Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania 11:1

Marejeo

  • +Lu 17:5; 18:8; Gal 3:11
  • +Ebr 10:22; 11:13
  • +Ro 8:24; 2Ko 4:18; 5:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 19

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2019, uku. 26

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, kur. 21-23, 27

    Amkeni!,

    Na. 3 2016, uku. 12

    11/2011, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2013, uku. 7

    5/1/2009, uku. 3

    9/1/2005, uku. 16

    1/15/2003, uku. 10

    3/15/1997, uku. 6

    7/15/1993, uku. 13

    9/15/1991, uku. 10

    12/15/1989, uku. 10

    7/15/1987, uku. 3

    1/15/1987, uku. 11

    Igeni, uku. 5

    Kutoa Sababu, uku. 91

    Amani na Usalama, uku. 95

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/11 3; w09 5/1 3; w05 9/1 16; rs 91; w03 1/15 10; w97 3/15 6

Waebrania 11:2

Marejeo

  • +Ebr 11:39

Waebrania 11:3

Marejeo

  • +Kol 1:26
  • +Zb 33:6; 2Pe 3:5
  • +Ro 1:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1987, uku. 11

Waebrania 11:4

Marejeo

  • +Mwa 4:5
  • +Mwa 4:4
  • +Mwa 4:10; Mt 23:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ibada Safi, kur. 15, 16-19

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, uku. 20

    1/1/2013, kur. 12, 13-15

    1/15/2002, uku. 23

    8/15/2000, kur. 13-14

    7/15/1993, uku. 16

    1/15/1987, uku. 11

    Igeni, kur. 9, 14-16

    Wapiga-Mbiu, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 1/15 23; w00 8/15 13-14; jv 13-14

Waebrania 11:5

Marejeo

  • +Mwa 5:22; Yud 14
  • +Mwa 5:24
  • +Mwa 5:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2017, uku. 3

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 1 2017 kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/2006, uku. 19

    9/1/2005, uku. 15

    1/1/2004, uku. 29

    9/15/2001, uku. 31

    12/15/1999, uku. 22

    1/15/1997, kur. 30-31

    1/15/1987, kur. 11-12

    Wapiga-Mbiu, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 19; w05 9/1 15; w04 1/1 29; w01 9/15 31; w99 12/15 22; w97 1/15 30-31; jv 14

Waebrania 11:6

Marejeo

  • +2Th 3:2
  • +Gal 2:16
  • +Yoh 7:28; Ro 10:14; Ebr 9:24
  • +1Sa 2:7; Zb 58:11; Mt 5:12
  • +Sef 2:3; Mt 6:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 174

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 1 2021 uku. 9

    Furahia Maisha Milele!, somo la 12

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2016, kur. 24-28

    9/2016, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2013, uku. 11

    9/15/2010, uku. 8

    6/1/2009, uku. 30

    10/1/2006, kur. 28-29

    8/1/2005, kur. 28-29

    8/15/2004, uku. 19

    8/15/2003, kur. 25-26

    12/15/2002, kur. 17-18

    3/1/1996, uku. 7

    9/15/1991, kur. 9-12

    1/15/1990, uku. 6

    Igeni, uku. 5

    Amkeni!,

    12/8/1994, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 9/15 8; w09 6/1 30; w06 10/1 28-29; w05 8/1 28-29; w04 8/15 19; w03 8/15 25-26; w02 12/15 17-18; w96 3/1 7

Waebrania 11:7

Marejeo

  • +Mwa 6:8
  • +Mwa 6:13
  • +Mwa 6:14
  • +Mwa 6:22
  • +Ro 1:17; 3:22; Gal 5:5; Flp 3:9; 2Pe 2:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, kur. 27-28

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/2013, kur. 13-14

    9/15/2011, uku. 18

    11/15/2001, uku. 31

    12/15/1989, uku. 30

    10/1/1989, kur. 11, 15

    1/15/1987, uku. 12

    Amani na Usalama, uku. 118

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/15 18; w01 11/15 31

Waebrania 11:8

Marejeo

  • +Mwa 12:1; Ro 4:11, 13
  • +Mwa 12:4; Mdo 7:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2020, kur. 3-4

Waebrania 11:9

Marejeo

  • +Mwa 23:4
  • +Mwa 12:8
  • +Mwa 21:3
  • +Mwa 25:26
  • +Mwa 17:6; 26:3; 28:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2020, kur. 3-4

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1993, kur. 16-17

    7/1/1989, uku. 20

Waebrania 11:10

Marejeo

  • +Yoh 8:56; Ebr 13:14; Ufu 21:2
  • +Ebr 3:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2020, kur. 2-4

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2016, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, uku. 21

    3/15/2013, kur. 22-23

    8/15/2009, uku. 4

    10/15/2008, uku. 32

    5/1/2005, uku. 11

    8/15/2001, kur. 17-18

    7/15/1993, kur. 16-17

    7/1/1989, uku. 20

    1/15/1987, uku. 12

    Igeni, uku. 32

    Amkeni!,

    3/22/1994, uku. 27

    “Kila Andiko,” kur. 19, 247

    Kuishi Milele, uku. 134

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 8/15 4; w08 10/15 32; w05 5/1 11; w01 8/15 17-18

Waebrania 11:11

Marejeo

  • +Mwa 17:15
  • +Mwa 17:17
  • +Mwa 21:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 0, 803

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, uku. 21

    7/15/1993, uku. 17

    1/15/1987, uku. 12

Waebrania 11:12

Marejeo

  • +Mwa 21:5
  • +Ro 4:19
  • +Mwa 22:17; 1Fa 4:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 803

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1993, uku. 17

    1/15/1987, uku. 12

Waebrania 11:13

Marejeo

  • +Mwa 23:4
  • +Mwa 47:9
  • +Yoh 8:56
  • +1Nya 29:15; Zb 39:12; Efe 2:19; 1Pe 2:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, uku. 22

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, kur. 20-21

    11/15/2011, kur. 16-17

    8/15/2001, kur. 19, 28-29

    7/15/1993, uku. 17

    1/15/1987, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 11/15 16-17; w01 8/15 19, 28-29

Waebrania 11:14

Marejeo

  • +Ebr 13:14

Waebrania 11:15

Marejeo

  • +Mwa 11:31
  • +Mwa 24:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 5 2017 kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1989, kur. 20-21

Waebrania 11:16

Marejeo

  • +Mt 4:17; 25:34; Flp 3:20
  • +Kut 3:15; Mt 22:32; Mdo 7:32
  • +Ebr 12:22; Ufu 21:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1998, uku. 11

    7/15/1993, uku. 17

    12/15/1989, uku. 10

    1/15/1987, uku. 13

    “Kila Andiko,” uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 1/15 11

Waebrania 11:17

Marejeo

  • +Mwa 22:1
  • +Mwa 22:9; Yoh 3:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2017, uku. 6

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1998, kur. 11-12

    1/15/1987, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 8/15 11-12

Waebrania 11:18

Marejeo

  • +Mwa 21:12; Ro 9:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2017, uku. 6

Waebrania 11:19

Marejeo

  • +Ro 4:17
  • +1Ko 10:11; 15:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2017, uku. 6

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2016, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2009, uku. 4

    1/15/1987, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 8/15 4

Waebrania 11:20

Marejeo

  • +Mwa 27:27
  • +Mwa 27:39

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1987, uku. 13

Waebrania 11:21

Marejeo

  • +Mwa 47:29
  • +Mwa 48:20
  • +Mwa 47:31

Waebrania 11:22

Marejeo

  • +Mwa 50:24
  • +Mwa 50:25; Kut 13:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 28

Waebrania 11:23

Marejeo

  • +Kut 2:2
  • +Mdo 7:20
  • +Kut 1:16, 22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1997, kur. 30-31

    1/15/1987, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 5/1 30-31

Waebrania 11:24

Marejeo

  • +Kut 2:11
  • +Kut 2:10; Mdo 7:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, kur. 21-22

    4/15/2014, kur. 3-4

    6/15/2002, uku. 11

    1/15/1987, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 6/15 11

Waebrania 11:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, kur. 21-22

    4/15/2014, kur. 3-4

    9/15/2005, kur. 16-17

    6/15/2002, uku. 11

    1/15/1987, uku. 14

    Amkeni!,

    12/8/1991, kur. 22-23

    Kuishi Milele, kur. 218-219

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 9/15 16-17; w02 6/15 11

Waebrania 11:26

Marejeo

  • +Zb 69:9; Ro 15:3
  • +Ebr 10:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2015, kur. 21-22

    4/15/2014, kur. 5, 6-7

    3/15/2012, uku. 28

    6/15/2002, uku. 11

    11/15/1992, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 28; w02 6/15 11

Waebrania 11:27

Marejeo

  • +Kut 12:51
  • +Kut 10:28
  • +Yoh 1:18; 4:24; 1Ti 1:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 83

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2014, kur. 8-10

    8/15/2005, kur. 22-23

    6/15/2001, kur. 18-23

    12/15/1999, kur. 21-22

    9/1/1995, uku. 9

    11/15/1993, uku. 14

    1/15/1987, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/15 22-23; w01 6/15 18-23; w99 12/15 21-22

Waebrania 11:28

Marejeo

  • +Kut 12:21
  • +Kut 12:22
  • +Kut 12:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2014, kur. 10-11

    1/15/1987, uku. 15

Waebrania 11:29

Marejeo

  • +Kut 14:22
  • +Kut 14:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2014, kur. 11-12

Waebrania 11:30

Marejeo

  • +Yos 6:20

Waebrania 11:31

Marejeo

  • +Yos 2:1
  • +Yos 6:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2013, uku. 13

    1/15/1987, kur. 15-16

Waebrania 11:32

Marejeo

  • +Amu 6:11
  • +Amu 4:6
  • +Amu 13:24
  • +Amu 11:1
  • +1Sa 16:13
  • +1Sa 3:20
  • +Mdo 3:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 70-71

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2011, kur. 25-26

    1/15/1987, kur. 16-17

    “Kila Andiko,” uku. 50

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 1/1 25-26

Waebrania 11:33

Marejeo

  • +Amu 7:22
  • +Mwa 15:6; Ebr 11:4
  • +2Sa 7:12
  • +Amu 14:6; 1Sa 17:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, uku. 23

    Igeni, kur. 70-71

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2011, kur. 25-26

    12/1/1988, uku. 15

    1/15/1987, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 1/1 25-26

Waebrania 11:34

Marejeo

  • +Da 3:23
  • +2Fa 6:15
  • +Amu 16:28; 1Fa 18:46
  • +Amu 11:32; 2Sa 23:8
  • +Amu 4:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, uku. 23

    Unabii wa Danieli, uku. 81

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1988, uku. 15

    1/15/1987, kur. 17-18

    2/1/1986, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    dp 81

Waebrania 11:35

Marejeo

  • +1Fa 17:22; 2Fa 4:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2017, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, kur. 23-24

    The Watchtower,

    5/1/2005, kur. 5-6, 17

    2/15/1995, kur. 10-11

    3/15/1994, uku. 13

    1/15/1987, uku. 18

    Kuishi Milele, uku. 173

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 5/1 5-6, 17

Waebrania 11:36

Marejeo

  • +Yer 20:2
  • +Yer 37:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, uku. 23

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1987, kur. 18-19

Waebrania 11:37

Marejeo

  • +1Fa 21:13; 2Nya 24:21
  • +1Fa 22:24
  • +1Fa 18:4
  • +2Fa 1:8
  • +1Fa 19:5
  • +1Fa 19:2
  • +Yer 38:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1987, kur. 18-19

Waebrania 11:38

Marejeo

  • +1Fa 18:4; 19:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, uku. 23

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1989, uku. 16

    1/15/1987, kur. 18-19

Waebrania 11:39

Marejeo

  • +Mwa 22:18; 49:10; Ebr 11:13

Waebrania 11:40

Marejeo

  • +Ro 8:18; 9:27; 11:5; Ebr 10:19
  • +Ebr 2:3; 3:1; 7:22; Ufu 20:6
  • +Ebr 11:32
  • +Ebr 7:11, 19
  • +Yak 1:18; Ufu 14:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, kur. 102-103

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2002, uku. 30

    2/1/2002, kur. 22-23

    1/15/1987, uku. 19

    Kutoa Sababu, uku. 147

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 102-103; rs 147; w02 2/1 22-23; w02 4/15 30

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Ebr. 11:1Lu 17:5; 18:8; Gal 3:11
Ebr. 11:1Ebr 10:22; 11:13
Ebr. 11:1Ro 8:24; 2Ko 4:18; 5:7
Ebr. 11:2Ebr 11:39
Ebr. 11:3Kol 1:26
Ebr. 11:3Zb 33:6; 2Pe 3:5
Ebr. 11:3Ro 1:20
Ebr. 11:4Mwa 4:5
Ebr. 11:4Mwa 4:4
Ebr. 11:4Mwa 4:10; Mt 23:35
Ebr. 11:5Mwa 5:22; Yud 14
Ebr. 11:5Mwa 5:24
Ebr. 11:5Mwa 5:22
Ebr. 11:62Th 3:2
Ebr. 11:6Gal 2:16
Ebr. 11:6Yoh 7:28; Ro 10:14; Ebr 9:24
Ebr. 11:61Sa 2:7; Zb 58:11; Mt 5:12
Ebr. 11:6Sef 2:3; Mt 6:33
Ebr. 11:7Mwa 6:8
Ebr. 11:7Mwa 6:13
Ebr. 11:7Mwa 6:14
Ebr. 11:7Mwa 6:22
Ebr. 11:7Ro 1:17; 3:22; Gal 5:5; Flp 3:9; 2Pe 2:5
Ebr. 11:8Mwa 12:1; Ro 4:11, 13
Ebr. 11:8Mwa 12:4; Mdo 7:2
Ebr. 11:9Mwa 23:4
Ebr. 11:9Mwa 12:8
Ebr. 11:9Mwa 21:3
Ebr. 11:9Mwa 25:26
Ebr. 11:9Mwa 17:6; 26:3; 28:13
Ebr. 11:10Yoh 8:56; Ebr 13:14; Ufu 21:2
Ebr. 11:10Ebr 3:4
Ebr. 11:11Mwa 17:15
Ebr. 11:11Mwa 17:17
Ebr. 11:11Mwa 21:2
Ebr. 11:12Mwa 21:5
Ebr. 11:12Ro 4:19
Ebr. 11:12Mwa 22:17; 1Fa 4:20
Ebr. 11:13Mwa 23:4
Ebr. 11:13Mwa 47:9
Ebr. 11:13Yoh 8:56
Ebr. 11:131Nya 29:15; Zb 39:12; Efe 2:19; 1Pe 2:11
Ebr. 11:14Ebr 13:14
Ebr. 11:15Mwa 11:31
Ebr. 11:15Mwa 24:6
Ebr. 11:16Mt 4:17; 25:34; Flp 3:20
Ebr. 11:16Kut 3:15; Mt 22:32; Mdo 7:32
Ebr. 11:16Ebr 12:22; Ufu 21:2
Ebr. 11:17Mwa 22:1
Ebr. 11:17Mwa 22:9; Yoh 3:16
Ebr. 11:18Mwa 21:12; Ro 9:7
Ebr. 11:19Ro 4:17
Ebr. 11:191Ko 10:11; 15:20
Ebr. 11:20Mwa 27:27
Ebr. 11:20Mwa 27:39
Ebr. 11:21Mwa 47:29
Ebr. 11:21Mwa 48:20
Ebr. 11:21Mwa 47:31
Ebr. 11:22Mwa 50:24
Ebr. 11:22Mwa 50:25; Kut 13:19
Ebr. 11:23Kut 2:2
Ebr. 11:23Mdo 7:20
Ebr. 11:23Kut 1:16, 22
Ebr. 11:24Kut 2:11
Ebr. 11:24Kut 2:10; Mdo 7:21
Ebr. 11:26Zb 69:9; Ro 15:3
Ebr. 11:26Ebr 10:34
Ebr. 11:27Kut 12:51
Ebr. 11:27Kut 10:28
Ebr. 11:27Yoh 1:18; 4:24; 1Ti 1:17
Ebr. 11:28Kut 12:21
Ebr. 11:28Kut 12:22
Ebr. 11:28Kut 12:23
Ebr. 11:29Kut 14:22
Ebr. 11:29Kut 14:28
Ebr. 11:30Yos 6:20
Ebr. 11:31Yos 2:1
Ebr. 11:31Yos 6:17
Ebr. 11:32Amu 6:11
Ebr. 11:32Amu 4:6
Ebr. 11:32Amu 13:24
Ebr. 11:32Amu 11:1
Ebr. 11:321Sa 16:13
Ebr. 11:321Sa 3:20
Ebr. 11:32Mdo 3:24
Ebr. 11:33Amu 7:22
Ebr. 11:33Mwa 15:6; Ebr 11:4
Ebr. 11:332Sa 7:12
Ebr. 11:33Amu 14:6; 1Sa 17:34
Ebr. 11:34Da 3:23
Ebr. 11:342Fa 6:15
Ebr. 11:34Amu 16:28; 1Fa 18:46
Ebr. 11:34Amu 11:32; 2Sa 23:8
Ebr. 11:34Amu 4:16
Ebr. 11:351Fa 17:22; 2Fa 4:34
Ebr. 11:36Yer 20:2
Ebr. 11:36Yer 37:15
Ebr. 11:371Fa 21:13; 2Nya 24:21
Ebr. 11:371Fa 22:24
Ebr. 11:371Fa 18:4
Ebr. 11:372Fa 1:8
Ebr. 11:371Fa 19:5
Ebr. 11:371Fa 19:2
Ebr. 11:37Yer 38:6
Ebr. 11:381Fa 18:4; 19:9
Ebr. 11:39Mwa 22:18; 49:10; Ebr 11:13
Ebr. 11:40Ro 8:18; 9:27; 11:5; Ebr 10:19
Ebr. 11:40Ebr 2:3; 3:1; 7:22; Ufu 20:6
Ebr. 11:40Ebr 11:32
Ebr. 11:40Ebr 7:11, 19
Ebr. 11:40Yak 1:18; Ufu 14:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Waebrania 11:1-40

Waebrania

11 Imani+ ni tarajio lililohakikishwa la mambo yanayotumainiwa,+ uthibitisho ulio wazi wa mambo halisi ingawa hayaonekani.+ 2 Kwa maana kwa njia ya imani hiyo watu wa nyakati za zamani walitolewa ushahidi.+

3 Kwa imani tunatambua kwamba mifumo ya mambo+ ilipangwa kwa utaratibu kwa neno la Mungu,+ hivi kwamba kile kinachoonekana kimekuja kutokana na vitu visivyoonekana.+

4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu ya thamani kubwa zaidi kuliko Kaini,+ imani ambayo kupitia hiyo alitolewa ushahidi kwamba yeye alikuwa mwadilifu, Mungu akitoa ushahidi+ kuhusu zawadi zake; na kupitia hiyo yeye, ijapokuwa alikufa, bado anasema.+

5 Kwa imani Enoko+ alihamishwa ili asione kifo, naye hakupatikana popote kwa sababu Mungu alikuwa amemhamisha;+ kwa maana kabla ya kuhamishwa kwake alikuwa ametolewa ushahidi kwamba amempendeza Mungu vema.+ 6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+

7 Kwa imani Noa,+ baada ya kupewa onyo la kimungu la mambo ambayo yalikuwa bado hayajaonekana,+ alionyesha woga wa kimungu na kujenga safina+ kwa ajili ya kuiokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo aliuhukumu ulimwengu+ kuwa wenye hatia, naye akawa mrithi wa uadilifu+ unaolingana na imani.

8 Kwa imani Abrahamu,+ alipoitwa, alitii kwa kutoka akaenda na kuingia mahali alipokusudiwa kupokea kuwa urithi; naye akatoka, ijapokuwa hakujua mahali alipokuwa akienda.+ 9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+ 10 Kwa maana alikuwa akingojea jiji+ lililo na misingi ya kweli, ambalo mjenzi na mtengenezaji wa jiji hilo ni Mungu.+

11 Kwa imani Sara+ mwenyewe pia alipokea nguvu ili kuchukua mimba ya uzao, hata alipokuwa amepita mpaka wa umri,+ kwa kuwa alimwona kuwa mwaminifu yeye aliyekuwa ameahidi.+ 12 Kwa sababu hiyo pia kutoka kwa mwanamume mmoja,+ naye akiwa kana kwamba ni mfu,+ kulizaliwa watoto kama vile nyota za mbinguni kwa wingi na kama mchanga ulio kando ya bahari, usiohesabika.+

13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+ 14 Kwa maana wale wanaosema mambo ya namna hiyo hutoa uthibitisho wa kwamba wanatafuta kwa bidii mahali pao wenyewe.+ 15 Na bado, kama kwa kweli wangeendelea kukumbuka mahali pale walipokuwa wametoka,+ wangepata nafasi ya kurudi.+ 16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali palipo bora, yaani, panapohusiana na mbinguni.+ Kwa hiyo Mungu haoni aibu juu yao, kuitwa akiwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji+ kwa ajili yao.

17 Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa,+ ni kana kwamba alimtoa Isaka, na huyo mtu aliyekuwa amezipokea ahadi kwa furaha alijaribu kumtoa mwana wake mzaliwa-pekee,+ 18 ijapokuwa alikuwa ameambiwa: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+ 19 Lakini alifikia uamuzi kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kumfufua hata kutoka kwa wafu;+ na kutoka huko alimpokea pia kwa njia ya mfano.+

20 Kwa imani pia Isaka alimbariki Yakobo+ na Esau+ kuhusu mambo yatakayokuja.

21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+

22 Kwa imani Yosefu, akikaribia mwisho wake, alitaja kuhusu kule kutoka+ kwa wana wa Israeli; naye akatoa amri kuhusu mifupa yake.+

23 Kwa imani Musa alifichwa kwa miezi mitatu na wazazi wake baada ya kuzaliwa kwake,+ kwa sababu waliona kwamba huyo mtoto mchanga alikuwa mwenye kupendeza+ nao hawakuliogopa agizo+ la mfalme. 24 Kwa imani Musa, alipokuwa mtu mzima,+ alikataa kuitwa mwana wa binti ya Farao,+ 25 akachagua kutendewa vibaya pamoja na watu wa Mungu badala ya kufurahia dhambi kwa muda, 26 kwa sababu aliona shutuma ya Kristo+ kuwa ni utajiri mkubwa kuliko hazina za Misri; kwa maana alikaza macho kwenye malipo ya thawabu.+ 27 Kwa imani aliondoka Misri,+ lakini bila kuogopa hasira ya mfalme,+ kwa maana aliendelea kuwa imara kama mtu anayemwona Yeye asiyeonekana.+ 28 Kwa imani alifanya sherehe ya pasaka+ na upakaji wa damu,+ ili mwangamizaji asiwaguse wazaliwa wao wa kwanza.+

29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+

30 Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka chini baada ya kuzungukwa kwa siku saba.+ 31 Kwa imani Rahabu+ yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliotenda kwa kutotii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa njia ya amani.+

32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine,+ 33 ambao kupitia imani walishinda falme katika mapambano,+ wakatenda uadilifu,+ wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+ 34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+ 35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora. 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+ 37 Walipigwa kwa mawe,+ walijaribiwa,+ walikatwa vipande-vipande kwa msumeno, walikufa+ kwa kuuawa kwa upanga, walitembea huku na huku wakiwa wamevikwa ngozi za kondoo,+ wakiwa wamevikwa ngozi za mbuzi, wakiwa katika uhitaji,+ katika dhiki,+ wakitendewa vibaya;+ 38 na ulimwengu haukuwafaa. Walitembea huku na huku katika majangwa na milima na mapango+ na mashimo ya dunia.

39 Na bado hawa wote, ijapokuwa walitolewa ushahidi kupitia imani yao, hawakupata utimizo wa ile ahadi,+ 40 kwa kuwa Mungu aliona kimbele kitu bora+ kwa ajili yetu sisi,+ ili wasifanywe+ kuwa wakamilifu+ bila sisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki