Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 5:1

Marejeo

  • +Kum 1:1; 29:10
  • +Kum 4:5
  • +Kum 4:1

Kumbukumbu la Torati 5:2

Marejeo

  • +Kut 19:5; Kum 4:23; Ebr 9:19

Kumbukumbu la Torati 5:4

Marejeo

  • +Kut 19:9, 18; 20:22; Kum 4:33; Mdo 7:38

Kumbukumbu la Torati 5:5

Marejeo

  • +Kut 20:19; Kum 34:10; Gal 3:19
  • +Kut 19:16

Kumbukumbu la Torati 5:6

Marejeo

  • +Zb 81:10; Ho. 13:4
  • +Kut 13:3; 20:2

Kumbukumbu la Torati 5:7

Marejeo

  • +Kut 20:3; 2Fa 17:35; Yer 25:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2012, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/1 23

Kumbukumbu la Torati 5:8

Marejeo

  • +Kut 20:4; Law 26:1; Kum 4:16, 23; 27:15
  • +Mdo 17:29

Kumbukumbu la Torati 5:9

Marejeo

  • +Kut 23:24; Da 3:18; 1Ko 10:14
  • +Kut 34:14; Kum 4:24; Yos 24:19; Isa 42:8; Nah 1:2; Mt 4:10
  • +Kut 20:5; 34:7; 1Fa 21:29; Mt 23:35

Kumbukumbu la Torati 5:10

Marejeo

  • +Kut 20:6; Yer 32:18; Da 9:4; Ro 11:28

Kumbukumbu la Torati 5:11

Marejeo

  • +Kut 20:7; 22:28; Law 19:12
  • +Law 24:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ulimwengu Usio na Vita, uku. 20

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, uku. 228

Kumbukumbu la Torati 5:12

Marejeo

  • +Kut 16:23; 20:8; 31:13

Kumbukumbu la Torati 5:13

Marejeo

  • +Kut 20:9; 23:12; 34:21

Kumbukumbu la Torati 5:14

Marejeo

  • +Kut 16:29
  • +Ne 13:15
  • +Kut 20:10; 23:12; Law 24:22
  • +Kum 10:17; Ro 2:11; Efe 6:9

Kumbukumbu la Torati 5:15

Marejeo

  • +Kum 15:15; 24:18
  • +Kut 6:6; Kum 4:34; Isa 63:12
  • +Kut 31:17

Kumbukumbu la Torati 5:16

Marejeo

  • +Kut 21:15; Law 19:3; Kum 27:16; Met 1:8; Mk 7:10
  • +Kut 20:12; Efe 6:3

Kumbukumbu la Torati 5:17

Marejeo

  • +Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:21; Mt 5:21; Ro 13:9

Kumbukumbu la Torati 5:18

Marejeo

  • +Kut 20:14; Met 6:32; 1Ko 6:18; Ebr 13:4

Kumbukumbu la Torati 5:19

Marejeo

  • +Kut 20:15; Law 19:11; Met 30:9; 1Ko 6:10; Efe 4:28

Kumbukumbu la Torati 5:20

Marejeo

  • +Kut 20:16; 23:1; Law 19:16; Kum 19:16; Met 6:19; 19:5

Kumbukumbu la Torati 5:21

Marejeo

  • +2Sa 11:3; Mt 5:28
  • +Kut 20:17; 1Fa 21:4; Lu 12:15; Ro 7:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2019, uku. 22

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2012, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 5/15 7

Kumbukumbu la Torati 5:22

Marejeo

  • +Kut 19:9, 18; Kum 4:12
  • +Kut 24:12; 31:18; Kum 4:13

Kumbukumbu la Torati 5:23

Marejeo

  • +Kut 20:18; Ebr 12:18

Kumbukumbu la Torati 5:24

Marejeo

  • +Kut 19:18; 24:17; Kum 4:36
  • +Kum 4:33

Kumbukumbu la Torati 5:25

Marejeo

  • +Ebr 12:29
  • +Kut 20:19; Kum 18:16; Mdo 7:38; Gal 3:19

Kumbukumbu la Torati 5:26

Marejeo

  • +Kum 4:33; 5:5; Zb 29:4; 1Th 1:9

Kumbukumbu la Torati 5:27

Marejeo

  • +Kut 20:19; Ebr 12:19

Kumbukumbu la Torati 5:28

Marejeo

  • +Kum 18:17

Kumbukumbu la Torati 5:29

Marejeo

  • +Kum 10:12; Ayu 28:28; Met 1:7; Mt 10:28; 1Pe 2:17
  • +Met 4:4; 7:2; Mhu 12:13; Isa 48:18; 1Yo 5:3
  • +Zb 19:11; Yak 1:25

Kumbukumbu la Torati 5:31

Marejeo

  • +Kum 4:45; 6:1; Eze 20:11; Mal 4:4; Gal 3:19

Kumbukumbu la Torati 5:32

Marejeo

  • +Kum 6:3, 25; 8:1
  • +Kum 12:32; Yos 1:7; Met 4:27

Kumbukumbu la Torati 5:33

Marejeo

  • +Kum 10:12; Yer 7:23
  • +Kum 4:40; 12:28; Met 19:16; Ro 10:5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 5:1Kum 1:1; 29:10
Kum. 5:1Kum 4:5
Kum. 5:1Kum 4:1
Kum. 5:2Kut 19:5; Kum 4:23; Ebr 9:19
Kum. 5:4Kut 19:9, 18; 20:22; Kum 4:33; Mdo 7:38
Kum. 5:5Kut 20:19; Kum 34:10; Gal 3:19
Kum. 5:5Kut 19:16
Kum. 5:6Zb 81:10; Ho. 13:4
Kum. 5:6Kut 13:3; 20:2
Kum. 5:7Kut 20:3; 2Fa 17:35; Yer 25:6
Kum. 5:8Kut 20:4; Law 26:1; Kum 4:16, 23; 27:15
Kum. 5:8Mdo 17:29
Kum. 5:9Kut 23:24; Da 3:18; 1Ko 10:14
Kum. 5:9Kut 34:14; Kum 4:24; Yos 24:19; Isa 42:8; Nah 1:2; Mt 4:10
Kum. 5:9Kut 20:5; 34:7; 1Fa 21:29; Mt 23:35
Kum. 5:10Kut 20:6; Yer 32:18; Da 9:4; Ro 11:28
Kum. 5:11Kut 20:7; 22:28; Law 19:12
Kum. 5:11Law 24:16
Kum. 5:12Kut 16:23; 20:8; 31:13
Kum. 5:13Kut 20:9; 23:12; 34:21
Kum. 5:14Kut 16:29
Kum. 5:14Ne 13:15
Kum. 5:14Kut 20:10; 23:12; Law 24:22
Kum. 5:14Kum 10:17; Ro 2:11; Efe 6:9
Kum. 5:15Kum 15:15; 24:18
Kum. 5:15Kut 6:6; Kum 4:34; Isa 63:12
Kum. 5:15Kut 31:17
Kum. 5:16Kut 21:15; Law 19:3; Kum 27:16; Met 1:8; Mk 7:10
Kum. 5:16Kut 20:12; Efe 6:3
Kum. 5:17Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:21; Mt 5:21; Ro 13:9
Kum. 5:18Kut 20:14; Met 6:32; 1Ko 6:18; Ebr 13:4
Kum. 5:19Kut 20:15; Law 19:11; Met 30:9; 1Ko 6:10; Efe 4:28
Kum. 5:20Kut 20:16; 23:1; Law 19:16; Kum 19:16; Met 6:19; 19:5
Kum. 5:212Sa 11:3; Mt 5:28
Kum. 5:21Kut 20:17; 1Fa 21:4; Lu 12:15; Ro 7:7
Kum. 5:22Kut 19:9, 18; Kum 4:12
Kum. 5:22Kut 24:12; 31:18; Kum 4:13
Kum. 5:23Kut 20:18; Ebr 12:18
Kum. 5:24Kut 19:18; 24:17; Kum 4:36
Kum. 5:24Kum 4:33
Kum. 5:25Ebr 12:29
Kum. 5:25Kut 20:19; Kum 18:16; Mdo 7:38; Gal 3:19
Kum. 5:26Kum 4:33; 5:5; Zb 29:4; 1Th 1:9
Kum. 5:27Kut 20:19; Ebr 12:19
Kum. 5:28Kum 18:17
Kum. 5:29Kum 10:12; Ayu 28:28; Met 1:7; Mt 10:28; 1Pe 2:17
Kum. 5:29Met 4:4; 7:2; Mhu 12:13; Isa 48:18; 1Yo 5:3
Kum. 5:29Zb 19:11; Yak 1:25
Kum. 5:31Kum 4:45; 6:1; Eze 20:11; Mal 4:4; Gal 3:19
Kum. 5:32Kum 6:3, 25; 8:1
Kum. 5:32Kum 12:32; Yos 1:7; Met 4:27
Kum. 5:33Kum 10:12; Yer 7:23
Kum. 5:33Kum 4:40; 12:28; Met 19:16; Ro 10:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 5:1-33

Kumbukumbu la Torati

5 Na Musa akaita Israeli+ wote na kuwaambia: “Sikia, Ee Israeli, masharti na maamuzi ya hukumu+ ambayo ninasema masikioni mwenu leo, nanyi mjifunze hayo na kuwa waangalifu kuyatenda.+ 2 Yehova Mungu wetu alifanya agano pamoja nasi katika Horebu.+ 3 Yehova hakufanya agano hili pamoja na mababu zetu, bali pamoja nasi, sisi sote tulio hai hapa leo. 4 Uso kwa uso Yehova alisema pamoja nanyi katika mlima kutoka katikati ya moto.+ 5 Mimi nilikuwa nimesimama katikati ya Yehova na ninyi wakati huo+ ili kuwaambia neno la Yehova, (kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda juu mlimani,)+ na kusema,

6 “‘Mimi ni Yehova Mungu wako,+ niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa.+ 7 Usiwe kamwe na miungu mingine dhidi ya uso wangu.+

8 “‘Usijifanyie sanamu ya kuchongwa,+ umbo+ lolote lililo kama kitu chochote kilicho mbinguni juu au kilicho duniani chini au kilicho katika maji chini ya dunia. 9 Usiviinamie wala kufanywa uvitumikie,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ ninayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+ 10 lakini ninayeonyesha fadhili zenye upendo kwa kizazi cha elfu kwa wale wanaonipenda na wanaoshika amri zangu.+

11 “‘Usilitumie jina la Yehova Mungu wako katika njia ya ubatili,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kumwadhibu, yeyote ambaye analitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+

12 “‘Kwa kuishika siku ya sabato ili kuiona kuwa takatifu, kama vile Yehova Mungu wako alivyokuamuru,+ 13 utatoa utumishi nawe utafanya kazi yako yote kwa siku sita.+ 14 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote,+ wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumishi wako wala kijakazi wako wala ng’ombe wako wala mkaaji mgeni wako aliye ndani ya malango yako,+ ili mtumishi wako na kijakazi wako wapate kupumzika kama wewe.+ 15 Nawe ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri+ na Yehova Mungu wako akakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa.+ Ndiyo sababu Yehova Mungu wako alikuamuru uendelee kuishika siku ya sabato.+

16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru; ili siku zako zipate kuwa ndefu na ili mambo yakuendee vema+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.

17 “‘Usiue.+

18 “‘Wala usifanye uzinzi.+

19 “‘Wala usiibe.+

20 “‘Wala usimshuhudie mwenzako uwongo.+

21 “‘Wala usimtamani mke wa mwenzako.+ Wala usitamani kwa uchoyo nyumba ya mwenzako, shamba lake au mtumishi wake au kijakazi wake, ng’ombe wake au punda wake au kitu chochote cha mwenzako.’+

22 “Yehova aliliambia kutaniko lenu lote Maneno hayo katika mlima kutoka katikati ya ule moto,+ lile wingu na ule weusi mzito, kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akayaandika juu ya mabamba mawili ya mawe na kunipa mimi.+

23 “Na ikawa kwamba mara tu mlipoisikia sauti kutoka katikati ya lile giza, mlima ulipokuwa ukiwaka moto,+ ninyi mlikuja karibu nami, vichwa vyote vya makabila yenu na wanaume wenu wazee. 24 Ndipo mkasema, ‘Tazama, Yehova Mungu wetu ametuonyesha utukufu wake na ukuu wake, nasi tumeisikia sauti yake kutoka katikati ya moto.+ Leo tumeona kwamba Mungu anaweza kusema na mwanadamu naye aendelee kuishi.+ 25 Na sasa kwa nini tufe, kwa maana moto huu mkubwa unaweza kututeketeza?+ Tukiisikia tena sauti ya Yehova Mungu wetu, hakika sisi tutakufa.+ 26 Kwa maana ni nani mwenye mwili wa nyama ambaye ameisikia sauti ya Mungu aliye hai+ ikisema kutoka katikati ya moto kama tulivyofanya sisi, naye akaendelea kuishi? 27 Wewe mwenyewe nenda karibu, usikie yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema; nawe ndiye utakayesema nasi yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema nawe,+ nasi hakika tutasikiliza na kuyatenda.’

28 “Kwa hiyo Yehova akaisikia sauti ya maneno yenu mliposema nami, naye Yehova akaniambia, ‘Nimeisikia sauti ya maneno ya watu hawa, yale ambayo wamekuambia. Wamefanya vema katika yote waliyosema.+ 29 Laiti wangaliusitawisha moyo wao huu uniogope+ na kushika amri zangu zote sikuzote,+ ili mambo yawaendee vema, wao na wana wao mpaka wakati usio na kipimo!+ 30 Nenda ukawaambie: “Rudini nyumbani kwenye mahema yenu.” 31 Nawe usimame hapa pamoja nami, nami nitasema nawe amri zote na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo utawafundisha+ na ambayo watafanya katika nchi nitakayowapa waimiliki.’ 32 Nanyi mtakuwa waangalifu kufanya kama vile ambavyo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi.+ Msigeuke kuume wala kushoto.+ 33 Katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru ninyi, mnapaswa kutembea,+ ili mpate kuishi na ili mambo yawaendee ninyi vema+ nanyi mpate kurefusha siku zenu katika nchi mtakayoimiliki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki