Yohana 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami ninajitakasa kwa ajili yao, ili wao pia watakaswe+ kwa njia ya ile kweli. Waefeso 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 ili alitakase,+ akilisafisha na kuliosha kwa maji kwa njia ya neno,+ 2 Wathesalonike 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+ 1 Petro 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu imeandikwa: “Muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+
13 Hata hivyo, sisi tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, akina ndugu mnaopendwa na Yehova, kwa sababu Mungu aliwachagua+ ninyi tangu mwanzo kwa ajili ya wokovu kwa kuwatakasa+ ninyi kwa roho+ na kwa imani yenu katika kweli.+