Zaburi
א [ʼAʹleph]
Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+
ב [Behth]
Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+
ג [Giʹmel]
ד [Daʹleth]
Zinazotafutwa na wale wote wanaopendezwa nazo.+
ה [Heʼ]
3 Utendaji+ wake ni utukufu na fahari,+
ו [Waw]
Na uadilifu wake unasimama milele.+
ז [Zaʹyin]
4 Amefanya ukumbusho kwa ajili ya kazi zake za ajabu.+
ח [Chehth]
Yehova ni mwenye neema na mwenye rehema.+
ט [Tehth]
5 Amewapa chakula wale wanaomwogopa.+
י [Yohdh]
Mpaka wakati usio na kipimo, atalikumbuka agano lake.+
כ [Kaph]
מ [Mem]
7 Kazi za mikono yake ni kweli na hukumu;+
8 Yanategemezwa vema milele, mpaka wakati usio na kipimo,+
ע [ʽAʹyin]
Yanafanywa katika kweli na unyoofu.+
פ [Peʼ]
9 Ameutuma ukombozi kwa watu wake.+
צ [Tsa·dhehʹ]
Mpaka wakati usio na kipimo ameamuru agano lake.+
ק [Qohph]
Jina lake ni takatifu na lenye kuogopesha.+
ר [Rehsh]
10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+
ש [Sin]
Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+
ת [Taw]
Sifa yake inasimama milele.+