1 Samweli 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, naye akahukumu Israeli huko. Naye akamjengea Yehova madhabahu huko.+ 2 Samweli 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye Gadi akaingia kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Nenda, umsimamishie Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Arauna Myebusi.”+ 2 Samweli 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.
17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, naye akahukumu Israeli huko. Naye akamjengea Yehova madhabahu huko.+
18 Baadaye Gadi akaingia kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Nenda, umsimamishie Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Arauna Myebusi.”+
25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.