoofu katika utendaji

Met 24:12 hatamlipa kulingana na utendaji?

1Ko 12:6 utendaji wa namna mbalimbali

Efe 4:16 utendaji wa kila kiungo

Ayu 36:24; Zb 9:16; Hab 3:2; 1Ko 12:11; Kol 2:12; 2Th 2:9.

UTETE, Eze 40:3, 5; 42:16; Mt 27:29.

UTEUZI. Ona KUCHAGUA.

UTHAMINI, Zb 27:4 kulitazama kwa uthamini

UTHIBITISHO, 2Ko 2:9 kuhakikisha uthibitisho

2Th 1:5 uthibitisho wa hukumu

Ebr 11:1 Imani, uthibitisho wazi

Ebr 11:14 hutoa uthibitisho, wanatafuta

Mdo 1:3; Flp 2:22.

UTII, Ro 6:16 utii kwa kutazamia uadilifu?

Ro 16:26; 2Ko 7:15; 10:6.

UTIMAMU WA AKILI, 1Sa 21:13; 1Ko 15:34; 1Pe 4:7.

UTIMILIFU, Ayu 31:6 Mungu atajua utimilifu

Zb 26:11 nitatembea katika utimilifu

Met 14:32 kimbilio katika utimilifu

Met 20:7 anatembea kwa utimilifu

1Fa 9:4; Ayu 27:5; Zb 7:8; 25:21; 41:12; 78:72; Met 2:7; 11:3.

UTOAJI SHUKRANI, Zb 26:7.

UTOTO, 2Ti 3:15 tangu utoto umeyajua

UTU, Ro 6:6 utu wetu ulitundikwa

Efe 4:22 kuondoa utu wa zamani

Efe 4:24 kuvaa utu mpya

Kol 3:9 Uvueni utu wa zamani

Ebr 1:3 mwakilisho wa utu wake

UTUKUFU, 1Nya 16:27 Utukufu na fahari

1Nya 29:11 Ee Yehova, utukufu ni wako

Ayu 37:22 Utukufu juu ya Mungu huogopesha

Zb 8:1 Yehova, jina lako ni lenye utukufu

Zb 19:1 Mbingu zatangaza utukufu

Zb 76:4 una utukufu kuliko milima

Zb 111:3 Utendaji wake ni utukufu

Met 18:12 kabla utukufu, unyenyekevu

Isa 28:1 Ole taji la utukufu

Isa 30:30 Yehova, utukufu wa sauti yake

Isa 33:21 Mwenye Utukufu, Yehova

Isa 42:8 sitampa mwingine utukufu wangu

Isa 42:21 sheria, iwe na utukufu

Isa 43:7 nimeumba kwa utukufu wangu

Omb 3:18 Utukufu wangu umeangamia

Da 5:18 alimpa Nebukadneza utukufu

Mik 2:8 Vueni pambo la utukufu

Mt 5:16 matendo yampe Baba utukufu

Mt 25:31 Mwana atafika kwa utukufu

Lu 2:14 Utukufu katika vilele

Mdo 19:27 utukufu wake utashushwa

Ro 9:23 utajiri wa utukufu wake

2Ko 4:4 habari njema ya utukufu

Ufu 21:23 utukufu wa Mungu ulilitia nuru

1Nya 16:24; Ayu 40:10; Zb 29:9; 79:9; 102:16; Yer 14:21; Da 4:36; Hab 2:14; Zek 11:3; Yoh 1:14; Ro 1:23; 3:23; 2Ko 3:8; 1Pe 5:4.

UTULIVU, Ayu 34:29 anaposababisha utulivu

Met 14:30 Moyo mtulivu ni uhai

Met 15:4 Utulivu wa ulimi

Isa 32:17 utulivu na usalama

1Th 4:11 kuishi kwa utulivu

1Pe 3:4 roho ya utulivu na upole

1Fa 19:12; 1Nya 22:9; Ayu 4:16; Zb 107:29; Met 17:1; Mhu 9:17; Yer 50:34; Mt 8:26; 2Th 3:12.

UTUME, Yer 48:10 anayetimiza utume kizembe

1Nya 6:32; Yer 1:10; Mdo 1:25; 26:12; 1Ko 9:2; Ga 2:8.

UTUMISHI, Ona pia UTUMISHI MTAKATIFU.

Kut 12:25 mtaendelea kuufanya utumishi

Hes 4:19 mgawo kwenye utumishi

2Nya 29:19 aliondoa katika utumishi

Ezr 8:20 Wanethini, utumishi wa Walawi

Yoh 16:2 atafikiri amemtolea utumishi

Ro 1:25 kuutolea uumbaji utumishi

1Ko 12:28 utumishi wenye msaada

Ufu 7:15 utumishi mtakatifu mchana na

2Nya 31:2; 35:10; Ezr 9:9; Eze 29:18; Mdo 27:23; Ro 9:4; Ebr 12:28.

UTUMISHI MTAKATIFU. Ona pia UTUMISHI.

Mt 4:10 kumtolea utumishi mtakatifu

Ufu 7:15 utumishi mtakatifu mchana na usiku

Ro 9:4 utumishi mtakatifu na ahadi

Ro 12:1 utumishi mtakatifu pamoja na nguvu

UTUMISHI WA KIJESHI, Isa 40:2; Lu 3:14.

UTUMISHI WA LAZIMA, 1Fa 11:28.

UTUMISHI WA MACHO, Efe 6:6; Kol 3:22.

UTUMISHI WA WATU WOTE, Ebr 8:6; 10:11.

UTUMWA, Ro 8:15 hamkupokea roho ya utumwa

Ro 8:21 wekwa huru kutoka utumwa

Ga 5:1 kufungwa nira ya utumwa

Ebr 2:15 wametiishwa chini ya utumwa

Kut 2:23; 1Ko 7:15; Ga 4:24.

UTUNGU, Isa 13:8 Utungu na uchungu

Isa 21:3 Utungu umenishika, kama utungu

UUMBAJI, Ro 1:25 kuutolea utumishi uumbaji

Ro 8:20 uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili

Ro 8:22 uumbaji wote unaugua

Ufu 3:14 mwanzo wa uumbaji wa Mungu

Kol 1:23.

UUMBAJI-MPYA, Mt 19:28 Katika uumbaji-mpya

UUNGU, Ro 1:20 nguvu zake na Uungu

UVIVU, Met 12:27 Uvivu hautatimua mawindo

Met 19:15 Uvivu huleta usingizi

Met 31:27 hali mkate wa uvivu

Mhu 10:18 uvivu, paa hubonyea

Met 19:15.

UVULANA, 1Sa 17:33 vita tangu uvulana

UVUMBA, Ufu 8:4 uvumba ukapanda sala

Law 16:13; Kum 33:10; Zb 141:2.

UVUMILIVU, Ro 2:7 uvumilivu katika kazi njema

Ro 5:3, 4 dhiki hutokeza uvumilivu

Ro 15:4 kupitia uvumilivu tuwe na tumaini

Ebr 12:1 tukimbie kwa uvumilivu

Yak 5:11 Mmesikia uvumilivu wa Ayubu

Lu 8:15; 1Th 1:3; 2Pe 1:6; Ufu 13:10.

UVUMILIVU WENYE SUBIRA, Ro 2:4.

UWANJA, Mwa 19:2 uwanja wa watu wote

UWANJA WA KUPURIA, Ru 3:2; 2Sa 24:21.

UWANJA WA MAKABURI, 2Nya 34:28; 35:24; Ayu 17:1; 21:32.

UWEZO, 2Fa 14:26 asiye na uwezo wala

1Nya 29:12 mkononi mwako mna uwezo

Met 31:29 umeonyesha uwezo

Ro 7:18 uwezo wa kufanya mazuri

Ro 8:3 Sheria haina uwezo

1Ko 1:5 uwezo kamili wa kusema

1Ko 12:28 uwezo wa kuelekeza

Efe 6:10 uwezo wa nguvu zake

Ebr 2:14 uwezo wa kuleta kifo

1Yo 5:20 uwezo wa akili

Kut 15:6; 18:21; 1Fa 15:23; Zb 24:8; Met 12:4; 31:10; Eze 46:7; Da 1:4; 4:18; 5:11, 15; Mt 25:15; 2Ti 3:17.

UWEZO WA KUFIKIRI, Met 5:2; 14:17; 2Pe 3:1.

UWONGO, Kut 20:16 Usishuhudie uwongo

Law 19:11 msitendeane kwa uwongo

Hes 23:19 Mungu hatasema uwongo

Ayu 13:4 watu wa kupaka uwongo

Met 6:19 shahidi wa uwongo

Met 14:5 Shahidi hatasema uwongo

Isa 28:15 uwongo kuwa kimbilio

Yer 5:31 wanatoa unabii kwa uwongo

Yer 7:4, 8 Msitegemee maneno ya uwongo

Da 11:27 uwongo kwenye meza

Zek 5:4 anayeapa kwa uwongo

Mt 24:24 Makristo, manabii wa uwongo

Lu 3:14 msimshtaki mtu kwa uwongo

Yoh 8:44 ndiye baba ya uwongo

Ro 1:25 walioibadili kweli kwa uwongo

2Ko 11:13 mitume wa uwongo

Efe 4:25 ondoa uwongo, semeni kweli

Kol 3:9 Msiambiane uwongo

2Th 2:9 ishara za uwongo na

2Th 2:11 huacha wauamini uwongo

1Ti 6:20 unaoitwa ujuzi kwa uwongo

Ebr 6:18 Mungu, hasemi uwongo

Kut 23:7; Law 6:3; Amu 16:10; Zb 7:14; 27:12; 44:17; 89:35; 119:104; Met 6:17, 19; 19:5, 22; Isa 9:15; 28:15; Yer 6:13; Eze 13:6; Hab 2:3; Sef 3:13; Zek 10:2; Mt 26:59; Ga 2:4; 1Ti 4:2; Ufu 14:5; 21:27; 22:15.

UZA 1., 2Sa 6:6 Uza akanyosha mkono

UZA 2., Mwa 25:31 Niuzie haki yako

Met 23:23 Nunua kweli wala usiiuze

Yoe 3:8 nitawauza wana wenu

Mt 19:21 nenda ukauze mali zako

Law 25:14, 25; Amu 4:9; Mt 25:9; Lu 12:33.

UZAO, Mwa 3:15 uadui kati ya uzao

Mwa 22:17 nitauzidisha uzao wako

Zb 37:25 Wala uzao ukitafuta mkate

Zb 127:3 Uzao wa tumbo ni thawabu

Ga 3:16 Na kwa uzao wako

Ga 3:29 ninyi ni uzao wa Abrahamu

Ufu 12:17 vita na waliobaki wa uzao

Mwa 9:9; 12:7; Kum 7:13; Ayu 18:19; Zb 25:13; Isa 14:20; 59:21; 65:23; Mdo 17:28; Ro 9:7, 29; Ga 3:19.

UZEMBE, Ezr 4:22 kusiwe na uzembe kutenda

Yer 48:10 utume kwa uzembe

Ho 7:14 kuwa na uzembe

UZIA, 2Nya 26:21 Uzia, akiwa mwenye ukoma

2Nya 26:1; Isa 6:1; Mt 1:8.

UZIMA, Mwa 3:22 matunda ya mti wa uzima

1Sa 25:29 mfuko wa uzima

Zb 36:9 chemchemi ya uzima

Da 12:2 kwa ajili ya uzima unaodumu

Yoh 3:16 awe na uzima wa milele

Yoh 5:26 Baba ana uzima

Yoh 11:25 mimi ni ufufuo na uzima

Yoh 11:25 akifa, atarudi kwenye uzima

Yoh 14:6 njia na kweli na uzima

Yoh 17:3 Uzima wa milele ndio huu

Ro 6:23 zawadi ya Mungu ni uzima

1Yo 1:2 ndiyo, uzima ulifunuliwa

Ufu 2:10 nitakupa taji la uzima

Ufu 20:15 kitabu cha uzima

Ufu 22:14 miti ya uzima

Ufu 22:17 maji ya uzima bure

Kum 30:15; Met 15:24; 22:4; Mal 2:5; Yoh 5:24; Yak 1:12; 1Pe 3:10; Ufu 7:17.

UZIMA UNAODUMU, Da 12:2.

UZINZI, Kut 20:14 Usifanye uzinzi

Eze 23:37 wamefanya uzinzi na sanamu

Ufu 2:22 wanaofanya uzinzi naye

Mt 5:28; 15:19; Mk 7:22; Yak 2:11.

UZITO, Ro 11:25 hizi kutiwa uzito

2Ko 3:14 akili zilitiwa uzito

Ebr 12:1 tuondoe kila uzito

Kum 25:15; 2Ko 4:17.

UZOEFU, Zb 19:7 uzoefu awe na hekima

Met 22:3 wasio na uzoefu waumie

Zb 119:130; Met 1:22; 14:15; 21:11; Eze 45:20.

UZURI, Est 1:11 awaonyeshe wakuu uzuri

Zb 16:11 uzuri upande wa mkono

Zb 50:2 Sayuni, ukamilifu wa uzuri

Met 17:6 uzuri wa wana ni baba zao

Isa 33:17 mfalme katika uzuri wake

Eze 28:12 kikamilifu katika uzuri

Isa 23:9.

V

VAMIA, 2Nya 24:23 Siria wakavamia Yuda

Mik 5:1 Ee binti uliyevamiwa

VAZI, 2Fa 10:22 Toa mavazi kwa ajili

Zb 22:18 wanapigia kura vazi langu

Met 7:10 vazi la kahaba

Isa 61:10 amenivika mavazi ya wokovu

Sef 1:8 wanaovaa mavazi ya kigeni

Mt 9:16 kiraka kwenye vazi la zamani

Mt 23:5 kuongeza upindo wa mavazi

Mt 27:35 wakagawa mavazi kwa kura

Mdo 20:33 Sikutamani vazi la mtu

1Ti 2:9 mavazi ya mpangilio mzuri

1Pe 3:4 vazi lisiloharibika la utulivu

Yud 23 vazi ambalo limetiwa doa

Mt 17:2; 21:8; Yoh 19:2; Ufu 3:18; 16:15.

VAZI LA CHUMA, 1Sa 17:5; Isa 59:17.

VAZI LA KICHWANI, 1Ko 11:15.

VAZI LA NJE, Mt 5:40 alichukue vazi la nje

Ufu 16:15 na kutunza mavazi ya nje

Mt 24:18; Ebr 1:12; Yak 5:2; 1Pe 3:3.

VAZI RASMI, 2Fa 2:13 vazi rasmi la Eliya

1Fa 19:19; 2Fa 2:8; Zek 13:4.

VEMA, Mt 25:21; Lu 6:26.

VIBANDA, Kum 16:13 Sherehe ya vibanda

Law 23:42; Kum 16:16; Ezr 3:4; Ne 8:14.

VIBAYA, 1Ti 6:1 jina lisisemwe vibaya

VIBWETA VYENYE MAANDIKO, Mt 23:5.

VIGELEGELE, Zb 89:15 vigelegele vya shangwe

Isa 51:11 Sayuni kwa vigelegele

Isa 54:1 Piga vigelegele, mwanamke tasa

Zb 20:5; 92:4.

VIGUMU, Mdo 26:14 michokoo, vigumu kwako

VIKA, Kol 3:12 jivikeni upendo mwororo

1Pe 4:1 jivikeni silaha ya mwelekeo uleule

Ufu 3:18; 4:4; 7:9; 11:3.

VIKUNDI VYA MATAIFA, Zb 7:7; Isa 49:1; 55:4.

VIKWAZO, Mt 18:7 Ole kwa sababu ya vikwazo

VIPANDE, Zb 2:9 Utawavunja vipande

Yer 51:20 mataifa vipande-vipande

Mt 26:15 vipande 30 vya fedha

Zb 74:14; Isa 30:14; Da 12:7; Mik 3:3.

VIPINDI VYA KULEWA, Ga 5:21.

VIPYA, Ufu 21:5 vyote kuwa vipya

VIRIBA, Mt 9:17; Mk 2:22; Lu 5:37.

VIRINGISHA, Yos 10:18 viringisheni mawe

Lu 24:2 wakapata jiwe limeviringishwa

Mwa 29:10; 1Sa 14:33; Met 26:27; Mt 27:60; Mk 16:4.

VISIVYOONEKANA, 2Ko 4:18.

VITA, Kut 15:3 Yehova ni mtu wa vita

2Nya 20:15 vita si vyenu bali ni vya Mungu

Zb 24:8 Yehova mwenye uwezo katika vita

Zb 46:9 Anakomesha vita

Zb 144:1 Anayefundisha mikono vita

Isa 2:4 hawatajifunza vita tena

Yoe 3:9 Takaseni vita!

Zek 14:3 vita juu ya mataifa

Mt 24:6 vita na habari za vita

1Ko 14:8 ni nani atakayejitayarisha kwa vita

2Ko 10:3 hatupigi vita kimwili

2Ko 10:4 silaha za vita si kimwili

1Ti 1:18 pigana vita vizuri

Ufu 12:7 vita vikatokea mbinguni

Ufu 12:17 joka akaenda kupiga vita

Ufu 16:14 vita vya ile siku kuu

1Sa 17:47; Isa 13:4; Yer 50:22; Ho 1:7; 2:18; Mik 4:3; Zek 14:2; Lu 21:9; Yak 4:1; Ufu 19:11, 19.

VITAMBAA, Lu 24:12; Yoh 19:40; 20:5, 7.

VITISHO, Mdo 4:29 viangalie vitisho vyao

1Pe 2:23 akiteseka, hakutoa vitisho

Eze 26:21.

VITU VIZURI, Mhu 5:11 Vitu vizuri vikiongezeka

VITU VYENYE THAMANI, Met 3:9; 11:4; 28:22.

VITUNGUU, Hes 11:5 vitunguu saumu!

VITUO, Hes 33:1 vituo vya wana wa Israeli

VIVYO HIVYO, Mdo 1:11 atakuja vivyo hivyo

VIWANGO, 1Ko 9:8 viwango vya kibinadamu

VIZIA, Mwa 4:7 dhambi inavizia katika

Kum 19:11 naye amemvizia

Yer 51:12 Watayarisheni wale wanaovizia

Yos 8:2; Amu 16:9; 1Sa 15:5; Zb 10:9.

VUA 1., Kol 2:15 kuzivua serikali

VUA 2., Yer 16:16 wao watawavua

Lu 5:4 mshushe nyavu, mvue

VUGUVUGU, Ufu 3:16 wewe ni vuguvugu

VUJA, Met 27:15 Paa inayovuja hufukuza

VUKA, Mdo 16:9 Vuka uingie Makedonia

2Yo 9 anayevuka mipaka hana Mungu

VULIWA, Zb 102:17 sala ya waliovuliwa

2Ko 3:10 kimevuliwa utukufu

VUMA, Yoe 2:9 huvuma kuingia jijini

1Ko 13:1 kinachovuma au toazi linalolia

2Nya 29:28; Zb 92:3.

VUMILIA, Mwa 30:20 mume wangu atanivumilia

1Sa 23:22 vumilieni kidogo tu

Ne 9:30 uliwavumilia miaka mingi

Zb 69:7 nimevumilia shutuma

Mt 24:13 atakayevumilia mpaka mwisho

Ro 9:22 Mungu alivumilia vyombo

Ro 12:12 Vumilieni chini ya dhiki

1Ko 4:12 tunapoteswa, tunavumilia

1Ko 10:13 kusudi mlivumilie jaribu

2Ti 4:5 vumilia uovu

Ebr 12:7 mnavumilia, nidhamu

1Pe 2:20 mnavumilia, hilo lakubalika

Ayu 34:31.

VUMILIA USHINDANI, Hes 25:13; 2Fa 10:16.

VUMILIANA, Efe 4:2 mkivumiliana kwa upendo

VUNA. Ona pia MAVUNO. Mwa 8:22.

Mhu 11:4 mawingu hatavuna

Ho 8:7 watavuna upepo

Mik 6:15 utapanda, bali hutavuna

Yoh 4:35 mashamba, meupe ya kuvunwa

2Ko 9:6 uhaba atavuna kwa uhaba

Ga 6:7 analopanda mtu, atavuna

Ga 6:9 tutavuna tusipochoka

Ufu 14:15 Tia mundu uvune

Mt 6:26; Lu 12:24; Yoh 4:38; 1Ko 9:11.

VUNJA, Law 18:23 Ni kuvunja jambo la asili

1Sa 15:24 nimevunja agizo la Yehova

Ezr 4:5 kulivunja shauri lao

Ezr 6:12 kuivunja nyumba hiyo

Zb 48:7 unavunja meli za Tarshishi

Zb 68:21 Mungu atavunja adui zake

Zb 94:5 Wanaendelea kuwavunja watu wako

Zb 119:126 Wameivunja sheria yako

Isa 8:15 wengi, kuanguka na kuvunjwa

Isa 24:5 wamezivunja sheria, wamelibadili

Yer 19:7 nitalivunja shauri la Yuda

Yer 34:18 watu wanaolivunja agano

Da 2:44 Utazivunja na kuzikomesha falme

Mt 5:19 anayevunja moja ya amri hizi ndogo

Mt 6:19 wezi huvunja na kuiba

Mt 15:3 huvunja amri ya Mungu

Yos 7:11; 23:16; Amu 2:1, 20; 2Nya 24:20; Zb 51:17; Isa 28:13; Yer 2:13; Ho 6:7; 8:1; Mik 1:7; Zek 11:6.

VUNJA MOYO, Hes 32:7 kuvunja moyo Israeli

VUNJA-VUNJA, Kut 15:6 kumvunja-vunja adui

VUNJIKA, Law 21:19 aliyevunjika mguu

Met 15:22 Mipango huvunjika mahali

Yer 6:14 kuponya kuvunjika kijuujuu

Isa 30:13; 65:14; Yer 30:12; Mt 21:44; 1Ti 1:19.

VUNJIKA MOYO, Yos 2:9 wamevunjika moyo

Met 24:10 umevunjika moyo siku ya

Kol 3:21 watoto, ili wasivunjike moyo

Kut 6:9.

VUNJWA, Zb 34:20 hata mmoja uliovunjwa

Isa 8:9 mvunjwe vipande-vipande

Yer 46:5 wenye nguvu wamevunjwa vipande

Yoh 19:36 Hakuna mfupa wake utakaovunjwa

2Ko 5:1 nyumba yetu, hema, ikivunjwa

VURUGA, Mwa 11:7 tuvuruge lugha yao

Omb 3:11 Amevuruga njia zangu

VURUGIKA, Isa 22:5 ni siku ya kuvurugika

Kum 28:20.

VUTA, Met 11:30 anayevuta nafsi

Yoh 6:44 isipokuwa Baba amvute

Amu 4:7.

VUTIA, Mwa 24:16; 26:7; Zb 45:2; Met 3:22; 4:9; 5:19; 11:16; 31:30; Zek 4:7.

VUTWA, 1Pe 3:1 waume wavutwe bila neno

VYEMA, Zb 133:1 ni vyema ndugu kukaa

Ga 5:7.

VYOMBO, Isa 52:11 ninyi mnaovichukua vyombo

1Nya 22:19; 2Nya 36:7.

W

WAABUDU, 2Fa 10:22 waabudu wa Baali

Yoh 4:23 waabudu wa kweli

WAANDAMIZI, Ebr 7:23, 24

WAANDISHI, Mt 5:20 uadilifu wa waandishi

Mt 7:29; 9:3; 17:10; Lu 5:21, 30.

WAANGALIFU, Ebr 12:15.

WABARIBARI, Ro 1:14.

WACHUUZI, 2Ko 2:17 si wachuuzi wa neno

WADUDU-RUBA, Met 30:15.

WAFADHILI, Lu 22:25 huitwa Wafadhili

WAFANYA-MAZINGAOMBWE, Da 1:20; 2:2; 4:7; 5:7.

WAGAWA-KAZI, Isa 60:17.

WAJIBU, 1Fa 8:31 wajibu wa laana

1Nya 9:33 wajibu wa kuwa kazini

Ro 8:12 tuna wajibu, si kwa mwili

2Th 1:3 wajibu wa kumshukuru Mungu

Kum 11:1; Mhu 12:13; Mik 3:1; Ga 5:3; 1Yo 2:6.

WAKA, Mwa 3:24 Edeni, upanga unaowaka

Kut 3:2 mti wa miiba ulikuwa ukiwaka

Zb 80:4 utaendelea kuwaka dhidi

Yer 20:9 moto unaowaka ndani ya mifupa

Da 3:17 kutoka katika tanuru inayowaka

Lu 17:24 umeme, unapowaka, hung’aa

Ro 1:27 kuwakiana tamaa kali

1Ko 7:9 ndoa kuliko kuwaka tamaa

Kut 22:24; Hes 11:33; Kum 31:17; Amu 2:14; 3:8; 6:39; 10:7; Isa 4:5; Omb 2:3; Lu 12:35; Mdo 9:3; 18:25; Ro 12:11; 1Pe 4:12.

WAKALDAYO, Yer 21:9; 25:12; 37:13; 40:9; Hab 1:6; Mdo 7:4.

WAKANAANI, Kut 3:8; 13:5; Yos 3:10.

WAKATI, Ne 12:46 Daudi, wakati uliopita

Ayu 14:13 kikomo cha wakati

Zb 31:15 Nyakati zangu ziko

Met 15:23 neno wakati unaofaa

Mhu 3:1 wakati wa kila jambo

Mhu 9:11 wakati na tukio lisilotazamiwa

Isa 33:2 wokovu wakati wa taabu

Isa 49:8 wakati wa nia njema

Da 4:16 nyakati saba zipite juu yake

Da 7:25 wakati mmoja na nyakati

Da 11:27 wakati uliowekwa

Da 12:4 mpaka wakati wa mwisho

Hab 2:3 maono ni ya wakati uliowekwa

Mt 16:3 ishara za nyakati

Mt 24:45 chakula kwa wakati unaofaa

Lu 21:24 nyakati zilizowekwa za mataifa

Mdo 1:7 Si juu yenu kujua nyakati

Mdo 3:21 nyakati za kurudishwa

Mdo 17:30 nyakati za kutojua

1Ko 7:29 wakati uliobaki umepungua

Efe 5:16 mkijinunulia wakati unaofaa

1Th 5:1 kwa habari ya nyakati na majira

2Th 2:6 afunuliwe wakati wake unaofaa

1Ti 2:6 nyakati zake maalumu

1Ti 4:1 vipindi vya nyakati

2Ti 3:1 nyakati za hatari

Ufu 12:12 ana kipindi kifupi cha wakati

Ufu 12:14 kwa wakati na nyakati

1Ko 4:5; Ga 4:4; 1Pe 1:20; 4:17; Ufu 11:18.

WAKATI KAMILI, Ga 4:4.

WAKATI UJAO, Zb 37:37 wakati ujao, amani

Zb 37:38 wakati ujao wa waovu

Met 24:20 mbaya hana wakati ujao

Lu 13:9 ukizaa wakati ujao

Zb 73:17; Met 5:11; 20:21; 23:18; Isa 41:22; Yer 29:11.

WAKATI ULIOWEKWA, Hes 9:2, 3; Kum 11:14; Mhu 3:1; Da 8:19; Hab 2:3; Ro 5:6; 1Pe 4:17.

WAKATI UNAOFAA, Efe 5:16; Kol 4:5.

WAKATI USIO NA KIPIMO, Mwa 3:22; 9:16; 48:4; Kut 3:15; 31:16; Zb 90:2; 136:1-26; 145:13; Met 8:23; Isa 26:4; 55:3; Yer 3:5; 50:5; 51:39, 57; Eze 35:5, 9; Da 9:24; 12:2, 3; Yon 2:6; Hab 3:6; Sef 2:9.

WAKERETHI, 1Sa 30:14; 2Sa 20:7.

WAKFU, Ho 9:10 wakfu kwa kitu kile cha aibu

Mk 7:11 zawadi, wakfu kwa Mungu

Lu 21:5 lilivyopambwa kwa vitu wakfu

Kut 39:30; Law 8:9; Yoh 10:22.

WAKILI MKUU, Mdo 3:15 mlimuua Wakili Mkuu

Mdo 5:31 Mungu alimwinua Wakili Mkuu

Ebr 2:10 amfanye Wakili Mkuu wa wokovu

Ebr 12:2 mkazie macho Wakili Mkuu

Mdo 3:15; 5:31; Ebr 2:10.

WAKILISHA, Ezr 10:14 wawakilishe kutaniko

WALAWI, Hes 3:12 Walawi ni wangu

Hes 8:19 Walawi waliokabidhiwa

Hes 35:6 Walawi: majiji 6

Hes 3:41; 1Nya 15:2, 16; 2Nya 23:7.

WALIBYA, Da 11:43 Walibya watafuata nyayo

WALINZI WA MFALME, Flp 1:13.

WANAFALSAFA, Mdo 17:18.

WANAJIMU, Mt 2:1 wanajimu kutoka mashariki

Da 2:27; 4:7; Mt 2:7, 16.

WANAMUZIKI, Ezr 7:24 kodi, wanamuziki

WANAUME WANAOLALA NA WANAUME, 1Ko 6:9.

WANEFILI, Mwa 6:4; Hes 13:33.

WANETHINI, Ezr 7:24 wanamuziki, Wanethini

Ezr 8:20 Wanethini, ambao Daudi

1Nya 9:2; Ezr 2:43; Ne 10:28; 11:21.

WANGAVU, Eze 10:4 wangavu wa utukufu

WANINAWI, Lu 11:30 ishara kwa Waninawi

WANJA, Yer 4:30 kwa kujipaka wanja?

WANONG’ONEZAJI, Ro 1:29.

WANUNG’UNIKAJI, Yud 16.

WANYAMA WAKUBWA, Mwa 1:21.

WAOKOKAJI, Yoe 2:32.

WAONGO KWA MAPATANO, Ro 1:31

WAPENDA-PESA, Lu 16:14.

WAPORAJI, Yoh 10:8 ni wezi na waporaji

WAREKABU, Yer 35:2, 3, 5, 18.

WASENGENYAJI, Ro 1:30.

WASHA, Met 29:8 kujisifu huwasha mji

Kum 32:22; Yer 15:14; 17:4.

WASHIRIKI, Ebr 3:1 washiriki wa mwito

Efe 3:6; Ebr 3:14; 6:4.

WASIOJIWEZA KATIKA KIFO, Met 9:18; Isa 26:14.

WASIWASI, Zb 55:2 ila kuonyesha wasiwasi

Met 11:15 kaa bila wasiwasi

Met 23:29 Ni nani aliye na wasiwasi?

Yer 12:1 wanaofanya hila hawana wasiwasi

Eze 27:35 Nyuso zitaingiwa wasiwasi

Mwa 45:3; Kum 20:3; 2Sa 4:4; Zb 38:6; 90:7; 104:7; 116:11; 122:7; Isa 21:3; 28:16; Yer 22:21; Yoe 2:6; Nah 2:10; Lu 12:29.

WATAWALA WA ULIMWENGU, Efe 6:12.

WATEKAJI 1., 1Fa 8:47 nchi ya watekaji wao

WATEKAJI 2., Yos 9:21 watekaji wa maji

Yos 9:23; Yos 9:23.

WATEKELEZA-SHERIA, Da 3:2, 3.

WATU, Kut 19:5 mali kati ya vikundi vya watu

Kum 33:29 watu wanaofurahia wokovu

1Sa 12:22 ninyi kuwa watu wake

Met 14:28 Wingi wa watu ni pambo

Met 14:28 kukosa watu, uharibifu kwa mkuu

Met 29:2 mwovu akitawala, watu huugua

Met 29:18 maono watu hujiachilia

Isa 2:3 watu wataenda na kusema

Isa 62:10 Fungueni njia ya watu

Yer 5:31 watu wamependa hivyo

Yer 31:33 watakuwa watu wangu

Ho 2:23 ambao si watu wangu

Ho 4:9 kwa watu kama kwa kuhani

Mdo 4:25 watu kutafakari matupu?

Mdo 15:14 watu kwa ajili ya jina lake

Ro 9:25 nitawaita watu wangu

1Ko 9:19 huru kutoka kwa watu wote

Tit 2:14 watu wake wa pekee

Ebr 8:10 watakuwa watu wangu

Ebr 9:19 kukinyunyizia kitabu na watu

Ebr 11:25 vibaya na watu wa Mungu

1Pe 2:9 watu, mali ya pekee

2Pe 3:11 kuwa watu wa namna gani

Yud 16 kustaajabia watu mashuhuri

Ufu 7:9 vikundi vya watu na lugha

Ufu 17:15 maji yanamaanisha watu

Ufu 18:4 Tokeni kwake, watu wangu

Kut 24:7; 2Sa 7:23; Est 8:17; Isa 6:5; 32:18; 56:7; Sef 3:9; Zek 8:22; Mdo 3:23; Ro 15:11; 2Ko 6:16; Ebr 2:17; 10:30.

WATU WA ZAMANI, Mt 15:2; Ebr 11:2.

WATUMISHI, Yoh 18:36 watumishi wangepigana

WATUNZA-MIZABIBU, 2Fa 25:12; Isa 61:5.

WAVU, Zb 9:15 katika wavu walioficha

Met 12:12 windo limeshikwa wavuni

Yoh 21:11 wavu haukupasuka

Zb 10:9; Mhu 9:12; Isa 51:20; Yoh 21:6, 8.

WAVU WA KUKOKOTA, Mik 7:2.

Mt 13:47 ufalme, kama wavu wa kukokota

Mhu 7:26; Eze 26:5; 47:10.

WAYO, Eze 1:7 kama wayo wa ndama

WAZA, Est 4:13 Usiwaze katika nafsi

WAZAO, Ayu 18:19; Da 11:4.

WAZAZI WA WAZAZI, 1Ti 5:4.

WAZEE. Ona pia MWANAMUME MZEE.

Zb 107:32 kikao cha wazee

Ufu 4:4; 7:11; 14:3; 19:4.

WAZEE 70, Kut 24:1 Abihu na wazee 70

WAZI, 1Sa 20:18 kiti kitakuwa wazi

Ro 9:19 mapenzi yake yaliyo wazi?

1Ko 14:8 ikipiga mwito usio wazi

Ga 3:11 mwadilifu kwa Mungu ni wazi

1Ti 5:24 dhambi huwa wazi baadaye

Ga 5:19.

WAZIMU, Mhu 2:2 kicheko: Ni wazimu!

Isa 44:25 waaguzi watende kiwazimu

Yer 51:7 mataifa yanatenda kiwazimu

Ho 9:7 atatiwa wazimu kwa

Yoh 10:20 ana wazimu. Kwa nini

Mdo 26:24 Unashikwa na wazimu

2Ti 3:9 wazimu wao utakuwa wazi

2Pe 2:16 wazimu wa nabii huyo

1Sa 21:15; Mhu 1:17; 2:12; 7:7, 25; 9:3; 10:13; Yer 46:9; 50:38; Lu 6:11.

WAZIWAZI, Hab 2:2 Andika maono, waziwazi

Mk 8:32 akisema hayo waziwazi

Mdo 4:13 walipoona maneno ya waziwazi

1Ko 13:12 tunaona isivyo waziwazi

WAZO, Ayu 42:2 hakuna wazo usilofikia

Zb 10:4 Mawazo yake: Hakuna Mungu

Zb 73:7 Wamezidi mawazo ya moyo

Met 18:11 ukuta katika mawazo yake

Lu 11:17 Akijua mawazo yao

Ufu 17:17 ili kutekeleza wazo lake

Zb 21:11; Met 12:2; 24:8; Yer 23:20.

WEKA, Ne 10:32 tukajiwekea amri za kutoa

Yoh 15:16 niliwaweka, kuzaa matunda

Mdo 17:31 ameweka siku, kuihukumu dunia

2Pe 1:12 mmewekwa imara katika kweli

Ezr 7:25; Da 11:27, 35; Yon 1:17; Mdo 17:26.

WEKA RASMI, Mdo 14:23.

Mdo 17:31 ambaye amemweka rasmi

1Ti 2:7 niliwekwa rasmi kuwa mhubiri

Tit 1:5 uweke rasmi wazee

Ebr 1:2 Mwana, aliyemweka rasmi kuwa

Kut 29:22; Law 7:37; 8:28; Hes 1:50; Mdo 6:3; 2Ti 1:11; Ebr 5:1; 8:3.

WEMA, Zb 27:13 wema wa Yehova

Zb 65:11 Umeuvika mwaka wema

Ro 12:21 kushinda uovu kwa wema

Ga 5:22 tunda la roho wema

2Ti 3:3 wasiopenda wema

Zb 23:6; Isa 63:7; Zek 9:17; 2Th 1:11.

WEMA WA ADILI, Flp 4:8; 2Pe 1:3, 5.

WEMBE, Amu 13:5; 16:17; 1Sa 1:11.

WEMBE WA KINYOZI, Eze 5:1.

WENDA-WAZIMU, Yer 25:16; 1Ko 14:23.

WENGI, Mt 22:14 wanaoalikwa ni wengi

2Ko 2:6 Kemeo la walio wengi

WENYE HEKIMA, Ayu 5:13.

WENYE KUONEA, Met 11:16

WENZAKO, Zb 45:7 kushangilia kuliko wenzako

Ebr 1:9.

WENZAO, Lu 5:7 wakawapungia wenzao

WEPESI, Hab 2:2 asome kwa wepesi

WEREVU, Yos 9:4; Met 1:4; 8:5, 12.

WEUPE, Da 11:35 na kufanya weupe

Mdo 2:46 shangwe na weupe wa moyo

WEUSI, Isa 8:22 weusi, nyakati ngumu

Isa 9:1 weusi si kama wa kwanza

2Pe 2:17 weusi wa giza

Yud 13 zimewekewa milele akiba ya weusi

Ayu 10:22; Isa 8:22; Yoe 2:2; Sef 1:15.

WEZA, 1Th 4:4 kukiweza chombo chake

2Ti 2:15 Fanya kabisa yote unayoweza

Ebr 4:11 acheni tufanye yote tunayoweza

2Pe 1:10 fanyeni yote mnayoweza

Law 27:8; Hes 6:21; 2Pe 3:14.

WEZEKANA, Mt 19:26 yote yawezekana

Mt 24:24 kuwapotosha, ikiwezekana

Mt 26:39 ikiwezekana, kikombe kipite

Ebr 10:4 haiwezekani damu ya ng’ombe

Mk 10:27; Mdo 2:24; Ro 12:18; 1Ko 11:20; Ebr 11:6.

WEZI, Isa 1:23 ni rafiki za wezi

Mt 6:20 ambako wezi hawavunji

1Ko 6:10 wezi hawataurithi ufalme

1Th 5:4.

WIKA, Mt 26:34; Mk 14:30.

WILAYA, Mk 5:17 atoke katika wilaya zao

Kum 34:3; Ne 12:28; Lu 3:1.

WILAYA YA UTAWALA, 1Fa 20:14; Est 1:1; Mhu 2:8; Eze 19:8.

WILAYA YA YORDANI, Mwa 13:10.

WIMBI LA JOTO, Lu 12:55.

WIMBO, Kum 31:19 jiandikieni wimbo huu

Amu 5:12 Debora; Amka, imba wimbo

Ne 12:46 waimbaji na wimbo wa sifa

Zb 98:1 Mwimbieni Yehova wimbo

Zb 149:6 Nyimbo zinazomsifu Mungu

Isa 23:15 katika wimbo wa kahaba

Isa 42:10 Mwimbieni wimbo mpya

Mdo 16:25 kumsifu Mungu kwa wimbo

Efe 5:19 nyimbo za kiroho

Kol 3:16 sifa kwa Mungu, nyimbo

Ufu 15:3 wanaimba wimbo wa Musa

Zb 28:7; Eze 33:32.

WIMBO WA HUZUNI, 2Sa 1:17; 2Nya 35:25; Yer 7:29; 9:10; Eze 27:32; 32:16.

WINDA, Mwa 25:27; Esau akajua kuwinda

Met 6:26 huwinda hata nafsi

Mwa 27:5, 30, 33; Law 17:13; Omb 4:18; Eze 13:20.

WINDO, Mwa 27:5 Esau, kuwinda mawindo

Met 12:27 Uvivu hautatimua mawindo

Kol 2:8 atawachukua kama windo

WINGI, 2Ko 9:6 anayepanda kwa wingi

2Ko 9:10 humgawia mpandaji kwa wingi

Efe 3:20 anayeweza kufanya kwa wingi

WINGU, Mwa 9:13 upinde wa mvua katika wingu

Mhu 11:4 anayetazama mawingu hatavuna

Isa 14:14 Nitaenda mahali pa mawingu

Yoe 2:2 siku yenye mawingu na weusi mzito

Lu 21:27 akija katika wingu akiwa na nguvu

Mdo 1:9 wingu likamchukua juu kutoka

1Th 4:17 tutanyakuliwa, katika mawingu

Ebr 12:1 wingu kubwa la mashahidi

Ufu 1:7 Anakuja na mawingu, kila jicho

Kut 13:21; 1Fa 8:10; Mt 24:30; 1Ko 10:2.

WINGU LA MVUKE, Met 25:14.

WINO, 2Ko 3:3 si kwa wino bali kwa roho

Yer 36:18; 2Yo 12; 3Yo 13.

WIVU, Kut 34:14 Yehova, jina lake Wivu

Hes 11:29 Je, unanionea wivu

Kum 32:16 kumchochea awe na wivu

Zb 78:58 kumchochea awe na wivu

Zb 106:16 kumwonea wivu Musa

Met 3:31 Usimwonee wivu mjeuri

Met 6:34 ghadhabu ni wivu

Met 14:30 wivu, ubovu wa mifupa

Met 23:17 usiwaonee wivu watenda-dhambi

Met 24:1 Usiwaonee wivu wabaya

Zek 1:14 wivu, kwa Yerusalemu

Ro 10:19 Nitawachochea kuwa na wivu

1Ko 10:22 tunamchochea wivu?

1Ko 13:4 Upendo hauna wivu

2Ko 11:2 wivu wa kimungu

Ga 5:26 bila kuoneana wivu

Flp 1:15 wanamhubiri Kristo kwa wivu

1Ti 6:4 Mambo hayo hutokeza wivu

Yak 4:5 roho ina mwelekeo wa wivu

1Pe 2:1 ondoeni wivu wote

Mwa 26:14; Hes 5:14; Zb 37:1; 73:3; Mhu 9:6; Eze 8:3; Ro 1:29; 1Ko 3:3; Tit 3:3.

WIZI, Yer 7:9 Je, inawezekana kuwe wizi?

Ho 4:2 uuaji na wizi na uzinzi

WOGA, Zb 55:4 woga wa kifo umeniangukia

Ro 13:7 anayetaka woga, woga huo

2Ti 1:7 hakutupa roho ya woga

1Yo 4:18 Hakuna woga katika upendo

Ayu 23:16.

WOKOVU, 2Fa 13:17 Mshale wa wokovu

2Nya 20:17 simameni tuli mkauone wokovu

Zb 3:8 Wokovu ni wa Yehova

Zb 13:5 Moyo wangu ushangilie wokovu

Zb 44:4 Amuru wokovu mkuu

Zb 116:13 kikombe cha wokovu

Zb 119:155 Wokovu uko mbali na waovu

Zb 149:4 Anawarembesha kwa wokovu

Isa 12:3 mabubujiko ya wokovu

Isa 26:1 anaweka wokovu kuwa kuta

Isa 49:8 siku ya wokovu nimekusaidia

Isa 52:7 anayetangaza wokovu

Isa 60:18 utaziita kuta zako Wokovu

Isa 61:10 amenivika mavazi ya wokovu

Hab 3:18 Mungu wa wokovu wangu

Lu 1:69 ametuinulia pembe ya wokovu

Yoh 4:22 wokovu hutokana na Wayahudi

Mdo 4:12 hakuna wokovu katika mwingine

Ro 13:11 wokovu wetu uko karibu

2Ko 6:2 siku ya wokovu nilikusaidia

Efe 6:17 kofia ya chuma ya wokovu

Ebr 2:10 Wakili Mkuu wa wokovu

Ebr 5:9 wokovu wa milele kwa wanaomtii

Yud 3 kuwaandikia juu ya wokovu

Ufu 7:10 Wokovu unatoka kwa Mungu

Ufu 12:10 Sasa kumekuwa na wokovu

Zb 33:17; 85:9; Met 11:14; 21:31; Isa 26:18; 45:17; Lu 1:77; Ro 1:16; 10:10; 2Ko 7:10; Flp 2:12; 2Ti 3:15; Ebr 2:3; 9:28.

WONYESHO, Lu 17:20 Ufalme, si kwa wonyesho

1Ko 2:4 wonyesho wa roho na

1Ko 4:9 mitume, wonyesho hadharani

1Ti 5:12 puuza wonyesho wa imani

Y

YABINI, Yos 11:1; Amu 4:2, 24; Zb 83:9.

YAELI, Amu 4:17, 18, 21, 22; 5:6, 24.

YAFETHI, Mwa 5:32; 9:27; 1Nya 1:5.

YAH, Kut 15:2 uwezo wangu ni Yah

Zb 146:1 Msifuni Yah!

Isa 12:2 Yah ni nguvu zangu

Zb 68:4; Wim 8:6; Ufu 19:1.

YAIRO, Mk 5:22; Lu 8:41.

YAKINI, Mwa 46:10; 1Fa 7:21; 1Nya 9:10.

YAKOBO 1., Mwa 25:33 akamuuzia Yakobo haki

Hes 24:17 Nyota itatoka katika Yakobo

Yer 30:7 taabu kwa Yakobo

Eze 39:25 mateka wa Yakobo

Ro 9:13 Nilimpenda Yakobo

Ebr 11:9 Isaka na Yakobo, warithi

Mt 22:32 Mungu wa Yakobo

Mwa 25:26; Zb 14:7; Mik 1:5.

YAKOBO 2., Mt 4:21 Yakobo mwana wa

Mk 10:35 Yakobo na Yohana, wana wawili

Lu 6:14 Yakobo na Yohana, na Filipo

YAKOBO 3., Mt 10:3 Yakobo mwana wa Alfayo

Mk 15:40 Maria mama ya Yakobo Mdogo

Lu 24:10 Maria mama ya Yakobo. Pia, wengine

YAKOBO 4., Mt 13:55 ndugu zake Yakobo

1Ko 15:7 alimtokea Yakobo, kisha mitume

Yak 1:1 Yakobo, mtumwa wa Mungu

YASHEFI, Kut 28:20; Eze 28:13.

YATIMA, Yak 1:27 kutunza yatima na wajane

1Th 2:17.

YAVANI, Mwa 10:2; Isa 66:19; Eze 27:13.

YEBUSI, Yos 18:28 Yebusi, Yerusalemu

Amu 19:10; 1Nya 11:4.

YEFTHA, Amu 11:30; Ebr 11:32.

YEHOAHAZI, 2Fa 10:35; 23:30; 2Nya 21:17.

YEHOASHI, 2Fa 11:21; 13:10; 14:13, 15.

YEHONADABU, 2Fa 10:15, 23.

YEHORAMU, 1Fa 22:50; 2Fa 1:17; 2Nya 17:8.

YEHOSHAFATI, Yoe 3:2 bonde la Yehoshafati

2Nya 17:3, 10; 20:3, 15, 27; Yoe 3:12.

YEHOVA, Mwa 18:14 isivyo kwa Yehova?

Kut 5:2 Yehova ni nani?

Kut 6:3 jina langu Yehova

Kut 9:29 kujua dunia ni ya Yehova

Kut 15:3 Yehova ni mtu wa vita

Kut 20:7 jina Yehova isivyofaa

Kut 32:26 aliye upande wa Yehova?

Kut 34:6 Yehova, Mungu wa rehema

Law 19:2 Yehova ni mtakatifu

Kum 4:24 Yehova ni moto

Kum 6:5 umpende Yehova kwa

Kum 10:17 Yehova, Mungu wa miungu

Kum 32:9 fungu la Yehova ni watu

1Sa 2:6 Yehova ni Mwenye Kuua

1Sa 16:7 Yehova huona moyo

1Sa 17:47 vita ni vya Yehova

1Sa 17:47 Yehova haokoi kwa mkuki

2Sa 22:32 nani Mungu ila Yehova

2Fa 13:17 Mshale wa Yehova

Ne 4:14 Yehova, Mwenye kuogopesha

Ne 8:10 shangwe ya Yehova

Zb 3:8 Wokovu ni wa Yehova

Zb 19:7 Sheria ya Yehova ni kamili

Zb 22:28 ufalme ni wa Yehova

Zb 33:12 taifa, Mungu ni Yehova

Zb 34:8 Onjeni, Yehova ni mwema

Zb 83:18 jina lako ni Yehova

Zb 94:1 Yehova, Mungu wa kisasi

Zb 113:5 nani kama Yehova

Zb 125:2 Yehova awazunguka watu

Met 18:10 Jina la Yehova ni mnara

Met 21:31 wokovu ni wa Yehova

Isa 26:4 Yehova kuna Mwamba

Isa 30:18 Yehova, Mungu wa hukumu

Isa 33:22 Yehova ni Mwamuzi

Isa 40:28 Yehova, hachoki

Isa 59:1 Mkono wa Yehova si mfupi

Isa 60:19 Yehova atakuwa nuru

Isa 61:1 Roho ya Yehova, juu yangu

Isa 61:2 nia njema, kwa Yehova

Isa 66:1 Yehova: Mbingu ni kiti

Yer 10:10 Yehova, Mungu aliye hai

Yer 51:6 kisasi cha Yehova

Ho 12:5 Yehova ni ukumbusho

Nah 1:3 Yehova si mwepesi wa hasira

Hab 2:20 Yehova yumo hekaluni

Sef 2:3 mtafuteni Yehova

Sef 2:3 siku ya hasira ya Yehova

Mal 3:6 ni Yehova; sikubadilika

Mt 1:20 Yehova alimtokea ndotoni

Mt 4:10 mwabudu Yehova Mungu

Mk 12:29 Mungu ni Yehova mmoja

Lu 1:38 Kijakazi wa Yehova!

Lu 1:46 Nafsi inamtukuza Yehova

Lu 2:9 utukufu wa Yehova

Lu 2:26 kumwona Kristo wa Yehova

Yoh 12:13 ajaye katika jina la Yehova

Mdo 2:34 Yehova: Keti mkono wa kuume

Mdo 9:31 kumwogopa Yehova

Mdo 21:14 Mapenzi ya Yehova yatendeke

Ro 14:8 tunaishi kwa ajili ya Yehova

Ro 15:11 Msifuni Yehova, mataifa

1Ko 10:21 meza ya Yehova na

1Ko 10:26 dunia ni ya Yehova

2Ko 3:17 Yehova ndiye Roho

Efe 2:21 hekalu takatifu kwa Yehova

Kol 3:23 nafsi yote, kwa Yehova

1Th 4:15 kwa neno la Yehova

1Th 5:2 siku ya Yehova inakuja

2Th 2:2 siku ya Yehova ipo

2Ti 2:19 Yehova anawajua wake

Ebr 12:6 Yehova hutia nidhamu

Ebr 13:6 Yehova ni msaidizi wangu

Yak 4:15 Yehova akipenda, tutaishi

Yak 5:15 Yehova atamwinua

1Pe 1:25 neno la Yehova ladumu

2Pe 3:9 Yehova hakawii, hadi yake

2Pe 3:10 siku ya Yehova itakuja

Yud 9 Yehova na akukemee

Ufu 4:8 mtakatifu ni Yehova

Ufu 19:6 Yehova, Mweza-Yote

Yos 24:15; 1Sa 14:6; 1Nya 29:11; Zb 31:23; 118:23; Met 3:5; 8:13; Isa 12:2; 43:10; 55:8; Yer 17:10; 23:24; Da 9:4; Nah 1:2; Yoh 1:23; 1Ko 1:31; Ga 3:6; Kol 3:13; Ebr 8:11; Yak 5:11; 1Pe 3:12.

YEHOVA (katika Union Version), Kut 6:2, 3, 6-8; Zb 68:20; 83:18; Isa 12:2; 26:4; 49:14; Yer 16:21; Hab 3:19.

YEHOVA WA MAJESHI, Isa 8:13; 9:7; 47:4.

YEHOVA-NISI, Kut 17:15.

YEHOVA-SHALOMU, Amu 6:24.

YEHOVA-YIRE, Mwa 22:14.

YEHOYADA, 2Sa 8:18; 2Fa 11:4; 2Nya 23:16.

YEHOYAKIMU, 2Fa 23:34; 24:6; Da 1:2.

YEHOYAKINI, 2Nya 36:9; Yer 52:31.

YEHU, 1Fa 19:16; 2Fa 9:13; 10:11, 21, 28.

YEKONIA, 1Nya 3:16; Est 2:6; Yer 24:1.

YEREMIA, 2Nya 36:21; Yer 1:1; Da 9:2.

YERIKO, Ebr 11:30 kuta za Yeriko zilianguka

Yos 2:1; 8:2; 1Fa 16:34.

YEROBOAMU, 1Fa 11:28; 2Fa 17:21; Amo 7:9.

YERUSALEMU, Yos 10:1 mfalme wa Yerusalemu

2Sa 5:5 miaka 33 Yerusalemu

Zb 137:6 Yerusalemu, sababu kuu

Isa 65:18 ninaumba Yerusalemu

Eze 9:4 Pita kati ya Yerusalemu

Mt 23:37 Yerusalemu, muuaji wa

Lu 21:24 Yerusalemu litakanyagwa

Ga 4:26 Yerusalemu la juu ni huru

Ebr 12:22 Yerusalemu la mbinguni

Ufu 21:2 Yerusalemu, likishuka

Yos 15:8; Zb 122:6; 125:2; Isa 52:1; 62:6; Yoe 2:32; Mik 4:2; Zek 8:3; Ufu 3:12.

YESE, 1Sa 16:1; Isa 11:1; Ro 15:12.

YESHURUNI, Kum 32:15; 33:5; Isa 44:2.

YESU, Mt 1:21 umwite jina Yesu

Mt 27:37 Yesu Mfalme wa Wayahudi

Mdo 4:13 Petro, walikuwa na Yesu

Mdo 9:5 Mimi ni Yesu, unayetesa

Flp 2:10 jina la Yesu kila goti

Ufu 20:4 ushahidi kumhusu Yesu

Mt 3:16; 27:17; Lu 2:43; Yoh 1:45; 17:3; Mdo 2:36; Ro 6:23; Ebr 2:9; 3:1; Ufu 1:5.

YETHRO, Kut 3:1; 4:18; 18:5.

YEYUKA, Yos 2:11 mioyo yetu ikayeyuka

Ayu 8:19 kuyeyuka kwa njia yake

Zb 58:8 konokono anayeyeyuka

Zb 68:2 nta inavyoyeyuka

Zb 97:5 Milima ilianza kuyeyuka

Amo 9:5 nchi, ikayeyuka

2Pe 3:12 vitu vitayeyuka!

Yos 14:8; Ayu 7:5; Zb 46:6; 58:7; 107:26; Isa 13:7; 19:1; Nah 1:5.

YEYUSHA, Zb 147:18 neno lake na kuviyeyusha

Isa 1:25 nitayeyusha takataka yako

YEYUSHWA, Isa 28:18 agano litayeyushwa

2Pe 3:10 vitu vya msingi vitayeyushwa

Kut 32:4; Eze 22:21, 22; 24:11; Hab 2:18.

YEZEBELI, 1Fa 16:31; 21:15, 23; 2Fa 9:30.

YEZREELI, Amu 6:33; 1Fa 18:45; Ho 1:4.

YOABU, 2Sa 2:13; 1Fa 2:31.

YOHANA 1., Mt 3:1 Yohana Mbatizaji

Mt 11:11 hakuna mkuu kuliko Yohana

Mt 14:10; 21:25; Mk 1:9; Lu 1:13.

YOHANA 2., Ufu 22:8 Yohana nilikuwa nikisikia

Mt 4:21; Mdo 3:1; Ga 2:9; Ufu 1:4.

YONA, Mt 12:39 ishara ya Yona nabii

Yon 1:1; 2:1; 3:1; Lu 11:30.

YONADABU, Yer 35:6, 8, 14, 19.

YONATHANI, 1Sa 18:1, 3; 19:2; 2Sa 1:17, 22.

YOPA, 2Nya 2:16; Ezr 3:7; Mdo 9:42.

YORDANI, Hes 35:14; Yos 3:13; Mk 1:9.

YOSEFU 1., Mwa 47:15 wakamjia Yosefu, mkate!

Zb 105:17; Mdo 7:9; Ebr 11:22.

YOSEFU 2., Mt 1:19; Lu 3:23; Yoh 6:42.

YOSHUA, Kum 31:23; Yos 3:7; Ebr 4:8.

YOSIA, 2Fa 21:24; 2Nya 35:26.

YOTHAMU, Amu 9:5; 2Nya 27:6.

YUBILE, Law 25:10; 27:24; Hes 36:4.

YUDA 1., Mwa 49:10 Fimbo haitaondoka Yuda

Yer 31:31 agano jipya na Yuda

Mik 5:2 Yuda, mtawala atatoka kwako

Zb 60:7; Yer 50:4; Mt 2:6; Ebr 8:8.

YUDA 2., Mt 26:25; Lu 6:16; 22:48.

YUDA 3., Yud 1 Yuda, mtumwa wa Yesu

YUDEA, Mt 24:16; Lu 21:21.

YUMBA-YUMBA, 1Fa 18:21 yumba-yumba maoni

Zb 60:3 divai, tuyumbe-yumbe

Zb 107:27 Wanayumba-yumba kama mlevi

Isa 28:7 wameyumba-yumba kuhusu uamuzi

2Ko 1:7 tumaini letu haliyumbi-yumbi

Ebr 10:23 tumaini bila kuyumba-yumba

Ayu 34:20; Zb 13:4; 38:16; Isa 24:20; 29:9; 40:20; 54:10; Amo 8:12.

YUMBISHWA, 1Th 3:3 asiyumbishwe na dhiki

Isa 24:19.

Z

ZAA, Mwa 1:28 Zaeni, muwe wengi

Mwa 17:6 Abramu, uzae sana

Zb 9:8 ataihukumu nchi yenye kuzaa

Mhu 3:2 wakati wa kuzaliwa na wa kufa

Isa 66:7 alizaa mtoto wa kiume

Mt 13:23 huzaa matunda

Yoh 15:2 lipate kuzaa matunda zaidi

Kol 1:10 kuzaa matunda katika kazi njema

Yak 1:15 tamaa, huzaa dhambi; nayo dhambi

Yak 2:20 imani bila matendo haizai?

1Pe 1:3 alituzaa upya kwenye tumaini

Ufu 12:2 analia katika uchungu wa kuzaa

Mwa 9:1, 7; Kut 28:10; Law 26:9; Zb 24:1; 48:6; Isa 37:3; 66:9; Yer 23:3; Eze 16:3; 17:23; Yoh 15:2; 16:21; Kol 1:6; 1Pe 1:23; 1Yo 3:9.

ZABARIJADI, Kut 28:17; 39:10; Eze 28:13.

ZABIBU, Isa 5:2 kulitumaini lizae zabibu

Eze 18:2 baba wanakula zabibu mbichi

Yer 8:13; Mt 7:16; Ufu 14:18.

ZABULONI, Mwa 30:20; Hes 26:26; Amu 5:18; Zb 68:27; Ufu 7:8.

ZABURI, Lu 20:42; Efe 5:19; Yak 5:13.

ZAFARANI, Wim 2:1 zafarani ya nchi tambarare

Isa 35:1 Nyika kuchanua maua kama zafarani

ZAKA, Kum 26:12 Unapomaliza kutoa zaka

ZAKAYO, Lu 19:2, 5, 8.

ZALIWA, Ayu 14:1 aliyezaliwa na mwanamke

Mhu 7:1 siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa

Isa 9:6 kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu

Mt 1:16 ambaye kwake Yesu alizaliwa

Lu 2:11 Mwokozi amezaliwa kwenu leo

Yoh 3:3 Mtu asipozaliwa tena, hawezi kuuona

Zb 87:5; Mt 2:1; Yoh 18:37; 1Ko 15:8.

ZAMA, 1Ti 4:15 zama katika hayo

ZAMANI, Isa 65:17 ya zamani hayatakumbukwa

Eze 36:11 hali yenu ya zamani

Mdo 15:7 zamani Mungu alichagua

1Pe 1:14 tamaa zenu hapo zamani

Hag 2:9.

ZAMANI ZA KALE, Met 22:28; Isa 44:7; Yer 28:8.

ZAMBARAU, Met 31:22; Da 5:16; Mdo 16:14.

ZAMISHA, Ufu 12:15 kumzamisha kwa mto

ZAWADI, Zb 68:29 wafalme watakuletea zawadi

Met 18:16 Zawadi itamfungulia nafasi

Mt 19:11 Si wote walio na zawadi

Mdo 8:20 kupata zawadi ya Mungu

Ro 6:23 zawadi ya Mungu, ni uzima

1Ko 7:7 kila mmoja zawadi yake

1Ko 12:4 zawadi mbalimbali

1Ko 14:12 mnatamani zawadi za roho

1Ti 4:14 Usiipuuze zawadi

Ebr 6:4 wameonja zawadi ya kimbingu

Yak 1:17 zawadi njema ni kutoka juu

Ufu 11:10 watapelekeana zawadi

Mhu 7:7; Isa 18:7; Eze 20:39; Mal 1:11; Mt 5:24; 7:11; Ro 5:16; 2Ko 9:15; Efe 2:8; Ebr 11:4.

ZAWADI YA BURE, Ro 5:17.

ZEBEDAYO, Mt 4:21; Lu 5:10; Yoh 21:2.

ZEITUNI, Kut 27:20.

ZEKARIA 1., 1Nya 26:2, 14.

ZEKARIA 2., 2Nya 24:20 Zekaria, wa Yehoyada

Lu 11:51 mpaka damu ya Zekaria, aliyeuawa

ZEKARIA 3., Ezr 5:1; Zek 1:1, 7.

ZEKARIA 4., Isa 8:2 Zekaria, wa Yeberekia

ZEKARIA 5., Lu 1:5, 12, 18, 40, 67.

ZERUBABELI, Ezr 3:8; Hag 2:4; Zek 4:6, 7.

ZIADA, Lu 21:4; 2Ko 8:14; 9:1.

ZIBA, 1Pe 2:15 mzibe maneno ya ujinga

ZIBULIWA, Isa 35:5 masikio yatazibuliwa

ZIDI, Yak 1:21 jambo lile lenye kuzidi

ZIDI NGUVU ZA ASILI, Lu 1:22; 24:23.

ZIDISHA, Mwa 26:4 nitauzidisha uzao wako

Hab 2:6 anayezidisha kisicho chake

Zek 1:15 mataifa walizidisha msiba

Mwa 17:2; 26:24; 2Nya 10:14; Yer 33:22.

ZIDISHWA, 2Ko 4:15 fadhili zilizozidishwa

ZIKA, 2Fa 9:10 hakuna atakayemzika

Eze 39:11 kumzika Gogu na umati wake

Lu 9:60 Waache wafu wawazike wafu wao

Mwa 23:4; Kum 21:23; Zb 79:3; Yer 14:16; 19:11; Eze 39:13, 14, 15.

ZIKWA, Mdo 2:29 Daudi, alikufa, akazikwa

Ro 6:4 tulizikwa pamoja naye kupitia ubatizo

Ru 1:17; Yer 16:4, 6; 1Ko 15:4.

ZIMA, Ayu 18:5 nuru ya waovu itazimwa

Zb 118:12 Walizimwa kama moto

Met 13:9 taa ya waovu itazimwa

Isa 1:31 bila yeyote wa kuzima

Isa 34:10 Haitazimwa, mchana na usiku

Isa 42:3 hatazima utambi

Isa 66:24 moto wao hautazimwa

Yer 21:12 bila wa kuuzima

Mt 12:20 hatauzima utambi

Mk 9:48 moto hauzimwi

Efe 6:16 kuizima mishale

1Th 5:19 Msizime moto wa roho

2Sa 21:17; 2Fa 22:17; Met 20:20; 24:20; Eze 20:48; Amo 5:6.

ZIMIA, Isa 40:31 Watakimbia hawatazimia

Amo 8:13 mabikira watazimia

Ebr 12:5 usizimie anapokurekebisha

ZINDUA, Kum 20:5 nyumba mpya hajaizindua?

1Fa 8:63 waizindue nyumba

2Nya 7:9 kuzinduliwa kwa madhabahu

Ebr 9:18 agano halikuzinduliwa bila damu

Ebr 10:20 aliyotuzindulia kuwa njia mpya

Hes 7:10; Ezr 6:16; Ne 12:27; Da 3:2.

ZINGIRWA, Isa 1:8 kama jiji lililozingirwa

ZIWA, Ufu 19:20 ziwa la moto

Ufu 21:8 ziwa la moto na kiberiti

ZIWA LA MOTO, Ufu 20:14, 15.

ZIZI, Mik 2:12 kama kundi zizini

Sef 2:6 mazizi ya mawe

Yoh 10:16 kondoo, si wa zizi hili

ZOEA, Amu 21:25 alikuwa na mazoea

Isa 53:3 kuzoeana na ugonjwa

Ro 7:19 ndilo ninalozoea kulifanya

1Ko 8:7 wameizoea sanamu, hula

1Yo 1:6 hatuzoei kutenda kweli

Ro 1:32; 7:15; Ebr 10:26.

ZOEZA, Ayu 15:5 kosa linakizoeza kinywa

ZOEZWA, Mwa 14:14 watu wake waliozoezwa

Ebr 5:14 nguvu zao zimezoezwa

Ebr 12:11 ambao wamezoezwa nayo

2Pe 2:14 moyo uliozoezwa kutamani

ZUIA, Hes 22:32 nimekuja kukuzuia

Ayu 33:18 Anazuia nafsi yake

Ayu 38:8 Na ni nani aliyeizuia bahari

Met 10:19 anayezuia midomo yake

Met 16:32 anayezuia roho yake

Met 27:16 anayemzuia, ameuzuia upepo

Mk 9:38 tukajaribu kumzuia

Mdo 11:17 hata nimzuie Mungu?

Ga 5:7 aliyewazuia msiitii kweli?

Kol 2:23 kuzuia mwili

1Th 2:16 kutuzuia tusiseme na mataifa

Ebr 11:34 wakazuia nguvu za moto

1Pe 3:7 sala zenu zisizuiwe

1Pe 3:10 auzuie ulimi wake

Zb 40:9; Isa 48:9.

ZUILIA, Law 11:36 maji yaliyozuiliwa

Kut 7:19.

ZUKA, Nah 1:9 Taabu haitazuka mara ya

ZUMARI-TETE, Da 3:5, 10, 15.

ZUNGUKA, Mk 6:6 akaenda, akizunguka

Lu 19:43 adui watakuzunguka

Ebr 11:30 baada ya Yeriko kuzungukwa

Mt 10:23; Ro 15:19.

ZUNGUKA-ZUNGUKA, 1Ti 5:13.

ZUNGUKWA, Yos 16:9 majiji yaliyozungukwa

ZUNGUMZA, Mk 9:10 wakazungumza kati yao

Ebr 8:1 yanayozungumzwa, jambo kuu ni hili:

ZUNGUMZWA, Ro 1:8 imani, inazungumzwa

ZURI, 1Th 5:21 shikeni mazuri

2Ti 1:14 Amana hii nzuri ilinde

Ebr 10:24; Yak 3:13.

ZURURA-ZURURA, Amu 11:3.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki