Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania 13:1

Marejeo

  • +1Th 4:9; 1Pe 1:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 8-9

    2016 Kitabu cha Mwaka, kur. 2-3

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1997, kur. 14-19

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/1 14-19

Waebrania 13:2

Marejeo

  • +Ro 12:13; 1Ti 3:2
  • +Mwa 18:3; 19:1; Mt 25:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2016, kur. 8-12

    1/2016, kur. 9-10

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2012, kur. 18-19

    10/1/1996, kur. 11-12

    12/15/1989, uku. 15

    “Kila Andiko,” uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 9/1 18-19; w96 10/1 11-12

Waebrania 13:3

Marejeo

  • +Mt 25:36; Kol 4:18
  • +Ro 12:15; 1Pe 3:8
  • +1Ko 12:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1997, uku. 29

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 11/15 29

Waebrania 13:4

Marejeo

  • +Mwa 49:4; Met 5:16, 20; Mt 5:28
  • +Met 6:32; 1Ko 5:9; 6:9, 18; Gal 5:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 184

    Furahia Maisha Milele!, somo la 41

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, uku. 10

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 148-154

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 10

    “Upendo wa Mungu,” kur. 123-132

    Amkeni!,

    5/8/2004, uku. 20

    1/8/2001, uku. 10

    3/8/1993, uku. 27

    Ujuzi, uku. 122

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1993, kur. 12-17

    12/15/1989, uku. 15

    6/1/1989, uku. 13

    5/15/1988, uku. 4

    Kuishi Milele, uku. 244

    Kutoa Sababu, uku. 226

    Amani na Usalama, kur. 143-147

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 123-130, 132; rs 226; g04 5/8 20; g01 1/8 10

Waebrania 13:5

Marejeo

  • +1Ti 6:10
  • +Met 30:8; 1Ti 6:8
  • +Flp 4:11
  • +Kum 31:6, 8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2024, kur. 2-7

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 166

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    11/2023, uku. 7

    Furahia Maisha Milele!, somo la 37

    Amkeni!,

    Na. 1 2021 uku. 8

    9/2015, uku. 5

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2020, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 10

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2014, uku. 26

    10/1/2006, uku. 29

    10/15/2005, kur. 8-11

    6/1/2001, uku. 8

    9/1/1998, kur. 20-21

    8/15/1998, kur. 10-11

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 10/1 29; w05 10/15 8-11; w01 6/1 8; w98 8/15 10-11; w98 9/1 20-21

Waebrania 13:6

Marejeo

  • +Ebr 10:39; Yak 1:6
  • +Zb 56:11; 118:6; Da 3:17; Lu 12:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2022, uku. 8

    Furahia Maisha Milele!, somo la 59

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2020, kur. 12-17

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 10-11

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2001, uku. 8

    12/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 6/1 8

Waebrania 13:7

Marejeo

  • +1Ti 5:17; Ebr 13:17
  • +1Ko 11:1; 2Th 3:7
  • +Ebr 12:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 17, 20-23

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2017, uku. 28

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2007, uku. 28

    3/15/2002, kur. 17-18

    5/15/1998, kur. 11, 18

    1/15/1994, uku. 20

    12/15/1989, uku. 20

    9/15/1989, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/1 28; w02 3/15 17-18; w98 5/15 11, 18

Waebrania 13:8

Marejeo

  • +Ufu 1:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:9

Marejeo

  • +Efe 4:14; Kol 2:8; 2Th 2:2
  • +Yoh 1:17
  • +Ro 14:17; 1Ko 8:8; Kol 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:10

Marejeo

  • +1Ko 9:13; 10:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2003, kur. 29-30

    7/1/1996, kur. 14-15

    12/15/1989, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 2/15 29-30; w96 7/1 15

Waebrania 13:11

Marejeo

  • +Kut 29:14; Law 16:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:12

Marejeo

  • +Yoh 17:19; Ebr 10:29
  • +Ebr 9:14, 22
  • +Mt 21:39; Yoh 19:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:13

Marejeo

  • +Mdo 7:58; Ro 15:3; 2Ko 12:10; 1Pe 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:14

Marejeo

  • +Law 23:42; 1Pe 2:11
  • +Lu 16:9; Ebr 11:10; 12:22; Ufu 3:12; 21:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1990, kur. 30-31

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:15

Marejeo

  • +Law 7:12; 2Nya 29:31; Zb 50:14; 1Pe 2:5
  • +Zb 69:30; Ho. 14:2; 1Ko 9:16
  • +Mt 24:14; Ro 10:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2007, uku. 20

    12/1/2003, uku. 17

    5/1/2003, kur. 28-29

    8/15/2000, kur. 20-21

    9/15/1994, uku. 10

    6/1/1993, uku. 11

    12/15/1989, uku. 20

    Siku ya Yehova, kur. 167-168, 178

    Huduma ya Ufalme,

    10/1995, uku. 1

    “Kila Andiko,” uku. 247

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/1 20; jd 168, 178; w03 5/1 28-29; w03 12/1 17; w00 8/15 20-21

Waebrania 13:16

Marejeo

  • +Ro 12:13; Tit 1:8
  • +Flp 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2012, uku. 23

    11/1/2005, uku. 7

    12/15/1989, uku. 20

    10/15/1988, uku. 21

    Huduma ya Ufalme,

    4/2005, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 1/15 23; w05 11/1 7; km 4/05 1

Waebrania 13:17

Marejeo

  • +1Th 5:12; Ebr 13:24
  • +1Ko 16:16; Efe 5:21; 1Pe 5:5
  • +Mdo 20:28
  • +Isa 35:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    10/2023, uku. 10

    Furahia Maisha Milele!, somo la 20

    “Upendo wa Mungu,” kur. 48-49

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2013, kur. 21-25

    6/15/2011, kur. 25-26

    4/1/2007, kur. 24, 28-30

    3/15/2002, kur. 15-17

    6/15/2001, kur. 20-21

    6/1/1999, kur. 17-18

    5/15/1998, uku. 18

    7/15/1993, uku. 25

    7/1/1992, uku. 15

    6/1/1992, kur. 17-18

    12/15/1989, uku. 20

    9/15/1989, kur. 21-22

    9/15/1988, uku. 29

    6/1/1986, kur. 23-24

    Amani na Usalama, kur. 139-140

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 25-26; lv 48-49; w07 4/1 24, 28-30; od 38; w02 3/15 15-17; w01 6/15 20-21; w99 6/1 17-18; w98 5/15 18

Waebrania 13:18

Marejeo

  • +Kol 1:9
  • +2Ko 1:12; 1Th 2:10; Tit 2:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 207

    Furahia Maisha Milele!, somo la 36

    Amkeni!,

    Na. 1 2021 uku. 8

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 1 2016 kur. 6-7

    The Watchtower,

    7/15/2005, kur. 28-29

    2/1/2004, uku. 32

    12/15/1989, uku. 20

    2/15/1988, uku. 4

    11/15/1986, kur. 11, 12-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 7/15 28-29; w04 2/1 32; cl 207

Waebrania 13:19

Marejeo

  • +Flm 22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 207

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 207

Waebrania 13:20

Marejeo

  • +Ro 15:33
  • +Mdo 2:24
  • +1Pe 2:25; 5:4
  • +Zb 79:13; Yoh 10:7
  • +Isa 55:3; Eze 37:26; Zek 9:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 520

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2008, uku. 32

    4/15/1998, uku. 31

    2/15/1998, uku. 16

    2/1/1998, kur. 22-23

    12/15/1989, uku. 20

    Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 103, 104-105

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 10/15 32; w98 2/1 22-23; w98 2/15 16; w98 4/15 31

Waebrania 13:21

Marejeo

  • +Flp 2:13; 2Th 2:17
  • +Ro 16:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:22

Marejeo

  • +1Pe 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:23

Marejeo

  • +1Th 3:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:24

Marejeo

  • +Isa 1:26; Ebr 13:17; 1Pe 5:3
  • +Mdo 27:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Waebrania 13:25

Marejeo

  • +2Ti 4:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1989, uku. 20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Ebr. 13:11Th 4:9; 1Pe 1:22
Ebr. 13:2Ro 12:13; 1Ti 3:2
Ebr. 13:2Mwa 18:3; 19:1; Mt 25:35
Ebr. 13:3Mt 25:36; Kol 4:18
Ebr. 13:3Ro 12:15; 1Pe 3:8
Ebr. 13:31Ko 12:26
Ebr. 13:4Mwa 49:4; Met 5:16, 20; Mt 5:28
Ebr. 13:4Met 6:32; 1Ko 5:9; 6:9, 18; Gal 5:21
Ebr. 13:51Ti 6:10
Ebr. 13:5Met 30:8; 1Ti 6:8
Ebr. 13:5Flp 4:11
Ebr. 13:5Kum 31:6, 8
Ebr. 13:6Ebr 10:39; Yak 1:6
Ebr. 13:6Zb 56:11; 118:6; Da 3:17; Lu 12:4
Ebr. 13:71Ti 5:17; Ebr 13:17
Ebr. 13:71Ko 11:1; 2Th 3:7
Ebr. 13:7Ebr 12:3
Ebr. 13:8Ufu 1:17
Ebr. 13:9Efe 4:14; Kol 2:8; 2Th 2:2
Ebr. 13:9Yoh 1:17
Ebr. 13:9Ro 14:17; 1Ko 8:8; Kol 2:16
Ebr. 13:101Ko 9:13; 10:18
Ebr. 13:11Kut 29:14; Law 16:27
Ebr. 13:12Yoh 17:19; Ebr 10:29
Ebr. 13:12Ebr 9:14, 22
Ebr. 13:12Mt 21:39; Yoh 19:17
Ebr. 13:13Mdo 7:58; Ro 15:3; 2Ko 12:10; 1Pe 4:14
Ebr. 13:14Law 23:42; 1Pe 2:11
Ebr. 13:14Lu 16:9; Ebr 11:10; 12:22; Ufu 3:12; 21:2
Ebr. 13:15Law 7:12; 2Nya 29:31; Zb 50:14; 1Pe 2:5
Ebr. 13:15Zb 69:30; Ho. 14:2; 1Ko 9:16
Ebr. 13:15Mt 24:14; Ro 10:9
Ebr. 13:16Ro 12:13; Tit 1:8
Ebr. 13:16Flp 4:18
Ebr. 13:171Th 5:12; Ebr 13:24
Ebr. 13:171Ko 16:16; Efe 5:21; 1Pe 5:5
Ebr. 13:17Mdo 20:28
Ebr. 13:17Isa 35:10
Ebr. 13:18Kol 1:9
Ebr. 13:182Ko 1:12; 1Th 2:10; Tit 2:10
Ebr. 13:19Flm 22
Ebr. 13:20Ro 15:33
Ebr. 13:20Mdo 2:24
Ebr. 13:201Pe 2:25; 5:4
Ebr. 13:20Zb 79:13; Yoh 10:7
Ebr. 13:20Isa 55:3; Eze 37:26; Zek 9:11
Ebr. 13:21Flp 2:13; 2Th 2:17
Ebr. 13:21Ro 16:27
Ebr. 13:221Pe 5:12
Ebr. 13:231Th 3:2
Ebr. 13:24Isa 1:26; Ebr 13:17; 1Pe 5:3
Ebr. 13:24Mdo 27:1
Ebr. 13:252Ti 4:22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Waebrania 13:1-25

Waebrania

13 Upendo wenu wa kindugu na uendelee.+ 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+ 3 Wakumbukeni wale walio katika vifungo vya gereza+ kana kwamba ninyi mmefungwa pamoja nao,+ na wale wanaotendewa vibaya,+ kwa kuwa ninyi wenyewe pia bado mko katika mwili. 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+ 5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+ 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+

7 Wakumbukeni wale ambao wanaongoza katikati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari jinsi mwisho wa mwenendo wao unavyokuwa, igeni+ imani yao.+

8 Yesu Kristo ni yuleyule jana na leo, na milele.+

9 Msichukuliwe mbali na mafundisho mbalimbali na yaliyo mageni;+ kwa maana ni vizuri moyo upewe uthabiti kwa fadhili zisizostahiliwa,+ si kwa vyakula,+ ambavyo wale wanaojishughulisha navyo hawajapata faida.

10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kutokana nayo.+ 11 Kwa maana miili ya wale wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kwa ajili ya dhambi huteketezwa nje ya kambi.+ 12 Kwa hiyo Yesu pia, ili apate kuwatakasa+ watu kwa damu+ yake mwenyewe, aliteseka nje ya lango.+ 13 Basi, acheni sisi twende kwake nje ya kambi, tukiichukua shutuma aliyoibeba,+ 14 kwa maana sisi hatuna hapa jiji linaloendelea kuwako,+ bali tunatafuta kwa bidii lile litakalokuja.+ 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+ 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema+ na kushiriki vitu pamoja na wengine, kwa maana Mungu hupendezwa vema na dhabihu za namna hiyo.+

17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+

18 Endeleeni kusali+ kwa ajili yetu, kwa maana sisi tuna uhakika kwamba tuna dhamiri nyoofu, kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+ 19 Lakini ninawahimiza ninyi zaidi hasa mfanye hivyo, ili nirudishwe kwenu upesi inavyowezekana.+

20 Basi Mungu wa amani,+ aliyemrudisha kutoka kwa wafu+ mchungaji+ mkuu wa kondoo+ kwa damu ya agano linalodumu milele,+ Bwana wetu Yesu, 21 na awape ninyi vifaa vyema vya kila namna ili kufanya mapenzi yake, akifanya katika sisi kupitia Yesu Kristo lile ambalo linapendeza vema machoni pake;+ ambaye kwake kuwe na utukufu milele na milele.+ Amina.

22 Basi ninawahimiza ninyi, akina ndugu, mlivumilie neno hili la kutia moyo, kwa maana mimi, kwa kweli, nimewaandikia barua kwa maneno machache.+ 23 Jueni kwamba ndugu yetu Timotheo+ ameachiliwa, naye akija hivi karibuni sana, nitawaona ninyi nikiwa pamoja naye.

24 Wapeni salamu zangu wale wote wanaoongoza+ katikati yenu na watakatifu wote. Wale walio katika Italia+ wanawatumia ninyi salamu zao.

25 Fadhili zisizostahiliwa+ na ziwe pamoja nanyi nyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki