Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 27:1

Marejeo

  • +1Sa 19:18; 22:1, 5
  • +1Sa 28:1; 29:2
  • +1Sa 18:29; 23:23

1 Samweli 27:2

Marejeo

  • +1Sa 25:13; 30:9
  • +1Sa 21:10; 27:12

1 Samweli 27:3

Marejeo

  • +1Ti 5:8
  • +1Sa 25:43
  • +1Sa 25:39, 42

1 Samweli 27:4

Marejeo

  • +1Sa 23:14; 26:25

1 Samweli 27:6

Marejeo

  • +Yos 19:5; 1Sa 30:1; 2Sa 1:1; 1Nya 4:30; 12:1, 20; Ne 11:28

1 Samweli 27:7

Marejeo

  • +1Sa 29:3

1 Samweli 27:8

Marejeo

  • +Yos 13:2
  • +Mwa 36:12; Kut 17:8, 14; Hes 13:29; 1Sa 15:2; 2Sa 1:1; 1Nya 4:43
  • +1Sa 15:4
  • +Mwa 25:18; Kut 15:22

1 Samweli 27:9

Marejeo

  • +Kum 25:19; 1Sa 15:3

1 Samweli 27:10

Marejeo

  • +Mt 10:16
  • +Yos 15:2
  • +1Nya 2:9
  • +Hes 24:21; 1Sa 15:6

1 Samweli 27:11

Marejeo

  • +Met 22:3

1 Samweli 27:12

Marejeo

  • +Met 14:15
  • +Mwa 34:30; 1Sa 13:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 27:11Sa 19:18; 22:1, 5
1 Sam. 27:11Sa 28:1; 29:2
1 Sam. 27:11Sa 18:29; 23:23
1 Sam. 27:21Sa 25:13; 30:9
1 Sam. 27:21Sa 21:10; 27:12
1 Sam. 27:31Ti 5:8
1 Sam. 27:31Sa 25:43
1 Sam. 27:31Sa 25:39, 42
1 Sam. 27:41Sa 23:14; 26:25
1 Sam. 27:6Yos 19:5; 1Sa 30:1; 2Sa 1:1; 1Nya 4:30; 12:1, 20; Ne 11:28
1 Sam. 27:71Sa 29:3
1 Sam. 27:8Yos 13:2
1 Sam. 27:8Mwa 36:12; Kut 17:8, 14; Hes 13:29; 1Sa 15:2; 2Sa 1:1; 1Nya 4:43
1 Sam. 27:81Sa 15:4
1 Sam. 27:8Mwa 25:18; Kut 15:22
1 Sam. 27:9Kum 25:19; 1Sa 15:3
1 Sam. 27:10Mt 10:16
1 Sam. 27:10Yos 15:2
1 Sam. 27:101Nya 2:9
1 Sam. 27:10Hes 24:21; 1Sa 15:6
1 Sam. 27:11Met 22:3
1 Sam. 27:12Met 14:15
1 Sam. 27:12Mwa 34:30; 1Sa 13:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 27:1-12

1 Samweli

27 Hata hivyo, Daudi akasema moyoni mwake: “Sasa mkono wa Sauli utanifagilia mbali siku moja. Hakuna jambo bora kwangu kuliko kuponyoka+ bila shaka, niende katika nchi ya Wafilisti;+ na Sauli atakata tamaa ya kunitafuta tena katika eneo lote la Israeli,+ nami nitaponyoka kutoka mkononi mwake.” 2 Basi Daudi akaondoka, yeye pamoja na watu mia sita+ waliokuwa pamoja naye, akavuka kwenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi. 3 Na Daudi akaendelea kukaa na Akishi katika Gathi, yeye pamoja na watu wake, kila mmoja na nyumba yake,+ Daudi na wake zake wawili, Ahinoamu+ Myezreeli na Abigaili,+ mke wa Nabali Mkarmeli. 4 Baada ya muda Sauli akapelekewa habari kwamba Daudi alikuwa amekimbia kwenda Gathi, kwa hiyo hakwenda kumtafuta tena.+

5 Ndipo Daudi akamwambia Akishi: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, na wanipe mahali katika moja la majiji ya mashambani, ili nikae huko; kwa nini mtumishi wako akae katika jiji la kifalme pamoja nawe?” 6 Basi Akishi akampa Siklagi+ siku hiyo. Ndiyo sababu Siklagi limekuwa la wafalme wa Yuda mpaka leo hii.

7 Na hesabu ya siku ambazo Daudi alikaa katika nchi ya mashambani ya Wafilisti ikawa mwaka mmoja na miezi minne.+ 8 Na Daudi akapanda pamoja na watu wake ili wavamie Wageshuri+ na Wagirzi na Waamaleki;+ kwa maana walikuwa wakikaa katika nchi iliyoanzia Telamu+ mpaka Shuri+ na kushuka mpaka nchi ya Misri. 9 Naye Daudi akaipiga nchi, lakini hakuhifadhi hai mwanamume wala mwanamke;+ naye akachukua makundi na mifugo na punda na ngamia na mavazi, kisha akarudi, akaja kwa Akishi. 10 Ndipo Akishi akasema: “Mlivamia wapi leo?” Naye Daudi akasema:+ “Upande wa kusini wa Yuda+ na upande wa kusini wa Wayerahmeeli+ na upande wa kusini wa Wakeni.”+ 11 Na kuhusu mwanamume na mwanamke, Daudi hakuhifadhi hai yeyote ili kuwaleta Gathi, akisema: “Wasije wakatusema kwa maneno haya, ‘Hivi ndivyo Daudi alivyofanya.’”+ (Na hii imekuwa kawaida yake siku zote ambazo aliishi katika nchi ya mashambani ya Wafilisti.) 12 Kwa hiyo Akishi akamwamini+ Daudi, akisema moyoni mwake: “Bila shaka amenuka katikati ya watu wake Israeli;+ naye atakuwa mtumishi wangu mpaka wakati usio na kipimo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki