Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 7:1

Marejeo

  • +2Ko 6:16; 2Pe 1:4
  • +1Ti 3:9; 1Yo 3:3
  • +Zek 13:2; Ro 12:1; 1Ti 1:5
  • +2Ko 1:12; Ufu 14:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 40

    Amkeni!,

    Na. 3 2019 kur. 4-5

    4/22/1994, uku. 6

    7/8/1990, uku. 27

    “Upendo wa Mungu,” kur. 93-95

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2006, uku. 26

    8/1/1997, kur. 5-7

    6/1/1989, kur. 13-20

    5/1/1986, uku. 17

    Furaha ya Familia, kur. 45-48

    Neno la Mungu, uku. 166

    Amani na Usalama, uku. 160

  • Fahirishi ya Machapisho

    lv 93, 95; w06 11/1 26; w97 8/1 5-7; fy 45-48

2 Wakorintho 7:2

Marejeo

  • +Ro 12:10; 2Ko 6:12
  • +Mdo 20:33; 2Ko 12:17

2 Wakorintho 7:3

Marejeo

  • +2Ko 6:12

2 Wakorintho 7:4

Marejeo

  • +1Ko 1:4; 2Ko 1:14
  • +2Ko 1:4
  • +Flp 2:17; Flm 7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2006, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 5/15 15

2 Wakorintho 7:5

Marejeo

  • +Mdo 20:1
  • +2Ko 2:13
  • +2Ko 4:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 23

    11/15/1998, uku. 30

    11/1/1996, kur. 11-12

    7/15/1992, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 11/15 30; w96 11/1 11-12

2 Wakorintho 7:6

Marejeo

  • +2Ko 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 166

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1998, uku. 30

    11/1/1996, kur. 11-12

    3/1/1990, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 166; w98 11/15 30; w96 11/1 11-12

2 Wakorintho 7:7

Marejeo

  • +Met 25:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 166

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1998, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 166; w98 11/15 30

2 Wakorintho 7:8

Marejeo

  • +2Ko 2:4; 10:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Wakorintho 7:9

Marejeo

  • +Yer 31:19; Mdo 26:20
  • +Mdo 8:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Wakorintho 7:10

Marejeo

  • +Zb 32:5; Mt 26:75; 1Yo 1:9
  • +Mwa 4:13; Mt 27:5; Ebr 12:17

2 Wakorintho 7:11

Marejeo

  • +Yer 3:25; 50:4; Mdo 2:37
  • +Mt 3:8; Mdo 26:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1997, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 12/1 14

2 Wakorintho 7:12

Marejeo

  • +1Ko 5:5, 13

2 Wakorintho 7:13

Marejeo

  • +Mwa 45:27; 1Ko 16:18

2 Wakorintho 7:14

Marejeo

  • +2Ko 8:24

2 Wakorintho 7:15

Marejeo

  • +2Ko 2:9; Ebr 13:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1998, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 11/15 30

2 Wakorintho 7:16

Marejeo

  • +2Th 3:4

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 7:12Ko 6:16; 2Pe 1:4
2 Kor. 7:11Ti 3:9; 1Yo 3:3
2 Kor. 7:1Zek 13:2; Ro 12:1; 1Ti 1:5
2 Kor. 7:12Ko 1:12; Ufu 14:7
2 Kor. 7:2Ro 12:10; 2Ko 6:12
2 Kor. 7:2Mdo 20:33; 2Ko 12:17
2 Kor. 7:32Ko 6:12
2 Kor. 7:41Ko 1:4; 2Ko 1:14
2 Kor. 7:42Ko 1:4
2 Kor. 7:4Flp 2:17; Flm 7
2 Kor. 7:5Mdo 20:1
2 Kor. 7:52Ko 2:13
2 Kor. 7:52Ko 4:8
2 Kor. 7:62Ko 1:3
2 Kor. 7:7Met 25:25
2 Kor. 7:82Ko 2:4; 10:10
2 Kor. 7:9Yer 31:19; Mdo 26:20
2 Kor. 7:9Mdo 8:22
2 Kor. 7:10Zb 32:5; Mt 26:75; 1Yo 1:9
2 Kor. 7:10Mwa 4:13; Mt 27:5; Ebr 12:17
2 Kor. 7:11Yer 3:25; 50:4; Mdo 2:37
2 Kor. 7:11Mt 3:8; Mdo 26:20
2 Kor. 7:121Ko 5:5, 13
2 Kor. 7:13Mwa 45:27; 1Ko 16:18
2 Kor. 7:142Ko 8:24
2 Kor. 7:152Ko 2:9; Ebr 13:17
2 Kor. 7:162Th 3:4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 7:1-16

2 Wakorintho

7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+

2 Mtupe sisi nafasi.+ Hatujamkosea yeyote, hatujamharibu yeyote, hatujamtumia yeyote kwa kujifaidi.+ 3 Sisemi jambo hili ili niwahukumu ninyi. Kwa maana tayari nimesema kwamba ninyi mko ndani ya mioyo yetu ili kufa na kuishi pamoja nasi.+ 4 Mimi nina uhuru mkubwa wa kusema kuwaelekea ninyi. Ninajisifu kwa njia kubwa kuhusiana nanyi.+ Nimejawa na faraja,+ ninafurika kwa shangwe katika taabu yetu yote.+

5 Kwa kweli, tulipofika Makedonia,+ mwili wetu haukupata kitulizo,+ bali tuliendelea kutaabishwa+ katika kila namna—kulikuwa na mapigano nje, woga ndani. 6 Hata hivyo Mungu, ambaye huwafariji+ wale walioshushwa chini, alitufariji kwa kuwapo kwa Tito; 7 lakini si kwa kuwapo kwake tu, bali pia kwa faraja ambayo alikuwa amefarijiwa juu yenu, kwa kuwa alituletea habari+ tena juu ya tamaa yenu, kuomboleza kwenu, bidii yenu kwa ajili yangu; hivi kwamba nikashangilia zaidi tena.

8 Kwa hiyo hata kama niliwahuzunisha ninyi kwa barua yangu,+ mimi sijuti juu ya jambo hilo. Hata kama hapo mwanzoni nilijuta juu ya jambo hilo, (naona kwamba barua hiyo iliwahuzunisha ninyi, ingawa ni kwa kitambo kidogo,) 9 sasa ninashangilia, si kwa sababu mlihuzunishwa tu, bali kwa sababu mlihuzunishwa kufikia kutubu;+ kwa maana mlihuzunishwa kwa njia ya kimungu,+ ili msipatwe na hasara katika jambo lolote kwa sababu yetu. 10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+ 11 Kwa maana, tazama! jambo hili, kule kuhuzunishwa kwenu kwa njia ya kimungu,+ kulitokeza katika ninyi hali ya bidii kubwa kama nini, ndiyo, kujiondolea wenyewe hatia, ndiyo, ghadhabu, ndiyo, woga, ndiyo, kutamani, ndiyo, bidii, ndiyo, kurekebisha kosa!+ Katika kila jambo mlijionyesha kuwa safi kiadili katika jambo hili. 12 Hakika, ijapokuwa niliwaandikia ninyi, nilifanya hivyo, si kwa ajili ya yeye aliyetenda kosa,+ wala kwa ajili ya yeye aliyekosewa, bali ili bidii yenu kwa ajili yetu ifunuliwe katikati yenu machoni pa Mungu. 13 Ndiyo sababu sisi tumefarijiwa.

Hata hivyo, kwa kuongezea faraja yetu sisi tulishangilia kwa wingi hata zaidi kwa sababu ya shangwe ya Tito, kwa sababu roho+ yake imeburudishwa na ninyi nyote. 14 Kwa maana ikiwa nimejisifu kwake kwa vyovyote juu yenu, sijapata aibu; lakini kama tulivyowaambia mambo yote katika kweli, ndivyo pia kujisifu+ kwetu mbele ya Tito kumekuwa kweli. 15 Pia, upendo wake mwororo ni mwingi zaidi kuwaelekea ninyi, anapokumbuka utii+ wenu nyote, jinsi mlivyompokea kwa kuogopa na kutetemeka. 16 Nashangilia kwamba katika kila njia niwe na uhodari mwingi kwa sababu yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki