Zaburi 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu. Zaburi 78:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+ Methali 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+ Methali 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+
8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu.
72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+
9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+
18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+