Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 4
  • Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, kur. 11-12

1 Wathesalonike 4:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 41

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 21

    7/15/1997, uku. 18

    11/1/1989, uku. 12

    10/1/1986, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 21; w97 7/15 18

1 Wathesalonike 4:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    10/8/2003, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    g03 10/8 14

1 Wathesalonike 4:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    9/2013, uku. 5

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 21

    10/1/1986, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 21

1 Wathesalonike 4:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    11/2006, uku. 29

    4/22/2000, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2002, kur. 20-21

    1/15/2001, kur. 6-7

    7/15/1997, uku. 18

    11/15/1989, uku. 31

    Amani na Usalama, kur. 144-146

  • Fahirishi ya Machapisho

    g 11/06 29; w02 6/15 20-21; w01 1/15 6-7; g00 4/22 14; w97 7/15 18

1 Wathesalonike 4:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2023, kur. 12-13

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 21

1 Wathesalonike 4:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, kur. 11-12

1 Wathesalonike 4:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2003, kur. 13-14

    10/1/1986, kur. 11-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 2/1 13-14

1 Wathesalonike 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    7/8/2001, kur. 12-13

    5/8/1994, uku. 27

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1994, uku. 32

    10/1/1986, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    g01 7/8 12-13

1 Wathesalonike 4:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2007, uku. 28

    1/15/1993, uku. 5

    Upeo wa Ufunuo, kur. 103-104

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/1 28; re 103-104

1 Wathesalonike 4:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 121

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 5 2017, uku. 5

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2007, uku. 28

    1/15/1993, uku. 6

    10/1/1986, kur. 13-14

    Upeo wa Ufunuo, kur. 103-104, 180-181

    Amkeni!,

    2/8/2002, uku. 17

    Kutoa Sababu, kur. 110-115, 437

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/1 28; re 103-104, 180-181; w05 3/1 30; rs 110-115, 437; g02 2/8 17

1 Wathesalonike 4:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2015, kur. 18-19

    9/15/2008, uku. 29

    1/1/2007, uku. 28

    1/15/1993, kur. 4-6

    10/1/1986, uku. 14

    Upeo wa Ufunuo, kur. 103-104, 211

    Kutoa Sababu, kur. 110-115

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 29; w07 1/1 28; re 103-104, 211; rs 110-115

1 Wathesalonike 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, kur. 10-14

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.
  • Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
1 Wathesalonike 4:1-18

1 Wathesalonike

4 Mwishowe, akina ndugu, twawaomba nyinyi na kuwahimiza kwa bidii kwa njia ya Bwana Yesu, kama vile mlivyopokea agizo kutoka kwetu juu ya jinsi mpaswavyo kutembea na kumpendeza Mungu, kama vile kwa kweli mnavyotembea, kwamba mngefuliza kufanya hilo kwa ukamili zaidi. 2 Kwa maana mwayajua maagizo tuliyowapa nyinyi kupitia Bwana Yesu.

3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kule kutakaswa kwenu, kwamba mjiepushe na uasherati; 4 kwamba kila mmoja wenu apaswe kujua jinsi ya kupata umiliki wa chombo chake mwenyewe katika utakaso na heshima, 5 si katika hamu yenye tamaa ya ngono kama ile waliyo nayo pia mataifa wale wasiomjua Mungu; 6 kwamba yeyote asifikie hatua ya kudhuru na kuziingilia haki za ndugu yake katika jambo hilo, kwa sababu Yehova ndiye atozaye adhabu kwa ajili ya mambo yote haya, kama vile tulivyowaambia nyinyi kimbele na pia tukawapa ushahidi kamili. 7 Kwa maana Mungu alituita sisi, si kwa kuruhusu ukosefu wa usafi, bali kwa kuhusiana na utakaso. 8 Kwa hiyo, basi, mtu aonyeshaye kupuuza anapuuza, si mwanadamu bali Mungu, atiaye roho takatifu yake ndani yenu.

9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kidugu, hamhitaji sisi tuwe tukiwaandikia nyinyi, kwa maana nyinyi wenyewe hufundishwa na Mungu kupendana; 10 na, kwa kweli, nyinyi mnafanya hilo kwa ndugu wote katika Makedonia yote. Lakini twawahimiza nyinyi kwa bidii, akina ndugu, mwendelee kufanya hilo kwa kipimo chenye kujaa zaidi, 11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu na kushughulika na mambo yenu wenyewe na kufanya kazi kwa mikono yenu, kama vile tulivyowaagiza nyinyi; 12 ili mpate kuwa mkitembea kwa adabu kwa habari ya watu walio nje na mkiwa bila kuhitaji kitu chochote.

13 Zaidi ya hayo, akina ndugu, hatutaki nyinyi mwe wasio na ujuzi kuhusu wale ambao wamelala katika kifo; ili msipate kuwa na majonzi kama vile wale wengine wasio na tumaini. 14 Kwa maana ikiwa imani yetu ni kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa tena, ndivyo, pia, wale ambao wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. 15 Kwa maana hili ndilo tuwaambialo nyinyi kwa neno la Yehova, kwamba sisi tulio hai ambao twabaki hadi kuwapo kwa Bwana hatutawatangulia kwa njia yoyote wale ambao wamelala usingizi katika kifo; 16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni akiwa na mwito wa kuamuru, akiwa na sauti ya malaika mkuu na kwa tarumbeta ya Mungu, na wale walio wafu katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza. 17 Baadaye sisi tulio hai tuliobaki tutanyakuliwa, pamoja nao, katika mawingu ili kukutana na Bwana katika hewa; na hivyo tutakuwa sikuzote pamoja na Bwana. 18 Kwa sababu hiyo fulizeni kufarijiana kwa maneno hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki