Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 6:1

Marejeo

  • +Mt 28:20; 2Ko 5:20
  • +Ro 2:4; Ebr 12:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2016, kur. 28-32

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/15/2010, uku. 14

    12/15/1998, kur. 18-19

    7/15/1991, kur. 16-17

    2/15/1991, kur. 19-20

    8/1/1988, kur. 27-29

    2006 Kitabu cha Mwaka, kur. 3-4

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/15 14; yb06 3-4; w98 12/15 18-19

2 Wakorintho 6:2

Marejeo

  • +Isa 49:8
  • +Lu 4:19
  • +Yoh 9:4; Ebr 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    12/15/2010, kur. 12-14

    12/15/1998, kur. 18-20

    Upeo wa Ufunuo, kur. 126-127

    2006 Kitabu cha Mwaka, kur. 3-4

    Unabii wa Isaya II, kur. 143-146

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 12/15 12-14; re 127; yb06 3-4; ip-2 143-146; w98 12/15 18-20

2 Wakorintho 6:3

Marejeo

  • +Ro 14:13
  • +1Ko 9:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 40

2 Wakorintho 6:4

Marejeo

  • +2Ko 4:2
  • +2Ko 11:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 40

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2016, uku. 18

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2000, uku. 20

    4/15/2000, kur. 19-21

    12/15/1998, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 4/15 19-21; w00 11/15 20; w98 12/15 19

2 Wakorintho 6:5

Marejeo

  • +Ufu 2:10
  • +2Ko 11:27

2 Wakorintho 6:6

Marejeo

  • +Efe 4:2; Kol 3:13; 1Th 5:14
  • +Mik 6:8; Efe 4:32
  • +Ro 12:9; 1Ti 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 19-20

2 Wakorintho 6:7

Marejeo

  • +1Ko 2:4
  • +2Ko 10:4; Efe 6:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, kur. 19-20

    9/15/1990, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 19-20

2 Wakorintho 6:8

Marejeo

  • +Mt 10:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 20

2 Wakorintho 6:9

Marejeo

  • +Mdo 4:13; 2Ko 4:10
  • +2Ko 4:11
  • +Zb 118:18; Ebr 12:6
  • +Mdo 14:19; 2Ko 4:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 20

2 Wakorintho 6:10

Marejeo

  • +Flp 4:13; Ufu 2:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1998, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 12/15 20

2 Wakorintho 6:11

Marejeo

  • +2Ko 8:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 56

2 Wakorintho 6:12

Marejeo

  • +2Ko 12:15
  • +1Pe 2:17; 1Yo 4:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 56

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2007, kur. 9-10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/1 9-10

2 Wakorintho 6:13

Marejeo

  • +1Ko 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 56

    Amkeni!,

    Na. 3 2020 uku. 10

    3/2006, uku. 9

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2009, kur. 20-21

    1/1/2007, kur. 9-11

    10/1/2004, kur. 16-17

    12/1/1995, uku. 16

    10/1/1988, kur. 12-13

    Huduma ya Ufalme,

    5/2004, uku. 4

    8/1994, uku. 1

    Mwabudu Mungu, kur. 149-150

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 11/15 20-21; w07 1/1 9-11; g 3/06 9; w04 10/1 16-17; km 5/04 4; wt 149-150

2 Wakorintho 6:14

Marejeo

  • +Kut 23:32; Kum 7:3; 1Fa 11:4; 1Ko 7:39
  • +1Ko 5:11; Yak 4:4
  • +Efe 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 42

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 134-135

    “Upendo wa Mungu,” uku. 113

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/1/2010, uku. 27

    5/1/2007, kur. 15-16

    7/1/2004, kur. 30-31

    10/15/2003, uku. 32

    11/15/1995, uku. 31

    10/1/1993, kur. 29-30

    11/1/1989, kur. 18-22

    Vijana Huuliza, Buku la 2, uku. 34

    Amkeni!,

    1/22/1998, uku. 20

    11/22/1993, kur. 11-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 6/1 27; lv 113; yp2 34; w07 5/1 15-16; w04 7/1 30-31; w03 10/15 32; g98 1/22 20

2 Wakorintho 6:15

Marejeo

  • +Mt 4:10; Ufu 12:7
  • +1Ko 10:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1989, kur. 18-22

2 Wakorintho 6:16

Marejeo

  • +1Ko 10:14
  • +1Ko 3:16; 6:19
  • +Kut 29:45; Law 26:11
  • +Law 26:12; Eze 37:27; Zek 8:8

2 Wakorintho 6:17

Marejeo

  • +Isa 52:11; Yer 51:45; Ufu 18:4
  • +Eze 20:41; 2Ko 7:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 111

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2006, kur. 27-31

    12/1/1991, kur. 12-13

    Upeo wa Ufunuo, kur. 265-266

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 3/15 27-31; re 265-266

2 Wakorintho 6:18

Marejeo

  • +2Sa 7:14
  • +Isa 43:6; Ho. 1:10; Yoh 1:12
  • +Ufu 1:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 111

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 6:1Mt 28:20; 2Ko 5:20
2 Kor. 6:1Ro 2:4; Ebr 12:15
2 Kor. 6:2Isa 49:8
2 Kor. 6:2Lu 4:19
2 Kor. 6:2Yoh 9:4; Ebr 3:13
2 Kor. 6:3Ro 14:13
2 Kor. 6:31Ko 9:22
2 Kor. 6:42Ko 4:2
2 Kor. 6:42Ko 11:23
2 Kor. 6:5Ufu 2:10
2 Kor. 6:52Ko 11:27
2 Kor. 6:6Efe 4:2; Kol 3:13; 1Th 5:14
2 Kor. 6:6Mik 6:8; Efe 4:32
2 Kor. 6:6Ro 12:9; 1Ti 1:5
2 Kor. 6:71Ko 2:4
2 Kor. 6:72Ko 10:4; Efe 6:11
2 Kor. 6:8Mt 10:16
2 Kor. 6:9Mdo 4:13; 2Ko 4:10
2 Kor. 6:92Ko 4:11
2 Kor. 6:9Zb 118:18; Ebr 12:6
2 Kor. 6:9Mdo 14:19; 2Ko 4:9
2 Kor. 6:10Flp 4:13; Ufu 2:9
2 Kor. 6:112Ko 8:16
2 Kor. 6:122Ko 12:15
2 Kor. 6:121Pe 2:17; 1Yo 4:20
2 Kor. 6:131Ko 4:14
2 Kor. 6:14Kut 23:32; Kum 7:3; 1Fa 11:4; 1Ko 7:39
2 Kor. 6:141Ko 5:11; Yak 4:4
2 Kor. 6:14Efe 5:8
2 Kor. 6:15Mt 4:10; Ufu 12:7
2 Kor. 6:151Ko 10:21
2 Kor. 6:161Ko 10:14
2 Kor. 6:161Ko 3:16; 6:19
2 Kor. 6:16Kut 29:45; Law 26:11
2 Kor. 6:16Law 26:12; Eze 37:27; Zek 8:8
2 Kor. 6:17Isa 52:11; Yer 51:45; Ufu 18:4
2 Kor. 6:17Eze 20:41; 2Ko 7:1
2 Kor. 6:182Sa 7:14
2 Kor. 6:18Isa 43:6; Ho. 1:10; Yoh 1:12
2 Kor. 6:18Ufu 1:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 6:1-18

2 Wakorintho

6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawasihi ninyi pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu kisha mkose kusudi lake.+ 2 Kwa maana anasema: “Katika wakati unaokubalika nilikusikia, na katika siku ya wokovu nilikusaidia.”+ Tazama! Sasa ndio wakati unaokubalika+ hasa. Tazama! Sasa ndiyo siku ya wokovu.+

3 Sisi hatutoi sababu yoyote ya kukwaza+ kwa njia yoyote, ili huduma yetu isilaumiwe;+ 4 bali katika kila njia tunajipendekeza+ kuwa wahudumu wa Mungu, kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa hali za uhitaji, kwa magumu,+ 5 kwa mapigo, kwa vifungo vya gerezani,+ kwa machafuko, kwa kazi za jasho, kwa kukosa usingizi usiku, kwa nyakati za kuwa bila chakula,+ 6 kwa utakato, kwa ujuzi, kwa ustahimilivu,+ kwa fadhili,+ kwa roho takatifu, kwa upendo usio na unafiki,+ 7 kwa kusema maneno ya kweli, kwa nguvu za Mungu;+ kupitia silaha+ za uadilifu upande wa mkono wa kuume na wa kushoto, 8 kupitia utukufu na aibu, kupitia habari ambazo ni mbaya na habari ambazo ni njema; kama wanaodanganya+ na bado ni wenye kusema kweli, 9 kama wasiojulikana na bado ni wenye kutambuliwa,+ kama wanaokufa na bado, tazama! tunaishi,+ kama wanaotiwa nidhamu+ na bado hatukabidhiwi kwenye kifo,+ 10 kama walio na huzuni lakini wenye kushangilia sikuzote, kama maskini lakini wenye kuwatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado wenye kuwa na vitu vyote.+

11 Kinywa chetu kimefunguliwa kwenu, enyi Wakorintho, moyo+ wetu umepanuka. 12 Ninyi hamjasongwa mkakosa nafasi ndani yetu,+ lakini mmesongwa mkakosa nafasi katika upendo wenu mwororo.+ 13 Kwa hiyo, yakiwa kama malipo—mimi nasema kana kwamba ni kwa watoto+—ninyi, pia, panukeni.

14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+ 15 Na zaidi, kuna upatano gani kati ya Kristo na Beliali?+ Au mtu mwaminifu ana fungu+ gani na asiye mwamini? 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ 17 “ ‘Kwa hiyo tokeni katikati yao, na mjitenge,’ asema Yehova, ‘na mwache kugusa kitu kilicho najisi’ ”;+ “ ‘nami nitawakaribisha ndani.’ ”+ 18 “ ‘Nami nitakuwa baba kwenu,+ nanyi mtakuwa wana na mabinti kwangu,’+ asema Yehova Mweza-Yote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki