Zaburi 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mimi mwenyewe nakuitia wewe, kwa sababu utanijibu, Ee Mungu.+Tega sikio lako kwangu. Usikilize neno langu.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Yeremia 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari+ mambo makubwa na yasiyoweza kueleweka, usiyoyajua.’”+
6 Mimi mwenyewe nakuitia wewe, kwa sababu utanijibu, Ee Mungu.+Tega sikio lako kwangu. Usikilize neno langu.+
3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari+ mambo makubwa na yasiyoweza kueleweka, usiyoyajua.’”+