Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 25:1

Marejeo

  • +1Sa 1:20; 2:18; 3:20; Zb 99:6
  • +Hes 20:29; Kum 34:8; Mdo 8:2
  • +1Sa 7:17; 28:3
  • +Mwa 21:21; Hes 13:26

1 Samweli 25:2

Marejeo

  • +1Sa 23:24
  • +Yos 15:1, 48, 55
  • +2Sa 13:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 77-78

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 19

1 Samweli 25:3

Marejeo

  • +1Sa 25:25, 38
  • +1Sa 27:3; 30:5
  • +Met 14:1; 24:3; 31:26
  • +1Sa 25:17, 21; Isa 32:5
  • +Hes 13:6; 32:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 76-77

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 18

1 Samweli 25:4

Marejeo

  • +2Sa 13:23

1 Samweli 25:5

Marejeo

  • +1Sa 17:22

1 Samweli 25:6

Marejeo

  • +Mt 10:12; Lu 10:5

1 Samweli 25:7

Marejeo

  • +1Sa 22:2
  • +1Sa 25:15; Lu 3:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 78

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 19

1 Samweli 25:8

Marejeo

  • +Kum 15:7; Met 3:27; Lu 11:41; Mdo 20:35; Ebr 13:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 78

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 19

1 Samweli 25:10

Marejeo

  • +Kut 5:2; Zb 123:4
  • +1Sa 22:2; Isa 32:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Igeni, uku. 78

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 19

1 Samweli 25:11

Marejeo

  • +Kum 8:17; Amu 8:6; 2Ko 9:10
  • +Met 21:13; Mhu 9:15; Isa 32:6; Lu 6:38; Yak 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 78

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 19

1 Samweli 25:13

Marejeo

  • +Zb 37:8; Met 15:1; Mhu 7:9
  • +1Sa 10:22; 17:22; 30:24

1 Samweli 25:14

Marejeo

  • +1Sa 25:10; 2Sa 16:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 76-79

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, kur. 18-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 18-20

1 Samweli 25:15

Marejeo

  • +1Sa 25:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 78

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 19

1 Samweli 25:16

Marejeo

  • +1Sa 23:1; Ayu 1:10; Met 18:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 78

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 19

1 Samweli 25:17

Marejeo

  • +1Sa 20:9; 25:13; Est 7:7
  • +1Sa 25:3; 2Nya 13:7; Isa 32:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 79

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 20

1 Samweli 25:18

Marejeo

  • +1Sa 25:3, 23, 32
  • +Mwa 32:13
  • +2Sa 17:29
  • +Ru 2:14; 1Sa 17:17; 2Sa 17:28
  • +1Sa 30:12; 2Sa 16:1
  • +1Nya 12:40; Met 25:21, 22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 79

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 20

1 Samweli 25:19

Marejeo

  • +Mwa 32:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 20

1 Samweli 25:20

Marejeo

  • +Yos 15:18; 2Fa 4:24

1 Samweli 25:21

Marejeo

  • +1Sa 25:7
  • +1Sa 25:10; Zb 35:12; 38:20; 109:5; Met 17:13

1 Samweli 25:22

Marejeo

  • +Ru 1:17; 1Sa 3:17; 14:44; 20:13; 2Sa 3:9
  • +Met 12:16; 14:17; 26:4; Ro 12:21
  • +1Fa 14:10; 16:11; 21:21; 2Fa 9:8; 10:7

1 Samweli 25:23

Marejeo

  • +1Sa 24:8; 25:41

1 Samweli 25:24

Marejeo

  • +2Fa 4:37; Est 8:3
  • +2Sa 14:9
  • +Mwa 44:18; 2Sa 14:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2002, kur. 4-5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 11/1 4-5

1 Samweli 25:25

Marejeo

  • +1Sa 25:17
  • +Isa 32:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 80

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 20

1 Samweli 25:26

Marejeo

  • +1Sa 20:21; 1Fa 2:24
  • +1Sa 1:26; 2Sa 14:19; 2Fa 2:2
  • +Mwa 20:6; Mt 6:13
  • +Mwa 9:6; Hes 35:30
  • +Ro 12:19
  • +1Sa 25:25; Yer 29:22

1 Samweli 25:27

Marejeo

  • +Mwa 33:11; 1Sa 25:18; 30:26; 2Fa 5:15; Met 18:16; 25:21, 22
  • +1Sa 22:2

1 Samweli 25:28

Marejeo

  • +Met 18:12; 22:4
  • +1Sa 15:28; 2Sa 7:11; 1Fa 9:5
  • +1Sa 17:45; 18:17; 2Sa 5:2
  • +1Sa 24:11; 1Fa 15:5; Zb 119:1

1 Samweli 25:29

Marejeo

  • +Zb 41:2
  • +Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 66:9
  • +Yer 10:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1991, uku. 14

1 Samweli 25:30

Marejeo

  • +1Sa 13:14; 15:28; 23:17; 2Sa 6:21; 7:8; 1Nya 17:7; Zb 89:20

1 Samweli 25:31

Marejeo

  • +1Sa 25:26; Efe 4:26
  • +Kum 32:35; 1Sa 24:15; Zb 94:1; Ro 12:19
  • +Mwa 40:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 80

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 20

1 Samweli 25:32

Marejeo

  • +Zb 41:13; 72:18

1 Samweli 25:33

Marejeo

  • +Zb 141:5; Met 9:9; 25:12
  • +Kum 19:10; 1Sa 25:26; Zb 73:2; Met 15:1; Yak 5:20
  • +1Sa 25:31; Zb 56:13; Ro 12:19

1 Samweli 25:34

Marejeo

  • +1Sa 25:24
  • +1Sa 25:18; Met 29:8
  • +1Sa 25:22

1 Samweli 25:35

Marejeo

  • +1Sa 20:42; 2Sa 15:9; 2Fa 5:19
  • +Mwa 19:21; Met 28:23

1 Samweli 25:36

Marejeo

  • +2Sa 13:23; 1Fa 4:22; Est 1:5
  • +1Fa 20:16; Met 20:1; Ho. 4:11; 1Ko 6:10; Efe 5:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 80-82

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 21

1 Samweli 25:37

Marejeo

  • +Kum 28:28; Zb 102:4; 143:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 82

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 21

1 Samweli 25:38

Marejeo

  • +Mwa 38:7, 10; 2Sa 6:7; 2Fa 19:35; Mdo 12:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 82

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 21

1 Samweli 25:39

Marejeo

  • +Kum 32:35; 1Sa 24:15; Zb 35:1; 43:1; Met 22:23
  • +1Sa 25:10, 14
  • +1Sa 25:34
  • +Amu 9:57; 1Fa 2:44; Zb 7:16
  • +Met 18:22; 31:10, 31

1 Samweli 25:41

Marejeo

  • +Ru 2:10
  • +Mwa 18:4; Lu 7:44; Yoh 13:5; 1Ti 5:10
  • +Met 15:33; 18:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 82-83

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 21

1 Samweli 25:42

Marejeo

  • +1Sa 25:3
  • +Mwa 24:61

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 82-83

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2009, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 7/1 21

1 Samweli 25:43

Marejeo

  • +1Sa 27:3; 2Sa 3:2; 1Nya 3:1
  • +Yos 15:56
  • +1Sa 30:5; 2Sa 5:13; 12:8

1 Samweli 25:44

Marejeo

  • +1Sa 18:20
  • +2Sa 3:15
  • +Isa 10:30

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 25:11Sa 1:20; 2:18; 3:20; Zb 99:6
1 Sam. 25:1Hes 20:29; Kum 34:8; Mdo 8:2
1 Sam. 25:11Sa 7:17; 28:3
1 Sam. 25:1Mwa 21:21; Hes 13:26
1 Sam. 25:21Sa 23:24
1 Sam. 25:2Yos 15:1, 48, 55
1 Sam. 25:22Sa 13:23
1 Sam. 25:31Sa 25:25, 38
1 Sam. 25:31Sa 27:3; 30:5
1 Sam. 25:3Met 14:1; 24:3; 31:26
1 Sam. 25:31Sa 25:17, 21; Isa 32:5
1 Sam. 25:3Hes 13:6; 32:12
1 Sam. 25:42Sa 13:23
1 Sam. 25:51Sa 17:22
1 Sam. 25:6Mt 10:12; Lu 10:5
1 Sam. 25:71Sa 22:2
1 Sam. 25:71Sa 25:15; Lu 3:14
1 Sam. 25:8Kum 15:7; Met 3:27; Lu 11:41; Mdo 20:35; Ebr 13:16
1 Sam. 25:10Kut 5:2; Zb 123:4
1 Sam. 25:101Sa 22:2; Isa 32:6
1 Sam. 25:11Kum 8:17; Amu 8:6; 2Ko 9:10
1 Sam. 25:11Met 21:13; Mhu 9:15; Isa 32:6; Lu 6:38; Yak 2:16
1 Sam. 25:13Zb 37:8; Met 15:1; Mhu 7:9
1 Sam. 25:131Sa 10:22; 17:22; 30:24
1 Sam. 25:141Sa 25:10; 2Sa 16:7
1 Sam. 25:151Sa 25:7
1 Sam. 25:161Sa 23:1; Ayu 1:10; Met 18:11
1 Sam. 25:171Sa 20:9; 25:13; Est 7:7
1 Sam. 25:171Sa 25:3; 2Nya 13:7; Isa 32:7
1 Sam. 25:181Sa 25:3, 23, 32
1 Sam. 25:18Mwa 32:13
1 Sam. 25:182Sa 17:29
1 Sam. 25:18Ru 2:14; 1Sa 17:17; 2Sa 17:28
1 Sam. 25:181Sa 30:12; 2Sa 16:1
1 Sam. 25:181Nya 12:40; Met 25:21, 22
1 Sam. 25:19Mwa 32:16
1 Sam. 25:20Yos 15:18; 2Fa 4:24
1 Sam. 25:211Sa 25:7
1 Sam. 25:211Sa 25:10; Zb 35:12; 38:20; 109:5; Met 17:13
1 Sam. 25:22Ru 1:17; 1Sa 3:17; 14:44; 20:13; 2Sa 3:9
1 Sam. 25:22Met 12:16; 14:17; 26:4; Ro 12:21
1 Sam. 25:221Fa 14:10; 16:11; 21:21; 2Fa 9:8; 10:7
1 Sam. 25:231Sa 24:8; 25:41
1 Sam. 25:242Fa 4:37; Est 8:3
1 Sam. 25:242Sa 14:9
1 Sam. 25:24Mwa 44:18; 2Sa 14:12
1 Sam. 25:251Sa 25:17
1 Sam. 25:25Isa 32:6
1 Sam. 25:261Sa 20:21; 1Fa 2:24
1 Sam. 25:261Sa 1:26; 2Sa 14:19; 2Fa 2:2
1 Sam. 25:26Mwa 20:6; Mt 6:13
1 Sam. 25:26Mwa 9:6; Hes 35:30
1 Sam. 25:26Ro 12:19
1 Sam. 25:261Sa 25:25; Yer 29:22
1 Sam. 25:27Mwa 33:11; 1Sa 25:18; 30:26; 2Fa 5:15; Met 18:16; 25:21, 22
1 Sam. 25:271Sa 22:2
1 Sam. 25:28Met 18:12; 22:4
1 Sam. 25:281Sa 15:28; 2Sa 7:11; 1Fa 9:5
1 Sam. 25:281Sa 17:45; 18:17; 2Sa 5:2
1 Sam. 25:281Sa 24:11; 1Fa 15:5; Zb 119:1
1 Sam. 25:29Zb 41:2
1 Sam. 25:29Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 66:9
1 Sam. 25:29Yer 10:18
1 Sam. 25:301Sa 13:14; 15:28; 23:17; 2Sa 6:21; 7:8; 1Nya 17:7; Zb 89:20
1 Sam. 25:311Sa 25:26; Efe 4:26
1 Sam. 25:31Kum 32:35; 1Sa 24:15; Zb 94:1; Ro 12:19
1 Sam. 25:31Mwa 40:14
1 Sam. 25:32Zb 41:13; 72:18
1 Sam. 25:33Zb 141:5; Met 9:9; 25:12
1 Sam. 25:33Kum 19:10; 1Sa 25:26; Zb 73:2; Met 15:1; Yak 5:20
1 Sam. 25:331Sa 25:31; Zb 56:13; Ro 12:19
1 Sam. 25:341Sa 25:24
1 Sam. 25:341Sa 25:18; Met 29:8
1 Sam. 25:341Sa 25:22
1 Sam. 25:351Sa 20:42; 2Sa 15:9; 2Fa 5:19
1 Sam. 25:35Mwa 19:21; Met 28:23
1 Sam. 25:362Sa 13:23; 1Fa 4:22; Est 1:5
1 Sam. 25:361Fa 20:16; Met 20:1; Ho. 4:11; 1Ko 6:10; Efe 5:18
1 Sam. 25:37Kum 28:28; Zb 102:4; 143:4
1 Sam. 25:38Mwa 38:7, 10; 2Sa 6:7; 2Fa 19:35; Mdo 12:23
1 Sam. 25:39Kum 32:35; 1Sa 24:15; Zb 35:1; 43:1; Met 22:23
1 Sam. 25:391Sa 25:10, 14
1 Sam. 25:391Sa 25:34
1 Sam. 25:39Amu 9:57; 1Fa 2:44; Zb 7:16
1 Sam. 25:39Met 18:22; 31:10, 31
1 Sam. 25:41Ru 2:10
1 Sam. 25:41Mwa 18:4; Lu 7:44; Yoh 13:5; 1Ti 5:10
1 Sam. 25:41Met 15:33; 18:12
1 Sam. 25:421Sa 25:3
1 Sam. 25:42Mwa 24:61
1 Sam. 25:431Sa 27:3; 2Sa 3:2; 1Nya 3:1
1 Sam. 25:43Yos 15:56
1 Sam. 25:431Sa 30:5; 2Sa 5:13; 12:8
1 Sam. 25:441Sa 18:20
1 Sam. 25:442Sa 3:15
1 Sam. 25:44Isa 10:30
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 25:1-44

1 Samweli

25 Baadaye Samweli+ akafa; na Israeli wote wakakusanyika pamoja, wakamwombolezea+ na kumzika karibu na nyumba yake huko Rama.+ Kisha Daudi akaondoka, akashuka kwenda katika nyika ya Parani.+

2 Sasa palikuwa na mtu fulani katika Maoni,+ na kazi yake ilikuwa katika Karmeli.+ Na mtu huyo alikuwa mkuu sana, naye alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa na kazi ya kukata+ kondoo zake manyoya kule Karmeli. 3 Na jina la mtu huyo lilikuwa Nabali,+ na jina la mke wake lilikuwa Abigaili.+ Naye mke huyo alikuwa mwenye busara+ njema na mrembo wa umbo, lakini mume alikuwa mkali na mwenye matendo mabaya;+ naye alikuwa Mkalebu.+ 4 Basi Daudi akasikia akiwa nyikani kwamba Nabali alikuwa akikata kondoo zake manyoya.+ 5 Kwa hiyo Daudi akatuma wanaume kumi vijana, na Daudi akawaambia hao vijana: “Pandeni, mwende Karmeli, mfike kwa Nabali, mkamuulize kwa jina langu kuhusu hali yake.+ 6 Nanyi mkamwambie ndugu yangu hivi, ‘Wema uwe kwako+ na pia wema uwe kwa nyumba yako na wema uwe kwa vyote ulivyo navyo. 7 Na sasa nimesikia kwamba una wakataji-manyoya. Sasa wachungaji wako walikuwa pamoja nasi.+ Hatukuwasumbua,+ wala hakuna chochote chao ambacho kilipotea siku zote walizokuwa katika Karmeli. 8 Waulize hao vijana wako, nao watakuambia, ndipo vijana wangu wapate kibali machoni pako, kwa kuwa tumekuja siku nzuri. Tafadhali, wape watumishi wako na Daudi mwana wako chochote ambacho mkono wako unaweza kupata.’”+

9 Basi wale vijana wa Daudi wakaja na kumwambia Nabali kulingana na maneno hayo yote katika jina la Daudi na kisha wakangoja. 10 Lakini Nabali akawajibu watumishi wa Daudi na kusema: “Daudi ni nani,+ na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wanaotoroka, kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake, wamekuwa wengi.+ 11 Na je, nichukue mkate+ wangu na maji yangu na nyama yangu ambayo nimewachinjia wakataji-manyoya wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi?”+

12 Kwa hiyo vijana wa Daudi wakageuka, wakarudi, wakamletea habari kulingana na maneno hayo yote. 13 Mara hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mtu ajifunge upanga wake!”+ Basi kila mtu akajifunga upanga wake na pia Daudi akajifunga upanga wake; wakaanza kupanda nyuma ya Daudi, karibu watu mia nne, huku mia mbili wakibaki kando ya mizigo.+

14 Na wakati huohuo, mmoja wa vijana akaleta habari kwa Abigaili, mke wa Nabali, akisema: “Tazama! Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani ili kumtakia bwana wetu mema, lakini akawakemea kwa sauti kali.+ 15 Na watu hao walikuwa wema sana kwetu, nao hawakutusumbua, nasi hatukupoteza hata kitu kimoja siku zote za kutembea kwetu tukiwa shambani.+ 16 Walikuwa ukuta+ kutuzunguka wakati wa usiku na wakati wa mchana, siku zote tulipokuwa pamoja nao, tukichunga kundi. 17 Na sasa ujue na kuona jambo la kufanya, kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote, kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye.”

18 Mara moja Abigaili+ akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili na mitungi miwili mikubwa ya divai+ na kondoo watano+ na vipimo vitano vya sea vya nafaka iliyochomwa+ na keki mia moja za zabibu kavu+ na keki mia mbili za tini zilizoshinikizwa,+ akazipakia juu ya punda. 19 Kisha akawaambia vijana wake: “Piteni mbele yangu.+ Tazama! Naja nyuma yenu.” Lakini hakumwambia Nabali mume wake jambo lolote.

20 Na ikatukia kwamba alipokuwa amempanda punda+ na kushuka kwenye mlima kisiri, tazama, kumbe, Daudi na watu wake walikuwa wakishuka kuja kukutana naye. Basi akakutana nao. 21 Naye Daudi alikuwa amesema: “Ni kwa ajili ya kukatishwa tamaa tu kwamba nililinda kila kitu cha mtu huyu nyikani wala hakuna hata kitu kimoja kati ya vyote vilivyo vyake ambacho kilipotea,+ na bado ananilipa uovu kwa ajili ya wema.+ 22 Basi Mungu na awafanyie hivyo adui za Daudi na kuzidisha+ ikiwa nitaacha abaki kufikia asubuhi+ yeyote kati ya wote walio wake anayekojoa ukutani.”+

23 Abigaili alipomwona Daudi, akafanya haraka mara moja, akashuka kutoka juu ya yule punda, akaanguka kifudifudi mbele ya Daudi, akainama+ chini. 24 Kisha akaanguka miguuni pake+ na kusema: “Kosa na liwe juu yangu mwenyewe,+ Ee bwana wangu; na, tafadhali mwache kijakazi wako aseme masikioni mwako,+ nawe uyasikilize maneno ya kijakazi wako. 25 Tafadhali, bwana wangu asiweke moyo wake juu ya mtu huyu asiyefaa kitu,+ Nabali, kwa maana, kama lilivyo jina lake, ndivyo alivyo yeye. Nabali ndilo jina lake, na ukosefu wake wa akili uko pamoja naye.+ Lakini mimi kijakazi wako, sikuwaona wale vijana wa bwana wangu uliokuwa umewatuma. 26 Basi sasa, bwana wangu, kama anavyoishi Yehova+ na kama inavyoishi nafsi yako,+ Yehova amekuzuia+ usiingie katika hatia ya damu+ na kufanya mkono wako mwenyewe ukuokoe.+ Basi sasa adui zako na wale wanaotafuta kumdhuru bwana wangu na wawe kama Nabali.+ 27 Na sasa zawadi hii ya baraka+ ambayo kijakazi wako amemletea bwana wangu, ipewe wale vijana wanaotembea katika hatua+ za bwana wangu. 28 Tafadhali, samehe makosa ya kijakazi wako,+ kwa maana bila shaka Yehova atamfanyia bwana wangu nyumba inayodumu,+ kwa maana bwana wangu anapigana vita vya Yehova;+ na ubaya hautapatikana ndani yako siku zako zote.+ 29 Wakati mwanadamu atakaposimama ili kukufuatilia na kuitafuta nafsi yako, nafsi ya bwana wangu itakuwa imefungwa katika mfuko wa uzima+ pamoja na Yehova Mungu wako;+ lakini nafsi ya adui zako yeye ataitupa mbali kama kutoka ndani ya tundu la kombeo.+ 30 Na itatukia kwamba, kwa kuwa Yehova atamfanyia bwana wangu mema kukuelekea kulingana na yote ambayo amesema, hakika atakuweka kuwa kiongozi juu ya Israeli.+ 31 Na usiache hili liwe kwako sababu ya kufadhaika wala kikwazo kwa moyo wa bwana wangu, kwa kumwaga damu bila sababu+ na pia kwa kuacha mkono wa bwana wangu mwenyewe umwokoe.+ Na hakika Yehova atamfanyia mema bwana wangu, nawe utamkumbuka+ kijakazi wako.”

32 Ndipo Daudi akamwambia Abigaili: “Abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ aliyekutuma leo unipokee! 33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+ 34 Na, kwa upande mwingine, kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli, ambaye amenizuia nisikudhuru wewe,+ kama hungelifanya haraka ili uje kunipokea,+ kufikia wakati wa nuru ya asubuhi hangelibaki kwa Nabali mtu yeyote anayekojoa ukutani.”+ 35 Kwa hiyo Daudi akapokea kutoka mkononi mwake vitu ambavyo alikuwa amemletea, naye akamwambia: “Panda uende kwa amani+ nyumbani kwako. Tazama, nimeisikiliza sauti yako na kukufikiria+ wewe.”

36 Baadaye Abigaili akaingia kwa Nabali, na tazama, mwanamume huyo alikuwa akifanya karamu katika nyumba yake, karamu kama ile ya mfalme;+ na moyo wa Nabali ulikuwa ukichangamka ndani yake, naye alikuwa amelewa+ kabisa; na kufikia nuru ya asubuhi mke hakuweza kumwambia jambo lolote, liwe ni dogo au kubwa. 37 Na ikawa kwamba asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mke wake akamwambia mambo hayo yote. Na moyo+ wa mwanamume huyo ukafa ndani yake, naye akawa kama jiwe. 38 Baada ya hapo karibu siku kumi zikapita, ndipo Yehova akampiga+ Nabali, naye akafa.

39 Basi Daudi akasikia kwamba Nabali amekufa, kwa hiyo akasema: “Abarikiwe Yehova, ambaye amefanya kesi+ ya shutuma+ yangu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwa Nabali na ambaye amemzuia mtumishi wake asifanye ubaya,+ na Yehova ameurudisha ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe!”+ Kisha Daudi akatuma watu na kumwambia Abigaili kwamba alipenda kumchukua awe mke wake.+ 40 Basi watumishi wa Daudi wakamjia Abigaili kule Karmeli na kumwambia hivi: “Daudi ametutuma kwako tukuchukue uwe mke wake.” 41 Mara moja akasimama, akainama kifudifudi,+ akasema: “Tazama, mimi ni kijakazi wako, niwe mjakazi wa kuosha miguu+ ya watumishi wa bwana wangu.”+ 42 Kisha Abigaili+ akafanya haraka, akaondoka, akapanda punda+ pamoja na wanawali wake watano wakiwa wanatembea nyuma yake; akaenda pamoja na wajumbe wa Daudi, na kisha akawa mke wake.

43 Daudi pia alikuwa amemchukua Ahinoamu+ kutoka Yezreeli;+ na hao wanawake wawili wakaja kuwa wake zake.+

44 Lakini Sauli alikuwa amemkabidhi Mikali+ binti yake, mke wa Daudi, kwa Palti+ mwana wa Laishi, aliyetoka Galimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki