Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 1:1

Marejeo

  • +1Ko 1:1; 1Ti 1:1
  • +Mdo 16:1; Flp 2:20
  • +Kol 1:2
  • +1Th 1:8

2 Wakorintho 1:2

Marejeo

  • +Ro 1:7; Efe 1:3; Flp 1:2

2 Wakorintho 1:3

Marejeo

  • +Yoh 20:17; Efe 4:6
  • +Kut 34:6; Zb 86:5; Mik 7:18
  • +Isa 51:3; Ro 15:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    4/2019, uku. 7

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    7/2017, kur. 13, 16

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2011, kur. 23-24

    6/1/2009, uku. 28

    9/1/2008, uku. 18

    7/1/2008, uku. 7

    3/15/2008, uku. 15

    12/15/2007, uku. 5

    12/15/1996, uku. 30

    11/1/1996, kur. 13-14

    6/1/1995, kur. 11-12

    7/15/1992, uku. 21

    2/1/1986, uku. 15

    “Kila Andiko,” uku. 217

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 23-24; w09 6/1 28; w08 3/15 15; w08 7/1 7; w08 9/1 18; w07 12/15 5; w96 11/1 13-14; w96 12/15 30

2 Wakorintho 1:4

Marejeo

  • +Zb 23:4; 2Ko 7:6
  • +Efe 6:22; 1Th 4:18
  • +Ro 15:4; 2Th 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    4/2019, uku. 7

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2011, kur. 23-24

    9/1/2008, uku. 18

    3/15/2008, uku. 15

    2/15/1998, kur. 26-27

    11/1/1996, kur. 13-14

    6/1/1995, kur. 11-12

    7/15/1992, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 10/15 23-24; w08 3/15 15; w08 9/1 18; w98 2/15 26-27; w96 11/1 13-14

2 Wakorintho 1:5

Marejeo

  • +1Ko 4:11; Kol 1:24
  • +Flp 2:1; 2Th 2:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 14

2 Wakorintho 1:6

Marejeo

  • +Efe 1:13
  • +Ro 8:17; 1Pe 3:17; 4:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 14

2 Wakorintho 1:7

Marejeo

  • +Ro 8:18; 2Ti 2:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, kur. 12-13, 14-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 12-14, 16

2 Wakorintho 1:8

Marejeo

  • +Mdo 19:22; 20:18
  • +Mdo 19:23; 1Ko 15:32; 16:9; 2Ko 11:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 163

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 23

    12/15/1996, uku. 24

    11/1/1996, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 163; w96 11/1 16-17; w96 12/15 24

2 Wakorintho 1:9

Marejeo

  • +Zb 33:20; Yer 17:7; 2Ko 12:10
  • +Ebr 11:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 16-17

2 Wakorintho 1:10

Marejeo

  • +Zb 34:19; 2Pe 2:9
  • +Zb 34:7; 2Ti 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 16

2 Wakorintho 1:11

Marejeo

  • +Ro 15:30; Flp 1:19; Flm 22
  • +2Ko 9:11
  • +Mdo 12:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 670

2 Wakorintho 1:12

Marejeo

  • +Mdo 23:1
  • +1Ko 2:4

2 Wakorintho 1:13

Marejeo

  • +1Ko 4:14

2 Wakorintho 1:14

Marejeo

  • +2Ko 5:12
  • +Flp 2:16; 1Th 2:19

2 Wakorintho 1:15

Marejeo

  • +1Ko 4:19
  • +Mdo 20:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, kur. 30-31

2 Wakorintho 1:16

Marejeo

  • +1Ko 16:5
  • +Mdo 20:3
  • +Mdo 17:15; Ro 15:24; 1Ko 16:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, kur. 30-31

    10/15/2012, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 29

2 Wakorintho 1:17

Marejeo

  • +2Ko 10:2
  • +2Ko 5:16
  • +Mt 5:37; Yak 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 31

2 Wakorintho 1:19

Marejeo

  • +Lu 1:35; Mdo 9:20
  • +Mdo 18:5
  • +Ebr 13:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 31

2 Wakorintho 1:20

Marejeo

  • +Mwa 3:15; 17:7; 49:10
  • +Ro 15:8
  • +1Ko 14:16; Ufu 3:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2014, uku. 31

    12/15/2008, uku. 13

    Wapiga-Mbiu, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 13; jv 20

2 Wakorintho 1:21

Marejeo

  • +1Yo 2:20, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1995, uku. 10

2 Wakorintho 1:22

Marejeo

  • +Efe 4:30
  • +2Ko 5:5; Efe 1:14
  • +Ro 8:9, 23; 1Ko 12:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2016, uku. 32

    1/2016, uku. 18

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2007, kur. 30-31

    7/1/1995, uku. 10

    8/15/1989, uku. 30

    Upeo wa Ufunuo, kur. 115-116

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/1 30-31; re 115-116

2 Wakorintho 1:23

Marejeo

  • +Ro 1:9; Flp 1:8
  • +1Ko 4:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2012, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 10/15 29

2 Wakorintho 1:24

Marejeo

  • +Ebr 13:17; 1Pe 5:3
  • +1Ko 3:9; 1Yo 1:3
  • +Ro 11:20
  • +1Ko 15:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2013, kur. 27-28

    1/15/2003, kur. 15-16

    6/1/1999, kur. 15-16

    3/15/1998, kur. 21-22

    9/1/1996, kur. 22-23

    4/1/1995, uku. 18

    10/1/1994, uku. 20

    9/1/1994, kur. 14-15

    9/15/1989, uku. 17

    2013 Kitabu cha Mwaka, kur. 5-6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 1/15 15-16; w99 6/1 15-16; w98 3/15 21-22; w96 9/1 22-23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 1:11Ko 1:1; 1Ti 1:1
2 Kor. 1:1Mdo 16:1; Flp 2:20
2 Kor. 1:1Kol 1:2
2 Kor. 1:11Th 1:8
2 Kor. 1:2Ro 1:7; Efe 1:3; Flp 1:2
2 Kor. 1:3Yoh 20:17; Efe 4:6
2 Kor. 1:3Kut 34:6; Zb 86:5; Mik 7:18
2 Kor. 1:3Isa 51:3; Ro 15:5
2 Kor. 1:4Ro 15:4; 2Th 2:16
2 Kor. 1:4Zb 23:4; 2Ko 7:6
2 Kor. 1:4Efe 6:22; 1Th 4:18
2 Kor. 1:51Ko 4:11; Kol 1:24
2 Kor. 1:5Flp 2:1; 2Th 2:16
2 Kor. 1:6Efe 1:13
2 Kor. 1:6Ro 8:17; 1Pe 3:17; 4:16
2 Kor. 1:7Ro 8:18; 2Ti 2:12
2 Kor. 1:8Mdo 19:22; 20:18
2 Kor. 1:8Mdo 19:23; 1Ko 15:32; 16:9; 2Ko 11:23
2 Kor. 1:9Zb 33:20; Yer 17:7; 2Ko 12:10
2 Kor. 1:9Ebr 11:19
2 Kor. 1:10Zb 34:19; 2Pe 2:9
2 Kor. 1:10Zb 34:7; 2Ti 4:18
2 Kor. 1:11Ro 15:30; Flp 1:19; Flm 22
2 Kor. 1:112Ko 9:11
2 Kor. 1:11Mdo 12:5
2 Kor. 1:12Mdo 23:1
2 Kor. 1:121Ko 2:4
2 Kor. 1:131Ko 4:14
2 Kor. 1:142Ko 5:12
2 Kor. 1:14Flp 2:16; 1Th 2:19
2 Kor. 1:151Ko 4:19
2 Kor. 1:15Mdo 20:2
2 Kor. 1:161Ko 16:5
2 Kor. 1:16Mdo 20:3
2 Kor. 1:16Mdo 17:15; Ro 15:24; 1Ko 16:6
2 Kor. 1:172Ko 10:2
2 Kor. 1:172Ko 5:16
2 Kor. 1:17Mt 5:37; Yak 5:12
2 Kor. 1:19Lu 1:35; Mdo 9:20
2 Kor. 1:19Mdo 18:5
2 Kor. 1:19Ebr 13:8
2 Kor. 1:20Mwa 3:15; 17:7; 49:10
2 Kor. 1:20Ro 15:8
2 Kor. 1:201Ko 14:16; Ufu 3:14
2 Kor. 1:211Yo 2:20, 27
2 Kor. 1:22Efe 4:30
2 Kor. 1:222Ko 5:5; Efe 1:14
2 Kor. 1:22Ro 8:9, 23; 1Ko 12:13
2 Kor. 1:23Ro 1:9; Flp 1:8
2 Kor. 1:231Ko 4:21
2 Kor. 1:24Ebr 13:17; 1Pe 5:3
2 Kor. 1:241Ko 3:9; 1Yo 1:3
2 Kor. 1:24Ro 11:20
2 Kor. 1:241Ko 15:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 1:1-24

2 Wakorintho

Barua ya Pili kwa Wakorintho

1 Paulo, mtume+ wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu, na Timotheo+ ndugu yetu kwa kutaniko la Mungu lililo katika Korintho, pamoja na watakatifu+ wote walio katika Akaya+ yote:

2 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.+

3 Abarikiwe Mungu na Baba+ ya Bwana wetu Yesu Kristo, Baba ya rehema+ nyororo na Mungu wa faraja+ yote, 4  ambaye hutufariji katika dhiki yetu yote,+ ili tuweze kuwafariji+ wale walio katika namna yoyote ya dhiki kupitia faraja ambayo sisi wenyewe tunafarijiwa na Mungu.+ 5 Kwa maana kama vile mateso kwa ajili ya Kristo yalivyo mengi katika sisi,+ vivyo hivyo faraja tunayopata pia ni nyingi kupitia Kristo.+ 6 Basi kama tumo katika dhiki, hiyo ni kwa ajili ya faraja na wokovu+ wenu; au kama tunafarijiwa, hiyo ni kwa ajili ya faraja yenu inayotenda ili kuwafanya mvumilie mateso yaleyale ambayo sisi pia tunateseka.+ 7 Na kwa hiyo tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, tukijua kama tunavyojua kwamba, kama vile mlivyo washiriki wa hayo mateso, vivyo hivyo ninyi pia mtaishiriki faraja.+

8 Kwa maana sisi hatutaki ninyi mkose kujua, akina ndugu, juu ya dhiki iliyotupata katika wilaya ya Asia,+ kwamba tulikuwa chini ya mkazo mkubwa mno unaoshinda nguvu zetu, hivi kwamba hatukuwa na uhakika kabisa hata juu ya uhai wetu.+ 9 Kwa kweli, tuliona ndani yetu wenyewe kwamba tumepokea hukumu ya kifo. Ilikuwa hivyo ili uhakika+ wetu uwe, si katika sisi wenyewe, bali katika Mungu ambaye huwafufua wafu.+ 10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+ 11 Ninyi pia mnaweza kushiriki kusaidia kwa dua yenu kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani+ kwa ajili yetu kwa lile ambalo tumepewa kwa fadhili kutokana na sala za watu wengi.+

12 Kwa maana jambo tunalojisifia ni hili, ambalo dhamiri yetu inalitolea ushahidi,+ kwamba kwa utakatifu na unyoofu wa moyo wa kimungu, si kwa hekima ya kimwili+ bali kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu, tumejiendesha katika ulimwengu, lakini hasa kuwaelekea ninyi. 13 Kwa maana kwa kweli hatuwaandikii ninyi mambo isipokuwa yale mnayoyajua vema au kuyatambua pia; na ambayo mimi natumaini mtaendelea kuyatambua mpaka mwisho,+ 14 kama vile ambavyo mmetambua pia, kwa kadiri fulani, kwamba sisi ni sababu yenu ya kujisifu,+ kama vile ninyi mtakavyokuwa kwetu pia katika siku ya Bwana wetu Yesu.+

15 Kwa hiyo, nikiwa na uhakika huu, nilikuwa nikikusudia hapo mbeleni kuja kwenu,+ ili muwe na pindi ya pili+ ya kuwa na shangwe, 16 nami niende Makedonia+ baada ya kukaa kidogo kwenu, na kurudi kutoka Makedonia kuja kwenu+ nanyi mnisindikize+ kwenda Yudea. 17 Basi, nilipokuwa nikikusudia hivyo, je, nilifanya mambo kijuujuu?+ Au mambo yale ninayokusudia, je, mimi nayakusudia kulingana na mwili,+ ili kwamba niseme “Ndiyo, Ndiyo” na “Siyo, Siyo”?+ 18 Lakini Mungu anaweza kutegemewa ili neno letu kwenu lisiwe ni Ndiyo na pia Siyo. 19 Kwa maana Mwana wa Mungu,+ Kristo Yesu, aliyehubiriwa katikati yenu kupitia sisi, yaani, kupitia mimi na Silvano na Timotheo,+ hakuwa Ndiyo na pia Siyo, bali Ndiyo imekuwa Ndiyo kuhusiana naye.+ 20 Kwa maana hata ahadi+ za Mungu ziwe nyingi kadiri gani, zimekuwa Ndiyo kwa njia yake.+ Kwa hiyo kupitia yeye pia “Amina”+ husemwa kwa Mungu kwa ajili ya utukufu kupitia sisi. 21 Lakini yeye ambaye hutoa uhakikisho kwamba ninyi na sisi ni wa Kristo na yeye ambaye ametutia mafuta+ ni Mungu. 22 Yeye pia ametia muhuri+ wake juu yetu naye ametupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho,+ katika mioyo yetu.

23 Sasa namwita Mungu awe shahidi+ juu ya nafsi yangu mwenyewe ya kuwa ni kwa kuwahurumia ninyi+ kwamba bado sijaja Korintho. 24 Si kwamba sisi ndio mabwana+ juu ya imani yenu, bali sisi ni wafanyakazi wenzi+ kwa shangwe yenu, kwa maana ni kwa imani+ yenu kwamba ninyi mnasimama.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki