Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri,

  • Kumbukumbu la Torati 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki;

  • Ezekieli 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+

  • Malaki 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Ikumbukeni sheria ya Musa mtumishi wangu niliyomwamuru katika Horebu kuhusu Israeli wote, hata masharti na maamuzi ya hukumu.+

  • Wagalatia 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki