Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 5:1

Marejeo

  • +Mhu 12:3; 2Ko 4:7
  • +2Pe 1:13
  • +2Pe 1:14
  • +1Ko 15:48, 50; Flp 3:21
  • +Lu 16:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 15-16

    3/1/1995, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 15-16

2 Wakorintho 5:2

Marejeo

  • +Ro 8:23
  • +Ro 6:4; 1Ko 15:48

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 15-16

2 Wakorintho 5:3

Marejeo

  • +Ufu 3:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 15-16

2 Wakorintho 5:4

Marejeo

  • +1Ko 15:43; Flp 1:21
  • +1Ko 15:53; 1Pe 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2020, uku. 23

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 20

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 15-16

2 Wakorintho 5:5

Marejeo

  • +Efe 2:10
  • +2Ko 1:22; Efe 1:14
  • +Ro 8:23; 1Ko 12:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, uku. 18

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 15-16

2 Wakorintho 5:6

Marejeo

  • +Yoh 14:3

2 Wakorintho 5:7

Marejeo

  • +Ro 8:24; 2Ko 4:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    9/15/2005, kur. 16-20

    1/15/1998, kur. 8-13

    Huduma ya Ufalme,

    9/1996, uku. 1

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 9/15 16-20; w98 1/15 8-13; km 9/96 1

2 Wakorintho 5:8

Marejeo

  • +Flp 1:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1998, kur. 15-16

    3/1/1995, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 2/15 15-16

2 Wakorintho 5:9

Marejeo

  • +Flp 1:24
  • +Mdo 10:35

2 Wakorintho 5:10

Marejeo

  • +Mdo 17:31
  • +Kol 3:24; Ufu 22:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 15-16

2 Wakorintho 5:11

Marejeo

  • +Ebr 10:31; 1Pe 1:17
  • +Mdo 18:4
  • +2Ko 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 16

2 Wakorintho 5:12

Marejeo

  • +2Ko 3:1; 10:12
  • +2Ko 1:14
  • +Yer 9:23; 2Ko 10:10
  • +Yer 9:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 16

2 Wakorintho 5:13

Marejeo

  • +2Ko 11:1, 16
  • +2Ko 12:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, uku. 16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 16

2 Wakorintho 5:14

Marejeo

  • +Isa 53:10; Mt 20:28; 1Ti 2:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 13-14

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/1/2010, uku. 9

    5/15/2010, kur. 26-27

    3/15/2005, uku. 14

    12/15/1998, uku. 16

    6/15/1995, kur. 14-15

    6/1/1994, kur. 15-16

    2/15/1992, kur. 14-15

    Amkeni!,

    10/8/1996, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 5/15 26-27; w10 6/1 9; w05 3/15 14; w98 12/15 16; g96 10/8 27

2 Wakorintho 5:15

Marejeo

  • +Ro 14:7
  • +Ro 6:11
  • +Mdo 3:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 28

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 13-14

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/1/2010, uku. 9

    5/15/2010, kur. 26-27

    3/15/2005, uku. 14

    12/15/1998, kur. 16-17

    2/15/1992, kur. 14-15

    8/15/1987, kur. 10, 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 5/15 26-27; w10 6/1 9; w05 3/15 14; w98 12/15 16

2 Wakorintho 5:16

Marejeo

  • +Mt 12:50; 2Ko 7:1; 1Pe 4:6
  • +Mt 23:39
  • +Yoh 20:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 28

    12/15/1998, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28; w98 12/15 16-17

2 Wakorintho 5:17

Marejeo

  • +Ro 6:4; Gal 6:15
  • +Isa 43:18; Efe 4:22
  • +Efe 4:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, uku. 17

    1/1/1993, kur. 5-6

    3/1/1987, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 17

2 Wakorintho 5:18

Marejeo

  • +Ro 5:10; Efe 2:16; Kol 1:20
  • +Mdo 20:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2014, uku. 18

    12/15/2010, kur. 12-14

    12/15/1998, kur. 17-18

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, kur. 209-210

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/15 12-14; w98 12/15 17-18

2 Wakorintho 5:19

Marejeo

  • +Ro 3:24
  • +Ro 5:6; 11:15; 1Yo 2:2
  • +Zb 37:29; Ufu 21:3
  • +Isa 43:25; Ro 4:25; 5:18
  • +Mdo 13:38
  • +Mt 28:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/15/2010, kur. 12-13

    12/15/1998, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/15 12-13; w98 12/15 17-18

2 Wakorintho 5:20

Marejeo

  • +Flp 3:20
  • +Efe 6:20
  • +Mt 25:40
  • +2Ko 2:14
  • +Ufu 22:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 61-62

    “Upendo wa Mungu,” kur. 51-53

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/15/2010, kur. 12-14

    11/1/2002, kur. 16-17

    12/15/1998, uku. 18

    Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 58, 64, 67

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/15 12-14; lv 51-53; w02 11/1 16-17; w98 12/15 18

2 Wakorintho 5:21

Marejeo

  • +Yoh 8:46; Ebr 4:15; 7:26
  • +Law 16:21; Ebr 9:28
  • +Kum 21:23; Ro 1:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2000, kur. 18-19

    12/15/1998, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 8/15 18-19; w98 12/15 18

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 5:1Mhu 12:3; 2Ko 4:7
2 Kor. 5:12Pe 1:13
2 Kor. 5:12Pe 1:14
2 Kor. 5:11Ko 15:48, 50; Flp 3:21
2 Kor. 5:1Lu 16:9
2 Kor. 5:2Ro 8:23
2 Kor. 5:2Ro 6:4; 1Ko 15:48
2 Kor. 5:3Ufu 3:18
2 Kor. 5:41Ko 15:43; Flp 1:21
2 Kor. 5:41Ko 15:53; 1Pe 1:4
2 Kor. 5:5Efe 2:10
2 Kor. 5:52Ko 1:22; Efe 1:14
2 Kor. 5:5Ro 8:23; 1Ko 12:13
2 Kor. 5:6Yoh 14:3
2 Kor. 5:7Ro 8:24; 2Ko 4:18
2 Kor. 5:8Flp 1:23
2 Kor. 5:9Flp 1:24
2 Kor. 5:9Mdo 10:35
2 Kor. 5:10Mdo 17:31
2 Kor. 5:10Kol 3:24; Ufu 22:12
2 Kor. 5:11Ebr 10:31; 1Pe 1:17
2 Kor. 5:11Mdo 18:4
2 Kor. 5:112Ko 4:2
2 Kor. 5:122Ko 3:1; 10:12
2 Kor. 5:122Ko 1:14
2 Kor. 5:12Yer 9:23; 2Ko 10:10
2 Kor. 5:12Yer 9:24
2 Kor. 5:132Ko 11:1, 16
2 Kor. 5:132Ko 12:6
2 Kor. 5:14Isa 53:10; Mt 20:28; 1Ti 2:6
2 Kor. 5:15Ro 14:7
2 Kor. 5:15Ro 6:11
2 Kor. 5:15Mdo 3:15
2 Kor. 5:16Mt 12:50; 2Ko 7:1; 1Pe 4:6
2 Kor. 5:16Mt 23:39
2 Kor. 5:16Yoh 20:17
2 Kor. 5:17Ro 6:4; Gal 6:15
2 Kor. 5:17Isa 43:18; Efe 4:22
2 Kor. 5:17Efe 4:24
2 Kor. 5:18Ro 5:10; Efe 2:16; Kol 1:20
2 Kor. 5:18Mdo 20:24
2 Kor. 5:19Ro 3:24
2 Kor. 5:19Ro 5:6; 11:15; 1Yo 2:2
2 Kor. 5:19Zb 37:29; Ufu 21:3
2 Kor. 5:19Isa 43:25; Ro 4:25; 5:18
2 Kor. 5:19Mdo 13:38
2 Kor. 5:19Mt 28:19
2 Kor. 5:20Flp 3:20
2 Kor. 5:20Efe 6:20
2 Kor. 5:20Mt 25:40
2 Kor. 5:202Ko 2:14
2 Kor. 5:20Ufu 22:17
2 Kor. 5:21Yoh 8:46; Ebr 4:15; 7:26
2 Kor. 5:21Law 16:21; Ebr 9:28
2 Kor. 5:21Kum 21:23; Ro 1:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 5:1-21

2 Wakorintho

5 Kwa maana tunajua kwamba nyumba yetu ya kidunia,+ hema+ hili, ikivunjwa,+ tutapata jengo kutoka kwa Mungu, nyumba isiyojengwa kwa mikono,+ ya milele+ mbinguni. 2 Kwa maana tunaugua+ kwelikweli katika nyumba hii ya kukaa, tukitamani kwa bidii kuvaa ile yetu kutoka mbinguni,+ 3 ili kwamba, tukiisha kuivaa kwelikweli, hatutapatikana tukiwa uchi.+ 4 Kwa kweli, sisi tulio katika hema hili tunaugua, tukilemewa; kwa sababu tunataka, si kulivua, bali kuvaa lile lingine,+ ili uhai ukimeze kile kinachoweza kufa.+ 5 Basi yeye aliyetutokeza kwa ajili ya jambo hili ni Mungu,+ aliyetupa sisi rehani+ ya kitakachokuja, yaani, roho.+

6 Kwa hiyo sikuzote sisi tuna uhodari mwingi na tunajua kwamba, tukiwa tungali na makao yetu katika mwili, hatupo mahali alipo Bwana,+ 7 kwa maana tunatembea kwa imani, si kwa kuona.+ 8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tunapendezwa vema tusiwepo katika mwili na badala yake tufanye makao yetu pamoja na Bwana.+ 9 Kwa hiyo pia tunaifanya iwe shabaha yetu kwamba, kama tuna makao yetu pamoja naye au tukiwa hatupo pamoja naye,+ tuweze kukubalika kwake.+ 10 Kwa maana sisi sote lazima tufunuliwe mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo,+ ili kila mmoja apate thawabu yake kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kupitia mwili, kulingana na mambo ambayo ametenda, kama ni mema au ni maovu.+

11 Kwa hiyo, kwa kuwa tunajua kumwogopa+ Bwana, tunaendelea kuwashawishi+ watu, lakini sisi tumefunuliwa kwa Mungu. Hata hivyo, natumaini kwamba tumefunuliwa pia kwa dhamiri+ zenu. 12 Hatujipendekezi+ wenyewe tena kwenu, bali tunawapa ninyi kichocheo cha kujisifu kuhusiana na sisi,+ ili mpate kuwa na jibu la kuwapa wale ambao hujisifu juu ya sura ya nje+ lakini si juu ya moyo.+ 13 Kwa maana ikiwa tulikuwa tumerukwa na akili+ yetu, ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu; ikiwa tuna utimamu wa akili,+ ni kwa ajili yenu. 14 Kwa maana upendo alio nao Kristo hutulazimisha, kwa sababu hili ndilo tumehukumu, kwamba mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote;+ kwa hiyo, basi, wote walikuwa wamekufa; 15 naye alikufa kwa ajili ya wote ili wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe,+ bali kwa ajili ya yeye+ aliyekufa kwa ajili yao na kufufuliwa.+

16 Kwa hiyo tangu sasa na kuendelea sisi hatumjui mtu yeyote kulingana na mwili.+ Hata kama tumemjua Kristo kulingana na mwili,+ hakika sasa hatumjui hivyo tena.+ 17 Basi ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali,+ tazama! mambo mapya yamekuja kuwako.+ 18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha+ sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo na kutupa sisi huduma+ ya upatanisho, 19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo+ alikuwa akiupatanisha ulimwengu+ kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa+ yao, naye alitukabidhi sisi lile neno+ la upatanisho.+

20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.” 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki