Zaburi
Ya Daudi. Muziki.
2 Nitatenda kwa busara katika njia isiyo na kosa.+
Utanijia wakati gani?+
Nitatembea katika utimilifu wa moyo wangu ndani ya nyumba yangu.+
3 Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.+
Nimelichukia tendo la wale wanaoiacha njia;+
Halishikamani nami.+
5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+
Huyo ninamnyamazisha.+
Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+
Huyo siwezi kumvumilia.+
6 Macho yangu yako juu ya waaminifu wa
dunia,+
Ili wapate kukaa pamoja nami.+
Yule anayetembea katika njia isiyo na kosa,+
Yeye ndiye atakayenihudumia.+