Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 15:1

Marejeo

  • +Hes 24:2; 2Sa 23:2
  • +2Nya 15:8

2 Mambo ya Nyakati 15:2

Marejeo

  • +Mal 3:7; Yak 4:8
  • +Isa 55:6; Yer 29:13
  • +1Nya 28:9; 2Nya 24:20; Ebr 10:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, kur. 9-10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 9-10

2 Mambo ya Nyakati 15:3

Marejeo

  • +1Fa 12:28
  • +Kum 33:10; 2Nya 17:9; Ne 8:9; Mal 2:7

2 Mambo ya Nyakati 15:4

Marejeo

  • +Amu 10:10; Ho. 6:1
  • +Kum 4:30; Zb 106:44; Ro 2:9
  • +Isa 55:7; Mt 7:7

2 Mambo ya Nyakati 15:5

Marejeo

  • +Amu 5:6
  • +1Sa 13:6

2 Mambo ya Nyakati 15:6

Marejeo

  • +Amu 9:23; 2Nya 12:15
  • +Kum 28:48; Amu 2:14; Zb 106:41; Ho. 9:3

2 Mambo ya Nyakati 15:7

Marejeo

  • +Yos 1:9; 1Nya 28:20
  • +Mhu 10:18; Ebr 12:12
  • +Ru 2:12; Kol 3:24; Ebr 11:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 9

2 Mambo ya Nyakati 15:8

Marejeo

  • +2Nya 15:1
  • +Kum 27:15; 2Fa 23:24
  • +Yos 17:15
  • +2Nya 8:12

2 Mambo ya Nyakati 15:9

Marejeo

  • +2Nya 11:16
  • +2Nya 30:25
  • +Mwa 39:3; 1Sa 18:28; Zek 8:23; Mdo 7:9

2 Mambo ya Nyakati 15:12

Marejeo

  • +2Fa 23:3; 2Nya 34:31; Ne 10:29
  • +Kum 4:29; Yer 29:13

2 Mambo ya Nyakati 15:13

Marejeo

  • +Kut 22:20; Kum 17:3
  • +Kum 1:17
  • +Met 24:23

2 Mambo ya Nyakati 15:14

Marejeo

  • +Mhu 5:5; Mt 5:33

2 Mambo ya Nyakati 15:15

Marejeo

  • +Zb 5:11; 40:16
  • +2Nya 15:2
  • +Met 16:7

2 Mambo ya Nyakati 15:16

Marejeo

  • +Kum 13:6; 33:9; Zek 13:3
  • +1Fa 15:10
  • +1Fa 15:13; 2Nya 19:7
  • +Kut 34:17
  • +Kum 7:5; 1Fa 15:13
  • +Kut 32:20
  • +2Sa 15:23

2 Mambo ya Nyakati 15:17

Marejeo

  • +1Fa 14:23; 2Fa 14:4; 23:20; Eze 6:3; 16:16
  • +1Fa 15:14; 22:43
  • +1Fa 8:61

2 Mambo ya Nyakati 15:18

Marejeo

  • +1Fa 7:51; 1Nya 26:26
  • +1Fa 15:15

2 Mambo ya Nyakati 15:19

Marejeo

  • +2Nya 14:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 15:1Hes 24:2; 2Sa 23:2
2 Nya. 15:12Nya 15:8
2 Nya. 15:2Mal 3:7; Yak 4:8
2 Nya. 15:2Isa 55:6; Yer 29:13
2 Nya. 15:21Nya 28:9; 2Nya 24:20; Ebr 10:38
2 Nya. 15:31Fa 12:28
2 Nya. 15:3Kum 33:10; 2Nya 17:9; Ne 8:9; Mal 2:7
2 Nya. 15:4Amu 10:10; Ho. 6:1
2 Nya. 15:4Kum 4:30; Zb 106:44; Ro 2:9
2 Nya. 15:4Isa 55:7; Mt 7:7
2 Nya. 15:5Amu 5:6
2 Nya. 15:51Sa 13:6
2 Nya. 15:6Amu 9:23; 2Nya 12:15
2 Nya. 15:6Kum 28:48; Amu 2:14; Zb 106:41; Ho. 9:3
2 Nya. 15:7Yos 1:9; 1Nya 28:20
2 Nya. 15:7Mhu 10:18; Ebr 12:12
2 Nya. 15:7Ru 2:12; Kol 3:24; Ebr 11:6
2 Nya. 15:82Nya 15:1
2 Nya. 15:8Kum 27:15; 2Fa 23:24
2 Nya. 15:8Yos 17:15
2 Nya. 15:82Nya 8:12
2 Nya. 15:92Nya 11:16
2 Nya. 15:92Nya 30:25
2 Nya. 15:9Mwa 39:3; 1Sa 18:28; Zek 8:23; Mdo 7:9
2 Nya. 15:122Fa 23:3; 2Nya 34:31; Ne 10:29
2 Nya. 15:12Kum 4:29; Yer 29:13
2 Nya. 15:13Kut 22:20; Kum 17:3
2 Nya. 15:13Kum 1:17
2 Nya. 15:13Met 24:23
2 Nya. 15:14Mhu 5:5; Mt 5:33
2 Nya. 15:15Zb 5:11; 40:16
2 Nya. 15:152Nya 15:2
2 Nya. 15:15Met 16:7
2 Nya. 15:16Kum 13:6; 33:9; Zek 13:3
2 Nya. 15:161Fa 15:10
2 Nya. 15:161Fa 15:13; 2Nya 19:7
2 Nya. 15:16Kut 34:17
2 Nya. 15:16Kum 7:5; 1Fa 15:13
2 Nya. 15:16Kut 32:20
2 Nya. 15:162Sa 15:23
2 Nya. 15:171Fa 14:23; 2Fa 14:4; 23:20; Eze 6:3; 16:16
2 Nya. 15:171Fa 15:14; 22:43
2 Nya. 15:171Fa 8:61
2 Nya. 15:181Fa 7:51; 1Nya 26:26
2 Nya. 15:181Fa 15:15
2 Nya. 15:192Nya 14:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 15:1-19

2 Mambo ya Nyakati

15 Sasa roho+ ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.+ 2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+ 3 Na kwa siku nyingi Israeli+ hawakuwa na Mungu wa kweli wala kuhani mwenye kufundisha+ wala Sheria. 4 Lakini waliporudi kwa Yehova Mungu wa Israeli,+ wakiwa katika taabu yao,+ na kumtafuta, basi aliwaruhusu wampate.+ 5 Na nyakati hizo hapakuwa na amani kwa yule anayetoka wala kwa yule anayeingia,+ kwa sababu kulikuwa na machafuko mengi kati ya wakaaji wote wa nchi mbalimbali.+ 6 Nao walivunjwa vipande-vipande, taifa kupigana na taifa+ na jiji kupigana na jiji, kwa sababu Mungu aliendelea kuwatia katika machafuko kwa kila namna ya taabu.+ 7 Nanyi iweni hodari+ na msiache mikono yenu ilegee,+ kwa sababu kuna thawabu kwa ajili ya kazi yenu.”+

8 Na mara tu Asa alipoyasikia maneno hayo na unabii wa Odedi+ nabii, akajipa moyo, akaondoa kabisa machukizo+ katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na katika majiji aliyokuwa ameteka kutoka katika eneo lenye milima la Efraimu,+ na kuifanya upya madhabahu ya Yehova iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Yehova.+ 9 Naye akaanza kukusanya pamoja Yuda wote na Benyamini+ na wakaaji wageni+ waliokuwa pamoja nao kutoka katika Efraimu na Manase na Simeoni, kwa maana walikuwa wamekimbia wakamwendea kutoka katika Israeli wakiwa hesabu kubwa walipoona kwamba Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye.+ 10 Basi wakakusanywa pamoja katika Yerusalemu mwezi wa tatu wa mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa. 11 Ndipo wakamtolea Yehova dhabihu siku hiyo kutokana na zile nyara walizoleta, ng’ombe mia saba na kondoo elfu saba. 12 Zaidi ya hayo, wakaingia katika agano+ ili kumtafuta Yehova Mungu wa mababu zao kwa moyo wao wote na kwa nafsi yao yote;+ 13 kwamba yeyote ambaye hangemtafuta Yehova Mungu wa Israeli, auawe,+ iwe ni mdogo au ni mkubwa,+ iwe ni mwanamume au ni mwanamke.+ 14 Basi wakamwapia+ Yehova kwa sauti kubwa na kwa sauti za shangwe na kwa tarumbeta na kwa baragumu. 15 Na Yuda wote wakaanza kushangilia+ juu ya lile jambo waliloapa; kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote nao walikuwa wamemtafuta kwa furaha kamili hivi kwamba yeye aliwaruhusu wampate;+ na Yehova akaendelea kuwapa pumziko kuzunguka pande zote.+

16 Naye Asa mfalme+ akamwondoa hata Maaka+ nyanya yake asiwe malkia,+ kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu yenye kutisha kwa ajili ya mti mtakatifu;+ kisha Asa akaikata sanamu yake yenye kutisha+ na kuiponda na kuiteketeza kwa moto+ katika bonde la mto la Kidroni.+ 17 Na mahali pa juu+ hapakuondolewa katika Israeli.+ Ila moyo wa Asa ulikuwa mkamilifu siku zake zote.+ 18 Naye akaanza kuviingiza ndani ya nyumba ya Mungu wa kweli vitu ambavyo baba yake alivifanya kuwa vitakatifu na vitu+ ambavyo yeye mwenyewe alivifanya kuwa vitakatifu, fedha na dhahabu na vyombo.+ 19 Wala vita havikutokea mpaka katika mwaka wa 35 wa utawala wa Asa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki