2 Samweli 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo watumishi wa mfalme wakamwambia mfalme: “Kulingana na yote ambayo bwana wetu mfalme atachagua, tazama, sisi ni watumishi wako.”+ Mhubiri 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”
15 Ndipo watumishi wa mfalme wakamwambia mfalme: “Kulingana na yote ambayo bwana wetu mfalme atachagua, tazama, sisi ni watumishi wako.”+
4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”