Zaburi 37:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ijapokuwa huenda akaanguka, yeye hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anautegemeza mkono wake.+ Mika 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usishangilie juu yangu, Ee mwanamke adui yangu.+ Ijapokuwa nimeanguka, nitasimama;+ ijapokuwa ninakaa gizani,+ Yehova atakuwa nuru kwangu.+ 2 Wakorintho 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 tunateswa, lakini hatuachwi kabisa bila msaada;+ tunaangushwa chini,+ lakini hatuangamizwi.+
8 Usishangilie juu yangu, Ee mwanamke adui yangu.+ Ijapokuwa nimeanguka, nitasimama;+ ijapokuwa ninakaa gizani,+ Yehova atakuwa nuru kwangu.+