Zaburi
Wimbo wa Mipando.
125 Wale wanaomtegemea Yehova+
Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+
2 Yerusalemu—kama vile milima inavyolizunguka pande zote,+
Ndivyo Yehova amewazunguka watu wake pande zote+
Tangu sasa na mpaka wakati usio na kipimo.+