Zaburi Wimbo wa Mipando. 123 Nimekuinulia wewemacho yangu,+Ewe unayekaa mbinguni.+ 2 Tazama! Kama vile macho ya watumishi yalivyo kuelekea mkono wa bwana wao,+Kama vile macho ya mjakazi yalivyo kuelekea mkono wa bimkubwa wake,+Ndivyo yalivyo macho yetu kumwelekea Yehova Mungu wetu.+Mpaka atuonyeshe kibali.+ 3 Utuonyeshe kibali, Ee Yehova, utuonyeshe kibali;+Kwa maana tumeshiba sana dharau.+ 4 Nafsi yetu imeshiba sana dhihaka ya wale wanaostarehe,+Dharau la wale wenye kiburi.+