Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 13:1

Marejeo

  • +Kum 18:22; Yer 6:13; Eze 13:2; Zek 13:4
  • +Yer 23:25; 27:9
  • +Mk 13:22; 2Th 2:9

Kumbukumbu la Torati 13:2

Marejeo

  • +Yer 28:9; Mt 7:22

Kumbukumbu la Torati 13:3

Marejeo

  • +Isa 8:19
  • +Kum 8:2; Zb 66:10; Mt 24:24; 1Ko 11:19; 2Th 2:11
  • +Kum 6:5; 10:12; Mt 22:37

Kumbukumbu la Torati 13:4

Marejeo

  • +Kum 10:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2002, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 10/15 16-17

Kumbukumbu la Torati 13:5

Marejeo

  • +Isa 9:15
  • +Kum 18:20; Yer 14:14; Zek 13:3
  • +Kum 6:14
  • +Kum 17:7; 1Ko 5:13

Kumbukumbu la Torati 13:6

Marejeo

  • +1Sa 18:1
  • +1Fa 11:4; 2Pe 2:1

Kumbukumbu la Torati 13:8

Marejeo

  • +Met 1:10; Gal 1:8
  • +Eze 9:5

Kumbukumbu la Torati 13:9

Marejeo

  • +Kut 22:20; 32:27; Hes 25:5
  • +Kum 17:7

Kumbukumbu la Torati 13:10

Marejeo

  • +Law 20:2, 27; Kum 17:5
  • +Kut 13:3

Kumbukumbu la Torati 13:11

Marejeo

  • +Kum 17:13; 19:20; 1Ti 1:20; 5:20

Kumbukumbu la Torati 13:13

Marejeo

  • +1Sa 2:12; 1Fa 21:10; Yud 19
  • +2Fa 17:21

Kumbukumbu la Torati 13:14

Marejeo

  • +Kum 17:4; 19:15; 1Ti 5:19; Ebr 10:28

Kumbukumbu la Torati 13:15

Marejeo

  • +2Nya 28:6
  • +Kut 22:20; Law 27:28

Kumbukumbu la Torati 13:16

Marejeo

  • +Yos 6:24
  • +Yos 8:28; Yer 49:2; Mik 1:6

Kumbukumbu la Torati 13:17

Marejeo

  • +Yos 6:18; 7:1
  • +Yos 7:26; 22:20
  • +Kut 33:19; Zb 78:38
  • +Mwa 22:17; 26:4; 28:14

Kumbukumbu la Torati 13:18

Marejeo

  • +Kum 12:32; Ne 1:5; Zb 119:4; 1Yo 5:3
  • +Kut 15:26; Kum 6:18

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 13:1Kum 18:22; Yer 6:13; Eze 13:2; Zek 13:4
Kum. 13:1Yer 23:25; 27:9
Kum. 13:1Mk 13:22; 2Th 2:9
Kum. 13:2Yer 28:9; Mt 7:22
Kum. 13:3Isa 8:19
Kum. 13:3Kum 8:2; Zb 66:10; Mt 24:24; 1Ko 11:19; 2Th 2:11
Kum. 13:3Kum 6:5; 10:12; Mt 22:37
Kum. 13:4Kum 10:20
Kum. 13:5Isa 9:15
Kum. 13:5Kum 18:20; Yer 14:14; Zek 13:3
Kum. 13:5Kum 6:14
Kum. 13:5Kum 17:7; 1Ko 5:13
Kum. 13:61Sa 18:1
Kum. 13:61Fa 11:4; 2Pe 2:1
Kum. 13:8Met 1:10; Gal 1:8
Kum. 13:8Eze 9:5
Kum. 13:9Kut 22:20; 32:27; Hes 25:5
Kum. 13:9Kum 17:7
Kum. 13:10Law 20:2, 27; Kum 17:5
Kum. 13:10Kut 13:3
Kum. 13:11Kum 17:13; 19:20; 1Ti 1:20; 5:20
Kum. 13:131Sa 2:12; 1Fa 21:10; Yud 19
Kum. 13:132Fa 17:21
Kum. 13:14Kum 17:4; 19:15; 1Ti 5:19; Ebr 10:28
Kum. 13:152Nya 28:6
Kum. 13:15Kut 22:20; Law 27:28
Kum. 13:16Yos 6:24
Kum. 13:16Yos 8:28; Yer 49:2; Mik 1:6
Kum. 13:17Yos 6:18; 7:1
Kum. 13:17Yos 7:26; 22:20
Kum. 13:17Kut 33:19; Zb 78:38
Kum. 13:17Mwa 22:17; 26:4; 28:14
Kum. 13:18Kum 12:32; Ne 1:5; Zb 119:4; 1Yo 5:3
Kum. 13:18Kut 15:26; Kum 6:18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 13:1-18

Kumbukumbu la Torati

13 “Ikiwa nabii+ au mwotaji wa ndoto+ atainuka katikati yenu naye awape ishara au kitu cha ajabu,+ 2 nayo ishara hiyo au kitu hicho cha ajabu kiwe kweli alichokuambia,+ akisema, ‘Na tuifuate miungu mingine, ambayo wewe hukuijua, nasi tuitumikie,’ 3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+ 4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+ 5 Na nabii+ huyo au mwotaji huyo wa ndoto atauawa,+ kwa sababu amesema maasi juu ya Yehova Mungu wenu, ambaye aliwatoa ninyi katika nchi ya Misri na amekukomboa kutoka katika nyumba ya watumwa, ili kukugeuza kutoka katika njia ambayo Yehova Mungu wako amekuamuru kuitembea;+ nawe utaondolea mbali kilicho kiovu kutoka katikati yako.+

6 “Ikiwa ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako au binti yako au mke wako mpendwa au mwenzako aliye kama nafsi yako mwenyewe,+ atajaribu kukushawishi kwa siri, akisema, ‘Twende tukaitumikie miungu mingine,’+ ambayo hukuijua, wewe wala mababu zako, 7 baadhi ya miungu ya watu wanaowazunguka ninyi pande zote, wale walio karibu nawe au wale walio mbali nawe, kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho mwingine wa nchi, 8 usikubali nia yake wala kumsikiliza,+ wala jicho lako lisimsikitikie,+ wala usione huruma, wala kumficha kwa kumlinda; 9 bali lazima umuue.+ Mkono wako utakuwa wa kwanza kuja juu yake ili kumuua, nao mkono wa watu wote baadaye.+ 10 Nawe utampiga kwa mawe, naye atakufa,+ kwa sababu alijaribu kukugeuza mbali na Yehova Mungu wako, ambaye amekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa.+ 11 Ndipo Israeli wote watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena jambo lolote kama jambo hilo baya kati yako.+

12 “Ikiwa utasikia ikisemwa katika moja la majiji yako, ambayo Yehova Mungu wako anakupa ukae humo, 13 ‘Watu wasiofaa kitu wametokea katikati yako+ ili wajaribu kuwageuzia mbali wakaaji wa jiji lao,+ kwa kusema: “Twende tukaitumikie miungu mingine,” ambayo hamjaijua,’ 14 mtatafuta na kupeleleza na kuuliza habari kabisa;+ na ikiwa jambo hili limethibitika kuwa kweli, jambo hilo lenye kuchukiza limefanywa katikati yako, 15 lazima utawapiga wakaaji wa jiji hilo kwa makali ya upanga.+ Uliharibu+ pamoja na kila kitu kilicho ndani yake, na wanyama wake wa kufugwa kwa makali ya upanga. 16 Na nyara zake zote utakusanya katikati ya kiwanja chake cha watu wote, nawe utaliteketeza jiji+ hilo kwa moto pamoja na nyara zake zote kama toleo zima la kuteketezwa kwa Yehova Mungu wako, nalo litakuwa rundo la mabomoko mpaka wakati usio na kipimo.+ Halipaswi kujengwa tena kamwe. 17 Na kitu chochote kisishikamane na mkono wako kutoka katika kitu kilichofanywa kuwa kitakatifu kwa marufuku,+ ili Yehova ageukie mbali kutoka kwa hasira yake inayowaka+ naye awape ninyi rehema,+ naye awaonyeshe rehema na kuwazidisha, kama vile alivyowaapia mababu zenu.+ 18 Kwa maana unapaswa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri+ zake zote ambazo ninakuamuru leo, ili kufanya yaliyo sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki