Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 14:1

Marejeo

  • +1Sa 13:22; 14:49; 18:1; 2Sa 1:4; 21:7
  • +Amu 14:6

1 Samweli 14:2

Marejeo

  • +1Sa 10:26
  • +1Sa 13:15

1 Samweli 14:3

Marejeo

  • +1Sa 22:9
  • +1Sa 4:21
  • +1Sa 2:12; 4:17
  • +1Sa 1:9
  • +Yos 18:1; 1Sa 1:3
  • +Kut 29:5; Hes 27:21

1 Samweli 14:4

Marejeo

  • +1Sa 13:23

1 Samweli 14:5

Marejeo

  • +1Sa 13:2
  • +1Sa 13:3

1 Samweli 14:6

Marejeo

  • +Mwa 17:10; Amu 14:3; 15:18; 1Sa 17:36; 2Sa 1:20; 1Nya 10:4; Yer 9:26
  • +Amu 7:2; 2Fa 6:16; 2Nya 14:11; Zb 115:11; Ebr 11:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1989, uku. 24

1 Samweli 14:7

Marejeo

  • +2Fa 10:15; Met 17:17

1 Samweli 14:10

Marejeo

  • +Mwa 24:14; Amu 7:11; 1Sa 10:7

1 Samweli 14:11

Marejeo

  • +1Sa 13:6; 14:22

1 Samweli 14:12

Marejeo

  • +1Sa 14:10; 17:44; 2Fa 14:8
  • +1Sa 14:6; 2Sa 5:24; 2Fa 6:16; Met 3:5; 16:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 2

1 Samweli 14:13

Marejeo

  • +Zb 18:29; Ebr 11:34
  • +2Sa 1:23
  • +Law 26:7; Yos 23:10; Zb 44:3; Ro 8:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 2

1 Samweli 14:15

Marejeo

  • +Amu 7:21; 2Fa 7:6
  • +1Sa 13:17
  • +Kut 19:18; Nah 1:5; Mt 27:51; Mdo 16:26
  • +Mwa 35:5; Zb 48:5; Da 5:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2007, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 9/15 18

1 Samweli 14:16

Marejeo

  • +1Sa 10:26; 14:2
  • +Amu 7:22; 1Sa 14:20; 2Nya 20:23

1 Samweli 14:18

Marejeo

  • +1Sa 14:3
  • +Kut 25:22
  • +1Sa 4:3; 5:2; 7:1

1 Samweli 14:19

Marejeo

  • +Hes 27:21

1 Samweli 14:20

Marejeo

  • +Hes 10:9
  • +Amu 7:22; 2Nya 20:23; Isa 19:2; Eze 38:21

1 Samweli 14:21

Marejeo

  • +Amu 15:11

1 Samweli 14:22

Marejeo

  • +1Sa 13:6; 14:11

1 Samweli 14:23

Marejeo

  • +Kum 33:29; Amu 2:18; 2Fa 19:34; Zb 17:7; 44:7; Isa 63:8; Ho. 1:7; 1Ti 4:10
  • +1Sa 13:5

1 Samweli 14:24

Marejeo

  • +Law 5:4; Hes 30:2; Amu 21:1; Met 20:25; Mhu 5:6
  • +Yos 10:13; Amu 11:36; 16:28
  • +Kum 23:21; Amu 8:5; 2Sa 17:29; Zb 15:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 2

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1986, uku. 31

1 Samweli 14:25

Marejeo

  • +Kum 8:8; 27:3; Yos 5:6

1 Samweli 14:26

Marejeo

  • +Kut 3:8; Law 20:24; Hes 13:27; Mt 3:4
  • +Zb 15:4

1 Samweli 14:27

Marejeo

  • +1Sa 14:17
  • +1Sa 30:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    3/15/2005, uku. 22

    6/1/1986, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 3/15 22

1 Samweli 14:28

Marejeo

  • +1Sa 14:24
  • +Amu 8:4; 2Sa 17:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1986, uku. 31

1 Samweli 14:29

Marejeo

  • +1Fa 18:18
  • +1Sa 14:27

1 Samweli 14:30

Marejeo

  • +1Sa 14:26; Mdo 9:19
  • +Kum 20:14
  • +Mhu 9:18

1 Samweli 14:31

Marejeo

  • +1Sa 13:2
  • +Yos 10:12; 19:42
  • +Amu 8:5; Isa 44:12

1 Samweli 14:32

Marejeo

  • +Kum 20:14; 1Sa 15:19
  • +Mwa 9:4; Law 3:17; 17:10; Kum 12:16; Eze 33:25; Mdo 15:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/1994, uku. 31

1 Samweli 14:33

Marejeo

  • +Kum 12:23; 15:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/1994, uku. 31

    6/1/1986, uku. 31

1 Samweli 14:34

Marejeo

  • +1Sa 14:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/1994, uku. 31

1 Samweli 14:35

Marejeo

  • +1Sa 7:17; 2Sa 24:18, 25
  • +Mwa 4:26

1 Samweli 14:36

Marejeo

  • +Yos 10:9; 1Sa 11:11; Yer 6:5
  • +Kum 7:2, 16
  • +Hes 27:21; 1Sa 30:7; Zb 65:4; 73:28; Mal 2:7

1 Samweli 14:37

Marejeo

  • +Amu 1:1; 1Sa 30:8; 2Sa 5:19; Met 3:5
  • +Hes 27:21
  • +1Sa 28:6; Zb 66:18; Isa 1:15; Eze 20:3

1 Samweli 14:38

Marejeo

  • +Yos 7:14; 1Sa 10:19
  • +Amu 20:2

1 Samweli 14:39

Marejeo

  • +Mhu 5:2

1 Samweli 14:40

Marejeo

  • +2Sa 15:15; Mhu 8:4

1 Samweli 14:41

Marejeo

  • +Kut 28:30; Law 8:8; Kum 33:8; Ezr 2:63
  • +Yos 7:16; 1Sa 10:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1986, uku. 31

1 Samweli 14:42

Marejeo

  • +Met 16:33; Yon 1:7

1 Samweli 14:43

Marejeo

  • +Yos 7:19
  • +1Sa 14:27

1 Samweli 14:44

Marejeo

  • +Ru 1:17; 1Sa 3:17; 25:22; 2Sa 3:9; 19:13
  • +Mwa 38:24; 1Sa 14:24; 2Sa 12:5; Yak 2:13

1 Samweli 14:45

Marejeo

  • +1Sa 11:13; 14:14; 19:5; Ne 9:27
  • +Mwa 44:7; Yos 22:29
  • +1Sa 19:6; 28:10
  • +1Fa 1:52; Lu 21:18; Mdo 27:34
  • +1Sa 14:6
  • +Ayu 6:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2007, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 9/15 18-19

1 Samweli 14:46

Marejeo

  • +Hes 33:55; Amu 2:3

1 Samweli 14:47

Marejeo

  • +1Sa 13:1
  • +1Sa 12:9
  • +Kum 2:19; 1Sa 11:11
  • +Mwa 36:8, 43; Mal 1:4
  • +2Sa 10:6; 1Fa 11:23
  • +1Sa 9:16
  • +Yos 13:1; 23:10

1 Samweli 14:48

Marejeo

  • +2Sa 1:23
  • +Kut 17:14; Kum 25:19; 1Sa 15:3

1 Samweli 14:49

Marejeo

  • +1Sa 13:2; 14:1; 1Nya 9:39
  • +1Sa 31:2; 1Nya 8:33
  • +1Sa 18:17
  • +1Sa 18:27; 25:44; 2Sa 3:13; 6:20

1 Samweli 14:50

Marejeo

  • +1Sa 17:55; 2Sa 2:8; 3:27

1 Samweli 14:51

Marejeo

  • +1Sa 9:1; 1Nya 9:39; Mdo 13:21
  • +1Fa 2:5

1 Samweli 14:52

Marejeo

  • +Mwa 49:27; 1Sa 9:16
  • +1Sa 8:11; 10:26

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 14:11Sa 13:22; 14:49; 18:1; 2Sa 1:4; 21:7
1 Sam. 14:1Amu 14:6
1 Sam. 14:21Sa 10:26
1 Sam. 14:21Sa 13:15
1 Sam. 14:31Sa 22:9
1 Sam. 14:31Sa 4:21
1 Sam. 14:31Sa 2:12; 4:17
1 Sam. 14:31Sa 1:9
1 Sam. 14:3Yos 18:1; 1Sa 1:3
1 Sam. 14:3Kut 29:5; Hes 27:21
1 Sam. 14:41Sa 13:23
1 Sam. 14:51Sa 13:2
1 Sam. 14:51Sa 13:3
1 Sam. 14:6Mwa 17:10; Amu 14:3; 15:18; 1Sa 17:36; 2Sa 1:20; 1Nya 10:4; Yer 9:26
1 Sam. 14:6Amu 7:2; 2Fa 6:16; 2Nya 14:11; Zb 115:11; Ebr 11:33
1 Sam. 14:72Fa 10:15; Met 17:17
1 Sam. 14:10Mwa 24:14; Amu 7:11; 1Sa 10:7
1 Sam. 14:111Sa 13:6; 14:22
1 Sam. 14:121Sa 14:10; 17:44; 2Fa 14:8
1 Sam. 14:121Sa 14:6; 2Sa 5:24; 2Fa 6:16; Met 3:5; 16:3
1 Sam. 14:13Zb 18:29; Ebr 11:34
1 Sam. 14:132Sa 1:23
1 Sam. 14:13Law 26:7; Yos 23:10; Zb 44:3; Ro 8:31
1 Sam. 14:15Amu 7:21; 2Fa 7:6
1 Sam. 14:151Sa 13:17
1 Sam. 14:15Kut 19:18; Nah 1:5; Mt 27:51; Mdo 16:26
1 Sam. 14:15Mwa 35:5; Zb 48:5; Da 5:6
1 Sam. 14:161Sa 10:26; 14:2
1 Sam. 14:16Amu 7:22; 1Sa 14:20; 2Nya 20:23
1 Sam. 14:181Sa 14:3
1 Sam. 14:18Kut 25:22
1 Sam. 14:181Sa 4:3; 5:2; 7:1
1 Sam. 14:19Hes 27:21
1 Sam. 14:20Hes 10:9
1 Sam. 14:20Amu 7:22; 2Nya 20:23; Isa 19:2; Eze 38:21
1 Sam. 14:21Amu 15:11
1 Sam. 14:221Sa 13:6; 14:11
1 Sam. 14:23Kum 33:29; Amu 2:18; 2Fa 19:34; Zb 17:7; 44:7; Isa 63:8; Ho. 1:7; 1Ti 4:10
1 Sam. 14:231Sa 13:5
1 Sam. 14:24Law 5:4; Hes 30:2; Amu 21:1; Met 20:25; Mhu 5:6
1 Sam. 14:24Yos 10:13; Amu 11:36; 16:28
1 Sam. 14:24Kum 23:21; Amu 8:5; 2Sa 17:29; Zb 15:4
1 Sam. 14:25Kum 8:8; 27:3; Yos 5:6
1 Sam. 14:26Kut 3:8; Law 20:24; Hes 13:27; Mt 3:4
1 Sam. 14:26Zb 15:4
1 Sam. 14:271Sa 14:17
1 Sam. 14:271Sa 30:12
1 Sam. 14:281Sa 14:24
1 Sam. 14:28Amu 8:4; 2Sa 17:29
1 Sam. 14:291Fa 18:18
1 Sam. 14:291Sa 14:27
1 Sam. 14:301Sa 14:26; Mdo 9:19
1 Sam. 14:30Kum 20:14
1 Sam. 14:30Mhu 9:18
1 Sam. 14:311Sa 13:2
1 Sam. 14:31Yos 10:12; 19:42
1 Sam. 14:31Amu 8:5; Isa 44:12
1 Sam. 14:32Kum 20:14; 1Sa 15:19
1 Sam. 14:32Mwa 9:4; Law 3:17; 17:10; Kum 12:16; Eze 33:25; Mdo 15:29
1 Sam. 14:33Kum 12:23; 15:23
1 Sam. 14:341Sa 14:32
1 Sam. 14:351Sa 7:17; 2Sa 24:18, 25
1 Sam. 14:35Mwa 4:26
1 Sam. 14:36Yos 10:9; 1Sa 11:11; Yer 6:5
1 Sam. 14:36Kum 7:2, 16
1 Sam. 14:36Hes 27:21; 1Sa 30:7; Zb 65:4; 73:28; Mal 2:7
1 Sam. 14:37Amu 1:1; 1Sa 30:8; 2Sa 5:19; Met 3:5
1 Sam. 14:37Hes 27:21
1 Sam. 14:371Sa 28:6; Zb 66:18; Isa 1:15; Eze 20:3
1 Sam. 14:38Yos 7:14; 1Sa 10:19
1 Sam. 14:38Amu 20:2
1 Sam. 14:39Mhu 5:2
1 Sam. 14:402Sa 15:15; Mhu 8:4
1 Sam. 14:41Kut 28:30; Law 8:8; Kum 33:8; Ezr 2:63
1 Sam. 14:41Yos 7:16; 1Sa 10:21
1 Sam. 14:42Met 16:33; Yon 1:7
1 Sam. 14:43Yos 7:19
1 Sam. 14:431Sa 14:27
1 Sam. 14:44Ru 1:17; 1Sa 3:17; 25:22; 2Sa 3:9; 19:13
1 Sam. 14:44Mwa 38:24; 1Sa 14:24; 2Sa 12:5; Yak 2:13
1 Sam. 14:451Sa 11:13; 14:14; 19:5; Ne 9:27
1 Sam. 14:45Mwa 44:7; Yos 22:29
1 Sam. 14:451Sa 19:6; 28:10
1 Sam. 14:451Fa 1:52; Lu 21:18; Mdo 27:34
1 Sam. 14:451Sa 14:6
1 Sam. 14:45Ayu 6:23
1 Sam. 14:46Hes 33:55; Amu 2:3
1 Sam. 14:471Sa 13:1
1 Sam. 14:471Sa 12:9
1 Sam. 14:47Kum 2:19; 1Sa 11:11
1 Sam. 14:47Mwa 36:8, 43; Mal 1:4
1 Sam. 14:472Sa 10:6; 1Fa 11:23
1 Sam. 14:471Sa 9:16
1 Sam. 14:47Yos 13:1; 23:10
1 Sam. 14:482Sa 1:23
1 Sam. 14:48Kut 17:14; Kum 25:19; 1Sa 15:3
1 Sam. 14:491Sa 13:2; 14:1; 1Nya 9:39
1 Sam. 14:491Sa 31:2; 1Nya 8:33
1 Sam. 14:491Sa 18:17
1 Sam. 14:491Sa 18:27; 25:44; 2Sa 3:13; 6:20
1 Sam. 14:501Sa 17:55; 2Sa 2:8; 3:27
1 Sam. 14:511Sa 9:1; 1Nya 9:39; Mdo 13:21
1 Sam. 14:511Fa 2:5
1 Sam. 14:52Mwa 49:27; 1Sa 9:16
1 Sam. 14:521Sa 8:11; 10:26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 14:1-52

1 Samweli

14 Na ikawa siku moja kwamba Yonathani+ mwana wa Sauli alimwambia mtumishi aliyechukua silaha zake: “Njoo tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha Wafilisti walio pale ng’ambo.” Lakini hakumwambia baba yake jambo hilo.+ 2 Na Sauli alikuwa akikaa mipakani mwa Gibea+ chini ya mkomamanga ulio katika Migroni; na watu waliokuwa pamoja naye walikuwa karibu wanaume mia sita.+ 3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova katika Shilo,+ alikuwa ameibeba efodi.)+ Nao watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameenda. 4 Basi kati ya zile njia ambazo Yonathani alitafuta kuvukia kwenda juu ya kituo cha mbele+ cha Wafilisti, kulikuwa na mwamba ulio na umbo la jino upande huu na mwamba ulio na umbo la jino upande ule mwingine, na jina la ule mmoja lilikuwa ni Bosesi na jina la ule mwingine lilikuwa ni Sene. 5 Hilo jino moja lilikuwa ni nguzo upande wa kaskazini kuelekea Mikmashi,+ na lile lingine lilikuwa upande wa kusini kuelekea Geba.+

6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+ 7 Ndipo mchukua-silaha wake akamwambia: “Fanya lolote lililo moyoni mwako. Enda popote unapotaka. Tazama, mimi nipo pamoja nawe kulingana na moyo wako.”+ 8 Ndipo Yonathani akasema: “Tazama, tunavuka kwenda kwa watu wale, nasi tujionyeshe kwao. 9 Wakituambia hivi, ‘Simameni tuli mpaka tukutane nanyi!’ ndipo tutakaposimama mahali tulipo, nasi tusipande kwenda walipo. 10 Lakini wakisema hivi, ‘Njooni juu yetu!’ ndipo tutakapopanda, kwa sababu hakika Yehova atawatia mkononi mwetu, na hii itakuwa ndiyo ishara kwetu.”+

11 Basi hao wawili wakajionyesha kwenye kituo cha mbele cha Wafilisti. Nao Wafilisti wakasema: “Tazama, Waebrania wanatoka katika matundu walimojificha.”+ 12 Kwa hiyo watu wa kituo hicho cha mbele wakamjibu Yonathani na mchukua-silaha wake na kusema: “Njooni hapa juu tulipo, na sisi tutawaonyesha jambo fulani!”+ Mara moja Yonathani akamwambia mchukua-silaha wake: “Nifuate, kwa kuwa hakika Yehova atawatia mkononi mwa Israeli.”+ 13 Naye Yonathani akaendelea kupanda kwa mikono+ yake na miguu yake, na mchukua-silaha wake akimfuata; nao wakaanza kuanguka mbele ya Yonathani,+ na mchukua-silaha wake akawa akiwaua nyuma yake.+ 14 Na yale mauaji ya kwanza ambayo Yonathani na mchukua-silaha wake waliwapiga yakawa watu karibu 20 ndani ya nafasi inayolingana na karibu nusu ya uwanja unaoweza kulimwa na ng’ombe wawili.

15 Ndipo tetemeko+ likatokea katika kambi iliyo shambani na katikati ya watu wote wa kile kituo cha mbele; na hata lile jeshi la waporaji+ likatetemeka, na dunia ikaanza kutetemeka,+ nalo likawa ni tetemeko kutoka kwa Mungu.+ 16 Na walinzi wa Sauli waliokuwa katika Gibea+ la Benyamini wakaona hayo, na tazama! machafuko hayo yalienea pande zote.+

17 Ndipo Sauli akawaambia watu waliokuwa pamoja naye: “Tafadhali, fanyeni hesabu, mwone ni nani ambaye ametoka kwetu.” Walipohesabu, tazama! Yonathani na mchukua-silaha wake hawakuwepo. 18 Basi Sauli akamwambia Ahiya:+ “Lilete karibu sanduku la Mungu wa kweli!”+ (Kwa maana siku hiyo sanduku la Mungu wa kweli lilikuwa pamoja na wana wa Israeli.)+ 19 Na ikawa kwamba Sauli alipokuwa akisema na kuhani,+ yale machafuko yaliyokuwa katika kambi ya Wafilisti yakazidi kuendelea, yakawa makubwa zaidi na zaidi. Ndipo Sauli akamwambia yule kuhani: “Rudisha mkono wako.” 20 Hivyo Sauli na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaitwa nje.+ Wakaenda mpaka kwenye pigano, na tazama, upanga wa kila mmoja ulikuwa umeinuka juu ya mtu na mwenzake;+ machafuko yalikuwa makubwa sana. 21 Na wale Waebrania waliokuwa wamekuwa mali ya Wafilisti+ kama hapo zamani na waliokuwa wamepanda pamoja nao kuingia katika kambi iliyozunguka pande zote, hata wao pia wakawa upande wa Israeli ambao walikuwa pamoja na Sauli na Yonathani. 22 Na pia watu wote wa Israeli waliokuwa wamejificha+ katika eneo lenye milima la Efraimu wakasikia kwamba Wafilisti wamekimbia, nao pia wakawafuatilia kwa ukaribu vitani. 23 Na Yehova akawaokoa+ Israeli siku hiyo, na pigano hilo likavuka mpaka Beth-aveni.+

24 Na watu wa Israeli walikuwa wamebanwa sana siku hiyo, na bado Sauli akawaapisha watu,+ akisema: “Alaaniwe mtu yeyote atakayekula mkate kabla ya jioni na mpaka niwe nimejilipiza kisasi+ juu ya adui zangu!” Na hakuna yeyote kati ya watu aliyeonja mkate.+

25 Na wale wote wa nchi hiyo wakaingia msituni, nayo asali+ ikawa usoni pa nchi. 26 Watu walipoingia msituni, tazama! asali ilikuwa ikidondoka,+ lakini hakuna yeyote aliyenyoosha mkono wake kuuleta kinywani pake, kwa sababu watu waliogopa kile kiapo.+ 27 Lakini Yonathani hakusikia wakati baba yake alipowaapisha watu,+ kwa hiyo akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaichovya ndani ya lile sega la asali na kuurudisha mkono wake kinywani pake, na macho yake yakaanza kung’aa.+ 28 Ndipo mmoja wa wale watu akajibu na kusema: “Baba yako aliwaapisha watu kwa uzito, akisema, ‘Alaaniwe mtu yule atakayekula mkate leo!’”+ (Nao watu wakaanza kuchoka.)+ 29 Hata hivyo, Yonathani akasema: “Baba yangu ameleta taabu+ katika nchi. Tafadhali, angalieni jinsi macho yangu yalivyong’aa kwa sababu ya kuonja hii asali kidogo.+ 30 Si zaidi sana kama watu wangalikula+ leo kutokana na nyara ya adui zao waliyopata!+ Kwa hiyo sasa mauaji juu ya Wafilisti yamekuwa si makubwa.”+

31 Na siku hiyo wakaendelea kuwapiga Wafilisti kutoka Mikmashi+ mpaka Aiyaloni,+ na watu wakachoka sana.+ 32 Na watu wakaanza kukimbilia nyara kwa pupa+ na kuchukua kondoo na ng’ombe na ndama na kuwachinja juu ya nchi, na wale watu wakaanza kula pamoja na damu.+ 33 Basi wakamwambia Sauli, wakisema: “Tazama! Watu wanamtendea dhambi Yehova kwa kula pamoja na damu.”+ Naye akasema: “Mmetenda kwa hila. Kwanza kabisa, viringisheni kwangu jiwe kubwa.” 34 Kisha Sauli akasema: “Tawanyikeni kati ya watu, nanyi mkawaambie, ‘Kila mmoja wenu alete karibu nami ng’ombe wake na kila mmoja kondoo wake, mchinje na mle mahali hapa, wala msimtendee dhambi Yehova kwa kula pamoja na damu.’”+ Basi watu wote wakaleta karibu kila mmoja ng’ombe aliyekuwa mkononi mwake usiku huo, wakawachinjia mahali hapo. 35 Na Sauli akamjengea Yehova madhabahu.+ Kuanzia na hiyo, akaanza kumjengea Yehova madhabahu.+

36 Baadaye Sauli akasema: “Na tushuke kuwafuatilia Wafilisti wakati wa usiku, tuwapore mpaka mapambazuko ya asubuhi,+ nasi tusiache hata mmoja kati yao.”+ Nao wakasema: “Lolote lililo jema machoni pako, fanya.” Ndipo kuhani akasema: “Na tukaribie hapa kwa Mungu wa kweli.”+ 37 Na Sauli akaanza kumuuliza Mungu: “Je, nishuke kuwafuatilia Wafilisti?+ Je, utawatia mkononi mwa Israeli?”+ Naye hakumjibu siku hiyo.+ 38 Basi Sauli akasema: “Njooni hapa karibu,+ enyi wakuu wote wa watu,+ mhakikishe na mwone ni jinsi gani dhambi hii imetokea leo. 39 Kwa maana, kama anavyoishi Yehova, ambaye ni Mkombozi wa Israeli, hata kama iko katika Yonathani mwanangu, yeye atakufa hakika.”+ Lakini hakuna yeyote aliyemjibu kati ya watu wote. 40 Kisha akawaambia tena Israeli wote: “Ninyi mtakuwa upande mmoja, nami na Yonathani mwanangu—tutakuwa upande wa pili.” Ndipo watu wakamwambia Sauli: “Fanya yaliyo mema machoni pako.”+

41 Na Sauli akamwambia Yehova: “Ee Mungu wa Israeli, utoe Thumimu!”+ Ndipo Yonathani na Sauli wakachukuliwa, nao watu wakaondoka.+ 42 Basi Sauli akasema: “Pigeni kura+ kuamua kati yangu na Yonathani mwanangu.” Ndipo Yonathani akachukuliwa. 43 Kisha Sauli akamwambia Yonathani: “Niambie, Umefanya nini?”+ Basi Yonathani akamwambia na kusema: “Kwa kweli nilionja asali kidogo kwenye ncha ya fimbo iliyo mkononi mwangu.+ Mimi hapa! Na nife!”

44 Ndipo Sauli akasema: “Mungu na afanye hivyo naye azidishe hilo,+ ikiwa hutakufa hakika,+ Yonathani.” 45 Lakini watu wakamwambia Sauli: “Je, Yonathani afe, ambaye ametimiza wokovu+ huu mkubwa katika Israeli? Ni jambo lisilowaziwa!+ Kama anavyoishi Yehova,+ hakuna hata unywele mmoja+ wa kichwa chake utakaoanguka chini; kwa maana alifanya kazi na Mungu leo.”+ Hivyo watu wakamkomboa+ Yonathani, naye hakufa.

46 Basi Sauli akarudi, akaacha kuwafuata Wafilisti, na Wafilisti wakaenda kwao.+

47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+ 48 Naye akatenda kishujaa,+ akapiga Amaleki+ na kukomboa Israeli kutoka mkononi mwa mporaji wao.

49 Na wana wa Sauli wakawa ni Yonathani+ na Ishvi na Malki-shua,+ na majina ya binti zake wawili, jina la yule aliyezaliwa kwanza lilikuwa Merabu+ na jina la yule mdogo lilikuwa Mikali.+ 50 Na jina la mke wa Sauli lilikuwa Ahinoamu binti ya Ahimaazi, na jina la mkuu wa jeshi lake lilikuwa Abneri+ mwana wa Neri, ndugu ya baba ya Sauli. 51 Na Kishi+ alikuwa baba ya Sauli, na Neri+ baba ya Abneri alikuwa mwana wa Abieli.

52 Na vita vikaendelea kuwa vikali juu ya Wafilisti siku zote za Sauli.+ Na kila mara Sauli alipomwona mwanamume yeyote mwenye nguvu au mwanamume yeyote shujaa, alimchukua ili awe pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki