Zaburi 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova hamhesabii kosa,+Na ambaye katika roho yake hamna udanganyifu.+ Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+