Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini alikuwa akirudi Rama,+ kwa sababu nyumba yake ilikuwa huko, naye akahukumu Israeli huko. Naye akamjengea Yehova madhabahu huko.+

  • 2 Samweli 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baadaye Gadi akaingia kwa Daudi siku hiyo na kumwambia: “Nenda, umsimamishie Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Arauna Myebusi.”+

  • 2 Samweli 24:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki