10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
13 Katika imani hawa wote walikufa,+ ijapokuwa hawakupata utimizo wa zile ahadi,+ bali waliziona kwa mbali+ na kuzikaribisha na kutangaza hadharani kwamba wao ni wageni na wakaaji wa muda katika nchi.+