Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pale utakapokufa nitakufa nami,+ na hapo ndipo nitakapozikwa. Yehova na anitende hivyo na kuzidi+ ikiwa chochote isipokuwa kifo kitatutenganisha mimi na wewe.”

  • 1 Samweli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akaendelea kusema: “Ni neno gani alilosema nawe? Tafadhali usinifiche hilo.+ Mungu na akufanyie hivyo naye aliongezee+ hilo ukinificha neno moja kati ya maneno yote ambayo amekuambia.”

  • 1 Samweli 14:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ndipo Sauli akasema: “Mungu na afanye hivyo naye azidishe hilo,+ ikiwa hutakufa hakika,+ Yonathani.”

  • 1 Samweli 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Yehova na amtendee Yonathani hivyo na kuzidi,+ ikiwa, itakuwa vema kwa baba yangu kukutendea uovu, nami nisikufunulie habari hizo sikioni mwako na kukuacha uende zako, nawe hakika usiende kwa amani. Yehova na awe pamoja nawe,+ kama vile alivyokuwa pamoja na baba yangu.+

  • 2 Samweli 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Mungu na amfanyie Abneri hivyo, naye azidishe jambo hilo,+ ikiwa, kama vile Yehova alivyomwapia Daudi,+ sivyo nitakavyomtendea,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki