Zaburi 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wala hujanitia mkononi mwa adui.+Umeisimamisha miguu yangu mahali penye nafasi tele.+ Zaburi 62:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa kweli yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kilele changu salama;+Sitatikiswa sana.+ Zaburi 94:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova anazijua fikira za wanadamu, kwamba hizo ni kama pumzi.+ Zaburi 118:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+