Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wathesalonike 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wathesalonike 1:1

Marejeo

  • +2Ko 1:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 232

2 Wathesalonike 1:2

Marejeo

  • +Ro 1:7

2 Wathesalonike 1:3

Marejeo

  • +1Th 1:2
  • +Lu 17:5; 1Th 3:12
  • +1Th 4:9; 1Pe 1:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    11/15/2005, uku. 32

2 Wathesalonike 1:4

Marejeo

  • +2Ko 7:14; 1Th 2:19
  • +1Th 1:6; 2:14; 1Pe 2:21

2 Wathesalonike 1:5

Marejeo

  • +Ufu 16:7
  • +Mdo 14:22
  • +Ro 8:17; 2Ti 2:12

2 Wathesalonike 1:6

Marejeo

  • +Ro 12:19; Ufu 6:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 33

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

2 Wathesalonike 1:7

Marejeo

  • +Lu 17:30; 1Pe 1:7
  • +Mt 25:31; Mk 8:38; Yud 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

    5/1/1993, uku. 22

2 Wathesalonike 1:8

Marejeo

  • +Ebr 10:30
  • +Yoh 3:19; Ro 1:18
  • +Ro 2:8; Ebr 10:29
  • +1Pe 4:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 33

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2019, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2004, uku. 19

    5/1/1993, uku. 22

    5/1/1989, uku. 19

    1/1/1989, uku. 20

2 Wathesalonike 1:9

Marejeo

  • +2Pe 2:17; 3:7
  • +Yud 13
  • +Isa 2:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1989, uku. 19

    Kutoa Sababu, uku. 157

2 Wathesalonike 1:10

Marejeo

  • +Ro 8:17

2 Wathesalonike 1:11

Marejeo

  • +Ro 8:30; 2Ti 1:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Wathesalonike 1:12

Marejeo

  • +Yoh 17:10; 1Pe 1:7
  • +Yoh 17:21
  • +1Ko 1:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 The. 1:12Ko 1:19
2 The. 1:2Ro 1:7
2 The. 1:31Th 1:2
2 The. 1:3Lu 17:5; 1Th 3:12
2 The. 1:31Th 4:9; 1Pe 1:22
2 The. 1:42Ko 7:14; 1Th 2:19
2 The. 1:41Th 1:6; 2:14; 1Pe 2:21
2 The. 1:5Ufu 16:7
2 The. 1:5Mdo 14:22
2 The. 1:5Ro 8:17; 2Ti 2:12
2 The. 1:6Ro 12:19; Ufu 6:10
2 The. 1:7Lu 17:30; 1Pe 1:7
2 The. 1:7Mt 25:31; Mk 8:38; Yud 14
2 The. 1:8Ebr 10:30
2 The. 1:8Yoh 3:19; Ro 1:18
2 The. 1:8Ro 2:8; Ebr 10:29
2 The. 1:81Pe 4:17
2 The. 1:92Pe 2:17; 3:7
2 The. 1:9Yud 13
2 The. 1:9Isa 2:21
2 The. 1:10Ro 8:17
2 The. 1:11Ro 8:30; 2Ti 1:9
2 The. 1:12Yoh 17:10; 1Pe 1:7
2 The. 1:12Yoh 17:21
2 The. 1:121Ko 1:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wathesalonike 1:1-12

2 Wathesalonike

Barua ya Pili kwa Wathesalonike

1 Paulo na Silvano na Timotheo+ kwa kutaniko la Wathesalonike katika muungano na Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo:

2 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.+

3 Tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu,+ akina ndugu, kwa kuwa inafaa, kwa sababu imani yenu inakua+ sana na upendo wa kila mmoja wenu na wa ninyi nyote unaongezeka kwa mtu na mwenzake.+ 4 Matokeo ni kwamba sisi wenyewe tunajivunia+ ninyi kati ya makutaniko ya Mungu kwa sababu ya uvumilivu wenu na imani katika mateso yenu yote na dhiki mnazovumilia.+ 5 Huo ni uthibitisho wa hukumu ya uadilifu ya Mungu,+ inayowaongoza ninyi kwenye hali ya kuhesabiwa kuwa mnastahili ufalme wa Mungu,+ ambao mnateseka kwa ajili yake.+

6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+ 7 lakini, kwenu ninyi mnaopata dhiki, kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo+ wa Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika zake wenye nguvu+ 8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+ 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+ 10 wakati atakapokuja kutukuzwa kuhusiana na watakatifu+ wake na kustaajabiwa katika siku hiyo kuhusiana na wote walioonyesha imani, kwa sababu ushahidi tulioutoa ulikubaliwa kwa imani kati yenu.

11 Kwa hiyo sisi tunasali sikuzote kwa ajili yenu, ili Mungu wetu awahesabu ninyi kuwa mnastahili mwito+ wake na kufanya kwa ukamili yote anayopenda yaliyo ya wema na ile kazi ya imani pamoja na nguvu; 12 ili jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu,+ nanyi katika muungano+ na yeye, kupatana na fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu wetu na za Bwana Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki