1 Samweli 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi alikuwa akitenda kwa busara+ katika njia zake zote, na Yehova alikuwa pamoja naye.+ 2 Mambo ya Nyakati 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake.
20 Na Hezekia akafanya hivyo katika Yuda yote, naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mema+ na sawa+ na yenye uaminifu+ mbele za Yehova Mungu wake.