Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 10:1

Marejeo

  • +Mt 11:29
  • +Mt 11:30
  • +1Ko 2:3
  • +2Ko 10:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2003, uku. 24

    8/1/1994, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 4/1 24

2 Wakorintho 10:2

Marejeo

  • +1Ko 4:21; 2Ko 13:2, 10

2 Wakorintho 10:3

Marejeo

  • +Gal 2:20
  • +Ro 8:13; Efe 6:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, uku. 135

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 135

2 Wakorintho 10:4

Marejeo

  • +Mt 26:52; Ro 13:12; Efe 6:13; 1Th 5:8; 1Ti 1:18; 2Ti 2:24
  • +Ro 8:14; 2Ko 6:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2016, kur. 8-9

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/15/2010, kur. 12-13

    9/15/2009, uku. 22

    10/1/1999, kur. 11-12

    2/1/1994, uku. 12

    Kutoa Sababu, uku. 135

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 12-13; w09 9/15 22; rs 135; w99 10/1 11-12

2 Wakorintho 10:5

Marejeo

  • +1Ko 1:19; 3:19; 2Ti 2:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2019, kur. 8-13

    Ufahamu, uku. 591

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, uku. 27

    2/15/2010, kur. 12-13

    10/1/1999, kur. 11-12

    2/1/1994, uku. 12

    2/1/1987, uku. 10

    Amkeni!,

    6/8/1994, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 12-13; w99 10/1 11-12

2 Wakorintho 10:6

Marejeo

  • +1Ti 1:20; Ebr 12:10
  • +2Ko 2:9; 7:15

2 Wakorintho 10:7

Marejeo

  • +2Ko 5:12
  • +1Yo 4:6

2 Wakorintho 10:8

Marejeo

  • +2Ko 12:6
  • +2Ko 13:10; Ebr 13:17

2 Wakorintho 10:10

Marejeo

  • +2Ko 10:1; Gal 4:13
  • +2Ko 11:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2000, uku. 13

    11/15/1996, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 6/15 13; w96 11/15 13

2 Wakorintho 10:11

Marejeo

  • +2Ko 12:20; 13:2

2 Wakorintho 10:12

Marejeo

  • +2Ko 3:1; 5:12
  • +Met 25:27; 26:12; Gal 6:3, 4

2 Wakorintho 10:13

Marejeo

  • +Ro 12:3
  • +Mdo 9:15; Gal 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28

2 Wakorintho 10:14

Marejeo

  • +1Ko 3:10; 4:15

2 Wakorintho 10:15

Marejeo

  • +Ro 15:20
  • +2Th 1:3
  • +1Ko 9:1

2 Wakorintho 10:16

Marejeo

  • +Mdo 19:21; Ro 15:24

2 Wakorintho 10:17

Marejeo

  • +Isa 65:16; Yer 9:24; 1Ko 1:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    7/8/1999, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    g99 7/8 20-21

2 Wakorintho 10:18

Marejeo

  • +Lu 18:14
  • +1Sa 13:14; Met 29:26
  • +Ro 2:29; 1Ko 4:5; 2Ti 2:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 10:1Mt 11:29
2 Kor. 10:1Mt 11:30
2 Kor. 10:11Ko 2:3
2 Kor. 10:12Ko 10:10
2 Kor. 10:21Ko 4:21; 2Ko 13:2, 10
2 Kor. 10:3Gal 2:20
2 Kor. 10:3Ro 8:13; Efe 6:12
2 Kor. 10:4Mt 26:52; Ro 13:12; Efe 6:13; 1Th 5:8; 1Ti 1:18; 2Ti 2:24
2 Kor. 10:4Ro 8:14; 2Ko 6:7
2 Kor. 10:51Ko 1:19; 3:19; 2Ti 2:25
2 Kor. 10:61Ti 1:20; Ebr 12:10
2 Kor. 10:62Ko 2:9; 7:15
2 Kor. 10:72Ko 5:12
2 Kor. 10:71Yo 4:6
2 Kor. 10:82Ko 12:6
2 Kor. 10:82Ko 13:10; Ebr 13:17
2 Kor. 10:102Ko 10:1; Gal 4:13
2 Kor. 10:102Ko 11:6
2 Kor. 10:112Ko 12:20; 13:2
2 Kor. 10:122Ko 3:1; 5:12
2 Kor. 10:12Met 25:27; 26:12; Gal 6:3, 4
2 Kor. 10:13Ro 12:3
2 Kor. 10:13Mdo 9:15; Gal 2:8
2 Kor. 10:141Ko 3:10; 4:15
2 Kor. 10:15Ro 15:20
2 Kor. 10:152Th 1:3
2 Kor. 10:151Ko 9:1
2 Kor. 10:16Mdo 19:21; Ro 15:24
2 Kor. 10:17Isa 65:16; Yer 9:24; 1Ko 1:31
2 Kor. 10:18Lu 18:14
2 Kor. 10:181Sa 13:14; Met 29:26
2 Kor. 10:18Ro 2:29; 1Ko 4:5; 2Ti 2:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 10:1-18

2 Wakorintho

10 Basi mimi mwenyewe, Paulo, nawasihi ninyi kwa upole+ na fadhili+ za Kristo, ingawa kuonekana kwangu+ katikati yenu ni kwa hali ya chini, lakini nisipokuwapo mimi ni jasiri kuwaelekea ninyi.+ 2 Kwa kweli naomba kwamba, nitakapokuwapo, nisitumie ujasiri kwa uhakika ule ambao nategemea kuchukua hatua za kijasiri+ juu ya wengine ambao wanatukadiria sisi kana kwamba tulitembea kulingana na tulivyo katika mwili. 3 Kwa maana ingawa tunatembea katika mwili,+ hatupigi vita kulingana na tulivyo katika mwili.+ 4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kwa Mungu+ kwa ajili ya kupindua ngome zenye nguvu. 5 Kwa maana sisi tunapindua mawazo na kila jambo lililo juu sana ambalo limeinuliwa kinyume cha ujuzi wa Mungu;+ nasi tunaiteka kila fikira ili kuifanya imtii Kristo; 6 nasi tuko tayari kutoa adhabu kwa ajili ya kila kitu kisichotii,+ mara tu utii wenu wenyewe utakapokuwa umeisha kutimizwa kikamilifu.+

7 Mnayatazama mambo kulingana na thamani yake ya juujuu.+ Mtu yeyote akijitegemea mwenyewe kwamba ni wa Kristo, acheni yeye atie akilini tena jambo hili kwa ajili yake mwenyewe, kwamba, kama vile yeye alivyo wa Kristo, ndivyo na sisi pia.+ 8 Kwa maana hata nikijisifu+ mno kidogo juu ya mamlaka ambayo Bwana alitupa sisi ili tuwajenge wala si kuwabomoa ninyi,+ mimi sitaaibishwa, 9 ili nisionekane kuwa nataka kuwatia ninyi hofu kwa barua zangu. 10 Kwa maana, wao husema: “Barua zake ni nzito na zenye nguvu nyingi, lakini kuwapo kwake mwenyewe kimwili ni dhaifu+ na maneno yake ni yenye kudharaulika.”+ 11 Mtu wa namna hiyo na atie jambo hili akilini, kwamba kile tulicho katika neno letu kwa barua wakati hatupo, ndivyo tutakavyokuwa pia katika tendo tutakapokuwapo.+ 12 Kwa maana sisi hatuthubutu kujiweka katika kikundi cha watu fulani au kujilinganisha na watu fulani ambao hujipendekeza wenyewe.+ Hakika wao kwa kujipima wenyewe kwa wenyewe na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, hawana uelewaji.+

13 Kwa upande wetu sisi tutajisifu, si nje ya mipaka yetu tuliyogawiwa,+ bali kulingana na mpaka wa eneo ambalo Mungu alitugawia kwa kipimio, akilifanya lifike hadi kwenu.+ 14 Kwa kweli sisi hatujinyooshi wenyewe kupita kiasi kana kwamba hatukuwafikia ninyi, kwa maana sisi tulikuwa wa kwanza kuja hadi kwenu katika kutangaza habari njema juu ya Kristo.+ 15 Hapana, hatujisifu katika kazi za jasho za mtu mwingine nje ya mipaka yetu tuliyogawiwa,+ bali tunatumainia kwamba, kadiri imani yenu inavyoongezwa,+ ndivyo sisi tutakavyofanywa wakubwa katikati yenu kuhusiana na eneo letu.+ Ndipo tutakapozidi hata zaidi, 16 kutangaza habari njema kwenye nchi zilizo ng’ambo yenu,+ ili tusijisifu katika eneo la mtu mwingine ambapo mambo yamekwisha kutayarishwa. 17 “Bali yeye anayejisifu, na ajisifu katika Yehova.”+ 18 Kwa maana yule anayejipendekeza si ndiye ambaye hukubaliwa,+ bali ni yule mtu ambaye Yehova+ humpendekeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki