Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 23:1

Marejeo

  • +Yos 15:44; 1Nya 4:19; Ne 3:17
  • +Law 26:16; Kum 28:33; Amu 6:6

1 Samweli 23:2

Marejeo

  • +Amu 1:1; 1Sa 28:6; 30:8; 2Sa 5:19; Zb 37:5; Met 3:5

1 Samweli 23:3

Marejeo

  • +1Sa 22:5
  • +1Sa 13:5; 14:52

1 Samweli 23:4

Marejeo

  • +Amu 6:39
  • +Yos 8:7; Amu 7:7; 1Sa 14:6; 2Sa 5:19; 2Fa 3:18

1 Samweli 23:5

Marejeo

  • +1Sa 22:5; 23:1

1 Samweli 23:6

Marejeo

  • +1Sa 22:20
  • +Kut 28:30; 1Sa 14:3

1 Samweli 23:7

Marejeo

  • +1Sa 23:1
  • +Kut 15:9; 1Sa 23:14; Zb 71:11

1 Samweli 23:9

Marejeo

  • +Met 12:20; 14:22; 16:30; 24:8
  • +Hes 27:21; 1Sa 30:7

1 Samweli 23:10

Marejeo

  • +Zb 17:6; 50:15; Yer 33:3
  • +1Sa 22:19; Met 28:15

1 Samweli 23:11

Marejeo

  • +Zb 118:21

1 Samweli 23:12

Marejeo

  • +Zb 31:8; 62:2; 94:11; 118:8

1 Samweli 23:13

Marejeo

  • +1Sa 22:2; 25:13; 30:9

1 Samweli 23:14

Marejeo

  • +Yos 15:55; 1Sa 23:24; 26:1; 1Nya 2:42; Zb 54:utangulizi
  • +1Sa 18:29; 20:33; 27:1; Zb 54:3
  • +1Sa 2:9; Zb 33:18; 54:4; 124:7; Met 21:30; Ro 8:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 10

1 Samweli 23:15

Marejeo

  • +1Sa 23:18

1 Samweli 23:16

Marejeo

  • +Kum 3:28; Ne 2:18; Ayu 16:5; Met 17:17; 27:9; Lu 22:32; Mdo 15:32; Ebr 10:25
  • +Zb 37:5; 1Pe 5:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 10

1 Samweli 23:17

Marejeo

  • +Zb 27:1; Isa 41:10
  • +1Sa 16:13; 2Sa 2:4; 5:3
  • +1Sa 20:31; 24:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 3

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1993, uku. 24

1 Samweli 23:18

Marejeo

  • +1Sa 18:3; 20:42; 22:8; 2Sa 21:7

1 Samweli 23:19

Marejeo

  • +1Nya 2:42
  • +1Sa 10:26; 15:34
  • +1Sa 22:17; 26:1; Zb 54:utangulizi
  • +1Sa 23:15
  • +1Sa 26:3
  • +1Sa 23:24; 26:1

1 Samweli 23:20

Marejeo

  • +1Sa 18:29; 20:33; Zb 112:10; Met 11:23
  • +Zb 54:3; 70:2; Met 29:26

1 Samweli 23:21

Marejeo

  • +Amu 17:2

1 Samweli 23:22

Marejeo

  • +Mt 10:16

1 Samweli 23:23

Marejeo

  • +Yos 22:30; 1Sa 10:19

1 Samweli 23:24

Marejeo

  • +1Sa 23:14
  • +Yos 15:55; 1Sa 25:2
  • +Kum 1:7

1 Samweli 23:25

Marejeo

  • +1Sa 26:2; Zb 54:3
  • +1Sa 23:28
  • +Met 11:19

1 Samweli 23:26

Marejeo

  • +1Sa 19:12; 2Sa 15:14; Zb 31:22
  • +2Nya 20:12; Zb 17:9; 2Ko 1:8

1 Samweli 23:28

Marejeo

  • +2Sa 22:1; Zb 18:utangulizi; 18:2; 54:7

1 Samweli 23:29

Marejeo

  • +Yos 15:62; 2Nya 20:2; Wim 1:14; Eze 47:10

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 23:1Yos 15:44; 1Nya 4:19; Ne 3:17
1 Sam. 23:1Law 26:16; Kum 28:33; Amu 6:6
1 Sam. 23:2Amu 1:1; 1Sa 28:6; 30:8; 2Sa 5:19; Zb 37:5; Met 3:5
1 Sam. 23:31Sa 22:5
1 Sam. 23:31Sa 13:5; 14:52
1 Sam. 23:4Amu 6:39
1 Sam. 23:4Yos 8:7; Amu 7:7; 1Sa 14:6; 2Sa 5:19; 2Fa 3:18
1 Sam. 23:51Sa 22:5; 23:1
1 Sam. 23:61Sa 22:20
1 Sam. 23:6Kut 28:30; 1Sa 14:3
1 Sam. 23:71Sa 23:1
1 Sam. 23:7Kut 15:9; 1Sa 23:14; Zb 71:11
1 Sam. 23:9Met 12:20; 14:22; 16:30; 24:8
1 Sam. 23:9Hes 27:21; 1Sa 30:7
1 Sam. 23:10Zb 17:6; 50:15; Yer 33:3
1 Sam. 23:101Sa 22:19; Met 28:15
1 Sam. 23:11Zb 118:21
1 Sam. 23:12Zb 31:8; 62:2; 94:11; 118:8
1 Sam. 23:131Sa 22:2; 25:13; 30:9
1 Sam. 23:14Yos 15:55; 1Sa 23:24; 26:1; 1Nya 2:42; Zb 54:utangulizi
1 Sam. 23:141Sa 18:29; 20:33; 27:1; Zb 54:3
1 Sam. 23:141Sa 2:9; Zb 33:18; 54:4; 124:7; Met 21:30; Ro 8:31
1 Sam. 23:151Sa 23:18
1 Sam. 23:16Kum 3:28; Ne 2:18; Ayu 16:5; Met 17:17; 27:9; Lu 22:32; Mdo 15:32; Ebr 10:25
1 Sam. 23:16Zb 37:5; 1Pe 5:7
1 Sam. 23:17Zb 27:1; Isa 41:10
1 Sam. 23:171Sa 16:13; 2Sa 2:4; 5:3
1 Sam. 23:171Sa 20:31; 24:20
1 Sam. 23:181Sa 18:3; 20:42; 22:8; 2Sa 21:7
1 Sam. 23:191Nya 2:42
1 Sam. 23:191Sa 10:26; 15:34
1 Sam. 23:191Sa 22:17; 26:1; Zb 54:utangulizi
1 Sam. 23:191Sa 23:15
1 Sam. 23:191Sa 26:3
1 Sam. 23:191Sa 23:24; 26:1
1 Sam. 23:201Sa 18:29; 20:33; Zb 112:10; Met 11:23
1 Sam. 23:20Zb 54:3; 70:2; Met 29:26
1 Sam. 23:21Amu 17:2
1 Sam. 23:22Mt 10:16
1 Sam. 23:23Yos 22:30; 1Sa 10:19
1 Sam. 23:241Sa 23:14
1 Sam. 23:24Yos 15:55; 1Sa 25:2
1 Sam. 23:24Kum 1:7
1 Sam. 23:251Sa 26:2; Zb 54:3
1 Sam. 23:251Sa 23:28
1 Sam. 23:25Met 11:19
1 Sam. 23:261Sa 19:12; 2Sa 15:14; Zb 31:22
1 Sam. 23:262Nya 20:12; Zb 17:9; 2Ko 1:8
1 Sam. 23:282Sa 22:1; Zb 18:utangulizi; 18:2; 54:7
1 Sam. 23:29Yos 15:62; 2Nya 20:2; Wim 1:14; Eze 47:10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 23:1-29

1 Samweli

23 Baada ya muda wakamletea Daudi habari, wakisema: “Tazama, Wafilisti wanapiga vita juu ya Keila,+ nao wanapora viwanja vya kupuria.”+ 2 Ndipo Daudi akamuuliza+ Yehova, akisema: “Je, niende, na je, niwapige hawa Wafilisti?” Na Yehova akamwambia Daudi: “Nenda, nawe uwapige Wafilisti, uokoe Keila.” 3 Lakini watu wa Daudi wakamwambia: “Tazama! tunaogopa tukiwa hapa katika Yuda,+ nasi tukienda Keila kupigana na vikosi vya Wafilisti tutaogopa hata zaidi!”+ 4 Kwa hiyo Daudi akauliza tena kutoka kwa Yehova.+ Sasa Yehova akamjibu na kusema: “Ondoka, shuka uende Keila, kwa sababu nitawatia Wafilisti mkononi mwako.”+ 5 Basi Daudi akaenda pamoja na watu wake mpaka Keila, akapigana na Wafilisti na kuchukua mifugo yao, lakini akawapiga wao kwa mauaji makubwa; na Daudi akawa mwokozi wa wakaaji wa Keila.+

6 Sasa ikawa kwamba Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi kule Keila, alishuka na efodi+ mkononi mwake. 7 Baada ya muda, Sauli akajulishwa: “Daudi amekuja Keila.”+ Naye Sauli akaanza kusema: “Mungu amemuuza mkononi mwangu,+ kwa maana amejifungia kwa kuingia katika jiji lenye milango na mapingo.” 8 Kwa hiyo Sauli akawaita watu wote kwenda vitani, washuke mpaka Keila, wamzingire Daudi na watu wake. 9 Naye Daudi akaja kujua kwamba Sauli alikuwa akitunga madhara+ juu yake. Basi akamwambia Abiathari kuhani: “Ilete efodi hapa.”+ 10 Na Daudi akaendelea kusema: “Ee Yehova, Mungu wa Israeli,+ mtumishi wako amesikia kwa hakika kwamba Sauli anatafuta kuja Keila ili aliharibu jiji kwa sababu yangu.+ 11 Je, wenye mashamba wa Keila watanitia mkononi mwake? Je, Sauli atashuka kuja kulingana na habari ambazo mtumishi wako amesikia? Ee Yehova, Mungu wa Israeli, tafadhali umwambie mtumishi wako.” Ndipo Yehova akasema: “Atashuka.”+ 12 Naye Daudi akaendelea kusema: “Je, wenye mashamba wa Keila watanitia mimi na watu wangu mkononi mwa Sauli?” Naye Yehova akasema: “Watakutia.”+

13 Mara moja Daudi akasimama pamoja na watu wake, karibu watu mia sita,+ wakatoka katika Keila, wakaendelea kutembea mahali popote ambapo waliweza kutembea. Naye Sauli akajulishwa kwamba Daudi aliponyoka kutoka Keila, basi akaacha kwenda. 14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+ 15 Na Daudi akaendelea kuogopa kwa sababu Sauli alikuwa ametoka ili kuitafuta nafsi yake, Daudi alipokuwa katika nyika ya Zifu kule Horeshi.+

16 Sasa Yonathani mwana wa Sauli akasimama, akaenda kwa Daudi kule Horeshi, ili autie nguvu+ mkono wake kuhusiana na Mungu.+ 17 Naye akamwambia: “Usiogope;+ kwa kuwa mkono wa Sauli baba yangu hautakupata, na wewe utakuwa mfalme+ juu ya Israeli, na mimi nitakuwa wa pili kwako; na Sauli baba yangu pia anajua jambo hilo.”+ 18 Ndipo hao wawili wakafanya agano+ mbele za Yehova; na Daudi akaendelea kukaa katika Horeshi, naye Yonathani akaenda nyumbani kwake.

19 Baadaye watu wa Zifu+ wakaenda kwa Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi+ karibu nasi katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule Horeshi,+ katika kilima cha Hakila,+ kilicho upande wa kuume wa Yeshimoni?+ 20 Basi sasa, kulingana na tamaa yote ya nafsi yako+ ya kushuka, Ee mfalme, shuka, na sehemu yetu itakuwa ni kumtia yeye mkononi mwa mfalme.”+ 21 Ndipo Sauli akasema: “Ninyi ni wabarikiwa wa Yehova,+ kwa maana mmenihurumia. 22 Tafadhali nendeni, vumilieni tena kidogo tu, mhakikishe na mwone mahali pake ambapo mguu wake utakuja—yeyote aliyemwona hapo—kwa maana nimeambiwa kwamba bila shaka yeye ni mjanja.+ 23 Angalieni na kuhakikisha kuhusu mahali pote pa kujificha ambapo yeye hujificha; nanyi mrudi kwangu mkiwa na huo ushuhuda, nami nitaenda pamoja nanyi; na itatukia kwamba, ikiwa yupo katika nchi hiyo, nitamtafuta kwa uangalifu kati ya maelfu+ yote ya Yuda.”

24 Kwa hiyo wakaondoka, wakaenda Zifu+ kumtangulia Sauli, huku Daudi na watu wake wakiwa katika nyika ya Maoni+ katika Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni. 25 Baadaye Sauli akaja na watu wake kumtafuta.+ Walipomjulisha Daudi, mara moja akashuka kwenda kwenye mwamba,+ naye akaendelea kukaa katika nyika ya Maoni. Sauli aliposikia habari hiyo, akaenda kumfuatilia+ Daudi katika nyika ya Maoni. 26 Mwishowe Sauli akaja upande huu wa mlima, na Daudi na watu wake wakawa upande mwingine wa mlima huo. Basi Daudi akafanya haraka kuondoka+ kwa sababu ya Sauli; wakati huo wote Sauli na watu wake walikuwa wakimzunguka Daudi na watu wake ili kuwakamata.+ 27 Lakini mjumbe fulani akamjia Sauli, akisema: “Fanya haraka uende, kwa maana Wafilisti wameivamia nchi!” 28 Ndipo Sauli akageuka, akaacha kumfuatilia Daudi,+ akaenda kukutana na Wafilisti. Ndiyo sababu wamepaita mahali hapo Mwamba wa Migawanyiko.

29 Ndipo Daudi akapanda kutoka huko, akaenda kukaa katika mahali palipo pagumu kufikiwa kule En-gedi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki