Methali 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Waliopotoka moyoni ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wasio na lawama katika njia yao ni furaha kwake.+ Methali 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu mwenye moyo mpotovu hatapata mema,+ naye anayebadilika-badilika kwa ulimi ataanguka katika msiba.+
20 Waliopotoka moyoni ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wasio na lawama katika njia yao ni furaha kwake.+
20 Mtu mwenye moyo mpotovu hatapata mema,+ naye anayebadilika-badilika kwa ulimi ataanguka katika msiba.+