-
1 Wakorintho 16:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Siku ya kwanza ya kila juma, kila mmoja wenu anapaswa kuweka kando kitu fulani kulingana na uwezo wake, ili michango isikusanywe nitakapofika.
-
-
1 Wakorintho 16:2Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 Kila siku ya kwanza ya juma acheni kila mmoja wenu kwenye nyumba yake mwenyewe aweke kando kitu fulani katika akiba kama aelekeavyo kuwa anafanikiwa, ili niwasilipo michango isitukie wakati huo.
-