Kumbukumbu la Torati 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ni taifa+ gani kubwa ambalo lina miungu iliyo karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo tunapomwitia nyakati zote?+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+Nitamwokoa na kumtukuza.+ Isaya 55:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtafuteni Yehova, wakati anapoweza kupatikana.+ Mwiteni akiwa bado yupo karibu.+ Yeremia 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+
7 Kwa maana ni taifa+ gani kubwa ambalo lina miungu iliyo karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo tunapomwitia nyakati zote?+