Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Sasa uliza, tafadhali, juu ya siku za zamani+ zilizokuwapo kabla yako, kutoka siku ambayo  Mungu alimuumba mwanadamu duniani+ na kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine wa mbingu, Je, jambo lolote kubwa kama hili lilitokezwa au jambo lolote kama hili lilisikiwa?+

  • Yoshua 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo watu wakapaaza sauti, walipopiga pembe.+ Kisha ikawa kwamba mara tu watu walipoisikia sauti ya pembe na watu wakapaaza kelele kubwa za vita, ndipo ukuta ukaanza kuanguka chini kabisa.+ Kisha watu wakapanda juu, wakaingia katika jiji, kila mmoja akasonga mbele moja kwa moja, na kuliteka jiji.

  • Yoshua 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi jua likasimama tuli, mwezi nao ukasimama, mpaka taifa hilo lilipokuwa limelipiza kisasi juu ya adui zake.+ Je, habari hizo hazikuandikwa katika kitabu cha Yashari?+ Na jua likaendelea kusimama katikati ya mbingu nalo halikuharakisha kwenda kutua kwa karibu siku nzima.+

  • Zaburi 78:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mbele ya mababu zao yeye alikuwa ametenda kwa njia ya ajabu.+

      Katika nchi ya Misri,+ kiwanja cha Soani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki