Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 3:1

Marejeo

  • +Mdo 17:15

1 Wathesalonike 3:2

Marejeo

  • +Mdo 16:1; Ro 16:21; 1Ko 16:10
  • +Mt 24:14; 2Th 1:8; Ufu 14:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, uku. 14

    10/1/1986, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 14

1 Wathesalonike 3:3

Marejeo

  • +Mdo 14:22; Efe 3:13
  • +1Ko 4:9; 1Pe 2:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wathesalonike 3:4

Marejeo

  • +2Th 2:5
  • +Mdo 20:23
  • +1Th 2:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wathesalonike 3:5

Marejeo

  • +1Th 3:2
  • +Mt 4:3; 1Ko 7:5; 2Ko 11:3
  • +1Ko 15:58; Gal 4:11; Flp 2:16

1 Wathesalonike 3:6

Marejeo

  • +Mdo 18:5
  • +Ro 13:8; Yak 2:8; 1Pe 1:22
  • +Flp 1:8

1 Wathesalonike 3:7

Marejeo

  • +2Ko 7:6
  • +2Th 1:4

1 Wathesalonike 3:8

Marejeo

  • +Ro 11:20; 1Ko 15:1; Flp 4:1

1 Wathesalonike 3:9

Marejeo

  • +Flp 2:2

1 Wathesalonike 3:10

Marejeo

  • +2Ti 1:3
  • +2Th 1:3; Yud 20

1 Wathesalonike 3:11

Marejeo

  • +2Th 2:16

1 Wathesalonike 3:12

Marejeo

  • +2Th 1:3
  • +1Th 4:9; 2Pe 1:7

1 Wathesalonike 3:13

Marejeo

  • +1Ko 1:8; Flp 1:10
  • +Yak 5:8; 1Yo 2:28
  • +1Th 2:19; 5:23; 2Th 2:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1986, uku. 11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 The. 3:1Mdo 17:15
1 The. 3:2Mdo 16:1; Ro 16:21; 1Ko 16:10
1 The. 3:2Mt 24:14; 2Th 1:8; Ufu 14:6
1 The. 3:3Mdo 14:22; Efe 3:13
1 The. 3:31Ko 4:9; 1Pe 2:21
1 The. 3:42Th 2:5
1 The. 3:4Mdo 20:23
1 The. 3:41Th 2:14
1 The. 3:51Th 3:2
1 The. 3:5Mt 4:3; 1Ko 7:5; 2Ko 11:3
1 The. 3:51Ko 15:58; Gal 4:11; Flp 2:16
1 The. 3:6Mdo 18:5
1 The. 3:6Ro 13:8; Yak 2:8; 1Pe 1:22
1 The. 3:6Flp 1:8
1 The. 3:72Ko 7:6
1 The. 3:72Th 1:4
1 The. 3:8Ro 11:20; 1Ko 15:1; Flp 4:1
1 The. 3:9Flp 2:2
1 The. 3:102Ti 1:3
1 The. 3:102Th 1:3; Yud 20
1 The. 3:112Th 2:16
1 The. 3:122Th 1:3
1 The. 3:121Th 4:9; 2Pe 1:7
1 The. 3:131Ko 1:8; Flp 1:10
1 The. 3:13Yak 5:8; 1Yo 2:28
1 The. 3:131Th 2:19; 5:23; 2Th 2:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wathesalonike 3:1-13

1 Wathesalonike

3 Kwa sababu hiyo, wakati hatukuweza kuvumilia hilo tena, tuliona vema kuachwa peke yetu katika Athene;+ 2 nasi tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu katika habari njema+ juu ya Kristo, kusudi awaimarishe ninyi na kuwafariji kwa ajili ya imani yenu, 3 ili yeyote asiyumbishwe na dhiki hizi.+ Kwa maana ninyi wenyewe mnajua tumewekewa jambo hili.+ 4 Kwa kweli, pia, wakati tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwaambia kimbele+ kwamba tulikusudiwa kupatwa na dhiki,+ kama vile ambavyo imetukia pia na kama mnavyojua.+ 5 Hiyo ndiyo sababu, kwa kweli, wakati sikuweza kuvumilia hilo tena, nilimtuma mtu ili nijue juu ya uaminifu wenu,+ kama labda kwa njia fulani yule Mjaribu+ alikuwa amewajaribu ninyi, na kazi yetu ya jasho ikawa ya bure.+

6 Lakini Timotheo amekuja sasa hivi kutoka kwenu+ na kutupa sisi habari njema juu ya uaminifu na upendo wenu,+ na kwamba mnaendelea kutukumbuka vema sikuzote, mkitamani sana kutuona kwa njia ileile, kwa kweli, kama vile sisi pia tunavyotamani kuwaona ninyi.+ 7 Hiyo ndiyo sababu, akina ndugu, tumefarijiwa+ juu yenu ninyi katika uhitaji wetu wote na dhiki kupitia uaminifu mnaoonyesha,+ 8 kwa sababu sasa sisi tunaishi ikiwa ninyi mnasimama imara katika Bwana.+ 9 Kwa maana ni shukrani gani tunazoweza kumtolea Mungu kuhusu ninyi ili ziwe malipo ya shangwe yote tunayoshangilia+ kwa ajili yenu mbele za Mungu wetu, 10 huku usiku na mchana tukiomba dua+ ambazo ni zaidi kuliko zile za kawaida ili tuone nyuso zenu na kutimiza mambo yanayokosekana juu ya imani yenu?+

11 Sasa Mungu na Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu+ na waifanikishe njia yetu kuja kwenu. 12 Zaidi ya hayo, Bwana na awafanye ninyi mwongezeke,+ ndiyo, awafanye ninyi mzidi, katika upendo+ kwa mtu na mwenzake na kwa wote, kama vile sisi pia tunavyowatendea ninyi; 13 kusudi afanye mioyo yenu kuwa imara, isiyolaumika+ katika utakatifu mbele za Mungu na Baba yetu wakati wa kuwapo+ kwa Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki