Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+

      Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+

      Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu.

  • Zaburi 78:72
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+

      Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+

  • Methali 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+

  • Methali 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki