Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa sababu hiyo tazama, nitaleta msiba juu ya nyumba ya Yeroboamu, nami kwa hakika nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu yeyote anayekojoa ukutani,+ asiye na uwezo na asiye na thamani katika Israeli;+ nami kwa kweli nitafagia kabisa nikiifuata nyumba ya Yeroboamu,+ kama vile mtu anavyoondoa mavi mpaka yanapokuwa yameondolewa.+

  • 1 Wafalme 16:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba wakati alipoanza kutawala, mara tu alipoketi katika kiti chake cha ufalme, akaipiga nyumba yote ya Baasha. Hakuacha abaki mtu yeyote wa kwake anayekojoa ukutani+ wala walipiza-kisasi wake wa damu+ wala rafiki zake.

  • 1 Wafalme 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 tazama, ninaleta msiba juu yako;+ nami nitafagia kabisa nikikufuata nyuma yako+ na kukatilia mbali kutoka kwa Ahabu yeyote anayekojoa ukutani+ na asiye na uwezo na asiye na thamani katika Israeli.

  • 2 Wafalme 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na nyumba yote ya Ahabu lazima iangamie; nami nitakatilia mbali kutoka kwa Ahabu+ mtu yeyote anayekojoa ukutani+ na yeyote asiye na uwezo na asiye na thamani+ katika Israeli.

  • 2 Wafalme 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ikawa kwamba mara tu barua ile ilipowafikia, wakawachukua wale wana wa mfalme na kuwachinja, watu 70,+ kisha wakaviweka vichwa vyao ndani ya vikapu, wakampelekea kule Yezreeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki