Kumbukumbu la Torati 4:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri, Kumbukumbu la Torati 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki; Ezekieli 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+ Malaki 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Ikumbukeni sheria ya Musa mtumishi wangu niliyomwamuru katika Horebu kuhusu Israeli wote, hata masharti na maamuzi ya hukumu.+ Wagalatia 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+
45 Huu ndio ushuhuda+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Musa aliwaambia wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri,
6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki;
11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+
4 “Ikumbukeni sheria ya Musa mtumishi wangu niliyomwamuru katika Horebu kuhusu Israeli wote, hata masharti na maamuzi ya hukumu.+
19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+