13 Wakati huo Daudi akaendelea kuchukua masuria+ na wake+ zaidi kutoka katika Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni; naye Daudi akaendelea kuzaa wana na mabinti zaidi.
8 Nami nilikuwa tayari kukupa nyumba ya bwana wako+ na wake za bwana wako+ kifuani pako, na kukupa nyumba ya Israeli na ya Yuda.+ Na kama hayo hayakutosha, nilikuwa tayari kukuongezea vitu kama hivyo na pia vitu vingine.+