Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 mkiwa na unyenyekevu kamili wa akili+ na upole, mkiwa na ustahimilivu,+ mkivumiliana katika upendo,+

  • Wakolosai 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari+ ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika+ juu ya mwingine. Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi+ kwa hiari, nanyi fanyeni vivyo hivyo pia.

  • 1 Wathesalonike 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza ninyi, akina ndugu, mwaonye wale wasio na utaratibu,+ semeni kwa kuzifariji nafsi zilizohuzunika,+ tegemezeni walio dhaifu, iweni wenye ustahimilivu+ kuelekea wote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki