Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 16:1

Marejeo

  • +Mdo 24:17; Ro 15:26
  • +2Ko 8:4
  • +Gal 1:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1998, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 11/1 24

1 Wakorintho 16:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 88

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    11/2023, uku. 3

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2013, uku. 14

    7/15/2008, uku. 28

    12/1/2002, uku. 5

    11/1/2002, uku. 30

    11/1/1998, uku. 24

    12/1/1994, uku. 17

    1/15/1992, uku. 17

    4/15/1991, uku. 27

    12/1/1989, uku. 24

    12/15/1986, uku. 30

    12/1/1986, uku. 30

    Huduma ya Ufalme,

    1/2002, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28; w02 11/1 30; w02 12/1 5; km 1/02 7; w98 11/1 24

1 Wakorintho 16:3

Marejeo

  • +2Ko 8:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1998, uku. 7

    12/1/1989, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 7/15 7

1 Wakorintho 16:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/1998, uku. 7

    12/1/1989, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 7/15 7

1 Wakorintho 16:5

Marejeo

  • +Mdo 19:21; 2Ko 1:16

1 Wakorintho 16:6

Marejeo

  • +Mdo 17:15; Ro 15:24; 3Yo 6

1 Wakorintho 16:7

Marejeo

  • +Mdo 20:2
  • +Yak 4:15; 1Yo 5:14
  • +Mdo 18:21

1 Wakorintho 16:8

Marejeo

  • +Mdo 19:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 210

  • Fahirishi ya Machapisho

    km 3/03 6

1 Wakorintho 16:9

Marejeo

  • +Mdo 19:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2008, uku. 18

    12/15/1990, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 18; od 118; km 3/03 6

1 Wakorintho 16:10

Marejeo

  • +Mdo 16:1; Flp 2:19
  • +Flp 2:20; 1Ti 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 15

1 Wakorintho 16:11

Marejeo

  • +1Ti 4:12

1 Wakorintho 16:12

Marejeo

  • +Mdo 18:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1996, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/1 22

1 Wakorintho 16:13

Marejeo

  • +1Th 5:6
  • +1Ko 15:58; Flp 1:27
  • +Mdo 4:29
  • +Efe 6:10; Kol 1:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2015, kur. 13-17

    1/1/2003, kur. 18-19

    4/1/2002, kur. 15, 27-28

    4/15/1990, kur. 26-28

    Amkeni!,

    4/22/2000, uku. 15

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 1/1 18-19; w02 4/1 15, 27-28; g00 4/22 15; km 2/00 8

1 Wakorintho 16:14

Marejeo

  • +1Ko 13:4; 1Pe 4:8

1 Wakorintho 16:15

Marejeo

  • +Ro 16:5
  • +2Ko 8:4; Ebr 6:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1988, kur. 19-20

1 Wakorintho 16:16

Marejeo

  • +Flp 2:29; 1Th 5:12; 1Ti 5:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1988, kur. 19-20

1 Wakorintho 16:17

Marejeo

  • +1Ko 1:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1988, kur. 19-20

1 Wakorintho 16:18

Marejeo

  • +2Ko 7:13
  • +Flp 2:29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1988, kur. 19-20

1 Wakorintho 16:19

Marejeo

  • +Ro 16:5
  • +Flm 2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2007, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 8/15 10

1 Wakorintho 16:20

Marejeo

  • +Ro 16:16

1 Wakorintho 16:21

Marejeo

  • +2Th 3:17; Flm 19

1 Wakorintho 16:22

Marejeo

  • +Gal 1:8
  • +Ufu 22:20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 16:1Mdo 24:17; Ro 15:26
1 Kor. 16:12Ko 8:4
1 Kor. 16:1Gal 1:2
1 Kor. 16:32Ko 8:19
1 Kor. 16:5Mdo 19:21; 2Ko 1:16
1 Kor. 16:6Mdo 17:15; Ro 15:24; 3Yo 6
1 Kor. 16:7Mdo 20:2
1 Kor. 16:7Yak 4:15; 1Yo 5:14
1 Kor. 16:7Mdo 18:21
1 Kor. 16:8Mdo 19:1
1 Kor. 16:9Mdo 19:10
1 Kor. 16:10Mdo 16:1; Flp 2:19
1 Kor. 16:10Flp 2:20; 1Ti 4:14
1 Kor. 16:111Ti 4:12
1 Kor. 16:12Mdo 18:24
1 Kor. 16:131Th 5:6
1 Kor. 16:131Ko 15:58; Flp 1:27
1 Kor. 16:13Mdo 4:29
1 Kor. 16:13Efe 6:10; Kol 1:11
1 Kor. 16:141Ko 13:4; 1Pe 4:8
1 Kor. 16:15Ro 16:5
1 Kor. 16:152Ko 8:4; Ebr 6:10
1 Kor. 16:16Flp 2:29; 1Th 5:12; 1Ti 5:17
1 Kor. 16:171Ko 1:16
1 Kor. 16:182Ko 7:13
1 Kor. 16:18Flp 2:29
1 Kor. 16:19Ro 16:5
1 Kor. 16:19Flm 2
1 Kor. 16:20Ro 16:16
1 Kor. 16:212Th 3:17; Flm 19
1 Kor. 16:22Gal 1:8
1 Kor. 16:22Ufu 22:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 16:1-24

1 Wakorintho

16 Basi kuhusu mchango+ ulio kwa ajili ya watakatifu,+ kama vile nilivyoyapa maagizo makutaniko ya Galatia,+ ninyi wenyewe pia fanyeni vivyo hivyo. 2 Kila siku ya kwanza ya juma acheni kila mmoja wenu kwenye nyumba yake mwenyewe aweke kando kitu fulani katika akiba kulingana na anavyofanikiwa, ili nitakapofika michango isifanywe wakati huo. 3 Lakini nitakapofika hapo, watu wowote mtakaokubali kwa barua,+ nitawatuma hao kuipeleka zawadi yenu ya fadhili mpaka Yerusalemu. 4 Hata hivyo, ikiwa inafaa mimi kwenda huko pia, wao wataenda huko pamoja nami.

5 Lakini nitakuja kwenu wakati nitakapokuwa nimekwenda kupitia Makedonia, kwa maana ninaenda kupitia Makedonia;+ 6 na labda nitakaa au hata nitapisha majira ya baridi kali nikiwa pamoja nanyi, ili mnisindikize+ hatua fulani mahali ambapo huenda nitakuwa nikienda. 7 Kwa maana sitaki kuwaona ninyi sasa wakati ninapopita, kwa maana natumaini kukaa pamoja nanyi kwa wakati fulani,+ Yehova+ akiruhusu.+ 8 Lakini ninakaa katika Efeso+ mpaka sherehe ya Pentekoste; 9 kwa maana nimefunguliwa mlango mkubwa unaoongoza kwenye utendaji,+ lakini kuna wapinzani wengi.

10 Hata hivyo, Timotheo+ akifika, hakikisheni kwamba haogopi akiwa kati yenu, kwa maana anafanya kazi ya Yehova,+ kama mimi. 11 Kwa hiyo, mtu yeyote asimdharau.+ Msindikizeni hatua fulani kwa amani, ili anifikie hapa, kwa maana ninamngojea nikiwa pamoja na akina ndugu.

12 Basi kumhusu Apolo+ ndugu yetu, nilimsihi sana aje kwenu akiwa na akina ndugu, na bado hayakuwa mapenzi yake hata kidogo aje sasa; lakini atakuja atakapopata nafasi.

13 Kaeni macho,+ simameni imara katika imani,+ endeleeni kuwa kama wanaume,+ iweni na nguvu.+ 14 Mambo yenu yote na yatendeke kwa upendo.+

15 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu: Mnajua kwamba nyumba ya Stefana ndiyo matunda ya kwanza+ ya Akaya na kwamba walijitoa kuwahudumia watakatifu.+ 16 Ninyi pia endeleeni kujitiisha kwa watu wa aina hiyo na kwa kila mtu anayeshirikiana na kufanya kazi ya jasho.+ 17 Lakini nashangilia kuwapo kwa Stefana+ na Fortunato na Akaiko, kwa sababu wao wamejazia kutokuwapo kwenu hapa. 18 Kwa maana wameiburudisha roho+ yangu na yenu. Kwa hiyo watambueni watu wa namna hiyo.+

19 Makutaniko ya Asia yanawatumia ninyi salamu+ zao. Akila na Priska pamoja na kutaniko lililo katika nyumba yao+ wanawasalimu ninyi kwa ukunjufu wa moyo katika Bwana. 20 Ndugu wote wanawasalimu ninyi. Salimianeni kwa busu takatifu.+

21 Hii ni salamu yangu, ya Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe.+

22 Ikiwa yeyote hana upendo kwa Bwana, mtu huyo na alaaniwe.+ Uje, Ee Bwana wetu!+ 23 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana Yesu na ziwe pamoja nanyi. 24 Upendo wangu na uwe pamoja nanyi nyote katika muungano na Kristo Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki