4 Na wewe, ikiwa utatembea+ mbele zangu, kama Daudi+ baba yako alivyotembea, kwa utimilifu+ wa moyo na kwa unyoofu+ kwa kutenda kulingana na yote ambayo nimekuamuru,+ nawe uyashike masharti+ yangu na maamuzi yangu ya hukumu,+
4 Na ikawa kwamba wakati Sulemani alipokuwa mzee,+ wake zake wakawa wameugeuza+ moyo wake ukaifuata miungu mingine;+ na moyo wake haukuwa mkamilifu+ kwa Yehova Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake.
3 na kusema: “Nakuomba, Ee Yehova, tafadhali ukumbuke+ jinsi nilivyotembea+ mbele zako kwa ukweli+ na kwa moyo mkamilifu,+ nami nimetenda yaliyokuwa mema machoni pako.” Na Hezekia akaanza kulia sana.+