Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 12:1

Marejeo

  • +Mdo 2:17; 22:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, uku. 8

2 Wakorintho 12:2

Marejeo

  • +Eze 8:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 12

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, uku. 8

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2004, uku. 30

    10/15/2004, kur. 8-10

    7/15/2000, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 12; w04 10/15 8-10; w04 12/15 30; w00 7/15 27

2 Wakorintho 12:3

Marejeo

  • +Eze 3:14

2 Wakorintho 12:4

Marejeo

  • +Efe 1:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, uku. 8

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2015, kur. 8-9

    7/15/2008, uku. 28

    10/15/2004, kur. 8-10

    6/15/1997, uku. 5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28; w04 10/15 8-10; w97 6/15 5

2 Wakorintho 12:5

Marejeo

  • +2Ko 11:30

2 Wakorintho 12:6

Marejeo

  • +2Ko 10:8; 11:16

2 Wakorintho 12:7

Marejeo

  • +Met 16:18
  • +Gal 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 49

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 9

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    5/2019, uku. 4

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2014, uku. 5

    6/15/2008, kur. 3-4

    12/15/2006, uku. 24

    8/15/2006, uku. 21

    8/1/2005, uku. 21

    2/15/2002, kur. 13-14

    3/1/2000, uku. 4

    6/1/1997, uku. 25

    9/15/1990, uku. 27

    11/15/1987, uku. 29

    Huduma ya Ufalme,

    5/1998, uku. 1

    Amkeni!,

    5/22/1997, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 6/15 3-4; w06 8/15 21; w06 12/15 24; w05 8/1 21; w02 2/15 13-14; w00 3/1 4; km 5/98 1; w97 6/1 25; g97 5/22 18-19

2 Wakorintho 12:8

Marejeo

  • +1Pe 5:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2014, uku. 5

    1/1/2009, uku. 30

    12/15/2006, uku. 24

    11/15/1987, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 1/1 30; w06 12/15 24

2 Wakorintho 12:9

Marejeo

  • +Kum 3:26
  • +Isa 40:29; Ebr 11:34
  • +2Ko 11:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa, makala 49

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2020, kur. 14-19

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2019, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2018, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2008, uku. 6

    12/15/2006, uku. 24

    8/1/2005, uku. 21

    2/15/2002, kur. 18-19

    3/1/2000, uku. 4

    6/1/1997, kur. 25-26

    11/15/1987, uku. 29

    6/1/1986, uku. 25

    Amkeni!,

    5/22/1997, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 6/15 6; w06 12/15 24; w05 8/1 21; w02 2/15 18-19; w00 3/1 4; w97 6/1 25-26; g97 5/22 18-19

2 Wakorintho 12:10

Marejeo

  • +Flp 4:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2020, kur. 14-19

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2018, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    3/15/2010, uku. 18

    6/15/2008, kur. 3-4, 6

    9/15/2004, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 3/15 18; w08 6/15 4, 6; w04 9/15 13-14

2 Wakorintho 12:11

Marejeo

  • +2Ko 12:1
  • +2Ko 11:5; Ufu 2:2
  • +2Ko 11:23

2 Wakorintho 12:12

Marejeo

  • +1Ko 9:2
  • +2Ko 6:4
  • +Mdo 14:3; 15:12; Ro 15:19

2 Wakorintho 12:13

Marejeo

  • +1Ko 9:12; 2Ko 11:9

2 Wakorintho 12:14

Marejeo

  • +2Ko 13:1
  • +Mdo 20:33
  • +1Ko 4:14; Gal 4:19
  • +Met 13:22; 19:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1997, uku. 20

    10/1/1996, uku. 29

    6/15/1987, uku. 24

    2/1/1987, uku. 4

    “Kila Andiko,” uku. 214

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/15 20; w96 10/1 29

2 Wakorintho 12:15

Marejeo

  • +Met 11:30; 2Ko 1:6; Flp 2:17; Kol 1:24; 1Th 2:8; Ebr 13:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Huduma Yetu ya Ufalme,

    6/2007, uku. 1

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2000, uku. 21

    9/15/2000, kur. 22-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    km 6/07 1; w00 9/15 22-23; w00 11/15 21

2 Wakorintho 12:16

Marejeo

  • +2Ko 11:9
  • +2Ko 7:2

2 Wakorintho 12:18

Marejeo

  • +2Ko 8:6, 16
  • +Flp 1:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1988, kur. 16-17

2 Wakorintho 12:19

Marejeo

  • +1Ko 10:33

2 Wakorintho 12:20

Marejeo

  • +2Ko 10:2; 13:2
  • +1Ko 3:3
  • +Flp 2:3

2 Wakorintho 12:21

Marejeo

  • +1Ko 5:1; 2Ko 2:2
  • +1Ko 6:9, 13
  • +Ro 13:13; Gal 5:19; Efe 4:19; 2Pe 2:2; Yud 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2012, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/15 31

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 12:1Mdo 2:17; 22:17
2 Kor. 12:2Eze 8:3
2 Kor. 12:3Eze 3:14
2 Kor. 12:4Efe 1:3
2 Kor. 12:52Ko 11:30
2 Kor. 12:62Ko 10:8; 11:16
2 Kor. 12:7Met 16:18
2 Kor. 12:7Gal 4:13
2 Kor. 12:81Pe 5:7
2 Kor. 12:9Kum 3:26
2 Kor. 12:9Isa 40:29; Ebr 11:34
2 Kor. 12:92Ko 11:30
2 Kor. 12:10Flp 4:13
2 Kor. 12:112Ko 12:1
2 Kor. 12:112Ko 11:5; Ufu 2:2
2 Kor. 12:112Ko 11:23
2 Kor. 12:121Ko 9:2
2 Kor. 12:122Ko 6:4
2 Kor. 12:12Mdo 14:3; 15:12; Ro 15:19
2 Kor. 12:131Ko 9:12; 2Ko 11:9
2 Kor. 12:142Ko 13:1
2 Kor. 12:14Mdo 20:33
2 Kor. 12:141Ko 4:14; Gal 4:19
2 Kor. 12:14Met 13:22; 19:14
2 Kor. 12:15Met 11:30; 2Ko 1:6; Flp 2:17; Kol 1:24; 1Th 2:8; Ebr 13:17
2 Kor. 12:162Ko 11:9
2 Kor. 12:162Ko 7:2
2 Kor. 12:182Ko 8:6, 16
2 Kor. 12:18Flp 1:27
2 Kor. 12:191Ko 10:33
2 Kor. 12:202Ko 10:2; 13:2
2 Kor. 12:201Ko 3:3
2 Kor. 12:20Flp 2:3
2 Kor. 12:211Ko 5:1; 2Ko 2:2
2 Kor. 12:211Ko 6:9, 13
2 Kor. 12:21Ro 13:13; Gal 5:19; Efe 4:19; 2Pe 2:2; Yud 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 12:1-21

2 Wakorintho

12 Lazima nijisifu. Haina faida; lakini nitaendelea katika maono+ ya miujiza na ufunuo wa Bwana. 2 Namjua mtu mmoja katika muungano na Kristo ambaye, miaka kumi na minne iliyopita—kama ni katika mwili sijui, au ni nje ya mwili sijui; Mungu anajua—alinyakuliwa+ akiwa hivyo mpaka kwenye mbingu ya tatu. 3 Ndiyo, namjua mtu wa namna hiyo—kama ni katika mwili au bila mwili,+ mimi sijui, Mungu anajua— 4 kwamba alinyakuliwa kuingia katika paradiso+ na kusikia maneno yasiyoweza kutamkwa ambayo si halali mtu kuyasema. 5 Mimi nitajisifu juu ya mtu wa namna hiyo, lakini mimi sitajisifu juu yangu mwenyewe, isipokuwa kwa habari ya udhaifu wangu.+ 6 Kwa maana hata nikitaka kujisifu,+ sitakuwa mwenye kukosa akili, kwa maana nitasema kweli. Lakini naepuka, ili yeyote asinihesabie sifa zaidi ya kile anachoniona mimi kuwa au anachosikia kutoka kwangu, 7 kwa sababu tu ya wingi wa huo ufunuo.

Kwa hiyo, ili nisijione kuwa nimeinuliwa mno,+ nilipewa mwiba katika mwili,+ malaika wa Shetani, aendelee kunipiga kofi, ili nisijiinue kupita kiasi. 8 Kwa ajili ya hilo mara tatu+ nilimsihi Bwana kwamba huo uniondoke; 9 na bado kwa kweli akaniambia: “Fadhili zangu zisizostahiliwa zinakutosha+ wewe; kwa maana nguvu zangu zinakamilishwa katika udhaifu.”+ Kwa furaha zaidi, basi, ni afadhali nijisifu kwa habari ya udhaifu wangu,+ ili nguvu za Kristo zibaki juu yangu kama hema. 10 Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na hali za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa mwenye nguvu.+

11 Nimekuwa mtu asiye na akili. Ninyi mlinilazimisha+ kuwa hivyo, kwa maana ninyi mlipaswa kunipendekeza. Kwa maana hata katika jambo moja sikuwa mdogo kwa mitume wenu walio bora sana,+ hata kama mimi si kitu.+ 12 Kwa kweli, ishara za mtume+ zilitokezwa katikati yenu kwa uvumilivu wote,+ na kwa ishara na mambo ya ajabu na matendo yenye nguvu.+ 13 Kwa maana ni katika jambo gani kwamba ninyi mlikuwa wadogo kuliko yale makutaniko mengine, isipokuwa kwamba mimi mwenyewe sikuwa mzigo kwenu?+ Mnisamehe kosa hili kwa fadhili.

14 Tazama! Hii ndiyo mara ya tatu+ niliyo tayari kuja kwenu, na bado sitakuwa mzigo. Kwa maana ninatafuta, si mali zenu,+ bali ninyi; kwa maana watoto+ hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi wao, bali wazazi kwa ajili ya watoto wao.+ 15 Kwa upande wangu mimi nitatumia kwa furaha zaidi na kutumiwa kabisa kwa ajili ya nafsi zenu.+ Kama nikiwapenda ninyi kwa wingi zaidi, je, mimi nipendwe kidogo? 16 Lakini hata iweje, mimi sikuwa mzigo mzito kwenu.+ Hata hivyo ninyi mnasema, mimi nilikuwa “mjanja” nami niliwashika ninyi “kwa ujanja.”+ 17 Kwa habari ya yeyote kati ya wale niliowatuma kwenu, je, niliwatumia ninyi kwa kujifaidi kupitia yeye? 18 Nilimhimiza Tito na nikamtuma yule ndugu pamoja naye. Je, Tito aliwatumia ninyi kwa kujifaidi hata kidogo?+ Je, hatukutembea katika roho ileile?+ Katika hatua zilezile?

19 Je, ninyi mmekuwa mkifikiri muda huu wote kwamba sisi tumekuwa tukijitetea kwenu? Sisi tunasema mbele za Mungu kuhusiana na Kristo. Lakini, wapendwa, mambo yote ni kwa ajili ya kuwajenga ninyi.+ 20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, nitakapofika,+ huenda nikawapata ninyi mkiwa vile ambavyo mimi sipendi nami niwe kwenu vile ambavyo ninyi hampendi, bali, badala yake, kwa njia fulani inaelekea kutakuwa na mizozo, wivu,+ milipuko ya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, majivuno, machafuko.+ 21 Labda, nitakapokuja tena, huenda Mungu wangu akaninyenyekeza katikati yenu, nami huenda nikaomboleza juu ya wengi kati ya wale ambao hapo zamani walitenda dhambi+ lakini hawajatubu kutokana na unajisi wao na uasherati+ na mwenendo mpotovu+ ambao wamezoea kutenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki