Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 13:1

Marejeo

  • +1Nya 15:25; Met 15:22

1 Mambo ya Nyakati 13:2

Marejeo

  • +1Fa 12:7
  • +Kut 29:9
  • +Hes 3:6; 16:10; 1Nya 15:2
  • +Hes 35:2; 1Nya 6:54

1 Mambo ya Nyakati 13:3

Marejeo

  • +1Sa 7:2
  • +1Sa 14:18

1 Mambo ya Nyakati 13:4

Marejeo

  • +2Sa 3:36

1 Mambo ya Nyakati 13:5

Marejeo

  • +1Nya 15:3
  • +Hes 34:5; Yos 13:3
  • +Hes 34:8; Zek 9:2
  • +1Sa 6:21
  • +1Sa 7:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 13:6

Marejeo

  • +Yos 15:9, 60
  • +Kut 25:22; Hes 7:89; 1Sa 4:4; 2Sa 6:2; 2Fa 19:15

1 Mambo ya Nyakati 13:7

Marejeo

  • +Kut 37:5; 1Sa 6:7
  • +2Sa 6:3

1 Mambo ya Nyakati 13:8

Marejeo

  • +2Sa 6:5
  • +2Nya 23:18
  • +1Nya 25:1
  • +1Sa 10:5
  • +Kut 15:20
  • +2Nya 5:13

1 Mambo ya Nyakati 13:9

Marejeo

  • +2Sa 6:6
  • +Met 11:2; 13:10

1 Mambo ya Nyakati 13:10

Marejeo

  • +Hes 4:15
  • +Law 10:2; 2Sa 6:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    2/1/2005, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 2/1 26-27

1 Mambo ya Nyakati 13:11

Marejeo

  • +2Sa 6:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 11

1 Mambo ya Nyakati 13:12

Marejeo

  • +Zb 119:20
  • +2Sa 6:9

1 Mambo ya Nyakati 13:13

Marejeo

  • +2Sa 6:10
  • +Yos 21:24

1 Mambo ya Nyakati 13:14

Marejeo

  • +2Sa 6:11
  • +Mwa 30:27; 39:5; 1Nya 26:5; Met 3:10; 10:22; Mal 3:10

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 13:11Nya 15:25; Met 15:22
1 Nya. 13:21Fa 12:7
1 Nya. 13:2Kut 29:9
1 Nya. 13:2Hes 3:6; 16:10; 1Nya 15:2
1 Nya. 13:2Hes 35:2; 1Nya 6:54
1 Nya. 13:31Sa 7:2
1 Nya. 13:31Sa 14:18
1 Nya. 13:42Sa 3:36
1 Nya. 13:51Nya 15:3
1 Nya. 13:5Hes 34:5; Yos 13:3
1 Nya. 13:5Hes 34:8; Zek 9:2
1 Nya. 13:51Sa 6:21
1 Nya. 13:51Sa 7:1
1 Nya. 13:6Yos 15:9, 60
1 Nya. 13:6Kut 25:22; Hes 7:89; 1Sa 4:4; 2Sa 6:2; 2Fa 19:15
1 Nya. 13:7Kut 37:5; 1Sa 6:7
1 Nya. 13:72Sa 6:3
1 Nya. 13:82Sa 6:5
1 Nya. 13:82Nya 23:18
1 Nya. 13:81Nya 25:1
1 Nya. 13:81Sa 10:5
1 Nya. 13:8Kut 15:20
1 Nya. 13:82Nya 5:13
1 Nya. 13:92Sa 6:6
1 Nya. 13:9Met 11:2; 13:10
1 Nya. 13:10Hes 4:15
1 Nya. 13:10Law 10:2; 2Sa 6:7
1 Nya. 13:112Sa 6:8
1 Nya. 13:12Zb 119:20
1 Nya. 13:122Sa 6:9
1 Nya. 13:132Sa 6:10
1 Nya. 13:13Yos 21:24
1 Nya. 13:142Sa 6:11
1 Nya. 13:14Mwa 30:27; 39:5; 1Nya 26:5; Met 3:10; 10:22; Mal 3:10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 13:1-14

1 Mambo ya Nyakati

13 Na Daudi akashauriana na wakuu wa maelfu na wa mamia na kila kiongozi;+ 2 na Daudi akaliambia kutaniko lote la Israeli: “Ikiwa vema kwenu na kukubalika kwa Yehova, Mungu wetu, na tutume watu kwa ndugu zetu waliobaki katika nchi zote za Israeli+ na pamoja nao makuhani+ na Walawi+ katika majiji+ yao yenye viwanja vya malisho, ili wajikusanye pamoja kwetu. 3 Nasi tulete sanduku+ la Mungu wetu kwetu.” Kwa maana hawakuwa wamelitunza katika siku za Sauli.+ 4 Basi kutaniko lote wakasema ifanywe hivyo, kwa maana jambo hilo lilionekana kuwa jema machoni pa watu wote.+ 5 Basi Daudi akakusanya+ Israeli wote kuanzia mto wa Misri+ mpaka maingilio ya Hamathi,+ ili kulileta sanduku+ la Mungu wa kweli kutoka Kiriath-yearimu.+

6 Na Daudi na Israeli wote wakapanda kwenda mpaka Baala,+ Kiriath-yearimu katika Yuda, ili kuleta kutoka huko sanduku la Mungu wa kweli, Yehova, anayekaa juu ya makerubi,+ ambalo jina lake limeitwa juu yake. 7 Hata hivyo, wakapandisha sanduku la Mungu wa kweli juu ya gari jipya la kukokotwa+ kutoka katika nyumba ya Abinadabu, na Uza na Ahio+ walikuwa wakiliongoza lile gari. 8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+ 9 Nao mwishowe wakaja mpaka uwanja wa kupuria wa Kidoni,+ na sasa Uza akanyoosha mkono wake ili kulishika lile Sanduku,+ kwa maana wale ng’ombe karibu waliangushe. 10 Ndipo hasira ya Yehova ikamwakia Uza, hivi kwamba akampiga kwa sababu alikuwa ameunyoosha mkono wake juu ya lile Sanduku,+ naye akafa hapo mbele za Mungu.+ 11 Na Daudi akakasirika+ kwa sababu Yehova alikuwa amemlipukia Uza, na mahali hapo pakaitwa Peres-uza mpaka leo hii.

12 Naye Daudi akamwogopa Mungu wa kweli siku hiyo,+ akisema: “Nitaliletaje sanduku la Mungu wa kweli kwangu?”+ 13 Na Daudi hakulileta Sanduku kwake katika Jiji la Daudi, bali alilichukua, akalipeleka kando kwenye nyumba ya Obed-edomu,+ Mgathi.+ 14 Nalo sanduku la Mungu wa kweli likaendelea kukaa pamoja na nyumba ya Obed-edomu, nyumbani kwake+ kwa miezi mitatu; na Yehova akazidi kuibariki+ nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki