Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania 12:1

Marejeo

  • +Ebr 11:39
  • +1Ko 9:26; Flp 3:13; 1Pe 2:1
  • +Kol 2:8; 1Ti 6:9; Ebr 3:12
  • +1Ti 6:12
  • +1Ko 9:24
  • +Flp 3:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2023, kur. 26, 29-31

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2022, uku. 25

    Furahia Maisha Milele!, somo la 19

    Insight, uku. 805, 888-889▪

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2011, kur. 17-18, 20-23

    8/15/2004, kur. 23-24

    1/15/2003, uku. 5

    1/1/2001, kur. 29-30

    10/1/1999, kur. 17-18, 19-21

    1/15/1998, uku. 13

    1/1/1998, kur. 6-11

    1/15/1997, uku. 30

    11/1/1991, kur. 13-18

    10/15/1991, uku. 22

    12/15/1989, kur. 10, 20

    1/15/1987, kur. 10-11

    Amkeni!,

    6/8/2004, uku. 17

    Wapiga-Mbiu, uku. 13

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, uku. 349

    Kutoa Sababu, uku. 191

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 9/15 17-18, 20-23; w06 3/1 31; w04 8/15 23-24; rs 191; g04 6/8 17; w03 1/15 5; w01 1/1 29-30; w99 10/1 17-21; w98 1/1 6-11; w98 1/15 13; w97 1/15 30; jv 13

Waebrania 12:2

Marejeo

  • +Yoh 14:6; Mdo 5:31; Ebr 2:10
  • +1Ko 1:8; Flp 1:6
  • +Flp 2:8
  • +Zb 110:1; Ebr 10:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Mfuasi Wangu’, kur. 73-74

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 232-233

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2016, uku. 27

    4/2016, uku. 15

    “Upendo wa Mungu,” kur. 203-204

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2035

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    8/15/2010, uku. 5

    7/15/2009, uku. 6

    10/15/2008, uku. 32

    10/1/2006, uku. 26

    9/15/2005, uku. 21

    1/1/2005, uku. 15

    1/1/2001, uku. 31

    9/1/2000, uku. 12

    10/1/1999, uku. 21

    5/15/1998, uku. 10

    2/15/1996, kur. 28-29

    10/15/1994, kur. 13-14

    3/1/1994, uku. 30

    9/15/1993, kur. 13-14

    11/1/1991, kur. 13-14

    9/15/1991, uku. 12

    1/1/1991, kur. 16-17

    9/1/1990, uku. 30

    12/15/1989, uku. 10

    7/15/1989, uku. 19

    1/15/1987, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 8/15 5; w09 7/15 6; w08 10/15 32; lv 203-204; cf 73-74; w06 10/1 26; w05 1/1 15; w05 9/15 21; w01 1/1 31; w00 9/1 12; w99 10/1 21; w98 5/15 10; w96 2/15 28-29

Waebrania 12:3

Marejeo

  • +Mt 27:39
  • +Gal 6:9; 2Th 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, uku. 15

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    1/15/2008, kur. 26-27

    1/1/2005, uku. 15

    12/1/1995, kur. 13-14

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/15 27; w08 10/15 32; w05 1/1 15

Waebrania 12:4

Marejeo

  • +Mdo 12:2; Ebr 10:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    4/15/2002, uku. 30

    2/15/2002, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w02 2/15 29; w02 4/15 30

Waebrania 12:5

Marejeo

  • +Mt 5:45
  • +Met 3:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2012, uku. 29

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 29

Waebrania 12:6

Marejeo

  • +Met 3:12

Waebrania 12:7

Marejeo

  • +Ebr 12:1
  • +2Sa 7:14; Mt 5:9; Ebr 2:10
  • +Met 13:24

Waebrania 12:8

Marejeo

  • +Kum 23:2

Waebrania 12:9

Marejeo

  • +Met 23:13
  • +Hes 16:22; Isa 42:5; Mal 1:6; Yak 4:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2019, kur. 14-15

Waebrania 12:10

Marejeo

  • +Met 22:6
  • +Law 11:44; 1Pe 1:15

Waebrania 12:11

Marejeo

  • +2Ko 4:17
  • +1Pe 1:6
  • +Flp 1:11; Yak 3:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2007, uku. 19

    4/15/1988, kur. 26-27, 29-31

    10/1/1987, kur. 15-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/1 19

Waebrania 12:12

Marejeo

  • +Ayu 4:3; Isa 40:29; Lu 22:32
  • +Isa 35:3; Ebr 10:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya 1, uku. 379

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-1 379; w96 2/15 14

Waebrania 12:13

Marejeo

  • +Zb 119:105; Met 4:26
  • +Gal 6:1; Yak 5:15; Yud 23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32

Waebrania 12:14

Marejeo

  • +Zb 34:14; Ro 12:18; 14:19; 2Ti 2:22
  • +Ro 6:19; 1Th 4:4; Ebr 10:10
  • +Mt 5:8; Ro 8:8

Waebrania 12:15

Marejeo

  • +2Ko 6:1; Gal 5:4; Ebr 3:12
  • +Kum 29:18; Yoh 13:2; Mdo 8:23
  • +Yak 1:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    11/1/2006, uku. 26

    12/15/1989, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w06 11/1 26

Waebrania 12:16

Marejeo

  • +Mwa 25:32
  • +Mwa 25:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2017, kur. 14-15

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2013, uku. 28

    5/1/2002, kur. 10-11

    12/15/1989, uku. 10

    6/15/1988, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 5/1 11

Waebrania 12:17

Marejeo

  • +Mwa 27:31
  • +Mwa 27:32
  • +Mwa 27:34
  • +2Ko 7:10; Ebr 6:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

Waebrania 12:18

Marejeo

  • +Kut 19:12
  • +Kut 19:18
  • +Kut 19:16

Waebrania 12:19

Marejeo

  • +Kut 19:19
  • +Kum 4:12
  • +Kut 20:19

Waebrania 12:20

Marejeo

  • +Kut 19:13

Waebrania 12:21

Marejeo

  • +Kum 9:19

Waebrania 12:22

Marejeo

  • +Ufu 14:1
  • +Ebr 11:10; 13:14
  • +Mt 26:29; Ufu 21:2
  • +Mt 24:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, uku. 199

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1990, kur. 17-18

    7/1/1990, kur. 21-22

    12/15/1989, uku. 10

    Kutoa Sababu, uku. 414

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 199; rs 414

Waebrania 12:23

Marejeo

  • +Da 7:10
  • +1Ko 15:23; Ufu 20:6
  • +Zb 87:6; Ufu 7:4; 21:27
  • +Mwa 18:25; Zb 94:2; Isa 33:22
  • +Yoh 3:5; Ebr 12:9; 1Pe 1:3
  • +Ebr 10:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1995, uku. 11

Waebrania 12:24

Marejeo

  • +1Ti 2:5; Ebr 9:15
  • +Mt 26:28; Lu 22:29
  • +1Pe 1:2
  • +Mt 23:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2008, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 13-14

Waebrania 12:25

Marejeo

  • +Ebr 2:3
  • +Kut 20:19
  • +Ebr 1:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    4/15/2010, kur. 25-26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 4/15 25-26

Waebrania 12:26

Marejeo

  • +Kut 19:18
  • +Hag 2:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2021, uku. 19

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2006, uku. 31

    4/15/2006, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 4/15 20; w06 5/15 31

Waebrania 12:27

Marejeo

  • +2Pe 3:10
  • +Zb 37:11; 2Pe 3:13; Ufu 21:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2021, uku. 19

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    5/15/2006, uku. 31

    4/15/2006, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w06 4/15 20; w06 5/15 31

Waebrania 12:28

Marejeo

  • +Mt 16:18
  • +Flp 2:12; 1Ti 2:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2021, uku. 19

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, uku. 24

    4/15/2006, uku. 20

    Upeo wa Ufunuo, uku. 199

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 4/15 20; w06 11/15 24; re 199

Waebrania 12:29

Marejeo

  • +Kum 4:24; Isa 33:14

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Ebr. 12:1Ebr 11:39
Ebr. 12:11Ko 9:26; Flp 3:13; 1Pe 2:1
Ebr. 12:1Kol 2:8; 1Ti 6:9; Ebr 3:12
Ebr. 12:11Ti 6:12
Ebr. 12:11Ko 9:24
Ebr. 12:1Flp 3:14
Ebr. 12:2Yoh 14:6; Mdo 5:31; Ebr 2:10
Ebr. 12:21Ko 1:8; Flp 1:6
Ebr. 12:2Flp 2:8
Ebr. 12:2Zb 110:1; Ebr 10:12
Ebr. 12:3Mt 27:39
Ebr. 12:3Gal 6:9; 2Th 3:13
Ebr. 12:4Mdo 12:2; Ebr 10:32
Ebr. 12:5Mt 5:45
Ebr. 12:5Met 3:11
Ebr. 12:6Met 3:12
Ebr. 12:7Ebr 12:1
Ebr. 12:72Sa 7:14; Mt 5:9; Ebr 2:10
Ebr. 12:7Met 13:24
Ebr. 12:8Kum 23:2
Ebr. 12:9Met 23:13
Ebr. 12:9Hes 16:22; Isa 42:5; Mal 1:6; Yak 4:10
Ebr. 12:10Met 22:6
Ebr. 12:10Law 11:44; 1Pe 1:15
Ebr. 12:112Ko 4:17
Ebr. 12:111Pe 1:6
Ebr. 12:11Flp 1:11; Yak 3:18
Ebr. 12:12Ayu 4:3; Isa 40:29; Lu 22:32
Ebr. 12:12Isa 35:3; Ebr 10:25
Ebr. 12:13Zb 119:105; Met 4:26
Ebr. 12:13Gal 6:1; Yak 5:15; Yud 23
Ebr. 12:14Zb 34:14; Ro 12:18; 14:19; 2Ti 2:22
Ebr. 12:14Ro 6:19; 1Th 4:4; Ebr 10:10
Ebr. 12:14Mt 5:8; Ro 8:8
Ebr. 12:152Ko 6:1; Gal 5:4; Ebr 3:12
Ebr. 12:15Kum 29:18; Yoh 13:2; Mdo 8:23
Ebr. 12:15Yak 1:14
Ebr. 12:16Mwa 25:32
Ebr. 12:16Mwa 25:34
Ebr. 12:17Mwa 27:31
Ebr. 12:17Mwa 27:32
Ebr. 12:17Mwa 27:34
Ebr. 12:172Ko 7:10; Ebr 6:6
Ebr. 12:18Kut 19:12
Ebr. 12:18Kut 19:18
Ebr. 12:18Kut 19:16
Ebr. 12:19Kut 19:19
Ebr. 12:19Kum 4:12
Ebr. 12:19Kut 20:19
Ebr. 12:20Kut 19:13
Ebr. 12:21Kum 9:19
Ebr. 12:22Ufu 14:1
Ebr. 12:22Ebr 11:10; 13:14
Ebr. 12:22Mt 26:29; Ufu 21:2
Ebr. 12:22Mt 24:31
Ebr. 12:23Da 7:10
Ebr. 12:231Ko 15:23; Ufu 20:6
Ebr. 12:23Zb 87:6; Ufu 7:4; 21:27
Ebr. 12:23Mwa 18:25; Zb 94:2; Isa 33:22
Ebr. 12:23Yoh 3:5; Ebr 12:9; 1Pe 1:3
Ebr. 12:23Ebr 10:14
Ebr. 12:241Ti 2:5; Ebr 9:15
Ebr. 12:24Mt 26:28; Lu 22:29
Ebr. 12:241Pe 1:2
Ebr. 12:24Mt 23:35
Ebr. 12:25Ebr 2:3
Ebr. 12:25Kut 20:19
Ebr. 12:25Ebr 1:2
Ebr. 12:26Kut 19:18
Ebr. 12:26Hag 2:6
Ebr. 12:272Pe 3:10
Ebr. 12:27Zb 37:11; 2Pe 3:13; Ufu 21:10
Ebr. 12:28Mt 16:18
Ebr. 12:28Flp 2:12; 1Ti 2:2
Ebr. 12:29Kum 4:24; Isa 33:14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Waebrania 12:1-29

Waebrania

12 Kwa hiyo, basi, kwa sababu tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi+ linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito+ na dhambi ambayo hututatanisha kwa urahisi,+ na acheni tukimbie kwa uvumilivu+ shindano la mbio+ lililowekwa mbele yetu,+ 2 huku tukimtazama kwa makini Wakili Mkuu+ na Mkamilishaji wa imani yetu,+ Yesu. Kwa ajili ya shangwe iliyowekwa mbele yake, yeye alivumilia+ mti wa mateso, akaidharau aibu, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+ 3 Kwa kweli, mfikirieni sana yeye ambaye amevumilia maneno ya aina hii yenye kupinga+ yanayotolewa na watenda-dhambi kinyume cha faida zao wenyewe, ili ninyi msichoke na kuzimia katika nafsi zenu.+

4 Katika shindano lenu na dhambi ile bado hamjapinga kamwe mpaka kufikia damu,+ 5 bali mmesahau kabisa lile himizo ambalo linasema nanyi kama wana:+ “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova, wala usizimie wakati anapokurekebisha;+ 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+

7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+ 8 Lakini ikiwa ninyi hamna nidhamu ambayo wote wameishiriki, kwa kweli ninyi ni watoto haramu,+ wala si wana. 9 Zaidi ya hayo, tulikuwa na baba zetu wa mwili waliokuwa wakitutia nidhamu,+ nasi tulikuwa tukiwapa heshima. Kwa nini tusijitiishe zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+ 10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+ 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+

12 Kwa hiyo inyoosheni mikono inayolegea+ na magoti yaliyo dhaifu,+ 13 nanyi endeleeni kuifanyia miguu+ yenu mapito yaliyonyooka, ili kile ambacho ni kilemavu kisiteguliwe, bali afadhali kiponywe.+ 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+ 15 mkiwa waangalifu kwamba yeyote asinyimwe fadhili zisizostahiliwa za Mungu;+ kwamba mzizi wowote wenye sumu+ usichipuke na kusababisha taabu na kwamba wengi wasitiwe unajisi na huo;+ 16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+ 17 Kwa maana mnajua kwamba baadaye pia alipotaka kuirithi baraka+ alikataliwa,+ kwa maana, ijapokuwa alitafuta kwa bidii badiliko la akili kwa machozi,+ hakupata nafasi kwa ajili ya jambo hilo.+

18 Kwa maana ninyi hamkukaribia kile kinachoweza kuguswa+ na ambacho kimewashwa kwa moto,+ na wingu jeusi na giza zito na tufani,+ 19 na mlio wa tarumbeta+ na sauti ya maneno;+ sauti ambayo watu walipoisikia waliomba kwamba wasiongezewe neno lolote.+ 20 Kwa maana hawakuweza kuivumilia amri hii: “Na mnyama akiugusa mlima, lazima apigwe kwa mawe.”+ 21 Pia, ule wonyesho ulikuwa wenye kuogopesha sana hivi kwamba Musa akasema: “Nimejawa na woga nami ninatetemeka.”+ 22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni+ na jiji+ la Mungu aliye hai, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika,+ 23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza+ ambao wameandikishwa+ mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+ 24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu ya kunyunyiza,+ ambayo husema kwa njia bora zaidi kuliko ile damu ya Abeli.+

25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+ 26 Wakati huo sauti yake iliitikisa dunia,+ lakini sasa ameahidi, akisema: “Bado mara moja tena nitaitikisa, si dunia peke yake, bali pia na mbingu.”+ 27 Sasa maneno “Bado mara moja tena” yanatoa ishara ya kuondolewa kwa vitu vinavyotikiswa kuwa vitu ambavyo vimefanywa,+ ili vitu ambavyo havitikiswi vibaki.+ 28 Kwa hiyo, kwa kuwa tutapokea ufalme ambao hauwezi kutikiswa,+ acheni tuendelee kuwa na fadhili zisizostahiliwa, ambazo kupitia hizo tunaweza kumtolea Mungu kwa njia inayokubalika utumishi mtakatifu kwa woga wa kimungu na heshima.+ 29 Kwa maana Mungu wetu pia ni moto unaoteketeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki