Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+

  • 2 Wafalme 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+

  • 2 Wafalme 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi akawatoa dhabihu juu ya hizo madhabahu makuhani+ wote wa mahali pa juu waliokuwa pale, akateketeza kwa moto mifupa ya binadamu juu yake.+ Ndipo akarudi Yerusalemu.

  • Ezekieli 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe utasema, ‘Enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova:+ Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameiambia milima na vilima,+ vijito na mabonde: “Tazama mimi! Ninaleta upanga juu yenu, nami hakika nitaharibu mahali penu pa juu.+

  • Ezekieli 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nawe ukachukua sehemu ya mavazi yako na kujifanyia mwenyewe mahali pa juu+ penye rangi mbalimbali nawe ukawa ukifanya ukahaba juu yake+—mambo hayo hayaingii, na hayapasi kutukia hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki