Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+

  • 2 Samweli 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na iwe kwamba, utakaposikia sauti ya mwendo juu ya miti ya mibaka, ndipo utende bila kusita,+ kwa sababu wakati huo Yehova atakuwa ametoka kwenda mbele yako kuipiga kambi ya Wafilisti.”+

  • 2 Wafalme 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini yeye akasema: “Usiogope,+ kwa maana wale walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.”+

  • Methali 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+

  • Methali 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mkabidhi Yehova mwenyewe kazi zako+ nayo mipango yako itafanywa imara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki