Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 4:1

Marejeo

  • +Kol 1:10; 1Pe 2:12
  • +Flp 1:27

1 Wathesalonike 4:2

Marejeo

  • +1Ti 6:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, kur. 11-12

1 Wathesalonike 4:3

Marejeo

  • +Yoh 17:19; Efe 5:26; 2Th 2:13; 1Pe 1:16
  • +1Ko 6:15; Efe 5:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 41

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 21

    7/15/1997, uku. 18

    11/1/1989, uku. 12

    10/1/1986, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 21; w97 7/15 18

1 Wathesalonike 4:4

Marejeo

  • +Kol 3:5; 2Ti 2:22
  • +Ro 6:19; 2Ti 2:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    10/8/2003, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    g03 10/8 14

1 Wathesalonike 4:5

Marejeo

  • +1Ko 6:18; Efe 5:5
  • +1Ko 5:10; Efe 4:17
  • +Zb 79:6; 1Pe 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    9/2013, uku. 5

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 21

    10/1/1986, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 21

1 Wathesalonike 4:6

Marejeo

  • +Kum 5:21; 1Ko 6:8; 7:2
  • +Zb 94:1; 2Th 1:8
  • +Mdo 20:20; 28:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    11/2006, uku. 29

    4/22/2000, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2002, kur. 20-21

    1/15/2001, kur. 6-7

    7/15/1997, uku. 18

    11/15/1989, uku. 31

    Amani na Usalama, kur. 144-146

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/06 29; w02 6/15 20-21; w01 1/15 6-7; g00 4/22 14; w97 7/15 18

1 Wathesalonike 4:7

Marejeo

  • +Law 11:44; 1Ko 1:2; Ebr 12:14; 1Pe 1:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 21

1 Wathesalonike 4:8

Marejeo

  • +Lu 10:16
  • +1Ko 6:19
  • +Eze 37:14; 1Yo 3:24

1 Wathesalonike 4:9

Marejeo

  • +Yoh 13:34, 35; Ro 12:10
  • +Isa 54:13; Yoh 6:45
  • +1Pe 1:22; 1Yo 4:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, kur. 11-12

1 Wathesalonike 4:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2003, kur. 13-14

    10/1/1986, kur. 11-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 2/1 13-14

1 Wathesalonike 4:11

Marejeo

  • +2Th 3:12
  • +Ro 12:11; 1Pe 4:15
  • +1Ko 4:12; Efe 4:28; 2Th 3:10; 1Ti 5:8

1 Wathesalonike 4:12

Marejeo

  • +Ro 13:13
  • +Ro 12:17; 2Ko 8:21
  • +Yak 1:4

1 Wathesalonike 4:13

Marejeo

  • +Yoh 11:11; Mdo 7:60; 1Ko 15:6
  • +1Ko 15:32; Efe 2:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    7/8/2001, kur. 12-13

    5/8/1994, uku. 27

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1994, uku. 32

    10/1/1986, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    g01 7/8 12-13

1 Wathesalonike 4:14

Marejeo

  • +Ro 14:9; 1Ko 15:4
  • +1Ko 15:23; Flp 3:21; 2Th 2:1; Ufu 20:4

1 Wathesalonike 4:15

Marejeo

  • +1Th 2:13; 1Yo 4:2
  • +Mt 24:30; 1Ko 15:51

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2007, uku. 28

    1/15/1993, uku. 5

    Upeo wa Ufunuo, kur. 103-104

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/1 28; re 103-104

1 Wathesalonike 4:16

Marejeo

  • +Mdo 1:11
  • +Yud 9
  • +Mt 24:31
  • +1Ko 15:52

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 121

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 5 2017, uku. 5

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2007, uku. 28

    1/15/1993, uku. 6

    10/1/1986, kur. 13-14

    Upeo wa Ufunuo, kur. 103-104, 180-181

    Amkeni!,

    2/8/2002, uku. 17

    Kutoa Sababu, kur. 110-115, 437

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/1 28; re 103-104, 180-181; w05 3/1 30; rs 110-115, 437; g02 2/8 17

1 Wathesalonike 4:17

Marejeo

  • +Mdo 1:9; 2Ko 5:8; Flp 1:23
  • +2Ti 4:8
  • +Mt 26:64
  • +Yoh 12:26; 17:24; 2Th 2:1
  • +Yoh 14:3; Ufu 20:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2015, kur. 18-19

    9/15/2008, uku. 29

    1/1/2007, uku. 28

    1/15/1993, kur. 4-6

    10/1/1986, uku. 14

    Upeo wa Ufunuo, kur. 103-104, 211

    Kutoa Sababu, kur. 110-115

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 29; w07 1/1 28; re 103-104, 211; rs 110-115

1 Wathesalonike 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, kur. 10-14

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 The. 4:1Kol 1:10; 1Pe 2:12
1 The. 4:1Flp 1:27
1 The. 4:21Ti 6:13
1 The. 4:3Yoh 17:19; Efe 5:26; 2Th 2:13; 1Pe 1:16
1 The. 4:31Ko 6:15; Efe 5:3
1 The. 4:4Kol 3:5; 2Ti 2:22
1 The. 4:4Ro 6:19; 2Ti 2:21
1 The. 4:51Ko 6:18; Efe 5:5
1 The. 4:51Ko 5:10; Efe 4:17
1 The. 4:5Zb 79:6; 1Pe 4:3
1 The. 4:6Kum 5:21; 1Ko 6:8; 7:2
1 The. 4:6Zb 94:1; 2Th 1:8
1 The. 4:6Mdo 20:20; 28:23
1 The. 4:7Law 11:44; 1Ko 1:2; Ebr 12:14; 1Pe 1:15
1 The. 4:8Lu 10:16
1 The. 4:81Ko 6:19
1 The. 4:8Eze 37:14; 1Yo 3:24
1 The. 4:9Yoh 13:34, 35; Ro 12:10
1 The. 4:9Isa 54:13; Yoh 6:45
1 The. 4:91Pe 1:22; 1Yo 4:21
1 The. 4:112Th 3:12
1 The. 4:11Ro 12:11; 1Pe 4:15
1 The. 4:111Ko 4:12; Efe 4:28; 2Th 3:10; 1Ti 5:8
1 The. 4:12Ro 13:13
1 The. 4:12Ro 12:17; 2Ko 8:21
1 The. 4:12Yak 1:4
1 The. 4:13Yoh 11:11; Mdo 7:60; 1Ko 15:6
1 The. 4:131Ko 15:32; Efe 2:12
1 The. 4:14Ro 14:9; 1Ko 15:4
1 The. 4:141Ko 15:23; Flp 3:21; 2Th 2:1; Ufu 20:4
1 The. 4:151Th 2:13; 1Yo 4:2
1 The. 4:15Mt 24:30; 1Ko 15:51
1 The. 4:16Mdo 1:11
1 The. 4:16Yud 9
1 The. 4:16Mt 24:31
1 The. 4:161Ko 15:52
1 The. 4:17Mdo 1:9; 2Ko 5:8; Flp 1:23
1 The. 4:172Ti 4:8
1 The. 4:17Mt 26:64
1 The. 4:17Yoh 12:26; 17:24; 2Th 2:1
1 The. 4:17Yoh 14:3; Ufu 20:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wathesalonike 4:1-18

1 Wathesalonike

4 Mwishowe, akina ndugu, tunawaomba ninyi na kuwahimiza kwa njia ya Bwana Yesu, kama vile mlivyopokea mafundisho kutoka kwetu kuhusu mnavyopaswa kutembea+ na kumpendeza Mungu, kwa kweli kama vile mnavyotembea, kwamba mwendelee kufanya hivyo kwa ukamili zaidi.+ 2 Kwa maana mnajua maagizo+ tuliyowapa ninyi kupitia Bwana Yesu.

3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mtakaswe,+ kwamba mjiepushe na uasherati;+ 4 kwamba kila mmoja wenu ajue jinsi ya kukiweza chombo chake+ mwenyewe katika utakaso+ na heshima, 5 si katika hamu yenye tamaa ya ngono+ kama ile waliyo nayo pia mataifa+ wale wasiomjua Mungu;+ 6 kwamba yeyote asifikie hatua ya kudhuru na kuziingilia haki za ndugu yake katika jambo hilo,+ kwa sababu Yehova ndiye anayelipiza adhabu kwa ajili ya mambo yote haya,+ kama vile tulivyowaambia ninyi kimbele na pia tukawapa ushahidi kamili.+ 7 Kwa maana Mungu alituita sisi bila kuruhusu nafasi ya uchafu, bali kuhusiana na utakaso.+ 8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.

9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kindugu,+ hamhitaji sisi tuwe tukiwaandikia ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu+ kupendana;+ 10 na, kwa kweli, mnafanya hivyo kwa ndugu wote katika Makedonia yote. Lakini tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwendelee kufanya hivyo kwa kipimo kamili zaidi, 11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu+ na kukazia akili mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tulivyowaagiza ninyi; 12 ili muwe mkijiendesha kwa adabu+ kuhusiana na watu walio nje+ na msiwe mkihitaji kitu chochote.+

13 Zaidi ya hayo, akina ndugu, hatutaki mkose kujua kuhusu wale walalao usingizi+ katika kifo; ili msiwe na huzuni kama wale watu wengine wasio na tumaini.+ 14 Kwa maana ikiwa imani yetu ni kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa tena,+ vivyo hivyo pia, wale ambao wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.+ 15 Kwa maana tunawaambia hivi kwa neno la Yehova,+ kwamba sisi tulio hai ambao tutabaki mpaka kuwapo kwa Bwana+ hatutawatangulia kwa vyovyote wale ambao wamelala usingizi katika kifo; 16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni+ akiwa na mwito wenye amri, kwa sauti ya malaika mkuu+ na kwa tarumbeta+ ya Mungu, na wale walio wafu katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza.+ 17 Baadaye sisi tulio hai tuliobaki tutanyakuliwa,+ pamoja nao,+ katika mawingu+ ili kukutana+ na Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+ 18 Kwa hiyo endeleeni kufarijiana kwa maneno hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki